Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
4708_swa | SOKO LETU
Ilikuwa asubuhi na mapema tulijitayarisha kwenda shuleni. Tulikuwa tunang’aa kama nyota kwa vile nguo zetu zilikuwa safi. Tulifika shuleni tukiwa na hamu na ghamu ya kuzuru katika soko letu. Sote tulikuwa tumefurahi kama mfalme. Tulimngoja mwalimu wetu atupe mwelekeo wa kwenda kule sokoni. Hakika siku njema huanza asubuhi.
Tulipata kuwa katika soko letu kulikuwa na umati wa watu wachuuzi walikuwa wamejaa wakiuza bidaa mbali mbali. Soko letu lina vibanda vingi ambapo wana biashara huwa wanauzia vitu vyao vya biashara. Katika soko letu watu huwa wanaita wateja kwa kupunguza bei ya bidhaa zao.Wakati mwingine, watu katika soko letu huwa wanauza bidhaa kwa bei ya chini sana. Watu hao huwa wanakosa wateja wa kununua bidhaa zao ndio maana huwa wanauziuza kwa bei ya chini. Pia kuna tinga ambazo zipo ndani ya soko letu. Tingatinga hizo ni za kusiaga mahindi na wimbi. Tingatinga hizo ni za aina mbili. Moja ya kutoa maganda na nyingine huwa inasiaga mahindi ikiwa na maganda. Mama yangu huwa anasiaga mahindi ikiwa na maganda na yanatupa mathini katika mwili wetu.
Kuna maduka mbali mbali ambazo zinauza bidhaa ya aina tofauti kama vile maua, viti, vitanda, saa na duka za bidhaa ya kusonga nywele. Mama na dada yangu huwa wanapenda kuja katika soko letu ili wanunue bidhaa za kusongwa na wasongwe nywele. Mama na dada
yangu wana nywele ndefu za kusonga. Kuna duka za kuuza maziwa kule katika soko letu. Mama yangu huwa anaenda katika duka hilo kununua maziwa ambayo huwa tunatumia kupika kiamsha kinywa chetu asubuhi. Mimi huwa nayanywa maziwa hayo yakiwa yamechemshwa kwa sababu maziwa hayo yakitumiwa kutengeneza chai huwa chai hiyo sio tamu kuliko wakati ambapo maziwa yamechemshwa.
Katika soko letu, kuna vyoo vya serikali ambavyo mtu akiingia ndani ni lazima alipe shillingi tano ili waende walipe wale watu ambao wanakiosha hicho choo kwa sababu sio rahisi kukiosha. Watu wengi ambao huwa wanaenda katika hicho choo ni wale ambao huwa wanauza bidhaa sokoni .
Sokoni mwetu, wauzaji wengine huwa wanauza nguo za mtumba. Nguo hizo ndizo ambazo watu wengi wanaweza kununua. Nguo hizo huwa zinauzwa pesa tasrim shillingi kumi. Nguo hizo huwa ngumu kutafuta ambazo unataka kununua. Inabidi watu watafute nguo ambazo zinawafaa kwa kile hakuna kitu kingine cha kufanya.
Soko ni muhimu sana katika maisha yetu kwa sababu kama si soko tungenunua bidhaa wapi? Namwomba mungu soko iwe kwa maisha yangu yote. | Taja aina mbili ya tingatinga zinaopatikana sokoni | {
"text": [
"Tinga za kutoa maganda na nyingine ya kusagak"
]
} |
4708_swa | SOKO LETU
Ilikuwa asubuhi na mapema tulijitayarisha kwenda shuleni. Tulikuwa tunang’aa kama nyota kwa vile nguo zetu zilikuwa safi. Tulifika shuleni tukiwa na hamu na ghamu ya kuzuru katika soko letu. Sote tulikuwa tumefurahi kama mfalme. Tulimngoja mwalimu wetu atupe mwelekeo wa kwenda kule sokoni. Hakika siku njema huanza asubuhi.
Tulipata kuwa katika soko letu kulikuwa na umati wa watu wachuuzi walikuwa wamejaa wakiuza bidaa mbali mbali. Soko letu lina vibanda vingi ambapo wana biashara huwa wanauzia vitu vyao vya biashara. Katika soko letu watu huwa wanaita wateja kwa kupunguza bei ya bidhaa zao.Wakati mwingine, watu katika soko letu huwa wanauza bidhaa kwa bei ya chini sana. Watu hao huwa wanakosa wateja wa kununua bidhaa zao ndio maana huwa wanauziuza kwa bei ya chini. Pia kuna tinga ambazo zipo ndani ya soko letu. Tingatinga hizo ni za kusiaga mahindi na wimbi. Tingatinga hizo ni za aina mbili. Moja ya kutoa maganda na nyingine huwa inasiaga mahindi ikiwa na maganda. Mama yangu huwa anasiaga mahindi ikiwa na maganda na yanatupa mathini katika mwili wetu.
Kuna maduka mbali mbali ambazo zinauza bidhaa ya aina tofauti kama vile maua, viti, vitanda, saa na duka za bidhaa ya kusonga nywele. Mama na dada yangu huwa wanapenda kuja katika soko letu ili wanunue bidhaa za kusongwa na wasongwe nywele. Mama na dada
yangu wana nywele ndefu za kusonga. Kuna duka za kuuza maziwa kule katika soko letu. Mama yangu huwa anaenda katika duka hilo kununua maziwa ambayo huwa tunatumia kupika kiamsha kinywa chetu asubuhi. Mimi huwa nayanywa maziwa hayo yakiwa yamechemshwa kwa sababu maziwa hayo yakitumiwa kutengeneza chai huwa chai hiyo sio tamu kuliko wakati ambapo maziwa yamechemshwa.
Katika soko letu, kuna vyoo vya serikali ambavyo mtu akiingia ndani ni lazima alipe shillingi tano ili waende walipe wale watu ambao wanakiosha hicho choo kwa sababu sio rahisi kukiosha. Watu wengi ambao huwa wanaenda katika hicho choo ni wale ambao huwa wanauza bidhaa sokoni .
Sokoni mwetu, wauzaji wengine huwa wanauza nguo za mtumba. Nguo hizo ndizo ambazo watu wengi wanaweza kununua. Nguo hizo huwa zinauzwa pesa tasrim shillingi kumi. Nguo hizo huwa ngumu kutafuta ambazo unataka kununua. Inabidi watu watafute nguo ambazo zinawafaa kwa kile hakuna kitu kingine cha kufanya.
Soko ni muhimu sana katika maisha yetu kwa sababu kama si soko tungenunua bidhaa wapi? Namwomba mungu soko iwe kwa maisha yangu yote. | Kwanini mama ya mwanafunzi husiaga mahindi ikiwa na maganda? | {
"text": [
"Mahidi yaliyosiagwa na maganda hukuwa na madini muhimu mwilini"
]
} |
4709_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa kuuza vitu au kununua vitu au vyakula mbalimbali. Soko letu linaitwa zaidi maket.
Soko letu linapatikana Embakasi. Soko letu huwa na watu wengi sana. Soko letu huuza vitu vingi sana. Vitu kama nyanya, kitungu, ndizi na kadhalika. Soko zingine huwa karibu na kijiji. Soko letu pia huuza vyakula kama samaki, viazi, soda na kadhalika. Soko letu lina hoteli ambapo watu hula vyakula mbalimbali.
Soko letu lina barabara ya mawe njiani. Watu hutupa takataka barabarani na kulazimisha kusafisha barabara kila Jumapili. Watu hutupa maganda na matunda barabarani. Soko letu hupikwa maandazi, chapati na nyama choma. Watu hutoka mbali kuja kula chakula hiki tamu kama asali. Soko letu pia huuza viatu vya kutembelea wakati wa matope au maji. Soko letu pia huuza mavazi na dawa. Huwa watu huleta nguo mbalimbali za kuuza. Pia dawa huletwa na wana hospitalini. Soko letu huwa na mahali pa kuuza mafuta ya gari. Soko letu huuza maji. Pia ina maduka ndogo na kubwa. Duka ndogo huuza peremende, maziwa, keki vitu vya watoto kuchezea na kadhalika. Soko letu masaa ingine huwa safi na ingine chafu. Huenda likawekwa mahali pa takataka ili kuweka soko likiwa safi.
Soko letu liko karibu na shule yetu. Shule hununua mikate na maziwa katika soko hili. Pia hununua vifaa vya shule. Nyumbani kwetu iko mbali na soko. Mama hutembea huko soko ili aweze kununua vifaa na vyakula vitamu. Hivyo napenda soko letu. | Ni pahali papi kuna kuuza na kununua vitu | {
"text": [
"Soko"
]
} |
4709_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa kuuza vitu au kununua vitu au vyakula mbalimbali. Soko letu linaitwa zaidi maket.
Soko letu linapatikana Embakasi. Soko letu huwa na watu wengi sana. Soko letu huuza vitu vingi sana. Vitu kama nyanya, kitungu, ndizi na kadhalika. Soko zingine huwa karibu na kijiji. Soko letu pia huuza vyakula kama samaki, viazi, soda na kadhalika. Soko letu lina hoteli ambapo watu hula vyakula mbalimbali.
Soko letu lina barabara ya mawe njiani. Watu hutupa takataka barabarani na kulazimisha kusafisha barabara kila Jumapili. Watu hutupa maganda na matunda barabarani. Soko letu hupikwa maandazi, chapati na nyama choma. Watu hutoka mbali kuja kula chakula hiki tamu kama asali. Soko letu pia huuza viatu vya kutembelea wakati wa matope au maji. Soko letu pia huuza mavazi na dawa. Huwa watu huleta nguo mbalimbali za kuuza. Pia dawa huletwa na wana hospitalini. Soko letu huwa na mahali pa kuuza mafuta ya gari. Soko letu huuza maji. Pia ina maduka ndogo na kubwa. Duka ndogo huuza peremende, maziwa, keki vitu vya watoto kuchezea na kadhalika. Soko letu masaa ingine huwa safi na ingine chafu. Huenda likawekwa mahali pa takataka ili kuweka soko likiwa safi.
Soko letu liko karibu na shule yetu. Shule hununua mikate na maziwa katika soko hili. Pia hununua vifaa vya shule. Nyumbani kwetu iko mbali na soko. Mama hutembea huko soko ili aweze kununua vifaa na vyakula vitamu. Hivyo napenda soko letu. | Watu wanatupa uchafu wapi | {
"text": [
"Barabarani"
]
} |
4709_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa kuuza vitu au kununua vitu au vyakula mbalimbali. Soko letu linaitwa zaidi maket.
Soko letu linapatikana Embakasi. Soko letu huwa na watu wengi sana. Soko letu huuza vitu vingi sana. Vitu kama nyanya, kitungu, ndizi na kadhalika. Soko zingine huwa karibu na kijiji. Soko letu pia huuza vyakula kama samaki, viazi, soda na kadhalika. Soko letu lina hoteli ambapo watu hula vyakula mbalimbali.
Soko letu lina barabara ya mawe njiani. Watu hutupa takataka barabarani na kulazimisha kusafisha barabara kila Jumapili. Watu hutupa maganda na matunda barabarani. Soko letu hupikwa maandazi, chapati na nyama choma. Watu hutoka mbali kuja kula chakula hiki tamu kama asali. Soko letu pia huuza viatu vya kutembelea wakati wa matope au maji. Soko letu pia huuza mavazi na dawa. Huwa watu huleta nguo mbalimbali za kuuza. Pia dawa huletwa na wana hospitalini. Soko letu huwa na mahali pa kuuza mafuta ya gari. Soko letu huuza maji. Pia ina maduka ndogo na kubwa. Duka ndogo huuza peremende, maziwa, keki vitu vya watoto kuchezea na kadhalika. Soko letu masaa ingine huwa safi na ingine chafu. Huenda likawekwa mahali pa takataka ili kuweka soko likiwa safi.
Soko letu liko karibu na shule yetu. Shule hununua mikate na maziwa katika soko hili. Pia hununua vifaa vya shule. Nyumbani kwetu iko mbali na soko. Mama hutembea huko soko ili aweze kununua vifaa na vyakula vitamu. Hivyo napenda soko letu. | Watu hutoka mbalimbali kuja kula nini | {
"text": [
"Vyakula"
]
} |
4709_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa kuuza vitu au kununua vitu au vyakula mbalimbali. Soko letu linaitwa zaidi maket.
Soko letu linapatikana Embakasi. Soko letu huwa na watu wengi sana. Soko letu huuza vitu vingi sana. Vitu kama nyanya, kitungu, ndizi na kadhalika. Soko zingine huwa karibu na kijiji. Soko letu pia huuza vyakula kama samaki, viazi, soda na kadhalika. Soko letu lina hoteli ambapo watu hula vyakula mbalimbali.
Soko letu lina barabara ya mawe njiani. Watu hutupa takataka barabarani na kulazimisha kusafisha barabara kila Jumapili. Watu hutupa maganda na matunda barabarani. Soko letu hupikwa maandazi, chapati na nyama choma. Watu hutoka mbali kuja kula chakula hiki tamu kama asali. Soko letu pia huuza viatu vya kutembelea wakati wa matope au maji. Soko letu pia huuza mavazi na dawa. Huwa watu huleta nguo mbalimbali za kuuza. Pia dawa huletwa na wana hospitalini. Soko letu huwa na mahali pa kuuza mafuta ya gari. Soko letu huuza maji. Pia ina maduka ndogo na kubwa. Duka ndogo huuza peremende, maziwa, keki vitu vya watoto kuchezea na kadhalika. Soko letu masaa ingine huwa safi na ingine chafu. Huenda likawekwa mahali pa takataka ili kuweka soko likiwa safi.
Soko letu liko karibu na shule yetu. Shule hununua mikate na maziwa katika soko hili. Pia hununua vifaa vya shule. Nyumbani kwetu iko mbali na soko. Mama hutembea huko soko ili aweze kununua vifaa na vyakula vitamu. Hivyo napenda soko letu. | Mavazi na dawa huuzwa wapi | {
"text": [
"Sokoni"
]
} |
4709_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa kuuza vitu au kununua vitu au vyakula mbalimbali. Soko letu linaitwa zaidi maket.
Soko letu linapatikana Embakasi. Soko letu huwa na watu wengi sana. Soko letu huuza vitu vingi sana. Vitu kama nyanya, kitungu, ndizi na kadhalika. Soko zingine huwa karibu na kijiji. Soko letu pia huuza vyakula kama samaki, viazi, soda na kadhalika. Soko letu lina hoteli ambapo watu hula vyakula mbalimbali.
Soko letu lina barabara ya mawe njiani. Watu hutupa takataka barabarani na kulazimisha kusafisha barabara kila Jumapili. Watu hutupa maganda na matunda barabarani. Soko letu hupikwa maandazi, chapati na nyama choma. Watu hutoka mbali kuja kula chakula hiki tamu kama asali. Soko letu pia huuza viatu vya kutembelea wakati wa matope au maji. Soko letu pia huuza mavazi na dawa. Huwa watu huleta nguo mbalimbali za kuuza. Pia dawa huletwa na wana hospitalini. Soko letu huwa na mahali pa kuuza mafuta ya gari. Soko letu huuza maji. Pia ina maduka ndogo na kubwa. Duka ndogo huuza peremende, maziwa, keki vitu vya watoto kuchezea na kadhalika. Soko letu masaa ingine huwa safi na ingine chafu. Huenda likawekwa mahali pa takataka ili kuweka soko likiwa safi.
Soko letu liko karibu na shule yetu. Shule hununua mikate na maziwa katika soko hili. Pia hununua vifaa vya shule. Nyumbani kwetu iko mbali na soko. Mama hutembea huko soko ili aweze kununua vifaa na vyakula vitamu. Hivyo napenda soko letu. | Soko yao huwa karibu na nini | {
"text": [
"Shule"
]
} |
4717_swa | SOKO LETU
Soko letu linaitwa Suneka, soko hilo liko karibu na nyumbani kwetu. Soko hilo limejaa wachuuzi na wanunuzi. Humo sokoni kuna wachuuzi wanachuuza vitu mbali mbali. Soko hilo lina sehemu ya kuegesha magari ya mizigo, na hapa ndipo vijana barubaru hupata vibarua vya kuosha hayo magari. Mbele ya hilo soko kuna pahali ambapo pametengewa kwa wachuzaji wa nguo za mtumba. Mama yangu pia ni mchuzaji wa vyakula kwa hilo soko, yeye huuza matunda, mahindi na maharagwe.
Mimi humsaidia binamu yangu kuuza kuku ambao yeye hununua kutoka kwa uzaji rejareja pale kijijini. Wakati mwingine yeye humnunulia bibi yetu kuku andaye kwa sherehe ambayo linaenda kufanywa miezi au siku zijazo.
Babu yangu pia husaidia kwa uchumi wa soko, yeye huchonga fimbo za kutembelea zinazoitwa wakuacha
Pia humo sokoni kuna wakataji ushuru. Wao hutembea soko zima kukatia wachuuzi karatasi ambayo huonyesha kwamba wamelipa ushuru.
Pia humo sokoni kuna maafisa wa kukagua na kupekuapekua kuona kwamba soko liko safi na liko kwa hali inayofaa. Kama vile isiwe na maji machafu kila pahali.
Humo sokoni kana maafisa wa kusafisha na kufungua mitaro ilio jaa maji machafu. Nyuma ya soko hilo kuna wachuuzi wa vitu vya shambani kama majembe, panga na vitu vinginevyo. Humo sokoni kuna watu ambao hubeba mizigo, kwa umaarufu ‘mabeba’. Kuna mwanaume ambaye hupenda kutumbuiza soko kwa kupiga densi. Chambilecho wahenga, kila soko huwa na mwendawazimu wake. Soko letu lina wachuuzi zaidi ya miambili. Soko hilo linasimamiwa na serikali ya manispa ya Kisii. Kwa hivyo serikali ndiyo inafanya miradhi na maendeleo ya soko hilo. | Soko la suneka limejaa nini | {
"text": [
"Wanunuzi na wachuuzi"
]
} |
4717_swa | SOKO LETU
Soko letu linaitwa Suneka, soko hilo liko karibu na nyumbani kwetu. Soko hilo limejaa wachuuzi na wanunuzi. Humo sokoni kuna wachuuzi wanachuuza vitu mbali mbali. Soko hilo lina sehemu ya kuegesha magari ya mizigo, na hapa ndipo vijana barubaru hupata vibarua vya kuosha hayo magari. Mbele ya hilo soko kuna pahali ambapo pametengewa kwa wachuzaji wa nguo za mtumba. Mama yangu pia ni mchuzaji wa vyakula kwa hilo soko, yeye huuza matunda, mahindi na maharagwe.
Mimi humsaidia binamu yangu kuuza kuku ambao yeye hununua kutoka kwa uzaji rejareja pale kijijini. Wakati mwingine yeye humnunulia bibi yetu kuku andaye kwa sherehe ambayo linaenda kufanywa miezi au siku zijazo.
Babu yangu pia husaidia kwa uchumi wa soko, yeye huchonga fimbo za kutembelea zinazoitwa wakuacha
Pia humo sokoni kuna wakataji ushuru. Wao hutembea soko zima kukatia wachuuzi karatasi ambayo huonyesha kwamba wamelipa ushuru.
Pia humo sokoni kuna maafisa wa kukagua na kupekuapekua kuona kwamba soko liko safi na liko kwa hali inayofaa. Kama vile isiwe na maji machafu kila pahali.
Humo sokoni kana maafisa wa kusafisha na kufungua mitaro ilio jaa maji machafu. Nyuma ya soko hilo kuna wachuuzi wa vitu vya shambani kama majembe, panga na vitu vinginevyo. Humo sokoni kuna watu ambao hubeba mizigo, kwa umaarufu ‘mabeba’. Kuna mwanaume ambaye hupenda kutumbuiza soko kwa kupiga densi. Chambilecho wahenga, kila soko huwa na mwendawazimu wake. Soko letu lina wachuuzi zaidi ya miambili. Soko hilo linasimamiwa na serikali ya manispa ya Kisii. Kwa hivyo serikali ndiyo inafanya miradhi na maendeleo ya soko hilo. | Mama ya msimulizi huuza nini sokoni | {
"text": [
"Matunda, mahindi na maharagwe"
]
} |
4717_swa | SOKO LETU
Soko letu linaitwa Suneka, soko hilo liko karibu na nyumbani kwetu. Soko hilo limejaa wachuuzi na wanunuzi. Humo sokoni kuna wachuuzi wanachuuza vitu mbali mbali. Soko hilo lina sehemu ya kuegesha magari ya mizigo, na hapa ndipo vijana barubaru hupata vibarua vya kuosha hayo magari. Mbele ya hilo soko kuna pahali ambapo pametengewa kwa wachuzaji wa nguo za mtumba. Mama yangu pia ni mchuzaji wa vyakula kwa hilo soko, yeye huuza matunda, mahindi na maharagwe.
Mimi humsaidia binamu yangu kuuza kuku ambao yeye hununua kutoka kwa uzaji rejareja pale kijijini. Wakati mwingine yeye humnunulia bibi yetu kuku andaye kwa sherehe ambayo linaenda kufanywa miezi au siku zijazo.
Babu yangu pia husaidia kwa uchumi wa soko, yeye huchonga fimbo za kutembelea zinazoitwa wakuacha
Pia humo sokoni kuna wakataji ushuru. Wao hutembea soko zima kukatia wachuuzi karatasi ambayo huonyesha kwamba wamelipa ushuru.
Pia humo sokoni kuna maafisa wa kukagua na kupekuapekua kuona kwamba soko liko safi na liko kwa hali inayofaa. Kama vile isiwe na maji machafu kila pahali.
Humo sokoni kana maafisa wa kusafisha na kufungua mitaro ilio jaa maji machafu. Nyuma ya soko hilo kuna wachuuzi wa vitu vya shambani kama majembe, panga na vitu vinginevyo. Humo sokoni kuna watu ambao hubeba mizigo, kwa umaarufu ‘mabeba’. Kuna mwanaume ambaye hupenda kutumbuiza soko kwa kupiga densi. Chambilecho wahenga, kila soko huwa na mwendawazimu wake. Soko letu lina wachuuzi zaidi ya miambili. Soko hilo linasimamiwa na serikali ya manispa ya Kisii. Kwa hivyo serikali ndiyo inafanya miradhi na maendeleo ya soko hilo. | Msimulizi humsaidi binamu yake kuuza nini sokoni | {
"text": [
"Kuku"
]
} |
4717_swa | SOKO LETU
Soko letu linaitwa Suneka, soko hilo liko karibu na nyumbani kwetu. Soko hilo limejaa wachuuzi na wanunuzi. Humo sokoni kuna wachuuzi wanachuuza vitu mbali mbali. Soko hilo lina sehemu ya kuegesha magari ya mizigo, na hapa ndipo vijana barubaru hupata vibarua vya kuosha hayo magari. Mbele ya hilo soko kuna pahali ambapo pametengewa kwa wachuzaji wa nguo za mtumba. Mama yangu pia ni mchuzaji wa vyakula kwa hilo soko, yeye huuza matunda, mahindi na maharagwe.
Mimi humsaidia binamu yangu kuuza kuku ambao yeye hununua kutoka kwa uzaji rejareja pale kijijini. Wakati mwingine yeye humnunulia bibi yetu kuku andaye kwa sherehe ambayo linaenda kufanywa miezi au siku zijazo.
Babu yangu pia husaidia kwa uchumi wa soko, yeye huchonga fimbo za kutembelea zinazoitwa wakuacha
Pia humo sokoni kuna wakataji ushuru. Wao hutembea soko zima kukatia wachuuzi karatasi ambayo huonyesha kwamba wamelipa ushuru.
Pia humo sokoni kuna maafisa wa kukagua na kupekuapekua kuona kwamba soko liko safi na liko kwa hali inayofaa. Kama vile isiwe na maji machafu kila pahali.
Humo sokoni kana maafisa wa kusafisha na kufungua mitaro ilio jaa maji machafu. Nyuma ya soko hilo kuna wachuuzi wa vitu vya shambani kama majembe, panga na vitu vinginevyo. Humo sokoni kuna watu ambao hubeba mizigo, kwa umaarufu ‘mabeba’. Kuna mwanaume ambaye hupenda kutumbuiza soko kwa kupiga densi. Chambilecho wahenga, kila soko huwa na mwendawazimu wake. Soko letu lina wachuuzi zaidi ya miambili. Soko hilo linasimamiwa na serikali ya manispa ya Kisii. Kwa hivyo serikali ndiyo inafanya miradhi na maendeleo ya soko hilo. | Nani huchonga fimbo inayoitwa Wakuacho | {
"text": [
"Babu ya msimulizi"
]
} |
4717_swa | SOKO LETU
Soko letu linaitwa Suneka, soko hilo liko karibu na nyumbani kwetu. Soko hilo limejaa wachuuzi na wanunuzi. Humo sokoni kuna wachuuzi wanachuuza vitu mbali mbali. Soko hilo lina sehemu ya kuegesha magari ya mizigo, na hapa ndipo vijana barubaru hupata vibarua vya kuosha hayo magari. Mbele ya hilo soko kuna pahali ambapo pametengewa kwa wachuzaji wa nguo za mtumba. Mama yangu pia ni mchuzaji wa vyakula kwa hilo soko, yeye huuza matunda, mahindi na maharagwe.
Mimi humsaidia binamu yangu kuuza kuku ambao yeye hununua kutoka kwa uzaji rejareja pale kijijini. Wakati mwingine yeye humnunulia bibi yetu kuku andaye kwa sherehe ambayo linaenda kufanywa miezi au siku zijazo.
Babu yangu pia husaidia kwa uchumi wa soko, yeye huchonga fimbo za kutembelea zinazoitwa wakuacha
Pia humo sokoni kuna wakataji ushuru. Wao hutembea soko zima kukatia wachuuzi karatasi ambayo huonyesha kwamba wamelipa ushuru.
Pia humo sokoni kuna maafisa wa kukagua na kupekuapekua kuona kwamba soko liko safi na liko kwa hali inayofaa. Kama vile isiwe na maji machafu kila pahali.
Humo sokoni kana maafisa wa kusafisha na kufungua mitaro ilio jaa maji machafu. Nyuma ya soko hilo kuna wachuuzi wa vitu vya shambani kama majembe, panga na vitu vinginevyo. Humo sokoni kuna watu ambao hubeba mizigo, kwa umaarufu ‘mabeba’. Kuna mwanaume ambaye hupenda kutumbuiza soko kwa kupiga densi. Chambilecho wahenga, kila soko huwa na mwendawazimu wake. Soko letu lina wachuuzi zaidi ya miambili. Soko hilo linasimamiwa na serikali ya manispa ya Kisii. Kwa hivyo serikali ndiyo inafanya miradhi na maendeleo ya soko hilo. | Soko la suneka lina wachuuzi zaidi ya wangapi | {
"text": [
"Mia mbili"
]
} |
4718_swa | SOKO LETU
Ilikuwa alamisi ambapo watu huenda sokoni. Wakati tulitia nanga pale tuliona mboga, nyanya, matunda na kathalika. Kwenye soko kuna kelele kama kasuku aliye kwenye misitu. Katika soko kuna ugomvi na utengano.
Soko letu tunauza vitu mbalimbali kama mavazi, viatu na wanasesere. Pia soko letu huwa na
mazingira safi kama sindano.
Soko letu huwa na wateja. Wazazi hupokea fedha hizo kulipa karo ya shule. Kwenye soko watu huwa wanaangua kicheko kama fisi aliyeona nyama. Kando ya soko letu kuna kamba ndefu ambapo gari hupita. Magari hayo huwa yaenda mwendo wa kobe. Mimi kama kitinda mimba huwa nasaidia mama yangu kazi ndogo ndogo kama vile kufagia, kupanga vitu dukani na kadhalika.
Kwenye soko letu miziki huchezwa kana kwamba ni studio. Watu huwa hushangilia kelele na nderemo. Huwa tunasaidia wazazi wetu walaiti hawapo. Wazazi wetu walitueleza jinsi unavyofaa kuelekeza mteja. Mawazo yako yanafaa kuwa makini kama mwanafunzi anayehitaji kufika mia nne. Wateja hupenda kuja sababu ya heshima tunaowapa kama rais wetu. Soko letu huwa una mapambo mengi kama madoadoa ya chui. Soko letu huwa na runinga ambapo waja wengi huja kuona mechi tofauti tofauti na habari. Watu huwa wanywa chai kwa mandazi ili waburudike na kipindi wanacho tazama. Soko letu kama ya kunona centre ni njema sana. | Kelele zilitoka wapi usiku wa kuamkia jumamosi | {
"text": [
"Kwa jirani Amina"
]
} |
4718_swa | SOKO LETU
Ilikuwa alamisi ambapo watu huenda sokoni. Wakati tulitia nanga pale tuliona mboga, nyanya, matunda na kathalika. Kwenye soko kuna kelele kama kasuku aliye kwenye misitu. Katika soko kuna ugomvi na utengano.
Soko letu tunauza vitu mbalimbali kama mavazi, viatu na wanasesere. Pia soko letu huwa na
mazingira safi kama sindano.
Soko letu huwa na wateja. Wazazi hupokea fedha hizo kulipa karo ya shule. Kwenye soko watu huwa wanaangua kicheko kama fisi aliyeona nyama. Kando ya soko letu kuna kamba ndefu ambapo gari hupita. Magari hayo huwa yaenda mwendo wa kobe. Mimi kama kitinda mimba huwa nasaidia mama yangu kazi ndogo ndogo kama vile kufagia, kupanga vitu dukani na kadhalika.
Kwenye soko letu miziki huchezwa kana kwamba ni studio. Watu huwa hushangilia kelele na nderemo. Huwa tunasaidia wazazi wetu walaiti hawapo. Wazazi wetu walitueleza jinsi unavyofaa kuelekeza mteja. Mawazo yako yanafaa kuwa makini kama mwanafunzi anayehitaji kufika mia nne. Wateja hupenda kuja sababu ya heshima tunaowapa kama rais wetu. Soko letu huwa una mapambo mengi kama madoadoa ya chui. Soko letu huwa na runinga ambapo waja wengi huja kuona mechi tofauti tofauti na habari. Watu huwa wanywa chai kwa mandazi ili waburudike na kipindi wanacho tazama. Soko letu kama ya kunona centre ni njema sana. | Wezi waliagiza mfanyibiashara afanye nini | {
"text": [
"Kuwapa pesa zote alizokuwa nazo"
]
} |
4718_swa | SOKO LETU
Ilikuwa alamisi ambapo watu huenda sokoni. Wakati tulitia nanga pale tuliona mboga, nyanya, matunda na kathalika. Kwenye soko kuna kelele kama kasuku aliye kwenye misitu. Katika soko kuna ugomvi na utengano.
Soko letu tunauza vitu mbalimbali kama mavazi, viatu na wanasesere. Pia soko letu huwa na
mazingira safi kama sindano.
Soko letu huwa na wateja. Wazazi hupokea fedha hizo kulipa karo ya shule. Kwenye soko watu huwa wanaangua kicheko kama fisi aliyeona nyama. Kando ya soko letu kuna kamba ndefu ambapo gari hupita. Magari hayo huwa yaenda mwendo wa kobe. Mimi kama kitinda mimba huwa nasaidia mama yangu kazi ndogo ndogo kama vile kufagia, kupanga vitu dukani na kadhalika.
Kwenye soko letu miziki huchezwa kana kwamba ni studio. Watu huwa hushangilia kelele na nderemo. Huwa tunasaidia wazazi wetu walaiti hawapo. Wazazi wetu walitueleza jinsi unavyofaa kuelekeza mteja. Mawazo yako yanafaa kuwa makini kama mwanafunzi anayehitaji kufika mia nne. Wateja hupenda kuja sababu ya heshima tunaowapa kama rais wetu. Soko letu huwa una mapambo mengi kama madoadoa ya chui. Soko letu huwa na runinga ambapo waja wengi huja kuona mechi tofauti tofauti na habari. Watu huwa wanywa chai kwa mandazi ili waburudike na kipindi wanacho tazama. Soko letu kama ya kunona centre ni njema sana. | Ni nini kiilitokea mfanyi biashara alipowaeleza hakuwa na pesa | {
"text": [
"Alipigwa kofi hadi akazirai"
]
} |
4718_swa | SOKO LETU
Ilikuwa alamisi ambapo watu huenda sokoni. Wakati tulitia nanga pale tuliona mboga, nyanya, matunda na kathalika. Kwenye soko kuna kelele kama kasuku aliye kwenye misitu. Katika soko kuna ugomvi na utengano.
Soko letu tunauza vitu mbalimbali kama mavazi, viatu na wanasesere. Pia soko letu huwa na
mazingira safi kama sindano.
Soko letu huwa na wateja. Wazazi hupokea fedha hizo kulipa karo ya shule. Kwenye soko watu huwa wanaangua kicheko kama fisi aliyeona nyama. Kando ya soko letu kuna kamba ndefu ambapo gari hupita. Magari hayo huwa yaenda mwendo wa kobe. Mimi kama kitinda mimba huwa nasaidia mama yangu kazi ndogo ndogo kama vile kufagia, kupanga vitu dukani na kadhalika.
Kwenye soko letu miziki huchezwa kana kwamba ni studio. Watu huwa hushangilia kelele na nderemo. Huwa tunasaidia wazazi wetu walaiti hawapo. Wazazi wetu walitueleza jinsi unavyofaa kuelekeza mteja. Mawazo yako yanafaa kuwa makini kama mwanafunzi anayehitaji kufika mia nne. Wateja hupenda kuja sababu ya heshima tunaowapa kama rais wetu. Soko letu huwa una mapambo mengi kama madoadoa ya chui. Soko letu huwa na runinga ambapo waja wengi huja kuona mechi tofauti tofauti na habari. Watu huwa wanywa chai kwa mandazi ili waburudike na kipindi wanacho tazama. Soko letu kama ya kunona centre ni njema sana. | Wezi waliiba nini kwa mfanyi biashara huyu | {
"text": [
"Runinga, jokofu, viti na meza"
]
} |
4718_swa | SOKO LETU
Ilikuwa alamisi ambapo watu huenda sokoni. Wakati tulitia nanga pale tuliona mboga, nyanya, matunda na kathalika. Kwenye soko kuna kelele kama kasuku aliye kwenye misitu. Katika soko kuna ugomvi na utengano.
Soko letu tunauza vitu mbalimbali kama mavazi, viatu na wanasesere. Pia soko letu huwa na
mazingira safi kama sindano.
Soko letu huwa na wateja. Wazazi hupokea fedha hizo kulipa karo ya shule. Kwenye soko watu huwa wanaangua kicheko kama fisi aliyeona nyama. Kando ya soko letu kuna kamba ndefu ambapo gari hupita. Magari hayo huwa yaenda mwendo wa kobe. Mimi kama kitinda mimba huwa nasaidia mama yangu kazi ndogo ndogo kama vile kufagia, kupanga vitu dukani na kadhalika.
Kwenye soko letu miziki huchezwa kana kwamba ni studio. Watu huwa hushangilia kelele na nderemo. Huwa tunasaidia wazazi wetu walaiti hawapo. Wazazi wetu walitueleza jinsi unavyofaa kuelekeza mteja. Mawazo yako yanafaa kuwa makini kama mwanafunzi anayehitaji kufika mia nne. Wateja hupenda kuja sababu ya heshima tunaowapa kama rais wetu. Soko letu huwa una mapambo mengi kama madoadoa ya chui. Soko letu huwa na runinga ambapo waja wengi huja kuona mechi tofauti tofauti na habari. Watu huwa wanywa chai kwa mandazi ili waburudike na kipindi wanacho tazama. Soko letu kama ya kunona centre ni njema sana. | Wezi walipewa adhabu gani | {
"text": [
"Kifungu cha miaka mitatu"
]
} |
4719_swa | Soko ni mahali ambapo watu huenda kununua bidhaa mbalimbali. Soko letu linaitwa soko pendo. Soko letu linapatikanana katika kijiji cha majimoto. Sokoni yetu inafunguliwa jumapili na Alhamisi.
Soko letu limezungukwa na ua ambalo limetengenezwa kwa mawe. Soko letu linafunguliwa saa kumi na moja na linafungwa saa mbili unusu.
Kila jumapili utapata akina mama wakiuza vyakula kama vile vibanzi mandazi na chapati. Watu waliotoka kazini huja kula chamcha. Katika soko letu kuna hoteli mbali mbali wazazi huja na watoto kujiburudisha kama vile kupiga mbizi kucheza na kula.
Sokoni mwetu kuna buchari. Watu huja kununua nyama katika soko letu. Kuna nyama aina mbili. Kuna nyama ya ng'ombe na nyama ya mbuzi. Watu hupenda nyama ya mbuzi kwa sababu nyama ya mbuzi ni tamu kama asali.
Sokoni mwetu kuna duka la dawa. Wagonjwa wanapotumwa na daktari dawa fulani, wao huja
Kununua. Na pia pesa imepunguziwa.
Pia kuna duka la vitabu. Watu huja kununua vitabu vya aina mbali mbali. Sokoni mwetu kuna wana sarakasi ambao wanakuja kuburudisha watu wao na huja wakati watu wamejaa. Soko letu liko karibu na kanisa. Watu wakitoka kanisani wao hupitia sokoni kununua bidhaa. Sokoni mwetu kuna vinyozi vingi. Watu hunyolewa jinsi wanavyosikia kwa bei nafuu.
Sokoni mwetu kuna magari yanayo safiri upande wote wa nchi. Kuna maduka yanayouza viti, vitanda, makabati na madawati.
Soko yetu inapitia changa moto nyingi. Wakati wa usiku wezi huja na kuiba bidhaa. Wauzaji wanapoamka asubuhi, wao hupata kuwa vitu vyao vimeibwa.
Jambo lingine ni kuwa watu huchoma vibanda vya wenyewe wakati wa usiku. Asubuhi inapofika wanapata kuwa vibanda vyao vimekuwa jivu.
Wauzaji wengine hupigania mnunuzi mmoja. Wapigania mnunuzi unaweza kusababisha watu wapigane.
Tunaomba serikali isaidie wauzaji wetu kwa kuwashika wanao iba na kuchoma vibanda vya wenyewe. Lazima kuwe na kituo cha polisi katika soko. Na pia askari lazima wafanye kazi yao vizuri. Tuipende soko letu. Tukumbuke kushirikiana. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. | Soko lao limezungukwa na nini | {
"text": [
"ua"
]
} |
4719_swa | Soko ni mahali ambapo watu huenda kununua bidhaa mbalimbali. Soko letu linaitwa soko pendo. Soko letu linapatikanana katika kijiji cha majimoto. Sokoni yetu inafunguliwa jumapili na Alhamisi.
Soko letu limezungukwa na ua ambalo limetengenezwa kwa mawe. Soko letu linafunguliwa saa kumi na moja na linafungwa saa mbili unusu.
Kila jumapili utapata akina mama wakiuza vyakula kama vile vibanzi mandazi na chapati. Watu waliotoka kazini huja kula chamcha. Katika soko letu kuna hoteli mbali mbali wazazi huja na watoto kujiburudisha kama vile kupiga mbizi kucheza na kula.
Sokoni mwetu kuna buchari. Watu huja kununua nyama katika soko letu. Kuna nyama aina mbili. Kuna nyama ya ng'ombe na nyama ya mbuzi. Watu hupenda nyama ya mbuzi kwa sababu nyama ya mbuzi ni tamu kama asali.
Sokoni mwetu kuna duka la dawa. Wagonjwa wanapotumwa na daktari dawa fulani, wao huja
Kununua. Na pia pesa imepunguziwa.
Pia kuna duka la vitabu. Watu huja kununua vitabu vya aina mbali mbali. Sokoni mwetu kuna wana sarakasi ambao wanakuja kuburudisha watu wao na huja wakati watu wamejaa. Soko letu liko karibu na kanisa. Watu wakitoka kanisani wao hupitia sokoni kununua bidhaa. Sokoni mwetu kuna vinyozi vingi. Watu hunyolewa jinsi wanavyosikia kwa bei nafuu.
Sokoni mwetu kuna magari yanayo safiri upande wote wa nchi. Kuna maduka yanayouza viti, vitanda, makabati na madawati.
Soko yetu inapitia changa moto nyingi. Wakati wa usiku wezi huja na kuiba bidhaa. Wauzaji wanapoamka asubuhi, wao hupata kuwa vitu vyao vimeibwa.
Jambo lingine ni kuwa watu huchoma vibanda vya wenyewe wakati wa usiku. Asubuhi inapofika wanapata kuwa vibanda vyao vimekuwa jivu.
Wauzaji wengine hupigania mnunuzi mmoja. Wapigania mnunuzi unaweza kusababisha watu wapigane.
Tunaomba serikali isaidie wauzaji wetu kwa kuwashika wanao iba na kuchoma vibanda vya wenyewe. Lazima kuwe na kituo cha polisi katika soko. Na pia askari lazima wafanye kazi yao vizuri. Tuipende soko letu. Tukumbuke kushirikiana. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. | Kina mama huuza vyakula lini | {
"text": [
"kila Jumapili"
]
} |
4719_swa | Soko ni mahali ambapo watu huenda kununua bidhaa mbalimbali. Soko letu linaitwa soko pendo. Soko letu linapatikanana katika kijiji cha majimoto. Sokoni yetu inafunguliwa jumapili na Alhamisi.
Soko letu limezungukwa na ua ambalo limetengenezwa kwa mawe. Soko letu linafunguliwa saa kumi na moja na linafungwa saa mbili unusu.
Kila jumapili utapata akina mama wakiuza vyakula kama vile vibanzi mandazi na chapati. Watu waliotoka kazini huja kula chamcha. Katika soko letu kuna hoteli mbali mbali wazazi huja na watoto kujiburudisha kama vile kupiga mbizi kucheza na kula.
Sokoni mwetu kuna buchari. Watu huja kununua nyama katika soko letu. Kuna nyama aina mbili. Kuna nyama ya ng'ombe na nyama ya mbuzi. Watu hupenda nyama ya mbuzi kwa sababu nyama ya mbuzi ni tamu kama asali.
Sokoni mwetu kuna duka la dawa. Wagonjwa wanapotumwa na daktari dawa fulani, wao huja
Kununua. Na pia pesa imepunguziwa.
Pia kuna duka la vitabu. Watu huja kununua vitabu vya aina mbali mbali. Sokoni mwetu kuna wana sarakasi ambao wanakuja kuburudisha watu wao na huja wakati watu wamejaa. Soko letu liko karibu na kanisa. Watu wakitoka kanisani wao hupitia sokoni kununua bidhaa. Sokoni mwetu kuna vinyozi vingi. Watu hunyolewa jinsi wanavyosikia kwa bei nafuu.
Sokoni mwetu kuna magari yanayo safiri upande wote wa nchi. Kuna maduka yanayouza viti, vitanda, makabati na madawati.
Soko yetu inapitia changa moto nyingi. Wakati wa usiku wezi huja na kuiba bidhaa. Wauzaji wanapoamka asubuhi, wao hupata kuwa vitu vyao vimeibwa.
Jambo lingine ni kuwa watu huchoma vibanda vya wenyewe wakati wa usiku. Asubuhi inapofika wanapata kuwa vibanda vyao vimekuwa jivu.
Wauzaji wengine hupigania mnunuzi mmoja. Wapigania mnunuzi unaweza kusababisha watu wapigane.
Tunaomba serikali isaidie wauzaji wetu kwa kuwashika wanao iba na kuchoma vibanda vya wenyewe. Lazima kuwe na kituo cha polisi katika soko. Na pia askari lazima wafanye kazi yao vizuri. Tuipende soko letu. Tukumbuke kushirikiana. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. | Watu huenda kununua nini katika buchari | {
"text": [
"nyama"
]
} |
4719_swa | Soko ni mahali ambapo watu huenda kununua bidhaa mbalimbali. Soko letu linaitwa soko pendo. Soko letu linapatikanana katika kijiji cha majimoto. Sokoni yetu inafunguliwa jumapili na Alhamisi.
Soko letu limezungukwa na ua ambalo limetengenezwa kwa mawe. Soko letu linafunguliwa saa kumi na moja na linafungwa saa mbili unusu.
Kila jumapili utapata akina mama wakiuza vyakula kama vile vibanzi mandazi na chapati. Watu waliotoka kazini huja kula chamcha. Katika soko letu kuna hoteli mbali mbali wazazi huja na watoto kujiburudisha kama vile kupiga mbizi kucheza na kula.
Sokoni mwetu kuna buchari. Watu huja kununua nyama katika soko letu. Kuna nyama aina mbili. Kuna nyama ya ng'ombe na nyama ya mbuzi. Watu hupenda nyama ya mbuzi kwa sababu nyama ya mbuzi ni tamu kama asali.
Sokoni mwetu kuna duka la dawa. Wagonjwa wanapotumwa na daktari dawa fulani, wao huja
Kununua. Na pia pesa imepunguziwa.
Pia kuna duka la vitabu. Watu huja kununua vitabu vya aina mbali mbali. Sokoni mwetu kuna wana sarakasi ambao wanakuja kuburudisha watu wao na huja wakati watu wamejaa. Soko letu liko karibu na kanisa. Watu wakitoka kanisani wao hupitia sokoni kununua bidhaa. Sokoni mwetu kuna vinyozi vingi. Watu hunyolewa jinsi wanavyosikia kwa bei nafuu.
Sokoni mwetu kuna magari yanayo safiri upande wote wa nchi. Kuna maduka yanayouza viti, vitanda, makabati na madawati.
Soko yetu inapitia changa moto nyingi. Wakati wa usiku wezi huja na kuiba bidhaa. Wauzaji wanapoamka asubuhi, wao hupata kuwa vitu vyao vimeibwa.
Jambo lingine ni kuwa watu huchoma vibanda vya wenyewe wakati wa usiku. Asubuhi inapofika wanapata kuwa vibanda vyao vimekuwa jivu.
Wauzaji wengine hupigania mnunuzi mmoja. Wapigania mnunuzi unaweza kusababisha watu wapigane.
Tunaomba serikali isaidie wauzaji wetu kwa kuwashika wanao iba na kuchoma vibanda vya wenyewe. Lazima kuwe na kituo cha polisi katika soko. Na pia askari lazima wafanye kazi yao vizuri. Tuipende soko letu. Tukumbuke kushirikiana. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. | Wagonjwa hutumwa na nani dawa fulani | {
"text": [
"daktari"
]
} |
4719_swa | Soko ni mahali ambapo watu huenda kununua bidhaa mbalimbali. Soko letu linaitwa soko pendo. Soko letu linapatikanana katika kijiji cha majimoto. Sokoni yetu inafunguliwa jumapili na Alhamisi.
Soko letu limezungukwa na ua ambalo limetengenezwa kwa mawe. Soko letu linafunguliwa saa kumi na moja na linafungwa saa mbili unusu.
Kila jumapili utapata akina mama wakiuza vyakula kama vile vibanzi mandazi na chapati. Watu waliotoka kazini huja kula chamcha. Katika soko letu kuna hoteli mbali mbali wazazi huja na watoto kujiburudisha kama vile kupiga mbizi kucheza na kula.
Sokoni mwetu kuna buchari. Watu huja kununua nyama katika soko letu. Kuna nyama aina mbili. Kuna nyama ya ng'ombe na nyama ya mbuzi. Watu hupenda nyama ya mbuzi kwa sababu nyama ya mbuzi ni tamu kama asali.
Sokoni mwetu kuna duka la dawa. Wagonjwa wanapotumwa na daktari dawa fulani, wao huja
Kununua. Na pia pesa imepunguziwa.
Pia kuna duka la vitabu. Watu huja kununua vitabu vya aina mbali mbali. Sokoni mwetu kuna wana sarakasi ambao wanakuja kuburudisha watu wao na huja wakati watu wamejaa. Soko letu liko karibu na kanisa. Watu wakitoka kanisani wao hupitia sokoni kununua bidhaa. Sokoni mwetu kuna vinyozi vingi. Watu hunyolewa jinsi wanavyosikia kwa bei nafuu.
Sokoni mwetu kuna magari yanayo safiri upande wote wa nchi. Kuna maduka yanayouza viti, vitanda, makabati na madawati.
Soko yetu inapitia changa moto nyingi. Wakati wa usiku wezi huja na kuiba bidhaa. Wauzaji wanapoamka asubuhi, wao hupata kuwa vitu vyao vimeibwa.
Jambo lingine ni kuwa watu huchoma vibanda vya wenyewe wakati wa usiku. Asubuhi inapofika wanapata kuwa vibanda vyao vimekuwa jivu.
Wauzaji wengine hupigania mnunuzi mmoja. Wapigania mnunuzi unaweza kusababisha watu wapigane.
Tunaomba serikali isaidie wauzaji wetu kwa kuwashika wanao iba na kuchoma vibanda vya wenyewe. Lazima kuwe na kituo cha polisi katika soko. Na pia askari lazima wafanye kazi yao vizuri. Tuipende soko letu. Tukumbuke kushirikiana. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. | Nani huja kuburudisha watu | {
"text": [
"wanasarakasi"
]
} |
4721_swa | Soko ni pahali ambapo watu wauza na kununua vitu muhimu sana. Soko letu ni soko ambalo
linauza vitu nyingi kama nguo, viatu na vitu vingine.
Sisi tuna soko mbili ambazo zinapata pesa nyingi. Kila siku pesa ambazo tunapata ni nyingi sana hata baba yangu ana mawazo ya kutengeneza soko kuu sanasana watu wapenda kuja kununua kwetu.
Umati wa watu hujaa huku kwetu. Kuna siku ambalo watu hawakuwa wanapenda kuja kwenye duka letu kwa kuwa pesa ilikuwa ngumu kuipata. Lakini tukangoja sako kwa bako watu wakaanza kuja mmoja kwa mmoja. Mimi nilishangilia kwa shangwe na vigelegele.
Kuna saa zingine za usiku, duka letu watu huja kuiba vitu kama mkate, soda, sukari, pesa na vitu vingine lakini wapenda kuiba pesa sana.
Kuna duka nyingi kwenye kijiji chetu. Karibu kila mtu anajua kuhusu soko letu na sisi
soko letu si kama soko zingine. Soko letu haliuzi vitu kwa bei nyingi sana. Sisi huwa tunapunguza bei kidogo. Watu wengi hawajui ni kwamba pale tulikuwa tunaishi
kitambo tulikuwa na duka ndogo na tulikuwa tunauza nyanya na mboga na hata vitunguu maji.
Kuwa na soko si maisha mbaya. Watu kama hawa hupata pesa lakini kuwa na duka si kazi rahisi sana kwa vile unafaa kukaa dukani kwa masaa mengi ili mtu asiibe kitu chochote na kuna masharti unafaa kufuata juu ya soko.
Watu hujaa sokoni ndio wanunue vitu. Sokoni si pahali unanunua mboga pekee, kuna vitu vingi kwa vile kuna duka ndogo na kubwa. Hayo mambo ndio ninajua kuhusu soko letu. | Nguo na viatu ni vitu vinavyonunuliwa wapi | {
"text": [
"Sokoni"
]
} |
4721_swa | Soko ni pahali ambapo watu wauza na kununua vitu muhimu sana. Soko letu ni soko ambalo
linauza vitu nyingi kama nguo, viatu na vitu vingine.
Sisi tuna soko mbili ambazo zinapata pesa nyingi. Kila siku pesa ambazo tunapata ni nyingi sana hata baba yangu ana mawazo ya kutengeneza soko kuu sanasana watu wapenda kuja kununua kwetu.
Umati wa watu hujaa huku kwetu. Kuna siku ambalo watu hawakuwa wanapenda kuja kwenye duka letu kwa kuwa pesa ilikuwa ngumu kuipata. Lakini tukangoja sako kwa bako watu wakaanza kuja mmoja kwa mmoja. Mimi nilishangilia kwa shangwe na vigelegele.
Kuna saa zingine za usiku, duka letu watu huja kuiba vitu kama mkate, soda, sukari, pesa na vitu vingine lakini wapenda kuiba pesa sana.
Kuna duka nyingi kwenye kijiji chetu. Karibu kila mtu anajua kuhusu soko letu na sisi
soko letu si kama soko zingine. Soko letu haliuzi vitu kwa bei nyingi sana. Sisi huwa tunapunguza bei kidogo. Watu wengi hawajui ni kwamba pale tulikuwa tunaishi
kitambo tulikuwa na duka ndogo na tulikuwa tunauza nyanya na mboga na hata vitunguu maji.
Kuwa na soko si maisha mbaya. Watu kama hawa hupata pesa lakini kuwa na duka si kazi rahisi sana kwa vile unafaa kukaa dukani kwa masaa mengi ili mtu asiibe kitu chochote na kuna masharti unafaa kufuata juu ya soko.
Watu hujaa sokoni ndio wanunue vitu. Sokoni si pahali unanunua mboga pekee, kuna vitu vingi kwa vile kuna duka ndogo na kubwa. Hayo mambo ndio ninajua kuhusu soko letu. | Baba ya msimulizi anapanga kutengeneza nini | {
"text": [
"Duka kuu"
]
} |
4721_swa | Soko ni pahali ambapo watu wauza na kununua vitu muhimu sana. Soko letu ni soko ambalo
linauza vitu nyingi kama nguo, viatu na vitu vingine.
Sisi tuna soko mbili ambazo zinapata pesa nyingi. Kila siku pesa ambazo tunapata ni nyingi sana hata baba yangu ana mawazo ya kutengeneza soko kuu sanasana watu wapenda kuja kununua kwetu.
Umati wa watu hujaa huku kwetu. Kuna siku ambalo watu hawakuwa wanapenda kuja kwenye duka letu kwa kuwa pesa ilikuwa ngumu kuipata. Lakini tukangoja sako kwa bako watu wakaanza kuja mmoja kwa mmoja. Mimi nilishangilia kwa shangwe na vigelegele.
Kuna saa zingine za usiku, duka letu watu huja kuiba vitu kama mkate, soda, sukari, pesa na vitu vingine lakini wapenda kuiba pesa sana.
Kuna duka nyingi kwenye kijiji chetu. Karibu kila mtu anajua kuhusu soko letu na sisi
soko letu si kama soko zingine. Soko letu haliuzi vitu kwa bei nyingi sana. Sisi huwa tunapunguza bei kidogo. Watu wengi hawajui ni kwamba pale tulikuwa tunaishi
kitambo tulikuwa na duka ndogo na tulikuwa tunauza nyanya na mboga na hata vitunguu maji.
Kuwa na soko si maisha mbaya. Watu kama hawa hupata pesa lakini kuwa na duka si kazi rahisi sana kwa vile unafaa kukaa dukani kwa masaa mengi ili mtu asiibe kitu chochote na kuna masharti unafaa kufuata juu ya soko.
Watu hujaa sokoni ndio wanunue vitu. Sokoni si pahali unanunua mboga pekee, kuna vitu vingi kwa vile kuna duka ndogo na kubwa. Hayo mambo ndio ninajua kuhusu soko letu. | Hapo awali msimulizi kwenye duka lao dogo walikuwa wanauza nini | {
"text": [
"Mboga na nyanya"
]
} |
4721_swa | Soko ni pahali ambapo watu wauza na kununua vitu muhimu sana. Soko letu ni soko ambalo
linauza vitu nyingi kama nguo, viatu na vitu vingine.
Sisi tuna soko mbili ambazo zinapata pesa nyingi. Kila siku pesa ambazo tunapata ni nyingi sana hata baba yangu ana mawazo ya kutengeneza soko kuu sanasana watu wapenda kuja kununua kwetu.
Umati wa watu hujaa huku kwetu. Kuna siku ambalo watu hawakuwa wanapenda kuja kwenye duka letu kwa kuwa pesa ilikuwa ngumu kuipata. Lakini tukangoja sako kwa bako watu wakaanza kuja mmoja kwa mmoja. Mimi nilishangilia kwa shangwe na vigelegele.
Kuna saa zingine za usiku, duka letu watu huja kuiba vitu kama mkate, soda, sukari, pesa na vitu vingine lakini wapenda kuiba pesa sana.
Kuna duka nyingi kwenye kijiji chetu. Karibu kila mtu anajua kuhusu soko letu na sisi
soko letu si kama soko zingine. Soko letu haliuzi vitu kwa bei nyingi sana. Sisi huwa tunapunguza bei kidogo. Watu wengi hawajui ni kwamba pale tulikuwa tunaishi
kitambo tulikuwa na duka ndogo na tulikuwa tunauza nyanya na mboga na hata vitunguu maji.
Kuwa na soko si maisha mbaya. Watu kama hawa hupata pesa lakini kuwa na duka si kazi rahisi sana kwa vile unafaa kukaa dukani kwa masaa mengi ili mtu asiibe kitu chochote na kuna masharti unafaa kufuata juu ya soko.
Watu hujaa sokoni ndio wanunue vitu. Sokoni si pahali unanunua mboga pekee, kuna vitu vingi kwa vile kuna duka ndogo na kubwa. Hayo mambo ndio ninajua kuhusu soko letu. | Usiku msimulizi huibiwa nini na watu | {
"text": [
"Mkate na soda"
]
} |
4721_swa | Soko ni pahali ambapo watu wauza na kununua vitu muhimu sana. Soko letu ni soko ambalo
linauza vitu nyingi kama nguo, viatu na vitu vingine.
Sisi tuna soko mbili ambazo zinapata pesa nyingi. Kila siku pesa ambazo tunapata ni nyingi sana hata baba yangu ana mawazo ya kutengeneza soko kuu sanasana watu wapenda kuja kununua kwetu.
Umati wa watu hujaa huku kwetu. Kuna siku ambalo watu hawakuwa wanapenda kuja kwenye duka letu kwa kuwa pesa ilikuwa ngumu kuipata. Lakini tukangoja sako kwa bako watu wakaanza kuja mmoja kwa mmoja. Mimi nilishangilia kwa shangwe na vigelegele.
Kuna saa zingine za usiku, duka letu watu huja kuiba vitu kama mkate, soda, sukari, pesa na vitu vingine lakini wapenda kuiba pesa sana.
Kuna duka nyingi kwenye kijiji chetu. Karibu kila mtu anajua kuhusu soko letu na sisi
soko letu si kama soko zingine. Soko letu haliuzi vitu kwa bei nyingi sana. Sisi huwa tunapunguza bei kidogo. Watu wengi hawajui ni kwamba pale tulikuwa tunaishi
kitambo tulikuwa na duka ndogo na tulikuwa tunauza nyanya na mboga na hata vitunguu maji.
Kuwa na soko si maisha mbaya. Watu kama hawa hupata pesa lakini kuwa na duka si kazi rahisi sana kwa vile unafaa kukaa dukani kwa masaa mengi ili mtu asiibe kitu chochote na kuna masharti unafaa kufuata juu ya soko.
Watu hujaa sokoni ndio wanunue vitu. Sokoni si pahali unanunua mboga pekee, kuna vitu vingi kwa vile kuna duka ndogo na kubwa. Hayo mambo ndio ninajua kuhusu soko letu. | Mahali Pa kuuza na kununua vitu mbalimbali ni wapii | {
"text": [
"Soko"
]
} |
4724_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Kwanza, madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Haya ni dawa ambazo hutumiwa na wazee kwa vijana. Mihadarati haya ni kama vile; kokeini, pombe, tobako, mandraksi, marijuana, bashihi.
Dawa kama hizi husababisha madhara mengi. Vitu kama kokeni, tobako hutumiwa kwa njia mbalimbali. Kama vile kwa sindano, kuvuta na hata hutumiwa kwa vyakula. Vitu kama hivi hutumika na watu kisirisiri ili wasipatikane. Watoto wa mitaa hupenda kutumia mihadarati ya kunusa. Vitu hivi ni gundi na mafuta taa au mafuta ya petroli.
Mihadarati huleta uraibu. Hii humfanya mtu aonekane ovyo. Mihadarati huwa na madhara na jinsi mtu ataziacha hizi, kwanza ni lazima mtu atilie maanani ya pakiti hizo.
Madhara haya ni mingi. Humfanya mtu alewe chakari. Dereva, nahodha kandawala na wengineo ambao hutumia mihadarati hulewa na wanaweza kuwa kwa hatari na hupata ajali. Nahodha hupoteza njia yake na hujisahau au husahau njia zake. Mtu kama Kandawala anaweza kuzimia zi na kulala fofofo! Aidha, mihadarati hudhuru watu ambao hutumia dawa hizi. Dawa kama sigareti huharibu mazingira. Upitapo karibu na mtu ambaye anavuta utadhani gari la moshi limepita hapo karibu.
Isitoshe, madawa ya kulevya hutumika na vijana mitaani. Mazingira ya huko ni tu mabiwi ya takataka kila mahali. Endapo mtu akawa na malaria, kipindupindu na madhara mengine.
Pamoja na hayo, kuna jinsi ya kujiepusha na mihadarati haya. Mojawapo ni kama vile kukaa mbali na watu ambao wanatumia dawa hizi. Ni heri mtu akae mita mbili na nusu na pia kunyamaza na pia usiongee na watu kama hawa.
Tujaribu kukaa mbali na watu kama hao. Vile vile, tusiwe na marafiki wenye hutumia mihadarati. Ni heri ukae mbali nao kwa sababu wanaweza kufunza jinsi ya kutumia mitadarati. Pia hufanya wanandoa kukataliana. Wanawake wajawazito huathiri watoto tumboni. Watoto hawa huwa na magonjwa mbalimbali. Aidha, mihadarati huleta saratani ya mdomo, kipua na ni ambayo husababisha shida ya kupumua. Huzotesha maendeleo kwa taifa kwa vile fedha nyingi hutumika kununua vileo mbali mbali. | Aina mojawapo ya dawa za kulevya ni zipi | {
"text": [
"Kokeini, mandraksi na marijuana"
]
} |
4724_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Kwanza, madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Haya ni dawa ambazo hutumiwa na wazee kwa vijana. Mihadarati haya ni kama vile; kokeini, pombe, tobako, mandraksi, marijuana, bashihi.
Dawa kama hizi husababisha madhara mengi. Vitu kama kokeni, tobako hutumiwa kwa njia mbalimbali. Kama vile kwa sindano, kuvuta na hata hutumiwa kwa vyakula. Vitu kama hivi hutumika na watu kisirisiri ili wasipatikane. Watoto wa mitaa hupenda kutumia mihadarati ya kunusa. Vitu hivi ni gundi na mafuta taa au mafuta ya petroli.
Mihadarati huleta uraibu. Hii humfanya mtu aonekane ovyo. Mihadarati huwa na madhara na jinsi mtu ataziacha hizi, kwanza ni lazima mtu atilie maanani ya pakiti hizo.
Madhara haya ni mingi. Humfanya mtu alewe chakari. Dereva, nahodha kandawala na wengineo ambao hutumia mihadarati hulewa na wanaweza kuwa kwa hatari na hupata ajali. Nahodha hupoteza njia yake na hujisahau au husahau njia zake. Mtu kama Kandawala anaweza kuzimia zi na kulala fofofo! Aidha, mihadarati hudhuru watu ambao hutumia dawa hizi. Dawa kama sigareti huharibu mazingira. Upitapo karibu na mtu ambaye anavuta utadhani gari la moshi limepita hapo karibu.
Isitoshe, madawa ya kulevya hutumika na vijana mitaani. Mazingira ya huko ni tu mabiwi ya takataka kila mahali. Endapo mtu akawa na malaria, kipindupindu na madhara mengine.
Pamoja na hayo, kuna jinsi ya kujiepusha na mihadarati haya. Mojawapo ni kama vile kukaa mbali na watu ambao wanatumia dawa hizi. Ni heri mtu akae mita mbili na nusu na pia kunyamaza na pia usiongee na watu kama hawa.
Tujaribu kukaa mbali na watu kama hao. Vile vile, tusiwe na marafiki wenye hutumia mihadarati. Ni heri ukae mbali nao kwa sababu wanaweza kufunza jinsi ya kutumia mitadarati. Pia hufanya wanandoa kukataliana. Wanawake wajawazito huathiri watoto tumboni. Watoto hawa huwa na magonjwa mbalimbali. Aidha, mihadarati huleta saratani ya mdomo, kipua na ni ambayo husababisha shida ya kupumua. Huzotesha maendeleo kwa taifa kwa vile fedha nyingi hutumika kununua vileo mbali mbali. | Mihadarati huleta nini | {
"text": [
"Uraibu"
]
} |
4724_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Kwanza, madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Haya ni dawa ambazo hutumiwa na wazee kwa vijana. Mihadarati haya ni kama vile; kokeini, pombe, tobako, mandraksi, marijuana, bashihi.
Dawa kama hizi husababisha madhara mengi. Vitu kama kokeni, tobako hutumiwa kwa njia mbalimbali. Kama vile kwa sindano, kuvuta na hata hutumiwa kwa vyakula. Vitu kama hivi hutumika na watu kisirisiri ili wasipatikane. Watoto wa mitaa hupenda kutumia mihadarati ya kunusa. Vitu hivi ni gundi na mafuta taa au mafuta ya petroli.
Mihadarati huleta uraibu. Hii humfanya mtu aonekane ovyo. Mihadarati huwa na madhara na jinsi mtu ataziacha hizi, kwanza ni lazima mtu atilie maanani ya pakiti hizo.
Madhara haya ni mingi. Humfanya mtu alewe chakari. Dereva, nahodha kandawala na wengineo ambao hutumia mihadarati hulewa na wanaweza kuwa kwa hatari na hupata ajali. Nahodha hupoteza njia yake na hujisahau au husahau njia zake. Mtu kama Kandawala anaweza kuzimia zi na kulala fofofo! Aidha, mihadarati hudhuru watu ambao hutumia dawa hizi. Dawa kama sigareti huharibu mazingira. Upitapo karibu na mtu ambaye anavuta utadhani gari la moshi limepita hapo karibu.
Isitoshe, madawa ya kulevya hutumika na vijana mitaani. Mazingira ya huko ni tu mabiwi ya takataka kila mahali. Endapo mtu akawa na malaria, kipindupindu na madhara mengine.
Pamoja na hayo, kuna jinsi ya kujiepusha na mihadarati haya. Mojawapo ni kama vile kukaa mbali na watu ambao wanatumia dawa hizi. Ni heri mtu akae mita mbili na nusu na pia kunyamaza na pia usiongee na watu kama hawa.
Tujaribu kukaa mbali na watu kama hao. Vile vile, tusiwe na marafiki wenye hutumia mihadarati. Ni heri ukae mbali nao kwa sababu wanaweza kufunza jinsi ya kutumia mitadarati. Pia hufanya wanandoa kukataliana. Wanawake wajawazito huathiri watoto tumboni. Watoto hawa huwa na magonjwa mbalimbali. Aidha, mihadarati huleta saratani ya mdomo, kipua na ni ambayo husababisha shida ya kupumua. Huzotesha maendeleo kwa taifa kwa vile fedha nyingi hutumika kununua vileo mbali mbali. | Ni waendeshaji vyombo wapi wako katika hali hatari ya kupata ajali wakitumia mihadarati | {
"text": [
"Dereva, nahodha na kandawala"
]
} |
4724_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Kwanza, madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Haya ni dawa ambazo hutumiwa na wazee kwa vijana. Mihadarati haya ni kama vile; kokeini, pombe, tobako, mandraksi, marijuana, bashihi.
Dawa kama hizi husababisha madhara mengi. Vitu kama kokeni, tobako hutumiwa kwa njia mbalimbali. Kama vile kwa sindano, kuvuta na hata hutumiwa kwa vyakula. Vitu kama hivi hutumika na watu kisirisiri ili wasipatikane. Watoto wa mitaa hupenda kutumia mihadarati ya kunusa. Vitu hivi ni gundi na mafuta taa au mafuta ya petroli.
Mihadarati huleta uraibu. Hii humfanya mtu aonekane ovyo. Mihadarati huwa na madhara na jinsi mtu ataziacha hizi, kwanza ni lazima mtu atilie maanani ya pakiti hizo.
Madhara haya ni mingi. Humfanya mtu alewe chakari. Dereva, nahodha kandawala na wengineo ambao hutumia mihadarati hulewa na wanaweza kuwa kwa hatari na hupata ajali. Nahodha hupoteza njia yake na hujisahau au husahau njia zake. Mtu kama Kandawala anaweza kuzimia zi na kulala fofofo! Aidha, mihadarati hudhuru watu ambao hutumia dawa hizi. Dawa kama sigareti huharibu mazingira. Upitapo karibu na mtu ambaye anavuta utadhani gari la moshi limepita hapo karibu.
Isitoshe, madawa ya kulevya hutumika na vijana mitaani. Mazingira ya huko ni tu mabiwi ya takataka kila mahali. Endapo mtu akawa na malaria, kipindupindu na madhara mengine.
Pamoja na hayo, kuna jinsi ya kujiepusha na mihadarati haya. Mojawapo ni kama vile kukaa mbali na watu ambao wanatumia dawa hizi. Ni heri mtu akae mita mbili na nusu na pia kunyamaza na pia usiongee na watu kama hawa.
Tujaribu kukaa mbali na watu kama hao. Vile vile, tusiwe na marafiki wenye hutumia mihadarati. Ni heri ukae mbali nao kwa sababu wanaweza kufunza jinsi ya kutumia mitadarati. Pia hufanya wanandoa kukataliana. Wanawake wajawazito huathiri watoto tumboni. Watoto hawa huwa na magonjwa mbalimbali. Aidha, mihadarati huleta saratani ya mdomo, kipua na ni ambayo husababisha shida ya kupumua. Huzotesha maendeleo kwa taifa kwa vile fedha nyingi hutumika kununua vileo mbali mbali. | Malaria na kipindupindu husababisha na nini | {
"text": [
"Mazingira yenye mabiwi ya takataka"
]
} |
4724_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Kwanza, madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Haya ni dawa ambazo hutumiwa na wazee kwa vijana. Mihadarati haya ni kama vile; kokeini, pombe, tobako, mandraksi, marijuana, bashihi.
Dawa kama hizi husababisha madhara mengi. Vitu kama kokeni, tobako hutumiwa kwa njia mbalimbali. Kama vile kwa sindano, kuvuta na hata hutumiwa kwa vyakula. Vitu kama hivi hutumika na watu kisirisiri ili wasipatikane. Watoto wa mitaa hupenda kutumia mihadarati ya kunusa. Vitu hivi ni gundi na mafuta taa au mafuta ya petroli.
Mihadarati huleta uraibu. Hii humfanya mtu aonekane ovyo. Mihadarati huwa na madhara na jinsi mtu ataziacha hizi, kwanza ni lazima mtu atilie maanani ya pakiti hizo.
Madhara haya ni mingi. Humfanya mtu alewe chakari. Dereva, nahodha kandawala na wengineo ambao hutumia mihadarati hulewa na wanaweza kuwa kwa hatari na hupata ajali. Nahodha hupoteza njia yake na hujisahau au husahau njia zake. Mtu kama Kandawala anaweza kuzimia zi na kulala fofofo! Aidha, mihadarati hudhuru watu ambao hutumia dawa hizi. Dawa kama sigareti huharibu mazingira. Upitapo karibu na mtu ambaye anavuta utadhani gari la moshi limepita hapo karibu.
Isitoshe, madawa ya kulevya hutumika na vijana mitaani. Mazingira ya huko ni tu mabiwi ya takataka kila mahali. Endapo mtu akawa na malaria, kipindupindu na madhara mengine.
Pamoja na hayo, kuna jinsi ya kujiepusha na mihadarati haya. Mojawapo ni kama vile kukaa mbali na watu ambao wanatumia dawa hizi. Ni heri mtu akae mita mbili na nusu na pia kunyamaza na pia usiongee na watu kama hawa.
Tujaribu kukaa mbali na watu kama hao. Vile vile, tusiwe na marafiki wenye hutumia mihadarati. Ni heri ukae mbali nao kwa sababu wanaweza kufunza jinsi ya kutumia mitadarati. Pia hufanya wanandoa kukataliana. Wanawake wajawazito huathiri watoto tumboni. Watoto hawa huwa na magonjwa mbalimbali. Aidha, mihadarati huleta saratani ya mdomo, kipua na ni ambayo husababisha shida ya kupumua. Huzotesha maendeleo kwa taifa kwa vile fedha nyingi hutumika kununua vileo mbali mbali. | Mihadarati husababisha saratani ya nini | {
"text": [
"Mdomo, kifua na ini"
]
} |
4726_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEWA
Madawa ya kulevya huwafanya watu kukosa heshima na hekima. Wao hukosa kuwaheshimu wazazi. Wavulana hufika kiwango hadi wanaweza kutupiana matusi au kupigana na wazazi au watu wa umri kukushinda. Fika mitaani utawapata wavulana hao wamelala ndani ya mitaro na huku wakizungumza wenyewe kwa wenyewe. Kila uchao utawapata wanajiuliza maswali mengi ambayo hamna mtu wa kuyajibu na mwishowe huyajibu mwenyewe. Wao huzungumza maneno machafu na wasemavyo wahenga kuwa ulimi ni sumu. Watu hunena kuwa kinachotoka mdomoni huwa hakirudi. Wavulana hawa huanza kujituma kwa vita wenyewe kwa wenyewe ukiwaona tu utapigwa na butwaa.
Kinachonipa wasiwasi kama mwasi ni kuwa vijana hawa hufa kwa haraka. Wao huchungulia kaburi mapema huku wangali bado wadogo. Na hii ni wazi kama jua la mtikali kuwa bila kuacha mihadarati tutawapoteza vijana wengi kwa jamii. Vile vile wao hutumia sindano ili kujidunga dawa hizi. Sindano hizi huwaletea magonjwa mengi ambayo hufanya vijana hawa kufariki mapema. Magonjwa haya moja yapo ni ukimwi na mengineo kama kifafa.
Husababisha uvunjaji wa ndoa. Familia hizi huvunjika kwa kuwa mtu ambaye anatumia madawa huwasahau watu wake. Yeye hurudi nyumbani muda usiofaa na hata kuanza vita na wapenzi wao. Hao hupandisha mori haraka. Haya madawa hufanya watu kuuwana.
Maadamu pia huwafanya vijana hawa kujiunga kwa vitendo visivyofaa. Vitendo hivi ni kama vile unajisi, uporaji, wizi na kadhalika. Hao pia huwaudhi wakuu wao kazini hadi wakuu kuwafuta kazini. Hukosa hadhi katika jamii kwa sababu hawana muda wa kujiunga na wenzao katika jamii, katika shughuli za kimaendeleo kwa jamii kwa wanawake. Wakitumia madawa haya wao huzaa watoto wasio sawa kiakili. Wao huzaliwa na akili ambazo si timamu, wao huwa chini ya kilo ambazo mtoto anafaa kuwa nazo. Wakati mwingine watoto huzaliwa wakiwa wamefariki kwa hivyo wanawake wasitumie dawa hizi, pia wavulana wasizitumie. Haya madawa huwafanya watu kupoteza ufahamu au huwafanya wazazi kuwaacha watoto
wao kuwa watu wanaotembea mitaani huku hawana makao. Huvunja pesa na kusema wao wenyewe ni pesa. Wao hujisahau na kufikiria kununua madawa.
Wao hugeuka na kuwa hayawani. Hizi ndizo aina za dawa za kulevya sigara, bang,i kokeini na kadhalika. Nao hupoteza hisia kuwa wanao watu ambao wanategemea kikao hujivinjari
hadi kuwasahau watu wao wa familia.
Imizo kuu ni kwa wanawake ambao wanawaua watoto. Tunahimizwa kuwa sisi sote tusivute sigara. Tusitumie dawa zozote. Tuwe watu wa kufuata maagizo tunayopewa. Tusitumie madawa ya kulevya. Tufuate maagizo na kila mtu atakuwa vizuri huku akiwa na akili timamu. Tufuate maagizo na tutasaidika maishani. | Ni yepi wavulana wanayofanya baada ya kutumia dawa za kulevya kupita kiwango? | {
"text": [
"Kutupiana matusi au kupigan na wazazi"
]
} |
4726_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEWA
Madawa ya kulevya huwafanya watu kukosa heshima na hekima. Wao hukosa kuwaheshimu wazazi. Wavulana hufika kiwango hadi wanaweza kutupiana matusi au kupigana na wazazi au watu wa umri kukushinda. Fika mitaani utawapata wavulana hao wamelala ndani ya mitaro na huku wakizungumza wenyewe kwa wenyewe. Kila uchao utawapata wanajiuliza maswali mengi ambayo hamna mtu wa kuyajibu na mwishowe huyajibu mwenyewe. Wao huzungumza maneno machafu na wasemavyo wahenga kuwa ulimi ni sumu. Watu hunena kuwa kinachotoka mdomoni huwa hakirudi. Wavulana hawa huanza kujituma kwa vita wenyewe kwa wenyewe ukiwaona tu utapigwa na butwaa.
Kinachonipa wasiwasi kama mwasi ni kuwa vijana hawa hufa kwa haraka. Wao huchungulia kaburi mapema huku wangali bado wadogo. Na hii ni wazi kama jua la mtikali kuwa bila kuacha mihadarati tutawapoteza vijana wengi kwa jamii. Vile vile wao hutumia sindano ili kujidunga dawa hizi. Sindano hizi huwaletea magonjwa mengi ambayo hufanya vijana hawa kufariki mapema. Magonjwa haya moja yapo ni ukimwi na mengineo kama kifafa.
Husababisha uvunjaji wa ndoa. Familia hizi huvunjika kwa kuwa mtu ambaye anatumia madawa huwasahau watu wake. Yeye hurudi nyumbani muda usiofaa na hata kuanza vita na wapenzi wao. Hao hupandisha mori haraka. Haya madawa hufanya watu kuuwana.
Maadamu pia huwafanya vijana hawa kujiunga kwa vitendo visivyofaa. Vitendo hivi ni kama vile unajisi, uporaji, wizi na kadhalika. Hao pia huwaudhi wakuu wao kazini hadi wakuu kuwafuta kazini. Hukosa hadhi katika jamii kwa sababu hawana muda wa kujiunga na wenzao katika jamii, katika shughuli za kimaendeleo kwa jamii kwa wanawake. Wakitumia madawa haya wao huzaa watoto wasio sawa kiakili. Wao huzaliwa na akili ambazo si timamu, wao huwa chini ya kilo ambazo mtoto anafaa kuwa nazo. Wakati mwingine watoto huzaliwa wakiwa wamefariki kwa hivyo wanawake wasitumie dawa hizi, pia wavulana wasizitumie. Haya madawa huwafanya watu kupoteza ufahamu au huwafanya wazazi kuwaacha watoto
wao kuwa watu wanaotembea mitaani huku hawana makao. Huvunja pesa na kusema wao wenyewe ni pesa. Wao hujisahau na kufikiria kununua madawa.
Wao hugeuka na kuwa hayawani. Hizi ndizo aina za dawa za kulevya sigara, bang,i kokeini na kadhalika. Nao hupoteza hisia kuwa wanao watu ambao wanategemea kikao hujivinjari
hadi kuwasahau watu wao wa familia.
Imizo kuu ni kwa wanawake ambao wanawaua watoto. Tunahimizwa kuwa sisi sote tusivute sigara. Tusitumie dawa zozote. Tuwe watu wa kufuata maagizo tunayopewa. Tusitumie madawa ya kulevya. Tufuate maagizo na kila mtu atakuwa vizuri huku akiwa na akili timamu. Tufuate maagizo na tutasaidika maishani. | Wanaotumia madawa ya kulevya hupakana wapi mtaani? | {
"text": [
"Utawapata wamelala ndani ya mitaro"
]
} |
4726_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEWA
Madawa ya kulevya huwafanya watu kukosa heshima na hekima. Wao hukosa kuwaheshimu wazazi. Wavulana hufika kiwango hadi wanaweza kutupiana matusi au kupigana na wazazi au watu wa umri kukushinda. Fika mitaani utawapata wavulana hao wamelala ndani ya mitaro na huku wakizungumza wenyewe kwa wenyewe. Kila uchao utawapata wanajiuliza maswali mengi ambayo hamna mtu wa kuyajibu na mwishowe huyajibu mwenyewe. Wao huzungumza maneno machafu na wasemavyo wahenga kuwa ulimi ni sumu. Watu hunena kuwa kinachotoka mdomoni huwa hakirudi. Wavulana hawa huanza kujituma kwa vita wenyewe kwa wenyewe ukiwaona tu utapigwa na butwaa.
Kinachonipa wasiwasi kama mwasi ni kuwa vijana hawa hufa kwa haraka. Wao huchungulia kaburi mapema huku wangali bado wadogo. Na hii ni wazi kama jua la mtikali kuwa bila kuacha mihadarati tutawapoteza vijana wengi kwa jamii. Vile vile wao hutumia sindano ili kujidunga dawa hizi. Sindano hizi huwaletea magonjwa mengi ambayo hufanya vijana hawa kufariki mapema. Magonjwa haya moja yapo ni ukimwi na mengineo kama kifafa.
Husababisha uvunjaji wa ndoa. Familia hizi huvunjika kwa kuwa mtu ambaye anatumia madawa huwasahau watu wake. Yeye hurudi nyumbani muda usiofaa na hata kuanza vita na wapenzi wao. Hao hupandisha mori haraka. Haya madawa hufanya watu kuuwana.
Maadamu pia huwafanya vijana hawa kujiunga kwa vitendo visivyofaa. Vitendo hivi ni kama vile unajisi, uporaji, wizi na kadhalika. Hao pia huwaudhi wakuu wao kazini hadi wakuu kuwafuta kazini. Hukosa hadhi katika jamii kwa sababu hawana muda wa kujiunga na wenzao katika jamii, katika shughuli za kimaendeleo kwa jamii kwa wanawake. Wakitumia madawa haya wao huzaa watoto wasio sawa kiakili. Wao huzaliwa na akili ambazo si timamu, wao huwa chini ya kilo ambazo mtoto anafaa kuwa nazo. Wakati mwingine watoto huzaliwa wakiwa wamefariki kwa hivyo wanawake wasitumie dawa hizi, pia wavulana wasizitumie. Haya madawa huwafanya watu kupoteza ufahamu au huwafanya wazazi kuwaacha watoto
wao kuwa watu wanaotembea mitaani huku hawana makao. Huvunja pesa na kusema wao wenyewe ni pesa. Wao hujisahau na kufikiria kununua madawa.
Wao hugeuka na kuwa hayawani. Hizi ndizo aina za dawa za kulevya sigara, bang,i kokeini na kadhalika. Nao hupoteza hisia kuwa wanao watu ambao wanategemea kikao hujivinjari
hadi kuwasahau watu wao wa familia.
Imizo kuu ni kwa wanawake ambao wanawaua watoto. Tunahimizwa kuwa sisi sote tusivute sigara. Tusitumie dawa zozote. Tuwe watu wa kufuata maagizo tunayopewa. Tusitumie madawa ya kulevya. Tufuate maagizo na kila mtu atakuwa vizuri huku akiwa na akili timamu. Tufuate maagizo na tutasaidika maishani. | madhara makuu ya madawa ya kulevya kwa vijana ni yepi? | {
"text": [
"Vijana huaga wakiwa na umri mdogo"
]
} |
4726_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEWA
Madawa ya kulevya huwafanya watu kukosa heshima na hekima. Wao hukosa kuwaheshimu wazazi. Wavulana hufika kiwango hadi wanaweza kutupiana matusi au kupigana na wazazi au watu wa umri kukushinda. Fika mitaani utawapata wavulana hao wamelala ndani ya mitaro na huku wakizungumza wenyewe kwa wenyewe. Kila uchao utawapata wanajiuliza maswali mengi ambayo hamna mtu wa kuyajibu na mwishowe huyajibu mwenyewe. Wao huzungumza maneno machafu na wasemavyo wahenga kuwa ulimi ni sumu. Watu hunena kuwa kinachotoka mdomoni huwa hakirudi. Wavulana hawa huanza kujituma kwa vita wenyewe kwa wenyewe ukiwaona tu utapigwa na butwaa.
Kinachonipa wasiwasi kama mwasi ni kuwa vijana hawa hufa kwa haraka. Wao huchungulia kaburi mapema huku wangali bado wadogo. Na hii ni wazi kama jua la mtikali kuwa bila kuacha mihadarati tutawapoteza vijana wengi kwa jamii. Vile vile wao hutumia sindano ili kujidunga dawa hizi. Sindano hizi huwaletea magonjwa mengi ambayo hufanya vijana hawa kufariki mapema. Magonjwa haya moja yapo ni ukimwi na mengineo kama kifafa.
Husababisha uvunjaji wa ndoa. Familia hizi huvunjika kwa kuwa mtu ambaye anatumia madawa huwasahau watu wake. Yeye hurudi nyumbani muda usiofaa na hata kuanza vita na wapenzi wao. Hao hupandisha mori haraka. Haya madawa hufanya watu kuuwana.
Maadamu pia huwafanya vijana hawa kujiunga kwa vitendo visivyofaa. Vitendo hivi ni kama vile unajisi, uporaji, wizi na kadhalika. Hao pia huwaudhi wakuu wao kazini hadi wakuu kuwafuta kazini. Hukosa hadhi katika jamii kwa sababu hawana muda wa kujiunga na wenzao katika jamii, katika shughuli za kimaendeleo kwa jamii kwa wanawake. Wakitumia madawa haya wao huzaa watoto wasio sawa kiakili. Wao huzaliwa na akili ambazo si timamu, wao huwa chini ya kilo ambazo mtoto anafaa kuwa nazo. Wakati mwingine watoto huzaliwa wakiwa wamefariki kwa hivyo wanawake wasitumie dawa hizi, pia wavulana wasizitumie. Haya madawa huwafanya watu kupoteza ufahamu au huwafanya wazazi kuwaacha watoto
wao kuwa watu wanaotembea mitaani huku hawana makao. Huvunja pesa na kusema wao wenyewe ni pesa. Wao hujisahau na kufikiria kununua madawa.
Wao hugeuka na kuwa hayawani. Hizi ndizo aina za dawa za kulevya sigara, bang,i kokeini na kadhalika. Nao hupoteza hisia kuwa wanao watu ambao wanategemea kikao hujivinjari
hadi kuwasahau watu wao wa familia.
Imizo kuu ni kwa wanawake ambao wanawaua watoto. Tunahimizwa kuwa sisi sote tusivute sigara. Tusitumie dawa zozote. Tuwe watu wa kufuata maagizo tunayopewa. Tusitumie madawa ya kulevya. Tufuate maagizo na kila mtu atakuwa vizuri huku akiwa na akili timamu. Tufuate maagizo na tutasaidika maishani. | Taja magonjwa yanayoambukizana vijana kwa kutumia sindani pamoja? | {
"text": [
"Ukimwi"
]
} |
4726_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEWA
Madawa ya kulevya huwafanya watu kukosa heshima na hekima. Wao hukosa kuwaheshimu wazazi. Wavulana hufika kiwango hadi wanaweza kutupiana matusi au kupigana na wazazi au watu wa umri kukushinda. Fika mitaani utawapata wavulana hao wamelala ndani ya mitaro na huku wakizungumza wenyewe kwa wenyewe. Kila uchao utawapata wanajiuliza maswali mengi ambayo hamna mtu wa kuyajibu na mwishowe huyajibu mwenyewe. Wao huzungumza maneno machafu na wasemavyo wahenga kuwa ulimi ni sumu. Watu hunena kuwa kinachotoka mdomoni huwa hakirudi. Wavulana hawa huanza kujituma kwa vita wenyewe kwa wenyewe ukiwaona tu utapigwa na butwaa.
Kinachonipa wasiwasi kama mwasi ni kuwa vijana hawa hufa kwa haraka. Wao huchungulia kaburi mapema huku wangali bado wadogo. Na hii ni wazi kama jua la mtikali kuwa bila kuacha mihadarati tutawapoteza vijana wengi kwa jamii. Vile vile wao hutumia sindano ili kujidunga dawa hizi. Sindano hizi huwaletea magonjwa mengi ambayo hufanya vijana hawa kufariki mapema. Magonjwa haya moja yapo ni ukimwi na mengineo kama kifafa.
Husababisha uvunjaji wa ndoa. Familia hizi huvunjika kwa kuwa mtu ambaye anatumia madawa huwasahau watu wake. Yeye hurudi nyumbani muda usiofaa na hata kuanza vita na wapenzi wao. Hao hupandisha mori haraka. Haya madawa hufanya watu kuuwana.
Maadamu pia huwafanya vijana hawa kujiunga kwa vitendo visivyofaa. Vitendo hivi ni kama vile unajisi, uporaji, wizi na kadhalika. Hao pia huwaudhi wakuu wao kazini hadi wakuu kuwafuta kazini. Hukosa hadhi katika jamii kwa sababu hawana muda wa kujiunga na wenzao katika jamii, katika shughuli za kimaendeleo kwa jamii kwa wanawake. Wakitumia madawa haya wao huzaa watoto wasio sawa kiakili. Wao huzaliwa na akili ambazo si timamu, wao huwa chini ya kilo ambazo mtoto anafaa kuwa nazo. Wakati mwingine watoto huzaliwa wakiwa wamefariki kwa hivyo wanawake wasitumie dawa hizi, pia wavulana wasizitumie. Haya madawa huwafanya watu kupoteza ufahamu au huwafanya wazazi kuwaacha watoto
wao kuwa watu wanaotembea mitaani huku hawana makao. Huvunja pesa na kusema wao wenyewe ni pesa. Wao hujisahau na kufikiria kununua madawa.
Wao hugeuka na kuwa hayawani. Hizi ndizo aina za dawa za kulevya sigara, bang,i kokeini na kadhalika. Nao hupoteza hisia kuwa wanao watu ambao wanategemea kikao hujivinjari
hadi kuwasahau watu wao wa familia.
Imizo kuu ni kwa wanawake ambao wanawaua watoto. Tunahimizwa kuwa sisi sote tusivute sigara. Tusitumie dawa zozote. Tuwe watu wa kufuata maagizo tunayopewa. Tusitumie madawa ya kulevya. Tufuate maagizo na kila mtu atakuwa vizuri huku akiwa na akili timamu. Tufuate maagizo na tutasaidika maishani. | Madawa yanamadhara gani katika familia? | {
"text": [
"Husababisha uvunjaji wa ndoa"
]
} |
4727_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni dawa ambao ukitumiwa kwa mwili hudhuru afya ya mtu. Kuna dawa mingi za kulevya kwa mfano: pombe, sigara, miraa, bangi, heroini na vinginevyo.
Madawa ya kulevya ina madhara mengi katika maisha ya mtu na taifa. Dawa hizi hudhuru afya ya mtu kama vile uvutaji wa sigara ambao huleta magonjwa ya saratani ya mapafu, udomo na ulimi. Hii huleta kutoendeleaji wa taifa letu hii ya Kenya. Dawa hizi husababisha magonjwa mengi hasa Ukimwi. Mtu hawezi kujielewa na kufanya mambo mabaya kama kujihusisha na tabia ya ngono ambayo unaweza kusababisha ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa. Utumiaji wa madawa ya kulevya yameleta madhara mengi katika taifa letu. Imefanya taifa letu iwe na ufisadi. Walinzi wetu wamejaribu kuangamiza utumiaji hii wa madawa ya kulevya lakini wameambulia patupu. Hata wavutaji wa sigara wanaponunua sigara paketi hiyo imeandikwa kwamba uvutaji wa sigara hudhuru afya lakini hawaskii.
Aidha hii umeleta vita katika familia. Baba na mama hutengana kwa sababu ya mmoja yao hutumia dawa hizi. Hii unafanya watoto wasiwe na amani na wasipate malezi mema na hata wao wanaweza anza kutumia mihadarati.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi zimeleta ajali mengi katika barabara. Hii husababisha maafa
katika uchumi yetu. Dereva hawa huendesha gari wakiwa wamelewa na wakipatwa na maafisa wanatoa hongo na kuendelea na safari yao.
Utumiaji wa dawa hizi zimefanya wajawazito waathiri maisha ya watoto tumboni. Wamama hawa wakijifungua watoto wao huwa walemavu na wamepungukiwa na akili.
Utumiaji wa dawa hizi zimesambaa hadi shuleni. Watoto kabla ya kwenda shuleni kusoma huenda tu nyuma ya choo na kutumia dawa hizi. Hii hufanya wanafunzi kuanguka mtihani na mwishowe wanatoka shule na kuenda kurandaranda mitaani.
Watu ambao hutumia dawa hizi hawana heshima wakiwa na watu. Huwa wanaongea maneno machafu ambayo unaeza fanya umati wa wawashambulie kwa tabia zao. Watu hawa baadaye hugeuka kuwa hayawani.
Mara anapopata hela huenda na kutumia pesa hizo kununua mihadarati badala ya kutumia pesa hizo kwa mahitaji zao.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi mara kwa mara hufanya mtu kurukwa na akili na kuwa wazimu. Wakiwa wazimu wanaweza kuwa hatari kwa watu wengine.
Madawa haya hufanya uendeleaji wa taifa usifanyike. Hata hivyo tunafaa kuwacha kutumia mihadarati na kuboresha afya zao. | Dawa za kulevya hudhuru nini | {
"text": [
"afya ya mtu"
]
} |
4727_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni dawa ambao ukitumiwa kwa mwili hudhuru afya ya mtu. Kuna dawa mingi za kulevya kwa mfano: pombe, sigara, miraa, bangi, heroini na vinginevyo.
Madawa ya kulevya ina madhara mengi katika maisha ya mtu na taifa. Dawa hizi hudhuru afya ya mtu kama vile uvutaji wa sigara ambao huleta magonjwa ya saratani ya mapafu, udomo na ulimi. Hii huleta kutoendeleaji wa taifa letu hii ya Kenya. Dawa hizi husababisha magonjwa mengi hasa Ukimwi. Mtu hawezi kujielewa na kufanya mambo mabaya kama kujihusisha na tabia ya ngono ambayo unaweza kusababisha ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa. Utumiaji wa madawa ya kulevya yameleta madhara mengi katika taifa letu. Imefanya taifa letu iwe na ufisadi. Walinzi wetu wamejaribu kuangamiza utumiaji hii wa madawa ya kulevya lakini wameambulia patupu. Hata wavutaji wa sigara wanaponunua sigara paketi hiyo imeandikwa kwamba uvutaji wa sigara hudhuru afya lakini hawaskii.
Aidha hii umeleta vita katika familia. Baba na mama hutengana kwa sababu ya mmoja yao hutumia dawa hizi. Hii unafanya watoto wasiwe na amani na wasipate malezi mema na hata wao wanaweza anza kutumia mihadarati.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi zimeleta ajali mengi katika barabara. Hii husababisha maafa
katika uchumi yetu. Dereva hawa huendesha gari wakiwa wamelewa na wakipatwa na maafisa wanatoa hongo na kuendelea na safari yao.
Utumiaji wa dawa hizi zimefanya wajawazito waathiri maisha ya watoto tumboni. Wamama hawa wakijifungua watoto wao huwa walemavu na wamepungukiwa na akili.
Utumiaji wa dawa hizi zimesambaa hadi shuleni. Watoto kabla ya kwenda shuleni kusoma huenda tu nyuma ya choo na kutumia dawa hizi. Hii hufanya wanafunzi kuanguka mtihani na mwishowe wanatoka shule na kuenda kurandaranda mitaani.
Watu ambao hutumia dawa hizi hawana heshima wakiwa na watu. Huwa wanaongea maneno machafu ambayo unaeza fanya umati wa wawashambulie kwa tabia zao. Watu hawa baadaye hugeuka kuwa hayawani.
Mara anapopata hela huenda na kutumia pesa hizo kununua mihadarati badala ya kutumia pesa hizo kwa mahitaji zao.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi mara kwa mara hufanya mtu kurukwa na akili na kuwa wazimu. Wakiwa wazimu wanaweza kuwa hatari kwa watu wengine.
Madawa haya hufanya uendeleaji wa taifa usifanyike. Hata hivyo tunafaa kuwacha kutumia mihadarati na kuboresha afya zao. | Dawa za kulevya zimefanya taifa letu liwe na nini | {
"text": [
"ufisadi"
]
} |
4727_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni dawa ambao ukitumiwa kwa mwili hudhuru afya ya mtu. Kuna dawa mingi za kulevya kwa mfano: pombe, sigara, miraa, bangi, heroini na vinginevyo.
Madawa ya kulevya ina madhara mengi katika maisha ya mtu na taifa. Dawa hizi hudhuru afya ya mtu kama vile uvutaji wa sigara ambao huleta magonjwa ya saratani ya mapafu, udomo na ulimi. Hii huleta kutoendeleaji wa taifa letu hii ya Kenya. Dawa hizi husababisha magonjwa mengi hasa Ukimwi. Mtu hawezi kujielewa na kufanya mambo mabaya kama kujihusisha na tabia ya ngono ambayo unaweza kusababisha ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa. Utumiaji wa madawa ya kulevya yameleta madhara mengi katika taifa letu. Imefanya taifa letu iwe na ufisadi. Walinzi wetu wamejaribu kuangamiza utumiaji hii wa madawa ya kulevya lakini wameambulia patupu. Hata wavutaji wa sigara wanaponunua sigara paketi hiyo imeandikwa kwamba uvutaji wa sigara hudhuru afya lakini hawaskii.
Aidha hii umeleta vita katika familia. Baba na mama hutengana kwa sababu ya mmoja yao hutumia dawa hizi. Hii unafanya watoto wasiwe na amani na wasipate malezi mema na hata wao wanaweza anza kutumia mihadarati.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi zimeleta ajali mengi katika barabara. Hii husababisha maafa
katika uchumi yetu. Dereva hawa huendesha gari wakiwa wamelewa na wakipatwa na maafisa wanatoa hongo na kuendelea na safari yao.
Utumiaji wa dawa hizi zimefanya wajawazito waathiri maisha ya watoto tumboni. Wamama hawa wakijifungua watoto wao huwa walemavu na wamepungukiwa na akili.
Utumiaji wa dawa hizi zimesambaa hadi shuleni. Watoto kabla ya kwenda shuleni kusoma huenda tu nyuma ya choo na kutumia dawa hizi. Hii hufanya wanafunzi kuanguka mtihani na mwishowe wanatoka shule na kuenda kurandaranda mitaani.
Watu ambao hutumia dawa hizi hawana heshima wakiwa na watu. Huwa wanaongea maneno machafu ambayo unaeza fanya umati wa wawashambulie kwa tabia zao. Watu hawa baadaye hugeuka kuwa hayawani.
Mara anapopata hela huenda na kutumia pesa hizo kununua mihadarati badala ya kutumia pesa hizo kwa mahitaji zao.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi mara kwa mara hufanya mtu kurukwa na akili na kuwa wazimu. Wakiwa wazimu wanaweza kuwa hatari kwa watu wengine.
Madawa haya hufanya uendeleaji wa taifa usifanyike. Hata hivyo tunafaa kuwacha kutumia mihadarati na kuboresha afya zao. | Vita katika familia hufanya nani wasiwe na amani | {
"text": [
"watoto"
]
} |
4727_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni dawa ambao ukitumiwa kwa mwili hudhuru afya ya mtu. Kuna dawa mingi za kulevya kwa mfano: pombe, sigara, miraa, bangi, heroini na vinginevyo.
Madawa ya kulevya ina madhara mengi katika maisha ya mtu na taifa. Dawa hizi hudhuru afya ya mtu kama vile uvutaji wa sigara ambao huleta magonjwa ya saratani ya mapafu, udomo na ulimi. Hii huleta kutoendeleaji wa taifa letu hii ya Kenya. Dawa hizi husababisha magonjwa mengi hasa Ukimwi. Mtu hawezi kujielewa na kufanya mambo mabaya kama kujihusisha na tabia ya ngono ambayo unaweza kusababisha ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa. Utumiaji wa madawa ya kulevya yameleta madhara mengi katika taifa letu. Imefanya taifa letu iwe na ufisadi. Walinzi wetu wamejaribu kuangamiza utumiaji hii wa madawa ya kulevya lakini wameambulia patupu. Hata wavutaji wa sigara wanaponunua sigara paketi hiyo imeandikwa kwamba uvutaji wa sigara hudhuru afya lakini hawaskii.
Aidha hii umeleta vita katika familia. Baba na mama hutengana kwa sababu ya mmoja yao hutumia dawa hizi. Hii unafanya watoto wasiwe na amani na wasipate malezi mema na hata wao wanaweza anza kutumia mihadarati.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi zimeleta ajali mengi katika barabara. Hii husababisha maafa
katika uchumi yetu. Dereva hawa huendesha gari wakiwa wamelewa na wakipatwa na maafisa wanatoa hongo na kuendelea na safari yao.
Utumiaji wa dawa hizi zimefanya wajawazito waathiri maisha ya watoto tumboni. Wamama hawa wakijifungua watoto wao huwa walemavu na wamepungukiwa na akili.
Utumiaji wa dawa hizi zimesambaa hadi shuleni. Watoto kabla ya kwenda shuleni kusoma huenda tu nyuma ya choo na kutumia dawa hizi. Hii hufanya wanafunzi kuanguka mtihani na mwishowe wanatoka shule na kuenda kurandaranda mitaani.
Watu ambao hutumia dawa hizi hawana heshima wakiwa na watu. Huwa wanaongea maneno machafu ambayo unaeza fanya umati wa wawashambulie kwa tabia zao. Watu hawa baadaye hugeuka kuwa hayawani.
Mara anapopata hela huenda na kutumia pesa hizo kununua mihadarati badala ya kutumia pesa hizo kwa mahitaji zao.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi mara kwa mara hufanya mtu kurukwa na akili na kuwa wazimu. Wakiwa wazimu wanaweza kuwa hatari kwa watu wengine.
Madawa haya hufanya uendeleaji wa taifa usifanyike. Hata hivyo tunafaa kuwacha kutumia mihadarati na kuboresha afya zao. | Madereva walevi wakipatwa na maafisa hutoa nini | {
"text": [
"hongo"
]
} |
4727_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni dawa ambao ukitumiwa kwa mwili hudhuru afya ya mtu. Kuna dawa mingi za kulevya kwa mfano: pombe, sigara, miraa, bangi, heroini na vinginevyo.
Madawa ya kulevya ina madhara mengi katika maisha ya mtu na taifa. Dawa hizi hudhuru afya ya mtu kama vile uvutaji wa sigara ambao huleta magonjwa ya saratani ya mapafu, udomo na ulimi. Hii huleta kutoendeleaji wa taifa letu hii ya Kenya. Dawa hizi husababisha magonjwa mengi hasa Ukimwi. Mtu hawezi kujielewa na kufanya mambo mabaya kama kujihusisha na tabia ya ngono ambayo unaweza kusababisha ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa. Utumiaji wa madawa ya kulevya yameleta madhara mengi katika taifa letu. Imefanya taifa letu iwe na ufisadi. Walinzi wetu wamejaribu kuangamiza utumiaji hii wa madawa ya kulevya lakini wameambulia patupu. Hata wavutaji wa sigara wanaponunua sigara paketi hiyo imeandikwa kwamba uvutaji wa sigara hudhuru afya lakini hawaskii.
Aidha hii umeleta vita katika familia. Baba na mama hutengana kwa sababu ya mmoja yao hutumia dawa hizi. Hii unafanya watoto wasiwe na amani na wasipate malezi mema na hata wao wanaweza anza kutumia mihadarati.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi zimeleta ajali mengi katika barabara. Hii husababisha maafa
katika uchumi yetu. Dereva hawa huendesha gari wakiwa wamelewa na wakipatwa na maafisa wanatoa hongo na kuendelea na safari yao.
Utumiaji wa dawa hizi zimefanya wajawazito waathiri maisha ya watoto tumboni. Wamama hawa wakijifungua watoto wao huwa walemavu na wamepungukiwa na akili.
Utumiaji wa dawa hizi zimesambaa hadi shuleni. Watoto kabla ya kwenda shuleni kusoma huenda tu nyuma ya choo na kutumia dawa hizi. Hii hufanya wanafunzi kuanguka mtihani na mwishowe wanatoka shule na kuenda kurandaranda mitaani.
Watu ambao hutumia dawa hizi hawana heshima wakiwa na watu. Huwa wanaongea maneno machafu ambayo unaeza fanya umati wa wawashambulie kwa tabia zao. Watu hawa baadaye hugeuka kuwa hayawani.
Mara anapopata hela huenda na kutumia pesa hizo kununua mihadarati badala ya kutumia pesa hizo kwa mahitaji zao.
Vilevile utumiaji wa dawa hizi mara kwa mara hufanya mtu kurukwa na akili na kuwa wazimu. Wakiwa wazimu wanaweza kuwa hatari kwa watu wengine.
Madawa haya hufanya uendeleaji wa taifa usifanyike. Hata hivyo tunafaa kuwacha kutumia mihadarati na kuboresha afya zao. | Utumiaji wa dawa na wajawazito huathiri maisha ya nani | {
"text": [
"watoto"
]
} |
4730_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni hatari kwa jamii sana. Wanafuzi shuleni hawasomi kazi yao ni kuvuta sigara. Walimu wamejaribu kuwa kataza lakini hawasikii. Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.
Madawa za kulevya yamewasusia masomo. Wanafunzi wa chuo kikuu ni hatari kwa madawa za kulevya. Wanaenda nyuma ya shule wanavuta sigara. Madawa ya kulevya zimearibu wanafunzi wa shule. Wanafunzi hao wanafeli mtihani wanaopewa na walimu wao.
Watu ambao wanatumia dawa za kulevya hawana adabu vile vile mtu mkubwa mwenye akili timamu anafanya vitu vya watoto, hata watoto hawafanyi vitu kama zile wanafanya barabarani. Adabu hawana hata kidogo lakini mtoto anamshinda.
Utaweza pata mwanaume ama mwanamke familia imevunjika kwa sababu ya madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya imefikisha familia nyingi mahali pabaya. Familia nyingi imevunjika moyo na zimechoka kuvumilia. Wanajiuwa ili waache kuteseka.
Madawa ya kulevya husababisha magonjwa na zingine hazina tiba. Watu wengi wameaga dunia kwa sababu ya magonjwa husababishwa na madawa ya kulevya. Watoto wengi hukuja juu ya dawa za kulevya.
Husahau kwamba kuna watu wanaowategemea kama familia nyingi zimeweza kuaga dunia. Wazazi huwategemea sana watoto wao lakini watoto wao hawasikii. Watu wengi hulewa hadi kurukwa na akili. Akili yao haifanyi vizuri saa zile wamelewa. Huweza kurudi nyumbani awapige familia yake na familia kulia kwa sababu ya kuchapwa kila siku.
Watoto wanaamuwa kuwa waende barabarani kuishi huko. Watoto wanatafuta chakula takatani. Wazazi huamuwa kuwa pesa wanaopata wangeenda kunywa pombe. Watoto huangaika kupata chakula cha kulala pamoja na watoto wao.
Watu hulewa hadi hulala mtaro. Kila siku huta kosa wanafunzi wakijaribu kusaidiwa lakini hawasaidiki. Maisha yao inaharibika hivyo. Walimu shuleni husahau wanafunzi wanaotumia dawa ya kulevya na kuwaacha. Walimu huenda na wanafunzi ambao wanataka kusoma na anawacha wanafunzi ambao hawataki.
Wanafunzi wanaotumia madawa ya kulevya hawapendi kusoma na walimu huwaonea wanafunzi hao huruma. Wanafunzi hao wanaharibu maisha yao kwa kutumia madawa ya kulevya.
Wanafunzi wa shule tunawaomba kuwa mweze kujikinga na madawa ya kulevya. | Jamii imekodolewa na hatari ya nini | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4730_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni hatari kwa jamii sana. Wanafuzi shuleni hawasomi kazi yao ni kuvuta sigara. Walimu wamejaribu kuwa kataza lakini hawasikii. Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.
Madawa za kulevya yamewasusia masomo. Wanafunzi wa chuo kikuu ni hatari kwa madawa za kulevya. Wanaenda nyuma ya shule wanavuta sigara. Madawa ya kulevya zimearibu wanafunzi wa shule. Wanafunzi hao wanafeli mtihani wanaopewa na walimu wao.
Watu ambao wanatumia dawa za kulevya hawana adabu vile vile mtu mkubwa mwenye akili timamu anafanya vitu vya watoto, hata watoto hawafanyi vitu kama zile wanafanya barabarani. Adabu hawana hata kidogo lakini mtoto anamshinda.
Utaweza pata mwanaume ama mwanamke familia imevunjika kwa sababu ya madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya imefikisha familia nyingi mahali pabaya. Familia nyingi imevunjika moyo na zimechoka kuvumilia. Wanajiuwa ili waache kuteseka.
Madawa ya kulevya husababisha magonjwa na zingine hazina tiba. Watu wengi wameaga dunia kwa sababu ya magonjwa husababishwa na madawa ya kulevya. Watoto wengi hukuja juu ya dawa za kulevya.
Husahau kwamba kuna watu wanaowategemea kama familia nyingi zimeweza kuaga dunia. Wazazi huwategemea sana watoto wao lakini watoto wao hawasikii. Watu wengi hulewa hadi kurukwa na akili. Akili yao haifanyi vizuri saa zile wamelewa. Huweza kurudi nyumbani awapige familia yake na familia kulia kwa sababu ya kuchapwa kila siku.
Watoto wanaamuwa kuwa waende barabarani kuishi huko. Watoto wanatafuta chakula takatani. Wazazi huamuwa kuwa pesa wanaopata wangeenda kunywa pombe. Watoto huangaika kupata chakula cha kulala pamoja na watoto wao.
Watu hulewa hadi hulala mtaro. Kila siku huta kosa wanafunzi wakijaribu kusaidiwa lakini hawasaidiki. Maisha yao inaharibika hivyo. Walimu shuleni husahau wanafunzi wanaotumia dawa ya kulevya na kuwaacha. Walimu huenda na wanafunzi ambao wanataka kusoma na anawacha wanafunzi ambao hawataki.
Wanafunzi wanaotumia madawa ya kulevya hawapendi kusoma na walimu huwaonea wanafunzi hao huruma. Wanafunzi hao wanaharibu maisha yao kwa kutumia madawa ya kulevya.
Wanafunzi wa shule tunawaomba kuwa mweze kujikinga na madawa ya kulevya. | Utovu wa adabu huonekana wazi kwa watu ambao hutumia nini | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4730_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni hatari kwa jamii sana. Wanafuzi shuleni hawasomi kazi yao ni kuvuta sigara. Walimu wamejaribu kuwa kataza lakini hawasikii. Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.
Madawa za kulevya yamewasusia masomo. Wanafunzi wa chuo kikuu ni hatari kwa madawa za kulevya. Wanaenda nyuma ya shule wanavuta sigara. Madawa ya kulevya zimearibu wanafunzi wa shule. Wanafunzi hao wanafeli mtihani wanaopewa na walimu wao.
Watu ambao wanatumia dawa za kulevya hawana adabu vile vile mtu mkubwa mwenye akili timamu anafanya vitu vya watoto, hata watoto hawafanyi vitu kama zile wanafanya barabarani. Adabu hawana hata kidogo lakini mtoto anamshinda.
Utaweza pata mwanaume ama mwanamke familia imevunjika kwa sababu ya madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya imefikisha familia nyingi mahali pabaya. Familia nyingi imevunjika moyo na zimechoka kuvumilia. Wanajiuwa ili waache kuteseka.
Madawa ya kulevya husababisha magonjwa na zingine hazina tiba. Watu wengi wameaga dunia kwa sababu ya magonjwa husababishwa na madawa ya kulevya. Watoto wengi hukuja juu ya dawa za kulevya.
Husahau kwamba kuna watu wanaowategemea kama familia nyingi zimeweza kuaga dunia. Wazazi huwategemea sana watoto wao lakini watoto wao hawasikii. Watu wengi hulewa hadi kurukwa na akili. Akili yao haifanyi vizuri saa zile wamelewa. Huweza kurudi nyumbani awapige familia yake na familia kulia kwa sababu ya kuchapwa kila siku.
Watoto wanaamuwa kuwa waende barabarani kuishi huko. Watoto wanatafuta chakula takatani. Wazazi huamuwa kuwa pesa wanaopata wangeenda kunywa pombe. Watoto huangaika kupata chakula cha kulala pamoja na watoto wao.
Watu hulewa hadi hulala mtaro. Kila siku huta kosa wanafunzi wakijaribu kusaidiwa lakini hawasaidiki. Maisha yao inaharibika hivyo. Walimu shuleni husahau wanafunzi wanaotumia dawa ya kulevya na kuwaacha. Walimu huenda na wanafunzi ambao wanataka kusoma na anawacha wanafunzi ambao hawataki.
Wanafunzi wanaotumia madawa ya kulevya hawapendi kusoma na walimu huwaonea wanafunzi hao huruma. Wanafunzi hao wanaharibu maisha yao kwa kutumia madawa ya kulevya.
Wanafunzi wa shule tunawaomba kuwa mweze kujikinga na madawa ya kulevya. | Kipi huchangia kuvunjika kwa familia nyingi | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4730_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni hatari kwa jamii sana. Wanafuzi shuleni hawasomi kazi yao ni kuvuta sigara. Walimu wamejaribu kuwa kataza lakini hawasikii. Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.
Madawa za kulevya yamewasusia masomo. Wanafunzi wa chuo kikuu ni hatari kwa madawa za kulevya. Wanaenda nyuma ya shule wanavuta sigara. Madawa ya kulevya zimearibu wanafunzi wa shule. Wanafunzi hao wanafeli mtihani wanaopewa na walimu wao.
Watu ambao wanatumia dawa za kulevya hawana adabu vile vile mtu mkubwa mwenye akili timamu anafanya vitu vya watoto, hata watoto hawafanyi vitu kama zile wanafanya barabarani. Adabu hawana hata kidogo lakini mtoto anamshinda.
Utaweza pata mwanaume ama mwanamke familia imevunjika kwa sababu ya madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya imefikisha familia nyingi mahali pabaya. Familia nyingi imevunjika moyo na zimechoka kuvumilia. Wanajiuwa ili waache kuteseka.
Madawa ya kulevya husababisha magonjwa na zingine hazina tiba. Watu wengi wameaga dunia kwa sababu ya magonjwa husababishwa na madawa ya kulevya. Watoto wengi hukuja juu ya dawa za kulevya.
Husahau kwamba kuna watu wanaowategemea kama familia nyingi zimeweza kuaga dunia. Wazazi huwategemea sana watoto wao lakini watoto wao hawasikii. Watu wengi hulewa hadi kurukwa na akili. Akili yao haifanyi vizuri saa zile wamelewa. Huweza kurudi nyumbani awapige familia yake na familia kulia kwa sababu ya kuchapwa kila siku.
Watoto wanaamuwa kuwa waende barabarani kuishi huko. Watoto wanatafuta chakula takatani. Wazazi huamuwa kuwa pesa wanaopata wangeenda kunywa pombe. Watoto huangaika kupata chakula cha kulala pamoja na watoto wao.
Watu hulewa hadi hulala mtaro. Kila siku huta kosa wanafunzi wakijaribu kusaidiwa lakini hawasaidiki. Maisha yao inaharibika hivyo. Walimu shuleni husahau wanafunzi wanaotumia dawa ya kulevya na kuwaacha. Walimu huenda na wanafunzi ambao wanataka kusoma na anawacha wanafunzi ambao hawataki.
Wanafunzi wanaotumia madawa ya kulevya hawapendi kusoma na walimu huwaonea wanafunzi hao huruma. Wanafunzi hao wanaharibu maisha yao kwa kutumia madawa ya kulevya.
Wanafunzi wa shule tunawaomba kuwa mweze kujikinga na madawa ya kulevya. | Mwanafunzi yupi hapendi kusoma | {
"text": [
"Anayetumia dawa za kulevya"
]
} |
4730_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni hatari kwa jamii sana. Wanafuzi shuleni hawasomi kazi yao ni kuvuta sigara. Walimu wamejaribu kuwa kataza lakini hawasikii. Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.
Madawa za kulevya yamewasusia masomo. Wanafunzi wa chuo kikuu ni hatari kwa madawa za kulevya. Wanaenda nyuma ya shule wanavuta sigara. Madawa ya kulevya zimearibu wanafunzi wa shule. Wanafunzi hao wanafeli mtihani wanaopewa na walimu wao.
Watu ambao wanatumia dawa za kulevya hawana adabu vile vile mtu mkubwa mwenye akili timamu anafanya vitu vya watoto, hata watoto hawafanyi vitu kama zile wanafanya barabarani. Adabu hawana hata kidogo lakini mtoto anamshinda.
Utaweza pata mwanaume ama mwanamke familia imevunjika kwa sababu ya madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya imefikisha familia nyingi mahali pabaya. Familia nyingi imevunjika moyo na zimechoka kuvumilia. Wanajiuwa ili waache kuteseka.
Madawa ya kulevya husababisha magonjwa na zingine hazina tiba. Watu wengi wameaga dunia kwa sababu ya magonjwa husababishwa na madawa ya kulevya. Watoto wengi hukuja juu ya dawa za kulevya.
Husahau kwamba kuna watu wanaowategemea kama familia nyingi zimeweza kuaga dunia. Wazazi huwategemea sana watoto wao lakini watoto wao hawasikii. Watu wengi hulewa hadi kurukwa na akili. Akili yao haifanyi vizuri saa zile wamelewa. Huweza kurudi nyumbani awapige familia yake na familia kulia kwa sababu ya kuchapwa kila siku.
Watoto wanaamuwa kuwa waende barabarani kuishi huko. Watoto wanatafuta chakula takatani. Wazazi huamuwa kuwa pesa wanaopata wangeenda kunywa pombe. Watoto huangaika kupata chakula cha kulala pamoja na watoto wao.
Watu hulewa hadi hulala mtaro. Kila siku huta kosa wanafunzi wakijaribu kusaidiwa lakini hawasaidiki. Maisha yao inaharibika hivyo. Walimu shuleni husahau wanafunzi wanaotumia dawa ya kulevya na kuwaacha. Walimu huenda na wanafunzi ambao wanataka kusoma na anawacha wanafunzi ambao hawataki.
Wanafunzi wanaotumia madawa ya kulevya hawapendi kusoma na walimu huwaonea wanafunzi hao huruma. Wanafunzi hao wanaharibu maisha yao kwa kutumia madawa ya kulevya.
Wanafunzi wa shule tunawaomba kuwa mweze kujikinga na madawa ya kulevya. | Watu wengi huaga dunia kutokana na magonjwa yanayosababishwa na nini | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4731_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Kwa hakika dawa za kulevya huleta madhara mengi. Dawa hizi huleta madhara kwa jamii, nchi, dunia na hata kwa serikali ya nchi yetu na nchi zingine. Dawa hizi ni kama vile sigara, bangi na dawa zingine.
Dawa hizi huleta madhara kwa vijana wa miini au hata wa nyumbani. Vijana hawa heshimu dawa hizi za kulevya ambazo huwafanya kukosa adabu na wao huanza kuwapokonya watu vitu vyao wanapotembea barabarani. Hii huwafanya wavulana hawa kukamatwa na kupelekwa gerezani kwa sababu ya wizi.
Mja anapotumia dawa hizi, yeye huweza kufanya mambo yasiyo na utu. Dawa hizi huwafanya waja kufanya matendo ya ubakaji ambao husababisha gonjwa la ukimwi. Lo! Kumbe wahenga na wahenguzi wetu hawakutia kiwi kwenye macho waliposema kuwa "jihadhari kabla ya hatari na pia asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mja anapoambiwa kuwa hafai kutumia dawa za kulevya wao hukataa kufanya wanavyo ambiwa na mwishowe wao hufungwa gerezani.
Madawa haya ya kulevya yamefanya familia mingi kuvunjika. Wazazi wanapoanza kutumia dawa za kulevya wanafanya familia kuvunjika kwa sababu watoto hutegemea wazazi wao. Watoto hao wanaweza enda mjini kutafuta kazi au waende mjini na kuanza kutumia
dawa hizi za kulevya. Pia wanaweza kuwafuata wazazi wao na watumie dawa za kulevya.
Wazazi wanapotumia dawa za kulevya, watoto huchukuliwa na wizara ya watoto wasiojiweza na huchukuliwa na watu tofauti ili kuwalea watoto hao. Hii huwafanya watoto kuenda nchi tofauti na hii hufanya familia nyingi kuvunjika. Watoto wengine wengine huchukuliwa wakiwa wachanga na kupelekwa kwingine na hii husababisha watoto wengi kutojuana. Watu wanapotumia dawa za kulevya hurukwa na akili au huwa na akili pungufu wao huweza kupigana na mja mwingine bila sababu kwa kuwa wanatumia dawa nyingi za kulevya. Watu hawa wanaweza kurukwa na akili hadi wanaweza kuwa watu wa kurandaranda mitaani. Wao huweza kufanya vitu ambazo si za utu.Vitu hivi ni kama vile ubakaji na vitu vingine.
Waja hawa wanaotumia dawa za kulevya hukosewa heshima kwa sababu watu huwaona kuwa watu wasio na maana katika nchi yetu. Alah! kumbe mtoto anaweza kumtupia mtu anayelewa matusi kwa sababu wao huwa matajiri wa mifupa na maskini hohe hahe wa nyama.
Pesa ambazo watu hawa hutumia kununua dawa za kulevya huharibiwa kwa sababu watu hawa hutumia dawa hizi vibaya badala ya kuzitumia kununua vitu vya maana kama vile chakula cha kila siku na zinginezo.
Kwa hivyo ninawaomba waja waache kutumia dawa za kulevya au wajaribu kufundisha waja wengine kuhusu dawa za kulevya. | Ni dawa gani huleta madhara kwa vijana wa mjini na wa mashambani | {
"text": [
"Kulevya"
]
} |
4731_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Kwa hakika dawa za kulevya huleta madhara mengi. Dawa hizi huleta madhara kwa jamii, nchi, dunia na hata kwa serikali ya nchi yetu na nchi zingine. Dawa hizi ni kama vile sigara, bangi na dawa zingine.
Dawa hizi huleta madhara kwa vijana wa miini au hata wa nyumbani. Vijana hawa heshimu dawa hizi za kulevya ambazo huwafanya kukosa adabu na wao huanza kuwapokonya watu vitu vyao wanapotembea barabarani. Hii huwafanya wavulana hawa kukamatwa na kupelekwa gerezani kwa sababu ya wizi.
Mja anapotumia dawa hizi, yeye huweza kufanya mambo yasiyo na utu. Dawa hizi huwafanya waja kufanya matendo ya ubakaji ambao husababisha gonjwa la ukimwi. Lo! Kumbe wahenga na wahenguzi wetu hawakutia kiwi kwenye macho waliposema kuwa "jihadhari kabla ya hatari na pia asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mja anapoambiwa kuwa hafai kutumia dawa za kulevya wao hukataa kufanya wanavyo ambiwa na mwishowe wao hufungwa gerezani.
Madawa haya ya kulevya yamefanya familia mingi kuvunjika. Wazazi wanapoanza kutumia dawa za kulevya wanafanya familia kuvunjika kwa sababu watoto hutegemea wazazi wao. Watoto hao wanaweza enda mjini kutafuta kazi au waende mjini na kuanza kutumia
dawa hizi za kulevya. Pia wanaweza kuwafuata wazazi wao na watumie dawa za kulevya.
Wazazi wanapotumia dawa za kulevya, watoto huchukuliwa na wizara ya watoto wasiojiweza na huchukuliwa na watu tofauti ili kuwalea watoto hao. Hii huwafanya watoto kuenda nchi tofauti na hii hufanya familia nyingi kuvunjika. Watoto wengine wengine huchukuliwa wakiwa wachanga na kupelekwa kwingine na hii husababisha watoto wengi kutojuana. Watu wanapotumia dawa za kulevya hurukwa na akili au huwa na akili pungufu wao huweza kupigana na mja mwingine bila sababu kwa kuwa wanatumia dawa nyingi za kulevya. Watu hawa wanaweza kurukwa na akili hadi wanaweza kuwa watu wa kurandaranda mitaani. Wao huweza kufanya vitu ambazo si za utu.Vitu hivi ni kama vile ubakaji na vitu vingine.
Waja hawa wanaotumia dawa za kulevya hukosewa heshima kwa sababu watu huwaona kuwa watu wasio na maana katika nchi yetu. Alah! kumbe mtoto anaweza kumtupia mtu anayelewa matusi kwa sababu wao huwa matajiri wa mifupa na maskini hohe hahe wa nyama.
Pesa ambazo watu hawa hutumia kununua dawa za kulevya huharibiwa kwa sababu watu hawa hutumia dawa hizi vibaya badala ya kuzitumia kununua vitu vya maana kama vile chakula cha kila siku na zinginezo.
Kwa hivyo ninawaomba waja waache kutumia dawa za kulevya au wajaribu kufundisha waja wengine kuhusu dawa za kulevya. | Dawa za kulevya huwafanya waja kufanya matendo ipi | {
"text": [
"Ubakaji"
]
} |
4731_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Kwa hakika dawa za kulevya huleta madhara mengi. Dawa hizi huleta madhara kwa jamii, nchi, dunia na hata kwa serikali ya nchi yetu na nchi zingine. Dawa hizi ni kama vile sigara, bangi na dawa zingine.
Dawa hizi huleta madhara kwa vijana wa miini au hata wa nyumbani. Vijana hawa heshimu dawa hizi za kulevya ambazo huwafanya kukosa adabu na wao huanza kuwapokonya watu vitu vyao wanapotembea barabarani. Hii huwafanya wavulana hawa kukamatwa na kupelekwa gerezani kwa sababu ya wizi.
Mja anapotumia dawa hizi, yeye huweza kufanya mambo yasiyo na utu. Dawa hizi huwafanya waja kufanya matendo ya ubakaji ambao husababisha gonjwa la ukimwi. Lo! Kumbe wahenga na wahenguzi wetu hawakutia kiwi kwenye macho waliposema kuwa "jihadhari kabla ya hatari na pia asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mja anapoambiwa kuwa hafai kutumia dawa za kulevya wao hukataa kufanya wanavyo ambiwa na mwishowe wao hufungwa gerezani.
Madawa haya ya kulevya yamefanya familia mingi kuvunjika. Wazazi wanapoanza kutumia dawa za kulevya wanafanya familia kuvunjika kwa sababu watoto hutegemea wazazi wao. Watoto hao wanaweza enda mjini kutafuta kazi au waende mjini na kuanza kutumia
dawa hizi za kulevya. Pia wanaweza kuwafuata wazazi wao na watumie dawa za kulevya.
Wazazi wanapotumia dawa za kulevya, watoto huchukuliwa na wizara ya watoto wasiojiweza na huchukuliwa na watu tofauti ili kuwalea watoto hao. Hii huwafanya watoto kuenda nchi tofauti na hii hufanya familia nyingi kuvunjika. Watoto wengine wengine huchukuliwa wakiwa wachanga na kupelekwa kwingine na hii husababisha watoto wengi kutojuana. Watu wanapotumia dawa za kulevya hurukwa na akili au huwa na akili pungufu wao huweza kupigana na mja mwingine bila sababu kwa kuwa wanatumia dawa nyingi za kulevya. Watu hawa wanaweza kurukwa na akili hadi wanaweza kuwa watu wa kurandaranda mitaani. Wao huweza kufanya vitu ambazo si za utu.Vitu hivi ni kama vile ubakaji na vitu vingine.
Waja hawa wanaotumia dawa za kulevya hukosewa heshima kwa sababu watu huwaona kuwa watu wasio na maana katika nchi yetu. Alah! kumbe mtoto anaweza kumtupia mtu anayelewa matusi kwa sababu wao huwa matajiri wa mifupa na maskini hohe hahe wa nyama.
Pesa ambazo watu hawa hutumia kununua dawa za kulevya huharibiwa kwa sababu watu hawa hutumia dawa hizi vibaya badala ya kuzitumia kununua vitu vya maana kama vile chakula cha kila siku na zinginezo.
Kwa hivyo ninawaomba waja waache kutumia dawa za kulevya au wajaribu kufundisha waja wengine kuhusu dawa za kulevya. | Madawa ya kulevya yamefanya nini kuvunjika | {
"text": [
"Familia"
]
} |
4731_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Kwa hakika dawa za kulevya huleta madhara mengi. Dawa hizi huleta madhara kwa jamii, nchi, dunia na hata kwa serikali ya nchi yetu na nchi zingine. Dawa hizi ni kama vile sigara, bangi na dawa zingine.
Dawa hizi huleta madhara kwa vijana wa miini au hata wa nyumbani. Vijana hawa heshimu dawa hizi za kulevya ambazo huwafanya kukosa adabu na wao huanza kuwapokonya watu vitu vyao wanapotembea barabarani. Hii huwafanya wavulana hawa kukamatwa na kupelekwa gerezani kwa sababu ya wizi.
Mja anapotumia dawa hizi, yeye huweza kufanya mambo yasiyo na utu. Dawa hizi huwafanya waja kufanya matendo ya ubakaji ambao husababisha gonjwa la ukimwi. Lo! Kumbe wahenga na wahenguzi wetu hawakutia kiwi kwenye macho waliposema kuwa "jihadhari kabla ya hatari na pia asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mja anapoambiwa kuwa hafai kutumia dawa za kulevya wao hukataa kufanya wanavyo ambiwa na mwishowe wao hufungwa gerezani.
Madawa haya ya kulevya yamefanya familia mingi kuvunjika. Wazazi wanapoanza kutumia dawa za kulevya wanafanya familia kuvunjika kwa sababu watoto hutegemea wazazi wao. Watoto hao wanaweza enda mjini kutafuta kazi au waende mjini na kuanza kutumia
dawa hizi za kulevya. Pia wanaweza kuwafuata wazazi wao na watumie dawa za kulevya.
Wazazi wanapotumia dawa za kulevya, watoto huchukuliwa na wizara ya watoto wasiojiweza na huchukuliwa na watu tofauti ili kuwalea watoto hao. Hii huwafanya watoto kuenda nchi tofauti na hii hufanya familia nyingi kuvunjika. Watoto wengine wengine huchukuliwa wakiwa wachanga na kupelekwa kwingine na hii husababisha watoto wengi kutojuana. Watu wanapotumia dawa za kulevya hurukwa na akili au huwa na akili pungufu wao huweza kupigana na mja mwingine bila sababu kwa kuwa wanatumia dawa nyingi za kulevya. Watu hawa wanaweza kurukwa na akili hadi wanaweza kuwa watu wa kurandaranda mitaani. Wao huweza kufanya vitu ambazo si za utu.Vitu hivi ni kama vile ubakaji na vitu vingine.
Waja hawa wanaotumia dawa za kulevya hukosewa heshima kwa sababu watu huwaona kuwa watu wasio na maana katika nchi yetu. Alah! kumbe mtoto anaweza kumtupia mtu anayelewa matusi kwa sababu wao huwa matajiri wa mifupa na maskini hohe hahe wa nyama.
Pesa ambazo watu hawa hutumia kununua dawa za kulevya huharibiwa kwa sababu watu hawa hutumia dawa hizi vibaya badala ya kuzitumia kununua vitu vya maana kama vile chakula cha kila siku na zinginezo.
Kwa hivyo ninawaomba waja waache kutumia dawa za kulevya au wajaribu kufundisha waja wengine kuhusu dawa za kulevya. | Watu wanapotumia dawa za kulevya hurukwa na nini | {
"text": [
"Akili"
]
} |
4731_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Kwa hakika dawa za kulevya huleta madhara mengi. Dawa hizi huleta madhara kwa jamii, nchi, dunia na hata kwa serikali ya nchi yetu na nchi zingine. Dawa hizi ni kama vile sigara, bangi na dawa zingine.
Dawa hizi huleta madhara kwa vijana wa miini au hata wa nyumbani. Vijana hawa heshimu dawa hizi za kulevya ambazo huwafanya kukosa adabu na wao huanza kuwapokonya watu vitu vyao wanapotembea barabarani. Hii huwafanya wavulana hawa kukamatwa na kupelekwa gerezani kwa sababu ya wizi.
Mja anapotumia dawa hizi, yeye huweza kufanya mambo yasiyo na utu. Dawa hizi huwafanya waja kufanya matendo ya ubakaji ambao husababisha gonjwa la ukimwi. Lo! Kumbe wahenga na wahenguzi wetu hawakutia kiwi kwenye macho waliposema kuwa "jihadhari kabla ya hatari na pia asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mja anapoambiwa kuwa hafai kutumia dawa za kulevya wao hukataa kufanya wanavyo ambiwa na mwishowe wao hufungwa gerezani.
Madawa haya ya kulevya yamefanya familia mingi kuvunjika. Wazazi wanapoanza kutumia dawa za kulevya wanafanya familia kuvunjika kwa sababu watoto hutegemea wazazi wao. Watoto hao wanaweza enda mjini kutafuta kazi au waende mjini na kuanza kutumia
dawa hizi za kulevya. Pia wanaweza kuwafuata wazazi wao na watumie dawa za kulevya.
Wazazi wanapotumia dawa za kulevya, watoto huchukuliwa na wizara ya watoto wasiojiweza na huchukuliwa na watu tofauti ili kuwalea watoto hao. Hii huwafanya watoto kuenda nchi tofauti na hii hufanya familia nyingi kuvunjika. Watoto wengine wengine huchukuliwa wakiwa wachanga na kupelekwa kwingine na hii husababisha watoto wengi kutojuana. Watu wanapotumia dawa za kulevya hurukwa na akili au huwa na akili pungufu wao huweza kupigana na mja mwingine bila sababu kwa kuwa wanatumia dawa nyingi za kulevya. Watu hawa wanaweza kurukwa na akili hadi wanaweza kuwa watu wa kurandaranda mitaani. Wao huweza kufanya vitu ambazo si za utu.Vitu hivi ni kama vile ubakaji na vitu vingine.
Waja hawa wanaotumia dawa za kulevya hukosewa heshima kwa sababu watu huwaona kuwa watu wasio na maana katika nchi yetu. Alah! kumbe mtoto anaweza kumtupia mtu anayelewa matusi kwa sababu wao huwa matajiri wa mifupa na maskini hohe hahe wa nyama.
Pesa ambazo watu hawa hutumia kununua dawa za kulevya huharibiwa kwa sababu watu hawa hutumia dawa hizi vibaya badala ya kuzitumia kununua vitu vya maana kama vile chakula cha kila siku na zinginezo.
Kwa hivyo ninawaomba waja waache kutumia dawa za kulevya au wajaribu kufundisha waja wengine kuhusu dawa za kulevya. | Wanaotumia dawa za kulevya hukosewa nini | {
"text": [
"Heshima"
]
} |
4732_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo huingizwa mwilini kwa minajili ya kupunguza mawazo au kujiburudisha. Madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Dawa hizi huingizwa mwilini kupitia njia mbalimbali, kuna dawa ambazo huingizwa mwilini kwa kujidunga kwa kumeza tembe au vidongo na kwa kunywa. Wengine huenda hadi kiwango cha kuvuta dawa hizo.
Kuna aina kadha wa kadha za dawa hizi. Baadhi ya madawa haya ni pamoja na bangi, kokeini, miraa, tembe au tembo na kadhalika
Madawa haya yana madhara mengi kwa afya ya binadamu. Madhara haya hudhuru afya ya mtu na humfanya mtu kukosa ajira. Huleta madhara kwa mtu binafsi, huleta madhara katika familia na kwa jumla, huiletea nchi yetu madhara.
Kuanza na afya, ni nani asiyependa kuwa na buheri wa afya na salama salmini mithili ya kinogo cha mpini? Sote tunataka tuwe na siha njema wakati wote. Madawa haya humdhuru kiafya. Sana sana madawa haya yanapotumika kwa wingi, huleta madhara mengi kupindukia katika afya ya mtu. Madawa haya humfanya mtu kuenda hadi kiwango cha kupoteza fahamu au hata humfanya mtu kuyasahau mambo mengi. Iwapo sote tunaipenda afya yetu, basi tusitumie madawa hayo kwani wazee wa jadi na jadidi hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena kinga ni bora kuliko tiba.
Dawa hizi pia huwaletea watu wengi ukosefu wa ajira. Kazi kama zile za udaktari, uhazili, ubadisi, urubani na kadhalika hazihitaji watu ambao hulewa chakari hadi kufikia kiwango cha kubebwa hobelahobela kutoka mitaroni au kando kando ya baraste. Kama una tabia hii iliyooza na kunuka fye! basi huna budi ila tu kubaki bila ajira kwani hakuna mtu anayetaka kumwajiri mlevi kazini kwake.
Madhara ya madawa haya huonekana dhahiri shahiri mtu anapoanza kuugua mawele ya mawele ya kiajabuajabu. Mtu huwa na uzoefu wa kutumia dawa hizi na kwa hivyo akizikosa huwa hajihisi vizuri. Mawele kama saratani ya koo, saratani ya mapafu na saratani ya mdomo husababishwa na uvutaji mwingi wa madawa haya.
Madawa haya hayaleti madhara kwa mtu binafsi pekee ila pia kwa familia ya muadhiriwa. Familia ya muadhiriwa wa dawa za kulevya hulazimika kulipa ngwenje nyingi ili kufanikisha matibabu ya waja wao walio hali mahututi.
Nchi pia huadhirika kwa asilimia kubwa sana kwani pesa nyingi za serikali hutumika kuwatibu waathiriwa. Fedha zingine pia hutumika kulipia bili za hospitali zilizoachwa na wagonjwa ambao hawengeweza kulipa bili hizo.
Utumiaji wa dawa hizi pia hufanya familia nyingi kusambaratika. Iwapo kati ya mume na mke mmoja ni mlevi, basi ugomvi wa kifamilia lazima utatokea kwa sababu moja au nyingine.
Kwa kumalizia tu, madawa ya kulevya huleta utengano. Hakuna mtu anayetaka kujihusisha na mtu mlevi kwani anafahamu kuwa pia yeye atakuwa mlevi. Utumiaji wa mihadarati huathiri afya ya binadamu. Yafaa sote tujizuie na utumiaji wa madawa ya kulevya kwani tutayaathiri maisha yetu. | Kisawe cha madawa ya kulevya ni? | {
"text": [
"Mihadarati"
]
} |
4732_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo huingizwa mwilini kwa minajili ya kupunguza mawazo au kujiburudisha. Madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Dawa hizi huingizwa mwilini kupitia njia mbalimbali, kuna dawa ambazo huingizwa mwilini kwa kujidunga kwa kumeza tembe au vidongo na kwa kunywa. Wengine huenda hadi kiwango cha kuvuta dawa hizo.
Kuna aina kadha wa kadha za dawa hizi. Baadhi ya madawa haya ni pamoja na bangi, kokeini, miraa, tembe au tembo na kadhalika
Madawa haya yana madhara mengi kwa afya ya binadamu. Madhara haya hudhuru afya ya mtu na humfanya mtu kukosa ajira. Huleta madhara kwa mtu binafsi, huleta madhara katika familia na kwa jumla, huiletea nchi yetu madhara.
Kuanza na afya, ni nani asiyependa kuwa na buheri wa afya na salama salmini mithili ya kinogo cha mpini? Sote tunataka tuwe na siha njema wakati wote. Madawa haya humdhuru kiafya. Sana sana madawa haya yanapotumika kwa wingi, huleta madhara mengi kupindukia katika afya ya mtu. Madawa haya humfanya mtu kuenda hadi kiwango cha kupoteza fahamu au hata humfanya mtu kuyasahau mambo mengi. Iwapo sote tunaipenda afya yetu, basi tusitumie madawa hayo kwani wazee wa jadi na jadidi hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena kinga ni bora kuliko tiba.
Dawa hizi pia huwaletea watu wengi ukosefu wa ajira. Kazi kama zile za udaktari, uhazili, ubadisi, urubani na kadhalika hazihitaji watu ambao hulewa chakari hadi kufikia kiwango cha kubebwa hobelahobela kutoka mitaroni au kando kando ya baraste. Kama una tabia hii iliyooza na kunuka fye! basi huna budi ila tu kubaki bila ajira kwani hakuna mtu anayetaka kumwajiri mlevi kazini kwake.
Madhara ya madawa haya huonekana dhahiri shahiri mtu anapoanza kuugua mawele ya mawele ya kiajabuajabu. Mtu huwa na uzoefu wa kutumia dawa hizi na kwa hivyo akizikosa huwa hajihisi vizuri. Mawele kama saratani ya koo, saratani ya mapafu na saratani ya mdomo husababishwa na uvutaji mwingi wa madawa haya.
Madawa haya hayaleti madhara kwa mtu binafsi pekee ila pia kwa familia ya muadhiriwa. Familia ya muadhiriwa wa dawa za kulevya hulazimika kulipa ngwenje nyingi ili kufanikisha matibabu ya waja wao walio hali mahututi.
Nchi pia huadhirika kwa asilimia kubwa sana kwani pesa nyingi za serikali hutumika kuwatibu waathiriwa. Fedha zingine pia hutumika kulipia bili za hospitali zilizoachwa na wagonjwa ambao hawengeweza kulipa bili hizo.
Utumiaji wa dawa hizi pia hufanya familia nyingi kusambaratika. Iwapo kati ya mume na mke mmoja ni mlevi, basi ugomvi wa kifamilia lazima utatokea kwa sababu moja au nyingine.
Kwa kumalizia tu, madawa ya kulevya huleta utengano. Hakuna mtu anayetaka kujihusisha na mtu mlevi kwani anafahamu kuwa pia yeye atakuwa mlevi. Utumiaji wa mihadarati huathiri afya ya binadamu. Yafaa sote tujizuie na utumiaji wa madawa ya kulevya kwani tutayaathiri maisha yetu. | Taja njia za kuingiza dawa za kulevya mwilini | {
"text": [
"Kuna za kuingizwa chini ya ulimi, za kujindunga au kumeza tembe"
]
} |
4732_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo huingizwa mwilini kwa minajili ya kupunguza mawazo au kujiburudisha. Madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Dawa hizi huingizwa mwilini kupitia njia mbalimbali, kuna dawa ambazo huingizwa mwilini kwa kujidunga kwa kumeza tembe au vidongo na kwa kunywa. Wengine huenda hadi kiwango cha kuvuta dawa hizo.
Kuna aina kadha wa kadha za dawa hizi. Baadhi ya madawa haya ni pamoja na bangi, kokeini, miraa, tembe au tembo na kadhalika
Madawa haya yana madhara mengi kwa afya ya binadamu. Madhara haya hudhuru afya ya mtu na humfanya mtu kukosa ajira. Huleta madhara kwa mtu binafsi, huleta madhara katika familia na kwa jumla, huiletea nchi yetu madhara.
Kuanza na afya, ni nani asiyependa kuwa na buheri wa afya na salama salmini mithili ya kinogo cha mpini? Sote tunataka tuwe na siha njema wakati wote. Madawa haya humdhuru kiafya. Sana sana madawa haya yanapotumika kwa wingi, huleta madhara mengi kupindukia katika afya ya mtu. Madawa haya humfanya mtu kuenda hadi kiwango cha kupoteza fahamu au hata humfanya mtu kuyasahau mambo mengi. Iwapo sote tunaipenda afya yetu, basi tusitumie madawa hayo kwani wazee wa jadi na jadidi hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena kinga ni bora kuliko tiba.
Dawa hizi pia huwaletea watu wengi ukosefu wa ajira. Kazi kama zile za udaktari, uhazili, ubadisi, urubani na kadhalika hazihitaji watu ambao hulewa chakari hadi kufikia kiwango cha kubebwa hobelahobela kutoka mitaroni au kando kando ya baraste. Kama una tabia hii iliyooza na kunuka fye! basi huna budi ila tu kubaki bila ajira kwani hakuna mtu anayetaka kumwajiri mlevi kazini kwake.
Madhara ya madawa haya huonekana dhahiri shahiri mtu anapoanza kuugua mawele ya mawele ya kiajabuajabu. Mtu huwa na uzoefu wa kutumia dawa hizi na kwa hivyo akizikosa huwa hajihisi vizuri. Mawele kama saratani ya koo, saratani ya mapafu na saratani ya mdomo husababishwa na uvutaji mwingi wa madawa haya.
Madawa haya hayaleti madhara kwa mtu binafsi pekee ila pia kwa familia ya muadhiriwa. Familia ya muadhiriwa wa dawa za kulevya hulazimika kulipa ngwenje nyingi ili kufanikisha matibabu ya waja wao walio hali mahututi.
Nchi pia huadhirika kwa asilimia kubwa sana kwani pesa nyingi za serikali hutumika kuwatibu waathiriwa. Fedha zingine pia hutumika kulipia bili za hospitali zilizoachwa na wagonjwa ambao hawengeweza kulipa bili hizo.
Utumiaji wa dawa hizi pia hufanya familia nyingi kusambaratika. Iwapo kati ya mume na mke mmoja ni mlevi, basi ugomvi wa kifamilia lazima utatokea kwa sababu moja au nyingine.
Kwa kumalizia tu, madawa ya kulevya huleta utengano. Hakuna mtu anayetaka kujihusisha na mtu mlevi kwani anafahamu kuwa pia yeye atakuwa mlevi. Utumiaji wa mihadarati huathiri afya ya binadamu. Yafaa sote tujizuie na utumiaji wa madawa ya kulevya kwani tutayaathiri maisha yetu. | Taja aina yoyote ya dawa za kulevya? | {
"text": [
"Bangi, kokeini, miraa, pombe"
]
} |
4732_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo huingizwa mwilini kwa minajili ya kupunguza mawazo au kujiburudisha. Madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Dawa hizi huingizwa mwilini kupitia njia mbalimbali, kuna dawa ambazo huingizwa mwilini kwa kujidunga kwa kumeza tembe au vidongo na kwa kunywa. Wengine huenda hadi kiwango cha kuvuta dawa hizo.
Kuna aina kadha wa kadha za dawa hizi. Baadhi ya madawa haya ni pamoja na bangi, kokeini, miraa, tembe au tembo na kadhalika
Madawa haya yana madhara mengi kwa afya ya binadamu. Madhara haya hudhuru afya ya mtu na humfanya mtu kukosa ajira. Huleta madhara kwa mtu binafsi, huleta madhara katika familia na kwa jumla, huiletea nchi yetu madhara.
Kuanza na afya, ni nani asiyependa kuwa na buheri wa afya na salama salmini mithili ya kinogo cha mpini? Sote tunataka tuwe na siha njema wakati wote. Madawa haya humdhuru kiafya. Sana sana madawa haya yanapotumika kwa wingi, huleta madhara mengi kupindukia katika afya ya mtu. Madawa haya humfanya mtu kuenda hadi kiwango cha kupoteza fahamu au hata humfanya mtu kuyasahau mambo mengi. Iwapo sote tunaipenda afya yetu, basi tusitumie madawa hayo kwani wazee wa jadi na jadidi hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena kinga ni bora kuliko tiba.
Dawa hizi pia huwaletea watu wengi ukosefu wa ajira. Kazi kama zile za udaktari, uhazili, ubadisi, urubani na kadhalika hazihitaji watu ambao hulewa chakari hadi kufikia kiwango cha kubebwa hobelahobela kutoka mitaroni au kando kando ya baraste. Kama una tabia hii iliyooza na kunuka fye! basi huna budi ila tu kubaki bila ajira kwani hakuna mtu anayetaka kumwajiri mlevi kazini kwake.
Madhara ya madawa haya huonekana dhahiri shahiri mtu anapoanza kuugua mawele ya mawele ya kiajabuajabu. Mtu huwa na uzoefu wa kutumia dawa hizi na kwa hivyo akizikosa huwa hajihisi vizuri. Mawele kama saratani ya koo, saratani ya mapafu na saratani ya mdomo husababishwa na uvutaji mwingi wa madawa haya.
Madawa haya hayaleti madhara kwa mtu binafsi pekee ila pia kwa familia ya muadhiriwa. Familia ya muadhiriwa wa dawa za kulevya hulazimika kulipa ngwenje nyingi ili kufanikisha matibabu ya waja wao walio hali mahututi.
Nchi pia huadhirika kwa asilimia kubwa sana kwani pesa nyingi za serikali hutumika kuwatibu waathiriwa. Fedha zingine pia hutumika kulipia bili za hospitali zilizoachwa na wagonjwa ambao hawengeweza kulipa bili hizo.
Utumiaji wa dawa hizi pia hufanya familia nyingi kusambaratika. Iwapo kati ya mume na mke mmoja ni mlevi, basi ugomvi wa kifamilia lazima utatokea kwa sababu moja au nyingine.
Kwa kumalizia tu, madawa ya kulevya huleta utengano. Hakuna mtu anayetaka kujihusisha na mtu mlevi kwani anafahamu kuwa pia yeye atakuwa mlevi. Utumiaji wa mihadarati huathiri afya ya binadamu. Yafaa sote tujizuie na utumiaji wa madawa ya kulevya kwani tutayaathiri maisha yetu. | Taja baadhi ya madhara ya dawa za kulevya? | {
"text": [
"Kudhuru na kudhohofisha afya"
]
} |
4732_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo huingizwa mwilini kwa minajili ya kupunguza mawazo au kujiburudisha. Madawa ya kulevya pia huitwa mihadarati. Dawa hizi huingizwa mwilini kupitia njia mbalimbali, kuna dawa ambazo huingizwa mwilini kwa kujidunga kwa kumeza tembe au vidongo na kwa kunywa. Wengine huenda hadi kiwango cha kuvuta dawa hizo.
Kuna aina kadha wa kadha za dawa hizi. Baadhi ya madawa haya ni pamoja na bangi, kokeini, miraa, tembe au tembo na kadhalika
Madawa haya yana madhara mengi kwa afya ya binadamu. Madhara haya hudhuru afya ya mtu na humfanya mtu kukosa ajira. Huleta madhara kwa mtu binafsi, huleta madhara katika familia na kwa jumla, huiletea nchi yetu madhara.
Kuanza na afya, ni nani asiyependa kuwa na buheri wa afya na salama salmini mithili ya kinogo cha mpini? Sote tunataka tuwe na siha njema wakati wote. Madawa haya humdhuru kiafya. Sana sana madawa haya yanapotumika kwa wingi, huleta madhara mengi kupindukia katika afya ya mtu. Madawa haya humfanya mtu kuenda hadi kiwango cha kupoteza fahamu au hata humfanya mtu kuyasahau mambo mengi. Iwapo sote tunaipenda afya yetu, basi tusitumie madawa hayo kwani wazee wa jadi na jadidi hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena kinga ni bora kuliko tiba.
Dawa hizi pia huwaletea watu wengi ukosefu wa ajira. Kazi kama zile za udaktari, uhazili, ubadisi, urubani na kadhalika hazihitaji watu ambao hulewa chakari hadi kufikia kiwango cha kubebwa hobelahobela kutoka mitaroni au kando kando ya baraste. Kama una tabia hii iliyooza na kunuka fye! basi huna budi ila tu kubaki bila ajira kwani hakuna mtu anayetaka kumwajiri mlevi kazini kwake.
Madhara ya madawa haya huonekana dhahiri shahiri mtu anapoanza kuugua mawele ya mawele ya kiajabuajabu. Mtu huwa na uzoefu wa kutumia dawa hizi na kwa hivyo akizikosa huwa hajihisi vizuri. Mawele kama saratani ya koo, saratani ya mapafu na saratani ya mdomo husababishwa na uvutaji mwingi wa madawa haya.
Madawa haya hayaleti madhara kwa mtu binafsi pekee ila pia kwa familia ya muadhiriwa. Familia ya muadhiriwa wa dawa za kulevya hulazimika kulipa ngwenje nyingi ili kufanikisha matibabu ya waja wao walio hali mahututi.
Nchi pia huadhirika kwa asilimia kubwa sana kwani pesa nyingi za serikali hutumika kuwatibu waathiriwa. Fedha zingine pia hutumika kulipia bili za hospitali zilizoachwa na wagonjwa ambao hawengeweza kulipa bili hizo.
Utumiaji wa dawa hizi pia hufanya familia nyingi kusambaratika. Iwapo kati ya mume na mke mmoja ni mlevi, basi ugomvi wa kifamilia lazima utatokea kwa sababu moja au nyingine.
Kwa kumalizia tu, madawa ya kulevya huleta utengano. Hakuna mtu anayetaka kujihusisha na mtu mlevi kwani anafahamu kuwa pia yeye atakuwa mlevi. Utumiaji wa mihadarati huathiri afya ya binadamu. Yafaa sote tujizuie na utumiaji wa madawa ya kulevya kwani tutayaathiri maisha yetu. | Afya ya mtu anayetumia mihadarati hudhohofika kivipi? | {
"text": [
"Humfanya kupoteza fahamu na kusahau haraka"
]
} |
4733_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya yana madhara sufufu. Madawa ya kulevya ni nini? Ni kitu chochote kinachotumiwa kuathiri fikira ya mtu aitumiaye. Madawa ya kulevya ni kama bangi, kasumba, sigara na tumbako. Husababisha magonjwa ya saratani ya mapafu na kukauka kwa mdomo. Nani asiyejua kuwa afya ni bora kuliko mali?
Madawa ya kulevya pia husababisha wanafunzi kuacha shule. Wasichana na vijana wa siku hizi huzitumia madawa hayo. Mwishoe huenda kutiwa mimba. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kugombana na kufurushana kwa majumba zao. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kuwa na mienendo mabaya.
Watu siku hizi hufanya jambo lolote ili waweze kukunywa pombe. Huwezekana wakaiba kwa wenzio na kugeuka wahalifu. Watu wanaotumia madawa za kulevya wengineo hukosea watu heshima. Mara si mara ameshaanza kupiga domo kwa kelele, ata inawezekana wakaitoboa siri zako. Kweli heshima si utumwa. Watu wengine wakipiga maji hujiletea magonjwa kama kisonono, ukimwi na magonjwa mengineyo.
Wanafunzi shuleni wakitumia madawa haya, huenda wakakataa masomo. Hapo ndipo wanafunzi wengine huwakeketa wenzao mabweni, watu wengine pia huenda wakawa wazimu. Utawakuta kwa mabarabara wakiabudu miti na magari kwa suti ya mungu. Tukumbuke kuwa, anayejificha katika matumizi ya mihadarati ulevi utamfichua.
Tunakushauri wewe mwanafunzi kataa kata kata kutumia madawa ya kulevya, yatakuaribia maisha.
Utakapo wachagua masaibu uwe makini. Wengine ni wabaya. Hata usikubali kungalua au kuuza madawa ya kulevya. Kumbuka nazi moja haramu ya zote. Tumewasikia watu waliotumia madawa ya kulevya na wakawa vipofu daima dawamu. Mihadarati imefanya watu wengine kutabawali mbele ya wengine. Tujiadhari kabla ya hatari. | Afya ni bora kuliko nini | {
"text": [
"mali"
]
} |
4733_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya yana madhara sufufu. Madawa ya kulevya ni nini? Ni kitu chochote kinachotumiwa kuathiri fikira ya mtu aitumiaye. Madawa ya kulevya ni kama bangi, kasumba, sigara na tumbako. Husababisha magonjwa ya saratani ya mapafu na kukauka kwa mdomo. Nani asiyejua kuwa afya ni bora kuliko mali?
Madawa ya kulevya pia husababisha wanafunzi kuacha shule. Wasichana na vijana wa siku hizi huzitumia madawa hayo. Mwishoe huenda kutiwa mimba. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kugombana na kufurushana kwa majumba zao. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kuwa na mienendo mabaya.
Watu siku hizi hufanya jambo lolote ili waweze kukunywa pombe. Huwezekana wakaiba kwa wenzio na kugeuka wahalifu. Watu wanaotumia madawa za kulevya wengineo hukosea watu heshima. Mara si mara ameshaanza kupiga domo kwa kelele, ata inawezekana wakaitoboa siri zako. Kweli heshima si utumwa. Watu wengine wakipiga maji hujiletea magonjwa kama kisonono, ukimwi na magonjwa mengineyo.
Wanafunzi shuleni wakitumia madawa haya, huenda wakakataa masomo. Hapo ndipo wanafunzi wengine huwakeketa wenzao mabweni, watu wengine pia huenda wakawa wazimu. Utawakuta kwa mabarabara wakiabudu miti na magari kwa suti ya mungu. Tukumbuke kuwa, anayejificha katika matumizi ya mihadarati ulevi utamfichua.
Tunakushauri wewe mwanafunzi kataa kata kata kutumia madawa ya kulevya, yatakuaribia maisha.
Utakapo wachagua masaibu uwe makini. Wengine ni wabaya. Hata usikubali kungalua au kuuza madawa ya kulevya. Kumbuka nazi moja haramu ya zote. Tumewasikia watu waliotumia madawa ya kulevya na wakawa vipofu daima dawamu. Mihadarati imefanya watu wengine kutabawali mbele ya wengine. Tujiadhari kabla ya hatari. | Dawa za kulevya husababisha nani kuacha shule | {
"text": [
"wanafunzi"
]
} |
4733_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya yana madhara sufufu. Madawa ya kulevya ni nini? Ni kitu chochote kinachotumiwa kuathiri fikira ya mtu aitumiaye. Madawa ya kulevya ni kama bangi, kasumba, sigara na tumbako. Husababisha magonjwa ya saratani ya mapafu na kukauka kwa mdomo. Nani asiyejua kuwa afya ni bora kuliko mali?
Madawa ya kulevya pia husababisha wanafunzi kuacha shule. Wasichana na vijana wa siku hizi huzitumia madawa hayo. Mwishoe huenda kutiwa mimba. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kugombana na kufurushana kwa majumba zao. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kuwa na mienendo mabaya.
Watu siku hizi hufanya jambo lolote ili waweze kukunywa pombe. Huwezekana wakaiba kwa wenzio na kugeuka wahalifu. Watu wanaotumia madawa za kulevya wengineo hukosea watu heshima. Mara si mara ameshaanza kupiga domo kwa kelele, ata inawezekana wakaitoboa siri zako. Kweli heshima si utumwa. Watu wengine wakipiga maji hujiletea magonjwa kama kisonono, ukimwi na magonjwa mengineyo.
Wanafunzi shuleni wakitumia madawa haya, huenda wakakataa masomo. Hapo ndipo wanafunzi wengine huwakeketa wenzao mabweni, watu wengine pia huenda wakawa wazimu. Utawakuta kwa mabarabara wakiabudu miti na magari kwa suti ya mungu. Tukumbuke kuwa, anayejificha katika matumizi ya mihadarati ulevi utamfichua.
Tunakushauri wewe mwanafunzi kataa kata kata kutumia madawa ya kulevya, yatakuaribia maisha.
Utakapo wachagua masaibu uwe makini. Wengine ni wabaya. Hata usikubali kungalua au kuuza madawa ya kulevya. Kumbuka nazi moja haramu ya zote. Tumewasikia watu waliotumia madawa ya kulevya na wakawa vipofu daima dawamu. Mihadarati imefanya watu wengine kutabawali mbele ya wengine. Tujiadhari kabla ya hatari. | Lini watu hufanya lolote ili waweze kunywa pombe | {
"text": [
"siku hizi"
]
} |
4733_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya yana madhara sufufu. Madawa ya kulevya ni nini? Ni kitu chochote kinachotumiwa kuathiri fikira ya mtu aitumiaye. Madawa ya kulevya ni kama bangi, kasumba, sigara na tumbako. Husababisha magonjwa ya saratani ya mapafu na kukauka kwa mdomo. Nani asiyejua kuwa afya ni bora kuliko mali?
Madawa ya kulevya pia husababisha wanafunzi kuacha shule. Wasichana na vijana wa siku hizi huzitumia madawa hayo. Mwishoe huenda kutiwa mimba. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kugombana na kufurushana kwa majumba zao. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kuwa na mienendo mabaya.
Watu siku hizi hufanya jambo lolote ili waweze kukunywa pombe. Huwezekana wakaiba kwa wenzio na kugeuka wahalifu. Watu wanaotumia madawa za kulevya wengineo hukosea watu heshima. Mara si mara ameshaanza kupiga domo kwa kelele, ata inawezekana wakaitoboa siri zako. Kweli heshima si utumwa. Watu wengine wakipiga maji hujiletea magonjwa kama kisonono, ukimwi na magonjwa mengineyo.
Wanafunzi shuleni wakitumia madawa haya, huenda wakakataa masomo. Hapo ndipo wanafunzi wengine huwakeketa wenzao mabweni, watu wengine pia huenda wakawa wazimu. Utawakuta kwa mabarabara wakiabudu miti na magari kwa suti ya mungu. Tukumbuke kuwa, anayejificha katika matumizi ya mihadarati ulevi utamfichua.
Tunakushauri wewe mwanafunzi kataa kata kata kutumia madawa ya kulevya, yatakuaribia maisha.
Utakapo wachagua masaibu uwe makini. Wengine ni wabaya. Hata usikubali kungalua au kuuza madawa ya kulevya. Kumbuka nazi moja haramu ya zote. Tumewasikia watu waliotumia madawa ya kulevya na wakawa vipofu daima dawamu. Mihadarati imefanya watu wengine kutabawali mbele ya wengine. Tujiadhari kabla ya hatari. | Watu wengine wakipiga maji hujiletea nini | {
"text": [
"magonjwa"
]
} |
4733_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya yana madhara sufufu. Madawa ya kulevya ni nini? Ni kitu chochote kinachotumiwa kuathiri fikira ya mtu aitumiaye. Madawa ya kulevya ni kama bangi, kasumba, sigara na tumbako. Husababisha magonjwa ya saratani ya mapafu na kukauka kwa mdomo. Nani asiyejua kuwa afya ni bora kuliko mali?
Madawa ya kulevya pia husababisha wanafunzi kuacha shule. Wasichana na vijana wa siku hizi huzitumia madawa hayo. Mwishoe huenda kutiwa mimba. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kugombana na kufurushana kwa majumba zao. Madawa ya kulevya pia husababisha watu kuwa na mienendo mabaya.
Watu siku hizi hufanya jambo lolote ili waweze kukunywa pombe. Huwezekana wakaiba kwa wenzio na kugeuka wahalifu. Watu wanaotumia madawa za kulevya wengineo hukosea watu heshima. Mara si mara ameshaanza kupiga domo kwa kelele, ata inawezekana wakaitoboa siri zako. Kweli heshima si utumwa. Watu wengine wakipiga maji hujiletea magonjwa kama kisonono, ukimwi na magonjwa mengineyo.
Wanafunzi shuleni wakitumia madawa haya, huenda wakakataa masomo. Hapo ndipo wanafunzi wengine huwakeketa wenzao mabweni, watu wengine pia huenda wakawa wazimu. Utawakuta kwa mabarabara wakiabudu miti na magari kwa suti ya mungu. Tukumbuke kuwa, anayejificha katika matumizi ya mihadarati ulevi utamfichua.
Tunakushauri wewe mwanafunzi kataa kata kata kutumia madawa ya kulevya, yatakuaribia maisha.
Utakapo wachagua masaibu uwe makini. Wengine ni wabaya. Hata usikubali kungalua au kuuza madawa ya kulevya. Kumbuka nazi moja haramu ya zote. Tumewasikia watu waliotumia madawa ya kulevya na wakawa vipofu daima dawamu. Mihadarati imefanya watu wengine kutabawali mbele ya wengine. Tujiadhari kabla ya hatari. | Madawa ya kulevya yatakuharibia nini | {
"text": [
"maisha"
]
} |
4736_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo zinaweza kuharibu afya ya mja. Madawa haya ya kulevya, yanaweza kutumiwa kwa njia mbalimbali, kama vile inaweza kunywewa, kuliwa kuwekwa kwenye chakula na hata inaweza kudungwa kwenye mwili wa mtu kwa kutumia sirinji.
Vile vile, madawa haya yana madhara chungu nzima. Ya kwanza ni kwamba inaweza kutupa saratani. Kuna saratani ya mdomo, mapafu na hata matumbo. Saratani hii husababisha na utumiaji wa madawa za kulevya kama vile sigara. Moshi wa sigara huingia mapafuni mwa mja na hapo ugonjwa huu wa saratani unaendelea kuongezeka. Aidha, madawa haya ya kulevya humfanya mwanafunzi kutokuwa makini darasani kwa sababu yeye anafikiria kuhusu pombe au hata anaweza kuwa amelewa chakari. Matokeo haya pia yanaweza kumfanya awache shule ili akaendelee kutumia dawa za kulevya asijue kuwa, elimu ni ufunguo wa maisha.
Mathlani, madawa haya ya kulevya humfanya mja kupoteza pesa zake bure bilashi kwa sababu ya kununua madawa ya kulevya. Watu hawa wanaotumia pesa zao vibaya huenda wasijue kitakachofuata hapo baadaye wakati hela zao zote zimeisha. Wengine hata huamua kuuza vitu vyake vya nyumba ili apate hela za kununua madawa za kulevya. Fauka ya hayo, unajua kuwa madawa ya kulevya yanaweza kumsababishia mtu ajali? Pindi tu mtu anapotoka kwenye klabu, yeye hajali uhai wake kwani wakati huwa amelewa chakari na kunuka fe! Yeye anaingia kwa gari na kuendesha gari kwa kasi au kama mtu aliye na usingizi, yaani anaendesha akiwa anasinzia. Hapo baadaye yote hupoteza mwelekeo wa gari na kugonga watu au hata yeye mwenyewe abingirike bingiri bingiri na kufa au kuponea chupuchupu katika tundu la sindano.
Hali kadhalika madawa ya kulevya imezifanya familia nyingi humu nchini kusambaratika. Mama au baba anaweza kuwa anatumia dawa za kulevya, hasa baba. Mara nyingi baba hurudi nyumbani usiku mwendo wa saa tano unusu huku akiwa amelewa chakari na kuanza kumpiga mama bila kasoro yoyote ile. Hii hufanya familia kusambaratika na mama kubaki na watoto huku akiwalea.
Isitoshe, madawa ya kulevya huwafanya wanandoa kuachana bila kutalakiana. Bibi au bwana wanapokuwa na mtoto kule nyumbani, mmoja wao anaweza kuwa amelewa sana na hata anaweza kuamua kumpiga mwanandoa mwenzake anapokuwa ametumia madawa ya kulevya.
Pamoja na hayo, mtu anaweza kuwa mwenda wazimu iwapo atatumia madawa ya kulevya. Anapokuwa mwendawazimu yeye huamua kwenda kuishi mahali duni akidhani huko ni kuzuri mno kuliko nyumbani. Akiwa huko anaweza hata kumtupia mtu matusi ilhali mtu huyo hajamchokoza wala kumchezea.
Vile vile, watumia madawa za kulevya wanaweza kujitosa katika visa vya uhalifu ikiwemo wizi, ubakaji na hata utekaji nyara. Watu hawa wanaoshiriki katika visa hivi vya uhalifu huwa wanafanya hivi ili wawahadae watu ili wapate pesa. Wasipofanya hivi wanawaua watu hao waliokataa.
Mbali na hayo yote, madawa ya kulevya huwafanya watu wawe na uraibu wa kutumia madawa ya kulevya. Watu hawa wakishazoea kutumia madawa haya, huwa ni vigumu sana kwao kuacha kucha.
Pia, ni muhimu sana kufuata masharti ili tupunguze madhara ya kulevya, pia dawa za kulevya ni hatari sana. Mkumbuke kuwa dawa za kulevya hazifai kutumiwa. | Saratani ya mapafu, mdomo na matumbo husababishwa na nini | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4736_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo zinaweza kuharibu afya ya mja. Madawa haya ya kulevya, yanaweza kutumiwa kwa njia mbalimbali, kama vile inaweza kunywewa, kuliwa kuwekwa kwenye chakula na hata inaweza kudungwa kwenye mwili wa mtu kwa kutumia sirinji.
Vile vile, madawa haya yana madhara chungu nzima. Ya kwanza ni kwamba inaweza kutupa saratani. Kuna saratani ya mdomo, mapafu na hata matumbo. Saratani hii husababisha na utumiaji wa madawa za kulevya kama vile sigara. Moshi wa sigara huingia mapafuni mwa mja na hapo ugonjwa huu wa saratani unaendelea kuongezeka. Aidha, madawa haya ya kulevya humfanya mwanafunzi kutokuwa makini darasani kwa sababu yeye anafikiria kuhusu pombe au hata anaweza kuwa amelewa chakari. Matokeo haya pia yanaweza kumfanya awache shule ili akaendelee kutumia dawa za kulevya asijue kuwa, elimu ni ufunguo wa maisha.
Mathlani, madawa haya ya kulevya humfanya mja kupoteza pesa zake bure bilashi kwa sababu ya kununua madawa ya kulevya. Watu hawa wanaotumia pesa zao vibaya huenda wasijue kitakachofuata hapo baadaye wakati hela zao zote zimeisha. Wengine hata huamua kuuza vitu vyake vya nyumba ili apate hela za kununua madawa za kulevya. Fauka ya hayo, unajua kuwa madawa ya kulevya yanaweza kumsababishia mtu ajali? Pindi tu mtu anapotoka kwenye klabu, yeye hajali uhai wake kwani wakati huwa amelewa chakari na kunuka fe! Yeye anaingia kwa gari na kuendesha gari kwa kasi au kama mtu aliye na usingizi, yaani anaendesha akiwa anasinzia. Hapo baadaye yote hupoteza mwelekeo wa gari na kugonga watu au hata yeye mwenyewe abingirike bingiri bingiri na kufa au kuponea chupuchupu katika tundu la sindano.
Hali kadhalika madawa ya kulevya imezifanya familia nyingi humu nchini kusambaratika. Mama au baba anaweza kuwa anatumia dawa za kulevya, hasa baba. Mara nyingi baba hurudi nyumbani usiku mwendo wa saa tano unusu huku akiwa amelewa chakari na kuanza kumpiga mama bila kasoro yoyote ile. Hii hufanya familia kusambaratika na mama kubaki na watoto huku akiwalea.
Isitoshe, madawa ya kulevya huwafanya wanandoa kuachana bila kutalakiana. Bibi au bwana wanapokuwa na mtoto kule nyumbani, mmoja wao anaweza kuwa amelewa sana na hata anaweza kuamua kumpiga mwanandoa mwenzake anapokuwa ametumia madawa ya kulevya.
Pamoja na hayo, mtu anaweza kuwa mwenda wazimu iwapo atatumia madawa ya kulevya. Anapokuwa mwendawazimu yeye huamua kwenda kuishi mahali duni akidhani huko ni kuzuri mno kuliko nyumbani. Akiwa huko anaweza hata kumtupia mtu matusi ilhali mtu huyo hajamchokoza wala kumchezea.
Vile vile, watumia madawa za kulevya wanaweza kujitosa katika visa vya uhalifu ikiwemo wizi, ubakaji na hata utekaji nyara. Watu hawa wanaoshiriki katika visa hivi vya uhalifu huwa wanafanya hivi ili wawahadae watu ili wapate pesa. Wasipofanya hivi wanawaua watu hao waliokataa.
Mbali na hayo yote, madawa ya kulevya huwafanya watu wawe na uraibu wa kutumia madawa ya kulevya. Watu hawa wakishazoea kutumia madawa haya, huwa ni vigumu sana kwao kuacha kucha.
Pia, ni muhimu sana kufuata masharti ili tupunguze madhara ya kulevya, pia dawa za kulevya ni hatari sana. Mkumbuke kuwa dawa za kulevya hazifai kutumiwa. | Dawa za kulevya zinaweza vipi kusababisha ajali | {
"text": [
"Ukiendesha gari ukiwa mlevi"
]
} |
4736_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo zinaweza kuharibu afya ya mja. Madawa haya ya kulevya, yanaweza kutumiwa kwa njia mbalimbali, kama vile inaweza kunywewa, kuliwa kuwekwa kwenye chakula na hata inaweza kudungwa kwenye mwili wa mtu kwa kutumia sirinji.
Vile vile, madawa haya yana madhara chungu nzima. Ya kwanza ni kwamba inaweza kutupa saratani. Kuna saratani ya mdomo, mapafu na hata matumbo. Saratani hii husababisha na utumiaji wa madawa za kulevya kama vile sigara. Moshi wa sigara huingia mapafuni mwa mja na hapo ugonjwa huu wa saratani unaendelea kuongezeka. Aidha, madawa haya ya kulevya humfanya mwanafunzi kutokuwa makini darasani kwa sababu yeye anafikiria kuhusu pombe au hata anaweza kuwa amelewa chakari. Matokeo haya pia yanaweza kumfanya awache shule ili akaendelee kutumia dawa za kulevya asijue kuwa, elimu ni ufunguo wa maisha.
Mathlani, madawa haya ya kulevya humfanya mja kupoteza pesa zake bure bilashi kwa sababu ya kununua madawa ya kulevya. Watu hawa wanaotumia pesa zao vibaya huenda wasijue kitakachofuata hapo baadaye wakati hela zao zote zimeisha. Wengine hata huamua kuuza vitu vyake vya nyumba ili apate hela za kununua madawa za kulevya. Fauka ya hayo, unajua kuwa madawa ya kulevya yanaweza kumsababishia mtu ajali? Pindi tu mtu anapotoka kwenye klabu, yeye hajali uhai wake kwani wakati huwa amelewa chakari na kunuka fe! Yeye anaingia kwa gari na kuendesha gari kwa kasi au kama mtu aliye na usingizi, yaani anaendesha akiwa anasinzia. Hapo baadaye yote hupoteza mwelekeo wa gari na kugonga watu au hata yeye mwenyewe abingirike bingiri bingiri na kufa au kuponea chupuchupu katika tundu la sindano.
Hali kadhalika madawa ya kulevya imezifanya familia nyingi humu nchini kusambaratika. Mama au baba anaweza kuwa anatumia dawa za kulevya, hasa baba. Mara nyingi baba hurudi nyumbani usiku mwendo wa saa tano unusu huku akiwa amelewa chakari na kuanza kumpiga mama bila kasoro yoyote ile. Hii hufanya familia kusambaratika na mama kubaki na watoto huku akiwalea.
Isitoshe, madawa ya kulevya huwafanya wanandoa kuachana bila kutalakiana. Bibi au bwana wanapokuwa na mtoto kule nyumbani, mmoja wao anaweza kuwa amelewa sana na hata anaweza kuamua kumpiga mwanandoa mwenzake anapokuwa ametumia madawa ya kulevya.
Pamoja na hayo, mtu anaweza kuwa mwenda wazimu iwapo atatumia madawa ya kulevya. Anapokuwa mwendawazimu yeye huamua kwenda kuishi mahali duni akidhani huko ni kuzuri mno kuliko nyumbani. Akiwa huko anaweza hata kumtupia mtu matusi ilhali mtu huyo hajamchokoza wala kumchezea.
Vile vile, watumia madawa za kulevya wanaweza kujitosa katika visa vya uhalifu ikiwemo wizi, ubakaji na hata utekaji nyara. Watu hawa wanaoshiriki katika visa hivi vya uhalifu huwa wanafanya hivi ili wawahadae watu ili wapate pesa. Wasipofanya hivi wanawaua watu hao waliokataa.
Mbali na hayo yote, madawa ya kulevya huwafanya watu wawe na uraibu wa kutumia madawa ya kulevya. Watu hawa wakishazoea kutumia madawa haya, huwa ni vigumu sana kwao kuacha kucha.
Pia, ni muhimu sana kufuata masharti ili tupunguze madhara ya kulevya, pia dawa za kulevya ni hatari sana. Mkumbuke kuwa dawa za kulevya hazifai kutumiwa. | Kipi kimesambaratisha familia nyingi | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4736_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo zinaweza kuharibu afya ya mja. Madawa haya ya kulevya, yanaweza kutumiwa kwa njia mbalimbali, kama vile inaweza kunywewa, kuliwa kuwekwa kwenye chakula na hata inaweza kudungwa kwenye mwili wa mtu kwa kutumia sirinji.
Vile vile, madawa haya yana madhara chungu nzima. Ya kwanza ni kwamba inaweza kutupa saratani. Kuna saratani ya mdomo, mapafu na hata matumbo. Saratani hii husababisha na utumiaji wa madawa za kulevya kama vile sigara. Moshi wa sigara huingia mapafuni mwa mja na hapo ugonjwa huu wa saratani unaendelea kuongezeka. Aidha, madawa haya ya kulevya humfanya mwanafunzi kutokuwa makini darasani kwa sababu yeye anafikiria kuhusu pombe au hata anaweza kuwa amelewa chakari. Matokeo haya pia yanaweza kumfanya awache shule ili akaendelee kutumia dawa za kulevya asijue kuwa, elimu ni ufunguo wa maisha.
Mathlani, madawa haya ya kulevya humfanya mja kupoteza pesa zake bure bilashi kwa sababu ya kununua madawa ya kulevya. Watu hawa wanaotumia pesa zao vibaya huenda wasijue kitakachofuata hapo baadaye wakati hela zao zote zimeisha. Wengine hata huamua kuuza vitu vyake vya nyumba ili apate hela za kununua madawa za kulevya. Fauka ya hayo, unajua kuwa madawa ya kulevya yanaweza kumsababishia mtu ajali? Pindi tu mtu anapotoka kwenye klabu, yeye hajali uhai wake kwani wakati huwa amelewa chakari na kunuka fe! Yeye anaingia kwa gari na kuendesha gari kwa kasi au kama mtu aliye na usingizi, yaani anaendesha akiwa anasinzia. Hapo baadaye yote hupoteza mwelekeo wa gari na kugonga watu au hata yeye mwenyewe abingirike bingiri bingiri na kufa au kuponea chupuchupu katika tundu la sindano.
Hali kadhalika madawa ya kulevya imezifanya familia nyingi humu nchini kusambaratika. Mama au baba anaweza kuwa anatumia dawa za kulevya, hasa baba. Mara nyingi baba hurudi nyumbani usiku mwendo wa saa tano unusu huku akiwa amelewa chakari na kuanza kumpiga mama bila kasoro yoyote ile. Hii hufanya familia kusambaratika na mama kubaki na watoto huku akiwalea.
Isitoshe, madawa ya kulevya huwafanya wanandoa kuachana bila kutalakiana. Bibi au bwana wanapokuwa na mtoto kule nyumbani, mmoja wao anaweza kuwa amelewa sana na hata anaweza kuamua kumpiga mwanandoa mwenzake anapokuwa ametumia madawa ya kulevya.
Pamoja na hayo, mtu anaweza kuwa mwenda wazimu iwapo atatumia madawa ya kulevya. Anapokuwa mwendawazimu yeye huamua kwenda kuishi mahali duni akidhani huko ni kuzuri mno kuliko nyumbani. Akiwa huko anaweza hata kumtupia mtu matusi ilhali mtu huyo hajamchokoza wala kumchezea.
Vile vile, watumia madawa za kulevya wanaweza kujitosa katika visa vya uhalifu ikiwemo wizi, ubakaji na hata utekaji nyara. Watu hawa wanaoshiriki katika visa hivi vya uhalifu huwa wanafanya hivi ili wawahadae watu ili wapate pesa. Wasipofanya hivi wanawaua watu hao waliokataa.
Mbali na hayo yote, madawa ya kulevya huwafanya watu wawe na uraibu wa kutumia madawa ya kulevya. Watu hawa wakishazoea kutumia madawa haya, huwa ni vigumu sana kwao kuacha kucha.
Pia, ni muhimu sana kufuata masharti ili tupunguze madhara ya kulevya, pia dawa za kulevya ni hatari sana. Mkumbuke kuwa dawa za kulevya hazifai kutumiwa. | Dawa zipi huchangia mtu kuwa mwendawazimu | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4736_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulevya ni chembe ambazo zinaweza kuharibu afya ya mja. Madawa haya ya kulevya, yanaweza kutumiwa kwa njia mbalimbali, kama vile inaweza kunywewa, kuliwa kuwekwa kwenye chakula na hata inaweza kudungwa kwenye mwili wa mtu kwa kutumia sirinji.
Vile vile, madawa haya yana madhara chungu nzima. Ya kwanza ni kwamba inaweza kutupa saratani. Kuna saratani ya mdomo, mapafu na hata matumbo. Saratani hii husababisha na utumiaji wa madawa za kulevya kama vile sigara. Moshi wa sigara huingia mapafuni mwa mja na hapo ugonjwa huu wa saratani unaendelea kuongezeka. Aidha, madawa haya ya kulevya humfanya mwanafunzi kutokuwa makini darasani kwa sababu yeye anafikiria kuhusu pombe au hata anaweza kuwa amelewa chakari. Matokeo haya pia yanaweza kumfanya awache shule ili akaendelee kutumia dawa za kulevya asijue kuwa, elimu ni ufunguo wa maisha.
Mathlani, madawa haya ya kulevya humfanya mja kupoteza pesa zake bure bilashi kwa sababu ya kununua madawa ya kulevya. Watu hawa wanaotumia pesa zao vibaya huenda wasijue kitakachofuata hapo baadaye wakati hela zao zote zimeisha. Wengine hata huamua kuuza vitu vyake vya nyumba ili apate hela za kununua madawa za kulevya. Fauka ya hayo, unajua kuwa madawa ya kulevya yanaweza kumsababishia mtu ajali? Pindi tu mtu anapotoka kwenye klabu, yeye hajali uhai wake kwani wakati huwa amelewa chakari na kunuka fe! Yeye anaingia kwa gari na kuendesha gari kwa kasi au kama mtu aliye na usingizi, yaani anaendesha akiwa anasinzia. Hapo baadaye yote hupoteza mwelekeo wa gari na kugonga watu au hata yeye mwenyewe abingirike bingiri bingiri na kufa au kuponea chupuchupu katika tundu la sindano.
Hali kadhalika madawa ya kulevya imezifanya familia nyingi humu nchini kusambaratika. Mama au baba anaweza kuwa anatumia dawa za kulevya, hasa baba. Mara nyingi baba hurudi nyumbani usiku mwendo wa saa tano unusu huku akiwa amelewa chakari na kuanza kumpiga mama bila kasoro yoyote ile. Hii hufanya familia kusambaratika na mama kubaki na watoto huku akiwalea.
Isitoshe, madawa ya kulevya huwafanya wanandoa kuachana bila kutalakiana. Bibi au bwana wanapokuwa na mtoto kule nyumbani, mmoja wao anaweza kuwa amelewa sana na hata anaweza kuamua kumpiga mwanandoa mwenzake anapokuwa ametumia madawa ya kulevya.
Pamoja na hayo, mtu anaweza kuwa mwenda wazimu iwapo atatumia madawa ya kulevya. Anapokuwa mwendawazimu yeye huamua kwenda kuishi mahali duni akidhani huko ni kuzuri mno kuliko nyumbani. Akiwa huko anaweza hata kumtupia mtu matusi ilhali mtu huyo hajamchokoza wala kumchezea.
Vile vile, watumia madawa za kulevya wanaweza kujitosa katika visa vya uhalifu ikiwemo wizi, ubakaji na hata utekaji nyara. Watu hawa wanaoshiriki katika visa hivi vya uhalifu huwa wanafanya hivi ili wawahadae watu ili wapate pesa. Wasipofanya hivi wanawaua watu hao waliokataa.
Mbali na hayo yote, madawa ya kulevya huwafanya watu wawe na uraibu wa kutumia madawa ya kulevya. Watu hawa wakishazoea kutumia madawa haya, huwa ni vigumu sana kwao kuacha kucha.
Pia, ni muhimu sana kufuata masharti ili tupunguze madhara ya kulevya, pia dawa za kulevya ni hatari sana. Mkumbuke kuwa dawa za kulevya hazifai kutumiwa. | Waraibu wa dawa za kulevya wanaweza jitosa katika visa vipi vya uhalifu | {
"text": [
"Wizi na ubakaji"
]
} |
4738_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Dawa ya kulevya ni dawa ambazo mtu anapozitumia huathiriki fikra za mtu na kumchanganya akili zake. Madawa haya huweza kuathiri akili za binadamu kiasi cha kumfanya akili pungufu.
Madhara haya ni pamoja na magonjwa kama vile kifua kikuu. Madawa haya ni kama vile bangi, kasumba, sigara na tumbaku.
Bangi ni majani ya mimea fulani yanayolevya au kupumbaza akili yanapotafunwa au kuvutwa kama sigara. Bangi humfanya mtu kuona vitu ambavyo haviko. Dawa hizi humlevya mtu. Yaani humfanya mto kuwa hohehahe. Mtu hutembea kama vile swara aliyepigwa mkuki ni msasi hutembea. Mtu ambaye hutumia dawa hizi huwa na akili pungufu, yeye huweza kuja nyumbani na kuanza kuipa familia yake kichapo mithili ya mbwa akulaye mayai.
Mihadarati hizi zikishatumiwa huwaathiri wale ambao hawatumii dawa za kulevya. Wanaovuta dawa hizi hawajali maisha ya wenzao. Kwao huvuta ovyo ovyo na tena mahali popote.
Vifo vya watu wengi vimeletwa na matumizi ya dawa za kulevya. Watu hufa wengi kwani magonjwa kama vile ya kifua kikuu na ukimwi huwa kwa muda mfupi. Watu wanaotumia dawa hizi hujihusisha na ngono na hupata magonjwa ya zinaa.
Watu wanaotumia mihadarati huihusisha na ajali za barabarani. Madereva ambao wamesalia miwani huendesha gari vibaya barabarani. Mihadarati humfanya mtu kuanza kuwapiga wengine. Wanapenda vita kwani wanajiona wenye nguvu. Wanafunzi wanaotumia mihadarati hujihusisha na wizi. Wao huiba kwa ajili ya kupata fedha za kununua dawa za kulevya. Watu wengine hujihusisha na vitu kama vile kuchoma shule, kuiba kwa mabenki na kuiba vitu vya wapita njia. Wanafunzi wengine hutoroka shuleni.
Pombe huwafanya watu kusahau majukumu yao ya nyumbani. Wengine huenda asubuhi na kurudi usiku wa manane na kuitisha chakula ambacho hawajanunua. Pombe hufanya watu kuwa wavivu. Watu hulala tu kwani tembo imefuruga akili zao. Wengine wao hulala ndani ya mitaro.
Kwa hivyo tunafaa tujihadhari kabla ya hatari. | Dawa za kulevya huathiri nini? | {
"text": [
"Akili za binadamu"
]
} |
4738_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Dawa ya kulevya ni dawa ambazo mtu anapozitumia huathiriki fikra za mtu na kumchanganya akili zake. Madawa haya huweza kuathiri akili za binadamu kiasi cha kumfanya akili pungufu.
Madhara haya ni pamoja na magonjwa kama vile kifua kikuu. Madawa haya ni kama vile bangi, kasumba, sigara na tumbaku.
Bangi ni majani ya mimea fulani yanayolevya au kupumbaza akili yanapotafunwa au kuvutwa kama sigara. Bangi humfanya mtu kuona vitu ambavyo haviko. Dawa hizi humlevya mtu. Yaani humfanya mto kuwa hohehahe. Mtu hutembea kama vile swara aliyepigwa mkuki ni msasi hutembea. Mtu ambaye hutumia dawa hizi huwa na akili pungufu, yeye huweza kuja nyumbani na kuanza kuipa familia yake kichapo mithili ya mbwa akulaye mayai.
Mihadarati hizi zikishatumiwa huwaathiri wale ambao hawatumii dawa za kulevya. Wanaovuta dawa hizi hawajali maisha ya wenzao. Kwao huvuta ovyo ovyo na tena mahali popote.
Vifo vya watu wengi vimeletwa na matumizi ya dawa za kulevya. Watu hufa wengi kwani magonjwa kama vile ya kifua kikuu na ukimwi huwa kwa muda mfupi. Watu wanaotumia dawa hizi hujihusisha na ngono na hupata magonjwa ya zinaa.
Watu wanaotumia mihadarati huihusisha na ajali za barabarani. Madereva ambao wamesalia miwani huendesha gari vibaya barabarani. Mihadarati humfanya mtu kuanza kuwapiga wengine. Wanapenda vita kwani wanajiona wenye nguvu. Wanafunzi wanaotumia mihadarati hujihusisha na wizi. Wao huiba kwa ajili ya kupata fedha za kununua dawa za kulevya. Watu wengine hujihusisha na vitu kama vile kuchoma shule, kuiba kwa mabenki na kuiba vitu vya wapita njia. Wanafunzi wengine hutoroka shuleni.
Pombe huwafanya watu kusahau majukumu yao ya nyumbani. Wengine huenda asubuhi na kurudi usiku wa manane na kuitisha chakula ambacho hawajanunua. Pombe hufanya watu kuwa wavivu. Watu hulala tu kwani tembo imefuruga akili zao. Wengine wao hulala ndani ya mitaro.
Kwa hivyo tunafaa tujihadhari kabla ya hatari. | Taja baadhi ya magonjwa yanayosababishwa na dawa za kulevya | {
"text": [
"Kifua kikuu"
]
} |
4738_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Dawa ya kulevya ni dawa ambazo mtu anapozitumia huathiriki fikra za mtu na kumchanganya akili zake. Madawa haya huweza kuathiri akili za binadamu kiasi cha kumfanya akili pungufu.
Madhara haya ni pamoja na magonjwa kama vile kifua kikuu. Madawa haya ni kama vile bangi, kasumba, sigara na tumbaku.
Bangi ni majani ya mimea fulani yanayolevya au kupumbaza akili yanapotafunwa au kuvutwa kama sigara. Bangi humfanya mtu kuona vitu ambavyo haviko. Dawa hizi humlevya mtu. Yaani humfanya mto kuwa hohehahe. Mtu hutembea kama vile swara aliyepigwa mkuki ni msasi hutembea. Mtu ambaye hutumia dawa hizi huwa na akili pungufu, yeye huweza kuja nyumbani na kuanza kuipa familia yake kichapo mithili ya mbwa akulaye mayai.
Mihadarati hizi zikishatumiwa huwaathiri wale ambao hawatumii dawa za kulevya. Wanaovuta dawa hizi hawajali maisha ya wenzao. Kwao huvuta ovyo ovyo na tena mahali popote.
Vifo vya watu wengi vimeletwa na matumizi ya dawa za kulevya. Watu hufa wengi kwani magonjwa kama vile ya kifua kikuu na ukimwi huwa kwa muda mfupi. Watu wanaotumia dawa hizi hujihusisha na ngono na hupata magonjwa ya zinaa.
Watu wanaotumia mihadarati huihusisha na ajali za barabarani. Madereva ambao wamesalia miwani huendesha gari vibaya barabarani. Mihadarati humfanya mtu kuanza kuwapiga wengine. Wanapenda vita kwani wanajiona wenye nguvu. Wanafunzi wanaotumia mihadarati hujihusisha na wizi. Wao huiba kwa ajili ya kupata fedha za kununua dawa za kulevya. Watu wengine hujihusisha na vitu kama vile kuchoma shule, kuiba kwa mabenki na kuiba vitu vya wapita njia. Wanafunzi wengine hutoroka shuleni.
Pombe huwafanya watu kusahau majukumu yao ya nyumbani. Wengine huenda asubuhi na kurudi usiku wa manane na kuitisha chakula ambacho hawajanunua. Pombe hufanya watu kuwa wavivu. Watu hulala tu kwani tembo imefuruga akili zao. Wengine wao hulala ndani ya mitaro.
Kwa hivyo tunafaa tujihadhari kabla ya hatari. | Bangi ni mmea wa ain gani? | {
"text": [
"Majani ya mmea fulani yanayolevya/kupumbuza akili yanapotafunwa"
]
} |
4738_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Dawa ya kulevya ni dawa ambazo mtu anapozitumia huathiriki fikra za mtu na kumchanganya akili zake. Madawa haya huweza kuathiri akili za binadamu kiasi cha kumfanya akili pungufu.
Madhara haya ni pamoja na magonjwa kama vile kifua kikuu. Madawa haya ni kama vile bangi, kasumba, sigara na tumbaku.
Bangi ni majani ya mimea fulani yanayolevya au kupumbaza akili yanapotafunwa au kuvutwa kama sigara. Bangi humfanya mtu kuona vitu ambavyo haviko. Dawa hizi humlevya mtu. Yaani humfanya mto kuwa hohehahe. Mtu hutembea kama vile swara aliyepigwa mkuki ni msasi hutembea. Mtu ambaye hutumia dawa hizi huwa na akili pungufu, yeye huweza kuja nyumbani na kuanza kuipa familia yake kichapo mithili ya mbwa akulaye mayai.
Mihadarati hizi zikishatumiwa huwaathiri wale ambao hawatumii dawa za kulevya. Wanaovuta dawa hizi hawajali maisha ya wenzao. Kwao huvuta ovyo ovyo na tena mahali popote.
Vifo vya watu wengi vimeletwa na matumizi ya dawa za kulevya. Watu hufa wengi kwani magonjwa kama vile ya kifua kikuu na ukimwi huwa kwa muda mfupi. Watu wanaotumia dawa hizi hujihusisha na ngono na hupata magonjwa ya zinaa.
Watu wanaotumia mihadarati huihusisha na ajali za barabarani. Madereva ambao wamesalia miwani huendesha gari vibaya barabarani. Mihadarati humfanya mtu kuanza kuwapiga wengine. Wanapenda vita kwani wanajiona wenye nguvu. Wanafunzi wanaotumia mihadarati hujihusisha na wizi. Wao huiba kwa ajili ya kupata fedha za kununua dawa za kulevya. Watu wengine hujihusisha na vitu kama vile kuchoma shule, kuiba kwa mabenki na kuiba vitu vya wapita njia. Wanafunzi wengine hutoroka shuleni.
Pombe huwafanya watu kusahau majukumu yao ya nyumbani. Wengine huenda asubuhi na kurudi usiku wa manane na kuitisha chakula ambacho hawajanunua. Pombe hufanya watu kuwa wavivu. Watu hulala tu kwani tembo imefuruga akili zao. Wengine wao hulala ndani ya mitaro.
Kwa hivyo tunafaa tujihadhari kabla ya hatari. | Mtumiaji wa dawa za kulevya hutembea vipi? | {
"text": [
"Kama swara aliyepigwa mkuki"
]
} |
4738_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Dawa ya kulevya ni dawa ambazo mtu anapozitumia huathiriki fikra za mtu na kumchanganya akili zake. Madawa haya huweza kuathiri akili za binadamu kiasi cha kumfanya akili pungufu.
Madhara haya ni pamoja na magonjwa kama vile kifua kikuu. Madawa haya ni kama vile bangi, kasumba, sigara na tumbaku.
Bangi ni majani ya mimea fulani yanayolevya au kupumbaza akili yanapotafunwa au kuvutwa kama sigara. Bangi humfanya mtu kuona vitu ambavyo haviko. Dawa hizi humlevya mtu. Yaani humfanya mto kuwa hohehahe. Mtu hutembea kama vile swara aliyepigwa mkuki ni msasi hutembea. Mtu ambaye hutumia dawa hizi huwa na akili pungufu, yeye huweza kuja nyumbani na kuanza kuipa familia yake kichapo mithili ya mbwa akulaye mayai.
Mihadarati hizi zikishatumiwa huwaathiri wale ambao hawatumii dawa za kulevya. Wanaovuta dawa hizi hawajali maisha ya wenzao. Kwao huvuta ovyo ovyo na tena mahali popote.
Vifo vya watu wengi vimeletwa na matumizi ya dawa za kulevya. Watu hufa wengi kwani magonjwa kama vile ya kifua kikuu na ukimwi huwa kwa muda mfupi. Watu wanaotumia dawa hizi hujihusisha na ngono na hupata magonjwa ya zinaa.
Watu wanaotumia mihadarati huihusisha na ajali za barabarani. Madereva ambao wamesalia miwani huendesha gari vibaya barabarani. Mihadarati humfanya mtu kuanza kuwapiga wengine. Wanapenda vita kwani wanajiona wenye nguvu. Wanafunzi wanaotumia mihadarati hujihusisha na wizi. Wao huiba kwa ajili ya kupata fedha za kununua dawa za kulevya. Watu wengine hujihusisha na vitu kama vile kuchoma shule, kuiba kwa mabenki na kuiba vitu vya wapita njia. Wanafunzi wengine hutoroka shuleni.
Pombe huwafanya watu kusahau majukumu yao ya nyumbani. Wengine huenda asubuhi na kurudi usiku wa manane na kuitisha chakula ambacho hawajanunua. Pombe hufanya watu kuwa wavivu. Watu hulala tu kwani tembo imefuruga akili zao. Wengine wao hulala ndani ya mitaro.
Kwa hivyo tunafaa tujihadhari kabla ya hatari. | Mihadarati huathiri nani mwingine? | {
"text": [
"Wale wasiotumia dawa za kulevya"
]
} |
4739_swa | JANGA LA UKIMWI
Neno ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Huu ni uwele ambao umekuwa ukimghasi binadamu kwa miaka na mikaka maadamu hauna tiba.
Maradhi haya aghalabu huambukizwa kwa ngono. Wakati mwingine, mzazi mhasiriwa humwambukiza mtoto wakati wa kujifungua. Aidha mgonjwa aliyepungukiwa na damu mwilini anapoongezwa damu zaidi, huenda damu hiyo imesafirisha vini hivyo. Fauka ya hayo, mahuluki wanaotumia vifaa vya kudunga, kukalia au kunyolea vifaa kama vile wembe au kisu cha kupashwa tohara huambukizwa kwa urahisi.
Athari za ukongo wa ukimwi ni za kulisha mno. Kilio kilio kilio! kila mahali ni kilio cha kite na simanzi. Mayatima chungu mzima wameachwa na wavyele wao baada ya kusafiri jongomeo kutokana na uwele huu. Mayatima hawa husumbuka kucha kutwa bila ya makao, chakula wala elimu. Hakuna wa kuwavisha wala kuwalisha. Methali ya akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki haijawahi kusadifu kwao.
Serikali hutumia njenje sufufu inapojitahidi kwa jina na ukucha kugharamia ya waliohasiriwa. Hali hii hufanya serikali kufukara zaidi na kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu muhimu. Mbali na hayo, serikali pia hutumia mbongo lukuki za kuwaelimisha wananchi wazalendo kuhusu maradhi haya.
Dhoruba kubwa sana inayosababishwa na janga hili la ukimwi ni ukosefu wa wafanyikazi wa kuzalisha mali nchini. Wahasiriwa wengi ni wale walio na umri wa makamo na wenye taaluma mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti.
Ukimwi pia huchangia pakubwa katika kuzorota kwa maadili katika jamii. Walioambukizwa maradhi haya hushikwa na kiruu cha kutaka kulipiza kisasi. Wao huingia katika anasa kishelabela ili kutosheleza nafsi nao. Mabwenyenye hutumia ukwasi wao kuwateka bakunja na kuwazaini vijana wadogo kufanya mapenzi nao. Wanadai eti upweke ni uvundo! Huu ni upuzi mtupu. Ni heri upweke uvundoo kuliko ujima ukuteremshao kaburini.
Uwele huu umeenea kote na unazidi kusambaa kama moto msituni mkavu. Umesababisha ndoa nyingi kuvunjika. Wapendanao wanapofunga akidi, hula kiapo kuishi pamoja. Lakini punde igundulikapo kwamba mmoja wao ana virusi vya ukimwi, mintaarafu na mafarakano huzuka.
Tetesi, lawama na shutuma hufuatia na hatimaye ndoa kuvunjika. Mke na mume hutengana kama ardhi na mbingu.
Maadamu kila lichomozapo jua halina budi kutua, ningependa kutia tamati kwa kusema huwa ukimwi ni hatari! Ukimwi huua! Ukimwi hauna tiba! Ni sharti kila mwananchi akae ange na kujitahadhari na ugonjwa huu. Kumbuka kuwa, ibilisi wa mtu ni mtu na majuto haya tangulii kamwe! | Neno gani ni ukoefu wa kinga mwilini | {
"text": [
"Ukimwi"
]
} |
4739_swa | JANGA LA UKIMWI
Neno ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Huu ni uwele ambao umekuwa ukimghasi binadamu kwa miaka na mikaka maadamu hauna tiba.
Maradhi haya aghalabu huambukizwa kwa ngono. Wakati mwingine, mzazi mhasiriwa humwambukiza mtoto wakati wa kujifungua. Aidha mgonjwa aliyepungukiwa na damu mwilini anapoongezwa damu zaidi, huenda damu hiyo imesafirisha vini hivyo. Fauka ya hayo, mahuluki wanaotumia vifaa vya kudunga, kukalia au kunyolea vifaa kama vile wembe au kisu cha kupashwa tohara huambukizwa kwa urahisi.
Athari za ukongo wa ukimwi ni za kulisha mno. Kilio kilio kilio! kila mahali ni kilio cha kite na simanzi. Mayatima chungu mzima wameachwa na wavyele wao baada ya kusafiri jongomeo kutokana na uwele huu. Mayatima hawa husumbuka kucha kutwa bila ya makao, chakula wala elimu. Hakuna wa kuwavisha wala kuwalisha. Methali ya akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki haijawahi kusadifu kwao.
Serikali hutumia njenje sufufu inapojitahidi kwa jina na ukucha kugharamia ya waliohasiriwa. Hali hii hufanya serikali kufukara zaidi na kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu muhimu. Mbali na hayo, serikali pia hutumia mbongo lukuki za kuwaelimisha wananchi wazalendo kuhusu maradhi haya.
Dhoruba kubwa sana inayosababishwa na janga hili la ukimwi ni ukosefu wa wafanyikazi wa kuzalisha mali nchini. Wahasiriwa wengi ni wale walio na umri wa makamo na wenye taaluma mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti.
Ukimwi pia huchangia pakubwa katika kuzorota kwa maadili katika jamii. Walioambukizwa maradhi haya hushikwa na kiruu cha kutaka kulipiza kisasi. Wao huingia katika anasa kishelabela ili kutosheleza nafsi nao. Mabwenyenye hutumia ukwasi wao kuwateka bakunja na kuwazaini vijana wadogo kufanya mapenzi nao. Wanadai eti upweke ni uvundo! Huu ni upuzi mtupu. Ni heri upweke uvundoo kuliko ujima ukuteremshao kaburini.
Uwele huu umeenea kote na unazidi kusambaa kama moto msituni mkavu. Umesababisha ndoa nyingi kuvunjika. Wapendanao wanapofunga akidi, hula kiapo kuishi pamoja. Lakini punde igundulikapo kwamba mmoja wao ana virusi vya ukimwi, mintaarafu na mafarakano huzuka.
Tetesi, lawama na shutuma hufuatia na hatimaye ndoa kuvunjika. Mke na mume hutengana kama ardhi na mbingu.
Maadamu kila lichomozapo jua halina budi kutua, ningependa kutia tamati kwa kusema huwa ukimwi ni hatari! Ukimwi huua! Ukimwi hauna tiba! Ni sharti kila mwananchi akae ange na kujitahadhari na ugonjwa huu. Kumbuka kuwa, ibilisi wa mtu ni mtu na majuto haya tangulii kamwe! | Mzazi humwambukiza mtoto lini | {
"text": [
"wakati wa kujifungua"
]
} |
4739_swa | JANGA LA UKIMWI
Neno ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Huu ni uwele ambao umekuwa ukimghasi binadamu kwa miaka na mikaka maadamu hauna tiba.
Maradhi haya aghalabu huambukizwa kwa ngono. Wakati mwingine, mzazi mhasiriwa humwambukiza mtoto wakati wa kujifungua. Aidha mgonjwa aliyepungukiwa na damu mwilini anapoongezwa damu zaidi, huenda damu hiyo imesafirisha vini hivyo. Fauka ya hayo, mahuluki wanaotumia vifaa vya kudunga, kukalia au kunyolea vifaa kama vile wembe au kisu cha kupashwa tohara huambukizwa kwa urahisi.
Athari za ukongo wa ukimwi ni za kulisha mno. Kilio kilio kilio! kila mahali ni kilio cha kite na simanzi. Mayatima chungu mzima wameachwa na wavyele wao baada ya kusafiri jongomeo kutokana na uwele huu. Mayatima hawa husumbuka kucha kutwa bila ya makao, chakula wala elimu. Hakuna wa kuwavisha wala kuwalisha. Methali ya akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki haijawahi kusadifu kwao.
Serikali hutumia njenje sufufu inapojitahidi kwa jina na ukucha kugharamia ya waliohasiriwa. Hali hii hufanya serikali kufukara zaidi na kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu muhimu. Mbali na hayo, serikali pia hutumia mbongo lukuki za kuwaelimisha wananchi wazalendo kuhusu maradhi haya.
Dhoruba kubwa sana inayosababishwa na janga hili la ukimwi ni ukosefu wa wafanyikazi wa kuzalisha mali nchini. Wahasiriwa wengi ni wale walio na umri wa makamo na wenye taaluma mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti.
Ukimwi pia huchangia pakubwa katika kuzorota kwa maadili katika jamii. Walioambukizwa maradhi haya hushikwa na kiruu cha kutaka kulipiza kisasi. Wao huingia katika anasa kishelabela ili kutosheleza nafsi nao. Mabwenyenye hutumia ukwasi wao kuwateka bakunja na kuwazaini vijana wadogo kufanya mapenzi nao. Wanadai eti upweke ni uvundo! Huu ni upuzi mtupu. Ni heri upweke uvundoo kuliko ujima ukuteremshao kaburini.
Uwele huu umeenea kote na unazidi kusambaa kama moto msituni mkavu. Umesababisha ndoa nyingi kuvunjika. Wapendanao wanapofunga akidi, hula kiapo kuishi pamoja. Lakini punde igundulikapo kwamba mmoja wao ana virusi vya ukimwi, mintaarafu na mafarakano huzuka.
Tetesi, lawama na shutuma hufuatia na hatimaye ndoa kuvunjika. Mke na mume hutengana kama ardhi na mbingu.
Maadamu kila lichomozapo jua halina budi kutua, ningependa kutia tamati kwa kusema huwa ukimwi ni hatari! Ukimwi huua! Ukimwi hauna tiba! Ni sharti kila mwananchi akae ange na kujitahadhari na ugonjwa huu. Kumbuka kuwa, ibilisi wa mtu ni mtu na majuto haya tangulii kamwe! | Nani husumbuka bila ya makao na chakula | {
"text": [
"mayatima"
]
} |
4739_swa | JANGA LA UKIMWI
Neno ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Huu ni uwele ambao umekuwa ukimghasi binadamu kwa miaka na mikaka maadamu hauna tiba.
Maradhi haya aghalabu huambukizwa kwa ngono. Wakati mwingine, mzazi mhasiriwa humwambukiza mtoto wakati wa kujifungua. Aidha mgonjwa aliyepungukiwa na damu mwilini anapoongezwa damu zaidi, huenda damu hiyo imesafirisha vini hivyo. Fauka ya hayo, mahuluki wanaotumia vifaa vya kudunga, kukalia au kunyolea vifaa kama vile wembe au kisu cha kupashwa tohara huambukizwa kwa urahisi.
Athari za ukongo wa ukimwi ni za kulisha mno. Kilio kilio kilio! kila mahali ni kilio cha kite na simanzi. Mayatima chungu mzima wameachwa na wavyele wao baada ya kusafiri jongomeo kutokana na uwele huu. Mayatima hawa husumbuka kucha kutwa bila ya makao, chakula wala elimu. Hakuna wa kuwavisha wala kuwalisha. Methali ya akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki haijawahi kusadifu kwao.
Serikali hutumia njenje sufufu inapojitahidi kwa jina na ukucha kugharamia ya waliohasiriwa. Hali hii hufanya serikali kufukara zaidi na kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu muhimu. Mbali na hayo, serikali pia hutumia mbongo lukuki za kuwaelimisha wananchi wazalendo kuhusu maradhi haya.
Dhoruba kubwa sana inayosababishwa na janga hili la ukimwi ni ukosefu wa wafanyikazi wa kuzalisha mali nchini. Wahasiriwa wengi ni wale walio na umri wa makamo na wenye taaluma mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti.
Ukimwi pia huchangia pakubwa katika kuzorota kwa maadili katika jamii. Walioambukizwa maradhi haya hushikwa na kiruu cha kutaka kulipiza kisasi. Wao huingia katika anasa kishelabela ili kutosheleza nafsi nao. Mabwenyenye hutumia ukwasi wao kuwateka bakunja na kuwazaini vijana wadogo kufanya mapenzi nao. Wanadai eti upweke ni uvundo! Huu ni upuzi mtupu. Ni heri upweke uvundoo kuliko ujima ukuteremshao kaburini.
Uwele huu umeenea kote na unazidi kusambaa kama moto msituni mkavu. Umesababisha ndoa nyingi kuvunjika. Wapendanao wanapofunga akidi, hula kiapo kuishi pamoja. Lakini punde igundulikapo kwamba mmoja wao ana virusi vya ukimwi, mintaarafu na mafarakano huzuka.
Tetesi, lawama na shutuma hufuatia na hatimaye ndoa kuvunjika. Mke na mume hutengana kama ardhi na mbingu.
Maadamu kila lichomozapo jua halina budi kutua, ningependa kutia tamati kwa kusema huwa ukimwi ni hatari! Ukimwi huua! Ukimwi hauna tiba! Ni sharti kila mwananchi akae ange na kujitahadhari na ugonjwa huu. Kumbuka kuwa, ibilisi wa mtu ni mtu na majuto haya tangulii kamwe! | Kuna ukosefu wa wafanyakazi wa kuzalisha nini | {
"text": [
"mali"
]
} |
4739_swa | JANGA LA UKIMWI
Neno ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Huu ni uwele ambao umekuwa ukimghasi binadamu kwa miaka na mikaka maadamu hauna tiba.
Maradhi haya aghalabu huambukizwa kwa ngono. Wakati mwingine, mzazi mhasiriwa humwambukiza mtoto wakati wa kujifungua. Aidha mgonjwa aliyepungukiwa na damu mwilini anapoongezwa damu zaidi, huenda damu hiyo imesafirisha vini hivyo. Fauka ya hayo, mahuluki wanaotumia vifaa vya kudunga, kukalia au kunyolea vifaa kama vile wembe au kisu cha kupashwa tohara huambukizwa kwa urahisi.
Athari za ukongo wa ukimwi ni za kulisha mno. Kilio kilio kilio! kila mahali ni kilio cha kite na simanzi. Mayatima chungu mzima wameachwa na wavyele wao baada ya kusafiri jongomeo kutokana na uwele huu. Mayatima hawa husumbuka kucha kutwa bila ya makao, chakula wala elimu. Hakuna wa kuwavisha wala kuwalisha. Methali ya akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki haijawahi kusadifu kwao.
Serikali hutumia njenje sufufu inapojitahidi kwa jina na ukucha kugharamia ya waliohasiriwa. Hali hii hufanya serikali kufukara zaidi na kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu muhimu. Mbali na hayo, serikali pia hutumia mbongo lukuki za kuwaelimisha wananchi wazalendo kuhusu maradhi haya.
Dhoruba kubwa sana inayosababishwa na janga hili la ukimwi ni ukosefu wa wafanyikazi wa kuzalisha mali nchini. Wahasiriwa wengi ni wale walio na umri wa makamo na wenye taaluma mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti.
Ukimwi pia huchangia pakubwa katika kuzorota kwa maadili katika jamii. Walioambukizwa maradhi haya hushikwa na kiruu cha kutaka kulipiza kisasi. Wao huingia katika anasa kishelabela ili kutosheleza nafsi nao. Mabwenyenye hutumia ukwasi wao kuwateka bakunja na kuwazaini vijana wadogo kufanya mapenzi nao. Wanadai eti upweke ni uvundo! Huu ni upuzi mtupu. Ni heri upweke uvundoo kuliko ujima ukuteremshao kaburini.
Uwele huu umeenea kote na unazidi kusambaa kama moto msituni mkavu. Umesababisha ndoa nyingi kuvunjika. Wapendanao wanapofunga akidi, hula kiapo kuishi pamoja. Lakini punde igundulikapo kwamba mmoja wao ana virusi vya ukimwi, mintaarafu na mafarakano huzuka.
Tetesi, lawama na shutuma hufuatia na hatimaye ndoa kuvunjika. Mke na mume hutengana kama ardhi na mbingu.
Maadamu kila lichomozapo jua halina budi kutua, ningependa kutia tamati kwa kusema huwa ukimwi ni hatari! Ukimwi huua! Ukimwi hauna tiba! Ni sharti kila mwananchi akae ange na kujitahadhari na ugonjwa huu. Kumbuka kuwa, ibilisi wa mtu ni mtu na majuto haya tangulii kamwe! | Mbona walioambukizwa hujiingiza katika anasa | {
"text": [
"ili kutosheleza nafsi zao"
]
} |
4741_swa | UKIMWI
Ukimwi ni janga hatari linalotukodelea macho. Huu ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi Ugonjwa huu ni hatari sana kwa mwili wa adinasi yeyote yule. Virusi hivi hatari husababisha upungufu wa kinga mwilini.Virusi hivi vikisambaza kwa mtu yeyote yule vinasababisha upungufu wa kinga na matokeo yanaweza kuwa kifo.
Virusi hivi vinamaliza kinga kabisa. Hivyo namaanisha kuwa kinga yako ikiharibika kuna uwezo mkubwa wa kupata ndwele zingine bali na ukimwi. Kati ya ndwele hizi ni malaria. Huu ni ugonjwa hatari unaoweza kusababisha kifo.
Janga hili hatari huweza kusababishwa au pia kusambazwa kwa nia nyingi. Unaweza kusababishwa kwa nila kama vile wakati mama anapojifunguwa mimba damu yake haifai kuchanganyika na ile ya mwana. Ikifanyika hivyo basi mtoto huyo tayari ana virusi hivyo vya ukimwi.
Wakati ambapo mama anamnyonyesha mwana wake, virusi hivi vinaweza kusambazwa. Hii ni kwa maana virusi hivi hupatikana kwa vitu kama vile maziwa ya mama anayeugua kutoka virusi hivi au pia kwa damu. Hii ndio maana daktari huwashauri wagonjwa wao wasinyonyeshe watoto wao kama wana virusi hivi. Siku hizi kuna maziwa yanayotengenezwa viwandani kwa ajili ya watoto wachanga ambao bado hawajaanza kula aina nyingine ya vyakula bali tu kuyanywa maziwa ya nina wake.
Njia nyingine ambayo inachangia pakubwa kusambaza ugonjwa huu ni ngono. Hii inachangia usambazaji wa virusi hivi hasa kwa vijana wa siku hizi. Siku hizi, vijana wamepotoka na kuharibika pakubwa sana. Dunia haiko ilivyokuwa hapo awali. Ulimwengu huu umebadilika sana na kuwa vibaya. Utapata vijana wa rika ndogo wakijihusisha kwa mambo machafu kama vile ngono.
Jambo hili si la kushangaza kamwe. Asilimia kubwa ya vijana wa dunia hii siku hizi imeharibu maisha yao kwa vitendo vya ngono. Aisee! Dunia karibu inaisha. Siku za kiama karibu zinawadia.
Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu mambo yamebadilika sana. Virusi hivi vimesababisha mengi sana kama vile kuna msongomano wa wagonjwa hospitalini. Wagonjwa wanaougua kutokana na virusi hivi wako hospitalini. Wengi huchoka na safari zisizokoma hospitalini. Ni kawaida siku hizi kuwapata hata watu wawili katika kitanda kimoja hospitalini. Serikali pia imejaliwa na gharama zinazohitajika. Imetumia pesa nyingi kununua vidonge hivi vya kuimarisha kinga mwilini. Hata hivyo gharama za maisha zinazidi kupanda hasa kwa wale wagonjwa. Wao hushindwa kufanya kazi kwa maana nguvu huwaishia na hii inasababisha wao kupigwa kalamu.
Wagonjwa hawa wakipigwa kalamu hushindwa kulipa gharama za mahitaji yao. Si rahisi kumpata mtu anayeweza kukusaidia. Hata yule rafiki yako, hawezi kukukumbuka wakati huo. Ama kweli wanamantiki na wanantiki hawakutupiga mlazamlaza waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Pia bila kusahau, wagonjwa hawa huonewa na kutengwa na wengine katika jamii. Pindi tu wanapogundua kuwa mtu fulani anaugua virusi vya ukimwi, wao hujitenga na wao. Uhusiano huwi ule ulivyokuwa hapo awali.
Tusaidiane na serikali kuvipiga virusi hivi hatari. Tufanye juu chini tuwezavyo kutupilia mbali ugonjwa huu. Tujikinge kutoka vitu vinavyo usababisha kwa maana ni bora kinga kuliko tiba. Tuwashauri vijana wetu kujitenga na mambo ya anasa. Tusiyapuuze yale tunayoambiwa na tujikinge. Ama kweli tujihadhari kabla ya hatari. | Ukimwi unasababishwa na nini | {
"text": [
"virusi"
]
} |
4741_swa | UKIMWI
Ukimwi ni janga hatari linalotukodelea macho. Huu ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi Ugonjwa huu ni hatari sana kwa mwili wa adinasi yeyote yule. Virusi hivi hatari husababisha upungufu wa kinga mwilini.Virusi hivi vikisambaza kwa mtu yeyote yule vinasababisha upungufu wa kinga na matokeo yanaweza kuwa kifo.
Virusi hivi vinamaliza kinga kabisa. Hivyo namaanisha kuwa kinga yako ikiharibika kuna uwezo mkubwa wa kupata ndwele zingine bali na ukimwi. Kati ya ndwele hizi ni malaria. Huu ni ugonjwa hatari unaoweza kusababisha kifo.
Janga hili hatari huweza kusababishwa au pia kusambazwa kwa nia nyingi. Unaweza kusababishwa kwa nila kama vile wakati mama anapojifunguwa mimba damu yake haifai kuchanganyika na ile ya mwana. Ikifanyika hivyo basi mtoto huyo tayari ana virusi hivyo vya ukimwi.
Wakati ambapo mama anamnyonyesha mwana wake, virusi hivi vinaweza kusambazwa. Hii ni kwa maana virusi hivi hupatikana kwa vitu kama vile maziwa ya mama anayeugua kutoka virusi hivi au pia kwa damu. Hii ndio maana daktari huwashauri wagonjwa wao wasinyonyeshe watoto wao kama wana virusi hivi. Siku hizi kuna maziwa yanayotengenezwa viwandani kwa ajili ya watoto wachanga ambao bado hawajaanza kula aina nyingine ya vyakula bali tu kuyanywa maziwa ya nina wake.
Njia nyingine ambayo inachangia pakubwa kusambaza ugonjwa huu ni ngono. Hii inachangia usambazaji wa virusi hivi hasa kwa vijana wa siku hizi. Siku hizi, vijana wamepotoka na kuharibika pakubwa sana. Dunia haiko ilivyokuwa hapo awali. Ulimwengu huu umebadilika sana na kuwa vibaya. Utapata vijana wa rika ndogo wakijihusisha kwa mambo machafu kama vile ngono.
Jambo hili si la kushangaza kamwe. Asilimia kubwa ya vijana wa dunia hii siku hizi imeharibu maisha yao kwa vitendo vya ngono. Aisee! Dunia karibu inaisha. Siku za kiama karibu zinawadia.
Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu mambo yamebadilika sana. Virusi hivi vimesababisha mengi sana kama vile kuna msongomano wa wagonjwa hospitalini. Wagonjwa wanaougua kutokana na virusi hivi wako hospitalini. Wengi huchoka na safari zisizokoma hospitalini. Ni kawaida siku hizi kuwapata hata watu wawili katika kitanda kimoja hospitalini. Serikali pia imejaliwa na gharama zinazohitajika. Imetumia pesa nyingi kununua vidonge hivi vya kuimarisha kinga mwilini. Hata hivyo gharama za maisha zinazidi kupanda hasa kwa wale wagonjwa. Wao hushindwa kufanya kazi kwa maana nguvu huwaishia na hii inasababisha wao kupigwa kalamu.
Wagonjwa hawa wakipigwa kalamu hushindwa kulipa gharama za mahitaji yao. Si rahisi kumpata mtu anayeweza kukusaidia. Hata yule rafiki yako, hawezi kukukumbuka wakati huo. Ama kweli wanamantiki na wanantiki hawakutupiga mlazamlaza waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Pia bila kusahau, wagonjwa hawa huonewa na kutengwa na wengine katika jamii. Pindi tu wanapogundua kuwa mtu fulani anaugua virusi vya ukimwi, wao hujitenga na wao. Uhusiano huwi ule ulivyokuwa hapo awali.
Tusaidiane na serikali kuvipiga virusi hivi hatari. Tufanye juu chini tuwezavyo kutupilia mbali ugonjwa huu. Tujikinge kutoka vitu vinavyo usababisha kwa maana ni bora kinga kuliko tiba. Tuwashauri vijana wetu kujitenga na mambo ya anasa. Tusiyapuuze yale tunayoambiwa na tujikinge. Ama kweli tujihadhari kabla ya hatari. | Ukimwi husababisha upungufu wa? | {
"text": [
"kinga nwilini"
]
} |
4741_swa | UKIMWI
Ukimwi ni janga hatari linalotukodelea macho. Huu ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi Ugonjwa huu ni hatari sana kwa mwili wa adinasi yeyote yule. Virusi hivi hatari husababisha upungufu wa kinga mwilini.Virusi hivi vikisambaza kwa mtu yeyote yule vinasababisha upungufu wa kinga na matokeo yanaweza kuwa kifo.
Virusi hivi vinamaliza kinga kabisa. Hivyo namaanisha kuwa kinga yako ikiharibika kuna uwezo mkubwa wa kupata ndwele zingine bali na ukimwi. Kati ya ndwele hizi ni malaria. Huu ni ugonjwa hatari unaoweza kusababisha kifo.
Janga hili hatari huweza kusababishwa au pia kusambazwa kwa nia nyingi. Unaweza kusababishwa kwa nila kama vile wakati mama anapojifunguwa mimba damu yake haifai kuchanganyika na ile ya mwana. Ikifanyika hivyo basi mtoto huyo tayari ana virusi hivyo vya ukimwi.
Wakati ambapo mama anamnyonyesha mwana wake, virusi hivi vinaweza kusambazwa. Hii ni kwa maana virusi hivi hupatikana kwa vitu kama vile maziwa ya mama anayeugua kutoka virusi hivi au pia kwa damu. Hii ndio maana daktari huwashauri wagonjwa wao wasinyonyeshe watoto wao kama wana virusi hivi. Siku hizi kuna maziwa yanayotengenezwa viwandani kwa ajili ya watoto wachanga ambao bado hawajaanza kula aina nyingine ya vyakula bali tu kuyanywa maziwa ya nina wake.
Njia nyingine ambayo inachangia pakubwa kusambaza ugonjwa huu ni ngono. Hii inachangia usambazaji wa virusi hivi hasa kwa vijana wa siku hizi. Siku hizi, vijana wamepotoka na kuharibika pakubwa sana. Dunia haiko ilivyokuwa hapo awali. Ulimwengu huu umebadilika sana na kuwa vibaya. Utapata vijana wa rika ndogo wakijihusisha kwa mambo machafu kama vile ngono.
Jambo hili si la kushangaza kamwe. Asilimia kubwa ya vijana wa dunia hii siku hizi imeharibu maisha yao kwa vitendo vya ngono. Aisee! Dunia karibu inaisha. Siku za kiama karibu zinawadia.
Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu mambo yamebadilika sana. Virusi hivi vimesababisha mengi sana kama vile kuna msongomano wa wagonjwa hospitalini. Wagonjwa wanaougua kutokana na virusi hivi wako hospitalini. Wengi huchoka na safari zisizokoma hospitalini. Ni kawaida siku hizi kuwapata hata watu wawili katika kitanda kimoja hospitalini. Serikali pia imejaliwa na gharama zinazohitajika. Imetumia pesa nyingi kununua vidonge hivi vya kuimarisha kinga mwilini. Hata hivyo gharama za maisha zinazidi kupanda hasa kwa wale wagonjwa. Wao hushindwa kufanya kazi kwa maana nguvu huwaishia na hii inasababisha wao kupigwa kalamu.
Wagonjwa hawa wakipigwa kalamu hushindwa kulipa gharama za mahitaji yao. Si rahisi kumpata mtu anayeweza kukusaidia. Hata yule rafiki yako, hawezi kukukumbuka wakati huo. Ama kweli wanamantiki na wanantiki hawakutupiga mlazamlaza waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Pia bila kusahau, wagonjwa hawa huonewa na kutengwa na wengine katika jamii. Pindi tu wanapogundua kuwa mtu fulani anaugua virusi vya ukimwi, wao hujitenga na wao. Uhusiano huwi ule ulivyokuwa hapo awali.
Tusaidiane na serikali kuvipiga virusi hivi hatari. Tufanye juu chini tuwezavyo kutupilia mbali ugonjwa huu. Tujikinge kutoka vitu vinavyo usababisha kwa maana ni bora kinga kuliko tiba. Tuwashauri vijana wetu kujitenga na mambo ya anasa. Tusiyapuuze yale tunayoambiwa na tujikinge. Ama kweli tujihadhari kabla ya hatari. | Njia gani inachangia pakubwa katika uenezaji wa ukimwi | {
"text": [
"ngono"
]
} |
4741_swa | UKIMWI
Ukimwi ni janga hatari linalotukodelea macho. Huu ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi Ugonjwa huu ni hatari sana kwa mwili wa adinasi yeyote yule. Virusi hivi hatari husababisha upungufu wa kinga mwilini.Virusi hivi vikisambaza kwa mtu yeyote yule vinasababisha upungufu wa kinga na matokeo yanaweza kuwa kifo.
Virusi hivi vinamaliza kinga kabisa. Hivyo namaanisha kuwa kinga yako ikiharibika kuna uwezo mkubwa wa kupata ndwele zingine bali na ukimwi. Kati ya ndwele hizi ni malaria. Huu ni ugonjwa hatari unaoweza kusababisha kifo.
Janga hili hatari huweza kusababishwa au pia kusambazwa kwa nia nyingi. Unaweza kusababishwa kwa nila kama vile wakati mama anapojifunguwa mimba damu yake haifai kuchanganyika na ile ya mwana. Ikifanyika hivyo basi mtoto huyo tayari ana virusi hivyo vya ukimwi.
Wakati ambapo mama anamnyonyesha mwana wake, virusi hivi vinaweza kusambazwa. Hii ni kwa maana virusi hivi hupatikana kwa vitu kama vile maziwa ya mama anayeugua kutoka virusi hivi au pia kwa damu. Hii ndio maana daktari huwashauri wagonjwa wao wasinyonyeshe watoto wao kama wana virusi hivi. Siku hizi kuna maziwa yanayotengenezwa viwandani kwa ajili ya watoto wachanga ambao bado hawajaanza kula aina nyingine ya vyakula bali tu kuyanywa maziwa ya nina wake.
Njia nyingine ambayo inachangia pakubwa kusambaza ugonjwa huu ni ngono. Hii inachangia usambazaji wa virusi hivi hasa kwa vijana wa siku hizi. Siku hizi, vijana wamepotoka na kuharibika pakubwa sana. Dunia haiko ilivyokuwa hapo awali. Ulimwengu huu umebadilika sana na kuwa vibaya. Utapata vijana wa rika ndogo wakijihusisha kwa mambo machafu kama vile ngono.
Jambo hili si la kushangaza kamwe. Asilimia kubwa ya vijana wa dunia hii siku hizi imeharibu maisha yao kwa vitendo vya ngono. Aisee! Dunia karibu inaisha. Siku za kiama karibu zinawadia.
Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu mambo yamebadilika sana. Virusi hivi vimesababisha mengi sana kama vile kuna msongomano wa wagonjwa hospitalini. Wagonjwa wanaougua kutokana na virusi hivi wako hospitalini. Wengi huchoka na safari zisizokoma hospitalini. Ni kawaida siku hizi kuwapata hata watu wawili katika kitanda kimoja hospitalini. Serikali pia imejaliwa na gharama zinazohitajika. Imetumia pesa nyingi kununua vidonge hivi vya kuimarisha kinga mwilini. Hata hivyo gharama za maisha zinazidi kupanda hasa kwa wale wagonjwa. Wao hushindwa kufanya kazi kwa maana nguvu huwaishia na hii inasababisha wao kupigwa kalamu.
Wagonjwa hawa wakipigwa kalamu hushindwa kulipa gharama za mahitaji yao. Si rahisi kumpata mtu anayeweza kukusaidia. Hata yule rafiki yako, hawezi kukukumbuka wakati huo. Ama kweli wanamantiki na wanantiki hawakutupiga mlazamlaza waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Pia bila kusahau, wagonjwa hawa huonewa na kutengwa na wengine katika jamii. Pindi tu wanapogundua kuwa mtu fulani anaugua virusi vya ukimwi, wao hujitenga na wao. Uhusiano huwi ule ulivyokuwa hapo awali.
Tusaidiane na serikali kuvipiga virusi hivi hatari. Tufanye juu chini tuwezavyo kutupilia mbali ugonjwa huu. Tujikinge kutoka vitu vinavyo usababisha kwa maana ni bora kinga kuliko tiba. Tuwashauri vijana wetu kujitenga na mambo ya anasa. Tusiyapuuze yale tunayoambiwa na tujikinge. Ama kweli tujihadhari kabla ya hatari. | Uhusiano mwema hupotea lini | {
"text": [
"wanapogundua uko mgonjwa"
]
} |
4741_swa | UKIMWI
Ukimwi ni janga hatari linalotukodelea macho. Huu ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi Ugonjwa huu ni hatari sana kwa mwili wa adinasi yeyote yule. Virusi hivi hatari husababisha upungufu wa kinga mwilini.Virusi hivi vikisambaza kwa mtu yeyote yule vinasababisha upungufu wa kinga na matokeo yanaweza kuwa kifo.
Virusi hivi vinamaliza kinga kabisa. Hivyo namaanisha kuwa kinga yako ikiharibika kuna uwezo mkubwa wa kupata ndwele zingine bali na ukimwi. Kati ya ndwele hizi ni malaria. Huu ni ugonjwa hatari unaoweza kusababisha kifo.
Janga hili hatari huweza kusababishwa au pia kusambazwa kwa nia nyingi. Unaweza kusababishwa kwa nila kama vile wakati mama anapojifunguwa mimba damu yake haifai kuchanganyika na ile ya mwana. Ikifanyika hivyo basi mtoto huyo tayari ana virusi hivyo vya ukimwi.
Wakati ambapo mama anamnyonyesha mwana wake, virusi hivi vinaweza kusambazwa. Hii ni kwa maana virusi hivi hupatikana kwa vitu kama vile maziwa ya mama anayeugua kutoka virusi hivi au pia kwa damu. Hii ndio maana daktari huwashauri wagonjwa wao wasinyonyeshe watoto wao kama wana virusi hivi. Siku hizi kuna maziwa yanayotengenezwa viwandani kwa ajili ya watoto wachanga ambao bado hawajaanza kula aina nyingine ya vyakula bali tu kuyanywa maziwa ya nina wake.
Njia nyingine ambayo inachangia pakubwa kusambaza ugonjwa huu ni ngono. Hii inachangia usambazaji wa virusi hivi hasa kwa vijana wa siku hizi. Siku hizi, vijana wamepotoka na kuharibika pakubwa sana. Dunia haiko ilivyokuwa hapo awali. Ulimwengu huu umebadilika sana na kuwa vibaya. Utapata vijana wa rika ndogo wakijihusisha kwa mambo machafu kama vile ngono.
Jambo hili si la kushangaza kamwe. Asilimia kubwa ya vijana wa dunia hii siku hizi imeharibu maisha yao kwa vitendo vya ngono. Aisee! Dunia karibu inaisha. Siku za kiama karibu zinawadia.
Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu mambo yamebadilika sana. Virusi hivi vimesababisha mengi sana kama vile kuna msongomano wa wagonjwa hospitalini. Wagonjwa wanaougua kutokana na virusi hivi wako hospitalini. Wengi huchoka na safari zisizokoma hospitalini. Ni kawaida siku hizi kuwapata hata watu wawili katika kitanda kimoja hospitalini. Serikali pia imejaliwa na gharama zinazohitajika. Imetumia pesa nyingi kununua vidonge hivi vya kuimarisha kinga mwilini. Hata hivyo gharama za maisha zinazidi kupanda hasa kwa wale wagonjwa. Wao hushindwa kufanya kazi kwa maana nguvu huwaishia na hii inasababisha wao kupigwa kalamu.
Wagonjwa hawa wakipigwa kalamu hushindwa kulipa gharama za mahitaji yao. Si rahisi kumpata mtu anayeweza kukusaidia. Hata yule rafiki yako, hawezi kukukumbuka wakati huo. Ama kweli wanamantiki na wanantiki hawakutupiga mlazamlaza waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Pia bila kusahau, wagonjwa hawa huonewa na kutengwa na wengine katika jamii. Pindi tu wanapogundua kuwa mtu fulani anaugua virusi vya ukimwi, wao hujitenga na wao. Uhusiano huwi ule ulivyokuwa hapo awali.
Tusaidiane na serikali kuvipiga virusi hivi hatari. Tufanye juu chini tuwezavyo kutupilia mbali ugonjwa huu. Tujikinge kutoka vitu vinavyo usababisha kwa maana ni bora kinga kuliko tiba. Tuwashauri vijana wetu kujitenga na mambo ya anasa. Tusiyapuuze yale tunayoambiwa na tujikinge. Ama kweli tujihadhari kabla ya hatari. | Mbona wagonjwa hawa huonewa na kutengwa na wengine | {
"text": [
"wanatengwa na wengine pindi tu wanapogunduliwa kua na ukimwi"
]
} |
4742_swa | UKIMWI
Ndwele ya Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini uliompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Ugonjwa huu wa ukimwi una dalili mbalimbali ambazo si kuhara, si kutapika, si kukonda kama ng’onda, si kukohoa na dalili zingine nyingi. Ugonjwa huu huathiri afya ya binadamu na inaweza kumfanya mtu kupata magonjwa mbalimbali kama malaria. Pia ndwele hii husababishwa hasaa na ngono. Mtu anapopokea damu ambayo ina virusi hospitalini na wamama ambao wanavirusi hivi na wa kijifungua huanza kuwanyonyesha malaika wao bila amri kutoka kwa mganga.
Hatuna budi ila kuacha tabia za ngono hadi unapoolewa na ukiowa. Unafaa kupimwa kabla ya kufanya ngono. Unapoenda hospitalini unafaa kuhakikisha kuwa damu imeweza kupimwa vizuri kabla ya kuekewa kwa mama ambao ni wajawazito. Wanafaa kuenda hospitalini ili kupatiwa ushauri na waganga. Wanamantiki na wanamantiki hawakuiboronga lugha waliponena
kuna tahadhari kabla ya hatari. Kwa hivyo hatuna budi kujikinga kutokana na ndwele hii ambayo ni janga linalowaathiri wengi.
Fauka ya hayo, pesa nyingi hutumika kutibu ugonjwa huu wa ukimwi kwa kuhakikisha ya kwamba mwele wa ugonjwa huu amepata angalau chungwa moja kwa siku na matumizi mengine mengi. Karibu asilimia tisini ya vita nchini vimesababishwa na ndwele hili la ukimwi.
Ukimwi huu hutufanya kuwapoteza watu muhimu wa uchumi nchini. Kumbuka, amani ya nchi ni watu, na wakikosekana wajasili mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa huporomoka kisha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo kubwa sana. Baadhi ya raia wasiyoimanya sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo, ingawa wengine wanachukua karne nzima kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa kwa kutangamana na waadhiriwa wa janga hili.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukimwi na kufanya ugonjwa huu kusambaa mithili ya moto nyikani.
Kwa ukweli teknolojia imeleta hasara nyingi sana nchini kuliko manufaa. Kwanza imewafunza wanafunzi wadogo tabia ya ngono. Pili imeleta vipindi visivyofaa watoto na mwisho imevitengeneza viraba ambayo watu huvaa wakati wa ngono.
Pia imeleta dawa ambazo huzuia tu mwanamke kukaa mjamzito na kusahau janga hili la ukimwi. Wahenga na wahenguzi hawakuiboronga lugha waliponena kuwa dunia rangi rangile. | Jina lingine ya ugonjwa ni lipi? | {
"text": [
"Ndwele"
]
} |
4742_swa | UKIMWI
Ndwele ya Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini uliompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Ugonjwa huu wa ukimwi una dalili mbalimbali ambazo si kuhara, si kutapika, si kukonda kama ng’onda, si kukohoa na dalili zingine nyingi. Ugonjwa huu huathiri afya ya binadamu na inaweza kumfanya mtu kupata magonjwa mbalimbali kama malaria. Pia ndwele hii husababishwa hasaa na ngono. Mtu anapopokea damu ambayo ina virusi hospitalini na wamama ambao wanavirusi hivi na wa kijifungua huanza kuwanyonyesha malaika wao bila amri kutoka kwa mganga.
Hatuna budi ila kuacha tabia za ngono hadi unapoolewa na ukiowa. Unafaa kupimwa kabla ya kufanya ngono. Unapoenda hospitalini unafaa kuhakikisha kuwa damu imeweza kupimwa vizuri kabla ya kuekewa kwa mama ambao ni wajawazito. Wanafaa kuenda hospitalini ili kupatiwa ushauri na waganga. Wanamantiki na wanamantiki hawakuiboronga lugha waliponena
kuna tahadhari kabla ya hatari. Kwa hivyo hatuna budi kujikinga kutokana na ndwele hii ambayo ni janga linalowaathiri wengi.
Fauka ya hayo, pesa nyingi hutumika kutibu ugonjwa huu wa ukimwi kwa kuhakikisha ya kwamba mwele wa ugonjwa huu amepata angalau chungwa moja kwa siku na matumizi mengine mengi. Karibu asilimia tisini ya vita nchini vimesababishwa na ndwele hili la ukimwi.
Ukimwi huu hutufanya kuwapoteza watu muhimu wa uchumi nchini. Kumbuka, amani ya nchi ni watu, na wakikosekana wajasili mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa huporomoka kisha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo kubwa sana. Baadhi ya raia wasiyoimanya sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo, ingawa wengine wanachukua karne nzima kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa kwa kutangamana na waadhiriwa wa janga hili.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukimwi na kufanya ugonjwa huu kusambaa mithili ya moto nyikani.
Kwa ukweli teknolojia imeleta hasara nyingi sana nchini kuliko manufaa. Kwanza imewafunza wanafunzi wadogo tabia ya ngono. Pili imeleta vipindi visivyofaa watoto na mwisho imevitengeneza viraba ambayo watu huvaa wakati wa ngono.
Pia imeleta dawa ambazo huzuia tu mwanamke kukaa mjamzito na kusahau janga hili la ukimwi. Wahenga na wahenguzi hawakuiboronga lugha waliponena kuwa dunia rangi rangile. | UKIMWI ni nini? | {
"text": [
"Upungufu wa kinga mwilini"
]
} |
4742_swa | UKIMWI
Ndwele ya Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini uliompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Ugonjwa huu wa ukimwi una dalili mbalimbali ambazo si kuhara, si kutapika, si kukonda kama ng’onda, si kukohoa na dalili zingine nyingi. Ugonjwa huu huathiri afya ya binadamu na inaweza kumfanya mtu kupata magonjwa mbalimbali kama malaria. Pia ndwele hii husababishwa hasaa na ngono. Mtu anapopokea damu ambayo ina virusi hospitalini na wamama ambao wanavirusi hivi na wa kijifungua huanza kuwanyonyesha malaika wao bila amri kutoka kwa mganga.
Hatuna budi ila kuacha tabia za ngono hadi unapoolewa na ukiowa. Unafaa kupimwa kabla ya kufanya ngono. Unapoenda hospitalini unafaa kuhakikisha kuwa damu imeweza kupimwa vizuri kabla ya kuekewa kwa mama ambao ni wajawazito. Wanafaa kuenda hospitalini ili kupatiwa ushauri na waganga. Wanamantiki na wanamantiki hawakuiboronga lugha waliponena
kuna tahadhari kabla ya hatari. Kwa hivyo hatuna budi kujikinga kutokana na ndwele hii ambayo ni janga linalowaathiri wengi.
Fauka ya hayo, pesa nyingi hutumika kutibu ugonjwa huu wa ukimwi kwa kuhakikisha ya kwamba mwele wa ugonjwa huu amepata angalau chungwa moja kwa siku na matumizi mengine mengi. Karibu asilimia tisini ya vita nchini vimesababishwa na ndwele hili la ukimwi.
Ukimwi huu hutufanya kuwapoteza watu muhimu wa uchumi nchini. Kumbuka, amani ya nchi ni watu, na wakikosekana wajasili mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa huporomoka kisha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo kubwa sana. Baadhi ya raia wasiyoimanya sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo, ingawa wengine wanachukua karne nzima kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa kwa kutangamana na waadhiriwa wa janga hili.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukimwi na kufanya ugonjwa huu kusambaa mithili ya moto nyikani.
Kwa ukweli teknolojia imeleta hasara nyingi sana nchini kuliko manufaa. Kwanza imewafunza wanafunzi wadogo tabia ya ngono. Pili imeleta vipindi visivyofaa watoto na mwisho imevitengeneza viraba ambayo watu huvaa wakati wa ngono.
Pia imeleta dawa ambazo huzuia tu mwanamke kukaa mjamzito na kusahau janga hili la ukimwi. Wahenga na wahenguzi hawakuiboronga lugha waliponena kuwa dunia rangi rangile. | Njia mojawapo ya kupata UKIMWI ni ipi? | {
"text": [
"Unapopewa damu iliyo na virusi"
]
} |
4742_swa | UKIMWI
Ndwele ya Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini uliompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Ugonjwa huu wa ukimwi una dalili mbalimbali ambazo si kuhara, si kutapika, si kukonda kama ng’onda, si kukohoa na dalili zingine nyingi. Ugonjwa huu huathiri afya ya binadamu na inaweza kumfanya mtu kupata magonjwa mbalimbali kama malaria. Pia ndwele hii husababishwa hasaa na ngono. Mtu anapopokea damu ambayo ina virusi hospitalini na wamama ambao wanavirusi hivi na wa kijifungua huanza kuwanyonyesha malaika wao bila amri kutoka kwa mganga.
Hatuna budi ila kuacha tabia za ngono hadi unapoolewa na ukiowa. Unafaa kupimwa kabla ya kufanya ngono. Unapoenda hospitalini unafaa kuhakikisha kuwa damu imeweza kupimwa vizuri kabla ya kuekewa kwa mama ambao ni wajawazito. Wanafaa kuenda hospitalini ili kupatiwa ushauri na waganga. Wanamantiki na wanamantiki hawakuiboronga lugha waliponena
kuna tahadhari kabla ya hatari. Kwa hivyo hatuna budi kujikinga kutokana na ndwele hii ambayo ni janga linalowaathiri wengi.
Fauka ya hayo, pesa nyingi hutumika kutibu ugonjwa huu wa ukimwi kwa kuhakikisha ya kwamba mwele wa ugonjwa huu amepata angalau chungwa moja kwa siku na matumizi mengine mengi. Karibu asilimia tisini ya vita nchini vimesababishwa na ndwele hili la ukimwi.
Ukimwi huu hutufanya kuwapoteza watu muhimu wa uchumi nchini. Kumbuka, amani ya nchi ni watu, na wakikosekana wajasili mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa huporomoka kisha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo kubwa sana. Baadhi ya raia wasiyoimanya sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo, ingawa wengine wanachukua karne nzima kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa kwa kutangamana na waadhiriwa wa janga hili.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukimwi na kufanya ugonjwa huu kusambaa mithili ya moto nyikani.
Kwa ukweli teknolojia imeleta hasara nyingi sana nchini kuliko manufaa. Kwanza imewafunza wanafunzi wadogo tabia ya ngono. Pili imeleta vipindi visivyofaa watoto na mwisho imevitengeneza viraba ambayo watu huvaa wakati wa ngono.
Pia imeleta dawa ambazo huzuia tu mwanamke kukaa mjamzito na kusahau janga hili la ukimwi. Wahenga na wahenguzi hawakuiboronga lugha waliponena kuwa dunia rangi rangile. | Wapenzi wanahimizwa kufanya nini kabla ya ndoa? | {
"text": [
"Kupimwa virusi vya UKIMWI"
]
} |
4742_swa | UKIMWI
Ndwele ya Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini uliompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Ugonjwa huu wa ukimwi una dalili mbalimbali ambazo si kuhara, si kutapika, si kukonda kama ng’onda, si kukohoa na dalili zingine nyingi. Ugonjwa huu huathiri afya ya binadamu na inaweza kumfanya mtu kupata magonjwa mbalimbali kama malaria. Pia ndwele hii husababishwa hasaa na ngono. Mtu anapopokea damu ambayo ina virusi hospitalini na wamama ambao wanavirusi hivi na wa kijifungua huanza kuwanyonyesha malaika wao bila amri kutoka kwa mganga.
Hatuna budi ila kuacha tabia za ngono hadi unapoolewa na ukiowa. Unafaa kupimwa kabla ya kufanya ngono. Unapoenda hospitalini unafaa kuhakikisha kuwa damu imeweza kupimwa vizuri kabla ya kuekewa kwa mama ambao ni wajawazito. Wanafaa kuenda hospitalini ili kupatiwa ushauri na waganga. Wanamantiki na wanamantiki hawakuiboronga lugha waliponena
kuna tahadhari kabla ya hatari. Kwa hivyo hatuna budi kujikinga kutokana na ndwele hii ambayo ni janga linalowaathiri wengi.
Fauka ya hayo, pesa nyingi hutumika kutibu ugonjwa huu wa ukimwi kwa kuhakikisha ya kwamba mwele wa ugonjwa huu amepata angalau chungwa moja kwa siku na matumizi mengine mengi. Karibu asilimia tisini ya vita nchini vimesababishwa na ndwele hili la ukimwi.
Ukimwi huu hutufanya kuwapoteza watu muhimu wa uchumi nchini. Kumbuka, amani ya nchi ni watu, na wakikosekana wajasili mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa huporomoka kisha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo kubwa sana. Baadhi ya raia wasiyoimanya sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo, ingawa wengine wanachukua karne nzima kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa kwa kutangamana na waadhiriwa wa janga hili.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukimwi na kufanya ugonjwa huu kusambaa mithili ya moto nyikani.
Kwa ukweli teknolojia imeleta hasara nyingi sana nchini kuliko manufaa. Kwanza imewafunza wanafunzi wadogo tabia ya ngono. Pili imeleta vipindi visivyofaa watoto na mwisho imevitengeneza viraba ambayo watu huvaa wakati wa ngono.
Pia imeleta dawa ambazo huzuia tu mwanamke kukaa mjamzito na kusahau janga hili la ukimwi. Wahenga na wahenguzi hawakuiboronga lugha waliponena kuwa dunia rangi rangile. | Jamii inalaumiwa kwa kufanyia wagonjwa wa UKIMWI nini? | {
"text": [
"Kuwatenga na kuwahukumu"
]
} |
4743_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi. Hakuna mtu ambaye ako na
uhakika vile virusi hivi vilianzishwa au vile vilivyoenea duniani nzima. Ukimwi haujulikani ulikoanzia. Jambo ambalo linalolifanya ugonjwa huu uwe wa kuhatarisha ni kuwa hauna tiba.
Ukimwi, kama magonjwa mengine yale lina dalili zake. Ni muhimu kwa mtu kujua dalili hizo ili ajizuie kuwaambukiza watu wengine au pia hata wapendwa wenzake. Mtu ambaye anaishi na ukimwi pia anaweza ishi maisha shwari.
Dalili ya kwanza ya ukimwi ni kizunguzungu. Mtu hajihisi vizuri. Mtu huyo anaviona vyombo mbalimbali vikisonga bila mtu mwingine kuvisongesha. Anaweza kukiona chupa ikipepea bila mabawa. Hakuna mtu ambaye angependa kuwa na kizunguzungu.
Ya pili ni kwamba mtu huyo anakonda kwa kuwa mwili wake hauna nguvu.Ukimuona, utadhani kuwa mwana wa mtu ni sindano. Ukimtazama mtu huyo, utaona kuwa ni mifupa pekee anazo.
Ugonjwa huu wa ukimwi, unapoingia mwilini, unaanza kudhuru kinga ya mwili. Polepole, kinga ya mwili inaanza kuisha. Baada ya muda mrefu kama mwaka mzima bila kujaribu kupata usaidizi, kinga ya mwili inaisha na hivyo ndivyo magonjwa mengine yanapata fursa ya kuingia mwilini bila shida na magonjwa hayo ndiyo yanayomtoa mtu maisha. Ukimwi ni kama funguo wa mwili.
Ukimwi unaweza sambaa baina ya watu kwa njia mingi mno. Ukimwi unajulikana kusambaa sana katika vijana wengi kwa mbinu sanasana ya ngono. Vijana wengi wanapenda raha nyingi na hivyo kupata ugonjwa huu ni rahisi.
Njia nyingine ni kutoka kwa mama hadi kwa mtoto mchanga. Watoto wachanga wanaozaliwa na wazazi ambao wana ukimwi, hawapati ukimwi papo hapo ila wanaponyonya, mama mzazi anaweza kumuambukiza mwana wake.
Makosa ya hospitali pia yanaweza kuambukiza. Ningependa kuwasihi mujikinge kutoka ugonjwa huu. | Ukimwi husababishwa na nini | {
"text": [
"Virusi"
]
} |
4743_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi. Hakuna mtu ambaye ako na
uhakika vile virusi hivi vilianzishwa au vile vilivyoenea duniani nzima. Ukimwi haujulikani ulikoanzia. Jambo ambalo linalolifanya ugonjwa huu uwe wa kuhatarisha ni kuwa hauna tiba.
Ukimwi, kama magonjwa mengine yale lina dalili zake. Ni muhimu kwa mtu kujua dalili hizo ili ajizuie kuwaambukiza watu wengine au pia hata wapendwa wenzake. Mtu ambaye anaishi na ukimwi pia anaweza ishi maisha shwari.
Dalili ya kwanza ya ukimwi ni kizunguzungu. Mtu hajihisi vizuri. Mtu huyo anaviona vyombo mbalimbali vikisonga bila mtu mwingine kuvisongesha. Anaweza kukiona chupa ikipepea bila mabawa. Hakuna mtu ambaye angependa kuwa na kizunguzungu.
Ya pili ni kwamba mtu huyo anakonda kwa kuwa mwili wake hauna nguvu.Ukimuona, utadhani kuwa mwana wa mtu ni sindano. Ukimtazama mtu huyo, utaona kuwa ni mifupa pekee anazo.
Ugonjwa huu wa ukimwi, unapoingia mwilini, unaanza kudhuru kinga ya mwili. Polepole, kinga ya mwili inaanza kuisha. Baada ya muda mrefu kama mwaka mzima bila kujaribu kupata usaidizi, kinga ya mwili inaisha na hivyo ndivyo magonjwa mengine yanapata fursa ya kuingia mwilini bila shida na magonjwa hayo ndiyo yanayomtoa mtu maisha. Ukimwi ni kama funguo wa mwili.
Ukimwi unaweza sambaa baina ya watu kwa njia mingi mno. Ukimwi unajulikana kusambaa sana katika vijana wengi kwa mbinu sanasana ya ngono. Vijana wengi wanapenda raha nyingi na hivyo kupata ugonjwa huu ni rahisi.
Njia nyingine ni kutoka kwa mama hadi kwa mtoto mchanga. Watoto wachanga wanaozaliwa na wazazi ambao wana ukimwi, hawapati ukimwi papo hapo ila wanaponyonya, mama mzazi anaweza kumuambukiza mwana wake.
Makosa ya hospitali pia yanaweza kuambukiza. Ningependa kuwasihi mujikinge kutoka ugonjwa huu. | Dalili ya kwanza ya ukimwi ni ipi | {
"text": [
"Kizunguzungu"
]
} |
4743_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi. Hakuna mtu ambaye ako na
uhakika vile virusi hivi vilianzishwa au vile vilivyoenea duniani nzima. Ukimwi haujulikani ulikoanzia. Jambo ambalo linalolifanya ugonjwa huu uwe wa kuhatarisha ni kuwa hauna tiba.
Ukimwi, kama magonjwa mengine yale lina dalili zake. Ni muhimu kwa mtu kujua dalili hizo ili ajizuie kuwaambukiza watu wengine au pia hata wapendwa wenzake. Mtu ambaye anaishi na ukimwi pia anaweza ishi maisha shwari.
Dalili ya kwanza ya ukimwi ni kizunguzungu. Mtu hajihisi vizuri. Mtu huyo anaviona vyombo mbalimbali vikisonga bila mtu mwingine kuvisongesha. Anaweza kukiona chupa ikipepea bila mabawa. Hakuna mtu ambaye angependa kuwa na kizunguzungu.
Ya pili ni kwamba mtu huyo anakonda kwa kuwa mwili wake hauna nguvu.Ukimuona, utadhani kuwa mwana wa mtu ni sindano. Ukimtazama mtu huyo, utaona kuwa ni mifupa pekee anazo.
Ugonjwa huu wa ukimwi, unapoingia mwilini, unaanza kudhuru kinga ya mwili. Polepole, kinga ya mwili inaanza kuisha. Baada ya muda mrefu kama mwaka mzima bila kujaribu kupata usaidizi, kinga ya mwili inaisha na hivyo ndivyo magonjwa mengine yanapata fursa ya kuingia mwilini bila shida na magonjwa hayo ndiyo yanayomtoa mtu maisha. Ukimwi ni kama funguo wa mwili.
Ukimwi unaweza sambaa baina ya watu kwa njia mingi mno. Ukimwi unajulikana kusambaa sana katika vijana wengi kwa mbinu sanasana ya ngono. Vijana wengi wanapenda raha nyingi na hivyo kupata ugonjwa huu ni rahisi.
Njia nyingine ni kutoka kwa mama hadi kwa mtoto mchanga. Watoto wachanga wanaozaliwa na wazazi ambao wana ukimwi, hawapati ukimwi papo hapo ila wanaponyonya, mama mzazi anaweza kumuambukiza mwana wake.
Makosa ya hospitali pia yanaweza kuambukiza. Ningependa kuwasihi mujikinge kutoka ugonjwa huu. | Ukimwi hudhuru nini mwilini | {
"text": [
"Kinga ya mwili"
]
} |
4743_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi. Hakuna mtu ambaye ako na
uhakika vile virusi hivi vilianzishwa au vile vilivyoenea duniani nzima. Ukimwi haujulikani ulikoanzia. Jambo ambalo linalolifanya ugonjwa huu uwe wa kuhatarisha ni kuwa hauna tiba.
Ukimwi, kama magonjwa mengine yale lina dalili zake. Ni muhimu kwa mtu kujua dalili hizo ili ajizuie kuwaambukiza watu wengine au pia hata wapendwa wenzake. Mtu ambaye anaishi na ukimwi pia anaweza ishi maisha shwari.
Dalili ya kwanza ya ukimwi ni kizunguzungu. Mtu hajihisi vizuri. Mtu huyo anaviona vyombo mbalimbali vikisonga bila mtu mwingine kuvisongesha. Anaweza kukiona chupa ikipepea bila mabawa. Hakuna mtu ambaye angependa kuwa na kizunguzungu.
Ya pili ni kwamba mtu huyo anakonda kwa kuwa mwili wake hauna nguvu.Ukimuona, utadhani kuwa mwana wa mtu ni sindano. Ukimtazama mtu huyo, utaona kuwa ni mifupa pekee anazo.
Ugonjwa huu wa ukimwi, unapoingia mwilini, unaanza kudhuru kinga ya mwili. Polepole, kinga ya mwili inaanza kuisha. Baada ya muda mrefu kama mwaka mzima bila kujaribu kupata usaidizi, kinga ya mwili inaisha na hivyo ndivyo magonjwa mengine yanapata fursa ya kuingia mwilini bila shida na magonjwa hayo ndiyo yanayomtoa mtu maisha. Ukimwi ni kama funguo wa mwili.
Ukimwi unaweza sambaa baina ya watu kwa njia mingi mno. Ukimwi unajulikana kusambaa sana katika vijana wengi kwa mbinu sanasana ya ngono. Vijana wengi wanapenda raha nyingi na hivyo kupata ugonjwa huu ni rahisi.
Njia nyingine ni kutoka kwa mama hadi kwa mtoto mchanga. Watoto wachanga wanaozaliwa na wazazi ambao wana ukimwi, hawapati ukimwi papo hapo ila wanaponyonya, mama mzazi anaweza kumuambukiza mwana wake.
Makosa ya hospitali pia yanaweza kuambukiza. Ningependa kuwasihi mujikinge kutoka ugonjwa huu. | Ipi ni njia mojawapo ya kusambaza ukimwi miongoni mwa vijana | {
"text": [
"Kupitia ngono"
]
} |
4743_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi. Hakuna mtu ambaye ako na
uhakika vile virusi hivi vilianzishwa au vile vilivyoenea duniani nzima. Ukimwi haujulikani ulikoanzia. Jambo ambalo linalolifanya ugonjwa huu uwe wa kuhatarisha ni kuwa hauna tiba.
Ukimwi, kama magonjwa mengine yale lina dalili zake. Ni muhimu kwa mtu kujua dalili hizo ili ajizuie kuwaambukiza watu wengine au pia hata wapendwa wenzake. Mtu ambaye anaishi na ukimwi pia anaweza ishi maisha shwari.
Dalili ya kwanza ya ukimwi ni kizunguzungu. Mtu hajihisi vizuri. Mtu huyo anaviona vyombo mbalimbali vikisonga bila mtu mwingine kuvisongesha. Anaweza kukiona chupa ikipepea bila mabawa. Hakuna mtu ambaye angependa kuwa na kizunguzungu.
Ya pili ni kwamba mtu huyo anakonda kwa kuwa mwili wake hauna nguvu.Ukimuona, utadhani kuwa mwana wa mtu ni sindano. Ukimtazama mtu huyo, utaona kuwa ni mifupa pekee anazo.
Ugonjwa huu wa ukimwi, unapoingia mwilini, unaanza kudhuru kinga ya mwili. Polepole, kinga ya mwili inaanza kuisha. Baada ya muda mrefu kama mwaka mzima bila kujaribu kupata usaidizi, kinga ya mwili inaisha na hivyo ndivyo magonjwa mengine yanapata fursa ya kuingia mwilini bila shida na magonjwa hayo ndiyo yanayomtoa mtu maisha. Ukimwi ni kama funguo wa mwili.
Ukimwi unaweza sambaa baina ya watu kwa njia mingi mno. Ukimwi unajulikana kusambaa sana katika vijana wengi kwa mbinu sanasana ya ngono. Vijana wengi wanapenda raha nyingi na hivyo kupata ugonjwa huu ni rahisi.
Njia nyingine ni kutoka kwa mama hadi kwa mtoto mchanga. Watoto wachanga wanaozaliwa na wazazi ambao wana ukimwi, hawapati ukimwi papo hapo ila wanaponyonya, mama mzazi anaweza kumuambukiza mwana wake.
Makosa ya hospitali pia yanaweza kuambukiza. Ningependa kuwasihi mujikinge kutoka ugonjwa huu. | Dalili ya pili ya ukimwi ni ipi | {
"text": [
"Mtu kukonda akawa kama sindano"
]
} |
4744_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni jinamizi linalotukodolea macho mithili ya mamba tayari kukumeza wazi wazi. Ugonjwa huu unasababishwa na virusi vya ukimwi. Mja yeyote anaweza kupata ugonjwa asipojikinga. Wanafunzi wa chuo na hata shuleni wanafaa kujikinga maana wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwenye chupa wa mgongo waliponena jihadhari kabla ya hatari.
Waja wengi wakiambukizwa na janga hili wanakufa mtima na hawajihadhari. Kuna njia mengi za kuuhadhari na janga hili la ukimwi. Dalili hizi pia huonyeshwa kwa kutapika, joto mwilini au saa zingine baridi shadidi, kuishwa na maji mwilini kama vile kutapika na vilevile kutokwa na jasho jingi. Mama mjamzito aliye na virusi hivi ni rahisi sana kwa yeye kumwambukiza mtoto wake mara tu anapozaliwa. Ningependa kuwahimiza Bibi na Mabwana wawe wakipendana kama chanda na pete bali wasitengane kama mbingu na ardhi.
Wanafunzi wa chuo kikuu au vidato vya kwanza wanafaa kujikinga wawezavyo na kujihadhari vilivyo kutokumbatiana na ugonjwa huu unaoleta ufukara na matatizo kwenye familia kwa walio uguwa. Wanawake wanaofanya kazi za ngono ili kujifaidi hela wanaambukizwa na ugonjwa hivi. Labda si kupenda kwao bali nikutaka kupata riziki ya kila siku.Ukienda hospitalini na upatikane na ugonjwa wa ukimwi utapewa ushauri ufaao ili kujiendeleza. Mja ambaye ana ugonjwa huu anashauriwa asife fuadi, bali anaelezwa jinsi ya kujikinga. Mgonjwa huyo hudungwa sindano. Dalili ya kwanza huwa hatari kuliko zote. Maana ya dalili ya kwanza kuwa hatari ni kuwa unawaambukiza wengine bila taarifa yake wewe kibinafsi. Dalili za pili ndizo zinazoonyesha
kuwa mgonjwa ana ugonjwa wa ukimwi, kila apimwapo mashine lile linaonyesha alama ya Kuongeza (+).
Maana daktari wanajuwa mgonjwa anaweza kujitia kitanzi wanamshauri na kumpa dawa zinazomsaidia mgonjwa yule. Magonjwa ni mengi duniani na zote ni hatari. Sote tujihadhari kabla ya hatari. | Ni vyema kujihadhari kabla ya nini? | {
"text": [
"Hatari"
]
} |
4744_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni jinamizi linalotukodolea macho mithili ya mamba tayari kukumeza wazi wazi. Ugonjwa huu unasababishwa na virusi vya ukimwi. Mja yeyote anaweza kupata ugonjwa asipojikinga. Wanafunzi wa chuo na hata shuleni wanafaa kujikinga maana wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwenye chupa wa mgongo waliponena jihadhari kabla ya hatari.
Waja wengi wakiambukizwa na janga hili wanakufa mtima na hawajihadhari. Kuna njia mengi za kuuhadhari na janga hili la ukimwi. Dalili hizi pia huonyeshwa kwa kutapika, joto mwilini au saa zingine baridi shadidi, kuishwa na maji mwilini kama vile kutapika na vilevile kutokwa na jasho jingi. Mama mjamzito aliye na virusi hivi ni rahisi sana kwa yeye kumwambukiza mtoto wake mara tu anapozaliwa. Ningependa kuwahimiza Bibi na Mabwana wawe wakipendana kama chanda na pete bali wasitengane kama mbingu na ardhi.
Wanafunzi wa chuo kikuu au vidato vya kwanza wanafaa kujikinga wawezavyo na kujihadhari vilivyo kutokumbatiana na ugonjwa huu unaoleta ufukara na matatizo kwenye familia kwa walio uguwa. Wanawake wanaofanya kazi za ngono ili kujifaidi hela wanaambukizwa na ugonjwa hivi. Labda si kupenda kwao bali nikutaka kupata riziki ya kila siku.Ukienda hospitalini na upatikane na ugonjwa wa ukimwi utapewa ushauri ufaao ili kujiendeleza. Mja ambaye ana ugonjwa huu anashauriwa asife fuadi, bali anaelezwa jinsi ya kujikinga. Mgonjwa huyo hudungwa sindano. Dalili ya kwanza huwa hatari kuliko zote. Maana ya dalili ya kwanza kuwa hatari ni kuwa unawaambukiza wengine bila taarifa yake wewe kibinafsi. Dalili za pili ndizo zinazoonyesha
kuwa mgonjwa ana ugonjwa wa ukimwi, kila apimwapo mashine lile linaonyesha alama ya Kuongeza (+).
Maana daktari wanajuwa mgonjwa anaweza kujitia kitanzi wanamshauri na kumpa dawa zinazomsaidia mgonjwa yule. Magonjwa ni mengi duniani na zote ni hatari. Sote tujihadhari kabla ya hatari. | Dalili ya UKIMWI ni ipi? | {
"text": [
"Joto mwilini"
]
} |
4744_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni jinamizi linalotukodolea macho mithili ya mamba tayari kukumeza wazi wazi. Ugonjwa huu unasababishwa na virusi vya ukimwi. Mja yeyote anaweza kupata ugonjwa asipojikinga. Wanafunzi wa chuo na hata shuleni wanafaa kujikinga maana wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwenye chupa wa mgongo waliponena jihadhari kabla ya hatari.
Waja wengi wakiambukizwa na janga hili wanakufa mtima na hawajihadhari. Kuna njia mengi za kuuhadhari na janga hili la ukimwi. Dalili hizi pia huonyeshwa kwa kutapika, joto mwilini au saa zingine baridi shadidi, kuishwa na maji mwilini kama vile kutapika na vilevile kutokwa na jasho jingi. Mama mjamzito aliye na virusi hivi ni rahisi sana kwa yeye kumwambukiza mtoto wake mara tu anapozaliwa. Ningependa kuwahimiza Bibi na Mabwana wawe wakipendana kama chanda na pete bali wasitengane kama mbingu na ardhi.
Wanafunzi wa chuo kikuu au vidato vya kwanza wanafaa kujikinga wawezavyo na kujihadhari vilivyo kutokumbatiana na ugonjwa huu unaoleta ufukara na matatizo kwenye familia kwa walio uguwa. Wanawake wanaofanya kazi za ngono ili kujifaidi hela wanaambukizwa na ugonjwa hivi. Labda si kupenda kwao bali nikutaka kupata riziki ya kila siku.Ukienda hospitalini na upatikane na ugonjwa wa ukimwi utapewa ushauri ufaao ili kujiendeleza. Mja ambaye ana ugonjwa huu anashauriwa asife fuadi, bali anaelezwa jinsi ya kujikinga. Mgonjwa huyo hudungwa sindano. Dalili ya kwanza huwa hatari kuliko zote. Maana ya dalili ya kwanza kuwa hatari ni kuwa unawaambukiza wengine bila taarifa yake wewe kibinafsi. Dalili za pili ndizo zinazoonyesha
kuwa mgonjwa ana ugonjwa wa ukimwi, kila apimwapo mashine lile linaonyesha alama ya Kuongeza (+).
Maana daktari wanajuwa mgonjwa anaweza kujitia kitanzi wanamshauri na kumpa dawa zinazomsaidia mgonjwa yule. Magonjwa ni mengi duniani na zote ni hatari. Sote tujihadhari kabla ya hatari. | Wakati upi mtoto mdogo anaweza kuambukizwa UKIMIWI? | {
"text": [
"Wakati anapozaliwa"
]
} |
4744_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni jinamizi linalotukodolea macho mithili ya mamba tayari kukumeza wazi wazi. Ugonjwa huu unasababishwa na virusi vya ukimwi. Mja yeyote anaweza kupata ugonjwa asipojikinga. Wanafunzi wa chuo na hata shuleni wanafaa kujikinga maana wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwenye chupa wa mgongo waliponena jihadhari kabla ya hatari.
Waja wengi wakiambukizwa na janga hili wanakufa mtima na hawajihadhari. Kuna njia mengi za kuuhadhari na janga hili la ukimwi. Dalili hizi pia huonyeshwa kwa kutapika, joto mwilini au saa zingine baridi shadidi, kuishwa na maji mwilini kama vile kutapika na vilevile kutokwa na jasho jingi. Mama mjamzito aliye na virusi hivi ni rahisi sana kwa yeye kumwambukiza mtoto wake mara tu anapozaliwa. Ningependa kuwahimiza Bibi na Mabwana wawe wakipendana kama chanda na pete bali wasitengane kama mbingu na ardhi.
Wanafunzi wa chuo kikuu au vidato vya kwanza wanafaa kujikinga wawezavyo na kujihadhari vilivyo kutokumbatiana na ugonjwa huu unaoleta ufukara na matatizo kwenye familia kwa walio uguwa. Wanawake wanaofanya kazi za ngono ili kujifaidi hela wanaambukizwa na ugonjwa hivi. Labda si kupenda kwao bali nikutaka kupata riziki ya kila siku.Ukienda hospitalini na upatikane na ugonjwa wa ukimwi utapewa ushauri ufaao ili kujiendeleza. Mja ambaye ana ugonjwa huu anashauriwa asife fuadi, bali anaelezwa jinsi ya kujikinga. Mgonjwa huyo hudungwa sindano. Dalili ya kwanza huwa hatari kuliko zote. Maana ya dalili ya kwanza kuwa hatari ni kuwa unawaambukiza wengine bila taarifa yake wewe kibinafsi. Dalili za pili ndizo zinazoonyesha
kuwa mgonjwa ana ugonjwa wa ukimwi, kila apimwapo mashine lile linaonyesha alama ya Kuongeza (+).
Maana daktari wanajuwa mgonjwa anaweza kujitia kitanzi wanamshauri na kumpa dawa zinazomsaidia mgonjwa yule. Magonjwa ni mengi duniani na zote ni hatari. Sote tujihadhari kabla ya hatari. | Wanawake wanaofanya biashari ipi wako kwa hatari ya kuambukizwa UKIMWI? | {
"text": [
"Biashara ya ngono"
]
} |
4744_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni jinamizi linalotukodolea macho mithili ya mamba tayari kukumeza wazi wazi. Ugonjwa huu unasababishwa na virusi vya ukimwi. Mja yeyote anaweza kupata ugonjwa asipojikinga. Wanafunzi wa chuo na hata shuleni wanafaa kujikinga maana wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwenye chupa wa mgongo waliponena jihadhari kabla ya hatari.
Waja wengi wakiambukizwa na janga hili wanakufa mtima na hawajihadhari. Kuna njia mengi za kuuhadhari na janga hili la ukimwi. Dalili hizi pia huonyeshwa kwa kutapika, joto mwilini au saa zingine baridi shadidi, kuishwa na maji mwilini kama vile kutapika na vilevile kutokwa na jasho jingi. Mama mjamzito aliye na virusi hivi ni rahisi sana kwa yeye kumwambukiza mtoto wake mara tu anapozaliwa. Ningependa kuwahimiza Bibi na Mabwana wawe wakipendana kama chanda na pete bali wasitengane kama mbingu na ardhi.
Wanafunzi wa chuo kikuu au vidato vya kwanza wanafaa kujikinga wawezavyo na kujihadhari vilivyo kutokumbatiana na ugonjwa huu unaoleta ufukara na matatizo kwenye familia kwa walio uguwa. Wanawake wanaofanya kazi za ngono ili kujifaidi hela wanaambukizwa na ugonjwa hivi. Labda si kupenda kwao bali nikutaka kupata riziki ya kila siku.Ukienda hospitalini na upatikane na ugonjwa wa ukimwi utapewa ushauri ufaao ili kujiendeleza. Mja ambaye ana ugonjwa huu anashauriwa asife fuadi, bali anaelezwa jinsi ya kujikinga. Mgonjwa huyo hudungwa sindano. Dalili ya kwanza huwa hatari kuliko zote. Maana ya dalili ya kwanza kuwa hatari ni kuwa unawaambukiza wengine bila taarifa yake wewe kibinafsi. Dalili za pili ndizo zinazoonyesha
kuwa mgonjwa ana ugonjwa wa ukimwi, kila apimwapo mashine lile linaonyesha alama ya Kuongeza (+).
Maana daktari wanajuwa mgonjwa anaweza kujitia kitanzi wanamshauri na kumpa dawa zinazomsaidia mgonjwa yule. Magonjwa ni mengi duniani na zote ni hatari. Sote tujihadhari kabla ya hatari. | Wanaoambukizwa UKIMWI huwa wanapewa nini ilikujikimu? | {
"text": [
"Ushauri na mawaidha ya kuishi"
]
} |
4745_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ugonjwa huu kwa kweli ni sugu mithili ya sungura kwenye mtego. Uwele huu ulizuka hapo miaka themanini iliyopita na umewaangamiza wengi wazee kwa vijana wa Jinsia zote. Kuna njia nyingi ugonjwa huu husambaa na kuambukizwa.
Kwanza kabisa, ugonjwa huu husambazwa na watu walio nayo kwa watu wenye afya kwa ngono, kutumia vitu vinavyo dunga kama vile wembe kwa watu wengine, kupiga busu, wakati damu ambayo ina virusi inawekewa mtu mwengine na hata sehemu ambazo zina majeraha na hazijafunikwa. Kwa kweli ugonjwa huu ni tishio kubwa kwa ulimwengu na hata sayari yote kwa pamoja.
Janga hili hupigana na damu itumikayo kupambana na bakteria na virusi na hatimaye hushinda. Ugonjwa huu napoingia mwilini, mtu huwa sawa lakini atakapofika kipande cha miaka fulani huanza kuonyesha ishara. Dalili za ugonjwa huu ni kama kukohoa, kutapika, wakati mwathiriwa hupimwa, ugunduzi wa madaktari huonyesha kuwa kuna virusi mwilini.
Kwa hakika, ugonjwa huu huleta balaa. Huwaua watu wengi kwa wadogo bila kutambua miaka, ama jinsia. Hapa nchini, serikali ina mipango mizuri ya watu walio na upungufu wa kinga mwilini. Serikali hununua vidonge ambavyo hutumiwa na watu walio na ugonjwa huu. Pia ugonjwa huu umeleta madhara yasiyo hesabika.
Maabarani ulimwenguni kote, utafiti wa dawa ya ukimwi unaendelea usiku na mchana bila kufa moyo. Madaktari wamejaribu kadri ya uwezo wao kutafuta dawa ya janga hilo lakini wapi? Wao huishia kuambulia patupu lakini wametilia maanani ile methali isemayo kuwa atafutaye hachoki na akichoka kishapata.
Janga hili linapoingia mwilini, huharibu viungo vya mwili kupigana na damu ile ambayo inasaidia kupishana na virusi au bakteria na kusababisha magonjwa kama vile kifafa na nyinginezo. Gonjwa hili limetikisa dunia zima na kuacha nchi ambazo zilikuwa zimefahamika katika utafiti wa dawa za magonjwa mbalimbali midomo wazi.
Jambo la kuzingatia ni kwamba, ugonjwa huu upo dunia nzima kutoka kaskazini mpaka kusini na mashariki mpaka magharibi. Ikiwa wewe ni mgonjwa kabisa unastahili kuwekewa damu. Jambo la busara ni kuwa damu hiyo ipimwe mara kadhaa kabla ya wewe kuekewa.
Nambari ni kubwa ya watu duniani kupata ukimwi kwa kufanya ngono kwa watu walio nao. Ni wakati mwafaka wa wanafunzi kusoma na kuacha mambo ambayo yana uhusiano wowote na ngono kabisa.
Humu nchini serikali imeleta mpango mpya wa wanafunzi kufunzwa athari za ukimwi na mambo ambayo tunayostahili kufanya ili kuepukana na balaa kubwa kama hii. Pia, wao hufunzwa njia na mbinu za kuepukana na gonjwa hili kama vile kuacha kutumia mitandao ya kijamii na kuwa wanafunzi wenye heshima ambao huvalia vyema wakiwa nyumbani.
Ingekuwa vizuri wakati ambapo tungefuata maagizo yote na kuwa wepesi wa kusikiliza yale ambayo tunaambiwa na wakubwa wetu kama vile wazazi na walimu kulingana na ugonjwa huu kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kutumia minofu wala kutuchana nywele waliposema kuwa jihathari kabla ya hatari. | Ukimwi ulizuka lini | {
"text": [
"Miaka ya themanini"
]
} |
4745_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ugonjwa huu kwa kweli ni sugu mithili ya sungura kwenye mtego. Uwele huu ulizuka hapo miaka themanini iliyopita na umewaangamiza wengi wazee kwa vijana wa Jinsia zote. Kuna njia nyingi ugonjwa huu husambaa na kuambukizwa.
Kwanza kabisa, ugonjwa huu husambazwa na watu walio nayo kwa watu wenye afya kwa ngono, kutumia vitu vinavyo dunga kama vile wembe kwa watu wengine, kupiga busu, wakati damu ambayo ina virusi inawekewa mtu mwengine na hata sehemu ambazo zina majeraha na hazijafunikwa. Kwa kweli ugonjwa huu ni tishio kubwa kwa ulimwengu na hata sayari yote kwa pamoja.
Janga hili hupigana na damu itumikayo kupambana na bakteria na virusi na hatimaye hushinda. Ugonjwa huu napoingia mwilini, mtu huwa sawa lakini atakapofika kipande cha miaka fulani huanza kuonyesha ishara. Dalili za ugonjwa huu ni kama kukohoa, kutapika, wakati mwathiriwa hupimwa, ugunduzi wa madaktari huonyesha kuwa kuna virusi mwilini.
Kwa hakika, ugonjwa huu huleta balaa. Huwaua watu wengi kwa wadogo bila kutambua miaka, ama jinsia. Hapa nchini, serikali ina mipango mizuri ya watu walio na upungufu wa kinga mwilini. Serikali hununua vidonge ambavyo hutumiwa na watu walio na ugonjwa huu. Pia ugonjwa huu umeleta madhara yasiyo hesabika.
Maabarani ulimwenguni kote, utafiti wa dawa ya ukimwi unaendelea usiku na mchana bila kufa moyo. Madaktari wamejaribu kadri ya uwezo wao kutafuta dawa ya janga hilo lakini wapi? Wao huishia kuambulia patupu lakini wametilia maanani ile methali isemayo kuwa atafutaye hachoki na akichoka kishapata.
Janga hili linapoingia mwilini, huharibu viungo vya mwili kupigana na damu ile ambayo inasaidia kupishana na virusi au bakteria na kusababisha magonjwa kama vile kifafa na nyinginezo. Gonjwa hili limetikisa dunia zima na kuacha nchi ambazo zilikuwa zimefahamika katika utafiti wa dawa za magonjwa mbalimbali midomo wazi.
Jambo la kuzingatia ni kwamba, ugonjwa huu upo dunia nzima kutoka kaskazini mpaka kusini na mashariki mpaka magharibi. Ikiwa wewe ni mgonjwa kabisa unastahili kuwekewa damu. Jambo la busara ni kuwa damu hiyo ipimwe mara kadhaa kabla ya wewe kuekewa.
Nambari ni kubwa ya watu duniani kupata ukimwi kwa kufanya ngono kwa watu walio nao. Ni wakati mwafaka wa wanafunzi kusoma na kuacha mambo ambayo yana uhusiano wowote na ngono kabisa.
Humu nchini serikali imeleta mpango mpya wa wanafunzi kufunzwa athari za ukimwi na mambo ambayo tunayostahili kufanya ili kuepukana na balaa kubwa kama hii. Pia, wao hufunzwa njia na mbinu za kuepukana na gonjwa hili kama vile kuacha kutumia mitandao ya kijamii na kuwa wanafunzi wenye heshima ambao huvalia vyema wakiwa nyumbani.
Ingekuwa vizuri wakati ambapo tungefuata maagizo yote na kuwa wepesi wa kusikiliza yale ambayo tunaambiwa na wakubwa wetu kama vile wazazi na walimu kulingana na ugonjwa huu kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kutumia minofu wala kutuchana nywele waliposema kuwa jihathari kabla ya hatari. | Tendo mojawapo la kusambaza ukimwi ni lipi | {
"text": [
"Kushiriki ngono"
]
} |
4745_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ugonjwa huu kwa kweli ni sugu mithili ya sungura kwenye mtego. Uwele huu ulizuka hapo miaka themanini iliyopita na umewaangamiza wengi wazee kwa vijana wa Jinsia zote. Kuna njia nyingi ugonjwa huu husambaa na kuambukizwa.
Kwanza kabisa, ugonjwa huu husambazwa na watu walio nayo kwa watu wenye afya kwa ngono, kutumia vitu vinavyo dunga kama vile wembe kwa watu wengine, kupiga busu, wakati damu ambayo ina virusi inawekewa mtu mwengine na hata sehemu ambazo zina majeraha na hazijafunikwa. Kwa kweli ugonjwa huu ni tishio kubwa kwa ulimwengu na hata sayari yote kwa pamoja.
Janga hili hupigana na damu itumikayo kupambana na bakteria na virusi na hatimaye hushinda. Ugonjwa huu napoingia mwilini, mtu huwa sawa lakini atakapofika kipande cha miaka fulani huanza kuonyesha ishara. Dalili za ugonjwa huu ni kama kukohoa, kutapika, wakati mwathiriwa hupimwa, ugunduzi wa madaktari huonyesha kuwa kuna virusi mwilini.
Kwa hakika, ugonjwa huu huleta balaa. Huwaua watu wengi kwa wadogo bila kutambua miaka, ama jinsia. Hapa nchini, serikali ina mipango mizuri ya watu walio na upungufu wa kinga mwilini. Serikali hununua vidonge ambavyo hutumiwa na watu walio na ugonjwa huu. Pia ugonjwa huu umeleta madhara yasiyo hesabika.
Maabarani ulimwenguni kote, utafiti wa dawa ya ukimwi unaendelea usiku na mchana bila kufa moyo. Madaktari wamejaribu kadri ya uwezo wao kutafuta dawa ya janga hilo lakini wapi? Wao huishia kuambulia patupu lakini wametilia maanani ile methali isemayo kuwa atafutaye hachoki na akichoka kishapata.
Janga hili linapoingia mwilini, huharibu viungo vya mwili kupigana na damu ile ambayo inasaidia kupishana na virusi au bakteria na kusababisha magonjwa kama vile kifafa na nyinginezo. Gonjwa hili limetikisa dunia zima na kuacha nchi ambazo zilikuwa zimefahamika katika utafiti wa dawa za magonjwa mbalimbali midomo wazi.
Jambo la kuzingatia ni kwamba, ugonjwa huu upo dunia nzima kutoka kaskazini mpaka kusini na mashariki mpaka magharibi. Ikiwa wewe ni mgonjwa kabisa unastahili kuwekewa damu. Jambo la busara ni kuwa damu hiyo ipimwe mara kadhaa kabla ya wewe kuekewa.
Nambari ni kubwa ya watu duniani kupata ukimwi kwa kufanya ngono kwa watu walio nao. Ni wakati mwafaka wa wanafunzi kusoma na kuacha mambo ambayo yana uhusiano wowote na ngono kabisa.
Humu nchini serikali imeleta mpango mpya wa wanafunzi kufunzwa athari za ukimwi na mambo ambayo tunayostahili kufanya ili kuepukana na balaa kubwa kama hii. Pia, wao hufunzwa njia na mbinu za kuepukana na gonjwa hili kama vile kuacha kutumia mitandao ya kijamii na kuwa wanafunzi wenye heshima ambao huvalia vyema wakiwa nyumbani.
Ingekuwa vizuri wakati ambapo tungefuata maagizo yote na kuwa wepesi wa kusikiliza yale ambayo tunaambiwa na wakubwa wetu kama vile wazazi na walimu kulingana na ugonjwa huu kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kutumia minofu wala kutuchana nywele waliposema kuwa jihathari kabla ya hatari. | Dalili ya ugonjwa wa ukimwi ni ipi | {
"text": [
"Kukohoa na kutapika"
]
} |
Subsets and Splits