Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
4745_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ugonjwa huu kwa kweli ni sugu mithili ya sungura kwenye mtego. Uwele huu ulizuka hapo miaka themanini iliyopita na umewaangamiza wengi wazee kwa vijana wa Jinsia zote. Kuna njia nyingi ugonjwa huu husambaa na kuambukizwa.
Kwanza kabisa, ugonjwa huu husambazwa na watu walio nayo kwa watu wenye afya kwa ngono, kutumia vitu vinavyo dunga kama vile wembe kwa watu wengine, kupiga busu, wakati damu ambayo ina virusi inawekewa mtu mwengine na hata sehemu ambazo zina majeraha na hazijafunikwa. Kwa kweli ugonjwa huu ni tishio kubwa kwa ulimwengu na hata sayari yote kwa pamoja.
Janga hili hupigana na damu itumikayo kupambana na bakteria na virusi na hatimaye hushinda. Ugonjwa huu napoingia mwilini, mtu huwa sawa lakini atakapofika kipande cha miaka fulani huanza kuonyesha ishara. Dalili za ugonjwa huu ni kama kukohoa, kutapika, wakati mwathiriwa hupimwa, ugunduzi wa madaktari huonyesha kuwa kuna virusi mwilini.
Kwa hakika, ugonjwa huu huleta balaa. Huwaua watu wengi kwa wadogo bila kutambua miaka, ama jinsia. Hapa nchini, serikali ina mipango mizuri ya watu walio na upungufu wa kinga mwilini. Serikali hununua vidonge ambavyo hutumiwa na watu walio na ugonjwa huu. Pia ugonjwa huu umeleta madhara yasiyo hesabika.
Maabarani ulimwenguni kote, utafiti wa dawa ya ukimwi unaendelea usiku na mchana bila kufa moyo. Madaktari wamejaribu kadri ya uwezo wao kutafuta dawa ya janga hilo lakini wapi? Wao huishia kuambulia patupu lakini wametilia maanani ile methali isemayo kuwa atafutaye hachoki na akichoka kishapata.
Janga hili linapoingia mwilini, huharibu viungo vya mwili kupigana na damu ile ambayo inasaidia kupishana na virusi au bakteria na kusababisha magonjwa kama vile kifafa na nyinginezo. Gonjwa hili limetikisa dunia zima na kuacha nchi ambazo zilikuwa zimefahamika katika utafiti wa dawa za magonjwa mbalimbali midomo wazi.
Jambo la kuzingatia ni kwamba, ugonjwa huu upo dunia nzima kutoka kaskazini mpaka kusini na mashariki mpaka magharibi. Ikiwa wewe ni mgonjwa kabisa unastahili kuwekewa damu. Jambo la busara ni kuwa damu hiyo ipimwe mara kadhaa kabla ya wewe kuekewa.
Nambari ni kubwa ya watu duniani kupata ukimwi kwa kufanya ngono kwa watu walio nao. Ni wakati mwafaka wa wanafunzi kusoma na kuacha mambo ambayo yana uhusiano wowote na ngono kabisa.
Humu nchini serikali imeleta mpango mpya wa wanafunzi kufunzwa athari za ukimwi na mambo ambayo tunayostahili kufanya ili kuepukana na balaa kubwa kama hii. Pia, wao hufunzwa njia na mbinu za kuepukana na gonjwa hili kama vile kuacha kutumia mitandao ya kijamii na kuwa wanafunzi wenye heshima ambao huvalia vyema wakiwa nyumbani.
Ingekuwa vizuri wakati ambapo tungefuata maagizo yote na kuwa wepesi wa kusikiliza yale ambayo tunaambiwa na wakubwa wetu kama vile wazazi na walimu kulingana na ugonjwa huu kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kutumia minofu wala kutuchana nywele waliposema kuwa jihathari kabla ya hatari. | Serikali huwanunulia nini watu walio na ugonjwa wa ukimwi | {
"text": [
"Vidonge"
]
} |
4745_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ugonjwa huu kwa kweli ni sugu mithili ya sungura kwenye mtego. Uwele huu ulizuka hapo miaka themanini iliyopita na umewaangamiza wengi wazee kwa vijana wa Jinsia zote. Kuna njia nyingi ugonjwa huu husambaa na kuambukizwa.
Kwanza kabisa, ugonjwa huu husambazwa na watu walio nayo kwa watu wenye afya kwa ngono, kutumia vitu vinavyo dunga kama vile wembe kwa watu wengine, kupiga busu, wakati damu ambayo ina virusi inawekewa mtu mwengine na hata sehemu ambazo zina majeraha na hazijafunikwa. Kwa kweli ugonjwa huu ni tishio kubwa kwa ulimwengu na hata sayari yote kwa pamoja.
Janga hili hupigana na damu itumikayo kupambana na bakteria na virusi na hatimaye hushinda. Ugonjwa huu napoingia mwilini, mtu huwa sawa lakini atakapofika kipande cha miaka fulani huanza kuonyesha ishara. Dalili za ugonjwa huu ni kama kukohoa, kutapika, wakati mwathiriwa hupimwa, ugunduzi wa madaktari huonyesha kuwa kuna virusi mwilini.
Kwa hakika, ugonjwa huu huleta balaa. Huwaua watu wengi kwa wadogo bila kutambua miaka, ama jinsia. Hapa nchini, serikali ina mipango mizuri ya watu walio na upungufu wa kinga mwilini. Serikali hununua vidonge ambavyo hutumiwa na watu walio na ugonjwa huu. Pia ugonjwa huu umeleta madhara yasiyo hesabika.
Maabarani ulimwenguni kote, utafiti wa dawa ya ukimwi unaendelea usiku na mchana bila kufa moyo. Madaktari wamejaribu kadri ya uwezo wao kutafuta dawa ya janga hilo lakini wapi? Wao huishia kuambulia patupu lakini wametilia maanani ile methali isemayo kuwa atafutaye hachoki na akichoka kishapata.
Janga hili linapoingia mwilini, huharibu viungo vya mwili kupigana na damu ile ambayo inasaidia kupishana na virusi au bakteria na kusababisha magonjwa kama vile kifafa na nyinginezo. Gonjwa hili limetikisa dunia zima na kuacha nchi ambazo zilikuwa zimefahamika katika utafiti wa dawa za magonjwa mbalimbali midomo wazi.
Jambo la kuzingatia ni kwamba, ugonjwa huu upo dunia nzima kutoka kaskazini mpaka kusini na mashariki mpaka magharibi. Ikiwa wewe ni mgonjwa kabisa unastahili kuwekewa damu. Jambo la busara ni kuwa damu hiyo ipimwe mara kadhaa kabla ya wewe kuekewa.
Nambari ni kubwa ya watu duniani kupata ukimwi kwa kufanya ngono kwa watu walio nao. Ni wakati mwafaka wa wanafunzi kusoma na kuacha mambo ambayo yana uhusiano wowote na ngono kabisa.
Humu nchini serikali imeleta mpango mpya wa wanafunzi kufunzwa athari za ukimwi na mambo ambayo tunayostahili kufanya ili kuepukana na balaa kubwa kama hii. Pia, wao hufunzwa njia na mbinu za kuepukana na gonjwa hili kama vile kuacha kutumia mitandao ya kijamii na kuwa wanafunzi wenye heshima ambao huvalia vyema wakiwa nyumbani.
Ingekuwa vizuri wakati ambapo tungefuata maagizo yote na kuwa wepesi wa kusikiliza yale ambayo tunaambiwa na wakubwa wetu kama vile wazazi na walimu kulingana na ugonjwa huu kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kutumia minofu wala kutuchana nywele waliposema kuwa jihathari kabla ya hatari. | Nani wanatafuta dawa ya ugonjwa wa ukimwi ulimwenguni | {
"text": [
"Madaktari"
]
} |
4746_swa | UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi.
Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote.
Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa
sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii. | Ukimwi ulizuka barani Afrika miaka ipi | {
"text": [
"Miaka ya sabini"
]
} |
4746_swa | UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi.
Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote.
Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa
sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii. | Vifo vinavyotokana na ukimwi huzua nini | {
"text": [
"Balaa na fadhaa"
]
} |
4746_swa | UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi.
Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote.
Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa
sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii. | Ugonjwa upi huchangia kuwepo kwa mayatima na wajane | {
"text": [
"Ukimwi"
]
} |
4746_swa | UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi.
Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote.
Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa
sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii. | Serikali hushirikiana na nani kuleta dawa za ukimwi | {
"text": [
"Wafadhili kutoka mashirika ya kigeni"
]
} |
4746_swa | UKIMWI
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi.
Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote.
Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa
sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa.
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii. | Tatizo lipi linalowakabili wagonjwa wa ukimwi | {
"text": [
"Unyanyapaa"
]
} |
4748_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia.
Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa.
Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana.
Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao.
Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa.
Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya. | Ukimwi husababisha mwili kukosa nini | {
"text": [
"kinga"
]
} |
4748_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia.
Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa.
Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana.
Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao.
Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa.
Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya. | Ugonjwa wa ukimwi hauna nini | {
"text": [
"tiba"
]
} |
4748_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia.
Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa.
Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana.
Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao.
Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa.
Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya. | Vitanda vimejaa nini | {
"text": [
"wagojwa wa ukimwi"
]
} |
4748_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia.
Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa.
Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana.
Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao.
Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa.
Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya. | Majuto ni mjukuu na huja lini | {
"text": [
"baadaye"
]
} |
4748_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia.
Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa.
Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana.
Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao.
Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa.
Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya. | Ukimwi umeleta aje madhara mengi kwa biashara | {
"text": [
"umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa hospitalini"
]
} |
4749_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde.
Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba.
Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza.
Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi.
Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili.
Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana.
Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe.
Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha.
Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya. | Ukimwi ni maambukizi ya nini? | {
"text": [
"Virusi hatari"
]
} |
4749_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde.
Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba.
Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza.
Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi.
Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili.
Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana.
Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe.
Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha.
Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya. | Wahenga hawakukosea waliposema Mungu hamuachi nani? | {
"text": [
"Mja wake"
]
} |
4749_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde.
Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba.
Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza.
Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi.
Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili.
Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana.
Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe.
Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha.
Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya. | Mzee Kobe alingojea nini kwa miaka mingi ili aweze kupona? | {
"text": [
"Dawa za kuponya UKIMWI"
]
} |
4749_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde.
Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba.
Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza.
Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi.
Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili.
Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana.
Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe.
Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha.
Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya. | Virusi vya UKIMWI ni hatari kwa sababu gani? | {
"text": [
"Havina matibabu"
]
} |
4749_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde.
Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba.
Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza.
Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi.
Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili.
Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana.
Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe.
Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha.
Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya. | Hatima y amzee Kobe ilikuwa ipi? | {
"text": [
"Aliaga dunia"
]
} |
4750_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau.
Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu.
Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi.
Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu.
Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake.
Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili.
Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao.
Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke.
Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope.
Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni. | Ugonjwa huu hupigana na askari gani | {
"text": [
"wa mwili"
]
} |
4750_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau.
Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu.
Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi.
Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu.
Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake.
Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili.
Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao.
Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke.
Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope.
Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni. | Uwele huu hauna nini | {
"text": [
"tiba"
]
} |
4750_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau.
Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu.
Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi.
Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu.
Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake.
Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili.
Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao.
Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke.
Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope.
Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni. | Nani huonekana kwanza aliye na afya na mzima | {
"text": [
"adinasi"
]
} |
4750_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau.
Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu.
Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi.
Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu.
Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake.
Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili.
Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao.
Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke.
Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope.
Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni. | Mtu huanza kukonda lini | {
"text": [
"kipindi cha pili"
]
} |
4750_swa | JANGA LA UKIMWI
Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau.
Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu.
Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi.
Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu.
Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake.
Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili.
Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao.
Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke.
Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope.
Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni. | Ugonjwa huu unaweza kuzuiliwaje | {
"text": [
"kwa kutojihusisha na ngono"
]
} |
4751_swa | UGONJWA WA UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati.
Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi.
Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo.
Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini.
Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe.
Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. | Ukimwi husababishwa na nini | {
"text": [
"virusi vya ukimwi"
]
} |
4751_swa | UGONJWA WA UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati.
Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi.
Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo.
Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini.
Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe.
Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. | Ugonjwa wa ukimwi huleta nini | {
"text": [
"janaa"
]
} |
4751_swa | UGONJWA WA UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati.
Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi.
Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo.
Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini.
Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe.
Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. | mtego wa panya huingia kwa nani | {
"text": [
"waliomo na wasiokuwemo"
]
} |
4751_swa | UGONJWA WA UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati.
Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi.
Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo.
Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini.
Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe.
Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. | Ni lini mtu hufunga safari kadhaa kuenda matibabuni | {
"text": [
"anapougua ugonjwa huo"
]
} |
4751_swa | UGONJWA WA UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati.
Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi.
Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo.
Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini.
Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe.
Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. | Mbona wanaougua huona soni na hujitenga au hutengwa | {
"text": [
"baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huo mara tu wanapogundua"
]
} |
4752_swa | UKIMWI
Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana.
Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari.
Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama.
Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta
dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi.
Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere.
Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa.
Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu.
Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu. | Ugonjwa mbaya na wa kutisha ni upi | {
"text": [
"Ukimwi"
]
} |
4752_swa | UKIMWI
Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana.
Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari.
Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama.
Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta
dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi.
Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere.
Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa.
Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu.
Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu. | Ugonjwa wa ulimwi husababishwa na upungufu wa nini | {
"text": [
"Kinga ya mwili"
]
} |
4752_swa | UKIMWI
Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana.
Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari.
Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama.
Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta
dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi.
Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere.
Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa.
Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu.
Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu. | Nani wamegeuka na kuwa umbwa kasoro mkia | {
"text": [
"Binadamu wa sasa"
]
} |
4752_swa | UKIMWI
Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana.
Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari.
Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama.
Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta
dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi.
Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere.
Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa.
Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu.
Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu. | Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi nini | {
"text": [
"Zeze"
]
} |
4752_swa | UKIMWI
Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana.
Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari.
Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama.
Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta
dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi.
Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere.
Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa.
Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu.
Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu. | Bora kinga kuliko nini | {
"text": [
"Tiba"
]
} |
4754_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo.
Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la.
Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa.
Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo.
Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi.
Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri
Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi.
Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu.
Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani! | Ukimwi husababisha mtu kuwa vipi | {
"text": [
"Mgonjwa"
]
} |
4754_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo.
Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la.
Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa.
Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo.
Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi.
Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri
Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi.
Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu.
Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani! | Mtu anastahili kupata nini mapema | {
"text": [
"Matibabu"
]
} |
4754_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo.
Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la.
Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa.
Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo.
Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi.
Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri
Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi.
Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu.
Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani! | Ukimwi huleta nini miongoni mwetu | {
"text": [
"Kifo"
]
} |
4754_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo.
Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la.
Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa.
Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo.
Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi.
Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri
Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi.
Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu.
Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani! | Dalili hizo humfanya mtu kununua dawa dukani bila kuongozwa na nani | {
"text": [
"Daktari"
]
} |
4754_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali.
Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo.
Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la.
Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa.
Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo.
Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi.
Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri
Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi.
Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu.
Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani! | Ukimwi huleta huzuni na ukosefu wa kufanya nini | {
"text": [
"Kulala"
]
} |
4755_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi.
Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini.
Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika
ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili.
Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi.
Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi.
Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine.
Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora.
Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha. | Ukimwi ni ugonjwa unaoleta nini | {
"text": [
"Kifo"
]
} |
4755_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi.
Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini.
Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika
ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili.
Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi.
Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi.
Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine.
Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora.
Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha. | Ukimwi ni upungufu wa nini mwilini | {
"text": [
"Kinga"
]
} |
4755_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi.
Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini.
Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika
ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili.
Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi.
Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi.
Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine.
Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora.
Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha. | Madhara ya ukimwi katika familia ni mtu kufutwa nini | {
"text": [
"Kazi"
]
} |
4755_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi.
Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini.
Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika
ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili.
Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi.
Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi.
Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine.
Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora.
Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha. | Ni gharama ya nini hupanda mhasiriwa anapohitaji kununuliwa dawa | {
"text": [
"Maisha"
]
} |
4755_swa | UKIMWI
Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi.
Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini.
Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika
ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili.
Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi.
Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi.
Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine.
Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora.
Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha. | Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha yaliyoje | {
"text": [
"Bora"
]
} |
4756_swa | ZAWADI MASHAKANI
Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha
Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye
chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi
alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata
akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani
akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na
kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na
kuiongelesha nafsi yake.
Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti
yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa
shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’
Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa
sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni
kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa
M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na
kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi.
Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi
katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo
zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea
angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba
hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya
biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja
alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake
iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo
cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu
vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha
aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka.
Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri
walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda
uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na
panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea.
Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa
ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi
wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma
na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule.
Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu
ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha
mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa
kukitaliki chuo.
Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa
wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo
alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi
ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa
akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili
nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha
mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta
alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi
kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye.
Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala
hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo
haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa
katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi
alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa
Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi,
Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa
amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
| Zawadi alikuwa mwanafunzi katika chuo kipi | {
"text": [
"Kigamboni"
]
} |
4756_swa | ZAWADI MASHAKANI
Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha
Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye
chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi
alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata
akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani
akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na
kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na
kuiongelesha nafsi yake.
Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti
yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa
shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’
Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa
sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni
kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa
M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na
kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi.
Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi
katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo
zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea
angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba
hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya
biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja
alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake
iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo
cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu
vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha
aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka.
Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri
walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda
uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na
panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea.
Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa
ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi
wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma
na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule.
Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu
ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha
mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa
kukitaliki chuo.
Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa
wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo
alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi
ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa
akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili
nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha
mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta
alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi
kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye.
Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala
hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo
haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa
katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi
alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa
Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi,
Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa
amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
| Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa ngapi chuoni | {
"text": [
"Mwaka wa nne"
]
} |
4756_swa | ZAWADI MASHAKANI
Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha
Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye
chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi
alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata
akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani
akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na
kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na
kuiongelesha nafsi yake.
Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti
yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa
shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’
Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa
sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni
kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa
M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na
kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi.
Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi
katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo
zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea
angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba
hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya
biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja
alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake
iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo
cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu
vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha
aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka.
Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri
walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda
uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na
panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea.
Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa
ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi
wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma
na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule.
Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu
ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha
mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa
kukitaliki chuo.
Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa
wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo
alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi
ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa
akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili
nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha
mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta
alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi
kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye.
Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala
hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo
haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa
katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi
alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa
Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi,
Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa
amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
| Zawadi alisomea nini | {
"text": [
"Ualimu"
]
} |
4756_swa | ZAWADI MASHAKANI
Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha
Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye
chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi
alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata
akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani
akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na
kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na
kuiongelesha nafsi yake.
Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti
yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa
shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’
Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa
sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni
kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa
M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na
kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi.
Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi
katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo
zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea
angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba
hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya
biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja
alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake
iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo
cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu
vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha
aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka.
Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri
walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda
uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na
panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea.
Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa
ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi
wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma
na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule.
Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu
ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha
mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa
kukitaliki chuo.
Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa
wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo
alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi
ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa
akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili
nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha
mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta
alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi
kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye.
Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala
hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo
haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa
katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi
alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa
Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi,
Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa
amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
| Zawadi alikuwa akifanya biashara gani | {
"text": [
"Kuuza maandazi motomoto"
]
} |
4756_swa | ZAWADI MASHAKANI
Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha
Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye
chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi
alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata
akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani
akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na
kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na
kuiongelesha nafsi yake.
Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti
yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa
shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’
Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa
sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni
kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa
M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na
kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi.
Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi
katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo
zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea
angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba
hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya
biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja
alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake
iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo
cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu
vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha
aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka.
Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri
walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda
uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na
panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea.
Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa
ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi
wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma
na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule.
Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu
ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha
mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa
kukitaliki chuo.
Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa
wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo
alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi
ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa
akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili
nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha
mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta
alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi
kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye.
Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala
hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo
haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa
katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi
alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa
Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi,
Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa
amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
| Zawadi aliibiwa nini alipokuwa akiishi katika mabweni ya chuo | {
"text": [
"Simu"
]
} |
4757_swa | MZUNGU MWEUSI.
Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa
ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya
thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa
adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au
waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado
yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa
mtu,natuamini hvyo tu!
Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea
machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na
runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo
vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku
ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa
mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na
kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika
ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba
na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa
Mwafrika.
Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa
akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba
ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi
leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia
hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini
kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata
kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa
shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni
ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya
kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe
kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana.
Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la
bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake
kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka
kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza
kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali
yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala
uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa
kujidunga usiostahili pole.
Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake
akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu
maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa
mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika
hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba
hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi
aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya
mgeni wake.
Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia
na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele.
Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona
yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye
kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa
imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau
mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake
zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae
akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina
madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata
kutokana na pesa.
Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi
kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo
zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili
yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili
waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa
mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja
wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili
ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani
Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau
yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
| Mwafrika alianza kufuata amri za nini | {
"text": [
"rununu na runinga"
]
} |
4757_swa | MZUNGU MWEUSI.
Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa
ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya
thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa
adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au
waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado
yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa
mtu,natuamini hvyo tu!
Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea
machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na
runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo
vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku
ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa
mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na
kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika
ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba
na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa
Mwafrika.
Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa
akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba
ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi
leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia
hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini
kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata
kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa
shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni
ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya
kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe
kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana.
Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la
bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake
kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka
kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza
kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali
yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala
uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa
kujidunga usiostahili pole.
Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake
akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu
maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa
mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika
hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba
hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi
aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya
mgeni wake.
Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia
na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele.
Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona
yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye
kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa
imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau
mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake
zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae
akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina
madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata
kutokana na pesa.
Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi
kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo
zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili
yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili
waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa
mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja
wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili
ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani
Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau
yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
| Umoja ni nini | {
"text": [
"nguvu"
]
} |
4757_swa | MZUNGU MWEUSI.
Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa
ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya
thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa
adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au
waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado
yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa
mtu,natuamini hvyo tu!
Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea
machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na
runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo
vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku
ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa
mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na
kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika
ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba
na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa
Mwafrika.
Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa
akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba
ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi
leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia
hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini
kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata
kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa
shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni
ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya
kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe
kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana.
Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la
bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake
kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka
kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza
kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali
yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala
uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa
kujidunga usiostahili pole.
Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake
akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu
maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa
mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika
hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba
hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi
aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya
mgeni wake.
Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia
na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele.
Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona
yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye
kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa
imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau
mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake
zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae
akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina
madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata
kutokana na pesa.
Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi
kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo
zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili
yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili
waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa
mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja
wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili
ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani
Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau
yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
| Vya bure vina nini | {
"text": [
"madhara"
]
} |
4757_swa | MZUNGU MWEUSI.
Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa
ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya
thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa
adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au
waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado
yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa
mtu,natuamini hvyo tu!
Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea
machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na
runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo
vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku
ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa
mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na
kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika
ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba
na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa
Mwafrika.
Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa
akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba
ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi
leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia
hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini
kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata
kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa
shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni
ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya
kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe
kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana.
Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la
bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake
kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka
kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza
kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali
yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala
uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa
kujidunga usiostahili pole.
Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake
akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu
maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa
mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika
hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba
hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi
aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya
mgeni wake.
Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia
na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele.
Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona
yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye
kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa
imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau
mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake
zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae
akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina
madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata
kutokana na pesa.
Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi
kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo
zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili
yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili
waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa
mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja
wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili
ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani
Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau
yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
| Mahitaji yake mwafrika yalikosa kutimia lini | {
"text": [
"alipolipwa mshahara mdogo"
]
} |
4757_swa | MZUNGU MWEUSI.
Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa
ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya
thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa
adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au
waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado
yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa
mtu,natuamini hvyo tu!
Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea
machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na
runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo
vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku
ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa
mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na
kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika
ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba
na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa
Mwafrika.
Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa
akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba
ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi
leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia
hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini
kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata
kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa
shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni
ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya
kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe
kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana.
Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la
bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake
kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka
kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza
kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali
yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala
uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa
kujidunga usiostahili pole.
Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake
akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu
maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa
mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika
hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba
hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi
aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya
mgeni wake.
Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia
na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele.
Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona
yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye
kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa
imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau
mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake
zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae
akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina
madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata
kutokana na pesa.
Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi
kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo
zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili
yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili
waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa
mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja
wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili
ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani
Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau
yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
| Mbona majaribio ya dawa yaliegemezewa mzungu mweusi | {
"text": [
" iliaminika hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba hizo"
]
} |
4758_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia
anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata
adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa
kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza
hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata
wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho
kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate
kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona
basi ukipiuza utajipata pabaya.
Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei.
Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto
watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya
wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote
za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya
kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake
ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba
alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande
wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao
ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi.
Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi
wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na
aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana
Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake
waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo
ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya
kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea
maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake
sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani.
Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo
ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu.
Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua
na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema
kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu
alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani
aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini
katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto
wa kipekee na mwenye akili za kipekee.
Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake
. Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto
sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi
ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma,
chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa
ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta
walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha
alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio
yake nta.
Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa
amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana.
Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya
Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato
cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa
kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka
shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla
wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na
baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta
aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa.
Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila
hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni
kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani
kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia
vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake,
kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha
wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii
tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu
alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri
wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa
kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji.
Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa
kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake
zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia
hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu
alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha
vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye
jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona
kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe
alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake
Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule
katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa
mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju
chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa
naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku
nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata
nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali
maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za
kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na
mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami.
Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika
na hayangezoleka tena.
| Nani alikua mwenye maadili mema | {
"text": [
"Benta"
]
} |
4758_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia
anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata
adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa
kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza
hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata
wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho
kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate
kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona
basi ukipiuza utajipata pabaya.
Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei.
Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto
watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya
wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote
za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya
kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake
ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba
alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande
wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao
ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi.
Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi
wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na
aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana
Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake
waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo
ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya
kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea
maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake
sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani.
Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo
ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu.
Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua
na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema
kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu
alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani
aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini
katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto
wa kipekee na mwenye akili za kipekee.
Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake
. Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto
sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi
ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma,
chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa
ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta
walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha
alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio
yake nta.
Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa
amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana.
Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya
Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato
cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa
kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka
shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla
wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na
baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta
aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa.
Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila
hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni
kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani
kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia
vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake,
kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha
wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii
tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu
alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri
wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa
kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji.
Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa
kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake
zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia
hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu
alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha
vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye
jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona
kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe
alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake
Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule
katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa
mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju
chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa
naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku
nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata
nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali
maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za
kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na
mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami.
Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika
na hayangezoleka tena.
| Benta alikua kipaumbele kanisani katika nini | {
"text": [
"mambo ya kidini"
]
} |
4758_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia
anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata
adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa
kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza
hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata
wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho
kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate
kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona
basi ukipiuza utajipata pabaya.
Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei.
Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto
watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya
wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote
za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya
kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake
ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba
alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande
wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao
ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi.
Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi
wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na
aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana
Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake
waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo
ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya
kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea
maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake
sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani.
Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo
ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu.
Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua
na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema
kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu
alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani
aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini
katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto
wa kipekee na mwenye akili za kipekee.
Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake
. Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto
sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi
ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma,
chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa
ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta
walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha
alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio
yake nta.
Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa
amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana.
Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya
Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato
cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa
kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka
shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla
wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na
baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta
aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa.
Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila
hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni
kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani
kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia
vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake,
kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha
wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii
tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu
alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri
wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa
kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji.
Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa
kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake
zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia
hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu
alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha
vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye
jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona
kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe
alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake
Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule
katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa
mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju
chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa
naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku
nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata
nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali
maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za
kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na
mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami.
Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika
na hayangezoleka tena.
| Nani walimlipia Benta karo kwenye shule moja ya kifahari mjini | {
"text": [
"mapadri"
]
} |
4758_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia
anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata
adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa
kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza
hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata
wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho
kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate
kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona
basi ukipiuza utajipata pabaya.
Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei.
Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto
watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya
wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote
za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya
kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake
ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba
alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande
wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao
ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi.
Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi
wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na
aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana
Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake
waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo
ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya
kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea
maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake
sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani.
Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo
ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu.
Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua
na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema
kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu
alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani
aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini
katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto
wa kipekee na mwenye akili za kipekee.
Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake
. Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto
sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi
ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma,
chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa
ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta
walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha
alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio
yake nta.
Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa
amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana.
Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya
Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato
cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa
kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka
shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla
wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na
baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta
aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa.
Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila
hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni
kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani
kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia
vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake,
kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha
wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii
tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu
alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri
wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa
kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji.
Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa
kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake
zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia
hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu
alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha
vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye
jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona
kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe
alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake
Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule
katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa
mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju
chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa
naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku
nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata
nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali
maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za
kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na
mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami.
Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika
na hayangezoleka tena.
| Benta aliachana na masomo yake lini | {
"text": [
"mwaka wa tatu"
]
} |
4758_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia
anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata
adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa
kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza
hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata
wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho
kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate
kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona
basi ukipiuza utajipata pabaya.
Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei.
Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto
watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya
wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote
za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya
kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake
ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba
alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande
wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao
ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi.
Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi
wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na
aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana
Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake
waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo
ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya
kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea
maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake
sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani.
Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo
ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu.
Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua
na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema
kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu
alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani
aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini
katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto
wa kipekee na mwenye akili za kipekee.
Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake
. Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto
sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi
ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma,
chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa
ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta
walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha
alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio
yake nta.
Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa
amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana.
Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya
Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato
cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa
kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka
shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla
wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na
baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta
aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa.
Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila
hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni
kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani
kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia
vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake,
kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha
wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii
tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu
alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri
wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa
kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji.
Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa
kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake
zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia
hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu
alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha
vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye
jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona
kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe
alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake
Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule
katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa
mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju
chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa
naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku
nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata
nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali
maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za
kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na
mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami.
Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika
na hayangezoleka tena.
| Mbona Benta aliamua kuenda na mzee umri wa babake | {
"text": [
"alihaidiwa maisha mazuri bila kutumia jasho lake"
]
} |
4759_swa | ATHARI YA MAFURIKO
Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya.
Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa
hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini
sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya.
Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya
husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu
Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo
mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada.
Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji
hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa
ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika
wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu
hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo
haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na
hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila
mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya
binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza
kuhatarisha maisha ya wengi.
Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji
mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha
hasara mingi
katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha
juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa
Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile
mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu
huingia katika makazi na kuleta taharuki.
Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye
Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa
na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi.
Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari
yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa.
Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya
lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa.
Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu
wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana
maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa
juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya
imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
| Janga gani limekuwa donda ndugu Kenya | {
"text": [
"la mafuriko"
]
} |
4759_swa | ATHARI YA MAFURIKO
Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya.
Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa
hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini
sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya.
Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya
husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu
Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo
mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada.
Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji
hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa
ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika
wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu
hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo
haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na
hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila
mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya
binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza
kuhatarisha maisha ya wengi.
Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji
mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha
hasara mingi
katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha
juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa
Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile
mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu
huingia katika makazi na kuleta taharuki.
Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye
Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa
na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi.
Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari
yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa.
Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya
lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa.
Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu
wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana
maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa
juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya
imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
| Nini hutokana na mvua nyingi kupita kiasi | {
"text": [
"mafuriko"
]
} |
4759_swa | ATHARI YA MAFURIKO
Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya.
Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa
hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini
sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya.
Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya
husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu
Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo
mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada.
Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji
hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa
ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika
wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu
hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo
haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na
hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila
mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya
binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza
kuhatarisha maisha ya wengi.
Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji
mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha
hasara mingi
katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha
juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa
Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile
mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu
huingia katika makazi na kuleta taharuki.
Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye
Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa
na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi.
Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari
yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa.
Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya
lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa.
Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu
wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana
maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa
juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya
imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
| Maji hupungua lini kwa kiwango kikubwa | {
"text": [
"wakati wa kiangazi"
]
} |
4759_swa | ATHARI YA MAFURIKO
Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya.
Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa
hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini
sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya.
Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya
husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu
Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo
mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada.
Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji
hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa
ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika
wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu
hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo
haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na
hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila
mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya
binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza
kuhatarisha maisha ya wengi.
Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji
mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha
hasara mingi
katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha
juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa
Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile
mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu
huingia katika makazi na kuleta taharuki.
Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye
Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa
na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi.
Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari
yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa.
Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya
lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa.
Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu
wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana
maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa
juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya
imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
| Mbona watu wengi hufanya makao yao kuwa karibu na mto | {
"text": [
"kwa sababu ya ukosefu wa ardhi"
]
} |
4759_swa | ATHARI YA MAFURIKO
Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya.
Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa
hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini
sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya.
Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya
husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu
Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo
mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada.
Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji
hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa
ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika
wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu
hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo
haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na
hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila
mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya
binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza
kuhatarisha maisha ya wengi.
Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji
mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha
hasara mingi
katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha
juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa
Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile
mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu
huingia katika makazi na kuleta taharuki.
Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye
Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa
na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi.
Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari
yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa.
Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya
lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa.
Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu
wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana
maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa
juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya
imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
| Maeneo ambapo yana maji hukabiliwa na msongamano wa nani | {
"text": [
"watu"
]
} |
4760_swa | Begi langu.
Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na
kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye
angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu
ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila
ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo
nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake.
Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo
akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi
ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine
nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe
vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende
na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini
anadi adhana ya Kwanza?
Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda
kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana
ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye
vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara
ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili
zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa
na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi
sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na
uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi!
Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The
Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa
kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya
wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli
ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’.
Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi
ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba
na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa
amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo
la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua
alichomaanisha wala sikutaka kujua.
Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu
gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza
mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za
kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa
begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu
kwa yasiyonihusu.
Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu
na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea
kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na
kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro
vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini
nilichokiona.
Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha
mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya
fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu
yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute
mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali
chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama.
‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa
wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane
mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za
kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana
ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu
hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo
kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi
yangu.Sikujua la kufanya.
‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana
mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya
duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu
mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa
macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe
nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu
usio na faraja.
| Ni nini kilichomwandama na kuganda mwilini | {
"text": [
"Dhiki"
]
} |
4760_swa | Begi langu.
Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na
kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye
angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu
ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila
ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo
nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake.
Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo
akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi
ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine
nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe
vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende
na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini
anadi adhana ya Kwanza?
Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda
kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana
ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye
vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara
ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili
zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa
na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi
sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na
uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi!
Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The
Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa
kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya
wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli
ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’.
Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi
ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba
na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa
amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo
la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua
alichomaanisha wala sikutaka kujua.
Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu
gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza
mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za
kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa
begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu
kwa yasiyonihusu.
Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu
na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea
kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na
kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro
vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini
nilichokiona.
Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha
mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya
fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu
yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute
mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali
chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama.
‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa
wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane
mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za
kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana
ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu
hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo
kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi
yangu.Sikujua la kufanya.
‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana
mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya
duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu
mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa
macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe
nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu
usio na faraja.
| Kila wakati joggoo alipowika alifanya nini | {
"text": [
"Kuwaza namna angeyatatua matatizo yake yaliyomkumba"
]
} |
4760_swa | Begi langu.
Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na
kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye
angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu
ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila
ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo
nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake.
Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo
akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi
ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine
nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe
vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende
na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini
anadi adhana ya Kwanza?
Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda
kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana
ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye
vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara
ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili
zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa
na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi
sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na
uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi!
Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The
Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa
kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya
wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli
ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’.
Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi
ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba
na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa
amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo
la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua
alichomaanisha wala sikutaka kujua.
Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu
gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza
mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za
kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa
begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu
kwa yasiyonihusu.
Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu
na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea
kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na
kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro
vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini
nilichokiona.
Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha
mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya
fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu
yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute
mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali
chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama.
‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa
wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane
mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za
kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana
ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu
hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo
kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi
yangu.Sikujua la kufanya.
‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana
mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya
duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu
mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa
macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe
nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu
usio na faraja.
| Alifanya nini baafaya sala | {
"text": [
"Alirukia mckweche wake na kwenda kutafuta riziki"
]
} |
4760_swa | Begi langu.
Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na
kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye
angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu
ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila
ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo
nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake.
Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo
akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi
ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine
nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe
vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende
na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini
anadi adhana ya Kwanza?
Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda
kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana
ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye
vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara
ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili
zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa
na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi
sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na
uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi!
Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The
Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa
kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya
wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli
ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’.
Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi
ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba
na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa
amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo
la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua
alichomaanisha wala sikutaka kujua.
Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu
gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza
mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za
kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa
begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu
kwa yasiyonihusu.
Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu
na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea
kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na
kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro
vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini
nilichokiona.
Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha
mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya
fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu
yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute
mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali
chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama.
‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa
wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane
mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za
kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana
ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu
hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo
kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi
yangu.Sikujua la kufanya.
‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana
mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya
duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu
mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa
macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe
nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu
usio na faraja.
| Kiduka cha mmeru kiliuza nini | {
"text": [
"Majani yaliyotafunwa na wengi- 'mgokaa'"
]
} |
4760_swa | Begi langu.
Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na
kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye
angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu
ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila
ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo
nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake.
Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo
akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi
ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine
nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe
vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende
na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini
anadi adhana ya Kwanza?
Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda
kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana
ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye
vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara
ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili
zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa
na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi
sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na
uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi!
Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The
Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa
kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya
wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli
ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’.
Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi
ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba
na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa
amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo
la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua
alichomaanisha wala sikutaka kujua.
Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu
gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza
mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za
kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa
begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu
kwa yasiyonihusu.
Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu
na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea
kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na
kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro
vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini
nilichokiona.
Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha
mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya
fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu
yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute
mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali
chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama.
‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa
wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane
mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za
kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana
ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu
hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo
kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi
yangu.Sikujua la kufanya.
‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana
mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya
duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu
mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa
macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe
nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu
usio na faraja.
| Nani alikimbizwa na janadume la kizungu | {
"text": [
"Kijana mmoja"
]
} |
4761_swa | Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale
ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za
jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa
kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa
kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu
visivyo.
Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile
ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa
bei ya juu.
Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au
kikabila.
Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa
kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge
kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria
hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?.
Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii
hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa
maradhi na mauti .
Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu
serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita.
Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali
hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona
kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao.
Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa
kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na
ufisadi wa kufaana.
Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi
vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha
mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao
Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa
hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini?
Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili.
Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi
wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa
kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi.
Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao
yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo
ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima
wote washikane ili waweze kumaliza.
Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia
kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo
litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika
ufisadi.
Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa
kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa
kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi.
Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi
kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna
mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
| Ufisadi ni kinyume na maadili ya nini | {
"text": [
"Jamii"
]
} |
4761_swa | Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale
ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za
jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa
kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa
kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu
visivyo.
Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile
ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa
bei ya juu.
Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au
kikabila.
Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa
kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge
kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria
hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?.
Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii
hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa
maradhi na mauti .
Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu
serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita.
Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali
hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona
kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao.
Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa
kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na
ufisadi wa kufaana.
Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi
vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha
mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao
Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa
hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini?
Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili.
Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi
wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa
kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi.
Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao
yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo
ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima
wote washikane ili waweze kumaliza.
Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia
kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo
litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika
ufisadi.
Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa
kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa
kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi.
Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi
kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna
mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
| Nani wanapewa hongo barabarani | {
"text": [
"Polisi"
]
} |
4761_swa | Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale
ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za
jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa
kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa
kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu
visivyo.
Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile
ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa
bei ya juu.
Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au
kikabila.
Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa
kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge
kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria
hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?.
Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii
hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa
maradhi na mauti .
Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu
serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita.
Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali
hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona
kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao.
Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa
kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na
ufisadi wa kufaana.
Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi
vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha
mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao
Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa
hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini?
Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili.
Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi
wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa
kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi.
Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao
yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo
ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima
wote washikane ili waweze kumaliza.
Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia
kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo
litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika
ufisadi.
Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa
kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa
kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi.
Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi
kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna
mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
| Serikali inafaa kuweka nini dhidi ya ufisadi | {
"text": [
"Sheria"
]
} |
4761_swa | Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale
ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za
jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa
kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa
kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu
visivyo.
Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile
ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa
bei ya juu.
Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au
kikabila.
Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa
kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge
kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria
hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?.
Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii
hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa
maradhi na mauti .
Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu
serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita.
Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali
hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona
kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao.
Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa
kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na
ufisadi wa kufaana.
Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi
vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha
mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao
Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa
hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini?
Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili.
Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi
wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa
kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi.
Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao
yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo
ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima
wote washikane ili waweze kumaliza.
Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia
kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo
litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika
ufisadi.
Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa
kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa
kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi.
Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi
kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna
mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
| Nani huumia zaidi | {
"text": [
"Wachochole"
]
} |
4761_swa | Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale
ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za
jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa
kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa
kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu
visivyo.
Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile
ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa
bei ya juu.
Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au
kikabila.
Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa
kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge
kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria
hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?.
Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii
hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa
maradhi na mauti .
Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu
serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita.
Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali
hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona
kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao.
Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa
kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na
ufisadi wa kufaana.
Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi
vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha
mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao
Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa
hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini?
Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili.
Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi
wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa
kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi.
Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao
yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo
ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima
wote washikane ili waweze kumaliza.
Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia
kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo
litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika
ufisadi.
Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa
kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa
kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi.
Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi
kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna
mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
| Kwa nini vita vya ufisadi ni ngumu kupigana | {
"text": [
"wanaoaminiwa kupigana na ufisadi ndio wafisadi"
]
} |
4762_swa | DAWA ZA KULEVYA
Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao
hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi
mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu.
Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini
haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe
za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari
la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya
huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi
yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya.
Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa
ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta
pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana
wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali
wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata.
Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za
kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao
ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana
wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona
mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika
mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza
tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za
kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu
wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza
kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii
huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana
alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya
dawa za kulevya ni kutafuta pesa.
Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za
kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya
dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba
wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa
hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao
wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii
inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao
huanza kutumia dawa hizo.
Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza
kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima
utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana
naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini
kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja
alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia
angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona
unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni
jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo
kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe
hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe
waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati
nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada
huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu
kuwa mraibu wa pombe?
Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia
mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya
uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea
mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na
mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi
sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia.
Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa
kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya
kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba
unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote.
Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie
darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua
kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni
swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na
matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja
kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja.
Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba.
La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya.
Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii
ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama
uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya
ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku
usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani.
Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa
damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu
ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona
umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao
hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na
chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na
vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi
vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa
pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single".
Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za
kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa
pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa
mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia
dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia
akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu
kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali
atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto
pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia.
Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na
kuwa chokoraa.
Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na
uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru.
Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na
wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa.
Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu
wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho.
Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine
hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika
na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini
wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za
mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa
pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto
wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili
angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa.
Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema
kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki
huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza
walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza
kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu
moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh
wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe
inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la
"whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni
nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe.
Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama
kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla
nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa
nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo
vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye
kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa
kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya
nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi
kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka.
Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za
kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia
pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe
ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia
pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu
ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani
kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya
wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi
vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii.
Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya
dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
| Nani wanatumia dawa za kulevya | {
"text": [
"vijana"
]
} |
4762_swa | DAWA ZA KULEVYA
Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao
hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi
mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu.
Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini
haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe
za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari
la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya
huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi
yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya.
Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa
ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta
pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana
wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali
wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata.
Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za
kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao
ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana
wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona
mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika
mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza
tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za
kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu
wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza
kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii
huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana
alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya
dawa za kulevya ni kutafuta pesa.
Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za
kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya
dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba
wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa
hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao
wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii
inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao
huanza kutumia dawa hizo.
Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza
kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima
utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana
naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini
kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja
alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia
angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona
unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni
jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo
kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe
hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe
waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati
nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada
huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu
kuwa mraibu wa pombe?
Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia
mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya
uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea
mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na
mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi
sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia.
Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa
kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya
kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba
unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote.
Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie
darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua
kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni
swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na
matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja
kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja.
Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba.
La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya.
Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii
ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama
uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya
ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku
usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani.
Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa
damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu
ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona
umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao
hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na
chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na
vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi
vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa
pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single".
Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za
kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa
pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa
mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia
dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia
akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu
kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali
atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto
pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia.
Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na
kuwa chokoraa.
Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na
uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru.
Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na
wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa.
Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu
wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho.
Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine
hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika
na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini
wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za
mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa
pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto
wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili
angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa.
Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema
kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki
huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza
walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza
kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu
moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh
wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe
inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la
"whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni
nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe.
Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama
kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla
nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa
nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo
vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye
kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa
kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya
nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi
kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka.
Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za
kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia
pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe
ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia
pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu
ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani
kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya
wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi
vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii.
Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya
dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
| Wamejiunga na makundi gani | {
"text": [
"mabaya"
]
} |
4762_swa | DAWA ZA KULEVYA
Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao
hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi
mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu.
Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini
haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe
za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari
la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya
huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi
yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya.
Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa
ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta
pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana
wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali
wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata.
Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za
kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao
ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana
wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona
mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika
mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza
tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za
kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu
wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza
kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii
huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana
alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya
dawa za kulevya ni kutafuta pesa.
Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za
kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya
dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba
wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa
hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao
wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii
inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao
huanza kutumia dawa hizo.
Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza
kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima
utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana
naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini
kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja
alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia
angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona
unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni
jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo
kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe
hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe
waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati
nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada
huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu
kuwa mraibu wa pombe?
Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia
mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya
uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea
mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na
mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi
sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia.
Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa
kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya
kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba
unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote.
Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie
darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua
kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni
swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na
matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja
kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja.
Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba.
La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya.
Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii
ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama
uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya
ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku
usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani.
Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa
damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu
ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona
umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao
hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na
chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na
vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi
vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa
pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single".
Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za
kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa
pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa
mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia
dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia
akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu
kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali
atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto
pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia.
Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na
kuwa chokoraa.
Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na
uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru.
Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na
wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa.
Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu
wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho.
Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine
hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika
na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini
wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za
mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa
pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto
wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili
angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa.
Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema
kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki
huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza
walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza
kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu
moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh
wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe
inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la
"whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni
nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe.
Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama
kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla
nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa
nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo
vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye
kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa
kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya
nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi
kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka.
Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za
kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia
pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe
ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia
pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu
ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani
kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya
wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi
vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii.
Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya
dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
| Nini sabuni ya roho | {
"text": [
"pesa"
]
} |
4762_swa | DAWA ZA KULEVYA
Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao
hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi
mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu.
Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini
haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe
za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari
la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya
huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi
yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya.
Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa
ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta
pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana
wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali
wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata.
Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za
kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao
ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana
wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona
mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika
mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza
tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za
kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu
wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza
kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii
huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana
alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya
dawa za kulevya ni kutafuta pesa.
Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za
kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya
dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba
wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa
hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao
wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii
inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao
huanza kutumia dawa hizo.
Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza
kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima
utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana
naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini
kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja
alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia
angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona
unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni
jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo
kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe
hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe
waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati
nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada
huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu
kuwa mraibu wa pombe?
Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia
mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya
uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea
mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na
mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi
sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia.
Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa
kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya
kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba
unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote.
Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie
darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua
kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni
swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na
matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja
kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja.
Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba.
La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya.
Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii
ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama
uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya
ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku
usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani.
Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa
damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu
ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona
umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao
hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na
chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na
vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi
vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa
pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single".
Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za
kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa
pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa
mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia
dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia
akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu
kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali
atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto
pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia.
Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na
kuwa chokoraa.
Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na
uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru.
Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na
wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa.
Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu
wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho.
Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine
hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika
na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini
wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za
mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa
pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto
wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili
angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa.
Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema
kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki
huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza
walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza
kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu
moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh
wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe
inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la
"whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni
nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe.
Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama
kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla
nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa
nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo
vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye
kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa
kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya
nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi
kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka.
Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za
kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia
pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe
ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia
pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu
ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani
kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya
wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi
vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii.
Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya
dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
| Mbona wakikosana na waseja wao wanakimblia pombe | {
"text": [
"ili kuondoa msongo"
]
} |
4762_swa | DAWA ZA KULEVYA
Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao
hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi
mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu.
Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini
haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe
za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari
la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya
huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi
yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya.
Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa
ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta
pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana
wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali
wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata.
Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za
kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao
ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana
wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona
mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika
mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza
tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za
kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu
wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza
kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii
huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana
alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya
dawa za kulevya ni kutafuta pesa.
Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za
kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya
dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba
wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa
hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao
wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii
inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao
huanza kutumia dawa hizo.
Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza
kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima
utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana
naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini
kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja
alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia
angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona
unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni
jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo
kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe
hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe
waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati
nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada
huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu
kuwa mraibu wa pombe?
Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia
mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya
uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea
mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na
mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi
sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia.
Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa
kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya
kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba
unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote.
Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie
darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua
kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni
swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na
matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja
kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja.
Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba.
La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya.
Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii
ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama
uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya
ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku
usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani.
Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa
damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu
ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona
umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao
hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na
chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na
vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi
vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa
pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single".
Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za
kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa
pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa
mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia
dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia
akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu
kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali
atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto
pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia.
Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na
kuwa chokoraa.
Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na
uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru.
Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na
wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa.
Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu
wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho.
Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine
hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika
na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini
wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za
mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa
pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto
wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili
angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa.
Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema
kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki
huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza
walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza
kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu
moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh
wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe
inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la
"whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni
nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe.
Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama
kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla
nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa
nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo
vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye
kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa
kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya
nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi
kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka.
Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za
kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia
pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe
ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia
pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu
ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani
kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya
wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi
vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii.
Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya
dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
| Watoto hugeukiwa na dunia lini | {
"text": [
"wanapofika huko nje"
]
} |
4763_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAUME
Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya
wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine
watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna
yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao
wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto
kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna
anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia
hizi za dhuluma ni kama zifwatazo.
Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na
wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale
mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala
ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume
tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata
yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii
hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta
mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia
mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume
hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa.
Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo
vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri
za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao
labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani.
Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma
ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama
wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo,
watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani
sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya
sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa
vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake
kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi
hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote.
Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye
hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake
zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume
hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya
kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii
huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata
sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni
ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume
kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza
kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne
tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda.
Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au
sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa!
Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona
ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine
wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala
wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni
hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine
wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza
kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi
niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale
palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa
mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo
akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa?
Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha
msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake
watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye
upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri
chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na
kufumukana kuelekea kwangu.
Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna
pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye
akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo
cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa
kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume
arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende
ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo
mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula.
Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa.
Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo
hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku
ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno.
Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki
yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na
uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale
aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia.
Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa.
Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa
kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na
msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao
wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke
atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe
zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa
ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha
mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani,
huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila
mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi
na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku
akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na
kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa
hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha
nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia
iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka
hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi
ongea atanyamazia tu.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si
kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye
aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto
wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama
huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu
kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina
mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto.
Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya
aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka
angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza.
Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo
wanaiba.
Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali
msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za
kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia
mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee.
Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata
mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma
kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho
umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Wanaume wengi nchini Kenya wanafanyiwa nini | {
"text": [
"wanadhulumiwa"
]
} |
4763_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAUME
Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya
wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine
watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna
yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao
wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto
kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna
anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia
hizi za dhuluma ni kama zifwatazo.
Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na
wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale
mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala
ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume
tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata
yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii
hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta
mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia
mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume
hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa.
Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo
vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri
za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao
labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani.
Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma
ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama
wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo,
watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani
sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya
sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa
vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake
kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi
hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote.
Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye
hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake
zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume
hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya
kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii
huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata
sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni
ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume
kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza
kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne
tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda.
Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au
sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa!
Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona
ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine
wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala
wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni
hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine
wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza
kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi
niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale
palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa
mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo
akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa?
Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha
msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake
watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye
upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri
chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na
kufumukana kuelekea kwangu.
Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna
pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye
akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo
cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa
kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume
arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende
ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo
mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula.
Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa.
Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo
hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku
ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno.
Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki
yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na
uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale
aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia.
Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa.
Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa
kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na
msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao
wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke
atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe
zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa
ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha
mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani,
huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila
mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi
na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku
akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na
kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa
hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha
nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia
iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka
hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi
ongea atanyamazia tu.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si
kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye
aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto
wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama
huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu
kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina
mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto.
Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya
aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka
angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza.
Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo
wanaiba.
Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali
msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za
kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia
mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee.
Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata
mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma
kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho
umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Ni sehemu gani wanaume hukatwa na wake zao | {
"text": [
"za siri"
]
} |
4763_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAUME
Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya
wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine
watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna
yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao
wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto
kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna
anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia
hizi za dhuluma ni kama zifwatazo.
Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na
wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale
mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala
ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume
tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata
yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii
hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta
mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia
mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume
hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa.
Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo
vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri
za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao
labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani.
Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma
ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama
wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo,
watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani
sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya
sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa
vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake
kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi
hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote.
Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye
hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake
zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume
hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya
kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii
huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata
sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni
ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume
kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza
kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne
tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda.
Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au
sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa!
Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona
ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine
wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala
wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni
hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine
wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza
kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi
niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale
palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa
mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo
akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa?
Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha
msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake
watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye
upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri
chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na
kufumukana kuelekea kwangu.
Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna
pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye
akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo
cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa
kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume
arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende
ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo
mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula.
Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa.
Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo
hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku
ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno.
Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki
yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na
uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale
aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia.
Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa.
Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa
kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na
msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao
wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke
atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe
zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa
ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha
mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani,
huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila
mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi
na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku
akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na
kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa
hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha
nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia
iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka
hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi
ongea atanyamazia tu.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si
kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye
aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto
wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama
huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu
kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina
mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto.
Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya
aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka
angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza.
Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo
wanaiba.
Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali
msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za
kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia
mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee.
Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata
mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma
kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho
umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Mhunzi mmoja aliamua kutengeneza nini | {
"text": [
"chupi ya chuma"
]
} |
4763_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAUME
Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya
wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine
watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna
yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao
wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto
kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna
anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia
hizi za dhuluma ni kama zifwatazo.
Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na
wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale
mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala
ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume
tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata
yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii
hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta
mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia
mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume
hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa.
Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo
vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri
za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao
labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani.
Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma
ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama
wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo,
watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani
sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya
sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa
vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake
kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi
hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote.
Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye
hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake
zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume
hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya
kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii
huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata
sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni
ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume
kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza
kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne
tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda.
Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au
sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa!
Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona
ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine
wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala
wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni
hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine
wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza
kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi
niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale
palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa
mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo
akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa?
Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha
msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake
watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye
upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri
chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na
kufumukana kuelekea kwangu.
Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna
pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye
akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo
cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa
kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume
arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende
ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo
mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula.
Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa.
Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo
hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku
ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno.
Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki
yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na
uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale
aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia.
Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa.
Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa
kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na
msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao
wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke
atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe
zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa
ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha
mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani,
huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila
mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi
na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku
akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na
kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa
hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha
nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia
iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka
hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi
ongea atanyamazia tu.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si
kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye
aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto
wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama
huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu
kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina
mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto.
Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya
aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka
angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza.
Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo
wanaiba.
Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali
msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za
kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia
mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee.
Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata
mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma
kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho
umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Ni lini mwanaume hutukanywa na mke wake | {
"text": [
"wakati hafanyi kazi"
]
} |
4763_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAUME
Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya
wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine
watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna
yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao
wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto
kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna
anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia
hizi za dhuluma ni kama zifwatazo.
Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na
wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale
mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala
ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume
tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata
yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii
hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta
mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia
mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume
hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa.
Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo
vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri
za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao
labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani.
Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma
ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama
wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo,
watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani
sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya
sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa
vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake
kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi
hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote.
Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye
hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake
zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume
hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya
kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii
huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata
sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni
ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume
kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza
kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne
tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda.
Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au
sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa!
Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona
ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine
wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala
wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni
hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine
wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza
kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi
niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale
palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa
mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo
akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa?
Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha
msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake
watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye
upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri
chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na
kufumukana kuelekea kwangu.
Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna
pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye
akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo
cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa
kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume
arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende
ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo
mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula.
Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa.
Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo
hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku
ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno.
Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki
yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na
uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale
aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia.
Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa.
Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa
kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na
msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao
wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke
atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe
zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa
ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha
mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani,
huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila
mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi
na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku
akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na
kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa
hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha
nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia
iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka
hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi
ongea atanyamazia tu.
Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si
kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye
aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto
wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama
huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu
kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina
mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto.
Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya
aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka
angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza.
Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo
wanaiba.
Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali
msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za
kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia
mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee.
Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata
mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma
kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho
umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Wanaume hudhulumiwa aje kwa kunyimwa chakula | {
"text": [
"mke anapika chakula na kula na watoto wake tu"
]
} |
4764_swa | RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO
Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki
wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama
vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni
kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni
na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa
angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu
chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani
akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si
kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza
mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa
na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba
kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya
ugali kwa kuku.
Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu
mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa
kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo
naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka
mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe
alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato,
familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe
Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato
lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya
kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa.
Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini
Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha.
Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina.
Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo
yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni
aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha.
Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba
anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina
na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza
pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua
watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi
wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha
akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga
sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni.
Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na
kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari
ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende
nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo
dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika
chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina
wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani.
Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni
anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa
kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake.
Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi
lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje
mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani
wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na
akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha
amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto
ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni
kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni
ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi
kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea.
Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe.
Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni
alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona.
Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati
kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa
na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle.
Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake
pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na
kumwacha Jeni katika majonzi makuu.
Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini
Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu
mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa
kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni
kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa
muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye
aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na
kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi
wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa. | Jeni alikuwa shogake nani | {
"text": [
"Fatina"
]
} |
4764_swa | RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO
Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki
wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama
vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni
kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni
na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa
angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu
chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani
akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si
kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza
mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa
na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba
kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya
ugali kwa kuku.
Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu
mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa
kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo
naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka
mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe
alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato,
familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe
Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato
lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya
kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa.
Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini
Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha.
Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina.
Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo
yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni
aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha.
Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba
anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina
na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza
pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua
watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi
wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha
akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga
sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni.
Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na
kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari
ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende
nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo
dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika
chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina
wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani.
Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni
anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa
kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake.
Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi
lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje
mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani
wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na
akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha
amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto
ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni
kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni
ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi
kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea.
Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe.
Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni
alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona.
Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati
kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa
na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle.
Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake
pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na
kumwacha Jeni katika majonzi makuu.
Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini
Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu
mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa
kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni
kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa
muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye
aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na
kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi
wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa. | Kibandani alikoenda jeni kilikuwa cha nani | {
"text": [
"Fatina"
]
} |
4764_swa | RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO
Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki
wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama
vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni
kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni
na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa
angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu
chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani
akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si
kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza
mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa
na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba
kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya
ugali kwa kuku.
Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu
mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa
kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo
naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka
mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe
alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato,
familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe
Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato
lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya
kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa.
Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini
Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha.
Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina.
Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo
yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni
aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha.
Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba
anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina
na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza
pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua
watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi
wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha
akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga
sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni.
Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na
kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari
ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende
nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo
dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika
chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina
wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani.
Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni
anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa
kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake.
Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi
lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje
mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani
wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na
akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha
amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto
ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni
kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni
ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi
kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea.
Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe.
Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni
alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona.
Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati
kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa
na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle.
Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake
pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na
kumwacha Jeni katika majonzi makuu.
Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini
Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu
mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa
kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni
kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa
muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye
aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na
kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi
wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa. | Nani alifanya kazi katika bandari ya magomeni | {
"text": [
"Jeni"
]
} |
4764_swa | RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO
Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki
wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama
vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni
kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni
na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa
angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu
chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani
akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si
kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza
mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa
na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba
kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya
ugali kwa kuku.
Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu
mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa
kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo
naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka
mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe
alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato,
familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe
Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato
lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya
kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa.
Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini
Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha.
Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina.
Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo
yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni
aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha.
Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba
anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina
na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza
pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua
watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi
wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha
akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga
sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni.
Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na
kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari
ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende
nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo
dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika
chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina
wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani.
Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni
anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa
kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake.
Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi
lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje
mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani
wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na
akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha
amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto
ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni
kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni
ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi
kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea.
Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe.
Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni
alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona.
Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati
kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa
na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle.
Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake
pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na
kumwacha Jeni katika majonzi makuu.
Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini
Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu
mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa
kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni
kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa
muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye
aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na
kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi
wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa. | Jeni alikuwa na wana wangapi | {
"text": [
"Wawili"
]
} |
4764_swa | RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO
Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki
wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama
vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni
kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni
na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa
angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu
chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani
akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si
kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza
mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa
na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba
kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya
ugali kwa kuku.
Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu
mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa
kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo
naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka
mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe
alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato,
familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe
Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato
lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya
kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa.
Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini
Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha.
Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina.
Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo
yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni
aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha.
Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba
anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina
na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza
pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua
watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi
wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha
akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga
sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni.
Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na
kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari
ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende
nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo
dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika
chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina
wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani.
Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni
anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa
kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake.
Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi
lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje
mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani
wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na
akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha
amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto
ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni
kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni
ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi
kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea.
Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe.
Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni
alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona.
Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati
kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa
na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle.
Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake
pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na
kumwacha Jeni katika majonzi makuu.
Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini
Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu
mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa
kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni
kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa
muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye
aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na
kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi
wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa. | Pendo alikuwa na umri wa miaka mingapi | {
"text": [
"Kumi na miwili"
]
} |
4766_swa | Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao.
Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi.
Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
| Nani walikuwa marafiki sana | {
"text": [
"Mbuzi na fisi"
]
} |
4766_swa | Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao.
Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi.
Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
| Nani hakujaliwa kupata watoto | {
"text": [
"Fisi"
]
} |
4766_swa | Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao.
Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi.
Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
| Wanambuzi hawakufungua nini walipogundua kuwa sauti hiyo haikuwa ya mama yao | {
"text": [
"Mlango"
]
} |
4766_swa | Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao.
Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi.
Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
| Fisi aliamua kuenda kwa nani ili kutatua tatizo hilo | {
"text": [
"Mganga"
]
} |
4766_swa | Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao.
Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi.
Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
| Mbuzi alichukua nini na kumkata fisi tumboni | {
"text": [
"Panga"
]
} |
4767_swa | HAKI ZA WATOTO
Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama
sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya
elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako
shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika
nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais
mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya
kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo
yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila
mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila
mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi
Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule
msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa
nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi
wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa
waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi
watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure
bilashi.
Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini
yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na
hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto
wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na
minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa
ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine
zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa.
Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu
mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha.
Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi
peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine
zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo
wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe.
Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani
wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao
wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao
washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa,
kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza
mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda.
Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka
angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo
huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa
chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao
ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu
mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki.
Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku
hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila
mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana
kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni
watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio
wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao
mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale
unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto
wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli.
Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata
watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela.
Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto
wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa
kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee
wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga
gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula.
Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini.
Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio
wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote
za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni
nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni
mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo
ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini
ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha
hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja.
Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona
wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto
hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza
mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni
mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye
hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na
kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali.
Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake.
Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize
mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo.
Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na
kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya
zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu.
Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai
kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na
dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo
ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio,
wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba
ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako
huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa.
Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno.
Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa
uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata
wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai
watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu.
Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili
kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya
kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea
watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu
watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao.
Tusiwanyanyaze watoto wetu.
| Taja mojawapo ya haki za watoto nchini kenya | {
"text": [
"Wana haki ya elimu"
]
} |
4767_swa | HAKI ZA WATOTO
Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama
sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya
elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako
shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika
nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais
mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya
kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo
yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila
mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila
mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi
Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule
msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa
nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi
wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa
waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi
watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure
bilashi.
Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini
yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na
hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto
wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na
minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa
ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine
zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa.
Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu
mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha.
Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi
peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine
zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo
wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe.
Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani
wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao
wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao
washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa,
kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza
mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda.
Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka
angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo
huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa
chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao
ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu
mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki.
Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku
hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila
mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana
kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni
watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio
wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao
mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale
unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto
wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli.
Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata
watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela.
Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto
wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa
kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee
wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga
gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula.
Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini.
Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio
wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote
za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni
nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni
mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo
ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini
ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha
hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja.
Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona
wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto
hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza
mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni
mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye
hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na
kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali.
Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake.
Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize
mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo.
Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na
kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya
zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu.
Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai
kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na
dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo
ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio,
wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba
ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako
huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa.
Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno.
Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa
uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata
wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai
watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu.
Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili
kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya
kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea
watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu
watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao.
Tusiwanyanyaze watoto wetu.
| Watoto wana haki ya kukaa katika makazi yao hadi wafikishe miaka mingapi | {
"text": [
"Kumi na nane"
]
} |
4767_swa | HAKI ZA WATOTO
Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama
sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya
elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako
shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika
nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais
mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya
kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo
yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila
mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila
mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi
Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule
msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa
nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi
wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa
waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi
watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure
bilashi.
Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini
yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na
hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto
wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na
minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa
ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine
zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa.
Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu
mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha.
Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi
peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine
zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo
wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe.
Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani
wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao
wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao
washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa,
kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza
mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda.
Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka
angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo
huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa
chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao
ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu
mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki.
Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku
hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila
mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana
kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni
watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio
wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao
mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale
unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto
wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli.
Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata
watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela.
Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto
wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa
kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee
wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga
gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula.
Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini.
Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio
wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote
za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni
nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni
mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo
ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini
ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha
hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja.
Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona
wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto
hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza
mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni
mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye
hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na
kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali.
Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake.
Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize
mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo.
Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na
kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya
zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu.
Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai
kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na
dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo
ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio,
wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba
ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako
huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa.
Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno.
Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa
uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata
wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai
watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu.
Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili
kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya
kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea
watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu
watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao.
Tusiwanyanyaze watoto wetu.
| Nini huchangia watoto kutoroka kwao na kuelekea mjini | {
"text": [
"Kuchapwa na kufanyizwa kazi ngumu"
]
} |
4767_swa | HAKI ZA WATOTO
Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama
sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya
elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako
shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika
nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais
mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya
kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo
yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila
mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila
mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi
Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule
msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa
nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi
wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa
waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi
watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure
bilashi.
Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini
yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na
hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto
wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na
minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa
ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine
zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa.
Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu
mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha.
Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi
peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine
zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo
wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe.
Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani
wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao
wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao
washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa,
kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza
mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda.
Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka
angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo
huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa
chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao
ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu
mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki.
Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku
hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila
mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana
kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni
watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio
wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao
mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale
unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto
wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli.
Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata
watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela.
Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto
wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa
kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee
wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga
gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula.
Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini.
Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio
wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote
za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni
nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni
mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo
ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini
ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha
hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja.
Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona
wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto
hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza
mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni
mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye
hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na
kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali.
Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake.
Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize
mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo.
Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na
kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya
zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu.
Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai
kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na
dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo
ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio,
wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba
ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako
huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa.
Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno.
Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa
uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata
wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai
watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu.
Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili
kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya
kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea
watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu
watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao.
Tusiwanyanyaze watoto wetu.
| Watoto pia wanafaa kupewa nini | {
"text": [
"Mavazi"
]
} |
4767_swa | HAKI ZA WATOTO
Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama
sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya
elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako
shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika
nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais
mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya
kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo
yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila
mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila
mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi
Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule
msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa
nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi
wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa
waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi
watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure
bilashi.
Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini
yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na
hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto
wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na
minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa
ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine
zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa.
Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu
mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha.
Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi
peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine
zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo
wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe.
Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani
wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao
wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao
washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa,
kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza
mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda.
Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka
angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo
huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa
chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao
ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu
mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki.
Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku
hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila
mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana
kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni
watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio
wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao
mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale
unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto
wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli.
Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata
watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela.
Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto
wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa
kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee
wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga
gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula.
Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini.
Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio
wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote
za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni
nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni
mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo
ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini
ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha
hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja.
Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona
wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto
hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza
mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni
mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye
hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na
kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali.
Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake.
Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize
mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo.
Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na
kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya
zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu.
Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai
kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na
dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo
ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio,
wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba
ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako
huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa.
Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno.
Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa
uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata
wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai
watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu.
Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili
kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya
kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea
watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu
watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao.
Tusiwanyanyaze watoto wetu.
| Watoto wanapokuwa wagonjwa wapelekwe wapi | {
"text": [
"Hospitalini"
]
} |
4768_swa | NDOA YA MKEKA
Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara?
Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira.
Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam.
Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri?
Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani.
Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana.
Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
| Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali nini kabla ya kuhitimisha masomo yake | {
"text": [
"Ndoa"
]
} |
4768_swa | NDOA YA MKEKA
Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara?
Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira.
Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam.
Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri?
Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani.
Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana.
Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
| Nani alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake kwa Shukrani | {
"text": [
"Shani"
]
} |
4768_swa | NDOA YA MKEKA
Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara?
Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira.
Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam.
Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri?
Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani.
Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana.
Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
| Nani alimchukia sana Shani na kumbagua | {
"text": [
"Mama yake"
]
} |
Subsets and Splits