Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
3841_swa | Papa Francis ateua Askofu Anyolo kumrithi Njue
Askofu Mkuu Philip Anyolo wa dayosisi ya Kisumu, ameteuliwa kusimamia dayosisi kuu ya Nairobi ya kanisa Katoliki na kumfanya mrithi wa Kadinali John Njue aliyestaafu mapema mwaka huu.
Uteuzi huo uliofanywa na kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis na kufichuliwa jijini Vatican, Roma Alhamisi, unamfanya Askofu Anyolo kuwa wa kiongozi wa kanisa hilo nchini Kenya.
Kulingana na Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini (KCCB), habari za uteuzi wa Askofu Anyolo aliyezaliwa Tongaren, Kaunti ya Bungoma, ziliwasilishwa na Mwakilishi wa Papa Francis nchini Askofu Mkuu Hubertus van Megen.
“Ni heshima na furaha yangu kukufahamisha kuwa Papa Francis amemteua Askofu Mkuu Philip Anyolo, ambaye kwa wakati huu anahudumu Kisumu kuwa Askofu mkuu wa Nairobi,” ilisema barua ya Van Megen kwa KCCB,
Askofu Anyolo amehudumu kama askofu kwa zaidi ya miaka 27 baada ya kutawazwa kasisi Oktoba 15, 1983. Alihudumu kama kasisi kwa miaka 12 hadi Desemba 6, 1995 alipotazwa kuwa askofu wa dayosisi ya Kericho. Mnamo Mei 23, 2003, alihamishiwa dayosisi ya Homa Bay alikohumu hadi alipoteuliwa Askofu Mkuu dayosisi ya Kisumu mnamo Novemba 15,2018.
Kufuatia uteuzi wake kusimamia dayosisi ya kuu ya Nairobi, Anyolo atakuwa watano kushikilia wadhifa huo. Watangulizi wake ni Maaskofu John Joseph McCarthy, Kadinali Otunga Ndingi Mwana Anzeki na John Njue. Tangu Papa Francis alipokubali kustaafu kwa Kadinali John Njue , dayosisi ya Nairobi imekuwa chini ya usimamizi wa Askofu msaidizi David Kamau.
| Anyolo atakuwa wa tano kusimamia nini | {
"text": [
"wadhifa huo"
]
} |
3841_swa | Papa Francis ateua Askofu Anyolo kumrithi Njue
Askofu Mkuu Philip Anyolo wa dayosisi ya Kisumu, ameteuliwa kusimamia dayosisi kuu ya Nairobi ya kanisa Katoliki na kumfanya mrithi wa Kadinali John Njue aliyestaafu mapema mwaka huu.
Uteuzi huo uliofanywa na kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis na kufichuliwa jijini Vatican, Roma Alhamisi, unamfanya Askofu Anyolo kuwa wa kiongozi wa kanisa hilo nchini Kenya.
Kulingana na Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini (KCCB), habari za uteuzi wa Askofu Anyolo aliyezaliwa Tongaren, Kaunti ya Bungoma, ziliwasilishwa na Mwakilishi wa Papa Francis nchini Askofu Mkuu Hubertus van Megen.
“Ni heshima na furaha yangu kukufahamisha kuwa Papa Francis amemteua Askofu Mkuu Philip Anyolo, ambaye kwa wakati huu anahudumu Kisumu kuwa Askofu mkuu wa Nairobi,” ilisema barua ya Van Megen kwa KCCB,
Askofu Anyolo amehudumu kama askofu kwa zaidi ya miaka 27 baada ya kutawazwa kasisi Oktoba 15, 1983. Alihudumu kama kasisi kwa miaka 12 hadi Desemba 6, 1995 alipotazwa kuwa askofu wa dayosisi ya Kericho. Mnamo Mei 23, 2003, alihamishiwa dayosisi ya Homa Bay alikohumu hadi alipoteuliwa Askofu Mkuu dayosisi ya Kisumu mnamo Novemba 15,2018.
Kufuatia uteuzi wake kusimamia dayosisi ya kuu ya Nairobi, Anyolo atakuwa watano kushikilia wadhifa huo. Watangulizi wake ni Maaskofu John Joseph McCarthy, Kadinali Otunga Ndingi Mwana Anzeki na John Njue. Tangu Papa Francis alipokubali kustaafu kwa Kadinali John Njue , dayosisi ya Nairobi imekuwa chini ya usimamizi wa Askofu msaidizi David Kamau.
| Nani Askofu msaidizi wa dayosisi ya Nairobi | {
"text": [
"David Kamau"
]
} |
3842_swa | Agizo watumishi wakumbatie mavazi ya Kiafrika
Wafanyakazi wote wa umma sasa wanahitajika kuvalia mavazi ya Kiafrika na yaliyoshonewa humu nchini kila Ijumaa kulingana na agizo lililotolewa na Rais Uhuru Kenyatta, miaka miwili iliyopita.
Kwenye agizo lake la Oktoba 17, 2019, Rais Kenyatta aliagiza wafanyakazi wote wa umma, wawe wakivalia mavazi nadhifu yanayoakisi Ukenya wakiwa kazini kila Ijumaa na sherehe za kitaifa.
Rais, alisema hatua hiyo itasaidia kufufua viwanda vya humu nchini. Kwenye agizo hilo kupitia Afisi ya Mwanasheria Mkuu, serikali iliagiza watumishi wa umma kuhakikisha mavazi ya Kiafrika wanayovalia yatakuwa yameshonwa vizuri kufaa mazingara ya kazi zao.
“Katika juhudi za kuafikia Ajenda Nne Kuu na hasa kupanua nguzo ya viwanda ya kutengeneza bidhaa bora na kubuni nafasi za ajira, ninaagiza kwamba wafanyakazi wote wa umma watakuwa kila Ijumaa wakivalia mavazi yaliyoshonewa Kenya," ilisema ilani iliyotiwa saini na Wakili Mkuu wa Serikali, Bw Ken Ogeto. Mnamo Jumatano, Wizara ya Utumishi wa Umma, iliagiza wakuu wa idara za wafanyakazi katika wizara na afisi zote za umma kuhakikisha agizo hilo lina
takelezwa kikamilifu.
Kwenye ilani, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Idara ya Serikali ya Utumishi wa Umma, Bi Margaret Wamoto, alisema kuvalia mavazi yaliyoshonewa Kenya kila Ijumaa kutakuwa sehemu ya mikataba ya utendakazi za watumishi wa umma.
"Kufuatia agizo la Rais kupitia ilani iliyosambazwa Oktoba 17 2019, watumishi wote wa umma, waliagizwa kuvaliwa mavazi ya Kikenya yaliyoshonewa nchini kila ijumaa. Hii imejumuishwa katika mikataba ya utendakazi kama mojawapo wa malengo ya mwaka wa kifedha wa 2020/2021," Bi Wamoto alisema kwenye ilani kwa wakuu wote wa idara za wizara.
"Ilani hii basi, inanuiwa kukuomba uwakumbushe wafanyakazi walio chini yako kutimiza lengo hili,” alisema. Agizo hilo linaonyesha kuwa serikali imebuni njia za kuwalazimisha watumishi wote wa umma kuiga Rais Kenyatta, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga ambao siku za hivi majuzi wamekuwa wakivalia mavazi ya kiafrika.
Hata hivyo, ikizingatiwa kwamba kila mtu ana haki ya kuvalia aina ya mavazi anayotaka, huenda agizo hilo likapata pingamizi kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu.
Lengo la serikali ni kuinua sekta ya viwanda vya nguo nchini. Mnamo 2019, alipokuwa akifungua kiwanda cha nguo cha Rivatex mjini Eldoret, Rais Kenyatta alihimiza Wakenya kujivunia kuvalia mavazi yanayoshonewa humu nchini.
"Ili serikali kuwa mfano, ninahimiza watumishi wote wa umma kuvalia angalau nguo moja iliyo shonewa Kenya kila Ijumaa,” alisema Rais Kenyatta wakati huo. Mnamo Machi 2015, Wizara ya Mashauri ya Nchi za Kigeni, ilitangaza Ijumaa kuwa siku ya kuvalia mavazi ya Kikenya. Wizara hiyo ilisema kwamba Uafrika unapaswa kutumiwa kama chombo cha kidiplomasia.
Bi Wamoto alituma nakala ya ilani yake kwa wakuu wa idara zote za umma kuitekeleza kikamilifu ku maanisha kuwa watumishi watakaokosa kuvalia mavazi ya kiafrika kila Ijumaa huenda wakaadhibiwa wa kukosa kutimiza malengo ya kandarasi za utendakazi.
| Wafanyakazi wanahitajika kuvaa mavazi ya Kiafrika lini | {
"text": [
"kila Ijumaa"
]
} |
3842_swa | Agizo watumishi wakumbatie mavazi ya Kiafrika
Wafanyakazi wote wa umma sasa wanahitajika kuvalia mavazi ya Kiafrika na yaliyoshonewa humu nchini kila Ijumaa kulingana na agizo lililotolewa na Rais Uhuru Kenyatta, miaka miwili iliyopita.
Kwenye agizo lake la Oktoba 17, 2019, Rais Kenyatta aliagiza wafanyakazi wote wa umma, wawe wakivalia mavazi nadhifu yanayoakisi Ukenya wakiwa kazini kila Ijumaa na sherehe za kitaifa.
Rais, alisema hatua hiyo itasaidia kufufua viwanda vya humu nchini. Kwenye agizo hilo kupitia Afisi ya Mwanasheria Mkuu, serikali iliagiza watumishi wa umma kuhakikisha mavazi ya Kiafrika wanayovalia yatakuwa yameshonwa vizuri kufaa mazingara ya kazi zao.
“Katika juhudi za kuafikia Ajenda Nne Kuu na hasa kupanua nguzo ya viwanda ya kutengeneza bidhaa bora na kubuni nafasi za ajira, ninaagiza kwamba wafanyakazi wote wa umma watakuwa kila Ijumaa wakivalia mavazi yaliyoshonewa Kenya," ilisema ilani iliyotiwa saini na Wakili Mkuu wa Serikali, Bw Ken Ogeto. Mnamo Jumatano, Wizara ya Utumishi wa Umma, iliagiza wakuu wa idara za wafanyakazi katika wizara na afisi zote za umma kuhakikisha agizo hilo lina
takelezwa kikamilifu.
Kwenye ilani, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Idara ya Serikali ya Utumishi wa Umma, Bi Margaret Wamoto, alisema kuvalia mavazi yaliyoshonewa Kenya kila Ijumaa kutakuwa sehemu ya mikataba ya utendakazi za watumishi wa umma.
"Kufuatia agizo la Rais kupitia ilani iliyosambazwa Oktoba 17 2019, watumishi wote wa umma, waliagizwa kuvaliwa mavazi ya Kikenya yaliyoshonewa nchini kila ijumaa. Hii imejumuishwa katika mikataba ya utendakazi kama mojawapo wa malengo ya mwaka wa kifedha wa 2020/2021," Bi Wamoto alisema kwenye ilani kwa wakuu wote wa idara za wizara.
"Ilani hii basi, inanuiwa kukuomba uwakumbushe wafanyakazi walio chini yako kutimiza lengo hili,” alisema. Agizo hilo linaonyesha kuwa serikali imebuni njia za kuwalazimisha watumishi wote wa umma kuiga Rais Kenyatta, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga ambao siku za hivi majuzi wamekuwa wakivalia mavazi ya kiafrika.
Hata hivyo, ikizingatiwa kwamba kila mtu ana haki ya kuvalia aina ya mavazi anayotaka, huenda agizo hilo likapata pingamizi kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu.
Lengo la serikali ni kuinua sekta ya viwanda vya nguo nchini. Mnamo 2019, alipokuwa akifungua kiwanda cha nguo cha Rivatex mjini Eldoret, Rais Kenyatta alihimiza Wakenya kujivunia kuvalia mavazi yanayoshonewa humu nchini.
"Ili serikali kuwa mfano, ninahimiza watumishi wote wa umma kuvalia angalau nguo moja iliyo shonewa Kenya kila Ijumaa,” alisema Rais Kenyatta wakati huo. Mnamo Machi 2015, Wizara ya Mashauri ya Nchi za Kigeni, ilitangaza Ijumaa kuwa siku ya kuvalia mavazi ya Kikenya. Wizara hiyo ilisema kwamba Uafrika unapaswa kutumiwa kama chombo cha kidiplomasia.
Bi Wamoto alituma nakala ya ilani yake kwa wakuu wa idara zote za umma kuitekeleza kikamilifu ku maanisha kuwa watumishi watakaokosa kuvalia mavazi ya kiafrika kila Ijumaa huenda wakaadhibiwa wa kukosa kutimiza malengo ya kandarasi za utendakazi.
| Nani aliagiza wafanyakazi wavae mavazi nadhifu | {
"text": [
"Rais Kenyatta"
]
} |
3842_swa | Agizo watumishi wakumbatie mavazi ya Kiafrika
Wafanyakazi wote wa umma sasa wanahitajika kuvalia mavazi ya Kiafrika na yaliyoshonewa humu nchini kila Ijumaa kulingana na agizo lililotolewa na Rais Uhuru Kenyatta, miaka miwili iliyopita.
Kwenye agizo lake la Oktoba 17, 2019, Rais Kenyatta aliagiza wafanyakazi wote wa umma, wawe wakivalia mavazi nadhifu yanayoakisi Ukenya wakiwa kazini kila Ijumaa na sherehe za kitaifa.
Rais, alisema hatua hiyo itasaidia kufufua viwanda vya humu nchini. Kwenye agizo hilo kupitia Afisi ya Mwanasheria Mkuu, serikali iliagiza watumishi wa umma kuhakikisha mavazi ya Kiafrika wanayovalia yatakuwa yameshonwa vizuri kufaa mazingara ya kazi zao.
“Katika juhudi za kuafikia Ajenda Nne Kuu na hasa kupanua nguzo ya viwanda ya kutengeneza bidhaa bora na kubuni nafasi za ajira, ninaagiza kwamba wafanyakazi wote wa umma watakuwa kila Ijumaa wakivalia mavazi yaliyoshonewa Kenya," ilisema ilani iliyotiwa saini na Wakili Mkuu wa Serikali, Bw Ken Ogeto. Mnamo Jumatano, Wizara ya Utumishi wa Umma, iliagiza wakuu wa idara za wafanyakazi katika wizara na afisi zote za umma kuhakikisha agizo hilo lina
takelezwa kikamilifu.
Kwenye ilani, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Idara ya Serikali ya Utumishi wa Umma, Bi Margaret Wamoto, alisema kuvalia mavazi yaliyoshonewa Kenya kila Ijumaa kutakuwa sehemu ya mikataba ya utendakazi za watumishi wa umma.
"Kufuatia agizo la Rais kupitia ilani iliyosambazwa Oktoba 17 2019, watumishi wote wa umma, waliagizwa kuvaliwa mavazi ya Kikenya yaliyoshonewa nchini kila ijumaa. Hii imejumuishwa katika mikataba ya utendakazi kama mojawapo wa malengo ya mwaka wa kifedha wa 2020/2021," Bi Wamoto alisema kwenye ilani kwa wakuu wote wa idara za wizara.
"Ilani hii basi, inanuiwa kukuomba uwakumbushe wafanyakazi walio chini yako kutimiza lengo hili,” alisema. Agizo hilo linaonyesha kuwa serikali imebuni njia za kuwalazimisha watumishi wote wa umma kuiga Rais Kenyatta, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga ambao siku za hivi majuzi wamekuwa wakivalia mavazi ya kiafrika.
Hata hivyo, ikizingatiwa kwamba kila mtu ana haki ya kuvalia aina ya mavazi anayotaka, huenda agizo hilo likapata pingamizi kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu.
Lengo la serikali ni kuinua sekta ya viwanda vya nguo nchini. Mnamo 2019, alipokuwa akifungua kiwanda cha nguo cha Rivatex mjini Eldoret, Rais Kenyatta alihimiza Wakenya kujivunia kuvalia mavazi yanayoshonewa humu nchini.
"Ili serikali kuwa mfano, ninahimiza watumishi wote wa umma kuvalia angalau nguo moja iliyo shonewa Kenya kila Ijumaa,” alisema Rais Kenyatta wakati huo. Mnamo Machi 2015, Wizara ya Mashauri ya Nchi za Kigeni, ilitangaza Ijumaa kuwa siku ya kuvalia mavazi ya Kikenya. Wizara hiyo ilisema kwamba Uafrika unapaswa kutumiwa kama chombo cha kidiplomasia.
Bi Wamoto alituma nakala ya ilani yake kwa wakuu wa idara zote za umma kuitekeleza kikamilifu ku maanisha kuwa watumishi watakaokosa kuvalia mavazi ya kiafrika kila Ijumaa huenda wakaadhibiwa wa kukosa kutimiza malengo ya kandarasi za utendakazi.
| Hatua hio itasaidia kufufua nini | {
"text": [
"viwanda"
]
} |
3842_swa | Agizo watumishi wakumbatie mavazi ya Kiafrika
Wafanyakazi wote wa umma sasa wanahitajika kuvalia mavazi ya Kiafrika na yaliyoshonewa humu nchini kila Ijumaa kulingana na agizo lililotolewa na Rais Uhuru Kenyatta, miaka miwili iliyopita.
Kwenye agizo lake la Oktoba 17, 2019, Rais Kenyatta aliagiza wafanyakazi wote wa umma, wawe wakivalia mavazi nadhifu yanayoakisi Ukenya wakiwa kazini kila Ijumaa na sherehe za kitaifa.
Rais, alisema hatua hiyo itasaidia kufufua viwanda vya humu nchini. Kwenye agizo hilo kupitia Afisi ya Mwanasheria Mkuu, serikali iliagiza watumishi wa umma kuhakikisha mavazi ya Kiafrika wanayovalia yatakuwa yameshonwa vizuri kufaa mazingara ya kazi zao.
“Katika juhudi za kuafikia Ajenda Nne Kuu na hasa kupanua nguzo ya viwanda ya kutengeneza bidhaa bora na kubuni nafasi za ajira, ninaagiza kwamba wafanyakazi wote wa umma watakuwa kila Ijumaa wakivalia mavazi yaliyoshonewa Kenya," ilisema ilani iliyotiwa saini na Wakili Mkuu wa Serikali, Bw Ken Ogeto. Mnamo Jumatano, Wizara ya Utumishi wa Umma, iliagiza wakuu wa idara za wafanyakazi katika wizara na afisi zote za umma kuhakikisha agizo hilo lina
takelezwa kikamilifu.
Kwenye ilani, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Idara ya Serikali ya Utumishi wa Umma, Bi Margaret Wamoto, alisema kuvalia mavazi yaliyoshonewa Kenya kila Ijumaa kutakuwa sehemu ya mikataba ya utendakazi za watumishi wa umma.
"Kufuatia agizo la Rais kupitia ilani iliyosambazwa Oktoba 17 2019, watumishi wote wa umma, waliagizwa kuvaliwa mavazi ya Kikenya yaliyoshonewa nchini kila ijumaa. Hii imejumuishwa katika mikataba ya utendakazi kama mojawapo wa malengo ya mwaka wa kifedha wa 2020/2021," Bi Wamoto alisema kwenye ilani kwa wakuu wote wa idara za wizara.
"Ilani hii basi, inanuiwa kukuomba uwakumbushe wafanyakazi walio chini yako kutimiza lengo hili,” alisema. Agizo hilo linaonyesha kuwa serikali imebuni njia za kuwalazimisha watumishi wote wa umma kuiga Rais Kenyatta, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga ambao siku za hivi majuzi wamekuwa wakivalia mavazi ya kiafrika.
Hata hivyo, ikizingatiwa kwamba kila mtu ana haki ya kuvalia aina ya mavazi anayotaka, huenda agizo hilo likapata pingamizi kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu.
Lengo la serikali ni kuinua sekta ya viwanda vya nguo nchini. Mnamo 2019, alipokuwa akifungua kiwanda cha nguo cha Rivatex mjini Eldoret, Rais Kenyatta alihimiza Wakenya kujivunia kuvalia mavazi yanayoshonewa humu nchini.
"Ili serikali kuwa mfano, ninahimiza watumishi wote wa umma kuvalia angalau nguo moja iliyo shonewa Kenya kila Ijumaa,” alisema Rais Kenyatta wakati huo. Mnamo Machi 2015, Wizara ya Mashauri ya Nchi za Kigeni, ilitangaza Ijumaa kuwa siku ya kuvalia mavazi ya Kikenya. Wizara hiyo ilisema kwamba Uafrika unapaswa kutumiwa kama chombo cha kidiplomasia.
Bi Wamoto alituma nakala ya ilani yake kwa wakuu wa idara zote za umma kuitekeleza kikamilifu ku maanisha kuwa watumishi watakaokosa kuvalia mavazi ya kiafrika kila Ijumaa huenda wakaadhibiwa wa kukosa kutimiza malengo ya kandarasi za utendakazi.
| Wizara ya Utumishi wa umma iliagiza nini litekelezwe kikamilifu | {
"text": [
" agizo"
]
} |
3842_swa | Agizo watumishi wakumbatie mavazi ya Kiafrika
Wafanyakazi wote wa umma sasa wanahitajika kuvalia mavazi ya Kiafrika na yaliyoshonewa humu nchini kila Ijumaa kulingana na agizo lililotolewa na Rais Uhuru Kenyatta, miaka miwili iliyopita.
Kwenye agizo lake la Oktoba 17, 2019, Rais Kenyatta aliagiza wafanyakazi wote wa umma, wawe wakivalia mavazi nadhifu yanayoakisi Ukenya wakiwa kazini kila Ijumaa na sherehe za kitaifa.
Rais, alisema hatua hiyo itasaidia kufufua viwanda vya humu nchini. Kwenye agizo hilo kupitia Afisi ya Mwanasheria Mkuu, serikali iliagiza watumishi wa umma kuhakikisha mavazi ya Kiafrika wanayovalia yatakuwa yameshonwa vizuri kufaa mazingara ya kazi zao.
“Katika juhudi za kuafikia Ajenda Nne Kuu na hasa kupanua nguzo ya viwanda ya kutengeneza bidhaa bora na kubuni nafasi za ajira, ninaagiza kwamba wafanyakazi wote wa umma watakuwa kila Ijumaa wakivalia mavazi yaliyoshonewa Kenya," ilisema ilani iliyotiwa saini na Wakili Mkuu wa Serikali, Bw Ken Ogeto. Mnamo Jumatano, Wizara ya Utumishi wa Umma, iliagiza wakuu wa idara za wafanyakazi katika wizara na afisi zote za umma kuhakikisha agizo hilo lina
takelezwa kikamilifu.
Kwenye ilani, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Idara ya Serikali ya Utumishi wa Umma, Bi Margaret Wamoto, alisema kuvalia mavazi yaliyoshonewa Kenya kila Ijumaa kutakuwa sehemu ya mikataba ya utendakazi za watumishi wa umma.
"Kufuatia agizo la Rais kupitia ilani iliyosambazwa Oktoba 17 2019, watumishi wote wa umma, waliagizwa kuvaliwa mavazi ya Kikenya yaliyoshonewa nchini kila ijumaa. Hii imejumuishwa katika mikataba ya utendakazi kama mojawapo wa malengo ya mwaka wa kifedha wa 2020/2021," Bi Wamoto alisema kwenye ilani kwa wakuu wote wa idara za wizara.
"Ilani hii basi, inanuiwa kukuomba uwakumbushe wafanyakazi walio chini yako kutimiza lengo hili,” alisema. Agizo hilo linaonyesha kuwa serikali imebuni njia za kuwalazimisha watumishi wote wa umma kuiga Rais Kenyatta, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga ambao siku za hivi majuzi wamekuwa wakivalia mavazi ya kiafrika.
Hata hivyo, ikizingatiwa kwamba kila mtu ana haki ya kuvalia aina ya mavazi anayotaka, huenda agizo hilo likapata pingamizi kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu.
Lengo la serikali ni kuinua sekta ya viwanda vya nguo nchini. Mnamo 2019, alipokuwa akifungua kiwanda cha nguo cha Rivatex mjini Eldoret, Rais Kenyatta alihimiza Wakenya kujivunia kuvalia mavazi yanayoshonewa humu nchini.
"Ili serikali kuwa mfano, ninahimiza watumishi wote wa umma kuvalia angalau nguo moja iliyo shonewa Kenya kila Ijumaa,” alisema Rais Kenyatta wakati huo. Mnamo Machi 2015, Wizara ya Mashauri ya Nchi za Kigeni, ilitangaza Ijumaa kuwa siku ya kuvalia mavazi ya Kikenya. Wizara hiyo ilisema kwamba Uafrika unapaswa kutumiwa kama chombo cha kidiplomasia.
Bi Wamoto alituma nakala ya ilani yake kwa wakuu wa idara zote za umma kuitekeleza kikamilifu ku maanisha kuwa watumishi watakaokosa kuvalia mavazi ya kiafrika kila Ijumaa huenda wakaadhibiwa wa kukosa kutimiza malengo ya kandarasi za utendakazi.
| Nani waliagizwa kuvalia mavazi ya Kikenya | {
"text": [
"watumishi wa umma"
]
} |
3843_swa |
Makueni yapinga agizo Taveta itoze kodi Mtitoni
Serikali ya Kaunti ya Makueni, imepinga agizo la mahakama ambalo liliipa Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta mamlaka ya kutoza kodi za biashara mjini Mtito Andei.
Kaunti ya Makueni imedai kuwa, mahakama ilipewa habari za kupotosha ndipo ikashawishika kutoa agizo hilo. Agizo hilo lilitolewa kufuatia ombi la mwanaharakati Okiya Omtatah ambaye anataka mahakama iagize Bunge la Taifa na Seneti kuteua tume huru ya kutatua mzozo wa mipaka kati ya Kaunti za Taita Taveta, Kwale na Makueni.
Mawakili wa Makueni wameambia mahakama kuwa, Bw Omtatah alipotosha mahakama kuhusu hali ilivyo. "Mlalamishi alipotosha mahakama hii kuamini kuwa baraza la mji wa Taita Taveta lililokuwepo kabla serikali ya kaunti, lilikuwa na mamlaka ya kutoza kodi na kupeana leseni za kibiashara mjini Mtito Andei," wakasema mawakili hao.
Kulingana na Kaunti ya Makueni, baraza la mji wa Mtito Andei ndilo lililokuwa na mamlaka ya kupeana leseni za biashara na kutoza kodi katika mji huo kabla serikali za kaunti kubuniwa.
Katika hati yake ya kiapo, Msimamizi wa Kaunti Ndogo ya Kibwezi Mashariki, Bw Thomas Tuta, alisema wakazi wa Mtito Andei huwa hawatozwi kodi mara mbili jinsi ilivyodaiwa na mlalamishi.
"Mlalamishi hajawasilisha ushahidi wowote wa kuthibitisha huduma zozote ambazo Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta hutolea wakazi wa mji wa Mtito Andei hadi kaunti hiyo iwe na mamlaka ya kukusanya kodi na mapato," akasema Bw Tuta.
Kulingana naye, agizo kuwa Taia Taveta ikusanye kodi na kupeana leseni za kibiashara si haki ikiwa haitoi huduma zozote kwa wakazi wa mji huo.
Serikali ya Kaunti ya Makueni imeomba mahakama iondoe agizo lililoipa Kaunti ya Taita Taveta mamlaka hayo, hadi wakati malalamishi haya mapya yatakaposikilizwa na kuamuliwa.
Wiki chache zilizopita, Jaji Lucas Naikuni aliagiza Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta pekee ndiyo iwe ikitoa leseni za kibiashara na kutoza kodi katika miji ya Mackinon na Mtito Andei, na akaongeza muda wa kutekelezwa kwa agizo hilo Jumatano.
Aliambia kaunti hiyo kuwa pesa zote zitakazokusanywa ziwekwe katika akaunti ya benki itakayofunguliwa kwa pamoja na Serikali ya Kaunti ya Kwale na Makueni, ambazo zinazozania usimamizi wa miji hiyo.
Mwanasheria Mkuu, Seneti na Serikali ya kaunti zimewasilisha ilani za kutaka kupinga mamlaka ya mahakama kusikiliza aina hiyo ya kesi.
Kulingana na stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani, mizozo hiyo imesababisha wafanyabiashara kulazimishwa kulipa kodi mara mbili kwa kaunti tofauti kwa vile hawajui kaunti gani inastahili kusimamia miji hiyo.
Bw Omtatah anataka mahakama iagize Bunge la Kitaifa na Seneti kuunda tume huru ya kutatua mizozo hhiyo kabla ya miezi mitatu ipite baada ya agizo hilo kutolewa. Kesi itatajwa Desemba 1. | Kaunti gani ilipinga agizo la mahakama kaunti ya Taita Taveta kutoza kodi mjini Mtito Andei | {
"text": [
"Kaunti ya Makueni"
]
} |
3843_swa |
Makueni yapinga agizo Taveta itoze kodi Mtitoni
Serikali ya Kaunti ya Makueni, imepinga agizo la mahakama ambalo liliipa Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta mamlaka ya kutoza kodi za biashara mjini Mtito Andei.
Kaunti ya Makueni imedai kuwa, mahakama ilipewa habari za kupotosha ndipo ikashawishika kutoa agizo hilo. Agizo hilo lilitolewa kufuatia ombi la mwanaharakati Okiya Omtatah ambaye anataka mahakama iagize Bunge la Taifa na Seneti kuteua tume huru ya kutatua mzozo wa mipaka kati ya Kaunti za Taita Taveta, Kwale na Makueni.
Mawakili wa Makueni wameambia mahakama kuwa, Bw Omtatah alipotosha mahakama kuhusu hali ilivyo. "Mlalamishi alipotosha mahakama hii kuamini kuwa baraza la mji wa Taita Taveta lililokuwepo kabla serikali ya kaunti, lilikuwa na mamlaka ya kutoza kodi na kupeana leseni za kibiashara mjini Mtito Andei," wakasema mawakili hao.
Kulingana na Kaunti ya Makueni, baraza la mji wa Mtito Andei ndilo lililokuwa na mamlaka ya kupeana leseni za biashara na kutoza kodi katika mji huo kabla serikali za kaunti kubuniwa.
Katika hati yake ya kiapo, Msimamizi wa Kaunti Ndogo ya Kibwezi Mashariki, Bw Thomas Tuta, alisema wakazi wa Mtito Andei huwa hawatozwi kodi mara mbili jinsi ilivyodaiwa na mlalamishi.
"Mlalamishi hajawasilisha ushahidi wowote wa kuthibitisha huduma zozote ambazo Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta hutolea wakazi wa mji wa Mtito Andei hadi kaunti hiyo iwe na mamlaka ya kukusanya kodi na mapato," akasema Bw Tuta.
Kulingana naye, agizo kuwa Taia Taveta ikusanye kodi na kupeana leseni za kibiashara si haki ikiwa haitoi huduma zozote kwa wakazi wa mji huo.
Serikali ya Kaunti ya Makueni imeomba mahakama iondoe agizo lililoipa Kaunti ya Taita Taveta mamlaka hayo, hadi wakati malalamishi haya mapya yatakaposikilizwa na kuamuliwa.
Wiki chache zilizopita, Jaji Lucas Naikuni aliagiza Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta pekee ndiyo iwe ikitoa leseni za kibiashara na kutoza kodi katika miji ya Mackinon na Mtito Andei, na akaongeza muda wa kutekelezwa kwa agizo hilo Jumatano.
Aliambia kaunti hiyo kuwa pesa zote zitakazokusanywa ziwekwe katika akaunti ya benki itakayofunguliwa kwa pamoja na Serikali ya Kaunti ya Kwale na Makueni, ambazo zinazozania usimamizi wa miji hiyo.
Mwanasheria Mkuu, Seneti na Serikali ya kaunti zimewasilisha ilani za kutaka kupinga mamlaka ya mahakama kusikiliza aina hiyo ya kesi.
Kulingana na stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani, mizozo hiyo imesababisha wafanyabiashara kulazimishwa kulipa kodi mara mbili kwa kaunti tofauti kwa vile hawajui kaunti gani inastahili kusimamia miji hiyo.
Bw Omtatah anataka mahakama iagize Bunge la Kitaifa na Seneti kuunda tume huru ya kutatua mizozo hhiyo kabla ya miezi mitatu ipite baada ya agizo hilo kutolewa. Kesi itatajwa Desemba 1. | Mwanaharakati yupi anatuhumiwa kupotosha mahakama kuhusu mzozo wa mipaka kati ya za Taita Taveta na Makueni | {
"text": [
"Bw Omtatah"
]
} |
3843_swa |
Makueni yapinga agizo Taveta itoze kodi Mtitoni
Serikali ya Kaunti ya Makueni, imepinga agizo la mahakama ambalo liliipa Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta mamlaka ya kutoza kodi za biashara mjini Mtito Andei.
Kaunti ya Makueni imedai kuwa, mahakama ilipewa habari za kupotosha ndipo ikashawishika kutoa agizo hilo. Agizo hilo lilitolewa kufuatia ombi la mwanaharakati Okiya Omtatah ambaye anataka mahakama iagize Bunge la Taifa na Seneti kuteua tume huru ya kutatua mzozo wa mipaka kati ya Kaunti za Taita Taveta, Kwale na Makueni.
Mawakili wa Makueni wameambia mahakama kuwa, Bw Omtatah alipotosha mahakama kuhusu hali ilivyo. "Mlalamishi alipotosha mahakama hii kuamini kuwa baraza la mji wa Taita Taveta lililokuwepo kabla serikali ya kaunti, lilikuwa na mamlaka ya kutoza kodi na kupeana leseni za kibiashara mjini Mtito Andei," wakasema mawakili hao.
Kulingana na Kaunti ya Makueni, baraza la mji wa Mtito Andei ndilo lililokuwa na mamlaka ya kupeana leseni za biashara na kutoza kodi katika mji huo kabla serikali za kaunti kubuniwa.
Katika hati yake ya kiapo, Msimamizi wa Kaunti Ndogo ya Kibwezi Mashariki, Bw Thomas Tuta, alisema wakazi wa Mtito Andei huwa hawatozwi kodi mara mbili jinsi ilivyodaiwa na mlalamishi.
"Mlalamishi hajawasilisha ushahidi wowote wa kuthibitisha huduma zozote ambazo Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta hutolea wakazi wa mji wa Mtito Andei hadi kaunti hiyo iwe na mamlaka ya kukusanya kodi na mapato," akasema Bw Tuta.
Kulingana naye, agizo kuwa Taia Taveta ikusanye kodi na kupeana leseni za kibiashara si haki ikiwa haitoi huduma zozote kwa wakazi wa mji huo.
Serikali ya Kaunti ya Makueni imeomba mahakama iondoe agizo lililoipa Kaunti ya Taita Taveta mamlaka hayo, hadi wakati malalamishi haya mapya yatakaposikilizwa na kuamuliwa.
Wiki chache zilizopita, Jaji Lucas Naikuni aliagiza Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta pekee ndiyo iwe ikitoa leseni za kibiashara na kutoza kodi katika miji ya Mackinon na Mtito Andei, na akaongeza muda wa kutekelezwa kwa agizo hilo Jumatano.
Aliambia kaunti hiyo kuwa pesa zote zitakazokusanywa ziwekwe katika akaunti ya benki itakayofunguliwa kwa pamoja na Serikali ya Kaunti ya Kwale na Makueni, ambazo zinazozania usimamizi wa miji hiyo.
Mwanasheria Mkuu, Seneti na Serikali ya kaunti zimewasilisha ilani za kutaka kupinga mamlaka ya mahakama kusikiliza aina hiyo ya kesi.
Kulingana na stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani, mizozo hiyo imesababisha wafanyabiashara kulazimishwa kulipa kodi mara mbili kwa kaunti tofauti kwa vile hawajui kaunti gani inastahili kusimamia miji hiyo.
Bw Omtatah anataka mahakama iagize Bunge la Kitaifa na Seneti kuunda tume huru ya kutatua mizozo hhiyo kabla ya miezi mitatu ipite baada ya agizo hilo kutolewa. Kesi itatajwa Desemba 1. | Jaji Lucas Naikuni aliagiza kaunti ya Taita Taveta itoe leseni na kutoza kodi katika miji ipi | {
"text": [
"Mackinon na Mtito Andei"
]
} |
3843_swa |
Makueni yapinga agizo Taveta itoze kodi Mtitoni
Serikali ya Kaunti ya Makueni, imepinga agizo la mahakama ambalo liliipa Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta mamlaka ya kutoza kodi za biashara mjini Mtito Andei.
Kaunti ya Makueni imedai kuwa, mahakama ilipewa habari za kupotosha ndipo ikashawishika kutoa agizo hilo. Agizo hilo lilitolewa kufuatia ombi la mwanaharakati Okiya Omtatah ambaye anataka mahakama iagize Bunge la Taifa na Seneti kuteua tume huru ya kutatua mzozo wa mipaka kati ya Kaunti za Taita Taveta, Kwale na Makueni.
Mawakili wa Makueni wameambia mahakama kuwa, Bw Omtatah alipotosha mahakama kuhusu hali ilivyo. "Mlalamishi alipotosha mahakama hii kuamini kuwa baraza la mji wa Taita Taveta lililokuwepo kabla serikali ya kaunti, lilikuwa na mamlaka ya kutoza kodi na kupeana leseni za kibiashara mjini Mtito Andei," wakasema mawakili hao.
Kulingana na Kaunti ya Makueni, baraza la mji wa Mtito Andei ndilo lililokuwa na mamlaka ya kupeana leseni za biashara na kutoza kodi katika mji huo kabla serikali za kaunti kubuniwa.
Katika hati yake ya kiapo, Msimamizi wa Kaunti Ndogo ya Kibwezi Mashariki, Bw Thomas Tuta, alisema wakazi wa Mtito Andei huwa hawatozwi kodi mara mbili jinsi ilivyodaiwa na mlalamishi.
"Mlalamishi hajawasilisha ushahidi wowote wa kuthibitisha huduma zozote ambazo Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta hutolea wakazi wa mji wa Mtito Andei hadi kaunti hiyo iwe na mamlaka ya kukusanya kodi na mapato," akasema Bw Tuta.
Kulingana naye, agizo kuwa Taia Taveta ikusanye kodi na kupeana leseni za kibiashara si haki ikiwa haitoi huduma zozote kwa wakazi wa mji huo.
Serikali ya Kaunti ya Makueni imeomba mahakama iondoe agizo lililoipa Kaunti ya Taita Taveta mamlaka hayo, hadi wakati malalamishi haya mapya yatakaposikilizwa na kuamuliwa.
Wiki chache zilizopita, Jaji Lucas Naikuni aliagiza Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta pekee ndiyo iwe ikitoa leseni za kibiashara na kutoza kodi katika miji ya Mackinon na Mtito Andei, na akaongeza muda wa kutekelezwa kwa agizo hilo Jumatano.
Aliambia kaunti hiyo kuwa pesa zote zitakazokusanywa ziwekwe katika akaunti ya benki itakayofunguliwa kwa pamoja na Serikali ya Kaunti ya Kwale na Makueni, ambazo zinazozania usimamizi wa miji hiyo.
Mwanasheria Mkuu, Seneti na Serikali ya kaunti zimewasilisha ilani za kutaka kupinga mamlaka ya mahakama kusikiliza aina hiyo ya kesi.
Kulingana na stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani, mizozo hiyo imesababisha wafanyabiashara kulazimishwa kulipa kodi mara mbili kwa kaunti tofauti kwa vile hawajui kaunti gani inastahili kusimamia miji hiyo.
Bw Omtatah anataka mahakama iagize Bunge la Kitaifa na Seneti kuunda tume huru ya kutatua mizozo hhiyo kabla ya miezi mitatu ipite baada ya agizo hilo kutolewa. Kesi itatajwa Desemba 1. | Nani msimamizi wa kaunti ndogo ya Kibwezi Mashariki | {
"text": [
"Bw Thomas Tuta"
]
} |
3843_swa |
Makueni yapinga agizo Taveta itoze kodi Mtitoni
Serikali ya Kaunti ya Makueni, imepinga agizo la mahakama ambalo liliipa Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta mamlaka ya kutoza kodi za biashara mjini Mtito Andei.
Kaunti ya Makueni imedai kuwa, mahakama ilipewa habari za kupotosha ndipo ikashawishika kutoa agizo hilo. Agizo hilo lilitolewa kufuatia ombi la mwanaharakati Okiya Omtatah ambaye anataka mahakama iagize Bunge la Taifa na Seneti kuteua tume huru ya kutatua mzozo wa mipaka kati ya Kaunti za Taita Taveta, Kwale na Makueni.
Mawakili wa Makueni wameambia mahakama kuwa, Bw Omtatah alipotosha mahakama kuhusu hali ilivyo. "Mlalamishi alipotosha mahakama hii kuamini kuwa baraza la mji wa Taita Taveta lililokuwepo kabla serikali ya kaunti, lilikuwa na mamlaka ya kutoza kodi na kupeana leseni za kibiashara mjini Mtito Andei," wakasema mawakili hao.
Kulingana na Kaunti ya Makueni, baraza la mji wa Mtito Andei ndilo lililokuwa na mamlaka ya kupeana leseni za biashara na kutoza kodi katika mji huo kabla serikali za kaunti kubuniwa.
Katika hati yake ya kiapo, Msimamizi wa Kaunti Ndogo ya Kibwezi Mashariki, Bw Thomas Tuta, alisema wakazi wa Mtito Andei huwa hawatozwi kodi mara mbili jinsi ilivyodaiwa na mlalamishi.
"Mlalamishi hajawasilisha ushahidi wowote wa kuthibitisha huduma zozote ambazo Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta hutolea wakazi wa mji wa Mtito Andei hadi kaunti hiyo iwe na mamlaka ya kukusanya kodi na mapato," akasema Bw Tuta.
Kulingana naye, agizo kuwa Taia Taveta ikusanye kodi na kupeana leseni za kibiashara si haki ikiwa haitoi huduma zozote kwa wakazi wa mji huo.
Serikali ya Kaunti ya Makueni imeomba mahakama iondoe agizo lililoipa Kaunti ya Taita Taveta mamlaka hayo, hadi wakati malalamishi haya mapya yatakaposikilizwa na kuamuliwa.
Wiki chache zilizopita, Jaji Lucas Naikuni aliagiza Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta pekee ndiyo iwe ikitoa leseni za kibiashara na kutoza kodi katika miji ya Mackinon na Mtito Andei, na akaongeza muda wa kutekelezwa kwa agizo hilo Jumatano.
Aliambia kaunti hiyo kuwa pesa zote zitakazokusanywa ziwekwe katika akaunti ya benki itakayofunguliwa kwa pamoja na Serikali ya Kaunti ya Kwale na Makueni, ambazo zinazozania usimamizi wa miji hiyo.
Mwanasheria Mkuu, Seneti na Serikali ya kaunti zimewasilisha ilani za kutaka kupinga mamlaka ya mahakama kusikiliza aina hiyo ya kesi.
Kulingana na stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani, mizozo hiyo imesababisha wafanyabiashara kulazimishwa kulipa kodi mara mbili kwa kaunti tofauti kwa vile hawajui kaunti gani inastahili kusimamia miji hiyo.
Bw Omtatah anataka mahakama iagize Bunge la Kitaifa na Seneti kuunda tume huru ya kutatua mizozo hhiyo kabla ya miezi mitatu ipite baada ya agizo hilo kutolewa. Kesi itatajwa Desemba 1. | Omtatah anaitaka mahakama kuagiza bunge la kitaifa na seneti kuunda nini kutatua mizozo ya mipaka | {
"text": [
"Tume huru"
]
} |
3844_swa | Shahidi wa kesi dhidi ya Gicheru ICC ‘atoweka’
MMOJA wa mashahidi aliyetarajiwa kutoa ushahidi dhidi ya wakili Paul Gicheru katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ametoweka, kulingana na upande wa mashtaka.
Hayo yalifichuka wakati Naibu Kiongozi wa Mashtaka, Bw James Stewart, alipowasilisha ombi kutaka mahakama imruhusu kutumia taarifa za mashahidi 13 zilizokusanywa awali.
Taarifa hizo zilikuwa zimekusanywa wakati wa kesi ya ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007 iliyomkabili Naibu Rais William Ruto.
Baadhi ya taarifa hizo ni za mashahidi waliojiondoa katika kesi ya Dkt Ruto na mwanahabari Joshua Sang, huku nyingine zikiwa za wapelelezi ambao walikhusika katika uchunguzi wa ghasia zilizotokea.
Imebainika kuwa, mmoja wa mashahidi aliyebandikwa jina P-0397 kwa ulinzi wake alijiondoa katika kesi ya Dkt Ruto mwaka wa 2013.
Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani zilionyesha kuwa, alianza tena kuwasiliana na upande wa mashtaka katika mwaka wa 2014 akihofia usalama wake.
Ni katika mwaka huo ambapo alikubali kuhojiwa kuhusu mbinu ambazo inadaiwa Bw Gicheru na washirika wengine wa Dkt Ruto walitumia kuwashawishi mashahidi kukoma kushirikiana na ICC.
Alitarajiwa kuwa mmoja wa mashahidi ambao wangetoa ushuhuda wao mahakamani dhidi ya Bw Gicheru.
Imedaiwa Bw Gicheru alikuwa katika kikundi cha watu waliohonga mashahidi kwa niaba ya Dkt Ruto ili wasishirikiane na upande wa mashtaka.
Upande wa mashtaka umesema haikutarajia shahidi huyo kutoweka kwa vile alikuwa ameanza kushirikiana na ICC na hata akahamishwa kwa usalama wake.
“Juhudi za kutosha zilifanywa kumtafuta ili afike mahakamani, lakini ushahidi uliokusanywa kwake awali pia unaweza kuaminika,” akasema Bw Stewart.
Bw Gicheru alijisalimisha katika ICC mwaka uliopita, akakanusha madai kuwa alihusika katika njama za kuhonga mashahidi ambao walitegemewa na upande wa mashtaka katika kesi zilizohusu ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007.
Kesi hizo zilisitishwa wakati upande wa mashtaka ambao wakati huo uliongozwa na Bi Fatou Bensouda, uliposema hakuna ushahidi wa kutosha kuendelea na kesi kwa vile mashahidi waliotegemewa walijiondoa.
| Nani naibu kiongozi wa Mashtaka katika mahakama ya ICC | {
"text": [
"Bw James Stewart"
]
} |
3844_swa | Shahidi wa kesi dhidi ya Gicheru ICC ‘atoweka’
MMOJA wa mashahidi aliyetarajiwa kutoa ushahidi dhidi ya wakili Paul Gicheru katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ametoweka, kulingana na upande wa mashtaka.
Hayo yalifichuka wakati Naibu Kiongozi wa Mashtaka, Bw James Stewart, alipowasilisha ombi kutaka mahakama imruhusu kutumia taarifa za mashahidi 13 zilizokusanywa awali.
Taarifa hizo zilikuwa zimekusanywa wakati wa kesi ya ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007 iliyomkabili Naibu Rais William Ruto.
Baadhi ya taarifa hizo ni za mashahidi waliojiondoa katika kesi ya Dkt Ruto na mwanahabari Joshua Sang, huku nyingine zikiwa za wapelelezi ambao walikhusika katika uchunguzi wa ghasia zilizotokea.
Imebainika kuwa, mmoja wa mashahidi aliyebandikwa jina P-0397 kwa ulinzi wake alijiondoa katika kesi ya Dkt Ruto mwaka wa 2013.
Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani zilionyesha kuwa, alianza tena kuwasiliana na upande wa mashtaka katika mwaka wa 2014 akihofia usalama wake.
Ni katika mwaka huo ambapo alikubali kuhojiwa kuhusu mbinu ambazo inadaiwa Bw Gicheru na washirika wengine wa Dkt Ruto walitumia kuwashawishi mashahidi kukoma kushirikiana na ICC.
Alitarajiwa kuwa mmoja wa mashahidi ambao wangetoa ushuhuda wao mahakamani dhidi ya Bw Gicheru.
Imedaiwa Bw Gicheru alikuwa katika kikundi cha watu waliohonga mashahidi kwa niaba ya Dkt Ruto ili wasishirikiane na upande wa mashtaka.
Upande wa mashtaka umesema haikutarajia shahidi huyo kutoweka kwa vile alikuwa ameanza kushirikiana na ICC na hata akahamishwa kwa usalama wake.
“Juhudi za kutosha zilifanywa kumtafuta ili afike mahakamani, lakini ushahidi uliokusanywa kwake awali pia unaweza kuaminika,” akasema Bw Stewart.
Bw Gicheru alijisalimisha katika ICC mwaka uliopita, akakanusha madai kuwa alihusika katika njama za kuhonga mashahidi ambao walitegemewa na upande wa mashtaka katika kesi zilizohusu ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007.
Kesi hizo zilisitishwa wakati upande wa mashtaka ambao wakati huo uliongozwa na Bi Fatou Bensouda, uliposema hakuna ushahidi wa kutosha kuendelea na kesi kwa vile mashahidi waliotegemewa walijiondoa.
| Taarifa za mashahidi wangapi zilizokusanywa na ICC | {
"text": [
"Kumi na tatu"
]
} |
3844_swa | Shahidi wa kesi dhidi ya Gicheru ICC ‘atoweka’
MMOJA wa mashahidi aliyetarajiwa kutoa ushahidi dhidi ya wakili Paul Gicheru katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ametoweka, kulingana na upande wa mashtaka.
Hayo yalifichuka wakati Naibu Kiongozi wa Mashtaka, Bw James Stewart, alipowasilisha ombi kutaka mahakama imruhusu kutumia taarifa za mashahidi 13 zilizokusanywa awali.
Taarifa hizo zilikuwa zimekusanywa wakati wa kesi ya ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007 iliyomkabili Naibu Rais William Ruto.
Baadhi ya taarifa hizo ni za mashahidi waliojiondoa katika kesi ya Dkt Ruto na mwanahabari Joshua Sang, huku nyingine zikiwa za wapelelezi ambao walikhusika katika uchunguzi wa ghasia zilizotokea.
Imebainika kuwa, mmoja wa mashahidi aliyebandikwa jina P-0397 kwa ulinzi wake alijiondoa katika kesi ya Dkt Ruto mwaka wa 2013.
Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani zilionyesha kuwa, alianza tena kuwasiliana na upande wa mashtaka katika mwaka wa 2014 akihofia usalama wake.
Ni katika mwaka huo ambapo alikubali kuhojiwa kuhusu mbinu ambazo inadaiwa Bw Gicheru na washirika wengine wa Dkt Ruto walitumia kuwashawishi mashahidi kukoma kushirikiana na ICC.
Alitarajiwa kuwa mmoja wa mashahidi ambao wangetoa ushuhuda wao mahakamani dhidi ya Bw Gicheru.
Imedaiwa Bw Gicheru alikuwa katika kikundi cha watu waliohonga mashahidi kwa niaba ya Dkt Ruto ili wasishirikiane na upande wa mashtaka.
Upande wa mashtaka umesema haikutarajia shahidi huyo kutoweka kwa vile alikuwa ameanza kushirikiana na ICC na hata akahamishwa kwa usalama wake.
“Juhudi za kutosha zilifanywa kumtafuta ili afike mahakamani, lakini ushahidi uliokusanywa kwake awali pia unaweza kuaminika,” akasema Bw Stewart.
Bw Gicheru alijisalimisha katika ICC mwaka uliopita, akakanusha madai kuwa alihusika katika njama za kuhonga mashahidi ambao walitegemewa na upande wa mashtaka katika kesi zilizohusu ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007.
Kesi hizo zilisitishwa wakati upande wa mashtaka ambao wakati huo uliongozwa na Bi Fatou Bensouda, uliposema hakuna ushahidi wa kutosha kuendelea na kesi kwa vile mashahidi waliotegemewa walijiondoa.
| Shahidi P-0397 alijiondoa katika kesi ya Dkt Ruto mwaka upi | {
"text": [
"Mwaka wa 2013"
]
} |
3844_swa | Shahidi wa kesi dhidi ya Gicheru ICC ‘atoweka’
MMOJA wa mashahidi aliyetarajiwa kutoa ushahidi dhidi ya wakili Paul Gicheru katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ametoweka, kulingana na upande wa mashtaka.
Hayo yalifichuka wakati Naibu Kiongozi wa Mashtaka, Bw James Stewart, alipowasilisha ombi kutaka mahakama imruhusu kutumia taarifa za mashahidi 13 zilizokusanywa awali.
Taarifa hizo zilikuwa zimekusanywa wakati wa kesi ya ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007 iliyomkabili Naibu Rais William Ruto.
Baadhi ya taarifa hizo ni za mashahidi waliojiondoa katika kesi ya Dkt Ruto na mwanahabari Joshua Sang, huku nyingine zikiwa za wapelelezi ambao walikhusika katika uchunguzi wa ghasia zilizotokea.
Imebainika kuwa, mmoja wa mashahidi aliyebandikwa jina P-0397 kwa ulinzi wake alijiondoa katika kesi ya Dkt Ruto mwaka wa 2013.
Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani zilionyesha kuwa, alianza tena kuwasiliana na upande wa mashtaka katika mwaka wa 2014 akihofia usalama wake.
Ni katika mwaka huo ambapo alikubali kuhojiwa kuhusu mbinu ambazo inadaiwa Bw Gicheru na washirika wengine wa Dkt Ruto walitumia kuwashawishi mashahidi kukoma kushirikiana na ICC.
Alitarajiwa kuwa mmoja wa mashahidi ambao wangetoa ushuhuda wao mahakamani dhidi ya Bw Gicheru.
Imedaiwa Bw Gicheru alikuwa katika kikundi cha watu waliohonga mashahidi kwa niaba ya Dkt Ruto ili wasishirikiane na upande wa mashtaka.
Upande wa mashtaka umesema haikutarajia shahidi huyo kutoweka kwa vile alikuwa ameanza kushirikiana na ICC na hata akahamishwa kwa usalama wake.
“Juhudi za kutosha zilifanywa kumtafuta ili afike mahakamani, lakini ushahidi uliokusanywa kwake awali pia unaweza kuaminika,” akasema Bw Stewart.
Bw Gicheru alijisalimisha katika ICC mwaka uliopita, akakanusha madai kuwa alihusika katika njama za kuhonga mashahidi ambao walitegemewa na upande wa mashtaka katika kesi zilizohusu ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007.
Kesi hizo zilisitishwa wakati upande wa mashtaka ambao wakati huo uliongozwa na Bi Fatou Bensouda, uliposema hakuna ushahidi wa kutosha kuendelea na kesi kwa vile mashahidi waliotegemewa walijiondoa.
| Bw Gicheru alidaiwa kuwahonga nani dhidi ya kesi ya uchaguzi wa 2007 | {
"text": [
"Mashahidi"
]
} |
3844_swa | Shahidi wa kesi dhidi ya Gicheru ICC ‘atoweka’
MMOJA wa mashahidi aliyetarajiwa kutoa ushahidi dhidi ya wakili Paul Gicheru katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ametoweka, kulingana na upande wa mashtaka.
Hayo yalifichuka wakati Naibu Kiongozi wa Mashtaka, Bw James Stewart, alipowasilisha ombi kutaka mahakama imruhusu kutumia taarifa za mashahidi 13 zilizokusanywa awali.
Taarifa hizo zilikuwa zimekusanywa wakati wa kesi ya ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007 iliyomkabili Naibu Rais William Ruto.
Baadhi ya taarifa hizo ni za mashahidi waliojiondoa katika kesi ya Dkt Ruto na mwanahabari Joshua Sang, huku nyingine zikiwa za wapelelezi ambao walikhusika katika uchunguzi wa ghasia zilizotokea.
Imebainika kuwa, mmoja wa mashahidi aliyebandikwa jina P-0397 kwa ulinzi wake alijiondoa katika kesi ya Dkt Ruto mwaka wa 2013.
Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani zilionyesha kuwa, alianza tena kuwasiliana na upande wa mashtaka katika mwaka wa 2014 akihofia usalama wake.
Ni katika mwaka huo ambapo alikubali kuhojiwa kuhusu mbinu ambazo inadaiwa Bw Gicheru na washirika wengine wa Dkt Ruto walitumia kuwashawishi mashahidi kukoma kushirikiana na ICC.
Alitarajiwa kuwa mmoja wa mashahidi ambao wangetoa ushuhuda wao mahakamani dhidi ya Bw Gicheru.
Imedaiwa Bw Gicheru alikuwa katika kikundi cha watu waliohonga mashahidi kwa niaba ya Dkt Ruto ili wasishirikiane na upande wa mashtaka.
Upande wa mashtaka umesema haikutarajia shahidi huyo kutoweka kwa vile alikuwa ameanza kushirikiana na ICC na hata akahamishwa kwa usalama wake.
“Juhudi za kutosha zilifanywa kumtafuta ili afike mahakamani, lakini ushahidi uliokusanywa kwake awali pia unaweza kuaminika,” akasema Bw Stewart.
Bw Gicheru alijisalimisha katika ICC mwaka uliopita, akakanusha madai kuwa alihusika katika njama za kuhonga mashahidi ambao walitegemewa na upande wa mashtaka katika kesi zilizohusu ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007.
Kesi hizo zilisitishwa wakati upande wa mashtaka ambao wakati huo uliongozwa na Bi Fatou Bensouda, uliposema hakuna ushahidi wa kutosha kuendelea na kesi kwa vile mashahidi waliotegemewa walijiondoa.
| Kiongozi yupi wa mashtaka alisitisha kesi kwa kukosa mashahidi waliyotegemewa | {
"text": [
"Bi Fatou Bensouda"
]
} |
3845_swa | Korti yazuia Waluke kusafiri nje ya nchi
MAHAKAMA Kuu jana ilikataa kuachilia paspoti ya Mbunge wa Sirisia John Waluke ili aweze kusafiri kwenda Amerika kwa shughuli rasmi za Bunge.
Jaji Esther Maina alikatalia mbali ombi la mbunge huyo akisema Waluke ni mfungwa na hawezi kuruhusiwa kuondoka nchini. Jaji huyo aliongeza kuwa Bw Waluke asidhani kuwa atachukuliwa kama mshukiwa wa kawaida kwa sababu tayari amepatikana na kosa la wizi wa fedha za umma.
Mbunge huyo alikuwa ameiomba mahakama hiyo iachilie paspoti yake, akisema alitaka kusafiri nje kwa shughuli zake kama mbunge.
Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji, kupitia wakili wa upande wa mashtaka Caroline Kimiri, alipinga ombi la Bw Waluke kwa misingi kuwa hukumu dhidi yake haijabatilishwa wala kuwekwa kando.
Bi Kimiri aliongeza kuwa ombi la Bw Waluke lilitolewa kwa nia mbaya na linakinzana na kanuni zinazotumika kwa washukiwa ambao tayari wamepatikana na hatia.
“Bw Waluke alipatikana na hatia ya kutekeleza uhalifu wa kiuchumi na hukumu aliyopewa haijaondolewa kupitia rufaa. Hii ina maana kuwa anaweza kutoweka kabisa endapo ataruhusiwa kusafiri nje ya nchi na mahala ambapo mahakama hii haina mamlaka,” akasema.
Jaji Maina alikubaliana na maelezo ya wakili huyo akisema mojawapo ya masharti yaliyowekwa na jaji John Onyiego alipomwachilia huru Waluke kwa dhamana ni kwamba awasilishe paspoti yake kortini.
Bi Maina aliongeza kuwa Mbunge huyo pia alizuiwa na mahakama kusafiri nje ya nchi.
“Maagizo hayo yangalipo na hayajaondolewa wala kubatilishwa kupitia kesi ya rufaa. Hamna haja ya kukubali ombi la Mbunge huyo kwamba apewe paspoti yake ilhali amewekewa marufuku ya usafiri nje,” jaji Maina akasema.
Bw Waluke na Bi Grace Wakhungu waliachiliwa kwa dhamana ya sh10 milioni na sh20milioni, pesa taslimu, mtawalia, baada ya kufungwa gerezani kwa miezi mitatu kwa kosa la wizi wa pesa za umma.
Wawili hao walisukumwa gerezani Juni mwaka jana baada ya kupatikana na hatia ya kuiba sh297 milioni kutoka Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB).
Bi Wakhungu alihukumiwa kifungo cha miaka 69 baada ya Hakimu Mkuu Elizabeth Juma kumpata na hatia ya kuiba fedha hizo kupitia kampuni yao kwa jina, Erad Supplies & General Contractors. | Mahakama kuu ilikataa kuwachilia pasipoti ya nani ili aende kwa shughuli rasmi ya bunge? | {
"text": [
"John Waluke"
]
} |
3845_swa | Korti yazuia Waluke kusafiri nje ya nchi
MAHAKAMA Kuu jana ilikataa kuachilia paspoti ya Mbunge wa Sirisia John Waluke ili aweze kusafiri kwenda Amerika kwa shughuli rasmi za Bunge.
Jaji Esther Maina alikatalia mbali ombi la mbunge huyo akisema Waluke ni mfungwa na hawezi kuruhusiwa kuondoka nchini. Jaji huyo aliongeza kuwa Bw Waluke asidhani kuwa atachukuliwa kama mshukiwa wa kawaida kwa sababu tayari amepatikana na kosa la wizi wa fedha za umma.
Mbunge huyo alikuwa ameiomba mahakama hiyo iachilie paspoti yake, akisema alitaka kusafiri nje kwa shughuli zake kama mbunge.
Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji, kupitia wakili wa upande wa mashtaka Caroline Kimiri, alipinga ombi la Bw Waluke kwa misingi kuwa hukumu dhidi yake haijabatilishwa wala kuwekwa kando.
Bi Kimiri aliongeza kuwa ombi la Bw Waluke lilitolewa kwa nia mbaya na linakinzana na kanuni zinazotumika kwa washukiwa ambao tayari wamepatikana na hatia.
“Bw Waluke alipatikana na hatia ya kutekeleza uhalifu wa kiuchumi na hukumu aliyopewa haijaondolewa kupitia rufaa. Hii ina maana kuwa anaweza kutoweka kabisa endapo ataruhusiwa kusafiri nje ya nchi na mahala ambapo mahakama hii haina mamlaka,” akasema.
Jaji Maina alikubaliana na maelezo ya wakili huyo akisema mojawapo ya masharti yaliyowekwa na jaji John Onyiego alipomwachilia huru Waluke kwa dhamana ni kwamba awasilishe paspoti yake kortini.
Bi Maina aliongeza kuwa Mbunge huyo pia alizuiwa na mahakama kusafiri nje ya nchi.
“Maagizo hayo yangalipo na hayajaondolewa wala kubatilishwa kupitia kesi ya rufaa. Hamna haja ya kukubali ombi la Mbunge huyo kwamba apewe paspoti yake ilhali amewekewa marufuku ya usafiri nje,” jaji Maina akasema.
Bw Waluke na Bi Grace Wakhungu waliachiliwa kwa dhamana ya sh10 milioni na sh20milioni, pesa taslimu, mtawalia, baada ya kufungwa gerezani kwa miezi mitatu kwa kosa la wizi wa pesa za umma.
Wawili hao walisukumwa gerezani Juni mwaka jana baada ya kupatikana na hatia ya kuiba sh297 milioni kutoka Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB).
Bi Wakhungu alihukumiwa kifungo cha miaka 69 baada ya Hakimu Mkuu Elizabeth Juma kumpata na hatia ya kuiba fedha hizo kupitia kampuni yao kwa jina, Erad Supplies & General Contractors. | Jaji yupi alimtaja John Waluke kama mfungwa? | {
"text": [
"Esther Maina"
]
} |
3845_swa | Korti yazuia Waluke kusafiri nje ya nchi
MAHAKAMA Kuu jana ilikataa kuachilia paspoti ya Mbunge wa Sirisia John Waluke ili aweze kusafiri kwenda Amerika kwa shughuli rasmi za Bunge.
Jaji Esther Maina alikatalia mbali ombi la mbunge huyo akisema Waluke ni mfungwa na hawezi kuruhusiwa kuondoka nchini. Jaji huyo aliongeza kuwa Bw Waluke asidhani kuwa atachukuliwa kama mshukiwa wa kawaida kwa sababu tayari amepatikana na kosa la wizi wa fedha za umma.
Mbunge huyo alikuwa ameiomba mahakama hiyo iachilie paspoti yake, akisema alitaka kusafiri nje kwa shughuli zake kama mbunge.
Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji, kupitia wakili wa upande wa mashtaka Caroline Kimiri, alipinga ombi la Bw Waluke kwa misingi kuwa hukumu dhidi yake haijabatilishwa wala kuwekwa kando.
Bi Kimiri aliongeza kuwa ombi la Bw Waluke lilitolewa kwa nia mbaya na linakinzana na kanuni zinazotumika kwa washukiwa ambao tayari wamepatikana na hatia.
“Bw Waluke alipatikana na hatia ya kutekeleza uhalifu wa kiuchumi na hukumu aliyopewa haijaondolewa kupitia rufaa. Hii ina maana kuwa anaweza kutoweka kabisa endapo ataruhusiwa kusafiri nje ya nchi na mahala ambapo mahakama hii haina mamlaka,” akasema.
Jaji Maina alikubaliana na maelezo ya wakili huyo akisema mojawapo ya masharti yaliyowekwa na jaji John Onyiego alipomwachilia huru Waluke kwa dhamana ni kwamba awasilishe paspoti yake kortini.
Bi Maina aliongeza kuwa Mbunge huyo pia alizuiwa na mahakama kusafiri nje ya nchi.
“Maagizo hayo yangalipo na hayajaondolewa wala kubatilishwa kupitia kesi ya rufaa. Hamna haja ya kukubali ombi la Mbunge huyo kwamba apewe paspoti yake ilhali amewekewa marufuku ya usafiri nje,” jaji Maina akasema.
Bw Waluke na Bi Grace Wakhungu waliachiliwa kwa dhamana ya sh10 milioni na sh20milioni, pesa taslimu, mtawalia, baada ya kufungwa gerezani kwa miezi mitatu kwa kosa la wizi wa pesa za umma.
Wawili hao walisukumwa gerezani Juni mwaka jana baada ya kupatikana na hatia ya kuiba sh297 milioni kutoka Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB).
Bi Wakhungu alihukumiwa kifungo cha miaka 69 baada ya Hakimu Mkuu Elizabeth Juma kumpata na hatia ya kuiba fedha hizo kupitia kampuni yao kwa jina, Erad Supplies & General Contractors. | Mkurugenzi wa mashtaka ya umma anaitwaje? | {
"text": [
"Noordin Haji"
]
} |
3845_swa | Korti yazuia Waluke kusafiri nje ya nchi
MAHAKAMA Kuu jana ilikataa kuachilia paspoti ya Mbunge wa Sirisia John Waluke ili aweze kusafiri kwenda Amerika kwa shughuli rasmi za Bunge.
Jaji Esther Maina alikatalia mbali ombi la mbunge huyo akisema Waluke ni mfungwa na hawezi kuruhusiwa kuondoka nchini. Jaji huyo aliongeza kuwa Bw Waluke asidhani kuwa atachukuliwa kama mshukiwa wa kawaida kwa sababu tayari amepatikana na kosa la wizi wa fedha za umma.
Mbunge huyo alikuwa ameiomba mahakama hiyo iachilie paspoti yake, akisema alitaka kusafiri nje kwa shughuli zake kama mbunge.
Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji, kupitia wakili wa upande wa mashtaka Caroline Kimiri, alipinga ombi la Bw Waluke kwa misingi kuwa hukumu dhidi yake haijabatilishwa wala kuwekwa kando.
Bi Kimiri aliongeza kuwa ombi la Bw Waluke lilitolewa kwa nia mbaya na linakinzana na kanuni zinazotumika kwa washukiwa ambao tayari wamepatikana na hatia.
“Bw Waluke alipatikana na hatia ya kutekeleza uhalifu wa kiuchumi na hukumu aliyopewa haijaondolewa kupitia rufaa. Hii ina maana kuwa anaweza kutoweka kabisa endapo ataruhusiwa kusafiri nje ya nchi na mahala ambapo mahakama hii haina mamlaka,” akasema.
Jaji Maina alikubaliana na maelezo ya wakili huyo akisema mojawapo ya masharti yaliyowekwa na jaji John Onyiego alipomwachilia huru Waluke kwa dhamana ni kwamba awasilishe paspoti yake kortini.
Bi Maina aliongeza kuwa Mbunge huyo pia alizuiwa na mahakama kusafiri nje ya nchi.
“Maagizo hayo yangalipo na hayajaondolewa wala kubatilishwa kupitia kesi ya rufaa. Hamna haja ya kukubali ombi la Mbunge huyo kwamba apewe paspoti yake ilhali amewekewa marufuku ya usafiri nje,” jaji Maina akasema.
Bw Waluke na Bi Grace Wakhungu waliachiliwa kwa dhamana ya sh10 milioni na sh20milioni, pesa taslimu, mtawalia, baada ya kufungwa gerezani kwa miezi mitatu kwa kosa la wizi wa pesa za umma.
Wawili hao walisukumwa gerezani Juni mwaka jana baada ya kupatikana na hatia ya kuiba sh297 milioni kutoka Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB).
Bi Wakhungu alihukumiwa kifungo cha miaka 69 baada ya Hakimu Mkuu Elizabeth Juma kumpata na hatia ya kuiba fedha hizo kupitia kampuni yao kwa jina, Erad Supplies & General Contractors. | Bwana Waluke alipatikana na hatia gani? | {
"text": [
"Kutekeleza hatia ya kiuchumi"
]
} |
3845_swa | Korti yazuia Waluke kusafiri nje ya nchi
MAHAKAMA Kuu jana ilikataa kuachilia paspoti ya Mbunge wa Sirisia John Waluke ili aweze kusafiri kwenda Amerika kwa shughuli rasmi za Bunge.
Jaji Esther Maina alikatalia mbali ombi la mbunge huyo akisema Waluke ni mfungwa na hawezi kuruhusiwa kuondoka nchini. Jaji huyo aliongeza kuwa Bw Waluke asidhani kuwa atachukuliwa kama mshukiwa wa kawaida kwa sababu tayari amepatikana na kosa la wizi wa fedha za umma.
Mbunge huyo alikuwa ameiomba mahakama hiyo iachilie paspoti yake, akisema alitaka kusafiri nje kwa shughuli zake kama mbunge.
Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji, kupitia wakili wa upande wa mashtaka Caroline Kimiri, alipinga ombi la Bw Waluke kwa misingi kuwa hukumu dhidi yake haijabatilishwa wala kuwekwa kando.
Bi Kimiri aliongeza kuwa ombi la Bw Waluke lilitolewa kwa nia mbaya na linakinzana na kanuni zinazotumika kwa washukiwa ambao tayari wamepatikana na hatia.
“Bw Waluke alipatikana na hatia ya kutekeleza uhalifu wa kiuchumi na hukumu aliyopewa haijaondolewa kupitia rufaa. Hii ina maana kuwa anaweza kutoweka kabisa endapo ataruhusiwa kusafiri nje ya nchi na mahala ambapo mahakama hii haina mamlaka,” akasema.
Jaji Maina alikubaliana na maelezo ya wakili huyo akisema mojawapo ya masharti yaliyowekwa na jaji John Onyiego alipomwachilia huru Waluke kwa dhamana ni kwamba awasilishe paspoti yake kortini.
Bi Maina aliongeza kuwa Mbunge huyo pia alizuiwa na mahakama kusafiri nje ya nchi.
“Maagizo hayo yangalipo na hayajaondolewa wala kubatilishwa kupitia kesi ya rufaa. Hamna haja ya kukubali ombi la Mbunge huyo kwamba apewe paspoti yake ilhali amewekewa marufuku ya usafiri nje,” jaji Maina akasema.
Bw Waluke na Bi Grace Wakhungu waliachiliwa kwa dhamana ya sh10 milioni na sh20milioni, pesa taslimu, mtawalia, baada ya kufungwa gerezani kwa miezi mitatu kwa kosa la wizi wa pesa za umma.
Wawili hao walisukumwa gerezani Juni mwaka jana baada ya kupatikana na hatia ya kuiba sh297 milioni kutoka Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB).
Bi Wakhungu alihukumiwa kifungo cha miaka 69 baada ya Hakimu Mkuu Elizabeth Juma kumpata na hatia ya kuiba fedha hizo kupitia kampuni yao kwa jina, Erad Supplies & General Contractors. | Sharti moja aliyopewa Waluke na jaji John Onyiego ni ipi? | {
"text": [
"Awasilishe paspoti yake kortini"
]
} |
3846_swa | Mawaidha ya Kiislamu
Tunapojumuika tena misikitini tusilegeze kanuni za Covid
KWA jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Tumejaaliwa kukutana tena kwenye ukurasa huu wetu wa mawaidha kuihusu dini yetu tukufu ya Kiislamu.
Awali ya yote kama ilivyo ada na desturi ya makala yetu huwa twatanguliza kwa kumshukuru mno Muumba wetu.
Ni yeye pekee anayestahili kuabudiwa. Ni yeye pekee anayestahili kuenzi stahili kuenziwa, kuhimidiwa na kupwekeshwa. Yeye ndiye Muumba wa kila kiumbe; ardhini na mbinguni.
Baada ya kumhimidi na kumtukuza Mola wetu, tunachukua sawia nafasi hii kumtilia dua Mtume wetu (SAW).
Yeye ndiye mwombezi wetu, yeye ndiye ruwaza yetu, yeye ndiye kigezo chetu, yeye ndiye njia na mwangaza wa dini kwa kufuata maagizo, mafunzo na sunna ambazo alituachia.
Ndugu yangu, tumekutana siku hii tukufu na yenye ubora mkubwa ili kusemezana mawili matatu kuihusu dini ya Kiislaamu.
Tumekutana kuangazia masuala ambayo yanatuhusu katika ulimwengu wa sasa.
Nchi hii inaelekea katika kipindi kigumu cha uchaguzi mkuu mwakani. Kwa maana hiyo, wanaonekana wanasiasa wakibunivyama na mirengo. Baadhi ya viongozi hao ni wanadini na watu wenye usemi katika jamii. Hivyo basi kauli zao zina uzito na athari kubwa sana katika jamii. Cha kusikitishwa ni kuwa, wakati huu wa uchaguzi mirengo ikibuniwa, wanasiasa - hasa wanadini - wanaonekana wakitoa propaganda. Wanaporomosha ahadi za ukwelina urongo, nyingi tu zisizotimizika! Aidha, kipindi hiki kinashuhudia baadhi ya wanadini wakitumia maabadi, kuwapa wanasiasa jukwaa la kunadi sera zao za urongo na ukweli.
Wanasiasa wamekosa hofu ya mungu na wanatumia majukwaa ya dini kuvunja kanuni za dini, ilimradi tu waingie mamlakani au wasalie uongozini. Majuzi wakati wa sikukuu ya Mashujaa, Rais Uhuru Kenyatta katika hafla ya kitaifa kaunti ya Kirinyaga, alifutilia mbali marufuku ya kutotoka nje nyakati za usiku - kafyu ikapigwa teke! Mambo mengi tu yakasemwa. Zikaruhusiwa safari za usiku. Zikafunguliwa biashara za usiku. Kikubwa kwetu sisi waumini wa Kiislamu ni kwamba, kwenye tangazo hilo la kuondolewa kwa kafyu, rais alisema majumba ya dini - maabadi - yameruhusiwa kuwa na waumini thuluthi mbili. Hizi ni habari njema. Hata hivyo, yapo maswala chungu nzima ambayo mimi na wewe muumin mwenzangu yanatuhitaji kufahamu, kuhakikisha kuwa sheria na masharti yanazingatiwa. Kwanza kabisa, Ikumbukwe kuwa ugonjwa huu wa Covid-19, unaosababishwa na virusi vya corona, ungalipo.
Hivyo basi, hata kama kafyu imeondolewa haimaanishi kuwa ugonjwa umemalizika. La hasha!
Pili, tudumishe kanuni za kudhibiti janaga hili kwa kuendelea kufuata hatua ambazo tumekuwa tukizingatia katika misikiti yetu, maabadi; kutilia mkazo unawaji wa mikono, utumizi wa sanitaiza, kuweka umbali mtu kwa mwingine na masharti mengineyo ambayo yamekuwepo hata kabla ya kuondolewa kwa kafyu.
Tatu, hii likiwa ni muhimu sana kwa wahudumu wa misikiti yetu na maabadi mengineyo. Majumba ya ibada yanao wafanya kazi wengi tu: walimu wa madrassa, maustadh, mashekhe na mabawabu.
Kadhalika, maabadi yetu yanazo gharama nyingi sana: bili za maji; bili za umeme; malipo ya wafanyakazi, ambao hutoa huduma muhimu sana. Hili suala litachangiwa mno na sadaka tunazotoa katika maabadi yetu. Tutoe kwa ukarimu. Tutoe kwa hali na mali. Mwisho, kuondolewa kwa kafyu kunaruhusu maombi ya usiku. Swala za ishai na ibada nyinginezo za usiku sasa zinaweza kufanyika katika misikiti yetu.
Ama kwa hakika utamu, umoja na utangamano wa umma unatiliwa pondo sanasana na swala hizi za usiku. Mimi na wewe tunakumbuka vipindi viwili vya funga ya saumu vimetupita katika muda mgumu sana, hivi kwamba hatungeweza kuswali swala za tarawehi. Walau sasa In Shaa Allah, ibada funga ya mwakani, kalenda ya Kiislamu, tutakuwa na satua ya kuswali swala ya tarehewi. Hili nalo linafungamana na habari nzuri ambazo zimechipuka kutoka nchini Saudia, kwamba taifa hilo limeanza kufunguliwa.
Kufunguliwa huku kunamaanisha kuwa, In Shaa Allah, ibada ya Hija ijayo huenda ikahudhuriwa na mahujaji kutoka nchi za mbali.
In Shaa Allah tuzidishe ibada na janga hili la corona litakoma.
Ijumaa Kareem!
| Dini husika katika hadithi ni ipi? | {
"text": [
"Dini la Kiislamu"
]
} |
3846_swa | Mawaidha ya Kiislamu
Tunapojumuika tena misikitini tusilegeze kanuni za Covid
KWA jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Tumejaaliwa kukutana tena kwenye ukurasa huu wetu wa mawaidha kuihusu dini yetu tukufu ya Kiislamu.
Awali ya yote kama ilivyo ada na desturi ya makala yetu huwa twatanguliza kwa kumshukuru mno Muumba wetu.
Ni yeye pekee anayestahili kuabudiwa. Ni yeye pekee anayestahili kuenzi stahili kuenziwa, kuhimidiwa na kupwekeshwa. Yeye ndiye Muumba wa kila kiumbe; ardhini na mbinguni.
Baada ya kumhimidi na kumtukuza Mola wetu, tunachukua sawia nafasi hii kumtilia dua Mtume wetu (SAW).
Yeye ndiye mwombezi wetu, yeye ndiye ruwaza yetu, yeye ndiye kigezo chetu, yeye ndiye njia na mwangaza wa dini kwa kufuata maagizo, mafunzo na sunna ambazo alituachia.
Ndugu yangu, tumekutana siku hii tukufu na yenye ubora mkubwa ili kusemezana mawili matatu kuihusu dini ya Kiislaamu.
Tumekutana kuangazia masuala ambayo yanatuhusu katika ulimwengu wa sasa.
Nchi hii inaelekea katika kipindi kigumu cha uchaguzi mkuu mwakani. Kwa maana hiyo, wanaonekana wanasiasa wakibunivyama na mirengo. Baadhi ya viongozi hao ni wanadini na watu wenye usemi katika jamii. Hivyo basi kauli zao zina uzito na athari kubwa sana katika jamii. Cha kusikitishwa ni kuwa, wakati huu wa uchaguzi mirengo ikibuniwa, wanasiasa - hasa wanadini - wanaonekana wakitoa propaganda. Wanaporomosha ahadi za ukwelina urongo, nyingi tu zisizotimizika! Aidha, kipindi hiki kinashuhudia baadhi ya wanadini wakitumia maabadi, kuwapa wanasiasa jukwaa la kunadi sera zao za urongo na ukweli.
Wanasiasa wamekosa hofu ya mungu na wanatumia majukwaa ya dini kuvunja kanuni za dini, ilimradi tu waingie mamlakani au wasalie uongozini. Majuzi wakati wa sikukuu ya Mashujaa, Rais Uhuru Kenyatta katika hafla ya kitaifa kaunti ya Kirinyaga, alifutilia mbali marufuku ya kutotoka nje nyakati za usiku - kafyu ikapigwa teke! Mambo mengi tu yakasemwa. Zikaruhusiwa safari za usiku. Zikafunguliwa biashara za usiku. Kikubwa kwetu sisi waumini wa Kiislamu ni kwamba, kwenye tangazo hilo la kuondolewa kwa kafyu, rais alisema majumba ya dini - maabadi - yameruhusiwa kuwa na waumini thuluthi mbili. Hizi ni habari njema. Hata hivyo, yapo maswala chungu nzima ambayo mimi na wewe muumin mwenzangu yanatuhitaji kufahamu, kuhakikisha kuwa sheria na masharti yanazingatiwa. Kwanza kabisa, Ikumbukwe kuwa ugonjwa huu wa Covid-19, unaosababishwa na virusi vya corona, ungalipo.
Hivyo basi, hata kama kafyu imeondolewa haimaanishi kuwa ugonjwa umemalizika. La hasha!
Pili, tudumishe kanuni za kudhibiti janaga hili kwa kuendelea kufuata hatua ambazo tumekuwa tukizingatia katika misikiti yetu, maabadi; kutilia mkazo unawaji wa mikono, utumizi wa sanitaiza, kuweka umbali mtu kwa mwingine na masharti mengineyo ambayo yamekuwepo hata kabla ya kuondolewa kwa kafyu.
Tatu, hii likiwa ni muhimu sana kwa wahudumu wa misikiti yetu na maabadi mengineyo. Majumba ya ibada yanao wafanya kazi wengi tu: walimu wa madrassa, maustadh, mashekhe na mabawabu.
Kadhalika, maabadi yetu yanazo gharama nyingi sana: bili za maji; bili za umeme; malipo ya wafanyakazi, ambao hutoa huduma muhimu sana. Hili suala litachangiwa mno na sadaka tunazotoa katika maabadi yetu. Tutoe kwa ukarimu. Tutoe kwa hali na mali. Mwisho, kuondolewa kwa kafyu kunaruhusu maombi ya usiku. Swala za ishai na ibada nyinginezo za usiku sasa zinaweza kufanyika katika misikiti yetu.
Ama kwa hakika utamu, umoja na utangamano wa umma unatiliwa pondo sanasana na swala hizi za usiku. Mimi na wewe tunakumbuka vipindi viwili vya funga ya saumu vimetupita katika muda mgumu sana, hivi kwamba hatungeweza kuswali swala za tarawehi. Walau sasa In Shaa Allah, ibada funga ya mwakani, kalenda ya Kiislamu, tutakuwa na satua ya kuswali swala ya tarehewi. Hili nalo linafungamana na habari nzuri ambazo zimechipuka kutoka nchini Saudia, kwamba taifa hilo limeanza kufunguliwa.
Kufunguliwa huku kunamaanisha kuwa, In Shaa Allah, ibada ya Hija ijayo huenda ikahudhuriwa na mahujaji kutoka nchi za mbali.
In Shaa Allah tuzidishe ibada na janga hili la corona litakoma.
Ijumaa Kareem!
| Ada na desturi ya makala ya Waislamu ni ipi? | {
"text": [
"Kumshukuru mno Muumba wao"
]
} |
3846_swa | Mawaidha ya Kiislamu
Tunapojumuika tena misikitini tusilegeze kanuni za Covid
KWA jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Tumejaaliwa kukutana tena kwenye ukurasa huu wetu wa mawaidha kuihusu dini yetu tukufu ya Kiislamu.
Awali ya yote kama ilivyo ada na desturi ya makala yetu huwa twatanguliza kwa kumshukuru mno Muumba wetu.
Ni yeye pekee anayestahili kuabudiwa. Ni yeye pekee anayestahili kuenzi stahili kuenziwa, kuhimidiwa na kupwekeshwa. Yeye ndiye Muumba wa kila kiumbe; ardhini na mbinguni.
Baada ya kumhimidi na kumtukuza Mola wetu, tunachukua sawia nafasi hii kumtilia dua Mtume wetu (SAW).
Yeye ndiye mwombezi wetu, yeye ndiye ruwaza yetu, yeye ndiye kigezo chetu, yeye ndiye njia na mwangaza wa dini kwa kufuata maagizo, mafunzo na sunna ambazo alituachia.
Ndugu yangu, tumekutana siku hii tukufu na yenye ubora mkubwa ili kusemezana mawili matatu kuihusu dini ya Kiislaamu.
Tumekutana kuangazia masuala ambayo yanatuhusu katika ulimwengu wa sasa.
Nchi hii inaelekea katika kipindi kigumu cha uchaguzi mkuu mwakani. Kwa maana hiyo, wanaonekana wanasiasa wakibunivyama na mirengo. Baadhi ya viongozi hao ni wanadini na watu wenye usemi katika jamii. Hivyo basi kauli zao zina uzito na athari kubwa sana katika jamii. Cha kusikitishwa ni kuwa, wakati huu wa uchaguzi mirengo ikibuniwa, wanasiasa - hasa wanadini - wanaonekana wakitoa propaganda. Wanaporomosha ahadi za ukwelina urongo, nyingi tu zisizotimizika! Aidha, kipindi hiki kinashuhudia baadhi ya wanadini wakitumia maabadi, kuwapa wanasiasa jukwaa la kunadi sera zao za urongo na ukweli.
Wanasiasa wamekosa hofu ya mungu na wanatumia majukwaa ya dini kuvunja kanuni za dini, ilimradi tu waingie mamlakani au wasalie uongozini. Majuzi wakati wa sikukuu ya Mashujaa, Rais Uhuru Kenyatta katika hafla ya kitaifa kaunti ya Kirinyaga, alifutilia mbali marufuku ya kutotoka nje nyakati za usiku - kafyu ikapigwa teke! Mambo mengi tu yakasemwa. Zikaruhusiwa safari za usiku. Zikafunguliwa biashara za usiku. Kikubwa kwetu sisi waumini wa Kiislamu ni kwamba, kwenye tangazo hilo la kuondolewa kwa kafyu, rais alisema majumba ya dini - maabadi - yameruhusiwa kuwa na waumini thuluthi mbili. Hizi ni habari njema. Hata hivyo, yapo maswala chungu nzima ambayo mimi na wewe muumin mwenzangu yanatuhitaji kufahamu, kuhakikisha kuwa sheria na masharti yanazingatiwa. Kwanza kabisa, Ikumbukwe kuwa ugonjwa huu wa Covid-19, unaosababishwa na virusi vya corona, ungalipo.
Hivyo basi, hata kama kafyu imeondolewa haimaanishi kuwa ugonjwa umemalizika. La hasha!
Pili, tudumishe kanuni za kudhibiti janaga hili kwa kuendelea kufuata hatua ambazo tumekuwa tukizingatia katika misikiti yetu, maabadi; kutilia mkazo unawaji wa mikono, utumizi wa sanitaiza, kuweka umbali mtu kwa mwingine na masharti mengineyo ambayo yamekuwepo hata kabla ya kuondolewa kwa kafyu.
Tatu, hii likiwa ni muhimu sana kwa wahudumu wa misikiti yetu na maabadi mengineyo. Majumba ya ibada yanao wafanya kazi wengi tu: walimu wa madrassa, maustadh, mashekhe na mabawabu.
Kadhalika, maabadi yetu yanazo gharama nyingi sana: bili za maji; bili za umeme; malipo ya wafanyakazi, ambao hutoa huduma muhimu sana. Hili suala litachangiwa mno na sadaka tunazotoa katika maabadi yetu. Tutoe kwa ukarimu. Tutoe kwa hali na mali. Mwisho, kuondolewa kwa kafyu kunaruhusu maombi ya usiku. Swala za ishai na ibada nyinginezo za usiku sasa zinaweza kufanyika katika misikiti yetu.
Ama kwa hakika utamu, umoja na utangamano wa umma unatiliwa pondo sanasana na swala hizi za usiku. Mimi na wewe tunakumbuka vipindi viwili vya funga ya saumu vimetupita katika muda mgumu sana, hivi kwamba hatungeweza kuswali swala za tarawehi. Walau sasa In Shaa Allah, ibada funga ya mwakani, kalenda ya Kiislamu, tutakuwa na satua ya kuswali swala ya tarehewi. Hili nalo linafungamana na habari nzuri ambazo zimechipuka kutoka nchini Saudia, kwamba taifa hilo limeanza kufunguliwa.
Kufunguliwa huku kunamaanisha kuwa, In Shaa Allah, ibada ya Hija ijayo huenda ikahudhuriwa na mahujaji kutoka nchi za mbali.
In Shaa Allah tuzidishe ibada na janga hili la corona litakoma.
Ijumaa Kareem!
| Nani pekee anastahili kuabudiwa na kuenziwa? | {
"text": [
"Mwenyezi Mungu"
]
} |
3846_swa | Mawaidha ya Kiislamu
Tunapojumuika tena misikitini tusilegeze kanuni za Covid
KWA jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Tumejaaliwa kukutana tena kwenye ukurasa huu wetu wa mawaidha kuihusu dini yetu tukufu ya Kiislamu.
Awali ya yote kama ilivyo ada na desturi ya makala yetu huwa twatanguliza kwa kumshukuru mno Muumba wetu.
Ni yeye pekee anayestahili kuabudiwa. Ni yeye pekee anayestahili kuenzi stahili kuenziwa, kuhimidiwa na kupwekeshwa. Yeye ndiye Muumba wa kila kiumbe; ardhini na mbinguni.
Baada ya kumhimidi na kumtukuza Mola wetu, tunachukua sawia nafasi hii kumtilia dua Mtume wetu (SAW).
Yeye ndiye mwombezi wetu, yeye ndiye ruwaza yetu, yeye ndiye kigezo chetu, yeye ndiye njia na mwangaza wa dini kwa kufuata maagizo, mafunzo na sunna ambazo alituachia.
Ndugu yangu, tumekutana siku hii tukufu na yenye ubora mkubwa ili kusemezana mawili matatu kuihusu dini ya Kiislaamu.
Tumekutana kuangazia masuala ambayo yanatuhusu katika ulimwengu wa sasa.
Nchi hii inaelekea katika kipindi kigumu cha uchaguzi mkuu mwakani. Kwa maana hiyo, wanaonekana wanasiasa wakibunivyama na mirengo. Baadhi ya viongozi hao ni wanadini na watu wenye usemi katika jamii. Hivyo basi kauli zao zina uzito na athari kubwa sana katika jamii. Cha kusikitishwa ni kuwa, wakati huu wa uchaguzi mirengo ikibuniwa, wanasiasa - hasa wanadini - wanaonekana wakitoa propaganda. Wanaporomosha ahadi za ukwelina urongo, nyingi tu zisizotimizika! Aidha, kipindi hiki kinashuhudia baadhi ya wanadini wakitumia maabadi, kuwapa wanasiasa jukwaa la kunadi sera zao za urongo na ukweli.
Wanasiasa wamekosa hofu ya mungu na wanatumia majukwaa ya dini kuvunja kanuni za dini, ilimradi tu waingie mamlakani au wasalie uongozini. Majuzi wakati wa sikukuu ya Mashujaa, Rais Uhuru Kenyatta katika hafla ya kitaifa kaunti ya Kirinyaga, alifutilia mbali marufuku ya kutotoka nje nyakati za usiku - kafyu ikapigwa teke! Mambo mengi tu yakasemwa. Zikaruhusiwa safari za usiku. Zikafunguliwa biashara za usiku. Kikubwa kwetu sisi waumini wa Kiislamu ni kwamba, kwenye tangazo hilo la kuondolewa kwa kafyu, rais alisema majumba ya dini - maabadi - yameruhusiwa kuwa na waumini thuluthi mbili. Hizi ni habari njema. Hata hivyo, yapo maswala chungu nzima ambayo mimi na wewe muumin mwenzangu yanatuhitaji kufahamu, kuhakikisha kuwa sheria na masharti yanazingatiwa. Kwanza kabisa, Ikumbukwe kuwa ugonjwa huu wa Covid-19, unaosababishwa na virusi vya corona, ungalipo.
Hivyo basi, hata kama kafyu imeondolewa haimaanishi kuwa ugonjwa umemalizika. La hasha!
Pili, tudumishe kanuni za kudhibiti janaga hili kwa kuendelea kufuata hatua ambazo tumekuwa tukizingatia katika misikiti yetu, maabadi; kutilia mkazo unawaji wa mikono, utumizi wa sanitaiza, kuweka umbali mtu kwa mwingine na masharti mengineyo ambayo yamekuwepo hata kabla ya kuondolewa kwa kafyu.
Tatu, hii likiwa ni muhimu sana kwa wahudumu wa misikiti yetu na maabadi mengineyo. Majumba ya ibada yanao wafanya kazi wengi tu: walimu wa madrassa, maustadh, mashekhe na mabawabu.
Kadhalika, maabadi yetu yanazo gharama nyingi sana: bili za maji; bili za umeme; malipo ya wafanyakazi, ambao hutoa huduma muhimu sana. Hili suala litachangiwa mno na sadaka tunazotoa katika maabadi yetu. Tutoe kwa ukarimu. Tutoe kwa hali na mali. Mwisho, kuondolewa kwa kafyu kunaruhusu maombi ya usiku. Swala za ishai na ibada nyinginezo za usiku sasa zinaweza kufanyika katika misikiti yetu.
Ama kwa hakika utamu, umoja na utangamano wa umma unatiliwa pondo sanasana na swala hizi za usiku. Mimi na wewe tunakumbuka vipindi viwili vya funga ya saumu vimetupita katika muda mgumu sana, hivi kwamba hatungeweza kuswali swala za tarawehi. Walau sasa In Shaa Allah, ibada funga ya mwakani, kalenda ya Kiislamu, tutakuwa na satua ya kuswali swala ya tarehewi. Hili nalo linafungamana na habari nzuri ambazo zimechipuka kutoka nchini Saudia, kwamba taifa hilo limeanza kufunguliwa.
Kufunguliwa huku kunamaanisha kuwa, In Shaa Allah, ibada ya Hija ijayo huenda ikahudhuriwa na mahujaji kutoka nchi za mbali.
In Shaa Allah tuzidishe ibada na janga hili la corona litakoma.
Ijumaa Kareem!
| Nani wanaonekana wakibuni vyama na mirengo? | {
"text": [
"Wanasiasa"
]
} |
3846_swa | Mawaidha ya Kiislamu
Tunapojumuika tena misikitini tusilegeze kanuni za Covid
KWA jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Tumejaaliwa kukutana tena kwenye ukurasa huu wetu wa mawaidha kuihusu dini yetu tukufu ya Kiislamu.
Awali ya yote kama ilivyo ada na desturi ya makala yetu huwa twatanguliza kwa kumshukuru mno Muumba wetu.
Ni yeye pekee anayestahili kuabudiwa. Ni yeye pekee anayestahili kuenzi stahili kuenziwa, kuhimidiwa na kupwekeshwa. Yeye ndiye Muumba wa kila kiumbe; ardhini na mbinguni.
Baada ya kumhimidi na kumtukuza Mola wetu, tunachukua sawia nafasi hii kumtilia dua Mtume wetu (SAW).
Yeye ndiye mwombezi wetu, yeye ndiye ruwaza yetu, yeye ndiye kigezo chetu, yeye ndiye njia na mwangaza wa dini kwa kufuata maagizo, mafunzo na sunna ambazo alituachia.
Ndugu yangu, tumekutana siku hii tukufu na yenye ubora mkubwa ili kusemezana mawili matatu kuihusu dini ya Kiislaamu.
Tumekutana kuangazia masuala ambayo yanatuhusu katika ulimwengu wa sasa.
Nchi hii inaelekea katika kipindi kigumu cha uchaguzi mkuu mwakani. Kwa maana hiyo, wanaonekana wanasiasa wakibunivyama na mirengo. Baadhi ya viongozi hao ni wanadini na watu wenye usemi katika jamii. Hivyo basi kauli zao zina uzito na athari kubwa sana katika jamii. Cha kusikitishwa ni kuwa, wakati huu wa uchaguzi mirengo ikibuniwa, wanasiasa - hasa wanadini - wanaonekana wakitoa propaganda. Wanaporomosha ahadi za ukwelina urongo, nyingi tu zisizotimizika! Aidha, kipindi hiki kinashuhudia baadhi ya wanadini wakitumia maabadi, kuwapa wanasiasa jukwaa la kunadi sera zao za urongo na ukweli.
Wanasiasa wamekosa hofu ya mungu na wanatumia majukwaa ya dini kuvunja kanuni za dini, ilimradi tu waingie mamlakani au wasalie uongozini. Majuzi wakati wa sikukuu ya Mashujaa, Rais Uhuru Kenyatta katika hafla ya kitaifa kaunti ya Kirinyaga, alifutilia mbali marufuku ya kutotoka nje nyakati za usiku - kafyu ikapigwa teke! Mambo mengi tu yakasemwa. Zikaruhusiwa safari za usiku. Zikafunguliwa biashara za usiku. Kikubwa kwetu sisi waumini wa Kiislamu ni kwamba, kwenye tangazo hilo la kuondolewa kwa kafyu, rais alisema majumba ya dini - maabadi - yameruhusiwa kuwa na waumini thuluthi mbili. Hizi ni habari njema. Hata hivyo, yapo maswala chungu nzima ambayo mimi na wewe muumin mwenzangu yanatuhitaji kufahamu, kuhakikisha kuwa sheria na masharti yanazingatiwa. Kwanza kabisa, Ikumbukwe kuwa ugonjwa huu wa Covid-19, unaosababishwa na virusi vya corona, ungalipo.
Hivyo basi, hata kama kafyu imeondolewa haimaanishi kuwa ugonjwa umemalizika. La hasha!
Pili, tudumishe kanuni za kudhibiti janaga hili kwa kuendelea kufuata hatua ambazo tumekuwa tukizingatia katika misikiti yetu, maabadi; kutilia mkazo unawaji wa mikono, utumizi wa sanitaiza, kuweka umbali mtu kwa mwingine na masharti mengineyo ambayo yamekuwepo hata kabla ya kuondolewa kwa kafyu.
Tatu, hii likiwa ni muhimu sana kwa wahudumu wa misikiti yetu na maabadi mengineyo. Majumba ya ibada yanao wafanya kazi wengi tu: walimu wa madrassa, maustadh, mashekhe na mabawabu.
Kadhalika, maabadi yetu yanazo gharama nyingi sana: bili za maji; bili za umeme; malipo ya wafanyakazi, ambao hutoa huduma muhimu sana. Hili suala litachangiwa mno na sadaka tunazotoa katika maabadi yetu. Tutoe kwa ukarimu. Tutoe kwa hali na mali. Mwisho, kuondolewa kwa kafyu kunaruhusu maombi ya usiku. Swala za ishai na ibada nyinginezo za usiku sasa zinaweza kufanyika katika misikiti yetu.
Ama kwa hakika utamu, umoja na utangamano wa umma unatiliwa pondo sanasana na swala hizi za usiku. Mimi na wewe tunakumbuka vipindi viwili vya funga ya saumu vimetupita katika muda mgumu sana, hivi kwamba hatungeweza kuswali swala za tarawehi. Walau sasa In Shaa Allah, ibada funga ya mwakani, kalenda ya Kiislamu, tutakuwa na satua ya kuswali swala ya tarehewi. Hili nalo linafungamana na habari nzuri ambazo zimechipuka kutoka nchini Saudia, kwamba taifa hilo limeanza kufunguliwa.
Kufunguliwa huku kunamaanisha kuwa, In Shaa Allah, ibada ya Hija ijayo huenda ikahudhuriwa na mahujaji kutoka nchi za mbali.
In Shaa Allah tuzidishe ibada na janga hili la corona litakoma.
Ijumaa Kareem!
| Nani wanaonekana wakitoa propaganda? | {
"text": [
"Wanasiasa, hasa wanadini"
]
} |
3847_swa | IEBC yafaa kulaumiwa kwa idadi ndogo ya usajili
KWA mujibu wa kipendele cha 38 cha katiba ya sasa, ni haki ya kila raia wa Kenya kupata habari zitayomwezesha kuelewa wajibu wake wa kidemokrasia wa kushiriki katika uchaguzi ili agfanye chaguo litakalomfaa.
Kipengele cha 88 ibara ya 4 (g) kinaipa Tume Huru ya Uchaguzi na Mamlaka (IEBC) mamlaka ya kuendesha elimu ya uhamasisho kwa wapiga kura. Katika utekelezaji wa wajibu huu, tume hii inapaswa kuunda mwongozo wa utoaji elimu kwa wapiga kura na mtaala itakayotumia ilifafanuliwa katika sehemu ya 40 ya Sheria ya Uchaguzi, 2011.
Ni kutokana na wajibu huu muhimu ambapo IEBC imebuni kitengo maalum cha Elimu kwa Wapiga kura ambacho wakati huu kinasimamiwa na Bi Joyce Ekuam; kama kaimu mkurugenzi. Inasikitisha kuwa tofauti na miaka ya awali, IEBC haijatekeleza wajibu huu muhimu kabla na hata wakati muhimu kama huu ambapo inaendesha shughuli ya usajili wa wapiga kura wapya kwa wingi.
Tume hii imekuwa ikiendesha elimu hii kwa ushirikiano na makundi ya mashirika ya Kijamii, makundi ya kidini, vyama vya kisiasa, vyombo vya habari, miongoni mwa asasi nyingine ambazo zinaweza kuwafikia wananchi kwa urahisi.
Lakini licha ya kwamba kitengo hicho cha elimu kwa wapiga kura hutengewa bajeti kila mwaka; japo finyu, wakati huu kitengo hicho hakikuendesha elimu hiyo kwa msingi ya ukosefu wa fedha. Nadhani kando na hali kwamba Wakenya wamechoshwa na shughuli nzima ya upiga kura, sababu nyingine inayochangia idadi ndogo ya watu wanaojiandikisha kuwa wapiga kura ni ukosefu wa elimu kuhusu shughuli hii muhimu.
Ama kwa hakika wengine wa vijana 5.2 milioni ambaoni miongoni mwa jumla ya watu 6.3 milioni ambao IEBC inalenga kusajili hawana ufahamu kuhusu shughuli hii ya upigaji kura kama shughuli ya kuwapa ajira wanasiasa ilhali wao hawana. Wengine hawaoni haja ya kujisajili kuwa wapiga kura kwa sababu hawana imani kwamba IEBC itahakikisha kura zao ndizo zinaamua mshindi haswa kwa kiti cha urais. Hii ni kufuatia madai ya baadhi ya viongozi kuwa watu fulani wenye ushawishi serikali, almaarufu “Deep State” ndio watakaoamua ni nani atangazwa mshindi wa kiti cha urais. Madai ya vijana kama hao yana mashiko kwao kulingana na vuta nikuvute ambazo zinagubika matokeo ya urais katika chaguzi zilizopita, hususan, kufutiliwa mbali kwa matokeo ya uchaguzi wa urais 2017.
IEBC, kupitia kitengo cha Elimu kwa wapiga kura, haijajitokeza wazi wazi kutoa ufafanuzi kuhusu masuala hayo na kupatia vijana hakikisho kwamba ni muhimu kwao kujiandisha na kura zao zitakuwa na uzito. Maelezo kama hayo yanafaa kupitishwa katika mitandao ya kijamii, ambako vijana wengine hufuatilia aina mbalimbali za habari, redio, runinga, kwenye mabango na majukwaa mengine ambayo yanaweza kufikia umma kwa haraka.
Kwa hivyo, madai ya IEBC kwamba hawatafikia idadi lengwa la idadi ya wapiga kura kutokana na ukosefu wa pesa za kuendesha zaidi ya awamu moja ya shughuli hiyo hayana mashiko.
Ukweli ni kwamba awali tume hii imekuwa ikitumia fedha nyingi kugharamia ziara mbalimbali ng’ambo na mikutano ambayo haina umuhimu wowote katika kuboresha utendakazi wao. | Kila raia wa Kenya ana haki gani? | {
"text": [
"Kupata habari zitakayomwezesha kuelewa wajibu wake wa kidemokrasia wa kushiriki katika uchaguzi"
]
} |
3847_swa | IEBC yafaa kulaumiwa kwa idadi ndogo ya usajili
KWA mujibu wa kipendele cha 38 cha katiba ya sasa, ni haki ya kila raia wa Kenya kupata habari zitayomwezesha kuelewa wajibu wake wa kidemokrasia wa kushiriki katika uchaguzi ili agfanye chaguo litakalomfaa.
Kipengele cha 88 ibara ya 4 (g) kinaipa Tume Huru ya Uchaguzi na Mamlaka (IEBC) mamlaka ya kuendesha elimu ya uhamasisho kwa wapiga kura. Katika utekelezaji wa wajibu huu, tume hii inapaswa kuunda mwongozo wa utoaji elimu kwa wapiga kura na mtaala itakayotumia ilifafanuliwa katika sehemu ya 40 ya Sheria ya Uchaguzi, 2011.
Ni kutokana na wajibu huu muhimu ambapo IEBC imebuni kitengo maalum cha Elimu kwa Wapiga kura ambacho wakati huu kinasimamiwa na Bi Joyce Ekuam; kama kaimu mkurugenzi. Inasikitisha kuwa tofauti na miaka ya awali, IEBC haijatekeleza wajibu huu muhimu kabla na hata wakati muhimu kama huu ambapo inaendesha shughuli ya usajili wa wapiga kura wapya kwa wingi.
Tume hii imekuwa ikiendesha elimu hii kwa ushirikiano na makundi ya mashirika ya Kijamii, makundi ya kidini, vyama vya kisiasa, vyombo vya habari, miongoni mwa asasi nyingine ambazo zinaweza kuwafikia wananchi kwa urahisi.
Lakini licha ya kwamba kitengo hicho cha elimu kwa wapiga kura hutengewa bajeti kila mwaka; japo finyu, wakati huu kitengo hicho hakikuendesha elimu hiyo kwa msingi ya ukosefu wa fedha. Nadhani kando na hali kwamba Wakenya wamechoshwa na shughuli nzima ya upiga kura, sababu nyingine inayochangia idadi ndogo ya watu wanaojiandikisha kuwa wapiga kura ni ukosefu wa elimu kuhusu shughuli hii muhimu.
Ama kwa hakika wengine wa vijana 5.2 milioni ambaoni miongoni mwa jumla ya watu 6.3 milioni ambao IEBC inalenga kusajili hawana ufahamu kuhusu shughuli hii ya upigaji kura kama shughuli ya kuwapa ajira wanasiasa ilhali wao hawana. Wengine hawaoni haja ya kujisajili kuwa wapiga kura kwa sababu hawana imani kwamba IEBC itahakikisha kura zao ndizo zinaamua mshindi haswa kwa kiti cha urais. Hii ni kufuatia madai ya baadhi ya viongozi kuwa watu fulani wenye ushawishi serikali, almaarufu “Deep State” ndio watakaoamua ni nani atangazwa mshindi wa kiti cha urais. Madai ya vijana kama hao yana mashiko kwao kulingana na vuta nikuvute ambazo zinagubika matokeo ya urais katika chaguzi zilizopita, hususan, kufutiliwa mbali kwa matokeo ya uchaguzi wa urais 2017.
IEBC, kupitia kitengo cha Elimu kwa wapiga kura, haijajitokeza wazi wazi kutoa ufafanuzi kuhusu masuala hayo na kupatia vijana hakikisho kwamba ni muhimu kwao kujiandisha na kura zao zitakuwa na uzito. Maelezo kama hayo yanafaa kupitishwa katika mitandao ya kijamii, ambako vijana wengine hufuatilia aina mbalimbali za habari, redio, runinga, kwenye mabango na majukwaa mengine ambayo yanaweza kufikia umma kwa haraka.
Kwa hivyo, madai ya IEBC kwamba hawatafikia idadi lengwa la idadi ya wapiga kura kutokana na ukosefu wa pesa za kuendesha zaidi ya awamu moja ya shughuli hiyo hayana mashiko.
Ukweli ni kwamba awali tume hii imekuwa ikitumia fedha nyingi kugharamia ziara mbalimbali ng’ambo na mikutano ambayo haina umuhimu wowote katika kuboresha utendakazi wao. | Tume ya uchaguzi na mamlaka yaitwaje? | {
"text": [
"IEBC"
]
} |
3847_swa | IEBC yafaa kulaumiwa kwa idadi ndogo ya usajili
KWA mujibu wa kipendele cha 38 cha katiba ya sasa, ni haki ya kila raia wa Kenya kupata habari zitayomwezesha kuelewa wajibu wake wa kidemokrasia wa kushiriki katika uchaguzi ili agfanye chaguo litakalomfaa.
Kipengele cha 88 ibara ya 4 (g) kinaipa Tume Huru ya Uchaguzi na Mamlaka (IEBC) mamlaka ya kuendesha elimu ya uhamasisho kwa wapiga kura. Katika utekelezaji wa wajibu huu, tume hii inapaswa kuunda mwongozo wa utoaji elimu kwa wapiga kura na mtaala itakayotumia ilifafanuliwa katika sehemu ya 40 ya Sheria ya Uchaguzi, 2011.
Ni kutokana na wajibu huu muhimu ambapo IEBC imebuni kitengo maalum cha Elimu kwa Wapiga kura ambacho wakati huu kinasimamiwa na Bi Joyce Ekuam; kama kaimu mkurugenzi. Inasikitisha kuwa tofauti na miaka ya awali, IEBC haijatekeleza wajibu huu muhimu kabla na hata wakati muhimu kama huu ambapo inaendesha shughuli ya usajili wa wapiga kura wapya kwa wingi.
Tume hii imekuwa ikiendesha elimu hii kwa ushirikiano na makundi ya mashirika ya Kijamii, makundi ya kidini, vyama vya kisiasa, vyombo vya habari, miongoni mwa asasi nyingine ambazo zinaweza kuwafikia wananchi kwa urahisi.
Lakini licha ya kwamba kitengo hicho cha elimu kwa wapiga kura hutengewa bajeti kila mwaka; japo finyu, wakati huu kitengo hicho hakikuendesha elimu hiyo kwa msingi ya ukosefu wa fedha. Nadhani kando na hali kwamba Wakenya wamechoshwa na shughuli nzima ya upiga kura, sababu nyingine inayochangia idadi ndogo ya watu wanaojiandikisha kuwa wapiga kura ni ukosefu wa elimu kuhusu shughuli hii muhimu.
Ama kwa hakika wengine wa vijana 5.2 milioni ambaoni miongoni mwa jumla ya watu 6.3 milioni ambao IEBC inalenga kusajili hawana ufahamu kuhusu shughuli hii ya upigaji kura kama shughuli ya kuwapa ajira wanasiasa ilhali wao hawana. Wengine hawaoni haja ya kujisajili kuwa wapiga kura kwa sababu hawana imani kwamba IEBC itahakikisha kura zao ndizo zinaamua mshindi haswa kwa kiti cha urais. Hii ni kufuatia madai ya baadhi ya viongozi kuwa watu fulani wenye ushawishi serikali, almaarufu “Deep State” ndio watakaoamua ni nani atangazwa mshindi wa kiti cha urais. Madai ya vijana kama hao yana mashiko kwao kulingana na vuta nikuvute ambazo zinagubika matokeo ya urais katika chaguzi zilizopita, hususan, kufutiliwa mbali kwa matokeo ya uchaguzi wa urais 2017.
IEBC, kupitia kitengo cha Elimu kwa wapiga kura, haijajitokeza wazi wazi kutoa ufafanuzi kuhusu masuala hayo na kupatia vijana hakikisho kwamba ni muhimu kwao kujiandisha na kura zao zitakuwa na uzito. Maelezo kama hayo yanafaa kupitishwa katika mitandao ya kijamii, ambako vijana wengine hufuatilia aina mbalimbali za habari, redio, runinga, kwenye mabango na majukwaa mengine ambayo yanaweza kufikia umma kwa haraka.
Kwa hivyo, madai ya IEBC kwamba hawatafikia idadi lengwa la idadi ya wapiga kura kutokana na ukosefu wa pesa za kuendesha zaidi ya awamu moja ya shughuli hiyo hayana mashiko.
Ukweli ni kwamba awali tume hii imekuwa ikitumia fedha nyingi kugharamia ziara mbalimbali ng’ambo na mikutano ambayo haina umuhimu wowote katika kuboresha utendakazi wao. | Kitengo maalum cha elimu wa wapiga kura kinasimamiwa na nani? | {
"text": [
"Bi Joyce Ekum"
]
} |
3847_swa | IEBC yafaa kulaumiwa kwa idadi ndogo ya usajili
KWA mujibu wa kipendele cha 38 cha katiba ya sasa, ni haki ya kila raia wa Kenya kupata habari zitayomwezesha kuelewa wajibu wake wa kidemokrasia wa kushiriki katika uchaguzi ili agfanye chaguo litakalomfaa.
Kipengele cha 88 ibara ya 4 (g) kinaipa Tume Huru ya Uchaguzi na Mamlaka (IEBC) mamlaka ya kuendesha elimu ya uhamasisho kwa wapiga kura. Katika utekelezaji wa wajibu huu, tume hii inapaswa kuunda mwongozo wa utoaji elimu kwa wapiga kura na mtaala itakayotumia ilifafanuliwa katika sehemu ya 40 ya Sheria ya Uchaguzi, 2011.
Ni kutokana na wajibu huu muhimu ambapo IEBC imebuni kitengo maalum cha Elimu kwa Wapiga kura ambacho wakati huu kinasimamiwa na Bi Joyce Ekuam; kama kaimu mkurugenzi. Inasikitisha kuwa tofauti na miaka ya awali, IEBC haijatekeleza wajibu huu muhimu kabla na hata wakati muhimu kama huu ambapo inaendesha shughuli ya usajili wa wapiga kura wapya kwa wingi.
Tume hii imekuwa ikiendesha elimu hii kwa ushirikiano na makundi ya mashirika ya Kijamii, makundi ya kidini, vyama vya kisiasa, vyombo vya habari, miongoni mwa asasi nyingine ambazo zinaweza kuwafikia wananchi kwa urahisi.
Lakini licha ya kwamba kitengo hicho cha elimu kwa wapiga kura hutengewa bajeti kila mwaka; japo finyu, wakati huu kitengo hicho hakikuendesha elimu hiyo kwa msingi ya ukosefu wa fedha. Nadhani kando na hali kwamba Wakenya wamechoshwa na shughuli nzima ya upiga kura, sababu nyingine inayochangia idadi ndogo ya watu wanaojiandikisha kuwa wapiga kura ni ukosefu wa elimu kuhusu shughuli hii muhimu.
Ama kwa hakika wengine wa vijana 5.2 milioni ambaoni miongoni mwa jumla ya watu 6.3 milioni ambao IEBC inalenga kusajili hawana ufahamu kuhusu shughuli hii ya upigaji kura kama shughuli ya kuwapa ajira wanasiasa ilhali wao hawana. Wengine hawaoni haja ya kujisajili kuwa wapiga kura kwa sababu hawana imani kwamba IEBC itahakikisha kura zao ndizo zinaamua mshindi haswa kwa kiti cha urais. Hii ni kufuatia madai ya baadhi ya viongozi kuwa watu fulani wenye ushawishi serikali, almaarufu “Deep State” ndio watakaoamua ni nani atangazwa mshindi wa kiti cha urais. Madai ya vijana kama hao yana mashiko kwao kulingana na vuta nikuvute ambazo zinagubika matokeo ya urais katika chaguzi zilizopita, hususan, kufutiliwa mbali kwa matokeo ya uchaguzi wa urais 2017.
IEBC, kupitia kitengo cha Elimu kwa wapiga kura, haijajitokeza wazi wazi kutoa ufafanuzi kuhusu masuala hayo na kupatia vijana hakikisho kwamba ni muhimu kwao kujiandisha na kura zao zitakuwa na uzito. Maelezo kama hayo yanafaa kupitishwa katika mitandao ya kijamii, ambako vijana wengine hufuatilia aina mbalimbali za habari, redio, runinga, kwenye mabango na majukwaa mengine ambayo yanaweza kufikia umma kwa haraka.
Kwa hivyo, madai ya IEBC kwamba hawatafikia idadi lengwa la idadi ya wapiga kura kutokana na ukosefu wa pesa za kuendesha zaidi ya awamu moja ya shughuli hiyo hayana mashiko.
Ukweli ni kwamba awali tume hii imekuwa ikitumia fedha nyingi kugharamia ziara mbalimbali ng’ambo na mikutano ambayo haina umuhimu wowote katika kuboresha utendakazi wao. | IEBC haijatekeleza wajibu upi? | {
"text": [
"Wa kuwaelimisha wapiga kura"
]
} |
3847_swa | IEBC yafaa kulaumiwa kwa idadi ndogo ya usajili
KWA mujibu wa kipendele cha 38 cha katiba ya sasa, ni haki ya kila raia wa Kenya kupata habari zitayomwezesha kuelewa wajibu wake wa kidemokrasia wa kushiriki katika uchaguzi ili agfanye chaguo litakalomfaa.
Kipengele cha 88 ibara ya 4 (g) kinaipa Tume Huru ya Uchaguzi na Mamlaka (IEBC) mamlaka ya kuendesha elimu ya uhamasisho kwa wapiga kura. Katika utekelezaji wa wajibu huu, tume hii inapaswa kuunda mwongozo wa utoaji elimu kwa wapiga kura na mtaala itakayotumia ilifafanuliwa katika sehemu ya 40 ya Sheria ya Uchaguzi, 2011.
Ni kutokana na wajibu huu muhimu ambapo IEBC imebuni kitengo maalum cha Elimu kwa Wapiga kura ambacho wakati huu kinasimamiwa na Bi Joyce Ekuam; kama kaimu mkurugenzi. Inasikitisha kuwa tofauti na miaka ya awali, IEBC haijatekeleza wajibu huu muhimu kabla na hata wakati muhimu kama huu ambapo inaendesha shughuli ya usajili wa wapiga kura wapya kwa wingi.
Tume hii imekuwa ikiendesha elimu hii kwa ushirikiano na makundi ya mashirika ya Kijamii, makundi ya kidini, vyama vya kisiasa, vyombo vya habari, miongoni mwa asasi nyingine ambazo zinaweza kuwafikia wananchi kwa urahisi.
Lakini licha ya kwamba kitengo hicho cha elimu kwa wapiga kura hutengewa bajeti kila mwaka; japo finyu, wakati huu kitengo hicho hakikuendesha elimu hiyo kwa msingi ya ukosefu wa fedha. Nadhani kando na hali kwamba Wakenya wamechoshwa na shughuli nzima ya upiga kura, sababu nyingine inayochangia idadi ndogo ya watu wanaojiandikisha kuwa wapiga kura ni ukosefu wa elimu kuhusu shughuli hii muhimu.
Ama kwa hakika wengine wa vijana 5.2 milioni ambaoni miongoni mwa jumla ya watu 6.3 milioni ambao IEBC inalenga kusajili hawana ufahamu kuhusu shughuli hii ya upigaji kura kama shughuli ya kuwapa ajira wanasiasa ilhali wao hawana. Wengine hawaoni haja ya kujisajili kuwa wapiga kura kwa sababu hawana imani kwamba IEBC itahakikisha kura zao ndizo zinaamua mshindi haswa kwa kiti cha urais. Hii ni kufuatia madai ya baadhi ya viongozi kuwa watu fulani wenye ushawishi serikali, almaarufu “Deep State” ndio watakaoamua ni nani atangazwa mshindi wa kiti cha urais. Madai ya vijana kama hao yana mashiko kwao kulingana na vuta nikuvute ambazo zinagubika matokeo ya urais katika chaguzi zilizopita, hususan, kufutiliwa mbali kwa matokeo ya uchaguzi wa urais 2017.
IEBC, kupitia kitengo cha Elimu kwa wapiga kura, haijajitokeza wazi wazi kutoa ufafanuzi kuhusu masuala hayo na kupatia vijana hakikisho kwamba ni muhimu kwao kujiandisha na kura zao zitakuwa na uzito. Maelezo kama hayo yanafaa kupitishwa katika mitandao ya kijamii, ambako vijana wengine hufuatilia aina mbalimbali za habari, redio, runinga, kwenye mabango na majukwaa mengine ambayo yanaweza kufikia umma kwa haraka.
Kwa hivyo, madai ya IEBC kwamba hawatafikia idadi lengwa la idadi ya wapiga kura kutokana na ukosefu wa pesa za kuendesha zaidi ya awamu moja ya shughuli hiyo hayana mashiko.
Ukweli ni kwamba awali tume hii imekuwa ikitumia fedha nyingi kugharamia ziara mbalimbali ng’ambo na mikutano ambayo haina umuhimu wowote katika kuboresha utendakazi wao. | Mbona kitengo cha elimu hakikuendesha elimu kwa wapiga kura? | {
"text": [
"Ukosefu wa fedha"
]
} |
3849_swa | BAMBIKA
DOMO kaya Na MWANAMIPASHO
VERA ANAHANGAIKA KUSAKA PESA, ALIJARIBU 'SLIM TEA' MZIGO UKAGANDA, AKAFUNGUA SALUNI. KODI IKAMLEMEA SASA BASI AMEAMUA KUMGEUZA MWANAWE KITEGA UCHUMI
Duh! Kweli Earth is Hard
WAKATI nikiwa nafikiri nimeyaona maajabu yote duniani, ya Firauni na ya Musa, Vera Sidika kaibuka na makubwa yaliyoniacha mdomo waaa! Hewala na mwanzo pongezi za dhati kwa bibiye kujifungua mtoto wa kike.
Ni rehema iliyoje kuleta baraka ya maisha duniani. Tayari binti Asia Brown, mtoto wake Vera ana wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram zaidi ya wengi wetu watu maarufu. Mimi kinachonisikitisha ni vitu anavyovifanya huyu soshiolaiti. Pamoja na kuwa kajaliwa mtoto, picha anayotuchorea bibiye utadhani kajifungua Binti Mfalme. Kila anachokifanya, anataka kisionekane cha kawaida.
Toka aliponasa ujauzito, Vera amekuwa akizua kasheshe nyingi tu unaweza kudhani ndiye mwanamke wakwanza kujifungua. Kina mama zetu walijifungua zaidi ya watoto saba wengine 12 na wala haikuwa shoo. Hata soshiolaiti Kim Kardashiana alivyo na watoto wengi, wala hajawahi kutusumbua mitandaoni kama anavyofanya Shikwekwe.
Alipoandaa baby shower, alituringishia risiti za bei, maji sijui tuliambiwa imeagizwa kutoka nchi ya Ulaya, taulo za mtoto sijui nazo zilitoka Ufilipino au ndio wapi kule. Basi siku ya kuondoka hospitalini baada ya kujifungua, alichukuliwa na Limousine na tukapostiwa.
Wajua debe tupu ndio huwa na kelele kibao. Sielewi uhamasishaji wote huu ni wa nini. Na bado tu mwanao hajapata hata dili moja ya ubalozi.
Mulamwah na demu wake Sonia walipojaliwa binti yao, walilamba dili za ubalozi kwa haraka sana. Hawakuwa na mbwembwe kama hizi halafu tena hata ufuasi wao sio mkubwa kama wa Shikweke mwenye followers zaidi ya milioni mbili.
Ila kwenye vishasha hivi vyake, kilichonishangaza ni pale dada wa watu alipoamua kujifungua akiwa amejipodoa. Yaani mawazo yake hayakuwa kabisa kwenye suala zima la kujifungua, alichokuwa akiwazia ni saa ngapi mtoto atatoka tumboni ili aweze kuwapostia wafuasi wake Instagram. Sasa juzi nimeona kaposti ujumbe kuwa video nzima ya mchakato wa jinsi alivyojifungua tayari ameipakia YouTube.
Binti wa watu kwa kweli anahangaika kusaka pesa. Alijaribu kuuza Slim Tea'- Veetox, mzigo ukaganda. Ni mpuzi gani angepoteza Sh3, 000 kununua 'Slim Tea' zinazouzwa Sh400 na kama ikizidi sana Sh800? Akajaribu kufungua saluni ya kifahari eneo la Westlands lakini mwisho wa siku kodi ilimlemea kwa mujibu wa EX wake Otile Brown na ndio sababu akahamia Mombasa. Vera pia amejaribu kuokota pesa kwa kuanzisha akaunti ya Only Fans. Sijui kuliendaje ila ni dhahiri pia huko alikwama. Sasa basi ameamua kumgeuza mtoto wake kitega uchumi. Duh! - Kweli Earth is hard. | Vera Sindika alijifungua mtoto wa jinsia gani | {
"text": [
"Kike"
]
} |
3849_swa | BAMBIKA
DOMO kaya Na MWANAMIPASHO
VERA ANAHANGAIKA KUSAKA PESA, ALIJARIBU 'SLIM TEA' MZIGO UKAGANDA, AKAFUNGUA SALUNI. KODI IKAMLEMEA SASA BASI AMEAMUA KUMGEUZA MWANAWE KITEGA UCHUMI
Duh! Kweli Earth is Hard
WAKATI nikiwa nafikiri nimeyaona maajabu yote duniani, ya Firauni na ya Musa, Vera Sidika kaibuka na makubwa yaliyoniacha mdomo waaa! Hewala na mwanzo pongezi za dhati kwa bibiye kujifungua mtoto wa kike.
Ni rehema iliyoje kuleta baraka ya maisha duniani. Tayari binti Asia Brown, mtoto wake Vera ana wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram zaidi ya wengi wetu watu maarufu. Mimi kinachonisikitisha ni vitu anavyovifanya huyu soshiolaiti. Pamoja na kuwa kajaliwa mtoto, picha anayotuchorea bibiye utadhani kajifungua Binti Mfalme. Kila anachokifanya, anataka kisionekane cha kawaida.
Toka aliponasa ujauzito, Vera amekuwa akizua kasheshe nyingi tu unaweza kudhani ndiye mwanamke wakwanza kujifungua. Kina mama zetu walijifungua zaidi ya watoto saba wengine 12 na wala haikuwa shoo. Hata soshiolaiti Kim Kardashiana alivyo na watoto wengi, wala hajawahi kutusumbua mitandaoni kama anavyofanya Shikwekwe.
Alipoandaa baby shower, alituringishia risiti za bei, maji sijui tuliambiwa imeagizwa kutoka nchi ya Ulaya, taulo za mtoto sijui nazo zilitoka Ufilipino au ndio wapi kule. Basi siku ya kuondoka hospitalini baada ya kujifungua, alichukuliwa na Limousine na tukapostiwa.
Wajua debe tupu ndio huwa na kelele kibao. Sielewi uhamasishaji wote huu ni wa nini. Na bado tu mwanao hajapata hata dili moja ya ubalozi.
Mulamwah na demu wake Sonia walipojaliwa binti yao, walilamba dili za ubalozi kwa haraka sana. Hawakuwa na mbwembwe kama hizi halafu tena hata ufuasi wao sio mkubwa kama wa Shikweke mwenye followers zaidi ya milioni mbili.
Ila kwenye vishasha hivi vyake, kilichonishangaza ni pale dada wa watu alipoamua kujifungua akiwa amejipodoa. Yaani mawazo yake hayakuwa kabisa kwenye suala zima la kujifungua, alichokuwa akiwazia ni saa ngapi mtoto atatoka tumboni ili aweze kuwapostia wafuasi wake Instagram. Sasa juzi nimeona kaposti ujumbe kuwa video nzima ya mchakato wa jinsi alivyojifungua tayari ameipakia YouTube.
Binti wa watu kwa kweli anahangaika kusaka pesa. Alijaribu kuuza Slim Tea'- Veetox, mzigo ukaganda. Ni mpuzi gani angepoteza Sh3, 000 kununua 'Slim Tea' zinazouzwa Sh400 na kama ikizidi sana Sh800? Akajaribu kufungua saluni ya kifahari eneo la Westlands lakini mwisho wa siku kodi ilimlemea kwa mujibu wa EX wake Otile Brown na ndio sababu akahamia Mombasa. Vera pia amejaribu kuokota pesa kwa kuanzisha akaunti ya Only Fans. Sijui kuliendaje ila ni dhahiri pia huko alikwama. Sasa basi ameamua kumgeuza mtoto wake kitega uchumi. Duh! - Kweli Earth is hard. | Asia Brown ana wafuasi wengi wapi | {
"text": [
"Mtandaoni"
]
} |
3849_swa | BAMBIKA
DOMO kaya Na MWANAMIPASHO
VERA ANAHANGAIKA KUSAKA PESA, ALIJARIBU 'SLIM TEA' MZIGO UKAGANDA, AKAFUNGUA SALUNI. KODI IKAMLEMEA SASA BASI AMEAMUA KUMGEUZA MWANAWE KITEGA UCHUMI
Duh! Kweli Earth is Hard
WAKATI nikiwa nafikiri nimeyaona maajabu yote duniani, ya Firauni na ya Musa, Vera Sidika kaibuka na makubwa yaliyoniacha mdomo waaa! Hewala na mwanzo pongezi za dhati kwa bibiye kujifungua mtoto wa kike.
Ni rehema iliyoje kuleta baraka ya maisha duniani. Tayari binti Asia Brown, mtoto wake Vera ana wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram zaidi ya wengi wetu watu maarufu. Mimi kinachonisikitisha ni vitu anavyovifanya huyu soshiolaiti. Pamoja na kuwa kajaliwa mtoto, picha anayotuchorea bibiye utadhani kajifungua Binti Mfalme. Kila anachokifanya, anataka kisionekane cha kawaida.
Toka aliponasa ujauzito, Vera amekuwa akizua kasheshe nyingi tu unaweza kudhani ndiye mwanamke wakwanza kujifungua. Kina mama zetu walijifungua zaidi ya watoto saba wengine 12 na wala haikuwa shoo. Hata soshiolaiti Kim Kardashiana alivyo na watoto wengi, wala hajawahi kutusumbua mitandaoni kama anavyofanya Shikwekwe.
Alipoandaa baby shower, alituringishia risiti za bei, maji sijui tuliambiwa imeagizwa kutoka nchi ya Ulaya, taulo za mtoto sijui nazo zilitoka Ufilipino au ndio wapi kule. Basi siku ya kuondoka hospitalini baada ya kujifungua, alichukuliwa na Limousine na tukapostiwa.
Wajua debe tupu ndio huwa na kelele kibao. Sielewi uhamasishaji wote huu ni wa nini. Na bado tu mwanao hajapata hata dili moja ya ubalozi.
Mulamwah na demu wake Sonia walipojaliwa binti yao, walilamba dili za ubalozi kwa haraka sana. Hawakuwa na mbwembwe kama hizi halafu tena hata ufuasi wao sio mkubwa kama wa Shikweke mwenye followers zaidi ya milioni mbili.
Ila kwenye vishasha hivi vyake, kilichonishangaza ni pale dada wa watu alipoamua kujifungua akiwa amejipodoa. Yaani mawazo yake hayakuwa kabisa kwenye suala zima la kujifungua, alichokuwa akiwazia ni saa ngapi mtoto atatoka tumboni ili aweze kuwapostia wafuasi wake Instagram. Sasa juzi nimeona kaposti ujumbe kuwa video nzima ya mchakato wa jinsi alivyojifungua tayari ameipakia YouTube.
Binti wa watu kwa kweli anahangaika kusaka pesa. Alijaribu kuuza Slim Tea'- Veetox, mzigo ukaganda. Ni mpuzi gani angepoteza Sh3, 000 kununua 'Slim Tea' zinazouzwa Sh400 na kama ikizidi sana Sh800? Akajaribu kufungua saluni ya kifahari eneo la Westlands lakini mwisho wa siku kodi ilimlemea kwa mujibu wa EX wake Otile Brown na ndio sababu akahamia Mombasa. Vera pia amejaribu kuokota pesa kwa kuanzisha akaunti ya Only Fans. Sijui kuliendaje ila ni dhahiri pia huko alikwama. Sasa basi ameamua kumgeuza mtoto wake kitega uchumi. Duh! - Kweli Earth is hard. | Vera Sindika akitoka hospitalini alichukuliwa na nini | {
"text": [
"Limousine"
]
} |
3849_swa | BAMBIKA
DOMO kaya Na MWANAMIPASHO
VERA ANAHANGAIKA KUSAKA PESA, ALIJARIBU 'SLIM TEA' MZIGO UKAGANDA, AKAFUNGUA SALUNI. KODI IKAMLEMEA SASA BASI AMEAMUA KUMGEUZA MWANAWE KITEGA UCHUMI
Duh! Kweli Earth is Hard
WAKATI nikiwa nafikiri nimeyaona maajabu yote duniani, ya Firauni na ya Musa, Vera Sidika kaibuka na makubwa yaliyoniacha mdomo waaa! Hewala na mwanzo pongezi za dhati kwa bibiye kujifungua mtoto wa kike.
Ni rehema iliyoje kuleta baraka ya maisha duniani. Tayari binti Asia Brown, mtoto wake Vera ana wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram zaidi ya wengi wetu watu maarufu. Mimi kinachonisikitisha ni vitu anavyovifanya huyu soshiolaiti. Pamoja na kuwa kajaliwa mtoto, picha anayotuchorea bibiye utadhani kajifungua Binti Mfalme. Kila anachokifanya, anataka kisionekane cha kawaida.
Toka aliponasa ujauzito, Vera amekuwa akizua kasheshe nyingi tu unaweza kudhani ndiye mwanamke wakwanza kujifungua. Kina mama zetu walijifungua zaidi ya watoto saba wengine 12 na wala haikuwa shoo. Hata soshiolaiti Kim Kardashiana alivyo na watoto wengi, wala hajawahi kutusumbua mitandaoni kama anavyofanya Shikwekwe.
Alipoandaa baby shower, alituringishia risiti za bei, maji sijui tuliambiwa imeagizwa kutoka nchi ya Ulaya, taulo za mtoto sijui nazo zilitoka Ufilipino au ndio wapi kule. Basi siku ya kuondoka hospitalini baada ya kujifungua, alichukuliwa na Limousine na tukapostiwa.
Wajua debe tupu ndio huwa na kelele kibao. Sielewi uhamasishaji wote huu ni wa nini. Na bado tu mwanao hajapata hata dili moja ya ubalozi.
Mulamwah na demu wake Sonia walipojaliwa binti yao, walilamba dili za ubalozi kwa haraka sana. Hawakuwa na mbwembwe kama hizi halafu tena hata ufuasi wao sio mkubwa kama wa Shikweke mwenye followers zaidi ya milioni mbili.
Ila kwenye vishasha hivi vyake, kilichonishangaza ni pale dada wa watu alipoamua kujifungua akiwa amejipodoa. Yaani mawazo yake hayakuwa kabisa kwenye suala zima la kujifungua, alichokuwa akiwazia ni saa ngapi mtoto atatoka tumboni ili aweze kuwapostia wafuasi wake Instagram. Sasa juzi nimeona kaposti ujumbe kuwa video nzima ya mchakato wa jinsi alivyojifungua tayari ameipakia YouTube.
Binti wa watu kwa kweli anahangaika kusaka pesa. Alijaribu kuuza Slim Tea'- Veetox, mzigo ukaganda. Ni mpuzi gani angepoteza Sh3, 000 kununua 'Slim Tea' zinazouzwa Sh400 na kama ikizidi sana Sh800? Akajaribu kufungua saluni ya kifahari eneo la Westlands lakini mwisho wa siku kodi ilimlemea kwa mujibu wa EX wake Otile Brown na ndio sababu akahamia Mombasa. Vera pia amejaribu kuokota pesa kwa kuanzisha akaunti ya Only Fans. Sijui kuliendaje ila ni dhahiri pia huko alikwama. Sasa basi ameamua kumgeuza mtoto wake kitega uchumi. Duh! - Kweli Earth is hard. | Vera alijifungua akiwa amefanya nini | {
"text": [
"Amejipondoa"
]
} |
3849_swa | BAMBIKA
DOMO kaya Na MWANAMIPASHO
VERA ANAHANGAIKA KUSAKA PESA, ALIJARIBU 'SLIM TEA' MZIGO UKAGANDA, AKAFUNGUA SALUNI. KODI IKAMLEMEA SASA BASI AMEAMUA KUMGEUZA MWANAWE KITEGA UCHUMI
Duh! Kweli Earth is Hard
WAKATI nikiwa nafikiri nimeyaona maajabu yote duniani, ya Firauni na ya Musa, Vera Sidika kaibuka na makubwa yaliyoniacha mdomo waaa! Hewala na mwanzo pongezi za dhati kwa bibiye kujifungua mtoto wa kike.
Ni rehema iliyoje kuleta baraka ya maisha duniani. Tayari binti Asia Brown, mtoto wake Vera ana wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram zaidi ya wengi wetu watu maarufu. Mimi kinachonisikitisha ni vitu anavyovifanya huyu soshiolaiti. Pamoja na kuwa kajaliwa mtoto, picha anayotuchorea bibiye utadhani kajifungua Binti Mfalme. Kila anachokifanya, anataka kisionekane cha kawaida.
Toka aliponasa ujauzito, Vera amekuwa akizua kasheshe nyingi tu unaweza kudhani ndiye mwanamke wakwanza kujifungua. Kina mama zetu walijifungua zaidi ya watoto saba wengine 12 na wala haikuwa shoo. Hata soshiolaiti Kim Kardashiana alivyo na watoto wengi, wala hajawahi kutusumbua mitandaoni kama anavyofanya Shikwekwe.
Alipoandaa baby shower, alituringishia risiti za bei, maji sijui tuliambiwa imeagizwa kutoka nchi ya Ulaya, taulo za mtoto sijui nazo zilitoka Ufilipino au ndio wapi kule. Basi siku ya kuondoka hospitalini baada ya kujifungua, alichukuliwa na Limousine na tukapostiwa.
Wajua debe tupu ndio huwa na kelele kibao. Sielewi uhamasishaji wote huu ni wa nini. Na bado tu mwanao hajapata hata dili moja ya ubalozi.
Mulamwah na demu wake Sonia walipojaliwa binti yao, walilamba dili za ubalozi kwa haraka sana. Hawakuwa na mbwembwe kama hizi halafu tena hata ufuasi wao sio mkubwa kama wa Shikweke mwenye followers zaidi ya milioni mbili.
Ila kwenye vishasha hivi vyake, kilichonishangaza ni pale dada wa watu alipoamua kujifungua akiwa amejipodoa. Yaani mawazo yake hayakuwa kabisa kwenye suala zima la kujifungua, alichokuwa akiwazia ni saa ngapi mtoto atatoka tumboni ili aweze kuwapostia wafuasi wake Instagram. Sasa juzi nimeona kaposti ujumbe kuwa video nzima ya mchakato wa jinsi alivyojifungua tayari ameipakia YouTube.
Binti wa watu kwa kweli anahangaika kusaka pesa. Alijaribu kuuza Slim Tea'- Veetox, mzigo ukaganda. Ni mpuzi gani angepoteza Sh3, 000 kununua 'Slim Tea' zinazouzwa Sh400 na kama ikizidi sana Sh800? Akajaribu kufungua saluni ya kifahari eneo la Westlands lakini mwisho wa siku kodi ilimlemea kwa mujibu wa EX wake Otile Brown na ndio sababu akahamia Mombasa. Vera pia amejaribu kuokota pesa kwa kuanzisha akaunti ya Only Fans. Sijui kuliendaje ila ni dhahiri pia huko alikwama. Sasa basi ameamua kumgeuza mtoto wake kitega uchumi. Duh! - Kweli Earth is hard. | Vera amemgeuza nani kuwa kitega uchumi | {
"text": [
"Mtoto"
]
} |
3850_swa | Polo ajifanya sonko kumbe kijijini ni hoi
KALAMENI eneo hili alibubujikwa na machozi na kujitupa miguuni mwa demu kumuomba asimteme lakini hilo halikusaidia kitu.
Jamaa alikuwa amempeleka demu kwao lakini akagundua hakuwa na mbele wala nyuma licha ya kuishi maisha ya kujishasha mjini.
"Nimeamua kukuacha kwa kuwa nilidhania wewe ni dume kumbe hata wanawake wamekushinda kwa maendeleo," mchumba alimsimanga mbele ya watu.
"Mwanamume wa kisasa ni maendeleo si ukubwa wa misuli na kifua kipana. Nilitarajia kuona maendeleo hapa nyumbani lakini huna lolote la kuringia. Usiwahi kunisumbua ukinipigia simu," demu alisema, akampungia mkono na kuondoka.
Jamaa na mchumba wake waliishi mjini. Demu alimpenda mwanamume huyo kutokana na maisha ya 'high class' aliyoishi. Aliishi nyumba kubwa, iliyokuwa na redio ya kisasa, runinga
kubwa, friji, maikrowevu, makochi, makabati na zulia la thamani. Jombi alikuwa mtu wa majivu
no, demu akaamini huyo alitoka katika familia tajiri sana hadi juzi alipompeleka nyumbani kwao.
Demu alishangaa kwa kuwa jombi alikuwa na nyumba ndogo ya chumba kimoja yenye mlango wa bati na paa la nyasi. Kwa kuwa ulikuwa ni usiku, demu alivumilia kunguni na chawa usiku kucha waliomtafuna kwelikweli.
"Wapo wanaume duniani ila wewe si mmoja wao. Bado una utoto mwingi kichwani ndio maana wanaume wa rika lako wakisonga mbele, nawe unarudi nyuma," demu alimwambia.
Juhudi za jombi kumrai demu amvumilie hazikuzaa matunda. Demu alikuwa amegundua
kwamba, hata angalikubali kuolewa na jamaa, angekabiliana na maisha magumu yenye dhiki
ndio maana akaamua kumtema harakaharaka.
"Umeachwa kwa kupenda raha ya mji badala ya kukumbuka kwamba maisha ya mji hufikia mwisho mtu akakumbuka kurejea nyumbani,” jombi alisutwa na kaka yake. | Kalameni alibubujikwa na nini | {
"text": [
"Machozi"
]
} |
3850_swa | Polo ajifanya sonko kumbe kijijini ni hoi
KALAMENI eneo hili alibubujikwa na machozi na kujitupa miguuni mwa demu kumuomba asimteme lakini hilo halikusaidia kitu.
Jamaa alikuwa amempeleka demu kwao lakini akagundua hakuwa na mbele wala nyuma licha ya kuishi maisha ya kujishasha mjini.
"Nimeamua kukuacha kwa kuwa nilidhania wewe ni dume kumbe hata wanawake wamekushinda kwa maendeleo," mchumba alimsimanga mbele ya watu.
"Mwanamume wa kisasa ni maendeleo si ukubwa wa misuli na kifua kipana. Nilitarajia kuona maendeleo hapa nyumbani lakini huna lolote la kuringia. Usiwahi kunisumbua ukinipigia simu," demu alisema, akampungia mkono na kuondoka.
Jamaa na mchumba wake waliishi mjini. Demu alimpenda mwanamume huyo kutokana na maisha ya 'high class' aliyoishi. Aliishi nyumba kubwa, iliyokuwa na redio ya kisasa, runinga
kubwa, friji, maikrowevu, makochi, makabati na zulia la thamani. Jombi alikuwa mtu wa majivu
no, demu akaamini huyo alitoka katika familia tajiri sana hadi juzi alipompeleka nyumbani kwao.
Demu alishangaa kwa kuwa jombi alikuwa na nyumba ndogo ya chumba kimoja yenye mlango wa bati na paa la nyasi. Kwa kuwa ulikuwa ni usiku, demu alivumilia kunguni na chawa usiku kucha waliomtafuna kwelikweli.
"Wapo wanaume duniani ila wewe si mmoja wao. Bado una utoto mwingi kichwani ndio maana wanaume wa rika lako wakisonga mbele, nawe unarudi nyuma," demu alimwambia.
Juhudi za jombi kumrai demu amvumilie hazikuzaa matunda. Demu alikuwa amegundua
kwamba, hata angalikubali kuolewa na jamaa, angekabiliana na maisha magumu yenye dhiki
ndio maana akaamua kumtema harakaharaka.
"Umeachwa kwa kupenda raha ya mji badala ya kukumbuka kwamba maisha ya mji hufikia mwisho mtu akakumbuka kurejea nyumbani,” jombi alisutwa na kaka yake. | Mwanamume wa kisasa ni nini na wala sio ukubwa wa msuli na kifua kipana | {
"text": [
"Maendeleo"
]
} |
3850_swa | Polo ajifanya sonko kumbe kijijini ni hoi
KALAMENI eneo hili alibubujikwa na machozi na kujitupa miguuni mwa demu kumuomba asimteme lakini hilo halikusaidia kitu.
Jamaa alikuwa amempeleka demu kwao lakini akagundua hakuwa na mbele wala nyuma licha ya kuishi maisha ya kujishasha mjini.
"Nimeamua kukuacha kwa kuwa nilidhania wewe ni dume kumbe hata wanawake wamekushinda kwa maendeleo," mchumba alimsimanga mbele ya watu.
"Mwanamume wa kisasa ni maendeleo si ukubwa wa misuli na kifua kipana. Nilitarajia kuona maendeleo hapa nyumbani lakini huna lolote la kuringia. Usiwahi kunisumbua ukinipigia simu," demu alisema, akampungia mkono na kuondoka.
Jamaa na mchumba wake waliishi mjini. Demu alimpenda mwanamume huyo kutokana na maisha ya 'high class' aliyoishi. Aliishi nyumba kubwa, iliyokuwa na redio ya kisasa, runinga
kubwa, friji, maikrowevu, makochi, makabati na zulia la thamani. Jombi alikuwa mtu wa majivu
no, demu akaamini huyo alitoka katika familia tajiri sana hadi juzi alipompeleka nyumbani kwao.
Demu alishangaa kwa kuwa jombi alikuwa na nyumba ndogo ya chumba kimoja yenye mlango wa bati na paa la nyasi. Kwa kuwa ulikuwa ni usiku, demu alivumilia kunguni na chawa usiku kucha waliomtafuna kwelikweli.
"Wapo wanaume duniani ila wewe si mmoja wao. Bado una utoto mwingi kichwani ndio maana wanaume wa rika lako wakisonga mbele, nawe unarudi nyuma," demu alimwambia.
Juhudi za jombi kumrai demu amvumilie hazikuzaa matunda. Demu alikuwa amegundua
kwamba, hata angalikubali kuolewa na jamaa, angekabiliana na maisha magumu yenye dhiki
ndio maana akaamua kumtema harakaharaka.
"Umeachwa kwa kupenda raha ya mji badala ya kukumbuka kwamba maisha ya mji hufikia mwisho mtu akakumbuka kurejea nyumbani,” jombi alisutwa na kaka yake. | Jamaa na mchumba wake waliishi wapi | {
"text": [
"Mjini"
]
} |
3850_swa | Polo ajifanya sonko kumbe kijijini ni hoi
KALAMENI eneo hili alibubujikwa na machozi na kujitupa miguuni mwa demu kumuomba asimteme lakini hilo halikusaidia kitu.
Jamaa alikuwa amempeleka demu kwao lakini akagundua hakuwa na mbele wala nyuma licha ya kuishi maisha ya kujishasha mjini.
"Nimeamua kukuacha kwa kuwa nilidhania wewe ni dume kumbe hata wanawake wamekushinda kwa maendeleo," mchumba alimsimanga mbele ya watu.
"Mwanamume wa kisasa ni maendeleo si ukubwa wa misuli na kifua kipana. Nilitarajia kuona maendeleo hapa nyumbani lakini huna lolote la kuringia. Usiwahi kunisumbua ukinipigia simu," demu alisema, akampungia mkono na kuondoka.
Jamaa na mchumba wake waliishi mjini. Demu alimpenda mwanamume huyo kutokana na maisha ya 'high class' aliyoishi. Aliishi nyumba kubwa, iliyokuwa na redio ya kisasa, runinga
kubwa, friji, maikrowevu, makochi, makabati na zulia la thamani. Jombi alikuwa mtu wa majivu
no, demu akaamini huyo alitoka katika familia tajiri sana hadi juzi alipompeleka nyumbani kwao.
Demu alishangaa kwa kuwa jombi alikuwa na nyumba ndogo ya chumba kimoja yenye mlango wa bati na paa la nyasi. Kwa kuwa ulikuwa ni usiku, demu alivumilia kunguni na chawa usiku kucha waliomtafuna kwelikweli.
"Wapo wanaume duniani ila wewe si mmoja wao. Bado una utoto mwingi kichwani ndio maana wanaume wa rika lako wakisonga mbele, nawe unarudi nyuma," demu alimwambia.
Juhudi za jombi kumrai demu amvumilie hazikuzaa matunda. Demu alikuwa amegundua
kwamba, hata angalikubali kuolewa na jamaa, angekabiliana na maisha magumu yenye dhiki
ndio maana akaamua kumtema harakaharaka.
"Umeachwa kwa kupenda raha ya mji badala ya kukumbuka kwamba maisha ya mji hufikia mwisho mtu akakumbuka kurejea nyumbani,” jombi alisutwa na kaka yake. | Ni nani alivumilia kunguni na chawa usiku kucha | {
"text": [
"Demu"
]
} |
3850_swa | Polo ajifanya sonko kumbe kijijini ni hoi
KALAMENI eneo hili alibubujikwa na machozi na kujitupa miguuni mwa demu kumuomba asimteme lakini hilo halikusaidia kitu.
Jamaa alikuwa amempeleka demu kwao lakini akagundua hakuwa na mbele wala nyuma licha ya kuishi maisha ya kujishasha mjini.
"Nimeamua kukuacha kwa kuwa nilidhania wewe ni dume kumbe hata wanawake wamekushinda kwa maendeleo," mchumba alimsimanga mbele ya watu.
"Mwanamume wa kisasa ni maendeleo si ukubwa wa misuli na kifua kipana. Nilitarajia kuona maendeleo hapa nyumbani lakini huna lolote la kuringia. Usiwahi kunisumbua ukinipigia simu," demu alisema, akampungia mkono na kuondoka.
Jamaa na mchumba wake waliishi mjini. Demu alimpenda mwanamume huyo kutokana na maisha ya 'high class' aliyoishi. Aliishi nyumba kubwa, iliyokuwa na redio ya kisasa, runinga
kubwa, friji, maikrowevu, makochi, makabati na zulia la thamani. Jombi alikuwa mtu wa majivu
no, demu akaamini huyo alitoka katika familia tajiri sana hadi juzi alipompeleka nyumbani kwao.
Demu alishangaa kwa kuwa jombi alikuwa na nyumba ndogo ya chumba kimoja yenye mlango wa bati na paa la nyasi. Kwa kuwa ulikuwa ni usiku, demu alivumilia kunguni na chawa usiku kucha waliomtafuna kwelikweli.
"Wapo wanaume duniani ila wewe si mmoja wao. Bado una utoto mwingi kichwani ndio maana wanaume wa rika lako wakisonga mbele, nawe unarudi nyuma," demu alimwambia.
Juhudi za jombi kumrai demu amvumilie hazikuzaa matunda. Demu alikuwa amegundua
kwamba, hata angalikubali kuolewa na jamaa, angekabiliana na maisha magumu yenye dhiki
ndio maana akaamua kumtema harakaharaka.
"Umeachwa kwa kupenda raha ya mji badala ya kukumbuka kwamba maisha ya mji hufikia mwisho mtu akakumbuka kurejea nyumbani,” jombi alisutwa na kaka yake. | Juhudi za kumrai demu avumilie hazikuzaa nini | {
"text": [
"Matunda"
]
} |
3851_swa | Ingwe imani tele itafufuka leo timu zikijiandaa kwa ligi
AFC Leopards leo ina matumaini tele ya kutokomeza wimbi la matokeo duni itakapochuana na Ulinzi Stars kwenye mechi ya Ligi Kuu ugani Thika.
Mashabiki lukuki wa Ingwe wanatarajiwa kumiminika ugani humo, baada ya serikali kufungua nchi na kuondoa baadhi ya masharti makali ya kuzuia kuenea kwa janga la corona.
Wakati huo huo, mechi nyingine tano za ligi hiyo, zitasakatwa Jumamosi na nyingine tatu Jumapili kwenye nyuga mbalimbali.
Kati ya mechi zitakazokuwa na ushindani mkali ni Gor Mahia dhidi ya Sofapaka, Tusker ikivaana na Wazito na debi ya mtaa wa mabanda kati ya Mathare United na Kariobangi Sharks. KCB, ambayo ilimaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita, ina kibarua kigumu dhidi ya washiriki wapya polisi.
Mechi kati ya Ulinzi na Ingwe huwa ngumu. Hata hivyo, Ingwe imekuwa ikiwalemea wanajeshi hao kwa misimu mitatu iliyopita.
Leopards tayari imezoa alama nne msimu huu kutokana na ushindi wa 1-0 dhidi ya Tusker na sare tasa dhidi ya KCB. Ilipigwa 1-0 na Gor kwenye gozi la mashemeji kabla ya kuzamishwa 2-1 na Bandari wiki jana.
Ulinzi ya kocha Stephen Ochola haijapoteza msimu huu. Ilipiga Nzoia Sugar na Mathare 1-0 kila mmoja kabla ya sare ya 1-1 dhidi ya Bidco United wikendi iliyopita.
Huku Leopards ikijivunia wachezaji wachanga na haina mshambuliaji baada ya kuondokewa na mastaa, Ulinzi ina wachezaji wengi walioisakatia msimu uliopita.
Safu ya nyuma ya Ingwe, hata hivyo, lazima iji hadhari na washambuliaji Kevin Ouma na Clinton 'Aguero' Omondi ambao wameonyesha mchezo mzuri msimu huu. Walifunga Mathare na Bidco United mtawalia.
"Ni mechi ambayo lazima tujikaze na kurejelea ushindi baada ya kupoteza dhidi ya Gor na Bandari. Kikosi changu kichanga kimeanza kuzoea mechi za ligi na hata dhidi ya Bandari tulionyesha mchezo ulioimarika sana," akasema Kocha wa Leopards, Patrick Aussems.
Katika mechi tano zilizopita kati ya timu hizo mbili, Leopards imeshinda mara nne huku mechi moja ikiishia sare tasa.
Mara ya mwisho Ulinzi ilipiga Ingwe ni mwaka 2018, ambapo wanajeshi hao walitamba nyumbani na ugenini 2-1. | Mechi nyingine tano za ligi hiyo zitasakatwa lini | {
"text": [
"Jumamosi"
]
} |
3851_swa | Ingwe imani tele itafufuka leo timu zikijiandaa kwa ligi
AFC Leopards leo ina matumaini tele ya kutokomeza wimbi la matokeo duni itakapochuana na Ulinzi Stars kwenye mechi ya Ligi Kuu ugani Thika.
Mashabiki lukuki wa Ingwe wanatarajiwa kumiminika ugani humo, baada ya serikali kufungua nchi na kuondoa baadhi ya masharti makali ya kuzuia kuenea kwa janga la corona.
Wakati huo huo, mechi nyingine tano za ligi hiyo, zitasakatwa Jumamosi na nyingine tatu Jumapili kwenye nyuga mbalimbali.
Kati ya mechi zitakazokuwa na ushindani mkali ni Gor Mahia dhidi ya Sofapaka, Tusker ikivaana na Wazito na debi ya mtaa wa mabanda kati ya Mathare United na Kariobangi Sharks. KCB, ambayo ilimaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita, ina kibarua kigumu dhidi ya washiriki wapya polisi.
Mechi kati ya Ulinzi na Ingwe huwa ngumu. Hata hivyo, Ingwe imekuwa ikiwalemea wanajeshi hao kwa misimu mitatu iliyopita.
Leopards tayari imezoa alama nne msimu huu kutokana na ushindi wa 1-0 dhidi ya Tusker na sare tasa dhidi ya KCB. Ilipigwa 1-0 na Gor kwenye gozi la mashemeji kabla ya kuzamishwa 2-1 na Bandari wiki jana.
Ulinzi ya kocha Stephen Ochola haijapoteza msimu huu. Ilipiga Nzoia Sugar na Mathare 1-0 kila mmoja kabla ya sare ya 1-1 dhidi ya Bidco United wikendi iliyopita.
Huku Leopards ikijivunia wachezaji wachanga na haina mshambuliaji baada ya kuondokewa na mastaa, Ulinzi ina wachezaji wengi walioisakatia msimu uliopita.
Safu ya nyuma ya Ingwe, hata hivyo, lazima iji hadhari na washambuliaji Kevin Ouma na Clinton 'Aguero' Omondi ambao wameonyesha mchezo mzuri msimu huu. Walifunga Mathare na Bidco United mtawalia.
"Ni mechi ambayo lazima tujikaze na kurejelea ushindi baada ya kupoteza dhidi ya Gor na Bandari. Kikosi changu kichanga kimeanza kuzoea mechi za ligi na hata dhidi ya Bandari tulionyesha mchezo ulioimarika sana," akasema Kocha wa Leopards, Patrick Aussems.
Katika mechi tano zilizopita kati ya timu hizo mbili, Leopards imeshinda mara nne huku mechi moja ikiishia sare tasa.
Mara ya mwisho Ulinzi ilipiga Ingwe ni mwaka 2018, ambapo wanajeshi hao walitamba nyumbani na ugenini 2-1. | KCB ilimaliza katika nafasi ya pili lini | {
"text": [
"msimu uliopita"
]
} |
3851_swa | Ingwe imani tele itafufuka leo timu zikijiandaa kwa ligi
AFC Leopards leo ina matumaini tele ya kutokomeza wimbi la matokeo duni itakapochuana na Ulinzi Stars kwenye mechi ya Ligi Kuu ugani Thika.
Mashabiki lukuki wa Ingwe wanatarajiwa kumiminika ugani humo, baada ya serikali kufungua nchi na kuondoa baadhi ya masharti makali ya kuzuia kuenea kwa janga la corona.
Wakati huo huo, mechi nyingine tano za ligi hiyo, zitasakatwa Jumamosi na nyingine tatu Jumapili kwenye nyuga mbalimbali.
Kati ya mechi zitakazokuwa na ushindani mkali ni Gor Mahia dhidi ya Sofapaka, Tusker ikivaana na Wazito na debi ya mtaa wa mabanda kati ya Mathare United na Kariobangi Sharks. KCB, ambayo ilimaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita, ina kibarua kigumu dhidi ya washiriki wapya polisi.
Mechi kati ya Ulinzi na Ingwe huwa ngumu. Hata hivyo, Ingwe imekuwa ikiwalemea wanajeshi hao kwa misimu mitatu iliyopita.
Leopards tayari imezoa alama nne msimu huu kutokana na ushindi wa 1-0 dhidi ya Tusker na sare tasa dhidi ya KCB. Ilipigwa 1-0 na Gor kwenye gozi la mashemeji kabla ya kuzamishwa 2-1 na Bandari wiki jana.
Ulinzi ya kocha Stephen Ochola haijapoteza msimu huu. Ilipiga Nzoia Sugar na Mathare 1-0 kila mmoja kabla ya sare ya 1-1 dhidi ya Bidco United wikendi iliyopita.
Huku Leopards ikijivunia wachezaji wachanga na haina mshambuliaji baada ya kuondokewa na mastaa, Ulinzi ina wachezaji wengi walioisakatia msimu uliopita.
Safu ya nyuma ya Ingwe, hata hivyo, lazima iji hadhari na washambuliaji Kevin Ouma na Clinton 'Aguero' Omondi ambao wameonyesha mchezo mzuri msimu huu. Walifunga Mathare na Bidco United mtawalia.
"Ni mechi ambayo lazima tujikaze na kurejelea ushindi baada ya kupoteza dhidi ya Gor na Bandari. Kikosi changu kichanga kimeanza kuzoea mechi za ligi na hata dhidi ya Bandari tulionyesha mchezo ulioimarika sana," akasema Kocha wa Leopards, Patrick Aussems.
Katika mechi tano zilizopita kati ya timu hizo mbili, Leopards imeshinda mara nne huku mechi moja ikiishia sare tasa.
Mara ya mwisho Ulinzi ilipiga Ingwe ni mwaka 2018, ambapo wanajeshi hao walitamba nyumbani na ugenini 2-1. | Nini imezoa alama nne msimu huu | {
"text": [
"Leopards "
]
} |
3851_swa | Ingwe imani tele itafufuka leo timu zikijiandaa kwa ligi
AFC Leopards leo ina matumaini tele ya kutokomeza wimbi la matokeo duni itakapochuana na Ulinzi Stars kwenye mechi ya Ligi Kuu ugani Thika.
Mashabiki lukuki wa Ingwe wanatarajiwa kumiminika ugani humo, baada ya serikali kufungua nchi na kuondoa baadhi ya masharti makali ya kuzuia kuenea kwa janga la corona.
Wakati huo huo, mechi nyingine tano za ligi hiyo, zitasakatwa Jumamosi na nyingine tatu Jumapili kwenye nyuga mbalimbali.
Kati ya mechi zitakazokuwa na ushindani mkali ni Gor Mahia dhidi ya Sofapaka, Tusker ikivaana na Wazito na debi ya mtaa wa mabanda kati ya Mathare United na Kariobangi Sharks. KCB, ambayo ilimaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita, ina kibarua kigumu dhidi ya washiriki wapya polisi.
Mechi kati ya Ulinzi na Ingwe huwa ngumu. Hata hivyo, Ingwe imekuwa ikiwalemea wanajeshi hao kwa misimu mitatu iliyopita.
Leopards tayari imezoa alama nne msimu huu kutokana na ushindi wa 1-0 dhidi ya Tusker na sare tasa dhidi ya KCB. Ilipigwa 1-0 na Gor kwenye gozi la mashemeji kabla ya kuzamishwa 2-1 na Bandari wiki jana.
Ulinzi ya kocha Stephen Ochola haijapoteza msimu huu. Ilipiga Nzoia Sugar na Mathare 1-0 kila mmoja kabla ya sare ya 1-1 dhidi ya Bidco United wikendi iliyopita.
Huku Leopards ikijivunia wachezaji wachanga na haina mshambuliaji baada ya kuondokewa na mastaa, Ulinzi ina wachezaji wengi walioisakatia msimu uliopita.
Safu ya nyuma ya Ingwe, hata hivyo, lazima iji hadhari na washambuliaji Kevin Ouma na Clinton 'Aguero' Omondi ambao wameonyesha mchezo mzuri msimu huu. Walifunga Mathare na Bidco United mtawalia.
"Ni mechi ambayo lazima tujikaze na kurejelea ushindi baada ya kupoteza dhidi ya Gor na Bandari. Kikosi changu kichanga kimeanza kuzoea mechi za ligi na hata dhidi ya Bandari tulionyesha mchezo ulioimarika sana," akasema Kocha wa Leopards, Patrick Aussems.
Katika mechi tano zilizopita kati ya timu hizo mbili, Leopards imeshinda mara nne huku mechi moja ikiishia sare tasa.
Mara ya mwisho Ulinzi ilipiga Ingwe ni mwaka 2018, ambapo wanajeshi hao walitamba nyumbani na ugenini 2-1. | Nani kocha wa ulinzi | {
"text": [
"Stephen Ochola"
]
} |
3851_swa | Ingwe imani tele itafufuka leo timu zikijiandaa kwa ligi
AFC Leopards leo ina matumaini tele ya kutokomeza wimbi la matokeo duni itakapochuana na Ulinzi Stars kwenye mechi ya Ligi Kuu ugani Thika.
Mashabiki lukuki wa Ingwe wanatarajiwa kumiminika ugani humo, baada ya serikali kufungua nchi na kuondoa baadhi ya masharti makali ya kuzuia kuenea kwa janga la corona.
Wakati huo huo, mechi nyingine tano za ligi hiyo, zitasakatwa Jumamosi na nyingine tatu Jumapili kwenye nyuga mbalimbali.
Kati ya mechi zitakazokuwa na ushindani mkali ni Gor Mahia dhidi ya Sofapaka, Tusker ikivaana na Wazito na debi ya mtaa wa mabanda kati ya Mathare United na Kariobangi Sharks. KCB, ambayo ilimaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita, ina kibarua kigumu dhidi ya washiriki wapya polisi.
Mechi kati ya Ulinzi na Ingwe huwa ngumu. Hata hivyo, Ingwe imekuwa ikiwalemea wanajeshi hao kwa misimu mitatu iliyopita.
Leopards tayari imezoa alama nne msimu huu kutokana na ushindi wa 1-0 dhidi ya Tusker na sare tasa dhidi ya KCB. Ilipigwa 1-0 na Gor kwenye gozi la mashemeji kabla ya kuzamishwa 2-1 na Bandari wiki jana.
Ulinzi ya kocha Stephen Ochola haijapoteza msimu huu. Ilipiga Nzoia Sugar na Mathare 1-0 kila mmoja kabla ya sare ya 1-1 dhidi ya Bidco United wikendi iliyopita.
Huku Leopards ikijivunia wachezaji wachanga na haina mshambuliaji baada ya kuondokewa na mastaa, Ulinzi ina wachezaji wengi walioisakatia msimu uliopita.
Safu ya nyuma ya Ingwe, hata hivyo, lazima iji hadhari na washambuliaji Kevin Ouma na Clinton 'Aguero' Omondi ambao wameonyesha mchezo mzuri msimu huu. Walifunga Mathare na Bidco United mtawalia.
"Ni mechi ambayo lazima tujikaze na kurejelea ushindi baada ya kupoteza dhidi ya Gor na Bandari. Kikosi changu kichanga kimeanza kuzoea mechi za ligi na hata dhidi ya Bandari tulionyesha mchezo ulioimarika sana," akasema Kocha wa Leopards, Patrick Aussems.
Katika mechi tano zilizopita kati ya timu hizo mbili, Leopards imeshinda mara nne huku mechi moja ikiishia sare tasa.
Mara ya mwisho Ulinzi ilipiga Ingwe ni mwaka 2018, ambapo wanajeshi hao walitamba nyumbani na ugenini 2-1. | Ulinzi ilipiga Ingwe lini mara ya mwisho | {
"text": [
"2018"
]
} |
3852_swa | Chama chajitolea kumtetea Kangogo anayeendelea kusakwa
LSK yataka afisa apewe dhamana kabla ya kunaswa
IMEBAINIKA kuwa afisa wa polisi wa cheo cha koplo anayesakwa kwa mauaji ya wanaume wawili Bi Caroline Kangogo alikutana na wanaume hao pamoja na watu wengine watatu ambao bado hawajatambulika katika klabu moja jijini Nakuru mnamo Jumapili mkesha wa kupatikana kwa mwili wa aliyeuawa wa kwanza.
Watu hao sita walikuwa wameketi katika meza moja wakiburudika siku hiyo lakini bado haijabainika walijadili nini. Baadhi ya maafisa wa polisi waliowaona walisimulia kuwa kulikuwa na gumzo kati yao kabla ya afisa wa cheo cha konstebo John Ogweno kuondoka ghafla.
Bw Ogweno ambaye mwili wake ulipatikana ndani ya gari lake katika kituo cha polisi cha Kasarani Jumatatu asubuhi, inasemakana aliabiri teksi hadi katikati mwa jiji, kisha akaingia kwenye benki kabla ya kuelekea kwenye hoteli ya Merica katika barabara ya Kenyatta ili akutane na mtu fulani.
Baadaye, Bw Ogweno aliabiri pikipiki hadi katika kituo cha polisi cha Kasarani na kuingia katika nyumba yake. jengo la 9. Hata hivyo, alifuatwa na watu wengine watatu akiwemo Bi Kangogo na baadaye mwili wake ukapatikana ndani ya gari katika eneo la maegesho siku iliyofuata. Wakati mwili huo ulipopatikana Bi Kangogo na watu hao walikuwa washatoweka.
Bi Kagongo,34, anasakwa kutokana na mauaji ya watu wawili; Bw Ogweno, 28, mjini Nakuru mnamo - Julai 5 na mfanyabiashara Peter Njiru Ndwiga kati ka eneo la Juja, Kaunti ya Kiambu, kilomita 200 kutoka Nakuru. Inaaminika kuwa afisa huyo wa polisi alikuwa akishiriki sakata mbalimbali na vitendo vya uhalifu na maafisa wengine wasiozingatia maadili ya
utendakazi wa idara hiyo, kabla hata mauaji yanayo chunguzwa kutokea.
Mnamo Jumatano wiki jana, Mkuu wa DCI George Kinoti aliandaa mkutano na idara mbalimbali za uchunguzi ambapo walijadili mbinu zinazofaa zitumike kumkamata Bi Kangogo.
Pia imebainika kuwa maafisa wa DCI wamewahoji marafiki wengi wa Bi Kangogo akiwemo rafikiye anayedaiwa kusemezana naye mnamo Jumatatu. Imebainika kuwa ni vigumu kufahamu hasa anako jificha afisa huyo kwa kuwa simu yake imezimwa ilhali DCI inategemea teknolojia ya simu kumsaka na kufahamu anakopatikana.
Huku juhudi za kumsaka zikiendelea, Chama cha Wanasheria Nchini (LSK) jana kiliomba Mahakama Kuu imwachilie kwa dhamana Bi Kangogo. Kupitia wakili Dkt John Khaminwa aliye na umri wa miaka 84, LSK kinaomba mahakama kuu imwachilie Koplo Kagongo kwa dhamana “hata kabla ya kumkamatwa."
"LSK kimeniagiza nimshtaki Inspekta Jenerali wa Polisi (IG) Hilary Mutyambai, Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Jinai (DCI) na Mwanasheria Mkuu wasimdhulumu Koplo Kagongo anayesakwa kwa mauaji ya Ogweno na Ndwiga," Dkt Khaminwa aliambia Taifa Leo katika Mahakama ya Milimani Nairobi.
Dkt Khaminwa alisisitiza Bi Kagongo anahofia maisha yake popote alipo na akamtaka afike katika afisi zake kwa kuwa LSK ambayo imejitolea kumtetea na kumwakilisha mahakamani. Pia amemtaka asalamishe katika afisi yake bastola/bunduki aliyo nayo.
"Namsihi Koplo Kagongo asalamishe kwa afisi yangu bastola ama bunduki aliyonayo ili niipeleke kwa idara ya silaha," Dkt Khaminwa alisema akishikilia ana haki na anastahili kutetewa.
Dkt Khaminwa alisema atawasilisha kesi katika Mahakama Kuu kuomba afisa huyo wa usalama
aachiliwe kwa dhamana.
Afisa wa polisi anayesakwa Caroline Kangogo kuhusi sasa Makamanda wa Idara ya Jeshi wameshirikiishwa kumsaka Koplo Kagongo. | Caroline Kangogo alikutana na wanaume hao lini | {
"text": [
"Jumapili"
]
} |
3852_swa | Chama chajitolea kumtetea Kangogo anayeendelea kusakwa
LSK yataka afisa apewe dhamana kabla ya kunaswa
IMEBAINIKA kuwa afisa wa polisi wa cheo cha koplo anayesakwa kwa mauaji ya wanaume wawili Bi Caroline Kangogo alikutana na wanaume hao pamoja na watu wengine watatu ambao bado hawajatambulika katika klabu moja jijini Nakuru mnamo Jumapili mkesha wa kupatikana kwa mwili wa aliyeuawa wa kwanza.
Watu hao sita walikuwa wameketi katika meza moja wakiburudika siku hiyo lakini bado haijabainika walijadili nini. Baadhi ya maafisa wa polisi waliowaona walisimulia kuwa kulikuwa na gumzo kati yao kabla ya afisa wa cheo cha konstebo John Ogweno kuondoka ghafla.
Bw Ogweno ambaye mwili wake ulipatikana ndani ya gari lake katika kituo cha polisi cha Kasarani Jumatatu asubuhi, inasemakana aliabiri teksi hadi katikati mwa jiji, kisha akaingia kwenye benki kabla ya kuelekea kwenye hoteli ya Merica katika barabara ya Kenyatta ili akutane na mtu fulani.
Baadaye, Bw Ogweno aliabiri pikipiki hadi katika kituo cha polisi cha Kasarani na kuingia katika nyumba yake. jengo la 9. Hata hivyo, alifuatwa na watu wengine watatu akiwemo Bi Kangogo na baadaye mwili wake ukapatikana ndani ya gari katika eneo la maegesho siku iliyofuata. Wakati mwili huo ulipopatikana Bi Kangogo na watu hao walikuwa washatoweka.
Bi Kagongo,34, anasakwa kutokana na mauaji ya watu wawili; Bw Ogweno, 28, mjini Nakuru mnamo - Julai 5 na mfanyabiashara Peter Njiru Ndwiga kati ka eneo la Juja, Kaunti ya Kiambu, kilomita 200 kutoka Nakuru. Inaaminika kuwa afisa huyo wa polisi alikuwa akishiriki sakata mbalimbali na vitendo vya uhalifu na maafisa wengine wasiozingatia maadili ya
utendakazi wa idara hiyo, kabla hata mauaji yanayo chunguzwa kutokea.
Mnamo Jumatano wiki jana, Mkuu wa DCI George Kinoti aliandaa mkutano na idara mbalimbali za uchunguzi ambapo walijadili mbinu zinazofaa zitumike kumkamata Bi Kangogo.
Pia imebainika kuwa maafisa wa DCI wamewahoji marafiki wengi wa Bi Kangogo akiwemo rafikiye anayedaiwa kusemezana naye mnamo Jumatatu. Imebainika kuwa ni vigumu kufahamu hasa anako jificha afisa huyo kwa kuwa simu yake imezimwa ilhali DCI inategemea teknolojia ya simu kumsaka na kufahamu anakopatikana.
Huku juhudi za kumsaka zikiendelea, Chama cha Wanasheria Nchini (LSK) jana kiliomba Mahakama Kuu imwachilie kwa dhamana Bi Kangogo. Kupitia wakili Dkt John Khaminwa aliye na umri wa miaka 84, LSK kinaomba mahakama kuu imwachilie Koplo Kagongo kwa dhamana “hata kabla ya kumkamatwa."
"LSK kimeniagiza nimshtaki Inspekta Jenerali wa Polisi (IG) Hilary Mutyambai, Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Jinai (DCI) na Mwanasheria Mkuu wasimdhulumu Koplo Kagongo anayesakwa kwa mauaji ya Ogweno na Ndwiga," Dkt Khaminwa aliambia Taifa Leo katika Mahakama ya Milimani Nairobi.
Dkt Khaminwa alisisitiza Bi Kagongo anahofia maisha yake popote alipo na akamtaka afike katika afisi zake kwa kuwa LSK ambayo imejitolea kumtetea na kumwakilisha mahakamani. Pia amemtaka asalamishe katika afisi yake bastola/bunduki aliyo nayo.
"Namsihi Koplo Kagongo asalamishe kwa afisi yangu bastola ama bunduki aliyonayo ili niipeleke kwa idara ya silaha," Dkt Khaminwa alisema akishikilia ana haki na anastahili kutetewa.
Dkt Khaminwa alisema atawasilisha kesi katika Mahakama Kuu kuomba afisa huyo wa usalama
aachiliwe kwa dhamana.
Afisa wa polisi anayesakwa Caroline Kangogo kuhusi sasa Makamanda wa Idara ya Jeshi wameshirikiishwa kumsaka Koplo Kagongo. | Kulikuwa na nini kati yao | {
"text": [
"gumzo"
]
} |
3852_swa | Chama chajitolea kumtetea Kangogo anayeendelea kusakwa
LSK yataka afisa apewe dhamana kabla ya kunaswa
IMEBAINIKA kuwa afisa wa polisi wa cheo cha koplo anayesakwa kwa mauaji ya wanaume wawili Bi Caroline Kangogo alikutana na wanaume hao pamoja na watu wengine watatu ambao bado hawajatambulika katika klabu moja jijini Nakuru mnamo Jumapili mkesha wa kupatikana kwa mwili wa aliyeuawa wa kwanza.
Watu hao sita walikuwa wameketi katika meza moja wakiburudika siku hiyo lakini bado haijabainika walijadili nini. Baadhi ya maafisa wa polisi waliowaona walisimulia kuwa kulikuwa na gumzo kati yao kabla ya afisa wa cheo cha konstebo John Ogweno kuondoka ghafla.
Bw Ogweno ambaye mwili wake ulipatikana ndani ya gari lake katika kituo cha polisi cha Kasarani Jumatatu asubuhi, inasemakana aliabiri teksi hadi katikati mwa jiji, kisha akaingia kwenye benki kabla ya kuelekea kwenye hoteli ya Merica katika barabara ya Kenyatta ili akutane na mtu fulani.
Baadaye, Bw Ogweno aliabiri pikipiki hadi katika kituo cha polisi cha Kasarani na kuingia katika nyumba yake. jengo la 9. Hata hivyo, alifuatwa na watu wengine watatu akiwemo Bi Kangogo na baadaye mwili wake ukapatikana ndani ya gari katika eneo la maegesho siku iliyofuata. Wakati mwili huo ulipopatikana Bi Kangogo na watu hao walikuwa washatoweka.
Bi Kagongo,34, anasakwa kutokana na mauaji ya watu wawili; Bw Ogweno, 28, mjini Nakuru mnamo - Julai 5 na mfanyabiashara Peter Njiru Ndwiga kati ka eneo la Juja, Kaunti ya Kiambu, kilomita 200 kutoka Nakuru. Inaaminika kuwa afisa huyo wa polisi alikuwa akishiriki sakata mbalimbali na vitendo vya uhalifu na maafisa wengine wasiozingatia maadili ya
utendakazi wa idara hiyo, kabla hata mauaji yanayo chunguzwa kutokea.
Mnamo Jumatano wiki jana, Mkuu wa DCI George Kinoti aliandaa mkutano na idara mbalimbali za uchunguzi ambapo walijadili mbinu zinazofaa zitumike kumkamata Bi Kangogo.
Pia imebainika kuwa maafisa wa DCI wamewahoji marafiki wengi wa Bi Kangogo akiwemo rafikiye anayedaiwa kusemezana naye mnamo Jumatatu. Imebainika kuwa ni vigumu kufahamu hasa anako jificha afisa huyo kwa kuwa simu yake imezimwa ilhali DCI inategemea teknolojia ya simu kumsaka na kufahamu anakopatikana.
Huku juhudi za kumsaka zikiendelea, Chama cha Wanasheria Nchini (LSK) jana kiliomba Mahakama Kuu imwachilie kwa dhamana Bi Kangogo. Kupitia wakili Dkt John Khaminwa aliye na umri wa miaka 84, LSK kinaomba mahakama kuu imwachilie Koplo Kagongo kwa dhamana “hata kabla ya kumkamatwa."
"LSK kimeniagiza nimshtaki Inspekta Jenerali wa Polisi (IG) Hilary Mutyambai, Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Jinai (DCI) na Mwanasheria Mkuu wasimdhulumu Koplo Kagongo anayesakwa kwa mauaji ya Ogweno na Ndwiga," Dkt Khaminwa aliambia Taifa Leo katika Mahakama ya Milimani Nairobi.
Dkt Khaminwa alisisitiza Bi Kagongo anahofia maisha yake popote alipo na akamtaka afike katika afisi zake kwa kuwa LSK ambayo imejitolea kumtetea na kumwakilisha mahakamani. Pia amemtaka asalamishe katika afisi yake bastola/bunduki aliyo nayo.
"Namsihi Koplo Kagongo asalamishe kwa afisi yangu bastola ama bunduki aliyonayo ili niipeleke kwa idara ya silaha," Dkt Khaminwa alisema akishikilia ana haki na anastahili kutetewa.
Dkt Khaminwa alisema atawasilisha kesi katika Mahakama Kuu kuomba afisa huyo wa usalama
aachiliwe kwa dhamana.
Afisa wa polisi anayesakwa Caroline Kangogo kuhusi sasa Makamanda wa Idara ya Jeshi wameshirikiishwa kumsaka Koplo Kagongo. | Mwili wa nani ulipatikana ndani ya gari | {
"text": [
"Bw Ogweno"
]
} |
3852_swa | Chama chajitolea kumtetea Kangogo anayeendelea kusakwa
LSK yataka afisa apewe dhamana kabla ya kunaswa
IMEBAINIKA kuwa afisa wa polisi wa cheo cha koplo anayesakwa kwa mauaji ya wanaume wawili Bi Caroline Kangogo alikutana na wanaume hao pamoja na watu wengine watatu ambao bado hawajatambulika katika klabu moja jijini Nakuru mnamo Jumapili mkesha wa kupatikana kwa mwili wa aliyeuawa wa kwanza.
Watu hao sita walikuwa wameketi katika meza moja wakiburudika siku hiyo lakini bado haijabainika walijadili nini. Baadhi ya maafisa wa polisi waliowaona walisimulia kuwa kulikuwa na gumzo kati yao kabla ya afisa wa cheo cha konstebo John Ogweno kuondoka ghafla.
Bw Ogweno ambaye mwili wake ulipatikana ndani ya gari lake katika kituo cha polisi cha Kasarani Jumatatu asubuhi, inasemakana aliabiri teksi hadi katikati mwa jiji, kisha akaingia kwenye benki kabla ya kuelekea kwenye hoteli ya Merica katika barabara ya Kenyatta ili akutane na mtu fulani.
Baadaye, Bw Ogweno aliabiri pikipiki hadi katika kituo cha polisi cha Kasarani na kuingia katika nyumba yake. jengo la 9. Hata hivyo, alifuatwa na watu wengine watatu akiwemo Bi Kangogo na baadaye mwili wake ukapatikana ndani ya gari katika eneo la maegesho siku iliyofuata. Wakati mwili huo ulipopatikana Bi Kangogo na watu hao walikuwa washatoweka.
Bi Kagongo,34, anasakwa kutokana na mauaji ya watu wawili; Bw Ogweno, 28, mjini Nakuru mnamo - Julai 5 na mfanyabiashara Peter Njiru Ndwiga kati ka eneo la Juja, Kaunti ya Kiambu, kilomita 200 kutoka Nakuru. Inaaminika kuwa afisa huyo wa polisi alikuwa akishiriki sakata mbalimbali na vitendo vya uhalifu na maafisa wengine wasiozingatia maadili ya
utendakazi wa idara hiyo, kabla hata mauaji yanayo chunguzwa kutokea.
Mnamo Jumatano wiki jana, Mkuu wa DCI George Kinoti aliandaa mkutano na idara mbalimbali za uchunguzi ambapo walijadili mbinu zinazofaa zitumike kumkamata Bi Kangogo.
Pia imebainika kuwa maafisa wa DCI wamewahoji marafiki wengi wa Bi Kangogo akiwemo rafikiye anayedaiwa kusemezana naye mnamo Jumatatu. Imebainika kuwa ni vigumu kufahamu hasa anako jificha afisa huyo kwa kuwa simu yake imezimwa ilhali DCI inategemea teknolojia ya simu kumsaka na kufahamu anakopatikana.
Huku juhudi za kumsaka zikiendelea, Chama cha Wanasheria Nchini (LSK) jana kiliomba Mahakama Kuu imwachilie kwa dhamana Bi Kangogo. Kupitia wakili Dkt John Khaminwa aliye na umri wa miaka 84, LSK kinaomba mahakama kuu imwachilie Koplo Kagongo kwa dhamana “hata kabla ya kumkamatwa."
"LSK kimeniagiza nimshtaki Inspekta Jenerali wa Polisi (IG) Hilary Mutyambai, Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Jinai (DCI) na Mwanasheria Mkuu wasimdhulumu Koplo Kagongo anayesakwa kwa mauaji ya Ogweno na Ndwiga," Dkt Khaminwa aliambia Taifa Leo katika Mahakama ya Milimani Nairobi.
Dkt Khaminwa alisisitiza Bi Kagongo anahofia maisha yake popote alipo na akamtaka afike katika afisi zake kwa kuwa LSK ambayo imejitolea kumtetea na kumwakilisha mahakamani. Pia amemtaka asalamishe katika afisi yake bastola/bunduki aliyo nayo.
"Namsihi Koplo Kagongo asalamishe kwa afisi yangu bastola ama bunduki aliyonayo ili niipeleke kwa idara ya silaha," Dkt Khaminwa alisema akishikilia ana haki na anastahili kutetewa.
Dkt Khaminwa alisema atawasilisha kesi katika Mahakama Kuu kuomba afisa huyo wa usalama
aachiliwe kwa dhamana.
Afisa wa polisi anayesakwa Caroline Kangogo kuhusi sasa Makamanda wa Idara ya Jeshi wameshirikiishwa kumsaka Koplo Kagongo. | Baadaye bwana Ogweno aliabiri nini | {
"text": [
"pikipiki"
]
} |
3852_swa | Chama chajitolea kumtetea Kangogo anayeendelea kusakwa
LSK yataka afisa apewe dhamana kabla ya kunaswa
IMEBAINIKA kuwa afisa wa polisi wa cheo cha koplo anayesakwa kwa mauaji ya wanaume wawili Bi Caroline Kangogo alikutana na wanaume hao pamoja na watu wengine watatu ambao bado hawajatambulika katika klabu moja jijini Nakuru mnamo Jumapili mkesha wa kupatikana kwa mwili wa aliyeuawa wa kwanza.
Watu hao sita walikuwa wameketi katika meza moja wakiburudika siku hiyo lakini bado haijabainika walijadili nini. Baadhi ya maafisa wa polisi waliowaona walisimulia kuwa kulikuwa na gumzo kati yao kabla ya afisa wa cheo cha konstebo John Ogweno kuondoka ghafla.
Bw Ogweno ambaye mwili wake ulipatikana ndani ya gari lake katika kituo cha polisi cha Kasarani Jumatatu asubuhi, inasemakana aliabiri teksi hadi katikati mwa jiji, kisha akaingia kwenye benki kabla ya kuelekea kwenye hoteli ya Merica katika barabara ya Kenyatta ili akutane na mtu fulani.
Baadaye, Bw Ogweno aliabiri pikipiki hadi katika kituo cha polisi cha Kasarani na kuingia katika nyumba yake. jengo la 9. Hata hivyo, alifuatwa na watu wengine watatu akiwemo Bi Kangogo na baadaye mwili wake ukapatikana ndani ya gari katika eneo la maegesho siku iliyofuata. Wakati mwili huo ulipopatikana Bi Kangogo na watu hao walikuwa washatoweka.
Bi Kagongo,34, anasakwa kutokana na mauaji ya watu wawili; Bw Ogweno, 28, mjini Nakuru mnamo - Julai 5 na mfanyabiashara Peter Njiru Ndwiga kati ka eneo la Juja, Kaunti ya Kiambu, kilomita 200 kutoka Nakuru. Inaaminika kuwa afisa huyo wa polisi alikuwa akishiriki sakata mbalimbali na vitendo vya uhalifu na maafisa wengine wasiozingatia maadili ya
utendakazi wa idara hiyo, kabla hata mauaji yanayo chunguzwa kutokea.
Mnamo Jumatano wiki jana, Mkuu wa DCI George Kinoti aliandaa mkutano na idara mbalimbali za uchunguzi ambapo walijadili mbinu zinazofaa zitumike kumkamata Bi Kangogo.
Pia imebainika kuwa maafisa wa DCI wamewahoji marafiki wengi wa Bi Kangogo akiwemo rafikiye anayedaiwa kusemezana naye mnamo Jumatatu. Imebainika kuwa ni vigumu kufahamu hasa anako jificha afisa huyo kwa kuwa simu yake imezimwa ilhali DCI inategemea teknolojia ya simu kumsaka na kufahamu anakopatikana.
Huku juhudi za kumsaka zikiendelea, Chama cha Wanasheria Nchini (LSK) jana kiliomba Mahakama Kuu imwachilie kwa dhamana Bi Kangogo. Kupitia wakili Dkt John Khaminwa aliye na umri wa miaka 84, LSK kinaomba mahakama kuu imwachilie Koplo Kagongo kwa dhamana “hata kabla ya kumkamatwa."
"LSK kimeniagiza nimshtaki Inspekta Jenerali wa Polisi (IG) Hilary Mutyambai, Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Jinai (DCI) na Mwanasheria Mkuu wasimdhulumu Koplo Kagongo anayesakwa kwa mauaji ya Ogweno na Ndwiga," Dkt Khaminwa aliambia Taifa Leo katika Mahakama ya Milimani Nairobi.
Dkt Khaminwa alisisitiza Bi Kagongo anahofia maisha yake popote alipo na akamtaka afike katika afisi zake kwa kuwa LSK ambayo imejitolea kumtetea na kumwakilisha mahakamani. Pia amemtaka asalamishe katika afisi yake bastola/bunduki aliyo nayo.
"Namsihi Koplo Kagongo asalamishe kwa afisi yangu bastola ama bunduki aliyonayo ili niipeleke kwa idara ya silaha," Dkt Khaminwa alisema akishikilia ana haki na anastahili kutetewa.
Dkt Khaminwa alisema atawasilisha kesi katika Mahakama Kuu kuomba afisa huyo wa usalama
aachiliwe kwa dhamana.
Afisa wa polisi anayesakwa Caroline Kangogo kuhusi sasa Makamanda wa Idara ya Jeshi wameshirikiishwa kumsaka Koplo Kagongo. | Mkuu wa DCI aliandaa nini | {
"text": [
"mkutano"
]
} |
3853_swa | Korti yaagiza diwani wa zamani kuzuiliwa siku 14 uchunguzi ukiendelea
Aliyeuawa kinyama alituzwa na Rais 2016
MFUGAJI hodari wa Pwani ambaye alikuwa mmoja wa watu watatu waliouawa kinyama eneo la Junju, Kaunti ya Kilifi wiki iliyopita, alikuwa ametuzwa na Rais Uhuru Kenyatta kwa uhodari wake wa ufugaji.
Jana, diwani wa zamani, Bw Onesmus Gambo alikuwa miongo ni mwa washukiwa waliofikishwa kortini kwa madai ya kuhusika kwa mauaji hayo.
Alifikishwa mahakamani Shanzu pamoja na Bw Raphael Kenneth Lewa ambaye polisi wanadai ni mmoja wa maskwota wanaoishi katika ardhi ambayo watatu hao walikuwa wameenda kutazama.
Jana, Mahakama iliagiza Bw Gambo awekwe kizuizini kwa siku 14 uchunguzi ukiendelea.
Diwani huyo wa zamani alijitetea kwamba ijapokuwa aliwahi kufanya mikutano na wanakijiji, hakuhusika kupanga mauaji.
Katika kisa cha Jumatano iliyopita kilichotokea Wadi ya Junju, eneobunge la Kilifi Kusini, wanakijiji walishambulia na kuua mfanyabiashara huyo mashuhuri Sidik Anwarali Sumra, dereva wake Rahil Mohammed Kasmani na Bw James Kazungu kafani aliyekuwa wakala wa ardhi.
Bw Sumra, 48, aligonga vichwa vya habari Pwani wakati alipotuzwa na Rais Kenyatta katika maonyesho ya kilimo Mombasa mwaka wa 2016, kwa kuibuka mfugaji bora zaidi wa ng'ombe.
Awali Jumatatu, washukiwa 13 walifikishwa mahakamani akiwemo mzee wa kijiji Philip Ziro Lewa.
Katika hati ya kiapo iliyowasilishwa mahakamani, polisi walisema wanamchukulia Bw Gambo kama mshukiwa kwa vile wanaamini alikutana na wafanyabiashara hao mwezi uliopita wakajadiliana kuhusu nia yao ya kununua ardhi eneo hilo.
Ripoti za polisi zimeonyesha kuwa baada ya kuuliwa, miili yao ilifungwa kwa pikipiki ambayo iliwaburuta hadi barabarani. Baadhi ya wanakijiji walitaka kuwachoma lakini wengine wakapinga.
Imebainika kuwa, gari lao liliporwa kabla kuchomwa, huku washukiwa pia wakiiba bunduki ya Bw Sumra.
Viongozi wa Kaunti ya Kilifi wamezidi kulaani mauaji hayo huku wakiyahusisha na uchochezi kuhusu mizozo ya ardhi.
Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi alisisitiza kuwa kila mwananchi ana haki ya kuishi katika kaunti hiyo bila kujali kabila lake na kuna njia za kisheria kutatua mizozo ya ardhi bila kushambulia watu.
"Hiyo haikuwa mara yake ya kwanza kwenda Junju na wenyeji wanamjua. Alikuwa ameenda kutazama kipande cha ardhi kwa sababu alitaka kupanua biashara yake ya ufugaji. Huu ni ukatili ambao haufai kushuhudiwa katika enzi hizi,” akasema.
Familia ya Bw Kafani sasa inadai haki na waliohusika katika mauaji hayo waadhibiwe. | Mbona rais alimtuza mfugaji aliyeuwawa? | {
"text": [
"Alikua hodari katika ufugaji"
]
} |
3853_swa | Korti yaagiza diwani wa zamani kuzuiliwa siku 14 uchunguzi ukiendelea
Aliyeuawa kinyama alituzwa na Rais 2016
MFUGAJI hodari wa Pwani ambaye alikuwa mmoja wa watu watatu waliouawa kinyama eneo la Junju, Kaunti ya Kilifi wiki iliyopita, alikuwa ametuzwa na Rais Uhuru Kenyatta kwa uhodari wake wa ufugaji.
Jana, diwani wa zamani, Bw Onesmus Gambo alikuwa miongo ni mwa washukiwa waliofikishwa kortini kwa madai ya kuhusika kwa mauaji hayo.
Alifikishwa mahakamani Shanzu pamoja na Bw Raphael Kenneth Lewa ambaye polisi wanadai ni mmoja wa maskwota wanaoishi katika ardhi ambayo watatu hao walikuwa wameenda kutazama.
Jana, Mahakama iliagiza Bw Gambo awekwe kizuizini kwa siku 14 uchunguzi ukiendelea.
Diwani huyo wa zamani alijitetea kwamba ijapokuwa aliwahi kufanya mikutano na wanakijiji, hakuhusika kupanga mauaji.
Katika kisa cha Jumatano iliyopita kilichotokea Wadi ya Junju, eneobunge la Kilifi Kusini, wanakijiji walishambulia na kuua mfanyabiashara huyo mashuhuri Sidik Anwarali Sumra, dereva wake Rahil Mohammed Kasmani na Bw James Kazungu kafani aliyekuwa wakala wa ardhi.
Bw Sumra, 48, aligonga vichwa vya habari Pwani wakati alipotuzwa na Rais Kenyatta katika maonyesho ya kilimo Mombasa mwaka wa 2016, kwa kuibuka mfugaji bora zaidi wa ng'ombe.
Awali Jumatatu, washukiwa 13 walifikishwa mahakamani akiwemo mzee wa kijiji Philip Ziro Lewa.
Katika hati ya kiapo iliyowasilishwa mahakamani, polisi walisema wanamchukulia Bw Gambo kama mshukiwa kwa vile wanaamini alikutana na wafanyabiashara hao mwezi uliopita wakajadiliana kuhusu nia yao ya kununua ardhi eneo hilo.
Ripoti za polisi zimeonyesha kuwa baada ya kuuliwa, miili yao ilifungwa kwa pikipiki ambayo iliwaburuta hadi barabarani. Baadhi ya wanakijiji walitaka kuwachoma lakini wengine wakapinga.
Imebainika kuwa, gari lao liliporwa kabla kuchomwa, huku washukiwa pia wakiiba bunduki ya Bw Sumra.
Viongozi wa Kaunti ya Kilifi wamezidi kulaani mauaji hayo huku wakiyahusisha na uchochezi kuhusu mizozo ya ardhi.
Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi alisisitiza kuwa kila mwananchi ana haki ya kuishi katika kaunti hiyo bila kujali kabila lake na kuna njia za kisheria kutatua mizozo ya ardhi bila kushambulia watu.
"Hiyo haikuwa mara yake ya kwanza kwenda Junju na wenyeji wanamjua. Alikuwa ameenda kutazama kipande cha ardhi kwa sababu alitaka kupanua biashara yake ya ufugaji. Huu ni ukatili ambao haufai kushuhudiwa katika enzi hizi,” akasema.
Familia ya Bw Kafani sasa inadai haki na waliohusika katika mauaji hayo waadhibiwe. | Mbona diwani wa zamani Bwana Gambo alifikishwa kortini? | {
"text": [
"Kwa madai ya kuhusika katika mauaji hayo"
]
} |
3853_swa | Korti yaagiza diwani wa zamani kuzuiliwa siku 14 uchunguzi ukiendelea
Aliyeuawa kinyama alituzwa na Rais 2016
MFUGAJI hodari wa Pwani ambaye alikuwa mmoja wa watu watatu waliouawa kinyama eneo la Junju, Kaunti ya Kilifi wiki iliyopita, alikuwa ametuzwa na Rais Uhuru Kenyatta kwa uhodari wake wa ufugaji.
Jana, diwani wa zamani, Bw Onesmus Gambo alikuwa miongo ni mwa washukiwa waliofikishwa kortini kwa madai ya kuhusika kwa mauaji hayo.
Alifikishwa mahakamani Shanzu pamoja na Bw Raphael Kenneth Lewa ambaye polisi wanadai ni mmoja wa maskwota wanaoishi katika ardhi ambayo watatu hao walikuwa wameenda kutazama.
Jana, Mahakama iliagiza Bw Gambo awekwe kizuizini kwa siku 14 uchunguzi ukiendelea.
Diwani huyo wa zamani alijitetea kwamba ijapokuwa aliwahi kufanya mikutano na wanakijiji, hakuhusika kupanga mauaji.
Katika kisa cha Jumatano iliyopita kilichotokea Wadi ya Junju, eneobunge la Kilifi Kusini, wanakijiji walishambulia na kuua mfanyabiashara huyo mashuhuri Sidik Anwarali Sumra, dereva wake Rahil Mohammed Kasmani na Bw James Kazungu kafani aliyekuwa wakala wa ardhi.
Bw Sumra, 48, aligonga vichwa vya habari Pwani wakati alipotuzwa na Rais Kenyatta katika maonyesho ya kilimo Mombasa mwaka wa 2016, kwa kuibuka mfugaji bora zaidi wa ng'ombe.
Awali Jumatatu, washukiwa 13 walifikishwa mahakamani akiwemo mzee wa kijiji Philip Ziro Lewa.
Katika hati ya kiapo iliyowasilishwa mahakamani, polisi walisema wanamchukulia Bw Gambo kama mshukiwa kwa vile wanaamini alikutana na wafanyabiashara hao mwezi uliopita wakajadiliana kuhusu nia yao ya kununua ardhi eneo hilo.
Ripoti za polisi zimeonyesha kuwa baada ya kuuliwa, miili yao ilifungwa kwa pikipiki ambayo iliwaburuta hadi barabarani. Baadhi ya wanakijiji walitaka kuwachoma lakini wengine wakapinga.
Imebainika kuwa, gari lao liliporwa kabla kuchomwa, huku washukiwa pia wakiiba bunduki ya Bw Sumra.
Viongozi wa Kaunti ya Kilifi wamezidi kulaani mauaji hayo huku wakiyahusisha na uchochezi kuhusu mizozo ya ardhi.
Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi alisisitiza kuwa kila mwananchi ana haki ya kuishi katika kaunti hiyo bila kujali kabila lake na kuna njia za kisheria kutatua mizozo ya ardhi bila kushambulia watu.
"Hiyo haikuwa mara yake ya kwanza kwenda Junju na wenyeji wanamjua. Alikuwa ameenda kutazama kipande cha ardhi kwa sababu alitaka kupanua biashara yake ya ufugaji. Huu ni ukatili ambao haufai kushuhudiwa katika enzi hizi,” akasema.
Familia ya Bw Kafani sasa inadai haki na waliohusika katika mauaji hayo waadhibiwe. | Diwani wa kitambo alifikishwa katika mahakama ipi? | {
"text": [
"Shanzo"
]
} |
3853_swa | Korti yaagiza diwani wa zamani kuzuiliwa siku 14 uchunguzi ukiendelea
Aliyeuawa kinyama alituzwa na Rais 2016
MFUGAJI hodari wa Pwani ambaye alikuwa mmoja wa watu watatu waliouawa kinyama eneo la Junju, Kaunti ya Kilifi wiki iliyopita, alikuwa ametuzwa na Rais Uhuru Kenyatta kwa uhodari wake wa ufugaji.
Jana, diwani wa zamani, Bw Onesmus Gambo alikuwa miongo ni mwa washukiwa waliofikishwa kortini kwa madai ya kuhusika kwa mauaji hayo.
Alifikishwa mahakamani Shanzu pamoja na Bw Raphael Kenneth Lewa ambaye polisi wanadai ni mmoja wa maskwota wanaoishi katika ardhi ambayo watatu hao walikuwa wameenda kutazama.
Jana, Mahakama iliagiza Bw Gambo awekwe kizuizini kwa siku 14 uchunguzi ukiendelea.
Diwani huyo wa zamani alijitetea kwamba ijapokuwa aliwahi kufanya mikutano na wanakijiji, hakuhusika kupanga mauaji.
Katika kisa cha Jumatano iliyopita kilichotokea Wadi ya Junju, eneobunge la Kilifi Kusini, wanakijiji walishambulia na kuua mfanyabiashara huyo mashuhuri Sidik Anwarali Sumra, dereva wake Rahil Mohammed Kasmani na Bw James Kazungu kafani aliyekuwa wakala wa ardhi.
Bw Sumra, 48, aligonga vichwa vya habari Pwani wakati alipotuzwa na Rais Kenyatta katika maonyesho ya kilimo Mombasa mwaka wa 2016, kwa kuibuka mfugaji bora zaidi wa ng'ombe.
Awali Jumatatu, washukiwa 13 walifikishwa mahakamani akiwemo mzee wa kijiji Philip Ziro Lewa.
Katika hati ya kiapo iliyowasilishwa mahakamani, polisi walisema wanamchukulia Bw Gambo kama mshukiwa kwa vile wanaamini alikutana na wafanyabiashara hao mwezi uliopita wakajadiliana kuhusu nia yao ya kununua ardhi eneo hilo.
Ripoti za polisi zimeonyesha kuwa baada ya kuuliwa, miili yao ilifungwa kwa pikipiki ambayo iliwaburuta hadi barabarani. Baadhi ya wanakijiji walitaka kuwachoma lakini wengine wakapinga.
Imebainika kuwa, gari lao liliporwa kabla kuchomwa, huku washukiwa pia wakiiba bunduki ya Bw Sumra.
Viongozi wa Kaunti ya Kilifi wamezidi kulaani mauaji hayo huku wakiyahusisha na uchochezi kuhusu mizozo ya ardhi.
Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi alisisitiza kuwa kila mwananchi ana haki ya kuishi katika kaunti hiyo bila kujali kabila lake na kuna njia za kisheria kutatua mizozo ya ardhi bila kushambulia watu.
"Hiyo haikuwa mara yake ya kwanza kwenda Junju na wenyeji wanamjua. Alikuwa ameenda kutazama kipande cha ardhi kwa sababu alitaka kupanua biashara yake ya ufugaji. Huu ni ukatili ambao haufai kushuhudiwa katika enzi hizi,” akasema.
Familia ya Bw Kafani sasa inadai haki na waliohusika katika mauaji hayo waadhibiwe. | Bwana Gambo aliekwa kizuizini kwa siku ngapi? | {
"text": [
"Siku 14"
]
} |
3853_swa | Korti yaagiza diwani wa zamani kuzuiliwa siku 14 uchunguzi ukiendelea
Aliyeuawa kinyama alituzwa na Rais 2016
MFUGAJI hodari wa Pwani ambaye alikuwa mmoja wa watu watatu waliouawa kinyama eneo la Junju, Kaunti ya Kilifi wiki iliyopita, alikuwa ametuzwa na Rais Uhuru Kenyatta kwa uhodari wake wa ufugaji.
Jana, diwani wa zamani, Bw Onesmus Gambo alikuwa miongo ni mwa washukiwa waliofikishwa kortini kwa madai ya kuhusika kwa mauaji hayo.
Alifikishwa mahakamani Shanzu pamoja na Bw Raphael Kenneth Lewa ambaye polisi wanadai ni mmoja wa maskwota wanaoishi katika ardhi ambayo watatu hao walikuwa wameenda kutazama.
Jana, Mahakama iliagiza Bw Gambo awekwe kizuizini kwa siku 14 uchunguzi ukiendelea.
Diwani huyo wa zamani alijitetea kwamba ijapokuwa aliwahi kufanya mikutano na wanakijiji, hakuhusika kupanga mauaji.
Katika kisa cha Jumatano iliyopita kilichotokea Wadi ya Junju, eneobunge la Kilifi Kusini, wanakijiji walishambulia na kuua mfanyabiashara huyo mashuhuri Sidik Anwarali Sumra, dereva wake Rahil Mohammed Kasmani na Bw James Kazungu kafani aliyekuwa wakala wa ardhi.
Bw Sumra, 48, aligonga vichwa vya habari Pwani wakati alipotuzwa na Rais Kenyatta katika maonyesho ya kilimo Mombasa mwaka wa 2016, kwa kuibuka mfugaji bora zaidi wa ng'ombe.
Awali Jumatatu, washukiwa 13 walifikishwa mahakamani akiwemo mzee wa kijiji Philip Ziro Lewa.
Katika hati ya kiapo iliyowasilishwa mahakamani, polisi walisema wanamchukulia Bw Gambo kama mshukiwa kwa vile wanaamini alikutana na wafanyabiashara hao mwezi uliopita wakajadiliana kuhusu nia yao ya kununua ardhi eneo hilo.
Ripoti za polisi zimeonyesha kuwa baada ya kuuliwa, miili yao ilifungwa kwa pikipiki ambayo iliwaburuta hadi barabarani. Baadhi ya wanakijiji walitaka kuwachoma lakini wengine wakapinga.
Imebainika kuwa, gari lao liliporwa kabla kuchomwa, huku washukiwa pia wakiiba bunduki ya Bw Sumra.
Viongozi wa Kaunti ya Kilifi wamezidi kulaani mauaji hayo huku wakiyahusisha na uchochezi kuhusu mizozo ya ardhi.
Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi alisisitiza kuwa kila mwananchi ana haki ya kuishi katika kaunti hiyo bila kujali kabila lake na kuna njia za kisheria kutatua mizozo ya ardhi bila kushambulia watu.
"Hiyo haikuwa mara yake ya kwanza kwenda Junju na wenyeji wanamjua. Alikuwa ameenda kutazama kipande cha ardhi kwa sababu alitaka kupanua biashara yake ya ufugaji. Huu ni ukatili ambao haufai kushuhudiwa katika enzi hizi,” akasema.
Familia ya Bw Kafani sasa inadai haki na waliohusika katika mauaji hayo waadhibiwe. | Bwana Sumra alikuwa na umri wa miaka ngapi? | {
"text": [
"48"
]
} |
3854_swa | Kiambaa kuamua mwelekeo wa Nyoro kisiasa-Wadadisi
IMEBAINIKA mustakabali wa kisiasa wa Gavana wa Kiambu James Nyoro utaamuliwa na matokeo ya chaguzi ndogo za eneo bunge la Kiambaa na wadi ya Muguga zinazofanyika kesho.
Baada ya chama cha Jubilee kubwagwa katika uchaguzi mdogo wa Juja, uliofanyika Mei mwaka huu, wadadisi wanasema chaguzi hizi mbili ni kufa kupona kwa Gavana Nyoro kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2022.
"Ingawa chaguzi hizi ndogo, haswa ule wa Kiambaa unasawiriwa kama mapambano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto, mwenye wasi wasi zaidi ni Gavana Nyoro," anasema mchanganuzi wa kisiasa, Bw Charles Munyoi.
Kulingana naye ushindi wa mgombeaji wa Jubilee Kariri Njama katika eneo la Kiambaa utamweka Bw Nyoro katika nafasi bora ya kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao.
Kwa upande mwingine, anaongeza, kushindwa kwa Jubilee kutazima ndoto ya gavana huyo kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao, kwani ataonekana kama kiongozi asiye na ushawishi mashinani.
Hii ndio maana juzi gavana huyo alikuwa mwepesi kupuuzilia mbali kura ya maoni iliyoonyesha kuwa mgombeaji wa chama cha United Democratic Alliance (ADC), John Njuguna Wanjiku ataibuka mshindi katika eneo bunge la Kiambaa.
Alisema utafiti huo ulidhaminiwa na kuendeshwa na vigogo wa UDA kama sehemu ya mikakati wa kupata sababu ya kupinga matokeo baada ya mgombea wa Jubilee Kariri Njama kutangazwa mshindi.
"Tuna hakika kwamba tutashinda Kiambaa. Nawaomba mpuuzilie kura hiyo ya maoni inayoonyesha kuwa wanaongoza,” akasema.
“Nia yao ni kwamba baada sisi kushinda, watasema tumeiba,” Gavana Nyoro akasema alipowahutubia waombolezaji katika hafla ya mazishi eneo bunge la Gatundu Kaskazini. | Taja jina la gavana wa Kiambu | {
"text": [
"James Nyoro"
]
} |
3854_swa | Kiambaa kuamua mwelekeo wa Nyoro kisiasa-Wadadisi
IMEBAINIKA mustakabali wa kisiasa wa Gavana wa Kiambu James Nyoro utaamuliwa na matokeo ya chaguzi ndogo za eneo bunge la Kiambaa na wadi ya Muguga zinazofanyika kesho.
Baada ya chama cha Jubilee kubwagwa katika uchaguzi mdogo wa Juja, uliofanyika Mei mwaka huu, wadadisi wanasema chaguzi hizi mbili ni kufa kupona kwa Gavana Nyoro kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2022.
"Ingawa chaguzi hizi ndogo, haswa ule wa Kiambaa unasawiriwa kama mapambano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto, mwenye wasi wasi zaidi ni Gavana Nyoro," anasema mchanganuzi wa kisiasa, Bw Charles Munyoi.
Kulingana naye ushindi wa mgombeaji wa Jubilee Kariri Njama katika eneo la Kiambaa utamweka Bw Nyoro katika nafasi bora ya kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao.
Kwa upande mwingine, anaongeza, kushindwa kwa Jubilee kutazima ndoto ya gavana huyo kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao, kwani ataonekana kama kiongozi asiye na ushawishi mashinani.
Hii ndio maana juzi gavana huyo alikuwa mwepesi kupuuzilia mbali kura ya maoni iliyoonyesha kuwa mgombeaji wa chama cha United Democratic Alliance (ADC), John Njuguna Wanjiku ataibuka mshindi katika eneo bunge la Kiambaa.
Alisema utafiti huo ulidhaminiwa na kuendeshwa na vigogo wa UDA kama sehemu ya mikakati wa kupata sababu ya kupinga matokeo baada ya mgombea wa Jubilee Kariri Njama kutangazwa mshindi.
"Tuna hakika kwamba tutashinda Kiambaa. Nawaomba mpuuzilie kura hiyo ya maoni inayoonyesha kuwa wanaongoza,” akasema.
“Nia yao ni kwamba baada sisi kushinda, watasema tumeiba,” Gavana Nyoro akasema alipowahutubia waombolezaji katika hafla ya mazishi eneo bunge la Gatundu Kaskazini. | Chama cha Jubilee kilibwagwa katika uchaguzi upi? | {
"text": [
"Uchaguzi mdogo wa Juja"
]
} |
3854_swa | Kiambaa kuamua mwelekeo wa Nyoro kisiasa-Wadadisi
IMEBAINIKA mustakabali wa kisiasa wa Gavana wa Kiambu James Nyoro utaamuliwa na matokeo ya chaguzi ndogo za eneo bunge la Kiambaa na wadi ya Muguga zinazofanyika kesho.
Baada ya chama cha Jubilee kubwagwa katika uchaguzi mdogo wa Juja, uliofanyika Mei mwaka huu, wadadisi wanasema chaguzi hizi mbili ni kufa kupona kwa Gavana Nyoro kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2022.
"Ingawa chaguzi hizi ndogo, haswa ule wa Kiambaa unasawiriwa kama mapambano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto, mwenye wasi wasi zaidi ni Gavana Nyoro," anasema mchanganuzi wa kisiasa, Bw Charles Munyoi.
Kulingana naye ushindi wa mgombeaji wa Jubilee Kariri Njama katika eneo la Kiambaa utamweka Bw Nyoro katika nafasi bora ya kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao.
Kwa upande mwingine, anaongeza, kushindwa kwa Jubilee kutazima ndoto ya gavana huyo kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao, kwani ataonekana kama kiongozi asiye na ushawishi mashinani.
Hii ndio maana juzi gavana huyo alikuwa mwepesi kupuuzilia mbali kura ya maoni iliyoonyesha kuwa mgombeaji wa chama cha United Democratic Alliance (ADC), John Njuguna Wanjiku ataibuka mshindi katika eneo bunge la Kiambaa.
Alisema utafiti huo ulidhaminiwa na kuendeshwa na vigogo wa UDA kama sehemu ya mikakati wa kupata sababu ya kupinga matokeo baada ya mgombea wa Jubilee Kariri Njama kutangazwa mshindi.
"Tuna hakika kwamba tutashinda Kiambaa. Nawaomba mpuuzilie kura hiyo ya maoni inayoonyesha kuwa wanaongoza,” akasema.
“Nia yao ni kwamba baada sisi kushinda, watasema tumeiba,” Gavana Nyoro akasema alipowahutubia waombolezaji katika hafla ya mazishi eneo bunge la Gatundu Kaskazini. | Uchaguzi wa Kiambaa unasawiriwa kama mapambano baina ya nani? | {
"text": [
"Kati ya Rais Kenyatta na naibu wake Ruto"
]
} |
3854_swa | Kiambaa kuamua mwelekeo wa Nyoro kisiasa-Wadadisi
IMEBAINIKA mustakabali wa kisiasa wa Gavana wa Kiambu James Nyoro utaamuliwa na matokeo ya chaguzi ndogo za eneo bunge la Kiambaa na wadi ya Muguga zinazofanyika kesho.
Baada ya chama cha Jubilee kubwagwa katika uchaguzi mdogo wa Juja, uliofanyika Mei mwaka huu, wadadisi wanasema chaguzi hizi mbili ni kufa kupona kwa Gavana Nyoro kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2022.
"Ingawa chaguzi hizi ndogo, haswa ule wa Kiambaa unasawiriwa kama mapambano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto, mwenye wasi wasi zaidi ni Gavana Nyoro," anasema mchanganuzi wa kisiasa, Bw Charles Munyoi.
Kulingana naye ushindi wa mgombeaji wa Jubilee Kariri Njama katika eneo la Kiambaa utamweka Bw Nyoro katika nafasi bora ya kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao.
Kwa upande mwingine, anaongeza, kushindwa kwa Jubilee kutazima ndoto ya gavana huyo kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao, kwani ataonekana kama kiongozi asiye na ushawishi mashinani.
Hii ndio maana juzi gavana huyo alikuwa mwepesi kupuuzilia mbali kura ya maoni iliyoonyesha kuwa mgombeaji wa chama cha United Democratic Alliance (ADC), John Njuguna Wanjiku ataibuka mshindi katika eneo bunge la Kiambaa.
Alisema utafiti huo ulidhaminiwa na kuendeshwa na vigogo wa UDA kama sehemu ya mikakati wa kupata sababu ya kupinga matokeo baada ya mgombea wa Jubilee Kariri Njama kutangazwa mshindi.
"Tuna hakika kwamba tutashinda Kiambaa. Nawaomba mpuuzilie kura hiyo ya maoni inayoonyesha kuwa wanaongoza,” akasema.
“Nia yao ni kwamba baada sisi kushinda, watasema tumeiba,” Gavana Nyoro akasema alipowahutubia waombolezaji katika hafla ya mazishi eneo bunge la Gatundu Kaskazini. | Ushindi wa mgombeaji wa Jubilee unafaida gani kwa Bwana Nyoro? | {
"text": [
"Utamueka katika nafasi bora ya kuhifadhi kiti chake katika uchaguzi mkuu"
]
} |
3854_swa | Kiambaa kuamua mwelekeo wa Nyoro kisiasa-Wadadisi
IMEBAINIKA mustakabali wa kisiasa wa Gavana wa Kiambu James Nyoro utaamuliwa na matokeo ya chaguzi ndogo za eneo bunge la Kiambaa na wadi ya Muguga zinazofanyika kesho.
Baada ya chama cha Jubilee kubwagwa katika uchaguzi mdogo wa Juja, uliofanyika Mei mwaka huu, wadadisi wanasema chaguzi hizi mbili ni kufa kupona kwa Gavana Nyoro kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2022.
"Ingawa chaguzi hizi ndogo, haswa ule wa Kiambaa unasawiriwa kama mapambano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto, mwenye wasi wasi zaidi ni Gavana Nyoro," anasema mchanganuzi wa kisiasa, Bw Charles Munyoi.
Kulingana naye ushindi wa mgombeaji wa Jubilee Kariri Njama katika eneo la Kiambaa utamweka Bw Nyoro katika nafasi bora ya kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao.
Kwa upande mwingine, anaongeza, kushindwa kwa Jubilee kutazima ndoto ya gavana huyo kuhifadhi kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao, kwani ataonekana kama kiongozi asiye na ushawishi mashinani.
Hii ndio maana juzi gavana huyo alikuwa mwepesi kupuuzilia mbali kura ya maoni iliyoonyesha kuwa mgombeaji wa chama cha United Democratic Alliance (ADC), John Njuguna Wanjiku ataibuka mshindi katika eneo bunge la Kiambaa.
Alisema utafiti huo ulidhaminiwa na kuendeshwa na vigogo wa UDA kama sehemu ya mikakati wa kupata sababu ya kupinga matokeo baada ya mgombea wa Jubilee Kariri Njama kutangazwa mshindi.
"Tuna hakika kwamba tutashinda Kiambaa. Nawaomba mpuuzilie kura hiyo ya maoni inayoonyesha kuwa wanaongoza,” akasema.
“Nia yao ni kwamba baada sisi kushinda, watasema tumeiba,” Gavana Nyoro akasema alipowahutubia waombolezaji katika hafla ya mazishi eneo bunge la Gatundu Kaskazini. | Kushindwa kwa Jubilee kutaonyesha nini kumhusu Bwana Nyoro? | {
"text": [
"Ataonekana kama kiongozi asiye na ushawishi mashinani"
]
} |
3855_swa | Tuwazie upya kuhusu Afrika tunayoitamani kiteknolojia
Jumatatu wiki hii niliongoza kikao kuhusu jinsi mataifa ya Afrika yanajiandaa kwa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda ambapo niliwahoji magwiji wa uchumi wa dijitali barani. Mwanzo, ukosefu wa usawa katika masuala yote ya kidijitali ulijitokeza kama kisiki kikuu katika azma ya Afrika kujiendeleza katika dunia ya sasa.
Ni wazi kuwa wananchi wa mashinani, wanawake na watu wa pato la chini tayari wameachwa nyuma katika matumizi ya teknolojia za kisiasa ambazo zimesaidia pakubwa kusuluhisha baadhi ya changamoto barani. Ni bayana kuwa mataifa mengi yanazidi kujikokota kubuni sheria na kanuni za kuboresha utendakazi wa teknolojia. Je, ni nini tunafanya kama bara kupata mgao wa maana katika uchumi wa dijitali duniani?
Afrika iliibuka, ina fursa ya mwaka kuchangamkia maendeleo ya mageuzi ya viwanda ya sasa iwapo haitaki kuwachwa nyuma tena na mabara mengine kama Amerika, Uropa na Asia kama ilivyofanyika miaka ya tisini. Lakini ili kuweza kufika hapo, wadau walikubaliana kuwa viongozi wa bara hili wanahitaji kubadilisha fikra zao kwanza, hasa kwa kutengea masuala ya teknolojia na ubunifu fedha za kutosha pamoja na kufanya kampeni za kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda.
Pia, ili kujiunga na mataifa yalioendelea katika ulingo huu, mataifa yote 55 ya Afrika, ingawa yana sheria mbalimbali, yanafaa kukubaliana kuhusu kupunguza bei ya intaneti na pia kuondoa ushuru wa simu za kisasa ambazo zinatumika katika utoaji wa huduma ainati za kiteknolojia. Sekta za elimu, afya, uchukuzi, sheria na kilimo tayari zimebadilishwa pakubwa na matumizi ya programza simu lakini bei ghali ya vifaa na intaneti inazidi kuwafungia nje mamilioni ya waafrika ambao sasa hawezi kufurahia huduma hizi.
Hii inamaanisha kuwa, badala ya mageuzi ya teknolojia kuwahusisha watu wote, yanabagua watu kwa msingi wa mapato ya kifedha kwa sababu serikali za mataifa ya Afrika zimefumbia macho suala muhimu kuhusu kupunguza gharama ya kutumia mitandao. Lingine ni kuhusu mpango mzima wa Umoja wa Afrika (AU) kutumia mradi wake wa soko huru barani kuhakikisha watu wa mataifa mbalimbali wamefanya biashara bila vikwazo, hasa mitandaoni.
Ingawa changamoto tayari ni nyingi, bado kuna nafasi wa marais wa mataifa haya kukubaliana kufungua mipaka yao kwa biashara ili Afrika ipate usemi wa maana katika soko la dunia.
Iwapo Afrika itafaulu kuunganisha mataifa yake yote kuwa soko moja, basi tunakuwa na soko la watu bilioni 1.2 kama Uchina na India, na tutaipiku Amerika ambayo ina watu milioni 300.
Ushawishi tutakuwa tumepata na utatuwezesha kusikizwa na pande zingine za dunia wakati ambapo tuna jambo la kusema. Kwa mfano, data ya Afrika imekuwa ikitumiwa kiholela bila kujali lakini tukiwa na ushawishi huu mataifa yaliyoendelea yatakukoma.
Hata hivyo, kila mwafrika, popote alipo hata ughaibuni, anafaa kufikiria upya na kubadilisha mtazamo wake kuhusu mwelekeo wa bara hili katika kipindi hiki cha teknolojia, la sivyo tutaachwa nyuma tena na kuendelea kuwa watumizi wa teknolojia badala ya wavumbuzi. | Mataifa yanajiandaa kwa nini | {
"text": [
"mapinduzi"
]
} |
3855_swa | Tuwazie upya kuhusu Afrika tunayoitamani kiteknolojia
Jumatatu wiki hii niliongoza kikao kuhusu jinsi mataifa ya Afrika yanajiandaa kwa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda ambapo niliwahoji magwiji wa uchumi wa dijitali barani. Mwanzo, ukosefu wa usawa katika masuala yote ya kidijitali ulijitokeza kama kisiki kikuu katika azma ya Afrika kujiendeleza katika dunia ya sasa.
Ni wazi kuwa wananchi wa mashinani, wanawake na watu wa pato la chini tayari wameachwa nyuma katika matumizi ya teknolojia za kisiasa ambazo zimesaidia pakubwa kusuluhisha baadhi ya changamoto barani. Ni bayana kuwa mataifa mengi yanazidi kujikokota kubuni sheria na kanuni za kuboresha utendakazi wa teknolojia. Je, ni nini tunafanya kama bara kupata mgao wa maana katika uchumi wa dijitali duniani?
Afrika iliibuka, ina fursa ya mwaka kuchangamkia maendeleo ya mageuzi ya viwanda ya sasa iwapo haitaki kuwachwa nyuma tena na mabara mengine kama Amerika, Uropa na Asia kama ilivyofanyika miaka ya tisini. Lakini ili kuweza kufika hapo, wadau walikubaliana kuwa viongozi wa bara hili wanahitaji kubadilisha fikra zao kwanza, hasa kwa kutengea masuala ya teknolojia na ubunifu fedha za kutosha pamoja na kufanya kampeni za kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda.
Pia, ili kujiunga na mataifa yalioendelea katika ulingo huu, mataifa yote 55 ya Afrika, ingawa yana sheria mbalimbali, yanafaa kukubaliana kuhusu kupunguza bei ya intaneti na pia kuondoa ushuru wa simu za kisasa ambazo zinatumika katika utoaji wa huduma ainati za kiteknolojia. Sekta za elimu, afya, uchukuzi, sheria na kilimo tayari zimebadilishwa pakubwa na matumizi ya programza simu lakini bei ghali ya vifaa na intaneti inazidi kuwafungia nje mamilioni ya waafrika ambao sasa hawezi kufurahia huduma hizi.
Hii inamaanisha kuwa, badala ya mageuzi ya teknolojia kuwahusisha watu wote, yanabagua watu kwa msingi wa mapato ya kifedha kwa sababu serikali za mataifa ya Afrika zimefumbia macho suala muhimu kuhusu kupunguza gharama ya kutumia mitandao. Lingine ni kuhusu mpango mzima wa Umoja wa Afrika (AU) kutumia mradi wake wa soko huru barani kuhakikisha watu wa mataifa mbalimbali wamefanya biashara bila vikwazo, hasa mitandaoni.
Ingawa changamoto tayari ni nyingi, bado kuna nafasi wa marais wa mataifa haya kukubaliana kufungua mipaka yao kwa biashara ili Afrika ipate usemi wa maana katika soko la dunia.
Iwapo Afrika itafaulu kuunganisha mataifa yake yote kuwa soko moja, basi tunakuwa na soko la watu bilioni 1.2 kama Uchina na India, na tutaipiku Amerika ambayo ina watu milioni 300.
Ushawishi tutakuwa tumepata na utatuwezesha kusikizwa na pande zingine za dunia wakati ambapo tuna jambo la kusema. Kwa mfano, data ya Afrika imekuwa ikitumiwa kiholela bila kujali lakini tukiwa na ushawishi huu mataifa yaliyoendelea yatakukoma.
Hata hivyo, kila mwafrika, popote alipo hata ughaibuni, anafaa kufikiria upya na kubadilisha mtazamo wake kuhusu mwelekeo wa bara hili katika kipindi hiki cha teknolojia, la sivyo tutaachwa nyuma tena na kuendelea kuwa watumizi wa teknolojia badala ya wavumbuzi. | Mataifa mengi yanijikokota kubuni nini | {
"text": [
"sheria"
]
} |
3855_swa | Tuwazie upya kuhusu Afrika tunayoitamani kiteknolojia
Jumatatu wiki hii niliongoza kikao kuhusu jinsi mataifa ya Afrika yanajiandaa kwa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda ambapo niliwahoji magwiji wa uchumi wa dijitali barani. Mwanzo, ukosefu wa usawa katika masuala yote ya kidijitali ulijitokeza kama kisiki kikuu katika azma ya Afrika kujiendeleza katika dunia ya sasa.
Ni wazi kuwa wananchi wa mashinani, wanawake na watu wa pato la chini tayari wameachwa nyuma katika matumizi ya teknolojia za kisiasa ambazo zimesaidia pakubwa kusuluhisha baadhi ya changamoto barani. Ni bayana kuwa mataifa mengi yanazidi kujikokota kubuni sheria na kanuni za kuboresha utendakazi wa teknolojia. Je, ni nini tunafanya kama bara kupata mgao wa maana katika uchumi wa dijitali duniani?
Afrika iliibuka, ina fursa ya mwaka kuchangamkia maendeleo ya mageuzi ya viwanda ya sasa iwapo haitaki kuwachwa nyuma tena na mabara mengine kama Amerika, Uropa na Asia kama ilivyofanyika miaka ya tisini. Lakini ili kuweza kufika hapo, wadau walikubaliana kuwa viongozi wa bara hili wanahitaji kubadilisha fikra zao kwanza, hasa kwa kutengea masuala ya teknolojia na ubunifu fedha za kutosha pamoja na kufanya kampeni za kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda.
Pia, ili kujiunga na mataifa yalioendelea katika ulingo huu, mataifa yote 55 ya Afrika, ingawa yana sheria mbalimbali, yanafaa kukubaliana kuhusu kupunguza bei ya intaneti na pia kuondoa ushuru wa simu za kisasa ambazo zinatumika katika utoaji wa huduma ainati za kiteknolojia. Sekta za elimu, afya, uchukuzi, sheria na kilimo tayari zimebadilishwa pakubwa na matumizi ya programza simu lakini bei ghali ya vifaa na intaneti inazidi kuwafungia nje mamilioni ya waafrika ambao sasa hawezi kufurahia huduma hizi.
Hii inamaanisha kuwa, badala ya mageuzi ya teknolojia kuwahusisha watu wote, yanabagua watu kwa msingi wa mapato ya kifedha kwa sababu serikali za mataifa ya Afrika zimefumbia macho suala muhimu kuhusu kupunguza gharama ya kutumia mitandao. Lingine ni kuhusu mpango mzima wa Umoja wa Afrika (AU) kutumia mradi wake wa soko huru barani kuhakikisha watu wa mataifa mbalimbali wamefanya biashara bila vikwazo, hasa mitandaoni.
Ingawa changamoto tayari ni nyingi, bado kuna nafasi wa marais wa mataifa haya kukubaliana kufungua mipaka yao kwa biashara ili Afrika ipate usemi wa maana katika soko la dunia.
Iwapo Afrika itafaulu kuunganisha mataifa yake yote kuwa soko moja, basi tunakuwa na soko la watu bilioni 1.2 kama Uchina na India, na tutaipiku Amerika ambayo ina watu milioni 300.
Ushawishi tutakuwa tumepata na utatuwezesha kusikizwa na pande zingine za dunia wakati ambapo tuna jambo la kusema. Kwa mfano, data ya Afrika imekuwa ikitumiwa kiholela bila kujali lakini tukiwa na ushawishi huu mataifa yaliyoendelea yatakukoma.
Hata hivyo, kila mwafrika, popote alipo hata ughaibuni, anafaa kufikiria upya na kubadilisha mtazamo wake kuhusu mwelekeo wa bara hili katika kipindi hiki cha teknolojia, la sivyo tutaachwa nyuma tena na kuendelea kuwa watumizi wa teknolojia badala ya wavumbuzi. | Nani wanahitaji kubadilisha fikra zao | {
"text": [
"wadau"
]
} |
3855_swa | Tuwazie upya kuhusu Afrika tunayoitamani kiteknolojia
Jumatatu wiki hii niliongoza kikao kuhusu jinsi mataifa ya Afrika yanajiandaa kwa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda ambapo niliwahoji magwiji wa uchumi wa dijitali barani. Mwanzo, ukosefu wa usawa katika masuala yote ya kidijitali ulijitokeza kama kisiki kikuu katika azma ya Afrika kujiendeleza katika dunia ya sasa.
Ni wazi kuwa wananchi wa mashinani, wanawake na watu wa pato la chini tayari wameachwa nyuma katika matumizi ya teknolojia za kisiasa ambazo zimesaidia pakubwa kusuluhisha baadhi ya changamoto barani. Ni bayana kuwa mataifa mengi yanazidi kujikokota kubuni sheria na kanuni za kuboresha utendakazi wa teknolojia. Je, ni nini tunafanya kama bara kupata mgao wa maana katika uchumi wa dijitali duniani?
Afrika iliibuka, ina fursa ya mwaka kuchangamkia maendeleo ya mageuzi ya viwanda ya sasa iwapo haitaki kuwachwa nyuma tena na mabara mengine kama Amerika, Uropa na Asia kama ilivyofanyika miaka ya tisini. Lakini ili kuweza kufika hapo, wadau walikubaliana kuwa viongozi wa bara hili wanahitaji kubadilisha fikra zao kwanza, hasa kwa kutengea masuala ya teknolojia na ubunifu fedha za kutosha pamoja na kufanya kampeni za kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda.
Pia, ili kujiunga na mataifa yalioendelea katika ulingo huu, mataifa yote 55 ya Afrika, ingawa yana sheria mbalimbali, yanafaa kukubaliana kuhusu kupunguza bei ya intaneti na pia kuondoa ushuru wa simu za kisasa ambazo zinatumika katika utoaji wa huduma ainati za kiteknolojia. Sekta za elimu, afya, uchukuzi, sheria na kilimo tayari zimebadilishwa pakubwa na matumizi ya programza simu lakini bei ghali ya vifaa na intaneti inazidi kuwafungia nje mamilioni ya waafrika ambao sasa hawezi kufurahia huduma hizi.
Hii inamaanisha kuwa, badala ya mageuzi ya teknolojia kuwahusisha watu wote, yanabagua watu kwa msingi wa mapato ya kifedha kwa sababu serikali za mataifa ya Afrika zimefumbia macho suala muhimu kuhusu kupunguza gharama ya kutumia mitandao. Lingine ni kuhusu mpango mzima wa Umoja wa Afrika (AU) kutumia mradi wake wa soko huru barani kuhakikisha watu wa mataifa mbalimbali wamefanya biashara bila vikwazo, hasa mitandaoni.
Ingawa changamoto tayari ni nyingi, bado kuna nafasi wa marais wa mataifa haya kukubaliana kufungua mipaka yao kwa biashara ili Afrika ipate usemi wa maana katika soko la dunia.
Iwapo Afrika itafaulu kuunganisha mataifa yake yote kuwa soko moja, basi tunakuwa na soko la watu bilioni 1.2 kama Uchina na India, na tutaipiku Amerika ambayo ina watu milioni 300.
Ushawishi tutakuwa tumepata na utatuwezesha kusikizwa na pande zingine za dunia wakati ambapo tuna jambo la kusema. Kwa mfano, data ya Afrika imekuwa ikitumiwa kiholela bila kujali lakini tukiwa na ushawishi huu mataifa yaliyoendelea yatakukoma.
Hata hivyo, kila mwafrika, popote alipo hata ughaibuni, anafaa kufikiria upya na kubadilisha mtazamo wake kuhusu mwelekeo wa bara hili katika kipindi hiki cha teknolojia, la sivyo tutaachwa nyuma tena na kuendelea kuwa watumizi wa teknolojia badala ya wavumbuzi. | Mataifa yakubaliane kuhusu kupunguza bei ya nini | {
"text": [
"intaneti"
]
} |
3855_swa | Tuwazie upya kuhusu Afrika tunayoitamani kiteknolojia
Jumatatu wiki hii niliongoza kikao kuhusu jinsi mataifa ya Afrika yanajiandaa kwa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda ambapo niliwahoji magwiji wa uchumi wa dijitali barani. Mwanzo, ukosefu wa usawa katika masuala yote ya kidijitali ulijitokeza kama kisiki kikuu katika azma ya Afrika kujiendeleza katika dunia ya sasa.
Ni wazi kuwa wananchi wa mashinani, wanawake na watu wa pato la chini tayari wameachwa nyuma katika matumizi ya teknolojia za kisiasa ambazo zimesaidia pakubwa kusuluhisha baadhi ya changamoto barani. Ni bayana kuwa mataifa mengi yanazidi kujikokota kubuni sheria na kanuni za kuboresha utendakazi wa teknolojia. Je, ni nini tunafanya kama bara kupata mgao wa maana katika uchumi wa dijitali duniani?
Afrika iliibuka, ina fursa ya mwaka kuchangamkia maendeleo ya mageuzi ya viwanda ya sasa iwapo haitaki kuwachwa nyuma tena na mabara mengine kama Amerika, Uropa na Asia kama ilivyofanyika miaka ya tisini. Lakini ili kuweza kufika hapo, wadau walikubaliana kuwa viongozi wa bara hili wanahitaji kubadilisha fikra zao kwanza, hasa kwa kutengea masuala ya teknolojia na ubunifu fedha za kutosha pamoja na kufanya kampeni za kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa Mapinduzi ya Nne ya Viwanda.
Pia, ili kujiunga na mataifa yalioendelea katika ulingo huu, mataifa yote 55 ya Afrika, ingawa yana sheria mbalimbali, yanafaa kukubaliana kuhusu kupunguza bei ya intaneti na pia kuondoa ushuru wa simu za kisasa ambazo zinatumika katika utoaji wa huduma ainati za kiteknolojia. Sekta za elimu, afya, uchukuzi, sheria na kilimo tayari zimebadilishwa pakubwa na matumizi ya programza simu lakini bei ghali ya vifaa na intaneti inazidi kuwafungia nje mamilioni ya waafrika ambao sasa hawezi kufurahia huduma hizi.
Hii inamaanisha kuwa, badala ya mageuzi ya teknolojia kuwahusisha watu wote, yanabagua watu kwa msingi wa mapato ya kifedha kwa sababu serikali za mataifa ya Afrika zimefumbia macho suala muhimu kuhusu kupunguza gharama ya kutumia mitandao. Lingine ni kuhusu mpango mzima wa Umoja wa Afrika (AU) kutumia mradi wake wa soko huru barani kuhakikisha watu wa mataifa mbalimbali wamefanya biashara bila vikwazo, hasa mitandaoni.
Ingawa changamoto tayari ni nyingi, bado kuna nafasi wa marais wa mataifa haya kukubaliana kufungua mipaka yao kwa biashara ili Afrika ipate usemi wa maana katika soko la dunia.
Iwapo Afrika itafaulu kuunganisha mataifa yake yote kuwa soko moja, basi tunakuwa na soko la watu bilioni 1.2 kama Uchina na India, na tutaipiku Amerika ambayo ina watu milioni 300.
Ushawishi tutakuwa tumepata na utatuwezesha kusikizwa na pande zingine za dunia wakati ambapo tuna jambo la kusema. Kwa mfano, data ya Afrika imekuwa ikitumiwa kiholela bila kujali lakini tukiwa na ushawishi huu mataifa yaliyoendelea yatakukoma.
Hata hivyo, kila mwafrika, popote alipo hata ughaibuni, anafaa kufikiria upya na kubadilisha mtazamo wake kuhusu mwelekeo wa bara hili katika kipindi hiki cha teknolojia, la sivyo tutaachwa nyuma tena na kuendelea kuwa watumizi wa teknolojia badala ya wavumbuzi. | Nani wakubaliane kufungua mipaka yao | {
"text": [
"marais"
]
} |
3856_swa | Nusra polo atandikwe mazishini
SINOKO, Bungoma
KIZAAZAA kilizuka katika mazishi yaliyokuwa yakifanyika katika eneo hili, familia ya mwendazake ilipotimua polo ikidai kwamba alikuwa adui mkubwa wa marehemu.
“Wakati marehemu alikuwa hai, haukukanyaga hapa kumuona. Leo unakuja kwa sababu amekufa,” polo alifokewa alipoonekana kukaribia jeneza kuutazama mwili wa marehemu.
Inasemekana shughuli zote zilisimama. Pasta aliyekuwa akiongoza ibada alilazimika kusitisha mahubiri.
“Huyu mtu ni mnafiki. Yeye ni mmoja wa wale waliotaka ndugu yetu afe. Sasa amekufa, anataka nini hapa," mwombolezaji mwingine alisikika kutoka nyuma ya hema.
Duru zinasema polo alibaki ameduwaa huku akitamani ardhi ipasuke immeze mzimamzima.
"Huyu mtu hatumtaki hapa. Amekuja kushuhudia iwapo adui wake kweli amekufa. Nia yake ni fiche," ndugu wa marehemu alifoka huku akiamka na kumuelekea kalameni.
Inasemekana pasta alijaribu kuingilia kati la kini hakutoboa.
Naomba tuwe na utulivu. Marehemu alikuwa na marafiki wengi. Iwapo kuna adui wake hapa huenda amekuja kuomba maridhiano,” pasta aliomba. Jamaa wa marehemu wote waliamka na kuelekea alikokuwa polo. "Wewe ni mchawi. Tunakujua. Ondoka haraka. Hatuhitaji maombolezi yako," kalameni alifokewa vikali. Penyewe zinasema polo alipoona maji yamezidi unga, aliamua kuchomoka mbio bila kuangalia nyuma. “Kwenda kabisa. Mshenzi wewe. Ile siku utakanyaga hapa tena utakiona," polo alionywa. Vicheko vilisikika kote jamaa akitifua vumbi huku waombolezaji wengine wakinuna. "Ukweli ni kwamba marehemu na huyu mtu hawakuwa wanapatana. Badala ya kuketi kwake afurahie hasidi kumuondokea, anakuja hapa bila aibu," mwombolezaji mwingine alisema.
| Nini ilizuka katika mazishi | {
"text": [
"kizaazaa"
]
} |
3856_swa | Nusra polo atandikwe mazishini
SINOKO, Bungoma
KIZAAZAA kilizuka katika mazishi yaliyokuwa yakifanyika katika eneo hili, familia ya mwendazake ilipotimua polo ikidai kwamba alikuwa adui mkubwa wa marehemu.
“Wakati marehemu alikuwa hai, haukukanyaga hapa kumuona. Leo unakuja kwa sababu amekufa,” polo alifokewa alipoonekana kukaribia jeneza kuutazama mwili wa marehemu.
Inasemekana shughuli zote zilisimama. Pasta aliyekuwa akiongoza ibada alilazimika kusitisha mahubiri.
“Huyu mtu ni mnafiki. Yeye ni mmoja wa wale waliotaka ndugu yetu afe. Sasa amekufa, anataka nini hapa," mwombolezaji mwingine alisikika kutoka nyuma ya hema.
Duru zinasema polo alibaki ameduwaa huku akitamani ardhi ipasuke immeze mzimamzima.
"Huyu mtu hatumtaki hapa. Amekuja kushuhudia iwapo adui wake kweli amekufa. Nia yake ni fiche," ndugu wa marehemu alifoka huku akiamka na kumuelekea kalameni.
Inasemekana pasta alijaribu kuingilia kati la kini hakutoboa.
Naomba tuwe na utulivu. Marehemu alikuwa na marafiki wengi. Iwapo kuna adui wake hapa huenda amekuja kuomba maridhiano,” pasta aliomba. Jamaa wa marehemu wote waliamka na kuelekea alikokuwa polo. "Wewe ni mchawi. Tunakujua. Ondoka haraka. Hatuhitaji maombolezi yako," kalameni alifokewa vikali. Penyewe zinasema polo alipoona maji yamezidi unga, aliamua kuchomoka mbio bila kuangalia nyuma. “Kwenda kabisa. Mshenzi wewe. Ile siku utakanyaga hapa tena utakiona," polo alionywa. Vicheko vilisikika kote jamaa akitifua vumbi huku waombolezaji wengine wakinuna. "Ukweli ni kwamba marehemu na huyu mtu hawakuwa wanapatana. Badala ya kuketi kwake afurahie hasidi kumuondokea, anakuja hapa bila aibu," mwombolezaji mwingine alisema.
| Nani alifokewa alipokaribia geneza | {
"text": [
"Polo"
]
} |
3856_swa | Nusra polo atandikwe mazishini
SINOKO, Bungoma
KIZAAZAA kilizuka katika mazishi yaliyokuwa yakifanyika katika eneo hili, familia ya mwendazake ilipotimua polo ikidai kwamba alikuwa adui mkubwa wa marehemu.
“Wakati marehemu alikuwa hai, haukukanyaga hapa kumuona. Leo unakuja kwa sababu amekufa,” polo alifokewa alipoonekana kukaribia jeneza kuutazama mwili wa marehemu.
Inasemekana shughuli zote zilisimama. Pasta aliyekuwa akiongoza ibada alilazimika kusitisha mahubiri.
“Huyu mtu ni mnafiki. Yeye ni mmoja wa wale waliotaka ndugu yetu afe. Sasa amekufa, anataka nini hapa," mwombolezaji mwingine alisikika kutoka nyuma ya hema.
Duru zinasema polo alibaki ameduwaa huku akitamani ardhi ipasuke immeze mzimamzima.
"Huyu mtu hatumtaki hapa. Amekuja kushuhudia iwapo adui wake kweli amekufa. Nia yake ni fiche," ndugu wa marehemu alifoka huku akiamka na kumuelekea kalameni.
Inasemekana pasta alijaribu kuingilia kati la kini hakutoboa.
Naomba tuwe na utulivu. Marehemu alikuwa na marafiki wengi. Iwapo kuna adui wake hapa huenda amekuja kuomba maridhiano,” pasta aliomba. Jamaa wa marehemu wote waliamka na kuelekea alikokuwa polo. "Wewe ni mchawi. Tunakujua. Ondoka haraka. Hatuhitaji maombolezi yako," kalameni alifokewa vikali. Penyewe zinasema polo alipoona maji yamezidi unga, aliamua kuchomoka mbio bila kuangalia nyuma. “Kwenda kabisa. Mshenzi wewe. Ile siku utakanyaga hapa tena utakiona," polo alionywa. Vicheko vilisikika kote jamaa akitifua vumbi huku waombolezaji wengine wakinuna. "Ukweli ni kwamba marehemu na huyu mtu hawakuwa wanapatana. Badala ya kuketi kwake afurahie hasidi kumuondokea, anakuja hapa bila aibu," mwombolezaji mwingine alisema.
| Polo alitamani nini ipasuke immeze mzimamzima | {
"text": [
"ardhi"
]
} |
3856_swa | Nusra polo atandikwe mazishini
SINOKO, Bungoma
KIZAAZAA kilizuka katika mazishi yaliyokuwa yakifanyika katika eneo hili, familia ya mwendazake ilipotimua polo ikidai kwamba alikuwa adui mkubwa wa marehemu.
“Wakati marehemu alikuwa hai, haukukanyaga hapa kumuona. Leo unakuja kwa sababu amekufa,” polo alifokewa alipoonekana kukaribia jeneza kuutazama mwili wa marehemu.
Inasemekana shughuli zote zilisimama. Pasta aliyekuwa akiongoza ibada alilazimika kusitisha mahubiri.
“Huyu mtu ni mnafiki. Yeye ni mmoja wa wale waliotaka ndugu yetu afe. Sasa amekufa, anataka nini hapa," mwombolezaji mwingine alisikika kutoka nyuma ya hema.
Duru zinasema polo alibaki ameduwaa huku akitamani ardhi ipasuke immeze mzimamzima.
"Huyu mtu hatumtaki hapa. Amekuja kushuhudia iwapo adui wake kweli amekufa. Nia yake ni fiche," ndugu wa marehemu alifoka huku akiamka na kumuelekea kalameni.
Inasemekana pasta alijaribu kuingilia kati la kini hakutoboa.
Naomba tuwe na utulivu. Marehemu alikuwa na marafiki wengi. Iwapo kuna adui wake hapa huenda amekuja kuomba maridhiano,” pasta aliomba. Jamaa wa marehemu wote waliamka na kuelekea alikokuwa polo. "Wewe ni mchawi. Tunakujua. Ondoka haraka. Hatuhitaji maombolezi yako," kalameni alifokewa vikali. Penyewe zinasema polo alipoona maji yamezidi unga, aliamua kuchomoka mbio bila kuangalia nyuma. “Kwenda kabisa. Mshenzi wewe. Ile siku utakanyaga hapa tena utakiona," polo alionywa. Vicheko vilisikika kote jamaa akitifua vumbi huku waombolezaji wengine wakinuna. "Ukweli ni kwamba marehemu na huyu mtu hawakuwa wanapatana. Badala ya kuketi kwake afurahie hasidi kumuondokea, anakuja hapa bila aibu," mwombolezaji mwingine alisema.
| Nani alijaribu kuingilia kati | {
"text": [
"pasta"
]
} |
3856_swa | Nusra polo atandikwe mazishini
SINOKO, Bungoma
KIZAAZAA kilizuka katika mazishi yaliyokuwa yakifanyika katika eneo hili, familia ya mwendazake ilipotimua polo ikidai kwamba alikuwa adui mkubwa wa marehemu.
“Wakati marehemu alikuwa hai, haukukanyaga hapa kumuona. Leo unakuja kwa sababu amekufa,” polo alifokewa alipoonekana kukaribia jeneza kuutazama mwili wa marehemu.
Inasemekana shughuli zote zilisimama. Pasta aliyekuwa akiongoza ibada alilazimika kusitisha mahubiri.
“Huyu mtu ni mnafiki. Yeye ni mmoja wa wale waliotaka ndugu yetu afe. Sasa amekufa, anataka nini hapa," mwombolezaji mwingine alisikika kutoka nyuma ya hema.
Duru zinasema polo alibaki ameduwaa huku akitamani ardhi ipasuke immeze mzimamzima.
"Huyu mtu hatumtaki hapa. Amekuja kushuhudia iwapo adui wake kweli amekufa. Nia yake ni fiche," ndugu wa marehemu alifoka huku akiamka na kumuelekea kalameni.
Inasemekana pasta alijaribu kuingilia kati la kini hakutoboa.
Naomba tuwe na utulivu. Marehemu alikuwa na marafiki wengi. Iwapo kuna adui wake hapa huenda amekuja kuomba maridhiano,” pasta aliomba. Jamaa wa marehemu wote waliamka na kuelekea alikokuwa polo. "Wewe ni mchawi. Tunakujua. Ondoka haraka. Hatuhitaji maombolezi yako," kalameni alifokewa vikali. Penyewe zinasema polo alipoona maji yamezidi unga, aliamua kuchomoka mbio bila kuangalia nyuma. “Kwenda kabisa. Mshenzi wewe. Ile siku utakanyaga hapa tena utakiona," polo alionywa. Vicheko vilisikika kote jamaa akitifua vumbi huku waombolezaji wengine wakinuna. "Ukweli ni kwamba marehemu na huyu mtu hawakuwa wanapatana. Badala ya kuketi kwake afurahie hasidi kumuondokea, anakuja hapa bila aibu," mwombolezaji mwingine alisema.
| Jamaa alitifua nini waombolezaji wengine wakinuna | {
"text": [
"vumbi"
]
} |
3857_swa | Inasikitisha KNEC haijawalipa watahiniwa 2020 hadi sasa
Kwa muda sasa ninasoma jumbe katika kumbi mbalimbali za mitandao ya kijamii kuhusu kutolipwa kwa watahini kufikia sasa. Hili linashangaza kwamba halijafanyika muda huu wote tangu kutangazwa kwa matokeo ya mtihani. Yaani, pakiwa na watu wasiopaswa kucheleweshwa malipo yao hata chembe ni wananchi hawa wazalendo ambao hujitolea kufa na kupona kulisaidia taifa lao na kuiondoshea wizara ya elimu aibu.
Utahini si kazi ya mchezo. Wanaoshiriki shughuli hii watakuambia kwamba mwaka baada ya mwaka idadi yao hupungua katika baadhi ya masomo. Hili linatokana na ukweli kwamba ni watu wachache watakaofurahia kufanya kazi katika mazingira wanamo fanyia wazalendo hawa. Si jambo dogo kuacha starehe na utulivu wa kitanda chako na mazingira ya makazi yako kwenda kujisaga kwa muda mrefu, ukijikumbusha maisha ya siku za uanafunzi licha ya kuwa kazini na uwezo wa kujipatia unachohitaji kwa mshahara wako. Ni uzalendo tu na thamani ya mchango katika elimu ndipo mtu atajitolea kwenda kufanya kazi ya aina hii.
Isitoshe, utahini siku hizi unaowahitaji kukamilisha shughuli katika kipindi kifupi cha wakati, unawaweka katika shinikizo kubwa na kwa kweli baadhi hufa kutokana na matatizo ya kiafya yanayoambatana na shinikizo hizi. Wamefanya kazi katika kipindi kigumu cha kuhatarisha maisha yao kutokana na janga tandavu la korona. Isitoshe, walisafiri katika kipindi ambacho usafiri umekuwa ghali na kwa kweli hilo liliwagharimu kisawasawa ili kufika kuitekeleza kazi hii. Hawa si watu ambao tungechelewesha malipo yao kwa hakika.
Tumesema awali katika ukumbi huu kwamba taifa letu lina maradhi ya kufurahia matunda bila kutilia maanani mchakato wa kuyapata matunda hayo. Hili linadhihirishwa kwa kucheleweshwa kwa malipo ya watahini hawa ilhali matokeo yalikwishakutangazwa na hata watahiniwa wengine kujiunga na vyuo vya kitaaluma. Hali kama hii haiwezi kutajwa kwa msamiati mwingine isipokuwa ‘dhuluma’ na ‘hujuma'. Tunawadhulumu watu ambao hivi karibuni tutawahitaji tena. Kadiri idadi zao zinavyoendelea kupungua kutokana na kukatishwa tamaa na hali kama hizi, siku moja taifa letu litajipata katika matatizo makubwa.
Ninajua pesa ni tamu na zinafaa wakati wowote lakini thamani ya pesa hizo haibaki pale pale ilipokuwa. Wakilipwa sasa hivi wakati ambao gharama ya bidhaa na huduma imepanda na ushuru kuongezwa kwa kila kitu hata katika shughuli za benki, pesa hizo zitapungua thamani na uwezo wa kuwafaa ipasavyo. Ni lazima katika taifa hili tujifunze kuzingatia sheria na kanuni za ununuzi ili tuepuke kuweka malimbikizi ya madeni katika kila kitu. Kwa kweli hata sielewi ni vipi hawakulipwa katika migao iliyotolewa majuzi kabla ya kufunga mwaka wa kifedha. Kusema la haki, tukiwaweka watahini hawa katika hali ya ngoja ngoja kama hii, wengi watakata tamaa na hilo litaongeza mzigo wa utahini katika miaka ijayo.
Ni wazalendo wanaostahili kushughulikiwa haraka iwezekanavyo punde wanapokamilisha kazi. Jinsi tunavyochangamkia kutangaza matokeo, ndivyo tunavyostahili kuchangamkia kuwalipa walioyawezesha kupatikana. | Ni nani hawajalipwa kufikia sasa | {
"text": [
"Watahini"
]
} |
3857_swa | Inasikitisha KNEC haijawalipa watahiniwa 2020 hadi sasa
Kwa muda sasa ninasoma jumbe katika kumbi mbalimbali za mitandao ya kijamii kuhusu kutolipwa kwa watahini kufikia sasa. Hili linashangaza kwamba halijafanyika muda huu wote tangu kutangazwa kwa matokeo ya mtihani. Yaani, pakiwa na watu wasiopaswa kucheleweshwa malipo yao hata chembe ni wananchi hawa wazalendo ambao hujitolea kufa na kupona kulisaidia taifa lao na kuiondoshea wizara ya elimu aibu.
Utahini si kazi ya mchezo. Wanaoshiriki shughuli hii watakuambia kwamba mwaka baada ya mwaka idadi yao hupungua katika baadhi ya masomo. Hili linatokana na ukweli kwamba ni watu wachache watakaofurahia kufanya kazi katika mazingira wanamo fanyia wazalendo hawa. Si jambo dogo kuacha starehe na utulivu wa kitanda chako na mazingira ya makazi yako kwenda kujisaga kwa muda mrefu, ukijikumbusha maisha ya siku za uanafunzi licha ya kuwa kazini na uwezo wa kujipatia unachohitaji kwa mshahara wako. Ni uzalendo tu na thamani ya mchango katika elimu ndipo mtu atajitolea kwenda kufanya kazi ya aina hii.
Isitoshe, utahini siku hizi unaowahitaji kukamilisha shughuli katika kipindi kifupi cha wakati, unawaweka katika shinikizo kubwa na kwa kweli baadhi hufa kutokana na matatizo ya kiafya yanayoambatana na shinikizo hizi. Wamefanya kazi katika kipindi kigumu cha kuhatarisha maisha yao kutokana na janga tandavu la korona. Isitoshe, walisafiri katika kipindi ambacho usafiri umekuwa ghali na kwa kweli hilo liliwagharimu kisawasawa ili kufika kuitekeleza kazi hii. Hawa si watu ambao tungechelewesha malipo yao kwa hakika.
Tumesema awali katika ukumbi huu kwamba taifa letu lina maradhi ya kufurahia matunda bila kutilia maanani mchakato wa kuyapata matunda hayo. Hili linadhihirishwa kwa kucheleweshwa kwa malipo ya watahini hawa ilhali matokeo yalikwishakutangazwa na hata watahiniwa wengine kujiunga na vyuo vya kitaaluma. Hali kama hii haiwezi kutajwa kwa msamiati mwingine isipokuwa ‘dhuluma’ na ‘hujuma'. Tunawadhulumu watu ambao hivi karibuni tutawahitaji tena. Kadiri idadi zao zinavyoendelea kupungua kutokana na kukatishwa tamaa na hali kama hizi, siku moja taifa letu litajipata katika matatizo makubwa.
Ninajua pesa ni tamu na zinafaa wakati wowote lakini thamani ya pesa hizo haibaki pale pale ilipokuwa. Wakilipwa sasa hivi wakati ambao gharama ya bidhaa na huduma imepanda na ushuru kuongezwa kwa kila kitu hata katika shughuli za benki, pesa hizo zitapungua thamani na uwezo wa kuwafaa ipasavyo. Ni lazima katika taifa hili tujifunze kuzingatia sheria na kanuni za ununuzi ili tuepuke kuweka malimbikizi ya madeni katika kila kitu. Kwa kweli hata sielewi ni vipi hawakulipwa katika migao iliyotolewa majuzi kabla ya kufunga mwaka wa kifedha. Kusema la haki, tukiwaweka watahini hawa katika hali ya ngoja ngoja kama hii, wengi watakata tamaa na hilo litaongeza mzigo wa utahini katika miaka ijayo.
Ni wazalendo wanaostahili kushughulikiwa haraka iwezekanavyo punde wanapokamilisha kazi. Jinsi tunavyochangamkia kutangaza matokeo, ndivyo tunavyostahili kuchangamkia kuwalipa walioyawezesha kupatikana. | Ni nini ambayo sio kazi ya mchezo | {
"text": [
"Utahini"
]
} |
3857_swa | Inasikitisha KNEC haijawalipa watahiniwa 2020 hadi sasa
Kwa muda sasa ninasoma jumbe katika kumbi mbalimbali za mitandao ya kijamii kuhusu kutolipwa kwa watahini kufikia sasa. Hili linashangaza kwamba halijafanyika muda huu wote tangu kutangazwa kwa matokeo ya mtihani. Yaani, pakiwa na watu wasiopaswa kucheleweshwa malipo yao hata chembe ni wananchi hawa wazalendo ambao hujitolea kufa na kupona kulisaidia taifa lao na kuiondoshea wizara ya elimu aibu.
Utahini si kazi ya mchezo. Wanaoshiriki shughuli hii watakuambia kwamba mwaka baada ya mwaka idadi yao hupungua katika baadhi ya masomo. Hili linatokana na ukweli kwamba ni watu wachache watakaofurahia kufanya kazi katika mazingira wanamo fanyia wazalendo hawa. Si jambo dogo kuacha starehe na utulivu wa kitanda chako na mazingira ya makazi yako kwenda kujisaga kwa muda mrefu, ukijikumbusha maisha ya siku za uanafunzi licha ya kuwa kazini na uwezo wa kujipatia unachohitaji kwa mshahara wako. Ni uzalendo tu na thamani ya mchango katika elimu ndipo mtu atajitolea kwenda kufanya kazi ya aina hii.
Isitoshe, utahini siku hizi unaowahitaji kukamilisha shughuli katika kipindi kifupi cha wakati, unawaweka katika shinikizo kubwa na kwa kweli baadhi hufa kutokana na matatizo ya kiafya yanayoambatana na shinikizo hizi. Wamefanya kazi katika kipindi kigumu cha kuhatarisha maisha yao kutokana na janga tandavu la korona. Isitoshe, walisafiri katika kipindi ambacho usafiri umekuwa ghali na kwa kweli hilo liliwagharimu kisawasawa ili kufika kuitekeleza kazi hii. Hawa si watu ambao tungechelewesha malipo yao kwa hakika.
Tumesema awali katika ukumbi huu kwamba taifa letu lina maradhi ya kufurahia matunda bila kutilia maanani mchakato wa kuyapata matunda hayo. Hili linadhihirishwa kwa kucheleweshwa kwa malipo ya watahini hawa ilhali matokeo yalikwishakutangazwa na hata watahiniwa wengine kujiunga na vyuo vya kitaaluma. Hali kama hii haiwezi kutajwa kwa msamiati mwingine isipokuwa ‘dhuluma’ na ‘hujuma'. Tunawadhulumu watu ambao hivi karibuni tutawahitaji tena. Kadiri idadi zao zinavyoendelea kupungua kutokana na kukatishwa tamaa na hali kama hizi, siku moja taifa letu litajipata katika matatizo makubwa.
Ninajua pesa ni tamu na zinafaa wakati wowote lakini thamani ya pesa hizo haibaki pale pale ilipokuwa. Wakilipwa sasa hivi wakati ambao gharama ya bidhaa na huduma imepanda na ushuru kuongezwa kwa kila kitu hata katika shughuli za benki, pesa hizo zitapungua thamani na uwezo wa kuwafaa ipasavyo. Ni lazima katika taifa hili tujifunze kuzingatia sheria na kanuni za ununuzi ili tuepuke kuweka malimbikizi ya madeni katika kila kitu. Kwa kweli hata sielewi ni vipi hawakulipwa katika migao iliyotolewa majuzi kabla ya kufunga mwaka wa kifedha. Kusema la haki, tukiwaweka watahini hawa katika hali ya ngoja ngoja kama hii, wengi watakata tamaa na hilo litaongeza mzigo wa utahini katika miaka ijayo.
Ni wazalendo wanaostahili kushughulikiwa haraka iwezekanavyo punde wanapokamilisha kazi. Jinsi tunavyochangamkia kutangaza matokeo, ndivyo tunavyostahili kuchangamkia kuwalipa walioyawezesha kupatikana. | Watahini wanafanya kazi na kuhatarisha maisha na nini | {
"text": [
"korona"
]
} |
3857_swa | Inasikitisha KNEC haijawalipa watahiniwa 2020 hadi sasa
Kwa muda sasa ninasoma jumbe katika kumbi mbalimbali za mitandao ya kijamii kuhusu kutolipwa kwa watahini kufikia sasa. Hili linashangaza kwamba halijafanyika muda huu wote tangu kutangazwa kwa matokeo ya mtihani. Yaani, pakiwa na watu wasiopaswa kucheleweshwa malipo yao hata chembe ni wananchi hawa wazalendo ambao hujitolea kufa na kupona kulisaidia taifa lao na kuiondoshea wizara ya elimu aibu.
Utahini si kazi ya mchezo. Wanaoshiriki shughuli hii watakuambia kwamba mwaka baada ya mwaka idadi yao hupungua katika baadhi ya masomo. Hili linatokana na ukweli kwamba ni watu wachache watakaofurahia kufanya kazi katika mazingira wanamo fanyia wazalendo hawa. Si jambo dogo kuacha starehe na utulivu wa kitanda chako na mazingira ya makazi yako kwenda kujisaga kwa muda mrefu, ukijikumbusha maisha ya siku za uanafunzi licha ya kuwa kazini na uwezo wa kujipatia unachohitaji kwa mshahara wako. Ni uzalendo tu na thamani ya mchango katika elimu ndipo mtu atajitolea kwenda kufanya kazi ya aina hii.
Isitoshe, utahini siku hizi unaowahitaji kukamilisha shughuli katika kipindi kifupi cha wakati, unawaweka katika shinikizo kubwa na kwa kweli baadhi hufa kutokana na matatizo ya kiafya yanayoambatana na shinikizo hizi. Wamefanya kazi katika kipindi kigumu cha kuhatarisha maisha yao kutokana na janga tandavu la korona. Isitoshe, walisafiri katika kipindi ambacho usafiri umekuwa ghali na kwa kweli hilo liliwagharimu kisawasawa ili kufika kuitekeleza kazi hii. Hawa si watu ambao tungechelewesha malipo yao kwa hakika.
Tumesema awali katika ukumbi huu kwamba taifa letu lina maradhi ya kufurahia matunda bila kutilia maanani mchakato wa kuyapata matunda hayo. Hili linadhihirishwa kwa kucheleweshwa kwa malipo ya watahini hawa ilhali matokeo yalikwishakutangazwa na hata watahiniwa wengine kujiunga na vyuo vya kitaaluma. Hali kama hii haiwezi kutajwa kwa msamiati mwingine isipokuwa ‘dhuluma’ na ‘hujuma'. Tunawadhulumu watu ambao hivi karibuni tutawahitaji tena. Kadiri idadi zao zinavyoendelea kupungua kutokana na kukatishwa tamaa na hali kama hizi, siku moja taifa letu litajipata katika matatizo makubwa.
Ninajua pesa ni tamu na zinafaa wakati wowote lakini thamani ya pesa hizo haibaki pale pale ilipokuwa. Wakilipwa sasa hivi wakati ambao gharama ya bidhaa na huduma imepanda na ushuru kuongezwa kwa kila kitu hata katika shughuli za benki, pesa hizo zitapungua thamani na uwezo wa kuwafaa ipasavyo. Ni lazima katika taifa hili tujifunze kuzingatia sheria na kanuni za ununuzi ili tuepuke kuweka malimbikizi ya madeni katika kila kitu. Kwa kweli hata sielewi ni vipi hawakulipwa katika migao iliyotolewa majuzi kabla ya kufunga mwaka wa kifedha. Kusema la haki, tukiwaweka watahini hawa katika hali ya ngoja ngoja kama hii, wengi watakata tamaa na hilo litaongeza mzigo wa utahini katika miaka ijayo.
Ni wazalendo wanaostahili kushughulikiwa haraka iwezekanavyo punde wanapokamilisha kazi. Jinsi tunavyochangamkia kutangaza matokeo, ndivyo tunavyostahili kuchangamkia kuwalipa walioyawezesha kupatikana. | Taifa lina maradhi ya kufurahia nini bila kutilia maanani mchakato | {
"text": [
"Matunda"
]
} |
3857_swa | Inasikitisha KNEC haijawalipa watahiniwa 2020 hadi sasa
Kwa muda sasa ninasoma jumbe katika kumbi mbalimbali za mitandao ya kijamii kuhusu kutolipwa kwa watahini kufikia sasa. Hili linashangaza kwamba halijafanyika muda huu wote tangu kutangazwa kwa matokeo ya mtihani. Yaani, pakiwa na watu wasiopaswa kucheleweshwa malipo yao hata chembe ni wananchi hawa wazalendo ambao hujitolea kufa na kupona kulisaidia taifa lao na kuiondoshea wizara ya elimu aibu.
Utahini si kazi ya mchezo. Wanaoshiriki shughuli hii watakuambia kwamba mwaka baada ya mwaka idadi yao hupungua katika baadhi ya masomo. Hili linatokana na ukweli kwamba ni watu wachache watakaofurahia kufanya kazi katika mazingira wanamo fanyia wazalendo hawa. Si jambo dogo kuacha starehe na utulivu wa kitanda chako na mazingira ya makazi yako kwenda kujisaga kwa muda mrefu, ukijikumbusha maisha ya siku za uanafunzi licha ya kuwa kazini na uwezo wa kujipatia unachohitaji kwa mshahara wako. Ni uzalendo tu na thamani ya mchango katika elimu ndipo mtu atajitolea kwenda kufanya kazi ya aina hii.
Isitoshe, utahini siku hizi unaowahitaji kukamilisha shughuli katika kipindi kifupi cha wakati, unawaweka katika shinikizo kubwa na kwa kweli baadhi hufa kutokana na matatizo ya kiafya yanayoambatana na shinikizo hizi. Wamefanya kazi katika kipindi kigumu cha kuhatarisha maisha yao kutokana na janga tandavu la korona. Isitoshe, walisafiri katika kipindi ambacho usafiri umekuwa ghali na kwa kweli hilo liliwagharimu kisawasawa ili kufika kuitekeleza kazi hii. Hawa si watu ambao tungechelewesha malipo yao kwa hakika.
Tumesema awali katika ukumbi huu kwamba taifa letu lina maradhi ya kufurahia matunda bila kutilia maanani mchakato wa kuyapata matunda hayo. Hili linadhihirishwa kwa kucheleweshwa kwa malipo ya watahini hawa ilhali matokeo yalikwishakutangazwa na hata watahiniwa wengine kujiunga na vyuo vya kitaaluma. Hali kama hii haiwezi kutajwa kwa msamiati mwingine isipokuwa ‘dhuluma’ na ‘hujuma'. Tunawadhulumu watu ambao hivi karibuni tutawahitaji tena. Kadiri idadi zao zinavyoendelea kupungua kutokana na kukatishwa tamaa na hali kama hizi, siku moja taifa letu litajipata katika matatizo makubwa.
Ninajua pesa ni tamu na zinafaa wakati wowote lakini thamani ya pesa hizo haibaki pale pale ilipokuwa. Wakilipwa sasa hivi wakati ambao gharama ya bidhaa na huduma imepanda na ushuru kuongezwa kwa kila kitu hata katika shughuli za benki, pesa hizo zitapungua thamani na uwezo wa kuwafaa ipasavyo. Ni lazima katika taifa hili tujifunze kuzingatia sheria na kanuni za ununuzi ili tuepuke kuweka malimbikizi ya madeni katika kila kitu. Kwa kweli hata sielewi ni vipi hawakulipwa katika migao iliyotolewa majuzi kabla ya kufunga mwaka wa kifedha. Kusema la haki, tukiwaweka watahini hawa katika hali ya ngoja ngoja kama hii, wengi watakata tamaa na hilo litaongeza mzigo wa utahini katika miaka ijayo.
Ni wazalendo wanaostahili kushughulikiwa haraka iwezekanavyo punde wanapokamilisha kazi. Jinsi tunavyochangamkia kutangaza matokeo, ndivyo tunavyostahili kuchangamkia kuwalipa walioyawezesha kupatikana. | Ni nini tamu na inafaa wakati wowote | {
"text": [
"Pesa"
]
} |
3858_swa | VYAMA VYA KISWAHILI
Chakide, jukwaa la kukuza vipaji vyao vya utambaji hadithi na sanaa nyinginezo
CHAMA cha Kiswahili katika Shule ya Msingi ya Dekko Academy (CHAKIDE) kilianzishwa mnamo 2003 kwa malengo ya kuchangia makuzi ya Kiswahili, kubadilisha mtazamo hasi wa wanafunzi kuhusu Kiswahili, kuzidisha maarifa ya utafiti katika Kiswahili na kuboresha matokeo ya KCPE Kiswahili.
Mbali na kuwa daraja la kuwavusha watahiniwa katika masuala ya kiakademia, madhumuni mengine ya kuasisiwa kwa chama hiki ni kuwapa wanafunzi jukwaa mwafaka la kukuza vipaji vyao vya utambaji wa hadithi, uchoraji, uigizaji, utunzi wa mashairi na uandishi wa kazi bunilizi.
Shule ya Dekko Academy ambayo inapatikana katika eneo la Kitale, Kaunti ya Trans-Nzoia iko chini ya usimamizi wa Bw Dismas Oundo (mkurugenzi) na Bi Pamela Oundo (meneja) wakisaidiwa na mwana wao Bw Victor Oundo.
Walimu wanaosukuma gurudumu la Kiswahili katika Shule ya Dekko kwa sasa ni Erick Mukhwana, Kaka Fred, Joseph Wafula, Nakitare Nyongesa, Zippy Nalianya, Rachel Kituyi, Esther Wabwile, Abigael Musumba, Violet Sangura na Gladys Okwemba.
Tangu kianzishwe, chama cha CHAKIDE kimefanikiwa kuwaunganisha wanafunzi wote shuleni na kuwapa fursa za kuelekezana ipasavyo katika baadhi ya mada zinazowatatiza madarasani.
Kupitia CHAKIDE, walimu na wanafunzi wa Dekko Academy sasa wanajivunia pia jukwaa maridhawa la kuzamia usomaji wa magazeti ya "Taifa Leo kupitia mradi wa Newspapers in Education (NiE) unaoendeshwa na kampuni ya Nation Media Group (NMG).
Kupitia mradi huu, NMG inatumia magazeti ya 'Taifa Leo' kuimarisha viwango vya kusomwa na kufundishwa kwa Kiswahili na masomo mengine katika shule za msingi na za upili humu nchini.
Kwa mujibu wa Kaka Fred, wengi wa wanafunzi wake wanaothamini na kuchangamkia usomaji wa Taifa Leo' hudumisha umahiri wao katika lugha kwa kukwangura alama za juu zaidi katika mitihani ya kitaifa (KCPE).
Anaungama kwamba majaribio ya mitahini katika Taifa Leo ni daraja halisi la mafanikio kwa wengi wa wanafunzi wake ambao wamechochewa kutia fora katika somo la Kiswahili. Wanafunzi wa kwanza kufanya KCPE kutoka Dekko Academy walitahiniwa mnamo 2006. Wanafunzi hao walifaulu vyema kwa kusajili alama wastani ya 333.3. | Chama cha Kiswahili katika shule ya msingi ya Dekko Academy (CHAKIDE) kilianzishwa lini? | {
"text": [
"2003"
]
} |
3858_swa | VYAMA VYA KISWAHILI
Chakide, jukwaa la kukuza vipaji vyao vya utambaji hadithi na sanaa nyinginezo
CHAMA cha Kiswahili katika Shule ya Msingi ya Dekko Academy (CHAKIDE) kilianzishwa mnamo 2003 kwa malengo ya kuchangia makuzi ya Kiswahili, kubadilisha mtazamo hasi wa wanafunzi kuhusu Kiswahili, kuzidisha maarifa ya utafiti katika Kiswahili na kuboresha matokeo ya KCPE Kiswahili.
Mbali na kuwa daraja la kuwavusha watahiniwa katika masuala ya kiakademia, madhumuni mengine ya kuasisiwa kwa chama hiki ni kuwapa wanafunzi jukwaa mwafaka la kukuza vipaji vyao vya utambaji wa hadithi, uchoraji, uigizaji, utunzi wa mashairi na uandishi wa kazi bunilizi.
Shule ya Dekko Academy ambayo inapatikana katika eneo la Kitale, Kaunti ya Trans-Nzoia iko chini ya usimamizi wa Bw Dismas Oundo (mkurugenzi) na Bi Pamela Oundo (meneja) wakisaidiwa na mwana wao Bw Victor Oundo.
Walimu wanaosukuma gurudumu la Kiswahili katika Shule ya Dekko kwa sasa ni Erick Mukhwana, Kaka Fred, Joseph Wafula, Nakitare Nyongesa, Zippy Nalianya, Rachel Kituyi, Esther Wabwile, Abigael Musumba, Violet Sangura na Gladys Okwemba.
Tangu kianzishwe, chama cha CHAKIDE kimefanikiwa kuwaunganisha wanafunzi wote shuleni na kuwapa fursa za kuelekezana ipasavyo katika baadhi ya mada zinazowatatiza madarasani.
Kupitia CHAKIDE, walimu na wanafunzi wa Dekko Academy sasa wanajivunia pia jukwaa maridhawa la kuzamia usomaji wa magazeti ya "Taifa Leo kupitia mradi wa Newspapers in Education (NiE) unaoendeshwa na kampuni ya Nation Media Group (NMG).
Kupitia mradi huu, NMG inatumia magazeti ya 'Taifa Leo' kuimarisha viwango vya kusomwa na kufundishwa kwa Kiswahili na masomo mengine katika shule za msingi na za upili humu nchini.
Kwa mujibu wa Kaka Fred, wengi wa wanafunzi wake wanaothamini na kuchangamkia usomaji wa Taifa Leo' hudumisha umahiri wao katika lugha kwa kukwangura alama za juu zaidi katika mitihani ya kitaifa (KCPE).
Anaungama kwamba majaribio ya mitahini katika Taifa Leo ni daraja halisi la mafanikio kwa wengi wa wanafunzi wake ambao wamechochewa kutia fora katika somo la Kiswahili. Wanafunzi wa kwanza kufanya KCPE kutoka Dekko Academy walitahiniwa mnamo 2006. Wanafunzi hao walifaulu vyema kwa kusajili alama wastani ya 333.3. | Taja madhumuni yasiyo ya kiakademia ya CHADIKE | {
"text": [
"Kukuza vipaji vya utambaji hadithi, uchoraji na uigizaji"
]
} |
3858_swa | VYAMA VYA KISWAHILI
Chakide, jukwaa la kukuza vipaji vyao vya utambaji hadithi na sanaa nyinginezo
CHAMA cha Kiswahili katika Shule ya Msingi ya Dekko Academy (CHAKIDE) kilianzishwa mnamo 2003 kwa malengo ya kuchangia makuzi ya Kiswahili, kubadilisha mtazamo hasi wa wanafunzi kuhusu Kiswahili, kuzidisha maarifa ya utafiti katika Kiswahili na kuboresha matokeo ya KCPE Kiswahili.
Mbali na kuwa daraja la kuwavusha watahiniwa katika masuala ya kiakademia, madhumuni mengine ya kuasisiwa kwa chama hiki ni kuwapa wanafunzi jukwaa mwafaka la kukuza vipaji vyao vya utambaji wa hadithi, uchoraji, uigizaji, utunzi wa mashairi na uandishi wa kazi bunilizi.
Shule ya Dekko Academy ambayo inapatikana katika eneo la Kitale, Kaunti ya Trans-Nzoia iko chini ya usimamizi wa Bw Dismas Oundo (mkurugenzi) na Bi Pamela Oundo (meneja) wakisaidiwa na mwana wao Bw Victor Oundo.
Walimu wanaosukuma gurudumu la Kiswahili katika Shule ya Dekko kwa sasa ni Erick Mukhwana, Kaka Fred, Joseph Wafula, Nakitare Nyongesa, Zippy Nalianya, Rachel Kituyi, Esther Wabwile, Abigael Musumba, Violet Sangura na Gladys Okwemba.
Tangu kianzishwe, chama cha CHAKIDE kimefanikiwa kuwaunganisha wanafunzi wote shuleni na kuwapa fursa za kuelekezana ipasavyo katika baadhi ya mada zinazowatatiza madarasani.
Kupitia CHAKIDE, walimu na wanafunzi wa Dekko Academy sasa wanajivunia pia jukwaa maridhawa la kuzamia usomaji wa magazeti ya "Taifa Leo kupitia mradi wa Newspapers in Education (NiE) unaoendeshwa na kampuni ya Nation Media Group (NMG).
Kupitia mradi huu, NMG inatumia magazeti ya 'Taifa Leo' kuimarisha viwango vya kusomwa na kufundishwa kwa Kiswahili na masomo mengine katika shule za msingi na za upili humu nchini.
Kwa mujibu wa Kaka Fred, wengi wa wanafunzi wake wanaothamini na kuchangamkia usomaji wa Taifa Leo' hudumisha umahiri wao katika lugha kwa kukwangura alama za juu zaidi katika mitihani ya kitaifa (KCPE).
Anaungama kwamba majaribio ya mitahini katika Taifa Leo ni daraja halisi la mafanikio kwa wengi wa wanafunzi wake ambao wamechochewa kutia fora katika somo la Kiswahili. Wanafunzi wa kwanza kufanya KCPE kutoka Dekko Academy walitahiniwa mnamo 2006. Wanafunzi hao walifaulu vyema kwa kusajili alama wastani ya 333.3. | Shule ya Dekko inapatikana katika eneo lipi? | {
"text": [
"Kitale, kaunti ya Trans Nzoia"
]
} |
3858_swa | VYAMA VYA KISWAHILI
Chakide, jukwaa la kukuza vipaji vyao vya utambaji hadithi na sanaa nyinginezo
CHAMA cha Kiswahili katika Shule ya Msingi ya Dekko Academy (CHAKIDE) kilianzishwa mnamo 2003 kwa malengo ya kuchangia makuzi ya Kiswahili, kubadilisha mtazamo hasi wa wanafunzi kuhusu Kiswahili, kuzidisha maarifa ya utafiti katika Kiswahili na kuboresha matokeo ya KCPE Kiswahili.
Mbali na kuwa daraja la kuwavusha watahiniwa katika masuala ya kiakademia, madhumuni mengine ya kuasisiwa kwa chama hiki ni kuwapa wanafunzi jukwaa mwafaka la kukuza vipaji vyao vya utambaji wa hadithi, uchoraji, uigizaji, utunzi wa mashairi na uandishi wa kazi bunilizi.
Shule ya Dekko Academy ambayo inapatikana katika eneo la Kitale, Kaunti ya Trans-Nzoia iko chini ya usimamizi wa Bw Dismas Oundo (mkurugenzi) na Bi Pamela Oundo (meneja) wakisaidiwa na mwana wao Bw Victor Oundo.
Walimu wanaosukuma gurudumu la Kiswahili katika Shule ya Dekko kwa sasa ni Erick Mukhwana, Kaka Fred, Joseph Wafula, Nakitare Nyongesa, Zippy Nalianya, Rachel Kituyi, Esther Wabwile, Abigael Musumba, Violet Sangura na Gladys Okwemba.
Tangu kianzishwe, chama cha CHAKIDE kimefanikiwa kuwaunganisha wanafunzi wote shuleni na kuwapa fursa za kuelekezana ipasavyo katika baadhi ya mada zinazowatatiza madarasani.
Kupitia CHAKIDE, walimu na wanafunzi wa Dekko Academy sasa wanajivunia pia jukwaa maridhawa la kuzamia usomaji wa magazeti ya "Taifa Leo kupitia mradi wa Newspapers in Education (NiE) unaoendeshwa na kampuni ya Nation Media Group (NMG).
Kupitia mradi huu, NMG inatumia magazeti ya 'Taifa Leo' kuimarisha viwango vya kusomwa na kufundishwa kwa Kiswahili na masomo mengine katika shule za msingi na za upili humu nchini.
Kwa mujibu wa Kaka Fred, wengi wa wanafunzi wake wanaothamini na kuchangamkia usomaji wa Taifa Leo' hudumisha umahiri wao katika lugha kwa kukwangura alama za juu zaidi katika mitihani ya kitaifa (KCPE).
Anaungama kwamba majaribio ya mitahini katika Taifa Leo ni daraja halisi la mafanikio kwa wengi wa wanafunzi wake ambao wamechochewa kutia fora katika somo la Kiswahili. Wanafunzi wa kwanza kufanya KCPE kutoka Dekko Academy walitahiniwa mnamo 2006. Wanafunzi hao walifaulu vyema kwa kusajili alama wastani ya 333.3. | Taja mwalimu mmoja aliyesukuma gurudumula Kiswahili katika shule ya Dekko | {
"text": [
"Erick Mukwana"
]
} |
3858_swa | VYAMA VYA KISWAHILI
Chakide, jukwaa la kukuza vipaji vyao vya utambaji hadithi na sanaa nyinginezo
CHAMA cha Kiswahili katika Shule ya Msingi ya Dekko Academy (CHAKIDE) kilianzishwa mnamo 2003 kwa malengo ya kuchangia makuzi ya Kiswahili, kubadilisha mtazamo hasi wa wanafunzi kuhusu Kiswahili, kuzidisha maarifa ya utafiti katika Kiswahili na kuboresha matokeo ya KCPE Kiswahili.
Mbali na kuwa daraja la kuwavusha watahiniwa katika masuala ya kiakademia, madhumuni mengine ya kuasisiwa kwa chama hiki ni kuwapa wanafunzi jukwaa mwafaka la kukuza vipaji vyao vya utambaji wa hadithi, uchoraji, uigizaji, utunzi wa mashairi na uandishi wa kazi bunilizi.
Shule ya Dekko Academy ambayo inapatikana katika eneo la Kitale, Kaunti ya Trans-Nzoia iko chini ya usimamizi wa Bw Dismas Oundo (mkurugenzi) na Bi Pamela Oundo (meneja) wakisaidiwa na mwana wao Bw Victor Oundo.
Walimu wanaosukuma gurudumu la Kiswahili katika Shule ya Dekko kwa sasa ni Erick Mukhwana, Kaka Fred, Joseph Wafula, Nakitare Nyongesa, Zippy Nalianya, Rachel Kituyi, Esther Wabwile, Abigael Musumba, Violet Sangura na Gladys Okwemba.
Tangu kianzishwe, chama cha CHAKIDE kimefanikiwa kuwaunganisha wanafunzi wote shuleni na kuwapa fursa za kuelekezana ipasavyo katika baadhi ya mada zinazowatatiza madarasani.
Kupitia CHAKIDE, walimu na wanafunzi wa Dekko Academy sasa wanajivunia pia jukwaa maridhawa la kuzamia usomaji wa magazeti ya "Taifa Leo kupitia mradi wa Newspapers in Education (NiE) unaoendeshwa na kampuni ya Nation Media Group (NMG).
Kupitia mradi huu, NMG inatumia magazeti ya 'Taifa Leo' kuimarisha viwango vya kusomwa na kufundishwa kwa Kiswahili na masomo mengine katika shule za msingi na za upili humu nchini.
Kwa mujibu wa Kaka Fred, wengi wa wanafunzi wake wanaothamini na kuchangamkia usomaji wa Taifa Leo' hudumisha umahiri wao katika lugha kwa kukwangura alama za juu zaidi katika mitihani ya kitaifa (KCPE).
Anaungama kwamba majaribio ya mitahini katika Taifa Leo ni daraja halisi la mafanikio kwa wengi wa wanafunzi wake ambao wamechochewa kutia fora katika somo la Kiswahili. Wanafunzi wa kwanza kufanya KCPE kutoka Dekko Academy walitahiniwa mnamo 2006. Wanafunzi hao walifaulu vyema kwa kusajili alama wastani ya 333.3. | Chama cha CHADIKE kina mafanikio yepi? | {
"text": [
"Kuwaunganisha wanafunzi wote shuleni"
]
} |
3859_swa | lli kuepuka majuto wafaa uwe mwangalifu, ustahimilivu na nidhamu
Nimewashuhudia watoto mara si haba wakijibizana na wazazi wao kwa njia inayokatiza tamaa. Nikiyataja waziwazi, watoto wamewabughudhi wazazi wale wale wanaojikalifu kuhakikisha kuwa wamepata kisomo cha kuwafaa katika siku za halafu. Labda wazazi wamekosea na kujitia katika hali inayowapa watoto wao kuwasomea kama kana kwamba wanawasomea wadogo wao.
La kusikitisha zaidi ni kwamba hata waliofuzu kujiunga na vyuo mbalimbali, wanaokisiwa kupevuka kimawazo, wamejiunga na wenzio kuwafedhehesha wazazi.
Kwa nini lakini? Mbona fahari wanayoonewa ni ya kupita tu? Au ujana si moshi tena walivyoshtakia babu zetu? Ewe mwanafunzi, usisahau kwamba mzazi wako alikuwa hapo ulipo si miaka mingi iliyopita. Huenda alifurahikiwa mno kuliko unavyodhani. Inawezekana alikuwa makini zaidi akiwa katika umri ulio nao sasa. Ukweli kwamba kubaleghe kunawaingiza vijana katika ngazi ya kutambuliwa kama watu wa kipekee, wenye kufikiri, kunena na kutenda tofauti na binadamu wengine kusiwe sababu yako ya kuwakosea heshima wazazi.
Fahari unayoonewa sasa itapita baada ya kipindi kifupi iwapo hutatia maanani uadilifu, bidii na stahamala.
Vinginevyo, utajikuta pale pale anapojikuta Otii, mhusika mkuu katika hadithi nizikeni papa hapa, yake Ken Walibora kwenye diwani Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Mhusika huyu anayefurahikiwa, kuchangamkiwa na kushabikiwa mno, anasahaulika pindi anapokoma kuchezea klabu ya Bandari FC na timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars. Awali lakini, anapokuwa mchezaji hodari wa timu hizi, amepata heshima ya kupigiwa mfano. Kupuuza uadilifu kunamwingiza katika mapenzi ya kiholela na anaenda kukutana na muumba wake mapema mno.
Kila uteuzi unaoufanya leo ewe mwanafunzi haujali kwamba wewe ni kijana ili kwamba matokeo yawe tofauti kwa kukuonea imani. Ukipanda utovu wa nidhamu, utavuna karaha, ukipenda usipende. Kuwawazia wazazi kama waliopitwa na wakati na kujaza nafasi zao na mitandao ya kijamii ni ujinga ambao kama ngoma ya vijana, haukeshi.Vitabu vitakatifu vinasisitiza utiifu, hasa kwa wazazi. Vinakoleza maelezo yenyewe kwa kutaja kwamba amri hii ndiyo ya kwanza yenye ahadi, ahadi ya kuishi kwa siku nyingi. Nani asiyetaka kuishi kwa siku nyingi? Nani asiyetaka kutambuliwa na muumba wake kwa utii na kutuzwa kwa kuuzingatia? Ewe mwana nakurai uukome utovu wa nidhamu ulivyolikoma titi la mama. Usidhani ni hiari hii, wewe lifuate kama sheria nyingine yoyote ya nchi. Ikibidi, itii amri hii si kwa kutegemea baraka bali kwa kuchelea adhabu.
Wakati mmoja akili zako zikikomaa kweli (sasa bado) utajipongeza kwa kuwaheshimu wakubwa wako ingawa wakati huo hukuona sababu. Nawe mzazi mwombe mungu akujaze ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu. Kuwa mwepesi wa kusikiliza lakini mpole katika kunena na kutenda. Bila stahamala, utachukua hatua ambayo utaijutia baadaye, sababu ni kwamba wakati mwingine ukimsikiliza mwanao, utadhani amepagawa. Hatua ya busara ni kumsikiliza na kumpa muda wa kupoa moto. Tumia adhabu kali ikibidi tu lakini nasaha itafaa zaidi kwani baada ya kipindi kifupi mwanao atarejelea utulivu. Na iwe hivyo ambapo hapana lolote la kujutia baina yako na mwanao.
Mwisho, kumbuka kumpongeza mwanao kila anapoyafikilia matazio yake, yako au yote kwa pamoja. Anapolitenda jambo jema, usije ukajinyamazia tu ukidhani kumpongeza kutamsababisha kuringa hata akaringa kiasi tu hamna ubaya kwani ni wakati wake muhimu asipitilize.
Pongezi hizi zitachangia pakubwa katika kumbainishia yapi yanayokupendeza pia kukuridhisha na ni yapi usiyoyathamani. | Nani hujibizana na wazazi wao | {
"text": [
"watoto"
]
} |
3859_swa | lli kuepuka majuto wafaa uwe mwangalifu, ustahimilivu na nidhamu
Nimewashuhudia watoto mara si haba wakijibizana na wazazi wao kwa njia inayokatiza tamaa. Nikiyataja waziwazi, watoto wamewabughudhi wazazi wale wale wanaojikalifu kuhakikisha kuwa wamepata kisomo cha kuwafaa katika siku za halafu. Labda wazazi wamekosea na kujitia katika hali inayowapa watoto wao kuwasomea kama kana kwamba wanawasomea wadogo wao.
La kusikitisha zaidi ni kwamba hata waliofuzu kujiunga na vyuo mbalimbali, wanaokisiwa kupevuka kimawazo, wamejiunga na wenzio kuwafedhehesha wazazi.
Kwa nini lakini? Mbona fahari wanayoonewa ni ya kupita tu? Au ujana si moshi tena walivyoshtakia babu zetu? Ewe mwanafunzi, usisahau kwamba mzazi wako alikuwa hapo ulipo si miaka mingi iliyopita. Huenda alifurahikiwa mno kuliko unavyodhani. Inawezekana alikuwa makini zaidi akiwa katika umri ulio nao sasa. Ukweli kwamba kubaleghe kunawaingiza vijana katika ngazi ya kutambuliwa kama watu wa kipekee, wenye kufikiri, kunena na kutenda tofauti na binadamu wengine kusiwe sababu yako ya kuwakosea heshima wazazi.
Fahari unayoonewa sasa itapita baada ya kipindi kifupi iwapo hutatia maanani uadilifu, bidii na stahamala.
Vinginevyo, utajikuta pale pale anapojikuta Otii, mhusika mkuu katika hadithi nizikeni papa hapa, yake Ken Walibora kwenye diwani Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Mhusika huyu anayefurahikiwa, kuchangamkiwa na kushabikiwa mno, anasahaulika pindi anapokoma kuchezea klabu ya Bandari FC na timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars. Awali lakini, anapokuwa mchezaji hodari wa timu hizi, amepata heshima ya kupigiwa mfano. Kupuuza uadilifu kunamwingiza katika mapenzi ya kiholela na anaenda kukutana na muumba wake mapema mno.
Kila uteuzi unaoufanya leo ewe mwanafunzi haujali kwamba wewe ni kijana ili kwamba matokeo yawe tofauti kwa kukuonea imani. Ukipanda utovu wa nidhamu, utavuna karaha, ukipenda usipende. Kuwawazia wazazi kama waliopitwa na wakati na kujaza nafasi zao na mitandao ya kijamii ni ujinga ambao kama ngoma ya vijana, haukeshi.Vitabu vitakatifu vinasisitiza utiifu, hasa kwa wazazi. Vinakoleza maelezo yenyewe kwa kutaja kwamba amri hii ndiyo ya kwanza yenye ahadi, ahadi ya kuishi kwa siku nyingi. Nani asiyetaka kuishi kwa siku nyingi? Nani asiyetaka kutambuliwa na muumba wake kwa utii na kutuzwa kwa kuuzingatia? Ewe mwana nakurai uukome utovu wa nidhamu ulivyolikoma titi la mama. Usidhani ni hiari hii, wewe lifuate kama sheria nyingine yoyote ya nchi. Ikibidi, itii amri hii si kwa kutegemea baraka bali kwa kuchelea adhabu.
Wakati mmoja akili zako zikikomaa kweli (sasa bado) utajipongeza kwa kuwaheshimu wakubwa wako ingawa wakati huo hukuona sababu. Nawe mzazi mwombe mungu akujaze ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu. Kuwa mwepesi wa kusikiliza lakini mpole katika kunena na kutenda. Bila stahamala, utachukua hatua ambayo utaijutia baadaye, sababu ni kwamba wakati mwingine ukimsikiliza mwanao, utadhani amepagawa. Hatua ya busara ni kumsikiliza na kumpa muda wa kupoa moto. Tumia adhabu kali ikibidi tu lakini nasaha itafaa zaidi kwani baada ya kipindi kifupi mwanao atarejelea utulivu. Na iwe hivyo ambapo hapana lolote la kujutia baina yako na mwanao.
Mwisho, kumbuka kumpongeza mwanao kila anapoyafikilia matazio yake, yako au yote kwa pamoja. Anapolitenda jambo jema, usije ukajinyamazia tu ukidhani kumpongeza kutamsababisha kuringa hata akaringa kiasi tu hamna ubaya kwani ni wakati wake muhimu asipitilize.
Pongezi hizi zitachangia pakubwa katika kumbainishia yapi yanayokupendeza pia kukuridhisha na ni yapi usiyoyathamani. | Wazazi hujikalifu kuhakikisha kuwa watoto wamepata nini | {
"text": [
"kisomo"
]
} |
3859_swa | lli kuepuka majuto wafaa uwe mwangalifu, ustahimilivu na nidhamu
Nimewashuhudia watoto mara si haba wakijibizana na wazazi wao kwa njia inayokatiza tamaa. Nikiyataja waziwazi, watoto wamewabughudhi wazazi wale wale wanaojikalifu kuhakikisha kuwa wamepata kisomo cha kuwafaa katika siku za halafu. Labda wazazi wamekosea na kujitia katika hali inayowapa watoto wao kuwasomea kama kana kwamba wanawasomea wadogo wao.
La kusikitisha zaidi ni kwamba hata waliofuzu kujiunga na vyuo mbalimbali, wanaokisiwa kupevuka kimawazo, wamejiunga na wenzio kuwafedhehesha wazazi.
Kwa nini lakini? Mbona fahari wanayoonewa ni ya kupita tu? Au ujana si moshi tena walivyoshtakia babu zetu? Ewe mwanafunzi, usisahau kwamba mzazi wako alikuwa hapo ulipo si miaka mingi iliyopita. Huenda alifurahikiwa mno kuliko unavyodhani. Inawezekana alikuwa makini zaidi akiwa katika umri ulio nao sasa. Ukweli kwamba kubaleghe kunawaingiza vijana katika ngazi ya kutambuliwa kama watu wa kipekee, wenye kufikiri, kunena na kutenda tofauti na binadamu wengine kusiwe sababu yako ya kuwakosea heshima wazazi.
Fahari unayoonewa sasa itapita baada ya kipindi kifupi iwapo hutatia maanani uadilifu, bidii na stahamala.
Vinginevyo, utajikuta pale pale anapojikuta Otii, mhusika mkuu katika hadithi nizikeni papa hapa, yake Ken Walibora kwenye diwani Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Mhusika huyu anayefurahikiwa, kuchangamkiwa na kushabikiwa mno, anasahaulika pindi anapokoma kuchezea klabu ya Bandari FC na timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars. Awali lakini, anapokuwa mchezaji hodari wa timu hizi, amepata heshima ya kupigiwa mfano. Kupuuza uadilifu kunamwingiza katika mapenzi ya kiholela na anaenda kukutana na muumba wake mapema mno.
Kila uteuzi unaoufanya leo ewe mwanafunzi haujali kwamba wewe ni kijana ili kwamba matokeo yawe tofauti kwa kukuonea imani. Ukipanda utovu wa nidhamu, utavuna karaha, ukipenda usipende. Kuwawazia wazazi kama waliopitwa na wakati na kujaza nafasi zao na mitandao ya kijamii ni ujinga ambao kama ngoma ya vijana, haukeshi.Vitabu vitakatifu vinasisitiza utiifu, hasa kwa wazazi. Vinakoleza maelezo yenyewe kwa kutaja kwamba amri hii ndiyo ya kwanza yenye ahadi, ahadi ya kuishi kwa siku nyingi. Nani asiyetaka kuishi kwa siku nyingi? Nani asiyetaka kutambuliwa na muumba wake kwa utii na kutuzwa kwa kuuzingatia? Ewe mwana nakurai uukome utovu wa nidhamu ulivyolikoma titi la mama. Usidhani ni hiari hii, wewe lifuate kama sheria nyingine yoyote ya nchi. Ikibidi, itii amri hii si kwa kutegemea baraka bali kwa kuchelea adhabu.
Wakati mmoja akili zako zikikomaa kweli (sasa bado) utajipongeza kwa kuwaheshimu wakubwa wako ingawa wakati huo hukuona sababu. Nawe mzazi mwombe mungu akujaze ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu. Kuwa mwepesi wa kusikiliza lakini mpole katika kunena na kutenda. Bila stahamala, utachukua hatua ambayo utaijutia baadaye, sababu ni kwamba wakati mwingine ukimsikiliza mwanao, utadhani amepagawa. Hatua ya busara ni kumsikiliza na kumpa muda wa kupoa moto. Tumia adhabu kali ikibidi tu lakini nasaha itafaa zaidi kwani baada ya kipindi kifupi mwanao atarejelea utulivu. Na iwe hivyo ambapo hapana lolote la kujutia baina yako na mwanao.
Mwisho, kumbuka kumpongeza mwanao kila anapoyafikilia matazio yake, yako au yote kwa pamoja. Anapolitenda jambo jema, usije ukajinyamazia tu ukidhani kumpongeza kutamsababisha kuringa hata akaringa kiasi tu hamna ubaya kwani ni wakati wake muhimu asipitilize.
Pongezi hizi zitachangia pakubwa katika kumbainishia yapi yanayokupendeza pia kukuridhisha na ni yapi usiyoyathamani. | Fahari unayoonewa sasa itapita lini | {
"text": [
"baada ya kipindi kifupi"
]
} |
3859_swa | lli kuepuka majuto wafaa uwe mwangalifu, ustahimilivu na nidhamu
Nimewashuhudia watoto mara si haba wakijibizana na wazazi wao kwa njia inayokatiza tamaa. Nikiyataja waziwazi, watoto wamewabughudhi wazazi wale wale wanaojikalifu kuhakikisha kuwa wamepata kisomo cha kuwafaa katika siku za halafu. Labda wazazi wamekosea na kujitia katika hali inayowapa watoto wao kuwasomea kama kana kwamba wanawasomea wadogo wao.
La kusikitisha zaidi ni kwamba hata waliofuzu kujiunga na vyuo mbalimbali, wanaokisiwa kupevuka kimawazo, wamejiunga na wenzio kuwafedhehesha wazazi.
Kwa nini lakini? Mbona fahari wanayoonewa ni ya kupita tu? Au ujana si moshi tena walivyoshtakia babu zetu? Ewe mwanafunzi, usisahau kwamba mzazi wako alikuwa hapo ulipo si miaka mingi iliyopita. Huenda alifurahikiwa mno kuliko unavyodhani. Inawezekana alikuwa makini zaidi akiwa katika umri ulio nao sasa. Ukweli kwamba kubaleghe kunawaingiza vijana katika ngazi ya kutambuliwa kama watu wa kipekee, wenye kufikiri, kunena na kutenda tofauti na binadamu wengine kusiwe sababu yako ya kuwakosea heshima wazazi.
Fahari unayoonewa sasa itapita baada ya kipindi kifupi iwapo hutatia maanani uadilifu, bidii na stahamala.
Vinginevyo, utajikuta pale pale anapojikuta Otii, mhusika mkuu katika hadithi nizikeni papa hapa, yake Ken Walibora kwenye diwani Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Mhusika huyu anayefurahikiwa, kuchangamkiwa na kushabikiwa mno, anasahaulika pindi anapokoma kuchezea klabu ya Bandari FC na timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars. Awali lakini, anapokuwa mchezaji hodari wa timu hizi, amepata heshima ya kupigiwa mfano. Kupuuza uadilifu kunamwingiza katika mapenzi ya kiholela na anaenda kukutana na muumba wake mapema mno.
Kila uteuzi unaoufanya leo ewe mwanafunzi haujali kwamba wewe ni kijana ili kwamba matokeo yawe tofauti kwa kukuonea imani. Ukipanda utovu wa nidhamu, utavuna karaha, ukipenda usipende. Kuwawazia wazazi kama waliopitwa na wakati na kujaza nafasi zao na mitandao ya kijamii ni ujinga ambao kama ngoma ya vijana, haukeshi.Vitabu vitakatifu vinasisitiza utiifu, hasa kwa wazazi. Vinakoleza maelezo yenyewe kwa kutaja kwamba amri hii ndiyo ya kwanza yenye ahadi, ahadi ya kuishi kwa siku nyingi. Nani asiyetaka kuishi kwa siku nyingi? Nani asiyetaka kutambuliwa na muumba wake kwa utii na kutuzwa kwa kuuzingatia? Ewe mwana nakurai uukome utovu wa nidhamu ulivyolikoma titi la mama. Usidhani ni hiari hii, wewe lifuate kama sheria nyingine yoyote ya nchi. Ikibidi, itii amri hii si kwa kutegemea baraka bali kwa kuchelea adhabu.
Wakati mmoja akili zako zikikomaa kweli (sasa bado) utajipongeza kwa kuwaheshimu wakubwa wako ingawa wakati huo hukuona sababu. Nawe mzazi mwombe mungu akujaze ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu. Kuwa mwepesi wa kusikiliza lakini mpole katika kunena na kutenda. Bila stahamala, utachukua hatua ambayo utaijutia baadaye, sababu ni kwamba wakati mwingine ukimsikiliza mwanao, utadhani amepagawa. Hatua ya busara ni kumsikiliza na kumpa muda wa kupoa moto. Tumia adhabu kali ikibidi tu lakini nasaha itafaa zaidi kwani baada ya kipindi kifupi mwanao atarejelea utulivu. Na iwe hivyo ambapo hapana lolote la kujutia baina yako na mwanao.
Mwisho, kumbuka kumpongeza mwanao kila anapoyafikilia matazio yake, yako au yote kwa pamoja. Anapolitenda jambo jema, usije ukajinyamazia tu ukidhani kumpongeza kutamsababisha kuringa hata akaringa kiasi tu hamna ubaya kwani ni wakati wake muhimu asipitilize.
Pongezi hizi zitachangia pakubwa katika kumbainishia yapi yanayokupendeza pia kukuridhisha na ni yapi usiyoyathamani. | Ukipanda utovu wa nidhamu utavuna nini | {
"text": [
"karaha"
]
} |
3859_swa | lli kuepuka majuto wafaa uwe mwangalifu, ustahimilivu na nidhamu
Nimewashuhudia watoto mara si haba wakijibizana na wazazi wao kwa njia inayokatiza tamaa. Nikiyataja waziwazi, watoto wamewabughudhi wazazi wale wale wanaojikalifu kuhakikisha kuwa wamepata kisomo cha kuwafaa katika siku za halafu. Labda wazazi wamekosea na kujitia katika hali inayowapa watoto wao kuwasomea kama kana kwamba wanawasomea wadogo wao.
La kusikitisha zaidi ni kwamba hata waliofuzu kujiunga na vyuo mbalimbali, wanaokisiwa kupevuka kimawazo, wamejiunga na wenzio kuwafedhehesha wazazi.
Kwa nini lakini? Mbona fahari wanayoonewa ni ya kupita tu? Au ujana si moshi tena walivyoshtakia babu zetu? Ewe mwanafunzi, usisahau kwamba mzazi wako alikuwa hapo ulipo si miaka mingi iliyopita. Huenda alifurahikiwa mno kuliko unavyodhani. Inawezekana alikuwa makini zaidi akiwa katika umri ulio nao sasa. Ukweli kwamba kubaleghe kunawaingiza vijana katika ngazi ya kutambuliwa kama watu wa kipekee, wenye kufikiri, kunena na kutenda tofauti na binadamu wengine kusiwe sababu yako ya kuwakosea heshima wazazi.
Fahari unayoonewa sasa itapita baada ya kipindi kifupi iwapo hutatia maanani uadilifu, bidii na stahamala.
Vinginevyo, utajikuta pale pale anapojikuta Otii, mhusika mkuu katika hadithi nizikeni papa hapa, yake Ken Walibora kwenye diwani Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Mhusika huyu anayefurahikiwa, kuchangamkiwa na kushabikiwa mno, anasahaulika pindi anapokoma kuchezea klabu ya Bandari FC na timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars. Awali lakini, anapokuwa mchezaji hodari wa timu hizi, amepata heshima ya kupigiwa mfano. Kupuuza uadilifu kunamwingiza katika mapenzi ya kiholela na anaenda kukutana na muumba wake mapema mno.
Kila uteuzi unaoufanya leo ewe mwanafunzi haujali kwamba wewe ni kijana ili kwamba matokeo yawe tofauti kwa kukuonea imani. Ukipanda utovu wa nidhamu, utavuna karaha, ukipenda usipende. Kuwawazia wazazi kama waliopitwa na wakati na kujaza nafasi zao na mitandao ya kijamii ni ujinga ambao kama ngoma ya vijana, haukeshi.Vitabu vitakatifu vinasisitiza utiifu, hasa kwa wazazi. Vinakoleza maelezo yenyewe kwa kutaja kwamba amri hii ndiyo ya kwanza yenye ahadi, ahadi ya kuishi kwa siku nyingi. Nani asiyetaka kuishi kwa siku nyingi? Nani asiyetaka kutambuliwa na muumba wake kwa utii na kutuzwa kwa kuuzingatia? Ewe mwana nakurai uukome utovu wa nidhamu ulivyolikoma titi la mama. Usidhani ni hiari hii, wewe lifuate kama sheria nyingine yoyote ya nchi. Ikibidi, itii amri hii si kwa kutegemea baraka bali kwa kuchelea adhabu.
Wakati mmoja akili zako zikikomaa kweli (sasa bado) utajipongeza kwa kuwaheshimu wakubwa wako ingawa wakati huo hukuona sababu. Nawe mzazi mwombe mungu akujaze ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu. Kuwa mwepesi wa kusikiliza lakini mpole katika kunena na kutenda. Bila stahamala, utachukua hatua ambayo utaijutia baadaye, sababu ni kwamba wakati mwingine ukimsikiliza mwanao, utadhani amepagawa. Hatua ya busara ni kumsikiliza na kumpa muda wa kupoa moto. Tumia adhabu kali ikibidi tu lakini nasaha itafaa zaidi kwani baada ya kipindi kifupi mwanao atarejelea utulivu. Na iwe hivyo ambapo hapana lolote la kujutia baina yako na mwanao.
Mwisho, kumbuka kumpongeza mwanao kila anapoyafikilia matazio yake, yako au yote kwa pamoja. Anapolitenda jambo jema, usije ukajinyamazia tu ukidhani kumpongeza kutamsababisha kuringa hata akaringa kiasi tu hamna ubaya kwani ni wakati wake muhimu asipitilize.
Pongezi hizi zitachangia pakubwa katika kumbainishia yapi yanayokupendeza pia kukuridhisha na ni yapi usiyoyathamani. | Vitabu vitakatifu vinasisitiza nini | {
"text": [
"utiifu"
]
} |
3861_swa | Kubugia ni kutia kinywani mfululizo kitu cha ungaunga
Vyombo vya habari hulitumia neno bugia kwa maana ya kunywa hususan pombe. Maana ya muktadha ambayo vyombo hivyo hudhamiria kuiwasilisha vinapolitumia neno hilo ni unywaji kwa wingi vileo haramu na kwa kukiuka sheria zilizowekwa.
Kabla ya kueleza kwa nini matumizi ya neno hilo kwa maana ya kunywa kwa aina yoyote ile kwa maoni yangu - yanamushkeli, ni muhimu kutaja kwamba kuna tabia na aina mbalimbali za ulaji.
Kwa mfano, ulaji ovyo ovyo bila mpango maalumu ni ubuge. Tabia hii imepigiwa msemo: Mbuge hawezi nyumba. Msemo huu huibua taswira ya mtu aliyeshindwa kuitimizia aila mahitaji ya msingi kwa sababu ya kukosa kanuni mwafaka za kula.
Neno dukia nalo lina maana ya kuvizia na kula chakula bila stahili. Kitendo hiki pia huelezewa kwa dhana doea.
Aina nyingine za kula huelezewa kwa vitenzi mbalimbali. Kwa mfano, kung’wafua kuna maana ya kung’ata na kunyofoa. Hapa unajitokeza mzunguko wa maana ambapo msamiati fulani ambao maana ambapo msamiati fulani ambao maana yake si wazi unatumiwa kufafanua msamiati mwingine. Kung’ata ni kuuma kwa meno hasa ya mbele. Ni kutokana na neno hili ambapo yamkini kiongozi mashuhuri kutoka nchi- tumiwa sana na vyombo vya mawasiliano kwa maana ya ashakum si matusi kukata sehemu nyeti za mwanamume lina maana ya kuachanisha kitu hasa chororo kwa kuvuta na kukata.
Msamiati ng’wafua umetumiwa katika methali ‘uking’wafua mnofu, kumbuka kuguguna mfupa. Katika methali yenyewe, lipo neno guguna ambalo lina maana ya kutafuna tafuna kitu kilichoshikamana kwa meno ya mbele jinsi afan- wa makala haya tulieleza kwamba hutumiwa kwa maana ya kunywa pombe kwa wingi lina maana ya kutia mdomoni mfululizo kitu cha ungaunga.
Hii ndiyo maana asili ya neno hilo inavyojitokeza katika toleo la awali la Kamusi ya Kiswahili Sanifu. Maana hiyo aidha inajitokeza katika Kamusi Elezi ya Kiswahili. Haupo ushahidi ulio wazi unaoelezea kuwa dhana bugia imepanua maana na kujumuisha kitendo cha kunywa kwa wingi kitu cha majimaji. | Neno bugia humaanisha nini | {
"text": [
"kunywa pombe"
]
} |
3861_swa | Kubugia ni kutia kinywani mfululizo kitu cha ungaunga
Vyombo vya habari hulitumia neno bugia kwa maana ya kunywa hususan pombe. Maana ya muktadha ambayo vyombo hivyo hudhamiria kuiwasilisha vinapolitumia neno hilo ni unywaji kwa wingi vileo haramu na kwa kukiuka sheria zilizowekwa.
Kabla ya kueleza kwa nini matumizi ya neno hilo kwa maana ya kunywa kwa aina yoyote ile kwa maoni yangu - yanamushkeli, ni muhimu kutaja kwamba kuna tabia na aina mbalimbali za ulaji.
Kwa mfano, ulaji ovyo ovyo bila mpango maalumu ni ubuge. Tabia hii imepigiwa msemo: Mbuge hawezi nyumba. Msemo huu huibua taswira ya mtu aliyeshindwa kuitimizia aila mahitaji ya msingi kwa sababu ya kukosa kanuni mwafaka za kula.
Neno dukia nalo lina maana ya kuvizia na kula chakula bila stahili. Kitendo hiki pia huelezewa kwa dhana doea.
Aina nyingine za kula huelezewa kwa vitenzi mbalimbali. Kwa mfano, kung’wafua kuna maana ya kung’ata na kunyofoa. Hapa unajitokeza mzunguko wa maana ambapo msamiati fulani ambao maana ambapo msamiati fulani ambao maana yake si wazi unatumiwa kufafanua msamiati mwingine. Kung’ata ni kuuma kwa meno hasa ya mbele. Ni kutokana na neno hili ambapo yamkini kiongozi mashuhuri kutoka nchi- tumiwa sana na vyombo vya mawasiliano kwa maana ya ashakum si matusi kukata sehemu nyeti za mwanamume lina maana ya kuachanisha kitu hasa chororo kwa kuvuta na kukata.
Msamiati ng’wafua umetumiwa katika methali ‘uking’wafua mnofu, kumbuka kuguguna mfupa. Katika methali yenyewe, lipo neno guguna ambalo lina maana ya kutafuna tafuna kitu kilichoshikamana kwa meno ya mbele jinsi afan- wa makala haya tulieleza kwamba hutumiwa kwa maana ya kunywa pombe kwa wingi lina maana ya kutia mdomoni mfululizo kitu cha ungaunga.
Hii ndiyo maana asili ya neno hilo inavyojitokeza katika toleo la awali la Kamusi ya Kiswahili Sanifu. Maana hiyo aidha inajitokeza katika Kamusi Elezi ya Kiswahili. Haupo ushahidi ulio wazi unaoelezea kuwa dhana bugia imepanua maana na kujumuisha kitendo cha kunywa kwa wingi kitu cha majimaji. | Ulaji ovyoovyo bila mpango maalum ni nini | {
"text": [
"ubuge"
]
} |
3861_swa | Kubugia ni kutia kinywani mfululizo kitu cha ungaunga
Vyombo vya habari hulitumia neno bugia kwa maana ya kunywa hususan pombe. Maana ya muktadha ambayo vyombo hivyo hudhamiria kuiwasilisha vinapolitumia neno hilo ni unywaji kwa wingi vileo haramu na kwa kukiuka sheria zilizowekwa.
Kabla ya kueleza kwa nini matumizi ya neno hilo kwa maana ya kunywa kwa aina yoyote ile kwa maoni yangu - yanamushkeli, ni muhimu kutaja kwamba kuna tabia na aina mbalimbali za ulaji.
Kwa mfano, ulaji ovyo ovyo bila mpango maalumu ni ubuge. Tabia hii imepigiwa msemo: Mbuge hawezi nyumba. Msemo huu huibua taswira ya mtu aliyeshindwa kuitimizia aila mahitaji ya msingi kwa sababu ya kukosa kanuni mwafaka za kula.
Neno dukia nalo lina maana ya kuvizia na kula chakula bila stahili. Kitendo hiki pia huelezewa kwa dhana doea.
Aina nyingine za kula huelezewa kwa vitenzi mbalimbali. Kwa mfano, kung’wafua kuna maana ya kung’ata na kunyofoa. Hapa unajitokeza mzunguko wa maana ambapo msamiati fulani ambao maana ambapo msamiati fulani ambao maana yake si wazi unatumiwa kufafanua msamiati mwingine. Kung’ata ni kuuma kwa meno hasa ya mbele. Ni kutokana na neno hili ambapo yamkini kiongozi mashuhuri kutoka nchi- tumiwa sana na vyombo vya mawasiliano kwa maana ya ashakum si matusi kukata sehemu nyeti za mwanamume lina maana ya kuachanisha kitu hasa chororo kwa kuvuta na kukata.
Msamiati ng’wafua umetumiwa katika methali ‘uking’wafua mnofu, kumbuka kuguguna mfupa. Katika methali yenyewe, lipo neno guguna ambalo lina maana ya kutafuna tafuna kitu kilichoshikamana kwa meno ya mbele jinsi afan- wa makala haya tulieleza kwamba hutumiwa kwa maana ya kunywa pombe kwa wingi lina maana ya kutia mdomoni mfululizo kitu cha ungaunga.
Hii ndiyo maana asili ya neno hilo inavyojitokeza katika toleo la awali la Kamusi ya Kiswahili Sanifu. Maana hiyo aidha inajitokeza katika Kamusi Elezi ya Kiswahili. Haupo ushahidi ulio wazi unaoelezea kuwa dhana bugia imepanua maana na kujumuisha kitendo cha kunywa kwa wingi kitu cha majimaji. | Kuvizia na kula chakula bila stahili ni nini | {
"text": [
"dukia"
]
} |
3861_swa | Kubugia ni kutia kinywani mfululizo kitu cha ungaunga
Vyombo vya habari hulitumia neno bugia kwa maana ya kunywa hususan pombe. Maana ya muktadha ambayo vyombo hivyo hudhamiria kuiwasilisha vinapolitumia neno hilo ni unywaji kwa wingi vileo haramu na kwa kukiuka sheria zilizowekwa.
Kabla ya kueleza kwa nini matumizi ya neno hilo kwa maana ya kunywa kwa aina yoyote ile kwa maoni yangu - yanamushkeli, ni muhimu kutaja kwamba kuna tabia na aina mbalimbali za ulaji.
Kwa mfano, ulaji ovyo ovyo bila mpango maalumu ni ubuge. Tabia hii imepigiwa msemo: Mbuge hawezi nyumba. Msemo huu huibua taswira ya mtu aliyeshindwa kuitimizia aila mahitaji ya msingi kwa sababu ya kukosa kanuni mwafaka za kula.
Neno dukia nalo lina maana ya kuvizia na kula chakula bila stahili. Kitendo hiki pia huelezewa kwa dhana doea.
Aina nyingine za kula huelezewa kwa vitenzi mbalimbali. Kwa mfano, kung’wafua kuna maana ya kung’ata na kunyofoa. Hapa unajitokeza mzunguko wa maana ambapo msamiati fulani ambao maana ambapo msamiati fulani ambao maana yake si wazi unatumiwa kufafanua msamiati mwingine. Kung’ata ni kuuma kwa meno hasa ya mbele. Ni kutokana na neno hili ambapo yamkini kiongozi mashuhuri kutoka nchi- tumiwa sana na vyombo vya mawasiliano kwa maana ya ashakum si matusi kukata sehemu nyeti za mwanamume lina maana ya kuachanisha kitu hasa chororo kwa kuvuta na kukata.
Msamiati ng’wafua umetumiwa katika methali ‘uking’wafua mnofu, kumbuka kuguguna mfupa. Katika methali yenyewe, lipo neno guguna ambalo lina maana ya kutafuna tafuna kitu kilichoshikamana kwa meno ya mbele jinsi afan- wa makala haya tulieleza kwamba hutumiwa kwa maana ya kunywa pombe kwa wingi lina maana ya kutia mdomoni mfululizo kitu cha ungaunga.
Hii ndiyo maana asili ya neno hilo inavyojitokeza katika toleo la awali la Kamusi ya Kiswahili Sanifu. Maana hiyo aidha inajitokeza katika Kamusi Elezi ya Kiswahili. Haupo ushahidi ulio wazi unaoelezea kuwa dhana bugia imepanua maana na kujumuisha kitendo cha kunywa kwa wingi kitu cha majimaji. | Kuuma meno ya mbele huitwa nini | {
"text": [
"kung'ata"
]
} |
3861_swa | Kubugia ni kutia kinywani mfululizo kitu cha ungaunga
Vyombo vya habari hulitumia neno bugia kwa maana ya kunywa hususan pombe. Maana ya muktadha ambayo vyombo hivyo hudhamiria kuiwasilisha vinapolitumia neno hilo ni unywaji kwa wingi vileo haramu na kwa kukiuka sheria zilizowekwa.
Kabla ya kueleza kwa nini matumizi ya neno hilo kwa maana ya kunywa kwa aina yoyote ile kwa maoni yangu - yanamushkeli, ni muhimu kutaja kwamba kuna tabia na aina mbalimbali za ulaji.
Kwa mfano, ulaji ovyo ovyo bila mpango maalumu ni ubuge. Tabia hii imepigiwa msemo: Mbuge hawezi nyumba. Msemo huu huibua taswira ya mtu aliyeshindwa kuitimizia aila mahitaji ya msingi kwa sababu ya kukosa kanuni mwafaka za kula.
Neno dukia nalo lina maana ya kuvizia na kula chakula bila stahili. Kitendo hiki pia huelezewa kwa dhana doea.
Aina nyingine za kula huelezewa kwa vitenzi mbalimbali. Kwa mfano, kung’wafua kuna maana ya kung’ata na kunyofoa. Hapa unajitokeza mzunguko wa maana ambapo msamiati fulani ambao maana ambapo msamiati fulani ambao maana yake si wazi unatumiwa kufafanua msamiati mwingine. Kung’ata ni kuuma kwa meno hasa ya mbele. Ni kutokana na neno hili ambapo yamkini kiongozi mashuhuri kutoka nchi- tumiwa sana na vyombo vya mawasiliano kwa maana ya ashakum si matusi kukata sehemu nyeti za mwanamume lina maana ya kuachanisha kitu hasa chororo kwa kuvuta na kukata.
Msamiati ng’wafua umetumiwa katika methali ‘uking’wafua mnofu, kumbuka kuguguna mfupa. Katika methali yenyewe, lipo neno guguna ambalo lina maana ya kutafuna tafuna kitu kilichoshikamana kwa meno ya mbele jinsi afan- wa makala haya tulieleza kwamba hutumiwa kwa maana ya kunywa pombe kwa wingi lina maana ya kutia mdomoni mfululizo kitu cha ungaunga.
Hii ndiyo maana asili ya neno hilo inavyojitokeza katika toleo la awali la Kamusi ya Kiswahili Sanifu. Maana hiyo aidha inajitokeza katika Kamusi Elezi ya Kiswahili. Haupo ushahidi ulio wazi unaoelezea kuwa dhana bugia imepanua maana na kujumuisha kitendo cha kunywa kwa wingi kitu cha majimaji. | Kutafunatafuna kitu kilichoshikamana kwa meno ya mbele huitwa nini | {
"text": [
"guguna"
]
} |
3862_swa | Pengo adaiwa nauli na wanafunzi, inabidi akimbilie msaada wa mkewe
Ni muda sasa tangu Sindwele afike Sidindi kumtafuta Pengo. ‘Lazima atakuwa ameshaambiwa kuwa nimekuwa nikimtafuta. Mbona yeye hajajaribu kunitafuta?’ Sindwele alijiuliza na kushangaa iwapo mwenzake huyo naye alikuwa akiugua yale maradhi ya walimu na wafanya kazi wa shule kubwa kuwapuuza wenzao wa shule ndogo.
Huku kimya chake kikistaajabiwa na mwenzake, Pengo alikuwa shuleni Sidindi akihangaikia masuala ya kutamatisha muhula.
Ulikuwa wakati wa kufunganya shughuli za muhula. Wapo waliohangaika usahihishaji wa mitihani, wengine walikuwa wanawaandalia wanafunzi mazoezi ya kufanyia nyumbani. Kubwa na zito zaidi kwa Pengo na baadhi ya walimu ni kuwa baadhi ya watoto waliwajia walimu wao wakitaka nauli. Katika mazingira magumu kama haya, hakuna aliyekumbuka kuwa Sindwele nao waliishi katika ulimwengu huu.
Alikumbuka vyema alipopewa hela hizi mwanzoni mwa muhula huo. Alizipokea hela kwa ujasiri akitarajia kuwa angewarejeshea hela zao akishalipwa na baraza la mitihani nchini. Hatukutarajia kabisa kuwa ungefika wakati huu kama baraza la mitihani halijalipa. Yaelekea kuwa pesa alizodai baraza zilikuwa zimeingia katika orodha ya vile viendavyo kwa waganga ambavyo havirejei.
Mambo kangaja haya. Akalazimika kutafuta mkopo ili awalipe watoto wa wenyewe. Alijaribu kutafuta mikopo kupitia simu lakini hakufanikiwa kwani huko kote alikuwa kakopa. Alikuwa hata kachelewa kulipa baadhi ya madeni na hata akaingizwa kwenye orodha ya wadeni wabaya wasiofaa kukopeshwa chochote. Ilimbidi amhonge mhuni mmoja ili kumwondoa kimagendo kwenye orodha hiyo, sasa angeweza kuomba mkopo tena. Kwa bahati mbaya, alikuwa kakopa katika taasisi zote alizozijua.
Alijaribu kuomba mkopo katika shirika la mikopo kwa walimu ila akaambiwa kuwa mshahara wake haungeweza kustahimili mkopo mwingine. Atalazimika kumtafuta mhuni mwingine kwenye tume ya huduma kwa walimu ili amrekebishie stakabadhi zake za mshahara ili aweze kuchukua mkopo mwingine. Punde akagundua kuwa hata huko kurekebishiwa stakabadhi za mshahara hazingemtatulia tatizo lake.
Tatizo kubwa hasa lilikuwa kupata wadhamani wa mkopo wake. Kila aliyeulizwa alisema kuwa alikuwa anajiondoa kwenye shirika la mikopo kwa walimu. “Wana mafamba sana hao mabwana. Siwezi kuendelea kuyanenepesha matumbo yao na pesa zangu. Watafute wajinga kwingineko.” Mwalimu mmoja alilalamika. “Shirika la mikopo kwa walimu liko hali mahututi ndugu yangu, linasubiri tu kuzikwa.” Mwalimu mwingine alimjuza Pengo. Kimsingi, mwalimu Pengo hakubahatika kumpata mtu au shirika la kumtoa kwenye lindi alimojikuta.
Hatimaye, mwalimu wa watu akakumbuka kuwa ng’ombe akiumia malishoni, hujikokota kurejea nyumbani kwao akasaidiwe, akaamua kumwendea mkewe kwa msaada wa hela. | pengo alihangaikia masuala gani | {
"text": [
"kutamatisha muhula"
]
} |
3862_swa | Pengo adaiwa nauli na wanafunzi, inabidi akimbilie msaada wa mkewe
Ni muda sasa tangu Sindwele afike Sidindi kumtafuta Pengo. ‘Lazima atakuwa ameshaambiwa kuwa nimekuwa nikimtafuta. Mbona yeye hajajaribu kunitafuta?’ Sindwele alijiuliza na kushangaa iwapo mwenzake huyo naye alikuwa akiugua yale maradhi ya walimu na wafanya kazi wa shule kubwa kuwapuuza wenzao wa shule ndogo.
Huku kimya chake kikistaajabiwa na mwenzake, Pengo alikuwa shuleni Sidindi akihangaikia masuala ya kutamatisha muhula.
Ulikuwa wakati wa kufunganya shughuli za muhula. Wapo waliohangaika usahihishaji wa mitihani, wengine walikuwa wanawaandalia wanafunzi mazoezi ya kufanyia nyumbani. Kubwa na zito zaidi kwa Pengo na baadhi ya walimu ni kuwa baadhi ya watoto waliwajia walimu wao wakitaka nauli. Katika mazingira magumu kama haya, hakuna aliyekumbuka kuwa Sindwele nao waliishi katika ulimwengu huu.
Alikumbuka vyema alipopewa hela hizi mwanzoni mwa muhula huo. Alizipokea hela kwa ujasiri akitarajia kuwa angewarejeshea hela zao akishalipwa na baraza la mitihani nchini. Hatukutarajia kabisa kuwa ungefika wakati huu kama baraza la mitihani halijalipa. Yaelekea kuwa pesa alizodai baraza zilikuwa zimeingia katika orodha ya vile viendavyo kwa waganga ambavyo havirejei.
Mambo kangaja haya. Akalazimika kutafuta mkopo ili awalipe watoto wa wenyewe. Alijaribu kutafuta mikopo kupitia simu lakini hakufanikiwa kwani huko kote alikuwa kakopa. Alikuwa hata kachelewa kulipa baadhi ya madeni na hata akaingizwa kwenye orodha ya wadeni wabaya wasiofaa kukopeshwa chochote. Ilimbidi amhonge mhuni mmoja ili kumwondoa kimagendo kwenye orodha hiyo, sasa angeweza kuomba mkopo tena. Kwa bahati mbaya, alikuwa kakopa katika taasisi zote alizozijua.
Alijaribu kuomba mkopo katika shirika la mikopo kwa walimu ila akaambiwa kuwa mshahara wake haungeweza kustahimili mkopo mwingine. Atalazimika kumtafuta mhuni mwingine kwenye tume ya huduma kwa walimu ili amrekebishie stakabadhi zake za mshahara ili aweze kuchukua mkopo mwingine. Punde akagundua kuwa hata huko kurekebishiwa stakabadhi za mshahara hazingemtatulia tatizo lake.
Tatizo kubwa hasa lilikuwa kupata wadhamani wa mkopo wake. Kila aliyeulizwa alisema kuwa alikuwa anajiondoa kwenye shirika la mikopo kwa walimu. “Wana mafamba sana hao mabwana. Siwezi kuendelea kuyanenepesha matumbo yao na pesa zangu. Watafute wajinga kwingineko.” Mwalimu mmoja alilalamika. “Shirika la mikopo kwa walimu liko hali mahututi ndugu yangu, linasubiri tu kuzikwa.” Mwalimu mwingine alimjuza Pengo. Kimsingi, mwalimu Pengo hakubahatika kumpata mtu au shirika la kumtoa kwenye lindi alimojikuta.
Hatimaye, mwalimu wa watu akakumbuka kuwa ng’ombe akiumia malishoni, hujikokota kurejea nyumbani kwao akasaidiwe, akaamua kumwendea mkewe kwa msaada wa hela. | Baadhi ya watoto waliwajia walimu wao wakitaka nini | {
"text": [
"nauli"
]
} |
3862_swa | Pengo adaiwa nauli na wanafunzi, inabidi akimbilie msaada wa mkewe
Ni muda sasa tangu Sindwele afike Sidindi kumtafuta Pengo. ‘Lazima atakuwa ameshaambiwa kuwa nimekuwa nikimtafuta. Mbona yeye hajajaribu kunitafuta?’ Sindwele alijiuliza na kushangaa iwapo mwenzake huyo naye alikuwa akiugua yale maradhi ya walimu na wafanya kazi wa shule kubwa kuwapuuza wenzao wa shule ndogo.
Huku kimya chake kikistaajabiwa na mwenzake, Pengo alikuwa shuleni Sidindi akihangaikia masuala ya kutamatisha muhula.
Ulikuwa wakati wa kufunganya shughuli za muhula. Wapo waliohangaika usahihishaji wa mitihani, wengine walikuwa wanawaandalia wanafunzi mazoezi ya kufanyia nyumbani. Kubwa na zito zaidi kwa Pengo na baadhi ya walimu ni kuwa baadhi ya watoto waliwajia walimu wao wakitaka nauli. Katika mazingira magumu kama haya, hakuna aliyekumbuka kuwa Sindwele nao waliishi katika ulimwengu huu.
Alikumbuka vyema alipopewa hela hizi mwanzoni mwa muhula huo. Alizipokea hela kwa ujasiri akitarajia kuwa angewarejeshea hela zao akishalipwa na baraza la mitihani nchini. Hatukutarajia kabisa kuwa ungefika wakati huu kama baraza la mitihani halijalipa. Yaelekea kuwa pesa alizodai baraza zilikuwa zimeingia katika orodha ya vile viendavyo kwa waganga ambavyo havirejei.
Mambo kangaja haya. Akalazimika kutafuta mkopo ili awalipe watoto wa wenyewe. Alijaribu kutafuta mikopo kupitia simu lakini hakufanikiwa kwani huko kote alikuwa kakopa. Alikuwa hata kachelewa kulipa baadhi ya madeni na hata akaingizwa kwenye orodha ya wadeni wabaya wasiofaa kukopeshwa chochote. Ilimbidi amhonge mhuni mmoja ili kumwondoa kimagendo kwenye orodha hiyo, sasa angeweza kuomba mkopo tena. Kwa bahati mbaya, alikuwa kakopa katika taasisi zote alizozijua.
Alijaribu kuomba mkopo katika shirika la mikopo kwa walimu ila akaambiwa kuwa mshahara wake haungeweza kustahimili mkopo mwingine. Atalazimika kumtafuta mhuni mwingine kwenye tume ya huduma kwa walimu ili amrekebishie stakabadhi zake za mshahara ili aweze kuchukua mkopo mwingine. Punde akagundua kuwa hata huko kurekebishiwa stakabadhi za mshahara hazingemtatulia tatizo lake.
Tatizo kubwa hasa lilikuwa kupata wadhamani wa mkopo wake. Kila aliyeulizwa alisema kuwa alikuwa anajiondoa kwenye shirika la mikopo kwa walimu. “Wana mafamba sana hao mabwana. Siwezi kuendelea kuyanenepesha matumbo yao na pesa zangu. Watafute wajinga kwingineko.” Mwalimu mmoja alilalamika. “Shirika la mikopo kwa walimu liko hali mahututi ndugu yangu, linasubiri tu kuzikwa.” Mwalimu mwingine alimjuza Pengo. Kimsingi, mwalimu Pengo hakubahatika kumpata mtu au shirika la kumtoa kwenye lindi alimojikuta.
Hatimaye, mwalimu wa watu akakumbuka kuwa ng’ombe akiumia malishoni, hujikokota kurejea nyumbani kwao akasaidiwe, akaamua kumwendea mkewe kwa msaada wa hela. | Pengo alilazimika kutafuta nini | {
"text": [
"mkopo"
]
} |
3862_swa | Pengo adaiwa nauli na wanafunzi, inabidi akimbilie msaada wa mkewe
Ni muda sasa tangu Sindwele afike Sidindi kumtafuta Pengo. ‘Lazima atakuwa ameshaambiwa kuwa nimekuwa nikimtafuta. Mbona yeye hajajaribu kunitafuta?’ Sindwele alijiuliza na kushangaa iwapo mwenzake huyo naye alikuwa akiugua yale maradhi ya walimu na wafanya kazi wa shule kubwa kuwapuuza wenzao wa shule ndogo.
Huku kimya chake kikistaajabiwa na mwenzake, Pengo alikuwa shuleni Sidindi akihangaikia masuala ya kutamatisha muhula.
Ulikuwa wakati wa kufunganya shughuli za muhula. Wapo waliohangaika usahihishaji wa mitihani, wengine walikuwa wanawaandalia wanafunzi mazoezi ya kufanyia nyumbani. Kubwa na zito zaidi kwa Pengo na baadhi ya walimu ni kuwa baadhi ya watoto waliwajia walimu wao wakitaka nauli. Katika mazingira magumu kama haya, hakuna aliyekumbuka kuwa Sindwele nao waliishi katika ulimwengu huu.
Alikumbuka vyema alipopewa hela hizi mwanzoni mwa muhula huo. Alizipokea hela kwa ujasiri akitarajia kuwa angewarejeshea hela zao akishalipwa na baraza la mitihani nchini. Hatukutarajia kabisa kuwa ungefika wakati huu kama baraza la mitihani halijalipa. Yaelekea kuwa pesa alizodai baraza zilikuwa zimeingia katika orodha ya vile viendavyo kwa waganga ambavyo havirejei.
Mambo kangaja haya. Akalazimika kutafuta mkopo ili awalipe watoto wa wenyewe. Alijaribu kutafuta mikopo kupitia simu lakini hakufanikiwa kwani huko kote alikuwa kakopa. Alikuwa hata kachelewa kulipa baadhi ya madeni na hata akaingizwa kwenye orodha ya wadeni wabaya wasiofaa kukopeshwa chochote. Ilimbidi amhonge mhuni mmoja ili kumwondoa kimagendo kwenye orodha hiyo, sasa angeweza kuomba mkopo tena. Kwa bahati mbaya, alikuwa kakopa katika taasisi zote alizozijua.
Alijaribu kuomba mkopo katika shirika la mikopo kwa walimu ila akaambiwa kuwa mshahara wake haungeweza kustahimili mkopo mwingine. Atalazimika kumtafuta mhuni mwingine kwenye tume ya huduma kwa walimu ili amrekebishie stakabadhi zake za mshahara ili aweze kuchukua mkopo mwingine. Punde akagundua kuwa hata huko kurekebishiwa stakabadhi za mshahara hazingemtatulia tatizo lake.
Tatizo kubwa hasa lilikuwa kupata wadhamani wa mkopo wake. Kila aliyeulizwa alisema kuwa alikuwa anajiondoa kwenye shirika la mikopo kwa walimu. “Wana mafamba sana hao mabwana. Siwezi kuendelea kuyanenepesha matumbo yao na pesa zangu. Watafute wajinga kwingineko.” Mwalimu mmoja alilalamika. “Shirika la mikopo kwa walimu liko hali mahututi ndugu yangu, linasubiri tu kuzikwa.” Mwalimu mwingine alimjuza Pengo. Kimsingi, mwalimu Pengo hakubahatika kumpata mtu au shirika la kumtoa kwenye lindi alimojikuta.
Hatimaye, mwalimu wa watu akakumbuka kuwa ng’ombe akiumia malishoni, hujikokota kurejea nyumbani kwao akasaidiwe, akaamua kumwendea mkewe kwa msaada wa hela. | Pengo alimhonga nani | {
"text": [
"mhuni mmoja"
]
} |
3862_swa | Pengo adaiwa nauli na wanafunzi, inabidi akimbilie msaada wa mkewe
Ni muda sasa tangu Sindwele afike Sidindi kumtafuta Pengo. ‘Lazima atakuwa ameshaambiwa kuwa nimekuwa nikimtafuta. Mbona yeye hajajaribu kunitafuta?’ Sindwele alijiuliza na kushangaa iwapo mwenzake huyo naye alikuwa akiugua yale maradhi ya walimu na wafanya kazi wa shule kubwa kuwapuuza wenzao wa shule ndogo.
Huku kimya chake kikistaajabiwa na mwenzake, Pengo alikuwa shuleni Sidindi akihangaikia masuala ya kutamatisha muhula.
Ulikuwa wakati wa kufunganya shughuli za muhula. Wapo waliohangaika usahihishaji wa mitihani, wengine walikuwa wanawaandalia wanafunzi mazoezi ya kufanyia nyumbani. Kubwa na zito zaidi kwa Pengo na baadhi ya walimu ni kuwa baadhi ya watoto waliwajia walimu wao wakitaka nauli. Katika mazingira magumu kama haya, hakuna aliyekumbuka kuwa Sindwele nao waliishi katika ulimwengu huu.
Alikumbuka vyema alipopewa hela hizi mwanzoni mwa muhula huo. Alizipokea hela kwa ujasiri akitarajia kuwa angewarejeshea hela zao akishalipwa na baraza la mitihani nchini. Hatukutarajia kabisa kuwa ungefika wakati huu kama baraza la mitihani halijalipa. Yaelekea kuwa pesa alizodai baraza zilikuwa zimeingia katika orodha ya vile viendavyo kwa waganga ambavyo havirejei.
Mambo kangaja haya. Akalazimika kutafuta mkopo ili awalipe watoto wa wenyewe. Alijaribu kutafuta mikopo kupitia simu lakini hakufanikiwa kwani huko kote alikuwa kakopa. Alikuwa hata kachelewa kulipa baadhi ya madeni na hata akaingizwa kwenye orodha ya wadeni wabaya wasiofaa kukopeshwa chochote. Ilimbidi amhonge mhuni mmoja ili kumwondoa kimagendo kwenye orodha hiyo, sasa angeweza kuomba mkopo tena. Kwa bahati mbaya, alikuwa kakopa katika taasisi zote alizozijua.
Alijaribu kuomba mkopo katika shirika la mikopo kwa walimu ila akaambiwa kuwa mshahara wake haungeweza kustahimili mkopo mwingine. Atalazimika kumtafuta mhuni mwingine kwenye tume ya huduma kwa walimu ili amrekebishie stakabadhi zake za mshahara ili aweze kuchukua mkopo mwingine. Punde akagundua kuwa hata huko kurekebishiwa stakabadhi za mshahara hazingemtatulia tatizo lake.
Tatizo kubwa hasa lilikuwa kupata wadhamani wa mkopo wake. Kila aliyeulizwa alisema kuwa alikuwa anajiondoa kwenye shirika la mikopo kwa walimu. “Wana mafamba sana hao mabwana. Siwezi kuendelea kuyanenepesha matumbo yao na pesa zangu. Watafute wajinga kwingineko.” Mwalimu mmoja alilalamika. “Shirika la mikopo kwa walimu liko hali mahututi ndugu yangu, linasubiri tu kuzikwa.” Mwalimu mwingine alimjuza Pengo. Kimsingi, mwalimu Pengo hakubahatika kumpata mtu au shirika la kumtoa kwenye lindi alimojikuta.
Hatimaye, mwalimu wa watu akakumbuka kuwa ng’ombe akiumia malishoni, hujikokota kurejea nyumbani kwao akasaidiwe, akaamua kumwendea mkewe kwa msaada wa hela. | Ng'ombe akiumia malishoni hufanya nini | {
"text": [
"hujikokota kurejea nyumbani"
]
} |
3902_swa | Nani asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai?
“Kelele zenye tija jumuondoa tembo shambani.”
Hakuna mwenye haki asiyekosa wala mwenye kukosa asiye na haki. Hakuna mzuri asiye na ubaya na wala hakuna mbaya asiyekuwa na uzuri. Tunaanza kwa kutafakari hilo. Walimwengu tumeumbwa wawili, mume na mke, kisha kila jambo letu lazima liwe na uwili, yaani pande chanya na hasi, mbaya na nzuri mwerevu na mjinga, na kadhalika.
Kijiba changu leo kinalenga wapi? Kijiba kinataka kudadavua juu ya haki ya kila Mswahili katika kujua hili baya aliache na zuri alitende liwe lake pekee kwa familia yake au kwa umma. Wengi wetu leo, tumeyafumbata mawi, kiasi cha kuitakidi kwamba ndio haki na haki yenyewe tukaiona batili tukaidharau. Tumekuwa hatuogopi, hatujali wala hatuna haya kuyafanya yenye haya na aibu hadharani. Na yule anayeona hayo yakitendwa akijaribu kukemea atazomwa na siajabu akapata kichapo kitakatifu, ama akageuziwa yeye aonekana mbaya mbele ya watu. Nitatoa mifano kadhaa hasa kwenye rushwa au hongo. Hivi ni Mswahili yupi asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai? Ni nani katika wengi waishio katika miji yetu asiyeona watu wakitoa au kupokea hongo?
Kila wizara na idara kuna wanaoomba kupewa hongo tena kwa lazima la sivyo hupati huduma uitakayo. Raia wameshazoea na kwa sasa kwao hao raia imekuwa ni jambo la kawaida kutafuta haki yao kwa kutoa hongo, ndio aipate. Wengi wameshashuhudia afisa usalama barabarani akisimamisha magari ya abiria, sisi abiria ndio huwa wa kwanza kusema kampe kitu kidogo tuendelee na safari. Hicho kitu kidogo ndio hongo yenyewe ambayo sisi raia tunalazimisha kondakta ama mhudumu atoe badala ya kuizuia.
Ukiuliza kwa nini? Majibu utakayo pewa, utajuta ni kwa nini umeuliza. Ukweli ni kwamba sio kama hawajui wafanyalo, ila ni mazoea ya muda mrefu mpaka sasa wanaona ni haki kutoa hongo na si dhambi. Jambo la kusikitisha, ni sisi raia ndio wa kwanza kulalamikia serikali kwamba imejaa hongo. Jiulize wewe mwenyewe ulipo, umeiona hongo ikitolewa umefanya nini kuizuia hata kwa kuikemea tu, kisha ukaelimisha raia juu ya hatari ya hongo?
Utasema ubaya wa serikali kuu au ubaya wa ubaya wa serikali ya kaunti yako, lakini husemi ubaya wako wa kushahidia hongo kuendelea. Nchi yetu ni ya kila mmoja wetu, tuyafanye mazuri kwa mujibu wa sheria na katiba ya taifa letu kwa hiari. Tusingoje tulazimishwe kufuata sheria. Amani, upendo na mshikamano mbegu yake ni kufuata sheria bila kushurutishwa. Yatupasa kwanza tutoe boriti kwenye macho yetu ndipo tutoe kibanzi kwenye serikali zetu.
Malalamiko yasio na tija huwa ni sawa na kelele za chura kisimani hazimzuili mtekaji kuchota maji. Ila kelele zenye tija humtoa tembo shambani. Hakuna jambo lililoanzishwa na umma. Kila jambo huanza na mtu mmoja, akatoa wazo, ama akaamua kukemea hongo, ndipo wengine huliona hilo kosa na wao wakasaidia kupiga kelele. Ikiwa tutaogopa kuwakemea ima kuwasema ama kuwapeleka sheriani, juweni tutabaki tulipo na kelele zetu zitakuwa za chura, mpaka wajukuu wetu watakuwa kama sisi.
Mabadiliko ya jambo huwa hayataki nguvu, yanataka busara hekima na weledi katika kuliendeza jambo hilo. Kila Mswahili anayependa taifa lake kwa dhati ya kulipenda, hongo au mlingula au kitu kidogo huwa kinamuumiza roho. Ni kweli kabisa serikali zetu zina makosa mengi tu, lakini zina mafanikio makubwa katika kutuletea maendeleo. Muhimu kuyakubali hayo machache yaliyopo na kuyapigia debe mengi tuyatakayo. Tunakuwaje wanyonge wakati tunayo sheria inayo kataza mabaya na zimeweka mpaka adhabu zinazo tolewa kwa mwenye kuvunja sheria hizo. Mswahili ninakijiba moyoni cha hili hongo lililoota mizizi humu nchini.
Mswahili nina amini hakuna lisilo na mwisho, ni juhudi za pamoja, kisha tuwe wazalendo wa kweli tunayoipenda nchi yetu kwa dhati ya nyoyo zetu.
Na hata mtu akikutazama tu ajue huyu ni mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake, yuko tayari kuilinda kuitetea na kuitangaza popote duniani bila woga. Bila ya kujidunisha awe radhi kuitwa Mkenya na anachukia kuitwa kwa kabila lake. Kunayo tuliyo yajenga akilini mwetu kwamba hatuwezi lolote kama hakuna atakae tusaidia. Ama tuingie mikopo kufanikisha makusudio yetu. Imani hii, ni potovu.
Kwa nini wao waweze sisi tusiweze? Kwani wao wana nini na sisi tuna nini? Isitoshe malighafi nyingi yatoka kwenye bara letu. Tunashindwa wapi kuzizuia hizo malighafi zikatumika ndani ya nchi zetu? Hivi hawa wasomi tulio nao wanashindwa wapi? Ama walisoma kukariri yao hao tunao wategemea wakakosa kuwa wabunifu mahiri?
Ewe mswahili, hebu kaa peke yako ivute akili yako, iweke kwenye fikra pevu, zama ndani kutafakari, lazima utaibuka na jawabu likalo kufanya ujue umuhimu wa kuwa mkenya tena mzalendo.
Mswahili nimesema tu, ni kama nimekaanga mbuyu nawangoja watafunaji watafune.
Mswahili bwana! | Walimwengu wameumbwa wangapi | {
"text": [
"Wawili"
]
} |
3902_swa | Nani asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai?
“Kelele zenye tija jumuondoa tembo shambani.”
Hakuna mwenye haki asiyekosa wala mwenye kukosa asiye na haki. Hakuna mzuri asiye na ubaya na wala hakuna mbaya asiyekuwa na uzuri. Tunaanza kwa kutafakari hilo. Walimwengu tumeumbwa wawili, mume na mke, kisha kila jambo letu lazima liwe na uwili, yaani pande chanya na hasi, mbaya na nzuri mwerevu na mjinga, na kadhalika.
Kijiba changu leo kinalenga wapi? Kijiba kinataka kudadavua juu ya haki ya kila Mswahili katika kujua hili baya aliache na zuri alitende liwe lake pekee kwa familia yake au kwa umma. Wengi wetu leo, tumeyafumbata mawi, kiasi cha kuitakidi kwamba ndio haki na haki yenyewe tukaiona batili tukaidharau. Tumekuwa hatuogopi, hatujali wala hatuna haya kuyafanya yenye haya na aibu hadharani. Na yule anayeona hayo yakitendwa akijaribu kukemea atazomwa na siajabu akapata kichapo kitakatifu, ama akageuziwa yeye aonekana mbaya mbele ya watu. Nitatoa mifano kadhaa hasa kwenye rushwa au hongo. Hivi ni Mswahili yupi asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai? Ni nani katika wengi waishio katika miji yetu asiyeona watu wakitoa au kupokea hongo?
Kila wizara na idara kuna wanaoomba kupewa hongo tena kwa lazima la sivyo hupati huduma uitakayo. Raia wameshazoea na kwa sasa kwao hao raia imekuwa ni jambo la kawaida kutafuta haki yao kwa kutoa hongo, ndio aipate. Wengi wameshashuhudia afisa usalama barabarani akisimamisha magari ya abiria, sisi abiria ndio huwa wa kwanza kusema kampe kitu kidogo tuendelee na safari. Hicho kitu kidogo ndio hongo yenyewe ambayo sisi raia tunalazimisha kondakta ama mhudumu atoe badala ya kuizuia.
Ukiuliza kwa nini? Majibu utakayo pewa, utajuta ni kwa nini umeuliza. Ukweli ni kwamba sio kama hawajui wafanyalo, ila ni mazoea ya muda mrefu mpaka sasa wanaona ni haki kutoa hongo na si dhambi. Jambo la kusikitisha, ni sisi raia ndio wa kwanza kulalamikia serikali kwamba imejaa hongo. Jiulize wewe mwenyewe ulipo, umeiona hongo ikitolewa umefanya nini kuizuia hata kwa kuikemea tu, kisha ukaelimisha raia juu ya hatari ya hongo?
Utasema ubaya wa serikali kuu au ubaya wa ubaya wa serikali ya kaunti yako, lakini husemi ubaya wako wa kushahidia hongo kuendelea. Nchi yetu ni ya kila mmoja wetu, tuyafanye mazuri kwa mujibu wa sheria na katiba ya taifa letu kwa hiari. Tusingoje tulazimishwe kufuata sheria. Amani, upendo na mshikamano mbegu yake ni kufuata sheria bila kushurutishwa. Yatupasa kwanza tutoe boriti kwenye macho yetu ndipo tutoe kibanzi kwenye serikali zetu.
Malalamiko yasio na tija huwa ni sawa na kelele za chura kisimani hazimzuili mtekaji kuchota maji. Ila kelele zenye tija humtoa tembo shambani. Hakuna jambo lililoanzishwa na umma. Kila jambo huanza na mtu mmoja, akatoa wazo, ama akaamua kukemea hongo, ndipo wengine huliona hilo kosa na wao wakasaidia kupiga kelele. Ikiwa tutaogopa kuwakemea ima kuwasema ama kuwapeleka sheriani, juweni tutabaki tulipo na kelele zetu zitakuwa za chura, mpaka wajukuu wetu watakuwa kama sisi.
Mabadiliko ya jambo huwa hayataki nguvu, yanataka busara hekima na weledi katika kuliendeza jambo hilo. Kila Mswahili anayependa taifa lake kwa dhati ya kulipenda, hongo au mlingula au kitu kidogo huwa kinamuumiza roho. Ni kweli kabisa serikali zetu zina makosa mengi tu, lakini zina mafanikio makubwa katika kutuletea maendeleo. Muhimu kuyakubali hayo machache yaliyopo na kuyapigia debe mengi tuyatakayo. Tunakuwaje wanyonge wakati tunayo sheria inayo kataza mabaya na zimeweka mpaka adhabu zinazo tolewa kwa mwenye kuvunja sheria hizo. Mswahili ninakijiba moyoni cha hili hongo lililoota mizizi humu nchini.
Mswahili nina amini hakuna lisilo na mwisho, ni juhudi za pamoja, kisha tuwe wazalendo wa kweli tunayoipenda nchi yetu kwa dhati ya nyoyo zetu.
Na hata mtu akikutazama tu ajue huyu ni mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake, yuko tayari kuilinda kuitetea na kuitangaza popote duniani bila woga. Bila ya kujidunisha awe radhi kuitwa Mkenya na anachukia kuitwa kwa kabila lake. Kunayo tuliyo yajenga akilini mwetu kwamba hatuwezi lolote kama hakuna atakae tusaidia. Ama tuingie mikopo kufanikisha makusudio yetu. Imani hii, ni potovu.
Kwa nini wao waweze sisi tusiweze? Kwani wao wana nini na sisi tuna nini? Isitoshe malighafi nyingi yatoka kwenye bara letu. Tunashindwa wapi kuzizuia hizo malighafi zikatumika ndani ya nchi zetu? Hivi hawa wasomi tulio nao wanashindwa wapi? Ama walisoma kukariri yao hao tunao wategemea wakakosa kuwa wabunifu mahiri?
Ewe mswahili, hebu kaa peke yako ivute akili yako, iweke kwenye fikra pevu, zama ndani kutafakari, lazima utaibuka na jawabu likalo kufanya ujue umuhimu wa kuwa mkenya tena mzalendo.
Mswahili nimesema tu, ni kama nimekaanga mbuyu nawangoja watafunaji watafune.
Mswahili bwana! | Kila jambo lazima liwe na pande ngapi | {
"text": [
"Mbili, chanya na hasi"
]
} |
3902_swa | Nani asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai?
“Kelele zenye tija jumuondoa tembo shambani.”
Hakuna mwenye haki asiyekosa wala mwenye kukosa asiye na haki. Hakuna mzuri asiye na ubaya na wala hakuna mbaya asiyekuwa na uzuri. Tunaanza kwa kutafakari hilo. Walimwengu tumeumbwa wawili, mume na mke, kisha kila jambo letu lazima liwe na uwili, yaani pande chanya na hasi, mbaya na nzuri mwerevu na mjinga, na kadhalika.
Kijiba changu leo kinalenga wapi? Kijiba kinataka kudadavua juu ya haki ya kila Mswahili katika kujua hili baya aliache na zuri alitende liwe lake pekee kwa familia yake au kwa umma. Wengi wetu leo, tumeyafumbata mawi, kiasi cha kuitakidi kwamba ndio haki na haki yenyewe tukaiona batili tukaidharau. Tumekuwa hatuogopi, hatujali wala hatuna haya kuyafanya yenye haya na aibu hadharani. Na yule anayeona hayo yakitendwa akijaribu kukemea atazomwa na siajabu akapata kichapo kitakatifu, ama akageuziwa yeye aonekana mbaya mbele ya watu. Nitatoa mifano kadhaa hasa kwenye rushwa au hongo. Hivi ni Mswahili yupi asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai? Ni nani katika wengi waishio katika miji yetu asiyeona watu wakitoa au kupokea hongo?
Kila wizara na idara kuna wanaoomba kupewa hongo tena kwa lazima la sivyo hupati huduma uitakayo. Raia wameshazoea na kwa sasa kwao hao raia imekuwa ni jambo la kawaida kutafuta haki yao kwa kutoa hongo, ndio aipate. Wengi wameshashuhudia afisa usalama barabarani akisimamisha magari ya abiria, sisi abiria ndio huwa wa kwanza kusema kampe kitu kidogo tuendelee na safari. Hicho kitu kidogo ndio hongo yenyewe ambayo sisi raia tunalazimisha kondakta ama mhudumu atoe badala ya kuizuia.
Ukiuliza kwa nini? Majibu utakayo pewa, utajuta ni kwa nini umeuliza. Ukweli ni kwamba sio kama hawajui wafanyalo, ila ni mazoea ya muda mrefu mpaka sasa wanaona ni haki kutoa hongo na si dhambi. Jambo la kusikitisha, ni sisi raia ndio wa kwanza kulalamikia serikali kwamba imejaa hongo. Jiulize wewe mwenyewe ulipo, umeiona hongo ikitolewa umefanya nini kuizuia hata kwa kuikemea tu, kisha ukaelimisha raia juu ya hatari ya hongo?
Utasema ubaya wa serikali kuu au ubaya wa ubaya wa serikali ya kaunti yako, lakini husemi ubaya wako wa kushahidia hongo kuendelea. Nchi yetu ni ya kila mmoja wetu, tuyafanye mazuri kwa mujibu wa sheria na katiba ya taifa letu kwa hiari. Tusingoje tulazimishwe kufuata sheria. Amani, upendo na mshikamano mbegu yake ni kufuata sheria bila kushurutishwa. Yatupasa kwanza tutoe boriti kwenye macho yetu ndipo tutoe kibanzi kwenye serikali zetu.
Malalamiko yasio na tija huwa ni sawa na kelele za chura kisimani hazimzuili mtekaji kuchota maji. Ila kelele zenye tija humtoa tembo shambani. Hakuna jambo lililoanzishwa na umma. Kila jambo huanza na mtu mmoja, akatoa wazo, ama akaamua kukemea hongo, ndipo wengine huliona hilo kosa na wao wakasaidia kupiga kelele. Ikiwa tutaogopa kuwakemea ima kuwasema ama kuwapeleka sheriani, juweni tutabaki tulipo na kelele zetu zitakuwa za chura, mpaka wajukuu wetu watakuwa kama sisi.
Mabadiliko ya jambo huwa hayataki nguvu, yanataka busara hekima na weledi katika kuliendeza jambo hilo. Kila Mswahili anayependa taifa lake kwa dhati ya kulipenda, hongo au mlingula au kitu kidogo huwa kinamuumiza roho. Ni kweli kabisa serikali zetu zina makosa mengi tu, lakini zina mafanikio makubwa katika kutuletea maendeleo. Muhimu kuyakubali hayo machache yaliyopo na kuyapigia debe mengi tuyatakayo. Tunakuwaje wanyonge wakati tunayo sheria inayo kataza mabaya na zimeweka mpaka adhabu zinazo tolewa kwa mwenye kuvunja sheria hizo. Mswahili ninakijiba moyoni cha hili hongo lililoota mizizi humu nchini.
Mswahili nina amini hakuna lisilo na mwisho, ni juhudi za pamoja, kisha tuwe wazalendo wa kweli tunayoipenda nchi yetu kwa dhati ya nyoyo zetu.
Na hata mtu akikutazama tu ajue huyu ni mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake, yuko tayari kuilinda kuitetea na kuitangaza popote duniani bila woga. Bila ya kujidunisha awe radhi kuitwa Mkenya na anachukia kuitwa kwa kabila lake. Kunayo tuliyo yajenga akilini mwetu kwamba hatuwezi lolote kama hakuna atakae tusaidia. Ama tuingie mikopo kufanikisha makusudio yetu. Imani hii, ni potovu.
Kwa nini wao waweze sisi tusiweze? Kwani wao wana nini na sisi tuna nini? Isitoshe malighafi nyingi yatoka kwenye bara letu. Tunashindwa wapi kuzizuia hizo malighafi zikatumika ndani ya nchi zetu? Hivi hawa wasomi tulio nao wanashindwa wapi? Ama walisoma kukariri yao hao tunao wategemea wakakosa kuwa wabunifu mahiri?
Ewe mswahili, hebu kaa peke yako ivute akili yako, iweke kwenye fikra pevu, zama ndani kutafakari, lazima utaibuka na jawabu likalo kufanya ujue umuhimu wa kuwa mkenya tena mzalendo.
Mswahili nimesema tu, ni kama nimekaanga mbuyu nawangoja watafunaji watafune.
Mswahili bwana! | Nani adui wa haki | {
"text": [
"Hongo"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.