Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4745_swa
JANGA LA UKIMWI Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ugonjwa huu kwa kweli ni sugu mithili ya sungura kwenye mtego. Uwele huu ulizuka hapo miaka themanini iliyopita na umewaangamiza wengi wazee kwa vijana wa Jinsia zote. Kuna njia nyingi ugonjwa huu husambaa na kuambukizwa. Kwanza kabisa, ugonjwa huu husambazwa na watu walio nayo kwa watu wenye afya kwa ngono, kutumia vitu vinavyo dunga kama vile wembe kwa watu wengine, kupiga busu, wakati damu ambayo ina virusi inawekewa mtu mwengine na hata sehemu ambazo zina majeraha na hazijafunikwa. Kwa kweli ugonjwa huu ni tishio kubwa kwa ulimwengu na hata sayari yote kwa pamoja. Janga hili hupigana na damu itumikayo kupambana na bakteria na virusi na hatimaye hushinda. Ugonjwa huu napoingia mwilini, mtu huwa sawa lakini atakapofika kipande cha miaka fulani huanza kuonyesha ishara. Dalili za ugonjwa huu ni kama kukohoa, kutapika, wakati mwathiriwa hupimwa, ugunduzi wa madaktari huonyesha kuwa kuna virusi mwilini. Kwa hakika, ugonjwa huu huleta balaa. Huwaua watu wengi kwa wadogo bila kutambua miaka, ama jinsia. Hapa nchini, serikali ina mipango mizuri ya watu walio na upungufu wa kinga mwilini. Serikali hununua vidonge ambavyo hutumiwa na watu walio na ugonjwa huu. Pia ugonjwa huu umeleta madhara yasiyo hesabika. Maabarani ulimwenguni kote, utafiti wa dawa ya ukimwi unaendelea usiku na mchana bila kufa moyo. Madaktari wamejaribu kadri ya uwezo wao kutafuta dawa ya janga hilo lakini wapi? Wao huishia kuambulia patupu lakini wametilia maanani ile methali isemayo kuwa atafutaye hachoki na akichoka kishapata. Janga hili linapoingia mwilini, huharibu viungo vya mwili kupigana na damu ile ambayo inasaidia kupishana na virusi au bakteria na kusababisha magonjwa kama vile kifafa na nyinginezo. Gonjwa hili limetikisa dunia zima na kuacha nchi ambazo zilikuwa zimefahamika katika utafiti wa dawa za magonjwa mbalimbali midomo wazi. Jambo la kuzingatia ni kwamba, ugonjwa huu upo dunia nzima kutoka kaskazini mpaka kusini na mashariki mpaka magharibi. Ikiwa wewe ni mgonjwa kabisa unastahili kuwekewa damu. Jambo la busara ni kuwa damu hiyo ipimwe mara kadhaa kabla ya wewe kuekewa. Nambari ni kubwa ya watu duniani kupata ukimwi kwa kufanya ngono kwa watu walio nao. Ni wakati mwafaka wa wanafunzi kusoma na kuacha mambo ambayo yana uhusiano wowote na ngono kabisa. Humu nchini serikali imeleta mpango mpya wa wanafunzi kufunzwa athari za ukimwi na mambo ambayo tunayostahili kufanya ili kuepukana na balaa kubwa kama hii. Pia, wao hufunzwa njia na mbinu za kuepukana na gonjwa hili kama vile kuacha kutumia mitandao ya kijamii na kuwa wanafunzi wenye heshima ambao huvalia vyema wakiwa nyumbani. Ingekuwa vizuri wakati ambapo tungefuata maagizo yote na kuwa wepesi wa kusikiliza yale ambayo tunaambiwa na wakubwa wetu kama vile wazazi na walimu kulingana na ugonjwa huu kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kutumia minofu wala kutuchana nywele waliposema kuwa jihathari kabla ya hatari.
Serikali huwanunulia nini watu walio na ugonjwa wa ukimwi
{ "text": [ "Vidonge" ] }
4745_swa
JANGA LA UKIMWI Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ugonjwa huu kwa kweli ni sugu mithili ya sungura kwenye mtego. Uwele huu ulizuka hapo miaka themanini iliyopita na umewaangamiza wengi wazee kwa vijana wa Jinsia zote. Kuna njia nyingi ugonjwa huu husambaa na kuambukizwa. Kwanza kabisa, ugonjwa huu husambazwa na watu walio nayo kwa watu wenye afya kwa ngono, kutumia vitu vinavyo dunga kama vile wembe kwa watu wengine, kupiga busu, wakati damu ambayo ina virusi inawekewa mtu mwengine na hata sehemu ambazo zina majeraha na hazijafunikwa. Kwa kweli ugonjwa huu ni tishio kubwa kwa ulimwengu na hata sayari yote kwa pamoja. Janga hili hupigana na damu itumikayo kupambana na bakteria na virusi na hatimaye hushinda. Ugonjwa huu napoingia mwilini, mtu huwa sawa lakini atakapofika kipande cha miaka fulani huanza kuonyesha ishara. Dalili za ugonjwa huu ni kama kukohoa, kutapika, wakati mwathiriwa hupimwa, ugunduzi wa madaktari huonyesha kuwa kuna virusi mwilini. Kwa hakika, ugonjwa huu huleta balaa. Huwaua watu wengi kwa wadogo bila kutambua miaka, ama jinsia. Hapa nchini, serikali ina mipango mizuri ya watu walio na upungufu wa kinga mwilini. Serikali hununua vidonge ambavyo hutumiwa na watu walio na ugonjwa huu. Pia ugonjwa huu umeleta madhara yasiyo hesabika. Maabarani ulimwenguni kote, utafiti wa dawa ya ukimwi unaendelea usiku na mchana bila kufa moyo. Madaktari wamejaribu kadri ya uwezo wao kutafuta dawa ya janga hilo lakini wapi? Wao huishia kuambulia patupu lakini wametilia maanani ile methali isemayo kuwa atafutaye hachoki na akichoka kishapata. Janga hili linapoingia mwilini, huharibu viungo vya mwili kupigana na damu ile ambayo inasaidia kupishana na virusi au bakteria na kusababisha magonjwa kama vile kifafa na nyinginezo. Gonjwa hili limetikisa dunia zima na kuacha nchi ambazo zilikuwa zimefahamika katika utafiti wa dawa za magonjwa mbalimbali midomo wazi. Jambo la kuzingatia ni kwamba, ugonjwa huu upo dunia nzima kutoka kaskazini mpaka kusini na mashariki mpaka magharibi. Ikiwa wewe ni mgonjwa kabisa unastahili kuwekewa damu. Jambo la busara ni kuwa damu hiyo ipimwe mara kadhaa kabla ya wewe kuekewa. Nambari ni kubwa ya watu duniani kupata ukimwi kwa kufanya ngono kwa watu walio nao. Ni wakati mwafaka wa wanafunzi kusoma na kuacha mambo ambayo yana uhusiano wowote na ngono kabisa. Humu nchini serikali imeleta mpango mpya wa wanafunzi kufunzwa athari za ukimwi na mambo ambayo tunayostahili kufanya ili kuepukana na balaa kubwa kama hii. Pia, wao hufunzwa njia na mbinu za kuepukana na gonjwa hili kama vile kuacha kutumia mitandao ya kijamii na kuwa wanafunzi wenye heshima ambao huvalia vyema wakiwa nyumbani. Ingekuwa vizuri wakati ambapo tungefuata maagizo yote na kuwa wepesi wa kusikiliza yale ambayo tunaambiwa na wakubwa wetu kama vile wazazi na walimu kulingana na ugonjwa huu kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kutumia minofu wala kutuchana nywele waliposema kuwa jihathari kabla ya hatari.
Nani wanatafuta dawa ya ugonjwa wa ukimwi ulimwenguni
{ "text": [ "Madaktari" ] }
4746_swa
UKIMWI Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi. Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote. Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi. Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima. Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo. Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa. Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu. Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii.
Ukimwi ulizuka barani Afrika miaka ipi
{ "text": [ "Miaka ya sabini" ] }
4746_swa
UKIMWI Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi. Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote. Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi. Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima. Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo. Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa. Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu. Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii.
Vifo vinavyotokana na ukimwi huzua nini
{ "text": [ "Balaa na fadhaa" ] }
4746_swa
UKIMWI Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi. Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote. Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi. Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima. Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo. Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa. Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu. Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii.
Ugonjwa upi huchangia kuwepo kwa mayatima na wajane
{ "text": [ "Ukimwi" ] }
4746_swa
UKIMWI Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi. Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote. Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi. Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima. Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo. Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa. Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu. Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii.
Serikali hushirikiana na nani kuleta dawa za ukimwi
{ "text": [ "Wafadhili kutoka mashirika ya kigeni" ] }
4746_swa
UKIMWI Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka kwa ugonjwa huu katika bara la Africa mapema miaka ya sabini, wengi wametikwa na athari zake. Athari hizi zimewaandama wao wenyewe au jamaa zao. Taathira zenyewe zimekuwa kuambukizwa mwenyewe na kulazimika kubeba mizigo wa kuwahudumia waliokatwa na makali ya ukongo huu. Sio siri kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi. Vifo vinavyotokana na ukimwi zimezua balaa na fadhaa kubwa. Jamii zimepoteza gunzo za kutegemewa na kusababishwa ukimwi na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa katika jamii za kiafrika kutegemeana. Walio mashambani hutegemea ndugu zao wa mjini na hivyo basi ugonjwa unapobisha kwa wakazi wa mijini, ulilima hujenga mno mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani pote. Isitoshe, taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nao wakikosekana, wajasilia mali na wazalisha mali, uchumi wa taifa husababisha kina cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi. Vifo hivi pia vimesababisha ukimwi mwingi sana. Mayatima na majane huachiwa majonzi yasiyo mithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchecheluwa maduhuli hali ambayo huzua kila cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima. Fauka na hayo pesa nyingi hutumika katika kuwatafutia ahueni wagonjwa wa ukimwi. Maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa sababu dawa za kupunguza makali yake hugharamia pesa nyingi. Ingawa sasa hivi serikali ina ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya kigeni wanaotoa msaada wa dawa hizi. Hofu husomeka nyusoni kukiwa na dalili ya kutokuwa na udhamini huo. Kutengwa kwa watu na familia zao kumekuwa tatizo jingine kubwa baadhi ya raia wasiyoelewa sayansi ya virusi huishia kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahili adhabu hiyo. Jambo ambalo huwezi kuambukizwa mintaarafu kwa kutangamana na wagonjwa. Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huwachongea ukiwa hujiamini na wengi kukosa kusonga mbele ya watu. Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii.
Tatizo lipi linalowakabili wagonjwa wa ukimwi
{ "text": [ "Unyanyapaa" ] }
4748_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia. Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa. Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana. Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao. Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa. Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya.
Ukimwi husababisha mwili kukosa nini
{ "text": [ "kinga" ] }
4748_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia. Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa. Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana. Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao. Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa. Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya.
Ugonjwa wa ukimwi hauna nini
{ "text": [ "tiba" ] }
4748_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia. Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa. Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana. Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao. Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa. Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya.
Vitanda vimejaa nini
{ "text": [ "wagojwa wa ukimwi" ] }
4748_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia. Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa. Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana. Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao. Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa. Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya.
Majuto ni mjukuu na huja lini
{ "text": [ "baadaye" ] }
4748_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na hufanya mwili wa binadamu kukosa kinga mwilini. Watu duniani kote wanaongea kuhusu ugonjwa huu. Ugonjwa huu umeuathiri wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Ugonjwa huu haukusamehi, ukishaupata hakuna tiba. Ukimwi umetetemesha dunia nzima kutoka Marekani hadi Africa kusini, watu wanalia. Wanasayansi wamejaribu kutafuta tiba ya virusi hivi lakini bado hawajafaulu. Swali lililokichwani mwa kila adinasi ni ugonjwa huu ulitoka wapi? Wazee kwa vijana wameungana ili kuuzia ugonjwa huu. Miradi ya kulizuia dhidi ya gonjwa hili ni kupikwa damu kabla ya kumwekea mgonjwa, kuepukana na ngono kwa wanafunzi na vijana na kuwa na imani kwenye ndoa. Ingawa miradi hii imewekwa ili kuanza kusambaa kwa virusi hivi. Waja wengine wameamua kutia sikio nta na kutenda kinyume na matarajio. Wengi wamejihusisha kwa vitendo vya ngono ovyo ovyo na madhara yao yamo wazi kwani wengi wao hupatikana na virusi vya ukimwi baadaye. Kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye. Dalili za ukimwi huonekana wazi kwani unaanza kumwona mja amekonda na hukondeana. Magonjwa mengi kama homa humuadhiri mwili wa mtu na huanza kudhoofika na hata kifo. Ukimwi umewaua wengi na hata kupata jina janga. Jangamizi ni ugonjwa unaowauwa wengi na dawa ya kuutibu bado hazijapatikana. Ukimwi umeleta madhara mengi ya kijamii na kifamilia. Ukimwi umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa mahospitalini na hii hupunguza idadi ya wanunuzi na hata wauzi. Ugonjwa huu umekuwa msiba katika hospitali nyingi kwani vitanda vimejaa wagonjwa wa ukimwi na wagonjwa wamekosa vitanda. Ukimwi unasambazwa kwa njia nyingi mojawapo ni kupitia mama mjamzito kwenda mtoto. Hii inawezekana wakati mama anapojifungua na damu yake kuguzwa na mtoto. Njia hii ya kupata ukimwi si ya kupenda kwa hivyo tusiwadharau na kuwatusi kwani si kwa kupenda kwao. Ili kuzuia ugonjwa huu, wanafunzi hawapaswi kutumia vyombo kama wembe kwani unawezamkata mmoja na baadaye kumkata mwingine. Licha ya hayo, gharama za maisha hupandi maadimo mhasiriwa huhitaji kununua dawa za kusitiri madhara ya ugonjwa huu. Ukimwi pia huleta utengo na baadaye walioadhirika huweza kujitia kitanzi kwa sababu ya kutengwa. Tujikinge mithili ya ugonjwa huu kwani jamii ya kesho linatutegemea. Mwenye sikio asikie. Tusijihusishe na vitendo vya ngono na tujichunge mithili ya marafiki wabaya.
Ukimwi umeleta aje madhara mengi kwa biashara
{ "text": [ "umepunguza biashara katika jamii kwani watu wengi wamelazwa hospitalini" ] }
4749_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde. Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba. Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza. Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi. Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili. Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana. Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe. Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha. Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya.
Ukimwi ni maambukizi ya nini?
{ "text": [ "Virusi hatari" ] }
4749_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde. Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba. Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza. Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi. Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili. Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana. Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe. Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha. Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya.
Wahenga hawakukosea waliposema Mungu hamuachi nani?
{ "text": [ "Mja wake" ] }
4749_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde. Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba. Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza. Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi. Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili. Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana. Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe. Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha. Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya.
Mzee Kobe alingojea nini kwa miaka mingi ili aweze kupona?
{ "text": [ "Dawa za kuponya UKIMWI" ] }
4749_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde. Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba. Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza. Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi. Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili. Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana. Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe. Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha. Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya.
Virusi vya UKIMWI ni hatari kwa sababu gani?
{ "text": [ "Havina matibabu" ] }
4749_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa ambayo huambukizwa na watu. Ugonjwa huwa umewauwa watu wengi sana. Hivyo ni virusi hatari sana. Sasa hivyo inamaanisha watu wajilinde. Siku moja paliondokea mzee mmoja aliyeugua ugonjwa huo. Mzee huyo aliugua sana. Alisumbuka sana. Kazi yake ni kuwategemea halati zake ili kumsaidia katika kazi zake za nyumba. Nilipoamka asubuhi na mapema nilishtuka kamwe mzee huyo aliyeitwa mzee Kobe. Kwa kweli wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba mungu hamwachi mja wake. Mzee Kobe alikuwa ameisha kabisa isitoshe alikuwa na macho kama kurunzi. Pia unaweza kuona mifupa zile za mwili na hata kuhesabu utaweza. Wakati nilipo mwona mzee Kobe nilishangaa kama vile shangazi alishangaa alipofika kule mji wa tanga. Nilipomwona hivi niliona huruma kweli. Niliendelea na safari yangu kuenda dukani nilienda kama duma. Mzee Kobe alienda alikuwa mwenye hekima na upendo kwa kila mmoja. Pia hakuwa na ubaguzi kama wengine. Niliendelea na safari yangu nikishika tama na mawazo kichwani mwangu. Kwani Mungu halali. Anaweza kukuchukua ama akuwache humu duniani. Niliporudi nyumbani, nilimwelezea mama kuhusu mzee Kobe. Mzee kobe alikaa miaka na mikaka akitumia dawa za ukimwi ili aweze kuishi. Watu katika mji wa shimo la tewa walikuwa na huzuni sana maanake walikuwa wanampenda sana. Hadi waleo hatujui jinsi alivyoshikwa na ukimwi. Tulimwachia mola kwa vile yeye pekee yake ndiye alijuwa kilichotendeka. Wakati nilimweleza mama alihuzunika lakini hakuna tungelifanya maana virusi hivyo havina tiba. Hata wakati unapoenda hospitalini, kitu ambacho wanaweza kukusaidia nacho ni madawa yaliyotumiwa kutuliza mauchungu kwenye viungo vya mwili. Punde si punde shule zimefunguliwa na wanafunzi wote wanahitajika shuleni kupata elimu. Chaku shangaza ni kuwa halati zake mzee Kobe walihitajika kwenda shuleni. Nao halati zake waliamua ya kwamba itabidi mmoja aende shuleni na mwingine abaki ili kumtunza mzee Kobe. Kwa kweli mungu si athumani. Ilifika wakati ambapo mzee Kobe ameishiwa na nguvu kabisa hata ukimpa kikombe cha maji hana uwezo wa kushikilia. Muda si muda tuliskia habari ya kwamba mzee Kobe ameupa muda kisogo. Ilikuwa kitu cha huzuni. Wakati baba na mama yangu waliskia mzee huyo ameipiga dunia teke. Walikuwa wamekasirika sana. Watu wengi walibaki mdomo wazi hawana cha kusema. Hiyo ilikuwa siku mbaya kwa familia ya kobe. Hadi hivi sasa hatuamini ya kwamba mzee Kobe ameaga dunia. Kwa hivyo hiyo inatufunza ya kwamba watu wanafaa kujilinda wasiwe wanatembea popote kule. Sana sana msimu huu wa janga la Korona watu wajilinde. Wasiwe wanatembea sana. Sote tusimame kama wakenya ili kuwezesha ugonjwa wa virusi vya ukimwi kuisha. Sote tuwe tukiomba ili mola atuweke kwenye mkono wake salama salmini. Sote tunaweza kuondoa ukimwi katika nchi yetu ya Kenya.
Hatima y amzee Kobe ilikuwa ipi?
{ "text": [ "Aliaga dunia" ] }
4750_swa
JANGA LA UKIMWI Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau. Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu. Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi. Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu. Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake. Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili. Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao. Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke. Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope. Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni.
Ugonjwa huu hupigana na askari gani
{ "text": [ "wa mwili" ] }
4750_swa
JANGA LA UKIMWI Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau. Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu. Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi. Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu. Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake. Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili. Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao. Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke. Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope. Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni.
Uwele huu hauna nini
{ "text": [ "tiba" ] }
4750_swa
JANGA LA UKIMWI Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau. Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu. Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi. Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu. Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake. Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili. Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao. Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke. Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope. Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni.
Nani huonekana kwanza aliye na afya na mzima
{ "text": [ "adinasi" ] }
4750_swa
JANGA LA UKIMWI Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau. Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu. Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi. Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu. Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake. Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili. Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao. Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke. Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope. Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni.
Mtu huanza kukonda lini
{ "text": [ "kipindi cha pili" ] }
4750_swa
JANGA LA UKIMWI Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Uwele huu hupigana na askari wa mwili walinzi hao wanaposhinda kuulinda mwili, basi mja hudhoofika na kukonda kama kimbaumbau mwiko wa pilau. Uwele huu hauna tiba wala dawa, hautibiki. Wazembwe na wazembele hawakutuvisha miwani ya mbao walitongoa tongo kuwa mwiba wa kujidunga haustahili pole. Naam, mchezea tope humrukia, unapopatwa na gonjwa hili utateseka na kuhangaika kama samaki aliyetupwa na nchi kavu. Adinasi kwanza huonekana aliye na afya na mzima kama gogo, ni nadra sana kumtambua kwani huwa kanepa kama nguruwe, huwa jitu la miraba minne, anapopimwa huwa hana virusi. Kipindi cha pili ni kile ambacho mtu huanza kukonda kama ng’onda, anapopimwa virusi huonyesha dalili kama vile kukonda na kukondeana mifupa 'kuonekana, mtu kubaki gofu la mtu, hapa ndipo walinzi wa mwili huzidiwa nguvu. Ndwete mbalimbali hupata nafasi mahiri na huvamia kama nyuki. Mwili unapokosa kinga ni kama meli bila nahodha. Ndwele hizi zinapovamia hushambulia kabisa ndipo mifupa huonekana na mtu kuenda jongomeo bila nauli wala matwana. Kipindi cha mwisho ni kile ambacho mtu hushindwa hata kula. Mwili huwa umechoka tiki! Mtu hujiendea haja kubwa na pia ndogo. Hulala chali kama mende, huchungulia kaburi kwa jicho la huruma, unapofika wakati basi izraeli hutenda lake. Jinamizi hili huenezwa na kusambazwa kwa njia nyingi unapoenda hospitali ukitaka kuongezwa damu, ukaekewa isiyostahili na kuchunguzwa vizuri basi huna budi kulipata janga hili. Akina mama wenye virusi na ni wajawazito wanaweza kuwapa watoto wao kwa kutokuwa waangalifu wakati wa kunyonyesha pia pale wanapojifungua watoto wao. Unapofanya ngono na mtu aliye na virusi unapata virusi hivi wale wanaopenda starehe basi mwishoe huishia kukuna vichwa na kung’ata vidole wanasahau msemo usemao mchezea tope humrukia, wanaishia kusema kuwa laiti ningali jua. Ama kweli maji yakimwagika hayazoleki. Ukipata ajali na kuchimbuka au kukwaruzwa na ukatoka damu kwa bahati mbaya, damu yako ichanganyike na mtu aliyena ukimwi, utapata. Pia huenezwa kwa kugusana midomo na mtu aliye athirika. Uchunguzi wa wanasayansi umeonyesha kuwa asilimia ya vijana wengi humu duniani ndio waliokatika kilango cha kuambukizwa ukimwi, wao ndio wapapia maji wanajiingiza katika zinaa na kusahau mkopa maji hayanywi na akiyanywa humsakama. Ugonjwa huu ni ambao umetetemesha dunia nzima si ufaransa, si marekani, si ujerumani pia bara la afrika zima. Unaweza ukawa bwenyenye mwenye mali na magari ya kifahari, ukishapata halitakuacha hadi pale utakapopiga dunia teke. Wale waliofanya mzaha mzaha basi wamejifungia usaha, ugonjwa huu unaweza kuzuiliwa kwa kutojihusisha na ngono, pia kama umepata jiko, umefungishwa pingu za máisha unapaswa kuwa mwaminifu kwa mwenziwe. Vijana wenzangu nawasihi msichezee tope. Msiingie kwa yale msio yajua. Waama wazee wenye mui jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni.
Ugonjwa huu unaweza kuzuiliwaje
{ "text": [ "kwa kutojihusisha na ngono" ] }
4751_swa
UGONJWA WA UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati. Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi. Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo. Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini. Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Ukimwi husababishwa na nini
{ "text": [ "virusi vya ukimwi" ] }
4751_swa
UGONJWA WA UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati. Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi. Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo. Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini. Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Ugonjwa wa ukimwi huleta nini
{ "text": [ "janaa" ] }
4751_swa
UGONJWA WA UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati. Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi. Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo. Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini. Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
mtego wa panya huingia kwa nani
{ "text": [ "waliomo na wasiokuwemo" ] }
4751_swa
UGONJWA WA UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati. Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi. Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo. Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini. Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Ni lini mtu hufunga safari kadhaa kuenda matibabuni
{ "text": [ "anapougua ugonjwa huo" ] }
4751_swa
UGONJWA WA UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa unaotukodolea macho na kututanulia kinywa mithili ya mamba tayari kutumeza wazimawazima. Jina ukimwi ni ufupisho wa upungufu wakinga mwilini ambao husababishwa na virusi vya ukimwi. Virusi hivi hushambulia chembe chembe nyeupe za damu na kumfanya mhasiriwa kuambukizwa maradhi ainati. Wasemavyo wahenga ni kuwa simbiko halisimbuki ila kwa misukosuko. Ugonjwa huu huenea kwa njia ainati. Ilivyo shahiri ni kushiriki ngono na mhasiri wa bila kutumia kinga. Aidha, kutumia vifaa vya kupujua ngozi kama vile nyembe au sindano na mhasiriwa au kuongezwa damu yenye virusi. Mtoto anapozaliwa na mama mwenye virusi vya ukimwi. Vilevile yuko katika hatari ya kuambukizwa maradhi haya ikiwa damu ya mama itachanganyikana na ile ya mwana. Isitoshe, mtoto akinyonyeshwa na mama mwenye ukimwi anaweza kuambukiwa ugonjwa huu. Kweli mtego wa panya huingia waliomo na wasikuwemo. Mbali na hayo, jinamizi hili linatisha kutuangamiza. Lina madhara chungu nzima si kwa mhasiriwa, si kwa jamii , si kwa taifa kwa jumla. Daima anayeugua maradhi haya hukumbwa na nyondenyonde zisizoisha na kumfanya afunge safari zisizokoma kuenda matibabuni. Tujuavyo hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Jambo hili laweza kumfilisi mhasiriwa au kumfanya apigwe kalamu kazini. Isitoshe, ugonjwa wa ukimwi huleta janaa. Wanaougua huona soni na hivyo basi hujitenga au hutengwa na wenzao wasemavyo wahenga kuwa vyako ni vyako na wenzako vikikupata ni vyako. Aidha, baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huu mara tu wagunduapo kuwa wanaugua maradhi haya yasiyo sikia dawa wala kafara. Je, hu ni utu? Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huhitaji kununua au kununuliwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Na asipofanya hivyo ni rahisi kurudisha nyusi kwa mwenyewe. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo kwa jamaa na hata jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kutimiza mahitaji yake ya kimsingi. Mgonjwa anapozidiwa huhitaji kutunzwa mithili ya mkembe. Naam, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Mbona wanaougua huona soni na hujitenga au hutengwa
{ "text": [ "baadhi ya watu huwatenga wanaougua ugonjwa huo mara tu wanapogundua" ] }
4752_swa
UKIMWI Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana. Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari. Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama. Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi. Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere. Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa. Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu. Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu.
Ugonjwa mbaya na wa kutisha ni upi
{ "text": [ "Ukimwi" ] }
4752_swa
UKIMWI Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana. Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari. Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama. Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi. Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere. Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa. Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu. Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu.
Ugonjwa wa ulimwi husababishwa na upungufu wa nini
{ "text": [ "Kinga ya mwili" ] }
4752_swa
UKIMWI Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana. Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari. Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama. Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi. Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere. Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa. Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu. Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu.
Nani wamegeuka na kuwa umbwa kasoro mkia
{ "text": [ "Binadamu wa sasa" ] }
4752_swa
UKIMWI Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana. Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari. Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama. Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi. Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere. Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa. Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu. Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu.
Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi nini
{ "text": [ "Zeze" ] }
4752_swa
UKIMWI Simanzi hapa simanzi kule! Gonjwa hatari limo duniani. Ukimwi ni gonjwa baya na la kutisha linalosababishwa na upungufu wa kinga ya mwili. Wala wengi wamesononeka sababu kuu ni kuwa bado tiba haijapatikana. Kuna njia nyingi tamthiliya mchanga wa bahari ambazo zinachangia usambazaji wa virusi hivi. Kwa yakini lakini si kwa yamkini ni wema tujihadhari kabla ya hatari. Binadamu wa sasa wamegeuka na kuwa mbwa kasoro mkia. Hawataki kujikinga hata baada ya kupewa tahadhari na serikali yetu. Waja wamesafiri jongomeo bila nauli wala matwana kwani wameyatia masikio nta. Chanzo kikuu kinachosababisha virusi hivi hatari ni ile hali ya kushiriki kwenye michezo ya anasa. Insi wa sasa wamegeuka na kuwa toroli ambalo kila mtu hulisukuma. Makahaba wengi nchini wameshangazwa na ya Musa lakini lo! wameyaona ya firauni. Duniani hamna adinasi, wengi wamefariki wakiwa wamesimama. Kumbuka, wanamantiki na wahanantiki wenye lisani ha ustalamidhi wa lugha hawakuikiuka sheria walipolonga kisha kunadi kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Kuwapa waja wa kizazi cha sasa maarifa ni kama kumpigia mbuzi zeze. Aise! Nyakanga na nyakanguzi wenye tabasamu na tabasanuri hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa walipotongoa tongo kuwa bora kinga kuliko tiba. Virusi hivi havina huruma, havichagui shaibu wala buda banati au ghulamu. Hamna tiba kwa virusi hivi kwani wanasayansi bado wanalifunga kibwebwe kutafuta dawa. Mgonjwa akihitaji damu, ni sharti madaktari wote wahakikishe kuwa damu i salama salmini. Bila kupimwa hospitalini, huenda anayeihitaji akaugua ha virusi hivi hatari. Tukome busu kwani si kila mja ana siha njema. Wengi wetu twadhani kuwa waja wakonde wakondefu mithili ya ng’onda ndio wanaougua virusi hivi. Ukweli ni kuwa ambao wamenenepa pia wanawezaugua virusi hivi. Simanzi bin chande huniingia rohoni mwangu, jasho zito hunidondoka na mtima wangu hunipwitapwita kama ngoma za mabumbumbu za wagiriama. Sababu kuu ni kuwa niendapo hospitalini, wanaougua virusi hivi naona wanasumbuka zaidi. Mara kwa mara mimi hufikiria maninga yangu hunichezea shere. Lahaula la kwata! Sisi ambao tuna siha njema tunabudi kutowa dhulumu ambao wanaathirika na virusi hivi. Ukimwi pia huweza kusambazwa kutoka kwa nina mpaka kwa mwanawe wakati wa uzalio au anapomnyonyesha maziwa. Hewaa! miili yetu ni zawadi kutoka kwa mwenyezi. Dayani ni jukumu letu sisi sote kuilinda la sivyo huenda tukajuta. Tuwaombee wote wanaougua na virusi hivi na tusiwatukane wala kuwadhulumu. Hakika tukijinga na kuwaeleza wakongwe wetu jinsi na namna ya kujikinga na virusi hivi, basi tutafua dafu.
Bora kinga kuliko nini
{ "text": [ "Tiba" ] }
4754_swa
UKIMWI Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali. Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo. Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la. Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa. Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo. Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi. Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi. Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu. Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani!
Ukimwi husababisha mtu kuwa vipi
{ "text": [ "Mgonjwa" ] }
4754_swa
UKIMWI Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali. Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo. Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la. Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa. Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo. Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi. Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi. Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu. Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani!
Mtu anastahili kupata nini mapema
{ "text": [ "Matibabu" ] }
4754_swa
UKIMWI Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali. Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo. Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la. Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa. Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo. Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi. Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi. Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu. Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani!
Ukimwi huleta nini miongoni mwetu
{ "text": [ "Kifo" ] }
4754_swa
UKIMWI Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali. Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo. Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la. Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa. Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo. Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi. Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi. Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu. Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani!
Dalili hizo humfanya mtu kununua dawa dukani bila kuongozwa na nani
{ "text": [ "Daktari" ] }
4754_swa
UKIMWI Ukimwi ni ufupisho wa upungufu wa kinga mwilini unaompata mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi ambao husababisha mtu kushikwa na maradhi mbalimbali. Kwanza ukimwi husababisha mtu kuwa mgonjwa hadi karibu kuipa dunia kisogo. Ugonjwa huu wa ukimwi unaweza kukufanya uwe mgonjwa hadi mwili wako uwe rahisi kushika maradhi yoyote. Marathi kama Malaria unaweza mpata mtu yeyote aliye na virusi. Virusi hivi vinaambatana na kifo. Pia unastahili kupata matibabu mapema kabla haujakuwa mgonjwa zaidi. Ukiona dalili za ukimwi kama vile kukohoa, joto, kichwa kinauma na hata unatapika, enda hospitali iliyo karibu ili ujue kama una virusi au la. Pili unaleta kifo miongoni mwetu. Dalili hizo humfanya watu kununua dawa dukani bila daktari kukuogiza. Dawa zingine zinaweza dhuru afya yako na kuifanya iwe mbovu zaidi. Huleta madhara na huleta vifo. Kuangamiza madhara, usiyanunue madawa barabarani. Unywe dawa ulizopewa na daktari ili kuweka mwili wako salama kutokana na magonjwa. Tatu, huleta huzuni katika familia. Huleta wakati ugonjwa huu umemfanya hali chakula na sasa hukonda na kukondeana kama sindano. Huleta huzuni na ukosefu wa kulala. Mtu humjali mtu ambaye ana ukimwi hadi karibu kupoteza maisha yake kwa kweli familia ni cheo cha jamii. Bila familia utaishi kule nje. Watu wengi wanakufa juu ya hili janga la ukimwi na kumfanya mtu ahisi, siku zake zime karibia huwadia kusafiri jongomeo. Wengine wakihisi janga hili limedhuru afya yao na kufanya iwe halina nafuu huamua kujitia kitanzi na kusafiri. Kama vile mjomba wangu Kamau Sebei alipatwa na msiba wa ugonjwa wa ukimwi. Maisha yalimwendea sege mnege. Hana mbele wala nyuma. Aliumwa hadi akaipa dunia kisogo. Wanajamii walilia kwi! Kwi! Kwi! na kumwomba mola amlaze mahali pema peponi. Nne umefanya ugomvi kuenea kila mahali. Hakuna amani na upendo. Wapendwa huwaacha wenzio juu ya ugonjwa huu. Wengine hukosa mbele wala nyuma. Hupambana na changamoto mingi hadi huwa na mizigo mingi hadi huishia kuaga dunia. Changamoto zikipambana nayo suluhisho ni kujitia kitanzi. Kila mtu duniani hufikiria kama ndio suluhisho nzuri Tano njia hizi za kuepukana na maradhi ya Ukimwi ni kuwa mtakatifu kwa wapendwa kama haujafunga pingu maisha epukana nayo ili kurudisha nambari ya ugonjwa chini. Magonjwa haya husababishwa na ngono, kumpa mtu busu na pia akiekwa damu hospitalini. Hii husababisha ukimwi. Juzi juzi, pametokea mate kama njia moja ambazo huleta ugonjwa huu wa ukimwi. Sita pahali panapofanywa ni kama hospitalini, kwa chifu, kanisani, kijijini na hata shuleni. Hutuelekeza juu ya madhara ya ugonjwa huu. Siku hizi hutumika na umerudisha nambari ya ugonjwa huu. Njia ni nyingi ambazo nina stahili kuepukana na ugonjwa huu. Sina mengi ya kusema ila kuwaambia kuepukana na madhara ya ukimwi ili uweze kuishi maisha vizuri. Asante kwa muda wenu. Buriani!
Ukimwi huleta huzuni na ukosefu wa kufanya nini
{ "text": [ "Kulala" ] }
4755_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi. Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini. Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili. Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi. Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi. Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine. Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora. Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha.
Ukimwi ni ugonjwa unaoleta nini
{ "text": [ "Kifo" ] }
4755_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi. Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini. Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili. Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi. Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi. Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine. Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora. Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha.
Ukimwi ni upungufu wa nini mwilini
{ "text": [ "Kinga" ] }
4755_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi. Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini. Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili. Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi. Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi. Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine. Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora. Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha.
Madhara ya ukimwi katika familia ni mtu kufutwa nini
{ "text": [ "Kazi" ] }
4755_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi. Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini. Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili. Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi. Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi. Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine. Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora. Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha.
Ni gharama ya nini hupanda mhasiriwa anapohitaji kununuliwa dawa
{ "text": [ "Maisha" ] }
4755_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa inayoleta kifo. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Ukimwi husababishwa na virusi. Mtu anaweza kupata ukimwi kwa kupigana busu ovyo ovyo, kufanya ngono na mtu aliye na ukimwi, mtu anayotumia kisu kilichomkata mtu wa ukimwi. Ukimwi huwa na dalili lake. Dalili la kwanza ni mtu akipimwa huonyesha kwamba hana ukimwi na hii ndilo dalili hatari sana. Dalili la pili ni mtu huanza kuonyesha maumivu mwilini. Dalili la tatu, mtu hupima na huonyesha kwamba ana ukimwi, mtu huenda kukonda na hana nguvu lolote mwilini. Dalili ya nne na ndilo la mwisho, mtu huisha kabisa na mwili umeshindwa kujikinga katika ugonjwa huu. Sasa mtu hufa. Madhara ya ukimwi kwa familia ni hufanya mtu kufutwa kazi, hufanya mtoto kuacha shule na humaliza mtu nguvu za mwili. Madhara ya dawa hizi kwa taifa ni hufanya watu kupata ajali, huleta ngono na husababisha kifo. Munaweza kujikinga kwa dawa hizi kwa kuzuia ngono, kuwa msafi wakati wote, kujulisha watu kwa ugonjwa wa ukimwi ni ukweli na ni hatari, kuzuia kuwekewa damu wa mtu aliye na ukimwi. Licha ya hayo, gharama ya maisha hupanda maadamu mhasiriwa huitaji kununuliwa au kununua dawa za kupunguza makali ya ukimwi na vyakula vyenye lishe bora. Isitoshe, mgonjwa anaweza kuwa mzigo wa jamaa au jamii kwa sababu wakati mwingine inabidi ategemee wengine kuitimiza mahitaji yake ya kimsingi. Vilevile hospitalini utanda huadimika kwa sababu wa msongamano wa wagonjwa wa ukimwi. Vitanda hivi vinaweza kutumiwa na wagonjwa wengine. Ukimwi ni hatari maishani. Sasa jaribu kuzuia na kujikinga kwa Ukimwi. Ukimwi una madhara yake na huharibu maisha yako. Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha bora kwa sababu usafi ndio maisha bora. Tufanye juu chini ili kuepuka ugonjwa huu. Jikinge kwa ugonjwa huu kwa sababu ugonjwa hauna kinga. Ukipatana na ukimwi enda hadi kwenye hospitali kabla mambo yaende mrama. Ukimwi ni mwisho wa maisha.
Jaribu kuzuia ukimwi ili uwe na maisha yaliyoje
{ "text": [ "Bora" ] }
4756_swa
ZAWADI MASHAKANI Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na kuiongelesha nafsi yake. Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’ Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi. Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka. Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea. Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule. Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa kukitaliki chuo. Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye. Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi, Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
Zawadi alikuwa mwanafunzi katika chuo kipi
{ "text": [ "Kigamboni" ] }
4756_swa
ZAWADI MASHAKANI Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na kuiongelesha nafsi yake. Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’ Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi. Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka. Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea. Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule. Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa kukitaliki chuo. Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye. Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi, Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa ngapi chuoni
{ "text": [ "Mwaka wa nne" ] }
4756_swa
ZAWADI MASHAKANI Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na kuiongelesha nafsi yake. Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’ Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi. Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka. Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea. Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule. Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa kukitaliki chuo. Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye. Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi, Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
Zawadi alisomea nini
{ "text": [ "Ualimu" ] }
4756_swa
ZAWADI MASHAKANI Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na kuiongelesha nafsi yake. Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’ Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi. Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka. Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea. Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule. Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa kukitaliki chuo. Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye. Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi, Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
Zawadi alikuwa akifanya biashara gani
{ "text": [ "Kuuza maandazi motomoto" ] }
4756_swa
ZAWADI MASHAKANI Zawadi alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha Kigamboni. Baba yake aliuza mifugo wake mnadani il ampeleke mwanaye chuoni ili aje kuwasaidia siku za usoni atakapopata kazi. Zawadi alisomea ualimu na alikuwa na jitihada masomoni. Usingeweza kumpata akizungukazunguka kama walivyofanya rika zake. Yeye angetulia maktabani akijisomea. Wakati mwengine angekaa peke yake kando ya mto akibarizi na kufurahia. Zawadi hakuwa mtu wa maongezi mengi. Alipenda kujinyamazia na kuiongelesha nafsi yake. Zawadi alikuwa akifanya biashara ya kuuza maandazi. Ungeisikia sauti yake ikinadi alfajiri kuu ‘’ maandazi motomoto kama halua ya Zenji kwa shilingi kumi ! Bei ya kutupa! Tamu mdomoni, raha moyoni ewe mteja! ‘’ Wanafunzi wenzake waliyapenda sana maandazi yake pamoja na ucheshi wa sauti yake alipokuwa akiyanadi maandazi yake. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba huko chuo kikuu malipo ya biashara hufanyika mara nyingi kwa M-pesa na basi angeambulia patupu kwa sababu wateja wengine wangelipa na kisha kujirejeshea pesa zao. Ama kweli hakuna biashara rahisi. Zawadi alipitia changamoto nyingi huko chuo kikuu. Alipokuwa akiishi katika mabweni ya chuo aliibiwa simu yake ya mkononi. Alipoanika nguo zake ziliibiwa pamoja na kamba ya kuanikia. Mwizi aliyemwibia angemwonea angalau na chembe ya huruma amsazie hata nguo moja lakini wapi! Akaiba hata chupi. Mwizi ni mwizi tu hachagui cha kuiba. Zawadi alifanya biashara akanunua simu nyingine lakini iliishia kuharibika siku moja alipopatwa na mvua kali njiani pasipo mahali pa kujikingia. Simu yake iliingia maji na ikajifilia mbali. Kwa sasa alibaki na kijisimu kidogo cha kizamani alichouziwa rejareja na mpita njia aliyekuwa akiuza vitu vikuukuu. Betri ya simu hii ilimlazimu aifunge kwa raba bendi kisha aiwekee kijiti ili simu iweze kuwaka. Chuo kikuu cha Kigamboni kilikuwa na shida zake si haba. Wahadhiri walikuwa hawawajibiki kuweka alama za mtihani wa wanafunzi kwa muda uliofaa. Wanafunzi walikuwa wakikimbizana na wahadhiri kama paka na panya ofisini wakitafuta alama zao walizokuwa wakiambiwa zimepotea. Wanafunzi wangepanga safu ndefu nje ya ofisi wakingojea kushughulikiwa ila wangepurukushwa na ‘’ tarakilishi zimegoma kufanya kazi.’’ Wanafunzi wangejiendea zao kwa kukata matumaini. Mara nyingine wahadhiri wangegoma na wanafunzi wangepewa dakika chache za kuondoka katika eneo la shule. Aliyepatikana chuoni angepewa kichapo cha mbwa na askari waliosharabu ghadhabu za chui wenye njaa. Zawadi aliwahi kupewa kichapo kilichomwacha mahututi siku ile wahadhiri wallipogoma naye alikuwa amechelewa kukitaliki chuo. Wakati Fulani kulikuwa na mtihani ambao zawadi na wenzake walikuwa wakifanya katika ukumbi wa mitihani. Mhadhiri mmoja kwa jina la Kipengo alitokea kumpenda Zawadi kwa uzuri wake. Mhadhiri huyo alifikiria jinsi ya kumnasa Zawadi katika mtego wake na akapata upambanuzi. Alikuwa akizungukazunguka akapita karibu na karatasi ya Zawadi na akainakili nambari ya usajili ya zawadi katika simu yake. Wakati wa kusahihisha mitihani alilificha karatasi la Zawadi na binti huyu alipokuwa akitafuta alama zake ili afuzu mwaka huo alizikosa. Mhadhiri huyo alimuonya Zawadi kuwa hatompa alama asipokubali kufanya mapenzi naye. Zawadi alilikata kufanya mapenzi na Kipengo. Zawadi alilipeleka swala hilo kwa mkuu wa idara ya ualimu ili apate usaidizi lakini kesi hiyo haikushughulikiwa na ilififia tu kama upepo. Wakati wenzake walikuwa katika tafrija ya kuhitimu chuo kikuu na kupata vyeti vyao, Zawadi alikuwa amejikalia nyumbani kwake akilia. Alianza kutouamini uwepo wa Mungu kwa kuwa likuwa akipitia shida nyingi. Hazikupita siku nyingi, Zawadi alipopatikana kichakani akiwa amekatwa shingo. Kipengo alikuwa amewalipa wauwaji wamuue Zawadi.
Zawadi aliibiwa nini alipokuwa akiishi katika mabweni ya chuo
{ "text": [ "Simu" ] }
4757_swa
MZUNGU MWEUSI. Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa mtu,natuamini hvyo tu! Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa Mwafrika. Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana. Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa kujidunga usiostahili pole. Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya mgeni wake. Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele. Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata kutokana na pesa. Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
Mwafrika alianza kufuata amri za nini
{ "text": [ "rununu na runinga" ] }
4757_swa
MZUNGU MWEUSI. Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa mtu,natuamini hvyo tu! Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa Mwafrika. Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana. Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa kujidunga usiostahili pole. Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya mgeni wake. Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele. Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata kutokana na pesa. Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
Umoja ni nini
{ "text": [ "nguvu" ] }
4757_swa
MZUNGU MWEUSI. Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa mtu,natuamini hvyo tu! Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa Mwafrika. Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana. Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa kujidunga usiostahili pole. Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya mgeni wake. Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele. Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata kutokana na pesa. Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
Vya bure vina nini
{ "text": [ "madhara" ] }
4757_swa
MZUNGU MWEUSI. Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa mtu,natuamini hvyo tu! Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa Mwafrika. Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana. Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa kujidunga usiostahili pole. Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya mgeni wake. Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele. Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata kutokana na pesa. Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
Mahitaji yake mwafrika yalikosa kutimia lini
{ "text": [ "alipolipwa mshahara mdogo" ] }
4757_swa
MZUNGU MWEUSI. Afrika nchi ya amani,iliyoumbwa na kupambwa kwa uzuri wa ramani,wanyama,madini,majabali,maziwa,fuo za bahari,mimea na vingi vya thamani.Uzuri usiosahaulika ulilipendezesha bara Afrika.Lakini umekuwa adimu machoni imebaki simulizi kwenye makanwa ya vikongwe au waliojaaliwa kuisoma historia ya bara hili adhimu.Kwani yote bado yangalipo lakini si ya mwafrika tena.Ilikuwa riziki ya mtu mikononi mwa mtu,natuamini hvyo tu! Hii imesababishwa na muafrika mwenyewe kubeba kila kilichompendezea machoni kutoka kwa wageni wake.Akaanza kufuata amri za rununu na runinga.Akavuliwa hando na kuvalishwa sketi iliyomuonesha viungo vyake,nusu uchi nusu balaa.Akapewa kioo na kukieka ukutani ili kila siku ajipambe na kukaa kitako kama malikia.Naye pengine tuseme akawa mzungu,ila tumuite mzungu mweusi.Hatimae Akasahau jembe,panga na kuijenga Afrika ndiyo mambo yaliyomfanya kuishi salama salimini katika ulimwengu huu.Baada ya kupewa elimu ya karatasi akasahau Kula ni shamba na kukimbilia shule kwa kuamini kuwa kula ni shahada.Uzembe ulioje wa Mwafrika. Mwafrika akaamua aichimbe ardhi iliyokuwa tambarare bila kujua alikuwa akimjengea jirani ardhi yake huko alikotoka,ardhi ya anayechimba ikabakia kuwa shimo la upweke na udhalilidhaji anaoishi ndani yake hadi leo na pengine hata kesho na milele kama asiposhtuka na kuliwazia hilo.Majani chai na kahawa alime akauzie kwa mgeni wake,kwani ana amini kuwa huko ndiko liliko soko kuu la bidhaa zake ilhali hajawahi hata kukanyaga soko hilo.Karafuu akalima,akavuna, akakausha kwa muda mrefu wa shida na kutaabika. Baadae bei ya kuipeleka sokoni kuiuza bidhaa hiyo ni ya kuvunja moyo,ila anapouziwa bidhaa zake hizo huuziwa kwa bei ya kushtua na asiyoweza kuimudu.Ila amshtakie nani na alisahau mwenyewe kuwa asiyejuwa maana haambiwi maana. Muda ukapita kwa kasi kama risasi,huku mwafrika bado akiliwazia Jambo la bidhaa zake hizo.Mshahara uliokuwa mkia wa mbuzi,ulifanya mahitaji yake kutotimia.Mgeni akamkopesha pesa lufufu ambazo hakujua zilitoka kwake.Akatumia bila kufikiri njia ya kulipa deni Hilo.Ghagla alianza kudaiwa,na kwa kuwa hakujiandaa kuziba ufa,ukuta ukabomoka.Maskini mali yake ikachukuliwa na kuwa milki ya mwenye kumdai,akabaki hana nguvu wala uwezo wa kujitoa ndani ya shimo alilojichimbia mwenyewe.Ukawa mwiba wa kujidunga usiostahili pole. Baada ya muda wote huo wa kuvurugwa akili na kuvurugiwa mali yake akafanywa kifaa cha majaribio. Dawa zilizotengezwa kwa kujaribu kutibu maradhi sugu na yalioitikisa dunia na vilivyomo ndani yake zikakosa mahala pa majaribio bora akaegemezewa mzungu mweusi.Kwani iliaminika hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba hizo.Wamesahau kuwa asili ya dawa hizo ni nguvu ya mzungu mweusi aliyechanika kwenye mpini kabla ya kupokwa ardhi yake na kuwa chini ya mgeni wake. Mwafrika akaisahau imani yake kuwa kifo ni njia ya kila mmoja kuipitia na mlango wa kila mmoja kuingilia kwenye uhai na uzima wa milele. Akasahau umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,akabadili dini na kuyaona yote yaliyofanywa hapo jadi ni upotevu.Akazizika mila na desturi kwenye kaburi la sahau akaikumbatia dini mpya ya mgeni ambayo mpaka sasa imemuacha njia panda.Akabadili dhahabu vitabu vya imani.Akasahau mashujaa wake,akaisahau historia na mengi Kwa kuwa fikra zake zilikamatwa na vitabu hivyo.Akaanza kuwaza nani mwema Nani muovu.Baadae akapewa karatasi akaambiwa aipe jina ‘pesa’. Hakukumbuka vya bure vina madhara.Akateswa Kwa kutafuta pesa na kukosa furaha aliyoahidiwa kuipata kutokana na pesa. Tamaa mbele mauti nyuma.Baada ya wanaoliongoza bara la mzungu mweusi kuiona faida binafsi,wakashadidia majaribio ya dawa hizo zisizojulikaniwa madhara yake kwa mwana wa adamu.Mapote mawili yakadhihiri.La Kwanza waliounga mkono majaribio ya dawa hizo na la pili waliopinga na kulaani vikali kitendo hicho walichokiona kukosa mustakabali mwema kwao.Punde wakabaki wameduwaa,waliotumia dawa kungoja wasiotumia waathirike, na wasiotumia,kungoja waliotumia waathirike.Akili ya mzungu mweusi ikaacha kufkiria yote yake na kushughulika na nani Kwanza?Aliyetumia na ambaye hakutumia?Nasi tuendelee kusubiri tukisahau yote yetu.Huku Afrika ikizama na kudidimia.
Mbona majaribio ya dawa yaliegemezewa mzungu mweusi
{ "text": [ " iliaminika hakutoa mchango wowote katika kushughulikia utafiti wa tiba hizo" ] }
4758_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona basi ukipiuza utajipata pabaya. Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei. Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi. Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani. Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu. Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto wa kipekee na mwenye akili za kipekee. Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake . Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma, chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio yake nta. Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana. Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa. Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake, kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji. Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami. Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena.
Nani alikua mwenye maadili mema
{ "text": [ "Benta" ] }
4758_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona basi ukipiuza utajipata pabaya. Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei. Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi. Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani. Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu. Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto wa kipekee na mwenye akili za kipekee. Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake . Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma, chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio yake nta. Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana. Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa. Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake, kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji. Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami. Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena.
Benta alikua kipaumbele kanisani katika nini
{ "text": [ "mambo ya kidini" ] }
4758_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona basi ukipiuza utajipata pabaya. Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei. Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi. Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani. Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu. Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto wa kipekee na mwenye akili za kipekee. Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake . Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma, chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio yake nta. Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana. Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa. Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake, kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji. Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami. Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena.
Nani walimlipia Benta karo kwenye shule moja ya kifahari mjini
{ "text": [ "mapadri" ] }
4758_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona basi ukipiuza utajipata pabaya. Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei. Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi. Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani. Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu. Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto wa kipekee na mwenye akili za kipekee. Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake . Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma, chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio yake nta. Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana. Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa. Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake, kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji. Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami. Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena.
Benta aliachana na masomo yake lini
{ "text": [ "mwaka wa tatu" ] }
4758_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana ya methali hii ni kuwa , yeyote ASIYESIKIA wala kutumia wosia anaooata kutoka kwa mkubwa wake basi atajipata taabani ama atapata adhabi ambayo inarejelewa na neno kuvunjika guu. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wote wenye tabia za maouuza na kuwakumbusha kuwa maouuza hayo ya aweza yakawaletea shida. Inatumika kuhimiza umuhimu wa kufuata wosia na kuufanyia kazi ivaavyo. Methali hii inarandana na ile isemaho kuwa kuishi kwingi kuona mengi. Yaani mtu mkubwa anaookupa wosia ufwate kwa kuwa ameishi kwa muda na anayokwambia anayasema kwa kuwa ameyaona basi ukipiuza utajipata pabaya. Benta alikuwa baraka kubwa kutoka kwa Mungu kwa Bi Nuru na Bw. Swamei. Alikuwa kidosho wao wa tatu katika familia yao iliyokuwa na watoto watatu, yaani alikuwa kitindamimba. Bi. Nuru na bwanake walifanya wawezalo ilinkuhakikisha Binti wao amepata malezi mema katika nguzo zote za maisha. Si elimu, si kijamii, si kidini na pia sio kwa misingi ya kifamilia. Walimuenzi sana Benta na hivyo kila mara jicho lilikuwa kwake ili kihakikisha kuwa hakiuki maadili aliyofunzwa na wazazi wake. Baba alifanya upande wake wa kumulea naye mama akafanya bidii kwa upande wake. Ndugu zake pia hawakuachwa nyuma walifanya vilevile majukumu yao ya kumulea mdogo wao kwa njia murua zaidi. Benta alikuwa vizuri kwa kufuatia misingi yote aliyofunzwa na wazazi wake. Alikuwa mtoto mwenye madili mema. Shuleni alikuwa wembe na aliongoza kila mara shuleni. Walimu na wanafunzi wake walimpenda sana Benta. Hakuna aliyemchukia Benta shuleni wala nyumbani. Wazazi wake waliridhishwa sana na tabia za Benta . Kama maombi ya kila mzazi yalivyo ni kuona mwanaye anafauku katika maisha kila mara. Vile vile maombi ya kila watoto kwa familia ni kuona wenzao ama mwenzao akifanikiea maishani. Jambo hili kilileta furaha kwa familia ya Benta na wazazi wake sana kwa kuwa alikuwa kwa mstari mwema maishani. Benta alijikaza shuleni na pia kanisa I alikuwa kioaumbele katika mabo ya kidini. Alienda mitaa mbalimbali kutangaza kuhusu wema wa Mungu. Mapadri nao walioendezwa sana na tabia yake na hivyo kuamua kumuchukua na kumulioia karo kwenye shule moja ya kifahari mjini. Waswahili husema kuwa jogoo la shambani haliwiki mjini. Benta alikiuka msemo huo punde tu alipowasili shule hiyo ya kifahari mjini. Alikuwa jogoo wa shambani aliyeweza kuwika mjini. Aliwika mjini kwa kuwashinda wenzake wa njini katika mitihani yote na kuzia alama za juu zaidi. Am kweli alikuwa mtoto wa kipekee na mwenye akili za kipekee. Kando na Benta kuwa wembe kimasomo, alikuwa na ulegevu fulani ndani yake . Alipofika umri wa miaka kumi na minne, Benta alianza kuwa na mvuto sana kwa jinsia ya kiume. Wazazi waliharibu wawezavyo na kumkanya dhidi ya njia alizokuwa anajaribu kuzifuata. Ndugu zake hawakuachwa nyuma, chambilecho, damu ni nzito kuliko maji, walimfika Karibu na kumpa ushauri mara kwa mara kuhusu tabia yake iliyokuwa imeanza kuudhi hta walimu shuleni. Benta alikiri kuelewma ila alifanya kinyume vha alichoambiwa ounde tu alitoka kwa kikao Cha wosia.yaani aliyatia masikio yake nta. Benta alihitimu dadasa la themania na kupita vyema sana. Ingawa alikuwa amedororora kimaadili basi alipita mtihani wake vyema sana. Alijinyakulia nafasi kwa shule bora zaidi kwenye taifa lao. Shule ya Kitaifa ya Mwanga ilimpa nafasi na kumuomba kujiunga nao katika kidato cha kwanza. Benta na familia yake walifurahi sana na basi wakati wa kujiunga kidato cha kwanza ulipowadia alisindikizwa na wazazi wake moaka shuleni humo. Walipokelewa vizuri basi na wazazi wake hawakusahau kumla wosia kuhusu tabia zake za kupenda wanaume. Walimsihi akasome kwanza na baadaye atapata raha hiyo vizuri akiwa amehitimu. Kama kawaida ya Benta aliitikia tu na kusema kuwa amewaelewa. Benta sasa yupo kidato cha nne, amekuwa akifanya mapenzi ya kiholela ila hajawahi kunaswa. Benta anakamilisha kidato cha nne na kuelekea chuoni kusomea udaktari. Chuoni Benta akawa hashikiki tena. Raha aliyoitamani kwa muda sasa alikuwa ameshaipata basi hapakuwa na haja ya kutoifurahia vilivyo. Alikuwa halali chumbani mwake tena, kila siku na mahali lake, kila siku na mwanaume wake, kila siku na pesa zake. Aliwabadilisha wanaume kama jinsi mtu anabadikisha lebasi. Darasani alikuwa haudhurii tena. Mama mzazi hakusahau kumpa wosia kila mara alioomoigia simu alimkanya sana kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Chuo nacho kiliwashauri wanafunzi wake kuhusiana na mapenzi ya kiholela. Hayo yote yalikuwa kelele za chura zisizomzuia ngombe kunywa maji. Alianza kufeli mitihani na mara nyingi kubidi arudie masomo mengine kisa kutohudhuria madarasa na kutofanya kazi aliyopeana mhadhiri. Tabia zake zilidorora hata baada ya mama na baba yake kumwajiria mtu wa kumpa wosia hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alipofika mwaka wa tatu alishindwa kusoma kabisa na kubidi aachane na masomk yake ili ajioe raha vya kutosha. Aliondika shuleni na kuenda kuishi na mzee aliyepatana naye jijini. Mzee huyo alimuahidi maisha mazuri ambayo Benta aliyaona kayapata bila ya kutumia jasho. Basi maskini mtoto wa wenyewe alijizoazoa akaenda naye mzee mwenye umri wa baba yake Baada ya miezi miwili Benta alikuwa ameshika mimba na mzee yule katoweka. Alijaribu kumutafuta lakini hakuweza. Ilibidi arehee kwa mamaye mzazi. Alipofika kwao mama mzazi alimkubali ila baada ya siju chache Benta alianza kuugua na baadaye ikasemwa na darktari alikuwa naugua virusi hatari vya ukimwi. Benta alitaabika kitandani kwa siku nyingi huku akiendesha na kukondeana . Baada ya siju chache alipata nafuu kutoka na dawa za kuleta Kinga mwilini. Aliootoja nje ya hospitali maisha yalikuwa hayatabasamu naye tena. Alibidiika kufanya kazi za kibarua ili kujilisha kwa kuwa mama yake na baba waliaga kutokana na mshtuko wa moyo. Aligeuka na kuwa maskini ombaomba akiulizwa haungami. Alijuta kutofuata wosia wa wazazi wake lakini maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena.
Mbona Benta aliamua kuenda na mzee umri wa babake
{ "text": [ "alihaidiwa maisha mazuri bila kutumia jasho lake" ] }
4759_swa
ATHARI YA MAFURIKO Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya. Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya. Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada. Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza kuhatarisha maisha ya wengi. Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha hasara mingi katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu huingia katika makazi na kuleta taharuki. Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi. Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa. Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa. Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
Janga gani limekuwa donda ndugu Kenya
{ "text": [ "la mafuriko" ] }
4759_swa
ATHARI YA MAFURIKO Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya. Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya. Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada. Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza kuhatarisha maisha ya wengi. Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha hasara mingi katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu huingia katika makazi na kuleta taharuki. Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi. Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa. Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa. Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
Nini hutokana na mvua nyingi kupita kiasi
{ "text": [ "mafuriko" ] }
4759_swa
ATHARI YA MAFURIKO Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya. Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya. Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada. Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza kuhatarisha maisha ya wengi. Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha hasara mingi katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu huingia katika makazi na kuleta taharuki. Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi. Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa. Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa. Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
Maji hupungua lini kwa kiwango kikubwa
{ "text": [ "wakati wa kiangazi" ] }
4759_swa
ATHARI YA MAFURIKO Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya. Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya. Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada. Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza kuhatarisha maisha ya wengi. Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha hasara mingi katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu huingia katika makazi na kuleta taharuki. Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi. Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa. Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa. Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
Mbona watu wengi hufanya makao yao kuwa karibu na mto
{ "text": [ "kwa sababu ya ukosefu wa ardhi" ] }
4759_swa
ATHARI YA MAFURIKO Janga la mafuriko limekuwa donda sugu katika nchi yetu ya Kenya. Mafuriko hutokana na mvua mingi kupita kiasi. Kwa hivyo udongo unakuwa hauwezi kustahimili maji mengi. Jambo hili limekuwa shida Sio vijijini sio mijini. Pia imekuwa shida katika Kila sehemu ya nchi mzima ya Kenya. Mafuriko husababishwa na mabadiliko katika Hali ya anga. Mabadiliko haya husababisha madhara mengi ambapo Moja kati yao ni mafuriko. Maji ni kitu Cha muhimu lakini isipohifadhiwa vilivyo huweza kuleta madhara. Hivyo mafuriko hutokana na ukosefu wa kuhifadhi maji ya ziada. Athari ya kwanza ni kujaa au kufurika Kwa Mito. Wakati wa kiangazi, maji hupungua Kwa kiwango kikubwa kwenye Mito haya. Kwa sababu ya ukosefu wa ardhi, watu wengine hufanya makao Yao kuwa karibu na mto. Sasa ikifika wakati wa mvua, Mito mingi hujaa kupita kiasi. Wengi ya wanaoishi sehemu hizo hulazimika kuhamia maeneo mengine. Maji yanapojaa katika maeneo haya pia yanaweza kuleta magonjwa mbalimbali. Magonjwa kama malaria na hata magonjwa ya tumbo. Pia kufurika Kwa Mito na kusamba Kwa maji Kila mahali maeneo haya huenda ukaleta wanyama hodari katika makao ya binadamu. Wanyama Hawa ni kama poop, nyoka na hata mamba. Hii huweza kuhatarisha maisha ya wengi. Katika siku hizi za hivi karibuni mafuriko yamekuwa sehemu ya miji mbalimbali haswa hata katika mji kuu wa Nairobi. Maji haya husababisha hasara mingi katika miji jinsi inavyofanyika huko vijijini na hata Kwa kiwango Cha juu. Kila mwaka maji hufurika kwenye nyumba za watu katika mji huu wa Nairobi huku ikiharibu vitu vya nyumba vya thamani ya juu. Vile vile mabomba ya kupitisha maji taka huharibika. Kutokana na huo, maji chafu huingia katika makazi na kuleta taharuki. Uharibifu wa Barabara pia huletwa na mafuriko. Maji husambaa kwenye Barabara Kisha kukatisha usafiri wa watu. Mara nyingi Barabara hujazwa na maji Kwa hivyo wasafiri wanaotumia miguu hawawezi kupita Kwa urahisi. Vile vile tunapata ya kwamba inafika kiwango kingine ambapo hata magari yanasombwa na maji Kwa hivyo usafiri kupitia njia ya magari husitishwa. Uhaba wa maji pia mara nyingine husababishwa na mafuriko. Hii ni kinaya lakini mara nyingi hutendeka. Wakati mwingi mabomba ya maji huharibiwa. Katika Hali hii, mabomba haya hayapitishi maji ipasavyo hatimaye watu wengi hukosa maji nyumbani mwao. Kwa sababu ya hii, maeneo ambapo Yana maji hukabiliana na msongamano wa watu. Hii pia hufanya bei ya maji kuwa juu Sana. Swali la kuuliza Sasa ni, je serikali ya taifa la Kenya imeweka mikakati yapi ya kukumbatana na janga hili?
Maeneo ambapo yana maji hukabiliwa na msongamano wa nani
{ "text": [ "watu" ] }
4760_swa
Begi langu. Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake. Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini anadi adhana ya Kwanza? Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi! Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’. Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua alichomaanisha wala sikutaka kujua. Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu kwa yasiyonihusu. Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini nilichokiona. Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama. ‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi yangu.Sikujua la kufanya. ‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu usio na faraja.
Ni nini kilichomwandama na kuganda mwilini
{ "text": [ "Dhiki" ] }
4760_swa
Begi langu. Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake. Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini anadi adhana ya Kwanza? Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi! Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’. Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua alichomaanisha wala sikutaka kujua. Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu kwa yasiyonihusu. Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini nilichokiona. Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama. ‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi yangu.Sikujua la kufanya. ‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu usio na faraja.
Kila wakati joggoo alipowika alifanya nini
{ "text": [ "Kuwaza namna angeyatatua matatizo yake yaliyomkumba" ] }
4760_swa
Begi langu. Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake. Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini anadi adhana ya Kwanza? Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi! Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’. Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua alichomaanisha wala sikutaka kujua. Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu kwa yasiyonihusu. Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini nilichokiona. Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama. ‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi yangu.Sikujua la kufanya. ‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu usio na faraja.
Alifanya nini baafaya sala
{ "text": [ "Alirukia mckweche wake na kwenda kutafuta riziki" ] }
4760_swa
Begi langu. Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake. Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini anadi adhana ya Kwanza? Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi! Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’. Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua alichomaanisha wala sikutaka kujua. Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu kwa yasiyonihusu. Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini nilichokiona. Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama. ‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi yangu.Sikujua la kufanya. ‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu usio na faraja.
Kiduka cha mmeru kiliuza nini
{ "text": [ "Majani yaliyotafunwa na wengi- 'mgokaa'" ] }
4760_swa
Begi langu. Ni siku nyengine tena baada ya dhiki za masiku zilizoniandama na kuniganda mwilini kama kupe.Kusema kweli hakuna na hatotokea ambaye angezipenda na kuzifurahia dhiki hizo za kulala kwenye mkeka mchakavu ulioambatana na ardhi ungedhani nlilala chini,na kweli nlilala chini.Ila ilikuwa nikiudanganya moyo kuwa namiliki malazi kwani hapo ndipo nilipozieka mbavu zangu.Hakika,kimfaacho mtu chake. Ilivyokaida na desturi ya dini,kila nilipomskia bwana jogoo akiwika,nilimshukuru Manani Kwa kuiona siku nyengine tena na kuwaza vipi ningeyatatua matatizo yangu ambayo yalinikabili kila uchao.Muda mwengine nilijipata nimeamka saa nane za usiku nikidhani alfajiri imefika.Kumbe vijogoo vya mjini vilivyojuwa sikuwa na uwezo wa kumiliki saa ili niende na muda,vilinyichezea shere.Ningefanyaje zaidi ya kumsubiri muadhini anadi adhana ya Kwanza? Nami punde baada ya kuleta sala fupi,niliurukia mckweche wangu na kuenda kuitafuta riziki.Usiniulize nikaitafute kwani ilipotelea wapi?mana ntakosa jibu la kukupa.Nilivyoamini ni kuwa Mungu hamtupi mja wake naye vile vile si faki wala makame.Nilipiga moyo konde na kuiandama barabara ya kuelekea Bamburi mwisho,nikigonga kila mlango wa nyumba za kiswahili zilizokuwa pambizoni mwa barabara hio na mageti ya kikwasi yaliyopambwa na kurembwa kwa nakshi zilizopendeza na kuvutia ungedhani ndani aliishi sultani.Kazi kubwa ilikuwa kuwafanyia usafi mabwanyenye waliokuwa na uchafu katika kasri zao.Sikujua kati yangu na wao nani aitwe msafi! Sasa nmefika Mlaleo Kisauni palipo na shule ndogo ya msingi iitwayo`The Baptist’.Naamua kupumzika chini ya kiduka cha mmeru aliyejulikaniwa kwa kuyauza majani yanayotafunwa na asilimia tisini na tisa nukta tisa ya wakaazi wa Mombasa.si vijana si wazee,si wanawake si wanaume.Kwa kweli ndo starehe adhimu hapa,almaarufu `mgokaa’. Nikipiga jicho kando yangu, namuona kijana mmoja anayekimbizwa kwa Kasi ya umeme na janadume la kizungu lenye miraba minne,lililo kula likashiba na kushibiana.Kijana huyo aliyekuwa kimbaumbau naye alikimbia huku akiwa amebeba begi jeusi lililoandikwa’prince’kwa wino mweupe.Huku twana hilo la kizungu likimkimbiza na kuropokwa ‘bandito!bandito’.sikujua alichomaanisha wala sikutaka kujua. Nilichotaka kujua ni kuwa,mule ndani ya begi mulikuwa na kitu gani?Yakufukuzana nilijua fika kuwa yule kijana ashampora na kumuingiza mjini kisauni mzungu yule.Namie sikungoja kuhadithiwa nilifyatua mbio za kisigino kugusa kisogo ili kuona hatima ya begi,kijana na mmiliki wa begi.Kweche langu na taka, niliamua kuvisahau kwa muda na kujaza susu kwa yasiyonihusu. Vichochoro ni vingi,sasa tumetokea katika uwanja wa mwandoni,guu kwa guu na wanaohusika.Kijana alilibwaga begi kwa kuhisi kutosalimika akiendelea kukimbia nalo,akamsalia mtume na kuamua kuinusuru roho yake.Nilifika na kuliokota begi lile,kuangalia nyuma mzungu sikumuona,vichochoro vishamzungua.Nikaamua kulifungua begi lile.Mamayangu!Sikuamini nilichokiona. Mikufu ya dhahabu,almasi na fedha,vilinifanya niingie kwenye kibanda cha mboga za majani cha mameashura na kuhakikisha nilichokiona.Mabunda ya fedha yaliyofungwa kwa rababendi vitita Kwa vitita,viliifanya miguu yangu kukosa ujasiri hata wa kujibeba.Nikakaa kitako kuwaza je nimtafute mwenyewe nimkabidhi?je niupeleke mzigo huu kituo cha polisi?’maswali chungu nzima yasiyokuwa na majibu yaliniandama. ‘Pengine nimpe mzigo wake asionyeshe fadhila yote kwangu!Nikajitudi kuwa wema hauozi.Niende kituoni nao askari wauchukue mzigo huu wagawane mali.Lakini awadh wewe si ndiye unayelala chini?unayefanya kazi za kijungu jiko ilimradi mkono uende kinywani?Si wewe unayeitwa bwana ntalipa kesho?Sawa,nilikubali na kujiambia,Lakini cha haramu hakiliki!kwani umeiba?umenyang’anya?Si ni Mungu ndo kakuletea?’...Ilimradi kukatokea mvutano mkubwa katika nafsi yangu.Sikujua la kufanya. ‘Oyaa!ondhoka twathaka kufungua duka!’.Niliamshwa na sauti ya kijana mmoja aliyezungumza Kwa lahaja ya kiamu kwani nilizoea kulala nje ya duka lake la nafaka.Nikiwa bila begi wala ndururu ya tundu mfukoni.Nilikuwa nmekunja ngumi tu kama niliyebeba mzigo fulani,nikatoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango nikaropoka’Begi langu!’ ‘Mmh!Kumbe nilikuwa naota?’Dhiki zikaniita na kunikaribisha tena kwenye ulimwengu usio na faraja.
Nani alikimbizwa na janadume la kizungu
{ "text": [ "Kijana mmoja" ] }
4761_swa
Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu visivyo. Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa bei ya juu. Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au kikabila. Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?. Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa maradhi na mauti . Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita. Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao. Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kufaana. Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini? Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili. Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi. Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima wote washikane ili waweze kumaliza. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika ufisadi. Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi. Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
Ufisadi ni kinyume na maadili ya nini
{ "text": [ "Jamii" ] }
4761_swa
Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu visivyo. Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa bei ya juu. Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au kikabila. Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?. Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa maradhi na mauti . Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita. Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao. Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kufaana. Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini? Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili. Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi. Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima wote washikane ili waweze kumaliza. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika ufisadi. Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi. Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
Nani wanapewa hongo barabarani
{ "text": [ "Polisi" ] }
4761_swa
Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu visivyo. Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa bei ya juu. Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au kikabila. Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?. Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa maradhi na mauti . Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita. Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao. Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kufaana. Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini? Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili. Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi. Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima wote washikane ili waweze kumaliza. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika ufisadi. Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi. Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
Serikali inafaa kuweka nini dhidi ya ufisadi
{ "text": [ "Sheria" ] }
4761_swa
Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu visivyo. Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa bei ya juu. Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au kikabila. Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?. Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa maradhi na mauti . Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita. Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao. Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kufaana. Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini? Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili. Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi. Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima wote washikane ili waweze kumaliza. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika ufisadi. Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi. Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
Nani huumia zaidi
{ "text": [ "Wachochole" ] }
4761_swa
Ufisadi ni kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jamii. Hutokea pale ambapo mtu au kundi la watu hutaka kujifaidi kwa kukiuka kanunu za jamii. Kuna aina mbalimbali za ufisadi. Ufisadi wa uhalifu, ufisadi wa kijinufaisha, ufisadi wa kujikinga dhidi ya kuhangashwa, ufisadi wa kufaana, ufisadi wa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kutumia wadhifu visivyo. Ufisadi husababisha madhara yafuatayo.Ukosefu wa huduma maalum kama vile ukosefu wa dawa hospitalini. Hali hii huchangia watu kununua madaya kwa bei ya juu. Chuki na uhasama hutokea wanajamii kutokana na mapendeleo ya kindugu au kikabila. Uchumi wa nchi kuvuruga na watu wa tabaka la chini kulazimishwa kugharamia bidhaa kwa bei ya juu. Hali hii husababisha wengi wa wanyonge kupoteza uzalendo. Imani ya raia katika serekali yao hupunguka. Raria hujiuliza iwapo serekali wanawajali kweli au la?. Utovu wa nidhamu ni madhara mengine ya ufisadi wakati wanajamii hujiingiza katika vitendo vya uhalifu na baadaye watu Hawa hukumbwa maradhi na mauti . Ufisadi ni ugonjwa mbaya sana. Na wakati inapoingia katika nchi watu serekali na wanajamii wanafaa kushikana bega kwa bega ili kuipiga vita. Wanaoshiriki katika vitendo nya ufisadi wanafaa huchukuliwa hatu Kali hapohapo. Wanajamii wanafaa kupiga repoti Mara moja kwa polisi wanapoona kitendo chochote Cha ufisadi katika mazingira yao. Wanaoshiriki katika ufisadi kukamatwa Mara moja. Wanajamii wanafaa kuachana na matendo ya kifisadi kama vile kutoa ushahidi wa uongo na ufisadi wa kufaana. Katika mazingira yetu ya kila siku huwa kuna aina nyingi za ufisadi vinanvyoendelea. Ni wanajamii wenyewe ndivyo wanafaa kuwa kiwango Cha mbele katika kupiga vita ufisadi katika mazingira yao Utapata polisi wanapewa hongo barabarani. Ni wanajamii wenyewe wanatoa hongo hiyo kwa polisi. Swali tunalojiuliza ni je kwa Nini? Labda tuseme serekali wako upande wa mbele katika kuleta jambo hili. Serekali hailipi polisi pesa nzuri ya kutosha na kusema ukweli kazi wanafanya ni ngumu na wakati mwingine huhatarisha maisha yao. Wanafaa kulipwa pesa ya kutosha ili wakatae hongo zinazoendeleza ufisadi. Pia wanajamii wako mbele sana katika kutoa hizi hongo ili makosa yao yafichwe na wakose kuadhibiwa. Hivyo ufisadi katika sekta hii si jambo ambolo polisi peke yao au wanajamii wenyewe wanaweza kumaliza. Lazima wote washikane ili waweze kumaliza. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya ufisadi ili kusaidia kupunguza uenezi wa ufisadi. Lakini nchi haina uhakika kama hilo litawezekana kwasababu hata serikali Mara nyingi hushirika katika ufisadi. Ufisadi imekuwa vita ambayo ni ngumu kupigania kwa sababa imekuja kuwa kila mahali na kufanywa na mtu yeyote ule. Hata wale wanaoaminiwa kuwa kiwango cha mbele kupigania ufisadi ndio wafisadi. Uchumi wa nchi utavurugika zaidi ikiwa jamii pamoja na serikali hawawezi kupigania ufisadi. Watu wachochole ndio watakaoumia zaidi ikiwa hakuna mabadilika ambayo itafanywa katika sekta hii ya ufisadi.
Kwa nini vita vya ufisadi ni ngumu kupigana
{ "text": [ "wanaoaminiwa kupigana na ufisadi ndio wafisadi" ] }
4762_swa
DAWA ZA KULEVYA Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu. Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya. Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata. Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kutafuta pesa. Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao huanza kutumia dawa hizo. Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu kuwa mraibu wa pombe? Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia. Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote. Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja. Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba. La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya. Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani. Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single". Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia. Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na kuwa chokoraa. Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru. Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa. Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho. Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa. Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la "whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe. Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka. Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii. Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
Nani wanatumia dawa za kulevya
{ "text": [ "vijana" ] }
4762_swa
DAWA ZA KULEVYA Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu. Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya. Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata. Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kutafuta pesa. Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao huanza kutumia dawa hizo. Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu kuwa mraibu wa pombe? Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia. Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote. Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja. Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba. La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya. Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani. Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single". Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia. Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na kuwa chokoraa. Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru. Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa. Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho. Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa. Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la "whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe. Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka. Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii. Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
Wamejiunga na makundi gani
{ "text": [ "mabaya" ] }
4762_swa
DAWA ZA KULEVYA Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu. Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya. Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata. Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kutafuta pesa. Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao huanza kutumia dawa hizo. Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu kuwa mraibu wa pombe? Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia. Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote. Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja. Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba. La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya. Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani. Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single". Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia. Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na kuwa chokoraa. Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru. Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa. Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho. Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa. Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la "whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe. Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka. Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii. Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
Nini sabuni ya roho
{ "text": [ "pesa" ] }
4762_swa
DAWA ZA KULEVYA Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu. Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya. Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata. Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kutafuta pesa. Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao huanza kutumia dawa hizo. Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu kuwa mraibu wa pombe? Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia. Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote. Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja. Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba. La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya. Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani. Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single". Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia. Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na kuwa chokoraa. Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru. Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa. Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho. Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa. Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la "whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe. Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka. Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii. Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
Mbona wakikosana na waseja wao wanakimblia pombe
{ "text": [ "ili kuondoa msongo" ] }
4762_swa
DAWA ZA KULEVYA Wazazi wengi wanalia kuhusu vijana kutumia dawa za kulevya. Wana wao hawaambiliki. Wamegeuka na kuwa mfano wa wanyama. Wamejiunga na makundi mabaya. Vijana wanaiba. Vijana wanabaka wasichana wadogo bila hata aibu. Wanafanya vitendo viovu. Leo hii nimelizamia swala hili kujua ni nini haswa hupelekea vijana kuanza kutumia hizi mihadarati. Wanatumia pombe za kulevya, kokeni, wanavuta bangi huku wakitoa moshi utadhani ni gari la moshi liendalo Rwanda. Vijana wanatumia heroini. Dawa za kulevya huchangia vijana kuwa na upungufu wa kufikiria na kufanya maamuzi yafaayo. Kwa kweli vijana waepuke dawa za kulevya. Sababu ya kwanza inayopelekea vijana kuanza kutumia dawa hizi za kulewa ni kupata pesa. Pesa ni sabuni ya roho. Kila mtu yumo mbioni kutafuta pesa. Nilipotembelea chuo kikuu kimoja hapa nchini, nilipata vijana wengi huko wanauza dawa hizi za kulevya. Si bangi si miraa. Kuna mahali wamepaita " Back street" huko ndio ukitaka dawa zozote zile utapata. Nilijifanya mraibu ndiposa niweze kujua ni kwa nini wao hutumia dawa za kulevya. Wengi walianza kusema ni kwa sababu wao wana mahitaji yao ambayo ni sharti wayatimize. Yafaa kujinunulia chakula. Wa pia wana wasichana ambao pia yafaa wawatunze. Nikawauliza hawa wasichana mbona mnawatunza ilhali nyumbani kwao kuna wazazi? Mbona nyinyi kujitwika mzigo wa mzazi? Kisha walinijibu kwa urahisi tu mapenzi. Nikawauliza tena. Nyumbani wazazi wenu wanajua nyinyi ni walanguzi wa dawa za kulevya? Walisema wazazi hawana ufahamu. "Tunapojiunga na chuo kikuu wazazi wet hufurahia. Wanatupa pesa mingi lakini pesa hizo huanza kupungua kila wakati. Mwishowe tunatumiwa mia mbili kwa wiki. Hii huchangia sisi kuanza kujihusisha na kazi hizi, " mmoja wa vijana alinijuza. Niligundua kwamba sababu kuu ya wao kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kutafuta pesa. Matangazo ya biashara pia huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Runingani na redioni wao hutangaza na kupigia debe baadhi ya dawa za kulevya. Utasikia wakisifia dawa huku wakiwaushauri kwamba wakimbie kwenye duka lolote la dawa hizo za kulevya na watapata dawa hizo. Watasisifia jinsi hata bei yake hivi sasa ni nafuu. Vijana nao wanaposikia hivyo, wao hukimbilia kuona na kuwa na hamu ni dawa gani hii inayozungumziwa. Wataenda madukani ili kupata dawa hii. Hivyo ndivyo wao huanza kutumia dawa hizo. Kukaa katika mazingira mnamotumiwa dawa hizo huchangia vijana kuanza kutumia dawa za kulevya. Kwa mfano ikiwa mzazi anakema dawa hizi lazima utaonja. Inafanya kumkumbuka msichana mrembo sana niliyeweza kutengamana naye siku moja. Alikuwa mraibu wa pombe. Niliweza kumdadisi ni nini kilimpelekea yeye kuanza kuwa mraibu wa pombe. Nakumbuka siku moja alipokuja kunitembelea mjini aliweza kuniitisha kama ningemnunulia angalau pombe itwayo " Tusker Cider". Nilishtuka na kumwuliza, mbona unatumia dawa za kulevya. Yeye anaziita makali. Sijui kama makali ni jina sahihi ama ni la misimu tu. "Alianza na kunipa hadithi. Kitambo kidogo mimi nililelewa na nyanyangu. Nyanyangu alikuwa mgemaji wa pombe hizi ziitwazo chang'aa. Sisi ndio tulikuwa wakuwapa walevi pombe waliokuja kujiburudisha. Sasa kuna wakati tulikuwa tunaonja wakati nyanya hayupo. Kuanzia pale nikawa mraibu kiasi wa pombe hizi, " dada huyo alinieleza. Hapo ndipo nilijua kwamba mazingira kumbe huchangia mtu kuwa mraibu wa pombe? Sababu nyingine ya kutumia pombe ni shida. Shida zinaweza kuvamia mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Shida zinaweza kufanya uonekane kanakwamba unadaiwa hewa na Mungu. Shida hizi sasa humpelekea mmoja kuwa mraibu wa pombe. Shida zinaweza kuwa ukosefu wa ajira na mahitaji ya kimsingi. Ninasikia unapolewa unasahau shida zako. Mimi sijui kwani mimi si mraibu. Nikusikia tu huwa nasikia. Kudanganywa zina manufaa. Vijana wengi wamenaswa katika tundu hili kwa kudanganywa kwamba pombe zina manufaa kama vile kuongeza nguvu ya kufanya kazi. Tulipokuwa shuleni waliweza kutupiga chuku kwamba unapotumia bangi unaeza kuwa na uwezo kuwafanya mtihani na kupita wote. Vijana wengine walitushauri kwamba utumiapo dawa za kulevya na uingie darasani, utaweza kujua hata kabla mwalimu hajaanza kufunza wewe ushajua kile anafunza. Huwa na jaribu kufikiria utajuaje na hujasoma? Hilo ni swala la msingi yafaa ujiulize. Wengine wetu walijaribu kufanya hivo na matokea yake yalikuwa maovu mno. Hawakuweza hata kuunga moja na moja kupata mbili. Wao walipounga moja kwa moja walipata kumi na moja. Wengine husema unapotumia bangi unaeza lima hata hekari kumi za shamba. La hasha! Huo ni uongo mtu vijana hujidanganya. Kijitoa haya pia ni sababu huchangia vinana kutumia dawa za kulevya. Hii ni tabia ambayo hufanywa na makahaba. Kazi yao hiyo huezi kufanya kama uko jicho kavu. Wao wanaamini ya kwamba lazima watumie dawa za kulevya ndipo waweze kutekeleza shighuli zao. Utembeapo miji hizi utapata usiku usiku wasichana warembo wamevalia nguo fupi fupi wakitembea njiani. Midomo yao wamepaka rangi ya damu iliyokosa utadhani walikuwa wakinywa damu ya mbuzi. Wasichana hao huwa wametumia dawa. Huezi endea mtu tu ambaye humjui unamwomba tendo la ngono. Labda hataki. Wewe mbona umulazimu? Wengine wanaposhindwa kutekeleza majugumu kule nyumbani wao hulewa. Hii ni kuficha aibu kwa mkewe na watoto kwa kukosa kurudi na chakula nyumbani. Wengine wanatumia pombe kutoa haya za kutokuwa na vipusa. Wao watalewa wakisema kwamba pombe sasa ndio mpenzi wangu. Hivi vitendo hufanyika sana sana vyuoni. Mtu anapotalakiwa anarudi kunywa pombe kuficha haya. Wao wenyewe huita " niko single". Sababu nyingine inayochangia vijana kujiunga na matumizi ya dawa za kulevya ni kuvunjika kwa ndoa. Ndoa mingi zinapovunjika watoto huachwa pekee yao. Kwa kweli mti mkuu ukikatwa wana wana wa ndege ndio huwa mashakani. Watoto wakiachwa hivo huku hawana wa kuwaegeza wao hukimbilia dawa hizi za kulevya. Hii ni kwa sababu nyumbani hakukaliki. Baba pia akiwa mlevi hiyo ndio fursa anatumia kunywa pombe sawasawa. Anajaribu kuhepa majugumu na iwapo watoto watamwuliza chakula hataweza kuwapa bali atawaambia mimi nimelewa. Hicho kisingizio mwishowe kitawafanya watoto pia kujiendea kujitafutia. Wanapofika huko nje dunia inawageukia. Inawalazimu wao kujiingiza katika dawa za kulevya kwa mfano kuluu na kuwa chokoraa. Chanzo kingine cha utumiaji dawa za kulevya ni vijana kutaka kuwa na uhuru. Vijana wengi wanatumia dawa hizi kwa sababu wanataka uhuru. Wanapokuwa katika vyuo vikuu wanaona wako na uhuru wa kukaa mbali na wazazi wao. Hii huchangia wao kujiingiza katika dawa hizo za kulewa. Wengine watiamiapo umri wa miaka kumi na minane, wanaona wao ni watu wazima. Hivyo basi wao huwa wanaweza kufanya kile chochote watakacho. Sabu nyingine ni shida kazini. Watu wazima wana utofauti wao. Wengine hawajazoea kugombezwa. Kule kazini meneja anapowagombeza wao hukasirika na kukimbilia pombe. Wengine pia wanapokuwa na shinikizo kazini wanaendea pombe ili kutuliza mawazo eti. Pia shinikizo zinaweza kuwa za mfanyakazi kujiuzulu. Anapatwa na msongo huku akiona ni bora kunywa pombe kiasi. Shinikizo unakutana nazo kazini nyumbani pia watoto wanahitaji chakula. Kinachozalia ni wewe kukesha kwenye vilabu ili angalau usifike nyumbani tena ukagombezwa. Marafiki wabaya ndio chanzo cha vijana kutumia pombe. Huwa wanasema kwamba nionyeshe rafiki wako nami nitakueleza wewe ni nani. Marafiki huwa ni watu wa kufanya tujue wewe ni nani. Watu wengi ukiwauliza walijipata aje wakitumia dawa za kulevya watakuambia kwamba niliweza kuingizwa na rafiki fulani. Unapokuwa unatembea na vijana wenye hirimu moja na huku wewe tu ndiye si mraibu huwa wanakudharau na kubeza. Oh wewe ni mama kwani huezi kunywa pombe. Oh wewe nawe unakaa aje? Pombe inakushinda kunywa. Inanifanya kukumbuka nikiwa katika kundi moja la "whatsup". Kule walikuwa wanaongelea tu ni nani analewa sana. Mara ni nani yuko tu niweze kumlewesha. Mara niko pahala fulani kuja tulewe. Basi siku moja nikawauliza. Je, kuna shahada yoyote kwenye kulewa? Ama kweli kuna tu zawadi tonge nono lenye mtu hupewa akilewa? Hata kabla nipate majibu, nilikuwa siko mmoja wao kwenye kile kikundi. Nilikuwa nimelishwa wenyewe huita ( removed). Sasa nilishangaa. Kumbe hivi ndivyo vijana hujiingiza tu katika uraibu wa pombe kiurahisi tu hivo? Kwenye kile kikundi utapata tu wanaongelea tu na kupiga picha wakiwa na chupa kubwa kubwa za pombe. Wenyewe husema mizinga. Sijui ya nyuki au ni ya nini? Jibu nalisubiri. Hao ndio tunaoita marafiki wabaya. Hawawezi kuelekeza ila ni kuharibu mithili ya kiraka. Upweke pia huchangia vijana kujiunga na kundi la uraibu wa dawa za kulevya. Utawakuta wale ambao wakikosana na waseja wao wanakimbilia pombe ili kuondoa msongo. Hilo ni suluhisho kweli? Sidhani. Yafaa wapewe ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro yao bila kukimbilia pombe. Pia utapata vijana wakijiunga na uraibu wa kunywa pombe kwasababu ya kujipa burudani. Wanaona kwamba ni pombe tu inayoweza kuwapa burudani kweli kweli. Si hivyo. Wanakosea. Pombe inawaharibu akili na kufanya wawe na maamuzi duni. Inafaa zote tusimame kidede na kupiga vita hivi vya pombe. Tuwashauri vijana wetu. Tuwe wenye kielelezo njema kwa jamii. Wewe ni mwalimu lakini unalewa. Aibu ilioje? Sote tupige vita hivi vya dawa za kulevya na tutakuwa washindi.
Watoto hugeukiwa na dunia lini
{ "text": [ "wanapofika huko nje" ] }
4763_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAUME Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia hizi za dhuluma ni kama zifwatazo. Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa. Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani. Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo, watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote. Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda. Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa! Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa? Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na kufumukana kuelekea kwangu. Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula. Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa. Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia. Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa. Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani, huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi ongea atanyamazia tu. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto. Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza. Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo wanaiba. Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee. Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Wanaume wengi nchini Kenya wanafanyiwa nini
{ "text": [ "wanadhulumiwa" ] }
4763_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAUME Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia hizi za dhuluma ni kama zifwatazo. Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa. Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani. Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo, watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote. Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda. Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa! Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa? Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na kufumukana kuelekea kwangu. Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula. Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa. Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia. Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa. Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani, huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi ongea atanyamazia tu. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto. Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza. Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo wanaiba. Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee. Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Ni sehemu gani wanaume hukatwa na wake zao
{ "text": [ "za siri" ] }
4763_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAUME Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia hizi za dhuluma ni kama zifwatazo. Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa. Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani. Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo, watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote. Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda. Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa! Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa? Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na kufumukana kuelekea kwangu. Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula. Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa. Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia. Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa. Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani, huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi ongea atanyamazia tu. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto. Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza. Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo wanaiba. Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee. Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Mhunzi mmoja aliamua kutengeneza nini
{ "text": [ "chupi ya chuma" ] }
4763_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAUME Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia hizi za dhuluma ni kama zifwatazo. Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa. Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani. Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo, watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote. Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda. Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa! Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa? Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na kufumukana kuelekea kwangu. Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula. Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa. Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia. Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa. Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani, huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi ongea atanyamazia tu. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto. Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza. Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo wanaiba. Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee. Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Ni lini mwanaume hutukanywa na mke wake
{ "text": [ "wakati hafanyi kazi" ] }
4763_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAUME Wanume wengi nchini Kenya na hata tukivuka mipaka ya Kenya wanadhulumiwa. Wao ni watu ambao hawawezi kusema kwani wengine watawacheka na kuwaona wadhaifu. Wanachokifanya ni kuvumilia na hakuna yule ambaye wanaeza kumsilimlia yale yanayowasibu. Mara mingi utaona wao wamenyong'onyea kwani nyumbani kuna mambo ambayo yanawasubiri. Majuto kwelikweli. Wanaume hao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti. Hakuna anayeweza kuyasema ayapitiayo hivyo basi wao hubaki tu kuvumilia. Njia hizi za dhuluma ni kama zifwatazo. Wanaume kupigwa na wake zao. Kwa kweli baadhi ya wanaume wanapigwa na wake zao kwa sababu moja au nyingine. Labda kipigo hiki hutokea pale mume anapojaribu kumwuliza mke wake ni mambo gani anayomtendea. Badala ya mke kusikiza, yeye humrukia na kuanza kumpiga mithili ya ngoma. Mume tena anapouliza kwa mfano mbona mke kachelewa kufika kwa nyumba, utapata yeye hamwelezi bali kumtukanya asiweze kujua la kufanya nini. Hii hutokea wakati mume hafanyikazi na mke ndio aliye na jukumu la kutafuta mkate wa kila siku. Muonapo wanaume wengine kwenye suti huku wamefurahia mchana ni ile hali ya kuficha tu mambo yao. Usiku baadhi wa wanaume hugeuzwa ngoma ya kukesha na kupigwa. Dhuluma nyingine ni kukatwa sehemu zao za siri. Hivi majuuzi viza hivo vimeripotiwa sehemu za kati mno. Wake wamekuwa wakiwakata sehemu za siri za wanaume wao kwa sababu moja au nyingine. Wanapofanya hivo waume zao labda wamelewa. Wengine ni sababu ya wao kuchelewa kufika nyumbani. Imefika wakati hadi mhunzi mmoja akamua kutengeneza chupi ya chuma ambayo ni ya kufunga. Hii ni kwasababu wanaume wanapolala hawajui kama wataamka na sehemu zao za siri au la. Alipoanza kutengeza chupi hizo, watu walimiminika kwake sana na kununua. Walifurahia biashara hiyo kwani sasa wangeweza kulala. Awali hawakuwa wakilala kwani walilala mithili ya sungura jicho moja wazi. Visa hivi vya kukatwa sehemu nyeti, yafaa vifikishwe mwisho. Wanaume wanalia kwani hiyo ni kumwondolea maisha yake kwa njia ya urahisi hivo. Ina maana kwamba akikatwa sehemu nyeti haezi hata kuzalisha na hivyo ni kumfanya aishi akiwachukia wake wote. Wanaume wanadhulumiwa kwa kutofuliwa nguo. Unapata mume mzuri tu mwenye hadhi yake anakuja kazini na nguo ambayo si safi. Kola za shati lake zimekunja na kujikunjiana ungedhani zilikuwa zinaliwa na mbuzi. Wanaume hawafuliwi kwa kuwa huenda labda hawatoshelezi mahitaji yao ya kinyumbani. Mahitaji haya ni kama chakula, mavazi na kodi za nyumba. Hii huchangia wake wao kuwakasirikia na kuenda mgomo wa kuwasaidia. Utapata sasa mume mwenyewe anajukumuika kufanya kazi hizo. Je, akina mama huo ni ungwana? Mimi nimelelewa kwa maisha ama kwa mila ambayo ni vibaya mume kufanya kazi wakati mke yupo. Hata tu ikiwa mke ni mgonjwa labda anaeza kumsaidia ama dadake bwana kumsaidia. Haya yenu ya kusema ni karne tofauti ndio inachangia waume kufanyishwa kazi. Sisemi punda. Wanaume huku nje wanachomwa na maji moto. Mwanamke anainjika chungu au sufuria la maji. Anachemsha sawasawa. Mume akifika tu nyumbani, pwaaa! Maji moto mwilini. Ni jambo la kushangaza mno. Kwani mume ni kuku? Mbona ufanye hivo? Borake si umwacha tu na uende uendako. Waume wengine wanamwagiwa asidi ya betari. Hiyo nayo huwaacha wakiwa si wa maji wala wa uji. Wanachanuka uso kanakwamba walikuwa wakidonwa na tai. Hiyo ni hatia kubwa sana. Je, tunaishi na wanyama au watu? Hadi wengine wameogopa kuoa. Nakumbuka siku moja nikiwa matembezini. Niliweza kukutana na bwana mmoja. Bwana huyo alikuwa kiziwi. Kwa kuwa mimi niliweza kuelewa ishara lugha, nilifika pale na tukaanza gumzo. Pale palikuwepo na viziwi wengine wachapa kazi. Walikuwa wawili mmoja alikuwa mama na mwingine binti. Ila wote viziwi. Tulipokuwa kwenye gumzo akanieleza kwamba anibake binti mmoja. Nami nikamwuliza. Wewe umeoa? Akaniambia la hasha. Nikamwuliza mbona? Akasemwa wanawake ni chanzo cha msongo wa mawazo. Alinisisitizia kwamba yeye haezi oa kwani wanawake watamwua. Nilimweleza kwamba kuna baadhi ambao ni wangwana na wenye upendo. Lakini alisimama kwenye msimamo wake yeye haezi oa. Akanishauri chukua hawa ukawaoe basi. Nilicheka tu na nikawatakia usiku mwema na kufumukana kuelekea kwangu. Ina maana kwamba kulingana na usemi huo wa mwandani wangu kiziwi, kuna pale aliona wanawake au mwanamke akimdhulumu mume. Hapo hapo, yeye akaogopa. Wanawake hebu tuwe na mwelekeo mwafaka kwani sisi ndio kioo cha ndoa changa na hata watoto wetu. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa chakula. Mke anapika chakula na kula na watoto wake tu. Mume arejeapo na kuuliza hapa mlikula nini? Hamna jibu ila tu kuambiwa aende ale kule atokako. Inanifanya kukumbuka kule kijijini nitokako ambapo mume moja ambaye alikuwa akilewa alikuwa ananyimwa na mkewe chakula. Tabia hiyo iliendelea kwa kipindi kirefu hadi kumpelekea mume huyo kufa. Watu walipouliza chanzo hawakupata. Ndipo mtoto mmoja akang'amua fumbo hilo. Mtoto alisema kwamba Mama amekuwa akimteza baba. Hakuna siku ambayo baba amepata chakula hapa. Waombolezaji walihuzunika mno. Wanaume pia wanadhulumiwa kwa kunyimwa unyumba. Mume anapohitaji haki yake ya ndoa mke anamfokea. Hii ndicho chanzo kwa kuanza kuwa na uhusiano nje ya ndoa. Kwani ni nani asiyetaka kufanyiwa kuzuri pale aliko? Mume ikiwa anashughulikiwa vizuri chumbani basi huenda akatulia. Kwa dakika sitini mke anampepeta kwa kipepeo tu. Feni huku imezimwa. Aisee! Mume atafurahi upeo wa kufurahi. Wake hawa huwanyima unyumba kwa kulipiza kisasi. Labda wamesikia tu fununu mume wake anatembea na msichana fulani. Badala ya wake hawa kusikia kwanza upande mbili wao wanajifanyia uamuzi na kisha kuwagomea mabwana zao. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kufanyishwa kazi. Kwa mfano mke atampa mume wake kazi ya kufua. Aendapo kazini akirejea nguo zote ziwe zimefuliwa. Utapata ameachia mume huyu katoto kachanga. Mtoto huyu yafaa ampe chakula. Watoto wengine warejeapo shule yafaa wapate chakula cha mchana kishakuwa tayari. Iwapo atapatwa na mkewe hakufanya kazi fulani, huenda mume akagombezwa. Kugombeza pia ni dhuluma kwa wanaume. Kimila mke hafai kumsomea hata mumew lakini karne hii huezi tambua mume ni yupi na mke ni yupi. Mke anakaa ndicho kichwa cha nyumba. Yeye anakaa huku akitazama televisheni ilhali bwana anapambana na kukata vitunguu na kupika. Si semi eti hayo ni mapenzi la hasha. Iwapo mume anafanya kwa hiari ni sawa. Utapata pia mke kuonyesha yeye ni mbabe na kichwa cha nyumba, atampikisha mumewe hata kama kuna wageni pale nyumbani. Tabia iliyo mbaya sana. Atawaambia akina mama wenzake huyu wangu nimemweka hapa. Kumanisha nimemweka kiganjani. Haoni hata aibu? Mume naye haezi ongea atanyamazia tu. Wanawake pia wanawadhulumu wanaume kwa kuwanyima pesa. Kuomba pesa si kosa bali kuombaomba ndio kosa. Hii hutokea pale ambapo mwanamke ndiye aliyefanikiwa na kupata kazi ya hadhi kuliko ya bwana. Utapata watoto wanahitaji pesa na mume anapowatuma angalau wakamwuulize mama yao, mama huwafokea. "Nendeni mkamwone baba yenu!" Watoto wanabaki kuzungushwa tu kama tiara. Wasijue la kufanya. Ikiwa una pesa mbona usisaidie? Akina mama wa aina hii huwa wanataka kuwadhalilisha wazee wao mbele ya mtoto. Mtoto ajue bila mama yao wao hawawezi endelea. Yafaa tugemee mienendo ya aina hiyo. Wale akina baba wanaotumia labda sigara, huwa wanataka angalau wagonge kiu chao na hawana pesa. Wakiomba wake zao wanawapuuza. Hii huchangia wizi miongoni mwa waraibu hawa. Wakipata nafasi kidogo wanaiba. Wake wetu nawaomba kuwa msiwadhulumu waume zenu. Mnapokutana mahali msianze kuwasema. Mumewangu ni hi na hivi. Mara wangu hana nguvu za kiume. Wangu naye ni kahaba. La hasha! Haifai. Siku moja atakusaidia mahali ambapo utamkumbuka milele na milele. Wanaume nanyi mjitokezee. Mnapodhulumiwa usijifiche. Tuongee. Tuende kwenye vituo za nasaha kupata mawaidha. Tusinyamaze. Sote tushikane na tupige vita dhidi ya dhuluma kwa wanaume. Pamoja tutashinda. Kwa kweli mficha uchi hazai. Mwisho umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Wanaume hudhulumiwa aje kwa kunyimwa chakula
{ "text": [ "mke anapika chakula na kula na watoto wake tu" ] }
4764_swa
RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya ugali kwa kuku. Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato, familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa. Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha. Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina. Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha. Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni. Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani. Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake. Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea. Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe. Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona. Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle. Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na kumwacha Jeni katika majonzi makuu. Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa.
Jeni alikuwa shogake nani
{ "text": [ "Fatina" ] }
4764_swa
RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya ugali kwa kuku. Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato, familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa. Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha. Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina. Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha. Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni. Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani. Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake. Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea. Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe. Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona. Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle. Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na kumwacha Jeni katika majonzi makuu. Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa.
Kibandani alikoenda jeni kilikuwa cha nani
{ "text": [ "Fatina" ] }
4764_swa
RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya ugali kwa kuku. Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato, familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa. Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha. Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina. Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha. Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni. Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani. Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake. Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea. Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe. Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona. Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle. Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na kumwacha Jeni katika majonzi makuu. Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa.
Nani alifanya kazi katika bandari ya magomeni
{ "text": [ "Jeni" ] }
4764_swa
RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya ugali kwa kuku. Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato, familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa. Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha. Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina. Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha. Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni. Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani. Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake. Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea. Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe. Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona. Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle. Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na kumwacha Jeni katika majonzi makuu. Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa.
Jeni alikuwa na wana wangapi
{ "text": [ "Wawili" ] }
4764_swa
RAFIKI YAKO NDIYE ADUI YAKO Jeni alikuwa shogake Fatina aliyeishi mtaa wa pili wa Matomoko. Urafiki wao ulikuwa wa dhati na walikuwa na ushirika katika mambo mengi kama vile vyama vya akina mama vya hela na leso. Kila jioni ungemwona Jeni kibandani kwa Fatina wakipiga gumzo huku wakichekacheka. Ungemwona Jeni na kikombe chake cha uji akiubugia kama kibogoyo huku mvuke ukipaa angani kutoka kikombeni. Fatina angekuwa amezamia bakuli lake na kisu chake kikali akiikatakata mboga yake huku akinong’ona umbea Fulani akimweleza mwandani wake. Wangepigana pambaja huku wakijichekea tena si kwa cheko la kawaida ila kwa cheko la kimbeambea tena lililohanikiza mpando na mshuko. Ungewaangalia wanawake hawa ungeona usuhuba uliokuwa na ukuruba uliopiku wa pua na mdomo. Walishibana. Tena si kule kushiba kwa mwanamume kula wali usiku ila kule kwa mluhya kukata matonge ya ugali kwa kuku. Jeni alikuwa mfanyakazi katika bandari ya Magomeni. Ingawa alikuwa tu mpishi humo, alipata mshahara mnono. Alikuwa na wana wawili. Mwanaye wa kwanza alikuwa binti mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyeitwa Pendo naye wa pili alikuwa mvulana aliyeitwa Joni aliyekuwa na umri wa miaka mitatu. Jeni aliishi na mumewe Kilu katika mtaa wa Mparachichi. Mumewe alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kutengeneza sabuni. Kimapato, familia hii ilikuwa ikijiweza. Fatina alikuwa ametalikiwa na mumewe Yakuza na aliishi na wanawe wawili Pili na Malua , akiwalea kwa pato lake la uchuuzi wa mboga. Kwa msaada wa Jeni, aliweza kupata ada ya kuwasomeshea wanawe. Hata hiyo kodi ya nyumba alisaidiwa na Jeni kulipa. Walikuwa marafiki wa toka nitoke tangu enzi za ujana wao huko kijijini Mramba kabla ya kukutana tena mjini katika tafuta tafuta ya maisha. Jumamosi moja , Jeni alikuwa anatembea na wanawe kuelekea kwa Fatina. Njiani, Joni alimwomba mamake ampige picha huku akisema kwa mazungumzo yake ya kiutoto. ‘‘Ishi utamwonyesha nyanyaa shiku ya klishimash.’’ Jeni aliyastaajabia maneno ya mwanaye kwa kuwa hakuwa akipenda kupigwa picha. Mbele kidogo , walimpita muuza mahindi ya kuchoma naye Joni akaomba anunuliwe akisema ‘’ maindi a mwisho mwisho!’’ Jeni aliwasili kwa Fatina na wakaanza mazungumzo yao ya chama sebuleni huku watoto wakicheza pamoja katika chumba cha pili. Baada ya mazungumzo Jeni aliwachukua watoto wote akawa anachezacheza nao huku akiwapiga picha na kuwarekodi wakiimba. Fatina alikuwa jikoni akitayarisha chakula cha mchana kisha akawaita watoto awape mananasi wale. Jeni alikuwa anatazama runinga sebuleni akisikiliza vicheko vya watoto huko jikoni. Nje ya nyumba ya kina Fatina kulikuwa na kisima kilichokuwa wazi na kilichoezekwa kwa mabati na kuwekewa mkeka juu yake ili kupunguza hatari ya watoto kutumbukia ndani. Fatina aliwaambia Pili na Milua waende nyumba ya ujiranini kumsalimu shangazi yao na kisha akamtuma Pendo dukani akanunue chumvi huku Joni akabaki naye jikoni. Baada ya dakika chache wanawake walikuwa wamekusanyika nje ya nyumba pamoja na Fatina wakiwa katika harakati za kumwokoa Joni aliyekuwa ametumbukia kisimani. Jeni aliyekuwa hana habari ya kilichoendelea alikuwa bado yuko sebuleni anatazama runinga. Pendo aliyekuwa anarudi na chumvi aliona kilichokuwa kikiendelea na akakimbia ndani kwa kilio kikuu na kumtaarifu mama yake. Jeni alihisi kana kwamba anapandwa na wazimu . Alilichukua wigi lililokuwa kichwani mwake na kulitupa chini huku akilia. Alikimbia nje mbio na baada ya kuchungulia kisimani akazirai papo hapo nao majirani wema wakamkimbiza hospitali. Huko , alichomwa sindano ya usingizi na akalala usingizi wa wasiwasi huku ndoto mbaya zikimjia na kumkosesha amani usingizini. Kisimani watu walijitahidi kumwokoa mtoto ikashindikana. Timu ya waokoaji iliitwa, ikaja na mashine iliyomtoa Joni kisimani. Alikuwa ameshakunywa maji na kuwa mwendazake. Maiti ya Joni ilipelewa kwenye mochuari ya Montezuma ilimohifadhiwa. Fatina alirudi kwake na kuendelea na shughuli zake kana kwamba hakuna lililotokea. Siku ya pili, Jeni alizinduka usingizini kwa kilio akimwulizia mwanawe. Daktari alimtuliza na kumpasulia mbarika kuhusu kifo cha mwanawe. Jeni alilia sana na kisha akaiulizia maiti ya mwanawe aliyopelekwa kuiona. Jeni aliwapigia simu waokoaji na kuwauliza ikiwa waliyaona mabati kisimani kwa sababu alishangaa jinsi mwanawe alianguka humo na kulikuwa na kizuizi. Waokoaji walisema kuwa kando na Joni hamkuwa na lolote mle. Harakati za mazishi zilifanywa nayo familia ya Jeni ikalaza mwendazake pafaapo. Kila mtu alijiendea zake kwake baada ya shughuli hiyo na kumwacha Jeni katika majonzi makuu. Fununu zilisambaa kuwa Fatina alihamia makaazi ya wenye vyao huko mjini Nairobi baada ya kupata utajiri wa ghafla. Alijiunga na kundi la waabudu mashetani lililomlazimu atoe kafara ya mtoto wa kiume ili atajirike. Kwa kuwa hakujaaliwa mtoto wa kiume, basi alifanya hila ya kumtumbukiza Joni kisimani ili atimize kafara yake. Fatina alikuwa akimwonea Jeni wivu kwa muda mrefu sana bila ya kudhihirisha. Jeni alipogundua kuwa Fatina ndiye aliyemwua mwanawe, alitaka kumfungulia mashtaka. Mumewe alimkataza na kumwambia kuwa kufanya hivyo hakutamrejeshea Joni wao uhai. Alimsihi wamwachie Mungu atoe hukumu yake juu ya udhalimu waliotendewa.
Pendo alikuwa na umri wa miaka mingapi
{ "text": [ "Kumi na miwili" ] }
4766_swa
Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao. Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi. Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
Nani walikuwa marafiki sana
{ "text": [ "Mbuzi na fisi" ] }
4766_swa
Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao. Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi. Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
Nani hakujaliwa kupata watoto
{ "text": [ "Fisi" ] }
4766_swa
Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao. Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi. Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
Wanambuzi hawakufungua nini walipogundua kuwa sauti hiyo haikuwa ya mama yao
{ "text": [ "Mlango" ] }
4766_swa
Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao. Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi. Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
Fisi aliamua kuenda kwa nani ili kutatua tatizo hilo
{ "text": [ "Mganga" ] }
4766_swa
Hapo zamani za kale fisi na mbuzi walikuwa warafiki sana. Waliishi katika kijiji kimoja na walipendana sana. Walipenda kufanya shughuli zao pamoja. Mbuzi alikuwa na watoto watu na fisi hakujaliwa kupata watoto. Fisi alikuwa na tamaa kwa sababu wanambuzi walikuwa wakivutia. Kila mara fisi alipotembelea rafiki yake, mbuzi alikuwa na wasiwasi mkubwa. Ilibidi mbuzi awakanye wanawe kuhusu fisi mlafi. Kwa hivyo aliwatungia wimbo. Wimbo huo ulikuwa wa kutambulisha mama yao. Aliwaagiza wanawe kuwa waiweke Siri hiyo kati yao. Fisi alipogundua Siri hiyo, aliwaza sana. Alijaribu kutumia ujanja ili kuukariri wimbo ule. Siku moja alikuja nyumbani kwa mbuzi. Akajaribu kuimba. Wanambuzi walipogundua sauti hiyo siyo ya mama Yao, hawakufungua mlango. Fisi aliondoka alikuwa amegadhabika. Alikuwa amekasirika sana. Aliamua kuenda kwa mganga ili kumsaidia kutatua tatizo hilo. Alipofika Kwa mganga, mganga alimwambia kwamba ingemgarimu kupata majeraha kidogo. Baadaye alielekezwa Kwa chumba kidogo kilichojaa nyuki. Fisi alikuwa akilia Kwa machungu.mwili yake ilivimba. Alilia sana hadi mate yakamkauka mdomoni. Sauti yake ikawa nyororo kabisa. Akaondoka Kwa mganga akielekea nyumbani Kwa mbuzi. Baada ya kutembea Kwa muda mrefu, hatimaye aliwadia. Alipoanza kuimba, wanambuzi walidhani kuwa ni mama yao. Alipomaliza kuimba, wanambuzi walimfungulia milango. Aliingia na kuwala wanambuzi mmoja baada ya mwingine. Alipomaliza tumbo lake lilivimba na akashindwa hata kutembea. Alin'gan'gana lakini wapi! Alilala chumbani humo. Mbuzi aliporejea, alikuta mlango wazi, woga ukamwingia. Alipoingia alimkuta fisi akiwa analala. Alichukua panga akamkata fisi tumboni na wanawe wakatokea wazima. Fisi aliaga papo Kwa hapo. Tangu hiyo siku uadui mkubwa ukawa kati ya fisi na mbuzi.
Mbuzi alichukua nini na kumkata fisi tumboni
{ "text": [ "Panga" ] }
4767_swa
HAKI ZA WATOTO Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure bilashi. Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa. Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha. Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe. Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa, kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda. Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki. Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli. Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela. Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula. Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini. Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja. Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali. Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake. Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo. Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu. Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio, wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa. Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno. Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu. Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao. Tusiwanyanyaze watoto wetu.
Taja mojawapo ya haki za watoto nchini kenya
{ "text": [ "Wana haki ya elimu" ] }
4767_swa
HAKI ZA WATOTO Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure bilashi. Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa. Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha. Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe. Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa, kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda. Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki. Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli. Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela. Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula. Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini. Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja. Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali. Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake. Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo. Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu. Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio, wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa. Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno. Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu. Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao. Tusiwanyanyaze watoto wetu.
Watoto wana haki ya kukaa katika makazi yao hadi wafikishe miaka mingapi
{ "text": [ "Kumi na nane" ] }
4767_swa
HAKI ZA WATOTO Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure bilashi. Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa. Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha. Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe. Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa, kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda. Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki. Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli. Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela. Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula. Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini. Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja. Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali. Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake. Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo. Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu. Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio, wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa. Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno. Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu. Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao. Tusiwanyanyaze watoto wetu.
Nini huchangia watoto kutoroka kwao na kuelekea mjini
{ "text": [ "Kuchapwa na kufanyizwa kazi ngumu" ] }
4767_swa
HAKI ZA WATOTO Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure bilashi. Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa. Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha. Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe. Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa, kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda. Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki. Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli. Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela. Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula. Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini. Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja. Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali. Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake. Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo. Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu. Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio, wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa. Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno. Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu. Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao. Tusiwanyanyaze watoto wetu.
Watoto pia wanafaa kupewa nini
{ "text": [ "Mavazi" ] }
4767_swa
HAKI ZA WATOTO Watoto nchini Kenya wanazo haki tofauti tofauti. Haki hizi ni vyema kama sote tunaeza shirikiana ili kuweza kuzitekeleza. Watoto wana haki ya elimu. Inasikitisha unapotembea miji mbali mbali unapata watoto hawako shuleni bali tu mitaani. Elimu wanasema ndio ufunguo wa maisha. Katika nchi yetu hii ya Kenya masomo ni bure. Huu ni mswada uliopitisha na rais mustaafu Rais Mwai Kibaki. Alisema kwamba watoto wote wana haki ya kuenda shule. Mnamo mwaka wa elfu mbili na mbili aliamuru kwamba masomo yatakuwa bure kwa kila mwanafunzi. Serikali hivi sasa hulipia kila mwanafunzi pesa fulani kwenye karo zao. Hii ni kuhakikisha kwamba kila mwanafunzi anapata nafasi ya kisoma. Serikali nayo ya raisi wetu Raisi Uhuru Kenyatta imeleta kufuzu kwa kila mwanafunzi wa kutoka katika shule msingi kwenda sekondari. Wanafunzi hao wa msingi kila mmoja anatengewa nafasi yake katika shule ya upili ambayo ni lazima ajiunge. Wazazi wengine hawajui kwamba siku hizi masomo ni bure. Ni wajibu wa waliongazini huko juu kutenga muda wao ili wawashauri kuwaonyesha jinsi watoto inafaa wawe shuleni wakisoma kila kwasababu masomo ni bure bilashi. Watoto wote wana haki ya kupewa makaazi. Yasiwe tu bora makaazi lakini yawe makaazi bora. Inasikitika kuona wazazi wakiwapiga watoto wao na hata kuwaweka njiani ili wakajitafutie makazi wao wenyewe. Watoto wanauhuru wa kukaa katika makaazi yao hadi watimiapo miaka kumi na minane. Hii ni sheria Kenya. Iwapo utaenda kinyume na sheria hiyo yafaa ukamatwe na ushtakiwe kwa mujibu wa sheria. Mila zetu wakati mwingine zinatupoteza. Ingawa wanasema mwacha mila ni mtumwa, hapo si utumwa. Unapata mtoto akitahiriwa tu katika mila zetu za kiafrika, huyo ni mtu mzima na anaweza kujiasimamia na aishi peke yake. La hasha. Sivyo.kutahiriwa haimanishi kwamba wewe ni mtu mzima na unaeza kuishi peke yako na kujisimamia. Wazazi yafaa kujifunza hivyo. Mila zingine zimepitwa na wakati. Watoto wana haki ya makaazi bora hadi pale ambapo wanatimia kiwango cha kujisimamie wenyewe. Watoto wana haki ya chakula bora. Inasikitisha kuona watoto wa mitaani wanaenda siku au siku kadhaa bila chakula. Ikumbukwe kuwa watoto hao wanaorandaranda mitaani wana wazazi. Ni wachache tu ambao wazazi wao washatutangulia mbele ya haki. Watoto hao hata wazazi wao wanapokufa, kuna yule ambaye hutwika jukumu la kuwalinda. Badala ya yeye kumtunza mtoto wa mweziye, wao huwachapa na kuwanyisha kazi ngumu. Sisemi punda. Hii huchangia watoto hao kutoroka makwao na kuelekea mjini ili kusaka angalau visenti kidogo vya kujisimamia. Wafikapo mjini maisha nayo huwageuzia mgongo. Hakuna pesa hakuna ajira. Kinachobakia ni wao kuwa chokoraa na kuanza kutafuta chakula mapipani. Mola awalinde watoto hao ninapovuta chozi ili kumalizia sentensi hii. Kwa wale mnaowadhulumu mayatima nanyi moto wenu utakuwa mkali sana pale tuendapo mbele ya haki. Mavazi pia watoto wanafaa kupewa. Si mavazi tu bali mavazi bora. Siku hizi ingawa mavazi tunayoyavalia yamekosa maadili lakini ni haki ya kila mmoja kuvaa jinisi anavyopenda. Watoto wa mitaani hao huvalia kana kwamba hawana wapendwa wao. Lakini wapendwa wao mjomba na shangazi ni watu wakubwa tu ambao wao ni watu wakubwa wenye hadhi za juu. Wao ndio wale wanaozunguka matanguroni na watoto wa umri mdogo sana wakifanya nao mapenzi. Aibu kubwa. Iweje mtoto wa mwenzio anateseka na wewe u pale unaelekeza vitendo viovu? Watoto wa wenzio na hebu tuwaone kama watoto wetu. Watoto wapewe chakula ndiposa wao wafurahie kweli kweli. Wasifanyishwe kazi za shokoa ili wapate mlo. Huko ninakotoka, utapata watoto wanaenda makondeni asubuhi na mapema ili angalau wapate mihela. Wao hitwa vibarua. Wengine hukosa shule kwasababu ya kutafutia watoto wengine chakula. Wazazi kwani wamesahau wajibu wao? Watoto ndio wanafaa kula kwa wazazi wala si wazazi kukaa tu watoto watafute wawaletee wakule. Haifai hivyo. Haifai kabisa mama au baba kwenda sokoni kupiga gumzo na mtoto ndiye wa kutoa chakula. Wapeni watoto malezi bora. Wanapokuwa wagonjwa wapelekwe hospitalini. Wazazi wengi wanashangaza sana. Hadi waone watoto wamezidiwa sana ndio wawakimbize hospitalini. Haifai kwamwe. Mtoto anapoonyesha dalili zote za kudhoofika mwili, inapaswa kukimbizwa hospitalini akachunguzwe ni nini kinachoendelea. Wazazi wengine ni wa kushangaza. Mtoto ukweli ni mgonjwa lakini bado wanampa kazi nyingi. Hawaamini kwamba mtoto huyo ukweli ni mgonjwa. Huko nitokako hadi mtoto ashindwe kula ndipo waamini ni mgongwa. Lakini tu kama yupo na anakula huyo si mgonjwa kamwe. Haha hilo la kushangaza? Ukistaajabu ya Musa ya Firauni yapo njiani yaja. Mtoto anapokosa mahitaji yale ambayo nimenena hapo juu ndipo utaona wasichana kuolewa mapema. Mimba za mapema pia huchangia iwapo mtoto hapewi vitu hizo nilizoziorodhesha huko juu. Msichana akikuja kuuliza mama pesa ya visodo, mama anamtuma kwa baba. Mtoto naye kwasababu ni mdogo sana na anahisi aibu kuambia babake kuhusu pesa hizo yeye hunyamazia tu. Anapokutana na mvulana ama jibaba lenye miraba minne na kumshauri afanye ngono na angalau apewe pesa msichana huyo hukubali. Kwani atatoa wapi pesa? Mzazi hujakubali kushughulikia mahitaji yake. Vile vile anapoona nguo mzuri mahali halafu arejee nyumbani akaulize mzazi pesa ya nguo, mzazi akimpa sikio iliyotiwa nta atafanya hivo hivo. Ataenda na mvulana amdanganye na mihela kidogo na kisha alale naye na kupewa hizo pesa. Hapo msichana yumo hatarini mwa kupata magonjwa ya zinaa na hata gonjwa kuu la Ukimwi. Wazazi wajibika. Mnatutia aibu. Watoto wana haki ya kulelewa katika mazingira nadhifu. Watoto hawafai kuona kila wakati wazazi wanapigana yaani mazingira iliyojaa vita na dhuluma. Watoto hawafai kuona hata kama wewe baba ama mama unalewa ovyo ovyo. Heshima ni kitu cha maana. Utapata wanapokuwa wakicheza na wenzio, wanakuiga jinsi wewe unavyofanya wakati umelewa. Wanatembea wakiimba ikiwa wewe huja nyumbani ukiwa mlevi. Utapata kwamba hata heshima yako huna. Watoto washakusoma jinsi mama yao hukutukana wakati umelewa. Watoto wasionyeshwe video chafu chafu. Hayo mazingira ni mabovu mno. Watoto huiga kila ambacho wanakiona. Iwapo wanaona watu wakicheza wakiwa uchi wa mnyama hivyo hivyo wataiga. Wanapobaki pekee yao utapata wanafanya tu jinsi wale waliokuwa wanaowaona runingani wakifanya. Haifai watoto waone picha mbaya au wawe kwenye mazingira amabayo itawadhulumu. Mwisho ningeomba shirika la watoto kushirikiana na mashirika mengine ili kuleta elimu kwa wazazi kuhusu haki za watoto. Mashirika pia ya kibinafsi na wazazi pia washirikiane ili kuhakikikisha kwamba tunalea watoto kwa njia inayofaa. Tukiwalea watoto kwa njia inayofaa watoto wetu watakua wakiwa wenye nidhamu na maadili mema. Watoto wapewe haki zao. Tusiwanyanyaze watoto wetu.
Watoto wanapokuwa wagonjwa wapelekwe wapi
{ "text": [ "Hospitalini" ] }
4768_swa
NDOA YA MKEKA Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara? Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira. Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam. Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri? Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani. Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana. Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali nini kabla ya kuhitimisha masomo yake
{ "text": [ "Ndoa" ] }
4768_swa
NDOA YA MKEKA Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara? Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira. Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam. Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri? Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani. Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana. Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
Nani alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake kwa Shukrani
{ "text": [ "Shani" ] }
4768_swa
NDOA YA MKEKA Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara? Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira. Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam. Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri? Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani. Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana. Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
Nani alimchukia sana Shani na kumbagua
{ "text": [ "Mama yake" ] }