Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
3510_swa
HISTORIA YA SHULE YA UPILI YA OLEFREMA Shule ya Upili ya Olefrena ilianzishwa, mnamo mwaka wa 2008 na Mzee Mstaafu Fredrick Waweru na Mkewe Mpendwa Bi Mary Wanjiku Kujengwa kwa shule hii ni kutokana na hamu na msukumo wa kupenda na kujua umuhimu wa elimu ndiposa watu hawa wawili kutaka kurudisha mkono wa heri katika jamii. Waliamua kujenga ili kufaidi wanafunzi na Wanajamii wa kijiji cha Kimani Road ili kuweza kusaidia watoto wa hapa kupata mahali pao pa kujipatia angaa elimu. Shule za hapo ziko mbali sana na imekuwa changamoto kubwa kwa wanafunzi kungangana Kupata elimu, na kwa ajili hii, wangwana hawa wawili wakaamua kujitolea kutoka kwa rasilimali zao kuijenga shule hii. shule hii inapatikana katika kaunti ya Kajiado eneo bunge la Kajiado Kaskazini, kata ya Nkaimurunua katika Kijiji cha Kiman Road. Shule hii iko ambali wa kilomita moja hivi kutoka kwenye barabara kuu ya Mbagathi. Imejengwa katika kipande cha ardhi ye ekari tatu hivi, ambapo kumejengwa jengo la utawala ambalo linajumuisha ofisi ya Mwalimu Mkuu, ofisi ya Katibu wa shule, chumba maalum cha Walimu, maktaba ya shule, maabara ya shule pamoja na vyoo vya walimu Majengo mengine ni yale ya madarasa ya jumla na nane, bweni za wasichana na pia za wavulana. Jikoni na chumba maalum cha hifadhi za shule, kisima na tanki ya maji safi.. Shule yenyewe imewafaidi wanakijiji wa Kimani Road na zaidi ya hayo, imekuwa kama baraka Kubwa tangu ilipoanzishwa na kuwawezesha wanafunzi chunguzima Kufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa na hata kijiunga na shule au vyuo vikuu mbalimbali nchini Kenya Wanafunzi hawa hawawezi kuzisahau baraka na ufadhili mkubwa kutoka kwa Bw.Fredrick na familia yake na hawaku lalia maskio bali walikazana kusoma vilivyo na kufaulu. Hata hivyo hatuwezi Kusahau michango ya Walimu Kwa Kuwapa mawaidha na maarifa nyingi kuhusiana na masomo yao. Jambo la kutia moyo ni kwamba hawa Wanafunzi wameweza kuziokoa familia zao Kutokana na maisha ya uchochole na taabu. Mazingira ya shule ni ya kuvutia na hata Kupumbaza macho na hisia kwani yanapendeza ajabu. Kumepandwa miti na mauua ainati Kote na Kuwa rembo kama bibi harusi. WafanyaKazi hapa ni Wakarimu na wenye heshima tukianzia na mwalimu mkuu mpka wale wa vyeo vya chini kabisa na tusisahau wanafunzi wenyewe Ni wazo langu kuwa shule ya Olefrema ni mahali pazuri penye baraka tele kwa wanakijiji wa Kiman Road na hata kwingineko.
Ole frema inapatikana katika kaunti gani
{ "text": [ "Kajiado" ] }
3510_swa
HISTORIA YA SHULE YA UPILI YA OLEFREMA Shule ya Upili ya Olefrena ilianzishwa, mnamo mwaka wa 2008 na Mzee Mstaafu Fredrick Waweru na Mkewe Mpendwa Bi Mary Wanjiku Kujengwa kwa shule hii ni kutokana na hamu na msukumo wa kupenda na kujua umuhimu wa elimu ndiposa watu hawa wawili kutaka kurudisha mkono wa heri katika jamii. Waliamua kujenga ili kufaidi wanafunzi na Wanajamii wa kijiji cha Kimani Road ili kuweza kusaidia watoto wa hapa kupata mahali pao pa kujipatia angaa elimu. Shule za hapo ziko mbali sana na imekuwa changamoto kubwa kwa wanafunzi kungangana Kupata elimu, na kwa ajili hii, wangwana hawa wawili wakaamua kujitolea kutoka kwa rasilimali zao kuijenga shule hii. shule hii inapatikana katika kaunti ya Kajiado eneo bunge la Kajiado Kaskazini, kata ya Nkaimurunua katika Kijiji cha Kiman Road. Shule hii iko ambali wa kilomita moja hivi kutoka kwenye barabara kuu ya Mbagathi. Imejengwa katika kipande cha ardhi ye ekari tatu hivi, ambapo kumejengwa jengo la utawala ambalo linajumuisha ofisi ya Mwalimu Mkuu, ofisi ya Katibu wa shule, chumba maalum cha Walimu, maktaba ya shule, maabara ya shule pamoja na vyoo vya walimu Majengo mengine ni yale ya madarasa ya jumla na nane, bweni za wasichana na pia za wavulana. Jikoni na chumba maalum cha hifadhi za shule, kisima na tanki ya maji safi.. Shule yenyewe imewafaidi wanakijiji wa Kimani Road na zaidi ya hayo, imekuwa kama baraka Kubwa tangu ilipoanzishwa na kuwawezesha wanafunzi chunguzima Kufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa na hata kijiunga na shule au vyuo vikuu mbalimbali nchini Kenya Wanafunzi hawa hawawezi kuzisahau baraka na ufadhili mkubwa kutoka kwa Bw.Fredrick na familia yake na hawaku lalia maskio bali walikazana kusoma vilivyo na kufaulu. Hata hivyo hatuwezi Kusahau michango ya Walimu Kwa Kuwapa mawaidha na maarifa nyingi kuhusiana na masomo yao. Jambo la kutia moyo ni kwamba hawa Wanafunzi wameweza kuziokoa familia zao Kutokana na maisha ya uchochole na taabu. Mazingira ya shule ni ya kuvutia na hata Kupumbaza macho na hisia kwani yanapendeza ajabu. Kumepandwa miti na mauua ainati Kote na Kuwa rembo kama bibi harusi. WafanyaKazi hapa ni Wakarimu na wenye heshima tukianzia na mwalimu mkuu mpka wale wa vyeo vya chini kabisa na tusisahau wanafunzi wenyewe Ni wazo langu kuwa shule ya Olefrema ni mahali pazuri penye baraka tele kwa wanakijiji wa Kiman Road na hata kwingineko.
Shule ya Ole frema imejengwa katika kipande cha ardhi ya ekari ngapi
{ "text": [ "Tatu" ] }
3511_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Methali hii ina maanisha, kwamba, iwapo unaamua kutenda matendo mabovu, basi iko siku moja utupatikana: Pia methali hii inatuelimisha kuwa kama umezoea kuiaba vitu vya watu, ipo, siku, utapatikana . Ulikuwa usiku wa manane kukasikika nsi wa kijiji cha Wanamapunga walifahamu kwamba siku hiyo ilikuwa ni siku ambayo mizimwi zilikuwa zinapita. Watu wa kijiji hiki waliingia chengoni mapema sana kabla ya bwana Shamsi kuzama magharibi. Usiku huu nilitoka shuleni Mapema sana na kurudi nyumbani. Saa moja ilipofika mama alianza kuandaa chajionami nilikuwa na pekua mabuku yangu.Nilikua natia bidii za mchwa ili niweze kufaulu katika mtihani wangu wa mwisho wa muhula. Pindi mama alipomaliza kupika tulielekea sebuleni kutia ndani.Mara tu tulipoketi tulisika milio ya mwizi! mwizi!Tulitega masikio ili tupate kujua mayowe yalitokea sehemu gani. Punde si punde mimi na baba yangu tulitoka nje na panga na mkuki kama silaha zetu.Baba alikuwa ameshika panga mkononi iliyokuwa imenolewa na kung’aa kama mbula la mwezi. Huku mimi nilikuwa nimebeba mkuki wangu ambao nilitunukiwa na babu yangu kabla ya kupiga dunia teke na kwenda kwa Maulana. Tulianza kunyapo nyapo na kuelekea mahali penye makelele yalikuwa yanatoka. Tulipokuwa kwa harakati zetu za kunyapo nyapo. Tuliona waja wawili waliokuwa wamebeba mizigo kwenye gunia.Bila kupoteza wakati tulijibaza kwenye kichaka ili tuweze kufahamu ni wapi walikuwa wanaelekea. Walipopita hapo ndipo tulifahamu kwa nsi hawa walikuwa mapwagu. Tuliwafuata hadi mahali walikuwa wakielekea . Waliweza kuingia kwa jumba bovu walipokuwa wanjificha. Tulirudi kijijini na kuwafahamisha wanakijiji tulichoona. Basi bila kupoteza wakati tulipigia afisa wa usalama na kuwadokezea kilichofanyika kwa kijiji chetu. Tuliandamana na tukaenda kuwakamata wezi hawa. Kwa kweli hapo ndipo nilijuwa kwamba siku za mwizi ni arobaini.
Alitoka shule mapema na kurudi wapi
{ "text": [ "Nyumbani" ] }
3511_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Methali hii ina maanisha, kwamba, iwapo unaamua kutenda matendo mabovu, basi iko siku moja utupatikana: Pia methali hii inatuelimisha kuwa kama umezoea kuiaba vitu vya watu, ipo, siku, utapatikana . Ulikuwa usiku wa manane kukasikika nsi wa kijiji cha Wanamapunga walifahamu kwamba siku hiyo ilikuwa ni siku ambayo mizimwi zilikuwa zinapita. Watu wa kijiji hiki waliingia chengoni mapema sana kabla ya bwana Shamsi kuzama magharibi. Usiku huu nilitoka shuleni Mapema sana na kurudi nyumbani. Saa moja ilipofika mama alianza kuandaa chajionami nilikuwa na pekua mabuku yangu.Nilikua natia bidii za mchwa ili niweze kufaulu katika mtihani wangu wa mwisho wa muhula. Pindi mama alipomaliza kupika tulielekea sebuleni kutia ndani.Mara tu tulipoketi tulisika milio ya mwizi! mwizi!Tulitega masikio ili tupate kujua mayowe yalitokea sehemu gani. Punde si punde mimi na baba yangu tulitoka nje na panga na mkuki kama silaha zetu.Baba alikuwa ameshika panga mkononi iliyokuwa imenolewa na kung’aa kama mbula la mwezi. Huku mimi nilikuwa nimebeba mkuki wangu ambao nilitunukiwa na babu yangu kabla ya kupiga dunia teke na kwenda kwa Maulana. Tulianza kunyapo nyapo na kuelekea mahali penye makelele yalikuwa yanatoka. Tulipokuwa kwa harakati zetu za kunyapo nyapo. Tuliona waja wawili waliokuwa wamebeba mizigo kwenye gunia.Bila kupoteza wakati tulijibaza kwenye kichaka ili tuweze kufahamu ni wapi walikuwa wanaelekea. Walipopita hapo ndipo tulifahamu kwa nsi hawa walikuwa mapwagu. Tuliwafuata hadi mahali walikuwa wakielekea . Waliweza kuingia kwa jumba bovu walipokuwa wanjificha. Tulirudi kijijini na kuwafahamisha wanakijiji tulichoona. Basi bila kupoteza wakati tulipigia afisa wa usalama na kuwadokezea kilichofanyika kwa kijiji chetu. Tuliandamana na tukaenda kuwakamata wezi hawa. Kwa kweli hapo ndipo nilijuwa kwamba siku za mwizi ni arobaini.
Nina alianza kuandaa chajio saa ngapi
{ "text": [ "moja" ] }
3511_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Methali hii ina maanisha, kwamba, iwapo unaamua kutenda matendo mabovu, basi iko siku moja utupatikana: Pia methali hii inatuelimisha kuwa kama umezoea kuiaba vitu vya watu, ipo, siku, utapatikana . Ulikuwa usiku wa manane kukasikika nsi wa kijiji cha Wanamapunga walifahamu kwamba siku hiyo ilikuwa ni siku ambayo mizimwi zilikuwa zinapita. Watu wa kijiji hiki waliingia chengoni mapema sana kabla ya bwana Shamsi kuzama magharibi. Usiku huu nilitoka shuleni Mapema sana na kurudi nyumbani. Saa moja ilipofika mama alianza kuandaa chajionami nilikuwa na pekua mabuku yangu.Nilikua natia bidii za mchwa ili niweze kufaulu katika mtihani wangu wa mwisho wa muhula. Pindi mama alipomaliza kupika tulielekea sebuleni kutia ndani.Mara tu tulipoketi tulisika milio ya mwizi! mwizi!Tulitega masikio ili tupate kujua mayowe yalitokea sehemu gani. Punde si punde mimi na baba yangu tulitoka nje na panga na mkuki kama silaha zetu.Baba alikuwa ameshika panga mkononi iliyokuwa imenolewa na kung’aa kama mbula la mwezi. Huku mimi nilikuwa nimebeba mkuki wangu ambao nilitunukiwa na babu yangu kabla ya kupiga dunia teke na kwenda kwa Maulana. Tulianza kunyapo nyapo na kuelekea mahali penye makelele yalikuwa yanatoka. Tulipokuwa kwa harakati zetu za kunyapo nyapo. Tuliona waja wawili waliokuwa wamebeba mizigo kwenye gunia.Bila kupoteza wakati tulijibaza kwenye kichaka ili tuweze kufahamu ni wapi walikuwa wanaelekea. Walipopita hapo ndipo tulifahamu kwa nsi hawa walikuwa mapwagu. Tuliwafuata hadi mahali walikuwa wakielekea . Waliweza kuingia kwa jumba bovu walipokuwa wanjificha. Tulirudi kijijini na kuwafahamisha wanakijiji tulichoona. Basi bila kupoteza wakati tulipigia afisa wa usalama na kuwadokezea kilichofanyika kwa kijiji chetu. Tuliandamana na tukaenda kuwakamata wezi hawa. Kwa kweli hapo ndipo nilijuwa kwamba siku za mwizi ni arobaini.
Sote tulijumuika wapi
{ "text": [ "Sebuleni" ] }
3511_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Methali hii ina maanisha, kwamba, iwapo unaamua kutenda matendo mabovu, basi iko siku moja utupatikana: Pia methali hii inatuelimisha kuwa kama umezoea kuiaba vitu vya watu, ipo, siku, utapatikana . Ulikuwa usiku wa manane kukasikika nsi wa kijiji cha Wanamapunga walifahamu kwamba siku hiyo ilikuwa ni siku ambayo mizimwi zilikuwa zinapita. Watu wa kijiji hiki waliingia chengoni mapema sana kabla ya bwana Shamsi kuzama magharibi. Usiku huu nilitoka shuleni Mapema sana na kurudi nyumbani. Saa moja ilipofika mama alianza kuandaa chajionami nilikuwa na pekua mabuku yangu.Nilikua natia bidii za mchwa ili niweze kufaulu katika mtihani wangu wa mwisho wa muhula. Pindi mama alipomaliza kupika tulielekea sebuleni kutia ndani.Mara tu tulipoketi tulisika milio ya mwizi! mwizi!Tulitega masikio ili tupate kujua mayowe yalitokea sehemu gani. Punde si punde mimi na baba yangu tulitoka nje na panga na mkuki kama silaha zetu.Baba alikuwa ameshika panga mkononi iliyokuwa imenolewa na kung’aa kama mbula la mwezi. Huku mimi nilikuwa nimebeba mkuki wangu ambao nilitunukiwa na babu yangu kabla ya kupiga dunia teke na kwenda kwa Maulana. Tulianza kunyapo nyapo na kuelekea mahali penye makelele yalikuwa yanatoka. Tulipokuwa kwa harakati zetu za kunyapo nyapo. Tuliona waja wawili waliokuwa wamebeba mizigo kwenye gunia.Bila kupoteza wakati tulijibaza kwenye kichaka ili tuweze kufahamu ni wapi walikuwa wanaelekea. Walipopita hapo ndipo tulifahamu kwa nsi hawa walikuwa mapwagu. Tuliwafuata hadi mahali walikuwa wakielekea . Waliweza kuingia kwa jumba bovu walipokuwa wanjificha. Tulirudi kijijini na kuwafahamisha wanakijiji tulichoona. Basi bila kupoteza wakati tulipigia afisa wa usalama na kuwadokezea kilichofanyika kwa kijiji chetu. Tuliandamana na tukaenda kuwakamata wezi hawa. Kwa kweli hapo ndipo nilijuwa kwamba siku za mwizi ni arobaini.
Baba alikuwa ameshika nini
{ "text": [ "Panga" ] }
3511_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Methali hii ina maanisha, kwamba, iwapo unaamua kutenda matendo mabovu, basi iko siku moja utupatikana: Pia methali hii inatuelimisha kuwa kama umezoea kuiaba vitu vya watu, ipo, siku, utapatikana . Ulikuwa usiku wa manane kukasikika nsi wa kijiji cha Wanamapunga walifahamu kwamba siku hiyo ilikuwa ni siku ambayo mizimwi zilikuwa zinapita. Watu wa kijiji hiki waliingia chengoni mapema sana kabla ya bwana Shamsi kuzama magharibi. Usiku huu nilitoka shuleni Mapema sana na kurudi nyumbani. Saa moja ilipofika mama alianza kuandaa chajionami nilikuwa na pekua mabuku yangu.Nilikua natia bidii za mchwa ili niweze kufaulu katika mtihani wangu wa mwisho wa muhula. Pindi mama alipomaliza kupika tulielekea sebuleni kutia ndani.Mara tu tulipoketi tulisika milio ya mwizi! mwizi!Tulitega masikio ili tupate kujua mayowe yalitokea sehemu gani. Punde si punde mimi na baba yangu tulitoka nje na panga na mkuki kama silaha zetu.Baba alikuwa ameshika panga mkononi iliyokuwa imenolewa na kung’aa kama mbula la mwezi. Huku mimi nilikuwa nimebeba mkuki wangu ambao nilitunukiwa na babu yangu kabla ya kupiga dunia teke na kwenda kwa Maulana. Tulianza kunyapo nyapo na kuelekea mahali penye makelele yalikuwa yanatoka. Tulipokuwa kwa harakati zetu za kunyapo nyapo. Tuliona waja wawili waliokuwa wamebeba mizigo kwenye gunia.Bila kupoteza wakati tulijibaza kwenye kichaka ili tuweze kufahamu ni wapi walikuwa wanaelekea. Walipopita hapo ndipo tulifahamu kwa nsi hawa walikuwa mapwagu. Tuliwafuata hadi mahali walikuwa wakielekea . Waliweza kuingia kwa jumba bovu walipokuwa wanjificha. Tulirudi kijijini na kuwafahamisha wanakijiji tulichoona. Basi bila kupoteza wakati tulipigia afisa wa usalama na kuwadokezea kilichofanyika kwa kijiji chetu. Tuliandamana na tukaenda kuwakamata wezi hawa. Kwa kweli hapo ndipo nilijuwa kwamba siku za mwizi ni arobaini.
Kwa nini alipigia afisa wa usalama simu
{ "text": [ "Kumjulisha kuhusu wizi" ] }
3513_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Maana ya nje ni kwamba ukitaka kitu mvunguni lazima uname ndio uichukue. Maana ya ndani ni kwa kuwa ukitaka kitu lazima utie bidii ndio ukipate. Methali sawa na hii ni mchumia juani hulia kivulini. Kulikuwa na mwanamume moja aliyeitwa Jakabo.Alimpenda mwanamke mmoja aliyeitwa Leah. Leah alikuwa mtoto wa mfalme. Mfalme huyu alikuwa mkubwa. Alikuwa anatambulika mjini. Jakabo alimpenda Leah kwa mda mrefu.Pia naye bado Leah alimpenda Jakobo. Alitamani sana kumuoa Leah. ilifika siku moia Jokaba aliamua aende amamwambie mfalme anampenda msichana wake. Jakobo alimuogopa mfalme lakini alipiga moyo konde. Aliende kwenye kasri kujitambulisha na kutangaza msimamo wake kuhusu mtoto wa mfalme. Baada kujitambulisha kwake Mfalme aliimwambia kuwa iwapo angetaka kumuoa msichana wake angepaswa kufanya kazi kwa miaka saba . Jakobo alikubali pasi na kujua ni kazi gani haswa alipaswa kufanya. Siku iliyofwata alirauka na kuelekea kwenye kasri. Alimuomba mfalme kama ingekuwa sawa mama yake kuja kuishi naye na alikubali. Baada ya miaka sita mama yake uliuuguwa na alikuwa akiichungulia kaburi. Ombi lake moja lilikuwa aweza kumuona mwanawe akifanya harusi kabla kufa kwake. Jakobo alifanya juu chini kutafuta dawa hata akiomba usaidizi kutoka kwa mfalme. Mama yake alipona na mwishowe harusi baina ya Jakobo na mtoto wa mfalme ilifanyika na wakaishi maisha mazuri mno. Ilikuwa dhahiri shahiri kwa Jakobo kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame
Ukitaka nini mvunguni lazima uiname
{ "text": [ "kitu" ] }
3513_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Maana ya nje ni kwamba ukitaka kitu mvunguni lazima uname ndio uichukue. Maana ya ndani ni kwa kuwa ukitaka kitu lazima utie bidii ndio ukipate. Methali sawa na hii ni mchumia juani hulia kivulini. Kulikuwa na mwanamume moja aliyeitwa Jakabo.Alimpenda mwanamke mmoja aliyeitwa Leah. Leah alikuwa mtoto wa mfalme. Mfalme huyu alikuwa mkubwa. Alikuwa anatambulika mjini. Jakabo alimpenda Leah kwa mda mrefu.Pia naye bado Leah alimpenda Jakobo. Alitamani sana kumuoa Leah. ilifika siku moia Jokaba aliamua aende amamwambie mfalme anampenda msichana wake. Jakobo alimuogopa mfalme lakini alipiga moyo konde. Aliende kwenye kasri kujitambulisha na kutangaza msimamo wake kuhusu mtoto wa mfalme. Baada kujitambulisha kwake Mfalme aliimwambia kuwa iwapo angetaka kumuoa msichana wake angepaswa kufanya kazi kwa miaka saba . Jakobo alikubali pasi na kujua ni kazi gani haswa alipaswa kufanya. Siku iliyofwata alirauka na kuelekea kwenye kasri. Alimuomba mfalme kama ingekuwa sawa mama yake kuja kuishi naye na alikubali. Baada ya miaka sita mama yake uliuuguwa na alikuwa akiichungulia kaburi. Ombi lake moja lilikuwa aweza kumuona mwanawe akifanya harusi kabla kufa kwake. Jakobo alifanya juu chini kutafuta dawa hata akiomba usaidizi kutoka kwa mfalme. Mama yake alipona na mwishowe harusi baina ya Jakobo na mtoto wa mfalme ilifanyika na wakaishi maisha mazuri mno. Ilikuwa dhahiri shahiri kwa Jakobo kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame
Jakobo alimpenda nani
{ "text": [ "Leah" ] }
3513_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Maana ya nje ni kwamba ukitaka kitu mvunguni lazima uname ndio uichukue. Maana ya ndani ni kwa kuwa ukitaka kitu lazima utie bidii ndio ukipate. Methali sawa na hii ni mchumia juani hulia kivulini. Kulikuwa na mwanamume moja aliyeitwa Jakabo.Alimpenda mwanamke mmoja aliyeitwa Leah. Leah alikuwa mtoto wa mfalme. Mfalme huyu alikuwa mkubwa. Alikuwa anatambulika mjini. Jakabo alimpenda Leah kwa mda mrefu.Pia naye bado Leah alimpenda Jakobo. Alitamani sana kumuoa Leah. ilifika siku moia Jokaba aliamua aende amamwambie mfalme anampenda msichana wake. Jakobo alimuogopa mfalme lakini alipiga moyo konde. Aliende kwenye kasri kujitambulisha na kutangaza msimamo wake kuhusu mtoto wa mfalme. Baada kujitambulisha kwake Mfalme aliimwambia kuwa iwapo angetaka kumuoa msichana wake angepaswa kufanya kazi kwa miaka saba . Jakobo alikubali pasi na kujua ni kazi gani haswa alipaswa kufanya. Siku iliyofwata alirauka na kuelekea kwenye kasri. Alimuomba mfalme kama ingekuwa sawa mama yake kuja kuishi naye na alikubali. Baada ya miaka sita mama yake uliuuguwa na alikuwa akiichungulia kaburi. Ombi lake moja lilikuwa aweza kumuona mwanawe akifanya harusi kabla kufa kwake. Jakobo alifanya juu chini kutafuta dawa hata akiomba usaidizi kutoka kwa mfalme. Mama yake alipona na mwishowe harusi baina ya Jakobo na mtoto wa mfalme ilifanyika na wakaishi maisha mazuri mno. Ilikuwa dhahiri shahiri kwa Jakobo kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame
Jakobo alimpenda Leah kwa muda gani
{ "text": [ "mrefu" ] }
3513_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Maana ya nje ni kwamba ukitaka kitu mvunguni lazima uname ndio uichukue. Maana ya ndani ni kwa kuwa ukitaka kitu lazima utie bidii ndio ukipate. Methali sawa na hii ni mchumia juani hulia kivulini. Kulikuwa na mwanamume moja aliyeitwa Jakabo.Alimpenda mwanamke mmoja aliyeitwa Leah. Leah alikuwa mtoto wa mfalme. Mfalme huyu alikuwa mkubwa. Alikuwa anatambulika mjini. Jakabo alimpenda Leah kwa mda mrefu.Pia naye bado Leah alimpenda Jakobo. Alitamani sana kumuoa Leah. ilifika siku moia Jokaba aliamua aende amamwambie mfalme anampenda msichana wake. Jakobo alimuogopa mfalme lakini alipiga moyo konde. Aliende kwenye kasri kujitambulisha na kutangaza msimamo wake kuhusu mtoto wa mfalme. Baada kujitambulisha kwake Mfalme aliimwambia kuwa iwapo angetaka kumuoa msichana wake angepaswa kufanya kazi kwa miaka saba . Jakobo alikubali pasi na kujua ni kazi gani haswa alipaswa kufanya. Siku iliyofwata alirauka na kuelekea kwenye kasri. Alimuomba mfalme kama ingekuwa sawa mama yake kuja kuishi naye na alikubali. Baada ya miaka sita mama yake uliuuguwa na alikuwa akiichungulia kaburi. Ombi lake moja lilikuwa aweza kumuona mwanawe akifanya harusi kabla kufa kwake. Jakobo alifanya juu chini kutafuta dawa hata akiomba usaidizi kutoka kwa mfalme. Mama yake alipona na mwishowe harusi baina ya Jakobo na mtoto wa mfalme ilifanyika na wakaishi maisha mazuri mno. Ilikuwa dhahiri shahiri kwa Jakobo kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame
Alianza kazi hiyo lini
{ "text": [ "jioni" ] }
3513_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Maana ya nje ni kwamba ukitaka kitu mvunguni lazima uname ndio uichukue. Maana ya ndani ni kwa kuwa ukitaka kitu lazima utie bidii ndio ukipate. Methali sawa na hii ni mchumia juani hulia kivulini. Kulikuwa na mwanamume moja aliyeitwa Jakabo.Alimpenda mwanamke mmoja aliyeitwa Leah. Leah alikuwa mtoto wa mfalme. Mfalme huyu alikuwa mkubwa. Alikuwa anatambulika mjini. Jakabo alimpenda Leah kwa mda mrefu.Pia naye bado Leah alimpenda Jakobo. Alitamani sana kumuoa Leah. ilifika siku moia Jokaba aliamua aende amamwambie mfalme anampenda msichana wake. Jakobo alimuogopa mfalme lakini alipiga moyo konde. Aliende kwenye kasri kujitambulisha na kutangaza msimamo wake kuhusu mtoto wa mfalme. Baada kujitambulisha kwake Mfalme aliimwambia kuwa iwapo angetaka kumuoa msichana wake angepaswa kufanya kazi kwa miaka saba . Jakobo alikubali pasi na kujua ni kazi gani haswa alipaswa kufanya. Siku iliyofwata alirauka na kuelekea kwenye kasri. Alimuomba mfalme kama ingekuwa sawa mama yake kuja kuishi naye na alikubali. Baada ya miaka sita mama yake uliuuguwa na alikuwa akiichungulia kaburi. Ombi lake moja lilikuwa aweza kumuona mwanawe akifanya harusi kabla kufa kwake. Jakobo alifanya juu chini kutafuta dawa hata akiomba usaidizi kutoka kwa mfalme. Mama yake alipona na mwishowe harusi baina ya Jakobo na mtoto wa mfalme ilifanyika na wakaishi maisha mazuri mno. Ilikuwa dhahiri shahiri kwa Jakobo kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame
Leah alifurahishe
{ "text": [ "kama kuku aliyezaa" ] }
3514_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka cha mvunguni lazima uiname .Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu kizuri lazime upate magumu katika maisha. Hapo zamani za kale kulikuwa na wavulana wawili. Mmoja alikuwa mjanja kama sungura na Mwingine Msumbufu na mchokozi. Hawa wavulana walikuwa ndugu. Mmoja aliopenda masomo na mwengine alichukia. Rafiki zao hawakujua kuwa walikuwa ndugu.Wazazi waliamua kuwapeleka shule tofauti.Aliyechukia masomo hakupenda kwa kuwa hangepata mahali pakutafuta majibu wakati wa mtihani . Baada ya wiki chache walipelekwa shule tofauti na asiyependa kusoma alipata wakati mgumu sana. Mda wa mtihani ulipofika ali feli sana na wazazi wake walishangaa sana . Wazazi wake hawaku muuliza sababu ya kufeli. Yeye alizidi kudidmia kimasomo hadi wakati wa mtihani wa kitaifa ulipowadia. Alifanya mtihani huo na akafeli sana wazazi wake hakufurahi na matokea yake. Yeye aliamua kutoroka nyumbani. Sasa maisha yake ni magumu sana hata kupata chakula ni kazi kubwa.Sasa anatambua ya kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Mwandishi anazungumza kuhusu wavulana wangapi?
{ "text": [ "Wawili" ] }
3514_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka cha mvunguni lazima uiname .Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu kizuri lazime upate magumu katika maisha. Hapo zamani za kale kulikuwa na wavulana wawili. Mmoja alikuwa mjanja kama sungura na Mwingine Msumbufu na mchokozi. Hawa wavulana walikuwa ndugu. Mmoja aliopenda masomo na mwengine alichukia. Rafiki zao hawakujua kuwa walikuwa ndugu.Wazazi waliamua kuwapeleka shule tofauti.Aliyechukia masomo hakupenda kwa kuwa hangepata mahali pakutafuta majibu wakati wa mtihani . Baada ya wiki chache walipelekwa shule tofauti na asiyependa kusoma alipata wakati mgumu sana. Mda wa mtihani ulipofika ali feli sana na wazazi wake walishangaa sana . Wazazi wake hawaku muuliza sababu ya kufeli. Yeye alizidi kudidmia kimasomo hadi wakati wa mtihani wa kitaifa ulipowadia. Alifanya mtihani huo na akafeli sana wazazi wake hakufurahi na matokea yake. Yeye aliamua kutoroka nyumbani. Sasa maisha yake ni magumu sana hata kupata chakula ni kazi kubwa.Sasa anatambua ya kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Tabia ya mvulana wa kwanza ilikuwa ipi?
{ "text": [ "Mjanja kama sungura" ] }
3514_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka cha mvunguni lazima uiname .Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu kizuri lazime upate magumu katika maisha. Hapo zamani za kale kulikuwa na wavulana wawili. Mmoja alikuwa mjanja kama sungura na Mwingine Msumbufu na mchokozi. Hawa wavulana walikuwa ndugu. Mmoja aliopenda masomo na mwengine alichukia. Rafiki zao hawakujua kuwa walikuwa ndugu.Wazazi waliamua kuwapeleka shule tofauti.Aliyechukia masomo hakupenda kwa kuwa hangepata mahali pakutafuta majibu wakati wa mtihani . Baada ya wiki chache walipelekwa shule tofauti na asiyependa kusoma alipata wakati mgumu sana. Mda wa mtihani ulipofika ali feli sana na wazazi wake walishangaa sana . Wazazi wake hawaku muuliza sababu ya kufeli. Yeye alizidi kudidmia kimasomo hadi wakati wa mtihani wa kitaifa ulipowadia. Alifanya mtihani huo na akafeli sana wazazi wake hakufurahi na matokea yake. Yeye aliamua kutoroka nyumbani. Sasa maisha yake ni magumu sana hata kupata chakula ni kazi kubwa.Sasa anatambua ya kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Tabia ya mvulana wa pili ilikuwa ipi?
{ "text": [ "Mchokozi na msumbufu" ] }
3514_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka cha mvunguni lazima uiname .Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu kizuri lazime upate magumu katika maisha. Hapo zamani za kale kulikuwa na wavulana wawili. Mmoja alikuwa mjanja kama sungura na Mwingine Msumbufu na mchokozi. Hawa wavulana walikuwa ndugu. Mmoja aliopenda masomo na mwengine alichukia. Rafiki zao hawakujua kuwa walikuwa ndugu.Wazazi waliamua kuwapeleka shule tofauti.Aliyechukia masomo hakupenda kwa kuwa hangepata mahali pakutafuta majibu wakati wa mtihani . Baada ya wiki chache walipelekwa shule tofauti na asiyependa kusoma alipata wakati mgumu sana. Mda wa mtihani ulipofika ali feli sana na wazazi wake walishangaa sana . Wazazi wake hawaku muuliza sababu ya kufeli. Yeye alizidi kudidmia kimasomo hadi wakati wa mtihani wa kitaifa ulipowadia. Alifanya mtihani huo na akafeli sana wazazi wake hakufurahi na matokea yake. Yeye aliamua kutoroka nyumbani. Sasa maisha yake ni magumu sana hata kupata chakula ni kazi kubwa.Sasa anatambua ya kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Uhusiano ya Mchosi na Majanja ni ipi?
{ "text": [ "Wao ni kaka" ] }
3514_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka cha mvunguni lazima uiname .Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu kizuri lazime upate magumu katika maisha. Hapo zamani za kale kulikuwa na wavulana wawili. Mmoja alikuwa mjanja kama sungura na Mwingine Msumbufu na mchokozi. Hawa wavulana walikuwa ndugu. Mmoja aliopenda masomo na mwengine alichukia. Rafiki zao hawakujua kuwa walikuwa ndugu.Wazazi waliamua kuwapeleka shule tofauti.Aliyechukia masomo hakupenda kwa kuwa hangepata mahali pakutafuta majibu wakati wa mtihani . Baada ya wiki chache walipelekwa shule tofauti na asiyependa kusoma alipata wakati mgumu sana. Mda wa mtihani ulipofika ali feli sana na wazazi wake walishangaa sana . Wazazi wake hawaku muuliza sababu ya kufeli. Yeye alizidi kudidmia kimasomo hadi wakati wa mtihani wa kitaifa ulipowadia. Alifanya mtihani huo na akafeli sana wazazi wake hakufurahi na matokea yake. Yeye aliamua kutoroka nyumbani. Sasa maisha yake ni magumu sana hata kupata chakula ni kazi kubwa.Sasa anatambua ya kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Nani alipita mtihani?
{ "text": [ "Majanja" ] }
3516_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya semi hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname.Lakini maana ya ndani ni wavivu wanapaswa kutia bidii ili waweze kufaulu maishani.Kurrele. Nitasimulia hadithi ya msichana anyeitwa Amani. Amani ni msichana mvivu hapendi kusoma wala kufanyakazi. Siku moja mwalimu alimpa kazi yaku andika insha.Alipoenda nyumbani alikataa kuandika insha akisema kuwa amechoka akisahau semi isemayo mvumilivu hula mbivu.Siku iliyofuata aliulizwa kuhusa insha lakini yote yaliambulia patupu, hakuwa amefanya. Mwalimu alimmfukuza darasani na baada ya somo akamwita ofisini mwake.Amani alitandikwa na akalia mno. Mama yake alijaribu kumuongelesha lakini allitia masikio nta.Licha ya hayo alikuwa na kaka ,wenye tabia njema.Jina la kaka yake ni Hamisi. Hamisi alipata alama nzuri katika mtihani wake wa kitaifa na akafaulu kupata kazi nzuri. Amani aliopata alama mbaya katika mtihani wake wa kitaifa na hakuweza kupata kazi nzuri kama kaka yake mwishowe akaishi maisha magumu sana Bidii ya Hamisi ushahidi mkubwa kuwa mvumilivu hula mbivu maana alitia bidii. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Ukitaka kitu lazima utie nini
{ "text": [ "bidii" ] }
3516_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya semi hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname.Lakini maana ya ndani ni wavivu wanapaswa kutia bidii ili waweze kufaulu maishani.Kurrele. Nitasimulia hadithi ya msichana anyeitwa Amani. Amani ni msichana mvivu hapendi kusoma wala kufanyakazi. Siku moja mwalimu alimpa kazi yaku andika insha.Alipoenda nyumbani alikataa kuandika insha akisema kuwa amechoka akisahau semi isemayo mvumilivu hula mbivu.Siku iliyofuata aliulizwa kuhusa insha lakini yote yaliambulia patupu, hakuwa amefanya. Mwalimu alimmfukuza darasani na baada ya somo akamwita ofisini mwake.Amani alitandikwa na akalia mno. Mama yake alijaribu kumuongelesha lakini allitia masikio nta.Licha ya hayo alikuwa na kaka ,wenye tabia njema.Jina la kaka yake ni Hamisi. Hamisi alipata alama nzuri katika mtihani wake wa kitaifa na akafaulu kupata kazi nzuri. Amani aliopata alama mbaya katika mtihani wake wa kitaifa na hakuweza kupata kazi nzuri kama kaka yake mwishowe akaishi maisha magumu sana Bidii ya Hamisi ushahidi mkubwa kuwa mvumilivu hula mbivu maana alitia bidii. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Alisimulia hadithi ya nani
{ "text": [ "Amani" ] }
3516_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya semi hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname.Lakini maana ya ndani ni wavivu wanapaswa kutia bidii ili waweze kufaulu maishani.Kurrele. Nitasimulia hadithi ya msichana anyeitwa Amani. Amani ni msichana mvivu hapendi kusoma wala kufanyakazi. Siku moja mwalimu alimpa kazi yaku andika insha.Alipoenda nyumbani alikataa kuandika insha akisema kuwa amechoka akisahau semi isemayo mvumilivu hula mbivu.Siku iliyofuata aliulizwa kuhusa insha lakini yote yaliambulia patupu, hakuwa amefanya. Mwalimu alimmfukuza darasani na baada ya somo akamwita ofisini mwake.Amani alitandikwa na akalia mno. Mama yake alijaribu kumuongelesha lakini allitia masikio nta.Licha ya hayo alikuwa na kaka ,wenye tabia njema.Jina la kaka yake ni Hamisi. Hamisi alipata alama nzuri katika mtihani wake wa kitaifa na akafaulu kupata kazi nzuri. Amani aliopata alama mbaya katika mtihani wake wa kitaifa na hakuweza kupata kazi nzuri kama kaka yake mwishowe akaishi maisha magumu sana Bidii ya Hamisi ushahidi mkubwa kuwa mvumilivu hula mbivu maana alitia bidii. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Hamisi alipita mtihani gani
{ "text": [ "wa kimataifa" ] }
3516_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya semi hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname.Lakini maana ya ndani ni wavivu wanapaswa kutia bidii ili waweze kufaulu maishani.Kurrele. Nitasimulia hadithi ya msichana anyeitwa Amani. Amani ni msichana mvivu hapendi kusoma wala kufanyakazi. Siku moja mwalimu alimpa kazi yaku andika insha.Alipoenda nyumbani alikataa kuandika insha akisema kuwa amechoka akisahau semi isemayo mvumilivu hula mbivu.Siku iliyofuata aliulizwa kuhusa insha lakini yote yaliambulia patupu, hakuwa amefanya. Mwalimu alimmfukuza darasani na baada ya somo akamwita ofisini mwake.Amani alitandikwa na akalia mno. Mama yake alijaribu kumuongelesha lakini allitia masikio nta.Licha ya hayo alikuwa na kaka ,wenye tabia njema.Jina la kaka yake ni Hamisi. Hamisi alipata alama nzuri katika mtihani wake wa kitaifa na akafaulu kupata kazi nzuri. Amani aliopata alama mbaya katika mtihani wake wa kitaifa na hakuweza kupata kazi nzuri kama kaka yake mwishowe akaishi maisha magumu sana Bidii ya Hamisi ushahidi mkubwa kuwa mvumilivu hula mbivu maana alitia bidii. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Amani alijiambia mbona hakusoma lini
{ "text": [ "mapema" ] }
3516_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya semi hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname.Lakini maana ya ndani ni wavivu wanapaswa kutia bidii ili waweze kufaulu maishani.Kurrele. Nitasimulia hadithi ya msichana anyeitwa Amani. Amani ni msichana mvivu hapendi kusoma wala kufanyakazi. Siku moja mwalimu alimpa kazi yaku andika insha.Alipoenda nyumbani alikataa kuandika insha akisema kuwa amechoka akisahau semi isemayo mvumilivu hula mbivu.Siku iliyofuata aliulizwa kuhusa insha lakini yote yaliambulia patupu, hakuwa amefanya. Mwalimu alimmfukuza darasani na baada ya somo akamwita ofisini mwake.Amani alitandikwa na akalia mno. Mama yake alijaribu kumuongelesha lakini allitia masikio nta.Licha ya hayo alikuwa na kaka ,wenye tabia njema.Jina la kaka yake ni Hamisi. Hamisi alipata alama nzuri katika mtihani wake wa kitaifa na akafaulu kupata kazi nzuri. Amani aliopata alama mbaya katika mtihani wake wa kitaifa na hakuweza kupata kazi nzuri kama kaka yake mwishowe akaishi maisha magumu sana Bidii ya Hamisi ushahidi mkubwa kuwa mvumilivu hula mbivu maana alitia bidii. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Tunajifunza mbona ni lazima utie bidii
{ "text": [ "ili ufaulu" ] }
3518_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname. Maana ya ndani ni hawa lazima ufanye kazi ndio uweze kupata kitu unacho tamani Nilkuwa katika darasa la nane na muhula wa mtihani ulikuwa unakaribia nilikuwa ninasoma saa yote nilikuwa na pata.Familia yangu ilikuwa maskini hohehahe Nilikuwa shuleni kwa sababu shule ilikubali kuniacha nisome iwapo nitafanya vizuri katika mtihani ilimradi shule ijulikane nchini kote. Ningefeli ningefukuzwa shule ndiposa nililazimika kutia bidii. Mwalimu alingia darasani. Alikuwa mwalimu wa sayansi. Macho yake yalikuwa meusi kama zingituri. Darasa lilinyamaza ndi! Nilimeza shubiri kwakuwa si kuwa nimemaliza kazi ya mwalimu lakini wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipo amba kwamba asiyeogopa biriri yeye ndiye biriri. Mola wangu alinisaidia na mwalimu wangu hakujua. Alimaliza kupeana vitabu kwa wanafunzi na kabla mda utupe kisogo mwalimu alianza kufunza Siku ya mtihani ilifika na nilifanya kila mtihana kwa makini i na insha niliandika nzuri. Siku kadhaa zilipita na matokea yakatolewa.Nilijawa na furaha na machozi yaka tiririka mashavuni pangu. Mama alikuja akanipata sakafuni machozi yamenijaa usoni pangu.”Umeumia mtoto wangu?” aliuliza. Nilimuonyesha matokea yangu ya alama mia nne sitini na nne. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Mwandishi alitoka katika familia aina gani?
{ "text": [ "Maskini" ] }
3518_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname. Maana ya ndani ni hawa lazima ufanye kazi ndio uweze kupata kitu unacho tamani Nilkuwa katika darasa la nane na muhula wa mtihani ulikuwa unakaribia nilikuwa ninasoma saa yote nilikuwa na pata.Familia yangu ilikuwa maskini hohehahe Nilikuwa shuleni kwa sababu shule ilikubali kuniacha nisome iwapo nitafanya vizuri katika mtihani ilimradi shule ijulikane nchini kote. Ningefeli ningefukuzwa shule ndiposa nililazimika kutia bidii. Mwalimu alingia darasani. Alikuwa mwalimu wa sayansi. Macho yake yalikuwa meusi kama zingituri. Darasa lilinyamaza ndi! Nilimeza shubiri kwakuwa si kuwa nimemaliza kazi ya mwalimu lakini wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipo amba kwamba asiyeogopa biriri yeye ndiye biriri. Mola wangu alinisaidia na mwalimu wangu hakujua. Alimaliza kupeana vitabu kwa wanafunzi na kabla mda utupe kisogo mwalimu alianza kufunza Siku ya mtihani ilifika na nilifanya kila mtihana kwa makini i na insha niliandika nzuri. Siku kadhaa zilipita na matokea yakatolewa.Nilijawa na furaha na machozi yaka tiririka mashavuni pangu. Mama alikuja akanipata sakafuni machozi yamenijaa usoni pangu.”Umeumia mtoto wangu?” aliuliza. Nilimuonyesha matokea yangu ya alama mia nne sitini na nne. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Shule ilimpa mwandishi sharti lipi ili aweze kukaa shuleni?
{ "text": [ "Apite katika mtihani" ] }
3518_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname. Maana ya ndani ni hawa lazima ufanye kazi ndio uweze kupata kitu unacho tamani Nilkuwa katika darasa la nane na muhula wa mtihani ulikuwa unakaribia nilikuwa ninasoma saa yote nilikuwa na pata.Familia yangu ilikuwa maskini hohehahe Nilikuwa shuleni kwa sababu shule ilikubali kuniacha nisome iwapo nitafanya vizuri katika mtihani ilimradi shule ijulikane nchini kote. Ningefeli ningefukuzwa shule ndiposa nililazimika kutia bidii. Mwalimu alingia darasani. Alikuwa mwalimu wa sayansi. Macho yake yalikuwa meusi kama zingituri. Darasa lilinyamaza ndi! Nilimeza shubiri kwakuwa si kuwa nimemaliza kazi ya mwalimu lakini wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipo amba kwamba asiyeogopa biriri yeye ndiye biriri. Mola wangu alinisaidia na mwalimu wangu hakujua. Alimaliza kupeana vitabu kwa wanafunzi na kabla mda utupe kisogo mwalimu alianza kufunza Siku ya mtihani ilifika na nilifanya kila mtihana kwa makini i na insha niliandika nzuri. Siku kadhaa zilipita na matokea yakatolewa.Nilijawa na furaha na machozi yaka tiririka mashavuni pangu. Mama alikuja akanipata sakafuni machozi yamenijaa usoni pangu.”Umeumia mtoto wangu?” aliuliza. Nilimuonyesha matokea yangu ya alama mia nne sitini na nne. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Asiyeogopa biriri, yeye ndiye nani?
{ "text": [ "Biriri" ] }
3518_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname. Maana ya ndani ni hawa lazima ufanye kazi ndio uweze kupata kitu unacho tamani Nilkuwa katika darasa la nane na muhula wa mtihani ulikuwa unakaribia nilikuwa ninasoma saa yote nilikuwa na pata.Familia yangu ilikuwa maskini hohehahe Nilikuwa shuleni kwa sababu shule ilikubali kuniacha nisome iwapo nitafanya vizuri katika mtihani ilimradi shule ijulikane nchini kote. Ningefeli ningefukuzwa shule ndiposa nililazimika kutia bidii. Mwalimu alingia darasani. Alikuwa mwalimu wa sayansi. Macho yake yalikuwa meusi kama zingituri. Darasa lilinyamaza ndi! Nilimeza shubiri kwakuwa si kuwa nimemaliza kazi ya mwalimu lakini wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipo amba kwamba asiyeogopa biriri yeye ndiye biriri. Mola wangu alinisaidia na mwalimu wangu hakujua. Alimaliza kupeana vitabu kwa wanafunzi na kabla mda utupe kisogo mwalimu alianza kufunza Siku ya mtihani ilifika na nilifanya kila mtihana kwa makini i na insha niliandika nzuri. Siku kadhaa zilipita na matokea yakatolewa.Nilijawa na furaha na machozi yaka tiririka mashavuni pangu. Mama alikuja akanipata sakafuni machozi yamenijaa usoni pangu.”Umeumia mtoto wangu?” aliuliza. Nilimuonyesha matokea yangu ya alama mia nne sitini na nne. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Mwalimu wa sayansi alikuja darasani macho yake yakiwa rangi gani?
{ "text": [ "Mekundu" ] }
3518_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni ukitaka cha mvunguni sharti uiname. Maana ya ndani ni hawa lazima ufanye kazi ndio uweze kupata kitu unacho tamani Nilkuwa katika darasa la nane na muhula wa mtihani ulikuwa unakaribia nilikuwa ninasoma saa yote nilikuwa na pata.Familia yangu ilikuwa maskini hohehahe Nilikuwa shuleni kwa sababu shule ilikubali kuniacha nisome iwapo nitafanya vizuri katika mtihani ilimradi shule ijulikane nchini kote. Ningefeli ningefukuzwa shule ndiposa nililazimika kutia bidii. Mwalimu alingia darasani. Alikuwa mwalimu wa sayansi. Macho yake yalikuwa meusi kama zingituri. Darasa lilinyamaza ndi! Nilimeza shubiri kwakuwa si kuwa nimemaliza kazi ya mwalimu lakini wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipo amba kwamba asiyeogopa biriri yeye ndiye biriri. Mola wangu alinisaidia na mwalimu wangu hakujua. Alimaliza kupeana vitabu kwa wanafunzi na kabla mda utupe kisogo mwalimu alianza kufunza Siku ya mtihani ilifika na nilifanya kila mtihana kwa makini i na insha niliandika nzuri. Siku kadhaa zilipita na matokea yakatolewa.Nilijawa na furaha na machozi yaka tiririka mashavuni pangu. Mama alikuja akanipata sakafuni machozi yamenijaa usoni pangu.”Umeumia mtoto wangu?” aliuliza. Nilimuonyesha matokea yangu ya alama mia nne sitini na nne. Amakweli mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Mwandishi alipata alama ngapi kwenye mtihani wake?
{ "text": [ "446" ] }
3519_swa
UIKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya ulimbi huu ni kuwa mtu akitaka kitu mnvungini sharti ainame. Maana na ndani ya ulimbi huu nayo nikuwa mtu anayetaka kitu kwa hamu. na ghamu itabidi afanye bidii ili aweze kukipata.Methali hii inanikumbusha sahibu yangu Eliza. Eliza alikuwa msichana mcheshi sana, lakini katika masomo alikuwa nambari ya mwisho katika kila mtihani tulioifanya. Siku moja alikua kwangu akaniambia kuwa alitaka kuwa tabibu akiwa mkubwa. Ni Kamuuliza swali kwa upole na nikamwomba anijibu "Ukitaka kuwa tabibu itabidi ujue sayansi, Kiingereza na hisabati, je, wewe unajua masomo hayo"Naye akanijibu akiniambia kuwa Lahajui masomo hizo lakini iliakuwe tabibu ataanza kusoma masomo hayo kwa hamu na ghamu. Punde si punde alianza kuja kwangu ili nikamfunze hisabati. Angefanya maswali karibu mia moja kila siku na kumpelekea mwalimu wa hisabati akamfunze zile ambazo amekosa na kumsahihishia zile ambazo amepata. Akaanza Kufanya hivyo hivyo katika masomo yote, naakaanza Kupita mtihani. Alikuwa anafanya kila kitu kwa nafsi yake iliaweze kuwa tabibu akiwa mkubwa. Tulipofika darasa la nane tulijitayarisha kufanya mtihani wetu wa kitaifa, Eliza alikuja kwangu na kuniomba tukasome sayansi naye. Nilikubali na kukitoa kitabu changu cha Sayansi iliniweze kukisoma .Eliza alishangaa kama shangazi wangu wa shanga alipo shangaa baada ya kupoteza shanga zake za dhahabu kule tanga na akaniuliza “kwa nini unasoma kitabu badala ya sisi kuulizana maswali" Nilimjibu kwa kumwambia kwamba mtu huwa anasoma vitabu vyake iliaweze kuyapata majibu yake kwa urahisi, Tuliumaliza mtihani wetu wa kitaifa na akakuwa nambari ya pili na alama mia nne sitini na nne. Sasa, ukimwona mahali amefika mwezngu Eliza unawezajiuliza huyu ni Eliza niliyemjua tukiwa darasa la saba au ni mwingine. yeye ni tabibu hodari kule Marekani akifanya kazi katika hospitali kubwa ambayo inajulikana dunia mzima.. Ninamshukuru mola kwa kumsaidia afikehapo. Methali hii inahimiza wale watu ambao wanataka kitu waanze kukipanda sahii ilianze Kuvuna matunda mapema. Methali hi pia hufanana na methali inayosema mchumia juani hulia Kivuli.
Mtu akitaka kitu mvunguni sharti afanye nini
{ "text": [ "Ainame" ] }
3519_swa
UIKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya ulimbi huu ni kuwa mtu akitaka kitu mnvungini sharti ainame. Maana na ndani ya ulimbi huu nayo nikuwa mtu anayetaka kitu kwa hamu. na ghamu itabidi afanye bidii ili aweze kukipata.Methali hii inanikumbusha sahibu yangu Eliza. Eliza alikuwa msichana mcheshi sana, lakini katika masomo alikuwa nambari ya mwisho katika kila mtihani tulioifanya. Siku moja alikua kwangu akaniambia kuwa alitaka kuwa tabibu akiwa mkubwa. Ni Kamuuliza swali kwa upole na nikamwomba anijibu "Ukitaka kuwa tabibu itabidi ujue sayansi, Kiingereza na hisabati, je, wewe unajua masomo hayo"Naye akanijibu akiniambia kuwa Lahajui masomo hizo lakini iliakuwe tabibu ataanza kusoma masomo hayo kwa hamu na ghamu. Punde si punde alianza kuja kwangu ili nikamfunze hisabati. Angefanya maswali karibu mia moja kila siku na kumpelekea mwalimu wa hisabati akamfunze zile ambazo amekosa na kumsahihishia zile ambazo amepata. Akaanza Kufanya hivyo hivyo katika masomo yote, naakaanza Kupita mtihani. Alikuwa anafanya kila kitu kwa nafsi yake iliaweze kuwa tabibu akiwa mkubwa. Tulipofika darasa la nane tulijitayarisha kufanya mtihani wetu wa kitaifa, Eliza alikuja kwangu na kuniomba tukasome sayansi naye. Nilikubali na kukitoa kitabu changu cha Sayansi iliniweze kukisoma .Eliza alishangaa kama shangazi wangu wa shanga alipo shangaa baada ya kupoteza shanga zake za dhahabu kule tanga na akaniuliza “kwa nini unasoma kitabu badala ya sisi kuulizana maswali" Nilimjibu kwa kumwambia kwamba mtu huwa anasoma vitabu vyake iliaweze kuyapata majibu yake kwa urahisi, Tuliumaliza mtihani wetu wa kitaifa na akakuwa nambari ya pili na alama mia nne sitini na nne. Sasa, ukimwona mahali amefika mwezngu Eliza unawezajiuliza huyu ni Eliza niliyemjua tukiwa darasa la saba au ni mwingine. yeye ni tabibu hodari kule Marekani akifanya kazi katika hospitali kubwa ambayo inajulikana dunia mzima.. Ninamshukuru mola kwa kumsaidia afikehapo. Methali hii inahimiza wale watu ambao wanataka kitu waanze kukipanda sahii ilianze Kuvuna matunda mapema. Methali hi pia hufanana na methali inayosema mchumia juani hulia Kivuli.
Mtu akitaka kitu kwa hamu na ghamu itabidi afanye nini
{ "text": [ "Bidii" ] }
3519_swa
UIKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya ulimbi huu ni kuwa mtu akitaka kitu mnvungini sharti ainame. Maana na ndani ya ulimbi huu nayo nikuwa mtu anayetaka kitu kwa hamu. na ghamu itabidi afanye bidii ili aweze kukipata.Methali hii inanikumbusha sahibu yangu Eliza. Eliza alikuwa msichana mcheshi sana, lakini katika masomo alikuwa nambari ya mwisho katika kila mtihani tulioifanya. Siku moja alikua kwangu akaniambia kuwa alitaka kuwa tabibu akiwa mkubwa. Ni Kamuuliza swali kwa upole na nikamwomba anijibu "Ukitaka kuwa tabibu itabidi ujue sayansi, Kiingereza na hisabati, je, wewe unajua masomo hayo"Naye akanijibu akiniambia kuwa Lahajui masomo hizo lakini iliakuwe tabibu ataanza kusoma masomo hayo kwa hamu na ghamu. Punde si punde alianza kuja kwangu ili nikamfunze hisabati. Angefanya maswali karibu mia moja kila siku na kumpelekea mwalimu wa hisabati akamfunze zile ambazo amekosa na kumsahihishia zile ambazo amepata. Akaanza Kufanya hivyo hivyo katika masomo yote, naakaanza Kupita mtihani. Alikuwa anafanya kila kitu kwa nafsi yake iliaweze kuwa tabibu akiwa mkubwa. Tulipofika darasa la nane tulijitayarisha kufanya mtihani wetu wa kitaifa, Eliza alikuja kwangu na kuniomba tukasome sayansi naye. Nilikubali na kukitoa kitabu changu cha Sayansi iliniweze kukisoma .Eliza alishangaa kama shangazi wangu wa shanga alipo shangaa baada ya kupoteza shanga zake za dhahabu kule tanga na akaniuliza “kwa nini unasoma kitabu badala ya sisi kuulizana maswali" Nilimjibu kwa kumwambia kwamba mtu huwa anasoma vitabu vyake iliaweze kuyapata majibu yake kwa urahisi, Tuliumaliza mtihani wetu wa kitaifa na akakuwa nambari ya pili na alama mia nne sitini na nne. Sasa, ukimwona mahali amefika mwezngu Eliza unawezajiuliza huyu ni Eliza niliyemjua tukiwa darasa la saba au ni mwingine. yeye ni tabibu hodari kule Marekani akifanya kazi katika hospitali kubwa ambayo inajulikana dunia mzima.. Ninamshukuru mola kwa kumsaidia afikehapo. Methali hii inahimiza wale watu ambao wanataka kitu waanze kukipanda sahii ilianze Kuvuna matunda mapema. Methali hi pia hufanana na methali inayosema mchumia juani hulia Kivuli.
Methali hii inanikumbusha nani
{ "text": [ "Sahibu yangu Eliza" ] }
3519_swa
UIKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya ulimbi huu ni kuwa mtu akitaka kitu mnvungini sharti ainame. Maana na ndani ya ulimbi huu nayo nikuwa mtu anayetaka kitu kwa hamu. na ghamu itabidi afanye bidii ili aweze kukipata.Methali hii inanikumbusha sahibu yangu Eliza. Eliza alikuwa msichana mcheshi sana, lakini katika masomo alikuwa nambari ya mwisho katika kila mtihani tulioifanya. Siku moja alikua kwangu akaniambia kuwa alitaka kuwa tabibu akiwa mkubwa. Ni Kamuuliza swali kwa upole na nikamwomba anijibu "Ukitaka kuwa tabibu itabidi ujue sayansi, Kiingereza na hisabati, je, wewe unajua masomo hayo"Naye akanijibu akiniambia kuwa Lahajui masomo hizo lakini iliakuwe tabibu ataanza kusoma masomo hayo kwa hamu na ghamu. Punde si punde alianza kuja kwangu ili nikamfunze hisabati. Angefanya maswali karibu mia moja kila siku na kumpelekea mwalimu wa hisabati akamfunze zile ambazo amekosa na kumsahihishia zile ambazo amepata. Akaanza Kufanya hivyo hivyo katika masomo yote, naakaanza Kupita mtihani. Alikuwa anafanya kila kitu kwa nafsi yake iliaweze kuwa tabibu akiwa mkubwa. Tulipofika darasa la nane tulijitayarisha kufanya mtihani wetu wa kitaifa, Eliza alikuja kwangu na kuniomba tukasome sayansi naye. Nilikubali na kukitoa kitabu changu cha Sayansi iliniweze kukisoma .Eliza alishangaa kama shangazi wangu wa shanga alipo shangaa baada ya kupoteza shanga zake za dhahabu kule tanga na akaniuliza “kwa nini unasoma kitabu badala ya sisi kuulizana maswali" Nilimjibu kwa kumwambia kwamba mtu huwa anasoma vitabu vyake iliaweze kuyapata majibu yake kwa urahisi, Tuliumaliza mtihani wetu wa kitaifa na akakuwa nambari ya pili na alama mia nne sitini na nne. Sasa, ukimwona mahali amefika mwezngu Eliza unawezajiuliza huyu ni Eliza niliyemjua tukiwa darasa la saba au ni mwingine. yeye ni tabibu hodari kule Marekani akifanya kazi katika hospitali kubwa ambayo inajulikana dunia mzima.. Ninamshukuru mola kwa kumsaidia afikehapo. Methali hii inahimiza wale watu ambao wanataka kitu waanze kukipanda sahii ilianze Kuvuna matunda mapema. Methali hi pia hufanana na methali inayosema mchumia juani hulia Kivuli.
Eliza alikuwa nani
{ "text": [ "Msichana mcheshi sana" ] }
3519_swa
UIKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya ulimbi huu ni kuwa mtu akitaka kitu mnvungini sharti ainame. Maana na ndani ya ulimbi huu nayo nikuwa mtu anayetaka kitu kwa hamu. na ghamu itabidi afanye bidii ili aweze kukipata.Methali hii inanikumbusha sahibu yangu Eliza. Eliza alikuwa msichana mcheshi sana, lakini katika masomo alikuwa nambari ya mwisho katika kila mtihani tulioifanya. Siku moja alikua kwangu akaniambia kuwa alitaka kuwa tabibu akiwa mkubwa. Ni Kamuuliza swali kwa upole na nikamwomba anijibu "Ukitaka kuwa tabibu itabidi ujue sayansi, Kiingereza na hisabati, je, wewe unajua masomo hayo"Naye akanijibu akiniambia kuwa Lahajui masomo hizo lakini iliakuwe tabibu ataanza kusoma masomo hayo kwa hamu na ghamu. Punde si punde alianza kuja kwangu ili nikamfunze hisabati. Angefanya maswali karibu mia moja kila siku na kumpelekea mwalimu wa hisabati akamfunze zile ambazo amekosa na kumsahihishia zile ambazo amepata. Akaanza Kufanya hivyo hivyo katika masomo yote, naakaanza Kupita mtihani. Alikuwa anafanya kila kitu kwa nafsi yake iliaweze kuwa tabibu akiwa mkubwa. Tulipofika darasa la nane tulijitayarisha kufanya mtihani wetu wa kitaifa, Eliza alikuja kwangu na kuniomba tukasome sayansi naye. Nilikubali na kukitoa kitabu changu cha Sayansi iliniweze kukisoma .Eliza alishangaa kama shangazi wangu wa shanga alipo shangaa baada ya kupoteza shanga zake za dhahabu kule tanga na akaniuliza “kwa nini unasoma kitabu badala ya sisi kuulizana maswali" Nilimjibu kwa kumwambia kwamba mtu huwa anasoma vitabu vyake iliaweze kuyapata majibu yake kwa urahisi, Tuliumaliza mtihani wetu wa kitaifa na akakuwa nambari ya pili na alama mia nne sitini na nne. Sasa, ukimwona mahali amefika mwezngu Eliza unawezajiuliza huyu ni Eliza niliyemjua tukiwa darasa la saba au ni mwingine. yeye ni tabibu hodari kule Marekani akifanya kazi katika hospitali kubwa ambayo inajulikana dunia mzima.. Ninamshukuru mola kwa kumsaidia afikehapo. Methali hii inahimiza wale watu ambao wanataka kitu waanze kukipanda sahii ilianze Kuvuna matunda mapema. Methali hi pia hufanana na methali inayosema mchumia juani hulia Kivuli.
Alikuja kwangu ili nikamfunze nini
{ "text": [ "Hisabati" ] }
3520_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya juu ya methali hii ni ukitaka na cha mvunguni sharti uinama. Maana ya ndani ni kuwra hukitaka kitu kwa bidii lazima hukifanyia kazi ili kufaulu katika unacho taka au kutamani. Zamani zakale paliishi kijana aliyeitwa Latima. Latima alikuwa kijana mwenye nidhamu. Latina aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mama ya Latina kumzaa alifatika kutokana na mkosi wa moto uliosababishwa na mlipuko wa gesi. Latima hakujua kuhusu kifo cha mama yake, Latina alikuwa kifunga mimba. Latima alikuwa na dada mmoja na kaka mmoja. Latima alipendwa sana na baba yake kuliko kaka na dada yake. Babake alifanya kazi ya kusafiri duniani. Mara nyingi Latima alibaki na mama sawa kambo. Mama yake wa kambe aliitwa Mambo. Mambo alimtesa kwa kumpa kazi ya mtu mzima na kumkataza shule. Watoto wa mambo walipokina nakielekea shuleni asubuhi na mchana, Latina alibaki nyumbani akifanyishwa kazi kama puolia Walipokuwa wakica mava na sharbati kama kiamsha kinywa, latima atitumin ange in ugali na via wengine walipolala katika kitanda cha kifahari na kujifunika kwa blankenti na kulala fofofo Latima alikuwa akilala sakafuni ametandika gunia na kutumia gunia kama blanket na kulala usingizi usio na amani. Latima aliamka asubuhi na mapema wakati ambae jue lina chomoza ili kuandalia watoto wa Mambo walioishi maisha ya kifalme kiamsha kinywa ili kuelekea shuleni. Wakati baba Latima alipokuwa akirudi nyumbani Latima alimgoja kwa hamu na gamu. Latima alipoona mateso yamezidi, alitoroka nyumbani na kuelekea kwa nyanya yake. Aliishi kwa nyanya yake kwa miaka sita. Alipelekwa shuleni hadi kumaliza shule. Latima alipata alama za kumpeleka shule ya sekondari. Alisomea kazi ya udaktari. Yeye ni daktari wa upasuaji, watoto wa Mambo walikuwa ‘chokora'. Wakati Latima alipoenda humsalimia babeke kwa mda mwingi. Aliendesha gari la kifahari. Baba yake akamfurahia. Alidondokwa na machozi ya furaha. Hapo ndipo Latima aligundua kuwa ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Hapo zamani Latima aliishi na nani
{ "text": [ "Baba yake na mama wa kambo" ] }
3520_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya juu ya methali hii ni ukitaka na cha mvunguni sharti uinama. Maana ya ndani ni kuwra hukitaka kitu kwa bidii lazima hukifanyia kazi ili kufaulu katika unacho taka au kutamani. Zamani zakale paliishi kijana aliyeitwa Latima. Latima alikuwa kijana mwenye nidhamu. Latina aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mama ya Latina kumzaa alifatika kutokana na mkosi wa moto uliosababishwa na mlipuko wa gesi. Latima hakujua kuhusu kifo cha mama yake, Latina alikuwa kifunga mimba. Latima alikuwa na dada mmoja na kaka mmoja. Latima alipendwa sana na baba yake kuliko kaka na dada yake. Babake alifanya kazi ya kusafiri duniani. Mara nyingi Latima alibaki na mama sawa kambo. Mama yake wa kambe aliitwa Mambo. Mambo alimtesa kwa kumpa kazi ya mtu mzima na kumkataza shule. Watoto wa mambo walipokina nakielekea shuleni asubuhi na mchana, Latina alibaki nyumbani akifanyishwa kazi kama puolia Walipokuwa wakica mava na sharbati kama kiamsha kinywa, latima atitumin ange in ugali na via wengine walipolala katika kitanda cha kifahari na kujifunika kwa blankenti na kulala fofofo Latima alikuwa akilala sakafuni ametandika gunia na kutumia gunia kama blanket na kulala usingizi usio na amani. Latima aliamka asubuhi na mapema wakati ambae jue lina chomoza ili kuandalia watoto wa Mambo walioishi maisha ya kifalme kiamsha kinywa ili kuelekea shuleni. Wakati baba Latima alipokuwa akirudi nyumbani Latima alimgoja kwa hamu na gamu. Latima alipoona mateso yamezidi, alitoroka nyumbani na kuelekea kwa nyanya yake. Aliishi kwa nyanya yake kwa miaka sita. Alipelekwa shuleni hadi kumaliza shule. Latima alipata alama za kumpeleka shule ya sekondari. Alisomea kazi ya udaktari. Yeye ni daktari wa upasuaji, watoto wa Mambo walikuwa ‘chokora'. Wakati Latima alipoenda humsalimia babeke kwa mda mwingi. Aliendesha gari la kifahari. Baba yake akamfurahia. Alidondokwa na machozi ya furaha. Hapo ndipo Latima aligundua kuwa ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Mamake Latima alikufa kutokana na nini
{ "text": [ "Moto" ] }
3520_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya juu ya methali hii ni ukitaka na cha mvunguni sharti uinama. Maana ya ndani ni kuwra hukitaka kitu kwa bidii lazima hukifanyia kazi ili kufaulu katika unacho taka au kutamani. Zamani zakale paliishi kijana aliyeitwa Latima. Latima alikuwa kijana mwenye nidhamu. Latina aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mama ya Latina kumzaa alifatika kutokana na mkosi wa moto uliosababishwa na mlipuko wa gesi. Latima hakujua kuhusu kifo cha mama yake, Latina alikuwa kifunga mimba. Latima alikuwa na dada mmoja na kaka mmoja. Latima alipendwa sana na baba yake kuliko kaka na dada yake. Babake alifanya kazi ya kusafiri duniani. Mara nyingi Latima alibaki na mama sawa kambo. Mama yake wa kambe aliitwa Mambo. Mambo alimtesa kwa kumpa kazi ya mtu mzima na kumkataza shule. Watoto wa mambo walipokina nakielekea shuleni asubuhi na mchana, Latina alibaki nyumbani akifanyishwa kazi kama puolia Walipokuwa wakica mava na sharbati kama kiamsha kinywa, latima atitumin ange in ugali na via wengine walipolala katika kitanda cha kifahari na kujifunika kwa blankenti na kulala fofofo Latima alikuwa akilala sakafuni ametandika gunia na kutumia gunia kama blanket na kulala usingizi usio na amani. Latima aliamka asubuhi na mapema wakati ambae jue lina chomoza ili kuandalia watoto wa Mambo walioishi maisha ya kifalme kiamsha kinywa ili kuelekea shuleni. Wakati baba Latima alipokuwa akirudi nyumbani Latima alimgoja kwa hamu na gamu. Latima alipoona mateso yamezidi, alitoroka nyumbani na kuelekea kwa nyanya yake. Aliishi kwa nyanya yake kwa miaka sita. Alipelekwa shuleni hadi kumaliza shule. Latima alipata alama za kumpeleka shule ya sekondari. Alisomea kazi ya udaktari. Yeye ni daktari wa upasuaji, watoto wa Mambo walikuwa ‘chokora'. Wakati Latima alipoenda humsalimia babeke kwa mda mwingi. Aliendesha gari la kifahari. Baba yake akamfurahia. Alidondokwa na machozi ya furaha. Hapo ndipo Latima aligundua kuwa ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Latima alikuwa nani katika familia yao
{ "text": [ "Kifunguamimba" ] }
3520_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya juu ya methali hii ni ukitaka na cha mvunguni sharti uinama. Maana ya ndani ni kuwra hukitaka kitu kwa bidii lazima hukifanyia kazi ili kufaulu katika unacho taka au kutamani. Zamani zakale paliishi kijana aliyeitwa Latima. Latima alikuwa kijana mwenye nidhamu. Latina aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mama ya Latina kumzaa alifatika kutokana na mkosi wa moto uliosababishwa na mlipuko wa gesi. Latima hakujua kuhusu kifo cha mama yake, Latina alikuwa kifunga mimba. Latima alikuwa na dada mmoja na kaka mmoja. Latima alipendwa sana na baba yake kuliko kaka na dada yake. Babake alifanya kazi ya kusafiri duniani. Mara nyingi Latima alibaki na mama sawa kambo. Mama yake wa kambe aliitwa Mambo. Mambo alimtesa kwa kumpa kazi ya mtu mzima na kumkataza shule. Watoto wa mambo walipokina nakielekea shuleni asubuhi na mchana, Latina alibaki nyumbani akifanyishwa kazi kama puolia Walipokuwa wakica mava na sharbati kama kiamsha kinywa, latima atitumin ange in ugali na via wengine walipolala katika kitanda cha kifahari na kujifunika kwa blankenti na kulala fofofo Latima alikuwa akilala sakafuni ametandika gunia na kutumia gunia kama blanket na kulala usingizi usio na amani. Latima aliamka asubuhi na mapema wakati ambae jue lina chomoza ili kuandalia watoto wa Mambo walioishi maisha ya kifalme kiamsha kinywa ili kuelekea shuleni. Wakati baba Latima alipokuwa akirudi nyumbani Latima alimgoja kwa hamu na gamu. Latima alipoona mateso yamezidi, alitoroka nyumbani na kuelekea kwa nyanya yake. Aliishi kwa nyanya yake kwa miaka sita. Alipelekwa shuleni hadi kumaliza shule. Latima alipata alama za kumpeleka shule ya sekondari. Alisomea kazi ya udaktari. Yeye ni daktari wa upasuaji, watoto wa Mambo walikuwa ‘chokora'. Wakati Latima alipoenda humsalimia babeke kwa mda mwingi. Aliendesha gari la kifahari. Baba yake akamfurahia. Alidondokwa na machozi ya furaha. Hapo ndipo Latima aligundua kuwa ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Baba yake Latima alikuwa anafanya kazi gani
{ "text": [ "Kusafiri duniani" ] }
3520_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya juu ya methali hii ni ukitaka na cha mvunguni sharti uinama. Maana ya ndani ni kuwra hukitaka kitu kwa bidii lazima hukifanyia kazi ili kufaulu katika unacho taka au kutamani. Zamani zakale paliishi kijana aliyeitwa Latima. Latima alikuwa kijana mwenye nidhamu. Latina aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mama ya Latina kumzaa alifatika kutokana na mkosi wa moto uliosababishwa na mlipuko wa gesi. Latima hakujua kuhusu kifo cha mama yake, Latina alikuwa kifunga mimba. Latima alikuwa na dada mmoja na kaka mmoja. Latima alipendwa sana na baba yake kuliko kaka na dada yake. Babake alifanya kazi ya kusafiri duniani. Mara nyingi Latima alibaki na mama sawa kambo. Mama yake wa kambe aliitwa Mambo. Mambo alimtesa kwa kumpa kazi ya mtu mzima na kumkataza shule. Watoto wa mambo walipokina nakielekea shuleni asubuhi na mchana, Latina alibaki nyumbani akifanyishwa kazi kama puolia Walipokuwa wakica mava na sharbati kama kiamsha kinywa, latima atitumin ange in ugali na via wengine walipolala katika kitanda cha kifahari na kujifunika kwa blankenti na kulala fofofo Latima alikuwa akilala sakafuni ametandika gunia na kutumia gunia kama blanket na kulala usingizi usio na amani. Latima aliamka asubuhi na mapema wakati ambae jue lina chomoza ili kuandalia watoto wa Mambo walioishi maisha ya kifalme kiamsha kinywa ili kuelekea shuleni. Wakati baba Latima alipokuwa akirudi nyumbani Latima alimgoja kwa hamu na gamu. Latima alipoona mateso yamezidi, alitoroka nyumbani na kuelekea kwa nyanya yake. Aliishi kwa nyanya yake kwa miaka sita. Alipelekwa shuleni hadi kumaliza shule. Latima alipata alama za kumpeleka shule ya sekondari. Alisomea kazi ya udaktari. Yeye ni daktari wa upasuaji, watoto wa Mambo walikuwa ‘chokora'. Wakati Latima alipoenda humsalimia babeke kwa mda mwingi. Aliendesha gari la kifahari. Baba yake akamfurahia. Alidondokwa na machozi ya furaha. Hapo ndipo Latima aligundua kuwa ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Mambo alikuwa nani kwa Latima
{ "text": [ "Mamake wa kambo" ] }
3522_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya hii methali ni ukitaka kitu, kana kwamba kiko chini kitandani ni sharti uiname ili uchukuwe. Maana ya ndani ya hii methali ukitaka kitu sharti ufanye bidii ili ufaulu au ukipate. Hii methal ni kwa watu wanzembe wanaoongaja siku ya mwisho. Siku moja kulikuwa na bwana ambaye aliitwa bwana Kiana. Bwana Kiana alikuwa maskini hohehahe, hakuwa na mbele wala nyuma. Alikuwa akiwatazama hao watu ambao wana magari mazuri mazuri, mavazi ya utajiri na kazi waliokuwa ni nzuri kupitia mwisho. Siku moja alijiambia hajihisi vizuri na umaskini wake usio na starehe ya kutosha. Alijiambia kuwa anataka kuwa na kazi nzuri, atakapolipwa vizuri. Alisema anataka kuwa rubani wa taifa ya nchi ya Kenya. Kabla ya kuanza kazi, alienda masomo ya urubani. Ala! Kwa kweli maji yakimwagika hayazoleki, alijitahidi na urubani, hata kwamba alijihisi kuacha masomo, aliendelea akijua kwamba anahitaji kuishi maisha ya furaha na buraha. Ilibidi ajifunze kwa miaka mitatu kabla ya kuanza kazi ya urubani. Mwaka mmoja ukaisha ikabidi afanye mtihani kuona kweli kama alishika alichofuzwa. Mwaka mmoja ulipita na mtihani ulifika, bwana Kiama alifanya mtihani huo kwa hamu na gamu. Siku ilipoisha ya mtihani, bwana Kimani alijipata akiwa wa kwanza masomoni. Miaka miwili, mitatu ilipita, bwana Kimani alienda katika ‘Kenya National Airport’ kujialika kuwa rubani. Alionyeshwa saa na siku angeenda kazini. Kabla ya kwenda, alilipwa mshahara wa kwanza wa shillingi millioni moja. Alipoendelea na kazi yake ya urubani, alieza kuishi maisha ya furaha na buraha. Uwezo wake ulijulikana inchini Kenya, pia Rais wa Kenya aliona kwamba anahitaji rubani wa kuendesha ndege yake.Aliona bwana Kiama akiwa rubani mzuri kwote inchini. Alimwalika bwana Kiama awe rubani wake wa ndege. Funzo linalotoka kwenye methali hii ni kuwa ukijitahidi katika masomo yako au maisha kwa kuwa unafaa utie bidii ili siku za usoni uwe na maisha ya kupendeza.
Kulikuwa na bwana mmoja aliyeitwa nani
{ "text": [ "Bwana Kiama" ] }
3522_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya hii methali ni ukitaka kitu, kana kwamba kiko chini kitandani ni sharti uiname ili uchukuwe. Maana ya ndani ya hii methali ukitaka kitu sharti ufanye bidii ili ufaulu au ukipate. Hii methal ni kwa watu wanzembe wanaoongaja siku ya mwisho. Siku moja kulikuwa na bwana ambaye aliitwa bwana Kiana. Bwana Kiana alikuwa maskini hohehahe, hakuwa na mbele wala nyuma. Alikuwa akiwatazama hao watu ambao wana magari mazuri mazuri, mavazi ya utajiri na kazi waliokuwa ni nzuri kupitia mwisho. Siku moja alijiambia hajihisi vizuri na umaskini wake usio na starehe ya kutosha. Alijiambia kuwa anataka kuwa na kazi nzuri, atakapolipwa vizuri. Alisema anataka kuwa rubani wa taifa ya nchi ya Kenya. Kabla ya kuanza kazi, alienda masomo ya urubani. Ala! Kwa kweli maji yakimwagika hayazoleki, alijitahidi na urubani, hata kwamba alijihisi kuacha masomo, aliendelea akijua kwamba anahitaji kuishi maisha ya furaha na buraha. Ilibidi ajifunze kwa miaka mitatu kabla ya kuanza kazi ya urubani. Mwaka mmoja ukaisha ikabidi afanye mtihani kuona kweli kama alishika alichofuzwa. Mwaka mmoja ulipita na mtihani ulifika, bwana Kiama alifanya mtihani huo kwa hamu na gamu. Siku ilipoisha ya mtihani, bwana Kimani alijipata akiwa wa kwanza masomoni. Miaka miwili, mitatu ilipita, bwana Kimani alienda katika ‘Kenya National Airport’ kujialika kuwa rubani. Alionyeshwa saa na siku angeenda kazini. Kabla ya kwenda, alilipwa mshahara wa kwanza wa shillingi millioni moja. Alipoendelea na kazi yake ya urubani, alieza kuishi maisha ya furaha na buraha. Uwezo wake ulijulikana inchini Kenya, pia Rais wa Kenya aliona kwamba anahitaji rubani wa kuendesha ndege yake.Aliona bwana Kiama akiwa rubani mzuri kwote inchini. Alimwalika bwana Kiama awe rubani wake wa ndege. Funzo linalotoka kwenye methali hii ni kuwa ukijitahidi katika masomo yako au maisha kwa kuwa unafaa utie bidii ili siku za usoni uwe na maisha ya kupendeza.
Bwana Kiama alikuwa mtu wa aina gani
{ "text": [ "Maskini " ] }
3522_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya hii methali ni ukitaka kitu, kana kwamba kiko chini kitandani ni sharti uiname ili uchukuwe. Maana ya ndani ya hii methali ukitaka kitu sharti ufanye bidii ili ufaulu au ukipate. Hii methal ni kwa watu wanzembe wanaoongaja siku ya mwisho. Siku moja kulikuwa na bwana ambaye aliitwa bwana Kiana. Bwana Kiana alikuwa maskini hohehahe, hakuwa na mbele wala nyuma. Alikuwa akiwatazama hao watu ambao wana magari mazuri mazuri, mavazi ya utajiri na kazi waliokuwa ni nzuri kupitia mwisho. Siku moja alijiambia hajihisi vizuri na umaskini wake usio na starehe ya kutosha. Alijiambia kuwa anataka kuwa na kazi nzuri, atakapolipwa vizuri. Alisema anataka kuwa rubani wa taifa ya nchi ya Kenya. Kabla ya kuanza kazi, alienda masomo ya urubani. Ala! Kwa kweli maji yakimwagika hayazoleki, alijitahidi na urubani, hata kwamba alijihisi kuacha masomo, aliendelea akijua kwamba anahitaji kuishi maisha ya furaha na buraha. Ilibidi ajifunze kwa miaka mitatu kabla ya kuanza kazi ya urubani. Mwaka mmoja ukaisha ikabidi afanye mtihani kuona kweli kama alishika alichofuzwa. Mwaka mmoja ulipita na mtihani ulifika, bwana Kiama alifanya mtihani huo kwa hamu na gamu. Siku ilipoisha ya mtihani, bwana Kimani alijipata akiwa wa kwanza masomoni. Miaka miwili, mitatu ilipita, bwana Kimani alienda katika ‘Kenya National Airport’ kujialika kuwa rubani. Alionyeshwa saa na siku angeenda kazini. Kabla ya kwenda, alilipwa mshahara wa kwanza wa shillingi millioni moja. Alipoendelea na kazi yake ya urubani, alieza kuishi maisha ya furaha na buraha. Uwezo wake ulijulikana inchini Kenya, pia Rais wa Kenya aliona kwamba anahitaji rubani wa kuendesha ndege yake.Aliona bwana Kiama akiwa rubani mzuri kwote inchini. Alimwalika bwana Kiama awe rubani wake wa ndege. Funzo linalotoka kwenye methali hii ni kuwa ukijitahidi katika masomo yako au maisha kwa kuwa unafaa utie bidii ili siku za usoni uwe na maisha ya kupendeza.
Bwana Kiama alijiambia kuwa alitaka kupata nini
{ "text": [ "Kazi nzuri" ] }
3522_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya hii methali ni ukitaka kitu, kana kwamba kiko chini kitandani ni sharti uiname ili uchukuwe. Maana ya ndani ya hii methali ukitaka kitu sharti ufanye bidii ili ufaulu au ukipate. Hii methal ni kwa watu wanzembe wanaoongaja siku ya mwisho. Siku moja kulikuwa na bwana ambaye aliitwa bwana Kiana. Bwana Kiana alikuwa maskini hohehahe, hakuwa na mbele wala nyuma. Alikuwa akiwatazama hao watu ambao wana magari mazuri mazuri, mavazi ya utajiri na kazi waliokuwa ni nzuri kupitia mwisho. Siku moja alijiambia hajihisi vizuri na umaskini wake usio na starehe ya kutosha. Alijiambia kuwa anataka kuwa na kazi nzuri, atakapolipwa vizuri. Alisema anataka kuwa rubani wa taifa ya nchi ya Kenya. Kabla ya kuanza kazi, alienda masomo ya urubani. Ala! Kwa kweli maji yakimwagika hayazoleki, alijitahidi na urubani, hata kwamba alijihisi kuacha masomo, aliendelea akijua kwamba anahitaji kuishi maisha ya furaha na buraha. Ilibidi ajifunze kwa miaka mitatu kabla ya kuanza kazi ya urubani. Mwaka mmoja ukaisha ikabidi afanye mtihani kuona kweli kama alishika alichofuzwa. Mwaka mmoja ulipita na mtihani ulifika, bwana Kiama alifanya mtihani huo kwa hamu na gamu. Siku ilipoisha ya mtihani, bwana Kimani alijipata akiwa wa kwanza masomoni. Miaka miwili, mitatu ilipita, bwana Kimani alienda katika ‘Kenya National Airport’ kujialika kuwa rubani. Alionyeshwa saa na siku angeenda kazini. Kabla ya kwenda, alilipwa mshahara wa kwanza wa shillingi millioni moja. Alipoendelea na kazi yake ya urubani, alieza kuishi maisha ya furaha na buraha. Uwezo wake ulijulikana inchini Kenya, pia Rais wa Kenya aliona kwamba anahitaji rubani wa kuendesha ndege yake.Aliona bwana Kiama akiwa rubani mzuri kwote inchini. Alimwalika bwana Kiama awe rubani wake wa ndege. Funzo linalotoka kwenye methali hii ni kuwa ukijitahidi katika masomo yako au maisha kwa kuwa unafaa utie bidii ili siku za usoni uwe na maisha ya kupendeza.
Kabla ya kutafuta kazi Bwana Kiama alisomea masomo ya nini
{ "text": [ "Urubani" ] }
3522_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya hii methali ni ukitaka kitu, kana kwamba kiko chini kitandani ni sharti uiname ili uchukuwe. Maana ya ndani ya hii methali ukitaka kitu sharti ufanye bidii ili ufaulu au ukipate. Hii methal ni kwa watu wanzembe wanaoongaja siku ya mwisho. Siku moja kulikuwa na bwana ambaye aliitwa bwana Kiana. Bwana Kiana alikuwa maskini hohehahe, hakuwa na mbele wala nyuma. Alikuwa akiwatazama hao watu ambao wana magari mazuri mazuri, mavazi ya utajiri na kazi waliokuwa ni nzuri kupitia mwisho. Siku moja alijiambia hajihisi vizuri na umaskini wake usio na starehe ya kutosha. Alijiambia kuwa anataka kuwa na kazi nzuri, atakapolipwa vizuri. Alisema anataka kuwa rubani wa taifa ya nchi ya Kenya. Kabla ya kuanza kazi, alienda masomo ya urubani. Ala! Kwa kweli maji yakimwagika hayazoleki, alijitahidi na urubani, hata kwamba alijihisi kuacha masomo, aliendelea akijua kwamba anahitaji kuishi maisha ya furaha na buraha. Ilibidi ajifunze kwa miaka mitatu kabla ya kuanza kazi ya urubani. Mwaka mmoja ukaisha ikabidi afanye mtihani kuona kweli kama alishika alichofuzwa. Mwaka mmoja ulipita na mtihani ulifika, bwana Kiama alifanya mtihani huo kwa hamu na gamu. Siku ilipoisha ya mtihani, bwana Kimani alijipata akiwa wa kwanza masomoni. Miaka miwili, mitatu ilipita, bwana Kimani alienda katika ‘Kenya National Airport’ kujialika kuwa rubani. Alionyeshwa saa na siku angeenda kazini. Kabla ya kwenda, alilipwa mshahara wa kwanza wa shillingi millioni moja. Alipoendelea na kazi yake ya urubani, alieza kuishi maisha ya furaha na buraha. Uwezo wake ulijulikana inchini Kenya, pia Rais wa Kenya aliona kwamba anahitaji rubani wa kuendesha ndege yake.Aliona bwana Kiama akiwa rubani mzuri kwote inchini. Alimwalika bwana Kiama awe rubani wake wa ndege. Funzo linalotoka kwenye methali hii ni kuwa ukijitahidi katika masomo yako au maisha kwa kuwa unafaa utie bidii ili siku za usoni uwe na maisha ya kupendeza.
Maji yakimwagika hayafanyiki nini
{ "text": [ "Hayazoleki" ] }
3524_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana na methali, kama kitu kimeaguka ni lazima uinameme ili uchukue. Kama unataka kitu fulani lazima unyenyekee ili ukipate kitu. Methali hii hupigwa kwa watu wale wanaotaka kitu cha lazima. lakini hawakipati mbona? kwa sababu wanakitaka kwa lazima. Ndiyo maana tunasema nyenyekea na utainuliwa. Hapo zamani za kale katika kitongoji Maika, aliondokea mzee anayeitwa Mtara alikuwa na Mke aliyeitwa Mwembe, walijaliwa na mtoto aliyeitwa Chaurembo. Alikiwa mwenyw nidhamu na heshima, sio kwa wakubwa na wadogo. Wazazi wake walimdhamini kama uhai. Walifanana na nina wake, mithili ya shilingi mbili. Alisoma katika shule ya chuo kikuu ya Miaka. Alikuwa wembe masomoni, walimu walimpenda tena sana. Sada ilifika mbao alikosa karo, mama na babake hawakuwa na pesa za kulipa karo. Alisomea udaktari na alipokosa karo alika nyumbani na kumwomba Rabuka amjalie. Baba yake hakuwa na mbele wala nyuma maana alifutwa kazi na kukaa ndee! Walikaa njaa na kuomba Rabuka awajalie Wahenga hawakukosea waliposema Mungu sio Athmani. Mama Chauremo aliitwa kazini katika Hosipitali ya jamii. Alidamka asubuhi na mapema Kabla jogoo kuwika, alioga kwa mali baridi shadidi. Alitetemeka teteme! teteme! kama kuku aliye toroka kijijini. Alirudi kwenye chumba chake na kujikwatua kwatu! kwatu! Alingaa kama mwezi. Alikuwa kiamsha kinywa, chai ya mkanda na muhogo na akangoa nanga. Aliabile gari na gari lenyewe liliendeshwa kwa kasi ya umeme. Alichoka na akalala folofo! Alipoamshwa, aliambiwa amefika alishuka nakulipa nauli ya gari. Gari liliondoka aliachwa hospitali, akikaguliwa na wakubwa wa hositali. Aliitwa na mwenye hospital, mwenyewe alikuwa amevaa shati la theluji na kaptura nyeusi tititi. Alikuwa bonge la mtu, alianza kumkagua na alipo ona, alimwambia kuwa atamwita. Alienda kwa hekima na imani, Chaurembo alinyenyekea kwa kweli. Siku iliyofuata aliambia kuwa amepata kazi, alikuwa na furaha furi furi. Kweli Mungu hasahau athumini wake. Methali hii inatufunza kuwa, unapo nyenyekea, utapata unachotaka. Chaurembo alipata kazi kwa sababu ya unyenyekevu wake na imani yake.
Ukitaka cha mvunguni sharti ufanye nini?
{ "text": [ "Uiname" ] }
3524_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana na methali, kama kitu kimeaguka ni lazima uinameme ili uchukue. Kama unataka kitu fulani lazima unyenyekee ili ukipate kitu. Methali hii hupigwa kwa watu wale wanaotaka kitu cha lazima. lakini hawakipati mbona? kwa sababu wanakitaka kwa lazima. Ndiyo maana tunasema nyenyekea na utainuliwa. Hapo zamani za kale katika kitongoji Maika, aliondokea mzee anayeitwa Mtara alikuwa na Mke aliyeitwa Mwembe, walijaliwa na mtoto aliyeitwa Chaurembo. Alikiwa mwenyw nidhamu na heshima, sio kwa wakubwa na wadogo. Wazazi wake walimdhamini kama uhai. Walifanana na nina wake, mithili ya shilingi mbili. Alisoma katika shule ya chuo kikuu ya Miaka. Alikuwa wembe masomoni, walimu walimpenda tena sana. Sada ilifika mbao alikosa karo, mama na babake hawakuwa na pesa za kulipa karo. Alisomea udaktari na alipokosa karo alika nyumbani na kumwomba Rabuka amjalie. Baba yake hakuwa na mbele wala nyuma maana alifutwa kazi na kukaa ndee! Walikaa njaa na kuomba Rabuka awajalie Wahenga hawakukosea waliposema Mungu sio Athmani. Mama Chauremo aliitwa kazini katika Hosipitali ya jamii. Alidamka asubuhi na mapema Kabla jogoo kuwika, alioga kwa mali baridi shadidi. Alitetemeka teteme! teteme! kama kuku aliye toroka kijijini. Alirudi kwenye chumba chake na kujikwatua kwatu! kwatu! Alingaa kama mwezi. Alikuwa kiamsha kinywa, chai ya mkanda na muhogo na akangoa nanga. Aliabile gari na gari lenyewe liliendeshwa kwa kasi ya umeme. Alichoka na akalala folofo! Alipoamshwa, aliambiwa amefika alishuka nakulipa nauli ya gari. Gari liliondoka aliachwa hospitali, akikaguliwa na wakubwa wa hositali. Aliitwa na mwenye hospital, mwenyewe alikuwa amevaa shati la theluji na kaptura nyeusi tititi. Alikuwa bonge la mtu, alianza kumkagua na alipo ona, alimwambia kuwa atamwita. Alienda kwa hekima na imani, Chaurembo alinyenyekea kwa kweli. Siku iliyofuata aliambia kuwa amepata kazi, alikuwa na furaha furi furi. Kweli Mungu hasahau athumini wake. Methali hii inatufunza kuwa, unapo nyenyekea, utapata unachotaka. Chaurembo alipata kazi kwa sababu ya unyenyekevu wake na imani yake.
Mzee Mtara alitoka katika kitongoji kipi?
{ "text": [ "Maika" ] }
3524_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana na methali, kama kitu kimeaguka ni lazima uinameme ili uchukue. Kama unataka kitu fulani lazima unyenyekee ili ukipate kitu. Methali hii hupigwa kwa watu wale wanaotaka kitu cha lazima. lakini hawakipati mbona? kwa sababu wanakitaka kwa lazima. Ndiyo maana tunasema nyenyekea na utainuliwa. Hapo zamani za kale katika kitongoji Maika, aliondokea mzee anayeitwa Mtara alikuwa na Mke aliyeitwa Mwembe, walijaliwa na mtoto aliyeitwa Chaurembo. Alikiwa mwenyw nidhamu na heshima, sio kwa wakubwa na wadogo. Wazazi wake walimdhamini kama uhai. Walifanana na nina wake, mithili ya shilingi mbili. Alisoma katika shule ya chuo kikuu ya Miaka. Alikuwa wembe masomoni, walimu walimpenda tena sana. Sada ilifika mbao alikosa karo, mama na babake hawakuwa na pesa za kulipa karo. Alisomea udaktari na alipokosa karo alika nyumbani na kumwomba Rabuka amjalie. Baba yake hakuwa na mbele wala nyuma maana alifutwa kazi na kukaa ndee! Walikaa njaa na kuomba Rabuka awajalie Wahenga hawakukosea waliposema Mungu sio Athmani. Mama Chauremo aliitwa kazini katika Hosipitali ya jamii. Alidamka asubuhi na mapema Kabla jogoo kuwika, alioga kwa mali baridi shadidi. Alitetemeka teteme! teteme! kama kuku aliye toroka kijijini. Alirudi kwenye chumba chake na kujikwatua kwatu! kwatu! Alingaa kama mwezi. Alikuwa kiamsha kinywa, chai ya mkanda na muhogo na akangoa nanga. Aliabile gari na gari lenyewe liliendeshwa kwa kasi ya umeme. Alichoka na akalala folofo! Alipoamshwa, aliambiwa amefika alishuka nakulipa nauli ya gari. Gari liliondoka aliachwa hospitali, akikaguliwa na wakubwa wa hositali. Aliitwa na mwenye hospital, mwenyewe alikuwa amevaa shati la theluji na kaptura nyeusi tititi. Alikuwa bonge la mtu, alianza kumkagua na alipo ona, alimwambia kuwa atamwita. Alienda kwa hekima na imani, Chaurembo alinyenyekea kwa kweli. Siku iliyofuata aliambia kuwa amepata kazi, alikuwa na furaha furi furi. Kweli Mungu hasahau athumini wake. Methali hii inatufunza kuwa, unapo nyenyekea, utapata unachotaka. Chaurembo alipata kazi kwa sababu ya unyenyekevu wake na imani yake.
Mkewe mzee Mtara alijulikana kama nani?
{ "text": [ "Muembe" ] }
3524_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana na methali, kama kitu kimeaguka ni lazima uinameme ili uchukue. Kama unataka kitu fulani lazima unyenyekee ili ukipate kitu. Methali hii hupigwa kwa watu wale wanaotaka kitu cha lazima. lakini hawakipati mbona? kwa sababu wanakitaka kwa lazima. Ndiyo maana tunasema nyenyekea na utainuliwa. Hapo zamani za kale katika kitongoji Maika, aliondokea mzee anayeitwa Mtara alikuwa na Mke aliyeitwa Mwembe, walijaliwa na mtoto aliyeitwa Chaurembo. Alikiwa mwenyw nidhamu na heshima, sio kwa wakubwa na wadogo. Wazazi wake walimdhamini kama uhai. Walifanana na nina wake, mithili ya shilingi mbili. Alisoma katika shule ya chuo kikuu ya Miaka. Alikuwa wembe masomoni, walimu walimpenda tena sana. Sada ilifika mbao alikosa karo, mama na babake hawakuwa na pesa za kulipa karo. Alisomea udaktari na alipokosa karo alika nyumbani na kumwomba Rabuka amjalie. Baba yake hakuwa na mbele wala nyuma maana alifutwa kazi na kukaa ndee! Walikaa njaa na kuomba Rabuka awajalie Wahenga hawakukosea waliposema Mungu sio Athmani. Mama Chauremo aliitwa kazini katika Hosipitali ya jamii. Alidamka asubuhi na mapema Kabla jogoo kuwika, alioga kwa mali baridi shadidi. Alitetemeka teteme! teteme! kama kuku aliye toroka kijijini. Alirudi kwenye chumba chake na kujikwatua kwatu! kwatu! Alingaa kama mwezi. Alikuwa kiamsha kinywa, chai ya mkanda na muhogo na akangoa nanga. Aliabile gari na gari lenyewe liliendeshwa kwa kasi ya umeme. Alichoka na akalala folofo! Alipoamshwa, aliambiwa amefika alishuka nakulipa nauli ya gari. Gari liliondoka aliachwa hospitali, akikaguliwa na wakubwa wa hositali. Aliitwa na mwenye hospital, mwenyewe alikuwa amevaa shati la theluji na kaptura nyeusi tititi. Alikuwa bonge la mtu, alianza kumkagua na alipo ona, alimwambia kuwa atamwita. Alienda kwa hekima na imani, Chaurembo alinyenyekea kwa kweli. Siku iliyofuata aliambia kuwa amepata kazi, alikuwa na furaha furi furi. Kweli Mungu hasahau athumini wake. Methali hii inatufunza kuwa, unapo nyenyekea, utapata unachotaka. Chaurembo alipata kazi kwa sababu ya unyenyekevu wake na imani yake.
Wazazi hawa walibarikiwa na mtoto aliyeitwaje?
{ "text": [ "Chaurembo" ] }
3524_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana na methali, kama kitu kimeaguka ni lazima uinameme ili uchukue. Kama unataka kitu fulani lazima unyenyekee ili ukipate kitu. Methali hii hupigwa kwa watu wale wanaotaka kitu cha lazima. lakini hawakipati mbona? kwa sababu wanakitaka kwa lazima. Ndiyo maana tunasema nyenyekea na utainuliwa. Hapo zamani za kale katika kitongoji Maika, aliondokea mzee anayeitwa Mtara alikuwa na Mke aliyeitwa Mwembe, walijaliwa na mtoto aliyeitwa Chaurembo. Alikiwa mwenyw nidhamu na heshima, sio kwa wakubwa na wadogo. Wazazi wake walimdhamini kama uhai. Walifanana na nina wake, mithili ya shilingi mbili. Alisoma katika shule ya chuo kikuu ya Miaka. Alikuwa wembe masomoni, walimu walimpenda tena sana. Sada ilifika mbao alikosa karo, mama na babake hawakuwa na pesa za kulipa karo. Alisomea udaktari na alipokosa karo alika nyumbani na kumwomba Rabuka amjalie. Baba yake hakuwa na mbele wala nyuma maana alifutwa kazi na kukaa ndee! Walikaa njaa na kuomba Rabuka awajalie Wahenga hawakukosea waliposema Mungu sio Athmani. Mama Chauremo aliitwa kazini katika Hosipitali ya jamii. Alidamka asubuhi na mapema Kabla jogoo kuwika, alioga kwa mali baridi shadidi. Alitetemeka teteme! teteme! kama kuku aliye toroka kijijini. Alirudi kwenye chumba chake na kujikwatua kwatu! kwatu! Alingaa kama mwezi. Alikuwa kiamsha kinywa, chai ya mkanda na muhogo na akangoa nanga. Aliabile gari na gari lenyewe liliendeshwa kwa kasi ya umeme. Alichoka na akalala folofo! Alipoamshwa, aliambiwa amefika alishuka nakulipa nauli ya gari. Gari liliondoka aliachwa hospitali, akikaguliwa na wakubwa wa hositali. Aliitwa na mwenye hospital, mwenyewe alikuwa amevaa shati la theluji na kaptura nyeusi tititi. Alikuwa bonge la mtu, alianza kumkagua na alipo ona, alimwambia kuwa atamwita. Alienda kwa hekima na imani, Chaurembo alinyenyekea kwa kweli. Siku iliyofuata aliambia kuwa amepata kazi, alikuwa na furaha furi furi. Kweli Mungu hasahau athumini wake. Methali hii inatufunza kuwa, unapo nyenyekea, utapata unachotaka. Chaurembo alipata kazi kwa sababu ya unyenyekevu wake na imani yake.
Chaurembo alipendwa kwa sababu ya nini?
{ "text": [ "Alikuwa na nidhamu na heshima " ] }
3525_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka kitu mvunguni lazima uiname ndio ukipate. Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu chochote maishani ni sharti ufanye kila kitu kinachowezekana, ndio kile unachotaka kifanyike. Katika kitongoji cha kauka, paliondokea mfalme mmoja. Alikuwa na mwana mmoja aliyeitwa Inama. Inama alikuwa kijana mwenye nidhamu na adabu na adinasi wakubwa kwa wadogo. Siku moja, Inama aligonjeka, Mfalme aliwaita insi wote katika kitongoji kizima, kwani mbiu ya mgambo ikilia kuna jamba. Kila insi aliwaza na kuwazua kwanini waliitwa huko. Mfalme aliwaeleza kuwa mwana wake alikuwa mgonjwa na mwenye atamponya atatuzwa. Walijaribu kila kitu,lakini ilikuwa kufa kupona. Insi mmoja alisema kuwa alitaka mkia wa jitu ili anone. Asipokula mkia wa jitu kwa muda wa miezi saba ataaga dunia, kufa fo fo fo. Nilitumwa na mfalme nikauchukuwe mkia wa jitu na mithili ningefanya hivyo, yeye mwenyewe angenipa tuzo yangu, Nilijitayarisha na kupiga kiguu hadi majitu walipoishi. Ilibidi niwe na vyakula rojorojo ili nifike huko salama salmini. Miezi tatu ilipita, vyakula vyangu vilisha maji yangu yote yalikuwa yameisha. Nilikuwa na huzuni usio kifani. Nilikuwa na mzo ya kusema ambayo yana uchungu. Fuadi iliniuma. Nilipoendelea kutafuta niliona jumba kubwa lenye lango kubwa ni kama ulikuwa unatazama mbinguni. Niliugonga mlango huo na ni shaibu ndipo alifungua. Nilimwomba maji na nikamsihi aningishe nipumzike. Alikubali na kunikaribisha nadni, lakini niliposikia mgurumo, nilijua majitu walishi hapo ndani. Ardhi litetema tem tem. Moyo wangu uliduda du du du milipoona mkia wake. Nilimuuliza shaibu kile nilichopaswa kufanya ili niupate. Aliniagiza kuwa nilifaa kuuma mkia hada ukatike. Mdomo wangu ulibaki wazi. Nilipo liangalia lilikuwa limelala fo fo fo kwani ubwabwa wa mwana adamu ni usingizi. Nilikaribia na kuushika huo mkia, nikauma na nguvu zangu zote. Jitu liliamka na kunitazama. Nilikimbia na kumpanda farasi wa turidi kwa mfalme. Nilipita njia nyembamba hadi nikafika. Nilimpa mkia huo na akana tuzo langu. Nilijawa na furaha na bashasha. Sitawahi sahau siku hiyo. Kweli nakubaliana na methali inayosema ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Mfalme alikuwa wa kitongoji gani
{ "text": [ "cha Kaska" ] }
3525_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka kitu mvunguni lazima uiname ndio ukipate. Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu chochote maishani ni sharti ufanye kila kitu kinachowezekana, ndio kile unachotaka kifanyike. Katika kitongoji cha kauka, paliondokea mfalme mmoja. Alikuwa na mwana mmoja aliyeitwa Inama. Inama alikuwa kijana mwenye nidhamu na adabu na adinasi wakubwa kwa wadogo. Siku moja, Inama aligonjeka, Mfalme aliwaita insi wote katika kitongoji kizima, kwani mbiu ya mgambo ikilia kuna jamba. Kila insi aliwaza na kuwazua kwanini waliitwa huko. Mfalme aliwaeleza kuwa mwana wake alikuwa mgonjwa na mwenye atamponya atatuzwa. Walijaribu kila kitu,lakini ilikuwa kufa kupona. Insi mmoja alisema kuwa alitaka mkia wa jitu ili anone. Asipokula mkia wa jitu kwa muda wa miezi saba ataaga dunia, kufa fo fo fo. Nilitumwa na mfalme nikauchukuwe mkia wa jitu na mithili ningefanya hivyo, yeye mwenyewe angenipa tuzo yangu, Nilijitayarisha na kupiga kiguu hadi majitu walipoishi. Ilibidi niwe na vyakula rojorojo ili nifike huko salama salmini. Miezi tatu ilipita, vyakula vyangu vilisha maji yangu yote yalikuwa yameisha. Nilikuwa na huzuni usio kifani. Nilikuwa na mzo ya kusema ambayo yana uchungu. Fuadi iliniuma. Nilipoendelea kutafuta niliona jumba kubwa lenye lango kubwa ni kama ulikuwa unatazama mbinguni. Niliugonga mlango huo na ni shaibu ndipo alifungua. Nilimwomba maji na nikamsihi aningishe nipumzike. Alikubali na kunikaribisha nadni, lakini niliposikia mgurumo, nilijua majitu walishi hapo ndani. Ardhi litetema tem tem. Moyo wangu uliduda du du du milipoona mkia wake. Nilimuuliza shaibu kile nilichopaswa kufanya ili niupate. Aliniagiza kuwa nilifaa kuuma mkia hada ukatike. Mdomo wangu ulibaki wazi. Nilipo liangalia lilikuwa limelala fo fo fo kwani ubwabwa wa mwana adamu ni usingizi. Nilikaribia na kuushika huo mkia, nikauma na nguvu zangu zote. Jitu liliamka na kunitazama. Nilikimbia na kumpanda farasi wa turidi kwa mfalme. Nilipita njia nyembamba hadi nikafika. Nilimpa mkia huo na akana tuzo langu. Nilijawa na furaha na bashasha. Sitawahi sahau siku hiyo. Kweli nakubaliana na methali inayosema ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Mwana wa mfalme aliitwa nani
{ "text": [ "Inama" ] }
3525_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka kitu mvunguni lazima uiname ndio ukipate. Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu chochote maishani ni sharti ufanye kila kitu kinachowezekana, ndio kile unachotaka kifanyike. Katika kitongoji cha kauka, paliondokea mfalme mmoja. Alikuwa na mwana mmoja aliyeitwa Inama. Inama alikuwa kijana mwenye nidhamu na adabu na adinasi wakubwa kwa wadogo. Siku moja, Inama aligonjeka, Mfalme aliwaita insi wote katika kitongoji kizima, kwani mbiu ya mgambo ikilia kuna jamba. Kila insi aliwaza na kuwazua kwanini waliitwa huko. Mfalme aliwaeleza kuwa mwana wake alikuwa mgonjwa na mwenye atamponya atatuzwa. Walijaribu kila kitu,lakini ilikuwa kufa kupona. Insi mmoja alisema kuwa alitaka mkia wa jitu ili anone. Asipokula mkia wa jitu kwa muda wa miezi saba ataaga dunia, kufa fo fo fo. Nilitumwa na mfalme nikauchukuwe mkia wa jitu na mithili ningefanya hivyo, yeye mwenyewe angenipa tuzo yangu, Nilijitayarisha na kupiga kiguu hadi majitu walipoishi. Ilibidi niwe na vyakula rojorojo ili nifike huko salama salmini. Miezi tatu ilipita, vyakula vyangu vilisha maji yangu yote yalikuwa yameisha. Nilikuwa na huzuni usio kifani. Nilikuwa na mzo ya kusema ambayo yana uchungu. Fuadi iliniuma. Nilipoendelea kutafuta niliona jumba kubwa lenye lango kubwa ni kama ulikuwa unatazama mbinguni. Niliugonga mlango huo na ni shaibu ndipo alifungua. Nilimwomba maji na nikamsihi aningishe nipumzike. Alikubali na kunikaribisha nadni, lakini niliposikia mgurumo, nilijua majitu walishi hapo ndani. Ardhi litetema tem tem. Moyo wangu uliduda du du du milipoona mkia wake. Nilimuuliza shaibu kile nilichopaswa kufanya ili niupate. Aliniagiza kuwa nilifaa kuuma mkia hada ukatike. Mdomo wangu ulibaki wazi. Nilipo liangalia lilikuwa limelala fo fo fo kwani ubwabwa wa mwana adamu ni usingizi. Nilikaribia na kuushika huo mkia, nikauma na nguvu zangu zote. Jitu liliamka na kunitazama. Nilikimbia na kumpanda farasi wa turidi kwa mfalme. Nilipita njia nyembamba hadi nikafika. Nilimpa mkia huo na akana tuzo langu. Nilijawa na furaha na bashasha. Sitawahi sahau siku hiyo. Kweli nakubaliana na methali inayosema ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Mbiu ya mgambo ikilia kuna nini
{ "text": [ "jambo" ] }
3525_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka kitu mvunguni lazima uiname ndio ukipate. Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu chochote maishani ni sharti ufanye kila kitu kinachowezekana, ndio kile unachotaka kifanyike. Katika kitongoji cha kauka, paliondokea mfalme mmoja. Alikuwa na mwana mmoja aliyeitwa Inama. Inama alikuwa kijana mwenye nidhamu na adabu na adinasi wakubwa kwa wadogo. Siku moja, Inama aligonjeka, Mfalme aliwaita insi wote katika kitongoji kizima, kwani mbiu ya mgambo ikilia kuna jamba. Kila insi aliwaza na kuwazua kwanini waliitwa huko. Mfalme aliwaeleza kuwa mwana wake alikuwa mgonjwa na mwenye atamponya atatuzwa. Walijaribu kila kitu,lakini ilikuwa kufa kupona. Insi mmoja alisema kuwa alitaka mkia wa jitu ili anone. Asipokula mkia wa jitu kwa muda wa miezi saba ataaga dunia, kufa fo fo fo. Nilitumwa na mfalme nikauchukuwe mkia wa jitu na mithili ningefanya hivyo, yeye mwenyewe angenipa tuzo yangu, Nilijitayarisha na kupiga kiguu hadi majitu walipoishi. Ilibidi niwe na vyakula rojorojo ili nifike huko salama salmini. Miezi tatu ilipita, vyakula vyangu vilisha maji yangu yote yalikuwa yameisha. Nilikuwa na huzuni usio kifani. Nilikuwa na mzo ya kusema ambayo yana uchungu. Fuadi iliniuma. Nilipoendelea kutafuta niliona jumba kubwa lenye lango kubwa ni kama ulikuwa unatazama mbinguni. Niliugonga mlango huo na ni shaibu ndipo alifungua. Nilimwomba maji na nikamsihi aningishe nipumzike. Alikubali na kunikaribisha nadni, lakini niliposikia mgurumo, nilijua majitu walishi hapo ndani. Ardhi litetema tem tem. Moyo wangu uliduda du du du milipoona mkia wake. Nilimuuliza shaibu kile nilichopaswa kufanya ili niupate. Aliniagiza kuwa nilifaa kuuma mkia hada ukatike. Mdomo wangu ulibaki wazi. Nilipo liangalia lilikuwa limelala fo fo fo kwani ubwabwa wa mwana adamu ni usingizi. Nilikaribia na kuushika huo mkia, nikauma na nguvu zangu zote. Jitu liliamka na kunitazama. Nilikimbia na kumpanda farasi wa turidi kwa mfalme. Nilipita njia nyembamba hadi nikafika. Nilimpa mkia huo na akana tuzo langu. Nilijawa na furaha na bashasha. Sitawahi sahau siku hiyo. Kweli nakubaliana na methali inayosema ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Mbona ilimbidi awe na chakula rojorojo
{ "text": [ "ili afike huko salama salmini" ] }
3525_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Maana ya nje ya methali hii ni kuwa ukitaka kitu mvunguni lazima uiname ndio ukipate. Maana ya ndani ni kuwa ukitaka kitu chochote maishani ni sharti ufanye kila kitu kinachowezekana, ndio kile unachotaka kifanyike. Katika kitongoji cha kauka, paliondokea mfalme mmoja. Alikuwa na mwana mmoja aliyeitwa Inama. Inama alikuwa kijana mwenye nidhamu na adabu na adinasi wakubwa kwa wadogo. Siku moja, Inama aligonjeka, Mfalme aliwaita insi wote katika kitongoji kizima, kwani mbiu ya mgambo ikilia kuna jamba. Kila insi aliwaza na kuwazua kwanini waliitwa huko. Mfalme aliwaeleza kuwa mwana wake alikuwa mgonjwa na mwenye atamponya atatuzwa. Walijaribu kila kitu,lakini ilikuwa kufa kupona. Insi mmoja alisema kuwa alitaka mkia wa jitu ili anone. Asipokula mkia wa jitu kwa muda wa miezi saba ataaga dunia, kufa fo fo fo. Nilitumwa na mfalme nikauchukuwe mkia wa jitu na mithili ningefanya hivyo, yeye mwenyewe angenipa tuzo yangu, Nilijitayarisha na kupiga kiguu hadi majitu walipoishi. Ilibidi niwe na vyakula rojorojo ili nifike huko salama salmini. Miezi tatu ilipita, vyakula vyangu vilisha maji yangu yote yalikuwa yameisha. Nilikuwa na huzuni usio kifani. Nilikuwa na mzo ya kusema ambayo yana uchungu. Fuadi iliniuma. Nilipoendelea kutafuta niliona jumba kubwa lenye lango kubwa ni kama ulikuwa unatazama mbinguni. Niliugonga mlango huo na ni shaibu ndipo alifungua. Nilimwomba maji na nikamsihi aningishe nipumzike. Alikubali na kunikaribisha nadni, lakini niliposikia mgurumo, nilijua majitu walishi hapo ndani. Ardhi litetema tem tem. Moyo wangu uliduda du du du milipoona mkia wake. Nilimuuliza shaibu kile nilichopaswa kufanya ili niupate. Aliniagiza kuwa nilifaa kuuma mkia hada ukatike. Mdomo wangu ulibaki wazi. Nilipo liangalia lilikuwa limelala fo fo fo kwani ubwabwa wa mwana adamu ni usingizi. Nilikaribia na kuushika huo mkia, nikauma na nguvu zangu zote. Jitu liliamka na kunitazama. Nilikimbia na kumpanda farasi wa turidi kwa mfalme. Nilipita njia nyembamba hadi nikafika. Nilimpa mkia huo na akana tuzo langu. Nilijawa na furaha na bashasha. Sitawahi sahau siku hiyo. Kweli nakubaliana na methali inayosema ukitaka cha mvunguni sharti uiname.
Vyakula viliisha lini
{ "text": [ "baada ya miezi mitatu" ] }
3527_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Mvunguni ni sehemu ya chini ya kitanda. Maana ya inje ya ulumbi hii ni ukitaka kilich mvunguni lazima uiname ili ukipate. Maana ya ndoni ni kuwa, unapotaka kufaulu katika kufanya kitu chochote kile, ni lazima utie fora ndio ufaulu. Methali hii hupigiwa watu wanaotaka kuvona mahali ambapo hawakupanda wenyewe na wale wafanyavyo mambo wakati makuu yamekwisha pita. Twawaahidi kutahadhari kabla ya hatari. Katika kitongoji cha Rongai, palitokea ajuza aliyeitwa Abikarimaresha. Jina lake la falsafa lilikuwa Zembea, kutokana na uzembe wake. Wakati wengine walikuwa kazi au kutafuta zaburi, yeye alijibwaga ulilini. Hakuwa na wana wa kwenda kazi, maadamu alikuwa tasa. Bwana yake alimtaliki kwa sababu ya hayo. Jambo la kushangaza ni kuwa, hakuwa na kazi wala bazi, lakini alikuwa na pesa kama njugu, kazi yake ilikuwa kwenda kwenye baraste kuu na kujifanya amegogwa. Wakati alipopewa fedha, alienda nyumbani na kuziweka. Alione akishi maisha na raha mustarehe. Alichokisahau ni kuwa haba na haba hujaza kibaba. Hakuna aliyegundua siri ya utajiri wake. Walikuwa wakifanya vitu vibaya. Juma alikuwa na talanta ya kuimba naye Yohana alikuwa na talanta ya kuchora. Walikuja kukumbuka kuwa ni Jelali aliyewajalia na talanta hizo na basi walitaka kazi iliyo na uhusiano na talanta zao. Kila siku, walikuwa wakiamka wakati wa kufungulia ng’ombe ili waweze kuzingatia na kutafuta jinsi watakavyo pata kazi itakayowalipa pesa nyingi. Mtu mmoja aliweza kusikia Juma akiimba kwa sauti ya kuvutia mno. Mtu yule alienda akawaita marafiki zake wote ili waweze kumskia Juma akiimba. Wengine walipenda michora ya Yohana, kweli baada na dhiki ni faraja. Baada ya miezi miwili Juma na Yohana waliweza kupata kazi. Walikuwa na furaha furi furi, lakini bado fuadi zao zilikuwa ziki danda du du du kwa sababu hawakuweza kuamini kwamba wamepata kazi ambazo walikuwa wakitarajia. Juma alikuja kuwa mwimbaji hodari sana na Yohana alikuja kuchora michoro ambayo ingempa pesa nyingi sana. Jume na Yohana walikuja kuishi maisha ya furaha sana. Kweli subira huvuta heri. Pia wahenga hawakutupaka mafuta mdomoni waliposema, mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Mvunguni ni sehemu gani ya kitanda
{ "text": [ "ya chini" ] }
3527_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Mvunguni ni sehemu ya chini ya kitanda. Maana ya inje ya ulumbi hii ni ukitaka kilich mvunguni lazima uiname ili ukipate. Maana ya ndoni ni kuwa, unapotaka kufaulu katika kufanya kitu chochote kile, ni lazima utie fora ndio ufaulu. Methali hii hupigiwa watu wanaotaka kuvona mahali ambapo hawakupanda wenyewe na wale wafanyavyo mambo wakati makuu yamekwisha pita. Twawaahidi kutahadhari kabla ya hatari. Katika kitongoji cha Rongai, palitokea ajuza aliyeitwa Abikarimaresha. Jina lake la falsafa lilikuwa Zembea, kutokana na uzembe wake. Wakati wengine walikuwa kazi au kutafuta zaburi, yeye alijibwaga ulilini. Hakuwa na wana wa kwenda kazi, maadamu alikuwa tasa. Bwana yake alimtaliki kwa sababu ya hayo. Jambo la kushangaza ni kuwa, hakuwa na kazi wala bazi, lakini alikuwa na pesa kama njugu, kazi yake ilikuwa kwenda kwenye baraste kuu na kujifanya amegogwa. Wakati alipopewa fedha, alienda nyumbani na kuziweka. Alione akishi maisha na raha mustarehe. Alichokisahau ni kuwa haba na haba hujaza kibaba. Hakuna aliyegundua siri ya utajiri wake. Walikuwa wakifanya vitu vibaya. Juma alikuwa na talanta ya kuimba naye Yohana alikuwa na talanta ya kuchora. Walikuja kukumbuka kuwa ni Jelali aliyewajalia na talanta hizo na basi walitaka kazi iliyo na uhusiano na talanta zao. Kila siku, walikuwa wakiamka wakati wa kufungulia ng’ombe ili waweze kuzingatia na kutafuta jinsi watakavyo pata kazi itakayowalipa pesa nyingi. Mtu mmoja aliweza kusikia Juma akiimba kwa sauti ya kuvutia mno. Mtu yule alienda akawaita marafiki zake wote ili waweze kumskia Juma akiimba. Wengine walipenda michora ya Yohana, kweli baada na dhiki ni faraja. Baada ya miezi miwili Juma na Yohana waliweza kupata kazi. Walikuwa na furaha furi furi, lakini bado fuadi zao zilikuwa ziki danda du du du kwa sababu hawakuweza kuamini kwamba wamepata kazi ambazo walikuwa wakitarajia. Juma alikuja kuwa mwimbaji hodari sana na Yohana alikuja kuchora michoro ambayo ingempa pesa nyingi sana. Jume na Yohana walikuja kuishi maisha ya furaha sana. Kweli subira huvuta heri. Pia wahenga hawakutupaka mafuta mdomoni waliposema, mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Mbona ukitaka kilicho mvunguni ni lazima uiname
{ "text": [ "ili ukipate" ] }
3527_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Mvunguni ni sehemu ya chini ya kitanda. Maana ya inje ya ulumbi hii ni ukitaka kilich mvunguni lazima uiname ili ukipate. Maana ya ndoni ni kuwa, unapotaka kufaulu katika kufanya kitu chochote kile, ni lazima utie fora ndio ufaulu. Methali hii hupigiwa watu wanaotaka kuvona mahali ambapo hawakupanda wenyewe na wale wafanyavyo mambo wakati makuu yamekwisha pita. Twawaahidi kutahadhari kabla ya hatari. Katika kitongoji cha Rongai, palitokea ajuza aliyeitwa Abikarimaresha. Jina lake la falsafa lilikuwa Zembea, kutokana na uzembe wake. Wakati wengine walikuwa kazi au kutafuta zaburi, yeye alijibwaga ulilini. Hakuwa na wana wa kwenda kazi, maadamu alikuwa tasa. Bwana yake alimtaliki kwa sababu ya hayo. Jambo la kushangaza ni kuwa, hakuwa na kazi wala bazi, lakini alikuwa na pesa kama njugu, kazi yake ilikuwa kwenda kwenye baraste kuu na kujifanya amegogwa. Wakati alipopewa fedha, alienda nyumbani na kuziweka. Alione akishi maisha na raha mustarehe. Alichokisahau ni kuwa haba na haba hujaza kibaba. Hakuna aliyegundua siri ya utajiri wake. Walikuwa wakifanya vitu vibaya. Juma alikuwa na talanta ya kuimba naye Yohana alikuwa na talanta ya kuchora. Walikuja kukumbuka kuwa ni Jelali aliyewajalia na talanta hizo na basi walitaka kazi iliyo na uhusiano na talanta zao. Kila siku, walikuwa wakiamka wakati wa kufungulia ng’ombe ili waweze kuzingatia na kutafuta jinsi watakavyo pata kazi itakayowalipa pesa nyingi. Mtu mmoja aliweza kusikia Juma akiimba kwa sauti ya kuvutia mno. Mtu yule alienda akawaita marafiki zake wote ili waweze kumskia Juma akiimba. Wengine walipenda michora ya Yohana, kweli baada na dhiki ni faraja. Baada ya miezi miwili Juma na Yohana waliweza kupata kazi. Walikuwa na furaha furi furi, lakini bado fuadi zao zilikuwa ziki danda du du du kwa sababu hawakuweza kuamini kwamba wamepata kazi ambazo walikuwa wakitarajia. Juma alikuja kuwa mwimbaji hodari sana na Yohana alikuja kuchora michoro ambayo ingempa pesa nyingi sana. Jume na Yohana walikuja kuishi maisha ya furaha sana. Kweli subira huvuta heri. Pia wahenga hawakutupaka mafuta mdomoni waliposema, mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Walikuwa wakiamka wakati wa mafungulia ng'ombe lini
{ "text": [ "kila siku" ] }
3527_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Mvunguni ni sehemu ya chini ya kitanda. Maana ya inje ya ulumbi hii ni ukitaka kilich mvunguni lazima uiname ili ukipate. Maana ya ndoni ni kuwa, unapotaka kufaulu katika kufanya kitu chochote kile, ni lazima utie fora ndio ufaulu. Methali hii hupigiwa watu wanaotaka kuvona mahali ambapo hawakupanda wenyewe na wale wafanyavyo mambo wakati makuu yamekwisha pita. Twawaahidi kutahadhari kabla ya hatari. Katika kitongoji cha Rongai, palitokea ajuza aliyeitwa Abikarimaresha. Jina lake la falsafa lilikuwa Zembea, kutokana na uzembe wake. Wakati wengine walikuwa kazi au kutafuta zaburi, yeye alijibwaga ulilini. Hakuwa na wana wa kwenda kazi, maadamu alikuwa tasa. Bwana yake alimtaliki kwa sababu ya hayo. Jambo la kushangaza ni kuwa, hakuwa na kazi wala bazi, lakini alikuwa na pesa kama njugu, kazi yake ilikuwa kwenda kwenye baraste kuu na kujifanya amegogwa. Wakati alipopewa fedha, alienda nyumbani na kuziweka. Alione akishi maisha na raha mustarehe. Alichokisahau ni kuwa haba na haba hujaza kibaba. Hakuna aliyegundua siri ya utajiri wake. Walikuwa wakifanya vitu vibaya. Juma alikuwa na talanta ya kuimba naye Yohana alikuwa na talanta ya kuchora. Walikuja kukumbuka kuwa ni Jelali aliyewajalia na talanta hizo na basi walitaka kazi iliyo na uhusiano na talanta zao. Kila siku, walikuwa wakiamka wakati wa kufungulia ng’ombe ili waweze kuzingatia na kutafuta jinsi watakavyo pata kazi itakayowalipa pesa nyingi. Mtu mmoja aliweza kusikia Juma akiimba kwa sauti ya kuvutia mno. Mtu yule alienda akawaita marafiki zake wote ili waweze kumskia Juma akiimba. Wengine walipenda michora ya Yohana, kweli baada na dhiki ni faraja. Baada ya miezi miwili Juma na Yohana waliweza kupata kazi. Walikuwa na furaha furi furi, lakini bado fuadi zao zilikuwa ziki danda du du du kwa sababu hawakuweza kuamini kwamba wamepata kazi ambazo walikuwa wakitarajia. Juma alikuja kuwa mwimbaji hodari sana na Yohana alikuja kuchora michoro ambayo ingempa pesa nyingi sana. Jume na Yohana walikuja kuishi maisha ya furaha sana. Kweli subira huvuta heri. Pia wahenga hawakutupaka mafuta mdomoni waliposema, mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Nani aliimba kwa sauti ya kuvutia mno
{ "text": [ "Juma" ] }
3527_swa
UKITAKA CHA MVUNGUNI SHARTI UINAME Mvunguni ni sehemu ya chini ya kitanda. Maana ya inje ya ulumbi hii ni ukitaka kilich mvunguni lazima uiname ili ukipate. Maana ya ndoni ni kuwa, unapotaka kufaulu katika kufanya kitu chochote kile, ni lazima utie fora ndio ufaulu. Methali hii hupigiwa watu wanaotaka kuvona mahali ambapo hawakupanda wenyewe na wale wafanyavyo mambo wakati makuu yamekwisha pita. Twawaahidi kutahadhari kabla ya hatari. Katika kitongoji cha Rongai, palitokea ajuza aliyeitwa Abikarimaresha. Jina lake la falsafa lilikuwa Zembea, kutokana na uzembe wake. Wakati wengine walikuwa kazi au kutafuta zaburi, yeye alijibwaga ulilini. Hakuwa na wana wa kwenda kazi, maadamu alikuwa tasa. Bwana yake alimtaliki kwa sababu ya hayo. Jambo la kushangaza ni kuwa, hakuwa na kazi wala bazi, lakini alikuwa na pesa kama njugu, kazi yake ilikuwa kwenda kwenye baraste kuu na kujifanya amegogwa. Wakati alipopewa fedha, alienda nyumbani na kuziweka. Alione akishi maisha na raha mustarehe. Alichokisahau ni kuwa haba na haba hujaza kibaba. Hakuna aliyegundua siri ya utajiri wake. Walikuwa wakifanya vitu vibaya. Juma alikuwa na talanta ya kuimba naye Yohana alikuwa na talanta ya kuchora. Walikuja kukumbuka kuwa ni Jelali aliyewajalia na talanta hizo na basi walitaka kazi iliyo na uhusiano na talanta zao. Kila siku, walikuwa wakiamka wakati wa kufungulia ng’ombe ili waweze kuzingatia na kutafuta jinsi watakavyo pata kazi itakayowalipa pesa nyingi. Mtu mmoja aliweza kusikia Juma akiimba kwa sauti ya kuvutia mno. Mtu yule alienda akawaita marafiki zake wote ili waweze kumskia Juma akiimba. Wengine walipenda michora ya Yohana, kweli baada na dhiki ni faraja. Baada ya miezi miwili Juma na Yohana waliweza kupata kazi. Walikuwa na furaha furi furi, lakini bado fuadi zao zilikuwa ziki danda du du du kwa sababu hawakuweza kuamini kwamba wamepata kazi ambazo walikuwa wakitarajia. Juma alikuja kuwa mwimbaji hodari sana na Yohana alikuja kuchora michoro ambayo ingempa pesa nyingi sana. Jume na Yohana walikuja kuishi maisha ya furaha sana. Kweli subira huvuta heri. Pia wahenga hawakutupaka mafuta mdomoni waliposema, mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Juma na Yohana waliweza kupata nini
{ "text": [ "kazi" ] }
3528_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Tulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anaitwa Bini Bini alikuwa mtoto mzuri lakini kuna kitu ambacho Bini alianguka sana na ni mutihani. Yeye huwa anasoma lakini huwa hafaulu mtihani. Lakini siku moja aliitwa na mwalimu wake wa hisabati. Akaambiwa kuwa, kama anataka kufaulu vyema mtihani ni lazima usome kwa bidii. . Bini akamwambia akamwambia mwalimu wa hisabati kwamba yeye huwa anasoma kwa bidii sana lakini hajui nini mbaya na yeye. Mwalimu wa hisabati akamwambia Bini, akifanya somo lolote kama kazi ya darasani, akimaliza, achukue kitabu na afanye zoezi. Bini aliposikia hivyo, alitoka ofisi ya mwalimu na kwenda kumaliza kazi ya mwalimu na kujipa zoezi. Bini alipokuwa anafanya hivyo mtihani wa muhula wa kwanza ukaja, Bini alikuwa na moyo kwamba atapita huo mtihani. Siku kadha wa kadha na matokeo yakaja. Tuliitwa twende ‘Staffroom’ na kwenda kutaja jina, na nambari yake. Nambari ya kwanza ilikuwa Zina na alama 480, nambari ya pili ilikuwa ni Bini. Siku moia kama nyingine, alienda barasteni na kufanya kama kawaida, lakini wakati huu, adinasi huyu alijitokeza kutoka garini. "Nimekuwa nikikuchunguza kwa siku nyingi sana, mbona unafanya hivyo? Hakuna aliyejua ninachunguza, hata yeye mwenyewe. Mja alisema, wahenga kasema, jambo usilo lijua ni usiku wa giza. Zembea aliingiwa na woga kama mto, huku mahuluki yule alikiingiwa na ghamira na ghamidha usiokoma. Alimwacha bi kizee yule ne ushauri. Baado ya miezi miwili alianza kuwa na furaha, kwa hivyo aliamwa kuanza kuiba pesa; alingoja usiku wa giza wa kaniki, wakati kulikuwa na giza totoro alifanya alichopangia. Alipo iba, alienda kanisani na kutoa sadaka ya elfu tano, akiwa na matumaini ya kusamehewe na Mola. Hakutambua kuwa alikuwa amekule mwata zaidi sasa. Wazee wenye busara hawakupaka mafuta kwenye mdomo wa chupa waliponena kuwa, Mungu si Athmani. Alipoelekea mlangoni alipatana ana kwa ana na askari, hapo alianza kulia kwi! kwi! kwi! Akiomba msamaha, lakini lo! Siku za mwizi ni arobaini na zake zilikuwa zimeisha. Alikuja kuona kuwe majuto ni mjukuu, huja baadae. Angesikiza adinasi yule, angelikuwa sawa. Yeye hakuwa na fahamu kuwa mgangaa na upwa hali wali mkavu. Ijapokuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Bini hufeli nini
{ "text": [ "mitihani" ] }
3528_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Tulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anaitwa Bini Bini alikuwa mtoto mzuri lakini kuna kitu ambacho Bini alianguka sana na ni mutihani. Yeye huwa anasoma lakini huwa hafaulu mtihani. Lakini siku moja aliitwa na mwalimu wake wa hisabati. Akaambiwa kuwa, kama anataka kufaulu vyema mtihani ni lazima usome kwa bidii. . Bini akamwambia akamwambia mwalimu wa hisabati kwamba yeye huwa anasoma kwa bidii sana lakini hajui nini mbaya na yeye. Mwalimu wa hisabati akamwambia Bini, akifanya somo lolote kama kazi ya darasani, akimaliza, achukue kitabu na afanye zoezi. Bini aliposikia hivyo, alitoka ofisi ya mwalimu na kwenda kumaliza kazi ya mwalimu na kujipa zoezi. Bini alipokuwa anafanya hivyo mtihani wa muhula wa kwanza ukaja, Bini alikuwa na moyo kwamba atapita huo mtihani. Siku kadha wa kadha na matokeo yakaja. Tuliitwa twende ‘Staffroom’ na kwenda kutaja jina, na nambari yake. Nambari ya kwanza ilikuwa Zina na alama 480, nambari ya pili ilikuwa ni Bini. Siku moia kama nyingine, alienda barasteni na kufanya kama kawaida, lakini wakati huu, adinasi huyu alijitokeza kutoka garini. "Nimekuwa nikikuchunguza kwa siku nyingi sana, mbona unafanya hivyo? Hakuna aliyejua ninachunguza, hata yeye mwenyewe. Mja alisema, wahenga kasema, jambo usilo lijua ni usiku wa giza. Zembea aliingiwa na woga kama mto, huku mahuluki yule alikiingiwa na ghamira na ghamidha usiokoma. Alimwacha bi kizee yule ne ushauri. Baado ya miezi miwili alianza kuwa na furaha, kwa hivyo aliamwa kuanza kuiba pesa; alingoja usiku wa giza wa kaniki, wakati kulikuwa na giza totoro alifanya alichopangia. Alipo iba, alienda kanisani na kutoa sadaka ya elfu tano, akiwa na matumaini ya kusamehewe na Mola. Hakutambua kuwa alikuwa amekule mwata zaidi sasa. Wazee wenye busara hawakupaka mafuta kwenye mdomo wa chupa waliponena kuwa, Mungu si Athmani. Alipoelekea mlangoni alipatana ana kwa ana na askari, hapo alianza kulia kwi! kwi! kwi! Akiomba msamaha, lakini lo! Siku za mwizi ni arobaini na zake zilikuwa zimeisha. Alikuja kuona kuwe majuto ni mjukuu, huja baadae. Angesikiza adinasi yule, angelikuwa sawa. Yeye hakuwa na fahamu kuwa mgangaa na upwa hali wali mkavu. Ijapokuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Siku moja aliitwa na mwalimu gani
{ "text": [ "wa Hisabati" ] }
3528_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Tulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anaitwa Bini Bini alikuwa mtoto mzuri lakini kuna kitu ambacho Bini alianguka sana na ni mutihani. Yeye huwa anasoma lakini huwa hafaulu mtihani. Lakini siku moja aliitwa na mwalimu wake wa hisabati. Akaambiwa kuwa, kama anataka kufaulu vyema mtihani ni lazima usome kwa bidii. . Bini akamwambia akamwambia mwalimu wa hisabati kwamba yeye huwa anasoma kwa bidii sana lakini hajui nini mbaya na yeye. Mwalimu wa hisabati akamwambia Bini, akifanya somo lolote kama kazi ya darasani, akimaliza, achukue kitabu na afanye zoezi. Bini aliposikia hivyo, alitoka ofisi ya mwalimu na kwenda kumaliza kazi ya mwalimu na kujipa zoezi. Bini alipokuwa anafanya hivyo mtihani wa muhula wa kwanza ukaja, Bini alikuwa na moyo kwamba atapita huo mtihani. Siku kadha wa kadha na matokeo yakaja. Tuliitwa twende ‘Staffroom’ na kwenda kutaja jina, na nambari yake. Nambari ya kwanza ilikuwa Zina na alama 480, nambari ya pili ilikuwa ni Bini. Siku moia kama nyingine, alienda barasteni na kufanya kama kawaida, lakini wakati huu, adinasi huyu alijitokeza kutoka garini. "Nimekuwa nikikuchunguza kwa siku nyingi sana, mbona unafanya hivyo? Hakuna aliyejua ninachunguza, hata yeye mwenyewe. Mja alisema, wahenga kasema, jambo usilo lijua ni usiku wa giza. Zembea aliingiwa na woga kama mto, huku mahuluki yule alikiingiwa na ghamira na ghamidha usiokoma. Alimwacha bi kizee yule ne ushauri. Baado ya miezi miwili alianza kuwa na furaha, kwa hivyo aliamwa kuanza kuiba pesa; alingoja usiku wa giza wa kaniki, wakati kulikuwa na giza totoro alifanya alichopangia. Alipo iba, alienda kanisani na kutoa sadaka ya elfu tano, akiwa na matumaini ya kusamehewe na Mola. Hakutambua kuwa alikuwa amekule mwata zaidi sasa. Wazee wenye busara hawakupaka mafuta kwenye mdomo wa chupa waliponena kuwa, Mungu si Athmani. Alipoelekea mlangoni alipatana ana kwa ana na askari, hapo alianza kulia kwi! kwi! kwi! Akiomba msamaha, lakini lo! Siku za mwizi ni arobaini na zake zilikuwa zimeisha. Alikuja kuona kuwe majuto ni mjukuu, huja baadae. Angesikiza adinasi yule, angelikuwa sawa. Yeye hakuwa na fahamu kuwa mgangaa na upwa hali wali mkavu. Ijapokuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Mbona lazima Bini asome kwa bidii
{ "text": [ "kama anataka kufaulu vyema" ] }
3528_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Tulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anaitwa Bini Bini alikuwa mtoto mzuri lakini kuna kitu ambacho Bini alianguka sana na ni mutihani. Yeye huwa anasoma lakini huwa hafaulu mtihani. Lakini siku moja aliitwa na mwalimu wake wa hisabati. Akaambiwa kuwa, kama anataka kufaulu vyema mtihani ni lazima usome kwa bidii. . Bini akamwambia akamwambia mwalimu wa hisabati kwamba yeye huwa anasoma kwa bidii sana lakini hajui nini mbaya na yeye. Mwalimu wa hisabati akamwambia Bini, akifanya somo lolote kama kazi ya darasani, akimaliza, achukue kitabu na afanye zoezi. Bini aliposikia hivyo, alitoka ofisi ya mwalimu na kwenda kumaliza kazi ya mwalimu na kujipa zoezi. Bini alipokuwa anafanya hivyo mtihani wa muhula wa kwanza ukaja, Bini alikuwa na moyo kwamba atapita huo mtihani. Siku kadha wa kadha na matokeo yakaja. Tuliitwa twende ‘Staffroom’ na kwenda kutaja jina, na nambari yake. Nambari ya kwanza ilikuwa Zina na alama 480, nambari ya pili ilikuwa ni Bini. Siku moia kama nyingine, alienda barasteni na kufanya kama kawaida, lakini wakati huu, adinasi huyu alijitokeza kutoka garini. "Nimekuwa nikikuchunguza kwa siku nyingi sana, mbona unafanya hivyo? Hakuna aliyejua ninachunguza, hata yeye mwenyewe. Mja alisema, wahenga kasema, jambo usilo lijua ni usiku wa giza. Zembea aliingiwa na woga kama mto, huku mahuluki yule alikiingiwa na ghamira na ghamidha usiokoma. Alimwacha bi kizee yule ne ushauri. Baado ya miezi miwili alianza kuwa na furaha, kwa hivyo aliamwa kuanza kuiba pesa; alingoja usiku wa giza wa kaniki, wakati kulikuwa na giza totoro alifanya alichopangia. Alipo iba, alienda kanisani na kutoa sadaka ya elfu tano, akiwa na matumaini ya kusamehewe na Mola. Hakutambua kuwa alikuwa amekule mwata zaidi sasa. Wazee wenye busara hawakupaka mafuta kwenye mdomo wa chupa waliponena kuwa, Mungu si Athmani. Alipoelekea mlangoni alipatana ana kwa ana na askari, hapo alianza kulia kwi! kwi! kwi! Akiomba msamaha, lakini lo! Siku za mwizi ni arobaini na zake zilikuwa zimeisha. Alikuja kuona kuwe majuto ni mjukuu, huja baadae. Angesikiza adinasi yule, angelikuwa sawa. Yeye hakuwa na fahamu kuwa mgangaa na upwa hali wali mkavu. Ijapokuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Bini aliambiwa achukue nini afanye zoezi
{ "text": [ "kitabu" ] }
3528_swa
UKITAKA CHAMVUNGUNI SHARTI UINAME Tulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anaitwa Bini Bini alikuwa mtoto mzuri lakini kuna kitu ambacho Bini alianguka sana na ni mutihani. Yeye huwa anasoma lakini huwa hafaulu mtihani. Lakini siku moja aliitwa na mwalimu wake wa hisabati. Akaambiwa kuwa, kama anataka kufaulu vyema mtihani ni lazima usome kwa bidii. . Bini akamwambia akamwambia mwalimu wa hisabati kwamba yeye huwa anasoma kwa bidii sana lakini hajui nini mbaya na yeye. Mwalimu wa hisabati akamwambia Bini, akifanya somo lolote kama kazi ya darasani, akimaliza, achukue kitabu na afanye zoezi. Bini aliposikia hivyo, alitoka ofisi ya mwalimu na kwenda kumaliza kazi ya mwalimu na kujipa zoezi. Bini alipokuwa anafanya hivyo mtihani wa muhula wa kwanza ukaja, Bini alikuwa na moyo kwamba atapita huo mtihani. Siku kadha wa kadha na matokeo yakaja. Tuliitwa twende ‘Staffroom’ na kwenda kutaja jina, na nambari yake. Nambari ya kwanza ilikuwa Zina na alama 480, nambari ya pili ilikuwa ni Bini. Siku moia kama nyingine, alienda barasteni na kufanya kama kawaida, lakini wakati huu, adinasi huyu alijitokeza kutoka garini. "Nimekuwa nikikuchunguza kwa siku nyingi sana, mbona unafanya hivyo? Hakuna aliyejua ninachunguza, hata yeye mwenyewe. Mja alisema, wahenga kasema, jambo usilo lijua ni usiku wa giza. Zembea aliingiwa na woga kama mto, huku mahuluki yule alikiingiwa na ghamira na ghamidha usiokoma. Alimwacha bi kizee yule ne ushauri. Baado ya miezi miwili alianza kuwa na furaha, kwa hivyo aliamwa kuanza kuiba pesa; alingoja usiku wa giza wa kaniki, wakati kulikuwa na giza totoro alifanya alichopangia. Alipo iba, alienda kanisani na kutoa sadaka ya elfu tano, akiwa na matumaini ya kusamehewe na Mola. Hakutambua kuwa alikuwa amekule mwata zaidi sasa. Wazee wenye busara hawakupaka mafuta kwenye mdomo wa chupa waliponena kuwa, Mungu si Athmani. Alipoelekea mlangoni alipatana ana kwa ana na askari, hapo alianza kulia kwi! kwi! kwi! Akiomba msamaha, lakini lo! Siku za mwizi ni arobaini na zake zilikuwa zimeisha. Alikuja kuona kuwe majuto ni mjukuu, huja baadae. Angesikiza adinasi yule, angelikuwa sawa. Yeye hakuwa na fahamu kuwa mgangaa na upwa hali wali mkavu. Ijapokuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Alienda lini barasteni na kufanya kama kawaida
{ "text": [ "siku moja" ] }
3601_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Hapo zamani paliishi binti mmoja aliyeitwa nani
{ "text": [ "Subira" ] }
3601_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Nani walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza
{ "text": [ "Wahisani wengi" ] }
3601_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Wengi walimjua subira vipi
{ "text": [ "Kama mwana msikivu" ] }
3601_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Zahara alikuwa nani
{ "text": [ "Dadake Subira" ] }
3601_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Nani alipigwa na butwaa aliporudi jioni
{ "text": [ "Mama subira" ] }
3602_swa
ACHANIKAYE KWENYE MPINI HAFI NJAA. Methali hii ina maana kuwa, anayefanya kazi ya kulima kwa bidii hapatwi na shida ya njaa. Methali hii hutuhimiza tusiwe wavivu bali tufanye kazi kwa bidii kila mara. Methali sawia na hii ni mgangaa na upwa hali wali mkavu. Katika kitongoji cha Kazamwendo, paliishi kijana mmoja kwa jina Tuzo. Wavyele wake walipiga dunia teke akiwa na umri wa miaka kumi na miwili. Tuzo hakumjua mtu yoyote kwa jamii yake pasi na wazazi wake waliokuwa wamerudisha nyusi kwa mwenyewe. Je, angekuwa mgeni wa nani? Kwa bahati njema, mwanamke kwa jina Malkia alijitokeza kumsaidia Tuzo ijapo alikuwa mchochole. Malkia alikuwa mwanamke mwenye bidii si haba. Alijikakamua kwa udi na uvumba angalau apate ubwabwa wa kuweka mdomoni. Japo alikuwa hana familia ya kuikimu, alijua jinsi ya kutekeleza majukumu na alimtunza Tuzo kama mwanawe wa kipekee kwani Rabana alikuwa hajawahi kumfungulia utumbo wa uzazi. Tuzo alimpenda sana Malkia na alifanya juu chini kumfurahisha. Tuzo alikuwa baraka nyumbani pa Bi Malkia. Siku moja, Tuzo alipoamka kujitayarisha kuenda shule, alimkuta Bi Malkia amelala sakafuni huku kaishiwa nguvu. Alipojaribu kumuamsha hakuamka. Tuzo alitia bidii kumuamsha lakini bidii yake haikufua dafu. Machozi ya uchungu yalimtiririka machoni, akabaki hana la be wala te. Aliamua kupiga unyendo uliowaamsha wanakijiji wote. Baada ya nusu saa, watu walimwagika nyumbani pale, kama kumbikumbi. Wanakijiji walijaribu kumwamsha Bi Malkia lakini bidii yao ya mchwa haikunawiri. Hapo ndipo ripoti likatoka wazi kuwa Malkia kapiga dunia teke. Jambo hili liliunda kidondamoyoni mwa Tuzo. Alihisi kama kana kwamba dunia ilikuwa inampiga ngumi kwa kumnyang'anya wapendwa wake. Kwa kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaiful, wanakijiji walimsaidia Tuzo katika mazishi ya Malkia. Maisha ya Tuzo yalibadilika ghafla. Alianza kufanya kazi ya kijungu jiko ili kujikimu. Kila siku, Tuzo aliamka kabla ya mafungulia ng'ombe kutafuta kazi ya sulubu ambayo angempa aghalabu kijipesa cha kujikimu. Tuzo alifanya kazi yake kwa bidii kwani bidii. Waliomwajiri walimpenda sana Tuzo kwani alikuwa na bidii na mtiifu. Baada ya kuzunguka huku na huku kwa muda mrefu, Tuzo aliamua kutulia na kidogo alichokuwa nacho. Tuzo alichukua vihela vile na kwenda dukani kununua mbegu za mboga. Alizipanda jioni moja na kuweka mbolea. Baada ya mwezi mmoja, zilikuwa zimenawiri vyema. Tuzo alijikaza kisabuni na mboga zake kisha akaanza biashara ya kuuza mboga. Biashara hii ilimpa kipato kizuri sana. Tuzo alifurahia sana na akaendelea kutia bidii zaidi. Watu sokoni walipenda mboga zake kwani zilikuwa zavutia machoni na pia tamu kama asali. Mboga zake zilianza kumpa utajiri mwingi. Hakuyaamini macho yake kwamba ni yeye aliyekuwa akinawiri kwenye biashara hiyo. Mashaka aliandikwa kazi ya kupeleka mboga kwenye kampuni moja kubwa jijini. Hapa, alipewa malipo mazuri yaliyomfanya anunue trakta ili imsaidie kusafirisha mboga zake. Tuzo hakuwa yule Tuzo wa kitambo, maisha yalikuwa yakimpeleka nywee! Japo Tuzo hakuwa na kisomo cha maana, maisha yake yalimpeleka vizuri sana. Mashamba mengi kijini yalinunuliwa na Tuzo kwa sababu ya biashara yake ya mboga Aliamua kuwaandika wafanyikazi kwani hangeweza kazi ile pekee yake. Vijana wengi waliajiriwa na wakapata mshahara mnono kutoka hapo. Mtu yeyote aliyepita nyumbani kwa Mzee Tuzo alijawa na furaha kwani maendeleo yalikuwa yamejaa pale si haba. Tuzo alianza kupeleka mboga nje ya nchi. Pesa nazo zikaja kama uchafu. Utajiri ukazidi kuongezeka kila kukicha. Tuzo alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa kilimo nchini. Alihudhuria mikutano mingi na kuwapa vijana ushauri nasaha. Baadaye, Tuzo alipandishwa cheo na hata ninapomuongelelea sasa hivi, anawakilisha bara la Afrika Ujerumani kama waziri mkuu wa Majimbo ya Afrika, Kweli, achanikaye kwenye mpini hafi njaa.
Anayefanya kazi kwa bidii hapati shida gani
{ "text": [ "ya njaa" ] }
3602_swa
ACHANIKAYE KWENYE MPINI HAFI NJAA. Methali hii ina maana kuwa, anayefanya kazi ya kulima kwa bidii hapatwi na shida ya njaa. Methali hii hutuhimiza tusiwe wavivu bali tufanye kazi kwa bidii kila mara. Methali sawia na hii ni mgangaa na upwa hali wali mkavu. Katika kitongoji cha Kazamwendo, paliishi kijana mmoja kwa jina Tuzo. Wavyele wake walipiga dunia teke akiwa na umri wa miaka kumi na miwili. Tuzo hakumjua mtu yoyote kwa jamii yake pasi na wazazi wake waliokuwa wamerudisha nyusi kwa mwenyewe. Je, angekuwa mgeni wa nani? Kwa bahati njema, mwanamke kwa jina Malkia alijitokeza kumsaidia Tuzo ijapo alikuwa mchochole. Malkia alikuwa mwanamke mwenye bidii si haba. Alijikakamua kwa udi na uvumba angalau apate ubwabwa wa kuweka mdomoni. Japo alikuwa hana familia ya kuikimu, alijua jinsi ya kutekeleza majukumu na alimtunza Tuzo kama mwanawe wa kipekee kwani Rabana alikuwa hajawahi kumfungulia utumbo wa uzazi. Tuzo alimpenda sana Malkia na alifanya juu chini kumfurahisha. Tuzo alikuwa baraka nyumbani pa Bi Malkia. Siku moja, Tuzo alipoamka kujitayarisha kuenda shule, alimkuta Bi Malkia amelala sakafuni huku kaishiwa nguvu. Alipojaribu kumuamsha hakuamka. Tuzo alitia bidii kumuamsha lakini bidii yake haikufua dafu. Machozi ya uchungu yalimtiririka machoni, akabaki hana la be wala te. Aliamua kupiga unyendo uliowaamsha wanakijiji wote. Baada ya nusu saa, watu walimwagika nyumbani pale, kama kumbikumbi. Wanakijiji walijaribu kumwamsha Bi Malkia lakini bidii yao ya mchwa haikunawiri. Hapo ndipo ripoti likatoka wazi kuwa Malkia kapiga dunia teke. Jambo hili liliunda kidondamoyoni mwa Tuzo. Alihisi kama kana kwamba dunia ilikuwa inampiga ngumi kwa kumnyang'anya wapendwa wake. Kwa kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaiful, wanakijiji walimsaidia Tuzo katika mazishi ya Malkia. Maisha ya Tuzo yalibadilika ghafla. Alianza kufanya kazi ya kijungu jiko ili kujikimu. Kila siku, Tuzo aliamka kabla ya mafungulia ng'ombe kutafuta kazi ya sulubu ambayo angempa aghalabu kijipesa cha kujikimu. Tuzo alifanya kazi yake kwa bidii kwani bidii. Waliomwajiri walimpenda sana Tuzo kwani alikuwa na bidii na mtiifu. Baada ya kuzunguka huku na huku kwa muda mrefu, Tuzo aliamua kutulia na kidogo alichokuwa nacho. Tuzo alichukua vihela vile na kwenda dukani kununua mbegu za mboga. Alizipanda jioni moja na kuweka mbolea. Baada ya mwezi mmoja, zilikuwa zimenawiri vyema. Tuzo alijikaza kisabuni na mboga zake kisha akaanza biashara ya kuuza mboga. Biashara hii ilimpa kipato kizuri sana. Tuzo alifurahia sana na akaendelea kutia bidii zaidi. Watu sokoni walipenda mboga zake kwani zilikuwa zavutia machoni na pia tamu kama asali. Mboga zake zilianza kumpa utajiri mwingi. Hakuyaamini macho yake kwamba ni yeye aliyekuwa akinawiri kwenye biashara hiyo. Mashaka aliandikwa kazi ya kupeleka mboga kwenye kampuni moja kubwa jijini. Hapa, alipewa malipo mazuri yaliyomfanya anunue trakta ili imsaidie kusafirisha mboga zake. Tuzo hakuwa yule Tuzo wa kitambo, maisha yalikuwa yakimpeleka nywee! Japo Tuzo hakuwa na kisomo cha maana, maisha yake yalimpeleka vizuri sana. Mashamba mengi kijini yalinunuliwa na Tuzo kwa sababu ya biashara yake ya mboga Aliamua kuwaandika wafanyikazi kwani hangeweza kazi ile pekee yake. Vijana wengi waliajiriwa na wakapata mshahara mnono kutoka hapo. Mtu yeyote aliyepita nyumbani kwa Mzee Tuzo alijawa na furaha kwani maendeleo yalikuwa yamejaa pale si haba. Tuzo alianza kupeleka mboga nje ya nchi. Pesa nazo zikaja kama uchafu. Utajiri ukazidi kuongezeka kila kukicha. Tuzo alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa kilimo nchini. Alihudhuria mikutano mingi na kuwapa vijana ushauri nasaha. Baadaye, Tuzo alipandishwa cheo na hata ninapomuongelelea sasa hivi, anawakilisha bara la Afrika Ujerumani kama waziri mkuu wa Majimbo ya Afrika, Kweli, achanikaye kwenye mpini hafi njaa.
Tuzo aliishi wapi
{ "text": [ "kitongoji cha Kazamwendo" ] }
3602_swa
ACHANIKAYE KWENYE MPINI HAFI NJAA. Methali hii ina maana kuwa, anayefanya kazi ya kulima kwa bidii hapatwi na shida ya njaa. Methali hii hutuhimiza tusiwe wavivu bali tufanye kazi kwa bidii kila mara. Methali sawia na hii ni mgangaa na upwa hali wali mkavu. Katika kitongoji cha Kazamwendo, paliishi kijana mmoja kwa jina Tuzo. Wavyele wake walipiga dunia teke akiwa na umri wa miaka kumi na miwili. Tuzo hakumjua mtu yoyote kwa jamii yake pasi na wazazi wake waliokuwa wamerudisha nyusi kwa mwenyewe. Je, angekuwa mgeni wa nani? Kwa bahati njema, mwanamke kwa jina Malkia alijitokeza kumsaidia Tuzo ijapo alikuwa mchochole. Malkia alikuwa mwanamke mwenye bidii si haba. Alijikakamua kwa udi na uvumba angalau apate ubwabwa wa kuweka mdomoni. Japo alikuwa hana familia ya kuikimu, alijua jinsi ya kutekeleza majukumu na alimtunza Tuzo kama mwanawe wa kipekee kwani Rabana alikuwa hajawahi kumfungulia utumbo wa uzazi. Tuzo alimpenda sana Malkia na alifanya juu chini kumfurahisha. Tuzo alikuwa baraka nyumbani pa Bi Malkia. Siku moja, Tuzo alipoamka kujitayarisha kuenda shule, alimkuta Bi Malkia amelala sakafuni huku kaishiwa nguvu. Alipojaribu kumuamsha hakuamka. Tuzo alitia bidii kumuamsha lakini bidii yake haikufua dafu. Machozi ya uchungu yalimtiririka machoni, akabaki hana la be wala te. Aliamua kupiga unyendo uliowaamsha wanakijiji wote. Baada ya nusu saa, watu walimwagika nyumbani pale, kama kumbikumbi. Wanakijiji walijaribu kumwamsha Bi Malkia lakini bidii yao ya mchwa haikunawiri. Hapo ndipo ripoti likatoka wazi kuwa Malkia kapiga dunia teke. Jambo hili liliunda kidondamoyoni mwa Tuzo. Alihisi kama kana kwamba dunia ilikuwa inampiga ngumi kwa kumnyang'anya wapendwa wake. Kwa kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaiful, wanakijiji walimsaidia Tuzo katika mazishi ya Malkia. Maisha ya Tuzo yalibadilika ghafla. Alianza kufanya kazi ya kijungu jiko ili kujikimu. Kila siku, Tuzo aliamka kabla ya mafungulia ng'ombe kutafuta kazi ya sulubu ambayo angempa aghalabu kijipesa cha kujikimu. Tuzo alifanya kazi yake kwa bidii kwani bidii. Waliomwajiri walimpenda sana Tuzo kwani alikuwa na bidii na mtiifu. Baada ya kuzunguka huku na huku kwa muda mrefu, Tuzo aliamua kutulia na kidogo alichokuwa nacho. Tuzo alichukua vihela vile na kwenda dukani kununua mbegu za mboga. Alizipanda jioni moja na kuweka mbolea. Baada ya mwezi mmoja, zilikuwa zimenawiri vyema. Tuzo alijikaza kisabuni na mboga zake kisha akaanza biashara ya kuuza mboga. Biashara hii ilimpa kipato kizuri sana. Tuzo alifurahia sana na akaendelea kutia bidii zaidi. Watu sokoni walipenda mboga zake kwani zilikuwa zavutia machoni na pia tamu kama asali. Mboga zake zilianza kumpa utajiri mwingi. Hakuyaamini macho yake kwamba ni yeye aliyekuwa akinawiri kwenye biashara hiyo. Mashaka aliandikwa kazi ya kupeleka mboga kwenye kampuni moja kubwa jijini. Hapa, alipewa malipo mazuri yaliyomfanya anunue trakta ili imsaidie kusafirisha mboga zake. Tuzo hakuwa yule Tuzo wa kitambo, maisha yalikuwa yakimpeleka nywee! Japo Tuzo hakuwa na kisomo cha maana, maisha yake yalimpeleka vizuri sana. Mashamba mengi kijini yalinunuliwa na Tuzo kwa sababu ya biashara yake ya mboga Aliamua kuwaandika wafanyikazi kwani hangeweza kazi ile pekee yake. Vijana wengi waliajiriwa na wakapata mshahara mnono kutoka hapo. Mtu yeyote aliyepita nyumbani kwa Mzee Tuzo alijawa na furaha kwani maendeleo yalikuwa yamejaa pale si haba. Tuzo alianza kupeleka mboga nje ya nchi. Pesa nazo zikaja kama uchafu. Utajiri ukazidi kuongezeka kila kukicha. Tuzo alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa kilimo nchini. Alihudhuria mikutano mingi na kuwapa vijana ushauri nasaha. Baadaye, Tuzo alipandishwa cheo na hata ninapomuongelelea sasa hivi, anawakilisha bara la Afrika Ujerumani kama waziri mkuu wa Majimbo ya Afrika, Kweli, achanikaye kwenye mpini hafi njaa.
Wavyele wake walipiga dunia teke akiwa na miaka mingapi
{ "text": [ "kumi na miwili" ] }
3602_swa
ACHANIKAYE KWENYE MPINI HAFI NJAA. Methali hii ina maana kuwa, anayefanya kazi ya kulima kwa bidii hapatwi na shida ya njaa. Methali hii hutuhimiza tusiwe wavivu bali tufanye kazi kwa bidii kila mara. Methali sawia na hii ni mgangaa na upwa hali wali mkavu. Katika kitongoji cha Kazamwendo, paliishi kijana mmoja kwa jina Tuzo. Wavyele wake walipiga dunia teke akiwa na umri wa miaka kumi na miwili. Tuzo hakumjua mtu yoyote kwa jamii yake pasi na wazazi wake waliokuwa wamerudisha nyusi kwa mwenyewe. Je, angekuwa mgeni wa nani? Kwa bahati njema, mwanamke kwa jina Malkia alijitokeza kumsaidia Tuzo ijapo alikuwa mchochole. Malkia alikuwa mwanamke mwenye bidii si haba. Alijikakamua kwa udi na uvumba angalau apate ubwabwa wa kuweka mdomoni. Japo alikuwa hana familia ya kuikimu, alijua jinsi ya kutekeleza majukumu na alimtunza Tuzo kama mwanawe wa kipekee kwani Rabana alikuwa hajawahi kumfungulia utumbo wa uzazi. Tuzo alimpenda sana Malkia na alifanya juu chini kumfurahisha. Tuzo alikuwa baraka nyumbani pa Bi Malkia. Siku moja, Tuzo alipoamka kujitayarisha kuenda shule, alimkuta Bi Malkia amelala sakafuni huku kaishiwa nguvu. Alipojaribu kumuamsha hakuamka. Tuzo alitia bidii kumuamsha lakini bidii yake haikufua dafu. Machozi ya uchungu yalimtiririka machoni, akabaki hana la be wala te. Aliamua kupiga unyendo uliowaamsha wanakijiji wote. Baada ya nusu saa, watu walimwagika nyumbani pale, kama kumbikumbi. Wanakijiji walijaribu kumwamsha Bi Malkia lakini bidii yao ya mchwa haikunawiri. Hapo ndipo ripoti likatoka wazi kuwa Malkia kapiga dunia teke. Jambo hili liliunda kidondamoyoni mwa Tuzo. Alihisi kama kana kwamba dunia ilikuwa inampiga ngumi kwa kumnyang'anya wapendwa wake. Kwa kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaiful, wanakijiji walimsaidia Tuzo katika mazishi ya Malkia. Maisha ya Tuzo yalibadilika ghafla. Alianza kufanya kazi ya kijungu jiko ili kujikimu. Kila siku, Tuzo aliamka kabla ya mafungulia ng'ombe kutafuta kazi ya sulubu ambayo angempa aghalabu kijipesa cha kujikimu. Tuzo alifanya kazi yake kwa bidii kwani bidii. Waliomwajiri walimpenda sana Tuzo kwani alikuwa na bidii na mtiifu. Baada ya kuzunguka huku na huku kwa muda mrefu, Tuzo aliamua kutulia na kidogo alichokuwa nacho. Tuzo alichukua vihela vile na kwenda dukani kununua mbegu za mboga. Alizipanda jioni moja na kuweka mbolea. Baada ya mwezi mmoja, zilikuwa zimenawiri vyema. Tuzo alijikaza kisabuni na mboga zake kisha akaanza biashara ya kuuza mboga. Biashara hii ilimpa kipato kizuri sana. Tuzo alifurahia sana na akaendelea kutia bidii zaidi. Watu sokoni walipenda mboga zake kwani zilikuwa zavutia machoni na pia tamu kama asali. Mboga zake zilianza kumpa utajiri mwingi. Hakuyaamini macho yake kwamba ni yeye aliyekuwa akinawiri kwenye biashara hiyo. Mashaka aliandikwa kazi ya kupeleka mboga kwenye kampuni moja kubwa jijini. Hapa, alipewa malipo mazuri yaliyomfanya anunue trakta ili imsaidie kusafirisha mboga zake. Tuzo hakuwa yule Tuzo wa kitambo, maisha yalikuwa yakimpeleka nywee! Japo Tuzo hakuwa na kisomo cha maana, maisha yake yalimpeleka vizuri sana. Mashamba mengi kijini yalinunuliwa na Tuzo kwa sababu ya biashara yake ya mboga Aliamua kuwaandika wafanyikazi kwani hangeweza kazi ile pekee yake. Vijana wengi waliajiriwa na wakapata mshahara mnono kutoka hapo. Mtu yeyote aliyepita nyumbani kwa Mzee Tuzo alijawa na furaha kwani maendeleo yalikuwa yamejaa pale si haba. Tuzo alianza kupeleka mboga nje ya nchi. Pesa nazo zikaja kama uchafu. Utajiri ukazidi kuongezeka kila kukicha. Tuzo alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa kilimo nchini. Alihudhuria mikutano mingi na kuwapa vijana ushauri nasaha. Baadaye, Tuzo alipandishwa cheo na hata ninapomuongelelea sasa hivi, anawakilisha bara la Afrika Ujerumani kama waziri mkuu wa Majimbo ya Afrika, Kweli, achanikaye kwenye mpini hafi njaa.
Nani alijitokeza kumsaidia Tuzo
{ "text": [ "Malkia" ] }
3602_swa
ACHANIKAYE KWENYE MPINI HAFI NJAA. Methali hii ina maana kuwa, anayefanya kazi ya kulima kwa bidii hapatwi na shida ya njaa. Methali hii hutuhimiza tusiwe wavivu bali tufanye kazi kwa bidii kila mara. Methali sawia na hii ni mgangaa na upwa hali wali mkavu. Katika kitongoji cha Kazamwendo, paliishi kijana mmoja kwa jina Tuzo. Wavyele wake walipiga dunia teke akiwa na umri wa miaka kumi na miwili. Tuzo hakumjua mtu yoyote kwa jamii yake pasi na wazazi wake waliokuwa wamerudisha nyusi kwa mwenyewe. Je, angekuwa mgeni wa nani? Kwa bahati njema, mwanamke kwa jina Malkia alijitokeza kumsaidia Tuzo ijapo alikuwa mchochole. Malkia alikuwa mwanamke mwenye bidii si haba. Alijikakamua kwa udi na uvumba angalau apate ubwabwa wa kuweka mdomoni. Japo alikuwa hana familia ya kuikimu, alijua jinsi ya kutekeleza majukumu na alimtunza Tuzo kama mwanawe wa kipekee kwani Rabana alikuwa hajawahi kumfungulia utumbo wa uzazi. Tuzo alimpenda sana Malkia na alifanya juu chini kumfurahisha. Tuzo alikuwa baraka nyumbani pa Bi Malkia. Siku moja, Tuzo alipoamka kujitayarisha kuenda shule, alimkuta Bi Malkia amelala sakafuni huku kaishiwa nguvu. Alipojaribu kumuamsha hakuamka. Tuzo alitia bidii kumuamsha lakini bidii yake haikufua dafu. Machozi ya uchungu yalimtiririka machoni, akabaki hana la be wala te. Aliamua kupiga unyendo uliowaamsha wanakijiji wote. Baada ya nusu saa, watu walimwagika nyumbani pale, kama kumbikumbi. Wanakijiji walijaribu kumwamsha Bi Malkia lakini bidii yao ya mchwa haikunawiri. Hapo ndipo ripoti likatoka wazi kuwa Malkia kapiga dunia teke. Jambo hili liliunda kidondamoyoni mwa Tuzo. Alihisi kama kana kwamba dunia ilikuwa inampiga ngumi kwa kumnyang'anya wapendwa wake. Kwa kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaiful, wanakijiji walimsaidia Tuzo katika mazishi ya Malkia. Maisha ya Tuzo yalibadilika ghafla. Alianza kufanya kazi ya kijungu jiko ili kujikimu. Kila siku, Tuzo aliamka kabla ya mafungulia ng'ombe kutafuta kazi ya sulubu ambayo angempa aghalabu kijipesa cha kujikimu. Tuzo alifanya kazi yake kwa bidii kwani bidii. Waliomwajiri walimpenda sana Tuzo kwani alikuwa na bidii na mtiifu. Baada ya kuzunguka huku na huku kwa muda mrefu, Tuzo aliamua kutulia na kidogo alichokuwa nacho. Tuzo alichukua vihela vile na kwenda dukani kununua mbegu za mboga. Alizipanda jioni moja na kuweka mbolea. Baada ya mwezi mmoja, zilikuwa zimenawiri vyema. Tuzo alijikaza kisabuni na mboga zake kisha akaanza biashara ya kuuza mboga. Biashara hii ilimpa kipato kizuri sana. Tuzo alifurahia sana na akaendelea kutia bidii zaidi. Watu sokoni walipenda mboga zake kwani zilikuwa zavutia machoni na pia tamu kama asali. Mboga zake zilianza kumpa utajiri mwingi. Hakuyaamini macho yake kwamba ni yeye aliyekuwa akinawiri kwenye biashara hiyo. Mashaka aliandikwa kazi ya kupeleka mboga kwenye kampuni moja kubwa jijini. Hapa, alipewa malipo mazuri yaliyomfanya anunue trakta ili imsaidie kusafirisha mboga zake. Tuzo hakuwa yule Tuzo wa kitambo, maisha yalikuwa yakimpeleka nywee! Japo Tuzo hakuwa na kisomo cha maana, maisha yake yalimpeleka vizuri sana. Mashamba mengi kijini yalinunuliwa na Tuzo kwa sababu ya biashara yake ya mboga Aliamua kuwaandika wafanyikazi kwani hangeweza kazi ile pekee yake. Vijana wengi waliajiriwa na wakapata mshahara mnono kutoka hapo. Mtu yeyote aliyepita nyumbani kwa Mzee Tuzo alijawa na furaha kwani maendeleo yalikuwa yamejaa pale si haba. Tuzo alianza kupeleka mboga nje ya nchi. Pesa nazo zikaja kama uchafu. Utajiri ukazidi kuongezeka kila kukicha. Tuzo alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa kilimo nchini. Alihudhuria mikutano mingi na kuwapa vijana ushauri nasaha. Baadaye, Tuzo alipandishwa cheo na hata ninapomuongelelea sasa hivi, anawakilisha bara la Afrika Ujerumani kama waziri mkuu wa Majimbo ya Afrika, Kweli, achanikaye kwenye mpini hafi njaa.
Mbona Tuzo alianza kufanya kazi ya kijungujiko
{ "text": [ "ili kujikimu" ] }
3603_swa
JINAMIZI Ilikuwa jioni, mimi na mama tulikuwa tunaandaa chajio. Baba alikuwa bado hajawasili kutoka kazini, kwa hivyo tulikuwa tunamngojea awasili. Tulipomaliza kupika, mama aliniambia niandae meza kwa ajili ya kula. Tulikuwa tukila huku tukipiga domo na kufurahia. Baada ya kula na kusafisha meza, tuliketi sebuleni huku tukitazama runinga. Mama alikuwa na uchovu mwingi kwa kuwa siku hiyo alikuwa anamsaidia jirani wetu ambaye alikuwa na sherehe ya kumwombea mtoto wake ambaye alikuwa anaingia mwaka mmoja. Kutokana na uchovu huo mwingi, basi mama alijilaza kichalichali kwenye kochi. Mimi pamoja na ndugu zangu tulisalia tukitazama kipindi kimoja cha kufurahisha mno. Niliamua kujilaza kwenye kiti huku nikitazama. Muda uliendelea kusonga na baba alikuwa bado hajawasili. Baba yuko sawa kweli? Kwa nini bado hajawasili wakati huu wa magizani? Anaweza kuwa wapi? Niliwaza na kuwazua bila hata kupata majibu. Ghafla bin vu! Nilisikia nyayo zikikanyaga kwa kasi sana. Moyo ulinidunda du! Du! Du! Mara tu, mlango ulivunjwa na hapo ndipo nilipobaki kinywa wazi. Jitu lenye miraba minne lilikuwa limesimama mbele yangu huku likifanana kiroboto machoni pake. Pua lake lilikuwa kubwa ambalo lilimaliza hata hewa yote chumbani humo. Jitu hilo lilikuwa jeusi kama makaa. “Wewe kiroboto, piga magoti!” Liliniamrisha huku likiniangalia kwa hasira za mkizi. Nilitamani nilie lakini hakuna yeyote ambaye angenisaidia! Jitu hilo lilinizaba kofi moja lililoniacha nikichanganyikiwa kama kuku aliyekatwa kichwa. Mara tu, lilini beba na kunipeleka katika nyumba moja katikati ya misitu. Jitu hilo lilimchinja chinja mamangu na kuwatoboa toboa ndugu zangu. Nilijawa na uchungu moyoni kwa kumpoteza mama. Mama amabaye alikuwa tegemeo letu. Katika nyumba hiyo, nilikuwa nikipiga mayowe huku nikiliamrisha jitu hiyo linifungulie. Muda mrefu baadaye, nilisikia sauti hapo nje, nilikuwa nafikiria kinachoweza kuwa kinaendelea kule nje. Nilijawa na wasiwasi mwingi mno, hapo ndipo nilipoona ufa kwenye upande mmoja wa ukuta. Nilienda kuchungulia ili kuona kilichokuwa kinaendelea. Nilwaona fisi wengi wamekusanyika na kwa umbali niliwasikia wakipanga kifo changu. Baada ya kuzungumza hapo pamoja kwa manong’onezi, kila mmoja wao alionekena akijishughulisha na shughuli mbalimbali. Wengine walionekana wakileta kuni, wengine walileta vyungu vya kupikia. Nilishikwa na wasiwasi huku nikimwomba Mola asimsahau mja wake. Mbona mimi? Fisi walikuwa wakiimba huku wakicheza kwa furaha. Mara tu waliponyamaza, jitu hilo liliamrisha nifunguliwe na kupelekwa hapo kwa matayarisho ya kunichinja. Niliamua kuikabidhi roho yangu mbele ya Mungu. Fisi alikuja kunichukua na kunipeleka walipokuwa wameuwasha moto mkubwa. Jitu hilo lilinifungua kamba walizokuwa wamenifunga kwenye miguu na mikono. Nilijaribu kukimbia lakini mbio zangu ziliambulia patupu. Fisi hao walizirarua nguo zangu zote na baada ya kumaliza, waliniinua juu na kunielekeza kwenye moto. Rembo! Rembo!” Baba alinita kwa umbali. “Amka uende shuleni,” alisema. Nilishtuka usingizini huku nikiwa nimelowa jasho. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu. Nilikimbia chumbani mwa mamangu na kumkuta amelala kitandani mzima na buheri wa afya. Nilipiga magoti na kumshukuru Mola. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu.
Yeye na mama waliandaa chajio saa ngapi
{ "text": [ "jioni" ] }
3603_swa
JINAMIZI Ilikuwa jioni, mimi na mama tulikuwa tunaandaa chajio. Baba alikuwa bado hajawasili kutoka kazini, kwa hivyo tulikuwa tunamngojea awasili. Tulipomaliza kupika, mama aliniambia niandae meza kwa ajili ya kula. Tulikuwa tukila huku tukipiga domo na kufurahia. Baada ya kula na kusafisha meza, tuliketi sebuleni huku tukitazama runinga. Mama alikuwa na uchovu mwingi kwa kuwa siku hiyo alikuwa anamsaidia jirani wetu ambaye alikuwa na sherehe ya kumwombea mtoto wake ambaye alikuwa anaingia mwaka mmoja. Kutokana na uchovu huo mwingi, basi mama alijilaza kichalichali kwenye kochi. Mimi pamoja na ndugu zangu tulisalia tukitazama kipindi kimoja cha kufurahisha mno. Niliamua kujilaza kwenye kiti huku nikitazama. Muda uliendelea kusonga na baba alikuwa bado hajawasili. Baba yuko sawa kweli? Kwa nini bado hajawasili wakati huu wa magizani? Anaweza kuwa wapi? Niliwaza na kuwazua bila hata kupata majibu. Ghafla bin vu! Nilisikia nyayo zikikanyaga kwa kasi sana. Moyo ulinidunda du! Du! Du! Mara tu, mlango ulivunjwa na hapo ndipo nilipobaki kinywa wazi. Jitu lenye miraba minne lilikuwa limesimama mbele yangu huku likifanana kiroboto machoni pake. Pua lake lilikuwa kubwa ambalo lilimaliza hata hewa yote chumbani humo. Jitu hilo lilikuwa jeusi kama makaa. “Wewe kiroboto, piga magoti!” Liliniamrisha huku likiniangalia kwa hasira za mkizi. Nilitamani nilie lakini hakuna yeyote ambaye angenisaidia! Jitu hilo lilinizaba kofi moja lililoniacha nikichanganyikiwa kama kuku aliyekatwa kichwa. Mara tu, lilini beba na kunipeleka katika nyumba moja katikati ya misitu. Jitu hilo lilimchinja chinja mamangu na kuwatoboa toboa ndugu zangu. Nilijawa na uchungu moyoni kwa kumpoteza mama. Mama amabaye alikuwa tegemeo letu. Katika nyumba hiyo, nilikuwa nikipiga mayowe huku nikiliamrisha jitu hiyo linifungulie. Muda mrefu baadaye, nilisikia sauti hapo nje, nilikuwa nafikiria kinachoweza kuwa kinaendelea kule nje. Nilijawa na wasiwasi mwingi mno, hapo ndipo nilipoona ufa kwenye upande mmoja wa ukuta. Nilienda kuchungulia ili kuona kilichokuwa kinaendelea. Nilwaona fisi wengi wamekusanyika na kwa umbali niliwasikia wakipanga kifo changu. Baada ya kuzungumza hapo pamoja kwa manong’onezi, kila mmoja wao alionekena akijishughulisha na shughuli mbalimbali. Wengine walionekana wakileta kuni, wengine walileta vyungu vya kupikia. Nilishikwa na wasiwasi huku nikimwomba Mola asimsahau mja wake. Mbona mimi? Fisi walikuwa wakiimba huku wakicheza kwa furaha. Mara tu waliponyamaza, jitu hilo liliamrisha nifunguliwe na kupelekwa hapo kwa matayarisho ya kunichinja. Niliamua kuikabidhi roho yangu mbele ya Mungu. Fisi alikuja kunichukua na kunipeleka walipokuwa wameuwasha moto mkubwa. Jitu hilo lilinifungua kamba walizokuwa wamenifunga kwenye miguu na mikono. Nilijaribu kukimbia lakini mbio zangu ziliambulia patupu. Fisi hao walizirarua nguo zangu zote na baada ya kumaliza, waliniinua juu na kunielekeza kwenye moto. Rembo! Rembo!” Baba alinita kwa umbali. “Amka uende shuleni,” alisema. Nilishtuka usingizini huku nikiwa nimelowa jasho. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu. Nilikimbia chumbani mwa mamangu na kumkuta amelala kitandani mzima na buheri wa afya. Nilipiga magoti na kumshukuru Mola. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu.
Waliketi wapi wakitazama runinga
{ "text": [ "sebuleni" ] }
3603_swa
JINAMIZI Ilikuwa jioni, mimi na mama tulikuwa tunaandaa chajio. Baba alikuwa bado hajawasili kutoka kazini, kwa hivyo tulikuwa tunamngojea awasili. Tulipomaliza kupika, mama aliniambia niandae meza kwa ajili ya kula. Tulikuwa tukila huku tukipiga domo na kufurahia. Baada ya kula na kusafisha meza, tuliketi sebuleni huku tukitazama runinga. Mama alikuwa na uchovu mwingi kwa kuwa siku hiyo alikuwa anamsaidia jirani wetu ambaye alikuwa na sherehe ya kumwombea mtoto wake ambaye alikuwa anaingia mwaka mmoja. Kutokana na uchovu huo mwingi, basi mama alijilaza kichalichali kwenye kochi. Mimi pamoja na ndugu zangu tulisalia tukitazama kipindi kimoja cha kufurahisha mno. Niliamua kujilaza kwenye kiti huku nikitazama. Muda uliendelea kusonga na baba alikuwa bado hajawasili. Baba yuko sawa kweli? Kwa nini bado hajawasili wakati huu wa magizani? Anaweza kuwa wapi? Niliwaza na kuwazua bila hata kupata majibu. Ghafla bin vu! Nilisikia nyayo zikikanyaga kwa kasi sana. Moyo ulinidunda du! Du! Du! Mara tu, mlango ulivunjwa na hapo ndipo nilipobaki kinywa wazi. Jitu lenye miraba minne lilikuwa limesimama mbele yangu huku likifanana kiroboto machoni pake. Pua lake lilikuwa kubwa ambalo lilimaliza hata hewa yote chumbani humo. Jitu hilo lilikuwa jeusi kama makaa. “Wewe kiroboto, piga magoti!” Liliniamrisha huku likiniangalia kwa hasira za mkizi. Nilitamani nilie lakini hakuna yeyote ambaye angenisaidia! Jitu hilo lilinizaba kofi moja lililoniacha nikichanganyikiwa kama kuku aliyekatwa kichwa. Mara tu, lilini beba na kunipeleka katika nyumba moja katikati ya misitu. Jitu hilo lilimchinja chinja mamangu na kuwatoboa toboa ndugu zangu. Nilijawa na uchungu moyoni kwa kumpoteza mama. Mama amabaye alikuwa tegemeo letu. Katika nyumba hiyo, nilikuwa nikipiga mayowe huku nikiliamrisha jitu hiyo linifungulie. Muda mrefu baadaye, nilisikia sauti hapo nje, nilikuwa nafikiria kinachoweza kuwa kinaendelea kule nje. Nilijawa na wasiwasi mwingi mno, hapo ndipo nilipoona ufa kwenye upande mmoja wa ukuta. Nilienda kuchungulia ili kuona kilichokuwa kinaendelea. Nilwaona fisi wengi wamekusanyika na kwa umbali niliwasikia wakipanga kifo changu. Baada ya kuzungumza hapo pamoja kwa manong’onezi, kila mmoja wao alionekena akijishughulisha na shughuli mbalimbali. Wengine walionekana wakileta kuni, wengine walileta vyungu vya kupikia. Nilishikwa na wasiwasi huku nikimwomba Mola asimsahau mja wake. Mbona mimi? Fisi walikuwa wakiimba huku wakicheza kwa furaha. Mara tu waliponyamaza, jitu hilo liliamrisha nifunguliwe na kupelekwa hapo kwa matayarisho ya kunichinja. Niliamua kuikabidhi roho yangu mbele ya Mungu. Fisi alikuja kunichukua na kunipeleka walipokuwa wameuwasha moto mkubwa. Jitu hilo lilinifungua kamba walizokuwa wamenifunga kwenye miguu na mikono. Nilijaribu kukimbia lakini mbio zangu ziliambulia patupu. Fisi hao walizirarua nguo zangu zote na baada ya kumaliza, waliniinua juu na kunielekeza kwenye moto. Rembo! Rembo!” Baba alinita kwa umbali. “Amka uende shuleni,” alisema. Nilishtuka usingizini huku nikiwa nimelowa jasho. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu. Nilikimbia chumbani mwa mamangu na kumkuta amelala kitandani mzima na buheri wa afya. Nilipiga magoti na kumshukuru Mola. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu.
Mama alijilaza vipi kwenye kochi
{ "text": [ "kichalichali" ] }
3603_swa
JINAMIZI Ilikuwa jioni, mimi na mama tulikuwa tunaandaa chajio. Baba alikuwa bado hajawasili kutoka kazini, kwa hivyo tulikuwa tunamngojea awasili. Tulipomaliza kupika, mama aliniambia niandae meza kwa ajili ya kula. Tulikuwa tukila huku tukipiga domo na kufurahia. Baada ya kula na kusafisha meza, tuliketi sebuleni huku tukitazama runinga. Mama alikuwa na uchovu mwingi kwa kuwa siku hiyo alikuwa anamsaidia jirani wetu ambaye alikuwa na sherehe ya kumwombea mtoto wake ambaye alikuwa anaingia mwaka mmoja. Kutokana na uchovu huo mwingi, basi mama alijilaza kichalichali kwenye kochi. Mimi pamoja na ndugu zangu tulisalia tukitazama kipindi kimoja cha kufurahisha mno. Niliamua kujilaza kwenye kiti huku nikitazama. Muda uliendelea kusonga na baba alikuwa bado hajawasili. Baba yuko sawa kweli? Kwa nini bado hajawasili wakati huu wa magizani? Anaweza kuwa wapi? Niliwaza na kuwazua bila hata kupata majibu. Ghafla bin vu! Nilisikia nyayo zikikanyaga kwa kasi sana. Moyo ulinidunda du! Du! Du! Mara tu, mlango ulivunjwa na hapo ndipo nilipobaki kinywa wazi. Jitu lenye miraba minne lilikuwa limesimama mbele yangu huku likifanana kiroboto machoni pake. Pua lake lilikuwa kubwa ambalo lilimaliza hata hewa yote chumbani humo. Jitu hilo lilikuwa jeusi kama makaa. “Wewe kiroboto, piga magoti!” Liliniamrisha huku likiniangalia kwa hasira za mkizi. Nilitamani nilie lakini hakuna yeyote ambaye angenisaidia! Jitu hilo lilinizaba kofi moja lililoniacha nikichanganyikiwa kama kuku aliyekatwa kichwa. Mara tu, lilini beba na kunipeleka katika nyumba moja katikati ya misitu. Jitu hilo lilimchinja chinja mamangu na kuwatoboa toboa ndugu zangu. Nilijawa na uchungu moyoni kwa kumpoteza mama. Mama amabaye alikuwa tegemeo letu. Katika nyumba hiyo, nilikuwa nikipiga mayowe huku nikiliamrisha jitu hiyo linifungulie. Muda mrefu baadaye, nilisikia sauti hapo nje, nilikuwa nafikiria kinachoweza kuwa kinaendelea kule nje. Nilijawa na wasiwasi mwingi mno, hapo ndipo nilipoona ufa kwenye upande mmoja wa ukuta. Nilienda kuchungulia ili kuona kilichokuwa kinaendelea. Nilwaona fisi wengi wamekusanyika na kwa umbali niliwasikia wakipanga kifo changu. Baada ya kuzungumza hapo pamoja kwa manong’onezi, kila mmoja wao alionekena akijishughulisha na shughuli mbalimbali. Wengine walionekana wakileta kuni, wengine walileta vyungu vya kupikia. Nilishikwa na wasiwasi huku nikimwomba Mola asimsahau mja wake. Mbona mimi? Fisi walikuwa wakiimba huku wakicheza kwa furaha. Mara tu waliponyamaza, jitu hilo liliamrisha nifunguliwe na kupelekwa hapo kwa matayarisho ya kunichinja. Niliamua kuikabidhi roho yangu mbele ya Mungu. Fisi alikuja kunichukua na kunipeleka walipokuwa wameuwasha moto mkubwa. Jitu hilo lilinifungua kamba walizokuwa wamenifunga kwenye miguu na mikono. Nilijaribu kukimbia lakini mbio zangu ziliambulia patupu. Fisi hao walizirarua nguo zangu zote na baada ya kumaliza, waliniinua juu na kunielekeza kwenye moto. Rembo! Rembo!” Baba alinita kwa umbali. “Amka uende shuleni,” alisema. Nilishtuka usingizini huku nikiwa nimelowa jasho. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu. Nilikimbia chumbani mwa mamangu na kumkuta amelala kitandani mzima na buheri wa afya. Nilipiga magoti na kumshukuru Mola. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu.
Aliwasikia fisi wengi wakipanga nini
{ "text": [ "kifo chake" ] }
3603_swa
JINAMIZI Ilikuwa jioni, mimi na mama tulikuwa tunaandaa chajio. Baba alikuwa bado hajawasili kutoka kazini, kwa hivyo tulikuwa tunamngojea awasili. Tulipomaliza kupika, mama aliniambia niandae meza kwa ajili ya kula. Tulikuwa tukila huku tukipiga domo na kufurahia. Baada ya kula na kusafisha meza, tuliketi sebuleni huku tukitazama runinga. Mama alikuwa na uchovu mwingi kwa kuwa siku hiyo alikuwa anamsaidia jirani wetu ambaye alikuwa na sherehe ya kumwombea mtoto wake ambaye alikuwa anaingia mwaka mmoja. Kutokana na uchovu huo mwingi, basi mama alijilaza kichalichali kwenye kochi. Mimi pamoja na ndugu zangu tulisalia tukitazama kipindi kimoja cha kufurahisha mno. Niliamua kujilaza kwenye kiti huku nikitazama. Muda uliendelea kusonga na baba alikuwa bado hajawasili. Baba yuko sawa kweli? Kwa nini bado hajawasili wakati huu wa magizani? Anaweza kuwa wapi? Niliwaza na kuwazua bila hata kupata majibu. Ghafla bin vu! Nilisikia nyayo zikikanyaga kwa kasi sana. Moyo ulinidunda du! Du! Du! Mara tu, mlango ulivunjwa na hapo ndipo nilipobaki kinywa wazi. Jitu lenye miraba minne lilikuwa limesimama mbele yangu huku likifanana kiroboto machoni pake. Pua lake lilikuwa kubwa ambalo lilimaliza hata hewa yote chumbani humo. Jitu hilo lilikuwa jeusi kama makaa. “Wewe kiroboto, piga magoti!” Liliniamrisha huku likiniangalia kwa hasira za mkizi. Nilitamani nilie lakini hakuna yeyote ambaye angenisaidia! Jitu hilo lilinizaba kofi moja lililoniacha nikichanganyikiwa kama kuku aliyekatwa kichwa. Mara tu, lilini beba na kunipeleka katika nyumba moja katikati ya misitu. Jitu hilo lilimchinja chinja mamangu na kuwatoboa toboa ndugu zangu. Nilijawa na uchungu moyoni kwa kumpoteza mama. Mama amabaye alikuwa tegemeo letu. Katika nyumba hiyo, nilikuwa nikipiga mayowe huku nikiliamrisha jitu hiyo linifungulie. Muda mrefu baadaye, nilisikia sauti hapo nje, nilikuwa nafikiria kinachoweza kuwa kinaendelea kule nje. Nilijawa na wasiwasi mwingi mno, hapo ndipo nilipoona ufa kwenye upande mmoja wa ukuta. Nilienda kuchungulia ili kuona kilichokuwa kinaendelea. Nilwaona fisi wengi wamekusanyika na kwa umbali niliwasikia wakipanga kifo changu. Baada ya kuzungumza hapo pamoja kwa manong’onezi, kila mmoja wao alionekena akijishughulisha na shughuli mbalimbali. Wengine walionekana wakileta kuni, wengine walileta vyungu vya kupikia. Nilishikwa na wasiwasi huku nikimwomba Mola asimsahau mja wake. Mbona mimi? Fisi walikuwa wakiimba huku wakicheza kwa furaha. Mara tu waliponyamaza, jitu hilo liliamrisha nifunguliwe na kupelekwa hapo kwa matayarisho ya kunichinja. Niliamua kuikabidhi roho yangu mbele ya Mungu. Fisi alikuja kunichukua na kunipeleka walipokuwa wameuwasha moto mkubwa. Jitu hilo lilinifungua kamba walizokuwa wamenifunga kwenye miguu na mikono. Nilijaribu kukimbia lakini mbio zangu ziliambulia patupu. Fisi hao walizirarua nguo zangu zote na baada ya kumaliza, waliniinua juu na kunielekeza kwenye moto. Rembo! Rembo!” Baba alinita kwa umbali. “Amka uende shuleni,” alisema. Nilishtuka usingizini huku nikiwa nimelowa jasho. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu. Nilikimbia chumbani mwa mamangu na kumkuta amelala kitandani mzima na buheri wa afya. Nilipiga magoti na kumshukuru Mola. Kumbe ilikuwa ni ndoto tu.
Mbona alienda kuchungulia
{ "text": [ "ili kuona kilichokuwa kinaendelea" ] }
3604_swa
HOTUBA KUHUSU DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE “Mkuu wa maswala ya wanawake, mwakilishi wa wanawake, wageni wote kwa jumla na wanawake wenzangu, hamjambo? Nachukua fursa hii nadra kuwakuribisha nyote katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumesubiria kwa hamu na ghamu. Makusudio kuu ya mkutano huu ni kuwahutubia dhidi ya dhuluma dhidi ya mwanamke. Dhuluma ni tendo lisilo la haki katika binadamu yeyote yule. Zifuatazo ni njia ambazo zimekuwa vyanzo vya dhuluma dhidi ya mwanamke: Jambo la kwanza likiwa limekita mzizi zaidi ni ukeketaji. Katika jamii mbalimbali, wanawake wamehusishwa katika kupashwa tohara, hili likiwa jambo la kuhuzunisha mno. Mbali na kuhisi uchungu, wakati wanapopashwa tohara, wanaweza kupata magonjwa kama vile ukimwi na pia kupata matatizo wakati wa kujifungua. Isitoshe, wanawake wanaozwa mapema. Wazazi wengi kwa kukosa mahitaji, wanaona kuwa kuwaoza wanao kama suluhisho dhabiti kwa matatizo yao. Wanawake wanatumika kama vifaa vya ubadilisho katika jamii kwa upande wa mwanamke. Hii ni uonevu kwa kuwa kuozwa mapema kabla ya kubaleghe huleta matatizo mengi yakiwemo kuathirika kisaikolojia. Licha ya hayo, ubakaji umeibuka kote nchini. Wanawake wamedhaniwa kuwa jinsia hasifu ambayo haiwezi kujitetea kutokana na vitendo viovu. Inasemekana kwamba, wanawake wanatumiwa na wanaume kujitosheleza kimapenzi hivyo basi kudhulumiwa. Fauka ya hayo, wanawake hutengwa kielimu. Katika jamii tofauti tofauti, wanaunga mkono masomo ya watoto wavulana kuliko ya wasichana. Inadhaniwa kuwa wanawake ni watu wa kulinda uhai na kutetea haki katika jamii na majukumu mengine ya nyumbani. Hivyo basi, wanajamii wanaona kwamba kumelimisha mwanawake ni kupoteza muda na pesa badala ya kutumia katika miradi mingine. Swala hili huwadunisha wanawake kwani hawana nafasi yoyote ya kupata masomo sawia na wavulana. Mbali na hayo, wanawake wanapuuzwa mara kwa mara. Sababu ikiwa wanawake ni jinsia hafífu ambayo haiwezi kufanya uamuzi au kutoa amri yoyote. Katika nafasi za kazi, wanawake wananyimwa kazi. Ili wapandishwe vyeo, wanadhulumiwa kimapenzi ndipo wapewe vyeo vya juu. Kwa upande wao hii ni dhuluma na hawana chaguo bali kukubali kunaswa. Kwa kuongezea, wanawake wanadhulumiwa kwa kupigwa na wanaume. Wanaume wanaojihisi kuwa na ubabadume wanadhulumu baadhi ya wanawake kwa madai kuwa wao ni waamuzi wakuu. Wanawake hawana ruhusa ya kuamua chochote. Mara kwa mara tumeona visa vingi vya wanawake kuvuliwa nguo hadharani kisa na maana wamevalia nguo zisizo na heshima. Swala hili ni kero sana kwetu kwani wanaofanya jambo hili huwa ni wanaume . Hii husababishia wanawake kuwa na aibu pasi na kustahimili. Hali hii huwafanya duni sana kwani hakuna anayevalia jinsi anavyotaka. Ningependa kumalizia kwa kusema kuwa, ni jukumu la kila mmoja wetu kupiga vita dhidi ya dhuluma kwa wanawake. Tuweze kushirikiana pamoja kwani wahenga hawakukosea walipoketi kitako sako kwa bako na kunena ya kwamba, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Serikali iweze kuchukulia hatua kali dhidi ya wale wanaojihusisha na ukeketaji wa wanawake ili swala hili pamoja na ubakaji liweze kufikia kikomo. Upande mwingine, wazazi watekeleze wajibu wao ili kuwalea kwa njia iliyo bora ili kupunguza visa vya ndoa za mapema na wajikukamue katika kukidhi mahitaji yao. Mwisho, ningependa kuwashukuru wote kwa kutenga muda wenu na shughuli zenu ili kufanikisha siku hiyo leo. Nawatakia kila la heri katika harakati zenu za kila siku. Asanteni sana kwa kunisikiliza.”
Dhuluma ni tendo lisilo nini
{ "text": [ "Haki" ] }
3604_swa
HOTUBA KUHUSU DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE “Mkuu wa maswala ya wanawake, mwakilishi wa wanawake, wageni wote kwa jumla na wanawake wenzangu, hamjambo? Nachukua fursa hii nadra kuwakuribisha nyote katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumesubiria kwa hamu na ghamu. Makusudio kuu ya mkutano huu ni kuwahutubia dhidi ya dhuluma dhidi ya mwanamke. Dhuluma ni tendo lisilo la haki katika binadamu yeyote yule. Zifuatazo ni njia ambazo zimekuwa vyanzo vya dhuluma dhidi ya mwanamke: Jambo la kwanza likiwa limekita mzizi zaidi ni ukeketaji. Katika jamii mbalimbali, wanawake wamehusishwa katika kupashwa tohara, hili likiwa jambo la kuhuzunisha mno. Mbali na kuhisi uchungu, wakati wanapopashwa tohara, wanaweza kupata magonjwa kama vile ukimwi na pia kupata matatizo wakati wa kujifungua. Isitoshe, wanawake wanaozwa mapema. Wazazi wengi kwa kukosa mahitaji, wanaona kuwa kuwaoza wanao kama suluhisho dhabiti kwa matatizo yao. Wanawake wanatumika kama vifaa vya ubadilisho katika jamii kwa upande wa mwanamke. Hii ni uonevu kwa kuwa kuozwa mapema kabla ya kubaleghe huleta matatizo mengi yakiwemo kuathirika kisaikolojia. Licha ya hayo, ubakaji umeibuka kote nchini. Wanawake wamedhaniwa kuwa jinsia hasifu ambayo haiwezi kujitetea kutokana na vitendo viovu. Inasemekana kwamba, wanawake wanatumiwa na wanaume kujitosheleza kimapenzi hivyo basi kudhulumiwa. Fauka ya hayo, wanawake hutengwa kielimu. Katika jamii tofauti tofauti, wanaunga mkono masomo ya watoto wavulana kuliko ya wasichana. Inadhaniwa kuwa wanawake ni watu wa kulinda uhai na kutetea haki katika jamii na majukumu mengine ya nyumbani. Hivyo basi, wanajamii wanaona kwamba kumelimisha mwanawake ni kupoteza muda na pesa badala ya kutumia katika miradi mingine. Swala hili huwadunisha wanawake kwani hawana nafasi yoyote ya kupata masomo sawia na wavulana. Mbali na hayo, wanawake wanapuuzwa mara kwa mara. Sababu ikiwa wanawake ni jinsia hafífu ambayo haiwezi kufanya uamuzi au kutoa amri yoyote. Katika nafasi za kazi, wanawake wananyimwa kazi. Ili wapandishwe vyeo, wanadhulumiwa kimapenzi ndipo wapewe vyeo vya juu. Kwa upande wao hii ni dhuluma na hawana chaguo bali kukubali kunaswa. Kwa kuongezea, wanawake wanadhulumiwa kwa kupigwa na wanaume. Wanaume wanaojihisi kuwa na ubabadume wanadhulumu baadhi ya wanawake kwa madai kuwa wao ni waamuzi wakuu. Wanawake hawana ruhusa ya kuamua chochote. Mara kwa mara tumeona visa vingi vya wanawake kuvuliwa nguo hadharani kisa na maana wamevalia nguo zisizo na heshima. Swala hili ni kero sana kwetu kwani wanaofanya jambo hili huwa ni wanaume . Hii husababishia wanawake kuwa na aibu pasi na kustahimili. Hali hii huwafanya duni sana kwani hakuna anayevalia jinsi anavyotaka. Ningependa kumalizia kwa kusema kuwa, ni jukumu la kila mmoja wetu kupiga vita dhidi ya dhuluma kwa wanawake. Tuweze kushirikiana pamoja kwani wahenga hawakukosea walipoketi kitako sako kwa bako na kunena ya kwamba, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Serikali iweze kuchukulia hatua kali dhidi ya wale wanaojihusisha na ukeketaji wa wanawake ili swala hili pamoja na ubakaji liweze kufikia kikomo. Upande mwingine, wazazi watekeleze wajibu wao ili kuwalea kwa njia iliyo bora ili kupunguza visa vya ndoa za mapema na wajikukamue katika kukidhi mahitaji yao. Mwisho, ningependa kuwashukuru wote kwa kutenga muda wenu na shughuli zenu ili kufanikisha siku hiyo leo. Nawatakia kila la heri katika harakati zenu za kila siku. Asanteni sana kwa kunisikiliza.”
Katika jamii mbalimbali wanawake wamehusishwa katika nini
{ "text": [ "Kupashwa tohara" ] }
3604_swa
HOTUBA KUHUSU DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE “Mkuu wa maswala ya wanawake, mwakilishi wa wanawake, wageni wote kwa jumla na wanawake wenzangu, hamjambo? Nachukua fursa hii nadra kuwakuribisha nyote katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumesubiria kwa hamu na ghamu. Makusudio kuu ya mkutano huu ni kuwahutubia dhidi ya dhuluma dhidi ya mwanamke. Dhuluma ni tendo lisilo la haki katika binadamu yeyote yule. Zifuatazo ni njia ambazo zimekuwa vyanzo vya dhuluma dhidi ya mwanamke: Jambo la kwanza likiwa limekita mzizi zaidi ni ukeketaji. Katika jamii mbalimbali, wanawake wamehusishwa katika kupashwa tohara, hili likiwa jambo la kuhuzunisha mno. Mbali na kuhisi uchungu, wakati wanapopashwa tohara, wanaweza kupata magonjwa kama vile ukimwi na pia kupata matatizo wakati wa kujifungua. Isitoshe, wanawake wanaozwa mapema. Wazazi wengi kwa kukosa mahitaji, wanaona kuwa kuwaoza wanao kama suluhisho dhabiti kwa matatizo yao. Wanawake wanatumika kama vifaa vya ubadilisho katika jamii kwa upande wa mwanamke. Hii ni uonevu kwa kuwa kuozwa mapema kabla ya kubaleghe huleta matatizo mengi yakiwemo kuathirika kisaikolojia. Licha ya hayo, ubakaji umeibuka kote nchini. Wanawake wamedhaniwa kuwa jinsia hasifu ambayo haiwezi kujitetea kutokana na vitendo viovu. Inasemekana kwamba, wanawake wanatumiwa na wanaume kujitosheleza kimapenzi hivyo basi kudhulumiwa. Fauka ya hayo, wanawake hutengwa kielimu. Katika jamii tofauti tofauti, wanaunga mkono masomo ya watoto wavulana kuliko ya wasichana. Inadhaniwa kuwa wanawake ni watu wa kulinda uhai na kutetea haki katika jamii na majukumu mengine ya nyumbani. Hivyo basi, wanajamii wanaona kwamba kumelimisha mwanawake ni kupoteza muda na pesa badala ya kutumia katika miradi mingine. Swala hili huwadunisha wanawake kwani hawana nafasi yoyote ya kupata masomo sawia na wavulana. Mbali na hayo, wanawake wanapuuzwa mara kwa mara. Sababu ikiwa wanawake ni jinsia hafífu ambayo haiwezi kufanya uamuzi au kutoa amri yoyote. Katika nafasi za kazi, wanawake wananyimwa kazi. Ili wapandishwe vyeo, wanadhulumiwa kimapenzi ndipo wapewe vyeo vya juu. Kwa upande wao hii ni dhuluma na hawana chaguo bali kukubali kunaswa. Kwa kuongezea, wanawake wanadhulumiwa kwa kupigwa na wanaume. Wanaume wanaojihisi kuwa na ubabadume wanadhulumu baadhi ya wanawake kwa madai kuwa wao ni waamuzi wakuu. Wanawake hawana ruhusa ya kuamua chochote. Mara kwa mara tumeona visa vingi vya wanawake kuvuliwa nguo hadharani kisa na maana wamevalia nguo zisizo na heshima. Swala hili ni kero sana kwetu kwani wanaofanya jambo hili huwa ni wanaume . Hii husababishia wanawake kuwa na aibu pasi na kustahimili. Hali hii huwafanya duni sana kwani hakuna anayevalia jinsi anavyotaka. Ningependa kumalizia kwa kusema kuwa, ni jukumu la kila mmoja wetu kupiga vita dhidi ya dhuluma kwa wanawake. Tuweze kushirikiana pamoja kwani wahenga hawakukosea walipoketi kitako sako kwa bako na kunena ya kwamba, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Serikali iweze kuchukulia hatua kali dhidi ya wale wanaojihusisha na ukeketaji wa wanawake ili swala hili pamoja na ubakaji liweze kufikia kikomo. Upande mwingine, wazazi watekeleze wajibu wao ili kuwalea kwa njia iliyo bora ili kupunguza visa vya ndoa za mapema na wajikukamue katika kukidhi mahitaji yao. Mwisho, ningependa kuwashukuru wote kwa kutenga muda wenu na shughuli zenu ili kufanikisha siku hiyo leo. Nawatakia kila la heri katika harakati zenu za kila siku. Asanteni sana kwa kunisikiliza.”
Wakati wa kupashwa tohara wanaweza kupata magonjwa kama gani
{ "text": [ "Ukimwi" ] }
3604_swa
HOTUBA KUHUSU DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE “Mkuu wa maswala ya wanawake, mwakilishi wa wanawake, wageni wote kwa jumla na wanawake wenzangu, hamjambo? Nachukua fursa hii nadra kuwakuribisha nyote katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumesubiria kwa hamu na ghamu. Makusudio kuu ya mkutano huu ni kuwahutubia dhidi ya dhuluma dhidi ya mwanamke. Dhuluma ni tendo lisilo la haki katika binadamu yeyote yule. Zifuatazo ni njia ambazo zimekuwa vyanzo vya dhuluma dhidi ya mwanamke: Jambo la kwanza likiwa limekita mzizi zaidi ni ukeketaji. Katika jamii mbalimbali, wanawake wamehusishwa katika kupashwa tohara, hili likiwa jambo la kuhuzunisha mno. Mbali na kuhisi uchungu, wakati wanapopashwa tohara, wanaweza kupata magonjwa kama vile ukimwi na pia kupata matatizo wakati wa kujifungua. Isitoshe, wanawake wanaozwa mapema. Wazazi wengi kwa kukosa mahitaji, wanaona kuwa kuwaoza wanao kama suluhisho dhabiti kwa matatizo yao. Wanawake wanatumika kama vifaa vya ubadilisho katika jamii kwa upande wa mwanamke. Hii ni uonevu kwa kuwa kuozwa mapema kabla ya kubaleghe huleta matatizo mengi yakiwemo kuathirika kisaikolojia. Licha ya hayo, ubakaji umeibuka kote nchini. Wanawake wamedhaniwa kuwa jinsia hasifu ambayo haiwezi kujitetea kutokana na vitendo viovu. Inasemekana kwamba, wanawake wanatumiwa na wanaume kujitosheleza kimapenzi hivyo basi kudhulumiwa. Fauka ya hayo, wanawake hutengwa kielimu. Katika jamii tofauti tofauti, wanaunga mkono masomo ya watoto wavulana kuliko ya wasichana. Inadhaniwa kuwa wanawake ni watu wa kulinda uhai na kutetea haki katika jamii na majukumu mengine ya nyumbani. Hivyo basi, wanajamii wanaona kwamba kumelimisha mwanawake ni kupoteza muda na pesa badala ya kutumia katika miradi mingine. Swala hili huwadunisha wanawake kwani hawana nafasi yoyote ya kupata masomo sawia na wavulana. Mbali na hayo, wanawake wanapuuzwa mara kwa mara. Sababu ikiwa wanawake ni jinsia hafífu ambayo haiwezi kufanya uamuzi au kutoa amri yoyote. Katika nafasi za kazi, wanawake wananyimwa kazi. Ili wapandishwe vyeo, wanadhulumiwa kimapenzi ndipo wapewe vyeo vya juu. Kwa upande wao hii ni dhuluma na hawana chaguo bali kukubali kunaswa. Kwa kuongezea, wanawake wanadhulumiwa kwa kupigwa na wanaume. Wanaume wanaojihisi kuwa na ubabadume wanadhulumu baadhi ya wanawake kwa madai kuwa wao ni waamuzi wakuu. Wanawake hawana ruhusa ya kuamua chochote. Mara kwa mara tumeona visa vingi vya wanawake kuvuliwa nguo hadharani kisa na maana wamevalia nguo zisizo na heshima. Swala hili ni kero sana kwetu kwani wanaofanya jambo hili huwa ni wanaume . Hii husababishia wanawake kuwa na aibu pasi na kustahimili. Hali hii huwafanya duni sana kwani hakuna anayevalia jinsi anavyotaka. Ningependa kumalizia kwa kusema kuwa, ni jukumu la kila mmoja wetu kupiga vita dhidi ya dhuluma kwa wanawake. Tuweze kushirikiana pamoja kwani wahenga hawakukosea walipoketi kitako sako kwa bako na kunena ya kwamba, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Serikali iweze kuchukulia hatua kali dhidi ya wale wanaojihusisha na ukeketaji wa wanawake ili swala hili pamoja na ubakaji liweze kufikia kikomo. Upande mwingine, wazazi watekeleze wajibu wao ili kuwalea kwa njia iliyo bora ili kupunguza visa vya ndoa za mapema na wajikukamue katika kukidhi mahitaji yao. Mwisho, ningependa kuwashukuru wote kwa kutenga muda wenu na shughuli zenu ili kufanikisha siku hiyo leo. Nawatakia kila la heri katika harakati zenu za kila siku. Asanteni sana kwa kunisikiliza.”
Fauka ya hayo wanawake hutengwa vipi
{ "text": [ "Kielimu" ] }
3604_swa
HOTUBA KUHUSU DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE “Mkuu wa maswala ya wanawake, mwakilishi wa wanawake, wageni wote kwa jumla na wanawake wenzangu, hamjambo? Nachukua fursa hii nadra kuwakuribisha nyote katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumesubiria kwa hamu na ghamu. Makusudio kuu ya mkutano huu ni kuwahutubia dhidi ya dhuluma dhidi ya mwanamke. Dhuluma ni tendo lisilo la haki katika binadamu yeyote yule. Zifuatazo ni njia ambazo zimekuwa vyanzo vya dhuluma dhidi ya mwanamke: Jambo la kwanza likiwa limekita mzizi zaidi ni ukeketaji. Katika jamii mbalimbali, wanawake wamehusishwa katika kupashwa tohara, hili likiwa jambo la kuhuzunisha mno. Mbali na kuhisi uchungu, wakati wanapopashwa tohara, wanaweza kupata magonjwa kama vile ukimwi na pia kupata matatizo wakati wa kujifungua. Isitoshe, wanawake wanaozwa mapema. Wazazi wengi kwa kukosa mahitaji, wanaona kuwa kuwaoza wanao kama suluhisho dhabiti kwa matatizo yao. Wanawake wanatumika kama vifaa vya ubadilisho katika jamii kwa upande wa mwanamke. Hii ni uonevu kwa kuwa kuozwa mapema kabla ya kubaleghe huleta matatizo mengi yakiwemo kuathirika kisaikolojia. Licha ya hayo, ubakaji umeibuka kote nchini. Wanawake wamedhaniwa kuwa jinsia hasifu ambayo haiwezi kujitetea kutokana na vitendo viovu. Inasemekana kwamba, wanawake wanatumiwa na wanaume kujitosheleza kimapenzi hivyo basi kudhulumiwa. Fauka ya hayo, wanawake hutengwa kielimu. Katika jamii tofauti tofauti, wanaunga mkono masomo ya watoto wavulana kuliko ya wasichana. Inadhaniwa kuwa wanawake ni watu wa kulinda uhai na kutetea haki katika jamii na majukumu mengine ya nyumbani. Hivyo basi, wanajamii wanaona kwamba kumelimisha mwanawake ni kupoteza muda na pesa badala ya kutumia katika miradi mingine. Swala hili huwadunisha wanawake kwani hawana nafasi yoyote ya kupata masomo sawia na wavulana. Mbali na hayo, wanawake wanapuuzwa mara kwa mara. Sababu ikiwa wanawake ni jinsia hafífu ambayo haiwezi kufanya uamuzi au kutoa amri yoyote. Katika nafasi za kazi, wanawake wananyimwa kazi. Ili wapandishwe vyeo, wanadhulumiwa kimapenzi ndipo wapewe vyeo vya juu. Kwa upande wao hii ni dhuluma na hawana chaguo bali kukubali kunaswa. Kwa kuongezea, wanawake wanadhulumiwa kwa kupigwa na wanaume. Wanaume wanaojihisi kuwa na ubabadume wanadhulumu baadhi ya wanawake kwa madai kuwa wao ni waamuzi wakuu. Wanawake hawana ruhusa ya kuamua chochote. Mara kwa mara tumeona visa vingi vya wanawake kuvuliwa nguo hadharani kisa na maana wamevalia nguo zisizo na heshima. Swala hili ni kero sana kwetu kwani wanaofanya jambo hili huwa ni wanaume . Hii husababishia wanawake kuwa na aibu pasi na kustahimili. Hali hii huwafanya duni sana kwani hakuna anayevalia jinsi anavyotaka. Ningependa kumalizia kwa kusema kuwa, ni jukumu la kila mmoja wetu kupiga vita dhidi ya dhuluma kwa wanawake. Tuweze kushirikiana pamoja kwani wahenga hawakukosea walipoketi kitako sako kwa bako na kunena ya kwamba, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Serikali iweze kuchukulia hatua kali dhidi ya wale wanaojihusisha na ukeketaji wa wanawake ili swala hili pamoja na ubakaji liweze kufikia kikomo. Upande mwingine, wazazi watekeleze wajibu wao ili kuwalea kwa njia iliyo bora ili kupunguza visa vya ndoa za mapema na wajikukamue katika kukidhi mahitaji yao. Mwisho, ningependa kuwashukuru wote kwa kutenga muda wenu na shughuli zenu ili kufanikisha siku hiyo leo. Nawatakia kila la heri katika harakati zenu za kila siku. Asanteni sana kwa kunisikiliza.”
Ni kwa nini wanawake hupuuzwa mara kwa mara
{ "text": [ "kwa sababu wanawake ni jinsia hafifu ambayo haiwezi kufanya uamuzi au kutoa amri yoyote" ] }
3606_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio muundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kutumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa bisshaira yake ndio yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia inasababisha barabara ziwe mbaya hasa wakati wa mvua. Magari hukwama kwenye barabara za matope na hivyo kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara zote ziwe za lami. Pia bidhaa zinazonunuliwa kutoka ng'ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina mali ghafi na pesa za kutosha kujiundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinzoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi biashara haramu ya madawa ya kulevya hupungua. Serikali pia inafaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi zinafaa ipunguzwe ili watu wote wakue na uwezo wa kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Hii pia inapunguza uchochole katika jamii ya Kenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara yanafaa kulindwa kwa gharama yao. Watu wengi wamejinyima vitu vingi ili waimarishe biashara yao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibiwa na majambazi wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli wahakikishe kuwa vitu viko salama. Vyombo vya kusafirisha bidhaa zilizo na kilo nyingi kama gari la moshi kuundwa kufika maeneo ya mipaka ya Kenya na nchi za Uganda na Tanzania ili watu wasafirishe bidhaa zao kutoka pande hizo. Nauli ya ndege, amabayo hutumika kusafirisha bidhaa zinazoharibika haraka kama vile maua, mboga na hata matunda, ipunguzwe ili hasara kutokana na vitu hivi kuharibika kabla ya kufika sokoni ipungue.
Kiswahili kinaweza kuimarishwa kutumia nini
{ "text": [ "Redio na televisheni" ] }
3606_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio muundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kutumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa bisshaira yake ndio yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia inasababisha barabara ziwe mbaya hasa wakati wa mvua. Magari hukwama kwenye barabara za matope na hivyo kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara zote ziwe za lami. Pia bidhaa zinazonunuliwa kutoka ng'ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina mali ghafi na pesa za kutosha kujiundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinzoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi biashara haramu ya madawa ya kulevya hupungua. Serikali pia inafaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi zinafaa ipunguzwe ili watu wote wakue na uwezo wa kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Hii pia inapunguza uchochole katika jamii ya Kenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara yanafaa kulindwa kwa gharama yao. Watu wengi wamejinyima vitu vingi ili waimarishe biashara yao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibiwa na majambazi wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli wahakikishe kuwa vitu viko salama. Vyombo vya kusafirisha bidhaa zilizo na kilo nyingi kama gari la moshi kuundwa kufika maeneo ya mipaka ya Kenya na nchi za Uganda na Tanzania ili watu wasafirishe bidhaa zao kutoka pande hizo. Nauli ya ndege, amabayo hutumika kusafirisha bidhaa zinazoharibika haraka kama vile maua, mboga na hata matunda, ipunguzwe ili hasara kutokana na vitu hivi kuharibika kabla ya kufika sokoni ipungue.
Ni kifaa kipi chaweza kutumiwa kusoma kiswahili
{ "text": [ "Kipakatalishi" ] }
3606_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio muundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kutumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa bisshaira yake ndio yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia inasababisha barabara ziwe mbaya hasa wakati wa mvua. Magari hukwama kwenye barabara za matope na hivyo kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara zote ziwe za lami. Pia bidhaa zinazonunuliwa kutoka ng'ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina mali ghafi na pesa za kutosha kujiundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinzoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi biashara haramu ya madawa ya kulevya hupungua. Serikali pia inafaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi zinafaa ipunguzwe ili watu wote wakue na uwezo wa kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Hii pia inapunguza uchochole katika jamii ya Kenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara yanafaa kulindwa kwa gharama yao. Watu wengi wamejinyima vitu vingi ili waimarishe biashara yao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibiwa na majambazi wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli wahakikishe kuwa vitu viko salama. Vyombo vya kusafirisha bidhaa zilizo na kilo nyingi kama gari la moshi kuundwa kufika maeneo ya mipaka ya Kenya na nchi za Uganda na Tanzania ili watu wasafirishe bidhaa zao kutoka pande hizo. Nauli ya ndege, amabayo hutumika kusafirisha bidhaa zinazoharibika haraka kama vile maua, mboga na hata matunda, ipunguzwe ili hasara kutokana na vitu hivi kuharibika kabla ya kufika sokoni ipungue.
Ni nini kinafaa kuchapishwa ili kuimarisha kiswahili
{ "text": [ "Vitabu" ] }
3606_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio muundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kutumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa bisshaira yake ndio yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia inasababisha barabara ziwe mbaya hasa wakati wa mvua. Magari hukwama kwenye barabara za matope na hivyo kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara zote ziwe za lami. Pia bidhaa zinazonunuliwa kutoka ng'ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina mali ghafi na pesa za kutosha kujiundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinzoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi biashara haramu ya madawa ya kulevya hupungua. Serikali pia inafaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi zinafaa ipunguzwe ili watu wote wakue na uwezo wa kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Hii pia inapunguza uchochole katika jamii ya Kenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara yanafaa kulindwa kwa gharama yao. Watu wengi wamejinyima vitu vingi ili waimarishe biashara yao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibiwa na majambazi wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli wahakikishe kuwa vitu viko salama. Vyombo vya kusafirisha bidhaa zilizo na kilo nyingi kama gari la moshi kuundwa kufika maeneo ya mipaka ya Kenya na nchi za Uganda na Tanzania ili watu wasafirishe bidhaa zao kutoka pande hizo. Nauli ya ndege, amabayo hutumika kusafirisha bidhaa zinazoharibika haraka kama vile maua, mboga na hata matunda, ipunguzwe ili hasara kutokana na vitu hivi kuharibika kabla ya kufika sokoni ipungue.
Ni vipi lugha ya kiswahili inaweza kusambazwa katika maeneo mbalimbali
{ "text": [ "Kwa kufanywa kuwa lugha ya taifa" ] }
3606_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio muundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kutumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa bisshaira yake ndio yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia inasababisha barabara ziwe mbaya hasa wakati wa mvua. Magari hukwama kwenye barabara za matope na hivyo kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara zote ziwe za lami. Pia bidhaa zinazonunuliwa kutoka ng'ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina mali ghafi na pesa za kutosha kujiundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinzoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi biashara haramu ya madawa ya kulevya hupungua. Serikali pia inafaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi zinafaa ipunguzwe ili watu wote wakue na uwezo wa kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Hii pia inapunguza uchochole katika jamii ya Kenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara yanafaa kulindwa kwa gharama yao. Watu wengi wamejinyima vitu vingi ili waimarishe biashara yao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibiwa na majambazi wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli wahakikishe kuwa vitu viko salama. Vyombo vya kusafirisha bidhaa zilizo na kilo nyingi kama gari la moshi kuundwa kufika maeneo ya mipaka ya Kenya na nchi za Uganda na Tanzania ili watu wasafirishe bidhaa zao kutoka pande hizo. Nauli ya ndege, amabayo hutumika kusafirisha bidhaa zinazoharibika haraka kama vile maua, mboga na hata matunda, ipunguzwe ili hasara kutokana na vitu hivi kuharibika kabla ya kufika sokoni ipungue.
Kwa nini somo la kiswahili lafaa kuwa la lazima katika vyuo vikuu
{ "text": [ "Ili wanafunzi wawe na ujuzi na msamiati wa kutosha kuhusu kiswahili" ] }
3607_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Kwa kawaida baba alipenda kurudi nyumbani na nini
{ "text": [ "Viazi vitamu" ] }
3607_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Kwa nini baba Subira alikuwa amechoka
{ "text": [ "Alikuwa amevuta nyavu mara kadhaa bila kupata samaki" ] }
3607_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Baada ya Subira na Zahara kufanya kazi walielekea wapi
{ "text": [ "Mtoni" ] }
3607_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Sauti, Subira na Zahara walisikia ilitoka wapi
{ "text": [ "Kwenye chumba cha wavyele wao" ] }
3607_swa
ATANGAJE NAJUA HUJUA Hapo zamani za kale, paliishi binti mmoja kwa jina Subira. Kwa jina lake, ungeweza kujua ni nani anazungumziwa.Sura ya sahani, uso wa malaika, macho ya chawa, pua la kitara, shingo ya upanga, kiuno cha nyingu na miguu ya cherahani bila malega wala mang'ombo, haya yote Rabuka alimpatia. Alizaliwa katika aila ya bwana na bi Upendo. Wavyele wake walikua walalahoi. Kila uchao waliomba msaada kwa wanakijiji ili waweze kutia kitu kidogo tumboni. Waliishi katika kibanda kimoja kilichokuwa kikivuja maji mvua iliponyesha. Subira ndiye aliyekuwa kifungua mimba kwa aila yao. Walizaliwa watoto watatu lakini mmoja wao alipiga dunia teke alipogongwa na gari lililokuwa limebeba miwa. Wengi walimjua Subira kama mwana masikivu aliyeadilika, aliyependa kuwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo. Kwa kweli, Subira alikuwa kama furaha kwa jamii. Endapo ungemwita angeitika, abe! Wavyele wake, walijivunia kuwa na binti kama huyu. Zahara, dada yake Subira, naye alifuata nyayo za Subira. Walielimishana na kuliwazana popote ambapo mawaidha yalihitajika. Subira alipofikisha umri wa kuenda shule, wazazi wake hawakuwa na lingine kwani walielewa elimu ni taa huzagaa. Alipelekwa katika shule duni iliyokuwemo mle kijijini. Wazazi wake walikuwa na bidii ya kigogota agogotaye gogo, hawakukata tamaa. Subira aliregeshwa nyumbani kila siku shida ikiwa ni karo. Wanakijiji walimchangia karo na kumpeleka shuleni. Kitu kilicho wacha kumbukumbu katika maisha ya Subira ni kile cha mnamo tarehe mbili mwaka eltu mbili na tano. Siku hiyo ilikuwa kama ya kawaida, jua lilichomoza na kupenyeza miale yake katika kijumba cha akina Subira. Siku hiyo ilikuwa ni ya Jumamosi na kama kawaida, Subira hakuenda shuleni, alibaki na dada yake, Zahara, kucheza pamoja. Kawaida ya baba Subira, alipenda kumtembelea bibi kila Jumamosi na kurudi jioni na viazi vitamu au hata matunda mbalimbali. Lakini Jumamosi hii, baba Subira alikuwa amechoka. Ungemwangalia machoni pake, ungejua kuna kitu kinachomkosesha starehe. Mke wake alipomuuliza, alisema huenda amechoka kutokana na kuvuta nyavu mara kadha wa kadha kupata samaki. Subira na Zahara walikata kauli na kuenda kuwajulia wavyele wao hali kwani ilikuwa ni ada yao. Walipomtazama baba yao, hakuwa na ile furaha ambayo yeye huwa nayo kila siku. Baada ya kisebeho, walifanya kazi za nyumba na kuenda mtoni. Subira na Zahara waliporudi, walisikia sauti iliyoashiria usaidizi wa haraka. Sauti hiyo ilitokea kwenye chumba cha wavyele wao. Walikimbia haraka kiasi cha swara kuwonea gere. Walimkuta baba yao hohe hahe kitandani, si wa uji si wa maji. Si wa leo si wa kesho. Kwa sababu Subira na Zahara hawakuelewa kama msaada unatakikana, nao wakaanza kulia. Baba yake alimshika mkono wa kulia na akamnong'onezea maneno matatu masikioni ambayo Zahara hakuweza kusikia kisha akampa kijikaratasi kikubwa. Maskini wa watu Zahara hakujua kusoma lakini alikihifadhi vizuri. Baba yao alivuta hewa kwa nguvu na kisha kukatulia tuli, tupilia mbali maji ya mtungi. Zahara alikuwa sasa hana baba. Machozi yalitiririka kutoka machoni pao na kupenyeza katika mashavu. Walipiga mayowe ambayo mzee Tumbokubwa alikumbuka mbiu ya mgambo ikilia, jua kuna jambo na kama halipo jua laja. Bila ya kuchelewa, mzee Tumbokubwa alikuwa pale, aliwachwa mdomo wazi alipomwona mwenzake kaenda ahera. Mama Subira aliporudi jioni, alipigwa na butwaa alipoona umati wa watu nyumbani kwake, wengi wakihuzunisha na kulia. Umati ulikuwa umejaa nzi asipate nafasi ya kupita, lakini mama Subira alijipenyeza na kupita. Baada ya kudanganywa na watu wengi kuhusu mumewe, ukweli ulidhihiriki kama mchana kwamba yeye ni mjane. Halikadhalika, baada ya wiki mbili mazishi yalifanyika na hali ikarudi ile ya kawaida. Ndio maana Subira anapolitazama lile kijikaratasi alichoandikiwa na baba yake, hukumbuka haya yote na kujiliwaza. Kando na hayo yote, Subira aliendelea na masomo yake. Shuleni alikuwa jogoo. Fauka ya kupendwa na walimu, Subira aliwasaidia akina bendera hufuata upepo. Alichaguliwa kiranja katika darasa lao la chekechea. Aliendelea na bidii yake ya mchwa kujenga kichuguu hadi alipochaguliwa kiranja mkuu wa shule. Alipofika darasa la nane, alijitenga na kundi baya. Hakukata tamaa alipofeli. Zahara naye aliiga mfano wa dada yake ingawa hakuwa wa kwanza darasani lakini alikuwa anafanya bidii. Mama yao alifurahia kuwa na binti kama hawa. Ingawa mama yao hakuwa na kipato cha kutosha, alijufunga kibwebwe na kuwalipia karo. Subira aliufanya mtihani wake wa kitaifa na kufuzu vyema. Aliitwa shule moja kule mjini ambayo ilifahamika kama pesa. Wahisani wengi walijitokeza na kumsaidia kuingia kidato cha kwanza. Wavyele wengi waliwaambia watoto wao waige tabia za Subira. Siku moja Subira alipokuwa likizoni akingoja kujiunga na kidato cha kwanza, katika harakati za kukunjua na kupanga nguo zake, aliona kijikaratasi alichopewa na baba yake. Machozi yalimpukutika alipokumbuka jinsi alivyopewa karatasi hiyo na baba yake. Kwa sasa, Subira alifurahia kwa sababu angeweza kusoma maandishi yule na kuelewa. Subira aliufunga mlango kwa nguvu kuhakikisha hakuna atakayemsumbua atakapokuwa anasoma karatasi ile. Karatasi ilikuwa imeandikwa hivi, “Samahani mke na watoto wangu. Ashukum si matusi, ardhi mnayoishi si kwangu mimi. Nilikudanganya mama Subira ilimradi nikuoe. Mwenye ardhi atarudi kutoka nchi za ulaya Subira atakapokuwa anajiunga na kidato cha kwanza. Najua hali itakuwa ngumu lakini nakuomba utisite moyo. Ningependa kuomba msamaha tena kwani Rehema na Bigo ni watoto wangu. Kwaheri.” Subira alijipata asubuhi akiwa kitandani na kijikaratasi kile. Hakuamini kama ni yeye aliyeyasoma maneno yale. Alijaribu kutafakari ilikuwaje Rehema na Bigo wakawa nduguze, lakini hakupata jibu. Maswali mengi yalimiminika akilini mwake. Atamwelezea aje mama yake? Siri hii ataitunza mpaka lini? Mama yake atakapo pata habari hizi, je atazirai tena jinsi alivyoambiwa kuhusu kifo cha mumewe? Jioni moja, mama Subira alipokuwa akifua nguo za wanawe kwa bahati mbaya au mzuri aliiona karatasi. Aliichukua na kusoma. Lo! Mama Subira alianguka chini pu! Alizirai papo hapo. Habari hizi ziliwafikia Subira na Zahara mbio mbio. Subira alijilaumu ni kwa kuwa hakusema mapema. Wiki moja ilipita kama bado mama yao yuko hospitalini. Gari lilikuja hadi nyumbani kwa akina Subira. Waliwafukuza na kila kitu chao. Kitu kilichobaki ambacho kilikuwa cha maana ni ile kaburi ya baba yao ambayo ilikuwa kumbukumbuku yao. Subira alikumbuka alipokuwa akasoma ile barua na kujisemea huenda hawa ndio wenye ardhi. Waliishi na mzee Tumbokubwa huku wakimngoja mama yao atoke hospitalini. Mwezi mmoja baadaye, mama yao alipatikana kuwa shimo kubwa moyoni mwake. Ingewagharimu shillingi elfu mia moja taslimu ili mama yao aweze kupona. Maskini wa watu Subira na Zahara wakawa yatima. Subira aliamua na kuenda kumzungumzia mhubiri wao kuhusu karatasi aliyoachiwa na marehemu baba yake. Mhubiri alihakikisha kwamba Subira amejiunga na kidato cha kwanza na Zahara amepata elimu ya kutosha. Fauka ya hayo, Subira aliendelea na bidii yake. Alielewa kwa sasa yeye ndiye baba na mama kwa familia yao. Alijiepusha na makundi mabaya. Zahara naye aliendelea kujikaza, alipokuwa na shida yoyote mahali popote alimwambia mhubiri wao. Masomo ya binti hawa ikawa imenyooka kama lami. Mzee Tumbokubwa naye kwa sababu hakua na watoto wake aliwapenda sana. Aliwalipia karo na alifanya kila kitu kuhakikisha binti hawa wana furaha. Subira alisoma hadi chuo kikuu na kupata cheo cha uzamili. Hukusema amemaliza masoma bali alijiambia ndio ameanza masomo. Dada yake Subira alisomea mambo na utafiti. Subira anakumbuka hata hakumfichulia siri ile in iliyokuwa kwenye karatasi. Kwa sasa, Subira ana ujasiri wa kutosha kutoboa siri hii lakini hana ushahidi na tangu mhubiri aage dunia miaka miwili iliyopita, Subira hukumbuka watu aliowapoteza katika maisha yake. Swali ni, nani atamsikiliza bila ushahidi? Ama tena italeta maafa. Ama asiseme.
Kwa nini mama Subira alipigwa na butwaa
{ "text": [ "Aliuona umati watu nyumbani kwake" ] }
3610_swa
UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA. Katika miongo miwili ambayo imepita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wao wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje. Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhaa ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Mungu kuwajalia wakenya, Eliud Kipchoge anaenda kung’arisha jina la Kenya kule nje yeye pamoja na wenzake. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii kongole kwake na wengine. Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbalimbali na kama ni timu basi wadhamini timu mbali mbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea waekezaji hawa pesa ming. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa, lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga. Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao wanapofanyiwa mazuri, pia wao watang'ang'ana ili walete mazuri. Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujantunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani. Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujiwezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu ulikuwa unyama wa hali ya juu. Misri iliweza kuwakodisha hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku iliyofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu. Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi, hasa mashinani, za michezo. Watoto wenye talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kuwa bora zaidi wakati wanaendelea kuwa wakubwa na hayo wataongeza uzoefu wao wa kucheza. Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika nyanja hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarugu zaidi.
Michezo imedidimia wapi
{ "text": [ "nchini Kenya" ] }
3610_swa
UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA. Katika miongo miwili ambayo imepita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wao wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje. Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhaa ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Mungu kuwajalia wakenya, Eliud Kipchoge anaenda kung’arisha jina la Kenya kule nje yeye pamoja na wenzake. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii kongole kwake na wengine. Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbalimbali na kama ni timu basi wadhamini timu mbali mbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea waekezaji hawa pesa ming. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa, lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga. Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao wanapofanyiwa mazuri, pia wao watang'ang'ana ili walete mazuri. Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujantunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani. Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujiwezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu ulikuwa unyama wa hali ya juu. Misri iliweza kuwakodisha hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku iliyofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu. Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi, hasa mashinani, za michezo. Watoto wenye talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kuwa bora zaidi wakati wanaendelea kuwa wakubwa na hayo wataongeza uzoefu wao wa kucheza. Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika nyanja hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarugu zaidi.
Kenya imekuwa ikitegemea nini kupeperusha bendera ughaibuni
{ "text": [ "michezo" ] }
3610_swa
UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA. Katika miongo miwili ambayo imepita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wao wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje. Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhaa ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Mungu kuwajalia wakenya, Eliud Kipchoge anaenda kung’arisha jina la Kenya kule nje yeye pamoja na wenzake. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii kongole kwake na wengine. Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbalimbali na kama ni timu basi wadhamini timu mbali mbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea waekezaji hawa pesa ming. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa, lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga. Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao wanapofanyiwa mazuri, pia wao watang'ang'ana ili walete mazuri. Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujantunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani. Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujiwezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu ulikuwa unyama wa hali ya juu. Misri iliweza kuwakodisha hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku iliyofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu. Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi, hasa mashinani, za michezo. Watoto wenye talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kuwa bora zaidi wakati wanaendelea kuwa wakubwa na hayo wataongeza uzoefu wao wa kucheza. Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika nyanja hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarugu zaidi.
Eliud Kipchoge alivunja rekodi ya dunia mwaka gani
{ "text": [ "elfu mbili na kumi na nane" ] }
3610_swa
UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA. Katika miongo miwili ambayo imepita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wao wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje. Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhaa ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Mungu kuwajalia wakenya, Eliud Kipchoge anaenda kung’arisha jina la Kenya kule nje yeye pamoja na wenzake. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii kongole kwake na wengine. Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbalimbali na kama ni timu basi wadhamini timu mbali mbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea waekezaji hawa pesa ming. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa, lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga. Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao wanapofanyiwa mazuri, pia wao watang'ang'ana ili walete mazuri. Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujantunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani. Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujiwezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu ulikuwa unyama wa hali ya juu. Misri iliweza kuwakodisha hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku iliyofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu. Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi, hasa mashinani, za michezo. Watoto wenye talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kuwa bora zaidi wakati wanaendelea kuwa wakubwa na hayo wataongeza uzoefu wao wa kucheza. Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika nyanja hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarugu zaidi.
Mashabiki waweze kushabikia timu gani
{ "text": [ "za nyumbani" ] }
3610_swa
UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA. Katika miongo miwili ambayo imepita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wao wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje. Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhaa ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Mungu kuwajalia wakenya, Eliud Kipchoge anaenda kung’arisha jina la Kenya kule nje yeye pamoja na wenzake. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii kongole kwake na wengine. Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbalimbali na kama ni timu basi wadhamini timu mbali mbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea waekezaji hawa pesa ming. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa, lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga. Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao wanapofanyiwa mazuri, pia wao watang'ang'ana ili walete mazuri. Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujantunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani. Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujiwezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu ulikuwa unyama wa hali ya juu. Misri iliweza kuwakodisha hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku iliyofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu. Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi, hasa mashinani, za michezo. Watoto wenye talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kuwa bora zaidi wakati wanaendelea kuwa wakubwa na hayo wataongeza uzoefu wao wa kucheza. Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika nyanja hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarugu zaidi.
Mbona viwanda vya kujenga buti viongezewe
{ "text": [ "ili wachezaji wapate mavazi bora" ] }
3614_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana ni chanzo cha uozo katika jamii kwa sababu uhusiano huu husababisha mimba za mapema kwa wasichana. Ujauzito huu huleta ugomvi baina yao na wazazi wao. Ujauzito wa mapema pia hawafanya wasichana kuwa na uoga, kukejeliwa na kufukuzwa wa shuleni. Mimba za mapema pia huwafanya wasichana kutoa mimba, hii husababisha vifo ama utasa. Ujauzito huu pia hawafanya wasichana kuacha shule kwa sababu wenzao wanawacheka. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana pia huwafanya vijana kuwa waraibu wa dawa za kulevya. Hii hutokea kijana anapohusiana kimapenzi na mwenzake ambaye anatumia dawa za kulevya. Wakati mwingi, tatizo hili hutokea mtu anapomwambia mpenzi wake kuwa kama anampenda basi atumie dawa za kulevya kama yeye anavyozitumia ili adhibitishe mapenzi yake. Uhusiano huu pia husambaza magonjwa sugu ya aina mbalimbali kwa kasi. Hii husababishwa ikiwa kijana atahusiana na mtu anaye hanya hanya. Magonjua haya sugu husambazwa kwa njia mbali mbali kama vile ngono, kutumia vifaa kama vile nyembe, sindano na kadhalika na mtu ambaye ana ugonjwa. Ili kuzuia hili kutokea, inafaa vijana waende zahanatini wapimwe ili wawe na uhakika wa hali yao, na pia kuwa waminifu kwa wapenzi wao. Uhusiano huu husababisha ndoa za mapema. Hii hutokea msichana anapopata ujauzito, na anakataliwa na wazazi wake, wakimwamuru kuwa aende kwa aliyempachika ujauzito. Tatizo hili huwalazimisha wasichana kuolewa mapema kwa wavulana waliowapachika mimba. Uhusiano huu huwafanya vijana kuwa watovu wa nidhamu. Hili hutokea vijana wapowajibiza wazazi wao na kutowatii kwa sababu wameambiwa na wapenzi wao kuwa wazazi wamezeeka na hawajui wafanyacho. Vijana wanakosa kuwatii wazazi wao wanapopewa kazi wakati ambapo wao wanafikiria kuwa wanafaa kuwa na wapenzi wao. Uhusiano huu pia hawafanya vijana kutoroka kutoka nyumbani kwao ili wawe na wapenzi wao. Hii husababisha utengano katika familia. Hii pia huwafanya wazazi kuwachukia wana wao kwa sababu ya kuacha masomo yao ili wawe na wapenzi wao. Uhusiano huu pia huwafanya vijana kuiba mali ya wazazi wao. Hii hutokea kijana anapotaka kupata pesa za kumpelekea mpenzi wake. Tatizo hili huwafanya vijana pia kuwaibia watu njiani na madukani. Hii husababisha vifo wakati ambapo hawa vijana hawa hushikwa na kuuawa kinyama kwa sababu ya wizi. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wanaotoka katika familia za kimaskini kushiriki mapenzi na wafadhili wao ambao wana umri mkubwa ili wapate pesa za mahitaji yao ya kila siku. Suala hili pia husambaza magonjwa kwa vijana hawa. Changamoto hizi zinazotokana na uhusiano wa kimapenzi zinaweza zikatatutuliwa kwa njia mbalimbali kama vile wazazi kuwapa watoto wao ushauri kuhusu matokeo ya kuhusiana kimapenzi katika umri wao mdogo, serikali kutoa vipindi vya mawaidha katika vyuo mbalimbali, vipindi vya runinga vinavyotoa mafunzo kuhusu athari za mahusiano ya mapenzi. Vijana pia inafaa wapewe mafunzo ya jinsi ya kuutumia wakati wao vizuri ili wasikumbane na majaribio yanayotokana na kukosa kazi.
Uhusiano wa kimapenzi katika jamii husabababisha nini
{ "text": [ "Mimba za mapenzi" ] }
3614_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana ni chanzo cha uozo katika jamii kwa sababu uhusiano huu husababisha mimba za mapema kwa wasichana. Ujauzito huu huleta ugomvi baina yao na wazazi wao. Ujauzito wa mapema pia hawafanya wasichana kuwa na uoga, kukejeliwa na kufukuzwa wa shuleni. Mimba za mapema pia huwafanya wasichana kutoa mimba, hii husababisha vifo ama utasa. Ujauzito huu pia hawafanya wasichana kuacha shule kwa sababu wenzao wanawacheka. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana pia huwafanya vijana kuwa waraibu wa dawa za kulevya. Hii hutokea kijana anapohusiana kimapenzi na mwenzake ambaye anatumia dawa za kulevya. Wakati mwingi, tatizo hili hutokea mtu anapomwambia mpenzi wake kuwa kama anampenda basi atumie dawa za kulevya kama yeye anavyozitumia ili adhibitishe mapenzi yake. Uhusiano huu pia husambaza magonjwa sugu ya aina mbalimbali kwa kasi. Hii husababishwa ikiwa kijana atahusiana na mtu anaye hanya hanya. Magonjua haya sugu husambazwa kwa njia mbali mbali kama vile ngono, kutumia vifaa kama vile nyembe, sindano na kadhalika na mtu ambaye ana ugonjwa. Ili kuzuia hili kutokea, inafaa vijana waende zahanatini wapimwe ili wawe na uhakika wa hali yao, na pia kuwa waminifu kwa wapenzi wao. Uhusiano huu husababisha ndoa za mapema. Hii hutokea msichana anapopata ujauzito, na anakataliwa na wazazi wake, wakimwamuru kuwa aende kwa aliyempachika ujauzito. Tatizo hili huwalazimisha wasichana kuolewa mapema kwa wavulana waliowapachika mimba. Uhusiano huu huwafanya vijana kuwa watovu wa nidhamu. Hili hutokea vijana wapowajibiza wazazi wao na kutowatii kwa sababu wameambiwa na wapenzi wao kuwa wazazi wamezeeka na hawajui wafanyacho. Vijana wanakosa kuwatii wazazi wao wanapopewa kazi wakati ambapo wao wanafikiria kuwa wanafaa kuwa na wapenzi wao. Uhusiano huu pia hawafanya vijana kutoroka kutoka nyumbani kwao ili wawe na wapenzi wao. Hii husababisha utengano katika familia. Hii pia huwafanya wazazi kuwachukia wana wao kwa sababu ya kuacha masomo yao ili wawe na wapenzi wao. Uhusiano huu pia huwafanya vijana kuiba mali ya wazazi wao. Hii hutokea kijana anapotaka kupata pesa za kumpelekea mpenzi wake. Tatizo hili huwafanya vijana pia kuwaibia watu njiani na madukani. Hii husababisha vifo wakati ambapo hawa vijana hawa hushikwa na kuuawa kinyama kwa sababu ya wizi. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wanaotoka katika familia za kimaskini kushiriki mapenzi na wafadhili wao ambao wana umri mkubwa ili wapate pesa za mahitaji yao ya kila siku. Suala hili pia husambaza magonjwa kwa vijana hawa. Changamoto hizi zinazotokana na uhusiano wa kimapenzi zinaweza zikatatutuliwa kwa njia mbalimbali kama vile wazazi kuwapa watoto wao ushauri kuhusu matokeo ya kuhusiana kimapenzi katika umri wao mdogo, serikali kutoa vipindi vya mawaidha katika vyuo mbalimbali, vipindi vya runinga vinavyotoa mafunzo kuhusu athari za mahusiano ya mapenzi. Vijana pia inafaa wapewe mafunzo ya jinsi ya kuutumia wakati wao vizuri ili wasikumbane na majaribio yanayotokana na kukosa kazi.
Uraibu wa dawa za kulevya huchangiwa na nini
{ "text": [ "Ushawishi miongoni mwa vijana kuhusu mapenzi" ] }
3614_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana ni chanzo cha uozo katika jamii kwa sababu uhusiano huu husababisha mimba za mapema kwa wasichana. Ujauzito huu huleta ugomvi baina yao na wazazi wao. Ujauzito wa mapema pia hawafanya wasichana kuwa na uoga, kukejeliwa na kufukuzwa wa shuleni. Mimba za mapema pia huwafanya wasichana kutoa mimba, hii husababisha vifo ama utasa. Ujauzito huu pia hawafanya wasichana kuacha shule kwa sababu wenzao wanawacheka. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana pia huwafanya vijana kuwa waraibu wa dawa za kulevya. Hii hutokea kijana anapohusiana kimapenzi na mwenzake ambaye anatumia dawa za kulevya. Wakati mwingi, tatizo hili hutokea mtu anapomwambia mpenzi wake kuwa kama anampenda basi atumie dawa za kulevya kama yeye anavyozitumia ili adhibitishe mapenzi yake. Uhusiano huu pia husambaza magonjwa sugu ya aina mbalimbali kwa kasi. Hii husababishwa ikiwa kijana atahusiana na mtu anaye hanya hanya. Magonjua haya sugu husambazwa kwa njia mbali mbali kama vile ngono, kutumia vifaa kama vile nyembe, sindano na kadhalika na mtu ambaye ana ugonjwa. Ili kuzuia hili kutokea, inafaa vijana waende zahanatini wapimwe ili wawe na uhakika wa hali yao, na pia kuwa waminifu kwa wapenzi wao. Uhusiano huu husababisha ndoa za mapema. Hii hutokea msichana anapopata ujauzito, na anakataliwa na wazazi wake, wakimwamuru kuwa aende kwa aliyempachika ujauzito. Tatizo hili huwalazimisha wasichana kuolewa mapema kwa wavulana waliowapachika mimba. Uhusiano huu huwafanya vijana kuwa watovu wa nidhamu. Hili hutokea vijana wapowajibiza wazazi wao na kutowatii kwa sababu wameambiwa na wapenzi wao kuwa wazazi wamezeeka na hawajui wafanyacho. Vijana wanakosa kuwatii wazazi wao wanapopewa kazi wakati ambapo wao wanafikiria kuwa wanafaa kuwa na wapenzi wao. Uhusiano huu pia hawafanya vijana kutoroka kutoka nyumbani kwao ili wawe na wapenzi wao. Hii husababisha utengano katika familia. Hii pia huwafanya wazazi kuwachukia wana wao kwa sababu ya kuacha masomo yao ili wawe na wapenzi wao. Uhusiano huu pia huwafanya vijana kuiba mali ya wazazi wao. Hii hutokea kijana anapotaka kupata pesa za kumpelekea mpenzi wake. Tatizo hili huwafanya vijana pia kuwaibia watu njiani na madukani. Hii husababisha vifo wakati ambapo hawa vijana hawa hushikwa na kuuawa kinyama kwa sababu ya wizi. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wanaotoka katika familia za kimaskini kushiriki mapenzi na wafadhili wao ambao wana umri mkubwa ili wapate pesa za mahitaji yao ya kila siku. Suala hili pia husambaza magonjwa kwa vijana hawa. Changamoto hizi zinazotokana na uhusiano wa kimapenzi zinaweza zikatatutuliwa kwa njia mbalimbali kama vile wazazi kuwapa watoto wao ushauri kuhusu matokeo ya kuhusiana kimapenzi katika umri wao mdogo, serikali kutoa vipindi vya mawaidha katika vyuo mbalimbali, vipindi vya runinga vinavyotoa mafunzo kuhusu athari za mahusiano ya mapenzi. Vijana pia inafaa wapewe mafunzo ya jinsi ya kuutumia wakati wao vizuri ili wasikumbane na majaribio yanayotokana na kukosa kazi.
Ugonjwa sugu wa kimapenzi husambazwa kutumia njia ipi
{ "text": [ "Ngono" ] }