Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
3652_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU JINSI YA KUIMARISHA MATOKEO YA WANAFUNZI KATIKA DARASA LAKE (Ni asubuhi mapema ambapo mwalimu wa darasa Bw. Opunye anamuita kiranja wa darasa, Lokonga Simon katika ofisi yake) Lokonga: (Anabisha mlango mara tatu) hodi Bw Opunye: Karibu Lokonga. Lokonga: Asante mwalimu. Nimeskía huwa umeniita Bw Opunye: (Akitingiza kichwa) Bila shaka. Naam nimekuita ili tuelezane kidogo jinsi ya kuimarisha matokeo ya darasa lako. Lokonga : Naam... Bw Opunye: (Anatoa faili kwenye kabati iliyo karibu naye) Kwanza hebu ona mlivyofeli katika mtihani mlioufanya. Matokeo haya hapa (akimpa faili hiyo) hayapendezi kabisa. Lokonga: (Kwa mshangao na kushtuka) Bw Opunye: Ona kwazza wewe kama kiranja alama unazozipat(kwa sauti ya juu) Hivi unatoa mfano upi kwa wenzako? Ona mlivyofeli katika somo la hisabati na kemia. Hakuna yeyote aliyepata alama ya A. Wa kwanza ana alama ya B ondoa. Hizi si alama za kupendeza kabisa. Wengi wenu mmepata alama ya C- kurudi nyuma. Kwa hivyo kwa kifupi, nataka unieleze jinsi tutakavyoimarisha matokeo haya. Lokonga: (kwa sauti ya chini) Kwanza mwalimu, mtihani huu ulikuja ghafla ambapo hatukuwa tumejipanga. Pia, wanafunzi wenzangu baadhi yao vitabu vilipotea na kuraruka wakati kulikuwepo na mgomo hivyo basi hawakuwa na muda wa kusoma. Bw. Opunye: (Akitingiza kichwa) Lokonga: Kwa hivyo mwalimu, kwanza mtupe muda tukamalizie kuandica nakala hizo. Bw Opunye: Kwa muda gani? Kumbuka pia muda hautatungoja. Lazima pia tuendelee na mtaala. Lokonga: (Anajishika kichwa) Muda wa wiki moja na nusu mwalimu. Pia, nilikuwa naonelea kuwa baada ya kukamilisha kuandika, mtupe majaribio mengi. Hayo majaribio tutakuwa tukiyafanya wikendi na mtaala tunaipitia siku za wiki. Bw. Opunye: Hamna shida Lokonga. Lokonga: Pia mwalimu, tutatenga muda wa ziada kabla ya kwenda kulala ambapo tutetengeneza makundi ya masomo yote, iwe ni historia, kiswahili ili tujadiliane na kuputa mengi. Bw. Opunye: Wazo zuri hilo Lokonga. Lokonga: Kwa hivyo nitawafahamisha wenzangu wajipange. Bw. Opunye: Kabisa Lokonga. Kwa hiyo, tutajadilidana mengi zaidi, wafaa urudi darasani. Nimesikia kengele ikilia. Lokonga: Asante mwalimu. Bw Opunye : (Anaonekana kutoa kitu mfukoni) Shika hizi, utanunua andazi ule. Lokonga: Asante. (anatoka na kurudisha mlango kwa utaratibu)
Lokonga aliomba muda upi kuandika nakala
{ "text": [ "Muda wa wiki moja na nusu" ] }
3652_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU JINSI YA KUIMARISHA MATOKEO YA WANAFUNZI KATIKA DARASA LAKE (Ni asubuhi mapema ambapo mwalimu wa darasa Bw. Opunye anamuita kiranja wa darasa, Lokonga Simon katika ofisi yake) Lokonga: (Anabisha mlango mara tatu) hodi Bw Opunye: Karibu Lokonga. Lokonga: Asante mwalimu. Nimeskía huwa umeniita Bw Opunye: (Akitingiza kichwa) Bila shaka. Naam nimekuita ili tuelezane kidogo jinsi ya kuimarisha matokeo ya darasa lako. Lokonga : Naam... Bw Opunye: (Anatoa faili kwenye kabati iliyo karibu naye) Kwanza hebu ona mlivyofeli katika mtihani mlioufanya. Matokeo haya hapa (akimpa faili hiyo) hayapendezi kabisa. Lokonga: (Kwa mshangao na kushtuka) Bw Opunye: Ona kwazza wewe kama kiranja alama unazozipat(kwa sauti ya juu) Hivi unatoa mfano upi kwa wenzako? Ona mlivyofeli katika somo la hisabati na kemia. Hakuna yeyote aliyepata alama ya A. Wa kwanza ana alama ya B ondoa. Hizi si alama za kupendeza kabisa. Wengi wenu mmepata alama ya C- kurudi nyuma. Kwa hivyo kwa kifupi, nataka unieleze jinsi tutakavyoimarisha matokeo haya. Lokonga: (kwa sauti ya chini) Kwanza mwalimu, mtihani huu ulikuja ghafla ambapo hatukuwa tumejipanga. Pia, wanafunzi wenzangu baadhi yao vitabu vilipotea na kuraruka wakati kulikuwepo na mgomo hivyo basi hawakuwa na muda wa kusoma. Bw. Opunye: (Akitingiza kichwa) Lokonga: Kwa hivyo mwalimu, kwanza mtupe muda tukamalizie kuandica nakala hizo. Bw Opunye: Kwa muda gani? Kumbuka pia muda hautatungoja. Lazima pia tuendelee na mtaala. Lokonga: (Anajishika kichwa) Muda wa wiki moja na nusu mwalimu. Pia, nilikuwa naonelea kuwa baada ya kukamilisha kuandika, mtupe majaribio mengi. Hayo majaribio tutakuwa tukiyafanya wikendi na mtaala tunaipitia siku za wiki. Bw. Opunye: Hamna shida Lokonga. Lokonga: Pia mwalimu, tutatenga muda wa ziada kabla ya kwenda kulala ambapo tutetengeneza makundi ya masomo yote, iwe ni historia, kiswahili ili tujadiliane na kuputa mengi. Bw. Opunye: Wazo zuri hilo Lokonga. Lokonga: Kwa hivyo nitawafahamisha wenzangu wajipange. Bw. Opunye: Kabisa Lokonga. Kwa hiyo, tutajadilidana mengi zaidi, wafaa urudi darasani. Nimesikia kengele ikilia. Lokonga: Asante mwalimu. Bw Opunye : (Anaonekana kutoa kitu mfukoni) Shika hizi, utanunua andazi ule. Lokonga: Asante. (anatoka na kurudisha mlango kwa utaratibu)
Sababu za kufeli mtihani kulingana na lokonga zilikuwa zipi
{ "text": [ "Mtihani kuja ghafla na vitabu vilikuwa vimeraruka na kupotea" ] }
3654_swa
JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI. Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kuifanya lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hii, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii watapata msamiati wa Kiswahili ambao utapanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo ambavyo wamesoma kiswahili vizuri huku watahamasisha wananchi umuhimu wa kuzungumza kiswahili. Pili, katika shule au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufanywa kuwa somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu na wale wanaokisomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita katika kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine. Tatu, Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuyauza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea poleple hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika zingine. Nne, serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kuweka siku fulani ya kuzungumuza kiswahili. Hii italeta ushirikiano kinchi na pia kibinafsi na pia sera za lugha zitapitishwa na hivyo basi lugha kukua. Tano, lugha inaweza kumaimarishwa kwa kukuza talanta za vijana kwa kuwarusu kujiunga na tamasha za muziki, utunzi wa mashairi na hotuba kwa kiswahili, na michezo mbali mbali kama vile kandanda, na pia kujiunga na kongamano za kiswahili. Kumalizia, tunaweza kukuza kiswahili pia kwa kuifanya mojawapo wa lugha inayotumika katika dini. Biblia na Quran zinaweza kutafsiriwa kwa lugha ya kiswahili ili kusaidia kuimaisha lugha ya kiswahili.
Kiswahili kinaweza kuimarishwa kwa kukifanya lugha ya nini
{ "text": [ "utangazaji" ] }
3654_swa
JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI. Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kuifanya lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hii, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii watapata msamiati wa Kiswahili ambao utapanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo ambavyo wamesoma kiswahili vizuri huku watahamasisha wananchi umuhimu wa kuzungumza kiswahili. Pili, katika shule au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufanywa kuwa somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu na wale wanaokisomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita katika kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine. Tatu, Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuyauza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea poleple hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika zingine. Nne, serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kuweka siku fulani ya kuzungumuza kiswahili. Hii italeta ushirikiano kinchi na pia kibinafsi na pia sera za lugha zitapitishwa na hivyo basi lugha kukua. Tano, lugha inaweza kumaimarishwa kwa kukuza talanta za vijana kwa kuwarusu kujiunga na tamasha za muziki, utunzi wa mashairi na hotuba kwa kiswahili, na michezo mbali mbali kama vile kandanda, na pia kujiunga na kongamano za kiswahili. Kumalizia, tunaweza kukuza kiswahili pia kwa kuifanya mojawapo wa lugha inayotumika katika dini. Biblia na Quran zinaweza kutafsiriwa kwa lugha ya kiswahili ili kusaidia kuimaisha lugha ya kiswahili.
Waandishi wa makala wahimizwe kuandika nini kwa Kiswahili
{ "text": [ "hadithi" ] }
3654_swa
JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI. Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kuifanya lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hii, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii watapata msamiati wa Kiswahili ambao utapanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo ambavyo wamesoma kiswahili vizuri huku watahamasisha wananchi umuhimu wa kuzungumza kiswahili. Pili, katika shule au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufanywa kuwa somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu na wale wanaokisomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita katika kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine. Tatu, Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuyauza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea poleple hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika zingine. Nne, serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kuweka siku fulani ya kuzungumuza kiswahili. Hii italeta ushirikiano kinchi na pia kibinafsi na pia sera za lugha zitapitishwa na hivyo basi lugha kukua. Tano, lugha inaweza kumaimarishwa kwa kukuza talanta za vijana kwa kuwarusu kujiunga na tamasha za muziki, utunzi wa mashairi na hotuba kwa kiswahili, na michezo mbali mbali kama vile kandanda, na pia kujiunga na kongamano za kiswahili. Kumalizia, tunaweza kukuza kiswahili pia kwa kuifanya mojawapo wa lugha inayotumika katika dini. Biblia na Quran zinaweza kutafsiriwa kwa lugha ya kiswahili ili kusaidia kuimaisha lugha ya kiswahili.
Lugha inaweza kukuzwa kwa kukuza talanta ya nani
{ "text": [ "vijana" ] }
3654_swa
JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI. Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kuifanya lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hii, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii watapata msamiati wa Kiswahili ambao utapanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo ambavyo wamesoma kiswahili vizuri huku watahamasisha wananchi umuhimu wa kuzungumza kiswahili. Pili, katika shule au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufanywa kuwa somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu na wale wanaokisomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita katika kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine. Tatu, Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuyauza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea poleple hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika zingine. Nne, serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kuweka siku fulani ya kuzungumuza kiswahili. Hii italeta ushirikiano kinchi na pia kibinafsi na pia sera za lugha zitapitishwa na hivyo basi lugha kukua. Tano, lugha inaweza kumaimarishwa kwa kukuza talanta za vijana kwa kuwarusu kujiunga na tamasha za muziki, utunzi wa mashairi na hotuba kwa kiswahili, na michezo mbali mbali kama vile kandanda, na pia kujiunga na kongamano za kiswahili. Kumalizia, tunaweza kukuza kiswahili pia kwa kuifanya mojawapo wa lugha inayotumika katika dini. Biblia na Quran zinaweza kutafsiriwa kwa lugha ya kiswahili ili kusaidia kuimaisha lugha ya kiswahili.
Kiswahili itachaguliwa kuwa lugha ya taifa wapi
{ "text": [ "katika nchi zingine" ] }
3654_swa
JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI. Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kuifanya lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hii, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii watapata msamiati wa Kiswahili ambao utapanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo ambavyo wamesoma kiswahili vizuri huku watahamasisha wananchi umuhimu wa kuzungumza kiswahili. Pili, katika shule au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufanywa kuwa somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu na wale wanaokisomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita katika kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine. Tatu, Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuyauza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea poleple hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika zingine. Nne, serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kuweka siku fulani ya kuzungumuza kiswahili. Hii italeta ushirikiano kinchi na pia kibinafsi na pia sera za lugha zitapitishwa na hivyo basi lugha kukua. Tano, lugha inaweza kumaimarishwa kwa kukuza talanta za vijana kwa kuwarusu kujiunga na tamasha za muziki, utunzi wa mashairi na hotuba kwa kiswahili, na michezo mbali mbali kama vile kandanda, na pia kujiunga na kongamano za kiswahili. Kumalizia, tunaweza kukuza kiswahili pia kwa kuifanya mojawapo wa lugha inayotumika katika dini. Biblia na Quran zinaweza kutafsiriwa kwa lugha ya kiswahili ili kusaidia kuimaisha lugha ya kiswahili.
Mbona Biblia ichapishwe kwa lugha ya Kiswahili
{ "text": [ "ili ilete uhusiano baina ya wakristo" ] }
3657_swa
USAFI Usafi ni utunzaji, mazoea au mbinu zinazotumika kwa uhifadhi wa afya na kinga ya magonjwa. Usafi wa mwili ni bora zaidi kwa sababu humfanya mtu kuonekana bora na hata kujisikia ako sawa. Katika usafi wa mwili, ni lazima nguo ziwe safi, za ndani na za nje. Ili usafi uweze kuimarishwa ni sharti kuwe na maji safi. Tukiimarisha usafi, tutaepuka magonjwa kama vile kipindupindu. Magonjwa yanayotokana na kukosa kuimarisha usafi yanaweza sababisha vifo vya watu wengi. Tuanstahili kuosha matunda na mboga kwa maji safi kabla ya kula au kupika. Mwanafunzi anapoimarisha usafi wake shuleni na nyumbani ataonekana nadhifu na hata kupendwa na kila mtu. Masomo yake yataendelea vizuri na kupendwa na walimu na kusaidiwa kusoma ili apite mitihani. Anapofaulu katika masomo, kupata kazi itakuwa rahisi iwapo bado atakuwa msafi. Tukitimiza usafi, tutaweza kushikilia nafasi zetu za kazi na kwendelea nazo. Pale hospitalini, usafi lazima uonekane kwa wauguzi na madaktari ili waweze kuwahudumia wagonjwa. Iwapo mgonjwa atakuwa ana majeraha au vidonda, basi yafaa usafi udumishwe ili aweze kupona. Iwapo atakaye mhudumia atakuwa mchafu, ugonjwa utazidi na kuleta madhara mengine. Mazingira yetu yanafaa kuwa safi ili yaweze kuvutia. Tukikaa katika mazingira ambayo ni machafu, tunaweza kupatwa na magonjwa. Tunatakiwa kuzingatia usafi hata chooni ilikuzuia uenezaji wa magonjwa mengi na hata kuzuia ueneaji wa uvundo. Pia kwenye matatu, ni lazima utingo na dereva waweze kuzingatia usafi ili waweze kupata abiria na hata abiria kufurahia kusafiri kwenye gari lao. Wenye bodaboda pia ni sharti watimize usafi ili biashara yao iendele vyema. Soko lazima liwe na maji ya kutosha ili kuimarisha mazingira safi na bidhaa bora zinazovutia. Ni lazima tuweze kutimiza usaji ili kuepuka matatizo madogo madogo kama binadamu ili kuishi maisha bora na ya furaha.
Tukiimarisha usafi tutaepuka nini ?
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
3657_swa
USAFI Usafi ni utunzaji, mazoea au mbinu zinazotumika kwa uhifadhi wa afya na kinga ya magonjwa. Usafi wa mwili ni bora zaidi kwa sababu humfanya mtu kuonekana bora na hata kujisikia ako sawa. Katika usafi wa mwili, ni lazima nguo ziwe safi, za ndani na za nje. Ili usafi uweze kuimarishwa ni sharti kuwe na maji safi. Tukiimarisha usafi, tutaepuka magonjwa kama vile kipindupindu. Magonjwa yanayotokana na kukosa kuimarisha usafi yanaweza sababisha vifo vya watu wengi. Tuanstahili kuosha matunda na mboga kwa maji safi kabla ya kula au kupika. Mwanafunzi anapoimarisha usafi wake shuleni na nyumbani ataonekana nadhifu na hata kupendwa na kila mtu. Masomo yake yataendelea vizuri na kupendwa na walimu na kusaidiwa kusoma ili apite mitihani. Anapofaulu katika masomo, kupata kazi itakuwa rahisi iwapo bado atakuwa msafi. Tukitimiza usafi, tutaweza kushikilia nafasi zetu za kazi na kwendelea nazo. Pale hospitalini, usafi lazima uonekane kwa wauguzi na madaktari ili waweze kuwahudumia wagonjwa. Iwapo mgonjwa atakuwa ana majeraha au vidonda, basi yafaa usafi udumishwe ili aweze kupona. Iwapo atakaye mhudumia atakuwa mchafu, ugonjwa utazidi na kuleta madhara mengine. Mazingira yetu yanafaa kuwa safi ili yaweze kuvutia. Tukikaa katika mazingira ambayo ni machafu, tunaweza kupatwa na magonjwa. Tunatakiwa kuzingatia usafi hata chooni ilikuzuia uenezaji wa magonjwa mengi na hata kuzuia ueneaji wa uvundo. Pia kwenye matatu, ni lazima utingo na dereva waweze kuzingatia usafi ili waweze kupata abiria na hata abiria kufurahia kusafiri kwenye gari lao. Wenye bodaboda pia ni sharti watimize usafi ili biashara yao iendele vyema. Soko lazima liwe na maji ya kutosha ili kuimarisha mazingira safi na bidhaa bora zinazovutia. Ni lazima tuweze kutimiza usaji ili kuepuka matatizo madogo madogo kama binadamu ili kuishi maisha bora na ya furaha.
Magonjwa kama gani hutokana na kuzorota kwa usafi?
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
3657_swa
USAFI Usafi ni utunzaji, mazoea au mbinu zinazotumika kwa uhifadhi wa afya na kinga ya magonjwa. Usafi wa mwili ni bora zaidi kwa sababu humfanya mtu kuonekana bora na hata kujisikia ako sawa. Katika usafi wa mwili, ni lazima nguo ziwe safi, za ndani na za nje. Ili usafi uweze kuimarishwa ni sharti kuwe na maji safi. Tukiimarisha usafi, tutaepuka magonjwa kama vile kipindupindu. Magonjwa yanayotokana na kukosa kuimarisha usafi yanaweza sababisha vifo vya watu wengi. Tuanstahili kuosha matunda na mboga kwa maji safi kabla ya kula au kupika. Mwanafunzi anapoimarisha usafi wake shuleni na nyumbani ataonekana nadhifu na hata kupendwa na kila mtu. Masomo yake yataendelea vizuri na kupendwa na walimu na kusaidiwa kusoma ili apite mitihani. Anapofaulu katika masomo, kupata kazi itakuwa rahisi iwapo bado atakuwa msafi. Tukitimiza usafi, tutaweza kushikilia nafasi zetu za kazi na kwendelea nazo. Pale hospitalini, usafi lazima uonekane kwa wauguzi na madaktari ili waweze kuwahudumia wagonjwa. Iwapo mgonjwa atakuwa ana majeraha au vidonda, basi yafaa usafi udumishwe ili aweze kupona. Iwapo atakaye mhudumia atakuwa mchafu, ugonjwa utazidi na kuleta madhara mengine. Mazingira yetu yanafaa kuwa safi ili yaweze kuvutia. Tukikaa katika mazingira ambayo ni machafu, tunaweza kupatwa na magonjwa. Tunatakiwa kuzingatia usafi hata chooni ilikuzuia uenezaji wa magonjwa mengi na hata kuzuia ueneaji wa uvundo. Pia kwenye matatu, ni lazima utingo na dereva waweze kuzingatia usafi ili waweze kupata abiria na hata abiria kufurahia kusafiri kwenye gari lao. Wenye bodaboda pia ni sharti watimize usafi ili biashara yao iendele vyema. Soko lazima liwe na maji ya kutosha ili kuimarisha mazingira safi na bidhaa bora zinazovutia. Ni lazima tuweze kutimiza usaji ili kuepuka matatizo madogo madogo kama binadamu ili kuishi maisha bora na ya furaha.
Mwanafunzi atakapo imarisha usafi shuleni ataonekana wakiwa vipi?
{ "text": [ "Nadhifu" ] }
3657_swa
USAFI Usafi ni utunzaji, mazoea au mbinu zinazotumika kwa uhifadhi wa afya na kinga ya magonjwa. Usafi wa mwili ni bora zaidi kwa sababu humfanya mtu kuonekana bora na hata kujisikia ako sawa. Katika usafi wa mwili, ni lazima nguo ziwe safi, za ndani na za nje. Ili usafi uweze kuimarishwa ni sharti kuwe na maji safi. Tukiimarisha usafi, tutaepuka magonjwa kama vile kipindupindu. Magonjwa yanayotokana na kukosa kuimarisha usafi yanaweza sababisha vifo vya watu wengi. Tuanstahili kuosha matunda na mboga kwa maji safi kabla ya kula au kupika. Mwanafunzi anapoimarisha usafi wake shuleni na nyumbani ataonekana nadhifu na hata kupendwa na kila mtu. Masomo yake yataendelea vizuri na kupendwa na walimu na kusaidiwa kusoma ili apite mitihani. Anapofaulu katika masomo, kupata kazi itakuwa rahisi iwapo bado atakuwa msafi. Tukitimiza usafi, tutaweza kushikilia nafasi zetu za kazi na kwendelea nazo. Pale hospitalini, usafi lazima uonekane kwa wauguzi na madaktari ili waweze kuwahudumia wagonjwa. Iwapo mgonjwa atakuwa ana majeraha au vidonda, basi yafaa usafi udumishwe ili aweze kupona. Iwapo atakaye mhudumia atakuwa mchafu, ugonjwa utazidi na kuleta madhara mengine. Mazingira yetu yanafaa kuwa safi ili yaweze kuvutia. Tukikaa katika mazingira ambayo ni machafu, tunaweza kupatwa na magonjwa. Tunatakiwa kuzingatia usafi hata chooni ilikuzuia uenezaji wa magonjwa mengi na hata kuzuia ueneaji wa uvundo. Pia kwenye matatu, ni lazima utingo na dereva waweze kuzingatia usafi ili waweze kupata abiria na hata abiria kufurahia kusafiri kwenye gari lao. Wenye bodaboda pia ni sharti watimize usafi ili biashara yao iendele vyema. Soko lazima liwe na maji ya kutosha ili kuimarisha mazingira safi na bidhaa bora zinazovutia. Ni lazima tuweze kutimiza usaji ili kuepuka matatizo madogo madogo kama binadamu ili kuishi maisha bora na ya furaha.
Hospitalini usafi lazima uonekane miongoni mwa kina nani?
{ "text": [ "Madaktari" ] }
3657_swa
USAFI Usafi ni utunzaji, mazoea au mbinu zinazotumika kwa uhifadhi wa afya na kinga ya magonjwa. Usafi wa mwili ni bora zaidi kwa sababu humfanya mtu kuonekana bora na hata kujisikia ako sawa. Katika usafi wa mwili, ni lazima nguo ziwe safi, za ndani na za nje. Ili usafi uweze kuimarishwa ni sharti kuwe na maji safi. Tukiimarisha usafi, tutaepuka magonjwa kama vile kipindupindu. Magonjwa yanayotokana na kukosa kuimarisha usafi yanaweza sababisha vifo vya watu wengi. Tuanstahili kuosha matunda na mboga kwa maji safi kabla ya kula au kupika. Mwanafunzi anapoimarisha usafi wake shuleni na nyumbani ataonekana nadhifu na hata kupendwa na kila mtu. Masomo yake yataendelea vizuri na kupendwa na walimu na kusaidiwa kusoma ili apite mitihani. Anapofaulu katika masomo, kupata kazi itakuwa rahisi iwapo bado atakuwa msafi. Tukitimiza usafi, tutaweza kushikilia nafasi zetu za kazi na kwendelea nazo. Pale hospitalini, usafi lazima uonekane kwa wauguzi na madaktari ili waweze kuwahudumia wagonjwa. Iwapo mgonjwa atakuwa ana majeraha au vidonda, basi yafaa usafi udumishwe ili aweze kupona. Iwapo atakaye mhudumia atakuwa mchafu, ugonjwa utazidi na kuleta madhara mengine. Mazingira yetu yanafaa kuwa safi ili yaweze kuvutia. Tukikaa katika mazingira ambayo ni machafu, tunaweza kupatwa na magonjwa. Tunatakiwa kuzingatia usafi hata chooni ilikuzuia uenezaji wa magonjwa mengi na hata kuzuia ueneaji wa uvundo. Pia kwenye matatu, ni lazima utingo na dereva waweze kuzingatia usafi ili waweze kupata abiria na hata abiria kufurahia kusafiri kwenye gari lao. Wenye bodaboda pia ni sharti watimize usafi ili biashara yao iendele vyema. Soko lazima liwe na maji ya kutosha ili kuimarisha mazingira safi na bidhaa bora zinazovutia. Ni lazima tuweze kutimiza usaji ili kuepuka matatizo madogo madogo kama binadamu ili kuishi maisha bora na ya furaha.
Nini huhitajika katika kuimarisha usafi?
{ "text": [ "Maji" ] }
3658_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya. Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua. Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
Ni nini miundomsingi wa Kenya
{ "text": [ "Biashara" ] }
3658_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya. Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua. Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
Ni nini hufanyika ushuru ukipandishwa
{ "text": [ "Wanabiashara hupata kuumia" ] }
3658_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya. Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua. Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
Ni vipi biashara inaweza kuimarisha
{ "text": [ "Kwa kuweka barabara lami kupunguza matope" ] }
3658_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya. Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua. Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
Ni nini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali nchini
{ "text": [ "Bidhaa zinazoundwa nchini" ] }
3658_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA. Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini. Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake. Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya. Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua. Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya. Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
Ni vipi polisi hufanikisha usalama wa biashara
{ "text": [ "Kwa kutembea usiku wakishika doria (patroli) " ] }
3659_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU MAMBO YANAYOSABABISHA MATOKEO MABAYA NA JINSI YA KUIMARISHA “Naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hajambo? Ninatumai wote m salama. Ninaichukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha kuona siku hii ya leo na afya bora kwa kila mmoja wetu. Na pia ninawashukuru wote kwa kuhudhuria kwa wingi kwa mkutano huu ulio muhimu kwenu. Kwanza, nina mbinu nyingi za kuwawezesha wanafunzi kuboresha matokeo yao. Kila mwanafunzi anahitaji kuzingatia muda wake wa kusoma na kuelewa. Hakuna haja ya kuharibu wakati wako kwa vitu ambavyo havina manufaa kwa masomo kama vile kuongea darasani ovyo ovyo, kusumbua walimu kwa kutoka nje ya darasa na pia kulala darasaní. Wanafunzi wengi hawajui jinsi ya kutumia muda wao vyema. Hii ni kwa sababu hawana ratiba ya masomo ya kuwaelekeza ni somo gani wanafaa kusoma kwa muda gani. Kila mwanafunzi akiwa na ratiba yake ya masomo, hili litamwezesha kusoma na kuelewa zaidi na kuboresha matokeo yake. Hakuna mwanafunzi yeyote atakayepoteza muda. Sababu nyingine ni kupigana bila ya sababu za maana na kufukuzwa shuleni. Kama mwanafunzi anayasoma na kuyaelewa mafunzo ya walimu na mawaidha yao, hakuna namna yoyote ile itakayo mfanya apigane. Anafaa kutatua matatizo yake kwa njia nzuri itakayotatuliwa kwa mwongozo wa mwalimu husika. Mwanafunzi kutohudhuria somo ni tatizo ambalo litakalompotezea mwanafunzi wakati wa kuelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Mwanafunzi hawezi kuelewa zaidi bila ya mwalimu kumwelekeza ili akisoma atuelewa na somo halitakuwa gumu kwa vile anavyodhania. Mwanafunzi kutokuwa na adabu kwa wakubwa wake na wenzake, kama vile kutusi wengine, kuwadharau, kuzungumza kwa lugha chafu na kujibizana kila wakati, huzuia wanafunzi kupata matokeo bora. Wanafunzi hawa pia wanahitaji waelekezwe vyema na pia walio na adabu kuendelea hivyo na wasipotoke kamwe. Wanafunzi wenye adabu njema ndio wanaoelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Matokeo bora yanapatikana iwapo mwanafunzi ana heshima. Wanafunzi mnajua methali inayosema, asiyeskia la mkuu? Baadhi ya wanafunzi miongoni mwenu ni watukutu na wazembe darasani. Hawataki kusoma ili kuboresha matokeo yao bali ni kuleta michezo mingi darasani. Hii inafanya matokeo yao kuadhirika siku zinavyozidi kusonga. Wanafunzi wote mnahitaji kuwa na bidii kwa kuwa wahenga hawakukosea kwa kusema mchumia juani hulia kivulini na muwe na bidii ya mchwa. Wanafunzi kuchelewa shuleni na darasani na kupata mwalimu anafunza pia ni sababu nyingine ya matokeo duni. Kuchelewa huku kunasababisha wanafunzi kutokuwa makini kwa muda na kuja darasani kabla ya mwalimu ili waweze kutuzwa kwao pamoja. Hii inasababisha kufifia kwa matokeo ya wanafunzi. Hili linaweza kuimarishwa kwa wanafunzi kuwa makini kwa wakati wao darasani ili wapate maarifa. Ninawashukuru nyote kwa kunisikiliza na ninatumai mtatilia maanani yale yote ya niliyoyasema, kila mmoja wenu akiwa na matokeo bora, atakaribishwa kwenye vyuo vikuu bila ya kung'ang'ana. Ninawashukuru sana kwa kunisikiliza.”
Nani alikuwa anatoa hotuba?
{ "text": [ "Mwalimu mkuu" ] }
3659_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU MAMBO YANAYOSABABISHA MATOKEO MABAYA NA JINSI YA KUIMARISHA “Naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hajambo? Ninatumai wote m salama. Ninaichukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha kuona siku hii ya leo na afya bora kwa kila mmoja wetu. Na pia ninawashukuru wote kwa kuhudhuria kwa wingi kwa mkutano huu ulio muhimu kwenu. Kwanza, nina mbinu nyingi za kuwawezesha wanafunzi kuboresha matokeo yao. Kila mwanafunzi anahitaji kuzingatia muda wake wa kusoma na kuelewa. Hakuna haja ya kuharibu wakati wako kwa vitu ambavyo havina manufaa kwa masomo kama vile kuongea darasani ovyo ovyo, kusumbua walimu kwa kutoka nje ya darasa na pia kulala darasaní. Wanafunzi wengi hawajui jinsi ya kutumia muda wao vyema. Hii ni kwa sababu hawana ratiba ya masomo ya kuwaelekeza ni somo gani wanafaa kusoma kwa muda gani. Kila mwanafunzi akiwa na ratiba yake ya masomo, hili litamwezesha kusoma na kuelewa zaidi na kuboresha matokeo yake. Hakuna mwanafunzi yeyote atakayepoteza muda. Sababu nyingine ni kupigana bila ya sababu za maana na kufukuzwa shuleni. Kama mwanafunzi anayasoma na kuyaelewa mafunzo ya walimu na mawaidha yao, hakuna namna yoyote ile itakayo mfanya apigane. Anafaa kutatua matatizo yake kwa njia nzuri itakayotatuliwa kwa mwongozo wa mwalimu husika. Mwanafunzi kutohudhuria somo ni tatizo ambalo litakalompotezea mwanafunzi wakati wa kuelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Mwanafunzi hawezi kuelewa zaidi bila ya mwalimu kumwelekeza ili akisoma atuelewa na somo halitakuwa gumu kwa vile anavyodhania. Mwanafunzi kutokuwa na adabu kwa wakubwa wake na wenzake, kama vile kutusi wengine, kuwadharau, kuzungumza kwa lugha chafu na kujibizana kila wakati, huzuia wanafunzi kupata matokeo bora. Wanafunzi hawa pia wanahitaji waelekezwe vyema na pia walio na adabu kuendelea hivyo na wasipotoke kamwe. Wanafunzi wenye adabu njema ndio wanaoelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Matokeo bora yanapatikana iwapo mwanafunzi ana heshima. Wanafunzi mnajua methali inayosema, asiyeskia la mkuu? Baadhi ya wanafunzi miongoni mwenu ni watukutu na wazembe darasani. Hawataki kusoma ili kuboresha matokeo yao bali ni kuleta michezo mingi darasani. Hii inafanya matokeo yao kuadhirika siku zinavyozidi kusonga. Wanafunzi wote mnahitaji kuwa na bidii kwa kuwa wahenga hawakukosea kwa kusema mchumia juani hulia kivulini na muwe na bidii ya mchwa. Wanafunzi kuchelewa shuleni na darasani na kupata mwalimu anafunza pia ni sababu nyingine ya matokeo duni. Kuchelewa huku kunasababisha wanafunzi kutokuwa makini kwa muda na kuja darasani kabla ya mwalimu ili waweze kutuzwa kwao pamoja. Hii inasababisha kufifia kwa matokeo ya wanafunzi. Hili linaweza kuimarishwa kwa wanafunzi kuwa makini kwa wakati wao darasani ili wapate maarifa. Ninawashukuru nyote kwa kunisikiliza na ninatumai mtatilia maanani yale yote ya niliyoyasema, kila mmoja wenu akiwa na matokeo bora, atakaribishwa kwenye vyuo vikuu bila ya kung'ang'ana. Ninawashukuru sana kwa kunisikiliza.”
Nani walikuwa wanahotubiwa?
{ "text": [ "Wanafunzi" ] }
3659_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU MAMBO YANAYOSABABISHA MATOKEO MABAYA NA JINSI YA KUIMARISHA “Naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hajambo? Ninatumai wote m salama. Ninaichukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha kuona siku hii ya leo na afya bora kwa kila mmoja wetu. Na pia ninawashukuru wote kwa kuhudhuria kwa wingi kwa mkutano huu ulio muhimu kwenu. Kwanza, nina mbinu nyingi za kuwawezesha wanafunzi kuboresha matokeo yao. Kila mwanafunzi anahitaji kuzingatia muda wake wa kusoma na kuelewa. Hakuna haja ya kuharibu wakati wako kwa vitu ambavyo havina manufaa kwa masomo kama vile kuongea darasani ovyo ovyo, kusumbua walimu kwa kutoka nje ya darasa na pia kulala darasaní. Wanafunzi wengi hawajui jinsi ya kutumia muda wao vyema. Hii ni kwa sababu hawana ratiba ya masomo ya kuwaelekeza ni somo gani wanafaa kusoma kwa muda gani. Kila mwanafunzi akiwa na ratiba yake ya masomo, hili litamwezesha kusoma na kuelewa zaidi na kuboresha matokeo yake. Hakuna mwanafunzi yeyote atakayepoteza muda. Sababu nyingine ni kupigana bila ya sababu za maana na kufukuzwa shuleni. Kama mwanafunzi anayasoma na kuyaelewa mafunzo ya walimu na mawaidha yao, hakuna namna yoyote ile itakayo mfanya apigane. Anafaa kutatua matatizo yake kwa njia nzuri itakayotatuliwa kwa mwongozo wa mwalimu husika. Mwanafunzi kutohudhuria somo ni tatizo ambalo litakalompotezea mwanafunzi wakati wa kuelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Mwanafunzi hawezi kuelewa zaidi bila ya mwalimu kumwelekeza ili akisoma atuelewa na somo halitakuwa gumu kwa vile anavyodhania. Mwanafunzi kutokuwa na adabu kwa wakubwa wake na wenzake, kama vile kutusi wengine, kuwadharau, kuzungumza kwa lugha chafu na kujibizana kila wakati, huzuia wanafunzi kupata matokeo bora. Wanafunzi hawa pia wanahitaji waelekezwe vyema na pia walio na adabu kuendelea hivyo na wasipotoke kamwe. Wanafunzi wenye adabu njema ndio wanaoelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Matokeo bora yanapatikana iwapo mwanafunzi ana heshima. Wanafunzi mnajua methali inayosema, asiyeskia la mkuu? Baadhi ya wanafunzi miongoni mwenu ni watukutu na wazembe darasani. Hawataki kusoma ili kuboresha matokeo yao bali ni kuleta michezo mingi darasani. Hii inafanya matokeo yao kuadhirika siku zinavyozidi kusonga. Wanafunzi wote mnahitaji kuwa na bidii kwa kuwa wahenga hawakukosea kwa kusema mchumia juani hulia kivulini na muwe na bidii ya mchwa. Wanafunzi kuchelewa shuleni na darasani na kupata mwalimu anafunza pia ni sababu nyingine ya matokeo duni. Kuchelewa huku kunasababisha wanafunzi kutokuwa makini kwa muda na kuja darasani kabla ya mwalimu ili waweze kutuzwa kwao pamoja. Hii inasababisha kufifia kwa matokeo ya wanafunzi. Hili linaweza kuimarishwa kwa wanafunzi kuwa makini kwa wakati wao darasani ili wapate maarifa. Ninawashukuru nyote kwa kunisikiliza na ninatumai mtatilia maanani yale yote ya niliyoyasema, kila mmoja wenu akiwa na matokeo bora, atakaribishwa kwenye vyuo vikuu bila ya kung'ang'ana. Ninawashukuru sana kwa kunisikiliza.”
Ukosefu wa nini husababisha wanafunzi kupoteza muda?
{ "text": [ "Ratiba" ] }
3659_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU MAMBO YANAYOSABABISHA MATOKEO MABAYA NA JINSI YA KUIMARISHA “Naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hajambo? Ninatumai wote m salama. Ninaichukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha kuona siku hii ya leo na afya bora kwa kila mmoja wetu. Na pia ninawashukuru wote kwa kuhudhuria kwa wingi kwa mkutano huu ulio muhimu kwenu. Kwanza, nina mbinu nyingi za kuwawezesha wanafunzi kuboresha matokeo yao. Kila mwanafunzi anahitaji kuzingatia muda wake wa kusoma na kuelewa. Hakuna haja ya kuharibu wakati wako kwa vitu ambavyo havina manufaa kwa masomo kama vile kuongea darasani ovyo ovyo, kusumbua walimu kwa kutoka nje ya darasa na pia kulala darasaní. Wanafunzi wengi hawajui jinsi ya kutumia muda wao vyema. Hii ni kwa sababu hawana ratiba ya masomo ya kuwaelekeza ni somo gani wanafaa kusoma kwa muda gani. Kila mwanafunzi akiwa na ratiba yake ya masomo, hili litamwezesha kusoma na kuelewa zaidi na kuboresha matokeo yake. Hakuna mwanafunzi yeyote atakayepoteza muda. Sababu nyingine ni kupigana bila ya sababu za maana na kufukuzwa shuleni. Kama mwanafunzi anayasoma na kuyaelewa mafunzo ya walimu na mawaidha yao, hakuna namna yoyote ile itakayo mfanya apigane. Anafaa kutatua matatizo yake kwa njia nzuri itakayotatuliwa kwa mwongozo wa mwalimu husika. Mwanafunzi kutohudhuria somo ni tatizo ambalo litakalompotezea mwanafunzi wakati wa kuelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Mwanafunzi hawezi kuelewa zaidi bila ya mwalimu kumwelekeza ili akisoma atuelewa na somo halitakuwa gumu kwa vile anavyodhania. Mwanafunzi kutokuwa na adabu kwa wakubwa wake na wenzake, kama vile kutusi wengine, kuwadharau, kuzungumza kwa lugha chafu na kujibizana kila wakati, huzuia wanafunzi kupata matokeo bora. Wanafunzi hawa pia wanahitaji waelekezwe vyema na pia walio na adabu kuendelea hivyo na wasipotoke kamwe. Wanafunzi wenye adabu njema ndio wanaoelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Matokeo bora yanapatikana iwapo mwanafunzi ana heshima. Wanafunzi mnajua methali inayosema, asiyeskia la mkuu? Baadhi ya wanafunzi miongoni mwenu ni watukutu na wazembe darasani. Hawataki kusoma ili kuboresha matokeo yao bali ni kuleta michezo mingi darasani. Hii inafanya matokeo yao kuadhirika siku zinavyozidi kusonga. Wanafunzi wote mnahitaji kuwa na bidii kwa kuwa wahenga hawakukosea kwa kusema mchumia juani hulia kivulini na muwe na bidii ya mchwa. Wanafunzi kuchelewa shuleni na darasani na kupata mwalimu anafunza pia ni sababu nyingine ya matokeo duni. Kuchelewa huku kunasababisha wanafunzi kutokuwa makini kwa muda na kuja darasani kabla ya mwalimu ili waweze kutuzwa kwao pamoja. Hii inasababisha kufifia kwa matokeo ya wanafunzi. Hili linaweza kuimarishwa kwa wanafunzi kuwa makini kwa wakati wao darasani ili wapate maarifa. Ninawashukuru nyote kwa kunisikiliza na ninatumai mtatilia maanani yale yote ya niliyoyasema, kila mmoja wenu akiwa na matokeo bora, atakaribishwa kwenye vyuo vikuu bila ya kung'ang'ana. Ninawashukuru sana kwa kunisikiliza.”
Nini husababisha mwanafunzi kufukuzwa shuleni?
{ "text": [ "Kupigana" ] }
3659_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU MAMBO YANAYOSABABISHA MATOKEO MABAYA NA JINSI YA KUIMARISHA “Naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hajambo? Ninatumai wote m salama. Ninaichukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha kuona siku hii ya leo na afya bora kwa kila mmoja wetu. Na pia ninawashukuru wote kwa kuhudhuria kwa wingi kwa mkutano huu ulio muhimu kwenu. Kwanza, nina mbinu nyingi za kuwawezesha wanafunzi kuboresha matokeo yao. Kila mwanafunzi anahitaji kuzingatia muda wake wa kusoma na kuelewa. Hakuna haja ya kuharibu wakati wako kwa vitu ambavyo havina manufaa kwa masomo kama vile kuongea darasani ovyo ovyo, kusumbua walimu kwa kutoka nje ya darasa na pia kulala darasaní. Wanafunzi wengi hawajui jinsi ya kutumia muda wao vyema. Hii ni kwa sababu hawana ratiba ya masomo ya kuwaelekeza ni somo gani wanafaa kusoma kwa muda gani. Kila mwanafunzi akiwa na ratiba yake ya masomo, hili litamwezesha kusoma na kuelewa zaidi na kuboresha matokeo yake. Hakuna mwanafunzi yeyote atakayepoteza muda. Sababu nyingine ni kupigana bila ya sababu za maana na kufukuzwa shuleni. Kama mwanafunzi anayasoma na kuyaelewa mafunzo ya walimu na mawaidha yao, hakuna namna yoyote ile itakayo mfanya apigane. Anafaa kutatua matatizo yake kwa njia nzuri itakayotatuliwa kwa mwongozo wa mwalimu husika. Mwanafunzi kutohudhuria somo ni tatizo ambalo litakalompotezea mwanafunzi wakati wa kuelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Mwanafunzi hawezi kuelewa zaidi bila ya mwalimu kumwelekeza ili akisoma atuelewa na somo halitakuwa gumu kwa vile anavyodhania. Mwanafunzi kutokuwa na adabu kwa wakubwa wake na wenzake, kama vile kutusi wengine, kuwadharau, kuzungumza kwa lugha chafu na kujibizana kila wakati, huzuia wanafunzi kupata matokeo bora. Wanafunzi hawa pia wanahitaji waelekezwe vyema na pia walio na adabu kuendelea hivyo na wasipotoke kamwe. Wanafunzi wenye adabu njema ndio wanaoelewa kile ambacho mwalimu anafunza darasani. Matokeo bora yanapatikana iwapo mwanafunzi ana heshima. Wanafunzi mnajua methali inayosema, asiyeskia la mkuu? Baadhi ya wanafunzi miongoni mwenu ni watukutu na wazembe darasani. Hawataki kusoma ili kuboresha matokeo yao bali ni kuleta michezo mingi darasani. Hii inafanya matokeo yao kuadhirika siku zinavyozidi kusonga. Wanafunzi wote mnahitaji kuwa na bidii kwa kuwa wahenga hawakukosea kwa kusema mchumia juani hulia kivulini na muwe na bidii ya mchwa. Wanafunzi kuchelewa shuleni na darasani na kupata mwalimu anafunza pia ni sababu nyingine ya matokeo duni. Kuchelewa huku kunasababisha wanafunzi kutokuwa makini kwa muda na kuja darasani kabla ya mwalimu ili waweze kutuzwa kwao pamoja. Hii inasababisha kufifia kwa matokeo ya wanafunzi. Hili linaweza kuimarishwa kwa wanafunzi kuwa makini kwa wakati wao darasani ili wapate maarifa. Ninawashukuru nyote kwa kunisikiliza na ninatumai mtatilia maanani yale yote ya niliyoyasema, kila mmoja wenu akiwa na matokeo bora, atakaribishwa kwenye vyuo vikuu bila ya kung'ang'ana. Ninawashukuru sana kwa kunisikiliza.”
Wanafunzi wa aina gani huelewa ambacho mwalimu hufunza darasani?
{ "text": [ "Wenye adabu" ] }
3660_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu na nchi yoyote ile katika bara la Afrika. Nchi nyingi hutegemea kilimo ili kujiendeleza kiuchumi kwa sababu kilimo ndicho uhai wa nchi. Katika taifa letu la Kenya, kilimo kina manufaa mengi katika ukuzaji wa uchumi na ni kama yafuatayo; Kwanza, kilimo ndio uti wa mgongo nchini Kenya. Hivyo ni kumaanisha nchi yetu hutegemea kilimo katika shughuli zake zote. Ni kupitia kwa kilimo nchi ya kenya inajulikana hasa kwa upanzi wa kahawa. Kwa hivyo, nchi yetu inawezeshwa kuuza kahawa kwa nchi zingine. Kupitia kwa biashara hii, nchi yetu inapata pesa nyingi ambazo huiwezesha kuendelea kiuchumi. Kilimo kadhalika huleta ujenzi wa nchi, kupitia kwa ujenzi wa barabara ya kusafirisha mazao. Barabara nyingi zimejengwa nchini Kenya ili kuwezesha mazao kusafirishwa kutoka mashambani hadi viwandani. Hivyo basi barabara hizi hzimerahisisha usafiri. Watu hufaidhika sana kutokana na baraste hizi. Pia, viwanda vingi vimejengwa nchini Kenya. Viwanda hivi ni kama vya sukari, kahawa na hatu vya maziwa. Viwanda hivi ni muhimu kwa nchi na wananchi. Kwanza, watu wengi huajiriwa kazi katika viwanda hivi na huwawezesha wananchi kujikidhi kimahitaji. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru kwa nchi. Ushuru hutumiwa kuimarisha maisha ya wananchi. Aidha, kilimo pia ni njia mojawapo ya kumaliza umaskini nchini Kenya. Umaskini husababishwa na ukosefu wa chakula cha kutosha na hivyo kama taifa litajihusisha na kilimo ni nadra sana kuwa na ukosefu wa chakula nchini kwa sababu wananchi watakuwa na uwezo wa kujikimu na hata kulipa kodi kwa kuuza chakula kingine. Kodi hizi hutumiwa na serikali kuimarisha uchumi nchini. Kadhalika, kupitia kilimo, wananchi wameweza kujiendeleza hasa wale wanaoishi mashambani kujiendeleza kimuundo msingi na hata pia kuanzisha biashara ambazo huleta maendeleo katika maeneo hayo. Kilimo pia hupunguza uhamiaji mjini miongoni mwa vijana ambao ni wenye nguvu na uwezo katika taifa. Vijana huwa hujishughulisha na ukulima wa aina mbalimbali kama vile wa mimea, ndege na hata mifugo. Hii huleta maendeleo katika maeneo mbalimbali ya taifa la kenya na huinua uchumi wa taifa kwa sababu hakutakuwa na vizingiti katika maendeleo. Mwisho ni kweli kuwa kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu la Kenya hivyo basi tunafaa tuheshimu na kujihusisha na kilimo kwa sababu taifa la Kenya linategemea ukulima ili kujikimu.
Ni nini muhimu sana katika nchi yetu
{ "text": [ "Kilimo" ] }
3660_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu na nchi yoyote ile katika bara la Afrika. Nchi nyingi hutegemea kilimo ili kujiendeleza kiuchumi kwa sababu kilimo ndicho uhai wa nchi. Katika taifa letu la Kenya, kilimo kina manufaa mengi katika ukuzaji wa uchumi na ni kama yafuatayo; Kwanza, kilimo ndio uti wa mgongo nchini Kenya. Hivyo ni kumaanisha nchi yetu hutegemea kilimo katika shughuli zake zote. Ni kupitia kwa kilimo nchi ya kenya inajulikana hasa kwa upanzi wa kahawa. Kwa hivyo, nchi yetu inawezeshwa kuuza kahawa kwa nchi zingine. Kupitia kwa biashara hii, nchi yetu inapata pesa nyingi ambazo huiwezesha kuendelea kiuchumi. Kilimo kadhalika huleta ujenzi wa nchi, kupitia kwa ujenzi wa barabara ya kusafirisha mazao. Barabara nyingi zimejengwa nchini Kenya ili kuwezesha mazao kusafirishwa kutoka mashambani hadi viwandani. Hivyo basi barabara hizi hzimerahisisha usafiri. Watu hufaidhika sana kutokana na baraste hizi. Pia, viwanda vingi vimejengwa nchini Kenya. Viwanda hivi ni kama vya sukari, kahawa na hatu vya maziwa. Viwanda hivi ni muhimu kwa nchi na wananchi. Kwanza, watu wengi huajiriwa kazi katika viwanda hivi na huwawezesha wananchi kujikidhi kimahitaji. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru kwa nchi. Ushuru hutumiwa kuimarisha maisha ya wananchi. Aidha, kilimo pia ni njia mojawapo ya kumaliza umaskini nchini Kenya. Umaskini husababishwa na ukosefu wa chakula cha kutosha na hivyo kama taifa litajihusisha na kilimo ni nadra sana kuwa na ukosefu wa chakula nchini kwa sababu wananchi watakuwa na uwezo wa kujikimu na hata kulipa kodi kwa kuuza chakula kingine. Kodi hizi hutumiwa na serikali kuimarisha uchumi nchini. Kadhalika, kupitia kilimo, wananchi wameweza kujiendeleza hasa wale wanaoishi mashambani kujiendeleza kimuundo msingi na hata pia kuanzisha biashara ambazo huleta maendeleo katika maeneo hayo. Kilimo pia hupunguza uhamiaji mjini miongoni mwa vijana ambao ni wenye nguvu na uwezo katika taifa. Vijana huwa hujishughulisha na ukulima wa aina mbalimbali kama vile wa mimea, ndege na hata mifugo. Hii huleta maendeleo katika maeneo mbalimbali ya taifa la kenya na huinua uchumi wa taifa kwa sababu hakutakuwa na vizingiti katika maendeleo. Mwisho ni kweli kuwa kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu la Kenya hivyo basi tunafaa tuheshimu na kujihusisha na kilimo kwa sababu taifa la Kenya linategemea ukulima ili kujikimu.
Ni nchi gani inajulikana kwa upanzi wa kahawa
{ "text": [ "Kenya" ] }
3660_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu na nchi yoyote ile katika bara la Afrika. Nchi nyingi hutegemea kilimo ili kujiendeleza kiuchumi kwa sababu kilimo ndicho uhai wa nchi. Katika taifa letu la Kenya, kilimo kina manufaa mengi katika ukuzaji wa uchumi na ni kama yafuatayo; Kwanza, kilimo ndio uti wa mgongo nchini Kenya. Hivyo ni kumaanisha nchi yetu hutegemea kilimo katika shughuli zake zote. Ni kupitia kwa kilimo nchi ya kenya inajulikana hasa kwa upanzi wa kahawa. Kwa hivyo, nchi yetu inawezeshwa kuuza kahawa kwa nchi zingine. Kupitia kwa biashara hii, nchi yetu inapata pesa nyingi ambazo huiwezesha kuendelea kiuchumi. Kilimo kadhalika huleta ujenzi wa nchi, kupitia kwa ujenzi wa barabara ya kusafirisha mazao. Barabara nyingi zimejengwa nchini Kenya ili kuwezesha mazao kusafirishwa kutoka mashambani hadi viwandani. Hivyo basi barabara hizi hzimerahisisha usafiri. Watu hufaidhika sana kutokana na baraste hizi. Pia, viwanda vingi vimejengwa nchini Kenya. Viwanda hivi ni kama vya sukari, kahawa na hatu vya maziwa. Viwanda hivi ni muhimu kwa nchi na wananchi. Kwanza, watu wengi huajiriwa kazi katika viwanda hivi na huwawezesha wananchi kujikidhi kimahitaji. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru kwa nchi. Ushuru hutumiwa kuimarisha maisha ya wananchi. Aidha, kilimo pia ni njia mojawapo ya kumaliza umaskini nchini Kenya. Umaskini husababishwa na ukosefu wa chakula cha kutosha na hivyo kama taifa litajihusisha na kilimo ni nadra sana kuwa na ukosefu wa chakula nchini kwa sababu wananchi watakuwa na uwezo wa kujikimu na hata kulipa kodi kwa kuuza chakula kingine. Kodi hizi hutumiwa na serikali kuimarisha uchumi nchini. Kadhalika, kupitia kilimo, wananchi wameweza kujiendeleza hasa wale wanaoishi mashambani kujiendeleza kimuundo msingi na hata pia kuanzisha biashara ambazo huleta maendeleo katika maeneo hayo. Kilimo pia hupunguza uhamiaji mjini miongoni mwa vijana ambao ni wenye nguvu na uwezo katika taifa. Vijana huwa hujishughulisha na ukulima wa aina mbalimbali kama vile wa mimea, ndege na hata mifugo. Hii huleta maendeleo katika maeneo mbalimbali ya taifa la kenya na huinua uchumi wa taifa kwa sababu hakutakuwa na vizingiti katika maendeleo. Mwisho ni kweli kuwa kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu la Kenya hivyo basi tunafaa tuheshimu na kujihusisha na kilimo kwa sababu taifa la Kenya linategemea ukulima ili kujikimu.
Ni nini imejengwa ili kusafirisha mazao
{ "text": [ "Barabara" ] }
3660_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu na nchi yoyote ile katika bara la Afrika. Nchi nyingi hutegemea kilimo ili kujiendeleza kiuchumi kwa sababu kilimo ndicho uhai wa nchi. Katika taifa letu la Kenya, kilimo kina manufaa mengi katika ukuzaji wa uchumi na ni kama yafuatayo; Kwanza, kilimo ndio uti wa mgongo nchini Kenya. Hivyo ni kumaanisha nchi yetu hutegemea kilimo katika shughuli zake zote. Ni kupitia kwa kilimo nchi ya kenya inajulikana hasa kwa upanzi wa kahawa. Kwa hivyo, nchi yetu inawezeshwa kuuza kahawa kwa nchi zingine. Kupitia kwa biashara hii, nchi yetu inapata pesa nyingi ambazo huiwezesha kuendelea kiuchumi. Kilimo kadhalika huleta ujenzi wa nchi, kupitia kwa ujenzi wa barabara ya kusafirisha mazao. Barabara nyingi zimejengwa nchini Kenya ili kuwezesha mazao kusafirishwa kutoka mashambani hadi viwandani. Hivyo basi barabara hizi hzimerahisisha usafiri. Watu hufaidhika sana kutokana na baraste hizi. Pia, viwanda vingi vimejengwa nchini Kenya. Viwanda hivi ni kama vya sukari, kahawa na hatu vya maziwa. Viwanda hivi ni muhimu kwa nchi na wananchi. Kwanza, watu wengi huajiriwa kazi katika viwanda hivi na huwawezesha wananchi kujikidhi kimahitaji. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru kwa nchi. Ushuru hutumiwa kuimarisha maisha ya wananchi. Aidha, kilimo pia ni njia mojawapo ya kumaliza umaskini nchini Kenya. Umaskini husababishwa na ukosefu wa chakula cha kutosha na hivyo kama taifa litajihusisha na kilimo ni nadra sana kuwa na ukosefu wa chakula nchini kwa sababu wananchi watakuwa na uwezo wa kujikimu na hata kulipa kodi kwa kuuza chakula kingine. Kodi hizi hutumiwa na serikali kuimarisha uchumi nchini. Kadhalika, kupitia kilimo, wananchi wameweza kujiendeleza hasa wale wanaoishi mashambani kujiendeleza kimuundo msingi na hata pia kuanzisha biashara ambazo huleta maendeleo katika maeneo hayo. Kilimo pia hupunguza uhamiaji mjini miongoni mwa vijana ambao ni wenye nguvu na uwezo katika taifa. Vijana huwa hujishughulisha na ukulima wa aina mbalimbali kama vile wa mimea, ndege na hata mifugo. Hii huleta maendeleo katika maeneo mbalimbali ya taifa la kenya na huinua uchumi wa taifa kwa sababu hakutakuwa na vizingiti katika maendeleo. Mwisho ni kweli kuwa kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu la Kenya hivyo basi tunafaa tuheshimu na kujihusisha na kilimo kwa sababu taifa la Kenya linategemea ukulima ili kujikimu.
Kilimo ni njia mojawapo ya kumaliza nini
{ "text": [ "Umaskini" ] }
3660_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu na nchi yoyote ile katika bara la Afrika. Nchi nyingi hutegemea kilimo ili kujiendeleza kiuchumi kwa sababu kilimo ndicho uhai wa nchi. Katika taifa letu la Kenya, kilimo kina manufaa mengi katika ukuzaji wa uchumi na ni kama yafuatayo; Kwanza, kilimo ndio uti wa mgongo nchini Kenya. Hivyo ni kumaanisha nchi yetu hutegemea kilimo katika shughuli zake zote. Ni kupitia kwa kilimo nchi ya kenya inajulikana hasa kwa upanzi wa kahawa. Kwa hivyo, nchi yetu inawezeshwa kuuza kahawa kwa nchi zingine. Kupitia kwa biashara hii, nchi yetu inapata pesa nyingi ambazo huiwezesha kuendelea kiuchumi. Kilimo kadhalika huleta ujenzi wa nchi, kupitia kwa ujenzi wa barabara ya kusafirisha mazao. Barabara nyingi zimejengwa nchini Kenya ili kuwezesha mazao kusafirishwa kutoka mashambani hadi viwandani. Hivyo basi barabara hizi hzimerahisisha usafiri. Watu hufaidhika sana kutokana na baraste hizi. Pia, viwanda vingi vimejengwa nchini Kenya. Viwanda hivi ni kama vya sukari, kahawa na hatu vya maziwa. Viwanda hivi ni muhimu kwa nchi na wananchi. Kwanza, watu wengi huajiriwa kazi katika viwanda hivi na huwawezesha wananchi kujikidhi kimahitaji. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru kwa nchi. Ushuru hutumiwa kuimarisha maisha ya wananchi. Aidha, kilimo pia ni njia mojawapo ya kumaliza umaskini nchini Kenya. Umaskini husababishwa na ukosefu wa chakula cha kutosha na hivyo kama taifa litajihusisha na kilimo ni nadra sana kuwa na ukosefu wa chakula nchini kwa sababu wananchi watakuwa na uwezo wa kujikimu na hata kulipa kodi kwa kuuza chakula kingine. Kodi hizi hutumiwa na serikali kuimarisha uchumi nchini. Kadhalika, kupitia kilimo, wananchi wameweza kujiendeleza hasa wale wanaoishi mashambani kujiendeleza kimuundo msingi na hata pia kuanzisha biashara ambazo huleta maendeleo katika maeneo hayo. Kilimo pia hupunguza uhamiaji mjini miongoni mwa vijana ambao ni wenye nguvu na uwezo katika taifa. Vijana huwa hujishughulisha na ukulima wa aina mbalimbali kama vile wa mimea, ndege na hata mifugo. Hii huleta maendeleo katika maeneo mbalimbali ya taifa la kenya na huinua uchumi wa taifa kwa sababu hakutakuwa na vizingiti katika maendeleo. Mwisho ni kweli kuwa kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu la Kenya hivyo basi tunafaa tuheshimu na kujihusisha na kilimo kwa sababu taifa la Kenya linategemea ukulima ili kujikimu.
Ni vipi kilimo hupunguza uhamiaji mijini
{ "text": [ "Kwa vijana kujishughulisha na ukulima" ] }
3662_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni mojawapo ya shuguli ambazo nchi kama vile ya Kenya hujishugulisha nazo. Kilimo kina manufaa mengi sana, moja ni kuwa husaidia katika kuimarisha uchumi. Kilimo huimarisha uchumi kwa huleta nafasi za kazi. Sekta ya kilimo huhitaji wafanyi kazi kama vile wakulima ambao watalima shamba. Watu huajiriwa ili kufanya kazi mbali mbali katika shamba kama vile kupanda na kuvuna. Watu wakipata ajira, huimarisha viwango vyao vya maisha kwa vile watakuwa na hela zao na jambo hilo husaidia kuimarisha uchumi kwa vile wakenya wataweza kujitegemea. Ufunguzi wa biashara mbali mbali umewezekana kwa sababu ya kilimo. Kilimo kama vile ya mahindi, maharagwe na majani chai huleta ufunguzi wa maduka ambayo huuza bidhaa hizi. Wafanyabiashara hupata pesa kwa wingi kutokana na biashara ya uuzaji wa bidhaa za kilimo. Jambo hili huchangia katika kuimarisha uchumi kwa vile biashara itakua inaendelea kwa wingi na nchi ya Kenya itaweza kupata pesa. Uimarishaji wa uchumi pia hutokana na ukuaji wa viwanda vingi. Bidhaa za kilimo kama vile mahindi hutumika kama malighafi katika viwanda ili kutengeneza unga. Viwanda hivi, kama vile ya kusaga unga, husaidia kupunguza baa la njaa nchini. Pia katika viwanda hivyo mbalimbali, wakaazi wa Kenya huajiriwa ili kufanya kazi. Kilimo husababisha Kenya kujitegemea na kujiepusha na mikopo kutoka nchi za ng’ambo. Mikopo hii husababisha kuzorota kwa uchumi wetu. Kilimo huimarisha uchumi kwa kuuza bidhaa za kilimo katika nchi za nje na kupata fedha za kigeni. Bidhaa hizi ambazo zinauzwa ng’ambo zinastahili kutozwa kodi ya juu ili kuwezesha serikali kupata fedha za kutumia katika kuimarisha uchumi wa nchi.
Viwanda vya kutengeneza unga huhitaji mazao ya mimea gani?
{ "text": [ "Mahindi" ] }
3662_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni mojawapo ya shuguli ambazo nchi kama vile ya Kenya hujishugulisha nazo. Kilimo kina manufaa mengi sana, moja ni kuwa husaidia katika kuimarisha uchumi. Kilimo huimarisha uchumi kwa huleta nafasi za kazi. Sekta ya kilimo huhitaji wafanyi kazi kama vile wakulima ambao watalima shamba. Watu huajiriwa ili kufanya kazi mbali mbali katika shamba kama vile kupanda na kuvuna. Watu wakipata ajira, huimarisha viwango vyao vya maisha kwa vile watakuwa na hela zao na jambo hilo husaidia kuimarisha uchumi kwa vile wakenya wataweza kujitegemea. Ufunguzi wa biashara mbali mbali umewezekana kwa sababu ya kilimo. Kilimo kama vile ya mahindi, maharagwe na majani chai huleta ufunguzi wa maduka ambayo huuza bidhaa hizi. Wafanyabiashara hupata pesa kwa wingi kutokana na biashara ya uuzaji wa bidhaa za kilimo. Jambo hili huchangia katika kuimarisha uchumi kwa vile biashara itakua inaendelea kwa wingi na nchi ya Kenya itaweza kupata pesa. Uimarishaji wa uchumi pia hutokana na ukuaji wa viwanda vingi. Bidhaa za kilimo kama vile mahindi hutumika kama malighafi katika viwanda ili kutengeneza unga. Viwanda hivi, kama vile ya kusaga unga, husaidia kupunguza baa la njaa nchini. Pia katika viwanda hivyo mbalimbali, wakaazi wa Kenya huajiriwa ili kufanya kazi. Kilimo husababisha Kenya kujitegemea na kujiepusha na mikopo kutoka nchi za ng’ambo. Mikopo hii husababisha kuzorota kwa uchumi wetu. Kilimo huimarisha uchumi kwa kuuza bidhaa za kilimo katika nchi za nje na kupata fedha za kigeni. Bidhaa hizi ambazo zinauzwa ng’ambo zinastahili kutozwa kodi ya juu ili kuwezesha serikali kupata fedha za kutumia katika kuimarisha uchumi wa nchi.
Kilimo kina manufaa kwa wananchi kwa kuwapa nafasi zipi?
{ "text": [ "Ajira" ] }
3662_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni mojawapo ya shuguli ambazo nchi kama vile ya Kenya hujishugulisha nazo. Kilimo kina manufaa mengi sana, moja ni kuwa husaidia katika kuimarisha uchumi. Kilimo huimarisha uchumi kwa huleta nafasi za kazi. Sekta ya kilimo huhitaji wafanyi kazi kama vile wakulima ambao watalima shamba. Watu huajiriwa ili kufanya kazi mbali mbali katika shamba kama vile kupanda na kuvuna. Watu wakipata ajira, huimarisha viwango vyao vya maisha kwa vile watakuwa na hela zao na jambo hilo husaidia kuimarisha uchumi kwa vile wakenya wataweza kujitegemea. Ufunguzi wa biashara mbali mbali umewezekana kwa sababu ya kilimo. Kilimo kama vile ya mahindi, maharagwe na majani chai huleta ufunguzi wa maduka ambayo huuza bidhaa hizi. Wafanyabiashara hupata pesa kwa wingi kutokana na biashara ya uuzaji wa bidhaa za kilimo. Jambo hili huchangia katika kuimarisha uchumi kwa vile biashara itakua inaendelea kwa wingi na nchi ya Kenya itaweza kupata pesa. Uimarishaji wa uchumi pia hutokana na ukuaji wa viwanda vingi. Bidhaa za kilimo kama vile mahindi hutumika kama malighafi katika viwanda ili kutengeneza unga. Viwanda hivi, kama vile ya kusaga unga, husaidia kupunguza baa la njaa nchini. Pia katika viwanda hivyo mbalimbali, wakaazi wa Kenya huajiriwa ili kufanya kazi. Kilimo husababisha Kenya kujitegemea na kujiepusha na mikopo kutoka nchi za ng’ambo. Mikopo hii husababisha kuzorota kwa uchumi wetu. Kilimo huimarisha uchumi kwa kuuza bidhaa za kilimo katika nchi za nje na kupata fedha za kigeni. Bidhaa hizi ambazo zinauzwa ng’ambo zinastahili kutozwa kodi ya juu ili kuwezesha serikali kupata fedha za kutumia katika kuimarisha uchumi wa nchi.
Sekta ipi pia hufaidika kupitia kilimo?
{ "text": [ "Biashara" ] }
3662_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni mojawapo ya shuguli ambazo nchi kama vile ya Kenya hujishugulisha nazo. Kilimo kina manufaa mengi sana, moja ni kuwa husaidia katika kuimarisha uchumi. Kilimo huimarisha uchumi kwa huleta nafasi za kazi. Sekta ya kilimo huhitaji wafanyi kazi kama vile wakulima ambao watalima shamba. Watu huajiriwa ili kufanya kazi mbali mbali katika shamba kama vile kupanda na kuvuna. Watu wakipata ajira, huimarisha viwango vyao vya maisha kwa vile watakuwa na hela zao na jambo hilo husaidia kuimarisha uchumi kwa vile wakenya wataweza kujitegemea. Ufunguzi wa biashara mbali mbali umewezekana kwa sababu ya kilimo. Kilimo kama vile ya mahindi, maharagwe na majani chai huleta ufunguzi wa maduka ambayo huuza bidhaa hizi. Wafanyabiashara hupata pesa kwa wingi kutokana na biashara ya uuzaji wa bidhaa za kilimo. Jambo hili huchangia katika kuimarisha uchumi kwa vile biashara itakua inaendelea kwa wingi na nchi ya Kenya itaweza kupata pesa. Uimarishaji wa uchumi pia hutokana na ukuaji wa viwanda vingi. Bidhaa za kilimo kama vile mahindi hutumika kama malighafi katika viwanda ili kutengeneza unga. Viwanda hivi, kama vile ya kusaga unga, husaidia kupunguza baa la njaa nchini. Pia katika viwanda hivyo mbalimbali, wakaazi wa Kenya huajiriwa ili kufanya kazi. Kilimo husababisha Kenya kujitegemea na kujiepusha na mikopo kutoka nchi za ng’ambo. Mikopo hii husababisha kuzorota kwa uchumi wetu. Kilimo huimarisha uchumi kwa kuuza bidhaa za kilimo katika nchi za nje na kupata fedha za kigeni. Bidhaa hizi ambazo zinauzwa ng’ambo zinastahili kutozwa kodi ya juu ili kuwezesha serikali kupata fedha za kutumia katika kuimarisha uchumi wa nchi.
Kilimo kimefaidi nchi kwa kuongeza nini?
{ "text": [ "Chakula" ] }
3662_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni mojawapo ya shuguli ambazo nchi kama vile ya Kenya hujishugulisha nazo. Kilimo kina manufaa mengi sana, moja ni kuwa husaidia katika kuimarisha uchumi. Kilimo huimarisha uchumi kwa huleta nafasi za kazi. Sekta ya kilimo huhitaji wafanyi kazi kama vile wakulima ambao watalima shamba. Watu huajiriwa ili kufanya kazi mbali mbali katika shamba kama vile kupanda na kuvuna. Watu wakipata ajira, huimarisha viwango vyao vya maisha kwa vile watakuwa na hela zao na jambo hilo husaidia kuimarisha uchumi kwa vile wakenya wataweza kujitegemea. Ufunguzi wa biashara mbali mbali umewezekana kwa sababu ya kilimo. Kilimo kama vile ya mahindi, maharagwe na majani chai huleta ufunguzi wa maduka ambayo huuza bidhaa hizi. Wafanyabiashara hupata pesa kwa wingi kutokana na biashara ya uuzaji wa bidhaa za kilimo. Jambo hili huchangia katika kuimarisha uchumi kwa vile biashara itakua inaendelea kwa wingi na nchi ya Kenya itaweza kupata pesa. Uimarishaji wa uchumi pia hutokana na ukuaji wa viwanda vingi. Bidhaa za kilimo kama vile mahindi hutumika kama malighafi katika viwanda ili kutengeneza unga. Viwanda hivi, kama vile ya kusaga unga, husaidia kupunguza baa la njaa nchini. Pia katika viwanda hivyo mbalimbali, wakaazi wa Kenya huajiriwa ili kufanya kazi. Kilimo husababisha Kenya kujitegemea na kujiepusha na mikopo kutoka nchi za ng’ambo. Mikopo hii husababisha kuzorota kwa uchumi wetu. Kilimo huimarisha uchumi kwa kuuza bidhaa za kilimo katika nchi za nje na kupata fedha za kigeni. Bidhaa hizi ambazo zinauzwa ng’ambo zinastahili kutozwa kodi ya juu ili kuwezesha serikali kupata fedha za kutumia katika kuimarisha uchumi wa nchi.
Ukulima imewezesha wananchi haswa vijana ukujiepusha na adhari zipi?
{ "text": [ "Dawa za kulevya" ] }
3663_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NA MANUFAA YAKE “Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Leo tumekusanyika hapa ili niweze kuhutubu kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira na manufaa yake. Kama vile ambavyo twajua kuwa mazingira yetu ni muhimu sana kwa nchi na si kibinafsi. Mkurugenzi mkuu wa mazingira ametoa amri kwamba yule ambaye anakataa miti ovyo ovyo anapaswa kuchukuliwa hatua kali sana. Mtu akikata mti mmoja, anafaa kupanda miti miwili ili tuweze kuimarisha mazingira yetu. Tusipofuatilia maagizo hayo, kutakuwa na ukame kwani miti ndio inayovuta mvua. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo kwani ina mathara mengi kwa afya yetu. Wakati ambapo tunatupa taka ndani ya mito, wanyama wengi wanaumia kwani wanakosa hewa ya kupumua ndani ya maji. Wanyama hao wakifa huwa ni garama kwa binadamu kwani pia ni chakula kwa binadamu. Wakati ambapo tunaharibu mazingira pia wanyama ambao wanaishi humo wanakosa chakula na mahali pa kuishi. Wanapokosa mahali pa kuishi huwa wanavamia makao ya binadamu na kusababisha mathara mengi. Sisi kama binadamu tukiweza kutunza mazingira yetu, tunaweza kuwa na mafanikio mengi sana kama kuvutia watalii. Mazingira yetu yakiwa bora, wanyama wataishi vyema kwa hivyo kuwavutia watalii ambao wakati wanapotembelea nchi hutupa ushuru ambao unatumika kujenga nchi yetu. Ushuru huo .unatumika kujenga barabara, vituo vya matibabu na vyuo vya kusomea. Hayo yote, manufaa kwa nchi. Manufaa ya mazingira kwa mtu binafsi ni kama vile kutumia miti kuunda nyumba, kutengeneza meza, na pia kutumika kama dawa inayotumika kutibu magonjwa mbalimbali. Utunzaji wa mazingira pia umerembesha nchi. Mazingira yakiwa shwari, tutaweza kukaa kwa starehe bila shida yoyote. Asanteni sana kuchukua muda wenu kunisikiliza.”
Alihutubu kuhusu umuhimu wa nini
{ "text": [ "utunzi wa mazingira" ] }
3663_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NA MANUFAA YAKE “Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Leo tumekusanyika hapa ili niweze kuhutubu kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira na manufaa yake. Kama vile ambavyo twajua kuwa mazingira yetu ni muhimu sana kwa nchi na si kibinafsi. Mkurugenzi mkuu wa mazingira ametoa amri kwamba yule ambaye anakataa miti ovyo ovyo anapaswa kuchukuliwa hatua kali sana. Mtu akikata mti mmoja, anafaa kupanda miti miwili ili tuweze kuimarisha mazingira yetu. Tusipofuatilia maagizo hayo, kutakuwa na ukame kwani miti ndio inayovuta mvua. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo kwani ina mathara mengi kwa afya yetu. Wakati ambapo tunatupa taka ndani ya mito, wanyama wengi wanaumia kwani wanakosa hewa ya kupumua ndani ya maji. Wanyama hao wakifa huwa ni garama kwa binadamu kwani pia ni chakula kwa binadamu. Wakati ambapo tunaharibu mazingira pia wanyama ambao wanaishi humo wanakosa chakula na mahali pa kuishi. Wanapokosa mahali pa kuishi huwa wanavamia makao ya binadamu na kusababisha mathara mengi. Sisi kama binadamu tukiweza kutunza mazingira yetu, tunaweza kuwa na mafanikio mengi sana kama kuvutia watalii. Mazingira yetu yakiwa bora, wanyama wataishi vyema kwa hivyo kuwavutia watalii ambao wakati wanapotembelea nchi hutupa ushuru ambao unatumika kujenga nchi yetu. Ushuru huo .unatumika kujenga barabara, vituo vya matibabu na vyuo vya kusomea. Hayo yote, manufaa kwa nchi. Manufaa ya mazingira kwa mtu binafsi ni kama vile kutumia miti kuunda nyumba, kutengeneza meza, na pia kutumika kama dawa inayotumika kutibu magonjwa mbalimbali. Utunzaji wa mazingira pia umerembesha nchi. Mazingira yakiwa shwari, tutaweza kukaa kwa starehe bila shida yoyote. Asanteni sana kuchukua muda wenu kunisikiliza.”
nani ametoa amri
{ "text": [ "mkurugenzi mkuu wa mazingira" ] }
3663_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NA MANUFAA YAKE “Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Leo tumekusanyika hapa ili niweze kuhutubu kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira na manufaa yake. Kama vile ambavyo twajua kuwa mazingira yetu ni muhimu sana kwa nchi na si kibinafsi. Mkurugenzi mkuu wa mazingira ametoa amri kwamba yule ambaye anakataa miti ovyo ovyo anapaswa kuchukuliwa hatua kali sana. Mtu akikata mti mmoja, anafaa kupanda miti miwili ili tuweze kuimarisha mazingira yetu. Tusipofuatilia maagizo hayo, kutakuwa na ukame kwani miti ndio inayovuta mvua. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo kwani ina mathara mengi kwa afya yetu. Wakati ambapo tunatupa taka ndani ya mito, wanyama wengi wanaumia kwani wanakosa hewa ya kupumua ndani ya maji. Wanyama hao wakifa huwa ni garama kwa binadamu kwani pia ni chakula kwa binadamu. Wakati ambapo tunaharibu mazingira pia wanyama ambao wanaishi humo wanakosa chakula na mahali pa kuishi. Wanapokosa mahali pa kuishi huwa wanavamia makao ya binadamu na kusababisha mathara mengi. Sisi kama binadamu tukiweza kutunza mazingira yetu, tunaweza kuwa na mafanikio mengi sana kama kuvutia watalii. Mazingira yetu yakiwa bora, wanyama wataishi vyema kwa hivyo kuwavutia watalii ambao wakati wanapotembelea nchi hutupa ushuru ambao unatumika kujenga nchi yetu. Ushuru huo .unatumika kujenga barabara, vituo vya matibabu na vyuo vya kusomea. Hayo yote, manufaa kwa nchi. Manufaa ya mazingira kwa mtu binafsi ni kama vile kutumia miti kuunda nyumba, kutengeneza meza, na pia kutumika kama dawa inayotumika kutibu magonjwa mbalimbali. Utunzaji wa mazingira pia umerembesha nchi. Mazingira yakiwa shwari, tutaweza kukaa kwa starehe bila shida yoyote. Asanteni sana kuchukua muda wenu kunisikiliza.”
Ukikata mti mmoja unapaswa kupanda mingapi
{ "text": [ "miwili" ] }
3663_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NA MANUFAA YAKE “Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Leo tumekusanyika hapa ili niweze kuhutubu kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira na manufaa yake. Kama vile ambavyo twajua kuwa mazingira yetu ni muhimu sana kwa nchi na si kibinafsi. Mkurugenzi mkuu wa mazingira ametoa amri kwamba yule ambaye anakataa miti ovyo ovyo anapaswa kuchukuliwa hatua kali sana. Mtu akikata mti mmoja, anafaa kupanda miti miwili ili tuweze kuimarisha mazingira yetu. Tusipofuatilia maagizo hayo, kutakuwa na ukame kwani miti ndio inayovuta mvua. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo kwani ina mathara mengi kwa afya yetu. Wakati ambapo tunatupa taka ndani ya mito, wanyama wengi wanaumia kwani wanakosa hewa ya kupumua ndani ya maji. Wanyama hao wakifa huwa ni garama kwa binadamu kwani pia ni chakula kwa binadamu. Wakati ambapo tunaharibu mazingira pia wanyama ambao wanaishi humo wanakosa chakula na mahali pa kuishi. Wanapokosa mahali pa kuishi huwa wanavamia makao ya binadamu na kusababisha mathara mengi. Sisi kama binadamu tukiweza kutunza mazingira yetu, tunaweza kuwa na mafanikio mengi sana kama kuvutia watalii. Mazingira yetu yakiwa bora, wanyama wataishi vyema kwa hivyo kuwavutia watalii ambao wakati wanapotembelea nchi hutupa ushuru ambao unatumika kujenga nchi yetu. Ushuru huo .unatumika kujenga barabara, vituo vya matibabu na vyuo vya kusomea. Hayo yote, manufaa kwa nchi. Manufaa ya mazingira kwa mtu binafsi ni kama vile kutumia miti kuunda nyumba, kutengeneza meza, na pia kutumika kama dawa inayotumika kutibu magonjwa mbalimbali. Utunzaji wa mazingira pia umerembesha nchi. Mazingira yakiwa shwari, tutaweza kukaa kwa starehe bila shida yoyote. Asanteni sana kuchukua muda wenu kunisikiliza.”
Mazingira yakiwa bora wanyama wataishije
{ "text": [ "vyema" ] }
3663_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NA MANUFAA YAKE “Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Leo tumekusanyika hapa ili niweze kuhutubu kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira na manufaa yake. Kama vile ambavyo twajua kuwa mazingira yetu ni muhimu sana kwa nchi na si kibinafsi. Mkurugenzi mkuu wa mazingira ametoa amri kwamba yule ambaye anakataa miti ovyo ovyo anapaswa kuchukuliwa hatua kali sana. Mtu akikata mti mmoja, anafaa kupanda miti miwili ili tuweze kuimarisha mazingira yetu. Tusipofuatilia maagizo hayo, kutakuwa na ukame kwani miti ndio inayovuta mvua. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo kwani ina mathara mengi kwa afya yetu. Wakati ambapo tunatupa taka ndani ya mito, wanyama wengi wanaumia kwani wanakosa hewa ya kupumua ndani ya maji. Wanyama hao wakifa huwa ni garama kwa binadamu kwani pia ni chakula kwa binadamu. Wakati ambapo tunaharibu mazingira pia wanyama ambao wanaishi humo wanakosa chakula na mahali pa kuishi. Wanapokosa mahali pa kuishi huwa wanavamia makao ya binadamu na kusababisha mathara mengi. Sisi kama binadamu tukiweza kutunza mazingira yetu, tunaweza kuwa na mafanikio mengi sana kama kuvutia watalii. Mazingira yetu yakiwa bora, wanyama wataishi vyema kwa hivyo kuwavutia watalii ambao wakati wanapotembelea nchi hutupa ushuru ambao unatumika kujenga nchi yetu. Ushuru huo .unatumika kujenga barabara, vituo vya matibabu na vyuo vya kusomea. Hayo yote, manufaa kwa nchi. Manufaa ya mazingira kwa mtu binafsi ni kama vile kutumia miti kuunda nyumba, kutengeneza meza, na pia kutumika kama dawa inayotumika kutibu magonjwa mbalimbali. Utunzaji wa mazingira pia umerembesha nchi. Mazingira yakiwa shwari, tutaweza kukaa kwa starehe bila shida yoyote. Asanteni sana kuchukua muda wenu kunisikiliza.”
Mbona tusitupe taka ovyo ovyo
{ "text": [ "yana madhara mengi kwa afya yetu" ] }
3665_swa
HOTUBA KUHUSU USALAMA BARABARANI ILIYOTOLEWA NA WAZIRI WA USAFIRI “Rais, naibu wa rais, waziri wa elimu, polisi, wazazi na wanafunzi hamjambo? Bila shaka namshukuru Maulana kwa kunipa fursa hii kuweza kuwahutubia kuhusu usafiri wa barabarani, na ajali zinazokumba usafiri huu na jinsi ya kupunguza visa hivi vilivyoenea. Mwanzo kabisa, serikali kuu inapaswa kuendeleza ujenzi na urekebishaji wa barabara kuu na hata zilizo mashambani. Shimo zote zinazopatikana barabarani zizibwe na barabara ziboreshwe zaidi ili kukuza sekta ya usafiri. Marekebisho haya yatuchangia katika usafirishaji bora wa bidhaa bila ajali za dharura. Serikali inapaswa kuajiri wajenzi bora waliofuzu katika nyanga za ujenzi wa barabara ili kupunguze visa vya barabara kubomoka kila mara. Vifaa vyote vinavyohitajika katika ujenzi huu vitolewe na serikali kwa wakati ufaao. Malipo ya wajenzi hawa yanapaswa yazungatiwe zaidi ili kuwapa motisha katika ujenzi wa taifa. Magari ya usafiri ya abiria pia yanapaswa kutiwa vidhibiti mwendo pindi tu zinapotegenezwa katika kampuni. Uendeshaji kasi wa magari umekuwa chanzo kuu cha ajali nyingi za barabarani. Maafisa wa barabarani wanapaswa kudhibitisha kuwa magari yote ya usafiri wa umma yana vidhibiti mwendo. Magari yatakayokusa vidhibiti mwendo yasikubaliwe barabarani kamwe na madereva wa magari hayo wanapaswa kushtakiwa kwa kuzivunja sheria za usafiri wa barabarani. Idadi ya maafisa wa barabarani pia inafaa kuongezwa na vifaa vya kupimia ulevi baina ya madereva viongezwe. Ulevi ni mojawapo ya chanzo cha ajali za barabarani. Madereva watakapopatikana wakiwa wametumia dawa za kulevya wachukuliwe hatua kali. Maafisa wasichukue mlungula kutoka kwa madereva hawa kwa kuwa ni hatari kwa maisha ya wasafiri wengine barabarani. Serikali pia inapaswa kuzingatia ujenzi wa vituo vya kupumzika kwa wasafiri wa masafa marefu. Hotel na sehemu za kujivinjari zitengezwe katika vituo hivyo vya kupumzika. Vituo hivyo vitaweza kuwapumzisha madereva wanaokumbwa na usingizi.Pia serikali inafaa kuzingatia maslahi ya madereva hawa kwa kuhakiksha kuwa kila kampuni ya usafiri wa umma ina madereva wa kutosha ili waweze kusaidiana. Zaidi ya hayo, serikali inapaswa kujenga vyuo vya kutoa mafunzo ya hali ya juu kwa madereva wa magari. Vyuo hivi visjengwe tu huko mijini bali pia mashambani. Pesa za umma ziekezwe katika shule hizi ili kufadhili masomo ya madereva ambao wakati mwingi hauwa wanakosa mbinu za kujiwezesha kimaisha. Mwisho kabisa, ni jukumu la kila mmoja kujali maisha yake na ya jirani yake. Kila mmoja azingatie usalama wa barabarani, msikubali kushuhudia maafisa wa barabara wakipokea mlungula na madereva duni. Walio vyuoni humo wasikubali kuwaona watu waliopewa leseni baada ya kutoa mlungula. Wanaosafiri kwa magari ya umma wanafaa walalamike wanapomwona dereva akiendesha gari vibaya. Haya yote yakizingatiwa, visa vya ajali katika barabara zetu zitapungua zaidi. Asanteni kwa kunipa sikio lenu.”
Anamshukuru nani
{ "text": [ "Maulana" ] }
3665_swa
HOTUBA KUHUSU USALAMA BARABARANI ILIYOTOLEWA NA WAZIRI WA USAFIRI “Rais, naibu wa rais, waziri wa elimu, polisi, wazazi na wanafunzi hamjambo? Bila shaka namshukuru Maulana kwa kunipa fursa hii kuweza kuwahutubia kuhusu usafiri wa barabarani, na ajali zinazokumba usafiri huu na jinsi ya kupunguza visa hivi vilivyoenea. Mwanzo kabisa, serikali kuu inapaswa kuendeleza ujenzi na urekebishaji wa barabara kuu na hata zilizo mashambani. Shimo zote zinazopatikana barabarani zizibwe na barabara ziboreshwe zaidi ili kukuza sekta ya usafiri. Marekebisho haya yatuchangia katika usafirishaji bora wa bidhaa bila ajali za dharura. Serikali inapaswa kuajiri wajenzi bora waliofuzu katika nyanga za ujenzi wa barabara ili kupunguze visa vya barabara kubomoka kila mara. Vifaa vyote vinavyohitajika katika ujenzi huu vitolewe na serikali kwa wakati ufaao. Malipo ya wajenzi hawa yanapaswa yazungatiwe zaidi ili kuwapa motisha katika ujenzi wa taifa. Magari ya usafiri ya abiria pia yanapaswa kutiwa vidhibiti mwendo pindi tu zinapotegenezwa katika kampuni. Uendeshaji kasi wa magari umekuwa chanzo kuu cha ajali nyingi za barabarani. Maafisa wa barabarani wanapaswa kudhibitisha kuwa magari yote ya usafiri wa umma yana vidhibiti mwendo. Magari yatakayokusa vidhibiti mwendo yasikubaliwe barabarani kamwe na madereva wa magari hayo wanapaswa kushtakiwa kwa kuzivunja sheria za usafiri wa barabarani. Idadi ya maafisa wa barabarani pia inafaa kuongezwa na vifaa vya kupimia ulevi baina ya madereva viongezwe. Ulevi ni mojawapo ya chanzo cha ajali za barabarani. Madereva watakapopatikana wakiwa wametumia dawa za kulevya wachukuliwe hatua kali. Maafisa wasichukue mlungula kutoka kwa madereva hawa kwa kuwa ni hatari kwa maisha ya wasafiri wengine barabarani. Serikali pia inapaswa kuzingatia ujenzi wa vituo vya kupumzika kwa wasafiri wa masafa marefu. Hotel na sehemu za kujivinjari zitengezwe katika vituo hivyo vya kupumzika. Vituo hivyo vitaweza kuwapumzisha madereva wanaokumbwa na usingizi.Pia serikali inafaa kuzingatia maslahi ya madereva hawa kwa kuhakiksha kuwa kila kampuni ya usafiri wa umma ina madereva wa kutosha ili waweze kusaidiana. Zaidi ya hayo, serikali inapaswa kujenga vyuo vya kutoa mafunzo ya hali ya juu kwa madereva wa magari. Vyuo hivi visjengwe tu huko mijini bali pia mashambani. Pesa za umma ziekezwe katika shule hizi ili kufadhili masomo ya madereva ambao wakati mwingi hauwa wanakosa mbinu za kujiwezesha kimaisha. Mwisho kabisa, ni jukumu la kila mmoja kujali maisha yake na ya jirani yake. Kila mmoja azingatie usalama wa barabarani, msikubali kushuhudia maafisa wa barabara wakipokea mlungula na madereva duni. Walio vyuoni humo wasikubali kuwaona watu waliopewa leseni baada ya kutoa mlungula. Wanaosafiri kwa magari ya umma wanafaa walalamike wanapomwona dereva akiendesha gari vibaya. Haya yote yakizingatiwa, visa vya ajali katika barabara zetu zitapungua zaidi. Asanteni kwa kunipa sikio lenu.”
Alipata fursa kuwahutubia kuhusu nini
{ "text": [ "usafiri wa barabarani" ] }
3665_swa
HOTUBA KUHUSU USALAMA BARABARANI ILIYOTOLEWA NA WAZIRI WA USAFIRI “Rais, naibu wa rais, waziri wa elimu, polisi, wazazi na wanafunzi hamjambo? Bila shaka namshukuru Maulana kwa kunipa fursa hii kuweza kuwahutubia kuhusu usafiri wa barabarani, na ajali zinazokumba usafiri huu na jinsi ya kupunguza visa hivi vilivyoenea. Mwanzo kabisa, serikali kuu inapaswa kuendeleza ujenzi na urekebishaji wa barabara kuu na hata zilizo mashambani. Shimo zote zinazopatikana barabarani zizibwe na barabara ziboreshwe zaidi ili kukuza sekta ya usafiri. Marekebisho haya yatuchangia katika usafirishaji bora wa bidhaa bila ajali za dharura. Serikali inapaswa kuajiri wajenzi bora waliofuzu katika nyanga za ujenzi wa barabara ili kupunguze visa vya barabara kubomoka kila mara. Vifaa vyote vinavyohitajika katika ujenzi huu vitolewe na serikali kwa wakati ufaao. Malipo ya wajenzi hawa yanapaswa yazungatiwe zaidi ili kuwapa motisha katika ujenzi wa taifa. Magari ya usafiri ya abiria pia yanapaswa kutiwa vidhibiti mwendo pindi tu zinapotegenezwa katika kampuni. Uendeshaji kasi wa magari umekuwa chanzo kuu cha ajali nyingi za barabarani. Maafisa wa barabarani wanapaswa kudhibitisha kuwa magari yote ya usafiri wa umma yana vidhibiti mwendo. Magari yatakayokusa vidhibiti mwendo yasikubaliwe barabarani kamwe na madereva wa magari hayo wanapaswa kushtakiwa kwa kuzivunja sheria za usafiri wa barabarani. Idadi ya maafisa wa barabarani pia inafaa kuongezwa na vifaa vya kupimia ulevi baina ya madereva viongezwe. Ulevi ni mojawapo ya chanzo cha ajali za barabarani. Madereva watakapopatikana wakiwa wametumia dawa za kulevya wachukuliwe hatua kali. Maafisa wasichukue mlungula kutoka kwa madereva hawa kwa kuwa ni hatari kwa maisha ya wasafiri wengine barabarani. Serikali pia inapaswa kuzingatia ujenzi wa vituo vya kupumzika kwa wasafiri wa masafa marefu. Hotel na sehemu za kujivinjari zitengezwe katika vituo hivyo vya kupumzika. Vituo hivyo vitaweza kuwapumzisha madereva wanaokumbwa na usingizi.Pia serikali inafaa kuzingatia maslahi ya madereva hawa kwa kuhakiksha kuwa kila kampuni ya usafiri wa umma ina madereva wa kutosha ili waweze kusaidiana. Zaidi ya hayo, serikali inapaswa kujenga vyuo vya kutoa mafunzo ya hali ya juu kwa madereva wa magari. Vyuo hivi visjengwe tu huko mijini bali pia mashambani. Pesa za umma ziekezwe katika shule hizi ili kufadhili masomo ya madereva ambao wakati mwingi hauwa wanakosa mbinu za kujiwezesha kimaisha. Mwisho kabisa, ni jukumu la kila mmoja kujali maisha yake na ya jirani yake. Kila mmoja azingatie usalama wa barabarani, msikubali kushuhudia maafisa wa barabara wakipokea mlungula na madereva duni. Walio vyuoni humo wasikubali kuwaona watu waliopewa leseni baada ya kutoa mlungula. Wanaosafiri kwa magari ya umma wanafaa walalamike wanapomwona dereva akiendesha gari vibaya. Haya yote yakizingatiwa, visa vya ajali katika barabara zetu zitapungua zaidi. Asanteni kwa kunipa sikio lenu.”
Serikali inapaswa kuzingatia ujenzi wa vituo gani
{ "text": [ "vya kupumzikia" ] }
3665_swa
HOTUBA KUHUSU USALAMA BARABARANI ILIYOTOLEWA NA WAZIRI WA USAFIRI “Rais, naibu wa rais, waziri wa elimu, polisi, wazazi na wanafunzi hamjambo? Bila shaka namshukuru Maulana kwa kunipa fursa hii kuweza kuwahutubia kuhusu usafiri wa barabarani, na ajali zinazokumba usafiri huu na jinsi ya kupunguza visa hivi vilivyoenea. Mwanzo kabisa, serikali kuu inapaswa kuendeleza ujenzi na urekebishaji wa barabara kuu na hata zilizo mashambani. Shimo zote zinazopatikana barabarani zizibwe na barabara ziboreshwe zaidi ili kukuza sekta ya usafiri. Marekebisho haya yatuchangia katika usafirishaji bora wa bidhaa bila ajali za dharura. Serikali inapaswa kuajiri wajenzi bora waliofuzu katika nyanga za ujenzi wa barabara ili kupunguze visa vya barabara kubomoka kila mara. Vifaa vyote vinavyohitajika katika ujenzi huu vitolewe na serikali kwa wakati ufaao. Malipo ya wajenzi hawa yanapaswa yazungatiwe zaidi ili kuwapa motisha katika ujenzi wa taifa. Magari ya usafiri ya abiria pia yanapaswa kutiwa vidhibiti mwendo pindi tu zinapotegenezwa katika kampuni. Uendeshaji kasi wa magari umekuwa chanzo kuu cha ajali nyingi za barabarani. Maafisa wa barabarani wanapaswa kudhibitisha kuwa magari yote ya usafiri wa umma yana vidhibiti mwendo. Magari yatakayokusa vidhibiti mwendo yasikubaliwe barabarani kamwe na madereva wa magari hayo wanapaswa kushtakiwa kwa kuzivunja sheria za usafiri wa barabarani. Idadi ya maafisa wa barabarani pia inafaa kuongezwa na vifaa vya kupimia ulevi baina ya madereva viongezwe. Ulevi ni mojawapo ya chanzo cha ajali za barabarani. Madereva watakapopatikana wakiwa wametumia dawa za kulevya wachukuliwe hatua kali. Maafisa wasichukue mlungula kutoka kwa madereva hawa kwa kuwa ni hatari kwa maisha ya wasafiri wengine barabarani. Serikali pia inapaswa kuzingatia ujenzi wa vituo vya kupumzika kwa wasafiri wa masafa marefu. Hotel na sehemu za kujivinjari zitengezwe katika vituo hivyo vya kupumzika. Vituo hivyo vitaweza kuwapumzisha madereva wanaokumbwa na usingizi.Pia serikali inafaa kuzingatia maslahi ya madereva hawa kwa kuhakiksha kuwa kila kampuni ya usafiri wa umma ina madereva wa kutosha ili waweze kusaidiana. Zaidi ya hayo, serikali inapaswa kujenga vyuo vya kutoa mafunzo ya hali ya juu kwa madereva wa magari. Vyuo hivi visjengwe tu huko mijini bali pia mashambani. Pesa za umma ziekezwe katika shule hizi ili kufadhili masomo ya madereva ambao wakati mwingi hauwa wanakosa mbinu za kujiwezesha kimaisha. Mwisho kabisa, ni jukumu la kila mmoja kujali maisha yake na ya jirani yake. Kila mmoja azingatie usalama wa barabarani, msikubali kushuhudia maafisa wa barabara wakipokea mlungula na madereva duni. Walio vyuoni humo wasikubali kuwaona watu waliopewa leseni baada ya kutoa mlungula. Wanaosafiri kwa magari ya umma wanafaa walalamike wanapomwona dereva akiendesha gari vibaya. Haya yote yakizingatiwa, visa vya ajali katika barabara zetu zitapungua zaidi. Asanteni kwa kunipa sikio lenu.”
Msikubali kuona maafisa wa barabara wakipewa nini
{ "text": [ "mlungula" ] }
3665_swa
HOTUBA KUHUSU USALAMA BARABARANI ILIYOTOLEWA NA WAZIRI WA USAFIRI “Rais, naibu wa rais, waziri wa elimu, polisi, wazazi na wanafunzi hamjambo? Bila shaka namshukuru Maulana kwa kunipa fursa hii kuweza kuwahutubia kuhusu usafiri wa barabarani, na ajali zinazokumba usafiri huu na jinsi ya kupunguza visa hivi vilivyoenea. Mwanzo kabisa, serikali kuu inapaswa kuendeleza ujenzi na urekebishaji wa barabara kuu na hata zilizo mashambani. Shimo zote zinazopatikana barabarani zizibwe na barabara ziboreshwe zaidi ili kukuza sekta ya usafiri. Marekebisho haya yatuchangia katika usafirishaji bora wa bidhaa bila ajali za dharura. Serikali inapaswa kuajiri wajenzi bora waliofuzu katika nyanga za ujenzi wa barabara ili kupunguze visa vya barabara kubomoka kila mara. Vifaa vyote vinavyohitajika katika ujenzi huu vitolewe na serikali kwa wakati ufaao. Malipo ya wajenzi hawa yanapaswa yazungatiwe zaidi ili kuwapa motisha katika ujenzi wa taifa. Magari ya usafiri ya abiria pia yanapaswa kutiwa vidhibiti mwendo pindi tu zinapotegenezwa katika kampuni. Uendeshaji kasi wa magari umekuwa chanzo kuu cha ajali nyingi za barabarani. Maafisa wa barabarani wanapaswa kudhibitisha kuwa magari yote ya usafiri wa umma yana vidhibiti mwendo. Magari yatakayokusa vidhibiti mwendo yasikubaliwe barabarani kamwe na madereva wa magari hayo wanapaswa kushtakiwa kwa kuzivunja sheria za usafiri wa barabarani. Idadi ya maafisa wa barabarani pia inafaa kuongezwa na vifaa vya kupimia ulevi baina ya madereva viongezwe. Ulevi ni mojawapo ya chanzo cha ajali za barabarani. Madereva watakapopatikana wakiwa wametumia dawa za kulevya wachukuliwe hatua kali. Maafisa wasichukue mlungula kutoka kwa madereva hawa kwa kuwa ni hatari kwa maisha ya wasafiri wengine barabarani. Serikali pia inapaswa kuzingatia ujenzi wa vituo vya kupumzika kwa wasafiri wa masafa marefu. Hotel na sehemu za kujivinjari zitengezwe katika vituo hivyo vya kupumzika. Vituo hivyo vitaweza kuwapumzisha madereva wanaokumbwa na usingizi.Pia serikali inafaa kuzingatia maslahi ya madereva hawa kwa kuhakiksha kuwa kila kampuni ya usafiri wa umma ina madereva wa kutosha ili waweze kusaidiana. Zaidi ya hayo, serikali inapaswa kujenga vyuo vya kutoa mafunzo ya hali ya juu kwa madereva wa magari. Vyuo hivi visjengwe tu huko mijini bali pia mashambani. Pesa za umma ziekezwe katika shule hizi ili kufadhili masomo ya madereva ambao wakati mwingi hauwa wanakosa mbinu za kujiwezesha kimaisha. Mwisho kabisa, ni jukumu la kila mmoja kujali maisha yake na ya jirani yake. Kila mmoja azingatie usalama wa barabarani, msikubali kushuhudia maafisa wa barabara wakipokea mlungula na madereva duni. Walio vyuoni humo wasikubali kuwaona watu waliopewa leseni baada ya kutoa mlungula. Wanaosafiri kwa magari ya umma wanafaa walalamike wanapomwona dereva akiendesha gari vibaya. Haya yote yakizingatiwa, visa vya ajali katika barabara zetu zitapungua zaidi. Asanteni kwa kunipa sikio lenu.”
Mbona barabara ziboreshwe zaidi
{ "text": [ "ili kukuza sekta ya usafiri" ] }
3668_swa
NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni kati ya shughuli nyinginezo ambazo Wakenya hujishughulisha nayo, imekuwa nguzo muhimu katika ustawishaji wa uchumi wa nchi. Biashara mbalimbali huchangia katika ukusanyaji wa ushuru ambazo hutumiwa katika kufanya maendeleo mbalimbali kama vile ujenzi wa barabara, hospitali na hata shule. Kutokana na manufaa haya, ni sharti serikali na wananchi wafanye juu chini ili kuweza kuimarisha biashara. Njia ya kwanza kabisa ya kuimarisha biashara ni serikali kutoa mikopo kwa akina mama wafanye biashara ndogo ndogo, kama vile wauze mboga. Kina mama hawa wakipewa mikopo, watawcza kujiinua kibiashara kwa kuongeza bidhaa wanazouza na hivyo basi kupata wateja wengi. Hili litasaidia maana mama huyu atapata pesa za kujitosheleza na hata baadaye kupanua biashara yake. Njia ya pili ni kwa kuwawekesha wakulima wa mifugo na hata mimea kupata masoko ya kuyauzia bidhaa zao nchini na hata nje ya nchi. Wakulima wengi hukosa pahali pa kuuzia bidhaa zao na baadaye kugharamikia hasara. Kwa kuwezeshwa kupata soko za kuuzia bidhaa zao, wakulima watauza bidhaa zao kabla hazijaharibika au kuuza kwa bei ya kukata tamaa kwa sababu ya kukosa pa kuuza. Njia ya tatu ni kwa mashirika ambayo hutoa mikopo kwa wananchi kuwapa muda wa kutosha ili kuyalipa. Mara nyingi mashirika haya huchukua vitu ambavyo watu hawa humiliki, wakati mwingine za biashara. Hii hupelekea kuporomoka kwa shughuli za biashara za watu hawa. Kwa kuwapa muda wa kutosha wa kulipa madeni haya, wakulima watu hawa wataweza kujiinua na kuimarisha biashara zao. Ili kuimarisha biashara, serikali pia inastahili kukarabati barabara zinazounganisha maeneo ya uzalishaji kama vile mashamba ya mimea na ma masoko. Ni jambo la kuhuzunisha kwa mkulima kupata hasara kwa kuwa bidhaa zake ziliharibika kutokana na hali duni ya barabara. Hili hupelekea kwa mkulima huyu kupata hasara kubwa na hata kuachana na biashara ile. Hili linaweza kuepukwa kwa kukarabatiwa kwa barabara ili kuhakikisha kuwa bidhiwa zinafika sokoni kwa wakati ufaao. Hili likizingatiwa, mkulima ataweza kupata faida kubwa na hivyo kuimarisha biashara yake. Biashara yaweza kuimarishwa pia kwa kutilia mkazo na kutolegeza kamba kwa kupiga marufuku uuzaji wa bidhaa ghushi katika masoko. Bidhaa hizi ghushi husababisha wakulima wanaouza bidhaa halali kupata hasara kwa kuwa watu watanunua bidhaa zile ghushi kuwa kutojua.
Biashara imestawisha uchumi wa nchi gani
{ "text": [ "Kenya" ] }
3668_swa
NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni kati ya shughuli nyinginezo ambazo Wakenya hujishughulisha nayo, imekuwa nguzo muhimu katika ustawishaji wa uchumi wa nchi. Biashara mbalimbali huchangia katika ukusanyaji wa ushuru ambazo hutumiwa katika kufanya maendeleo mbalimbali kama vile ujenzi wa barabara, hospitali na hata shule. Kutokana na manufaa haya, ni sharti serikali na wananchi wafanye juu chini ili kuweza kuimarisha biashara. Njia ya kwanza kabisa ya kuimarisha biashara ni serikali kutoa mikopo kwa akina mama wafanye biashara ndogo ndogo, kama vile wauze mboga. Kina mama hawa wakipewa mikopo, watawcza kujiinua kibiashara kwa kuongeza bidhaa wanazouza na hivyo basi kupata wateja wengi. Hili litasaidia maana mama huyu atapata pesa za kujitosheleza na hata baadaye kupanua biashara yake. Njia ya pili ni kwa kuwawekesha wakulima wa mifugo na hata mimea kupata masoko ya kuyauzia bidhaa zao nchini na hata nje ya nchi. Wakulima wengi hukosa pahali pa kuuzia bidhaa zao na baadaye kugharamikia hasara. Kwa kuwezeshwa kupata soko za kuuzia bidhaa zao, wakulima watauza bidhaa zao kabla hazijaharibika au kuuza kwa bei ya kukata tamaa kwa sababu ya kukosa pa kuuza. Njia ya tatu ni kwa mashirika ambayo hutoa mikopo kwa wananchi kuwapa muda wa kutosha ili kuyalipa. Mara nyingi mashirika haya huchukua vitu ambavyo watu hawa humiliki, wakati mwingine za biashara. Hii hupelekea kuporomoka kwa shughuli za biashara za watu hawa. Kwa kuwapa muda wa kutosha wa kulipa madeni haya, wakulima watu hawa wataweza kujiinua na kuimarisha biashara zao. Ili kuimarisha biashara, serikali pia inastahili kukarabati barabara zinazounganisha maeneo ya uzalishaji kama vile mashamba ya mimea na ma masoko. Ni jambo la kuhuzunisha kwa mkulima kupata hasara kwa kuwa bidhaa zake ziliharibika kutokana na hali duni ya barabara. Hili hupelekea kwa mkulima huyu kupata hasara kubwa na hata kuachana na biashara ile. Hili linaweza kuepukwa kwa kukarabatiwa kwa barabara ili kuhakikisha kuwa bidhiwa zinafika sokoni kwa wakati ufaao. Hili likizingatiwa, mkulima ataweza kupata faida kubwa na hivyo kuimarisha biashara yake. Biashara yaweza kuimarishwa pia kwa kutilia mkazo na kutolegeza kamba kwa kupiga marufuku uuzaji wa bidhaa ghushi katika masoko. Bidhaa hizi ghushi husababisha wakulima wanaouza bidhaa halali kupata hasara kwa kuwa watu watanunua bidhaa zile ghushi kuwa kutojua.
Biashara husaidia katika ukusanyaji wa nini
{ "text": [ "ushuru" ] }
3668_swa
NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni kati ya shughuli nyinginezo ambazo Wakenya hujishughulisha nayo, imekuwa nguzo muhimu katika ustawishaji wa uchumi wa nchi. Biashara mbalimbali huchangia katika ukusanyaji wa ushuru ambazo hutumiwa katika kufanya maendeleo mbalimbali kama vile ujenzi wa barabara, hospitali na hata shule. Kutokana na manufaa haya, ni sharti serikali na wananchi wafanye juu chini ili kuweza kuimarisha biashara. Njia ya kwanza kabisa ya kuimarisha biashara ni serikali kutoa mikopo kwa akina mama wafanye biashara ndogo ndogo, kama vile wauze mboga. Kina mama hawa wakipewa mikopo, watawcza kujiinua kibiashara kwa kuongeza bidhaa wanazouza na hivyo basi kupata wateja wengi. Hili litasaidia maana mama huyu atapata pesa za kujitosheleza na hata baadaye kupanua biashara yake. Njia ya pili ni kwa kuwawekesha wakulima wa mifugo na hata mimea kupata masoko ya kuyauzia bidhaa zao nchini na hata nje ya nchi. Wakulima wengi hukosa pahali pa kuuzia bidhaa zao na baadaye kugharamikia hasara. Kwa kuwezeshwa kupata soko za kuuzia bidhaa zao, wakulima watauza bidhaa zao kabla hazijaharibika au kuuza kwa bei ya kukata tamaa kwa sababu ya kukosa pa kuuza. Njia ya tatu ni kwa mashirika ambayo hutoa mikopo kwa wananchi kuwapa muda wa kutosha ili kuyalipa. Mara nyingi mashirika haya huchukua vitu ambavyo watu hawa humiliki, wakati mwingine za biashara. Hii hupelekea kuporomoka kwa shughuli za biashara za watu hawa. Kwa kuwapa muda wa kutosha wa kulipa madeni haya, wakulima watu hawa wataweza kujiinua na kuimarisha biashara zao. Ili kuimarisha biashara, serikali pia inastahili kukarabati barabara zinazounganisha maeneo ya uzalishaji kama vile mashamba ya mimea na ma masoko. Ni jambo la kuhuzunisha kwa mkulima kupata hasara kwa kuwa bidhaa zake ziliharibika kutokana na hali duni ya barabara. Hili hupelekea kwa mkulima huyu kupata hasara kubwa na hata kuachana na biashara ile. Hili linaweza kuepukwa kwa kukarabatiwa kwa barabara ili kuhakikisha kuwa bidhiwa zinafika sokoni kwa wakati ufaao. Hili likizingatiwa, mkulima ataweza kupata faida kubwa na hivyo kuimarisha biashara yake. Biashara yaweza kuimarishwa pia kwa kutilia mkazo na kutolegeza kamba kwa kupiga marufuku uuzaji wa bidhaa ghushi katika masoko. Bidhaa hizi ghushi husababisha wakulima wanaouza bidhaa halali kupata hasara kwa kuwa watu watanunua bidhaa zile ghushi kuwa kutojua.
Serikali itoe nini kwa akina mama
{ "text": [ "mikopo" ] }
3668_swa
NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni kati ya shughuli nyinginezo ambazo Wakenya hujishughulisha nayo, imekuwa nguzo muhimu katika ustawishaji wa uchumi wa nchi. Biashara mbalimbali huchangia katika ukusanyaji wa ushuru ambazo hutumiwa katika kufanya maendeleo mbalimbali kama vile ujenzi wa barabara, hospitali na hata shule. Kutokana na manufaa haya, ni sharti serikali na wananchi wafanye juu chini ili kuweza kuimarisha biashara. Njia ya kwanza kabisa ya kuimarisha biashara ni serikali kutoa mikopo kwa akina mama wafanye biashara ndogo ndogo, kama vile wauze mboga. Kina mama hawa wakipewa mikopo, watawcza kujiinua kibiashara kwa kuongeza bidhaa wanazouza na hivyo basi kupata wateja wengi. Hili litasaidia maana mama huyu atapata pesa za kujitosheleza na hata baadaye kupanua biashara yake. Njia ya pili ni kwa kuwawekesha wakulima wa mifugo na hata mimea kupata masoko ya kuyauzia bidhaa zao nchini na hata nje ya nchi. Wakulima wengi hukosa pahali pa kuuzia bidhaa zao na baadaye kugharamikia hasara. Kwa kuwezeshwa kupata soko za kuuzia bidhaa zao, wakulima watauza bidhaa zao kabla hazijaharibika au kuuza kwa bei ya kukata tamaa kwa sababu ya kukosa pa kuuza. Njia ya tatu ni kwa mashirika ambayo hutoa mikopo kwa wananchi kuwapa muda wa kutosha ili kuyalipa. Mara nyingi mashirika haya huchukua vitu ambavyo watu hawa humiliki, wakati mwingine za biashara. Hii hupelekea kuporomoka kwa shughuli za biashara za watu hawa. Kwa kuwapa muda wa kutosha wa kulipa madeni haya, wakulima watu hawa wataweza kujiinua na kuimarisha biashara zao. Ili kuimarisha biashara, serikali pia inastahili kukarabati barabara zinazounganisha maeneo ya uzalishaji kama vile mashamba ya mimea na ma masoko. Ni jambo la kuhuzunisha kwa mkulima kupata hasara kwa kuwa bidhaa zake ziliharibika kutokana na hali duni ya barabara. Hili hupelekea kwa mkulima huyu kupata hasara kubwa na hata kuachana na biashara ile. Hili linaweza kuepukwa kwa kukarabatiwa kwa barabara ili kuhakikisha kuwa bidhiwa zinafika sokoni kwa wakati ufaao. Hili likizingatiwa, mkulima ataweza kupata faida kubwa na hivyo kuimarisha biashara yake. Biashara yaweza kuimarishwa pia kwa kutilia mkazo na kutolegeza kamba kwa kupiga marufuku uuzaji wa bidhaa ghushi katika masoko. Bidhaa hizi ghushi husababisha wakulima wanaouza bidhaa halali kupata hasara kwa kuwa watu watanunua bidhaa zile ghushi kuwa kutojua.
Mashirika ambayo hutoa mikopo kwa wananchi iwape muda gani
{ "text": [ "wa kutosha" ] }
3668_swa
NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni kati ya shughuli nyinginezo ambazo Wakenya hujishughulisha nayo, imekuwa nguzo muhimu katika ustawishaji wa uchumi wa nchi. Biashara mbalimbali huchangia katika ukusanyaji wa ushuru ambazo hutumiwa katika kufanya maendeleo mbalimbali kama vile ujenzi wa barabara, hospitali na hata shule. Kutokana na manufaa haya, ni sharti serikali na wananchi wafanye juu chini ili kuweza kuimarisha biashara. Njia ya kwanza kabisa ya kuimarisha biashara ni serikali kutoa mikopo kwa akina mama wafanye biashara ndogo ndogo, kama vile wauze mboga. Kina mama hawa wakipewa mikopo, watawcza kujiinua kibiashara kwa kuongeza bidhaa wanazouza na hivyo basi kupata wateja wengi. Hili litasaidia maana mama huyu atapata pesa za kujitosheleza na hata baadaye kupanua biashara yake. Njia ya pili ni kwa kuwawekesha wakulima wa mifugo na hata mimea kupata masoko ya kuyauzia bidhaa zao nchini na hata nje ya nchi. Wakulima wengi hukosa pahali pa kuuzia bidhaa zao na baadaye kugharamikia hasara. Kwa kuwezeshwa kupata soko za kuuzia bidhaa zao, wakulima watauza bidhaa zao kabla hazijaharibika au kuuza kwa bei ya kukata tamaa kwa sababu ya kukosa pa kuuza. Njia ya tatu ni kwa mashirika ambayo hutoa mikopo kwa wananchi kuwapa muda wa kutosha ili kuyalipa. Mara nyingi mashirika haya huchukua vitu ambavyo watu hawa humiliki, wakati mwingine za biashara. Hii hupelekea kuporomoka kwa shughuli za biashara za watu hawa. Kwa kuwapa muda wa kutosha wa kulipa madeni haya, wakulima watu hawa wataweza kujiinua na kuimarisha biashara zao. Ili kuimarisha biashara, serikali pia inastahili kukarabati barabara zinazounganisha maeneo ya uzalishaji kama vile mashamba ya mimea na ma masoko. Ni jambo la kuhuzunisha kwa mkulima kupata hasara kwa kuwa bidhaa zake ziliharibika kutokana na hali duni ya barabara. Hili hupelekea kwa mkulima huyu kupata hasara kubwa na hata kuachana na biashara ile. Hili linaweza kuepukwa kwa kukarabatiwa kwa barabara ili kuhakikisha kuwa bidhiwa zinafika sokoni kwa wakati ufaao. Hili likizingatiwa, mkulima ataweza kupata faida kubwa na hivyo kuimarisha biashara yake. Biashara yaweza kuimarishwa pia kwa kutilia mkazo na kutolegeza kamba kwa kupiga marufuku uuzaji wa bidhaa ghushi katika masoko. Bidhaa hizi ghushi husababisha wakulima wanaouza bidhaa halali kupata hasara kwa kuwa watu watanunua bidhaa zile ghushi kuwa kutojua.
Kwa nini barabara zikarabatiwe
{ "text": [ "ili kuhakikisha bidhaa zinafika sokoni kwa wakati ufaao" ] }
3671_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi hujihusisha, katika mapenzi katika umri mdogo na kusababisha athari nyingi katika jamii. Athari mojawapo ni kuwa vijana, hasa wale ambao bado ni wanafunzi huacha shule na kujihusisha na makundi mabaya na hivyo kuathirika baadaye. Mara nyingi, wasichana wanaojihusisha katika mapenzi ya mapema hupachikwa mimba na hivyo basi kuishia kufukuzwa shuleni. Hii ina maana kuwa masomo ya wasichana hawa hudorora. Je, mbona waruhusu kujihusisha katika mapenzi ikiwa bado wako shuleni? Mbona hata baada ya kupewa mawaidha wafuate njia yao? Vijana wengi huwa hawawaheshimu wavyele wao inavyofaa. Wao huona kwamba wameanza kuwa wakubwa na kuanza kujilinganisha na wazazi wao. Vijana wengi ambao hujihusisha katika mapenzi mara nyingi, huwa wanaiga mifano ya wenzao. Jambo hili husababisha utovu wa nidhamu. WEngi wao huishia hata kuwatusi wakubwa wao, wao huwa kama bendera inayofuata upepo. Jambo jingine ni kuwa vijana wengi hupata kuambukizana magonjwa kama vile virusi vya ukimwi na hivyo kusababisha kifo. Wanapaswa kujifunza maadili mema na hata kwenda kanisani ili wasijihusishe na mambo haya mabaya. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wengi kudorora katika nidhamu yao. Wengi wao huishia kuacha masomo kwani wao hudhani kuwa watachekwa na wenzao shuleni hasa wale ambapo wamewapachika wengine mimba. Wavulana wengi huwaaribu wasichana wadogo wadogo ambao huwa wanaendelea vyema na masomo yao. Unaweza pata msichana au gulamu wa darasa la sita ameanza kujihusisha katika mapenzi, si kwa sababu ya kuwa yeye ni mjinga bali tu ni kuiga tabia ambazo wenzao hufanya. Vijana wengine hukosana na wazazi wao, hili hutokana na vijana hawa kuadhibiwa kwa sababu ya mienendo yao mbaya. Baada ya kuadhibiwa, vijana wengine hutoroka nyumbani kwao na wengine kuishia kuwa chokoraa. Wazazi pamoja na walimu wanafaa waungane mikono ili kuwapa vijana mawaidha ili wawe watu wasikivu na wenye nidhamu.
Vijana hujihusisha na nini
{ "text": [ "Mapenzi" ] }
3671_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi hujihusisha, katika mapenzi katika umri mdogo na kusababisha athari nyingi katika jamii. Athari mojawapo ni kuwa vijana, hasa wale ambao bado ni wanafunzi huacha shule na kujihusisha na makundi mabaya na hivyo kuathirika baadaye. Mara nyingi, wasichana wanaojihusisha katika mapenzi ya mapema hupachikwa mimba na hivyo basi kuishia kufukuzwa shuleni. Hii ina maana kuwa masomo ya wasichana hawa hudorora. Je, mbona waruhusu kujihusisha katika mapenzi ikiwa bado wako shuleni? Mbona hata baada ya kupewa mawaidha wafuate njia yao? Vijana wengi huwa hawawaheshimu wavyele wao inavyofaa. Wao huona kwamba wameanza kuwa wakubwa na kuanza kujilinganisha na wazazi wao. Vijana wengi ambao hujihusisha katika mapenzi mara nyingi, huwa wanaiga mifano ya wenzao. Jambo hili husababisha utovu wa nidhamu. WEngi wao huishia hata kuwatusi wakubwa wao, wao huwa kama bendera inayofuata upepo. Jambo jingine ni kuwa vijana wengi hupata kuambukizana magonjwa kama vile virusi vya ukimwi na hivyo kusababisha kifo. Wanapaswa kujifunza maadili mema na hata kwenda kanisani ili wasijihusishe na mambo haya mabaya. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wengi kudorora katika nidhamu yao. Wengi wao huishia kuacha masomo kwani wao hudhani kuwa watachekwa na wenzao shuleni hasa wale ambapo wamewapachika wengine mimba. Wavulana wengi huwaaribu wasichana wadogo wadogo ambao huwa wanaendelea vyema na masomo yao. Unaweza pata msichana au gulamu wa darasa la sita ameanza kujihusisha katika mapenzi, si kwa sababu ya kuwa yeye ni mjinga bali tu ni kuiga tabia ambazo wenzao hufanya. Vijana wengine hukosana na wazazi wao, hili hutokana na vijana hawa kuadhibiwa kwa sababu ya mienendo yao mbaya. Baada ya kuadhibiwa, vijana wengine hutoroka nyumbani kwao na wengine kuishia kuwa chokoraa. Wazazi pamoja na walimu wanafaa waungane mikono ili kuwapa vijana mawaidha ili wawe watu wasikivu na wenye nidhamu.
Kina nani huharibu wasichana wadogo.
{ "text": [ "Wavulana" ] }
3671_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi hujihusisha, katika mapenzi katika umri mdogo na kusababisha athari nyingi katika jamii. Athari mojawapo ni kuwa vijana, hasa wale ambao bado ni wanafunzi huacha shule na kujihusisha na makundi mabaya na hivyo kuathirika baadaye. Mara nyingi, wasichana wanaojihusisha katika mapenzi ya mapema hupachikwa mimba na hivyo basi kuishia kufukuzwa shuleni. Hii ina maana kuwa masomo ya wasichana hawa hudorora. Je, mbona waruhusu kujihusisha katika mapenzi ikiwa bado wako shuleni? Mbona hata baada ya kupewa mawaidha wafuate njia yao? Vijana wengi huwa hawawaheshimu wavyele wao inavyofaa. Wao huona kwamba wameanza kuwa wakubwa na kuanza kujilinganisha na wazazi wao. Vijana wengi ambao hujihusisha katika mapenzi mara nyingi, huwa wanaiga mifano ya wenzao. Jambo hili husababisha utovu wa nidhamu. WEngi wao huishia hata kuwatusi wakubwa wao, wao huwa kama bendera inayofuata upepo. Jambo jingine ni kuwa vijana wengi hupata kuambukizana magonjwa kama vile virusi vya ukimwi na hivyo kusababisha kifo. Wanapaswa kujifunza maadili mema na hata kwenda kanisani ili wasijihusishe na mambo haya mabaya. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wengi kudorora katika nidhamu yao. Wengi wao huishia kuacha masomo kwani wao hudhani kuwa watachekwa na wenzao shuleni hasa wale ambapo wamewapachika wengine mimba. Wavulana wengi huwaaribu wasichana wadogo wadogo ambao huwa wanaendelea vyema na masomo yao. Unaweza pata msichana au gulamu wa darasa la sita ameanza kujihusisha katika mapenzi, si kwa sababu ya kuwa yeye ni mjinga bali tu ni kuiga tabia ambazo wenzao hufanya. Vijana wengine hukosana na wazazi wao, hili hutokana na vijana hawa kuadhibiwa kwa sababu ya mienendo yao mbaya. Baada ya kuadhibiwa, vijana wengine hutoroka nyumbani kwao na wengine kuishia kuwa chokoraa. Wazazi pamoja na walimu wanafaa waungane mikono ili kuwapa vijana mawaidha ili wawe watu wasikivu na wenye nidhamu.
Kijana akiadhibiwa nini hufanyika.
{ "text": [ "Hutoroka nyumbani" ] }
3671_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi hujihusisha, katika mapenzi katika umri mdogo na kusababisha athari nyingi katika jamii. Athari mojawapo ni kuwa vijana, hasa wale ambao bado ni wanafunzi huacha shule na kujihusisha na makundi mabaya na hivyo kuathirika baadaye. Mara nyingi, wasichana wanaojihusisha katika mapenzi ya mapema hupachikwa mimba na hivyo basi kuishia kufukuzwa shuleni. Hii ina maana kuwa masomo ya wasichana hawa hudorora. Je, mbona waruhusu kujihusisha katika mapenzi ikiwa bado wako shuleni? Mbona hata baada ya kupewa mawaidha wafuate njia yao? Vijana wengi huwa hawawaheshimu wavyele wao inavyofaa. Wao huona kwamba wameanza kuwa wakubwa na kuanza kujilinganisha na wazazi wao. Vijana wengi ambao hujihusisha katika mapenzi mara nyingi, huwa wanaiga mifano ya wenzao. Jambo hili husababisha utovu wa nidhamu. WEngi wao huishia hata kuwatusi wakubwa wao, wao huwa kama bendera inayofuata upepo. Jambo jingine ni kuwa vijana wengi hupata kuambukizana magonjwa kama vile virusi vya ukimwi na hivyo kusababisha kifo. Wanapaswa kujifunza maadili mema na hata kwenda kanisani ili wasijihusishe na mambo haya mabaya. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wengi kudorora katika nidhamu yao. Wengi wao huishia kuacha masomo kwani wao hudhani kuwa watachekwa na wenzao shuleni hasa wale ambapo wamewapachika wengine mimba. Wavulana wengi huwaaribu wasichana wadogo wadogo ambao huwa wanaendelea vyema na masomo yao. Unaweza pata msichana au gulamu wa darasa la sita ameanza kujihusisha katika mapenzi, si kwa sababu ya kuwa yeye ni mjinga bali tu ni kuiga tabia ambazo wenzao hufanya. Vijana wengine hukosana na wazazi wao, hili hutokana na vijana hawa kuadhibiwa kwa sababu ya mienendo yao mbaya. Baada ya kuadhibiwa, vijana wengine hutoroka nyumbani kwao na wengine kuishia kuwa chokoraa. Wazazi pamoja na walimu wanafaa waungane mikono ili kuwapa vijana mawaidha ili wawe watu wasikivu na wenye nidhamu.
Ni nini madhara ya mapenzi
{ "text": [ "Kuambukizwa virusi vya ukimwi na kifo" ] }
3671_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi hujihusisha, katika mapenzi katika umri mdogo na kusababisha athari nyingi katika jamii. Athari mojawapo ni kuwa vijana, hasa wale ambao bado ni wanafunzi huacha shule na kujihusisha na makundi mabaya na hivyo kuathirika baadaye. Mara nyingi, wasichana wanaojihusisha katika mapenzi ya mapema hupachikwa mimba na hivyo basi kuishia kufukuzwa shuleni. Hii ina maana kuwa masomo ya wasichana hawa hudorora. Je, mbona waruhusu kujihusisha katika mapenzi ikiwa bado wako shuleni? Mbona hata baada ya kupewa mawaidha wafuate njia yao? Vijana wengi huwa hawawaheshimu wavyele wao inavyofaa. Wao huona kwamba wameanza kuwa wakubwa na kuanza kujilinganisha na wazazi wao. Vijana wengi ambao hujihusisha katika mapenzi mara nyingi, huwa wanaiga mifano ya wenzao. Jambo hili husababisha utovu wa nidhamu. WEngi wao huishia hata kuwatusi wakubwa wao, wao huwa kama bendera inayofuata upepo. Jambo jingine ni kuwa vijana wengi hupata kuambukizana magonjwa kama vile virusi vya ukimwi na hivyo kusababisha kifo. Wanapaswa kujifunza maadili mema na hata kwenda kanisani ili wasijihusishe na mambo haya mabaya. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wengi kudorora katika nidhamu yao. Wengi wao huishia kuacha masomo kwani wao hudhani kuwa watachekwa na wenzao shuleni hasa wale ambapo wamewapachika wengine mimba. Wavulana wengi huwaaribu wasichana wadogo wadogo ambao huwa wanaendelea vyema na masomo yao. Unaweza pata msichana au gulamu wa darasa la sita ameanza kujihusisha katika mapenzi, si kwa sababu ya kuwa yeye ni mjinga bali tu ni kuiga tabia ambazo wenzao hufanya. Vijana wengine hukosana na wazazi wao, hili hutokana na vijana hawa kuadhibiwa kwa sababu ya mienendo yao mbaya. Baada ya kuadhibiwa, vijana wengine hutoroka nyumbani kwao na wengine kuishia kuwa chokoraa. Wazazi pamoja na walimu wanafaa waungane mikono ili kuwapa vijana mawaidha ili wawe watu wasikivu na wenye nidhamu.
Vijana hupachikwa nini wakijihusisha na mapenzi
{ "text": [ "Mimba" ] }
3717_swa
MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA Dawa za kulevya ni ni mojawapo ya vitu vinavyosumbua jamii yetu. Dawa hizi zina mathara kubwa sana katika jamii, kwa sababu ni watu wengi wanaoathirika na matumizi ya dawa hizi. Meja wapo wa shida hizi ni vifo. Tuna wapoteza wakenya wengi sana kwa sababu ya matumizi ya dawa za kulevya. Vijana wengi wanatumia dawa hizi wasijue athari zake. Kila siku, lazima kijana azikwe kwa sababu matumizi ya dawa hizi. Idadi ya watu inapungua kwa sababu ya dawa hizi. Dawa hizi zinaleta magonjwa mengi kwa vijana wetu. Dawa hizi zina leta magonjwa kama saratani. Saratani ni ugonjwa ambao unawaua watu wengi. Ugonjwa huu wa saratani unagharimu pesa nyingi ili kupata matibabu. Hii ndio sababu watu wengi hufariki wanapopata ugonjwa wa saratani. Visa vya wizi vimeongezeka hapa nchini Kenya. Mtu anapozoea kutumia dawa za kulevya hupata uraibu. Uraibu huu unakuja na gharama kwani mtu huhitaji pesa ili kununua dawa hizi. Wengi huishia kuwa wezi ili kuweza kupata fedha za kununua dawa hizi za kulevya. Dawa za kulevya zimeleta ajali nyingi sana hapa nchini kwa sababu mtu anapotumia dawa hizi akili yake huwa haifikirii vizuri. Dereva apoendesha gari akiwa ametumia dawa za kulevya, mara nyingi hawi makini. Jambo hili husababisha ajali nyingi barabarani. Watu wanaotumia dawa hizi wanatengwa na jamii kwa sababu ya tabia zao. Hakuna mzazi atakaye kubali mtoto wake ahusiane na mtu anayetumia dawa za kulevya kwa sababu wanajua kuwa, mtoto atakapo jihusisha na watu kama hao yeye pia ataanza kutumia dawa hizo. Dawa za kulevya zina leta vita nyingi sana katika jamii kwa sababu walevi huanza kung’ang’ania vitu ambavyo havi wezi wasaidia. Wao hupigania vitu kama sigara wanazozitumia au masindano wanazozitumia. Vita hizo huwafanya watu hawa kupata majiraha na kuharibu maisha yao. Kazi nyingi zinaharibika kwa sababu ya dawa hizi. Utawapata wengine wanenda kazini wakiwa walevi. Kusema kweli mtu huyo hawezi kufanya kazi hiyo vizuri. Hata mteja atakapokuja kuhudumiwa hataweza kuhudumiwa vizuri. Mihadarati hushusha biashara za watu wengi kwa sababu pesa ambazo atakuwa anapata atatumia zote kwa dawa za kulevya. Vijana wanapozitumia dawa hízi wanajiona wamefika mbiguni. Wengi wao huamua kufanya vitu ambavyo vina waathiri watu kama vile ubakaji kwa wasichana. Vijana wanawabaka wasichana kwa sababu ya kutumia dawa hizo. Dawa hizi zimewafanya wanafunzi wengi kuacha shule kwa sababu mwanafunzi atakapo anza kutumia dawa hizi akili yake haitaweza kufikiria masomo au kitu chochote kuhusu elimu, ataona kana kwamba zinamsumbua akili na ndiposa ataamua kuacha shule na kuendelea na dawa hizo.
Ninimojawapo ya vitu vinavyosumbua jamii yetu
{ "text": [ "Dawa za kulevya" ] }
3717_swa
MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA Dawa za kulevya ni ni mojawapo ya vitu vinavyosumbua jamii yetu. Dawa hizi zina mathara kubwa sana katika jamii, kwa sababu ni watu wengi wanaoathirika na matumizi ya dawa hizi. Meja wapo wa shida hizi ni vifo. Tuna wapoteza wakenya wengi sana kwa sababu ya matumizi ya dawa za kulevya. Vijana wengi wanatumia dawa hizi wasijue athari zake. Kila siku, lazima kijana azikwe kwa sababu matumizi ya dawa hizi. Idadi ya watu inapungua kwa sababu ya dawa hizi. Dawa hizi zinaleta magonjwa mengi kwa vijana wetu. Dawa hizi zina leta magonjwa kama saratani. Saratani ni ugonjwa ambao unawaua watu wengi. Ugonjwa huu wa saratani unagharimu pesa nyingi ili kupata matibabu. Hii ndio sababu watu wengi hufariki wanapopata ugonjwa wa saratani. Visa vya wizi vimeongezeka hapa nchini Kenya. Mtu anapozoea kutumia dawa za kulevya hupata uraibu. Uraibu huu unakuja na gharama kwani mtu huhitaji pesa ili kununua dawa hizi. Wengi huishia kuwa wezi ili kuweza kupata fedha za kununua dawa hizi za kulevya. Dawa za kulevya zimeleta ajali nyingi sana hapa nchini kwa sababu mtu anapotumia dawa hizi akili yake huwa haifikirii vizuri. Dereva apoendesha gari akiwa ametumia dawa za kulevya, mara nyingi hawi makini. Jambo hili husababisha ajali nyingi barabarani. Watu wanaotumia dawa hizi wanatengwa na jamii kwa sababu ya tabia zao. Hakuna mzazi atakaye kubali mtoto wake ahusiane na mtu anayetumia dawa za kulevya kwa sababu wanajua kuwa, mtoto atakapo jihusisha na watu kama hao yeye pia ataanza kutumia dawa hizo. Dawa za kulevya zina leta vita nyingi sana katika jamii kwa sababu walevi huanza kung’ang’ania vitu ambavyo havi wezi wasaidia. Wao hupigania vitu kama sigara wanazozitumia au masindano wanazozitumia. Vita hizo huwafanya watu hawa kupata majiraha na kuharibu maisha yao. Kazi nyingi zinaharibika kwa sababu ya dawa hizi. Utawapata wengine wanenda kazini wakiwa walevi. Kusema kweli mtu huyo hawezi kufanya kazi hiyo vizuri. Hata mteja atakapokuja kuhudumiwa hataweza kuhudumiwa vizuri. Mihadarati hushusha biashara za watu wengi kwa sababu pesa ambazo atakuwa anapata atatumia zote kwa dawa za kulevya. Vijana wanapozitumia dawa hízi wanajiona wamefika mbiguni. Wengi wao huamua kufanya vitu ambavyo vina waathiri watu kama vile ubakaji kwa wasichana. Vijana wanawabaka wasichana kwa sababu ya kutumia dawa hizo. Dawa hizi zimewafanya wanafunzi wengi kuacha shule kwa sababu mwanafunzi atakapo anza kutumia dawa hizi akili yake haitaweza kufikiria masomo au kitu chochote kuhusu elimu, ataona kana kwamba zinamsumbua akili na ndiposa ataamua kuacha shule na kuendelea na dawa hizo.
Dawa hizi zina nini karika jamii
{ "text": [ "Madhara kubwa sana" ] }
3717_swa
MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA Dawa za kulevya ni ni mojawapo ya vitu vinavyosumbua jamii yetu. Dawa hizi zina mathara kubwa sana katika jamii, kwa sababu ni watu wengi wanaoathirika na matumizi ya dawa hizi. Meja wapo wa shida hizi ni vifo. Tuna wapoteza wakenya wengi sana kwa sababu ya matumizi ya dawa za kulevya. Vijana wengi wanatumia dawa hizi wasijue athari zake. Kila siku, lazima kijana azikwe kwa sababu matumizi ya dawa hizi. Idadi ya watu inapungua kwa sababu ya dawa hizi. Dawa hizi zinaleta magonjwa mengi kwa vijana wetu. Dawa hizi zina leta magonjwa kama saratani. Saratani ni ugonjwa ambao unawaua watu wengi. Ugonjwa huu wa saratani unagharimu pesa nyingi ili kupata matibabu. Hii ndio sababu watu wengi hufariki wanapopata ugonjwa wa saratani. Visa vya wizi vimeongezeka hapa nchini Kenya. Mtu anapozoea kutumia dawa za kulevya hupata uraibu. Uraibu huu unakuja na gharama kwani mtu huhitaji pesa ili kununua dawa hizi. Wengi huishia kuwa wezi ili kuweza kupata fedha za kununua dawa hizi za kulevya. Dawa za kulevya zimeleta ajali nyingi sana hapa nchini kwa sababu mtu anapotumia dawa hizi akili yake huwa haifikirii vizuri. Dereva apoendesha gari akiwa ametumia dawa za kulevya, mara nyingi hawi makini. Jambo hili husababisha ajali nyingi barabarani. Watu wanaotumia dawa hizi wanatengwa na jamii kwa sababu ya tabia zao. Hakuna mzazi atakaye kubali mtoto wake ahusiane na mtu anayetumia dawa za kulevya kwa sababu wanajua kuwa, mtoto atakapo jihusisha na watu kama hao yeye pia ataanza kutumia dawa hizo. Dawa za kulevya zina leta vita nyingi sana katika jamii kwa sababu walevi huanza kung’ang’ania vitu ambavyo havi wezi wasaidia. Wao hupigania vitu kama sigara wanazozitumia au masindano wanazozitumia. Vita hizo huwafanya watu hawa kupata majiraha na kuharibu maisha yao. Kazi nyingi zinaharibika kwa sababu ya dawa hizi. Utawapata wengine wanenda kazini wakiwa walevi. Kusema kweli mtu huyo hawezi kufanya kazi hiyo vizuri. Hata mteja atakapokuja kuhudumiwa hataweza kuhudumiwa vizuri. Mihadarati hushusha biashara za watu wengi kwa sababu pesa ambazo atakuwa anapata atatumia zote kwa dawa za kulevya. Vijana wanapozitumia dawa hízi wanajiona wamefika mbiguni. Wengi wao huamua kufanya vitu ambavyo vina waathiri watu kama vile ubakaji kwa wasichana. Vijana wanawabaka wasichana kwa sababu ya kutumia dawa hizo. Dawa hizi zimewafanya wanafunzi wengi kuacha shule kwa sababu mwanafunzi atakapo anza kutumia dawa hizi akili yake haitaweza kufikiria masomo au kitu chochote kuhusu elimu, ataona kana kwamba zinamsumbua akili na ndiposa ataamua kuacha shule na kuendelea na dawa hizo.
Mojawapo ya shida za dawa za kulevya ni nini
{ "text": [ "Vifo" ] }
3717_swa
MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA Dawa za kulevya ni ni mojawapo ya vitu vinavyosumbua jamii yetu. Dawa hizi zina mathara kubwa sana katika jamii, kwa sababu ni watu wengi wanaoathirika na matumizi ya dawa hizi. Meja wapo wa shida hizi ni vifo. Tuna wapoteza wakenya wengi sana kwa sababu ya matumizi ya dawa za kulevya. Vijana wengi wanatumia dawa hizi wasijue athari zake. Kila siku, lazima kijana azikwe kwa sababu matumizi ya dawa hizi. Idadi ya watu inapungua kwa sababu ya dawa hizi. Dawa hizi zinaleta magonjwa mengi kwa vijana wetu. Dawa hizi zina leta magonjwa kama saratani. Saratani ni ugonjwa ambao unawaua watu wengi. Ugonjwa huu wa saratani unagharimu pesa nyingi ili kupata matibabu. Hii ndio sababu watu wengi hufariki wanapopata ugonjwa wa saratani. Visa vya wizi vimeongezeka hapa nchini Kenya. Mtu anapozoea kutumia dawa za kulevya hupata uraibu. Uraibu huu unakuja na gharama kwani mtu huhitaji pesa ili kununua dawa hizi. Wengi huishia kuwa wezi ili kuweza kupata fedha za kununua dawa hizi za kulevya. Dawa za kulevya zimeleta ajali nyingi sana hapa nchini kwa sababu mtu anapotumia dawa hizi akili yake huwa haifikirii vizuri. Dereva apoendesha gari akiwa ametumia dawa za kulevya, mara nyingi hawi makini. Jambo hili husababisha ajali nyingi barabarani. Watu wanaotumia dawa hizi wanatengwa na jamii kwa sababu ya tabia zao. Hakuna mzazi atakaye kubali mtoto wake ahusiane na mtu anayetumia dawa za kulevya kwa sababu wanajua kuwa, mtoto atakapo jihusisha na watu kama hao yeye pia ataanza kutumia dawa hizo. Dawa za kulevya zina leta vita nyingi sana katika jamii kwa sababu walevi huanza kung’ang’ania vitu ambavyo havi wezi wasaidia. Wao hupigania vitu kama sigara wanazozitumia au masindano wanazozitumia. Vita hizo huwafanya watu hawa kupata majiraha na kuharibu maisha yao. Kazi nyingi zinaharibika kwa sababu ya dawa hizi. Utawapata wengine wanenda kazini wakiwa walevi. Kusema kweli mtu huyo hawezi kufanya kazi hiyo vizuri. Hata mteja atakapokuja kuhudumiwa hataweza kuhudumiwa vizuri. Mihadarati hushusha biashara za watu wengi kwa sababu pesa ambazo atakuwa anapata atatumia zote kwa dawa za kulevya. Vijana wanapozitumia dawa hízi wanajiona wamefika mbiguni. Wengi wao huamua kufanya vitu ambavyo vina waathiri watu kama vile ubakaji kwa wasichana. Vijana wanawabaka wasichana kwa sababu ya kutumia dawa hizo. Dawa hizi zimewafanya wanafunzi wengi kuacha shule kwa sababu mwanafunzi atakapo anza kutumia dawa hizi akili yake haitaweza kufikiria masomo au kitu chochote kuhusu elimu, ataona kana kwamba zinamsumbua akili na ndiposa ataamua kuacha shule na kuendelea na dawa hizo.
Nani hutumia dawa hizi bila kujua athari zake
{ "text": [ "Vijana wengi" ] }
3717_swa
MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA Dawa za kulevya ni ni mojawapo ya vitu vinavyosumbua jamii yetu. Dawa hizi zina mathara kubwa sana katika jamii, kwa sababu ni watu wengi wanaoathirika na matumizi ya dawa hizi. Meja wapo wa shida hizi ni vifo. Tuna wapoteza wakenya wengi sana kwa sababu ya matumizi ya dawa za kulevya. Vijana wengi wanatumia dawa hizi wasijue athari zake. Kila siku, lazima kijana azikwe kwa sababu matumizi ya dawa hizi. Idadi ya watu inapungua kwa sababu ya dawa hizi. Dawa hizi zinaleta magonjwa mengi kwa vijana wetu. Dawa hizi zina leta magonjwa kama saratani. Saratani ni ugonjwa ambao unawaua watu wengi. Ugonjwa huu wa saratani unagharimu pesa nyingi ili kupata matibabu. Hii ndio sababu watu wengi hufariki wanapopata ugonjwa wa saratani. Visa vya wizi vimeongezeka hapa nchini Kenya. Mtu anapozoea kutumia dawa za kulevya hupata uraibu. Uraibu huu unakuja na gharama kwani mtu huhitaji pesa ili kununua dawa hizi. Wengi huishia kuwa wezi ili kuweza kupata fedha za kununua dawa hizi za kulevya. Dawa za kulevya zimeleta ajali nyingi sana hapa nchini kwa sababu mtu anapotumia dawa hizi akili yake huwa haifikirii vizuri. Dereva apoendesha gari akiwa ametumia dawa za kulevya, mara nyingi hawi makini. Jambo hili husababisha ajali nyingi barabarani. Watu wanaotumia dawa hizi wanatengwa na jamii kwa sababu ya tabia zao. Hakuna mzazi atakaye kubali mtoto wake ahusiane na mtu anayetumia dawa za kulevya kwa sababu wanajua kuwa, mtoto atakapo jihusisha na watu kama hao yeye pia ataanza kutumia dawa hizo. Dawa za kulevya zina leta vita nyingi sana katika jamii kwa sababu walevi huanza kung’ang’ania vitu ambavyo havi wezi wasaidia. Wao hupigania vitu kama sigara wanazozitumia au masindano wanazozitumia. Vita hizo huwafanya watu hawa kupata majiraha na kuharibu maisha yao. Kazi nyingi zinaharibika kwa sababu ya dawa hizi. Utawapata wengine wanenda kazini wakiwa walevi. Kusema kweli mtu huyo hawezi kufanya kazi hiyo vizuri. Hata mteja atakapokuja kuhudumiwa hataweza kuhudumiwa vizuri. Mihadarati hushusha biashara za watu wengi kwa sababu pesa ambazo atakuwa anapata atatumia zote kwa dawa za kulevya. Vijana wanapozitumia dawa hízi wanajiona wamefika mbiguni. Wengi wao huamua kufanya vitu ambavyo vina waathiri watu kama vile ubakaji kwa wasichana. Vijana wanawabaka wasichana kwa sababu ya kutumia dawa hizo. Dawa hizi zimewafanya wanafunzi wengi kuacha shule kwa sababu mwanafunzi atakapo anza kutumia dawa hizi akili yake haitaweza kufikiria masomo au kitu chochote kuhusu elimu, ataona kana kwamba zinamsumbua akili na ndiposa ataamua kuacha shule na kuendelea na dawa hizo.
Dawa hizi huleta nini kwa vijana wetu
{ "text": [ "Magonjwa mengi" ] }
3718_swa
ULANGUZI WA MIHADARATI Mathara mengi yamekuja na kizazi cha sasa, mazuri na mabaya. Ulanguzi wa mihadarati ni mojawapo wa athari hizo. Mihadarati ina mathara mwili na hata pia katika jamii. Ulanguzi wa mihadarati una mathara mengi. Moja ya mathari haya ni kusababisha vifo watu wengi. Mtu anapotumia dawa za kulevya, dawa hizi hufanya akili kutofikiria vizuri. Wengine huwa na hasira kali wanapotumia dawa hizi na huweza ata kusababisha vita ambavyo wakati mwingine huisha na vifo. Matumizi ya dawa za kulevya huharibu mwili wa binadamu. Dawa hizi huharibu viungo vya mwili na kusababisha magonjwa mengi kama vile saratani, ugonjwa wa kifua na hata wa akili. Magonjwa haya humfanya mtu kudhoofika na hata mwishowe kufa. Ajali mingi barabarani husababishwa na madereva ambao huendesha magari wakiwa walevi au baada ya kutumia dawa za kulevya. Ajali hizi mara nyingi hutokea wakati wa usiku baada ya watu kujivinjari na dawa hizi za kulevya. Ajali hizi husababisha vifo vya watu, wale wanaonusurika kifo hupata majeraha mengi.
Madhara mengi yamekuja na kizazi gani
{ "text": [ "cha sasa" ] }
3718_swa
ULANGUZI WA MIHADARATI Mathara mengi yamekuja na kizazi cha sasa, mazuri na mabaya. Ulanguzi wa mihadarati ni mojawapo wa athari hizo. Mihadarati ina mathara mwili na hata pia katika jamii. Ulanguzi wa mihadarati una mathara mengi. Moja ya mathari haya ni kusababisha vifo watu wengi. Mtu anapotumia dawa za kulevya, dawa hizi hufanya akili kutofikiria vizuri. Wengine huwa na hasira kali wanapotumia dawa hizi na huweza ata kusababisha vita ambavyo wakati mwingine huisha na vifo. Matumizi ya dawa za kulevya huharibu mwili wa binadamu. Dawa hizi huharibu viungo vya mwili na kusababisha magonjwa mengi kama vile saratani, ugonjwa wa kifua na hata wa akili. Magonjwa haya humfanya mtu kudhoofika na hata mwishowe kufa. Ajali mingi barabarani husababishwa na madereva ambao huendesha magari wakiwa walevi au baada ya kutumia dawa za kulevya. Ajali hizi mara nyingi hutokea wakati wa usiku baada ya watu kujivinjari na dawa hizi za kulevya. Ajali hizi husababisha vifo vya watu, wale wanaonusurika kifo hupata majeraha mengi.
Moja yapo ya madhara ya mihadarati ni nini
{ "text": [ "vifo vya watu" ] }
3718_swa
ULANGUZI WA MIHADARATI Mathara mengi yamekuja na kizazi cha sasa, mazuri na mabaya. Ulanguzi wa mihadarati ni mojawapo wa athari hizo. Mihadarati ina mathara mwili na hata pia katika jamii. Ulanguzi wa mihadarati una mathara mengi. Moja ya mathari haya ni kusababisha vifo watu wengi. Mtu anapotumia dawa za kulevya, dawa hizi hufanya akili kutofikiria vizuri. Wengine huwa na hasira kali wanapotumia dawa hizi na huweza ata kusababisha vita ambavyo wakati mwingine huisha na vifo. Matumizi ya dawa za kulevya huharibu mwili wa binadamu. Dawa hizi huharibu viungo vya mwili na kusababisha magonjwa mengi kama vile saratani, ugonjwa wa kifua na hata wa akili. Magonjwa haya humfanya mtu kudhoofika na hata mwishowe kufa. Ajali mingi barabarani husababishwa na madereva ambao huendesha magari wakiwa walevi au baada ya kutumia dawa za kulevya. Ajali hizi mara nyingi hutokea wakati wa usiku baada ya watu kujivinjari na dawa hizi za kulevya. Ajali hizi husababisha vifo vya watu, wale wanaonusurika kifo hupata majeraha mengi.
Unapozoea kutumia hizo dawa kwa wingi nini kinaeza fanyika
{ "text": [ "vifo vya mapema" ] }
3718_swa
ULANGUZI WA MIHADARATI Mathara mengi yamekuja na kizazi cha sasa, mazuri na mabaya. Ulanguzi wa mihadarati ni mojawapo wa athari hizo. Mihadarati ina mathara mwili na hata pia katika jamii. Ulanguzi wa mihadarati una mathara mengi. Moja ya mathari haya ni kusababisha vifo watu wengi. Mtu anapotumia dawa za kulevya, dawa hizi hufanya akili kutofikiria vizuri. Wengine huwa na hasira kali wanapotumia dawa hizi na huweza ata kusababisha vita ambavyo wakati mwingine huisha na vifo. Matumizi ya dawa za kulevya huharibu mwili wa binadamu. Dawa hizi huharibu viungo vya mwili na kusababisha magonjwa mengi kama vile saratani, ugonjwa wa kifua na hata wa akili. Magonjwa haya humfanya mtu kudhoofika na hata mwishowe kufa. Ajali mingi barabarani husababishwa na madereva ambao huendesha magari wakiwa walevi au baada ya kutumia dawa za kulevya. Ajali hizi mara nyingi hutokea wakati wa usiku baada ya watu kujivinjari na dawa hizi za kulevya. Ajali hizi husababisha vifo vya watu, wale wanaonusurika kifo hupata majeraha mengi.
Ajali nyingi barabarani hufanyika lini
{ "text": [ "wakati dereva amekunywa" ] }
3718_swa
ULANGUZI WA MIHADARATI Mathara mengi yamekuja na kizazi cha sasa, mazuri na mabaya. Ulanguzi wa mihadarati ni mojawapo wa athari hizo. Mihadarati ina mathara mwili na hata pia katika jamii. Ulanguzi wa mihadarati una mathara mengi. Moja ya mathari haya ni kusababisha vifo watu wengi. Mtu anapotumia dawa za kulevya, dawa hizi hufanya akili kutofikiria vizuri. Wengine huwa na hasira kali wanapotumia dawa hizi na huweza ata kusababisha vita ambavyo wakati mwingine huisha na vifo. Matumizi ya dawa za kulevya huharibu mwili wa binadamu. Dawa hizi huharibu viungo vya mwili na kusababisha magonjwa mengi kama vile saratani, ugonjwa wa kifua na hata wa akili. Magonjwa haya humfanya mtu kudhoofika na hata mwishowe kufa. Ajali mingi barabarani husababishwa na madereva ambao huendesha magari wakiwa walevi au baada ya kutumia dawa za kulevya. Ajali hizi mara nyingi hutokea wakati wa usiku baada ya watu kujivinjari na dawa hizi za kulevya. Ajali hizi husababisha vifo vya watu, wale wanaonusurika kifo hupata majeraha mengi.
Wizi unatokana aje na dawa za kulevya
{ "text": [ "pesa zikikosa kununulia dawa yeye huona ni bora kuiba" ] }
3719_swa
Ilikua Jumapili ya mwisho wa mwezi, na kama tulivyojua sisi wanafunzi ilikua ni lazima tupelekwe ziara. Hata hivyo mwalimu mkuu wa shule yetu ya upili ya Oloolua aliamua kila kitu. Tuliwekwa gwarideni na mwalimu mkuu. Tulijua kuwa tutaelezwa kuhusu ziara yetu. Mwalimu mkuu alipoanza kuzungumza, tulinyamaza na kutega masikio yetu. Mwalimu mkuu alitueleza kuwa tungeenda kuzuru mji wa Mombasa na kuogelea baharini. Tulishangilia sote. Tulitoka gwarideni na kuelekea darasani kani kengele ilikuwa tayari ishapigwa. Tulichukua mikoba yetu na kuelekea nyumbani. Nilikimbia nyumbani kwa kasi ya risasi. Nilipofika nyumbani, nilimtafuta mama ili nimweleze yale tuliyoambiwa shuleni na mwalimu mkuu. Nilipompata jikoni, nilimsalimu kwa heshima na kisha nikamweleza yote tuliyoelezwa shuleni. Mama aliniitisha ala zangu za shule. Kwa bahati nzuri, nilikuwa nimepita mitihani yangu vizuri. Jambo hili lilimfurahisha mama na akakubali kulipia ziara ile ya shule. Siku illiyofuata, nilenda shuleni na kulipa fedha ziliizohitajika ili kwenda kwenye ile ziara. Mwalimu wetu wa darasani alitueleza kuwa tungeweza kwenda kwenye ziara ile siku ya Alhamisi. Nilifurahi sana, nilitamani kuliona jiji la Nairobi na maghorofa yake marefu na kupand gari ya moshi. Alhamisi ilipofika, mama aliweza kuninunulia mapochopocho ya kila aina kama vile sharubati na viazi karanga. Mama aliniaga na kuniombea safari njema. Niliwapata wanafunzi wenzangu wakiabiri basi la kisasa. Tulipokaa chini wote, tuliomba na kisha safari yetu kung’oa nanga. Dereva aliendesha gari kwa kasi na wanafunzi wote wakashangilia. Mwalimu wetu Bw. Majuto alishangilia pamoja na wanafunzi bila kujua yaliyotungoja mbele. Tulipofika jijini Nairobi, niliona majumba mengi marefu na watu wengi waliokuwa katika shughuli zao. Dereva aliendelea kuendesha basi kwa kasi bila ya kujali wengine barabarani. Alipofika karibu na kituo cha gari la moshi, aligonga basi lililokuwa mbele yetu. Waliokuwa wamekaa katika vita vya mbele waliumia vibaya sana na kulia kwa uchungu. Gari la kubeba wagonjwa lilikuja na kuwabeba wanafunzi waliojeruhiwa na kuwapeleka hospitalini. Hivyo ndio ziara yetu ilivyoisha bila hata kuanza.
Nani aliwaita gwarideni
{ "text": [ "mwalimu mkuu" ] }
3719_swa
Ilikua Jumapili ya mwisho wa mwezi, na kama tulivyojua sisi wanafunzi ilikua ni lazima tupelekwe ziara. Hata hivyo mwalimu mkuu wa shule yetu ya upili ya Oloolua aliamua kila kitu. Tuliwekwa gwarideni na mwalimu mkuu. Tulijua kuwa tutaelezwa kuhusu ziara yetu. Mwalimu mkuu alipoanza kuzungumza, tulinyamaza na kutega masikio yetu. Mwalimu mkuu alitueleza kuwa tungeenda kuzuru mji wa Mombasa na kuogelea baharini. Tulishangilia sote. Tulitoka gwarideni na kuelekea darasani kani kengele ilikuwa tayari ishapigwa. Tulichukua mikoba yetu na kuelekea nyumbani. Nilikimbia nyumbani kwa kasi ya risasi. Nilipofika nyumbani, nilimtafuta mama ili nimweleze yale tuliyoambiwa shuleni na mwalimu mkuu. Nilipompata jikoni, nilimsalimu kwa heshima na kisha nikamweleza yote tuliyoelezwa shuleni. Mama aliniitisha ala zangu za shule. Kwa bahati nzuri, nilikuwa nimepita mitihani yangu vizuri. Jambo hili lilimfurahisha mama na akakubali kulipia ziara ile ya shule. Siku illiyofuata, nilenda shuleni na kulipa fedha ziliizohitajika ili kwenda kwenye ile ziara. Mwalimu wetu wa darasani alitueleza kuwa tungeweza kwenda kwenye ziara ile siku ya Alhamisi. Nilifurahi sana, nilitamani kuliona jiji la Nairobi na maghorofa yake marefu na kupand gari ya moshi. Alhamisi ilipofika, mama aliweza kuninunulia mapochopocho ya kila aina kama vile sharubati na viazi karanga. Mama aliniaga na kuniombea safari njema. Niliwapata wanafunzi wenzangu wakiabiri basi la kisasa. Tulipokaa chini wote, tuliomba na kisha safari yetu kung’oa nanga. Dereva aliendesha gari kwa kasi na wanafunzi wote wakashangilia. Mwalimu wetu Bw. Majuto alishangilia pamoja na wanafunzi bila kujua yaliyotungoja mbele. Tulipofika jijini Nairobi, niliona majumba mengi marefu na watu wengi waliokuwa katika shughuli zao. Dereva aliendelea kuendesha basi kwa kasi bila ya kujali wengine barabarani. Alipofika karibu na kituo cha gari la moshi, aligonga basi lililokuwa mbele yetu. Waliokuwa wamekaa katika vita vya mbele waliumia vibaya sana na kulia kwa uchungu. Gari la kubeba wagonjwa lilikuja na kuwabeba wanafunzi waliojeruhiwa na kuwapeleka hospitalini. Hivyo ndio ziara yetu ilivyoisha bila hata kuanza.
Walijua wanaelezwa kuhusu nini
{ "text": [ "ziara" ] }
3719_swa
Ilikua Jumapili ya mwisho wa mwezi, na kama tulivyojua sisi wanafunzi ilikua ni lazima tupelekwe ziara. Hata hivyo mwalimu mkuu wa shule yetu ya upili ya Oloolua aliamua kila kitu. Tuliwekwa gwarideni na mwalimu mkuu. Tulijua kuwa tutaelezwa kuhusu ziara yetu. Mwalimu mkuu alipoanza kuzungumza, tulinyamaza na kutega masikio yetu. Mwalimu mkuu alitueleza kuwa tungeenda kuzuru mji wa Mombasa na kuogelea baharini. Tulishangilia sote. Tulitoka gwarideni na kuelekea darasani kani kengele ilikuwa tayari ishapigwa. Tulichukua mikoba yetu na kuelekea nyumbani. Nilikimbia nyumbani kwa kasi ya risasi. Nilipofika nyumbani, nilimtafuta mama ili nimweleze yale tuliyoambiwa shuleni na mwalimu mkuu. Nilipompata jikoni, nilimsalimu kwa heshima na kisha nikamweleza yote tuliyoelezwa shuleni. Mama aliniitisha ala zangu za shule. Kwa bahati nzuri, nilikuwa nimepita mitihani yangu vizuri. Jambo hili lilimfurahisha mama na akakubali kulipia ziara ile ya shule. Siku illiyofuata, nilenda shuleni na kulipa fedha ziliizohitajika ili kwenda kwenye ile ziara. Mwalimu wetu wa darasani alitueleza kuwa tungeweza kwenda kwenye ziara ile siku ya Alhamisi. Nilifurahi sana, nilitamani kuliona jiji la Nairobi na maghorofa yake marefu na kupand gari ya moshi. Alhamisi ilipofika, mama aliweza kuninunulia mapochopocho ya kila aina kama vile sharubati na viazi karanga. Mama aliniaga na kuniombea safari njema. Niliwapata wanafunzi wenzangu wakiabiri basi la kisasa. Tulipokaa chini wote, tuliomba na kisha safari yetu kung’oa nanga. Dereva aliendesha gari kwa kasi na wanafunzi wote wakashangilia. Mwalimu wetu Bw. Majuto alishangilia pamoja na wanafunzi bila kujua yaliyotungoja mbele. Tulipofika jijini Nairobi, niliona majumba mengi marefu na watu wengi waliokuwa katika shughuli zao. Dereva aliendelea kuendesha basi kwa kasi bila ya kujali wengine barabarani. Alipofika karibu na kituo cha gari la moshi, aligonga basi lililokuwa mbele yetu. Waliokuwa wamekaa katika vita vya mbele waliumia vibaya sana na kulia kwa uchungu. Gari la kubeba wagonjwa lilikuja na kuwabeba wanafunzi waliojeruhiwa na kuwapeleka hospitalini. Hivyo ndio ziara yetu ilivyoisha bila hata kuanza.
Mbona walichukua mikoba yao
{ "text": [ "ili waelekee nyumbani" ] }
3719_swa
Ilikua Jumapili ya mwisho wa mwezi, na kama tulivyojua sisi wanafunzi ilikua ni lazima tupelekwe ziara. Hata hivyo mwalimu mkuu wa shule yetu ya upili ya Oloolua aliamua kila kitu. Tuliwekwa gwarideni na mwalimu mkuu. Tulijua kuwa tutaelezwa kuhusu ziara yetu. Mwalimu mkuu alipoanza kuzungumza, tulinyamaza na kutega masikio yetu. Mwalimu mkuu alitueleza kuwa tungeenda kuzuru mji wa Mombasa na kuogelea baharini. Tulishangilia sote. Tulitoka gwarideni na kuelekea darasani kani kengele ilikuwa tayari ishapigwa. Tulichukua mikoba yetu na kuelekea nyumbani. Nilikimbia nyumbani kwa kasi ya risasi. Nilipofika nyumbani, nilimtafuta mama ili nimweleze yale tuliyoambiwa shuleni na mwalimu mkuu. Nilipompata jikoni, nilimsalimu kwa heshima na kisha nikamweleza yote tuliyoelezwa shuleni. Mama aliniitisha ala zangu za shule. Kwa bahati nzuri, nilikuwa nimepita mitihani yangu vizuri. Jambo hili lilimfurahisha mama na akakubali kulipia ziara ile ya shule. Siku illiyofuata, nilenda shuleni na kulipa fedha ziliizohitajika ili kwenda kwenye ile ziara. Mwalimu wetu wa darasani alitueleza kuwa tungeweza kwenda kwenye ziara ile siku ya Alhamisi. Nilifurahi sana, nilitamani kuliona jiji la Nairobi na maghorofa yake marefu na kupand gari ya moshi. Alhamisi ilipofika, mama aliweza kuninunulia mapochopocho ya kila aina kama vile sharubati na viazi karanga. Mama aliniaga na kuniombea safari njema. Niliwapata wanafunzi wenzangu wakiabiri basi la kisasa. Tulipokaa chini wote, tuliomba na kisha safari yetu kung’oa nanga. Dereva aliendesha gari kwa kasi na wanafunzi wote wakashangilia. Mwalimu wetu Bw. Majuto alishangilia pamoja na wanafunzi bila kujua yaliyotungoja mbele. Tulipofika jijini Nairobi, niliona majumba mengi marefu na watu wengi waliokuwa katika shughuli zao. Dereva aliendelea kuendesha basi kwa kasi bila ya kujali wengine barabarani. Alipofika karibu na kituo cha gari la moshi, aligonga basi lililokuwa mbele yetu. Waliokuwa wamekaa katika vita vya mbele waliumia vibaya sana na kulia kwa uchungu. Gari la kubeba wagonjwa lilikuja na kuwabeba wanafunzi waliojeruhiwa na kuwapeleka hospitalini. Hivyo ndio ziara yetu ilivyoisha bila hata kuanza.
Alikuwa amepita na alama gani
{ "text": [ "za bendera" ] }
3719_swa
Ilikua Jumapili ya mwisho wa mwezi, na kama tulivyojua sisi wanafunzi ilikua ni lazima tupelekwe ziara. Hata hivyo mwalimu mkuu wa shule yetu ya upili ya Oloolua aliamua kila kitu. Tuliwekwa gwarideni na mwalimu mkuu. Tulijua kuwa tutaelezwa kuhusu ziara yetu. Mwalimu mkuu alipoanza kuzungumza, tulinyamaza na kutega masikio yetu. Mwalimu mkuu alitueleza kuwa tungeenda kuzuru mji wa Mombasa na kuogelea baharini. Tulishangilia sote. Tulitoka gwarideni na kuelekea darasani kani kengele ilikuwa tayari ishapigwa. Tulichukua mikoba yetu na kuelekea nyumbani. Nilikimbia nyumbani kwa kasi ya risasi. Nilipofika nyumbani, nilimtafuta mama ili nimweleze yale tuliyoambiwa shuleni na mwalimu mkuu. Nilipompata jikoni, nilimsalimu kwa heshima na kisha nikamweleza yote tuliyoelezwa shuleni. Mama aliniitisha ala zangu za shule. Kwa bahati nzuri, nilikuwa nimepita mitihani yangu vizuri. Jambo hili lilimfurahisha mama na akakubali kulipia ziara ile ya shule. Siku illiyofuata, nilenda shuleni na kulipa fedha ziliizohitajika ili kwenda kwenye ile ziara. Mwalimu wetu wa darasani alitueleza kuwa tungeweza kwenda kwenye ziara ile siku ya Alhamisi. Nilifurahi sana, nilitamani kuliona jiji la Nairobi na maghorofa yake marefu na kupand gari ya moshi. Alhamisi ilipofika, mama aliweza kuninunulia mapochopocho ya kila aina kama vile sharubati na viazi karanga. Mama aliniaga na kuniombea safari njema. Niliwapata wanafunzi wenzangu wakiabiri basi la kisasa. Tulipokaa chini wote, tuliomba na kisha safari yetu kung’oa nanga. Dereva aliendesha gari kwa kasi na wanafunzi wote wakashangilia. Mwalimu wetu Bw. Majuto alishangilia pamoja na wanafunzi bila kujua yaliyotungoja mbele. Tulipofika jijini Nairobi, niliona majumba mengi marefu na watu wengi waliokuwa katika shughuli zao. Dereva aliendelea kuendesha basi kwa kasi bila ya kujali wengine barabarani. Alipofika karibu na kituo cha gari la moshi, aligonga basi lililokuwa mbele yetu. Waliokuwa wamekaa katika vita vya mbele waliumia vibaya sana na kulia kwa uchungu. Gari la kubeba wagonjwa lilikuja na kuwabeba wanafunzi waliojeruhiwa na kuwapeleka hospitalini. Hivyo ndio ziara yetu ilivyoisha bila hata kuanza.
Mzazi wake Bi. Ruto alimpa mazuri lini
{ "text": [ "Alhamisi" ] }
3720_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Siku ilianza vizuri, nilikua najiandaa ili nielekee shuleni. Rafiki zangu walifika nyumbani kwetu ili tuandamane pamoja shuleni. Nilichukua mkoba wangu na tukaanza safari ya kuelekea shuleni. Njiani, tulicheza na rafiki zangu. Hatukuona kuwa kuliwa na gari lilokuwa linakuja kwa mwendo wa kasi. Gari lile liliitugonga na kuturusha mbali. Waliokuwa ndani ya gari lile walitupwa nje na gari likanza kubingiria katika mteremeko. Mimi na rafiki zangu tulikuwa na majeraha mengi. Hatukuweza kusimama tulipokuwa na ilibidi tubebwe ili tupelekwe hospitalini. Hospitalini tulitibiwa na madaktari na kisha tukalazwa kwani tulikuwa katika hali mahututi. Nilipokuwa napelekwa katika wadi, niliwasikia madaktari wakisema kuwa kuna rafiki yangu mmoja ambaye aliaga dunia. Baada ya siku kadhaa, nilipona na kutoka hospitali. Mimi pamoja na rafiki zangu ambao tuliponea kifo tulienda kuomboleza na familia ya rafiki yetu alieyaga dunia. Siku ya mazishi, tulimzika na kumwombea Mungu ailaze roho yake pahali pema peponi.
Alikuwa anavaa nini ili aende shuleni
{ "text": [ "viatu" ] }
3720_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Siku ilianza vizuri, nilikua najiandaa ili nielekee shuleni. Rafiki zangu walifika nyumbani kwetu ili tuandamane pamoja shuleni. Nilichukua mkoba wangu na tukaanza safari ya kuelekea shuleni. Njiani, tulicheza na rafiki zangu. Hatukuona kuwa kuliwa na gari lilokuwa linakuja kwa mwendo wa kasi. Gari lile liliitugonga na kuturusha mbali. Waliokuwa ndani ya gari lile walitupwa nje na gari likanza kubingiria katika mteremeko. Mimi na rafiki zangu tulikuwa na majeraha mengi. Hatukuweza kusimama tulipokuwa na ilibidi tubebwe ili tupelekwe hospitalini. Hospitalini tulitibiwa na madaktari na kisha tukalazwa kwani tulikuwa katika hali mahututi. Nilipokuwa napelekwa katika wadi, niliwasikia madaktari wakisema kuwa kuna rafiki yangu mmoja ambaye aliaga dunia. Baada ya siku kadhaa, nilipona na kutoka hospitali. Mimi pamoja na rafiki zangu ambao tuliponea kifo tulienda kuomboleza na familia ya rafiki yetu alieyaga dunia. Siku ya mazishi, tulimzika na kumwombea Mungu ailaze roho yake pahali pema peponi.
Walitibiwa na nani
{ "text": [ "daktari" ] }
3720_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Siku ilianza vizuri, nilikua najiandaa ili nielekee shuleni. Rafiki zangu walifika nyumbani kwetu ili tuandamane pamoja shuleni. Nilichukua mkoba wangu na tukaanza safari ya kuelekea shuleni. Njiani, tulicheza na rafiki zangu. Hatukuona kuwa kuliwa na gari lilokuwa linakuja kwa mwendo wa kasi. Gari lile liliitugonga na kuturusha mbali. Waliokuwa ndani ya gari lile walitupwa nje na gari likanza kubingiria katika mteremeko. Mimi na rafiki zangu tulikuwa na majeraha mengi. Hatukuweza kusimama tulipokuwa na ilibidi tubebwe ili tupelekwe hospitalini. Hospitalini tulitibiwa na madaktari na kisha tukalazwa kwani tulikuwa katika hali mahututi. Nilipokuwa napelekwa katika wadi, niliwasikia madaktari wakisema kuwa kuna rafiki yangu mmoja ambaye aliaga dunia. Baada ya siku kadhaa, nilipona na kutoka hospitali. Mimi pamoja na rafiki zangu ambao tuliponea kifo tulienda kuomboleza na familia ya rafiki yetu alieyaga dunia. Siku ya mazishi, tulimzika na kumwombea Mungu ailaze roho yake pahali pema peponi.
Hospitalini, walikimbizwa kwenye chumba gani
{ "text": [ "cha watu mahututi" ] }
3720_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Siku ilianza vizuri, nilikua najiandaa ili nielekee shuleni. Rafiki zangu walifika nyumbani kwetu ili tuandamane pamoja shuleni. Nilichukua mkoba wangu na tukaanza safari ya kuelekea shuleni. Njiani, tulicheza na rafiki zangu. Hatukuona kuwa kuliwa na gari lilokuwa linakuja kwa mwendo wa kasi. Gari lile liliitugonga na kuturusha mbali. Waliokuwa ndani ya gari lile walitupwa nje na gari likanza kubingiria katika mteremeko. Mimi na rafiki zangu tulikuwa na majeraha mengi. Hatukuweza kusimama tulipokuwa na ilibidi tubebwe ili tupelekwe hospitalini. Hospitalini tulitibiwa na madaktari na kisha tukalazwa kwani tulikuwa katika hali mahututi. Nilipokuwa napelekwa katika wadi, niliwasikia madaktari wakisema kuwa kuna rafiki yangu mmoja ambaye aliaga dunia. Baada ya siku kadhaa, nilipona na kutoka hospitali. Mimi pamoja na rafiki zangu ambao tuliponea kifo tulienda kuomboleza na familia ya rafiki yetu alieyaga dunia. Siku ya mazishi, tulimzika na kumwombea Mungu ailaze roho yake pahali pema peponi.
Walimzika rafiki yao lini
{ "text": [ "siku ya mazishi" ] }
3720_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Siku ilianza vizuri, nilikua najiandaa ili nielekee shuleni. Rafiki zangu walifika nyumbani kwetu ili tuandamane pamoja shuleni. Nilichukua mkoba wangu na tukaanza safari ya kuelekea shuleni. Njiani, tulicheza na rafiki zangu. Hatukuona kuwa kuliwa na gari lilokuwa linakuja kwa mwendo wa kasi. Gari lile liliitugonga na kuturusha mbali. Waliokuwa ndani ya gari lile walitupwa nje na gari likanza kubingiria katika mteremeko. Mimi na rafiki zangu tulikuwa na majeraha mengi. Hatukuweza kusimama tulipokuwa na ilibidi tubebwe ili tupelekwe hospitalini. Hospitalini tulitibiwa na madaktari na kisha tukalazwa kwani tulikuwa katika hali mahututi. Nilipokuwa napelekwa katika wadi, niliwasikia madaktari wakisema kuwa kuna rafiki yangu mmoja ambaye aliaga dunia. Baada ya siku kadhaa, nilipona na kutoka hospitali. Mimi pamoja na rafiki zangu ambao tuliponea kifo tulienda kuomboleza na familia ya rafiki yetu alieyaga dunia. Siku ya mazishi, tulimzika na kumwombea Mungu ailaze roho yake pahali pema peponi.
Mbona ambulensi ilienda kasi
{ "text": [ "ili iwafikishe pale hospitalini" ] }
3721_swa
AJALI BARABARANI. Niliamka asubuhi nikiwa mwenye furaha nyingi. Nilikunywa kiamsha kinywa na kisha kuwaaga wazazi wangu na kutoka nyumbani. Nilipofika kwenye stesheni ya kupanda gari, gari niliyoipenda kwa jina ‘Mamba’ iwasili na kisha ikatulia kwa muda mfupi. Dereva mfupi alipanda na kisha kuweka muzik kwa sauti ya juu. Ungemwangalia alikuwa amejaza miraa mdomoni na pia alikuwa akivuta sigara na kunywa maji kila wakati. Kichwani alikuwa ameshuka vifundo vifundo. Makanga alisema tuabiri gari kwa wale waliokuwa na nauli ya kutosha bila kusumbuana na yeye. Niliabiri gari na kukaa katika kiti cha nyuma kabisa. Gari ilikuwa ikitetemeka kwa sababu ya muziki uliowekwa. Makanga wa gari hiyo alikuwa akikula miraa pia. Alikuwa akiwaongelesha watoto vibaya. Gani lilikuwa likienda kwa mwendo wa kasi sana. Barabara haikuwa nzuri sana kwani bado ilikua ikijengwa. Ghafla bin vu, tuliskia pwa! Madirisha ya basi hilo yaliivunjika yote. Basi likapinduka na miguu yake kuangalia juu. Niling’ang’ana kutoka nje nikipitia dirishani huku nikivuja damu kwa sababu ya kukatwa nilikokatwa. Watu wengi walikuja mbio na kuanza kuwaokoa waliokuwa ndani ya basi lile. Wamama walianza kupiga mayowe ili kuita watu wote waje washuhudie ajali iliyofanyika. Nilipo angalia basi letu, lilikua limegonga lori ya kubeba mafuta ya taa. Waliokuwa hapo karibu walichukua mitungi na kukimbia kuchota mafuta yale. Lo! Moto uliwaka na kuanza kulipuka lipuka. Watu waliwapigia wazima moto na wakawasili kwa haraka. Walizima moto uliokuwa ukiwaka. Wafanyikazi wa hospital iliyokuwa karibu walianza kukuja kuwasaidia walioadhirika na ajali ile. Watu wa kumi na wawili waliaga dunia na wengine walichomeke kupita kiasi kufanya wasitambulike. Nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kwenye ajali ile.
Nilikunywa nini
{ "text": [ "Kiamsha kinywa" ] }
3721_swa
AJALI BARABARANI. Niliamka asubuhi nikiwa mwenye furaha nyingi. Nilikunywa kiamsha kinywa na kisha kuwaaga wazazi wangu na kutoka nyumbani. Nilipofika kwenye stesheni ya kupanda gari, gari niliyoipenda kwa jina ‘Mamba’ iwasili na kisha ikatulia kwa muda mfupi. Dereva mfupi alipanda na kisha kuweka muzik kwa sauti ya juu. Ungemwangalia alikuwa amejaza miraa mdomoni na pia alikuwa akivuta sigara na kunywa maji kila wakati. Kichwani alikuwa ameshuka vifundo vifundo. Makanga alisema tuabiri gari kwa wale waliokuwa na nauli ya kutosha bila kusumbuana na yeye. Niliabiri gari na kukaa katika kiti cha nyuma kabisa. Gari ilikuwa ikitetemeka kwa sababu ya muziki uliowekwa. Makanga wa gari hiyo alikuwa akikula miraa pia. Alikuwa akiwaongelesha watoto vibaya. Gani lilikuwa likienda kwa mwendo wa kasi sana. Barabara haikuwa nzuri sana kwani bado ilikua ikijengwa. Ghafla bin vu, tuliskia pwa! Madirisha ya basi hilo yaliivunjika yote. Basi likapinduka na miguu yake kuangalia juu. Niling’ang’ana kutoka nje nikipitia dirishani huku nikivuja damu kwa sababu ya kukatwa nilikokatwa. Watu wengi walikuja mbio na kuanza kuwaokoa waliokuwa ndani ya basi lile. Wamama walianza kupiga mayowe ili kuita watu wote waje washuhudie ajali iliyofanyika. Nilipo angalia basi letu, lilikua limegonga lori ya kubeba mafuta ya taa. Waliokuwa hapo karibu walichukua mitungi na kukimbia kuchota mafuta yale. Lo! Moto uliwaka na kuanza kulipuka lipuka. Watu waliwapigia wazima moto na wakawasili kwa haraka. Walizima moto uliokuwa ukiwaka. Wafanyikazi wa hospital iliyokuwa karibu walianza kukuja kuwasaidia walioadhirika na ajali ile. Watu wa kumi na wawili waliaga dunia na wengine walichomeke kupita kiasi kufanya wasitambulike. Nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kwenye ajali ile.
Niliwaaga nani
{ "text": [ "Wazazi wangu" ] }
3721_swa
AJALI BARABARANI. Niliamka asubuhi nikiwa mwenye furaha nyingi. Nilikunywa kiamsha kinywa na kisha kuwaaga wazazi wangu na kutoka nyumbani. Nilipofika kwenye stesheni ya kupanda gari, gari niliyoipenda kwa jina ‘Mamba’ iwasili na kisha ikatulia kwa muda mfupi. Dereva mfupi alipanda na kisha kuweka muzik kwa sauti ya juu. Ungemwangalia alikuwa amejaza miraa mdomoni na pia alikuwa akivuta sigara na kunywa maji kila wakati. Kichwani alikuwa ameshuka vifundo vifundo. Makanga alisema tuabiri gari kwa wale waliokuwa na nauli ya kutosha bila kusumbuana na yeye. Niliabiri gari na kukaa katika kiti cha nyuma kabisa. Gari ilikuwa ikitetemeka kwa sababu ya muziki uliowekwa. Makanga wa gari hiyo alikuwa akikula miraa pia. Alikuwa akiwaongelesha watoto vibaya. Gani lilikuwa likienda kwa mwendo wa kasi sana. Barabara haikuwa nzuri sana kwani bado ilikua ikijengwa. Ghafla bin vu, tuliskia pwa! Madirisha ya basi hilo yaliivunjika yote. Basi likapinduka na miguu yake kuangalia juu. Niling’ang’ana kutoka nje nikipitia dirishani huku nikivuja damu kwa sababu ya kukatwa nilikokatwa. Watu wengi walikuja mbio na kuanza kuwaokoa waliokuwa ndani ya basi lile. Wamama walianza kupiga mayowe ili kuita watu wote waje washuhudie ajali iliyofanyika. Nilipo angalia basi letu, lilikua limegonga lori ya kubeba mafuta ya taa. Waliokuwa hapo karibu walichukua mitungi na kukimbia kuchota mafuta yale. Lo! Moto uliwaka na kuanza kulipuka lipuka. Watu waliwapigia wazima moto na wakawasili kwa haraka. Walizima moto uliokuwa ukiwaka. Wafanyikazi wa hospital iliyokuwa karibu walianza kukuja kuwasaidia walioadhirika na ajali ile. Watu wa kumi na wawili waliaga dunia na wengine walichomeke kupita kiasi kufanya wasitambulike. Nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kwenye ajali ile.
Nani alikuwa akivuta sigara
{ "text": [ "Dereva" ] }
3721_swa
AJALI BARABARANI. Niliamka asubuhi nikiwa mwenye furaha nyingi. Nilikunywa kiamsha kinywa na kisha kuwaaga wazazi wangu na kutoka nyumbani. Nilipofika kwenye stesheni ya kupanda gari, gari niliyoipenda kwa jina ‘Mamba’ iwasili na kisha ikatulia kwa muda mfupi. Dereva mfupi alipanda na kisha kuweka muzik kwa sauti ya juu. Ungemwangalia alikuwa amejaza miraa mdomoni na pia alikuwa akivuta sigara na kunywa maji kila wakati. Kichwani alikuwa ameshuka vifundo vifundo. Makanga alisema tuabiri gari kwa wale waliokuwa na nauli ya kutosha bila kusumbuana na yeye. Niliabiri gari na kukaa katika kiti cha nyuma kabisa. Gari ilikuwa ikitetemeka kwa sababu ya muziki uliowekwa. Makanga wa gari hiyo alikuwa akikula miraa pia. Alikuwa akiwaongelesha watoto vibaya. Gani lilikuwa likienda kwa mwendo wa kasi sana. Barabara haikuwa nzuri sana kwani bado ilikua ikijengwa. Ghafla bin vu, tuliskia pwa! Madirisha ya basi hilo yaliivunjika yote. Basi likapinduka na miguu yake kuangalia juu. Niling’ang’ana kutoka nje nikipitia dirishani huku nikivuja damu kwa sababu ya kukatwa nilikokatwa. Watu wengi walikuja mbio na kuanza kuwaokoa waliokuwa ndani ya basi lile. Wamama walianza kupiga mayowe ili kuita watu wote waje washuhudie ajali iliyofanyika. Nilipo angalia basi letu, lilikua limegonga lori ya kubeba mafuta ya taa. Waliokuwa hapo karibu walichukua mitungi na kukimbia kuchota mafuta yale. Lo! Moto uliwaka na kuanza kulipuka lipuka. Watu waliwapigia wazima moto na wakawasili kwa haraka. Walizima moto uliokuwa ukiwaka. Wafanyikazi wa hospital iliyokuwa karibu walianza kukuja kuwasaidia walioadhirika na ajali ile. Watu wa kumi na wawili waliaga dunia na wengine walichomeke kupita kiasi kufanya wasitambulike. Nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kwenye ajali ile.
Niling'ang'ana kutoka wapi
{ "text": [ "nje" ] }
3721_swa
AJALI BARABARANI. Niliamka asubuhi nikiwa mwenye furaha nyingi. Nilikunywa kiamsha kinywa na kisha kuwaaga wazazi wangu na kutoka nyumbani. Nilipofika kwenye stesheni ya kupanda gari, gari niliyoipenda kwa jina ‘Mamba’ iwasili na kisha ikatulia kwa muda mfupi. Dereva mfupi alipanda na kisha kuweka muzik kwa sauti ya juu. Ungemwangalia alikuwa amejaza miraa mdomoni na pia alikuwa akivuta sigara na kunywa maji kila wakati. Kichwani alikuwa ameshuka vifundo vifundo. Makanga alisema tuabiri gari kwa wale waliokuwa na nauli ya kutosha bila kusumbuana na yeye. Niliabiri gari na kukaa katika kiti cha nyuma kabisa. Gari ilikuwa ikitetemeka kwa sababu ya muziki uliowekwa. Makanga wa gari hiyo alikuwa akikula miraa pia. Alikuwa akiwaongelesha watoto vibaya. Gani lilikuwa likienda kwa mwendo wa kasi sana. Barabara haikuwa nzuri sana kwani bado ilikua ikijengwa. Ghafla bin vu, tuliskia pwa! Madirisha ya basi hilo yaliivunjika yote. Basi likapinduka na miguu yake kuangalia juu. Niling’ang’ana kutoka nje nikipitia dirishani huku nikivuja damu kwa sababu ya kukatwa nilikokatwa. Watu wengi walikuja mbio na kuanza kuwaokoa waliokuwa ndani ya basi lile. Wamama walianza kupiga mayowe ili kuita watu wote waje washuhudie ajali iliyofanyika. Nilipo angalia basi letu, lilikua limegonga lori ya kubeba mafuta ya taa. Waliokuwa hapo karibu walichukua mitungi na kukimbia kuchota mafuta yale. Lo! Moto uliwaka na kuanza kulipuka lipuka. Watu waliwapigia wazima moto na wakawasili kwa haraka. Walizima moto uliokuwa ukiwaka. Wafanyikazi wa hospital iliyokuwa karibu walianza kukuja kuwasaidia walioadhirika na ajali ile. Watu wa kumi na wawili waliaga dunia na wengine walichomeke kupita kiasi kufanya wasitambulike. Nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kwenye ajali ile.
Ni watu wangapi waliaga dunia
{ "text": [ "Kumi na wawili" ] }
3722_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikua muhula wa pili tulipopewa likizo na kushauriwa kwamba tuelekee nyumbani kwa upesi bila kusimama pabali popote. Tulipakia mizigo yetu kwenye basi na kuwangoja wenzetu. Baada ya kila mtu kuingia kwenye basi na kutulia, derewa naye akang’oa nanga na kuendesha basi lile kwa mwendo wa kasi mno. Kufumba na kufumbua macho, tulijipata kwenye mji mkuu wa Nairobi. Dereva alilisimamisha basi na kutufahamisha kuwa kila mtu alikuwa anafaa kushuka na kuabiri matwana au teksi ambayo itamfikisha nyumbani kwao. Wanafunzi wachache walifwata maagizo dereva huyo lakini sisi tuliamua kuzurura kwenye mji wa Nairobi. Tulipokuwa tukiranda randa kama mbwa koko, tuliona magari ya kifahai na nyumba zilizojengwa zikajengeka. Nyumba hizo zilikua za ghorofa ndefu ajabu.Tulipitia mkahawani na kununua vyakula ambavyo vilikuwa vitamu sana na vya bei ya chini sana. Baada ya kuranda randa mjini, rafiki zangu walisema kuwa walitaka kuzuru ghorofa moja na kulipanda hadi juu. Niliwaomba twende nyumbani ila wao waliendelea kuelekea kwenye ghorofa ile na kuingia ndani. Baada yao kuingia ndani, nami nikaabiri teksi na kumweleza dereva anipeleke nyumbani. Dereva aling’oa nanga na kuanza safari baada ya masaa manne nilikuwa nimefika kwenye lango kuu la nyumbani. Nilimlipa pesa zake na kisha akanda zake nami nikaingia nyumbani na kujilaza kwenye kiti kama gunia la viazi. Baada ya siku mbili, nilipokuwa mtandaoni niliona habari kuwa wale rafiki zangu tuliotoka nao shuleni walipotea. Baada ya muda mchache mwali mkuu wa shule yetu alinipigia simu. Aliniuliza ikiwa niliwaona wanafunzi wale. Nilimweleza jinsi tulivyozuru mji wa Nairobi na kisha tukaachana pale walipoingia ghorofa lile. Baada ya wiki moja, wanafunzi wale walipatikana katika nchi ya Saudi Arabia wakifanya kazi bila ya malipo huku watatu kati ya waliaga dunia wakiwa hospitalini. Nilitiririkwa na machozi nikifikiria jinsi nilivyonusurika ajali ile.
Msimulizi na wenzake walipewa likizo muhula upi
{ "text": [ "Wa pili" ] }
3722_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikua muhula wa pili tulipopewa likizo na kushauriwa kwamba tuelekee nyumbani kwa upesi bila kusimama pabali popote. Tulipakia mizigo yetu kwenye basi na kuwangoja wenzetu. Baada ya kila mtu kuingia kwenye basi na kutulia, derewa naye akang’oa nanga na kuendesha basi lile kwa mwendo wa kasi mno. Kufumba na kufumbua macho, tulijipata kwenye mji mkuu wa Nairobi. Dereva alilisimamisha basi na kutufahamisha kuwa kila mtu alikuwa anafaa kushuka na kuabiri matwana au teksi ambayo itamfikisha nyumbani kwao. Wanafunzi wachache walifwata maagizo dereva huyo lakini sisi tuliamua kuzurura kwenye mji wa Nairobi. Tulipokuwa tukiranda randa kama mbwa koko, tuliona magari ya kifahai na nyumba zilizojengwa zikajengeka. Nyumba hizo zilikua za ghorofa ndefu ajabu.Tulipitia mkahawani na kununua vyakula ambavyo vilikuwa vitamu sana na vya bei ya chini sana. Baada ya kuranda randa mjini, rafiki zangu walisema kuwa walitaka kuzuru ghorofa moja na kulipanda hadi juu. Niliwaomba twende nyumbani ila wao waliendelea kuelekea kwenye ghorofa ile na kuingia ndani. Baada yao kuingia ndani, nami nikaabiri teksi na kumweleza dereva anipeleke nyumbani. Dereva aling’oa nanga na kuanza safari baada ya masaa manne nilikuwa nimefika kwenye lango kuu la nyumbani. Nilimlipa pesa zake na kisha akanda zake nami nikaingia nyumbani na kujilaza kwenye kiti kama gunia la viazi. Baada ya siku mbili, nilipokuwa mtandaoni niliona habari kuwa wale rafiki zangu tuliotoka nao shuleni walipotea. Baada ya muda mchache mwali mkuu wa shule yetu alinipigia simu. Aliniuliza ikiwa niliwaona wanafunzi wale. Nilimweleza jinsi tulivyozuru mji wa Nairobi na kisha tukaachana pale walipoingia ghorofa lile. Baada ya wiki moja, wanafunzi wale walipatikana katika nchi ya Saudi Arabia wakifanya kazi bila ya malipo huku watatu kati ya waliaga dunia wakiwa hospitalini. Nilitiririkwa na machozi nikifikiria jinsi nilivyonusurika ajali ile.
Dereva alisimamisha basi baada ya kufika mji upi
{ "text": [ "Nairobi" ] }
3722_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikua muhula wa pili tulipopewa likizo na kushauriwa kwamba tuelekee nyumbani kwa upesi bila kusimama pabali popote. Tulipakia mizigo yetu kwenye basi na kuwangoja wenzetu. Baada ya kila mtu kuingia kwenye basi na kutulia, derewa naye akang’oa nanga na kuendesha basi lile kwa mwendo wa kasi mno. Kufumba na kufumbua macho, tulijipata kwenye mji mkuu wa Nairobi. Dereva alilisimamisha basi na kutufahamisha kuwa kila mtu alikuwa anafaa kushuka na kuabiri matwana au teksi ambayo itamfikisha nyumbani kwao. Wanafunzi wachache walifwata maagizo dereva huyo lakini sisi tuliamua kuzurura kwenye mji wa Nairobi. Tulipokuwa tukiranda randa kama mbwa koko, tuliona magari ya kifahai na nyumba zilizojengwa zikajengeka. Nyumba hizo zilikua za ghorofa ndefu ajabu.Tulipitia mkahawani na kununua vyakula ambavyo vilikuwa vitamu sana na vya bei ya chini sana. Baada ya kuranda randa mjini, rafiki zangu walisema kuwa walitaka kuzuru ghorofa moja na kulipanda hadi juu. Niliwaomba twende nyumbani ila wao waliendelea kuelekea kwenye ghorofa ile na kuingia ndani. Baada yao kuingia ndani, nami nikaabiri teksi na kumweleza dereva anipeleke nyumbani. Dereva aling’oa nanga na kuanza safari baada ya masaa manne nilikuwa nimefika kwenye lango kuu la nyumbani. Nilimlipa pesa zake na kisha akanda zake nami nikaingia nyumbani na kujilaza kwenye kiti kama gunia la viazi. Baada ya siku mbili, nilipokuwa mtandaoni niliona habari kuwa wale rafiki zangu tuliotoka nao shuleni walipotea. Baada ya muda mchache mwali mkuu wa shule yetu alinipigia simu. Aliniuliza ikiwa niliwaona wanafunzi wale. Nilimweleza jinsi tulivyozuru mji wa Nairobi na kisha tukaachana pale walipoingia ghorofa lile. Baada ya wiki moja, wanafunzi wale walipatikana katika nchi ya Saudi Arabia wakifanya kazi bila ya malipo huku watatu kati ya waliaga dunia wakiwa hospitalini. Nilitiririkwa na machozi nikifikiria jinsi nilivyonusurika ajali ile.
Wanafunzi wangapi walifuata maagizo ya dereva
{ "text": [ "Wachache" ] }
3722_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikua muhula wa pili tulipopewa likizo na kushauriwa kwamba tuelekee nyumbani kwa upesi bila kusimama pabali popote. Tulipakia mizigo yetu kwenye basi na kuwangoja wenzetu. Baada ya kila mtu kuingia kwenye basi na kutulia, derewa naye akang’oa nanga na kuendesha basi lile kwa mwendo wa kasi mno. Kufumba na kufumbua macho, tulijipata kwenye mji mkuu wa Nairobi. Dereva alilisimamisha basi na kutufahamisha kuwa kila mtu alikuwa anafaa kushuka na kuabiri matwana au teksi ambayo itamfikisha nyumbani kwao. Wanafunzi wachache walifwata maagizo dereva huyo lakini sisi tuliamua kuzurura kwenye mji wa Nairobi. Tulipokuwa tukiranda randa kama mbwa koko, tuliona magari ya kifahai na nyumba zilizojengwa zikajengeka. Nyumba hizo zilikua za ghorofa ndefu ajabu.Tulipitia mkahawani na kununua vyakula ambavyo vilikuwa vitamu sana na vya bei ya chini sana. Baada ya kuranda randa mjini, rafiki zangu walisema kuwa walitaka kuzuru ghorofa moja na kulipanda hadi juu. Niliwaomba twende nyumbani ila wao waliendelea kuelekea kwenye ghorofa ile na kuingia ndani. Baada yao kuingia ndani, nami nikaabiri teksi na kumweleza dereva anipeleke nyumbani. Dereva aling’oa nanga na kuanza safari baada ya masaa manne nilikuwa nimefika kwenye lango kuu la nyumbani. Nilimlipa pesa zake na kisha akanda zake nami nikaingia nyumbani na kujilaza kwenye kiti kama gunia la viazi. Baada ya siku mbili, nilipokuwa mtandaoni niliona habari kuwa wale rafiki zangu tuliotoka nao shuleni walipotea. Baada ya muda mchache mwali mkuu wa shule yetu alinipigia simu. Aliniuliza ikiwa niliwaona wanafunzi wale. Nilimweleza jinsi tulivyozuru mji wa Nairobi na kisha tukaachana pale walipoingia ghorofa lile. Baada ya wiki moja, wanafunzi wale walipatikana katika nchi ya Saudi Arabia wakifanya kazi bila ya malipo huku watatu kati ya waliaga dunia wakiwa hospitalini. Nilitiririkwa na machozi nikifikiria jinsi nilivyonusurika ajali ile.
Wapi kulikuwa nyumbani kwa msimulizi
{ "text": [ "Ngong'" ] }
3722_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikua muhula wa pili tulipopewa likizo na kushauriwa kwamba tuelekee nyumbani kwa upesi bila kusimama pabali popote. Tulipakia mizigo yetu kwenye basi na kuwangoja wenzetu. Baada ya kila mtu kuingia kwenye basi na kutulia, derewa naye akang’oa nanga na kuendesha basi lile kwa mwendo wa kasi mno. Kufumba na kufumbua macho, tulijipata kwenye mji mkuu wa Nairobi. Dereva alilisimamisha basi na kutufahamisha kuwa kila mtu alikuwa anafaa kushuka na kuabiri matwana au teksi ambayo itamfikisha nyumbani kwao. Wanafunzi wachache walifwata maagizo dereva huyo lakini sisi tuliamua kuzurura kwenye mji wa Nairobi. Tulipokuwa tukiranda randa kama mbwa koko, tuliona magari ya kifahai na nyumba zilizojengwa zikajengeka. Nyumba hizo zilikua za ghorofa ndefu ajabu.Tulipitia mkahawani na kununua vyakula ambavyo vilikuwa vitamu sana na vya bei ya chini sana. Baada ya kuranda randa mjini, rafiki zangu walisema kuwa walitaka kuzuru ghorofa moja na kulipanda hadi juu. Niliwaomba twende nyumbani ila wao waliendelea kuelekea kwenye ghorofa ile na kuingia ndani. Baada yao kuingia ndani, nami nikaabiri teksi na kumweleza dereva anipeleke nyumbani. Dereva aling’oa nanga na kuanza safari baada ya masaa manne nilikuwa nimefika kwenye lango kuu la nyumbani. Nilimlipa pesa zake na kisha akanda zake nami nikaingia nyumbani na kujilaza kwenye kiti kama gunia la viazi. Baada ya siku mbili, nilipokuwa mtandaoni niliona habari kuwa wale rafiki zangu tuliotoka nao shuleni walipotea. Baada ya muda mchache mwali mkuu wa shule yetu alinipigia simu. Aliniuliza ikiwa niliwaona wanafunzi wale. Nilimweleza jinsi tulivyozuru mji wa Nairobi na kisha tukaachana pale walipoingia ghorofa lile. Baada ya wiki moja, wanafunzi wale walipatikana katika nchi ya Saudi Arabia wakifanya kazi bila ya malipo huku watatu kati ya waliaga dunia wakiwa hospitalini. Nilitiririkwa na machozi nikifikiria jinsi nilivyonusurika ajali ile.
Msimulizi alifika nyumbani kwao baada ya saa ngapi
{ "text": [ "Nne" ] }
3723_swa
SIKU NILIYO NUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya krismasi nilipokuwa nimealikwa kwa sherehe kubwa upande wa Namanga na mjomba wangu. Niliamka haraka asubuhi na mapema nikimbia bafuni na kuoga mwili mzima. Baadaye nilisugua kinywa changu na bila kutupa wakati nilikimbia sebuleni nikawapata baba na mama wakiomba. Nilikula kiamsha kinywa haraka ilivyowezekana. Muda si muda niliuchukua mkoba wangu na kuelekea katika kituo cha gari la moshi. Nilipofika, nilipata likiwa karibu kung’oa nanga. Nilingia haraka haraka na kuketi starehe kisha gari likang’oa nanga. Njiani niliwaona wanyama wengi kama nyati, simba na wengineo, Tulipofika upande wa Magadi, gari lilipata hitilafu na likakataa kata kata kunguruma. Tuliambiwa tutoke nje kwanza tuone urembo wa ziwa la Magadi. Ziwa hilo lilikuwa la rangi nyeupe ambayo niliambiwa ilikuwa chumvi ambayo sisi hutumia kupika. Baada ya dakika tano, tuliwaona wamasai ambao walikuwa wakiuza asali. Badaa ya muda wa dakika tano, gari la moshi lilitengenezwa na tukaendelea na safari. Tulitumia dakika arubaini na tano kisha tukawasili Namanga. Tulipowasili, kila mtu alishuka na kuendelea na shuguli zake. Nilipokuwa karibu kufika kwa mjomba wangu, niliona lori moja likija kwa mwendo wa kasi. Nililala chali katikati ya barabara kwani sikujua la kufanya. Lori ile ilipita juu yangu bila kunigonga. Moyo wangu ulikuwa ukidunda kwa nguvu kwani nilikuwa nimenusurika ajali. Hatimaye nilifika kwa mjomba na kumwelezea yaliyotokea njiani. Sitaisahau siku ile milele.
Alialikwa kwa sherehe kubwa lini
{ "text": [ "siku ya Krismasi" ] }
3723_swa
SIKU NILIYO NUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya krismasi nilipokuwa nimealikwa kwa sherehe kubwa upande wa Namanga na mjomba wangu. Niliamka haraka asubuhi na mapema nikimbia bafuni na kuoga mwili mzima. Baadaye nilisugua kinywa changu na bila kutupa wakati nilikimbia sebuleni nikawapata baba na mama wakiomba. Nilikula kiamsha kinywa haraka ilivyowezekana. Muda si muda niliuchukua mkoba wangu na kuelekea katika kituo cha gari la moshi. Nilipofika, nilipata likiwa karibu kung’oa nanga. Nilingia haraka haraka na kuketi starehe kisha gari likang’oa nanga. Njiani niliwaona wanyama wengi kama nyati, simba na wengineo, Tulipofika upande wa Magadi, gari lilipata hitilafu na likakataa kata kata kunguruma. Tuliambiwa tutoke nje kwanza tuone urembo wa ziwa la Magadi. Ziwa hilo lilikuwa la rangi nyeupe ambayo niliambiwa ilikuwa chumvi ambayo sisi hutumia kupika. Baada ya dakika tano, tuliwaona wamasai ambao walikuwa wakiuza asali. Badaa ya muda wa dakika tano, gari la moshi lilitengenezwa na tukaendelea na safari. Tulitumia dakika arubaini na tano kisha tukawasili Namanga. Tulipowasili, kila mtu alishuka na kuendelea na shuguli zake. Nilipokuwa karibu kufika kwa mjomba wangu, niliona lori moja likija kwa mwendo wa kasi. Nililala chali katikati ya barabara kwani sikujua la kufanya. Lori ile ilipita juu yangu bila kunigonga. Moyo wangu ulikuwa ukidunda kwa nguvu kwani nilikuwa nimenusurika ajali. Hatimaye nilifika kwa mjomba na kumwelezea yaliyotokea njiani. Sitaisahau siku ile milele.
Aliwapata baba na mama wakiomba nani
{ "text": [ "Mola" ] }
3723_swa
SIKU NILIYO NUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya krismasi nilipokuwa nimealikwa kwa sherehe kubwa upande wa Namanga na mjomba wangu. Niliamka haraka asubuhi na mapema nikimbia bafuni na kuoga mwili mzima. Baadaye nilisugua kinywa changu na bila kutupa wakati nilikimbia sebuleni nikawapata baba na mama wakiomba. Nilikula kiamsha kinywa haraka ilivyowezekana. Muda si muda niliuchukua mkoba wangu na kuelekea katika kituo cha gari la moshi. Nilipofika, nilipata likiwa karibu kung’oa nanga. Nilingia haraka haraka na kuketi starehe kisha gari likang’oa nanga. Njiani niliwaona wanyama wengi kama nyati, simba na wengineo, Tulipofika upande wa Magadi, gari lilipata hitilafu na likakataa kata kata kunguruma. Tuliambiwa tutoke nje kwanza tuone urembo wa ziwa la Magadi. Ziwa hilo lilikuwa la rangi nyeupe ambayo niliambiwa ilikuwa chumvi ambayo sisi hutumia kupika. Baada ya dakika tano, tuliwaona wamasai ambao walikuwa wakiuza asali. Badaa ya muda wa dakika tano, gari la moshi lilitengenezwa na tukaendelea na safari. Tulitumia dakika arubaini na tano kisha tukawasili Namanga. Tulipowasili, kila mtu alishuka na kuendelea na shuguli zake. Nilipokuwa karibu kufika kwa mjomba wangu, niliona lori moja likija kwa mwendo wa kasi. Nililala chali katikati ya barabara kwani sikujua la kufanya. Lori ile ilipita juu yangu bila kunigonga. Moyo wangu ulikuwa ukidunda kwa nguvu kwani nilikuwa nimenusurika ajali. Hatimaye nilifika kwa mjomba na kumwelezea yaliyotokea njiani. Sitaisahau siku ile milele.
Nini liling'oa nanga na kuanza safari
{ "text": [ "gari" ] }
3723_swa
SIKU NILIYO NUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya krismasi nilipokuwa nimealikwa kwa sherehe kubwa upande wa Namanga na mjomba wangu. Niliamka haraka asubuhi na mapema nikimbia bafuni na kuoga mwili mzima. Baadaye nilisugua kinywa changu na bila kutupa wakati nilikimbia sebuleni nikawapata baba na mama wakiomba. Nilikula kiamsha kinywa haraka ilivyowezekana. Muda si muda niliuchukua mkoba wangu na kuelekea katika kituo cha gari la moshi. Nilipofika, nilipata likiwa karibu kung’oa nanga. Nilingia haraka haraka na kuketi starehe kisha gari likang’oa nanga. Njiani niliwaona wanyama wengi kama nyati, simba na wengineo, Tulipofika upande wa Magadi, gari lilipata hitilafu na likakataa kata kata kunguruma. Tuliambiwa tutoke nje kwanza tuone urembo wa ziwa la Magadi. Ziwa hilo lilikuwa la rangi nyeupe ambayo niliambiwa ilikuwa chumvi ambayo sisi hutumia kupika. Baada ya dakika tano, tuliwaona wamasai ambao walikuwa wakiuza asali. Badaa ya muda wa dakika tano, gari la moshi lilitengenezwa na tukaendelea na safari. Tulitumia dakika arubaini na tano kisha tukawasili Namanga. Tulipowasili, kila mtu alishuka na kuendelea na shuguli zake. Nilipokuwa karibu kufika kwa mjomba wangu, niliona lori moja likija kwa mwendo wa kasi. Nililala chali katikati ya barabara kwani sikujua la kufanya. Lori ile ilipita juu yangu bila kunigonga. Moyo wangu ulikuwa ukidunda kwa nguvu kwani nilikuwa nimenusurika ajali. Hatimaye nilifika kwa mjomba na kumwelezea yaliyotokea njiani. Sitaisahau siku ile milele.
Ziwa la Magadi lilikuwa la rangi gani
{ "text": [ "nyeupe" ] }
3723_swa
SIKU NILIYO NUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya krismasi nilipokuwa nimealikwa kwa sherehe kubwa upande wa Namanga na mjomba wangu. Niliamka haraka asubuhi na mapema nikimbia bafuni na kuoga mwili mzima. Baadaye nilisugua kinywa changu na bila kutupa wakati nilikimbia sebuleni nikawapata baba na mama wakiomba. Nilikula kiamsha kinywa haraka ilivyowezekana. Muda si muda niliuchukua mkoba wangu na kuelekea katika kituo cha gari la moshi. Nilipofika, nilipata likiwa karibu kung’oa nanga. Nilingia haraka haraka na kuketi starehe kisha gari likang’oa nanga. Njiani niliwaona wanyama wengi kama nyati, simba na wengineo, Tulipofika upande wa Magadi, gari lilipata hitilafu na likakataa kata kata kunguruma. Tuliambiwa tutoke nje kwanza tuone urembo wa ziwa la Magadi. Ziwa hilo lilikuwa la rangi nyeupe ambayo niliambiwa ilikuwa chumvi ambayo sisi hutumia kupika. Baada ya dakika tano, tuliwaona wamasai ambao walikuwa wakiuza asali. Badaa ya muda wa dakika tano, gari la moshi lilitengenezwa na tukaendelea na safari. Tulitumia dakika arubaini na tano kisha tukawasili Namanga. Tulipowasili, kila mtu alishuka na kuendelea na shuguli zake. Nilipokuwa karibu kufika kwa mjomba wangu, niliona lori moja likija kwa mwendo wa kasi. Nililala chali katikati ya barabara kwani sikujua la kufanya. Lori ile ilipita juu yangu bila kunigonga. Moyo wangu ulikuwa ukidunda kwa nguvu kwani nilikuwa nimenusurika ajali. Hatimaye nilifika kwa mjomba na kumwelezea yaliyotokea njiani. Sitaisahau siku ile milele.
Mbona alinunua asali ya kunywa
{ "text": [ "kwa sababu ya jua kubwa upande huo" ] }
3724_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya furaha sana. Nilipoamka kutoka usingizini, nilikimbia kwenye bafu nakuoga kwa maji baridi. Kwa mawazo yangu, niliona siku njena imeanza. Nilikunywa kiamsha kinywa na kutoka nyumbani. Hapo nje nilikutana na John na Joseph, rafiki zangu, walikuwa wakiningoja. Tulifuata njia hadi shuleni. Tulipokuwa shuleni, walimu walikuwa wakitayaarisha matokeo ya mtihana tuliofanya. Kwa sababu hiyo tulishinda nje ya madarasa siku hiyo. Mimi na rafiki zangu tukapanga vile tutaendea pikipiki kwa Musa, ambaye alikuwa rafiki yetu. Tulipokuwa tukiendea chakula cha mchana, tuliskia fununu kuwa Musa alikuwa hospitalini. “Ni mambo gani hayo?” John aliuliza. “Nani amekuambia hayo?” Joseph akasema. Ni ndugu ya Musa. Tulipomaliza chakula cha mchana, tulikusanywa pamoja kwenye uwanja kupewa matokeo yetu. Lakini, mimi pamoja na rafiki zangu akili zetu zilikuwa mbali, tulikuwa tukiwaza ni wapi tutakapotoa pikipiki. Muda si muda, tuliachiliwa twende nyumbani, lakini sisi tulishika njia hadi kwa Musa. Tulimpata ndugu yake Musa na akakueleza kuwa Musa alikuwa ameenda hospitalini kuangaliwa jicho lake lakini alikuwa ameacha funguo za pikipiki juu ya meza. Tuliruka kwa furaha na kuchukua pikipiki. Tuendesha pikipiki kwa mwendo wa kasi na kuelekea kujivinjari. Tulipita mahali ambapo palikua pakiuzwa miraa. Tukaendelea kuponda raha. Tulingurumisha pikipiki na kuelekea katika msitu wa Ngong ili tuvute bangi. Tilijidunga madawa ya kulevya na kunywa pombe. Tulipoamka mahali tulipokuwa tumekaa, tulikuwa hatuoni vizuri kwa sababu ya kutumia mihadarati. Tulianza safari yetu ya kurejea nyumbani. Lo! Walevi watatu kwenye pikipiki. Tulipokuwa karibu kufika mahali ambapo huitwa ‘kona mbaya, niliwaambia wenzangu wasimamishe pikipiki ili niweze kwenda haja ndogo. Pindi tu niliposhuka, waliendelea na safari na kuniwacha pale. Walikuwa wakienda kwa kasi kwenye kona na ghafla bin vu! Walipatana na lori ana kwa ana na wote wakaaga dunia hapo kwa hapo. Hivyo ndivyo nilinusurika ajali ile.
Nani walikuwa marafiki wa msimulizi
{ "text": [ "John na Joseph" ] }
3724_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya furaha sana. Nilipoamka kutoka usingizini, nilikimbia kwenye bafu nakuoga kwa maji baridi. Kwa mawazo yangu, niliona siku njena imeanza. Nilikunywa kiamsha kinywa na kutoka nyumbani. Hapo nje nilikutana na John na Joseph, rafiki zangu, walikuwa wakiningoja. Tulifuata njia hadi shuleni. Tulipokuwa shuleni, walimu walikuwa wakitayaarisha matokeo ya mtihana tuliofanya. Kwa sababu hiyo tulishinda nje ya madarasa siku hiyo. Mimi na rafiki zangu tukapanga vile tutaendea pikipiki kwa Musa, ambaye alikuwa rafiki yetu. Tulipokuwa tukiendea chakula cha mchana, tuliskia fununu kuwa Musa alikuwa hospitalini. “Ni mambo gani hayo?” John aliuliza. “Nani amekuambia hayo?” Joseph akasema. Ni ndugu ya Musa. Tulipomaliza chakula cha mchana, tulikusanywa pamoja kwenye uwanja kupewa matokeo yetu. Lakini, mimi pamoja na rafiki zangu akili zetu zilikuwa mbali, tulikuwa tukiwaza ni wapi tutakapotoa pikipiki. Muda si muda, tuliachiliwa twende nyumbani, lakini sisi tulishika njia hadi kwa Musa. Tulimpata ndugu yake Musa na akakueleza kuwa Musa alikuwa ameenda hospitalini kuangaliwa jicho lake lakini alikuwa ameacha funguo za pikipiki juu ya meza. Tuliruka kwa furaha na kuchukua pikipiki. Tuendesha pikipiki kwa mwendo wa kasi na kuelekea kujivinjari. Tulipita mahali ambapo palikua pakiuzwa miraa. Tukaendelea kuponda raha. Tulingurumisha pikipiki na kuelekea katika msitu wa Ngong ili tuvute bangi. Tilijidunga madawa ya kulevya na kunywa pombe. Tulipoamka mahali tulipokuwa tumekaa, tulikuwa hatuoni vizuri kwa sababu ya kutumia mihadarati. Tulianza safari yetu ya kurejea nyumbani. Lo! Walevi watatu kwenye pikipiki. Tulipokuwa karibu kufika mahali ambapo huitwa ‘kona mbaya, niliwaambia wenzangu wasimamishe pikipiki ili niweze kwenda haja ndogo. Pindi tu niliposhuka, waliendelea na safari na kuniwacha pale. Walikuwa wakienda kwa kasi kwenye kona na ghafla bin vu! Walipatana na lori ana kwa ana na wote wakaaga dunia hapo kwa hapo. Hivyo ndivyo nilinusurika ajali ile.
Pikipiki ilikuwa kwa nani
{ "text": [ "Musa" ] }
3724_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya furaha sana. Nilipoamka kutoka usingizini, nilikimbia kwenye bafu nakuoga kwa maji baridi. Kwa mawazo yangu, niliona siku njena imeanza. Nilikunywa kiamsha kinywa na kutoka nyumbani. Hapo nje nilikutana na John na Joseph, rafiki zangu, walikuwa wakiningoja. Tulifuata njia hadi shuleni. Tulipokuwa shuleni, walimu walikuwa wakitayaarisha matokeo ya mtihana tuliofanya. Kwa sababu hiyo tulishinda nje ya madarasa siku hiyo. Mimi na rafiki zangu tukapanga vile tutaendea pikipiki kwa Musa, ambaye alikuwa rafiki yetu. Tulipokuwa tukiendea chakula cha mchana, tuliskia fununu kuwa Musa alikuwa hospitalini. “Ni mambo gani hayo?” John aliuliza. “Nani amekuambia hayo?” Joseph akasema. Ni ndugu ya Musa. Tulipomaliza chakula cha mchana, tulikusanywa pamoja kwenye uwanja kupewa matokeo yetu. Lakini, mimi pamoja na rafiki zangu akili zetu zilikuwa mbali, tulikuwa tukiwaza ni wapi tutakapotoa pikipiki. Muda si muda, tuliachiliwa twende nyumbani, lakini sisi tulishika njia hadi kwa Musa. Tulimpata ndugu yake Musa na akakueleza kuwa Musa alikuwa ameenda hospitalini kuangaliwa jicho lake lakini alikuwa ameacha funguo za pikipiki juu ya meza. Tuliruka kwa furaha na kuchukua pikipiki. Tuendesha pikipiki kwa mwendo wa kasi na kuelekea kujivinjari. Tulipita mahali ambapo palikua pakiuzwa miraa. Tukaendelea kuponda raha. Tulingurumisha pikipiki na kuelekea katika msitu wa Ngong ili tuvute bangi. Tilijidunga madawa ya kulevya na kunywa pombe. Tulipoamka mahali tulipokuwa tumekaa, tulikuwa hatuoni vizuri kwa sababu ya kutumia mihadarati. Tulianza safari yetu ya kurejea nyumbani. Lo! Walevi watatu kwenye pikipiki. Tulipokuwa karibu kufika mahali ambapo huitwa ‘kona mbaya, niliwaambia wenzangu wasimamishe pikipiki ili niweze kwenda haja ndogo. Pindi tu niliposhuka, waliendelea na safari na kuniwacha pale. Walikuwa wakienda kwa kasi kwenye kona na ghafla bin vu! Walipatana na lori ana kwa ana na wote wakaaga dunia hapo kwa hapo. Hivyo ndivyo nilinusurika ajali ile.
Msimulizi na wenzake walisanywa wapi kipewa matokeo
{ "text": [ "Uwanjani" ] }
3724_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya furaha sana. Nilipoamka kutoka usingizini, nilikimbia kwenye bafu nakuoga kwa maji baridi. Kwa mawazo yangu, niliona siku njena imeanza. Nilikunywa kiamsha kinywa na kutoka nyumbani. Hapo nje nilikutana na John na Joseph, rafiki zangu, walikuwa wakiningoja. Tulifuata njia hadi shuleni. Tulipokuwa shuleni, walimu walikuwa wakitayaarisha matokeo ya mtihana tuliofanya. Kwa sababu hiyo tulishinda nje ya madarasa siku hiyo. Mimi na rafiki zangu tukapanga vile tutaendea pikipiki kwa Musa, ambaye alikuwa rafiki yetu. Tulipokuwa tukiendea chakula cha mchana, tuliskia fununu kuwa Musa alikuwa hospitalini. “Ni mambo gani hayo?” John aliuliza. “Nani amekuambia hayo?” Joseph akasema. Ni ndugu ya Musa. Tulipomaliza chakula cha mchana, tulikusanywa pamoja kwenye uwanja kupewa matokeo yetu. Lakini, mimi pamoja na rafiki zangu akili zetu zilikuwa mbali, tulikuwa tukiwaza ni wapi tutakapotoa pikipiki. Muda si muda, tuliachiliwa twende nyumbani, lakini sisi tulishika njia hadi kwa Musa. Tulimpata ndugu yake Musa na akakueleza kuwa Musa alikuwa ameenda hospitalini kuangaliwa jicho lake lakini alikuwa ameacha funguo za pikipiki juu ya meza. Tuliruka kwa furaha na kuchukua pikipiki. Tuendesha pikipiki kwa mwendo wa kasi na kuelekea kujivinjari. Tulipita mahali ambapo palikua pakiuzwa miraa. Tukaendelea kuponda raha. Tulingurumisha pikipiki na kuelekea katika msitu wa Ngong ili tuvute bangi. Tilijidunga madawa ya kulevya na kunywa pombe. Tulipoamka mahali tulipokuwa tumekaa, tulikuwa hatuoni vizuri kwa sababu ya kutumia mihadarati. Tulianza safari yetu ya kurejea nyumbani. Lo! Walevi watatu kwenye pikipiki. Tulipokuwa karibu kufika mahali ambapo huitwa ‘kona mbaya, niliwaambia wenzangu wasimamishe pikipiki ili niweze kwenda haja ndogo. Pindi tu niliposhuka, waliendelea na safari na kuniwacha pale. Walikuwa wakienda kwa kasi kwenye kona na ghafla bin vu! Walipatana na lori ana kwa ana na wote wakaaga dunia hapo kwa hapo. Hivyo ndivyo nilinusurika ajali ile.
Msimulizi na wenzake walivutia wapi bangi
{ "text": [ "Katika msitu wa Ngong'" ] }
3724_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya furaha sana. Nilipoamka kutoka usingizini, nilikimbia kwenye bafu nakuoga kwa maji baridi. Kwa mawazo yangu, niliona siku njena imeanza. Nilikunywa kiamsha kinywa na kutoka nyumbani. Hapo nje nilikutana na John na Joseph, rafiki zangu, walikuwa wakiningoja. Tulifuata njia hadi shuleni. Tulipokuwa shuleni, walimu walikuwa wakitayaarisha matokeo ya mtihana tuliofanya. Kwa sababu hiyo tulishinda nje ya madarasa siku hiyo. Mimi na rafiki zangu tukapanga vile tutaendea pikipiki kwa Musa, ambaye alikuwa rafiki yetu. Tulipokuwa tukiendea chakula cha mchana, tuliskia fununu kuwa Musa alikuwa hospitalini. “Ni mambo gani hayo?” John aliuliza. “Nani amekuambia hayo?” Joseph akasema. Ni ndugu ya Musa. Tulipomaliza chakula cha mchana, tulikusanywa pamoja kwenye uwanja kupewa matokeo yetu. Lakini, mimi pamoja na rafiki zangu akili zetu zilikuwa mbali, tulikuwa tukiwaza ni wapi tutakapotoa pikipiki. Muda si muda, tuliachiliwa twende nyumbani, lakini sisi tulishika njia hadi kwa Musa. Tulimpata ndugu yake Musa na akakueleza kuwa Musa alikuwa ameenda hospitalini kuangaliwa jicho lake lakini alikuwa ameacha funguo za pikipiki juu ya meza. Tuliruka kwa furaha na kuchukua pikipiki. Tuendesha pikipiki kwa mwendo wa kasi na kuelekea kujivinjari. Tulipita mahali ambapo palikua pakiuzwa miraa. Tukaendelea kuponda raha. Tulingurumisha pikipiki na kuelekea katika msitu wa Ngong ili tuvute bangi. Tilijidunga madawa ya kulevya na kunywa pombe. Tulipoamka mahali tulipokuwa tumekaa, tulikuwa hatuoni vizuri kwa sababu ya kutumia mihadarati. Tulianza safari yetu ya kurejea nyumbani. Lo! Walevi watatu kwenye pikipiki. Tulipokuwa karibu kufika mahali ambapo huitwa ‘kona mbaya, niliwaambia wenzangu wasimamishe pikipiki ili niweze kwenda haja ndogo. Pindi tu niliposhuka, waliendelea na safari na kuniwacha pale. Walikuwa wakienda kwa kasi kwenye kona na ghafla bin vu! Walipatana na lori ana kwa ana na wote wakaaga dunia hapo kwa hapo. Hivyo ndivyo nilinusurika ajali ile.
Walevi wangapi walikuwa kwenye pikipiki
{ "text": [ "Watatu" ] }
3726_swa
SIKU NILIYONUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya Ijumaa nilipokuwa nikiamka, ili nijitayarishe kwenda kanisani, Nilikuwa nikienda kuhudhuria mkutano wa vijana. Niliweza kuoga kwa maji na kuvaa mavazi ya kuvutia. Nilikunywa staftahi na kuondoka. Nilifika kwenye kituo cha magari na kuingia kwenye gari lililokuwa na mziki wa sauti ya juu sana. Tuliweza kung’oa nanga na kuelekea kwenye jiji la Sokatonge. Nsi waliokuwa ndani ya gari lile walikuwa wakiimba mziki kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Basi nalo lilikuwa likienda kwa kasi sana. Moyo wangu ulikuwa unapiga kwa nguvu. Kabla ya nukta kugeuka na kuwa sekunde nilishia ku! Kisha nikazimia. Wakati ambapo nilipata fahamu, nilijikuta nimelala kwenye barabara pamoja na abiria wengine waliokuwa ndani ya basi. Damu ilikuwa ikitiririka barabarani kama maji. Nilikuwa nikisikua wakilalamika kuumia miguu na mikono. Nilishindwa kama nicheke au nihuzunike. Muda si muda, nami nilianza kuhisi kizunguzungu na uchungu mwingi kwenye kichwa changu. Nilitamani dunia ifunguke na kunimeza mzima. Madaktari na askari waliwasili na sote tuliokuwa tumeumia tukapelekwa hospitalini. Niliweza kupewa dawa za kupunguza maumivu kichwani na nikajihisi kuwa sawa kabisa. Nilitembea mita kidogo nilizobakisha hadi kanisani na mshtuko mwingi mno. Singeweza kukosa kwenda kwa sababu mkutano huo ulikuwa wa maana sana kwangu. Tulikuwa tukipanga safari ya kwenda Uganda kueneza injili. Nilifika kanisani nikiwa nimechelewa na maswali yalikuwa yakiniandama kama kivuli changu. Kila mtu alikuwa anataka kujua mbona nina bandeji kichwani. Niliwaeleza msiba uliotendeka na kwenda altarini kumshukuru Mola kwa kuniokoa kwenye ajali hiyo. Tangu siku hiyo, niliapa kuwa sitapanda magari ambayo yana miziki wa sauti ya juu na ambayo yanaendeshwa mwendo usiokubalika.
Aliamka lini kujitayarisha kuenda kanisani
{ "text": [ "Ijumaa" ] }
3726_swa
SIKU NILIYONUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya Ijumaa nilipokuwa nikiamka, ili nijitayarishe kwenda kanisani, Nilikuwa nikienda kuhudhuria mkutano wa vijana. Niliweza kuoga kwa maji na kuvaa mavazi ya kuvutia. Nilikunywa staftahi na kuondoka. Nilifika kwenye kituo cha magari na kuingia kwenye gari lililokuwa na mziki wa sauti ya juu sana. Tuliweza kung’oa nanga na kuelekea kwenye jiji la Sokatonge. Nsi waliokuwa ndani ya gari lile walikuwa wakiimba mziki kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Basi nalo lilikuwa likienda kwa kasi sana. Moyo wangu ulikuwa unapiga kwa nguvu. Kabla ya nukta kugeuka na kuwa sekunde nilishia ku! Kisha nikazimia. Wakati ambapo nilipata fahamu, nilijikuta nimelala kwenye barabara pamoja na abiria wengine waliokuwa ndani ya basi. Damu ilikuwa ikitiririka barabarani kama maji. Nilikuwa nikisikua wakilalamika kuumia miguu na mikono. Nilishindwa kama nicheke au nihuzunike. Muda si muda, nami nilianza kuhisi kizunguzungu na uchungu mwingi kwenye kichwa changu. Nilitamani dunia ifunguke na kunimeza mzima. Madaktari na askari waliwasili na sote tuliokuwa tumeumia tukapelekwa hospitalini. Niliweza kupewa dawa za kupunguza maumivu kichwani na nikajihisi kuwa sawa kabisa. Nilitembea mita kidogo nilizobakisha hadi kanisani na mshtuko mwingi mno. Singeweza kukosa kwenda kwa sababu mkutano huo ulikuwa wa maana sana kwangu. Tulikuwa tukipanga safari ya kwenda Uganda kueneza injili. Nilifika kanisani nikiwa nimechelewa na maswali yalikuwa yakiniandama kama kivuli changu. Kila mtu alikuwa anataka kujua mbona nina bandeji kichwani. Niliwaeleza msiba uliotendeka na kwenda altarini kumshukuru Mola kwa kuniokoa kwenye ajali hiyo. Tangu siku hiyo, niliapa kuwa sitapanda magari ambayo yana miziki wa sauti ya juu na ambayo yanaendeshwa mwendo usiokubalika.
Alienda kuhudhuria mkutano gani
{ "text": [ "wa vijana" ] }
3726_swa
SIKU NILIYONUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya Ijumaa nilipokuwa nikiamka, ili nijitayarishe kwenda kanisani, Nilikuwa nikienda kuhudhuria mkutano wa vijana. Niliweza kuoga kwa maji na kuvaa mavazi ya kuvutia. Nilikunywa staftahi na kuondoka. Nilifika kwenye kituo cha magari na kuingia kwenye gari lililokuwa na mziki wa sauti ya juu sana. Tuliweza kung’oa nanga na kuelekea kwenye jiji la Sokatonge. Nsi waliokuwa ndani ya gari lile walikuwa wakiimba mziki kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Basi nalo lilikuwa likienda kwa kasi sana. Moyo wangu ulikuwa unapiga kwa nguvu. Kabla ya nukta kugeuka na kuwa sekunde nilishia ku! Kisha nikazimia. Wakati ambapo nilipata fahamu, nilijikuta nimelala kwenye barabara pamoja na abiria wengine waliokuwa ndani ya basi. Damu ilikuwa ikitiririka barabarani kama maji. Nilikuwa nikisikua wakilalamika kuumia miguu na mikono. Nilishindwa kama nicheke au nihuzunike. Muda si muda, nami nilianza kuhisi kizunguzungu na uchungu mwingi kwenye kichwa changu. Nilitamani dunia ifunguke na kunimeza mzima. Madaktari na askari waliwasili na sote tuliokuwa tumeumia tukapelekwa hospitalini. Niliweza kupewa dawa za kupunguza maumivu kichwani na nikajihisi kuwa sawa kabisa. Nilitembea mita kidogo nilizobakisha hadi kanisani na mshtuko mwingi mno. Singeweza kukosa kwenda kwa sababu mkutano huo ulikuwa wa maana sana kwangu. Tulikuwa tukipanga safari ya kwenda Uganda kueneza injili. Nilifika kanisani nikiwa nimechelewa na maswali yalikuwa yakiniandama kama kivuli changu. Kila mtu alikuwa anataka kujua mbona nina bandeji kichwani. Niliwaeleza msiba uliotendeka na kwenda altarini kumshukuru Mola kwa kuniokoa kwenye ajali hiyo. Tangu siku hiyo, niliapa kuwa sitapanda magari ambayo yana miziki wa sauti ya juu na ambayo yanaendeshwa mwendo usiokubalika.
Nini ilitiririka barabarani
{ "text": [ "damu" ] }
3726_swa
SIKU NILIYONUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya Ijumaa nilipokuwa nikiamka, ili nijitayarishe kwenda kanisani, Nilikuwa nikienda kuhudhuria mkutano wa vijana. Niliweza kuoga kwa maji na kuvaa mavazi ya kuvutia. Nilikunywa staftahi na kuondoka. Nilifika kwenye kituo cha magari na kuingia kwenye gari lililokuwa na mziki wa sauti ya juu sana. Tuliweza kung’oa nanga na kuelekea kwenye jiji la Sokatonge. Nsi waliokuwa ndani ya gari lile walikuwa wakiimba mziki kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Basi nalo lilikuwa likienda kwa kasi sana. Moyo wangu ulikuwa unapiga kwa nguvu. Kabla ya nukta kugeuka na kuwa sekunde nilishia ku! Kisha nikazimia. Wakati ambapo nilipata fahamu, nilijikuta nimelala kwenye barabara pamoja na abiria wengine waliokuwa ndani ya basi. Damu ilikuwa ikitiririka barabarani kama maji. Nilikuwa nikisikua wakilalamika kuumia miguu na mikono. Nilishindwa kama nicheke au nihuzunike. Muda si muda, nami nilianza kuhisi kizunguzungu na uchungu mwingi kwenye kichwa changu. Nilitamani dunia ifunguke na kunimeza mzima. Madaktari na askari waliwasili na sote tuliokuwa tumeumia tukapelekwa hospitalini. Niliweza kupewa dawa za kupunguza maumivu kichwani na nikajihisi kuwa sawa kabisa. Nilitembea mita kidogo nilizobakisha hadi kanisani na mshtuko mwingi mno. Singeweza kukosa kwenda kwa sababu mkutano huo ulikuwa wa maana sana kwangu. Tulikuwa tukipanga safari ya kwenda Uganda kueneza injili. Nilifika kanisani nikiwa nimechelewa na maswali yalikuwa yakiniandama kama kivuli changu. Kila mtu alikuwa anataka kujua mbona nina bandeji kichwani. Niliwaeleza msiba uliotendeka na kwenda altarini kumshukuru Mola kwa kuniokoa kwenye ajali hiyo. Tangu siku hiyo, niliapa kuwa sitapanda magari ambayo yana miziki wa sauti ya juu na ambayo yanaendeshwa mwendo usiokubalika.
Madaktari walifika na nani
{ "text": [ "askari" ] }
3726_swa
SIKU NILIYONUSURIKA AJALI Ilikuwa siku ya Ijumaa nilipokuwa nikiamka, ili nijitayarishe kwenda kanisani, Nilikuwa nikienda kuhudhuria mkutano wa vijana. Niliweza kuoga kwa maji na kuvaa mavazi ya kuvutia. Nilikunywa staftahi na kuondoka. Nilifika kwenye kituo cha magari na kuingia kwenye gari lililokuwa na mziki wa sauti ya juu sana. Tuliweza kung’oa nanga na kuelekea kwenye jiji la Sokatonge. Nsi waliokuwa ndani ya gari lile walikuwa wakiimba mziki kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Basi nalo lilikuwa likienda kwa kasi sana. Moyo wangu ulikuwa unapiga kwa nguvu. Kabla ya nukta kugeuka na kuwa sekunde nilishia ku! Kisha nikazimia. Wakati ambapo nilipata fahamu, nilijikuta nimelala kwenye barabara pamoja na abiria wengine waliokuwa ndani ya basi. Damu ilikuwa ikitiririka barabarani kama maji. Nilikuwa nikisikua wakilalamika kuumia miguu na mikono. Nilishindwa kama nicheke au nihuzunike. Muda si muda, nami nilianza kuhisi kizunguzungu na uchungu mwingi kwenye kichwa changu. Nilitamani dunia ifunguke na kunimeza mzima. Madaktari na askari waliwasili na sote tuliokuwa tumeumia tukapelekwa hospitalini. Niliweza kupewa dawa za kupunguza maumivu kichwani na nikajihisi kuwa sawa kabisa. Nilitembea mita kidogo nilizobakisha hadi kanisani na mshtuko mwingi mno. Singeweza kukosa kwenda kwa sababu mkutano huo ulikuwa wa maana sana kwangu. Tulikuwa tukipanga safari ya kwenda Uganda kueneza injili. Nilifika kanisani nikiwa nimechelewa na maswali yalikuwa yakiniandama kama kivuli changu. Kila mtu alikuwa anataka kujua mbona nina bandeji kichwani. Niliwaeleza msiba uliotendeka na kwenda altarini kumshukuru Mola kwa kuniokoa kwenye ajali hiyo. Tangu siku hiyo, niliapa kuwa sitapanda magari ambayo yana miziki wa sauti ya juu na ambayo yanaendeshwa mwendo usiokubalika.
Mbona alimshukuru Mola
{ "text": [ "kwa kumuokoa kwenye ajali" ] }
3802_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Nilifika pale kwa mseto wa hisia, nisijue kama nilifurahishwe au nilihuzunishwa na kisa hicho. Wakati nilipofika pale silujua ni nini ambacho kilikuwa kinaendelea. Nilipatwa na mtiririko wa mawazo akilini mwangu. Nilianza kuona kana kwamba kilikuwa kisa kizuri. Lakini lo! Hakukuwa na kisa kizuri. Kisa hicho kilikuwa cha kushangaza sana maana kunaye mwanafunzi mmoja aliuugua ugonjwa wa korono, ambayo inasambaa wakati ambapo mtu anapiga chafya, kukohoa na mtu huyo hajavaa barakoa yake. Wakati ambapo unapiga chafyo na hauna barakoa, unaweza sababisha kifo cha mwenzako. Wazazi wa mwanafunzi huyo walilia sana walisema kuwa mtoto wao amekufa kifo cha uchungu sana. Haikuwa harusi ila ilikuwa maombolezi ya mwanafunzi huyo, kwa hivyo hakukuwa na watu wengi. Watu walikuwa wachache ili tuweze kufuata masharti ya kudhibiti ugonjwa wa corona kama hauweka nafasi kati ya watu wawili au zaidi. Watu wa familia pekee ndio walikuwa wamekubaliwa na serikali. Watu hawakuwa wanapitisha watu ishirini na watano, nami nilimshukuru Mungu sana na kusema asante kwani sikupatwa na ugonjwa huo. Kulikuwa pia na maafisa wa serikali ili waweze kuzingatia usafi huko ili mtu asiweze kuitupa barakoa yake ovyo ovyo. Kama haukuwa umefikisha umri wa kumi na minane, haukuwa unaruhusiwa kwenye mazishi hiyo. Mimi ndimi nilikuwa rafiki yake wa kiti cha kwanza. Hivyo, niliruhusiwa kwenda kwenye mazishi hiyo kwa sababu tulikuwa tunapendano kama chanda na pete. Nami nilienda huko na kujichunga. Niliikuwa ninajitenga na watu. Msichana huyo alikuwa akipendwa na watu wengi kwa maana alikuwa mtiifu na alikuwa akipenda kusaidia watu sana. Yeye hakuwa na uadui na mtu yeyote. Alikuwa anapenda kusaidia wale wasiojiweza na wenzake shuleni pia alipenda kusikiliza shida zao na wakati mwingine kusaidia kuzitatua. Alikuwa anapenda kusoma vitabu vyake vyake. Kwangu mimi niliponea chupu chupu kupatwa na ugonjwa huo. Hiyo ndio siku ambayo watu walijua kuwa ugonjwa ule ulikuwa hauchagui kabila, urembo, urefu, ufupi, au kitu chochote kile.
Kifaa kipi huvaliwa ilikuepuka maambukizi ya korona?
{ "text": [ "Barakoa" ] }
3802_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Nilifika pale kwa mseto wa hisia, nisijue kama nilifurahishwe au nilihuzunishwa na kisa hicho. Wakati nilipofika pale silujua ni nini ambacho kilikuwa kinaendelea. Nilipatwa na mtiririko wa mawazo akilini mwangu. Nilianza kuona kana kwamba kilikuwa kisa kizuri. Lakini lo! Hakukuwa na kisa kizuri. Kisa hicho kilikuwa cha kushangaza sana maana kunaye mwanafunzi mmoja aliuugua ugonjwa wa korono, ambayo inasambaa wakati ambapo mtu anapiga chafya, kukohoa na mtu huyo hajavaa barakoa yake. Wakati ambapo unapiga chafyo na hauna barakoa, unaweza sababisha kifo cha mwenzako. Wazazi wa mwanafunzi huyo walilia sana walisema kuwa mtoto wao amekufa kifo cha uchungu sana. Haikuwa harusi ila ilikuwa maombolezi ya mwanafunzi huyo, kwa hivyo hakukuwa na watu wengi. Watu walikuwa wachache ili tuweze kufuata masharti ya kudhibiti ugonjwa wa corona kama hauweka nafasi kati ya watu wawili au zaidi. Watu wa familia pekee ndio walikuwa wamekubaliwa na serikali. Watu hawakuwa wanapitisha watu ishirini na watano, nami nilimshukuru Mungu sana na kusema asante kwani sikupatwa na ugonjwa huo. Kulikuwa pia na maafisa wa serikali ili waweze kuzingatia usafi huko ili mtu asiweze kuitupa barakoa yake ovyo ovyo. Kama haukuwa umefikisha umri wa kumi na minane, haukuwa unaruhusiwa kwenye mazishi hiyo. Mimi ndimi nilikuwa rafiki yake wa kiti cha kwanza. Hivyo, niliruhusiwa kwenda kwenye mazishi hiyo kwa sababu tulikuwa tunapendano kama chanda na pete. Nami nilienda huko na kujichunga. Niliikuwa ninajitenga na watu. Msichana huyo alikuwa akipendwa na watu wengi kwa maana alikuwa mtiifu na alikuwa akipenda kusaidia watu sana. Yeye hakuwa na uadui na mtu yeyote. Alikuwa anapenda kusaidia wale wasiojiweza na wenzake shuleni pia alipenda kusikiliza shida zao na wakati mwingine kusaidia kuzitatua. Alikuwa anapenda kusoma vitabu vyake vyake. Kwangu mimi niliponea chupu chupu kupatwa na ugonjwa huo. Hiyo ndio siku ambayo watu walijua kuwa ugonjwa ule ulikuwa hauchagui kabila, urembo, urefu, ufupi, au kitu chochote kile.
Serikali inahimiza watu wanaokusanyika kufanya nini?
{ "text": [ "Kudumisha umbali wa kimwili" ] }
3802_swa
SIKU AMBAYO NILINUSURIKA AJALI Nilifika pale kwa mseto wa hisia, nisijue kama nilifurahishwe au nilihuzunishwa na kisa hicho. Wakati nilipofika pale silujua ni nini ambacho kilikuwa kinaendelea. Nilipatwa na mtiririko wa mawazo akilini mwangu. Nilianza kuona kana kwamba kilikuwa kisa kizuri. Lakini lo! Hakukuwa na kisa kizuri. Kisa hicho kilikuwa cha kushangaza sana maana kunaye mwanafunzi mmoja aliuugua ugonjwa wa korono, ambayo inasambaa wakati ambapo mtu anapiga chafya, kukohoa na mtu huyo hajavaa barakoa yake. Wakati ambapo unapiga chafyo na hauna barakoa, unaweza sababisha kifo cha mwenzako. Wazazi wa mwanafunzi huyo walilia sana walisema kuwa mtoto wao amekufa kifo cha uchungu sana. Haikuwa harusi ila ilikuwa maombolezi ya mwanafunzi huyo, kwa hivyo hakukuwa na watu wengi. Watu walikuwa wachache ili tuweze kufuata masharti ya kudhibiti ugonjwa wa corona kama hauweka nafasi kati ya watu wawili au zaidi. Watu wa familia pekee ndio walikuwa wamekubaliwa na serikali. Watu hawakuwa wanapitisha watu ishirini na watano, nami nilimshukuru Mungu sana na kusema asante kwani sikupatwa na ugonjwa huo. Kulikuwa pia na maafisa wa serikali ili waweze kuzingatia usafi huko ili mtu asiweze kuitupa barakoa yake ovyo ovyo. Kama haukuwa umefikisha umri wa kumi na minane, haukuwa unaruhusiwa kwenye mazishi hiyo. Mimi ndimi nilikuwa rafiki yake wa kiti cha kwanza. Hivyo, niliruhusiwa kwenda kwenye mazishi hiyo kwa sababu tulikuwa tunapendano kama chanda na pete. Nami nilienda huko na kujichunga. Niliikuwa ninajitenga na watu. Msichana huyo alikuwa akipendwa na watu wengi kwa maana alikuwa mtiifu na alikuwa akipenda kusaidia watu sana. Yeye hakuwa na uadui na mtu yeyote. Alikuwa anapenda kusaidia wale wasiojiweza na wenzake shuleni pia alipenda kusikiliza shida zao na wakati mwingine kusaidia kuzitatua. Alikuwa anapenda kusoma vitabu vyake vyake. Kwangu mimi niliponea chupu chupu kupatwa na ugonjwa huo. Hiyo ndio siku ambayo watu walijua kuwa ugonjwa ule ulikuwa hauchagui kabila, urembo, urefu, ufupi, au kitu chochote kile.
Watu wangapi wanaruhusiwa katika mazishi?
{ "text": [ "25" ] }