Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
3902_swa
Nani asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai? “Kelele zenye tija jumuondoa tembo shambani.” Hakuna mwenye haki asiyekosa wala mwenye kukosa asiye na haki. Hakuna mzuri asiye na ubaya na wala hakuna mbaya asiyekuwa na uzuri. Tunaanza kwa kutafakari hilo. Walimwengu tumeumbwa wawili, mume na mke, kisha kila jambo letu lazima liwe na uwili, yaani pande chanya na hasi, mbaya na nzuri mwerevu na mjinga, na kadhalika. Kijiba changu leo kinalenga wapi? Kijiba kinataka kudadavua juu ya haki ya kila Mswahili katika kujua hili baya aliache na zuri alitende liwe lake pekee kwa familia yake au kwa umma. Wengi wetu leo, tumeyafumbata mawi, kiasi cha kuitakidi kwamba ndio haki na haki yenyewe tukaiona batili tukaidharau. Tumekuwa hatuogopi, hatujali wala hatuna haya kuyafanya yenye haya na aibu hadharani. Na yule anayeona hayo yakitendwa akijaribu kukemea atazomwa na siajabu akapata kichapo kitakatifu, ama akageuziwa yeye aonekana mbaya mbele ya watu. Nitatoa mifano kadhaa hasa kwenye rushwa au hongo. Hivi ni Mswahili yupi asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai? Ni nani katika wengi waishio katika miji yetu asiyeona watu wakitoa au kupokea hongo? Kila wizara na idara kuna wanaoomba kupewa hongo tena kwa lazima la sivyo hupati huduma uitakayo. Raia wameshazoea na kwa sasa kwao hao raia imekuwa ni jambo la kawaida kutafuta haki yao kwa kutoa hongo, ndio aipate. Wengi wameshashuhudia afisa usalama barabarani akisimamisha magari ya abiria, sisi abiria ndio huwa wa kwanza kusema kampe kitu kidogo tuendelee na safari. Hicho kitu kidogo ndio hongo yenyewe ambayo sisi raia tunalazimisha kondakta ama mhudumu atoe badala ya kuizuia. Ukiuliza kwa nini? Majibu utakayo pewa, utajuta ni kwa nini umeuliza. Ukweli ni kwamba sio kama hawajui wafanyalo, ila ni mazoea ya muda mrefu mpaka sasa wanaona ni haki kutoa hongo na si dhambi. Jambo la kusikitisha, ni sisi raia ndio wa kwanza kulalamikia serikali kwamba imejaa hongo. Jiulize wewe mwenyewe ulipo, umeiona hongo ikitolewa umefanya nini kuizuia hata kwa kuikemea tu, kisha ukaelimisha raia juu ya hatari ya hongo? Utasema ubaya wa serikali kuu au ubaya wa ubaya wa serikali ya kaunti yako, lakini husemi ubaya wako wa kushahidia hongo kuendelea. Nchi yetu ni ya kila mmoja wetu, tuyafanye mazuri kwa mujibu wa sheria na katiba ya taifa letu kwa hiari. Tusingoje tulazimishwe kufuata sheria. Amani, upendo na mshikamano mbegu yake ni kufuata sheria bila kushurutishwa. Yatupasa kwanza tutoe boriti kwenye macho yetu ndipo tutoe kibanzi kwenye serikali zetu. Malalamiko yasio na tija huwa ni sawa na kelele za chura kisimani hazimzuili mtekaji kuchota maji. Ila kelele zenye tija humtoa tembo shambani. Hakuna jambo lililoanzishwa na umma. Kila jambo huanza na mtu mmoja, akatoa wazo, ama akaamua kukemea hongo, ndipo wengine huliona hilo kosa na wao wakasaidia kupiga kelele. Ikiwa tutaogopa kuwakemea ima kuwasema ama kuwapeleka sheriani, juweni tutabaki tulipo na kelele zetu zitakuwa za chura, mpaka wajukuu wetu watakuwa kama sisi. Mabadiliko ya jambo huwa hayataki nguvu, yanataka busara hekima na weledi katika kuliendeza jambo hilo. Kila Mswahili anayependa taifa lake kwa dhati ya kulipenda, hongo au mlingula au kitu kidogo huwa kinamuumiza roho. Ni kweli kabisa serikali zetu zina makosa mengi tu, lakini zina mafanikio makubwa katika kutuletea maendeleo. Muhimu kuyakubali hayo machache yaliyopo na kuyapigia debe mengi tuyatakayo. Tunakuwaje wanyonge wakati tunayo sheria inayo kataza mabaya na zimeweka mpaka adhabu zinazo tolewa kwa mwenye kuvunja sheria hizo. Mswahili ninakijiba moyoni cha hili hongo lililoota mizizi humu nchini. Mswahili nina amini hakuna lisilo na mwisho, ni juhudi za pamoja, kisha tuwe wazalendo wa kweli tunayoipenda nchi yetu kwa dhati ya nyoyo zetu. Na hata mtu akikutazama tu ajue huyu ni mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake, yuko tayari kuilinda kuitetea na kuitangaza popote duniani bila woga. Bila ya kujidunisha awe radhi kuitwa Mkenya na anachukia kuitwa kwa kabila lake. Kunayo tuliyo yajenga akilini mwetu kwamba hatuwezi lolote kama hakuna atakae tusaidia. Ama tuingie mikopo kufanikisha makusudio yetu. Imani hii, ni potovu. Kwa nini wao waweze sisi tusiweze? Kwani wao wana nini na sisi tuna nini? Isitoshe malighafi nyingi yatoka kwenye bara letu. Tunashindwa wapi kuzizuia hizo malighafi zikatumika ndani ya nchi zetu? Hivi hawa wasomi tulio nao wanashindwa wapi? Ama walisoma kukariri yao hao tunao wategemea wakakosa kuwa wabunifu mahiri? Ewe mswahili, hebu kaa peke yako ivute akili yako, iweke kwenye fikra pevu, zama ndani kutafakari, lazima utaibuka na jawabu likalo kufanya ujue umuhimu wa kuwa mkenya tena mzalendo. Mswahili nimesema tu, ni kama nimekaanga mbuyu nawangoja watafunaji watafune. Mswahili bwana!
Afisa wa usalama barabarani husimamisha magari na kupewa hongo na nani
{ "text": [ "Kondakta" ] }
3902_swa
Nani asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai? “Kelele zenye tija jumuondoa tembo shambani.” Hakuna mwenye haki asiyekosa wala mwenye kukosa asiye na haki. Hakuna mzuri asiye na ubaya na wala hakuna mbaya asiyekuwa na uzuri. Tunaanza kwa kutafakari hilo. Walimwengu tumeumbwa wawili, mume na mke, kisha kila jambo letu lazima liwe na uwili, yaani pande chanya na hasi, mbaya na nzuri mwerevu na mjinga, na kadhalika. Kijiba changu leo kinalenga wapi? Kijiba kinataka kudadavua juu ya haki ya kila Mswahili katika kujua hili baya aliache na zuri alitende liwe lake pekee kwa familia yake au kwa umma. Wengi wetu leo, tumeyafumbata mawi, kiasi cha kuitakidi kwamba ndio haki na haki yenyewe tukaiona batili tukaidharau. Tumekuwa hatuogopi, hatujali wala hatuna haya kuyafanya yenye haya na aibu hadharani. Na yule anayeona hayo yakitendwa akijaribu kukemea atazomwa na siajabu akapata kichapo kitakatifu, ama akageuziwa yeye aonekana mbaya mbele ya watu. Nitatoa mifano kadhaa hasa kwenye rushwa au hongo. Hivi ni Mswahili yupi asiyejua hongo ni adui wa haki pia ni kosa la jinai? Ni nani katika wengi waishio katika miji yetu asiyeona watu wakitoa au kupokea hongo? Kila wizara na idara kuna wanaoomba kupewa hongo tena kwa lazima la sivyo hupati huduma uitakayo. Raia wameshazoea na kwa sasa kwao hao raia imekuwa ni jambo la kawaida kutafuta haki yao kwa kutoa hongo, ndio aipate. Wengi wameshashuhudia afisa usalama barabarani akisimamisha magari ya abiria, sisi abiria ndio huwa wa kwanza kusema kampe kitu kidogo tuendelee na safari. Hicho kitu kidogo ndio hongo yenyewe ambayo sisi raia tunalazimisha kondakta ama mhudumu atoe badala ya kuizuia. Ukiuliza kwa nini? Majibu utakayo pewa, utajuta ni kwa nini umeuliza. Ukweli ni kwamba sio kama hawajui wafanyalo, ila ni mazoea ya muda mrefu mpaka sasa wanaona ni haki kutoa hongo na si dhambi. Jambo la kusikitisha, ni sisi raia ndio wa kwanza kulalamikia serikali kwamba imejaa hongo. Jiulize wewe mwenyewe ulipo, umeiona hongo ikitolewa umefanya nini kuizuia hata kwa kuikemea tu, kisha ukaelimisha raia juu ya hatari ya hongo? Utasema ubaya wa serikali kuu au ubaya wa ubaya wa serikali ya kaunti yako, lakini husemi ubaya wako wa kushahidia hongo kuendelea. Nchi yetu ni ya kila mmoja wetu, tuyafanye mazuri kwa mujibu wa sheria na katiba ya taifa letu kwa hiari. Tusingoje tulazimishwe kufuata sheria. Amani, upendo na mshikamano mbegu yake ni kufuata sheria bila kushurutishwa. Yatupasa kwanza tutoe boriti kwenye macho yetu ndipo tutoe kibanzi kwenye serikali zetu. Malalamiko yasio na tija huwa ni sawa na kelele za chura kisimani hazimzuili mtekaji kuchota maji. Ila kelele zenye tija humtoa tembo shambani. Hakuna jambo lililoanzishwa na umma. Kila jambo huanza na mtu mmoja, akatoa wazo, ama akaamua kukemea hongo, ndipo wengine huliona hilo kosa na wao wakasaidia kupiga kelele. Ikiwa tutaogopa kuwakemea ima kuwasema ama kuwapeleka sheriani, juweni tutabaki tulipo na kelele zetu zitakuwa za chura, mpaka wajukuu wetu watakuwa kama sisi. Mabadiliko ya jambo huwa hayataki nguvu, yanataka busara hekima na weledi katika kuliendeza jambo hilo. Kila Mswahili anayependa taifa lake kwa dhati ya kulipenda, hongo au mlingula au kitu kidogo huwa kinamuumiza roho. Ni kweli kabisa serikali zetu zina makosa mengi tu, lakini zina mafanikio makubwa katika kutuletea maendeleo. Muhimu kuyakubali hayo machache yaliyopo na kuyapigia debe mengi tuyatakayo. Tunakuwaje wanyonge wakati tunayo sheria inayo kataza mabaya na zimeweka mpaka adhabu zinazo tolewa kwa mwenye kuvunja sheria hizo. Mswahili ninakijiba moyoni cha hili hongo lililoota mizizi humu nchini. Mswahili nina amini hakuna lisilo na mwisho, ni juhudi za pamoja, kisha tuwe wazalendo wa kweli tunayoipenda nchi yetu kwa dhati ya nyoyo zetu. Na hata mtu akikutazama tu ajue huyu ni mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake, yuko tayari kuilinda kuitetea na kuitangaza popote duniani bila woga. Bila ya kujidunisha awe radhi kuitwa Mkenya na anachukia kuitwa kwa kabila lake. Kunayo tuliyo yajenga akilini mwetu kwamba hatuwezi lolote kama hakuna atakae tusaidia. Ama tuingie mikopo kufanikisha makusudio yetu. Imani hii, ni potovu. Kwa nini wao waweze sisi tusiweze? Kwani wao wana nini na sisi tuna nini? Isitoshe malighafi nyingi yatoka kwenye bara letu. Tunashindwa wapi kuzizuia hizo malighafi zikatumika ndani ya nchi zetu? Hivi hawa wasomi tulio nao wanashindwa wapi? Ama walisoma kukariri yao hao tunao wategemea wakakosa kuwa wabunifu mahiri? Ewe mswahili, hebu kaa peke yako ivute akili yako, iweke kwenye fikra pevu, zama ndani kutafakari, lazima utaibuka na jawabu likalo kufanya ujue umuhimu wa kuwa mkenya tena mzalendo. Mswahili nimesema tu, ni kama nimekaanga mbuyu nawangoja watafunaji watafune. Mswahili bwana!
Kipi huumiza roho ya mzalendo wa taifa lake
{ "text": [ "Hongo" ] }
3903_swa
KURUNZI YA PAMBAZUKO Sifa gani tutamkumbuka hayati rais Daniel Moi? Huku wakenya wakiendelea kumpatia mkono wa buriani hayati Daniel Moi rais wa pili wa jamhuri ya Kenya, ni mengi yatakumbukwa kumhusu kama kiongozi aliyetawala kwa zaidi ya miongo miwili. Kama ilivyo desturi mtu anapoaga, hata waliomchukia aghalabu hutoa machozi ya mamba na kummiminia sifa ambazo si za kweli hata ingawa mwenda zake hana uwezo tena kwa kufurahia sifa hizo. Ndiposa wengi huomba wasifiwe wakiwa hai na sio wanapoaga. Mzee Moi kama kiongozi wa Afrika aliyetawala wakati mfumo ya siasa na demokrasia ulikuwa unakubaliwa na changamoto za mageuzi. Moi alijaribu kadri alivyoweza kustawisha amani na utangamano wa kitaifa licha ya misukosuko mingi iliyokuwa ikilikumba bara la Afrika. Hata hivyo, Moi kama binadamu wote alikuwa na mapungufu yake na kama ilivyo hali ya maisha kiongozi hawezi kamwe kupendwa na kila mtu kwani kuna wale waliojipata matatani kwa sababu ya misimamo yao ya kisiasa hata kumtaja kama kiongozi wa kiimla. Hata hivyo hayo ni ya zamani na kama tusemavyo waswahili yaliyopita si ndwele bali tugange yajayo. Kwa muktadha hii nitataja sifa kadhaa za uongozi alizokuwa nazo mzee Moi kwani waswahili husema mgala muuwe lakini haki yake mpe. Kwanza kabisa Moi anatajwa na wandani wake kama mtu aliyekuwa mkarimu sana na wengi wanakumbuka zile ziara wengi walifanya kwenda ikulu “kula ugali”. Wengi wanadai kwamba tangu Mzee Moi kuondoka ikulu hawajaona tena kiongozi mkarimu kama yeye. Wengi ya wanasiasa, wakubwa wa mashirika na hata waimbaji waliomtukuza Moi kupitia nyimbo walitunzwa, kupandishwa vyeo au kupewa mali kama vile ardhi. Mahali kokote Baba Moi alipopita wakubwa kwa wadogo walipanga foleni walingoja apite awaamukue na hata kuwapa soda na chakula cha mchana. Moi pia alikuwa kiongozi aliyekuwa mtiifu na mwenye subira. Hii bila shaka ndio sifa iliyomfanya Mzee Kenyatta kumwamini sana na hivyo kumtwika majukumu mazito. Inakumbukwa kwamba wakati dalili zilianza kujitokeza kwamba Kenyatta huenda akaaga, Moi aliandamwa na kudhalilishwa na mahasidi wake ambao hawakutaka amrithi Kenyatta wakimtaja kama wingu la kupita. Hata hivyo Moi hakuonyesha chuki wala machungu na hata wakati wengine walipokuwa wakiitisha mchakato wa kugeuza katiba kumzuia asikalie kiti cha urais kwa muda wa miezi tatu kulingana na katiba ya zamani. Moi alitulia tuli na kuonyesha hekima ya hali juu. Moi pia alijulikana kama kiongozi aliyekuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa kila sehemu ya nchi ya Kenya. Inasemekana kwamba alikuwa akiamka mapema na kulala akichelewa kwa sababu ya kuchapa kazi, huku akisemekana kuheshimu sana mipangilio na wakati. Hayati mzee Moi pia alikuwa kiongozi aliyesisitiza sana nidhamu hasa miongoni mwa mawaziri wake na hata wakuu wa mashirika mbalimbali . Nidhamu ni sifa muhimu kwa kila mtu na mzee Moi hakukawia kuwakari pia.
Wakenya wanaendelea kumpa hayati Raisi Daniel Moi mkono wa nini
{ "text": [ "Buriani" ] }
3903_swa
KURUNZI YA PAMBAZUKO Sifa gani tutamkumbuka hayati rais Daniel Moi? Huku wakenya wakiendelea kumpatia mkono wa buriani hayati Daniel Moi rais wa pili wa jamhuri ya Kenya, ni mengi yatakumbukwa kumhusu kama kiongozi aliyetawala kwa zaidi ya miongo miwili. Kama ilivyo desturi mtu anapoaga, hata waliomchukia aghalabu hutoa machozi ya mamba na kummiminia sifa ambazo si za kweli hata ingawa mwenda zake hana uwezo tena kwa kufurahia sifa hizo. Ndiposa wengi huomba wasifiwe wakiwa hai na sio wanapoaga. Mzee Moi kama kiongozi wa Afrika aliyetawala wakati mfumo ya siasa na demokrasia ulikuwa unakubaliwa na changamoto za mageuzi. Moi alijaribu kadri alivyoweza kustawisha amani na utangamano wa kitaifa licha ya misukosuko mingi iliyokuwa ikilikumba bara la Afrika. Hata hivyo, Moi kama binadamu wote alikuwa na mapungufu yake na kama ilivyo hali ya maisha kiongozi hawezi kamwe kupendwa na kila mtu kwani kuna wale waliojipata matatani kwa sababu ya misimamo yao ya kisiasa hata kumtaja kama kiongozi wa kiimla. Hata hivyo hayo ni ya zamani na kama tusemavyo waswahili yaliyopita si ndwele bali tugange yajayo. Kwa muktadha hii nitataja sifa kadhaa za uongozi alizokuwa nazo mzee Moi kwani waswahili husema mgala muuwe lakini haki yake mpe. Kwanza kabisa Moi anatajwa na wandani wake kama mtu aliyekuwa mkarimu sana na wengi wanakumbuka zile ziara wengi walifanya kwenda ikulu “kula ugali”. Wengi wanadai kwamba tangu Mzee Moi kuondoka ikulu hawajaona tena kiongozi mkarimu kama yeye. Wengi ya wanasiasa, wakubwa wa mashirika na hata waimbaji waliomtukuza Moi kupitia nyimbo walitunzwa, kupandishwa vyeo au kupewa mali kama vile ardhi. Mahali kokote Baba Moi alipopita wakubwa kwa wadogo walipanga foleni walingoja apite awaamukue na hata kuwapa soda na chakula cha mchana. Moi pia alikuwa kiongozi aliyekuwa mtiifu na mwenye subira. Hii bila shaka ndio sifa iliyomfanya Mzee Kenyatta kumwamini sana na hivyo kumtwika majukumu mazito. Inakumbukwa kwamba wakati dalili zilianza kujitokeza kwamba Kenyatta huenda akaaga, Moi aliandamwa na kudhalilishwa na mahasidi wake ambao hawakutaka amrithi Kenyatta wakimtaja kama wingu la kupita. Hata hivyo Moi hakuonyesha chuki wala machungu na hata wakati wengine walipokuwa wakiitisha mchakato wa kugeuza katiba kumzuia asikalie kiti cha urais kwa muda wa miezi tatu kulingana na katiba ya zamani. Moi alitulia tuli na kuonyesha hekima ya hali juu. Moi pia alijulikana kama kiongozi aliyekuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa kila sehemu ya nchi ya Kenya. Inasemekana kwamba alikuwa akiamka mapema na kulala akichelewa kwa sababu ya kuchapa kazi, huku akisemekana kuheshimu sana mipangilio na wakati. Hayati mzee Moi pia alikuwa kiongozi aliyesisitiza sana nidhamu hasa miongoni mwa mawaziri wake na hata wakuu wa mashirika mbalimbali . Nidhamu ni sifa muhimu kwa kila mtu na mzee Moi hakukawia kuwakari pia.
Mzee Moi alijaribu alijaribu kustawisha amani na nini
{ "text": [ "Utangamano" ] }
3903_swa
KURUNZI YA PAMBAZUKO Sifa gani tutamkumbuka hayati rais Daniel Moi? Huku wakenya wakiendelea kumpatia mkono wa buriani hayati Daniel Moi rais wa pili wa jamhuri ya Kenya, ni mengi yatakumbukwa kumhusu kama kiongozi aliyetawala kwa zaidi ya miongo miwili. Kama ilivyo desturi mtu anapoaga, hata waliomchukia aghalabu hutoa machozi ya mamba na kummiminia sifa ambazo si za kweli hata ingawa mwenda zake hana uwezo tena kwa kufurahia sifa hizo. Ndiposa wengi huomba wasifiwe wakiwa hai na sio wanapoaga. Mzee Moi kama kiongozi wa Afrika aliyetawala wakati mfumo ya siasa na demokrasia ulikuwa unakubaliwa na changamoto za mageuzi. Moi alijaribu kadri alivyoweza kustawisha amani na utangamano wa kitaifa licha ya misukosuko mingi iliyokuwa ikilikumba bara la Afrika. Hata hivyo, Moi kama binadamu wote alikuwa na mapungufu yake na kama ilivyo hali ya maisha kiongozi hawezi kamwe kupendwa na kila mtu kwani kuna wale waliojipata matatani kwa sababu ya misimamo yao ya kisiasa hata kumtaja kama kiongozi wa kiimla. Hata hivyo hayo ni ya zamani na kama tusemavyo waswahili yaliyopita si ndwele bali tugange yajayo. Kwa muktadha hii nitataja sifa kadhaa za uongozi alizokuwa nazo mzee Moi kwani waswahili husema mgala muuwe lakini haki yake mpe. Kwanza kabisa Moi anatajwa na wandani wake kama mtu aliyekuwa mkarimu sana na wengi wanakumbuka zile ziara wengi walifanya kwenda ikulu “kula ugali”. Wengi wanadai kwamba tangu Mzee Moi kuondoka ikulu hawajaona tena kiongozi mkarimu kama yeye. Wengi ya wanasiasa, wakubwa wa mashirika na hata waimbaji waliomtukuza Moi kupitia nyimbo walitunzwa, kupandishwa vyeo au kupewa mali kama vile ardhi. Mahali kokote Baba Moi alipopita wakubwa kwa wadogo walipanga foleni walingoja apite awaamukue na hata kuwapa soda na chakula cha mchana. Moi pia alikuwa kiongozi aliyekuwa mtiifu na mwenye subira. Hii bila shaka ndio sifa iliyomfanya Mzee Kenyatta kumwamini sana na hivyo kumtwika majukumu mazito. Inakumbukwa kwamba wakati dalili zilianza kujitokeza kwamba Kenyatta huenda akaaga, Moi aliandamwa na kudhalilishwa na mahasidi wake ambao hawakutaka amrithi Kenyatta wakimtaja kama wingu la kupita. Hata hivyo Moi hakuonyesha chuki wala machungu na hata wakati wengine walipokuwa wakiitisha mchakato wa kugeuza katiba kumzuia asikalie kiti cha urais kwa muda wa miezi tatu kulingana na katiba ya zamani. Moi alitulia tuli na kuonyesha hekima ya hali juu. Moi pia alijulikana kama kiongozi aliyekuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa kila sehemu ya nchi ya Kenya. Inasemekana kwamba alikuwa akiamka mapema na kulala akichelewa kwa sababu ya kuchapa kazi, huku akisemekana kuheshimu sana mipangilio na wakati. Hayati mzee Moi pia alikuwa kiongozi aliyesisitiza sana nidhamu hasa miongoni mwa mawaziri wake na hata wakuu wa mashirika mbalimbali . Nidhamu ni sifa muhimu kwa kila mtu na mzee Moi hakukawia kuwakari pia.
Moi anatajwa na wandani wake kuwa na sifa gani
{ "text": [ "Ukarimu" ] }
3903_swa
KURUNZI YA PAMBAZUKO Sifa gani tutamkumbuka hayati rais Daniel Moi? Huku wakenya wakiendelea kumpatia mkono wa buriani hayati Daniel Moi rais wa pili wa jamhuri ya Kenya, ni mengi yatakumbukwa kumhusu kama kiongozi aliyetawala kwa zaidi ya miongo miwili. Kama ilivyo desturi mtu anapoaga, hata waliomchukia aghalabu hutoa machozi ya mamba na kummiminia sifa ambazo si za kweli hata ingawa mwenda zake hana uwezo tena kwa kufurahia sifa hizo. Ndiposa wengi huomba wasifiwe wakiwa hai na sio wanapoaga. Mzee Moi kama kiongozi wa Afrika aliyetawala wakati mfumo ya siasa na demokrasia ulikuwa unakubaliwa na changamoto za mageuzi. Moi alijaribu kadri alivyoweza kustawisha amani na utangamano wa kitaifa licha ya misukosuko mingi iliyokuwa ikilikumba bara la Afrika. Hata hivyo, Moi kama binadamu wote alikuwa na mapungufu yake na kama ilivyo hali ya maisha kiongozi hawezi kamwe kupendwa na kila mtu kwani kuna wale waliojipata matatani kwa sababu ya misimamo yao ya kisiasa hata kumtaja kama kiongozi wa kiimla. Hata hivyo hayo ni ya zamani na kama tusemavyo waswahili yaliyopita si ndwele bali tugange yajayo. Kwa muktadha hii nitataja sifa kadhaa za uongozi alizokuwa nazo mzee Moi kwani waswahili husema mgala muuwe lakini haki yake mpe. Kwanza kabisa Moi anatajwa na wandani wake kama mtu aliyekuwa mkarimu sana na wengi wanakumbuka zile ziara wengi walifanya kwenda ikulu “kula ugali”. Wengi wanadai kwamba tangu Mzee Moi kuondoka ikulu hawajaona tena kiongozi mkarimu kama yeye. Wengi ya wanasiasa, wakubwa wa mashirika na hata waimbaji waliomtukuza Moi kupitia nyimbo walitunzwa, kupandishwa vyeo au kupewa mali kama vile ardhi. Mahali kokote Baba Moi alipopita wakubwa kwa wadogo walipanga foleni walingoja apite awaamukue na hata kuwapa soda na chakula cha mchana. Moi pia alikuwa kiongozi aliyekuwa mtiifu na mwenye subira. Hii bila shaka ndio sifa iliyomfanya Mzee Kenyatta kumwamini sana na hivyo kumtwika majukumu mazito. Inakumbukwa kwamba wakati dalili zilianza kujitokeza kwamba Kenyatta huenda akaaga, Moi aliandamwa na kudhalilishwa na mahasidi wake ambao hawakutaka amrithi Kenyatta wakimtaja kama wingu la kupita. Hata hivyo Moi hakuonyesha chuki wala machungu na hata wakati wengine walipokuwa wakiitisha mchakato wa kugeuza katiba kumzuia asikalie kiti cha urais kwa muda wa miezi tatu kulingana na katiba ya zamani. Moi alitulia tuli na kuonyesha hekima ya hali juu. Moi pia alijulikana kama kiongozi aliyekuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa kila sehemu ya nchi ya Kenya. Inasemekana kwamba alikuwa akiamka mapema na kulala akichelewa kwa sababu ya kuchapa kazi, huku akisemekana kuheshimu sana mipangilio na wakati. Hayati mzee Moi pia alikuwa kiongozi aliyesisitiza sana nidhamu hasa miongoni mwa mawaziri wake na hata wakuu wa mashirika mbalimbali . Nidhamu ni sifa muhimu kwa kila mtu na mzee Moi hakukawia kuwakari pia.
Waliotukuza Moi kwa nyimbo walifanyiwa nini
{ "text": [ "Walituzwa" ] }
3903_swa
KURUNZI YA PAMBAZUKO Sifa gani tutamkumbuka hayati rais Daniel Moi? Huku wakenya wakiendelea kumpatia mkono wa buriani hayati Daniel Moi rais wa pili wa jamhuri ya Kenya, ni mengi yatakumbukwa kumhusu kama kiongozi aliyetawala kwa zaidi ya miongo miwili. Kama ilivyo desturi mtu anapoaga, hata waliomchukia aghalabu hutoa machozi ya mamba na kummiminia sifa ambazo si za kweli hata ingawa mwenda zake hana uwezo tena kwa kufurahia sifa hizo. Ndiposa wengi huomba wasifiwe wakiwa hai na sio wanapoaga. Mzee Moi kama kiongozi wa Afrika aliyetawala wakati mfumo ya siasa na demokrasia ulikuwa unakubaliwa na changamoto za mageuzi. Moi alijaribu kadri alivyoweza kustawisha amani na utangamano wa kitaifa licha ya misukosuko mingi iliyokuwa ikilikumba bara la Afrika. Hata hivyo, Moi kama binadamu wote alikuwa na mapungufu yake na kama ilivyo hali ya maisha kiongozi hawezi kamwe kupendwa na kila mtu kwani kuna wale waliojipata matatani kwa sababu ya misimamo yao ya kisiasa hata kumtaja kama kiongozi wa kiimla. Hata hivyo hayo ni ya zamani na kama tusemavyo waswahili yaliyopita si ndwele bali tugange yajayo. Kwa muktadha hii nitataja sifa kadhaa za uongozi alizokuwa nazo mzee Moi kwani waswahili husema mgala muuwe lakini haki yake mpe. Kwanza kabisa Moi anatajwa na wandani wake kama mtu aliyekuwa mkarimu sana na wengi wanakumbuka zile ziara wengi walifanya kwenda ikulu “kula ugali”. Wengi wanadai kwamba tangu Mzee Moi kuondoka ikulu hawajaona tena kiongozi mkarimu kama yeye. Wengi ya wanasiasa, wakubwa wa mashirika na hata waimbaji waliomtukuza Moi kupitia nyimbo walitunzwa, kupandishwa vyeo au kupewa mali kama vile ardhi. Mahali kokote Baba Moi alipopita wakubwa kwa wadogo walipanga foleni walingoja apite awaamukue na hata kuwapa soda na chakula cha mchana. Moi pia alikuwa kiongozi aliyekuwa mtiifu na mwenye subira. Hii bila shaka ndio sifa iliyomfanya Mzee Kenyatta kumwamini sana na hivyo kumtwika majukumu mazito. Inakumbukwa kwamba wakati dalili zilianza kujitokeza kwamba Kenyatta huenda akaaga, Moi aliandamwa na kudhalilishwa na mahasidi wake ambao hawakutaka amrithi Kenyatta wakimtaja kama wingu la kupita. Hata hivyo Moi hakuonyesha chuki wala machungu na hata wakati wengine walipokuwa wakiitisha mchakato wa kugeuza katiba kumzuia asikalie kiti cha urais kwa muda wa miezi tatu kulingana na katiba ya zamani. Moi alitulia tuli na kuonyesha hekima ya hali juu. Moi pia alijulikana kama kiongozi aliyekuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa kila sehemu ya nchi ya Kenya. Inasemekana kwamba alikuwa akiamka mapema na kulala akichelewa kwa sababu ya kuchapa kazi, huku akisemekana kuheshimu sana mipangilio na wakati. Hayati mzee Moi pia alikuwa kiongozi aliyesisitiza sana nidhamu hasa miongoni mwa mawaziri wake na hata wakuu wa mashirika mbalimbali . Nidhamu ni sifa muhimu kwa kila mtu na mzee Moi hakukawia kuwakari pia.
Nani alimwamini Moi na kumtwika majukumu mazito
{ "text": [ "Kenyatta" ] }
3904_swa
Mexico: Ina historia ya kuvutia, janga la mihadarati latishia Ni nchi kubwa na maarufu duniani hususan katika tamaduni lakini limekumbwa na tishio la makundi sugu ya mihadarati linalotishia uthabiti wa taifa. Mexico iko katika bara la Amerika ya kaskazini katika mkia wa mwisho wa ardhi hiyo upande wa kusini. Iko mkabala na bahari kuu inayozunguka sehemu kubwa ya nchi kavu. Aidha, taifa hili linapakana na taifa kubwa la Marekani katika mpaka wake mrefu wa kaskazini. Hapa inapatikana na majimbo ya California, Arizona, New Mexico na Texas. Kwa upande mkubwa wa magharibi na kusini kuna bahari kuu ya Pasifiki. Kusini mashariki kuna mataifa ya Guatemala, Belize na bahari ya Carribean. Nchi ina ukuruba mkubwa na nchi ya Ulaya ambalo liliteka na kuifanya koloni lake nayo ni Uhispania. Athari za Uhispania ni kubwa katika Mexico. Taifa hili linajulikana kwa kihispania kama ‘Estados Unidos Mexicanos’ yaani umoja wa mataifa ya kimexico. Wimbo wake wa taifa wanaouenzi pia umeitwa kihispania yaani ‘Himno Nacional Mexicano’ yaani wimbo wa taifa wa Mexico. Bendera maridadi ya taifa hili kubwa ina miraba mikuu mitatu ya rangi kijani, nyeupe na nyekundu ikiashiria ukulima, amani na ushujaa uzalendo wa kupigania nchi. Ikiwa na eneo kubwa la takriban kilomita milioni mbili mraba, Mexico ina idadi kubwa ya watu 126,577,691. Kidini asilimia kubwa takriban 90% ni wakristo wa kikatoliki huku wa ‘Protestanti’ na madhehebu mengine yakisalia na asimilia iliobaki kwa uchache. Nchi hii imegawanywa katika majimbo 31 yaliyo huru. Aidha majimbo haya yana katiba huru mbali na mahakama zao. Majimbo haya aidha yana uhuru wa kuwa na magavana wanaochaguliwa na wananchi na kudumu kwa miaka sita kwa mihula mitatu. Jiji kuu la Mexico City ni huru kwa majimbo yote na makao makuu ya kitaifa. Mbali na jiji hili majimbo mengine kwa uchache ni Chihuahua, Sonora, Sinaloa, Nero Leon na Oaxaca. Majimbo mengine ni Tamaulipas, Baja California Sur, Yucatan, Zacatecas, Chiapas, Durango, Nay an, Jaiso na Guerrero miongoni mwa mengine. Historia ya nchi hii ni kubwa. Ni nchi ambayo ilikaliwa na wanadamu na kuwa na utawala miaka 8,000 kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo yaani 8,000 BC. Mexico ya kale ilikaliwa na makabila ya nyika ya ki-Maya na ki-Zapotee katika tamaduni za Oimek ulofikia kilele mwaka 1500 BC. Ilikuwa mwaka wa 1535 wakati baharia wa Kihispania na majeshi yake walipotuwa pwani ya Mexico na kutangaza kuwa himaya ya Mfalme wa Uhispania. Katika uvamizi huo wahispania walikuja na ugonjwa wa ndui (smallpox) ambao uliambukizwa wa -Mexico asilia na kuwamaliza huku wazungu wahispania wakiwa imara kwani miili yao ilizoea gonjwa hilo. Athari ya ugonjwa huu ulitumiwa na wahispania kueneza ukristo kwa wingi wakidai kuwa ni uponyaji wa gonjwa hili. Mengi ya kisiasa na misukosuko ilitokea na wa-Mexico walipata uhuru wao toka kwa Uhispania tarehe 16 Septemba 1810. Utawala wa kiimla ulichochea mapinduzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Aidha Mexico imekuwa na mabadiliko ya kila mara ya uongozi katika chaguzi. Baadhi ya marais walotawala nchi hii ni Vicente Fox mwaka 2000, Felipe Calderon (2006), Enrique Pena (2012) na Rais aliyedumu hadi sasa tangu 2018 yaani Andres Manuel Lopez. Kiuchumi nchi hiiimebobea katika ukulima ikitoa mazao sufufu. Aidha, ina viwanda vingi na huduma mbali mbali kama akiba na usafiri na mawasiliano. Aidha, uchumi wa nchi hii umeimarika sana haswa sekta ya vifaa vya umeme, utalii na mafuta. Ajira inasaidia wengi katika sekta hizi nyeti. Mexico imekuza kawi pakubwa ikiwa ni uti wa mgongo wa viwanda vyake. Inatoa stima kwa wingi katika njia mbali mbali. Bwawa wa Moreno katika Mto Grijalvalina unatowa megawati 2400 MW za umeme. Ni nchi ya tatu ulimwenguni kwa kutowa kawi ya jua (solar) kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, usalama ni changamoto kubwa hapa. Magenge ya mihadarati imezuka wakiteka watu nyara na kuuwa wakiwa na silaha hatari. Mexico ni makao makuu ya mihadarati ya hali ya juu na njia kuu ya kupitisha madawa hayo haramu haswa kutoka kitovu cha Amerika kusini. Biashara hii ya madawa ya kulevya inalindwa na kuboreshwa na mabwenyenye watu wakubwa hata serikalini na wa kimataifa hususan mtandao wa Mafia. Hali hiyo ya mihadarati imefanya Marekani kuzuia wakimbizi wanaopitia Mexico kuingia Marekani ili wasiwaathiri wamarekani. Rais Donald Trump ameamuru kujengwa ua katika mipaka ya nchi hizo kuzuia wahalifu na wanaosafirisha madawa ya kulevya. Kitamaduni na kisanii Wakenya wanaelewa burudani za filamu (soaps) za Mexico ambazo huonyeshwa katika runinga za Kenya. Mexico ni mwanachama wa umoja wa Mataifa na asai zingine za kimataifa.
tishio la mihadarati linatishia uthabiti wa nini
{ "text": [ "taifa" ] }
3904_swa
Mexico: Ina historia ya kuvutia, janga la mihadarati latishia Ni nchi kubwa na maarufu duniani hususan katika tamaduni lakini limekumbwa na tishio la makundi sugu ya mihadarati linalotishia uthabiti wa taifa. Mexico iko katika bara la Amerika ya kaskazini katika mkia wa mwisho wa ardhi hiyo upande wa kusini. Iko mkabala na bahari kuu inayozunguka sehemu kubwa ya nchi kavu. Aidha, taifa hili linapakana na taifa kubwa la Marekani katika mpaka wake mrefu wa kaskazini. Hapa inapatikana na majimbo ya California, Arizona, New Mexico na Texas. Kwa upande mkubwa wa magharibi na kusini kuna bahari kuu ya Pasifiki. Kusini mashariki kuna mataifa ya Guatemala, Belize na bahari ya Carribean. Nchi ina ukuruba mkubwa na nchi ya Ulaya ambalo liliteka na kuifanya koloni lake nayo ni Uhispania. Athari za Uhispania ni kubwa katika Mexico. Taifa hili linajulikana kwa kihispania kama ‘Estados Unidos Mexicanos’ yaani umoja wa mataifa ya kimexico. Wimbo wake wa taifa wanaouenzi pia umeitwa kihispania yaani ‘Himno Nacional Mexicano’ yaani wimbo wa taifa wa Mexico. Bendera maridadi ya taifa hili kubwa ina miraba mikuu mitatu ya rangi kijani, nyeupe na nyekundu ikiashiria ukulima, amani na ushujaa uzalendo wa kupigania nchi. Ikiwa na eneo kubwa la takriban kilomita milioni mbili mraba, Mexico ina idadi kubwa ya watu 126,577,691. Kidini asilimia kubwa takriban 90% ni wakristo wa kikatoliki huku wa ‘Protestanti’ na madhehebu mengine yakisalia na asimilia iliobaki kwa uchache. Nchi hii imegawanywa katika majimbo 31 yaliyo huru. Aidha majimbo haya yana katiba huru mbali na mahakama zao. Majimbo haya aidha yana uhuru wa kuwa na magavana wanaochaguliwa na wananchi na kudumu kwa miaka sita kwa mihula mitatu. Jiji kuu la Mexico City ni huru kwa majimbo yote na makao makuu ya kitaifa. Mbali na jiji hili majimbo mengine kwa uchache ni Chihuahua, Sonora, Sinaloa, Nero Leon na Oaxaca. Majimbo mengine ni Tamaulipas, Baja California Sur, Yucatan, Zacatecas, Chiapas, Durango, Nay an, Jaiso na Guerrero miongoni mwa mengine. Historia ya nchi hii ni kubwa. Ni nchi ambayo ilikaliwa na wanadamu na kuwa na utawala miaka 8,000 kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo yaani 8,000 BC. Mexico ya kale ilikaliwa na makabila ya nyika ya ki-Maya na ki-Zapotee katika tamaduni za Oimek ulofikia kilele mwaka 1500 BC. Ilikuwa mwaka wa 1535 wakati baharia wa Kihispania na majeshi yake walipotuwa pwani ya Mexico na kutangaza kuwa himaya ya Mfalme wa Uhispania. Katika uvamizi huo wahispania walikuja na ugonjwa wa ndui (smallpox) ambao uliambukizwa wa -Mexico asilia na kuwamaliza huku wazungu wahispania wakiwa imara kwani miili yao ilizoea gonjwa hilo. Athari ya ugonjwa huu ulitumiwa na wahispania kueneza ukristo kwa wingi wakidai kuwa ni uponyaji wa gonjwa hili. Mengi ya kisiasa na misukosuko ilitokea na wa-Mexico walipata uhuru wao toka kwa Uhispania tarehe 16 Septemba 1810. Utawala wa kiimla ulichochea mapinduzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Aidha Mexico imekuwa na mabadiliko ya kila mara ya uongozi katika chaguzi. Baadhi ya marais walotawala nchi hii ni Vicente Fox mwaka 2000, Felipe Calderon (2006), Enrique Pena (2012) na Rais aliyedumu hadi sasa tangu 2018 yaani Andres Manuel Lopez. Kiuchumi nchi hiiimebobea katika ukulima ikitoa mazao sufufu. Aidha, ina viwanda vingi na huduma mbali mbali kama akiba na usafiri na mawasiliano. Aidha, uchumi wa nchi hii umeimarika sana haswa sekta ya vifaa vya umeme, utalii na mafuta. Ajira inasaidia wengi katika sekta hizi nyeti. Mexico imekuza kawi pakubwa ikiwa ni uti wa mgongo wa viwanda vyake. Inatoa stima kwa wingi katika njia mbali mbali. Bwawa wa Moreno katika Mto Grijalvalina unatowa megawati 2400 MW za umeme. Ni nchi ya tatu ulimwenguni kwa kutowa kawi ya jua (solar) kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, usalama ni changamoto kubwa hapa. Magenge ya mihadarati imezuka wakiteka watu nyara na kuuwa wakiwa na silaha hatari. Mexico ni makao makuu ya mihadarati ya hali ya juu na njia kuu ya kupitisha madawa hayo haramu haswa kutoka kitovu cha Amerika kusini. Biashara hii ya madawa ya kulevya inalindwa na kuboreshwa na mabwenyenye watu wakubwa hata serikalini na wa kimataifa hususan mtandao wa Mafia. Hali hiyo ya mihadarati imefanya Marekani kuzuia wakimbizi wanaopitia Mexico kuingia Marekani ili wasiwaathiri wamarekani. Rais Donald Trump ameamuru kujengwa ua katika mipaka ya nchi hizo kuzuia wahalifu na wanaosafirisha madawa ya kulevya. Kitamaduni na kisanii Wakenya wanaelewa burudani za filamu (soaps) za Mexico ambazo huonyeshwa katika runinga za Kenya. Mexico ni mwanachama wa umoja wa Mataifa na asai zingine za kimataifa.
Magavana wanachaguliwa na nani
{ "text": [ "wananchi" ] }
3904_swa
Mexico: Ina historia ya kuvutia, janga la mihadarati latishia Ni nchi kubwa na maarufu duniani hususan katika tamaduni lakini limekumbwa na tishio la makundi sugu ya mihadarati linalotishia uthabiti wa taifa. Mexico iko katika bara la Amerika ya kaskazini katika mkia wa mwisho wa ardhi hiyo upande wa kusini. Iko mkabala na bahari kuu inayozunguka sehemu kubwa ya nchi kavu. Aidha, taifa hili linapakana na taifa kubwa la Marekani katika mpaka wake mrefu wa kaskazini. Hapa inapatikana na majimbo ya California, Arizona, New Mexico na Texas. Kwa upande mkubwa wa magharibi na kusini kuna bahari kuu ya Pasifiki. Kusini mashariki kuna mataifa ya Guatemala, Belize na bahari ya Carribean. Nchi ina ukuruba mkubwa na nchi ya Ulaya ambalo liliteka na kuifanya koloni lake nayo ni Uhispania. Athari za Uhispania ni kubwa katika Mexico. Taifa hili linajulikana kwa kihispania kama ‘Estados Unidos Mexicanos’ yaani umoja wa mataifa ya kimexico. Wimbo wake wa taifa wanaouenzi pia umeitwa kihispania yaani ‘Himno Nacional Mexicano’ yaani wimbo wa taifa wa Mexico. Bendera maridadi ya taifa hili kubwa ina miraba mikuu mitatu ya rangi kijani, nyeupe na nyekundu ikiashiria ukulima, amani na ushujaa uzalendo wa kupigania nchi. Ikiwa na eneo kubwa la takriban kilomita milioni mbili mraba, Mexico ina idadi kubwa ya watu 126,577,691. Kidini asilimia kubwa takriban 90% ni wakristo wa kikatoliki huku wa ‘Protestanti’ na madhehebu mengine yakisalia na asimilia iliobaki kwa uchache. Nchi hii imegawanywa katika majimbo 31 yaliyo huru. Aidha majimbo haya yana katiba huru mbali na mahakama zao. Majimbo haya aidha yana uhuru wa kuwa na magavana wanaochaguliwa na wananchi na kudumu kwa miaka sita kwa mihula mitatu. Jiji kuu la Mexico City ni huru kwa majimbo yote na makao makuu ya kitaifa. Mbali na jiji hili majimbo mengine kwa uchache ni Chihuahua, Sonora, Sinaloa, Nero Leon na Oaxaca. Majimbo mengine ni Tamaulipas, Baja California Sur, Yucatan, Zacatecas, Chiapas, Durango, Nay an, Jaiso na Guerrero miongoni mwa mengine. Historia ya nchi hii ni kubwa. Ni nchi ambayo ilikaliwa na wanadamu na kuwa na utawala miaka 8,000 kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo yaani 8,000 BC. Mexico ya kale ilikaliwa na makabila ya nyika ya ki-Maya na ki-Zapotee katika tamaduni za Oimek ulofikia kilele mwaka 1500 BC. Ilikuwa mwaka wa 1535 wakati baharia wa Kihispania na majeshi yake walipotuwa pwani ya Mexico na kutangaza kuwa himaya ya Mfalme wa Uhispania. Katika uvamizi huo wahispania walikuja na ugonjwa wa ndui (smallpox) ambao uliambukizwa wa -Mexico asilia na kuwamaliza huku wazungu wahispania wakiwa imara kwani miili yao ilizoea gonjwa hilo. Athari ya ugonjwa huu ulitumiwa na wahispania kueneza ukristo kwa wingi wakidai kuwa ni uponyaji wa gonjwa hili. Mengi ya kisiasa na misukosuko ilitokea na wa-Mexico walipata uhuru wao toka kwa Uhispania tarehe 16 Septemba 1810. Utawala wa kiimla ulichochea mapinduzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Aidha Mexico imekuwa na mabadiliko ya kila mara ya uongozi katika chaguzi. Baadhi ya marais walotawala nchi hii ni Vicente Fox mwaka 2000, Felipe Calderon (2006), Enrique Pena (2012) na Rais aliyedumu hadi sasa tangu 2018 yaani Andres Manuel Lopez. Kiuchumi nchi hiiimebobea katika ukulima ikitoa mazao sufufu. Aidha, ina viwanda vingi na huduma mbali mbali kama akiba na usafiri na mawasiliano. Aidha, uchumi wa nchi hii umeimarika sana haswa sekta ya vifaa vya umeme, utalii na mafuta. Ajira inasaidia wengi katika sekta hizi nyeti. Mexico imekuza kawi pakubwa ikiwa ni uti wa mgongo wa viwanda vyake. Inatoa stima kwa wingi katika njia mbali mbali. Bwawa wa Moreno katika Mto Grijalvalina unatowa megawati 2400 MW za umeme. Ni nchi ya tatu ulimwenguni kwa kutowa kawi ya jua (solar) kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, usalama ni changamoto kubwa hapa. Magenge ya mihadarati imezuka wakiteka watu nyara na kuuwa wakiwa na silaha hatari. Mexico ni makao makuu ya mihadarati ya hali ya juu na njia kuu ya kupitisha madawa hayo haramu haswa kutoka kitovu cha Amerika kusini. Biashara hii ya madawa ya kulevya inalindwa na kuboreshwa na mabwenyenye watu wakubwa hata serikalini na wa kimataifa hususan mtandao wa Mafia. Hali hiyo ya mihadarati imefanya Marekani kuzuia wakimbizi wanaopitia Mexico kuingia Marekani ili wasiwaathiri wamarekani. Rais Donald Trump ameamuru kujengwa ua katika mipaka ya nchi hizo kuzuia wahalifu na wanaosafirisha madawa ya kulevya. Kitamaduni na kisanii Wakenya wanaelewa burudani za filamu (soaps) za Mexico ambazo huonyeshwa katika runinga za Kenya. Mexico ni mwanachama wa umoja wa Mataifa na asai zingine za kimataifa.
Baharia wa kihispania walitua pwani ya Mexico lini
{ "text": [ "mwaka wa 1535" ] }
3904_swa
Mexico: Ina historia ya kuvutia, janga la mihadarati latishia Ni nchi kubwa na maarufu duniani hususan katika tamaduni lakini limekumbwa na tishio la makundi sugu ya mihadarati linalotishia uthabiti wa taifa. Mexico iko katika bara la Amerika ya kaskazini katika mkia wa mwisho wa ardhi hiyo upande wa kusini. Iko mkabala na bahari kuu inayozunguka sehemu kubwa ya nchi kavu. Aidha, taifa hili linapakana na taifa kubwa la Marekani katika mpaka wake mrefu wa kaskazini. Hapa inapatikana na majimbo ya California, Arizona, New Mexico na Texas. Kwa upande mkubwa wa magharibi na kusini kuna bahari kuu ya Pasifiki. Kusini mashariki kuna mataifa ya Guatemala, Belize na bahari ya Carribean. Nchi ina ukuruba mkubwa na nchi ya Ulaya ambalo liliteka na kuifanya koloni lake nayo ni Uhispania. Athari za Uhispania ni kubwa katika Mexico. Taifa hili linajulikana kwa kihispania kama ‘Estados Unidos Mexicanos’ yaani umoja wa mataifa ya kimexico. Wimbo wake wa taifa wanaouenzi pia umeitwa kihispania yaani ‘Himno Nacional Mexicano’ yaani wimbo wa taifa wa Mexico. Bendera maridadi ya taifa hili kubwa ina miraba mikuu mitatu ya rangi kijani, nyeupe na nyekundu ikiashiria ukulima, amani na ushujaa uzalendo wa kupigania nchi. Ikiwa na eneo kubwa la takriban kilomita milioni mbili mraba, Mexico ina idadi kubwa ya watu 126,577,691. Kidini asilimia kubwa takriban 90% ni wakristo wa kikatoliki huku wa ‘Protestanti’ na madhehebu mengine yakisalia na asimilia iliobaki kwa uchache. Nchi hii imegawanywa katika majimbo 31 yaliyo huru. Aidha majimbo haya yana katiba huru mbali na mahakama zao. Majimbo haya aidha yana uhuru wa kuwa na magavana wanaochaguliwa na wananchi na kudumu kwa miaka sita kwa mihula mitatu. Jiji kuu la Mexico City ni huru kwa majimbo yote na makao makuu ya kitaifa. Mbali na jiji hili majimbo mengine kwa uchache ni Chihuahua, Sonora, Sinaloa, Nero Leon na Oaxaca. Majimbo mengine ni Tamaulipas, Baja California Sur, Yucatan, Zacatecas, Chiapas, Durango, Nay an, Jaiso na Guerrero miongoni mwa mengine. Historia ya nchi hii ni kubwa. Ni nchi ambayo ilikaliwa na wanadamu na kuwa na utawala miaka 8,000 kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo yaani 8,000 BC. Mexico ya kale ilikaliwa na makabila ya nyika ya ki-Maya na ki-Zapotee katika tamaduni za Oimek ulofikia kilele mwaka 1500 BC. Ilikuwa mwaka wa 1535 wakati baharia wa Kihispania na majeshi yake walipotuwa pwani ya Mexico na kutangaza kuwa himaya ya Mfalme wa Uhispania. Katika uvamizi huo wahispania walikuja na ugonjwa wa ndui (smallpox) ambao uliambukizwa wa -Mexico asilia na kuwamaliza huku wazungu wahispania wakiwa imara kwani miili yao ilizoea gonjwa hilo. Athari ya ugonjwa huu ulitumiwa na wahispania kueneza ukristo kwa wingi wakidai kuwa ni uponyaji wa gonjwa hili. Mengi ya kisiasa na misukosuko ilitokea na wa-Mexico walipata uhuru wao toka kwa Uhispania tarehe 16 Septemba 1810. Utawala wa kiimla ulichochea mapinduzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Aidha Mexico imekuwa na mabadiliko ya kila mara ya uongozi katika chaguzi. Baadhi ya marais walotawala nchi hii ni Vicente Fox mwaka 2000, Felipe Calderon (2006), Enrique Pena (2012) na Rais aliyedumu hadi sasa tangu 2018 yaani Andres Manuel Lopez. Kiuchumi nchi hiiimebobea katika ukulima ikitoa mazao sufufu. Aidha, ina viwanda vingi na huduma mbali mbali kama akiba na usafiri na mawasiliano. Aidha, uchumi wa nchi hii umeimarika sana haswa sekta ya vifaa vya umeme, utalii na mafuta. Ajira inasaidia wengi katika sekta hizi nyeti. Mexico imekuza kawi pakubwa ikiwa ni uti wa mgongo wa viwanda vyake. Inatoa stima kwa wingi katika njia mbali mbali. Bwawa wa Moreno katika Mto Grijalvalina unatowa megawati 2400 MW za umeme. Ni nchi ya tatu ulimwenguni kwa kutowa kawi ya jua (solar) kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, usalama ni changamoto kubwa hapa. Magenge ya mihadarati imezuka wakiteka watu nyara na kuuwa wakiwa na silaha hatari. Mexico ni makao makuu ya mihadarati ya hali ya juu na njia kuu ya kupitisha madawa hayo haramu haswa kutoka kitovu cha Amerika kusini. Biashara hii ya madawa ya kulevya inalindwa na kuboreshwa na mabwenyenye watu wakubwa hata serikalini na wa kimataifa hususan mtandao wa Mafia. Hali hiyo ya mihadarati imefanya Marekani kuzuia wakimbizi wanaopitia Mexico kuingia Marekani ili wasiwaathiri wamarekani. Rais Donald Trump ameamuru kujengwa ua katika mipaka ya nchi hizo kuzuia wahalifu na wanaosafirisha madawa ya kulevya. Kitamaduni na kisanii Wakenya wanaelewa burudani za filamu (soaps) za Mexico ambazo huonyeshwa katika runinga za Kenya. Mexico ni mwanachama wa umoja wa Mataifa na asai zingine za kimataifa.
Wahispania walikuja na ugonjwa gani
{ "text": [ "nduli" ] }
3904_swa
Mexico: Ina historia ya kuvutia, janga la mihadarati latishia Ni nchi kubwa na maarufu duniani hususan katika tamaduni lakini limekumbwa na tishio la makundi sugu ya mihadarati linalotishia uthabiti wa taifa. Mexico iko katika bara la Amerika ya kaskazini katika mkia wa mwisho wa ardhi hiyo upande wa kusini. Iko mkabala na bahari kuu inayozunguka sehemu kubwa ya nchi kavu. Aidha, taifa hili linapakana na taifa kubwa la Marekani katika mpaka wake mrefu wa kaskazini. Hapa inapatikana na majimbo ya California, Arizona, New Mexico na Texas. Kwa upande mkubwa wa magharibi na kusini kuna bahari kuu ya Pasifiki. Kusini mashariki kuna mataifa ya Guatemala, Belize na bahari ya Carribean. Nchi ina ukuruba mkubwa na nchi ya Ulaya ambalo liliteka na kuifanya koloni lake nayo ni Uhispania. Athari za Uhispania ni kubwa katika Mexico. Taifa hili linajulikana kwa kihispania kama ‘Estados Unidos Mexicanos’ yaani umoja wa mataifa ya kimexico. Wimbo wake wa taifa wanaouenzi pia umeitwa kihispania yaani ‘Himno Nacional Mexicano’ yaani wimbo wa taifa wa Mexico. Bendera maridadi ya taifa hili kubwa ina miraba mikuu mitatu ya rangi kijani, nyeupe na nyekundu ikiashiria ukulima, amani na ushujaa uzalendo wa kupigania nchi. Ikiwa na eneo kubwa la takriban kilomita milioni mbili mraba, Mexico ina idadi kubwa ya watu 126,577,691. Kidini asilimia kubwa takriban 90% ni wakristo wa kikatoliki huku wa ‘Protestanti’ na madhehebu mengine yakisalia na asimilia iliobaki kwa uchache. Nchi hii imegawanywa katika majimbo 31 yaliyo huru. Aidha majimbo haya yana katiba huru mbali na mahakama zao. Majimbo haya aidha yana uhuru wa kuwa na magavana wanaochaguliwa na wananchi na kudumu kwa miaka sita kwa mihula mitatu. Jiji kuu la Mexico City ni huru kwa majimbo yote na makao makuu ya kitaifa. Mbali na jiji hili majimbo mengine kwa uchache ni Chihuahua, Sonora, Sinaloa, Nero Leon na Oaxaca. Majimbo mengine ni Tamaulipas, Baja California Sur, Yucatan, Zacatecas, Chiapas, Durango, Nay an, Jaiso na Guerrero miongoni mwa mengine. Historia ya nchi hii ni kubwa. Ni nchi ambayo ilikaliwa na wanadamu na kuwa na utawala miaka 8,000 kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo yaani 8,000 BC. Mexico ya kale ilikaliwa na makabila ya nyika ya ki-Maya na ki-Zapotee katika tamaduni za Oimek ulofikia kilele mwaka 1500 BC. Ilikuwa mwaka wa 1535 wakati baharia wa Kihispania na majeshi yake walipotuwa pwani ya Mexico na kutangaza kuwa himaya ya Mfalme wa Uhispania. Katika uvamizi huo wahispania walikuja na ugonjwa wa ndui (smallpox) ambao uliambukizwa wa -Mexico asilia na kuwamaliza huku wazungu wahispania wakiwa imara kwani miili yao ilizoea gonjwa hilo. Athari ya ugonjwa huu ulitumiwa na wahispania kueneza ukristo kwa wingi wakidai kuwa ni uponyaji wa gonjwa hili. Mengi ya kisiasa na misukosuko ilitokea na wa-Mexico walipata uhuru wao toka kwa Uhispania tarehe 16 Septemba 1810. Utawala wa kiimla ulichochea mapinduzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Aidha Mexico imekuwa na mabadiliko ya kila mara ya uongozi katika chaguzi. Baadhi ya marais walotawala nchi hii ni Vicente Fox mwaka 2000, Felipe Calderon (2006), Enrique Pena (2012) na Rais aliyedumu hadi sasa tangu 2018 yaani Andres Manuel Lopez. Kiuchumi nchi hiiimebobea katika ukulima ikitoa mazao sufufu. Aidha, ina viwanda vingi na huduma mbali mbali kama akiba na usafiri na mawasiliano. Aidha, uchumi wa nchi hii umeimarika sana haswa sekta ya vifaa vya umeme, utalii na mafuta. Ajira inasaidia wengi katika sekta hizi nyeti. Mexico imekuza kawi pakubwa ikiwa ni uti wa mgongo wa viwanda vyake. Inatoa stima kwa wingi katika njia mbali mbali. Bwawa wa Moreno katika Mto Grijalvalina unatowa megawati 2400 MW za umeme. Ni nchi ya tatu ulimwenguni kwa kutowa kawi ya jua (solar) kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, usalama ni changamoto kubwa hapa. Magenge ya mihadarati imezuka wakiteka watu nyara na kuuwa wakiwa na silaha hatari. Mexico ni makao makuu ya mihadarati ya hali ya juu na njia kuu ya kupitisha madawa hayo haramu haswa kutoka kitovu cha Amerika kusini. Biashara hii ya madawa ya kulevya inalindwa na kuboreshwa na mabwenyenye watu wakubwa hata serikalini na wa kimataifa hususan mtandao wa Mafia. Hali hiyo ya mihadarati imefanya Marekani kuzuia wakimbizi wanaopitia Mexico kuingia Marekani ili wasiwaathiri wamarekani. Rais Donald Trump ameamuru kujengwa ua katika mipaka ya nchi hizo kuzuia wahalifu na wanaosafirisha madawa ya kulevya. Kitamaduni na kisanii Wakenya wanaelewa burudani za filamu (soaps) za Mexico ambazo huonyeshwa katika runinga za Kenya. Mexico ni mwanachama wa umoja wa Mataifa na asai zingine za kimataifa.
Wahispania walieneza nini kwa wingi
{ "text": [ "ukristo" ] }
3905_swa
MIAKA 24 YA UJASIRI WA MOI "Huu ni mti mkuu uliyoanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto." Kifo cha Rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi bila shaka ni habari nzito ilotawala na kugonga vichwa vya vyombo vya habari kitaifa, kikanda, kibara na kimataifa. Huu ni mti mkuu ulioanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto. Aidha, Maulana alimpa umri mrefu humu duniani kushinda wengi waloitwa kusikojulikana mapema zaidi. Ndio, kuishi karibu karne nzima si mchezo. Leonard Mambo Mbotela mtangazaji mtajika anakumbuka maisha ya bwana huyu pakubwa. Anasema umri aloishi ni bahati kuu. Katika muktadha huu familia ya mwendazake inasema kuwa wanasherehekea maisha yake marefu badala ya kulia kwa kumpoteza. Rais Uhuru Muigai Kenyatta alopata tanzia hiyo akiwa nje ya nchi aliamuru maombolezi ya taifa hadi kuzikwa kwa Mzee Moi. Paka akiondoka panya hutawala kwani kutokuweko kwa Rais Uhuru kulitowa fursa adimu na nyeti kwa Makamu wake William Ruto kutamba na kunguruma. Ruto anayekumbwa na sintofahamu na changamoto za siasa nchini kama wimbi la BBI dhidi yake na kumfanya kama kuku wa kidimu alonyeshewa chepechepe alihutubia taifa nje ya jumba la naibu wa urais kuhusu tukio hili na hivyo kumpiku bosi wake. Tuache huo udaku wa siasa na tuzame katika lengo kuu. Je, kufa kwa Mzee Moi kunaashiria nini? Je, historia itamuhukumu vipi bwana huyu alotawala kwa miaka 24 Kenya? Je, mazuri ya Moi yalikuwa yapi na yalifaidisha kivipi? Na Je, kuna mabaya alofanya na ni yapi na yanaathari zipi leo ama siku zijazo? Tujuavyo mwanadamu si kamili bali ana mapungufu yake tofauti na Mwenyezi Mungu asiye na doa hilo la unyonge wa mwanadamu. Sambamba na kigezo hicho hebu tuangazie maisha ya bwana huyu kwa shilingi na kwa upili kwa asali na kwa shubiri. Tukianza na mazuri ya Mzee Moi twaweza kusema kuwa alifaulu katika falsafa yake aliyoivalia njuga ya Nyayo. Pindi alipochukuwa uongozi wa nchi mwaka 1978 kufatia kifo cha mtangulizi wake Mzee Jomo Kenyatta, Moi aliwataka wakenya wafuate nyayo za Mzee Jomo Kenyatta. Nyayo hizo zilijengwa katika nguzo tatu kuu yaani amani, mapenzi na umoja. Huu ndio ulikuwa mwelekeo wake na aliweza kuteka fikra za wakenya waliomti pakubwa. Wakati wa Moi nguzo hizo tatu zilifaulu kwa asilimia kubwa licha ya mapungufu ya hapa na pale. Kikubwa kulikuwa na amani na utangamano nchini. Kwa wale tuliobahatika kuishi katika upeo wa Mzee Moi tuliona faida ya amani nchini. Wakenya walipendana kama kidole kwa pete chini ya Moi. Kulikuwa na hali ya utulivu hilo hatutapinga. Hata hivyo, kama tutakavyoeleza hali hii ya amani kuwa kabla ya jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi hapo Agosti 1982. Kulikuwa na mapenzi kati ya wakenya sambamba na umoja thabiti. Michafuko ya siasa na chuki za sasa hazikujitokeza wakati wake. Kiuchumi, Mwendazake Moi alijikaza kwa udi na uvumba kuhakikisha uchumi wa nchi ulikuwa juu. Kwa kweli Kenya ilipiga hatua kubwa kiuchumi Shilingi ya Kenya iliongoza katika ukanda huu na hata barani Afrika. Kenya iliongoza duniani katika mazao ya kahawa na pareto mbali na chai. Hali ya utulivu na amani iliwavutia waekezaji wengi wa kimataifa. Aidha, Kenya iliheshimiwa duniani kwa utaratibu wake wa kistaarabu. Ni katika mazingira haya ndipo Umoja wa Mataifa ulichagua Kenya kuwa makao makuu ya asasi nyeti za umoja huo. Mashirika haya ya Umoja wa Mataifa yalokuwa na makao yake makuu humu nchini Gigiri, Nairobi ni lile la mazingira yaani UNEP, lile la makazi HABITAT na wakimbizi UNHCR. Nairobi ilishamiri na kuwa kitovu kikuu cha kimataifa huku mikutano mikuu kama wakuu wa Afrika yakifanyika katika jumba kuu la mikutano la KICC. Hayati Mzee Moi alikuwa na tajriba kubwa ya mahusiano ya kimataifa. Ingawa aliegemea ubepari wa Marekani dhidi ya Ukomunisti wa Usovieti na Ujamaa wa Uchi na alikuwa rafiki kwa mataifa yote makuu. Katika miaka ya 80 Kenya ilikumbwa na baa kubwa la njaa na Mzee Moi alifanya jambo ambalo litakumbukwa milele. Badala ya kuzubaa kama fala asijuwe la kufanya na watu kuangamia kwa njaa babu akili muona mbali Moi alienda Marekani kwa usaidizi kama mama ama baba anayewatafutia wanawe posho. Je, munakumbuka mahindi ya manjano yalotoka Marekani na kuwa mlo wa ugali chakula kikuu cha Kenya? Uhusiano bora wa Moi na mwenzake wa Marekani wakati huo Ronald Reagan uliokoa maisha ya wakenya na mifugo ambao wangekufa njaa kama Ethiopia ilivyokuwa. Hatua hiyo ya ujasiri inaonyesha kuwa Moi alijali maisha ya wakenya na kuwa tayari kufanya lolote hata la fedheha kuwa okoa watu wake. Yale mahindi ya manjano yalikuwa yakitumiwa Marekani kama chakula cha farasi na lishe ya wanyama, wengine kama nguruwe na kuku. Kama ni kiongozi mwengine angekuwa na kiburi na kuona haya kuomba msaada huo wa chakula cha farasi kwa wanadamu. Hayati Moi pia alipenda na kuboresha michezo pakubwa. Alijenga uga mkuu wa michezo wa Kasarani ulotajwa jina lake yaani Moi International Sports Centre, Kasarani. Aidha uga huu uliandaa michezo ya Afrika ya All Africa Games mwaka 1987 ambapo Kenya ilishamiri sana katika michezo mbali mbali. Katika michezo hiyo Moi alihudhuria mechi nyingi ikiwa fainali ya voliboli kati ya Kenya na Misri japo Kenya ilishindwa. Ufanisi mkubwa wa Mzee Moi ulikuwa katika sekta ya elimu. Hapa alijenga shule nyingi kote nchini na kupewa jina lake. Alifanya historia kuwa kiongozi wa kwanza duniani kutoa bure maziwa kwa wanafunzi wa shule za msingi. Hii inadhihiri ukarimu wake. Mzee huyu alianzisha mpango wa huduma za vijana kwa taifa yaani NYS ambapo wanafunzi waliofuzu kwenda vyuo vikuu walipata mafunzo kule Gilgil na Naivasha. Alizinduwa mtaala mpya wa elimu wa 844 ambao umedumu kwa miaka miingi. Wanafunzi walipitia miaka minane shule ya msingi, minne upili na minne chuo kikuu mtawalia. Hebu sasa tuangazie shubiri ya Moi baada ya asali yake. Je, ni kwa nini Moi alibadilika na kuwa mkali na hata kuitwa dikteta na wakosoaji wake? Shubiri ya Moi Mnamo Agosti tarehe 1 mwaka 1982 kulikuwa na jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi lilohusisha jeshi la wanahewa chini ya Private Sargent Ochuka. Hatahivyo, majeshi waaminifu wakiongozwa na Mahmoud Mohammed waliwashinda waasi na kumrudisha Moi madarakani. Ni baada ya mkasa huo ndipo Moi aligeuka kama kinyonga kutoka kwa mtu wa amani na kuwa mkali kama simba kwa wapinzani. Swali ni Je, twaweza kumlaumu Moi kwa kuleta udikteta? Katana Ngala Waziri wa muda mrefu katika serikali ya Moi asema ilibidi Moi abadilike."Kiongozi lazima awe na nguvu za kulinda himaya yake akiitishwa," asema Ngala na kupinga kauli kuwa Moi alikuwa dikteta. Kiongozi wa Amani Congress ambaye aliwahi kuwa makamu wa Rais wakati wa Moi na Waziri wa fedha Moses Mudavadi pia anadai kuwa Moi hakuwa Dikteta."Moi alikuwa thabiti mtu jasiri sifa nyeti ya kiongozi," asema Mudavadi na kushangaa kuwa watu wanamuita Moi dikteta bila kigezo maaluum. Niccolo Machiaveli mwanafalsafa wa kitaliano katika kitabu chake cha 'The Prince' asema kiongozi halisi ni yule anayetumia mbinu zote safi na chafu kudumu uongozini. Je, Moi alikuwa anatumia falsafa hii ya Machiaveli na hivyo kudumu ikulu kwa miaka derezeni maradufu yaani miaka 24? Jaramogi Odinga Oginga katika kitabu chake maarufu cha 'Not Yet Uhuru' anamfananisha Moi na twiga anayeona mbali. Je, hii ndio sifa yake halisi sambamba na urefu wake? Ingawa wakosoaji watamlaumu Mzee huyu wa watu kuwa aliwatesa wapinzani katika seli za jumba la Nyayo na Nyati lakini watetezi wake watadai nikulinda usalama wa taifa dhidi ya hujuma za maadui. Madoa mengine yalioathiri utawala wa Mzee Moi ni kashfa ya Goldenberg, mauaji tatanishi ya Robert Ouko na Askofu Muge. Aidha, kutiwa kizuizini kwa wapinzani wake kama Raila Odinga, Charles Rubia, Kenneth Matiba, Koigi wa Wamwere pamoja na mkuu wa sasa wa Royal Media, JS Macharia ni baadhi ya shubiri katika asali Hatahivyo, kama anavyodai kinara wa wafanyikazi Atwoli, Mzee Moi hakuwa na chuki za kudumu kwani alipatana na alowafunza adabu. Kwa muktadha huu aliungana na Raila kuunganisha vyama vyao vya NDP na KANU japo Raila mjanja alimuweza Profesa wa siasa kwa kuwateka watu wake na kuunda NARC ilohitimisha ujogoo wa KANU. Hakuweza kumnyonga Charles Njonjo isemavyo sheria kwa usaliti wa uhaini wa njama za mapinduzi zilothibitishwa na bunge na mahakama na kumuacha huru ajikaange na mafuta kwa fedheha kama pweza wa kamba nane. Kijumla, Mzee Moi alifaulu maishani na tunampa asilimia 65 ya asali na 35 ya shubiri katika jumla ya 100.
Nani alikuwa rais wa pili wa Kenya
{ "text": [ "Daniel Toroitich Arap Moi" ] }
3905_swa
MIAKA 24 YA UJASIRI WA MOI "Huu ni mti mkuu uliyoanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto." Kifo cha Rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi bila shaka ni habari nzito ilotawala na kugonga vichwa vya vyombo vya habari kitaifa, kikanda, kibara na kimataifa. Huu ni mti mkuu ulioanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto. Aidha, Maulana alimpa umri mrefu humu duniani kushinda wengi waloitwa kusikojulikana mapema zaidi. Ndio, kuishi karibu karne nzima si mchezo. Leonard Mambo Mbotela mtangazaji mtajika anakumbuka maisha ya bwana huyu pakubwa. Anasema umri aloishi ni bahati kuu. Katika muktadha huu familia ya mwendazake inasema kuwa wanasherehekea maisha yake marefu badala ya kulia kwa kumpoteza. Rais Uhuru Muigai Kenyatta alopata tanzia hiyo akiwa nje ya nchi aliamuru maombolezi ya taifa hadi kuzikwa kwa Mzee Moi. Paka akiondoka panya hutawala kwani kutokuweko kwa Rais Uhuru kulitowa fursa adimu na nyeti kwa Makamu wake William Ruto kutamba na kunguruma. Ruto anayekumbwa na sintofahamu na changamoto za siasa nchini kama wimbi la BBI dhidi yake na kumfanya kama kuku wa kidimu alonyeshewa chepechepe alihutubia taifa nje ya jumba la naibu wa urais kuhusu tukio hili na hivyo kumpiku bosi wake. Tuache huo udaku wa siasa na tuzame katika lengo kuu. Je, kufa kwa Mzee Moi kunaashiria nini? Je, historia itamuhukumu vipi bwana huyu alotawala kwa miaka 24 Kenya? Je, mazuri ya Moi yalikuwa yapi na yalifaidisha kivipi? Na Je, kuna mabaya alofanya na ni yapi na yanaathari zipi leo ama siku zijazo? Tujuavyo mwanadamu si kamili bali ana mapungufu yake tofauti na Mwenyezi Mungu asiye na doa hilo la unyonge wa mwanadamu. Sambamba na kigezo hicho hebu tuangazie maisha ya bwana huyu kwa shilingi na kwa upili kwa asali na kwa shubiri. Tukianza na mazuri ya Mzee Moi twaweza kusema kuwa alifaulu katika falsafa yake aliyoivalia njuga ya Nyayo. Pindi alipochukuwa uongozi wa nchi mwaka 1978 kufatia kifo cha mtangulizi wake Mzee Jomo Kenyatta, Moi aliwataka wakenya wafuate nyayo za Mzee Jomo Kenyatta. Nyayo hizo zilijengwa katika nguzo tatu kuu yaani amani, mapenzi na umoja. Huu ndio ulikuwa mwelekeo wake na aliweza kuteka fikra za wakenya waliomti pakubwa. Wakati wa Moi nguzo hizo tatu zilifaulu kwa asilimia kubwa licha ya mapungufu ya hapa na pale. Kikubwa kulikuwa na amani na utangamano nchini. Kwa wale tuliobahatika kuishi katika upeo wa Mzee Moi tuliona faida ya amani nchini. Wakenya walipendana kama kidole kwa pete chini ya Moi. Kulikuwa na hali ya utulivu hilo hatutapinga. Hata hivyo, kama tutakavyoeleza hali hii ya amani kuwa kabla ya jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi hapo Agosti 1982. Kulikuwa na mapenzi kati ya wakenya sambamba na umoja thabiti. Michafuko ya siasa na chuki za sasa hazikujitokeza wakati wake. Kiuchumi, Mwendazake Moi alijikaza kwa udi na uvumba kuhakikisha uchumi wa nchi ulikuwa juu. Kwa kweli Kenya ilipiga hatua kubwa kiuchumi Shilingi ya Kenya iliongoza katika ukanda huu na hata barani Afrika. Kenya iliongoza duniani katika mazao ya kahawa na pareto mbali na chai. Hali ya utulivu na amani iliwavutia waekezaji wengi wa kimataifa. Aidha, Kenya iliheshimiwa duniani kwa utaratibu wake wa kistaarabu. Ni katika mazingira haya ndipo Umoja wa Mataifa ulichagua Kenya kuwa makao makuu ya asasi nyeti za umoja huo. Mashirika haya ya Umoja wa Mataifa yalokuwa na makao yake makuu humu nchini Gigiri, Nairobi ni lile la mazingira yaani UNEP, lile la makazi HABITAT na wakimbizi UNHCR. Nairobi ilishamiri na kuwa kitovu kikuu cha kimataifa huku mikutano mikuu kama wakuu wa Afrika yakifanyika katika jumba kuu la mikutano la KICC. Hayati Mzee Moi alikuwa na tajriba kubwa ya mahusiano ya kimataifa. Ingawa aliegemea ubepari wa Marekani dhidi ya Ukomunisti wa Usovieti na Ujamaa wa Uchi na alikuwa rafiki kwa mataifa yote makuu. Katika miaka ya 80 Kenya ilikumbwa na baa kubwa la njaa na Mzee Moi alifanya jambo ambalo litakumbukwa milele. Badala ya kuzubaa kama fala asijuwe la kufanya na watu kuangamia kwa njaa babu akili muona mbali Moi alienda Marekani kwa usaidizi kama mama ama baba anayewatafutia wanawe posho. Je, munakumbuka mahindi ya manjano yalotoka Marekani na kuwa mlo wa ugali chakula kikuu cha Kenya? Uhusiano bora wa Moi na mwenzake wa Marekani wakati huo Ronald Reagan uliokoa maisha ya wakenya na mifugo ambao wangekufa njaa kama Ethiopia ilivyokuwa. Hatua hiyo ya ujasiri inaonyesha kuwa Moi alijali maisha ya wakenya na kuwa tayari kufanya lolote hata la fedheha kuwa okoa watu wake. Yale mahindi ya manjano yalikuwa yakitumiwa Marekani kama chakula cha farasi na lishe ya wanyama, wengine kama nguruwe na kuku. Kama ni kiongozi mwengine angekuwa na kiburi na kuona haya kuomba msaada huo wa chakula cha farasi kwa wanadamu. Hayati Moi pia alipenda na kuboresha michezo pakubwa. Alijenga uga mkuu wa michezo wa Kasarani ulotajwa jina lake yaani Moi International Sports Centre, Kasarani. Aidha uga huu uliandaa michezo ya Afrika ya All Africa Games mwaka 1987 ambapo Kenya ilishamiri sana katika michezo mbali mbali. Katika michezo hiyo Moi alihudhuria mechi nyingi ikiwa fainali ya voliboli kati ya Kenya na Misri japo Kenya ilishindwa. Ufanisi mkubwa wa Mzee Moi ulikuwa katika sekta ya elimu. Hapa alijenga shule nyingi kote nchini na kupewa jina lake. Alifanya historia kuwa kiongozi wa kwanza duniani kutoa bure maziwa kwa wanafunzi wa shule za msingi. Hii inadhihiri ukarimu wake. Mzee huyu alianzisha mpango wa huduma za vijana kwa taifa yaani NYS ambapo wanafunzi waliofuzu kwenda vyuo vikuu walipata mafunzo kule Gilgil na Naivasha. Alizinduwa mtaala mpya wa elimu wa 844 ambao umedumu kwa miaka miingi. Wanafunzi walipitia miaka minane shule ya msingi, minne upili na minne chuo kikuu mtawalia. Hebu sasa tuangazie shubiri ya Moi baada ya asali yake. Je, ni kwa nini Moi alibadilika na kuwa mkali na hata kuitwa dikteta na wakosoaji wake? Shubiri ya Moi Mnamo Agosti tarehe 1 mwaka 1982 kulikuwa na jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi lilohusisha jeshi la wanahewa chini ya Private Sargent Ochuka. Hatahivyo, majeshi waaminifu wakiongozwa na Mahmoud Mohammed waliwashinda waasi na kumrudisha Moi madarakani. Ni baada ya mkasa huo ndipo Moi aligeuka kama kinyonga kutoka kwa mtu wa amani na kuwa mkali kama simba kwa wapinzani. Swali ni Je, twaweza kumlaumu Moi kwa kuleta udikteta? Katana Ngala Waziri wa muda mrefu katika serikali ya Moi asema ilibidi Moi abadilike."Kiongozi lazima awe na nguvu za kulinda himaya yake akiitishwa," asema Ngala na kupinga kauli kuwa Moi alikuwa dikteta. Kiongozi wa Amani Congress ambaye aliwahi kuwa makamu wa Rais wakati wa Moi na Waziri wa fedha Moses Mudavadi pia anadai kuwa Moi hakuwa Dikteta."Moi alikuwa thabiti mtu jasiri sifa nyeti ya kiongozi," asema Mudavadi na kushangaa kuwa watu wanamuita Moi dikteta bila kigezo maaluum. Niccolo Machiaveli mwanafalsafa wa kitaliano katika kitabu chake cha 'The Prince' asema kiongozi halisi ni yule anayetumia mbinu zote safi na chafu kudumu uongozini. Je, Moi alikuwa anatumia falsafa hii ya Machiaveli na hivyo kudumu ikulu kwa miaka derezeni maradufu yaani miaka 24? Jaramogi Odinga Oginga katika kitabu chake maarufu cha 'Not Yet Uhuru' anamfananisha Moi na twiga anayeona mbali. Je, hii ndio sifa yake halisi sambamba na urefu wake? Ingawa wakosoaji watamlaumu Mzee huyu wa watu kuwa aliwatesa wapinzani katika seli za jumba la Nyayo na Nyati lakini watetezi wake watadai nikulinda usalama wa taifa dhidi ya hujuma za maadui. Madoa mengine yalioathiri utawala wa Mzee Moi ni kashfa ya Goldenberg, mauaji tatanishi ya Robert Ouko na Askofu Muge. Aidha, kutiwa kizuizini kwa wapinzani wake kama Raila Odinga, Charles Rubia, Kenneth Matiba, Koigi wa Wamwere pamoja na mkuu wa sasa wa Royal Media, JS Macharia ni baadhi ya shubiri katika asali Hatahivyo, kama anavyodai kinara wa wafanyikazi Atwoli, Mzee Moi hakuwa na chuki za kudumu kwani alipatana na alowafunza adabu. Kwa muktadha huu aliungana na Raila kuunganisha vyama vyao vya NDP na KANU japo Raila mjanja alimuweza Profesa wa siasa kwa kuwateka watu wake na kuunda NARC ilohitimisha ujogoo wa KANU. Hakuweza kumnyonga Charles Njonjo isemavyo sheria kwa usaliti wa uhaini wa njama za mapinduzi zilothibitishwa na bunge na mahakama na kumuacha huru ajikaange na mafuta kwa fedheha kama pweza wa kamba nane. Kijumla, Mzee Moi alifaulu maishani na tunampa asilimia 65 ya asali na 35 ya shubiri katika jumla ya 100.
Nani walihangaika bila makao
{ "text": [ "ndege" ] }
3905_swa
MIAKA 24 YA UJASIRI WA MOI "Huu ni mti mkuu uliyoanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto." Kifo cha Rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi bila shaka ni habari nzito ilotawala na kugonga vichwa vya vyombo vya habari kitaifa, kikanda, kibara na kimataifa. Huu ni mti mkuu ulioanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto. Aidha, Maulana alimpa umri mrefu humu duniani kushinda wengi waloitwa kusikojulikana mapema zaidi. Ndio, kuishi karibu karne nzima si mchezo. Leonard Mambo Mbotela mtangazaji mtajika anakumbuka maisha ya bwana huyu pakubwa. Anasema umri aloishi ni bahati kuu. Katika muktadha huu familia ya mwendazake inasema kuwa wanasherehekea maisha yake marefu badala ya kulia kwa kumpoteza. Rais Uhuru Muigai Kenyatta alopata tanzia hiyo akiwa nje ya nchi aliamuru maombolezi ya taifa hadi kuzikwa kwa Mzee Moi. Paka akiondoka panya hutawala kwani kutokuweko kwa Rais Uhuru kulitowa fursa adimu na nyeti kwa Makamu wake William Ruto kutamba na kunguruma. Ruto anayekumbwa na sintofahamu na changamoto za siasa nchini kama wimbi la BBI dhidi yake na kumfanya kama kuku wa kidimu alonyeshewa chepechepe alihutubia taifa nje ya jumba la naibu wa urais kuhusu tukio hili na hivyo kumpiku bosi wake. Tuache huo udaku wa siasa na tuzame katika lengo kuu. Je, kufa kwa Mzee Moi kunaashiria nini? Je, historia itamuhukumu vipi bwana huyu alotawala kwa miaka 24 Kenya? Je, mazuri ya Moi yalikuwa yapi na yalifaidisha kivipi? Na Je, kuna mabaya alofanya na ni yapi na yanaathari zipi leo ama siku zijazo? Tujuavyo mwanadamu si kamili bali ana mapungufu yake tofauti na Mwenyezi Mungu asiye na doa hilo la unyonge wa mwanadamu. Sambamba na kigezo hicho hebu tuangazie maisha ya bwana huyu kwa shilingi na kwa upili kwa asali na kwa shubiri. Tukianza na mazuri ya Mzee Moi twaweza kusema kuwa alifaulu katika falsafa yake aliyoivalia njuga ya Nyayo. Pindi alipochukuwa uongozi wa nchi mwaka 1978 kufatia kifo cha mtangulizi wake Mzee Jomo Kenyatta, Moi aliwataka wakenya wafuate nyayo za Mzee Jomo Kenyatta. Nyayo hizo zilijengwa katika nguzo tatu kuu yaani amani, mapenzi na umoja. Huu ndio ulikuwa mwelekeo wake na aliweza kuteka fikra za wakenya waliomti pakubwa. Wakati wa Moi nguzo hizo tatu zilifaulu kwa asilimia kubwa licha ya mapungufu ya hapa na pale. Kikubwa kulikuwa na amani na utangamano nchini. Kwa wale tuliobahatika kuishi katika upeo wa Mzee Moi tuliona faida ya amani nchini. Wakenya walipendana kama kidole kwa pete chini ya Moi. Kulikuwa na hali ya utulivu hilo hatutapinga. Hata hivyo, kama tutakavyoeleza hali hii ya amani kuwa kabla ya jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi hapo Agosti 1982. Kulikuwa na mapenzi kati ya wakenya sambamba na umoja thabiti. Michafuko ya siasa na chuki za sasa hazikujitokeza wakati wake. Kiuchumi, Mwendazake Moi alijikaza kwa udi na uvumba kuhakikisha uchumi wa nchi ulikuwa juu. Kwa kweli Kenya ilipiga hatua kubwa kiuchumi Shilingi ya Kenya iliongoza katika ukanda huu na hata barani Afrika. Kenya iliongoza duniani katika mazao ya kahawa na pareto mbali na chai. Hali ya utulivu na amani iliwavutia waekezaji wengi wa kimataifa. Aidha, Kenya iliheshimiwa duniani kwa utaratibu wake wa kistaarabu. Ni katika mazingira haya ndipo Umoja wa Mataifa ulichagua Kenya kuwa makao makuu ya asasi nyeti za umoja huo. Mashirika haya ya Umoja wa Mataifa yalokuwa na makao yake makuu humu nchini Gigiri, Nairobi ni lile la mazingira yaani UNEP, lile la makazi HABITAT na wakimbizi UNHCR. Nairobi ilishamiri na kuwa kitovu kikuu cha kimataifa huku mikutano mikuu kama wakuu wa Afrika yakifanyika katika jumba kuu la mikutano la KICC. Hayati Mzee Moi alikuwa na tajriba kubwa ya mahusiano ya kimataifa. Ingawa aliegemea ubepari wa Marekani dhidi ya Ukomunisti wa Usovieti na Ujamaa wa Uchi na alikuwa rafiki kwa mataifa yote makuu. Katika miaka ya 80 Kenya ilikumbwa na baa kubwa la njaa na Mzee Moi alifanya jambo ambalo litakumbukwa milele. Badala ya kuzubaa kama fala asijuwe la kufanya na watu kuangamia kwa njaa babu akili muona mbali Moi alienda Marekani kwa usaidizi kama mama ama baba anayewatafutia wanawe posho. Je, munakumbuka mahindi ya manjano yalotoka Marekani na kuwa mlo wa ugali chakula kikuu cha Kenya? Uhusiano bora wa Moi na mwenzake wa Marekani wakati huo Ronald Reagan uliokoa maisha ya wakenya na mifugo ambao wangekufa njaa kama Ethiopia ilivyokuwa. Hatua hiyo ya ujasiri inaonyesha kuwa Moi alijali maisha ya wakenya na kuwa tayari kufanya lolote hata la fedheha kuwa okoa watu wake. Yale mahindi ya manjano yalikuwa yakitumiwa Marekani kama chakula cha farasi na lishe ya wanyama, wengine kama nguruwe na kuku. Kama ni kiongozi mwengine angekuwa na kiburi na kuona haya kuomba msaada huo wa chakula cha farasi kwa wanadamu. Hayati Moi pia alipenda na kuboresha michezo pakubwa. Alijenga uga mkuu wa michezo wa Kasarani ulotajwa jina lake yaani Moi International Sports Centre, Kasarani. Aidha uga huu uliandaa michezo ya Afrika ya All Africa Games mwaka 1987 ambapo Kenya ilishamiri sana katika michezo mbali mbali. Katika michezo hiyo Moi alihudhuria mechi nyingi ikiwa fainali ya voliboli kati ya Kenya na Misri japo Kenya ilishindwa. Ufanisi mkubwa wa Mzee Moi ulikuwa katika sekta ya elimu. Hapa alijenga shule nyingi kote nchini na kupewa jina lake. Alifanya historia kuwa kiongozi wa kwanza duniani kutoa bure maziwa kwa wanafunzi wa shule za msingi. Hii inadhihiri ukarimu wake. Mzee huyu alianzisha mpango wa huduma za vijana kwa taifa yaani NYS ambapo wanafunzi waliofuzu kwenda vyuo vikuu walipata mafunzo kule Gilgil na Naivasha. Alizinduwa mtaala mpya wa elimu wa 844 ambao umedumu kwa miaka miingi. Wanafunzi walipitia miaka minane shule ya msingi, minne upili na minne chuo kikuu mtawalia. Hebu sasa tuangazie shubiri ya Moi baada ya asali yake. Je, ni kwa nini Moi alibadilika na kuwa mkali na hata kuitwa dikteta na wakosoaji wake? Shubiri ya Moi Mnamo Agosti tarehe 1 mwaka 1982 kulikuwa na jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi lilohusisha jeshi la wanahewa chini ya Private Sargent Ochuka. Hatahivyo, majeshi waaminifu wakiongozwa na Mahmoud Mohammed waliwashinda waasi na kumrudisha Moi madarakani. Ni baada ya mkasa huo ndipo Moi aligeuka kama kinyonga kutoka kwa mtu wa amani na kuwa mkali kama simba kwa wapinzani. Swali ni Je, twaweza kumlaumu Moi kwa kuleta udikteta? Katana Ngala Waziri wa muda mrefu katika serikali ya Moi asema ilibidi Moi abadilike."Kiongozi lazima awe na nguvu za kulinda himaya yake akiitishwa," asema Ngala na kupinga kauli kuwa Moi alikuwa dikteta. Kiongozi wa Amani Congress ambaye aliwahi kuwa makamu wa Rais wakati wa Moi na Waziri wa fedha Moses Mudavadi pia anadai kuwa Moi hakuwa Dikteta."Moi alikuwa thabiti mtu jasiri sifa nyeti ya kiongozi," asema Mudavadi na kushangaa kuwa watu wanamuita Moi dikteta bila kigezo maaluum. Niccolo Machiaveli mwanafalsafa wa kitaliano katika kitabu chake cha 'The Prince' asema kiongozi halisi ni yule anayetumia mbinu zote safi na chafu kudumu uongozini. Je, Moi alikuwa anatumia falsafa hii ya Machiaveli na hivyo kudumu ikulu kwa miaka derezeni maradufu yaani miaka 24? Jaramogi Odinga Oginga katika kitabu chake maarufu cha 'Not Yet Uhuru' anamfananisha Moi na twiga anayeona mbali. Je, hii ndio sifa yake halisi sambamba na urefu wake? Ingawa wakosoaji watamlaumu Mzee huyu wa watu kuwa aliwatesa wapinzani katika seli za jumba la Nyayo na Nyati lakini watetezi wake watadai nikulinda usalama wa taifa dhidi ya hujuma za maadui. Madoa mengine yalioathiri utawala wa Mzee Moi ni kashfa ya Goldenberg, mauaji tatanishi ya Robert Ouko na Askofu Muge. Aidha, kutiwa kizuizini kwa wapinzani wake kama Raila Odinga, Charles Rubia, Kenneth Matiba, Koigi wa Wamwere pamoja na mkuu wa sasa wa Royal Media, JS Macharia ni baadhi ya shubiri katika asali Hatahivyo, kama anavyodai kinara wa wafanyikazi Atwoli, Mzee Moi hakuwa na chuki za kudumu kwani alipatana na alowafunza adabu. Kwa muktadha huu aliungana na Raila kuunganisha vyama vyao vya NDP na KANU japo Raila mjanja alimuweza Profesa wa siasa kwa kuwateka watu wake na kuunda NARC ilohitimisha ujogoo wa KANU. Hakuweza kumnyonga Charles Njonjo isemavyo sheria kwa usaliti wa uhaini wa njama za mapinduzi zilothibitishwa na bunge na mahakama na kumuacha huru ajikaange na mafuta kwa fedheha kama pweza wa kamba nane. Kijumla, Mzee Moi alifaulu maishani na tunampa asilimia 65 ya asali na 35 ya shubiri katika jumla ya 100.
Nani alimpa umri mrefu humu duniani
{ "text": [ "Maulana" ] }
3905_swa
MIAKA 24 YA UJASIRI WA MOI "Huu ni mti mkuu uliyoanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto." Kifo cha Rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi bila shaka ni habari nzito ilotawala na kugonga vichwa vya vyombo vya habari kitaifa, kikanda, kibara na kimataifa. Huu ni mti mkuu ulioanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto. Aidha, Maulana alimpa umri mrefu humu duniani kushinda wengi waloitwa kusikojulikana mapema zaidi. Ndio, kuishi karibu karne nzima si mchezo. Leonard Mambo Mbotela mtangazaji mtajika anakumbuka maisha ya bwana huyu pakubwa. Anasema umri aloishi ni bahati kuu. Katika muktadha huu familia ya mwendazake inasema kuwa wanasherehekea maisha yake marefu badala ya kulia kwa kumpoteza. Rais Uhuru Muigai Kenyatta alopata tanzia hiyo akiwa nje ya nchi aliamuru maombolezi ya taifa hadi kuzikwa kwa Mzee Moi. Paka akiondoka panya hutawala kwani kutokuweko kwa Rais Uhuru kulitowa fursa adimu na nyeti kwa Makamu wake William Ruto kutamba na kunguruma. Ruto anayekumbwa na sintofahamu na changamoto za siasa nchini kama wimbi la BBI dhidi yake na kumfanya kama kuku wa kidimu alonyeshewa chepechepe alihutubia taifa nje ya jumba la naibu wa urais kuhusu tukio hili na hivyo kumpiku bosi wake. Tuache huo udaku wa siasa na tuzame katika lengo kuu. Je, kufa kwa Mzee Moi kunaashiria nini? Je, historia itamuhukumu vipi bwana huyu alotawala kwa miaka 24 Kenya? Je, mazuri ya Moi yalikuwa yapi na yalifaidisha kivipi? Na Je, kuna mabaya alofanya na ni yapi na yanaathari zipi leo ama siku zijazo? Tujuavyo mwanadamu si kamili bali ana mapungufu yake tofauti na Mwenyezi Mungu asiye na doa hilo la unyonge wa mwanadamu. Sambamba na kigezo hicho hebu tuangazie maisha ya bwana huyu kwa shilingi na kwa upili kwa asali na kwa shubiri. Tukianza na mazuri ya Mzee Moi twaweza kusema kuwa alifaulu katika falsafa yake aliyoivalia njuga ya Nyayo. Pindi alipochukuwa uongozi wa nchi mwaka 1978 kufatia kifo cha mtangulizi wake Mzee Jomo Kenyatta, Moi aliwataka wakenya wafuate nyayo za Mzee Jomo Kenyatta. Nyayo hizo zilijengwa katika nguzo tatu kuu yaani amani, mapenzi na umoja. Huu ndio ulikuwa mwelekeo wake na aliweza kuteka fikra za wakenya waliomti pakubwa. Wakati wa Moi nguzo hizo tatu zilifaulu kwa asilimia kubwa licha ya mapungufu ya hapa na pale. Kikubwa kulikuwa na amani na utangamano nchini. Kwa wale tuliobahatika kuishi katika upeo wa Mzee Moi tuliona faida ya amani nchini. Wakenya walipendana kama kidole kwa pete chini ya Moi. Kulikuwa na hali ya utulivu hilo hatutapinga. Hata hivyo, kama tutakavyoeleza hali hii ya amani kuwa kabla ya jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi hapo Agosti 1982. Kulikuwa na mapenzi kati ya wakenya sambamba na umoja thabiti. Michafuko ya siasa na chuki za sasa hazikujitokeza wakati wake. Kiuchumi, Mwendazake Moi alijikaza kwa udi na uvumba kuhakikisha uchumi wa nchi ulikuwa juu. Kwa kweli Kenya ilipiga hatua kubwa kiuchumi Shilingi ya Kenya iliongoza katika ukanda huu na hata barani Afrika. Kenya iliongoza duniani katika mazao ya kahawa na pareto mbali na chai. Hali ya utulivu na amani iliwavutia waekezaji wengi wa kimataifa. Aidha, Kenya iliheshimiwa duniani kwa utaratibu wake wa kistaarabu. Ni katika mazingira haya ndipo Umoja wa Mataifa ulichagua Kenya kuwa makao makuu ya asasi nyeti za umoja huo. Mashirika haya ya Umoja wa Mataifa yalokuwa na makao yake makuu humu nchini Gigiri, Nairobi ni lile la mazingira yaani UNEP, lile la makazi HABITAT na wakimbizi UNHCR. Nairobi ilishamiri na kuwa kitovu kikuu cha kimataifa huku mikutano mikuu kama wakuu wa Afrika yakifanyika katika jumba kuu la mikutano la KICC. Hayati Mzee Moi alikuwa na tajriba kubwa ya mahusiano ya kimataifa. Ingawa aliegemea ubepari wa Marekani dhidi ya Ukomunisti wa Usovieti na Ujamaa wa Uchi na alikuwa rafiki kwa mataifa yote makuu. Katika miaka ya 80 Kenya ilikumbwa na baa kubwa la njaa na Mzee Moi alifanya jambo ambalo litakumbukwa milele. Badala ya kuzubaa kama fala asijuwe la kufanya na watu kuangamia kwa njaa babu akili muona mbali Moi alienda Marekani kwa usaidizi kama mama ama baba anayewatafutia wanawe posho. Je, munakumbuka mahindi ya manjano yalotoka Marekani na kuwa mlo wa ugali chakula kikuu cha Kenya? Uhusiano bora wa Moi na mwenzake wa Marekani wakati huo Ronald Reagan uliokoa maisha ya wakenya na mifugo ambao wangekufa njaa kama Ethiopia ilivyokuwa. Hatua hiyo ya ujasiri inaonyesha kuwa Moi alijali maisha ya wakenya na kuwa tayari kufanya lolote hata la fedheha kuwa okoa watu wake. Yale mahindi ya manjano yalikuwa yakitumiwa Marekani kama chakula cha farasi na lishe ya wanyama, wengine kama nguruwe na kuku. Kama ni kiongozi mwengine angekuwa na kiburi na kuona haya kuomba msaada huo wa chakula cha farasi kwa wanadamu. Hayati Moi pia alipenda na kuboresha michezo pakubwa. Alijenga uga mkuu wa michezo wa Kasarani ulotajwa jina lake yaani Moi International Sports Centre, Kasarani. Aidha uga huu uliandaa michezo ya Afrika ya All Africa Games mwaka 1987 ambapo Kenya ilishamiri sana katika michezo mbali mbali. Katika michezo hiyo Moi alihudhuria mechi nyingi ikiwa fainali ya voliboli kati ya Kenya na Misri japo Kenya ilishindwa. Ufanisi mkubwa wa Mzee Moi ulikuwa katika sekta ya elimu. Hapa alijenga shule nyingi kote nchini na kupewa jina lake. Alifanya historia kuwa kiongozi wa kwanza duniani kutoa bure maziwa kwa wanafunzi wa shule za msingi. Hii inadhihiri ukarimu wake. Mzee huyu alianzisha mpango wa huduma za vijana kwa taifa yaani NYS ambapo wanafunzi waliofuzu kwenda vyuo vikuu walipata mafunzo kule Gilgil na Naivasha. Alizinduwa mtaala mpya wa elimu wa 844 ambao umedumu kwa miaka miingi. Wanafunzi walipitia miaka minane shule ya msingi, minne upili na minne chuo kikuu mtawalia. Hebu sasa tuangazie shubiri ya Moi baada ya asali yake. Je, ni kwa nini Moi alibadilika na kuwa mkali na hata kuitwa dikteta na wakosoaji wake? Shubiri ya Moi Mnamo Agosti tarehe 1 mwaka 1982 kulikuwa na jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi lilohusisha jeshi la wanahewa chini ya Private Sargent Ochuka. Hatahivyo, majeshi waaminifu wakiongozwa na Mahmoud Mohammed waliwashinda waasi na kumrudisha Moi madarakani. Ni baada ya mkasa huo ndipo Moi aligeuka kama kinyonga kutoka kwa mtu wa amani na kuwa mkali kama simba kwa wapinzani. Swali ni Je, twaweza kumlaumu Moi kwa kuleta udikteta? Katana Ngala Waziri wa muda mrefu katika serikali ya Moi asema ilibidi Moi abadilike."Kiongozi lazima awe na nguvu za kulinda himaya yake akiitishwa," asema Ngala na kupinga kauli kuwa Moi alikuwa dikteta. Kiongozi wa Amani Congress ambaye aliwahi kuwa makamu wa Rais wakati wa Moi na Waziri wa fedha Moses Mudavadi pia anadai kuwa Moi hakuwa Dikteta."Moi alikuwa thabiti mtu jasiri sifa nyeti ya kiongozi," asema Mudavadi na kushangaa kuwa watu wanamuita Moi dikteta bila kigezo maaluum. Niccolo Machiaveli mwanafalsafa wa kitaliano katika kitabu chake cha 'The Prince' asema kiongozi halisi ni yule anayetumia mbinu zote safi na chafu kudumu uongozini. Je, Moi alikuwa anatumia falsafa hii ya Machiaveli na hivyo kudumu ikulu kwa miaka derezeni maradufu yaani miaka 24? Jaramogi Odinga Oginga katika kitabu chake maarufu cha 'Not Yet Uhuru' anamfananisha Moi na twiga anayeona mbali. Je, hii ndio sifa yake halisi sambamba na urefu wake? Ingawa wakosoaji watamlaumu Mzee huyu wa watu kuwa aliwatesa wapinzani katika seli za jumba la Nyayo na Nyati lakini watetezi wake watadai nikulinda usalama wa taifa dhidi ya hujuma za maadui. Madoa mengine yalioathiri utawala wa Mzee Moi ni kashfa ya Goldenberg, mauaji tatanishi ya Robert Ouko na Askofu Muge. Aidha, kutiwa kizuizini kwa wapinzani wake kama Raila Odinga, Charles Rubia, Kenneth Matiba, Koigi wa Wamwere pamoja na mkuu wa sasa wa Royal Media, JS Macharia ni baadhi ya shubiri katika asali Hatahivyo, kama anavyodai kinara wa wafanyikazi Atwoli, Mzee Moi hakuwa na chuki za kudumu kwani alipatana na alowafunza adabu. Kwa muktadha huu aliungana na Raila kuunganisha vyama vyao vya NDP na KANU japo Raila mjanja alimuweza Profesa wa siasa kwa kuwateka watu wake na kuunda NARC ilohitimisha ujogoo wa KANU. Hakuweza kumnyonga Charles Njonjo isemavyo sheria kwa usaliti wa uhaini wa njama za mapinduzi zilothibitishwa na bunge na mahakama na kumuacha huru ajikaange na mafuta kwa fedheha kama pweza wa kamba nane. Kijumla, Mzee Moi alifaulu maishani na tunampa asilimia 65 ya asali na 35 ya shubiri katika jumla ya 100.
Rais aliamuru maombolezi ya taifa hadi lini
{ "text": [ "kuzikwa kwa Moi" ] }
3905_swa
MIAKA 24 YA UJASIRI WA MOI "Huu ni mti mkuu uliyoanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto." Kifo cha Rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi bila shaka ni habari nzito ilotawala na kugonga vichwa vya vyombo vya habari kitaifa, kikanda, kibara na kimataifa. Huu ni mti mkuu ulioanguka katika mgongo wa dunia huku ndege wakihangaika bila makao. Hakuwa mtu wa vivi hivi tu bali jabali kuu katikati ya changarawe na kokoto. Aidha, Maulana alimpa umri mrefu humu duniani kushinda wengi waloitwa kusikojulikana mapema zaidi. Ndio, kuishi karibu karne nzima si mchezo. Leonard Mambo Mbotela mtangazaji mtajika anakumbuka maisha ya bwana huyu pakubwa. Anasema umri aloishi ni bahati kuu. Katika muktadha huu familia ya mwendazake inasema kuwa wanasherehekea maisha yake marefu badala ya kulia kwa kumpoteza. Rais Uhuru Muigai Kenyatta alopata tanzia hiyo akiwa nje ya nchi aliamuru maombolezi ya taifa hadi kuzikwa kwa Mzee Moi. Paka akiondoka panya hutawala kwani kutokuweko kwa Rais Uhuru kulitowa fursa adimu na nyeti kwa Makamu wake William Ruto kutamba na kunguruma. Ruto anayekumbwa na sintofahamu na changamoto za siasa nchini kama wimbi la BBI dhidi yake na kumfanya kama kuku wa kidimu alonyeshewa chepechepe alihutubia taifa nje ya jumba la naibu wa urais kuhusu tukio hili na hivyo kumpiku bosi wake. Tuache huo udaku wa siasa na tuzame katika lengo kuu. Je, kufa kwa Mzee Moi kunaashiria nini? Je, historia itamuhukumu vipi bwana huyu alotawala kwa miaka 24 Kenya? Je, mazuri ya Moi yalikuwa yapi na yalifaidisha kivipi? Na Je, kuna mabaya alofanya na ni yapi na yanaathari zipi leo ama siku zijazo? Tujuavyo mwanadamu si kamili bali ana mapungufu yake tofauti na Mwenyezi Mungu asiye na doa hilo la unyonge wa mwanadamu. Sambamba na kigezo hicho hebu tuangazie maisha ya bwana huyu kwa shilingi na kwa upili kwa asali na kwa shubiri. Tukianza na mazuri ya Mzee Moi twaweza kusema kuwa alifaulu katika falsafa yake aliyoivalia njuga ya Nyayo. Pindi alipochukuwa uongozi wa nchi mwaka 1978 kufatia kifo cha mtangulizi wake Mzee Jomo Kenyatta, Moi aliwataka wakenya wafuate nyayo za Mzee Jomo Kenyatta. Nyayo hizo zilijengwa katika nguzo tatu kuu yaani amani, mapenzi na umoja. Huu ndio ulikuwa mwelekeo wake na aliweza kuteka fikra za wakenya waliomti pakubwa. Wakati wa Moi nguzo hizo tatu zilifaulu kwa asilimia kubwa licha ya mapungufu ya hapa na pale. Kikubwa kulikuwa na amani na utangamano nchini. Kwa wale tuliobahatika kuishi katika upeo wa Mzee Moi tuliona faida ya amani nchini. Wakenya walipendana kama kidole kwa pete chini ya Moi. Kulikuwa na hali ya utulivu hilo hatutapinga. Hata hivyo, kama tutakavyoeleza hali hii ya amani kuwa kabla ya jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi hapo Agosti 1982. Kulikuwa na mapenzi kati ya wakenya sambamba na umoja thabiti. Michafuko ya siasa na chuki za sasa hazikujitokeza wakati wake. Kiuchumi, Mwendazake Moi alijikaza kwa udi na uvumba kuhakikisha uchumi wa nchi ulikuwa juu. Kwa kweli Kenya ilipiga hatua kubwa kiuchumi Shilingi ya Kenya iliongoza katika ukanda huu na hata barani Afrika. Kenya iliongoza duniani katika mazao ya kahawa na pareto mbali na chai. Hali ya utulivu na amani iliwavutia waekezaji wengi wa kimataifa. Aidha, Kenya iliheshimiwa duniani kwa utaratibu wake wa kistaarabu. Ni katika mazingira haya ndipo Umoja wa Mataifa ulichagua Kenya kuwa makao makuu ya asasi nyeti za umoja huo. Mashirika haya ya Umoja wa Mataifa yalokuwa na makao yake makuu humu nchini Gigiri, Nairobi ni lile la mazingira yaani UNEP, lile la makazi HABITAT na wakimbizi UNHCR. Nairobi ilishamiri na kuwa kitovu kikuu cha kimataifa huku mikutano mikuu kama wakuu wa Afrika yakifanyika katika jumba kuu la mikutano la KICC. Hayati Mzee Moi alikuwa na tajriba kubwa ya mahusiano ya kimataifa. Ingawa aliegemea ubepari wa Marekani dhidi ya Ukomunisti wa Usovieti na Ujamaa wa Uchi na alikuwa rafiki kwa mataifa yote makuu. Katika miaka ya 80 Kenya ilikumbwa na baa kubwa la njaa na Mzee Moi alifanya jambo ambalo litakumbukwa milele. Badala ya kuzubaa kama fala asijuwe la kufanya na watu kuangamia kwa njaa babu akili muona mbali Moi alienda Marekani kwa usaidizi kama mama ama baba anayewatafutia wanawe posho. Je, munakumbuka mahindi ya manjano yalotoka Marekani na kuwa mlo wa ugali chakula kikuu cha Kenya? Uhusiano bora wa Moi na mwenzake wa Marekani wakati huo Ronald Reagan uliokoa maisha ya wakenya na mifugo ambao wangekufa njaa kama Ethiopia ilivyokuwa. Hatua hiyo ya ujasiri inaonyesha kuwa Moi alijali maisha ya wakenya na kuwa tayari kufanya lolote hata la fedheha kuwa okoa watu wake. Yale mahindi ya manjano yalikuwa yakitumiwa Marekani kama chakula cha farasi na lishe ya wanyama, wengine kama nguruwe na kuku. Kama ni kiongozi mwengine angekuwa na kiburi na kuona haya kuomba msaada huo wa chakula cha farasi kwa wanadamu. Hayati Moi pia alipenda na kuboresha michezo pakubwa. Alijenga uga mkuu wa michezo wa Kasarani ulotajwa jina lake yaani Moi International Sports Centre, Kasarani. Aidha uga huu uliandaa michezo ya Afrika ya All Africa Games mwaka 1987 ambapo Kenya ilishamiri sana katika michezo mbali mbali. Katika michezo hiyo Moi alihudhuria mechi nyingi ikiwa fainali ya voliboli kati ya Kenya na Misri japo Kenya ilishindwa. Ufanisi mkubwa wa Mzee Moi ulikuwa katika sekta ya elimu. Hapa alijenga shule nyingi kote nchini na kupewa jina lake. Alifanya historia kuwa kiongozi wa kwanza duniani kutoa bure maziwa kwa wanafunzi wa shule za msingi. Hii inadhihiri ukarimu wake. Mzee huyu alianzisha mpango wa huduma za vijana kwa taifa yaani NYS ambapo wanafunzi waliofuzu kwenda vyuo vikuu walipata mafunzo kule Gilgil na Naivasha. Alizinduwa mtaala mpya wa elimu wa 844 ambao umedumu kwa miaka miingi. Wanafunzi walipitia miaka minane shule ya msingi, minne upili na minne chuo kikuu mtawalia. Hebu sasa tuangazie shubiri ya Moi baada ya asali yake. Je, ni kwa nini Moi alibadilika na kuwa mkali na hata kuitwa dikteta na wakosoaji wake? Shubiri ya Moi Mnamo Agosti tarehe 1 mwaka 1982 kulikuwa na jaribio la mapinduzi dhidi ya Moi lilohusisha jeshi la wanahewa chini ya Private Sargent Ochuka. Hatahivyo, majeshi waaminifu wakiongozwa na Mahmoud Mohammed waliwashinda waasi na kumrudisha Moi madarakani. Ni baada ya mkasa huo ndipo Moi aligeuka kama kinyonga kutoka kwa mtu wa amani na kuwa mkali kama simba kwa wapinzani. Swali ni Je, twaweza kumlaumu Moi kwa kuleta udikteta? Katana Ngala Waziri wa muda mrefu katika serikali ya Moi asema ilibidi Moi abadilike."Kiongozi lazima awe na nguvu za kulinda himaya yake akiitishwa," asema Ngala na kupinga kauli kuwa Moi alikuwa dikteta. Kiongozi wa Amani Congress ambaye aliwahi kuwa makamu wa Rais wakati wa Moi na Waziri wa fedha Moses Mudavadi pia anadai kuwa Moi hakuwa Dikteta."Moi alikuwa thabiti mtu jasiri sifa nyeti ya kiongozi," asema Mudavadi na kushangaa kuwa watu wanamuita Moi dikteta bila kigezo maaluum. Niccolo Machiaveli mwanafalsafa wa kitaliano katika kitabu chake cha 'The Prince' asema kiongozi halisi ni yule anayetumia mbinu zote safi na chafu kudumu uongozini. Je, Moi alikuwa anatumia falsafa hii ya Machiaveli na hivyo kudumu ikulu kwa miaka derezeni maradufu yaani miaka 24? Jaramogi Odinga Oginga katika kitabu chake maarufu cha 'Not Yet Uhuru' anamfananisha Moi na twiga anayeona mbali. Je, hii ndio sifa yake halisi sambamba na urefu wake? Ingawa wakosoaji watamlaumu Mzee huyu wa watu kuwa aliwatesa wapinzani katika seli za jumba la Nyayo na Nyati lakini watetezi wake watadai nikulinda usalama wa taifa dhidi ya hujuma za maadui. Madoa mengine yalioathiri utawala wa Mzee Moi ni kashfa ya Goldenberg, mauaji tatanishi ya Robert Ouko na Askofu Muge. Aidha, kutiwa kizuizini kwa wapinzani wake kama Raila Odinga, Charles Rubia, Kenneth Matiba, Koigi wa Wamwere pamoja na mkuu wa sasa wa Royal Media, JS Macharia ni baadhi ya shubiri katika asali Hatahivyo, kama anavyodai kinara wa wafanyikazi Atwoli, Mzee Moi hakuwa na chuki za kudumu kwani alipatana na alowafunza adabu. Kwa muktadha huu aliungana na Raila kuunganisha vyama vyao vya NDP na KANU japo Raila mjanja alimuweza Profesa wa siasa kwa kuwateka watu wake na kuunda NARC ilohitimisha ujogoo wa KANU. Hakuweza kumnyonga Charles Njonjo isemavyo sheria kwa usaliti wa uhaini wa njama za mapinduzi zilothibitishwa na bunge na mahakama na kumuacha huru ajikaange na mafuta kwa fedheha kama pweza wa kamba nane. Kijumla, Mzee Moi alifaulu maishani na tunampa asilimia 65 ya asali na 35 ya shubiri katika jumla ya 100.
Nani anakumbwa na sintofahamu na changamoto za siasa
{ "text": [ "Ruto" ] }
3908_swa
Mashaka yaliomsukuma msanii Papa Dennis kujiua Mashabiki wa nyimbo za injili haswa walioenzi muziki wa mwendezake Dennis Mwangi, maarufu Papa Dennis, wanazidi kuomboleza kifo chake baada ya kuaga dunia siku ya Ijumaa usiku kwa hali tatanishi. Inadaiwa kuwa mwili wake ulipatikana maeneo ya Ngara muda mfupi tu baada ya kuondoka studioni karibu na jengo lenye makao makuu ya Jubilee pangani jijini Nairobi. Papa Dennis alizaliwa na kulelewa maeneo ya Matunda kaunti ya Kakamega na kaka pacha kwa jina Simon Mwangi. Mnamo mwaka 2006 Papa alimpoteza mamake na kumwacha yeye na wadogo wake wanne kwenye hali ambayo hawangeweza kujimudu kimaisha. Hapo ndipo Papa Dennis alianza safari yake ya uimbaji na kujiunga na kikundi cha kumtukuza Mungu kanisani. Hali ilikuwa si hali kwa muimbaji huyo huku akilazimika kufanya vibarua mbalimbali ili angalau apate kukidhi mahitaji ya wadogo wake. Miaka michache baadaye wingu la kifo lilimkuba tena na kumpoteza dadake aliyejulikana kwa jina Monica Shiko. Mwaka wa 2015, Papa Dennis alianza kupata umaarufu katika sekta ya uimbaji baada ya kutoa "Makekes”. Mwaka huo huo, alichaguliwa kuwania na kutuzwa Bingwa Music Awards kama mwanamziki bora kitengo cha wanaume. Miezi kadhaa badae Muimbaji huo alinusurika ajali mbaya ya barabarani. Mwaka mmoja baada ya tunzo hilo, maisha ya mwanamuziki huyo alianza kubadilika na kuhamia maeneo ya Lavington na kuonekana kuishi maisha ya kifahari na kuendelea kupata umaarufu zaidi kwenye sekta ya uimbaji nchini. Kadri siku ziposonga kukazuka madai kwamba aliyekuwa maneja wake Sadat Muhindi ndiye alikuwa akigharamikia maisha ya kifahari ya msanii huyo lakini kwa bahati mbaya akaacha baada ya wawili hao kukosana kwa misingi isiyoeleweka. Hapo ndipo maisha yalianza kumwendea mrama muimbaji huyo na kulazimika kuhama kutoka nyumba yake ya kifahari. Papa alilazimika kuanza maisha upya kwenye studio maeneo ya Pangani ambapo na wandani wake walisema kuwa muimbaji huyo alipitia maisha magumu kwani atakupata hela za chakula ilikuwa vigumu mno. Kabla ya kukumbana na kifo chake, inadaiwa kuwa kupata muimbaji huyo mapema siku hiyo alikuwa studio katika maeneo ya Kirima orofa ya tatu. Katika maisha yake alishinda tunzo mbalimbali zikiwemo tunzo la mwaka 2015 la mwafaka awards, mwaka 2016 na 2017 akatuzwa na Pulse music video Awards, mwaka 2018 akajinyakulia tunzo la African muzik Magazine Awards (AFRIMMA) na mwaka 2019 akatuzwa na Dear awards. Papa Dennis alivuma kwa nyimbo kadha wa kadha ikiwemo Tornado kibao ambacho kilimhusisha mwimbaji tokea nchi jirani ya Tanzania Ray C. Vibao vingine ni Nashukuru, Mavaya.
Mwili wa papa Dennis ulipatikana maeneo gani
{ "text": [ "ngara" ] }
3908_swa
Mashaka yaliomsukuma msanii Papa Dennis kujiua Mashabiki wa nyimbo za injili haswa walioenzi muziki wa mwendezake Dennis Mwangi, maarufu Papa Dennis, wanazidi kuomboleza kifo chake baada ya kuaga dunia siku ya Ijumaa usiku kwa hali tatanishi. Inadaiwa kuwa mwili wake ulipatikana maeneo ya Ngara muda mfupi tu baada ya kuondoka studioni karibu na jengo lenye makao makuu ya Jubilee pangani jijini Nairobi. Papa Dennis alizaliwa na kulelewa maeneo ya Matunda kaunti ya Kakamega na kaka pacha kwa jina Simon Mwangi. Mnamo mwaka 2006 Papa alimpoteza mamake na kumwacha yeye na wadogo wake wanne kwenye hali ambayo hawangeweza kujimudu kimaisha. Hapo ndipo Papa Dennis alianza safari yake ya uimbaji na kujiunga na kikundi cha kumtukuza Mungu kanisani. Hali ilikuwa si hali kwa muimbaji huyo huku akilazimika kufanya vibarua mbalimbali ili angalau apate kukidhi mahitaji ya wadogo wake. Miaka michache baadaye wingu la kifo lilimkuba tena na kumpoteza dadake aliyejulikana kwa jina Monica Shiko. Mwaka wa 2015, Papa Dennis alianza kupata umaarufu katika sekta ya uimbaji baada ya kutoa "Makekes”. Mwaka huo huo, alichaguliwa kuwania na kutuzwa Bingwa Music Awards kama mwanamziki bora kitengo cha wanaume. Miezi kadhaa badae Muimbaji huo alinusurika ajali mbaya ya barabarani. Mwaka mmoja baada ya tunzo hilo, maisha ya mwanamuziki huyo alianza kubadilika na kuhamia maeneo ya Lavington na kuonekana kuishi maisha ya kifahari na kuendelea kupata umaarufu zaidi kwenye sekta ya uimbaji nchini. Kadri siku ziposonga kukazuka madai kwamba aliyekuwa maneja wake Sadat Muhindi ndiye alikuwa akigharamikia maisha ya kifahari ya msanii huyo lakini kwa bahati mbaya akaacha baada ya wawili hao kukosana kwa misingi isiyoeleweka. Hapo ndipo maisha yalianza kumwendea mrama muimbaji huyo na kulazimika kuhama kutoka nyumba yake ya kifahari. Papa alilazimika kuanza maisha upya kwenye studio maeneo ya Pangani ambapo na wandani wake walisema kuwa muimbaji huyo alipitia maisha magumu kwani atakupata hela za chakula ilikuwa vigumu mno. Kabla ya kukumbana na kifo chake, inadaiwa kuwa kupata muimbaji huyo mapema siku hiyo alikuwa studio katika maeneo ya Kirima orofa ya tatu. Katika maisha yake alishinda tunzo mbalimbali zikiwemo tunzo la mwaka 2015 la mwafaka awards, mwaka 2016 na 2017 akatuzwa na Pulse music video Awards, mwaka 2018 akajinyakulia tunzo la African muzik Magazine Awards (AFRIMMA) na mwaka 2019 akatuzwa na Dear awards. Papa Dennis alivuma kwa nyimbo kadha wa kadha ikiwemo Tornado kibao ambacho kilimhusisha mwimbaji tokea nchi jirani ya Tanzania Ray C. Vibao vingine ni Nashukuru, Mavaya.
Papa Dennis alilelewa maeneo gani
{ "text": [ "matunda" ] }
3908_swa
Mashaka yaliomsukuma msanii Papa Dennis kujiua Mashabiki wa nyimbo za injili haswa walioenzi muziki wa mwendezake Dennis Mwangi, maarufu Papa Dennis, wanazidi kuomboleza kifo chake baada ya kuaga dunia siku ya Ijumaa usiku kwa hali tatanishi. Inadaiwa kuwa mwili wake ulipatikana maeneo ya Ngara muda mfupi tu baada ya kuondoka studioni karibu na jengo lenye makao makuu ya Jubilee pangani jijini Nairobi. Papa Dennis alizaliwa na kulelewa maeneo ya Matunda kaunti ya Kakamega na kaka pacha kwa jina Simon Mwangi. Mnamo mwaka 2006 Papa alimpoteza mamake na kumwacha yeye na wadogo wake wanne kwenye hali ambayo hawangeweza kujimudu kimaisha. Hapo ndipo Papa Dennis alianza safari yake ya uimbaji na kujiunga na kikundi cha kumtukuza Mungu kanisani. Hali ilikuwa si hali kwa muimbaji huyo huku akilazimika kufanya vibarua mbalimbali ili angalau apate kukidhi mahitaji ya wadogo wake. Miaka michache baadaye wingu la kifo lilimkuba tena na kumpoteza dadake aliyejulikana kwa jina Monica Shiko. Mwaka wa 2015, Papa Dennis alianza kupata umaarufu katika sekta ya uimbaji baada ya kutoa "Makekes”. Mwaka huo huo, alichaguliwa kuwania na kutuzwa Bingwa Music Awards kama mwanamziki bora kitengo cha wanaume. Miezi kadhaa badae Muimbaji huo alinusurika ajali mbaya ya barabarani. Mwaka mmoja baada ya tunzo hilo, maisha ya mwanamuziki huyo alianza kubadilika na kuhamia maeneo ya Lavington na kuonekana kuishi maisha ya kifahari na kuendelea kupata umaarufu zaidi kwenye sekta ya uimbaji nchini. Kadri siku ziposonga kukazuka madai kwamba aliyekuwa maneja wake Sadat Muhindi ndiye alikuwa akigharamikia maisha ya kifahari ya msanii huyo lakini kwa bahati mbaya akaacha baada ya wawili hao kukosana kwa misingi isiyoeleweka. Hapo ndipo maisha yalianza kumwendea mrama muimbaji huyo na kulazimika kuhama kutoka nyumba yake ya kifahari. Papa alilazimika kuanza maisha upya kwenye studio maeneo ya Pangani ambapo na wandani wake walisema kuwa muimbaji huyo alipitia maisha magumu kwani atakupata hela za chakula ilikuwa vigumu mno. Kabla ya kukumbana na kifo chake, inadaiwa kuwa kupata muimbaji huyo mapema siku hiyo alikuwa studio katika maeneo ya Kirima orofa ya tatu. Katika maisha yake alishinda tunzo mbalimbali zikiwemo tunzo la mwaka 2015 la mwafaka awards, mwaka 2016 na 2017 akatuzwa na Pulse music video Awards, mwaka 2018 akajinyakulia tunzo la African muzik Magazine Awards (AFRIMMA) na mwaka 2019 akatuzwa na Dear awards. Papa Dennis alivuma kwa nyimbo kadha wa kadha ikiwemo Tornado kibao ambacho kilimhusisha mwimbaji tokea nchi jirani ya Tanzania Ray C. Vibao vingine ni Nashukuru, Mavaya.
Papa alimpoteza mamake mwaka gani
{ "text": [ "2006" ] }
3908_swa
Mashaka yaliomsukuma msanii Papa Dennis kujiua Mashabiki wa nyimbo za injili haswa walioenzi muziki wa mwendezake Dennis Mwangi, maarufu Papa Dennis, wanazidi kuomboleza kifo chake baada ya kuaga dunia siku ya Ijumaa usiku kwa hali tatanishi. Inadaiwa kuwa mwili wake ulipatikana maeneo ya Ngara muda mfupi tu baada ya kuondoka studioni karibu na jengo lenye makao makuu ya Jubilee pangani jijini Nairobi. Papa Dennis alizaliwa na kulelewa maeneo ya Matunda kaunti ya Kakamega na kaka pacha kwa jina Simon Mwangi. Mnamo mwaka 2006 Papa alimpoteza mamake na kumwacha yeye na wadogo wake wanne kwenye hali ambayo hawangeweza kujimudu kimaisha. Hapo ndipo Papa Dennis alianza safari yake ya uimbaji na kujiunga na kikundi cha kumtukuza Mungu kanisani. Hali ilikuwa si hali kwa muimbaji huyo huku akilazimika kufanya vibarua mbalimbali ili angalau apate kukidhi mahitaji ya wadogo wake. Miaka michache baadaye wingu la kifo lilimkuba tena na kumpoteza dadake aliyejulikana kwa jina Monica Shiko. Mwaka wa 2015, Papa Dennis alianza kupata umaarufu katika sekta ya uimbaji baada ya kutoa "Makekes”. Mwaka huo huo, alichaguliwa kuwania na kutuzwa Bingwa Music Awards kama mwanamziki bora kitengo cha wanaume. Miezi kadhaa badae Muimbaji huo alinusurika ajali mbaya ya barabarani. Mwaka mmoja baada ya tunzo hilo, maisha ya mwanamuziki huyo alianza kubadilika na kuhamia maeneo ya Lavington na kuonekana kuishi maisha ya kifahari na kuendelea kupata umaarufu zaidi kwenye sekta ya uimbaji nchini. Kadri siku ziposonga kukazuka madai kwamba aliyekuwa maneja wake Sadat Muhindi ndiye alikuwa akigharamikia maisha ya kifahari ya msanii huyo lakini kwa bahati mbaya akaacha baada ya wawili hao kukosana kwa misingi isiyoeleweka. Hapo ndipo maisha yalianza kumwendea mrama muimbaji huyo na kulazimika kuhama kutoka nyumba yake ya kifahari. Papa alilazimika kuanza maisha upya kwenye studio maeneo ya Pangani ambapo na wandani wake walisema kuwa muimbaji huyo alipitia maisha magumu kwani atakupata hela za chakula ilikuwa vigumu mno. Kabla ya kukumbana na kifo chake, inadaiwa kuwa kupata muimbaji huyo mapema siku hiyo alikuwa studio katika maeneo ya Kirima orofa ya tatu. Katika maisha yake alishinda tunzo mbalimbali zikiwemo tunzo la mwaka 2015 la mwafaka awards, mwaka 2016 na 2017 akatuzwa na Pulse music video Awards, mwaka 2018 akajinyakulia tunzo la African muzik Magazine Awards (AFRIMMA) na mwaka 2019 akatuzwa na Dear awards. Papa Dennis alivuma kwa nyimbo kadha wa kadha ikiwemo Tornado kibao ambacho kilimhusisha mwimbaji tokea nchi jirani ya Tanzania Ray C. Vibao vingine ni Nashukuru, Mavaya.
Nini mwimbaji alifanya kukita mahiyaji ya wadogo wake
{ "text": [ "vibarua" ] }
3908_swa
Mashaka yaliomsukuma msanii Papa Dennis kujiua Mashabiki wa nyimbo za injili haswa walioenzi muziki wa mwendezake Dennis Mwangi, maarufu Papa Dennis, wanazidi kuomboleza kifo chake baada ya kuaga dunia siku ya Ijumaa usiku kwa hali tatanishi. Inadaiwa kuwa mwili wake ulipatikana maeneo ya Ngara muda mfupi tu baada ya kuondoka studioni karibu na jengo lenye makao makuu ya Jubilee pangani jijini Nairobi. Papa Dennis alizaliwa na kulelewa maeneo ya Matunda kaunti ya Kakamega na kaka pacha kwa jina Simon Mwangi. Mnamo mwaka 2006 Papa alimpoteza mamake na kumwacha yeye na wadogo wake wanne kwenye hali ambayo hawangeweza kujimudu kimaisha. Hapo ndipo Papa Dennis alianza safari yake ya uimbaji na kujiunga na kikundi cha kumtukuza Mungu kanisani. Hali ilikuwa si hali kwa muimbaji huyo huku akilazimika kufanya vibarua mbalimbali ili angalau apate kukidhi mahitaji ya wadogo wake. Miaka michache baadaye wingu la kifo lilimkuba tena na kumpoteza dadake aliyejulikana kwa jina Monica Shiko. Mwaka wa 2015, Papa Dennis alianza kupata umaarufu katika sekta ya uimbaji baada ya kutoa "Makekes”. Mwaka huo huo, alichaguliwa kuwania na kutuzwa Bingwa Music Awards kama mwanamziki bora kitengo cha wanaume. Miezi kadhaa badae Muimbaji huo alinusurika ajali mbaya ya barabarani. Mwaka mmoja baada ya tunzo hilo, maisha ya mwanamuziki huyo alianza kubadilika na kuhamia maeneo ya Lavington na kuonekana kuishi maisha ya kifahari na kuendelea kupata umaarufu zaidi kwenye sekta ya uimbaji nchini. Kadri siku ziposonga kukazuka madai kwamba aliyekuwa maneja wake Sadat Muhindi ndiye alikuwa akigharamikia maisha ya kifahari ya msanii huyo lakini kwa bahati mbaya akaacha baada ya wawili hao kukosana kwa misingi isiyoeleweka. Hapo ndipo maisha yalianza kumwendea mrama muimbaji huyo na kulazimika kuhama kutoka nyumba yake ya kifahari. Papa alilazimika kuanza maisha upya kwenye studio maeneo ya Pangani ambapo na wandani wake walisema kuwa muimbaji huyo alipitia maisha magumu kwani atakupata hela za chakula ilikuwa vigumu mno. Kabla ya kukumbana na kifo chake, inadaiwa kuwa kupata muimbaji huyo mapema siku hiyo alikuwa studio katika maeneo ya Kirima orofa ya tatu. Katika maisha yake alishinda tunzo mbalimbali zikiwemo tunzo la mwaka 2015 la mwafaka awards, mwaka 2016 na 2017 akatuzwa na Pulse music video Awards, mwaka 2018 akajinyakulia tunzo la African muzik Magazine Awards (AFRIMMA) na mwaka 2019 akatuzwa na Dear awards. Papa Dennis alivuma kwa nyimbo kadha wa kadha ikiwemo Tornado kibao ambacho kilimhusisha mwimbaji tokea nchi jirani ya Tanzania Ray C. Vibao vingine ni Nashukuru, Mavaya.
Papa alimpoteza dadake aliyeitwa nani
{ "text": [ "Monica Shiko" ] }
3909_swa
Moi alimpiku na kuipokea waraka wa Muhammad Ali Kuna tukio fulani la kimichezo na kisiasa lilotendeka miaka 40 iliyopita ambalo wengi hawalijui. Jambo hili ni lipi? Tukio hili la kihistoria ya kimataifa linawahusisha watu watatu maaruufu akiwemo Rais wetu alotuacha mwenda zake Daniel Arap Moi. Wengine wawili ni aliyekuwa Rais wa Tanzania Julius Nyerere na bingwa wa ndondi mtajika Muhammad Ali. Kwa sadfa watatu hawa leo ni marehemu. Katika mwaka huo wa 1980 Marekani ilitaka mataifa ya ulimwengu kususia michezo ya Olimpiki yaliyopangwa kufanyika Moscow, Urusi. Kigezo cha Marekani ni kuwa Urusi kuvamia nchi ya Afghanistan kinyume na sera za kimataifa. Aidha ilikuwa njia ya vikwazo dhidi ya dola hiyo shenzi ya Kisovieti. Kwa muktadha huo Rais wa Marekani wakati huo Jimmy Carter alijikuna kichwa na kupata jawabu ya kumtuma mjumbe aliyefaa kwa jukumu hili ili awashawishi viongozi wasusie michezo hiyo. Carter alimchagua gwiji wa ndondi alobobea na mwenye tajriba na si mwengine bali ni Muhammad "The Greatest Ali. Katika mpangilio wa safari yake Ali katika mwezi wa pili wa Februari alipangiwa kukutana na viongozi wa mataifa mbalimbali zikiwemo Kenya na Tanzania. Hata hivyo, Rais Julius Kambarage Nyerere alikataa kukutana na Ali akidai kuwa ni jambo la fedheha kwa Rais mzima kama yeye kutumiwa bondia! Hawa wamarekani hawana adabu kabisa! Mimi Rais kiongozi wa nchi itakuwaje wanitumie bondia akutane nami?" Alishangaa Nyerere. Kwa upande wake Moi hakuwa na kiburi cha Nyerere bali alimkaribisha Ali kwa heshima na taadhima zote za mjumbe wa Marekani yaani Ali sambamba na itikafi zote za mgeni mashuhuri. Kwa hatua hii twasema kuwa Moi alimpiku ama alimshinda Nyerere kisiasa, kiutu, kistaarabu, kidini, kimila na kijamii. Hii ni kwa sababu Ali aliwakilisha Marekani na si yeye binafsi. Nyerere alionyesha unafiki wa kiongozi ambaye amepigia debe siasa zake za usawa wa wanadamu kupitia kwa kauli yake ya ujamaa kumbe ni unafiki mtupu! Kwa kukataa kukutana na Ali, Nyerere alidhihiri kuwa kiongozi mwenye kiburi na dharau huku akijiona bora kuliko wengine. Hakuelewa kuwa sababu ya kumtuma Ali ilikuwa na maana fulani. Madhumuni ya ziara hiyo ilihusu michezo yaani kususia michezo ya Olimpiki.
Michezo ya Olimpiki ilipangwa kufanyika wapi
{ "text": [ "Moscow" ] }
3909_swa
Moi alimpiku na kuipokea waraka wa Muhammad Ali Kuna tukio fulani la kimichezo na kisiasa lilotendeka miaka 40 iliyopita ambalo wengi hawalijui. Jambo hili ni lipi? Tukio hili la kihistoria ya kimataifa linawahusisha watu watatu maaruufu akiwemo Rais wetu alotuacha mwenda zake Daniel Arap Moi. Wengine wawili ni aliyekuwa Rais wa Tanzania Julius Nyerere na bingwa wa ndondi mtajika Muhammad Ali. Kwa sadfa watatu hawa leo ni marehemu. Katika mwaka huo wa 1980 Marekani ilitaka mataifa ya ulimwengu kususia michezo ya Olimpiki yaliyopangwa kufanyika Moscow, Urusi. Kigezo cha Marekani ni kuwa Urusi kuvamia nchi ya Afghanistan kinyume na sera za kimataifa. Aidha ilikuwa njia ya vikwazo dhidi ya dola hiyo shenzi ya Kisovieti. Kwa muktadha huo Rais wa Marekani wakati huo Jimmy Carter alijikuna kichwa na kupata jawabu ya kumtuma mjumbe aliyefaa kwa jukumu hili ili awashawishi viongozi wasusie michezo hiyo. Carter alimchagua gwiji wa ndondi alobobea na mwenye tajriba na si mwengine bali ni Muhammad "The Greatest Ali. Katika mpangilio wa safari yake Ali katika mwezi wa pili wa Februari alipangiwa kukutana na viongozi wa mataifa mbalimbali zikiwemo Kenya na Tanzania. Hata hivyo, Rais Julius Kambarage Nyerere alikataa kukutana na Ali akidai kuwa ni jambo la fedheha kwa Rais mzima kama yeye kutumiwa bondia! Hawa wamarekani hawana adabu kabisa! Mimi Rais kiongozi wa nchi itakuwaje wanitumie bondia akutane nami?" Alishangaa Nyerere. Kwa upande wake Moi hakuwa na kiburi cha Nyerere bali alimkaribisha Ali kwa heshima na taadhima zote za mjumbe wa Marekani yaani Ali sambamba na itikafi zote za mgeni mashuhuri. Kwa hatua hii twasema kuwa Moi alimpiku ama alimshinda Nyerere kisiasa, kiutu, kistaarabu, kidini, kimila na kijamii. Hii ni kwa sababu Ali aliwakilisha Marekani na si yeye binafsi. Nyerere alionyesha unafiki wa kiongozi ambaye amepigia debe siasa zake za usawa wa wanadamu kupitia kwa kauli yake ya ujamaa kumbe ni unafiki mtupu! Kwa kukataa kukutana na Ali, Nyerere alidhihiri kuwa kiongozi mwenye kiburi na dharau huku akijiona bora kuliko wengine. Hakuelewa kuwa sababu ya kumtuma Ali ilikuwa na maana fulani. Madhumuni ya ziara hiyo ilihusu michezo yaani kususia michezo ya Olimpiki.
Raisi wa Marekani wakati huo aliitwa nani
{ "text": [ "Jimmy Carter" ] }
3909_swa
Moi alimpiku na kuipokea waraka wa Muhammad Ali Kuna tukio fulani la kimichezo na kisiasa lilotendeka miaka 40 iliyopita ambalo wengi hawalijui. Jambo hili ni lipi? Tukio hili la kihistoria ya kimataifa linawahusisha watu watatu maaruufu akiwemo Rais wetu alotuacha mwenda zake Daniel Arap Moi. Wengine wawili ni aliyekuwa Rais wa Tanzania Julius Nyerere na bingwa wa ndondi mtajika Muhammad Ali. Kwa sadfa watatu hawa leo ni marehemu. Katika mwaka huo wa 1980 Marekani ilitaka mataifa ya ulimwengu kususia michezo ya Olimpiki yaliyopangwa kufanyika Moscow, Urusi. Kigezo cha Marekani ni kuwa Urusi kuvamia nchi ya Afghanistan kinyume na sera za kimataifa. Aidha ilikuwa njia ya vikwazo dhidi ya dola hiyo shenzi ya Kisovieti. Kwa muktadha huo Rais wa Marekani wakati huo Jimmy Carter alijikuna kichwa na kupata jawabu ya kumtuma mjumbe aliyefaa kwa jukumu hili ili awashawishi viongozi wasusie michezo hiyo. Carter alimchagua gwiji wa ndondi alobobea na mwenye tajriba na si mwengine bali ni Muhammad "The Greatest Ali. Katika mpangilio wa safari yake Ali katika mwezi wa pili wa Februari alipangiwa kukutana na viongozi wa mataifa mbalimbali zikiwemo Kenya na Tanzania. Hata hivyo, Rais Julius Kambarage Nyerere alikataa kukutana na Ali akidai kuwa ni jambo la fedheha kwa Rais mzima kama yeye kutumiwa bondia! Hawa wamarekani hawana adabu kabisa! Mimi Rais kiongozi wa nchi itakuwaje wanitumie bondia akutane nami?" Alishangaa Nyerere. Kwa upande wake Moi hakuwa na kiburi cha Nyerere bali alimkaribisha Ali kwa heshima na taadhima zote za mjumbe wa Marekani yaani Ali sambamba na itikafi zote za mgeni mashuhuri. Kwa hatua hii twasema kuwa Moi alimpiku ama alimshinda Nyerere kisiasa, kiutu, kistaarabu, kidini, kimila na kijamii. Hii ni kwa sababu Ali aliwakilisha Marekani na si yeye binafsi. Nyerere alionyesha unafiki wa kiongozi ambaye amepigia debe siasa zake za usawa wa wanadamu kupitia kwa kauli yake ya ujamaa kumbe ni unafiki mtupu! Kwa kukataa kukutana na Ali, Nyerere alidhihiri kuwa kiongozi mwenye kiburi na dharau huku akijiona bora kuliko wengine. Hakuelewa kuwa sababu ya kumtuma Ali ilikuwa na maana fulani. Madhumuni ya ziara hiyo ilihusu michezo yaani kususia michezo ya Olimpiki.
Carter alimchagua gwiji wa ndondi anaitwa nani
{ "text": [ "Muhammad" ] }
3909_swa
Moi alimpiku na kuipokea waraka wa Muhammad Ali Kuna tukio fulani la kimichezo na kisiasa lilotendeka miaka 40 iliyopita ambalo wengi hawalijui. Jambo hili ni lipi? Tukio hili la kihistoria ya kimataifa linawahusisha watu watatu maaruufu akiwemo Rais wetu alotuacha mwenda zake Daniel Arap Moi. Wengine wawili ni aliyekuwa Rais wa Tanzania Julius Nyerere na bingwa wa ndondi mtajika Muhammad Ali. Kwa sadfa watatu hawa leo ni marehemu. Katika mwaka huo wa 1980 Marekani ilitaka mataifa ya ulimwengu kususia michezo ya Olimpiki yaliyopangwa kufanyika Moscow, Urusi. Kigezo cha Marekani ni kuwa Urusi kuvamia nchi ya Afghanistan kinyume na sera za kimataifa. Aidha ilikuwa njia ya vikwazo dhidi ya dola hiyo shenzi ya Kisovieti. Kwa muktadha huo Rais wa Marekani wakati huo Jimmy Carter alijikuna kichwa na kupata jawabu ya kumtuma mjumbe aliyefaa kwa jukumu hili ili awashawishi viongozi wasusie michezo hiyo. Carter alimchagua gwiji wa ndondi alobobea na mwenye tajriba na si mwengine bali ni Muhammad "The Greatest Ali. Katika mpangilio wa safari yake Ali katika mwezi wa pili wa Februari alipangiwa kukutana na viongozi wa mataifa mbalimbali zikiwemo Kenya na Tanzania. Hata hivyo, Rais Julius Kambarage Nyerere alikataa kukutana na Ali akidai kuwa ni jambo la fedheha kwa Rais mzima kama yeye kutumiwa bondia! Hawa wamarekani hawana adabu kabisa! Mimi Rais kiongozi wa nchi itakuwaje wanitumie bondia akutane nami?" Alishangaa Nyerere. Kwa upande wake Moi hakuwa na kiburi cha Nyerere bali alimkaribisha Ali kwa heshima na taadhima zote za mjumbe wa Marekani yaani Ali sambamba na itikafi zote za mgeni mashuhuri. Kwa hatua hii twasema kuwa Moi alimpiku ama alimshinda Nyerere kisiasa, kiutu, kistaarabu, kidini, kimila na kijamii. Hii ni kwa sababu Ali aliwakilisha Marekani na si yeye binafsi. Nyerere alionyesha unafiki wa kiongozi ambaye amepigia debe siasa zake za usawa wa wanadamu kupitia kwa kauli yake ya ujamaa kumbe ni unafiki mtupu! Kwa kukataa kukutana na Ali, Nyerere alidhihiri kuwa kiongozi mwenye kiburi na dharau huku akijiona bora kuliko wengine. Hakuelewa kuwa sababu ya kumtuma Ali ilikuwa na maana fulani. Madhumuni ya ziara hiyo ilihusu michezo yaani kususia michezo ya Olimpiki.
Nani alipangiwa kukutana na viongozi wa Kenya na Tanzania
{ "text": [ "Ali" ] }
3909_swa
Moi alimpiku na kuipokea waraka wa Muhammad Ali Kuna tukio fulani la kimichezo na kisiasa lilotendeka miaka 40 iliyopita ambalo wengi hawalijui. Jambo hili ni lipi? Tukio hili la kihistoria ya kimataifa linawahusisha watu watatu maaruufu akiwemo Rais wetu alotuacha mwenda zake Daniel Arap Moi. Wengine wawili ni aliyekuwa Rais wa Tanzania Julius Nyerere na bingwa wa ndondi mtajika Muhammad Ali. Kwa sadfa watatu hawa leo ni marehemu. Katika mwaka huo wa 1980 Marekani ilitaka mataifa ya ulimwengu kususia michezo ya Olimpiki yaliyopangwa kufanyika Moscow, Urusi. Kigezo cha Marekani ni kuwa Urusi kuvamia nchi ya Afghanistan kinyume na sera za kimataifa. Aidha ilikuwa njia ya vikwazo dhidi ya dola hiyo shenzi ya Kisovieti. Kwa muktadha huo Rais wa Marekani wakati huo Jimmy Carter alijikuna kichwa na kupata jawabu ya kumtuma mjumbe aliyefaa kwa jukumu hili ili awashawishi viongozi wasusie michezo hiyo. Carter alimchagua gwiji wa ndondi alobobea na mwenye tajriba na si mwengine bali ni Muhammad "The Greatest Ali. Katika mpangilio wa safari yake Ali katika mwezi wa pili wa Februari alipangiwa kukutana na viongozi wa mataifa mbalimbali zikiwemo Kenya na Tanzania. Hata hivyo, Rais Julius Kambarage Nyerere alikataa kukutana na Ali akidai kuwa ni jambo la fedheha kwa Rais mzima kama yeye kutumiwa bondia! Hawa wamarekani hawana adabu kabisa! Mimi Rais kiongozi wa nchi itakuwaje wanitumie bondia akutane nami?" Alishangaa Nyerere. Kwa upande wake Moi hakuwa na kiburi cha Nyerere bali alimkaribisha Ali kwa heshima na taadhima zote za mjumbe wa Marekani yaani Ali sambamba na itikafi zote za mgeni mashuhuri. Kwa hatua hii twasema kuwa Moi alimpiku ama alimshinda Nyerere kisiasa, kiutu, kistaarabu, kidini, kimila na kijamii. Hii ni kwa sababu Ali aliwakilisha Marekani na si yeye binafsi. Nyerere alionyesha unafiki wa kiongozi ambaye amepigia debe siasa zake za usawa wa wanadamu kupitia kwa kauli yake ya ujamaa kumbe ni unafiki mtupu! Kwa kukataa kukutana na Ali, Nyerere alidhihiri kuwa kiongozi mwenye kiburi na dharau huku akijiona bora kuliko wengine. Hakuelewa kuwa sababu ya kumtuma Ali ilikuwa na maana fulani. Madhumuni ya ziara hiyo ilihusu michezo yaani kususia michezo ya Olimpiki.
Nani alikataa kukutana na Ali akidai ni jambo la fedheha
{ "text": [ "Julius Kambarage" ] }
3910_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA Ilikuwa ni siku ya Jumamosi Alfajiri na mapema. Nilikuwa nimeenda kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Kulikuwa na baridi shadidi. Jamaa zangu walikuwa wakiota moto kwa sababu kulikuwa na baridi kama barafu. Humo mashambani kulikuwa msimu wa mvua na baridi. Jamaa zangu walinikaribisha vizuri. Jamaa zangu walikuwa wazima kama ing’ong’o· Walikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno. Jamaa zangu walikuwa wamependa mboga za aina nyingi. Jamaa zangu walinieleza kuwa watanipeleka itazame maboga ambazo walikuwa wamepanda. Walinipeleka mahali ambapo maboga hayo yalikuwa yamepandwa. Maboga hayo yalikuwa yamenawiri. Walikuwa wamepanda pia matunda na miti ya kiasili. Matunda ya kwanza ambayo nilionyeshwa ilikuwa ndizi. Niliambiwa kuwa ndizi inaweza kuliwa ikiwa rangi ya manjano au rangi ya kijani. Nilielezewa kuwa ndizi ikiwa rangi ya manjano huwa imeiva na ikiwa rangi ya kijani huwa ni bichi. Jamaa zangu waliendelea kunionyesha matunda kama vile parachichi, chungwa na hata tikiti maji. Waliweza pia Kunionyesha mboga kama vile sukuma wiki. Waliniambia kuwa wako na wanyama ambao huwasaidia kulima mashambani. Walinionyesha mahali ambapo pamepandwa mahindi. Mahindi hayo yalikuwa yamenawiri sana. Nilionyeshwa pia tinga tinga ambazo hulima mashamba yao. Walinieleza kuwa hawataweza kunionyesha kila kitu maadum. Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Mwandishi alienda kuwatembelea nani
{ "text": [ "jamaa zake" ] }
3910_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA Ilikuwa ni siku ya Jumamosi Alfajiri na mapema. Nilikuwa nimeenda kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Kulikuwa na baridi shadidi. Jamaa zangu walikuwa wakiota moto kwa sababu kulikuwa na baridi kama barafu. Humo mashambani kulikuwa msimu wa mvua na baridi. Jamaa zangu walinikaribisha vizuri. Jamaa zangu walikuwa wazima kama ing’ong’o· Walikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno. Jamaa zangu walikuwa wamependa mboga za aina nyingi. Jamaa zangu walinieleza kuwa watanipeleka itazame maboga ambazo walikuwa wamepanda. Walinipeleka mahali ambapo maboga hayo yalikuwa yamepandwa. Maboga hayo yalikuwa yamenawiri. Walikuwa wamepanda pia matunda na miti ya kiasili. Matunda ya kwanza ambayo nilionyeshwa ilikuwa ndizi. Niliambiwa kuwa ndizi inaweza kuliwa ikiwa rangi ya manjano au rangi ya kijani. Nilielezewa kuwa ndizi ikiwa rangi ya manjano huwa imeiva na ikiwa rangi ya kijani huwa ni bichi. Jamaa zangu waliendelea kunionyesha matunda kama vile parachichi, chungwa na hata tikiti maji. Waliweza pia Kunionyesha mboga kama vile sukuma wiki. Waliniambia kuwa wako na wanyama ambao huwasaidia kulima mashambani. Walinionyesha mahali ambapo pamepandwa mahindi. Mahindi hayo yalikuwa yamenawiri sana. Nilionyeshwa pia tinga tinga ambazo hulima mashamba yao. Walinieleza kuwa hawataweza kunionyesha kila kitu maadum. Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Jamaa zake walikua wazima kama nini
{ "text": [ "king'ongo" ] }
3910_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA Ilikuwa ni siku ya Jumamosi Alfajiri na mapema. Nilikuwa nimeenda kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Kulikuwa na baridi shadidi. Jamaa zangu walikuwa wakiota moto kwa sababu kulikuwa na baridi kama barafu. Humo mashambani kulikuwa msimu wa mvua na baridi. Jamaa zangu walinikaribisha vizuri. Jamaa zangu walikuwa wazima kama ing’ong’o· Walikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno. Jamaa zangu walikuwa wamependa mboga za aina nyingi. Jamaa zangu walinieleza kuwa watanipeleka itazame maboga ambazo walikuwa wamepanda. Walinipeleka mahali ambapo maboga hayo yalikuwa yamepandwa. Maboga hayo yalikuwa yamenawiri. Walikuwa wamepanda pia matunda na miti ya kiasili. Matunda ya kwanza ambayo nilionyeshwa ilikuwa ndizi. Niliambiwa kuwa ndizi inaweza kuliwa ikiwa rangi ya manjano au rangi ya kijani. Nilielezewa kuwa ndizi ikiwa rangi ya manjano huwa imeiva na ikiwa rangi ya kijani huwa ni bichi. Jamaa zangu waliendelea kunionyesha matunda kama vile parachichi, chungwa na hata tikiti maji. Waliweza pia Kunionyesha mboga kama vile sukuma wiki. Waliniambia kuwa wako na wanyama ambao huwasaidia kulima mashambani. Walinionyesha mahali ambapo pamepandwa mahindi. Mahindi hayo yalikuwa yamenawiri sana. Nilionyeshwa pia tinga tinga ambazo hulima mashamba yao. Walinieleza kuwa hawataweza kunionyesha kila kitu maadum. Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Ni matunda gani alionyeshwa kwanza
{ "text": [ "ndizi" ] }
3910_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA Ilikuwa ni siku ya Jumamosi Alfajiri na mapema. Nilikuwa nimeenda kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Kulikuwa na baridi shadidi. Jamaa zangu walikuwa wakiota moto kwa sababu kulikuwa na baridi kama barafu. Humo mashambani kulikuwa msimu wa mvua na baridi. Jamaa zangu walinikaribisha vizuri. Jamaa zangu walikuwa wazima kama ing’ong’o· Walikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno. Jamaa zangu walikuwa wamependa mboga za aina nyingi. Jamaa zangu walinieleza kuwa watanipeleka itazame maboga ambazo walikuwa wamepanda. Walinipeleka mahali ambapo maboga hayo yalikuwa yamepandwa. Maboga hayo yalikuwa yamenawiri. Walikuwa wamepanda pia matunda na miti ya kiasili. Matunda ya kwanza ambayo nilionyeshwa ilikuwa ndizi. Niliambiwa kuwa ndizi inaweza kuliwa ikiwa rangi ya manjano au rangi ya kijani. Nilielezewa kuwa ndizi ikiwa rangi ya manjano huwa imeiva na ikiwa rangi ya kijani huwa ni bichi. Jamaa zangu waliendelea kunionyesha matunda kama vile parachichi, chungwa na hata tikiti maji. Waliweza pia Kunionyesha mboga kama vile sukuma wiki. Waliniambia kuwa wako na wanyama ambao huwasaidia kulima mashambani. Walinionyesha mahali ambapo pamepandwa mahindi. Mahindi hayo yalikuwa yamenawiri sana. Nilionyeshwa pia tinga tinga ambazo hulima mashamba yao. Walinieleza kuwa hawataweza kunionyesha kila kitu maadum. Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Mwandishi alienda kuwatembelea jamaa zake lini
{ "text": [ "Jumamosi" ] }
3910_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA Ilikuwa ni siku ya Jumamosi Alfajiri na mapema. Nilikuwa nimeenda kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Kulikuwa na baridi shadidi. Jamaa zangu walikuwa wakiota moto kwa sababu kulikuwa na baridi kama barafu. Humo mashambani kulikuwa msimu wa mvua na baridi. Jamaa zangu walinikaribisha vizuri. Jamaa zangu walikuwa wazima kama ing’ong’o· Walikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno. Jamaa zangu walikuwa wamependa mboga za aina nyingi. Jamaa zangu walinieleza kuwa watanipeleka itazame maboga ambazo walikuwa wamepanda. Walinipeleka mahali ambapo maboga hayo yalikuwa yamepandwa. Maboga hayo yalikuwa yamenawiri. Walikuwa wamepanda pia matunda na miti ya kiasili. Matunda ya kwanza ambayo nilionyeshwa ilikuwa ndizi. Niliambiwa kuwa ndizi inaweza kuliwa ikiwa rangi ya manjano au rangi ya kijani. Nilielezewa kuwa ndizi ikiwa rangi ya manjano huwa imeiva na ikiwa rangi ya kijani huwa ni bichi. Jamaa zangu waliendelea kunionyesha matunda kama vile parachichi, chungwa na hata tikiti maji. Waliweza pia Kunionyesha mboga kama vile sukuma wiki. Waliniambia kuwa wako na wanyama ambao huwasaidia kulima mashambani. Walinionyesha mahali ambapo pamepandwa mahindi. Mahindi hayo yalikuwa yamenawiri sana. Nilionyeshwa pia tinga tinga ambazo hulima mashamba yao. Walinieleza kuwa hawataweza kunionyesha kila kitu maadum. Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Mbona jamaa zake walikua wakiota moto
{ "text": [ "hii ni kwa sababu kulikua na baridi" ] }
3912_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA "Amka amka tunachelewa kwenda,” mama alisema huku akiwa na wasiwasi. Niliamka huku nikiwa nimechanganikiwa halafu kama tarakilishi nikaanza kukumbuka tulikuwa tunaenda na nina yangu kwa bibi. Niliingia kwenye sanduku na kutoa nguo huku nikijipima sitosheki nazo kwa kuwa nilikuwa nataka kulivaa nguo zilizotokea. Nina yangu alikuwa amekasirika, na mimi huku akiniambia niharakishe kwa kuwa tutachelewa kufika. Nilivaa haraka na dada zangu waliponiona walikuwa wanataka hata hao wabadilishe mavazi yao. Nilichukua kiamsha kinywa, kwa upesi na tukaanza safari. Tulipanda gari ambalo lililokuwa na mdundo na hata ungefikiria uko kwenye disko na kuanza safari. Mama yangu alilala kwenye gari na wakati tulipofika aliamshwa na dereva. Alitua gari polepole kama kobe huku akilalamika kuwa aliumwa na kichwa. Tulipoenda kupanda pikipiki alipata kama hana hata peni kwa kuwa wakati aliitowa kwenye mfuko yake. Tulianza safari kwa gari yenye miguu miwili hadi tulipofika pahali mawe inachimbuliwa. Tulipata lori ambalo lilikuwa linataka kuenda na tuka waomba watufikishe shamba kubwa. Waliuitikia wito wetu na kutufikisha hapo papo. Tulitembea hadi wakati tulipoona lango kuu la bibi. Tulikimbia huku tukiwa tunakaa wenye walikuwa wanachimba mawe Kwa umbali tuliona bibi na kumkimbilia. Alituuliza, “ako wapi nina wenu?” Kwenda kumwangalia tulimpata akiwa amekaa chini akiwa Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
nani alimwita mwandishi akiwa na wasiwasi
{ "text": [ "mamake" ] }
3912_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA "Amka amka tunachelewa kwenda,” mama alisema huku akiwa na wasiwasi. Niliamka huku nikiwa nimechanganikiwa halafu kama tarakilishi nikaanza kukumbuka tulikuwa tunaenda na nina yangu kwa bibi. Niliingia kwenye sanduku na kutoa nguo huku nikijipima sitosheki nazo kwa kuwa nilikuwa nataka kulivaa nguo zilizotokea. Nina yangu alikuwa amekasirika, na mimi huku akiniambia niharakishe kwa kuwa tutachelewa kufika. Nilivaa haraka na dada zangu waliponiona walikuwa wanataka hata hao wabadilishe mavazi yao. Nilichukua kiamsha kinywa, kwa upesi na tukaanza safari. Tulipanda gari ambalo lililokuwa na mdundo na hata ungefikiria uko kwenye disko na kuanza safari. Mama yangu alilala kwenye gari na wakati tulipofika aliamshwa na dereva. Alitua gari polepole kama kobe huku akilalamika kuwa aliumwa na kichwa. Tulipoenda kupanda pikipiki alipata kama hana hata peni kwa kuwa wakati aliitowa kwenye mfuko yake. Tulianza safari kwa gari yenye miguu miwili hadi tulipofika pahali mawe inachimbuliwa. Tulipata lori ambalo lilikuwa linataka kuenda na tuka waomba watufikishe shamba kubwa. Waliuitikia wito wetu na kutufikisha hapo papo. Tulitembea hadi wakati tulipoona lango kuu la bibi. Tulikimbia huku tukiwa tunakaa wenye walikuwa wanachimba mawe Kwa umbali tuliona bibi na kumkimbilia. Alituuliza, “ako wapi nina wenu?” Kwenda kumwangalia tulimpata akiwa amekaa chini akiwa Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Mwandishi na mamake walikua wanaenda kwa nani
{ "text": [ "bibi" ] }
3912_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA "Amka amka tunachelewa kwenda,” mama alisema huku akiwa na wasiwasi. Niliamka huku nikiwa nimechanganikiwa halafu kama tarakilishi nikaanza kukumbuka tulikuwa tunaenda na nina yangu kwa bibi. Niliingia kwenye sanduku na kutoa nguo huku nikijipima sitosheki nazo kwa kuwa nilikuwa nataka kulivaa nguo zilizotokea. Nina yangu alikuwa amekasirika, na mimi huku akiniambia niharakishe kwa kuwa tutachelewa kufika. Nilivaa haraka na dada zangu waliponiona walikuwa wanataka hata hao wabadilishe mavazi yao. Nilichukua kiamsha kinywa, kwa upesi na tukaanza safari. Tulipanda gari ambalo lililokuwa na mdundo na hata ungefikiria uko kwenye disko na kuanza safari. Mama yangu alilala kwenye gari na wakati tulipofika aliamshwa na dereva. Alitua gari polepole kama kobe huku akilalamika kuwa aliumwa na kichwa. Tulipoenda kupanda pikipiki alipata kama hana hata peni kwa kuwa wakati aliitowa kwenye mfuko yake. Tulianza safari kwa gari yenye miguu miwili hadi tulipofika pahali mawe inachimbuliwa. Tulipata lori ambalo lilikuwa linataka kuenda na tuka waomba watufikishe shamba kubwa. Waliuitikia wito wetu na kutufikisha hapo papo. Tulitembea hadi wakati tulipoona lango kuu la bibi. Tulikimbia huku tukiwa tunakaa wenye walikuwa wanachimba mawe Kwa umbali tuliona bibi na kumkimbilia. Alituuliza, “ako wapi nina wenu?” Kwenda kumwangalia tulimpata akiwa amekaa chini akiwa Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Nyanya alikua amewaandalia nini
{ "text": [ "Pure na Viazi" ] }
3912_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA "Amka amka tunachelewa kwenda,” mama alisema huku akiwa na wasiwasi. Niliamka huku nikiwa nimechanganikiwa halafu kama tarakilishi nikaanza kukumbuka tulikuwa tunaenda na nina yangu kwa bibi. Niliingia kwenye sanduku na kutoa nguo huku nikijipima sitosheki nazo kwa kuwa nilikuwa nataka kulivaa nguo zilizotokea. Nina yangu alikuwa amekasirika, na mimi huku akiniambia niharakishe kwa kuwa tutachelewa kufika. Nilivaa haraka na dada zangu waliponiona walikuwa wanataka hata hao wabadilishe mavazi yao. Nilichukua kiamsha kinywa, kwa upesi na tukaanza safari. Tulipanda gari ambalo lililokuwa na mdundo na hata ungefikiria uko kwenye disko na kuanza safari. Mama yangu alilala kwenye gari na wakati tulipofika aliamshwa na dereva. Alitua gari polepole kama kobe huku akilalamika kuwa aliumwa na kichwa. Tulipoenda kupanda pikipiki alipata kama hana hata peni kwa kuwa wakati aliitowa kwenye mfuko yake. Tulianza safari kwa gari yenye miguu miwili hadi tulipofika pahali mawe inachimbuliwa. Tulipata lori ambalo lilikuwa linataka kuenda na tuka waomba watufikishe shamba kubwa. Waliuitikia wito wetu na kutufikisha hapo papo. Tulitembea hadi wakati tulipoona lango kuu la bibi. Tulikimbia huku tukiwa tunakaa wenye walikuwa wanachimba mawe Kwa umbali tuliona bibi na kumkimbilia. Alituuliza, “ako wapi nina wenu?” Kwenda kumwangalia tulimpata akiwa amekaa chini akiwa Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Binamu waliwakujia lini
{ "text": [ "siku ifuatayo" ] }
3912_swa
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA "Amka amka tunachelewa kwenda,” mama alisema huku akiwa na wasiwasi. Niliamka huku nikiwa nimechanganikiwa halafu kama tarakilishi nikaanza kukumbuka tulikuwa tunaenda na nina yangu kwa bibi. Niliingia kwenye sanduku na kutoa nguo huku nikijipima sitosheki nazo kwa kuwa nilikuwa nataka kulivaa nguo zilizotokea. Nina yangu alikuwa amekasirika, na mimi huku akiniambia niharakishe kwa kuwa tutachelewa kufika. Nilivaa haraka na dada zangu waliponiona walikuwa wanataka hata hao wabadilishe mavazi yao. Nilichukua kiamsha kinywa, kwa upesi na tukaanza safari. Tulipanda gari ambalo lililokuwa na mdundo na hata ungefikiria uko kwenye disko na kuanza safari. Mama yangu alilala kwenye gari na wakati tulipofika aliamshwa na dereva. Alitua gari polepole kama kobe huku akilalamika kuwa aliumwa na kichwa. Tulipoenda kupanda pikipiki alipata kama hana hata peni kwa kuwa wakati aliitowa kwenye mfuko yake. Tulianza safari kwa gari yenye miguu miwili hadi tulipofika pahali mawe inachimbuliwa. Tulipata lori ambalo lilikuwa linataka kuenda na tuka waomba watufikishe shamba kubwa. Waliuitikia wito wetu na kutufikisha hapo papo. Tulitembea hadi wakati tulipoona lango kuu la bibi. Tulikimbia huku tukiwa tunakaa wenye walikuwa wanachimba mawe Kwa umbali tuliona bibi na kumkimbilia. Alituuliza, “ako wapi nina wenu?” Kwenda kumwangalia tulimpata akiwa amekaa chini akiwa Walinieleza kuwa nikitaka kuwa mkulima ninapaswa kutia bidii sana kwa masomo yangu ya Kidato cha pili. Tulipofika katikati ya shamba walinionyesha mti wa papai. Walinichunia papai mmoja na kunionjesha. Papai hiyo ilikuwa tamu. Tulirudi kwenye makao na kula chamcha. Nilikula na kushiba. Jamaa zangu walinitia laheri maadum nilipaswa kupumzika. Hiyo ndiyo siku ya likizo.
Mbona mtu angefikiri ako kwenye disko
{ "text": [ "gari walilopanda lilikua na mdundo mkubwa" ] }
3913_swa
Nilidamka asubuhi na mapema kujitayarisha ili niende kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilijitayarisha kwa upesi na kuchukua vilago vyangu. Nilipofika kwenye kituo cha gari, nilingoja gari ambayo itanipeleka kwa muda wa dakika ishirini. Gari ilipofika niliingia kiti cha nyuma karibu na dirisha huku abiria wengine wakikalia viti vingine. Adinasi walikuwa wengi barabarani. Nilipofika tauni ja Ndaragwa nilishuka na kuingia katika duka kubwa. Niliwanunulia vitu vya nui tofauti tofauti kama maziwa, mkate, unga na zingine nyingi. Nilichukuwa pikipiki yakunifikisha mtaani walikokuwa. Nilifika salama salmini. Waliponiona walipigwa na butwaa huku wengi ni furaha. Walinikaribisha kwa upendo. Walisimulia kuwa maisha ya uko ni kung’ang’ana. Adinasi wengi wamekosa kazi na hiyo inachangia sana wanafunzi wengi kutokuwa shuleni kwa ukosefu wa karo. Punde si punde tuliyaskia mayowe. Tulishangaa sana. Papo hapo shangazi akatuambia kuwa huku watu wanauliwa kiunyama na binadamu wenzao. Tuliamurishwa kuwa tunakoka huku. Tulienda kwa nyanya yangu huko chini tuliteremka haraka haraka. Tulipofika kwa nyanya yangu alisema karibuni watoto wangu huku roho yangu ikiwa mkononi. Nyanya yangu alikuwa ameandaa vyakula vya nui totauti. Tulikula vyakula tukasahau. hadi kwa nyumba. Nyanya alikuwa ametuandalia pure na viazi. Tulifurahia na papo hapo mama akarudi nyumbani. Siku ifuatayo tulikujiwa na binamu zetu twende tukacheze. Nilikataa na kumwambia kwamba tufanye kazi ili twende. Tulifanya kazi yake na pia kuandaa chakula cha mchana na kwenda mtoni. Maria, binamu yule mkubwa alitaka twende tukaibe maembe yaliyokuwa upande mwingine wa mto. Tukaanza kujibizana hadi wakati alishinda na ikabidi tuende. Tuliingia katika shamba la mzee tumaini na kuiba matunda. Alipotuona alitukimbisha na kwa kuwa mimi sikujuwa kukimbia nilishikwa na kupelekwa kwa nyanya yangu aliniweka dondi hadi nikaanza kulia. Alafu kuita kila mtu na kutucharaza sisi wote. Niliapa kuwa nitaomba kitu kabla ya kuiba. Niliomba msamaha na kuapa kwa Mzee Tumaini na kwa bibi kwamba sitawahi rudia makosa yale.
Nilidamka saa ngapi
{ "text": [ "Asubuhi na mapema" ] }
3913_swa
Nilidamka asubuhi na mapema kujitayarisha ili niende kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilijitayarisha kwa upesi na kuchukua vilago vyangu. Nilipofika kwenye kituo cha gari, nilingoja gari ambayo itanipeleka kwa muda wa dakika ishirini. Gari ilipofika niliingia kiti cha nyuma karibu na dirisha huku abiria wengine wakikalia viti vingine. Adinasi walikuwa wengi barabarani. Nilipofika tauni ja Ndaragwa nilishuka na kuingia katika duka kubwa. Niliwanunulia vitu vya nui tofauti tofauti kama maziwa, mkate, unga na zingine nyingi. Nilichukuwa pikipiki yakunifikisha mtaani walikokuwa. Nilifika salama salmini. Waliponiona walipigwa na butwaa huku wengi ni furaha. Walinikaribisha kwa upendo. Walisimulia kuwa maisha ya uko ni kung’ang’ana. Adinasi wengi wamekosa kazi na hiyo inachangia sana wanafunzi wengi kutokuwa shuleni kwa ukosefu wa karo. Punde si punde tuliyaskia mayowe. Tulishangaa sana. Papo hapo shangazi akatuambia kuwa huku watu wanauliwa kiunyama na binadamu wenzao. Tuliamurishwa kuwa tunakoka huku. Tulienda kwa nyanya yangu huko chini tuliteremka haraka haraka. Tulipofika kwa nyanya yangu alisema karibuni watoto wangu huku roho yangu ikiwa mkononi. Nyanya yangu alikuwa ameandaa vyakula vya nui totauti. Tulikula vyakula tukasahau. hadi kwa nyumba. Nyanya alikuwa ametuandalia pure na viazi. Tulifurahia na papo hapo mama akarudi nyumbani. Siku ifuatayo tulikujiwa na binamu zetu twende tukacheze. Nilikataa na kumwambia kwamba tufanye kazi ili twende. Tulifanya kazi yake na pia kuandaa chakula cha mchana na kwenda mtoni. Maria, binamu yule mkubwa alitaka twende tukaibe maembe yaliyokuwa upande mwingine wa mto. Tukaanza kujibizana hadi wakati alishinda na ikabidi tuende. Tuliingia katika shamba la mzee tumaini na kuiba matunda. Alipotuona alitukimbisha na kwa kuwa mimi sikujuwa kukimbia nilishikwa na kupelekwa kwa nyanya yangu aliniweka dondi hadi nikaanza kulia. Alafu kuita kila mtu na kutucharaza sisi wote. Niliapa kuwa nitaomba kitu kabla ya kuiba. Niliomba msamaha na kuapa kwa Mzee Tumaini na kwa bibi kwamba sitawahi rudia makosa yale.
Nilipofika kwenye kituo cha gari nilingoja nini
{ "text": [ "Gari" ] }
3913_swa
Nilidamka asubuhi na mapema kujitayarisha ili niende kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilijitayarisha kwa upesi na kuchukua vilago vyangu. Nilipofika kwenye kituo cha gari, nilingoja gari ambayo itanipeleka kwa muda wa dakika ishirini. Gari ilipofika niliingia kiti cha nyuma karibu na dirisha huku abiria wengine wakikalia viti vingine. Adinasi walikuwa wengi barabarani. Nilipofika tauni ja Ndaragwa nilishuka na kuingia katika duka kubwa. Niliwanunulia vitu vya nui tofauti tofauti kama maziwa, mkate, unga na zingine nyingi. Nilichukuwa pikipiki yakunifikisha mtaani walikokuwa. Nilifika salama salmini. Waliponiona walipigwa na butwaa huku wengi ni furaha. Walinikaribisha kwa upendo. Walisimulia kuwa maisha ya uko ni kung’ang’ana. Adinasi wengi wamekosa kazi na hiyo inachangia sana wanafunzi wengi kutokuwa shuleni kwa ukosefu wa karo. Punde si punde tuliyaskia mayowe. Tulishangaa sana. Papo hapo shangazi akatuambia kuwa huku watu wanauliwa kiunyama na binadamu wenzao. Tuliamurishwa kuwa tunakoka huku. Tulienda kwa nyanya yangu huko chini tuliteremka haraka haraka. Tulipofika kwa nyanya yangu alisema karibuni watoto wangu huku roho yangu ikiwa mkononi. Nyanya yangu alikuwa ameandaa vyakula vya nui totauti. Tulikula vyakula tukasahau. hadi kwa nyumba. Nyanya alikuwa ametuandalia pure na viazi. Tulifurahia na papo hapo mama akarudi nyumbani. Siku ifuatayo tulikujiwa na binamu zetu twende tukacheze. Nilikataa na kumwambia kwamba tufanye kazi ili twende. Tulifanya kazi yake na pia kuandaa chakula cha mchana na kwenda mtoni. Maria, binamu yule mkubwa alitaka twende tukaibe maembe yaliyokuwa upande mwingine wa mto. Tukaanza kujibizana hadi wakati alishinda na ikabidi tuende. Tuliingia katika shamba la mzee tumaini na kuiba matunda. Alipotuona alitukimbisha na kwa kuwa mimi sikujuwa kukimbia nilishikwa na kupelekwa kwa nyanya yangu aliniweka dondi hadi nikaanza kulia. Alafu kuita kila mtu na kutucharaza sisi wote. Niliapa kuwa nitaomba kitu kabla ya kuiba. Niliomba msamaha na kuapa kwa Mzee Tumaini na kwa bibi kwamba sitawahi rudia makosa yale.
Nani alikuwa ameandaa vyakula vya nui tofauti
{ "text": [ "Nyanya yangu" ] }
3913_swa
Nilidamka asubuhi na mapema kujitayarisha ili niende kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilijitayarisha kwa upesi na kuchukua vilago vyangu. Nilipofika kwenye kituo cha gari, nilingoja gari ambayo itanipeleka kwa muda wa dakika ishirini. Gari ilipofika niliingia kiti cha nyuma karibu na dirisha huku abiria wengine wakikalia viti vingine. Adinasi walikuwa wengi barabarani. Nilipofika tauni ja Ndaragwa nilishuka na kuingia katika duka kubwa. Niliwanunulia vitu vya nui tofauti tofauti kama maziwa, mkate, unga na zingine nyingi. Nilichukuwa pikipiki yakunifikisha mtaani walikokuwa. Nilifika salama salmini. Waliponiona walipigwa na butwaa huku wengi ni furaha. Walinikaribisha kwa upendo. Walisimulia kuwa maisha ya uko ni kung’ang’ana. Adinasi wengi wamekosa kazi na hiyo inachangia sana wanafunzi wengi kutokuwa shuleni kwa ukosefu wa karo. Punde si punde tuliyaskia mayowe. Tulishangaa sana. Papo hapo shangazi akatuambia kuwa huku watu wanauliwa kiunyama na binadamu wenzao. Tuliamurishwa kuwa tunakoka huku. Tulienda kwa nyanya yangu huko chini tuliteremka haraka haraka. Tulipofika kwa nyanya yangu alisema karibuni watoto wangu huku roho yangu ikiwa mkononi. Nyanya yangu alikuwa ameandaa vyakula vya nui totauti. Tulikula vyakula tukasahau. hadi kwa nyumba. Nyanya alikuwa ametuandalia pure na viazi. Tulifurahia na papo hapo mama akarudi nyumbani. Siku ifuatayo tulikujiwa na binamu zetu twende tukacheze. Nilikataa na kumwambia kwamba tufanye kazi ili twende. Tulifanya kazi yake na pia kuandaa chakula cha mchana na kwenda mtoni. Maria, binamu yule mkubwa alitaka twende tukaibe maembe yaliyokuwa upande mwingine wa mto. Tukaanza kujibizana hadi wakati alishinda na ikabidi tuende. Tuliingia katika shamba la mzee tumaini na kuiba matunda. Alipotuona alitukimbisha na kwa kuwa mimi sikujuwa kukimbia nilishikwa na kupelekwa kwa nyanya yangu aliniweka dondi hadi nikaanza kulia. Alafu kuita kila mtu na kutucharaza sisi wote. Niliapa kuwa nitaomba kitu kabla ya kuiba. Niliomba msamaha na kuapa kwa Mzee Tumaini na kwa bibi kwamba sitawahi rudia makosa yale.
Tulipelekwa wapi kuonyeshwa vyakula ambavyo nyanya hulima
{ "text": [ "Shambani" ] }
3913_swa
Nilidamka asubuhi na mapema kujitayarisha ili niende kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilijitayarisha kwa upesi na kuchukua vilago vyangu. Nilipofika kwenye kituo cha gari, nilingoja gari ambayo itanipeleka kwa muda wa dakika ishirini. Gari ilipofika niliingia kiti cha nyuma karibu na dirisha huku abiria wengine wakikalia viti vingine. Adinasi walikuwa wengi barabarani. Nilipofika tauni ja Ndaragwa nilishuka na kuingia katika duka kubwa. Niliwanunulia vitu vya nui tofauti tofauti kama maziwa, mkate, unga na zingine nyingi. Nilichukuwa pikipiki yakunifikisha mtaani walikokuwa. Nilifika salama salmini. Waliponiona walipigwa na butwaa huku wengi ni furaha. Walinikaribisha kwa upendo. Walisimulia kuwa maisha ya uko ni kung’ang’ana. Adinasi wengi wamekosa kazi na hiyo inachangia sana wanafunzi wengi kutokuwa shuleni kwa ukosefu wa karo. Punde si punde tuliyaskia mayowe. Tulishangaa sana. Papo hapo shangazi akatuambia kuwa huku watu wanauliwa kiunyama na binadamu wenzao. Tuliamurishwa kuwa tunakoka huku. Tulienda kwa nyanya yangu huko chini tuliteremka haraka haraka. Tulipofika kwa nyanya yangu alisema karibuni watoto wangu huku roho yangu ikiwa mkononi. Nyanya yangu alikuwa ameandaa vyakula vya nui totauti. Tulikula vyakula tukasahau. hadi kwa nyumba. Nyanya alikuwa ametuandalia pure na viazi. Tulifurahia na papo hapo mama akarudi nyumbani. Siku ifuatayo tulikujiwa na binamu zetu twende tukacheze. Nilikataa na kumwambia kwamba tufanye kazi ili twende. Tulifanya kazi yake na pia kuandaa chakula cha mchana na kwenda mtoni. Maria, binamu yule mkubwa alitaka twende tukaibe maembe yaliyokuwa upande mwingine wa mto. Tukaanza kujibizana hadi wakati alishinda na ikabidi tuende. Tuliingia katika shamba la mzee tumaini na kuiba matunda. Alipotuona alitukimbisha na kwa kuwa mimi sikujuwa kukimbia nilishikwa na kupelekwa kwa nyanya yangu aliniweka dondi hadi nikaanza kulia. Alafu kuita kila mtu na kutucharaza sisi wote. Niliapa kuwa nitaomba kitu kabla ya kuiba. Niliomba msamaha na kuapa kwa Mzee Tumaini na kwa bibi kwamba sitawahi rudia makosa yale.
Kwa nini nilidamka asubuhi na mapema
{ "text": [ "Ili niende kuwatembelea jamaa zangu mashambani" ] }
3915_swa
LIKIZO MASHAMBANI Nilipata maisha ya mashambani ni tofauti na yale ya huko mijini. Watu wa mashambani uamkia kuenda mashambani kulima. Nilipenda kuenda kulima na kuchunga mifugo za Babu yangu. Tabia za watu wa mashambani zilinipendeza kwa kuwa vile wakona heshima si kama watu wa mijini. Maisha ya huko ilikuwa inanipendeza kwa vile ilimfunza kujitolea na kuniwezesha kulifunza kufanya kazi ngumu ngumu. Wakati wa jioni wakati kunapikwa chakula cha jioni tulikuwa tunaanda kwa babu ili atusimulie vile walivyopigana wakati wa vita vya pili vya dunia. Wakati wa asubuhi nilikuwa nikipatana na watoto wakienda mashambani kuwasaidia mama zao kulima. Ilinifunza ni vizuri kusaidiana. Kitu kilicho nishangaza ni vile wakati wa jioni kuna mvua na wakati wa mchana kuna jua. Pia watoto wa huko walikuwa wakisaidiana kwa kila jambo. Pia watoto wa huko, vijana, walikuwa na kazi zao na pia wasichana walikuwa na kazi zao. Kitu kilicho nishangaza, huwezi patana na mtu wakati wa asubuhi asubuhi kwa kuwa kila mtu wako shambani na watoto wako majumbani wakifanya kazi walizo achiwa na wazazi wao. Watu wa huko walikuwa wa kiendea maji mbali sana. Nilijifunza kwa pesa mtu hupata kwa kumwaga jasho. Maisha ya mashambani ni mazuri kuliko ya mjini kwa vile watu wa huko hushirikiana kwa kila jambo. Mashambani hakuna shida ya chakula kwa kuwa kila kitu wamepanda kwa mashamba zao. Nilikuwa nikienda kuwanda sungura na marafiki zangu na kuelekea nyumbani na nilijifunza kuwa umoja ni nguvu. Tulikuwa tunaenda na marafiki zangu kucheza mpira .Tulipelekwa kwa shamba kuonyeshwa vyakula ambavyo nyanya hulima. Nilipoona nilitamani sana kuwa mkulima. Nilipendezwa na jambo ambalo nyanya yangu hufanya. Hapo na hapo nilitamani kuwa mkulima hodari kama alivyo nyanya. Hiyo ilikuwa siku ambayo sitawai sahau.
Watu wa mashambani huamka kwenda shambani kufanya nini
{ "text": [ "kulima" ] }
3915_swa
LIKIZO MASHAMBANI Nilipata maisha ya mashambani ni tofauti na yale ya huko mijini. Watu wa mashambani uamkia kuenda mashambani kulima. Nilipenda kuenda kulima na kuchunga mifugo za Babu yangu. Tabia za watu wa mashambani zilinipendeza kwa kuwa vile wakona heshima si kama watu wa mijini. Maisha ya huko ilikuwa inanipendeza kwa vile ilimfunza kujitolea na kuniwezesha kulifunza kufanya kazi ngumu ngumu. Wakati wa jioni wakati kunapikwa chakula cha jioni tulikuwa tunaanda kwa babu ili atusimulie vile walivyopigana wakati wa vita vya pili vya dunia. Wakati wa asubuhi nilikuwa nikipatana na watoto wakienda mashambani kuwasaidia mama zao kulima. Ilinifunza ni vizuri kusaidiana. Kitu kilicho nishangaza ni vile wakati wa jioni kuna mvua na wakati wa mchana kuna jua. Pia watoto wa huko walikuwa wakisaidiana kwa kila jambo. Pia watoto wa huko, vijana, walikuwa na kazi zao na pia wasichana walikuwa na kazi zao. Kitu kilicho nishangaza, huwezi patana na mtu wakati wa asubuhi asubuhi kwa kuwa kila mtu wako shambani na watoto wako majumbani wakifanya kazi walizo achiwa na wazazi wao. Watu wa huko walikuwa wa kiendea maji mbali sana. Nilijifunza kwa pesa mtu hupata kwa kumwaga jasho. Maisha ya mashambani ni mazuri kuliko ya mjini kwa vile watu wa huko hushirikiana kwa kila jambo. Mashambani hakuna shida ya chakula kwa kuwa kila kitu wamepanda kwa mashamba zao. Nilikuwa nikienda kuwanda sungura na marafiki zangu na kuelekea nyumbani na nilijifunza kuwa umoja ni nguvu. Tulikuwa tunaenda na marafiki zangu kucheza mpira .Tulipelekwa kwa shamba kuonyeshwa vyakula ambavyo nyanya hulima. Nilipoona nilitamani sana kuwa mkulima. Nilipendezwa na jambo ambalo nyanya yangu hufanya. Hapo na hapo nilitamani kuwa mkulima hodari kama alivyo nyanya. Hiyo ilikuwa siku ambayo sitawai sahau.
Mwandishi alipenda kuenda kufanya nini
{ "text": [ "kulima/kuchunga mifugo" ] }
3915_swa
LIKIZO MASHAMBANI Nilipata maisha ya mashambani ni tofauti na yale ya huko mijini. Watu wa mashambani uamkia kuenda mashambani kulima. Nilipenda kuenda kulima na kuchunga mifugo za Babu yangu. Tabia za watu wa mashambani zilinipendeza kwa kuwa vile wakona heshima si kama watu wa mijini. Maisha ya huko ilikuwa inanipendeza kwa vile ilimfunza kujitolea na kuniwezesha kulifunza kufanya kazi ngumu ngumu. Wakati wa jioni wakati kunapikwa chakula cha jioni tulikuwa tunaanda kwa babu ili atusimulie vile walivyopigana wakati wa vita vya pili vya dunia. Wakati wa asubuhi nilikuwa nikipatana na watoto wakienda mashambani kuwasaidia mama zao kulima. Ilinifunza ni vizuri kusaidiana. Kitu kilicho nishangaza ni vile wakati wa jioni kuna mvua na wakati wa mchana kuna jua. Pia watoto wa huko walikuwa wakisaidiana kwa kila jambo. Pia watoto wa huko, vijana, walikuwa na kazi zao na pia wasichana walikuwa na kazi zao. Kitu kilicho nishangaza, huwezi patana na mtu wakati wa asubuhi asubuhi kwa kuwa kila mtu wako shambani na watoto wako majumbani wakifanya kazi walizo achiwa na wazazi wao. Watu wa huko walikuwa wa kiendea maji mbali sana. Nilijifunza kwa pesa mtu hupata kwa kumwaga jasho. Maisha ya mashambani ni mazuri kuliko ya mjini kwa vile watu wa huko hushirikiana kwa kila jambo. Mashambani hakuna shida ya chakula kwa kuwa kila kitu wamepanda kwa mashamba zao. Nilikuwa nikienda kuwanda sungura na marafiki zangu na kuelekea nyumbani na nilijifunza kuwa umoja ni nguvu. Tulikuwa tunaenda na marafiki zangu kucheza mpira .Tulipelekwa kwa shamba kuonyeshwa vyakula ambavyo nyanya hulima. Nilipoona nilitamani sana kuwa mkulima. Nilipendezwa na jambo ambalo nyanya yangu hufanya. Hapo na hapo nilitamani kuwa mkulima hodari kama alivyo nyanya. Hiyo ilikuwa siku ambayo sitawai sahau.
Watu wa mashambani wako na nini
{ "text": [ "heshima" ] }
3915_swa
LIKIZO MASHAMBANI Nilipata maisha ya mashambani ni tofauti na yale ya huko mijini. Watu wa mashambani uamkia kuenda mashambani kulima. Nilipenda kuenda kulima na kuchunga mifugo za Babu yangu. Tabia za watu wa mashambani zilinipendeza kwa kuwa vile wakona heshima si kama watu wa mijini. Maisha ya huko ilikuwa inanipendeza kwa vile ilimfunza kujitolea na kuniwezesha kulifunza kufanya kazi ngumu ngumu. Wakati wa jioni wakati kunapikwa chakula cha jioni tulikuwa tunaanda kwa babu ili atusimulie vile walivyopigana wakati wa vita vya pili vya dunia. Wakati wa asubuhi nilikuwa nikipatana na watoto wakienda mashambani kuwasaidia mama zao kulima. Ilinifunza ni vizuri kusaidiana. Kitu kilicho nishangaza ni vile wakati wa jioni kuna mvua na wakati wa mchana kuna jua. Pia watoto wa huko walikuwa wakisaidiana kwa kila jambo. Pia watoto wa huko, vijana, walikuwa na kazi zao na pia wasichana walikuwa na kazi zao. Kitu kilicho nishangaza, huwezi patana na mtu wakati wa asubuhi asubuhi kwa kuwa kila mtu wako shambani na watoto wako majumbani wakifanya kazi walizo achiwa na wazazi wao. Watu wa huko walikuwa wa kiendea maji mbali sana. Nilijifunza kwa pesa mtu hupata kwa kumwaga jasho. Maisha ya mashambani ni mazuri kuliko ya mjini kwa vile watu wa huko hushirikiana kwa kila jambo. Mashambani hakuna shida ya chakula kwa kuwa kila kitu wamepanda kwa mashamba zao. Nilikuwa nikienda kuwanda sungura na marafiki zangu na kuelekea nyumbani na nilijifunza kuwa umoja ni nguvu. Tulikuwa tunaenda na marafiki zangu kucheza mpira .Tulipelekwa kwa shamba kuonyeshwa vyakula ambavyo nyanya hulima. Nilipoona nilitamani sana kuwa mkulima. Nilipendezwa na jambo ambalo nyanya yangu hufanya. Hapo na hapo nilitamani kuwa mkulima hodari kama alivyo nyanya. Hiyo ilikuwa siku ambayo sitawai sahau.
Mwandishi alikua akipatana na watoto wakienda mashambani lini
{ "text": [ "wakati wa asubuhi" ] }
3915_swa
LIKIZO MASHAMBANI Nilipata maisha ya mashambani ni tofauti na yale ya huko mijini. Watu wa mashambani uamkia kuenda mashambani kulima. Nilipenda kuenda kulima na kuchunga mifugo za Babu yangu. Tabia za watu wa mashambani zilinipendeza kwa kuwa vile wakona heshima si kama watu wa mijini. Maisha ya huko ilikuwa inanipendeza kwa vile ilimfunza kujitolea na kuniwezesha kulifunza kufanya kazi ngumu ngumu. Wakati wa jioni wakati kunapikwa chakula cha jioni tulikuwa tunaanda kwa babu ili atusimulie vile walivyopigana wakati wa vita vya pili vya dunia. Wakati wa asubuhi nilikuwa nikipatana na watoto wakienda mashambani kuwasaidia mama zao kulima. Ilinifunza ni vizuri kusaidiana. Kitu kilicho nishangaza ni vile wakati wa jioni kuna mvua na wakati wa mchana kuna jua. Pia watoto wa huko walikuwa wakisaidiana kwa kila jambo. Pia watoto wa huko, vijana, walikuwa na kazi zao na pia wasichana walikuwa na kazi zao. Kitu kilicho nishangaza, huwezi patana na mtu wakati wa asubuhi asubuhi kwa kuwa kila mtu wako shambani na watoto wako majumbani wakifanya kazi walizo achiwa na wazazi wao. Watu wa huko walikuwa wa kiendea maji mbali sana. Nilijifunza kwa pesa mtu hupata kwa kumwaga jasho. Maisha ya mashambani ni mazuri kuliko ya mjini kwa vile watu wa huko hushirikiana kwa kila jambo. Mashambani hakuna shida ya chakula kwa kuwa kila kitu wamepanda kwa mashamba zao. Nilikuwa nikienda kuwanda sungura na marafiki zangu na kuelekea nyumbani na nilijifunza kuwa umoja ni nguvu. Tulikuwa tunaenda na marafiki zangu kucheza mpira .Tulipelekwa kwa shamba kuonyeshwa vyakula ambavyo nyanya hulima. Nilipoona nilitamani sana kuwa mkulima. Nilipendezwa na jambo ambalo nyanya yangu hufanya. Hapo na hapo nilitamani kuwa mkulima hodari kama alivyo nyanya. Hiyo ilikuwa siku ambayo sitawai sahau.
Mbona maisha ya mashambani ni mazuri kuliko ya mjini
{ "text": [ "watu wa huko hushirikiana kwa kila jambo" ] }
3916_swa
LIKIZO MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Alhamisi baada ya sisi kufunga shule nilipopata habari ya kwamba ningeenda kuwatembelea jamaa wangu. Nilijawa na furaha mithili ya kibogoyo aliyeota magego. Siku iliyofuata nilirauka kabla ya jimbi wa kwanza kuwika na kujitayarisha kwenda mashambani Nilipomaliza nilienda kwenye kituo cha basi nakuabiri gari. Baada ya muda si muda niliwasili mashambani. Nilipofika nilikaribishwa kwa furaha teletele. Baada ya muda kukawa usiku na hivyo basi tukala chajio. Tulipomaliza kula babu alitupa hadithi zilizofanya tucheke kwe! kwe! kwe! Siku iliyofuata tuliamka na kula staftahi kisha kuelekea shambani. Mjomba wangu ndiye aliyetuhimiza kufanya kazi kwa bidii mithili ya mchwa kwani bidii hulipa. Baada ya kufanya kazi tulirudi nyumbani na kujitayarisha kwenda kuwinda chajio. Tulipoenda kuwinda tulihimizwa tusaidiane kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tulirudi nyumbani kwani tuliweza kunasa sungura wanne kwenye mtego. Tuliambiwa kuwa watoto wa kiume ndio waliofaa kuchinja na wasichana kupika. Pia na wavulana na wasichana hawakuruhusishwa kucheza pamoja, ili kuzuia mimba za mapema. Siku za kuvuna mahindi na kahawa tulisaidiana kuvuna kisha kupeleka mazao kwenye viwanda. Huko mashambani wasichana walifundishwa mila za kitamaduni na nyanya au shangazi ilhali wavulana walifunzwa na babu au wajomba. Watu waliofanya makosa kwenye kijiji wangetengwa au kufukuza kwenye jamii. Huko wazazi hawakuwa na ubaguzi wa kutopeleka wasichana shuleni. Pia maendeleo mashambani yaliendelea kutekelezwa na wabunge kila mahala kulikuwa na barabara.
Siku gani ndio mwandishi alipata habari kwamba ataenda kutembelea jamaa yake?
{ "text": [ "Alhamisi" ] }
3916_swa
LIKIZO MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Alhamisi baada ya sisi kufunga shule nilipopata habari ya kwamba ningeenda kuwatembelea jamaa wangu. Nilijawa na furaha mithili ya kibogoyo aliyeota magego. Siku iliyofuata nilirauka kabla ya jimbi wa kwanza kuwika na kujitayarisha kwenda mashambani Nilipomaliza nilienda kwenye kituo cha basi nakuabiri gari. Baada ya muda si muda niliwasili mashambani. Nilipofika nilikaribishwa kwa furaha teletele. Baada ya muda kukawa usiku na hivyo basi tukala chajio. Tulipomaliza kula babu alitupa hadithi zilizofanya tucheke kwe! kwe! kwe! Siku iliyofuata tuliamka na kula staftahi kisha kuelekea shambani. Mjomba wangu ndiye aliyetuhimiza kufanya kazi kwa bidii mithili ya mchwa kwani bidii hulipa. Baada ya kufanya kazi tulirudi nyumbani na kujitayarisha kwenda kuwinda chajio. Tulipoenda kuwinda tulihimizwa tusaidiane kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tulirudi nyumbani kwani tuliweza kunasa sungura wanne kwenye mtego. Tuliambiwa kuwa watoto wa kiume ndio waliofaa kuchinja na wasichana kupika. Pia na wavulana na wasichana hawakuruhusishwa kucheza pamoja, ili kuzuia mimba za mapema. Siku za kuvuna mahindi na kahawa tulisaidiana kuvuna kisha kupeleka mazao kwenye viwanda. Huko mashambani wasichana walifundishwa mila za kitamaduni na nyanya au shangazi ilhali wavulana walifunzwa na babu au wajomba. Watu waliofanya makosa kwenye kijiji wangetengwa au kufukuza kwenye jamii. Huko wazazi hawakuwa na ubaguzi wa kutopeleka wasichana shuleni. Pia maendeleo mashambani yaliendelea kutekelezwa na wabunge kila mahala kulikuwa na barabara.
Mwandishi alihisi vipi alipoambiwa ajitayarishe?
{ "text": [ "Alijawa na furaha" ] }
3916_swa
LIKIZO MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Alhamisi baada ya sisi kufunga shule nilipopata habari ya kwamba ningeenda kuwatembelea jamaa wangu. Nilijawa na furaha mithili ya kibogoyo aliyeota magego. Siku iliyofuata nilirauka kabla ya jimbi wa kwanza kuwika na kujitayarisha kwenda mashambani Nilipomaliza nilienda kwenye kituo cha basi nakuabiri gari. Baada ya muda si muda niliwasili mashambani. Nilipofika nilikaribishwa kwa furaha teletele. Baada ya muda kukawa usiku na hivyo basi tukala chajio. Tulipomaliza kula babu alitupa hadithi zilizofanya tucheke kwe! kwe! kwe! Siku iliyofuata tuliamka na kula staftahi kisha kuelekea shambani. Mjomba wangu ndiye aliyetuhimiza kufanya kazi kwa bidii mithili ya mchwa kwani bidii hulipa. Baada ya kufanya kazi tulirudi nyumbani na kujitayarisha kwenda kuwinda chajio. Tulipoenda kuwinda tulihimizwa tusaidiane kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tulirudi nyumbani kwani tuliweza kunasa sungura wanne kwenye mtego. Tuliambiwa kuwa watoto wa kiume ndio waliofaa kuchinja na wasichana kupika. Pia na wavulana na wasichana hawakuruhusishwa kucheza pamoja, ili kuzuia mimba za mapema. Siku za kuvuna mahindi na kahawa tulisaidiana kuvuna kisha kupeleka mazao kwenye viwanda. Huko mashambani wasichana walifundishwa mila za kitamaduni na nyanya au shangazi ilhali wavulana walifunzwa na babu au wajomba. Watu waliofanya makosa kwenye kijiji wangetengwa au kufukuza kwenye jamii. Huko wazazi hawakuwa na ubaguzi wa kutopeleka wasichana shuleni. Pia maendeleo mashambani yaliendelea kutekelezwa na wabunge kila mahala kulikuwa na barabara.
Nani alikuwa anapeana hadithi iliyofurahisha?
{ "text": [ "Babu" ] }
3916_swa
LIKIZO MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Alhamisi baada ya sisi kufunga shule nilipopata habari ya kwamba ningeenda kuwatembelea jamaa wangu. Nilijawa na furaha mithili ya kibogoyo aliyeota magego. Siku iliyofuata nilirauka kabla ya jimbi wa kwanza kuwika na kujitayarisha kwenda mashambani Nilipomaliza nilienda kwenye kituo cha basi nakuabiri gari. Baada ya muda si muda niliwasili mashambani. Nilipofika nilikaribishwa kwa furaha teletele. Baada ya muda kukawa usiku na hivyo basi tukala chajio. Tulipomaliza kula babu alitupa hadithi zilizofanya tucheke kwe! kwe! kwe! Siku iliyofuata tuliamka na kula staftahi kisha kuelekea shambani. Mjomba wangu ndiye aliyetuhimiza kufanya kazi kwa bidii mithili ya mchwa kwani bidii hulipa. Baada ya kufanya kazi tulirudi nyumbani na kujitayarisha kwenda kuwinda chajio. Tulipoenda kuwinda tulihimizwa tusaidiane kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tulirudi nyumbani kwani tuliweza kunasa sungura wanne kwenye mtego. Tuliambiwa kuwa watoto wa kiume ndio waliofaa kuchinja na wasichana kupika. Pia na wavulana na wasichana hawakuruhusishwa kucheza pamoja, ili kuzuia mimba za mapema. Siku za kuvuna mahindi na kahawa tulisaidiana kuvuna kisha kupeleka mazao kwenye viwanda. Huko mashambani wasichana walifundishwa mila za kitamaduni na nyanya au shangazi ilhali wavulana walifunzwa na babu au wajomba. Watu waliofanya makosa kwenye kijiji wangetengwa au kufukuza kwenye jamii. Huko wazazi hawakuwa na ubaguzi wa kutopeleka wasichana shuleni. Pia maendeleo mashambani yaliendelea kutekelezwa na wabunge kila mahala kulikuwa na barabara.
Chakula cha asubuhi hujulikana kama nini?
{ "text": [ "Staftahi" ] }
3916_swa
LIKIZO MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Alhamisi baada ya sisi kufunga shule nilipopata habari ya kwamba ningeenda kuwatembelea jamaa wangu. Nilijawa na furaha mithili ya kibogoyo aliyeota magego. Siku iliyofuata nilirauka kabla ya jimbi wa kwanza kuwika na kujitayarisha kwenda mashambani Nilipomaliza nilienda kwenye kituo cha basi nakuabiri gari. Baada ya muda si muda niliwasili mashambani. Nilipofika nilikaribishwa kwa furaha teletele. Baada ya muda kukawa usiku na hivyo basi tukala chajio. Tulipomaliza kula babu alitupa hadithi zilizofanya tucheke kwe! kwe! kwe! Siku iliyofuata tuliamka na kula staftahi kisha kuelekea shambani. Mjomba wangu ndiye aliyetuhimiza kufanya kazi kwa bidii mithili ya mchwa kwani bidii hulipa. Baada ya kufanya kazi tulirudi nyumbani na kujitayarisha kwenda kuwinda chajio. Tulipoenda kuwinda tulihimizwa tusaidiane kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tulirudi nyumbani kwani tuliweza kunasa sungura wanne kwenye mtego. Tuliambiwa kuwa watoto wa kiume ndio waliofaa kuchinja na wasichana kupika. Pia na wavulana na wasichana hawakuruhusishwa kucheza pamoja, ili kuzuia mimba za mapema. Siku za kuvuna mahindi na kahawa tulisaidiana kuvuna kisha kupeleka mazao kwenye viwanda. Huko mashambani wasichana walifundishwa mila za kitamaduni na nyanya au shangazi ilhali wavulana walifunzwa na babu au wajomba. Watu waliofanya makosa kwenye kijiji wangetengwa au kufukuza kwenye jamii. Huko wazazi hawakuwa na ubaguzi wa kutopeleka wasichana shuleni. Pia maendeleo mashambani yaliendelea kutekelezwa na wabunge kila mahala kulikuwa na barabara.
Umoja ni nguvu ilhali utengano ni nini?
{ "text": [ "Udhaifu" ] }
3917_swa
Nilikuwa nimejawa na furaha kama kibogoya aliyepata meno mama aliponieleza kuwa tutaenda kuwajulia hali babu na nyanya yangu kule mashambani. Siku hiyo ilipofika tulirauka asubuhi na mapema kabla ya jogoo wa jirani kuwika, tulijitayarisha upesi, bila kupoteza wakati. Safari yetu iling’oa nanga, saa tatu asubuhi. Barabarani, tuliongea kuhusu jinsia tutakavyo saidia nyanya kufanya kazi za nyumbani kama vile kulima na kadhalika. Safari yetu ilitia nanga saa sita na nusu. Mashambani kule, kulikuwa tofauti kabisa na maisha ya mjini. Mjini kulikuwa na nyumba za mawe, ilhali mashambani majumba yalikuwa yametengenezwa na nyasi. Nyanya yangu alikuwa amejawa na furaha mpwito mpwito alipotuona. Hatukuwa tumeonana kwa muda wa miaka miwili. Tulikaribishwa kwa furaha. Siku iliyofuata ilipofika, nyanya alirauka asubuhi na kunisita twende tukamkamue ng’ombe maziwa, ili tuweze kupika chai. Nilidhani kuwa kazi hiyo itakuwa rahisi jinsi nilivyo iona kwenye runinga lakini Lo! haikuwepo rahisi hata kidogo. Baada ya hapo, tulienda msituni kutafuta kuni. Kazi hiyo pia ilikuwa ngumu zaidi kuliko kumkamua ng’ombe maziwa. Tulifika msituni na nyanya akaniagiza Vizuri alichokuwa akimaanisha lakini nilitii. Nilitafuta kuni zilizokuwa zimekauka vizuri na zingine zilikuwa mbichi. Nyanya aliniambia kwamba nimejaribu. Katika harakati ile, niliikanyanga mwiba na ukanichoma mguu wangu na kuingia ndani zaidi. Ulikuwa uchungu ambao sijawai hisi maishani mwangu. Nyanya alizibeba kuni zake mgongoni na kunipa mti nitembee nao hadi tutakapo fika nyumbani. Tulipofika nyumbani, babu alinielekeza kwenye kiti chake. Alinieleza kwamba ameenda kutafuta dawa nimpe dakika chache tu. Baada ya dakika ishirini, alifika na dawa kwenye kikombe na kuniagiza ninywe ili ipunguze uchungu ule. Dawa hiyo ilikuwa kali kama Shubiri. Alichomoa mwiba ule na kuupaka kidonda hicho dawa. Baada ya dakika chache, nilipata nafuu. Nyanya aliniambia niende nikamsaidie kuuwasha jiko, nilidhani kwamba tutatumia gesi lakini Lo! ilikuwa moto wa kuni, nilimsaidia nyanya nilipokuwa na uwezo. Baada ya dakika chache, tulikipata chakula cha mchana na baadaye tukang’oa nanga kurudi mjini Nairobi. Ilikuwa likizo ambayo sitawai sahau. Nilikuwa na furaha. Mwanzo ningeweza kuwaelezea marafiki zangu jinsi maisha ya mashambani yalivyo.
Alikuwa amejawa furaha kama nani
{ "text": [ "kibogoyo aliyepata meno" ] }
3917_swa
Nilikuwa nimejawa na furaha kama kibogoya aliyepata meno mama aliponieleza kuwa tutaenda kuwajulia hali babu na nyanya yangu kule mashambani. Siku hiyo ilipofika tulirauka asubuhi na mapema kabla ya jogoo wa jirani kuwika, tulijitayarisha upesi, bila kupoteza wakati. Safari yetu iling’oa nanga, saa tatu asubuhi. Barabarani, tuliongea kuhusu jinsia tutakavyo saidia nyanya kufanya kazi za nyumbani kama vile kulima na kadhalika. Safari yetu ilitia nanga saa sita na nusu. Mashambani kule, kulikuwa tofauti kabisa na maisha ya mjini. Mjini kulikuwa na nyumba za mawe, ilhali mashambani majumba yalikuwa yametengenezwa na nyasi. Nyanya yangu alikuwa amejawa na furaha mpwito mpwito alipotuona. Hatukuwa tumeonana kwa muda wa miaka miwili. Tulikaribishwa kwa furaha. Siku iliyofuata ilipofika, nyanya alirauka asubuhi na kunisita twende tukamkamue ng’ombe maziwa, ili tuweze kupika chai. Nilidhani kuwa kazi hiyo itakuwa rahisi jinsi nilivyo iona kwenye runinga lakini Lo! haikuwepo rahisi hata kidogo. Baada ya hapo, tulienda msituni kutafuta kuni. Kazi hiyo pia ilikuwa ngumu zaidi kuliko kumkamua ng’ombe maziwa. Tulifika msituni na nyanya akaniagiza Vizuri alichokuwa akimaanisha lakini nilitii. Nilitafuta kuni zilizokuwa zimekauka vizuri na zingine zilikuwa mbichi. Nyanya aliniambia kwamba nimejaribu. Katika harakati ile, niliikanyanga mwiba na ukanichoma mguu wangu na kuingia ndani zaidi. Ulikuwa uchungu ambao sijawai hisi maishani mwangu. Nyanya alizibeba kuni zake mgongoni na kunipa mti nitembee nao hadi tutakapo fika nyumbani. Tulipofika nyumbani, babu alinielekeza kwenye kiti chake. Alinieleza kwamba ameenda kutafuta dawa nimpe dakika chache tu. Baada ya dakika ishirini, alifika na dawa kwenye kikombe na kuniagiza ninywe ili ipunguze uchungu ule. Dawa hiyo ilikuwa kali kama Shubiri. Alichomoa mwiba ule na kuupaka kidonda hicho dawa. Baada ya dakika chache, nilipata nafuu. Nyanya aliniambia niende nikamsaidie kuuwasha jiko, nilidhani kwamba tutatumia gesi lakini Lo! ilikuwa moto wa kuni, nilimsaidia nyanya nilipokuwa na uwezo. Baada ya dakika chache, tulikipata chakula cha mchana na baadaye tukang’oa nanga kurudi mjini Nairobi. Ilikuwa likizo ambayo sitawai sahau. Nilikuwa na furaha. Mwanzo ningeweza kuwaelezea marafiki zangu jinsi maisha ya mashambani yalivyo.
Walikua waende kuwatembelea babu na nyanya wapi hapo
{ "text": [ "mashambani" ] }
3917_swa
Nilikuwa nimejawa na furaha kama kibogoya aliyepata meno mama aliponieleza kuwa tutaenda kuwajulia hali babu na nyanya yangu kule mashambani. Siku hiyo ilipofika tulirauka asubuhi na mapema kabla ya jogoo wa jirani kuwika, tulijitayarisha upesi, bila kupoteza wakati. Safari yetu iling’oa nanga, saa tatu asubuhi. Barabarani, tuliongea kuhusu jinsia tutakavyo saidia nyanya kufanya kazi za nyumbani kama vile kulima na kadhalika. Safari yetu ilitia nanga saa sita na nusu. Mashambani kule, kulikuwa tofauti kabisa na maisha ya mjini. Mjini kulikuwa na nyumba za mawe, ilhali mashambani majumba yalikuwa yametengenezwa na nyasi. Nyanya yangu alikuwa amejawa na furaha mpwito mpwito alipotuona. Hatukuwa tumeonana kwa muda wa miaka miwili. Tulikaribishwa kwa furaha. Siku iliyofuata ilipofika, nyanya alirauka asubuhi na kunisita twende tukamkamue ng’ombe maziwa, ili tuweze kupika chai. Nilidhani kuwa kazi hiyo itakuwa rahisi jinsi nilivyo iona kwenye runinga lakini Lo! haikuwepo rahisi hata kidogo. Baada ya hapo, tulienda msituni kutafuta kuni. Kazi hiyo pia ilikuwa ngumu zaidi kuliko kumkamua ng’ombe maziwa. Tulifika msituni na nyanya akaniagiza Vizuri alichokuwa akimaanisha lakini nilitii. Nilitafuta kuni zilizokuwa zimekauka vizuri na zingine zilikuwa mbichi. Nyanya aliniambia kwamba nimejaribu. Katika harakati ile, niliikanyanga mwiba na ukanichoma mguu wangu na kuingia ndani zaidi. Ulikuwa uchungu ambao sijawai hisi maishani mwangu. Nyanya alizibeba kuni zake mgongoni na kunipa mti nitembee nao hadi tutakapo fika nyumbani. Tulipofika nyumbani, babu alinielekeza kwenye kiti chake. Alinieleza kwamba ameenda kutafuta dawa nimpe dakika chache tu. Baada ya dakika ishirini, alifika na dawa kwenye kikombe na kuniagiza ninywe ili ipunguze uchungu ule. Dawa hiyo ilikuwa kali kama Shubiri. Alichomoa mwiba ule na kuupaka kidonda hicho dawa. Baada ya dakika chache, nilipata nafuu. Nyanya aliniambia niende nikamsaidie kuuwasha jiko, nilidhani kwamba tutatumia gesi lakini Lo! ilikuwa moto wa kuni, nilimsaidia nyanya nilipokuwa na uwezo. Baada ya dakika chache, tulikipata chakula cha mchana na baadaye tukang’oa nanga kurudi mjini Nairobi. Ilikuwa likizo ambayo sitawai sahau. Nilikuwa na furaha. Mwanzo ningeweza kuwaelezea marafiki zangu jinsi maisha ya mashambani yalivyo.
Nyanya alibeba nini
{ "text": [ "kuni zake" ] }
3917_swa
Nilikuwa nimejawa na furaha kama kibogoya aliyepata meno mama aliponieleza kuwa tutaenda kuwajulia hali babu na nyanya yangu kule mashambani. Siku hiyo ilipofika tulirauka asubuhi na mapema kabla ya jogoo wa jirani kuwika, tulijitayarisha upesi, bila kupoteza wakati. Safari yetu iling’oa nanga, saa tatu asubuhi. Barabarani, tuliongea kuhusu jinsia tutakavyo saidia nyanya kufanya kazi za nyumbani kama vile kulima na kadhalika. Safari yetu ilitia nanga saa sita na nusu. Mashambani kule, kulikuwa tofauti kabisa na maisha ya mjini. Mjini kulikuwa na nyumba za mawe, ilhali mashambani majumba yalikuwa yametengenezwa na nyasi. Nyanya yangu alikuwa amejawa na furaha mpwito mpwito alipotuona. Hatukuwa tumeonana kwa muda wa miaka miwili. Tulikaribishwa kwa furaha. Siku iliyofuata ilipofika, nyanya alirauka asubuhi na kunisita twende tukamkamue ng’ombe maziwa, ili tuweze kupika chai. Nilidhani kuwa kazi hiyo itakuwa rahisi jinsi nilivyo iona kwenye runinga lakini Lo! haikuwepo rahisi hata kidogo. Baada ya hapo, tulienda msituni kutafuta kuni. Kazi hiyo pia ilikuwa ngumu zaidi kuliko kumkamua ng’ombe maziwa. Tulifika msituni na nyanya akaniagiza Vizuri alichokuwa akimaanisha lakini nilitii. Nilitafuta kuni zilizokuwa zimekauka vizuri na zingine zilikuwa mbichi. Nyanya aliniambia kwamba nimejaribu. Katika harakati ile, niliikanyanga mwiba na ukanichoma mguu wangu na kuingia ndani zaidi. Ulikuwa uchungu ambao sijawai hisi maishani mwangu. Nyanya alizibeba kuni zake mgongoni na kunipa mti nitembee nao hadi tutakapo fika nyumbani. Tulipofika nyumbani, babu alinielekeza kwenye kiti chake. Alinieleza kwamba ameenda kutafuta dawa nimpe dakika chache tu. Baada ya dakika ishirini, alifika na dawa kwenye kikombe na kuniagiza ninywe ili ipunguze uchungu ule. Dawa hiyo ilikuwa kali kama Shubiri. Alichomoa mwiba ule na kuupaka kidonda hicho dawa. Baada ya dakika chache, nilipata nafuu. Nyanya aliniambia niende nikamsaidie kuuwasha jiko, nilidhani kwamba tutatumia gesi lakini Lo! ilikuwa moto wa kuni, nilimsaidia nyanya nilipokuwa na uwezo. Baada ya dakika chache, tulikipata chakula cha mchana na baadaye tukang’oa nanga kurudi mjini Nairobi. Ilikuwa likizo ambayo sitawai sahau. Nilikuwa na furaha. Mwanzo ningeweza kuwaelezea marafiki zangu jinsi maisha ya mashambani yalivyo.
Safari yao iling'oa nanga lini
{ "text": [ "saa tatu asubuhi" ] }
3917_swa
Nilikuwa nimejawa na furaha kama kibogoya aliyepata meno mama aliponieleza kuwa tutaenda kuwajulia hali babu na nyanya yangu kule mashambani. Siku hiyo ilipofika tulirauka asubuhi na mapema kabla ya jogoo wa jirani kuwika, tulijitayarisha upesi, bila kupoteza wakati. Safari yetu iling’oa nanga, saa tatu asubuhi. Barabarani, tuliongea kuhusu jinsia tutakavyo saidia nyanya kufanya kazi za nyumbani kama vile kulima na kadhalika. Safari yetu ilitia nanga saa sita na nusu. Mashambani kule, kulikuwa tofauti kabisa na maisha ya mjini. Mjini kulikuwa na nyumba za mawe, ilhali mashambani majumba yalikuwa yametengenezwa na nyasi. Nyanya yangu alikuwa amejawa na furaha mpwito mpwito alipotuona. Hatukuwa tumeonana kwa muda wa miaka miwili. Tulikaribishwa kwa furaha. Siku iliyofuata ilipofika, nyanya alirauka asubuhi na kunisita twende tukamkamue ng’ombe maziwa, ili tuweze kupika chai. Nilidhani kuwa kazi hiyo itakuwa rahisi jinsi nilivyo iona kwenye runinga lakini Lo! haikuwepo rahisi hata kidogo. Baada ya hapo, tulienda msituni kutafuta kuni. Kazi hiyo pia ilikuwa ngumu zaidi kuliko kumkamua ng’ombe maziwa. Tulifika msituni na nyanya akaniagiza Vizuri alichokuwa akimaanisha lakini nilitii. Nilitafuta kuni zilizokuwa zimekauka vizuri na zingine zilikuwa mbichi. Nyanya aliniambia kwamba nimejaribu. Katika harakati ile, niliikanyanga mwiba na ukanichoma mguu wangu na kuingia ndani zaidi. Ulikuwa uchungu ambao sijawai hisi maishani mwangu. Nyanya alizibeba kuni zake mgongoni na kunipa mti nitembee nao hadi tutakapo fika nyumbani. Tulipofika nyumbani, babu alinielekeza kwenye kiti chake. Alinieleza kwamba ameenda kutafuta dawa nimpe dakika chache tu. Baada ya dakika ishirini, alifika na dawa kwenye kikombe na kuniagiza ninywe ili ipunguze uchungu ule. Dawa hiyo ilikuwa kali kama Shubiri. Alichomoa mwiba ule na kuupaka kidonda hicho dawa. Baada ya dakika chache, nilipata nafuu. Nyanya aliniambia niende nikamsaidie kuuwasha jiko, nilidhani kwamba tutatumia gesi lakini Lo! ilikuwa moto wa kuni, nilimsaidia nyanya nilipokuwa na uwezo. Baada ya dakika chache, tulikipata chakula cha mchana na baadaye tukang’oa nanga kurudi mjini Nairobi. Ilikuwa likizo ambayo sitawai sahau. Nilikuwa na furaha. Mwanzo ningeweza kuwaelezea marafiki zangu jinsi maisha ya mashambani yalivyo.
Mbona mwandishi alikua na furaha
{ "text": [ "alikua akawatembelee babu na nyanya" ] }
4352_swa
KATIKA LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA ULIPATA FURSA YA KUWATEMBELEA JAMAA ZAKO MASHAMBANI. SIMULIA JINSI MAISHA YA HUKO YALIVYOKUWA Ilikuwa ni kaski ya dominika ambapo nilirauka alfajiri na mapema kabla ya jogoo wa kwanza kuwika. Nilipiga dua kumshukuru rabuka kwa uhai alionipa, nilipomaliza nilitembea aste aste hadi hamamuni nikaoga kwa maji yaliyokuwa baridi kama barafu. Nilipomaliza kujikwatua nilitembea hadi sebuleni nikapata mama ametandika meza kwa kila aina ya chakula. Nilipata staftahi haraka haraka kisha nikasimama tayari kwanza safari. Njiani tulitembea sako kwa bako na nina wangu hadi katika kituo cha magari. Tulipanda gari moja lililokuwa limeegeshwa kando ya baraste. Tulisafiri hadi mashambani. Huko tulipokelewa kwa mikono miwili na wenyeji. Ilikuwa ni furaha mpwito mpwito kwangu kuwaona ndugu zangu waliokuwa wakiishi huko. Maisha ya mashambani yalibadilika kwani mjini hatukuwa tunachota maji na kulisha mifugo. Niliyapenda mazingira yale kwa kuwa tulikuwa twafanya kazi sio kulala tu na kutazama runinga kama huko mjini. Nilijifunza mambo mengi kwani hata sikuwa najua kupika. Lakini nilipofika huko mashambani nilifunzwa kupika na wakubwa wangu. Niliteka maji na kuwalisha mifugo waliokuwa katika mazingira yale. Kila asubuhi tulikuwa tukirauka kuelekea shambani kupalilia mimea na kulima. Niliyapenda maisha hayo kiasi cha kwamba singetamani kurudi mjini tena. Nilitamani
Njiani msimulizi alitembea karibu karibu na nani
{ "text": [ "Ninake" ] }
4352_swa
KATIKA LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA ULIPATA FURSA YA KUWATEMBELEA JAMAA ZAKO MASHAMBANI. SIMULIA JINSI MAISHA YA HUKO YALIVYOKUWA Ilikuwa ni kaski ya dominika ambapo nilirauka alfajiri na mapema kabla ya jogoo wa kwanza kuwika. Nilipiga dua kumshukuru rabuka kwa uhai alionipa, nilipomaliza nilitembea aste aste hadi hamamuni nikaoga kwa maji yaliyokuwa baridi kama barafu. Nilipomaliza kujikwatua nilitembea hadi sebuleni nikapata mama ametandika meza kwa kila aina ya chakula. Nilipata staftahi haraka haraka kisha nikasimama tayari kwanza safari. Njiani tulitembea sako kwa bako na nina wangu hadi katika kituo cha magari. Tulipanda gari moja lililokuwa limeegeshwa kando ya baraste. Tulisafiri hadi mashambani. Huko tulipokelewa kwa mikono miwili na wenyeji. Ilikuwa ni furaha mpwito mpwito kwangu kuwaona ndugu zangu waliokuwa wakiishi huko. Maisha ya mashambani yalibadilika kwani mjini hatukuwa tunachota maji na kulisha mifugo. Niliyapenda mazingira yale kwa kuwa tulikuwa twafanya kazi sio kulala tu na kutazama runinga kama huko mjini. Nilijifunza mambo mengi kwani hata sikuwa najua kupika. Lakini nilipofika huko mashambani nilifunzwa kupika na wakubwa wangu. Niliteka maji na kuwalisha mifugo waliokuwa katika mazingira yale. Kila asubuhi tulikuwa tukirauka kuelekea shambani kupalilia mimea na kulima. Niliyapenda maisha hayo kiasi cha kwamba singetamani kurudi mjini tena. Nilitamani
Ninake msimulizi na msimulizi walikuwa wanasafiri kwenda wapi
{ "text": [ "Mashambani" ] }
4352_swa
KATIKA LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA ULIPATA FURSA YA KUWATEMBELEA JAMAA ZAKO MASHAMBANI. SIMULIA JINSI MAISHA YA HUKO YALIVYOKUWA Ilikuwa ni kaski ya dominika ambapo nilirauka alfajiri na mapema kabla ya jogoo wa kwanza kuwika. Nilipiga dua kumshukuru rabuka kwa uhai alionipa, nilipomaliza nilitembea aste aste hadi hamamuni nikaoga kwa maji yaliyokuwa baridi kama barafu. Nilipomaliza kujikwatua nilitembea hadi sebuleni nikapata mama ametandika meza kwa kila aina ya chakula. Nilipata staftahi haraka haraka kisha nikasimama tayari kwanza safari. Njiani tulitembea sako kwa bako na nina wangu hadi katika kituo cha magari. Tulipanda gari moja lililokuwa limeegeshwa kando ya baraste. Tulisafiri hadi mashambani. Huko tulipokelewa kwa mikono miwili na wenyeji. Ilikuwa ni furaha mpwito mpwito kwangu kuwaona ndugu zangu waliokuwa wakiishi huko. Maisha ya mashambani yalibadilika kwani mjini hatukuwa tunachota maji na kulisha mifugo. Niliyapenda mazingira yale kwa kuwa tulikuwa twafanya kazi sio kulala tu na kutazama runinga kama huko mjini. Nilijifunza mambo mengi kwani hata sikuwa najua kupika. Lakini nilipofika huko mashambani nilifunzwa kupika na wakubwa wangu. Niliteka maji na kuwalisha mifugo waliokuwa katika mazingira yale. Kila asubuhi tulikuwa tukirauka kuelekea shambani kupalilia mimea na kulima. Niliyapenda maisha hayo kiasi cha kwamba singetamani kurudi mjini tena. Nilitamani
Msimulizi alifunzwa nini akiwa mashambani
{ "text": [ "Kupika" ] }
4352_swa
KATIKA LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA ULIPATA FURSA YA KUWATEMBELEA JAMAA ZAKO MASHAMBANI. SIMULIA JINSI MAISHA YA HUKO YALIVYOKUWA Ilikuwa ni kaski ya dominika ambapo nilirauka alfajiri na mapema kabla ya jogoo wa kwanza kuwika. Nilipiga dua kumshukuru rabuka kwa uhai alionipa, nilipomaliza nilitembea aste aste hadi hamamuni nikaoga kwa maji yaliyokuwa baridi kama barafu. Nilipomaliza kujikwatua nilitembea hadi sebuleni nikapata mama ametandika meza kwa kila aina ya chakula. Nilipata staftahi haraka haraka kisha nikasimama tayari kwanza safari. Njiani tulitembea sako kwa bako na nina wangu hadi katika kituo cha magari. Tulipanda gari moja lililokuwa limeegeshwa kando ya baraste. Tulisafiri hadi mashambani. Huko tulipokelewa kwa mikono miwili na wenyeji. Ilikuwa ni furaha mpwito mpwito kwangu kuwaona ndugu zangu waliokuwa wakiishi huko. Maisha ya mashambani yalibadilika kwani mjini hatukuwa tunachota maji na kulisha mifugo. Niliyapenda mazingira yale kwa kuwa tulikuwa twafanya kazi sio kulala tu na kutazama runinga kama huko mjini. Nilijifunza mambo mengi kwani hata sikuwa najua kupika. Lakini nilipofika huko mashambani nilifunzwa kupika na wakubwa wangu. Niliteka maji na kuwalisha mifugo waliokuwa katika mazingira yale. Kila asubuhi tulikuwa tukirauka kuelekea shambani kupalilia mimea na kulima. Niliyapenda maisha hayo kiasi cha kwamba singetamani kurudi mjini tena. Nilitamani
Msimulizi alikuwa anarauka shambani kufanya nini
{ "text": [ "Kupalilia mimea na kulima" ] }
4352_swa
KATIKA LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA ULIPATA FURSA YA KUWATEMBELEA JAMAA ZAKO MASHAMBANI. SIMULIA JINSI MAISHA YA HUKO YALIVYOKUWA Ilikuwa ni kaski ya dominika ambapo nilirauka alfajiri na mapema kabla ya jogoo wa kwanza kuwika. Nilipiga dua kumshukuru rabuka kwa uhai alionipa, nilipomaliza nilitembea aste aste hadi hamamuni nikaoga kwa maji yaliyokuwa baridi kama barafu. Nilipomaliza kujikwatua nilitembea hadi sebuleni nikapata mama ametandika meza kwa kila aina ya chakula. Nilipata staftahi haraka haraka kisha nikasimama tayari kwanza safari. Njiani tulitembea sako kwa bako na nina wangu hadi katika kituo cha magari. Tulipanda gari moja lililokuwa limeegeshwa kando ya baraste. Tulisafiri hadi mashambani. Huko tulipokelewa kwa mikono miwili na wenyeji. Ilikuwa ni furaha mpwito mpwito kwangu kuwaona ndugu zangu waliokuwa wakiishi huko. Maisha ya mashambani yalibadilika kwani mjini hatukuwa tunachota maji na kulisha mifugo. Niliyapenda mazingira yale kwa kuwa tulikuwa twafanya kazi sio kulala tu na kutazama runinga kama huko mjini. Nilijifunza mambo mengi kwani hata sikuwa najua kupika. Lakini nilipofika huko mashambani nilifunzwa kupika na wakubwa wangu. Niliteka maji na kuwalisha mifugo waliokuwa katika mazingira yale. Kila asubuhi tulikuwa tukirauka kuelekea shambani kupalilia mimea na kulima. Niliyapenda maisha hayo kiasi cha kwamba singetamani kurudi mjini tena. Nilitamani
Msimulizi na ninake walikuwa wanasafiri siku gani
{ "text": [ "Dominika" ] }
4353_swa
Katika likizo ya mwisho wa mwaka nilipomaliza kufanya mtihani wangu wa kidato cha kwanza. Wazazi wangu walinishawishi twende mashambani kuwatembelea babu na nyanya yangu. Kwa tabasamu niliitikia na kujipanga haraka upesi. Siku iliyofuata tuliabiri matatu na kung’oa nanga hadi mashambani. Tulipowasili nilikimbia na kumkumbatia nyanya yangu, kumjulia hali na kisha tukaelekea moja kwa moja hadi kwa nyumba. Alitukaribisha na kisha kutuandalia vyakula vya aina mbalimbali. Mayo wangu alijawa na furaha tele. Tulizungumza kwa muda tukitabasamu. Chakula kilipoiva tulikula na kunywa na kupumzika kwa muda. Usiku ulikaribia na ilitubidi tulale ili siku ijayo tujipange vyema. Alijibwaga kitandani na kulala fo! fo! fo! Siku iliyoweza kufuata niliamka na kupata kiamsha kinywa ki tayari. Nilikunywa na kwenda kuteka maji. Nilipokuwa njiani nilipata marafiki wapya nakushinda nao siku nzima. Tulifanya sarakasi na hadi kukwea juu ya miti kuuchuna matunda. Nilifurahi sana kwa sababu nyumbani kweli hakuna vitu kama hizo. Nilichukua mtungi wangu wa maji na kurudi nyumbani. Nilimpata mama yangu akifua, kuingia nyumbani nilimpata babu akichinja pamoja na baba. Niliketi kando na kujionea walivyokuwa wanafanya. Siku zilipita, tulifurahi sana kuwa huko ilifika wakati wetu wa kurudi nyumbani. Nyanya alihuzunika mno lakini nilimuahidi kwamba tutaweza kurudi wakati mwingine. Tulibeba viragu vyetu hadi kwenye kituo cha magari. Iliniuma sana lakini ilinibidi nirudi nyumbani ili kuendelea na masomo yangu. Gari ilifika na tukajitoma ndani. Tulirudi hadi nyumbani, babu alishinda akipiga simu kutujulia hali kama tumefika salama. Tulipofika tuliingia ndani ya nyumba na kuanza kujipanga
Alimaliza kufanya mtihani lini
{ "text": [ "mwisho wa mwaka" ] }
4353_swa
Katika likizo ya mwisho wa mwaka nilipomaliza kufanya mtihani wangu wa kidato cha kwanza. Wazazi wangu walinishawishi twende mashambani kuwatembelea babu na nyanya yangu. Kwa tabasamu niliitikia na kujipanga haraka upesi. Siku iliyofuata tuliabiri matatu na kung’oa nanga hadi mashambani. Tulipowasili nilikimbia na kumkumbatia nyanya yangu, kumjulia hali na kisha tukaelekea moja kwa moja hadi kwa nyumba. Alitukaribisha na kisha kutuandalia vyakula vya aina mbalimbali. Mayo wangu alijawa na furaha tele. Tulizungumza kwa muda tukitabasamu. Chakula kilipoiva tulikula na kunywa na kupumzika kwa muda. Usiku ulikaribia na ilitubidi tulale ili siku ijayo tujipange vyema. Alijibwaga kitandani na kulala fo! fo! fo! Siku iliyoweza kufuata niliamka na kupata kiamsha kinywa ki tayari. Nilikunywa na kwenda kuteka maji. Nilipokuwa njiani nilipata marafiki wapya nakushinda nao siku nzima. Tulifanya sarakasi na hadi kukwea juu ya miti kuuchuna matunda. Nilifurahi sana kwa sababu nyumbani kweli hakuna vitu kama hizo. Nilichukua mtungi wangu wa maji na kurudi nyumbani. Nilimpata mama yangu akifua, kuingia nyumbani nilimpata babu akichinja pamoja na baba. Niliketi kando na kujionea walivyokuwa wanafanya. Siku zilipita, tulifurahi sana kuwa huko ilifika wakati wetu wa kurudi nyumbani. Nyanya alihuzunika mno lakini nilimuahidi kwamba tutaweza kurudi wakati mwingine. Tulibeba viragu vyetu hadi kwenye kituo cha magari. Iliniuma sana lakini ilinibidi nirudi nyumbani ili kuendelea na masomo yangu. Gari ilifika na tukajitoma ndani. Tulirudi hadi nyumbani, babu alishinda akipiga simu kutujulia hali kama tumefika salama. Tulipofika tuliingia ndani ya nyumba na kuanza kujipanga
Nani alimshawishi waende nyumbani
{ "text": [ "wazazi wake" ] }
4353_swa
Katika likizo ya mwisho wa mwaka nilipomaliza kufanya mtihani wangu wa kidato cha kwanza. Wazazi wangu walinishawishi twende mashambani kuwatembelea babu na nyanya yangu. Kwa tabasamu niliitikia na kujipanga haraka upesi. Siku iliyofuata tuliabiri matatu na kung’oa nanga hadi mashambani. Tulipowasili nilikimbia na kumkumbatia nyanya yangu, kumjulia hali na kisha tukaelekea moja kwa moja hadi kwa nyumba. Alitukaribisha na kisha kutuandalia vyakula vya aina mbalimbali. Mayo wangu alijawa na furaha tele. Tulizungumza kwa muda tukitabasamu. Chakula kilipoiva tulikula na kunywa na kupumzika kwa muda. Usiku ulikaribia na ilitubidi tulale ili siku ijayo tujipange vyema. Alijibwaga kitandani na kulala fo! fo! fo! Siku iliyoweza kufuata niliamka na kupata kiamsha kinywa ki tayari. Nilikunywa na kwenda kuteka maji. Nilipokuwa njiani nilipata marafiki wapya nakushinda nao siku nzima. Tulifanya sarakasi na hadi kukwea juu ya miti kuuchuna matunda. Nilifurahi sana kwa sababu nyumbani kweli hakuna vitu kama hizo. Nilichukua mtungi wangu wa maji na kurudi nyumbani. Nilimpata mama yangu akifua, kuingia nyumbani nilimpata babu akichinja pamoja na baba. Niliketi kando na kujionea walivyokuwa wanafanya. Siku zilipita, tulifurahi sana kuwa huko ilifika wakati wetu wa kurudi nyumbani. Nyanya alihuzunika mno lakini nilimuahidi kwamba tutaweza kurudi wakati mwingine. Tulibeba viragu vyetu hadi kwenye kituo cha magari. Iliniuma sana lakini ilinibidi nirudi nyumbani ili kuendelea na masomo yangu. Gari ilifika na tukajitoma ndani. Tulirudi hadi nyumbani, babu alishinda akipiga simu kutujulia hali kama tumefika salama. Tulipofika tuliingia ndani ya nyumba na kuanza kujipanga
Waliabiri nini na kung'oa nanga
{ "text": [ "matatu" ] }
4353_swa
Katika likizo ya mwisho wa mwaka nilipomaliza kufanya mtihani wangu wa kidato cha kwanza. Wazazi wangu walinishawishi twende mashambani kuwatembelea babu na nyanya yangu. Kwa tabasamu niliitikia na kujipanga haraka upesi. Siku iliyofuata tuliabiri matatu na kung’oa nanga hadi mashambani. Tulipowasili nilikimbia na kumkumbatia nyanya yangu, kumjulia hali na kisha tukaelekea moja kwa moja hadi kwa nyumba. Alitukaribisha na kisha kutuandalia vyakula vya aina mbalimbali. Mayo wangu alijawa na furaha tele. Tulizungumza kwa muda tukitabasamu. Chakula kilipoiva tulikula na kunywa na kupumzika kwa muda. Usiku ulikaribia na ilitubidi tulale ili siku ijayo tujipange vyema. Alijibwaga kitandani na kulala fo! fo! fo! Siku iliyoweza kufuata niliamka na kupata kiamsha kinywa ki tayari. Nilikunywa na kwenda kuteka maji. Nilipokuwa njiani nilipata marafiki wapya nakushinda nao siku nzima. Tulifanya sarakasi na hadi kukwea juu ya miti kuuchuna matunda. Nilifurahi sana kwa sababu nyumbani kweli hakuna vitu kama hizo. Nilichukua mtungi wangu wa maji na kurudi nyumbani. Nilimpata mama yangu akifua, kuingia nyumbani nilimpata babu akichinja pamoja na baba. Niliketi kando na kujionea walivyokuwa wanafanya. Siku zilipita, tulifurahi sana kuwa huko ilifika wakati wetu wa kurudi nyumbani. Nyanya alihuzunika mno lakini nilimuahidi kwamba tutaweza kurudi wakati mwingine. Tulibeba viragu vyetu hadi kwenye kituo cha magari. Iliniuma sana lakini ilinibidi nirudi nyumbani ili kuendelea na masomo yangu. Gari ilifika na tukajitoma ndani. Tulirudi hadi nyumbani, babu alishinda akipiga simu kutujulia hali kama tumefika salama. Tulipofika tuliingia ndani ya nyumba na kuanza kujipanga
Nyanya aliwaandalia vyakula gani
{ "text": [ "vya aina mbalimbali" ] }
4353_swa
Katika likizo ya mwisho wa mwaka nilipomaliza kufanya mtihani wangu wa kidato cha kwanza. Wazazi wangu walinishawishi twende mashambani kuwatembelea babu na nyanya yangu. Kwa tabasamu niliitikia na kujipanga haraka upesi. Siku iliyofuata tuliabiri matatu na kung’oa nanga hadi mashambani. Tulipowasili nilikimbia na kumkumbatia nyanya yangu, kumjulia hali na kisha tukaelekea moja kwa moja hadi kwa nyumba. Alitukaribisha na kisha kutuandalia vyakula vya aina mbalimbali. Mayo wangu alijawa na furaha tele. Tulizungumza kwa muda tukitabasamu. Chakula kilipoiva tulikula na kunywa na kupumzika kwa muda. Usiku ulikaribia na ilitubidi tulale ili siku ijayo tujipange vyema. Alijibwaga kitandani na kulala fo! fo! fo! Siku iliyoweza kufuata niliamka na kupata kiamsha kinywa ki tayari. Nilikunywa na kwenda kuteka maji. Nilipokuwa njiani nilipata marafiki wapya nakushinda nao siku nzima. Tulifanya sarakasi na hadi kukwea juu ya miti kuuchuna matunda. Nilifurahi sana kwa sababu nyumbani kweli hakuna vitu kama hizo. Nilichukua mtungi wangu wa maji na kurudi nyumbani. Nilimpata mama yangu akifua, kuingia nyumbani nilimpata babu akichinja pamoja na baba. Niliketi kando na kujionea walivyokuwa wanafanya. Siku zilipita, tulifurahi sana kuwa huko ilifika wakati wetu wa kurudi nyumbani. Nyanya alihuzunika mno lakini nilimuahidi kwamba tutaweza kurudi wakati mwingine. Tulibeba viragu vyetu hadi kwenye kituo cha magari. Iliniuma sana lakini ilinibidi nirudi nyumbani ili kuendelea na masomo yangu. Gari ilifika na tukajitoma ndani. Tulirudi hadi nyumbani, babu alishinda akipiga simu kutujulia hali kama tumefika salama. Tulipofika tuliingia ndani ya nyumba na kuanza kujipanga
Mbona iliwabidi walale
{ "text": [ "ili siku ijayo wajipange vyema" ] }
4355_swa
SAFARI YA MASHAMBANI Baada ya kufunga shule nilirejea nyumbani na kumpata mama ameandaa chakula, nilimsalimu na kumparipoti yangu ya mitihani. Baadaye niliketi chini nakuanza kushtaki njaa ambayo ilikuwa imenizidi, harufu ya nyama iliyo kaangwa vizuri ilichokoza pua langu na kupendeza macho yangu. Mama aliniarifu kwamba “kesho utaelekea kumtembelea nyanya na babu yako” maana nilikuwa nimekawia kabla ya kuwaona. Nilikuwa na safiri pekee yangu kwenda nyumbani jambo ambacho sijawahi tangu utotoni mwangu. Nilielekea bafu nikastaki uchafu kwa maji vuguvugu na kurejea katika chumba cha kulala. Niliandaa nguo kadha katika begi na vitu nilivyohitaji zote. Nilielekea kulala na kungoja siku hiyo. Hatimaye iliwadia na saa kumi nikaamshwa na alama yangu nilijitayarisha na kuelekea kushtaki njaa na baadaye kumuamsha mama anisindikize. Aliubeba begi kwa kichwa na kunisindikiza akinipa mawaidha kwamba nimsaidie nyanya na babu kwa kazi ambazo wangehitaji, ni watii na kuwasikiza. Usiwakasirishe kwa jambo lolote. Tuliwasili na nikaabiri gari lililokuwa kwenye stesheni limeegeshwa kando ya barabara. Nilimpungia mama mkono na kumwambia kwaheri ya kuonana. Gari lilijaa na kuondoka ukielekea Nakuru upande ambao Safari llikua ndefu sana na yakuchosha nili lala na kuamka bado hatujawasili. Tulianza kuskia makelele mbele nikashangazwa kumbe yalikuwa makelele ya wanabiashara waliokuwa wakitafuta riziki. Nilitoa shilingi hamsini na kununua mahindi choma ambayo nilielekea nikila. Kwa muda mchache tulifika na kushuka gari hilo nili ambiri pikipiki na kunifikisha kwa nyanya. Nilipomuona nyanya nilishikwa na furaha moyoni na kukimbia kumkumbatia. Nilikaribishwa na kikombe cha chai na mahindi iliyokuwa imechemshwa na chumvi. Nilikula na baadaye kuanza kuonyeshwa sehemu hiyo. Watu wa eneo hiyo walikuwa wakulima wa mahindi. ilikuwa wakati wa kuvuna mahindi. Nilirejea na kuelekea nyumbani mwa babu. Tulikula vizuri na kisha kulala. Kesho yake tuliamka na kwenda shambani kusaidia kuvuna mahindi. Shamba ilikuwa kubwa mno na kazi hiyo ilikuwa ya kuchosha. Baada ya hapo tulielekea ziwani kuchota maji. Mambo hayakuwa rahisi sana lakini niliyazoea. Tulielekea katika msitu uliokuwa karibu na kuchukuwa matunda yaliyopendeza macho. Kwa kweli mambo yalikuwa mazuri sana na yakupendeza.
Baada ya kufunga shule nilirejea wapi
{ "text": [ "Nyumbani" ] }
4355_swa
SAFARI YA MASHAMBANI Baada ya kufunga shule nilirejea nyumbani na kumpata mama ameandaa chakula, nilimsalimu na kumparipoti yangu ya mitihani. Baadaye niliketi chini nakuanza kushtaki njaa ambayo ilikuwa imenizidi, harufu ya nyama iliyo kaangwa vizuri ilichokoza pua langu na kupendeza macho yangu. Mama aliniarifu kwamba “kesho utaelekea kumtembelea nyanya na babu yako” maana nilikuwa nimekawia kabla ya kuwaona. Nilikuwa na safiri pekee yangu kwenda nyumbani jambo ambacho sijawahi tangu utotoni mwangu. Nilielekea bafu nikastaki uchafu kwa maji vuguvugu na kurejea katika chumba cha kulala. Niliandaa nguo kadha katika begi na vitu nilivyohitaji zote. Nilielekea kulala na kungoja siku hiyo. Hatimaye iliwadia na saa kumi nikaamshwa na alama yangu nilijitayarisha na kuelekea kushtaki njaa na baadaye kumuamsha mama anisindikize. Aliubeba begi kwa kichwa na kunisindikiza akinipa mawaidha kwamba nimsaidie nyanya na babu kwa kazi ambazo wangehitaji, ni watii na kuwasikiza. Usiwakasirishe kwa jambo lolote. Tuliwasili na nikaabiri gari lililokuwa kwenye stesheni limeegeshwa kando ya barabara. Nilimpungia mama mkono na kumwambia kwaheri ya kuonana. Gari lilijaa na kuondoka ukielekea Nakuru upande ambao Safari llikua ndefu sana na yakuchosha nili lala na kuamka bado hatujawasili. Tulianza kuskia makelele mbele nikashangazwa kumbe yalikuwa makelele ya wanabiashara waliokuwa wakitafuta riziki. Nilitoa shilingi hamsini na kununua mahindi choma ambayo nilielekea nikila. Kwa muda mchache tulifika na kushuka gari hilo nili ambiri pikipiki na kunifikisha kwa nyanya. Nilipomuona nyanya nilishikwa na furaha moyoni na kukimbia kumkumbatia. Nilikaribishwa na kikombe cha chai na mahindi iliyokuwa imechemshwa na chumvi. Nilikula na baadaye kuanza kuonyeshwa sehemu hiyo. Watu wa eneo hiyo walikuwa wakulima wa mahindi. ilikuwa wakati wa kuvuna mahindi. Nilirejea na kuelekea nyumbani mwa babu. Tulikula vizuri na kisha kulala. Kesho yake tuliamka na kwenda shambani kusaidia kuvuna mahindi. Shamba ilikuwa kubwa mno na kazi hiyo ilikuwa ya kuchosha. Baada ya hapo tulielekea ziwani kuchota maji. Mambo hayakuwa rahisi sana lakini niliyazoea. Tulielekea katika msitu uliokuwa karibu na kuchukuwa matunda yaliyopendeza macho. Kwa kweli mambo yalikuwa mazuri sana na yakupendeza.
Nani alikuwa ameandaa chakula
{ "text": [ "Mama" ] }
4355_swa
SAFARI YA MASHAMBANI Baada ya kufunga shule nilirejea nyumbani na kumpata mama ameandaa chakula, nilimsalimu na kumparipoti yangu ya mitihani. Baadaye niliketi chini nakuanza kushtaki njaa ambayo ilikuwa imenizidi, harufu ya nyama iliyo kaangwa vizuri ilichokoza pua langu na kupendeza macho yangu. Mama aliniarifu kwamba “kesho utaelekea kumtembelea nyanya na babu yako” maana nilikuwa nimekawia kabla ya kuwaona. Nilikuwa na safiri pekee yangu kwenda nyumbani jambo ambacho sijawahi tangu utotoni mwangu. Nilielekea bafu nikastaki uchafu kwa maji vuguvugu na kurejea katika chumba cha kulala. Niliandaa nguo kadha katika begi na vitu nilivyohitaji zote. Nilielekea kulala na kungoja siku hiyo. Hatimaye iliwadia na saa kumi nikaamshwa na alama yangu nilijitayarisha na kuelekea kushtaki njaa na baadaye kumuamsha mama anisindikize. Aliubeba begi kwa kichwa na kunisindikiza akinipa mawaidha kwamba nimsaidie nyanya na babu kwa kazi ambazo wangehitaji, ni watii na kuwasikiza. Usiwakasirishe kwa jambo lolote. Tuliwasili na nikaabiri gari lililokuwa kwenye stesheni limeegeshwa kando ya barabara. Nilimpungia mama mkono na kumwambia kwaheri ya kuonana. Gari lilijaa na kuondoka ukielekea Nakuru upande ambao Safari llikua ndefu sana na yakuchosha nili lala na kuamka bado hatujawasili. Tulianza kuskia makelele mbele nikashangazwa kumbe yalikuwa makelele ya wanabiashara waliokuwa wakitafuta riziki. Nilitoa shilingi hamsini na kununua mahindi choma ambayo nilielekea nikila. Kwa muda mchache tulifika na kushuka gari hilo nili ambiri pikipiki na kunifikisha kwa nyanya. Nilipomuona nyanya nilishikwa na furaha moyoni na kukimbia kumkumbatia. Nilikaribishwa na kikombe cha chai na mahindi iliyokuwa imechemshwa na chumvi. Nilikula na baadaye kuanza kuonyeshwa sehemu hiyo. Watu wa eneo hiyo walikuwa wakulima wa mahindi. ilikuwa wakati wa kuvuna mahindi. Nilirejea na kuelekea nyumbani mwa babu. Tulikula vizuri na kisha kulala. Kesho yake tuliamka na kwenda shambani kusaidia kuvuna mahindi. Shamba ilikuwa kubwa mno na kazi hiyo ilikuwa ya kuchosha. Baada ya hapo tulielekea ziwani kuchota maji. Mambo hayakuwa rahisi sana lakini niliyazoea. Tulielekea katika msitu uliokuwa karibu na kuchukuwa matunda yaliyopendeza macho. Kwa kweli mambo yalikuwa mazuri sana na yakupendeza.
Nilikuwa ninasafiri na nai
{ "text": [ "peke yangu" ] }
4355_swa
SAFARI YA MASHAMBANI Baada ya kufunga shule nilirejea nyumbani na kumpata mama ameandaa chakula, nilimsalimu na kumparipoti yangu ya mitihani. Baadaye niliketi chini nakuanza kushtaki njaa ambayo ilikuwa imenizidi, harufu ya nyama iliyo kaangwa vizuri ilichokoza pua langu na kupendeza macho yangu. Mama aliniarifu kwamba “kesho utaelekea kumtembelea nyanya na babu yako” maana nilikuwa nimekawia kabla ya kuwaona. Nilikuwa na safiri pekee yangu kwenda nyumbani jambo ambacho sijawahi tangu utotoni mwangu. Nilielekea bafu nikastaki uchafu kwa maji vuguvugu na kurejea katika chumba cha kulala. Niliandaa nguo kadha katika begi na vitu nilivyohitaji zote. Nilielekea kulala na kungoja siku hiyo. Hatimaye iliwadia na saa kumi nikaamshwa na alama yangu nilijitayarisha na kuelekea kushtaki njaa na baadaye kumuamsha mama anisindikize. Aliubeba begi kwa kichwa na kunisindikiza akinipa mawaidha kwamba nimsaidie nyanya na babu kwa kazi ambazo wangehitaji, ni watii na kuwasikiza. Usiwakasirishe kwa jambo lolote. Tuliwasili na nikaabiri gari lililokuwa kwenye stesheni limeegeshwa kando ya barabara. Nilimpungia mama mkono na kumwambia kwaheri ya kuonana. Gari lilijaa na kuondoka ukielekea Nakuru upande ambao Safari llikua ndefu sana na yakuchosha nili lala na kuamka bado hatujawasili. Tulianza kuskia makelele mbele nikashangazwa kumbe yalikuwa makelele ya wanabiashara waliokuwa wakitafuta riziki. Nilitoa shilingi hamsini na kununua mahindi choma ambayo nilielekea nikila. Kwa muda mchache tulifika na kushuka gari hilo nili ambiri pikipiki na kunifikisha kwa nyanya. Nilipomuona nyanya nilishikwa na furaha moyoni na kukimbia kumkumbatia. Nilikaribishwa na kikombe cha chai na mahindi iliyokuwa imechemshwa na chumvi. Nilikula na baadaye kuanza kuonyeshwa sehemu hiyo. Watu wa eneo hiyo walikuwa wakulima wa mahindi. ilikuwa wakati wa kuvuna mahindi. Nilirejea na kuelekea nyumbani mwa babu. Tulikula vizuri na kisha kulala. Kesho yake tuliamka na kwenda shambani kusaidia kuvuna mahindi. Shamba ilikuwa kubwa mno na kazi hiyo ilikuwa ya kuchosha. Baada ya hapo tulielekea ziwani kuchota maji. Mambo hayakuwa rahisi sana lakini niliyazoea. Tulielekea katika msitu uliokuwa karibu na kuchukuwa matunda yaliyopendeza macho. Kwa kweli mambo yalikuwa mazuri sana na yakupendeza.
Niliamshwa saa ngapi
{ "text": [ "Saa kumi" ] }
4355_swa
SAFARI YA MASHAMBANI Baada ya kufunga shule nilirejea nyumbani na kumpata mama ameandaa chakula, nilimsalimu na kumparipoti yangu ya mitihani. Baadaye niliketi chini nakuanza kushtaki njaa ambayo ilikuwa imenizidi, harufu ya nyama iliyo kaangwa vizuri ilichokoza pua langu na kupendeza macho yangu. Mama aliniarifu kwamba “kesho utaelekea kumtembelea nyanya na babu yako” maana nilikuwa nimekawia kabla ya kuwaona. Nilikuwa na safiri pekee yangu kwenda nyumbani jambo ambacho sijawahi tangu utotoni mwangu. Nilielekea bafu nikastaki uchafu kwa maji vuguvugu na kurejea katika chumba cha kulala. Niliandaa nguo kadha katika begi na vitu nilivyohitaji zote. Nilielekea kulala na kungoja siku hiyo. Hatimaye iliwadia na saa kumi nikaamshwa na alama yangu nilijitayarisha na kuelekea kushtaki njaa na baadaye kumuamsha mama anisindikize. Aliubeba begi kwa kichwa na kunisindikiza akinipa mawaidha kwamba nimsaidie nyanya na babu kwa kazi ambazo wangehitaji, ni watii na kuwasikiza. Usiwakasirishe kwa jambo lolote. Tuliwasili na nikaabiri gari lililokuwa kwenye stesheni limeegeshwa kando ya barabara. Nilimpungia mama mkono na kumwambia kwaheri ya kuonana. Gari lilijaa na kuondoka ukielekea Nakuru upande ambao Safari llikua ndefu sana na yakuchosha nili lala na kuamka bado hatujawasili. Tulianza kuskia makelele mbele nikashangazwa kumbe yalikuwa makelele ya wanabiashara waliokuwa wakitafuta riziki. Nilitoa shilingi hamsini na kununua mahindi choma ambayo nilielekea nikila. Kwa muda mchache tulifika na kushuka gari hilo nili ambiri pikipiki na kunifikisha kwa nyanya. Nilipomuona nyanya nilishikwa na furaha moyoni na kukimbia kumkumbatia. Nilikaribishwa na kikombe cha chai na mahindi iliyokuwa imechemshwa na chumvi. Nilikula na baadaye kuanza kuonyeshwa sehemu hiyo. Watu wa eneo hiyo walikuwa wakulima wa mahindi. ilikuwa wakati wa kuvuna mahindi. Nilirejea na kuelekea nyumbani mwa babu. Tulikula vizuri na kisha kulala. Kesho yake tuliamka na kwenda shambani kusaidia kuvuna mahindi. Shamba ilikuwa kubwa mno na kazi hiyo ilikuwa ya kuchosha. Baada ya hapo tulielekea ziwani kuchota maji. Mambo hayakuwa rahisi sana lakini niliyazoea. Tulielekea katika msitu uliokuwa karibu na kuchukuwa matunda yaliyopendeza macho. Kwa kweli mambo yalikuwa mazuri sana na yakupendeza.
Mbona nilifurahi kusikia habari hiyo
{ "text": [ "Kwa maana nilikuwa nimekawia kabla ya kuwaona nyanya na babu" ] }
4356_swa
MAISHA YA MASHAMBANI Naam, katika likizo ya mwisho wa mwaka, nilipata fursa ya kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilikuwa na furaha furi! furi! nilipofika na kumwona nyanya na babu yangu, nilifurahi pia kuona jinsi maisha ya mashambani yalivyokuwa. Maisha ya mashambani yalikuwa maisha ya kujitegemea na kujisaidia. Nyanya na babu yangu walikuwa na mifugo na shamba kubwa, maisha ya mashambani pia ni mazuri kwa sababu ni pahali kutulivu na watu wanasaidiana kwa kila jambo. Kila adhuhuri watu huamka na kwenda mtoni kuoga na watu huwa na furaha mithili ya mfalme na pia hujiringa kama tausi, watu hutembea pole pole mithili ya kobe wanapoenda mtoni Alaa! nilipatwa na mshtuko ambavyo nilivyo tabasamu na kuona shamba kubwa na ambalo limejaa matunda na kila aina ya miti. Nilifurahi na kwanza kula matunda. Siku ya pili ilipofika nyanya yangu alinialika shambani ili niweze kumsaidia na ukulima na kupanda mimea. Tulipofika shambani niliona mashamba mengi upande wa milima. Nyanya yangu akanielezea kuwa watu wengi huku mashambani ni wakulima na wana mashamba mengi ambazo huwaletea faida na pia vyakula ambazo zinapatikana huku huwa chakula ya watu ambao huishi mjini. Nyanya yangu alinipa jembe ilinimsaidie katika ukulima. Tulipofika katikakati tulihisi kiu ikabidi kwanza tuendee maji mtoni. Maisha hii ilikuwa maisha yenye furaha na kwa kuwa unge ila matunda ambalo ulitaka, ungeamka na kwenda mtoni na kufurahia na wenzako na pia maisha ya ukulima kwa sababu ukulima unasaidia na chakula lakini pia ilikuwa lazima ufanye kazi ili ule. Ilikuwa siku ambayo sitawahi sahau. Nilifurahi riboribo nilipo pata nafasi ya kwenda mashambani na kuona maisha
Maisha ya mashambani yalikuwa maisha ya kufanya nini
{ "text": [ "Kujitegemea na kujisaidia" ] }
4356_swa
MAISHA YA MASHAMBANI Naam, katika likizo ya mwisho wa mwaka, nilipata fursa ya kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilikuwa na furaha furi! furi! nilipofika na kumwona nyanya na babu yangu, nilifurahi pia kuona jinsi maisha ya mashambani yalivyokuwa. Maisha ya mashambani yalikuwa maisha ya kujitegemea na kujisaidia. Nyanya na babu yangu walikuwa na mifugo na shamba kubwa, maisha ya mashambani pia ni mazuri kwa sababu ni pahali kutulivu na watu wanasaidiana kwa kila jambo. Kila adhuhuri watu huamka na kwenda mtoni kuoga na watu huwa na furaha mithili ya mfalme na pia hujiringa kama tausi, watu hutembea pole pole mithili ya kobe wanapoenda mtoni Alaa! nilipatwa na mshtuko ambavyo nilivyo tabasamu na kuona shamba kubwa na ambalo limejaa matunda na kila aina ya miti. Nilifurahi na kwanza kula matunda. Siku ya pili ilipofika nyanya yangu alinialika shambani ili niweze kumsaidia na ukulima na kupanda mimea. Tulipofika shambani niliona mashamba mengi upande wa milima. Nyanya yangu akanielezea kuwa watu wengi huku mashambani ni wakulima na wana mashamba mengi ambazo huwaletea faida na pia vyakula ambazo zinapatikana huku huwa chakula ya watu ambao huishi mjini. Nyanya yangu alinipa jembe ilinimsaidie katika ukulima. Tulipofika katikakati tulihisi kiu ikabidi kwanza tuendee maji mtoni. Maisha hii ilikuwa maisha yenye furaha na kwa kuwa unge ila matunda ambalo ulitaka, ungeamka na kwenda mtoni na kufurahia na wenzako na pia maisha ya ukulima kwa sababu ukulima unasaidia na chakula lakini pia ilikuwa lazima ufanye kazi ili ule. Ilikuwa siku ambayo sitawahi sahau. Nilifurahi riboribo nilipo pata nafasi ya kwenda mashambani na kuona maisha
Nani walikuwa na mifugo na shamba kubwa
{ "text": [ "Nyana na Babu" ] }
4356_swa
MAISHA YA MASHAMBANI Naam, katika likizo ya mwisho wa mwaka, nilipata fursa ya kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilikuwa na furaha furi! furi! nilipofika na kumwona nyanya na babu yangu, nilifurahi pia kuona jinsi maisha ya mashambani yalivyokuwa. Maisha ya mashambani yalikuwa maisha ya kujitegemea na kujisaidia. Nyanya na babu yangu walikuwa na mifugo na shamba kubwa, maisha ya mashambani pia ni mazuri kwa sababu ni pahali kutulivu na watu wanasaidiana kwa kila jambo. Kila adhuhuri watu huamka na kwenda mtoni kuoga na watu huwa na furaha mithili ya mfalme na pia hujiringa kama tausi, watu hutembea pole pole mithili ya kobe wanapoenda mtoni Alaa! nilipatwa na mshtuko ambavyo nilivyo tabasamu na kuona shamba kubwa na ambalo limejaa matunda na kila aina ya miti. Nilifurahi na kwanza kula matunda. Siku ya pili ilipofika nyanya yangu alinialika shambani ili niweze kumsaidia na ukulima na kupanda mimea. Tulipofika shambani niliona mashamba mengi upande wa milima. Nyanya yangu akanielezea kuwa watu wengi huku mashambani ni wakulima na wana mashamba mengi ambazo huwaletea faida na pia vyakula ambazo zinapatikana huku huwa chakula ya watu ambao huishi mjini. Nyanya yangu alinipa jembe ilinimsaidie katika ukulima. Tulipofika katikakati tulihisi kiu ikabidi kwanza tuendee maji mtoni. Maisha hii ilikuwa maisha yenye furaha na kwa kuwa unge ila matunda ambalo ulitaka, ungeamka na kwenda mtoni na kufurahia na wenzako na pia maisha ya ukulima kwa sababu ukulima unasaidia na chakula lakini pia ilikuwa lazima ufanye kazi ili ule. Ilikuwa siku ambayo sitawahi sahau. Nilifurahi riboribo nilipo pata nafasi ya kwenda mashambani na kuona maisha
Siku ya pili ilipofika, nani alinialika shambani
{ "text": [ "Nyanya" ] }
4356_swa
MAISHA YA MASHAMBANI Naam, katika likizo ya mwisho wa mwaka, nilipata fursa ya kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilikuwa na furaha furi! furi! nilipofika na kumwona nyanya na babu yangu, nilifurahi pia kuona jinsi maisha ya mashambani yalivyokuwa. Maisha ya mashambani yalikuwa maisha ya kujitegemea na kujisaidia. Nyanya na babu yangu walikuwa na mifugo na shamba kubwa, maisha ya mashambani pia ni mazuri kwa sababu ni pahali kutulivu na watu wanasaidiana kwa kila jambo. Kila adhuhuri watu huamka na kwenda mtoni kuoga na watu huwa na furaha mithili ya mfalme na pia hujiringa kama tausi, watu hutembea pole pole mithili ya kobe wanapoenda mtoni Alaa! nilipatwa na mshtuko ambavyo nilivyo tabasamu na kuona shamba kubwa na ambalo limejaa matunda na kila aina ya miti. Nilifurahi na kwanza kula matunda. Siku ya pili ilipofika nyanya yangu alinialika shambani ili niweze kumsaidia na ukulima na kupanda mimea. Tulipofika shambani niliona mashamba mengi upande wa milima. Nyanya yangu akanielezea kuwa watu wengi huku mashambani ni wakulima na wana mashamba mengi ambazo huwaletea faida na pia vyakula ambazo zinapatikana huku huwa chakula ya watu ambao huishi mjini. Nyanya yangu alinipa jembe ilinimsaidie katika ukulima. Tulipofika katikakati tulihisi kiu ikabidi kwanza tuendee maji mtoni. Maisha hii ilikuwa maisha yenye furaha na kwa kuwa unge ila matunda ambalo ulitaka, ungeamka na kwenda mtoni na kufurahia na wenzako na pia maisha ya ukulima kwa sababu ukulima unasaidia na chakula lakini pia ilikuwa lazima ufanye kazi ili ule. Ilikuwa siku ambayo sitawahi sahau. Nilifurahi riboribo nilipo pata nafasi ya kwenda mashambani na kuona maisha
Maisha haya yalikuwa maisha yeynye nini
{ "text": [ "Furaha" ] }
4356_swa
MAISHA YA MASHAMBANI Naam, katika likizo ya mwisho wa mwaka, nilipata fursa ya kuwatembelea jamaa zangu mashambani. Nilikuwa na furaha furi! furi! nilipofika na kumwona nyanya na babu yangu, nilifurahi pia kuona jinsi maisha ya mashambani yalivyokuwa. Maisha ya mashambani yalikuwa maisha ya kujitegemea na kujisaidia. Nyanya na babu yangu walikuwa na mifugo na shamba kubwa, maisha ya mashambani pia ni mazuri kwa sababu ni pahali kutulivu na watu wanasaidiana kwa kila jambo. Kila adhuhuri watu huamka na kwenda mtoni kuoga na watu huwa na furaha mithili ya mfalme na pia hujiringa kama tausi, watu hutembea pole pole mithili ya kobe wanapoenda mtoni Alaa! nilipatwa na mshtuko ambavyo nilivyo tabasamu na kuona shamba kubwa na ambalo limejaa matunda na kila aina ya miti. Nilifurahi na kwanza kula matunda. Siku ya pili ilipofika nyanya yangu alinialika shambani ili niweze kumsaidia na ukulima na kupanda mimea. Tulipofika shambani niliona mashamba mengi upande wa milima. Nyanya yangu akanielezea kuwa watu wengi huku mashambani ni wakulima na wana mashamba mengi ambazo huwaletea faida na pia vyakula ambazo zinapatikana huku huwa chakula ya watu ambao huishi mjini. Nyanya yangu alinipa jembe ilinimsaidie katika ukulima. Tulipofika katikakati tulihisi kiu ikabidi kwanza tuendee maji mtoni. Maisha hii ilikuwa maisha yenye furaha na kwa kuwa unge ila matunda ambalo ulitaka, ungeamka na kwenda mtoni na kufurahia na wenzako na pia maisha ya ukulima kwa sababu ukulima unasaidia na chakula lakini pia ilikuwa lazima ufanye kazi ili ule. Ilikuwa siku ambayo sitawahi sahau. Nilifurahi riboribo nilipo pata nafasi ya kwenda mashambani na kuona maisha
Nilifurahia riboribo nilipopata nafasi ya kuenda wapi
{ "text": [ "Mashambani" ] }
4358_swa
ZIARA MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Jumamosi, siku niliyoingoja kwa hamu na ghamu. Usiku huo sikulala nilikuwa na usingizi wa mang’amung’amu. Nilikuwa na furaha mpitompito kama kibogoyo aliyetunukiwa meno ya kunyofulia, mapochopocho. Itikuwa ndiyo siku yanqu ya kwanza kuelekea mashambani. Nilikuwa na hamu ya kuwaona majamaa zangu. Naam nao wahenga hawakukosea walipokaa ukumbini na kisha kutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa na kukuli kuwa hayawi hayawi, huwa. Siku yenyewe ilifikia kwa kishindo kikubwa. Mimi ndiye niliyekuwa wa kwanza kutoka chumbani baada ya kupitia bafuni. Nilitembea kwa mwendo wa asteaste hadi kabatini ambapo nguo iliyopangiwa kwa siku hiyo ilipokuwa. Ila nilijitoza ndani na kisha kujitazama kioni, masalalleh! Niliyemwona sikumdhamini. Nilimetameta mithili ya nyota za angani kweli nilipendeza si haba. Nilitembea moja kwa moja hadi sebuleni huku nikikagua mwendo wangu ilinisije nikajikwa punde tu tulipojitoma garini baba hakuchelewa kuligurumisha gari hadi tulipokuwa tukielekea. Baada ya muda lisio na kifani tuliwasili. Tuliwakuta mandugu na majamaa zetu wametungoja kwa hamu na hamumu. Sura zao zilionyesha furaha isiyoyakifani kama tasa aliyepata mwana. Tulikaribishwa kwa vyakula Viazi vitamu, mboga za kienyeji na pia kuku aliyekaangwa hakuwachwa nyuma. Nyakati za usiku zilipotimia, tulijibwaga kwenye chumba cha babu naye hakuchelewa kutusimulia hadithi. Kweli wazee wakonga mawe hawakukosea waliposema kuwa mwacha mila si mtumwa. Huko mjini nilizoea mama alikuwa akituimbia nyimbo za kulala lakini mambo huku hayakuwa kama yalivyokuwa. Asubuhi iliyofuata kabla ya nyoni kutunga wimbo zao tamu za kunogoanogoa kuashiria siku njema. Tulipokula kiamsha kinywa basi hapo hapo tulishika kiguu na njia moja moja hadi matembezini. Njiani tulikutana na watu mbali mbali walioniangalia nikana kwamba hawaku nifahamu ila walitusalimia lakini kwa lugha nisiyoelewa. Hapo nami niliwaangalia tu kweli chambilecho wahenga waliposema huku mgeni hakosi kamba mguuni Siku ziliendelea hivi kila siku na miujiza yake tulikwenda kuiba maembe. Nyakati mwingine tulimsaidia nyanya na babu. Na vile wazee wa zamani waliposema kilicho na mwanzo kina mwisho. Basi siku yenyewe iliisha nasi tukang’oa nanga kurudi mjini. Kweli ni siku ambayo sitawahi sahau ziara yetu mashambani.
Ilikuwa siku gani
{ "text": [ "Jumamosi" ] }
4358_swa
ZIARA MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Jumamosi, siku niliyoingoja kwa hamu na ghamu. Usiku huo sikulala nilikuwa na usingizi wa mang’amung’amu. Nilikuwa na furaha mpitompito kama kibogoyo aliyetunukiwa meno ya kunyofulia, mapochopocho. Itikuwa ndiyo siku yanqu ya kwanza kuelekea mashambani. Nilikuwa na hamu ya kuwaona majamaa zangu. Naam nao wahenga hawakukosea walipokaa ukumbini na kisha kutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa na kukuli kuwa hayawi hayawi, huwa. Siku yenyewe ilifikia kwa kishindo kikubwa. Mimi ndiye niliyekuwa wa kwanza kutoka chumbani baada ya kupitia bafuni. Nilitembea kwa mwendo wa asteaste hadi kabatini ambapo nguo iliyopangiwa kwa siku hiyo ilipokuwa. Ila nilijitoza ndani na kisha kujitazama kioni, masalalleh! Niliyemwona sikumdhamini. Nilimetameta mithili ya nyota za angani kweli nilipendeza si haba. Nilitembea moja kwa moja hadi sebuleni huku nikikagua mwendo wangu ilinisije nikajikwa punde tu tulipojitoma garini baba hakuchelewa kuligurumisha gari hadi tulipokuwa tukielekea. Baada ya muda lisio na kifani tuliwasili. Tuliwakuta mandugu na majamaa zetu wametungoja kwa hamu na hamumu. Sura zao zilionyesha furaha isiyoyakifani kama tasa aliyepata mwana. Tulikaribishwa kwa vyakula Viazi vitamu, mboga za kienyeji na pia kuku aliyekaangwa hakuwachwa nyuma. Nyakati za usiku zilipotimia, tulijibwaga kwenye chumba cha babu naye hakuchelewa kutusimulia hadithi. Kweli wazee wakonga mawe hawakukosea waliposema kuwa mwacha mila si mtumwa. Huko mjini nilizoea mama alikuwa akituimbia nyimbo za kulala lakini mambo huku hayakuwa kama yalivyokuwa. Asubuhi iliyofuata kabla ya nyoni kutunga wimbo zao tamu za kunogoanogoa kuashiria siku njema. Tulipokula kiamsha kinywa basi hapo hapo tulishika kiguu na njia moja moja hadi matembezini. Njiani tulikutana na watu mbali mbali walioniangalia nikana kwamba hawaku nifahamu ila walitusalimia lakini kwa lugha nisiyoelewa. Hapo nami niliwaangalia tu kweli chambilecho wahenga waliposema huku mgeni hakosi kamba mguuni Siku ziliendelea hivi kila siku na miujiza yake tulikwenda kuiba maembe. Nyakati mwingine tulimsaidia nyanya na babu. Na vile wazee wa zamani waliposema kilicho na mwanzo kina mwisho. Basi siku yenyewe iliisha nasi tukang’oa nanga kurudi mjini. Kweli ni siku ambayo sitawahi sahau ziara yetu mashambani.
Ilikuwa siku yangu ya ngapi kuelekea mashambani
{ "text": [ "Ya kwanza" ] }
4358_swa
ZIARA MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Jumamosi, siku niliyoingoja kwa hamu na ghamu. Usiku huo sikulala nilikuwa na usingizi wa mang’amung’amu. Nilikuwa na furaha mpitompito kama kibogoyo aliyetunukiwa meno ya kunyofulia, mapochopocho. Itikuwa ndiyo siku yanqu ya kwanza kuelekea mashambani. Nilikuwa na hamu ya kuwaona majamaa zangu. Naam nao wahenga hawakukosea walipokaa ukumbini na kisha kutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa na kukuli kuwa hayawi hayawi, huwa. Siku yenyewe ilifikia kwa kishindo kikubwa. Mimi ndiye niliyekuwa wa kwanza kutoka chumbani baada ya kupitia bafuni. Nilitembea kwa mwendo wa asteaste hadi kabatini ambapo nguo iliyopangiwa kwa siku hiyo ilipokuwa. Ila nilijitoza ndani na kisha kujitazama kioni, masalalleh! Niliyemwona sikumdhamini. Nilimetameta mithili ya nyota za angani kweli nilipendeza si haba. Nilitembea moja kwa moja hadi sebuleni huku nikikagua mwendo wangu ilinisije nikajikwa punde tu tulipojitoma garini baba hakuchelewa kuligurumisha gari hadi tulipokuwa tukielekea. Baada ya muda lisio na kifani tuliwasili. Tuliwakuta mandugu na majamaa zetu wametungoja kwa hamu na hamumu. Sura zao zilionyesha furaha isiyoyakifani kama tasa aliyepata mwana. Tulikaribishwa kwa vyakula Viazi vitamu, mboga za kienyeji na pia kuku aliyekaangwa hakuwachwa nyuma. Nyakati za usiku zilipotimia, tulijibwaga kwenye chumba cha babu naye hakuchelewa kutusimulia hadithi. Kweli wazee wakonga mawe hawakukosea waliposema kuwa mwacha mila si mtumwa. Huko mjini nilizoea mama alikuwa akituimbia nyimbo za kulala lakini mambo huku hayakuwa kama yalivyokuwa. Asubuhi iliyofuata kabla ya nyoni kutunga wimbo zao tamu za kunogoanogoa kuashiria siku njema. Tulipokula kiamsha kinywa basi hapo hapo tulishika kiguu na njia moja moja hadi matembezini. Njiani tulikutana na watu mbali mbali walioniangalia nikana kwamba hawaku nifahamu ila walitusalimia lakini kwa lugha nisiyoelewa. Hapo nami niliwaangalia tu kweli chambilecho wahenga waliposema huku mgeni hakosi kamba mguuni Siku ziliendelea hivi kila siku na miujiza yake tulikwenda kuiba maembe. Nyakati mwingine tulimsaidia nyanya na babu. Na vile wazee wa zamani waliposema kilicho na mwanzo kina mwisho. Basi siku yenyewe iliisha nasi tukang’oa nanga kurudi mjini. Kweli ni siku ambayo sitawahi sahau ziara yetu mashambani.
Nani alikuwa wa kwanza kutoka chumbani
{ "text": [ "Mimi" ] }
4358_swa
ZIARA MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Jumamosi, siku niliyoingoja kwa hamu na ghamu. Usiku huo sikulala nilikuwa na usingizi wa mang’amung’amu. Nilikuwa na furaha mpitompito kama kibogoyo aliyetunukiwa meno ya kunyofulia, mapochopocho. Itikuwa ndiyo siku yanqu ya kwanza kuelekea mashambani. Nilikuwa na hamu ya kuwaona majamaa zangu. Naam nao wahenga hawakukosea walipokaa ukumbini na kisha kutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa na kukuli kuwa hayawi hayawi, huwa. Siku yenyewe ilifikia kwa kishindo kikubwa. Mimi ndiye niliyekuwa wa kwanza kutoka chumbani baada ya kupitia bafuni. Nilitembea kwa mwendo wa asteaste hadi kabatini ambapo nguo iliyopangiwa kwa siku hiyo ilipokuwa. Ila nilijitoza ndani na kisha kujitazama kioni, masalalleh! Niliyemwona sikumdhamini. Nilimetameta mithili ya nyota za angani kweli nilipendeza si haba. Nilitembea moja kwa moja hadi sebuleni huku nikikagua mwendo wangu ilinisije nikajikwa punde tu tulipojitoma garini baba hakuchelewa kuligurumisha gari hadi tulipokuwa tukielekea. Baada ya muda lisio na kifani tuliwasili. Tuliwakuta mandugu na majamaa zetu wametungoja kwa hamu na hamumu. Sura zao zilionyesha furaha isiyoyakifani kama tasa aliyepata mwana. Tulikaribishwa kwa vyakula Viazi vitamu, mboga za kienyeji na pia kuku aliyekaangwa hakuwachwa nyuma. Nyakati za usiku zilipotimia, tulijibwaga kwenye chumba cha babu naye hakuchelewa kutusimulia hadithi. Kweli wazee wakonga mawe hawakukosea waliposema kuwa mwacha mila si mtumwa. Huko mjini nilizoea mama alikuwa akituimbia nyimbo za kulala lakini mambo huku hayakuwa kama yalivyokuwa. Asubuhi iliyofuata kabla ya nyoni kutunga wimbo zao tamu za kunogoanogoa kuashiria siku njema. Tulipokula kiamsha kinywa basi hapo hapo tulishika kiguu na njia moja moja hadi matembezini. Njiani tulikutana na watu mbali mbali walioniangalia nikana kwamba hawaku nifahamu ila walitusalimia lakini kwa lugha nisiyoelewa. Hapo nami niliwaangalia tu kweli chambilecho wahenga waliposema huku mgeni hakosi kamba mguuni Siku ziliendelea hivi kila siku na miujiza yake tulikwenda kuiba maembe. Nyakati mwingine tulimsaidia nyanya na babu. Na vile wazee wa zamani waliposema kilicho na mwanzo kina mwisho. Basi siku yenyewe iliisha nasi tukang’oa nanga kurudi mjini. Kweli ni siku ambayo sitawahi sahau ziara yetu mashambani.
Nani hakuchelewa kutusimulia hadithi
{ "text": [ "Babu" ] }
4358_swa
ZIARA MASHAMBANI Ilikuwa siku ya Jumamosi, siku niliyoingoja kwa hamu na ghamu. Usiku huo sikulala nilikuwa na usingizi wa mang’amung’amu. Nilikuwa na furaha mpitompito kama kibogoyo aliyetunukiwa meno ya kunyofulia, mapochopocho. Itikuwa ndiyo siku yanqu ya kwanza kuelekea mashambani. Nilikuwa na hamu ya kuwaona majamaa zangu. Naam nao wahenga hawakukosea walipokaa ukumbini na kisha kutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa na kukuli kuwa hayawi hayawi, huwa. Siku yenyewe ilifikia kwa kishindo kikubwa. Mimi ndiye niliyekuwa wa kwanza kutoka chumbani baada ya kupitia bafuni. Nilitembea kwa mwendo wa asteaste hadi kabatini ambapo nguo iliyopangiwa kwa siku hiyo ilipokuwa. Ila nilijitoza ndani na kisha kujitazama kioni, masalalleh! Niliyemwona sikumdhamini. Nilimetameta mithili ya nyota za angani kweli nilipendeza si haba. Nilitembea moja kwa moja hadi sebuleni huku nikikagua mwendo wangu ilinisije nikajikwa punde tu tulipojitoma garini baba hakuchelewa kuligurumisha gari hadi tulipokuwa tukielekea. Baada ya muda lisio na kifani tuliwasili. Tuliwakuta mandugu na majamaa zetu wametungoja kwa hamu na hamumu. Sura zao zilionyesha furaha isiyoyakifani kama tasa aliyepata mwana. Tulikaribishwa kwa vyakula Viazi vitamu, mboga za kienyeji na pia kuku aliyekaangwa hakuwachwa nyuma. Nyakati za usiku zilipotimia, tulijibwaga kwenye chumba cha babu naye hakuchelewa kutusimulia hadithi. Kweli wazee wakonga mawe hawakukosea waliposema kuwa mwacha mila si mtumwa. Huko mjini nilizoea mama alikuwa akituimbia nyimbo za kulala lakini mambo huku hayakuwa kama yalivyokuwa. Asubuhi iliyofuata kabla ya nyoni kutunga wimbo zao tamu za kunogoanogoa kuashiria siku njema. Tulipokula kiamsha kinywa basi hapo hapo tulishika kiguu na njia moja moja hadi matembezini. Njiani tulikutana na watu mbali mbali walioniangalia nikana kwamba hawaku nifahamu ila walitusalimia lakini kwa lugha nisiyoelewa. Hapo nami niliwaangalia tu kweli chambilecho wahenga waliposema huku mgeni hakosi kamba mguuni Siku ziliendelea hivi kila siku na miujiza yake tulikwenda kuiba maembe. Nyakati mwingine tulimsaidia nyanya na babu. Na vile wazee wa zamani waliposema kilicho na mwanzo kina mwisho. Basi siku yenyewe iliisha nasi tukang’oa nanga kurudi mjini. Kweli ni siku ambayo sitawahi sahau ziara yetu mashambani.
Njiani tulikutana na nani
{ "text": [ "Watu mbali mbali" ] }
4701_swa
SOKO LETU Soko ni pahali penye mkusanyiko wa watu wanaouza vitu rejareja. Soko letu linaitwa daraja mbili. Hupatikana katika Kaunti ya Kisii. Soko letu huuza bidhaa nyingi mno. Inapofika kwenye lango kuu la kuingia ndani, kina mama hutandika nyanya zao wanazoziuza. Kunao ambao huuza kwa bei ya juu na kunao ambao huuza kwa bei ya chini. Wale ambao hukaa upande wa kulia huuza kwanzia mia moja hadi mia tano bali wale ambao hukaa upande wa kushoto huuza kati ya mia sita hadi elfu moja na nyanya zote hizo huwa nzuri kwa mapishi Unapasonga mbele kidogo, utapata watu ambao huuza matunda. Matunda ambazo wao huuza ni kama vile; tofaha. tikitimaji, maembe, machungwa, avokado na zinginezo nyingi. Wao huuza kwa bei ya juu wakati wa kiangazi ilhali wao pia huuza kwa bei ya chini iwapo kuna mvua mwingi wakati huo. Bila kusahau, kuna hoteli ndani ya soko letu. Katika hoteli hiyo kuna vyakula mbalimbali ambavyo wao hupika na kuwauzia wafanya biashara. Kustaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Chakula hicho huwa kitamu kama halua na mtu huhisi sana kuramba sahani lakini wao huuza kwa bei ya juu sana ambayo watu wengi hawawezi kuwa nayo. Watu hutembeza vitu rejareja ndani ya soko huku wakiwauzia wateja ambao huwa humo ndani. Vitu hivyo ni kama vile saa ya mkono, lawalawa, vifaa vya kuandikia na vitu vinginevyo. Watu wengi hutandika nguo zao aina ya mtumba. Sisi hupenda sana kununua aina hiyo ya nguo kwa sababu si ya bei kali na huwa maridadi sana. Changamoto inayowapata wanabiashara ambao huuza nguo zao madukani kwa ajili wa bei kali na unaweza ukapata nguo ina kasoro na ni vigumu sana kurudisha dukani. Pia kuna viatu vya mtumba ambazo huuzwa kwa bei ya chini kabisa. Wanabiashara huuza kuanzia hata shilingi tano hadi mia tano. Kwa hiyo sababu, sisi kama binadamu hupenda sana kununua viatu vya mtumba sana. Viatu hivyo huwa ni vya kupendeza na maridadi sana kuna viungo vya upishi vingi sana ambavyo sisi hununua kutoka sokoni kama vile karoti, dania, pilipili mboga, pilipili na hata tangawizi. Viungo hivyo huwa nzuri sana kutoka shambani na huwa nzuri sana kwa mapishi. Nje ya soko pia kuna uuzaji wa wanyama tofauti tofauti kama vile ng’ombe, kuku, mbuzi na hata kondoo. Watu huuza kwa bei ya juu na hata saa zingine wao huuza kwa bei ya chini. Mimi naipenda soko yetu. Kwani kazi ya Mungu haina makosa.
Soko la daraja mbili linapatikana wapi
{ "text": [ "Kaunti ya kisii" ] }
4701_swa
SOKO LETU Soko ni pahali penye mkusanyiko wa watu wanaouza vitu rejareja. Soko letu linaitwa daraja mbili. Hupatikana katika Kaunti ya Kisii. Soko letu huuza bidhaa nyingi mno. Inapofika kwenye lango kuu la kuingia ndani, kina mama hutandika nyanya zao wanazoziuza. Kunao ambao huuza kwa bei ya juu na kunao ambao huuza kwa bei ya chini. Wale ambao hukaa upande wa kulia huuza kwanzia mia moja hadi mia tano bali wale ambao hukaa upande wa kushoto huuza kati ya mia sita hadi elfu moja na nyanya zote hizo huwa nzuri kwa mapishi Unapasonga mbele kidogo, utapata watu ambao huuza matunda. Matunda ambazo wao huuza ni kama vile; tofaha. tikitimaji, maembe, machungwa, avokado na zinginezo nyingi. Wao huuza kwa bei ya juu wakati wa kiangazi ilhali wao pia huuza kwa bei ya chini iwapo kuna mvua mwingi wakati huo. Bila kusahau, kuna hoteli ndani ya soko letu. Katika hoteli hiyo kuna vyakula mbalimbali ambavyo wao hupika na kuwauzia wafanya biashara. Kustaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Chakula hicho huwa kitamu kama halua na mtu huhisi sana kuramba sahani lakini wao huuza kwa bei ya juu sana ambayo watu wengi hawawezi kuwa nayo. Watu hutembeza vitu rejareja ndani ya soko huku wakiwauzia wateja ambao huwa humo ndani. Vitu hivyo ni kama vile saa ya mkono, lawalawa, vifaa vya kuandikia na vitu vinginevyo. Watu wengi hutandika nguo zao aina ya mtumba. Sisi hupenda sana kununua aina hiyo ya nguo kwa sababu si ya bei kali na huwa maridadi sana. Changamoto inayowapata wanabiashara ambao huuza nguo zao madukani kwa ajili wa bei kali na unaweza ukapata nguo ina kasoro na ni vigumu sana kurudisha dukani. Pia kuna viatu vya mtumba ambazo huuzwa kwa bei ya chini kabisa. Wanabiashara huuza kuanzia hata shilingi tano hadi mia tano. Kwa hiyo sababu, sisi kama binadamu hupenda sana kununua viatu vya mtumba sana. Viatu hivyo huwa ni vya kupendeza na maridadi sana kuna viungo vya upishi vingi sana ambavyo sisi hununua kutoka sokoni kama vile karoti, dania, pilipili mboga, pilipili na hata tangawizi. Viungo hivyo huwa nzuri sana kutoka shambani na huwa nzuri sana kwa mapishi. Nje ya soko pia kuna uuzaji wa wanyama tofauti tofauti kama vile ng’ombe, kuku, mbuzi na hata kondoo. Watu huuza kwa bei ya juu na hata saa zingine wao huuza kwa bei ya chini. Mimi naipenda soko yetu. Kwani kazi ya Mungu haina makosa.
Kina mama wanaokaa kushoto sokoni huuza nyanya kuanzia shilingi ngapi
{ "text": [ "Mia sita hadi elfu moja" ] }
4701_swa
SOKO LETU Soko ni pahali penye mkusanyiko wa watu wanaouza vitu rejareja. Soko letu linaitwa daraja mbili. Hupatikana katika Kaunti ya Kisii. Soko letu huuza bidhaa nyingi mno. Inapofika kwenye lango kuu la kuingia ndani, kina mama hutandika nyanya zao wanazoziuza. Kunao ambao huuza kwa bei ya juu na kunao ambao huuza kwa bei ya chini. Wale ambao hukaa upande wa kulia huuza kwanzia mia moja hadi mia tano bali wale ambao hukaa upande wa kushoto huuza kati ya mia sita hadi elfu moja na nyanya zote hizo huwa nzuri kwa mapishi Unapasonga mbele kidogo, utapata watu ambao huuza matunda. Matunda ambazo wao huuza ni kama vile; tofaha. tikitimaji, maembe, machungwa, avokado na zinginezo nyingi. Wao huuza kwa bei ya juu wakati wa kiangazi ilhali wao pia huuza kwa bei ya chini iwapo kuna mvua mwingi wakati huo. Bila kusahau, kuna hoteli ndani ya soko letu. Katika hoteli hiyo kuna vyakula mbalimbali ambavyo wao hupika na kuwauzia wafanya biashara. Kustaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Chakula hicho huwa kitamu kama halua na mtu huhisi sana kuramba sahani lakini wao huuza kwa bei ya juu sana ambayo watu wengi hawawezi kuwa nayo. Watu hutembeza vitu rejareja ndani ya soko huku wakiwauzia wateja ambao huwa humo ndani. Vitu hivyo ni kama vile saa ya mkono, lawalawa, vifaa vya kuandikia na vitu vinginevyo. Watu wengi hutandika nguo zao aina ya mtumba. Sisi hupenda sana kununua aina hiyo ya nguo kwa sababu si ya bei kali na huwa maridadi sana. Changamoto inayowapata wanabiashara ambao huuza nguo zao madukani kwa ajili wa bei kali na unaweza ukapata nguo ina kasoro na ni vigumu sana kurudisha dukani. Pia kuna viatu vya mtumba ambazo huuzwa kwa bei ya chini kabisa. Wanabiashara huuza kuanzia hata shilingi tano hadi mia tano. Kwa hiyo sababu, sisi kama binadamu hupenda sana kununua viatu vya mtumba sana. Viatu hivyo huwa ni vya kupendeza na maridadi sana kuna viungo vya upishi vingi sana ambavyo sisi hununua kutoka sokoni kama vile karoti, dania, pilipili mboga, pilipili na hata tangawizi. Viungo hivyo huwa nzuri sana kutoka shambani na huwa nzuri sana kwa mapishi. Nje ya soko pia kuna uuzaji wa wanyama tofauti tofauti kama vile ng’ombe, kuku, mbuzi na hata kondoo. Watu huuza kwa bei ya juu na hata saa zingine wao huuza kwa bei ya chini. Mimi naipenda soko yetu. Kwani kazi ya Mungu haina makosa.
Tikitimaji, tofaha, maembe ni matunda yanayouzwa katika soko lipi
{ "text": [ "Daraja moja" ] }
4701_swa
SOKO LETU Soko ni pahali penye mkusanyiko wa watu wanaouza vitu rejareja. Soko letu linaitwa daraja mbili. Hupatikana katika Kaunti ya Kisii. Soko letu huuza bidhaa nyingi mno. Inapofika kwenye lango kuu la kuingia ndani, kina mama hutandika nyanya zao wanazoziuza. Kunao ambao huuza kwa bei ya juu na kunao ambao huuza kwa bei ya chini. Wale ambao hukaa upande wa kulia huuza kwanzia mia moja hadi mia tano bali wale ambao hukaa upande wa kushoto huuza kati ya mia sita hadi elfu moja na nyanya zote hizo huwa nzuri kwa mapishi Unapasonga mbele kidogo, utapata watu ambao huuza matunda. Matunda ambazo wao huuza ni kama vile; tofaha. tikitimaji, maembe, machungwa, avokado na zinginezo nyingi. Wao huuza kwa bei ya juu wakati wa kiangazi ilhali wao pia huuza kwa bei ya chini iwapo kuna mvua mwingi wakati huo. Bila kusahau, kuna hoteli ndani ya soko letu. Katika hoteli hiyo kuna vyakula mbalimbali ambavyo wao hupika na kuwauzia wafanya biashara. Kustaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Chakula hicho huwa kitamu kama halua na mtu huhisi sana kuramba sahani lakini wao huuza kwa bei ya juu sana ambayo watu wengi hawawezi kuwa nayo. Watu hutembeza vitu rejareja ndani ya soko huku wakiwauzia wateja ambao huwa humo ndani. Vitu hivyo ni kama vile saa ya mkono, lawalawa, vifaa vya kuandikia na vitu vinginevyo. Watu wengi hutandika nguo zao aina ya mtumba. Sisi hupenda sana kununua aina hiyo ya nguo kwa sababu si ya bei kali na huwa maridadi sana. Changamoto inayowapata wanabiashara ambao huuza nguo zao madukani kwa ajili wa bei kali na unaweza ukapata nguo ina kasoro na ni vigumu sana kurudisha dukani. Pia kuna viatu vya mtumba ambazo huuzwa kwa bei ya chini kabisa. Wanabiashara huuza kuanzia hata shilingi tano hadi mia tano. Kwa hiyo sababu, sisi kama binadamu hupenda sana kununua viatu vya mtumba sana. Viatu hivyo huwa ni vya kupendeza na maridadi sana kuna viungo vya upishi vingi sana ambavyo sisi hununua kutoka sokoni kama vile karoti, dania, pilipili mboga, pilipili na hata tangawizi. Viungo hivyo huwa nzuri sana kutoka shambani na huwa nzuri sana kwa mapishi. Nje ya soko pia kuna uuzaji wa wanyama tofauti tofauti kama vile ng’ombe, kuku, mbuzi na hata kondoo. Watu huuza kwa bei ya juu na hata saa zingine wao huuza kwa bei ya chini. Mimi naipenda soko yetu. Kwani kazi ya Mungu haina makosa.
Pilipili, karoti, mboga na hata tangawizi ni viungo vinavyopatikana kwenye soko lipi
{ "text": [ "Daraja moja" ] }
4701_swa
SOKO LETU Soko ni pahali penye mkusanyiko wa watu wanaouza vitu rejareja. Soko letu linaitwa daraja mbili. Hupatikana katika Kaunti ya Kisii. Soko letu huuza bidhaa nyingi mno. Inapofika kwenye lango kuu la kuingia ndani, kina mama hutandika nyanya zao wanazoziuza. Kunao ambao huuza kwa bei ya juu na kunao ambao huuza kwa bei ya chini. Wale ambao hukaa upande wa kulia huuza kwanzia mia moja hadi mia tano bali wale ambao hukaa upande wa kushoto huuza kati ya mia sita hadi elfu moja na nyanya zote hizo huwa nzuri kwa mapishi Unapasonga mbele kidogo, utapata watu ambao huuza matunda. Matunda ambazo wao huuza ni kama vile; tofaha. tikitimaji, maembe, machungwa, avokado na zinginezo nyingi. Wao huuza kwa bei ya juu wakati wa kiangazi ilhali wao pia huuza kwa bei ya chini iwapo kuna mvua mwingi wakati huo. Bila kusahau, kuna hoteli ndani ya soko letu. Katika hoteli hiyo kuna vyakula mbalimbali ambavyo wao hupika na kuwauzia wafanya biashara. Kustaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Chakula hicho huwa kitamu kama halua na mtu huhisi sana kuramba sahani lakini wao huuza kwa bei ya juu sana ambayo watu wengi hawawezi kuwa nayo. Watu hutembeza vitu rejareja ndani ya soko huku wakiwauzia wateja ambao huwa humo ndani. Vitu hivyo ni kama vile saa ya mkono, lawalawa, vifaa vya kuandikia na vitu vinginevyo. Watu wengi hutandika nguo zao aina ya mtumba. Sisi hupenda sana kununua aina hiyo ya nguo kwa sababu si ya bei kali na huwa maridadi sana. Changamoto inayowapata wanabiashara ambao huuza nguo zao madukani kwa ajili wa bei kali na unaweza ukapata nguo ina kasoro na ni vigumu sana kurudisha dukani. Pia kuna viatu vya mtumba ambazo huuzwa kwa bei ya chini kabisa. Wanabiashara huuza kuanzia hata shilingi tano hadi mia tano. Kwa hiyo sababu, sisi kama binadamu hupenda sana kununua viatu vya mtumba sana. Viatu hivyo huwa ni vya kupendeza na maridadi sana kuna viungo vya upishi vingi sana ambavyo sisi hununua kutoka sokoni kama vile karoti, dania, pilipili mboga, pilipili na hata tangawizi. Viungo hivyo huwa nzuri sana kutoka shambani na huwa nzuri sana kwa mapishi. Nje ya soko pia kuna uuzaji wa wanyama tofauti tofauti kama vile ng’ombe, kuku, mbuzi na hata kondoo. Watu huuza kwa bei ya juu na hata saa zingine wao huuza kwa bei ya chini. Mimi naipenda soko yetu. Kwani kazi ya Mungu haina makosa.
Wanyama, ng'ombe, mbuzi na kondoo huuziwa wapi
{ "text": [ "Nje ya soko" ] }
4703_swa
SOKO LETU Ilikuwa alhamisi siku ya chete. Kila mtu aliingojea kwa hamu na ghamu kwani subira huvuta heri. Bi Hamisi alituahidi kutupeleka kuzuru sokoni Lamuru. Soko hiyo ni karibu na shule kama pua na domo kwa hivyo Tulitembea aste aste yaani mwendo wa kobe. Tuliwaaga wenzetu huku wivu ukitanda moyoni mwao kwa kweli siku njema huonekana asubuhi. Baada ya saa moja unusu, tulifika pale sokoni. Umati wa wateja ulijaa. Wengine walinunua, waliuza na wengine kuzuru tu soko kama watalii. Soko lilikuwa safi na liling'aa kama nyota. Mwalimu wetu alituongoza na kutukumbusha kuandika kila tunachokiona. Tulimheshimu kwa kuwa heshima si utumwa. Mlikua na minanda, duka kuu na mabucha pia. Wanawake na wanaume, gulamu na binti nao walikuwemo. Tuliingia mgengeni Humo mlikuwa na bidhaa kama vile matunda, maboga na viungo vya upishi. Matunda ni kama parachichi, maembe na tikitiki maji. Ukiona vyaelea jua vimeundwa. Tulilenga macho yetu minandani. Humo bidhaa viliuzwa kwa bei rahisi. Wateja walizozana na wauzaji. Lakini tupilia hayo kwenye kaburi ya sahau. Bidhaa ziliuzwa kwa utaratibu huku wakizingatia wahenga kuwa haraka haraka haina baraka ilhali pole pole ndio mwendo. Kando na hayo tulielekea upande wa makaa yalipouzwa. Akina mama walionekana weusi ti! ti! ti! mikononi mwao. Walikuwa wanauza kwa amani kutoka hapo tulipiga Iguu hadi duka kuu. Bidhaa tofauti tofauti ziliuzwa hapo. Watu wengi walionekana kununua bidhaa. Ulikuwa msimu wa krismasi. Watu walijaa sokoni kama mchanga baharini. Tulielekea bucha. Humo mlikuwa na aina za nyama. Mabucha walionekana wenye furaha ungedhani wamemeza tembe za furaha. Sababu bidhaa zilinunuliwa kutoka hapo tulienda upande wa hotelini. Vyakula vilipikwa kwa wingi ili wauzaji wale. Usafi nao ulidumishwa vilivyo. Vijana walisafisha soko kila mafungulia ng'ombe ili kuhakikisha watu watapata soko li safi. Takataka huchomwa na zingine kutupwa pipani. Soko letu lina tenki na visima vya kuhifadhi maji. Maji hayo hutumiwa hotelini, kusafisha bucha, mnandani na mgengeni. Pia maji hayo hutumiwa kwa kunawa mikono. Soko la Lamuru lilihifadhi maji safi kuzuia ugonjwa na virusi. Nilipigwa na butwaa na kushangaa kama shangazi yangu alivyoshangaa alivyozipoteza shanga zake kule tonga punde tu nilipoona pukwamu zipo. Ziliegezwa kulingana na rangi na nambari Pukwamu hizo zilisaidia kusafirisha bidhaa tofauti tofauti. Tulienda duka kumi na kununua peremende, matunda na maboga. Tulirudi shuleni tukiwa na furaha kama mama aliyezaa pacha. Tuliwaeleza wenzetu jinsi tulivyozuru soko la Lamuru. Tulifurahia sana. Tuliwagawanyia peremende. Wote walishukuruu. Pia tulimshukuru mwalimu wetu. Kwa kweli siku hiyo ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Siku ya chete ilikuwa lini
{ "text": [ "Alhamisi" ] }
4703_swa
SOKO LETU Ilikuwa alhamisi siku ya chete. Kila mtu aliingojea kwa hamu na ghamu kwani subira huvuta heri. Bi Hamisi alituahidi kutupeleka kuzuru sokoni Lamuru. Soko hiyo ni karibu na shule kama pua na domo kwa hivyo Tulitembea aste aste yaani mwendo wa kobe. Tuliwaaga wenzetu huku wivu ukitanda moyoni mwao kwa kweli siku njema huonekana asubuhi. Baada ya saa moja unusu, tulifika pale sokoni. Umati wa wateja ulijaa. Wengine walinunua, waliuza na wengine kuzuru tu soko kama watalii. Soko lilikuwa safi na liling'aa kama nyota. Mwalimu wetu alituongoza na kutukumbusha kuandika kila tunachokiona. Tulimheshimu kwa kuwa heshima si utumwa. Mlikua na minanda, duka kuu na mabucha pia. Wanawake na wanaume, gulamu na binti nao walikuwemo. Tuliingia mgengeni Humo mlikuwa na bidhaa kama vile matunda, maboga na viungo vya upishi. Matunda ni kama parachichi, maembe na tikitiki maji. Ukiona vyaelea jua vimeundwa. Tulilenga macho yetu minandani. Humo bidhaa viliuzwa kwa bei rahisi. Wateja walizozana na wauzaji. Lakini tupilia hayo kwenye kaburi ya sahau. Bidhaa ziliuzwa kwa utaratibu huku wakizingatia wahenga kuwa haraka haraka haina baraka ilhali pole pole ndio mwendo. Kando na hayo tulielekea upande wa makaa yalipouzwa. Akina mama walionekana weusi ti! ti! ti! mikononi mwao. Walikuwa wanauza kwa amani kutoka hapo tulipiga Iguu hadi duka kuu. Bidhaa tofauti tofauti ziliuzwa hapo. Watu wengi walionekana kununua bidhaa. Ulikuwa msimu wa krismasi. Watu walijaa sokoni kama mchanga baharini. Tulielekea bucha. Humo mlikuwa na aina za nyama. Mabucha walionekana wenye furaha ungedhani wamemeza tembe za furaha. Sababu bidhaa zilinunuliwa kutoka hapo tulienda upande wa hotelini. Vyakula vilipikwa kwa wingi ili wauzaji wale. Usafi nao ulidumishwa vilivyo. Vijana walisafisha soko kila mafungulia ng'ombe ili kuhakikisha watu watapata soko li safi. Takataka huchomwa na zingine kutupwa pipani. Soko letu lina tenki na visima vya kuhifadhi maji. Maji hayo hutumiwa hotelini, kusafisha bucha, mnandani na mgengeni. Pia maji hayo hutumiwa kwa kunawa mikono. Soko la Lamuru lilihifadhi maji safi kuzuia ugonjwa na virusi. Nilipigwa na butwaa na kushangaa kama shangazi yangu alivyoshangaa alivyozipoteza shanga zake kule tonga punde tu nilipoona pukwamu zipo. Ziliegezwa kulingana na rangi na nambari Pukwamu hizo zilisaidia kusafirisha bidhaa tofauti tofauti. Tulienda duka kumi na kununua peremende, matunda na maboga. Tulirudi shuleni tukiwa na furaha kama mama aliyezaa pacha. Tuliwaeleza wenzetu jinsi tulivyozuru soko la Lamuru. Tulifurahia sana. Tuliwagawanyia peremende. Wote walishukuruu. Pia tulimshukuru mwalimu wetu. Kwa kweli siku hiyo ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Nini ilitanda moyoni mwa wenzao
{ "text": [ "wivu" ] }
4703_swa
SOKO LETU Ilikuwa alhamisi siku ya chete. Kila mtu aliingojea kwa hamu na ghamu kwani subira huvuta heri. Bi Hamisi alituahidi kutupeleka kuzuru sokoni Lamuru. Soko hiyo ni karibu na shule kama pua na domo kwa hivyo Tulitembea aste aste yaani mwendo wa kobe. Tuliwaaga wenzetu huku wivu ukitanda moyoni mwao kwa kweli siku njema huonekana asubuhi. Baada ya saa moja unusu, tulifika pale sokoni. Umati wa wateja ulijaa. Wengine walinunua, waliuza na wengine kuzuru tu soko kama watalii. Soko lilikuwa safi na liling'aa kama nyota. Mwalimu wetu alituongoza na kutukumbusha kuandika kila tunachokiona. Tulimheshimu kwa kuwa heshima si utumwa. Mlikua na minanda, duka kuu na mabucha pia. Wanawake na wanaume, gulamu na binti nao walikuwemo. Tuliingia mgengeni Humo mlikuwa na bidhaa kama vile matunda, maboga na viungo vya upishi. Matunda ni kama parachichi, maembe na tikitiki maji. Ukiona vyaelea jua vimeundwa. Tulilenga macho yetu minandani. Humo bidhaa viliuzwa kwa bei rahisi. Wateja walizozana na wauzaji. Lakini tupilia hayo kwenye kaburi ya sahau. Bidhaa ziliuzwa kwa utaratibu huku wakizingatia wahenga kuwa haraka haraka haina baraka ilhali pole pole ndio mwendo. Kando na hayo tulielekea upande wa makaa yalipouzwa. Akina mama walionekana weusi ti! ti! ti! mikononi mwao. Walikuwa wanauza kwa amani kutoka hapo tulipiga Iguu hadi duka kuu. Bidhaa tofauti tofauti ziliuzwa hapo. Watu wengi walionekana kununua bidhaa. Ulikuwa msimu wa krismasi. Watu walijaa sokoni kama mchanga baharini. Tulielekea bucha. Humo mlikuwa na aina za nyama. Mabucha walionekana wenye furaha ungedhani wamemeza tembe za furaha. Sababu bidhaa zilinunuliwa kutoka hapo tulienda upande wa hotelini. Vyakula vilipikwa kwa wingi ili wauzaji wale. Usafi nao ulidumishwa vilivyo. Vijana walisafisha soko kila mafungulia ng'ombe ili kuhakikisha watu watapata soko li safi. Takataka huchomwa na zingine kutupwa pipani. Soko letu lina tenki na visima vya kuhifadhi maji. Maji hayo hutumiwa hotelini, kusafisha bucha, mnandani na mgengeni. Pia maji hayo hutumiwa kwa kunawa mikono. Soko la Lamuru lilihifadhi maji safi kuzuia ugonjwa na virusi. Nilipigwa na butwaa na kushangaa kama shangazi yangu alivyoshangaa alivyozipoteza shanga zake kule tonga punde tu nilipoona pukwamu zipo. Ziliegezwa kulingana na rangi na nambari Pukwamu hizo zilisaidia kusafirisha bidhaa tofauti tofauti. Tulienda duka kumi na kununua peremende, matunda na maboga. Tulirudi shuleni tukiwa na furaha kama mama aliyezaa pacha. Tuliwaeleza wenzetu jinsi tulivyozuru soko la Lamuru. Tulifurahia sana. Tuliwagawanyia peremende. Wote walishukuruu. Pia tulimshukuru mwalimu wetu. Kwa kweli siku hiyo ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Soko liling'aa kama nini
{ "text": [ "nyota" ] }
4703_swa
SOKO LETU Ilikuwa alhamisi siku ya chete. Kila mtu aliingojea kwa hamu na ghamu kwani subira huvuta heri. Bi Hamisi alituahidi kutupeleka kuzuru sokoni Lamuru. Soko hiyo ni karibu na shule kama pua na domo kwa hivyo Tulitembea aste aste yaani mwendo wa kobe. Tuliwaaga wenzetu huku wivu ukitanda moyoni mwao kwa kweli siku njema huonekana asubuhi. Baada ya saa moja unusu, tulifika pale sokoni. Umati wa wateja ulijaa. Wengine walinunua, waliuza na wengine kuzuru tu soko kama watalii. Soko lilikuwa safi na liling'aa kama nyota. Mwalimu wetu alituongoza na kutukumbusha kuandika kila tunachokiona. Tulimheshimu kwa kuwa heshima si utumwa. Mlikua na minanda, duka kuu na mabucha pia. Wanawake na wanaume, gulamu na binti nao walikuwemo. Tuliingia mgengeni Humo mlikuwa na bidhaa kama vile matunda, maboga na viungo vya upishi. Matunda ni kama parachichi, maembe na tikitiki maji. Ukiona vyaelea jua vimeundwa. Tulilenga macho yetu minandani. Humo bidhaa viliuzwa kwa bei rahisi. Wateja walizozana na wauzaji. Lakini tupilia hayo kwenye kaburi ya sahau. Bidhaa ziliuzwa kwa utaratibu huku wakizingatia wahenga kuwa haraka haraka haina baraka ilhali pole pole ndio mwendo. Kando na hayo tulielekea upande wa makaa yalipouzwa. Akina mama walionekana weusi ti! ti! ti! mikononi mwao. Walikuwa wanauza kwa amani kutoka hapo tulipiga Iguu hadi duka kuu. Bidhaa tofauti tofauti ziliuzwa hapo. Watu wengi walionekana kununua bidhaa. Ulikuwa msimu wa krismasi. Watu walijaa sokoni kama mchanga baharini. Tulielekea bucha. Humo mlikuwa na aina za nyama. Mabucha walionekana wenye furaha ungedhani wamemeza tembe za furaha. Sababu bidhaa zilinunuliwa kutoka hapo tulienda upande wa hotelini. Vyakula vilipikwa kwa wingi ili wauzaji wale. Usafi nao ulidumishwa vilivyo. Vijana walisafisha soko kila mafungulia ng'ombe ili kuhakikisha watu watapata soko li safi. Takataka huchomwa na zingine kutupwa pipani. Soko letu lina tenki na visima vya kuhifadhi maji. Maji hayo hutumiwa hotelini, kusafisha bucha, mnandani na mgengeni. Pia maji hayo hutumiwa kwa kunawa mikono. Soko la Lamuru lilihifadhi maji safi kuzuia ugonjwa na virusi. Nilipigwa na butwaa na kushangaa kama shangazi yangu alivyoshangaa alivyozipoteza shanga zake kule tonga punde tu nilipoona pukwamu zipo. Ziliegezwa kulingana na rangi na nambari Pukwamu hizo zilisaidia kusafirisha bidhaa tofauti tofauti. Tulienda duka kumi na kununua peremende, matunda na maboga. Tulirudi shuleni tukiwa na furaha kama mama aliyezaa pacha. Tuliwaeleza wenzetu jinsi tulivyozuru soko la Lamuru. Tulifurahia sana. Tuliwagawanyia peremende. Wote walishukuruu. Pia tulimshukuru mwalimu wetu. Kwa kweli siku hiyo ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Nani walizozana na wauzaji
{ "text": [ "wateja" ] }
4703_swa
SOKO LETU Ilikuwa alhamisi siku ya chete. Kila mtu aliingojea kwa hamu na ghamu kwani subira huvuta heri. Bi Hamisi alituahidi kutupeleka kuzuru sokoni Lamuru. Soko hiyo ni karibu na shule kama pua na domo kwa hivyo Tulitembea aste aste yaani mwendo wa kobe. Tuliwaaga wenzetu huku wivu ukitanda moyoni mwao kwa kweli siku njema huonekana asubuhi. Baada ya saa moja unusu, tulifika pale sokoni. Umati wa wateja ulijaa. Wengine walinunua, waliuza na wengine kuzuru tu soko kama watalii. Soko lilikuwa safi na liling'aa kama nyota. Mwalimu wetu alituongoza na kutukumbusha kuandika kila tunachokiona. Tulimheshimu kwa kuwa heshima si utumwa. Mlikua na minanda, duka kuu na mabucha pia. Wanawake na wanaume, gulamu na binti nao walikuwemo. Tuliingia mgengeni Humo mlikuwa na bidhaa kama vile matunda, maboga na viungo vya upishi. Matunda ni kama parachichi, maembe na tikitiki maji. Ukiona vyaelea jua vimeundwa. Tulilenga macho yetu minandani. Humo bidhaa viliuzwa kwa bei rahisi. Wateja walizozana na wauzaji. Lakini tupilia hayo kwenye kaburi ya sahau. Bidhaa ziliuzwa kwa utaratibu huku wakizingatia wahenga kuwa haraka haraka haina baraka ilhali pole pole ndio mwendo. Kando na hayo tulielekea upande wa makaa yalipouzwa. Akina mama walionekana weusi ti! ti! ti! mikononi mwao. Walikuwa wanauza kwa amani kutoka hapo tulipiga Iguu hadi duka kuu. Bidhaa tofauti tofauti ziliuzwa hapo. Watu wengi walionekana kununua bidhaa. Ulikuwa msimu wa krismasi. Watu walijaa sokoni kama mchanga baharini. Tulielekea bucha. Humo mlikuwa na aina za nyama. Mabucha walionekana wenye furaha ungedhani wamemeza tembe za furaha. Sababu bidhaa zilinunuliwa kutoka hapo tulienda upande wa hotelini. Vyakula vilipikwa kwa wingi ili wauzaji wale. Usafi nao ulidumishwa vilivyo. Vijana walisafisha soko kila mafungulia ng'ombe ili kuhakikisha watu watapata soko li safi. Takataka huchomwa na zingine kutupwa pipani. Soko letu lina tenki na visima vya kuhifadhi maji. Maji hayo hutumiwa hotelini, kusafisha bucha, mnandani na mgengeni. Pia maji hayo hutumiwa kwa kunawa mikono. Soko la Lamuru lilihifadhi maji safi kuzuia ugonjwa na virusi. Nilipigwa na butwaa na kushangaa kama shangazi yangu alivyoshangaa alivyozipoteza shanga zake kule tonga punde tu nilipoona pukwamu zipo. Ziliegezwa kulingana na rangi na nambari Pukwamu hizo zilisaidia kusafirisha bidhaa tofauti tofauti. Tulienda duka kumi na kununua peremende, matunda na maboga. Tulirudi shuleni tukiwa na furaha kama mama aliyezaa pacha. Tuliwaeleza wenzetu jinsi tulivyozuru soko la Lamuru. Tulifurahia sana. Tuliwagawanyia peremende. Wote walishukuruu. Pia tulimshukuru mwalimu wetu. Kwa kweli siku hiyo ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Nini zilisaidia kusafirisha bidhaa tofauti tofauti
{ "text": [ "pukwamu" ] }
4706_swa
SOKO LETU Ilikuwa asubuhi na mapema. Ilikuwa siku chete. Tulidamka vitandani dan dam huku tukiwa na furaha bashasha sufufu. Mwalimu wetu wa kiswahili alituahidi kwamba Jumamosi wiki lijalo atatupeleka soko la pumzika. Tuling’oa nanga kwenda soko la pumzika. Wakati tulitia nanga, ilikuwa saa nne kasorobo. Ndipo mwalimu wetu aligundua kuwa ulikuwa wakati mzuri wakuziara soko letu. Wanagenzi wenzangu walikuwa tayari kuzuru soko hilo. Tulipofika sokoni ambapo wanauza vitu rejareja, wauzaji walitoa jasho ambalo lilithaminiwa na waja wengi. Mwalimu wetu aliposhuka kwa basi tayari kuanza mwendo wa aste aste. Huko sokoni, watu walikuwa wamefurika furi furi. Hapo hapakuwa na mahali pakupumulia. Bila shaka niliona genge la wezi wakichuchumia kote. Muuzaji hupata hela nyingi kila siku kwa kweli mwafu mkufu. Wauzaji waliuza vitu kwa bei ya chini na juu kutegemea na wale wanauwezo. Wauzaji waliuza kwa bei ambayo walipenda. Wengine waliuza mia tano au mia sita kwa tegemeo lao. Licha ya hayo pia wauzaji hufagia soko kila siku. Hii huiweka nchi yetu iwe safi na yakuvutia. Saa tisa unusu wauzaji hufunga viragu na kwenda kwao kupumzika. Wauzaji wanapokuja asubuhi, wao huanza kupakua vitu ambavyo wanaenda kuuza. Vitu ambavyo wao huuza ni kama vyombo. Mifano ya vyombo sahani, bakuli, birika, vijiko, jagi, sufuria na visu. Vyombo hivi hutumiwa nyumbani kupikia, kuekea au kukatia vitungu. Pia kuna matunda, kama vile mtikiti, zabibu, machungwa, tofaha, mapera na peasi. Matunda haya husaidia binadamu kwa mwili. Wauzaji sana sana hupenda kuuza vitu hivi ili wapate riziki. Wauzaji pia huuza viungo vya upishi kama tangawizi, pilipili na hoho. Napenda soko letu la pomoni. Tunapoenda sokoni sisi hutembea kama mgengeni. Mungu si Athumani.
Mwalimu aliwaahidi kuwapeka wanafunzi soko lipi?
{ "text": [ "Soko la Pumzika" ] }
4706_swa
SOKO LETU Ilikuwa asubuhi na mapema. Ilikuwa siku chete. Tulidamka vitandani dan dam huku tukiwa na furaha bashasha sufufu. Mwalimu wetu wa kiswahili alituahidi kwamba Jumamosi wiki lijalo atatupeleka soko la pumzika. Tuling’oa nanga kwenda soko la pumzika. Wakati tulitia nanga, ilikuwa saa nne kasorobo. Ndipo mwalimu wetu aligundua kuwa ulikuwa wakati mzuri wakuziara soko letu. Wanagenzi wenzangu walikuwa tayari kuzuru soko hilo. Tulipofika sokoni ambapo wanauza vitu rejareja, wauzaji walitoa jasho ambalo lilithaminiwa na waja wengi. Mwalimu wetu aliposhuka kwa basi tayari kuanza mwendo wa aste aste. Huko sokoni, watu walikuwa wamefurika furi furi. Hapo hapakuwa na mahali pakupumulia. Bila shaka niliona genge la wezi wakichuchumia kote. Muuzaji hupata hela nyingi kila siku kwa kweli mwafu mkufu. Wauzaji waliuza vitu kwa bei ya chini na juu kutegemea na wale wanauwezo. Wauzaji waliuza kwa bei ambayo walipenda. Wengine waliuza mia tano au mia sita kwa tegemeo lao. Licha ya hayo pia wauzaji hufagia soko kila siku. Hii huiweka nchi yetu iwe safi na yakuvutia. Saa tisa unusu wauzaji hufunga viragu na kwenda kwao kupumzika. Wauzaji wanapokuja asubuhi, wao huanza kupakua vitu ambavyo wanaenda kuuza. Vitu ambavyo wao huuza ni kama vyombo. Mifano ya vyombo sahani, bakuli, birika, vijiko, jagi, sufuria na visu. Vyombo hivi hutumiwa nyumbani kupikia, kuekea au kukatia vitungu. Pia kuna matunda, kama vile mtikiti, zabibu, machungwa, tofaha, mapera na peasi. Matunda haya husaidia binadamu kwa mwili. Wauzaji sana sana hupenda kuuza vitu hivi ili wapate riziki. Wauzaji pia huuza viungo vya upishi kama tangawizi, pilipili na hoho. Napenda soko letu la pomoni. Tunapoenda sokoni sisi hutembea kama mgengeni. Mungu si Athumani.
Wanagenzi walifika soko la pumzika mwendo wa saa ngapi?
{ "text": [ "Saa nne kasorobo" ] }
4706_swa
SOKO LETU Ilikuwa asubuhi na mapema. Ilikuwa siku chete. Tulidamka vitandani dan dam huku tukiwa na furaha bashasha sufufu. Mwalimu wetu wa kiswahili alituahidi kwamba Jumamosi wiki lijalo atatupeleka soko la pumzika. Tuling’oa nanga kwenda soko la pumzika. Wakati tulitia nanga, ilikuwa saa nne kasorobo. Ndipo mwalimu wetu aligundua kuwa ulikuwa wakati mzuri wakuziara soko letu. Wanagenzi wenzangu walikuwa tayari kuzuru soko hilo. Tulipofika sokoni ambapo wanauza vitu rejareja, wauzaji walitoa jasho ambalo lilithaminiwa na waja wengi. Mwalimu wetu aliposhuka kwa basi tayari kuanza mwendo wa aste aste. Huko sokoni, watu walikuwa wamefurika furi furi. Hapo hapakuwa na mahali pakupumulia. Bila shaka niliona genge la wezi wakichuchumia kote. Muuzaji hupata hela nyingi kila siku kwa kweli mwafu mkufu. Wauzaji waliuza vitu kwa bei ya chini na juu kutegemea na wale wanauwezo. Wauzaji waliuza kwa bei ambayo walipenda. Wengine waliuza mia tano au mia sita kwa tegemeo lao. Licha ya hayo pia wauzaji hufagia soko kila siku. Hii huiweka nchi yetu iwe safi na yakuvutia. Saa tisa unusu wauzaji hufunga viragu na kwenda kwao kupumzika. Wauzaji wanapokuja asubuhi, wao huanza kupakua vitu ambavyo wanaenda kuuza. Vitu ambavyo wao huuza ni kama vyombo. Mifano ya vyombo sahani, bakuli, birika, vijiko, jagi, sufuria na visu. Vyombo hivi hutumiwa nyumbani kupikia, kuekea au kukatia vitungu. Pia kuna matunda, kama vile mtikiti, zabibu, machungwa, tofaha, mapera na peasi. Matunda haya husaidia binadamu kwa mwili. Wauzaji sana sana hupenda kuuza vitu hivi ili wapate riziki. Wauzaji pia huuza viungo vya upishi kama tangawizi, pilipili na hoho. Napenda soko letu la pomoni. Tunapoenda sokoni sisi hutembea kama mgengeni. Mungu si Athumani.
Wauzaji wananufaika vipi kwa kufagiwa soko?
{ "text": [ "Kunaiweka nchi ikiwa safi na ya kuvutia" ] }
4706_swa
SOKO LETU Ilikuwa asubuhi na mapema. Ilikuwa siku chete. Tulidamka vitandani dan dam huku tukiwa na furaha bashasha sufufu. Mwalimu wetu wa kiswahili alituahidi kwamba Jumamosi wiki lijalo atatupeleka soko la pumzika. Tuling’oa nanga kwenda soko la pumzika. Wakati tulitia nanga, ilikuwa saa nne kasorobo. Ndipo mwalimu wetu aligundua kuwa ulikuwa wakati mzuri wakuziara soko letu. Wanagenzi wenzangu walikuwa tayari kuzuru soko hilo. Tulipofika sokoni ambapo wanauza vitu rejareja, wauzaji walitoa jasho ambalo lilithaminiwa na waja wengi. Mwalimu wetu aliposhuka kwa basi tayari kuanza mwendo wa aste aste. Huko sokoni, watu walikuwa wamefurika furi furi. Hapo hapakuwa na mahali pakupumulia. Bila shaka niliona genge la wezi wakichuchumia kote. Muuzaji hupata hela nyingi kila siku kwa kweli mwafu mkufu. Wauzaji waliuza vitu kwa bei ya chini na juu kutegemea na wale wanauwezo. Wauzaji waliuza kwa bei ambayo walipenda. Wengine waliuza mia tano au mia sita kwa tegemeo lao. Licha ya hayo pia wauzaji hufagia soko kila siku. Hii huiweka nchi yetu iwe safi na yakuvutia. Saa tisa unusu wauzaji hufunga viragu na kwenda kwao kupumzika. Wauzaji wanapokuja asubuhi, wao huanza kupakua vitu ambavyo wanaenda kuuza. Vitu ambavyo wao huuza ni kama vyombo. Mifano ya vyombo sahani, bakuli, birika, vijiko, jagi, sufuria na visu. Vyombo hivi hutumiwa nyumbani kupikia, kuekea au kukatia vitungu. Pia kuna matunda, kama vile mtikiti, zabibu, machungwa, tofaha, mapera na peasi. Matunda haya husaidia binadamu kwa mwili. Wauzaji sana sana hupenda kuuza vitu hivi ili wapate riziki. Wauzaji pia huuza viungo vya upishi kama tangawizi, pilipili na hoho. Napenda soko letu la pomoni. Tunapoenda sokoni sisi hutembea kama mgengeni. Mungu si Athumani.
Ni shughuli gani hutendeka sokoni saa tisa unusu?
{ "text": [ "Wauzaji hufunga virago" ] }
4706_swa
SOKO LETU Ilikuwa asubuhi na mapema. Ilikuwa siku chete. Tulidamka vitandani dan dam huku tukiwa na furaha bashasha sufufu. Mwalimu wetu wa kiswahili alituahidi kwamba Jumamosi wiki lijalo atatupeleka soko la pumzika. Tuling’oa nanga kwenda soko la pumzika. Wakati tulitia nanga, ilikuwa saa nne kasorobo. Ndipo mwalimu wetu aligundua kuwa ulikuwa wakati mzuri wakuziara soko letu. Wanagenzi wenzangu walikuwa tayari kuzuru soko hilo. Tulipofika sokoni ambapo wanauza vitu rejareja, wauzaji walitoa jasho ambalo lilithaminiwa na waja wengi. Mwalimu wetu aliposhuka kwa basi tayari kuanza mwendo wa aste aste. Huko sokoni, watu walikuwa wamefurika furi furi. Hapo hapakuwa na mahali pakupumulia. Bila shaka niliona genge la wezi wakichuchumia kote. Muuzaji hupata hela nyingi kila siku kwa kweli mwafu mkufu. Wauzaji waliuza vitu kwa bei ya chini na juu kutegemea na wale wanauwezo. Wauzaji waliuza kwa bei ambayo walipenda. Wengine waliuza mia tano au mia sita kwa tegemeo lao. Licha ya hayo pia wauzaji hufagia soko kila siku. Hii huiweka nchi yetu iwe safi na yakuvutia. Saa tisa unusu wauzaji hufunga viragu na kwenda kwao kupumzika. Wauzaji wanapokuja asubuhi, wao huanza kupakua vitu ambavyo wanaenda kuuza. Vitu ambavyo wao huuza ni kama vyombo. Mifano ya vyombo sahani, bakuli, birika, vijiko, jagi, sufuria na visu. Vyombo hivi hutumiwa nyumbani kupikia, kuekea au kukatia vitungu. Pia kuna matunda, kama vile mtikiti, zabibu, machungwa, tofaha, mapera na peasi. Matunda haya husaidia binadamu kwa mwili. Wauzaji sana sana hupenda kuuza vitu hivi ili wapate riziki. Wauzaji pia huuza viungo vya upishi kama tangawizi, pilipili na hoho. Napenda soko letu la pomoni. Tunapoenda sokoni sisi hutembea kama mgengeni. Mungu si Athumani.
Taja methali moja mwandishi ametumia?
{ "text": [ "Mungu si athumani" ] }
4708_swa
SOKO LETU Ilikuwa asubuhi na mapema tulijitayarisha kwenda shuleni. Tulikuwa tunang’aa kama nyota kwa vile nguo zetu zilikuwa safi. Tulifika shuleni tukiwa na hamu na ghamu ya kuzuru katika soko letu. Sote tulikuwa tumefurahi kama mfalme. Tulimngoja mwalimu wetu atupe mwelekeo wa kwenda kule sokoni. Hakika siku njema huanza asubuhi. Tulipata kuwa katika soko letu kulikuwa na umati wa watu wachuuzi walikuwa wamejaa wakiuza bidaa mbali mbali. Soko letu lina vibanda vingi ambapo wana biashara huwa wanauzia vitu vyao vya biashara. Katika soko letu watu huwa wanaita wateja kwa kupunguza bei ya bidhaa zao.Wakati mwingine, watu katika soko letu huwa wanauza bidhaa kwa bei ya chini sana. Watu hao huwa wanakosa wateja wa kununua bidhaa zao ndio maana huwa wanauziuza kwa bei ya chini. Pia kuna tinga ambazo zipo ndani ya soko letu. Tingatinga hizo ni za kusiaga mahindi na wimbi. Tingatinga hizo ni za aina mbili. Moja ya kutoa maganda na nyingine huwa inasiaga mahindi ikiwa na maganda. Mama yangu huwa anasiaga mahindi ikiwa na maganda na yanatupa mathini katika mwili wetu. Kuna maduka mbali mbali ambazo zinauza bidhaa ya aina tofauti kama vile maua, viti, vitanda, saa na duka za bidhaa ya kusonga nywele. Mama na dada yangu huwa wanapenda kuja katika soko letu ili wanunue bidhaa za kusongwa na wasongwe nywele. Mama na dada yangu wana nywele ndefu za kusonga. Kuna duka za kuuza maziwa kule katika soko letu. Mama yangu huwa anaenda katika duka hilo kununua maziwa ambayo huwa tunatumia kupika kiamsha kinywa chetu asubuhi. Mimi huwa nayanywa maziwa hayo yakiwa yamechemshwa kwa sababu maziwa hayo yakitumiwa kutengeneza chai huwa chai hiyo sio tamu kuliko wakati ambapo maziwa yamechemshwa. Katika soko letu, kuna vyoo vya serikali ambavyo mtu akiingia ndani ni lazima alipe shillingi tano ili waende walipe wale watu ambao wanakiosha hicho choo kwa sababu sio rahisi kukiosha. Watu wengi ambao huwa wanaenda katika hicho choo ni wale ambao huwa wanauza bidhaa sokoni . Sokoni mwetu, wauzaji wengine huwa wanauza nguo za mtumba. Nguo hizo ndizo ambazo watu wengi wanaweza kununua. Nguo hizo huwa zinauzwa pesa tasrim shillingi kumi. Nguo hizo huwa ngumu kutafuta ambazo unataka kununua. Inabidi watu watafute nguo ambazo zinawafaa kwa kile hakuna kitu kingine cha kufanya. Soko ni muhimu sana katika maisha yetu kwa sababu kama si soko tungenunua bidhaa wapi? Namwomba mungu soko iwe kwa maisha yangu yote.
Wanafunzi walifika shuleni wakiwa na hamu ya nini?
{ "text": [ "Kuzuru soko" ] }
4708_swa
SOKO LETU Ilikuwa asubuhi na mapema tulijitayarisha kwenda shuleni. Tulikuwa tunang’aa kama nyota kwa vile nguo zetu zilikuwa safi. Tulifika shuleni tukiwa na hamu na ghamu ya kuzuru katika soko letu. Sote tulikuwa tumefurahi kama mfalme. Tulimngoja mwalimu wetu atupe mwelekeo wa kwenda kule sokoni. Hakika siku njema huanza asubuhi. Tulipata kuwa katika soko letu kulikuwa na umati wa watu wachuuzi walikuwa wamejaa wakiuza bidaa mbali mbali. Soko letu lina vibanda vingi ambapo wana biashara huwa wanauzia vitu vyao vya biashara. Katika soko letu watu huwa wanaita wateja kwa kupunguza bei ya bidhaa zao.Wakati mwingine, watu katika soko letu huwa wanauza bidhaa kwa bei ya chini sana. Watu hao huwa wanakosa wateja wa kununua bidhaa zao ndio maana huwa wanauziuza kwa bei ya chini. Pia kuna tinga ambazo zipo ndani ya soko letu. Tingatinga hizo ni za kusiaga mahindi na wimbi. Tingatinga hizo ni za aina mbili. Moja ya kutoa maganda na nyingine huwa inasiaga mahindi ikiwa na maganda. Mama yangu huwa anasiaga mahindi ikiwa na maganda na yanatupa mathini katika mwili wetu. Kuna maduka mbali mbali ambazo zinauza bidhaa ya aina tofauti kama vile maua, viti, vitanda, saa na duka za bidhaa ya kusonga nywele. Mama na dada yangu huwa wanapenda kuja katika soko letu ili wanunue bidhaa za kusongwa na wasongwe nywele. Mama na dada yangu wana nywele ndefu za kusonga. Kuna duka za kuuza maziwa kule katika soko letu. Mama yangu huwa anaenda katika duka hilo kununua maziwa ambayo huwa tunatumia kupika kiamsha kinywa chetu asubuhi. Mimi huwa nayanywa maziwa hayo yakiwa yamechemshwa kwa sababu maziwa hayo yakitumiwa kutengeneza chai huwa chai hiyo sio tamu kuliko wakati ambapo maziwa yamechemshwa. Katika soko letu, kuna vyoo vya serikali ambavyo mtu akiingia ndani ni lazima alipe shillingi tano ili waende walipe wale watu ambao wanakiosha hicho choo kwa sababu sio rahisi kukiosha. Watu wengi ambao huwa wanaenda katika hicho choo ni wale ambao huwa wanauza bidhaa sokoni . Sokoni mwetu, wauzaji wengine huwa wanauza nguo za mtumba. Nguo hizo ndizo ambazo watu wengi wanaweza kununua. Nguo hizo huwa zinauzwa pesa tasrim shillingi kumi. Nguo hizo huwa ngumu kutafuta ambazo unataka kununua. Inabidi watu watafute nguo ambazo zinawafaa kwa kile hakuna kitu kingine cha kufanya. Soko ni muhimu sana katika maisha yetu kwa sababu kama si soko tungenunua bidhaa wapi? Namwomba mungu soko iwe kwa maisha yangu yote.
Wachuuzi sokoni wauza bidhaa zako vipi?
{ "text": [ "Wanatandika kwenye vibanda" ] }
4708_swa
SOKO LETU Ilikuwa asubuhi na mapema tulijitayarisha kwenda shuleni. Tulikuwa tunang’aa kama nyota kwa vile nguo zetu zilikuwa safi. Tulifika shuleni tukiwa na hamu na ghamu ya kuzuru katika soko letu. Sote tulikuwa tumefurahi kama mfalme. Tulimngoja mwalimu wetu atupe mwelekeo wa kwenda kule sokoni. Hakika siku njema huanza asubuhi. Tulipata kuwa katika soko letu kulikuwa na umati wa watu wachuuzi walikuwa wamejaa wakiuza bidaa mbali mbali. Soko letu lina vibanda vingi ambapo wana biashara huwa wanauzia vitu vyao vya biashara. Katika soko letu watu huwa wanaita wateja kwa kupunguza bei ya bidhaa zao.Wakati mwingine, watu katika soko letu huwa wanauza bidhaa kwa bei ya chini sana. Watu hao huwa wanakosa wateja wa kununua bidhaa zao ndio maana huwa wanauziuza kwa bei ya chini. Pia kuna tinga ambazo zipo ndani ya soko letu. Tingatinga hizo ni za kusiaga mahindi na wimbi. Tingatinga hizo ni za aina mbili. Moja ya kutoa maganda na nyingine huwa inasiaga mahindi ikiwa na maganda. Mama yangu huwa anasiaga mahindi ikiwa na maganda na yanatupa mathini katika mwili wetu. Kuna maduka mbali mbali ambazo zinauza bidhaa ya aina tofauti kama vile maua, viti, vitanda, saa na duka za bidhaa ya kusonga nywele. Mama na dada yangu huwa wanapenda kuja katika soko letu ili wanunue bidhaa za kusongwa na wasongwe nywele. Mama na dada yangu wana nywele ndefu za kusonga. Kuna duka za kuuza maziwa kule katika soko letu. Mama yangu huwa anaenda katika duka hilo kununua maziwa ambayo huwa tunatumia kupika kiamsha kinywa chetu asubuhi. Mimi huwa nayanywa maziwa hayo yakiwa yamechemshwa kwa sababu maziwa hayo yakitumiwa kutengeneza chai huwa chai hiyo sio tamu kuliko wakati ambapo maziwa yamechemshwa. Katika soko letu, kuna vyoo vya serikali ambavyo mtu akiingia ndani ni lazima alipe shillingi tano ili waende walipe wale watu ambao wanakiosha hicho choo kwa sababu sio rahisi kukiosha. Watu wengi ambao huwa wanaenda katika hicho choo ni wale ambao huwa wanauza bidhaa sokoni . Sokoni mwetu, wauzaji wengine huwa wanauza nguo za mtumba. Nguo hizo ndizo ambazo watu wengi wanaweza kununua. Nguo hizo huwa zinauzwa pesa tasrim shillingi kumi. Nguo hizo huwa ngumu kutafuta ambazo unataka kununua. Inabidi watu watafute nguo ambazo zinawafaa kwa kile hakuna kitu kingine cha kufanya. Soko ni muhimu sana katika maisha yetu kwa sababu kama si soko tungenunua bidhaa wapi? Namwomba mungu soko iwe kwa maisha yangu yote.
Wachuuzi wanavutia wateja kivipi mle sokoni?
{ "text": [ "Kwa kushusha bei ya vitu" ] }