Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
4793_swa | MIKAZA YA MOTO SHULENI
Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa
zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George
Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto.
Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao.
Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za
mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika
shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika
shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi
kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi
wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa
ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu
bodi simamizi za shule zenyewe?
Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama.
Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea
pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu
kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi
kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia
na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa
serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali
yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri.
Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki
utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni.
Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama
utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo
njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama
wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado
zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao
wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi
hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika.
Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao
wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo
nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani
kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa
Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku
wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo
nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata
walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka
nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni
hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu
ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo
wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao
wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana.
Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi
ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo
walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki
moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha
likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya
elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena
kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema
kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa
likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa
zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao
kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo.
Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii
wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali
wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi.
Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati
gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na
moja.
Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia
na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto.
Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni
mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao
huogopa mitihani. Hayo kando.
Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi
kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu
ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona.
Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana
kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia
shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na
wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu.
Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa
bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi
saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao
kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike.
Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu
wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu
wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja
au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi
halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service
NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia
ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale
wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda
mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na
kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na
hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo
aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona
sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani
kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi?
Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe.
Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa
wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya
kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla.
Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani
wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni
udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote
tushirikiane.
| Tamasha za drama na muziki hupendwa na nani | {
"text": [
"Wanafunzi"
]
} |
4793_swa | MIKAZA YA MOTO SHULENI
Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa
zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George
Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto.
Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao.
Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za
mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika
shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika
shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi
kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi
wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa
ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu
bodi simamizi za shule zenyewe?
Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama.
Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea
pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu
kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi
kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia
na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa
serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali
yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri.
Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki
utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni.
Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama
utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo
njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama
wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado
zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao
wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi
hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika.
Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao
wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo
nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani
kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa
Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku
wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo
nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata
walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka
nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni
hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu
ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo
wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao
wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana.
Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi
ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo
walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki
moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha
likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya
elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena
kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema
kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa
likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa
zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao
kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo.
Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii
wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali
wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi.
Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati
gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na
moja.
Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia
na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto.
Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni
mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao
huogopa mitihani. Hayo kando.
Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi
kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu
ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona.
Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana
kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia
shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na
wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu.
Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa
bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi
saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao
kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike.
Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu
wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu
wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja
au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi
halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service
NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia
ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale
wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda
mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na
kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na
hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo
aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona
sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani
kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi?
Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe.
Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa
wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya
kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla.
Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani
wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni
udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote
tushirikiane.
| Kwa nini watu washirikiane | {
"text": [
"Ili fumbo la moto shuleni liweze kutokomea"
]
} |
4794_swa | Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi
kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii
inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala
ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi
habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi
habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari
zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja
na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika.
Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari
za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani
za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda
wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi
ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na
faida zao na takwimu zao muhimu.
Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na
mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga
chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea
shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika
kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia
kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi
kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote
pale.
Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine
kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa
kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi
kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali
kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali.
Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma
mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha
kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa.
Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya
maneno.
| Habari zinahifadhiwa wapi | {
"text": [
"Kwenye mitambo ya kompyuta"
]
} |
4794_swa | Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi
kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii
inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala
ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi
habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi
habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari
zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja
na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika.
Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari
za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani
za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda
wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi
ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na
faida zao na takwimu zao muhimu.
Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na
mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga
chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea
shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika
kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia
kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi
kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote
pale.
Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine
kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa
kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi
kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali
kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali.
Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma
mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha
kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa.
Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya
maneno.
| Kompyuta zinaweza hifadhi nini kando na habari | {
"text": [
"Siri za watu binafsi na makampuni"
]
} |
4794_swa | Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi
kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii
inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala
ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi
habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi
habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari
zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja
na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika.
Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari
za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani
za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda
wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi
ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na
faida zao na takwimu zao muhimu.
Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na
mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga
chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea
shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika
kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia
kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi
kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote
pale.
Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine
kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa
kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi
kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali
kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali.
Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma
mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha
kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa.
Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya
maneno.
| Hesabu ngumu zawezafanywa na nini | {
"text": [
"Kompyuta"
]
} |
4794_swa | Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi
kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii
inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala
ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi
habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi
habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari
zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja
na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika.
Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari
za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani
za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda
wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi
ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na
faida zao na takwimu zao muhimu.
Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na
mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga
chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea
shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika
kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia
kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi
kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote
pale.
Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine
kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa
kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi
kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali
kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali.
Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma
mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha
kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa.
Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya
maneno.
| Kompyuta inaweza sahihisha nini | {
"text": [
"Hijai na maendelezo ya maneno"
]
} |
4794_swa | Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi
kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii
inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala
ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi
habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi
habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari
zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja
na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika.
Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari
za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani
za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda
wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi
ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na
faida zao na takwimu zao muhimu.
Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na
mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga
chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea
shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika
kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia
kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi
kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote
pale.
Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine
kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa
kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi
kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali
kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali.
Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma
mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha
kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa.
Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya
maneno.
| Mhariri huhariri kutumia nini | {
"text": [
"Kompyuta"
]
} |
4795_swa | Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia
tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi
zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa
hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha
utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na
kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni
kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii
huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani.
Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa
watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu
ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa
ungalifu sana.
Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo
tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku
vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu.
Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo
zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo.
Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na
manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya
viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula
kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini
hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili
kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa
kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia
huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa
wanaume.
Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani,
vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia
yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia
vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa
mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta
kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia
katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika.
Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya
fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno.
Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu.
Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu
mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha
utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata
maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa
wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha
sukari.
Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa.
Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na
kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu
hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika
hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza
viritubishi vingi.
Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili
kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea
vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni
kujiletea madhara mingi.
| Glasi moja ya sharubati ya viazi vitamu humpa mtu nini | {
"text": [
"Vitamini E"
]
} |
4795_swa | Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia
tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi
zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa
hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha
utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na
kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni
kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii
huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani.
Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa
watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu
ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa
ungalifu sana.
Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo
tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku
vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu.
Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo
zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo.
Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na
manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya
viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula
kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini
hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili
kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa
kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia
huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa
wanaume.
Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani,
vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia
yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia
vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa
mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta
kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia
katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika.
Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya
fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno.
Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu.
Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu
mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha
utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata
maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa
wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha
sukari.
Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa.
Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na
kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu
hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika
hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza
viritubishi vingi.
Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili
kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea
vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni
kujiletea madhara mingi.
| Kiazi kimoja humpa mtu asilimia ngapi ya vitamin C | {
"text": [
"Sitini na tano"
]
} |
4795_swa | Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia
tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi
zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa
hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha
utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na
kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni
kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii
huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani.
Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa
watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu
ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa
ungalifu sana.
Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo
tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku
vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu.
Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo
zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo.
Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na
manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya
viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula
kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini
hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili
kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa
kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia
huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa
wanaume.
Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani,
vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia
yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia
vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa
mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta
kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia
katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika.
Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya
fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno.
Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu.
Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu
mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha
utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata
maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa
wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha
sukari.
Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa.
Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na
kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu
hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika
hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza
viritubishi vingi.
Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili
kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea
vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni
kujiletea madhara mingi.
| Vitamini hukinga mwili kutokana na uharibifu wa nini | {
"text": [
"Seli"
]
} |
4795_swa | Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia
tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi
zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa
hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha
utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na
kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni
kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii
huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani.
Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa
watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu
ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa
ungalifu sana.
Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo
tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku
vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu.
Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo
zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo.
Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na
manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya
viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula
kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini
hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili
kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa
kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia
huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa
wanaume.
Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani,
vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia
yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia
vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa
mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta
kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia
katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika.
Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya
fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno.
Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu.
Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu
mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha
utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata
maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa
wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha
sukari.
Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa.
Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na
kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu
hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika
hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza
viritubishi vingi.
Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili
kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea
vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni
kujiletea madhara mingi.
| Viazi vitamu vina madini yapi | {
"text": [
"Ya shaba"
]
} |
4795_swa | Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia
tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi
zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa
hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha
utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na
kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni
kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii
huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani.
Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa
watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu
ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa
ungalifu sana.
Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo
tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku
vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu.
Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo
zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo.
Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na
manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya
viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula
kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini
hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili
kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa
kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia
huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa
wanaume.
Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani,
vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia
yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia
vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa
mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta
kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia
katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika.
Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya
fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno.
Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu.
Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu
mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha
utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata
maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa
wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha
sukari.
Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa.
Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na
kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu
hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika
hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza
viritubishi vingi.
Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili
kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea
vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni
kujiletea madhara mingi.
| Madini ya manganizi hudumisha uzima wa nini | {
"text": [
"Mifupa"
]
} |
4796_swa | Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu.
Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika
hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli
hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea
kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo.
Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na
kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila
mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi
nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku
damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na
hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa
yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine
lilikuwa la mafuta.
Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia.
Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati
nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari
la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja
alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye
gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka
kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi.
Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine
walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu
mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale
yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi
hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa
anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na
panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia
mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya
muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya
furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na
Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo.
Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na
kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno.
Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la
wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote
zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la
kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao
waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na
masikitiko mengi.
| Msimulizi anasimulia kisa kipi | {
"text": [
"Kisa cha ajali"
]
} |
4796_swa | Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu.
Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika
hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli
hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea
kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo.
Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na
kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila
mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi
nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku
damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na
hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa
yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine
lilikuwa la mafuta.
Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia.
Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati
nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari
la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja
alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye
gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka
kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi.
Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine
walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu
mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale
yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi
hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa
anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na
panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia
mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya
muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya
furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na
Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo.
Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na
kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno.
Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la
wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote
zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la
kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao
waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na
masikitiko mengi.
| Majeruhi walichukuliwa na kupelekwa wapi | {
"text": [
"Hospitalini"
]
} |
4796_swa | Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu.
Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika
hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli
hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea
kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo.
Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na
kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila
mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi
nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku
damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na
hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa
yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine
lilikuwa la mafuta.
Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia.
Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati
nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari
la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja
alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye
gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka
kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi.
Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine
walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu
mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale
yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi
hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa
anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na
panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia
mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya
muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya
furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na
Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo.
Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na
kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno.
Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la
wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote
zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la
kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao
waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na
masikitiko mengi.
| Mafuta yalipoanza kutiririka watu walikuja na nini | {
"text": [
"Mitungi na ndoo"
]
} |
4796_swa | Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu.
Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika
hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli
hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea
kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo.
Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na
kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila
mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi
nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku
damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na
hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa
yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine
lilikuwa la mafuta.
Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia.
Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati
nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari
la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja
alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye
gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka
kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi.
Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine
walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu
mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale
yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi
hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa
anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na
panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia
mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya
muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya
furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na
Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo.
Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na
kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno.
Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la
wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote
zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la
kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao
waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na
masikitiko mengi.
| Shughuli ya kuchota mafuta iliendelea kwa muda gani | {
"text": [
"Dakika ishirini"
]
} |
4796_swa | Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu.
Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika
hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli
hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea
kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo.
Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na
kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila
mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi
nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku
damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na
hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa
yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine
lilikuwa la mafuta.
Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia.
Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati
nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari
la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja
alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye
gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka
kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi.
Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine
walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu
mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale
yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi
hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa
anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na
panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia
mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya
muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya
furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na
Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo.
Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na
kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno.
Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la
wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote
zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la
kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao
waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na
masikitiko mengi.
| Kando ya barabara kulikuwa na magari mangapi yaliobingirika na kuanguka | {
"text": [
"Mawili"
]
} |
4797_swa | MASAIBU
Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu
ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani.
Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake
iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe
yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa
kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku
iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani
akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa
ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye
kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho.
Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni.
Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa
koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa
anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka.
Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda
aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa
kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya
muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa
ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba
akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa
kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko
lake.
Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata
hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano
akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa
kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu
kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda
akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi
waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni
kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi
huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves
alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa
na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani .
Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta
kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha
mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno
yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa
kawaida.
Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku
bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili
huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji
mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile
aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo
ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana
hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao
ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli
kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu
, haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa
kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye
mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti
alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza
Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii
ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali
kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo.
Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje
pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa
msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda
alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na
likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji
chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume
tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua
Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni
anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia
kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na
tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli
matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku
akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda
usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
| Linda alifuta damu kutumia kitambaa cha rangi gani | {
"text": [
"Kijani"
]
} |
4797_swa | MASAIBU
Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu
ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani.
Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake
iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe
yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa
kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku
iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani
akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa
ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye
kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho.
Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni.
Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa
koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa
anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka.
Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda
aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa
kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya
muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa
ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba
akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa
kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko
lake.
Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata
hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano
akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa
kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu
kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda
akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi
waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni
kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi
huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves
alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa
na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani .
Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta
kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha
mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno
yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa
kawaida.
Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku
bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili
huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji
mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile
aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo
ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana
hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao
ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli
kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu
, haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa
kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye
mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti
alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza
Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii
ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali
kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo.
Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje
pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa
msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda
alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na
likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji
chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume
tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua
Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni
anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia
kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na
tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli
matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku
akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda
usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
| Linda aliishi na nani | {
"text": [
"Maria"
]
} |
4797_swa | MASAIBU
Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu
ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani.
Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake
iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe
yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa
kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku
iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani
akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa
ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye
kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho.
Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni.
Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa
koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa
anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka.
Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda
aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa
kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya
muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa
ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba
akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa
kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko
lake.
Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata
hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano
akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa
kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu
kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda
akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi
waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni
kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi
huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves
alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa
na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani .
Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta
kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha
mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno
yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa
kawaida.
Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku
bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili
huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji
mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile
aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo
ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana
hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao
ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli
kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu
, haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa
kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye
mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti
alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza
Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii
ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali
kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo.
Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje
pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa
msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda
alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na
likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji
chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume
tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua
Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni
anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia
kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na
tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli
matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku
akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda
usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
| Maria alikuwa ameenda sokoni kufanya nini | {
"text": [
"Kununua matunda"
]
} |
4797_swa | MASAIBU
Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu
ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani.
Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake
iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe
yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa
kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku
iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani
akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa
ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye
kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho.
Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni.
Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa
koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa
anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka.
Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda
aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa
kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya
muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa
ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba
akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa
kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko
lake.
Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata
hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano
akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa
kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu
kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda
akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi
waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni
kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi
huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves
alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa
na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani .
Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta
kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha
mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno
yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa
kawaida.
Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku
bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili
huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji
mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile
aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo
ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana
hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao
ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli
kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu
, haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa
kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye
mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti
alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza
Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii
ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali
kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo.
Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje
pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa
msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda
alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na
likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji
chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume
tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua
Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni
anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia
kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na
tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli
matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku
akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda
usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
| Jambazi aliyemkaba koo Linda aliitisha nini | {
"text": [
"Simu na pesa"
]
} |
4797_swa | MASAIBU
Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu
ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani.
Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake
iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe
yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa
kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku
iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani
akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa
ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye
kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho.
Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni.
Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa
koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa
anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka.
Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda
aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa
kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya
muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa
ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba
akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa
kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko
lake.
Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata
hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano
akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa
kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu
kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda
akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi
waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni
kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi
huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves
alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa
na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani .
Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta
kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha
mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno
yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa
kawaida.
Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku
bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili
huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji
mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile
aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo
ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana
hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao
ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli
kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu
, haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa
kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye
mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti
alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza
Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii
ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali
kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo.
Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje
pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa
msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda
alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na
likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji
chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume
tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua
Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni
anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia
kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na
tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli
matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku
akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda
usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
| Mwizi alisemekana kuwa muuzaji wa nini katika kibanda cha Naves | {
"text": [
"Chapati"
]
} |
4798_swa | MASAIBU
Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa
na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume
mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake
ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku
mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya
juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa
kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao
kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari,
vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea
iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi
wa Zenji.
Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi
alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe
kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika
yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia
mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na
mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani.
Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na
kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago
vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa
mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na
shahada katika taaluma hiyo.
Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa
kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua
alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume
aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka
ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi
alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya
Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake
akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua
alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake
akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule.
Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza
kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti
Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia
kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu
kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa
na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya
kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa
ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo
kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu.
Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu.
Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia
kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali.
Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa
kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata
alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na
mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali.
Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa
iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula.
Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma
kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na
alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake.
Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia
choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali
na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa
imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi
yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho.
Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua
alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai,
Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida
zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa
duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za
wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea
uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila
walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti
ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika
karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume
mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume
mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
| Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama nini | {
"text": [
"Mtumbwi"
]
} |
4798_swa | MASAIBU
Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa
na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume
mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake
ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku
mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya
juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa
kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao
kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari,
vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea
iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi
wa Zenji.
Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi
alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe
kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika
yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia
mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na
mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani.
Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na
kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago
vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa
mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na
shahada katika taaluma hiyo.
Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa
kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua
alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume
aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka
ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi
alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya
Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake
akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua
alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake
akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule.
Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza
kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti
Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia
kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu
kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa
na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya
kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa
ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo
kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu.
Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu.
Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia
kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali.
Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa
kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata
alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na
mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali.
Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa
iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula.
Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma
kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na
alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake.
Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia
choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali
na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa
imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi
yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho.
Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua
alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai,
Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida
zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa
duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za
wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea
uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila
walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti
ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika
karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume
mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume
mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
| Ingepita siku ngapi bila Serengo kumwongelesha Mwanaidi | {
"text": [
"Mbili"
]
} |
4798_swa | MASAIBU
Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa
na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume
mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake
ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku
mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya
juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa
kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao
kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari,
vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea
iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi
wa Zenji.
Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi
alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe
kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika
yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia
mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na
mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani.
Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na
kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago
vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa
mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na
shahada katika taaluma hiyo.
Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa
kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua
alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume
aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka
ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi
alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya
Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake
akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua
alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake
akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule.
Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza
kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti
Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia
kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu
kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa
na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya
kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa
ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo
kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu.
Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu.
Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia
kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali.
Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa
kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata
alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na
mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali.
Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa
iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula.
Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma
kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na
alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake.
Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia
choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali
na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa
imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi
yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho.
Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua
alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai,
Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida
zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa
duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za
wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea
uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila
walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti
ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika
karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume
mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume
mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
| Nani aliishi na mjukuu | {
"text": [
"Bi. Kilua"
]
} |
4798_swa | MASAIBU
Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa
na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume
mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake
ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku
mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya
juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa
kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao
kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari,
vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea
iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi
wa Zenji.
Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi
alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe
kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika
yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia
mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na
mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani.
Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na
kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago
vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa
mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na
shahada katika taaluma hiyo.
Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa
kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua
alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume
aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka
ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi
alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya
Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake
akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua
alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake
akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule.
Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza
kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti
Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia
kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu
kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa
na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya
kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa
ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo
kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu.
Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu.
Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia
kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali.
Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa
kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata
alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na
mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali.
Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa
iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula.
Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma
kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na
alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake.
Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia
choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali
na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa
imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi
yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho.
Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua
alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai,
Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida
zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa
duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za
wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea
uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila
walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti
ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika
karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume
mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume
mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
| Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa nini yake | {
"text": [
"Kifo"
]
} |
4798_swa | MASAIBU
Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa
na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume
mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake
ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku
mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya
juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa
kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao
kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari,
vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea
iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi
wa Zenji.
Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi
alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe
kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika
yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia
mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na
mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani.
Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na
kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago
vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa
mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na
shahada katika taaluma hiyo.
Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa
kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua
alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume
aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka
ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi
alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya
Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake
akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua
alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake
akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule.
Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza
kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti
Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia
kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu
kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa
na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya
kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa
ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo
kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu.
Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu.
Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia
kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali.
Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa
kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata
alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na
mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali.
Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa
iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula.
Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma
kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na
alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake.
Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia
choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali
na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa
imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi
yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho.
Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua
alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai,
Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida
zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa
duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za
wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea
uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila
walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti
ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika
karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume
mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume
mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
| Hamisi aligubika shida zake vipi | {
"text": [
"Aliweza kutumia tabasamu"
]
} |
4800_swa | NENO
Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala,
wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa
ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili
niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza
mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza
misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula
na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina,
kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia.
Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali
kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa
na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa
kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni
maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni
mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka
maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu
tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu
hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu
alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’,
wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea
‘neno’ tu.
Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu
akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi
asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’.
Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na
matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa
wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao.
Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa
mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku
nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini
nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza
‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza
jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini
moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno
la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na
kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona
mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka
na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya
viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule
wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko
huko?
Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi
ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza
wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza
Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi
alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila
jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana
kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza
mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate
neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote?
‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na
tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo.
‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu
ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi
nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu
ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda
kujipumzisha.
Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa
nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa
kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi
haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo
ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia
sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui.
Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona
njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito
mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo.
Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili
nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu
kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni.
Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni
ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa.
Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na
jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua
limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa
kukorogeka?
‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu?
Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka.
Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu
akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa
kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha
nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’,
labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia.
Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika
kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa
mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu
kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa
kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu.
Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu
kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi?
*****
Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa,
niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote
nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la
nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe
ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho
amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu,
akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda
yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi
tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya
ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba.
Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima
awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani
ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha
na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na
kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote
za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na
pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao
za ziada za shule.
Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza
likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa
na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja.
Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku
akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda
kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa
limenoga utamu Zaidi.
Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za
kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na
mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine
ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia
radhia wangu.
Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya
‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya
mlango wa nyuma.
Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani
neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe?
Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita
lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa
mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu
ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya
kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa
kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo.
Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke
wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na
kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio
neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani,
neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu
sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba
ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno
lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi
za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao,
hilo neno!
| Walikuwa wanarukaruka wapi | {
"text": [
"Makochini"
]
} |
4800_swa | NENO
Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala,
wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa
ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili
niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza
mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza
misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula
na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina,
kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia.
Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali
kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa
na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa
kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni
maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni
mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka
maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu
tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu
hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu
alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’,
wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea
‘neno’ tu.
Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu
akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi
asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’.
Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na
matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa
wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao.
Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa
mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku
nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini
nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza
‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza
jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini
moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno
la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na
kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona
mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka
na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya
viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule
wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko
huko?
Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi
ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza
wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza
Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi
alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila
jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana
kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza
mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate
neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote?
‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na
tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo.
‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu
ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi
nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu
ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda
kujipumzisha.
Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa
nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa
kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi
haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo
ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia
sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui.
Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona
njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito
mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo.
Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili
nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu
kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni.
Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni
ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa.
Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na
jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua
limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa
kukorogeka?
‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu?
Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka.
Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu
akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa
kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha
nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’,
labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia.
Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika
kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa
mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu
kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa
kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu.
Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu
kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi?
*****
Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa,
niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote
nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la
nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe
ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho
amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu,
akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda
yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi
tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya
ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba.
Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima
awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani
ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha
na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na
kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote
za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na
pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao
za ziada za shule.
Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza
likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa
na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja.
Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku
akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda
kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa
limenoga utamu Zaidi.
Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za
kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na
mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine
ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia
radhia wangu.
Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya
‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya
mlango wa nyuma.
Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani
neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe?
Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita
lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa
mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu
ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya
kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa
kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo.
Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke
wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na
kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio
neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani,
neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu
sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba
ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno
lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi
za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao,
hilo neno!
| Walikuwa na watoto wangapi | {
"text": [
"Watatu"
]
} |
4800_swa | NENO
Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala,
wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa
ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili
niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza
mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza
misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula
na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina,
kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia.
Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali
kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa
na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa
kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni
maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni
mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka
maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu
tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu
hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu
alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’,
wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea
‘neno’ tu.
Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu
akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi
asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’.
Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na
matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa
wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao.
Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa
mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku
nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini
nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza
‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza
jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini
moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno
la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na
kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona
mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka
na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya
viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule
wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko
huko?
Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi
ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza
wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza
Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi
alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila
jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana
kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza
mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate
neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote?
‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na
tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo.
‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu
ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi
nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu
ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda
kujipumzisha.
Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa
nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa
kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi
haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo
ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia
sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui.
Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona
njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito
mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo.
Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili
nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu
kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni.
Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni
ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa.
Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na
jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua
limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa
kukorogeka?
‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu?
Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka.
Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu
akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa
kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha
nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’,
labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia.
Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika
kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa
mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu
kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa
kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu.
Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu
kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi?
*****
Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa,
niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote
nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la
nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe
ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho
amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu,
akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda
yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi
tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya
ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba.
Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima
awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani
ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha
na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na
kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote
za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na
pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao
za ziada za shule.
Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza
likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa
na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja.
Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku
akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda
kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa
limenoga utamu Zaidi.
Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za
kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na
mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine
ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia
radhia wangu.
Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya
‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya
mlango wa nyuma.
Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani
neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe?
Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita
lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa
mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu
ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya
kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa
kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo.
Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke
wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na
kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio
neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani,
neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu
sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba
ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno
lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi
za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao,
hilo neno!
| Alimpata mke na nani wakizungumza | {
"text": [
"Mchungaji"
]
} |
4800_swa | NENO
Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala,
wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa
ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili
niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza
mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza
misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula
na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina,
kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia.
Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali
kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa
na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa
kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni
maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni
mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka
maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu
tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu
hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu
alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’,
wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea
‘neno’ tu.
Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu
akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi
asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’.
Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na
matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa
wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao.
Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa
mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku
nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini
nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza
‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza
jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini
moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno
la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na
kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona
mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka
na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya
viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule
wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko
huko?
Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi
ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza
wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza
Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi
alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila
jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana
kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza
mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate
neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote?
‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na
tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo.
‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu
ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi
nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu
ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda
kujipumzisha.
Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa
nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa
kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi
haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo
ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia
sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui.
Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona
njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito
mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo.
Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili
nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu
kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni.
Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni
ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa.
Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na
jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua
limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa
kukorogeka?
‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu?
Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka.
Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu
akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa
kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha
nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’,
labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia.
Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika
kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa
mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu
kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa
kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu.
Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu
kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi?
*****
Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa,
niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote
nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la
nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe
ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho
amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu,
akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda
yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi
tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya
ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba.
Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima
awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani
ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha
na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na
kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote
za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na
pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao
za ziada za shule.
Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza
likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa
na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja.
Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku
akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda
kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa
limenoga utamu Zaidi.
Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za
kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na
mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine
ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia
radhia wangu.
Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya
‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya
mlango wa nyuma.
Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani
neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe?
Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita
lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa
mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu
ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya
kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa
kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo.
Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke
wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na
kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio
neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani,
neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu
sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba
ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno
lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi
za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao,
hilo neno!
| Mke wake aliaga kwenda wapi | {
"text": [
"Kanisani"
]
} |
4800_swa | NENO
Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala,
wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa
ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili
niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza
mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza
misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula
na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina,
kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia.
Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali
kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa
na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa
kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni
maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni
mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka
maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu
tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu
hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu
alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’,
wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea
‘neno’ tu.
Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu
akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi
asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’.
Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na
matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa
wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao.
Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa
mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku
nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini
nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza
‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza
jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini
moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno
la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na
kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona
mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka
na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya
viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule
wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko
huko?
Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi
ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza
wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza
Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi
alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila
jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana
kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza
mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate
neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote?
‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na
tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo.
‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu
ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi
nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu
ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda
kujipumzisha.
Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa
nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa
kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi
haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo
ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia
sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui.
Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona
njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito
mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo.
Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili
nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu
kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni.
Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni
ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa.
Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na
jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua
limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa
kukorogeka?
‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu?
Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka.
Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu
akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa
kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha
nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’,
labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia.
Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika
kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa
mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu
kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa
kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu.
Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu
kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi?
*****
Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa,
niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote
nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la
nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe
ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho
amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu,
akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda
yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi
tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya
ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba.
Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima
awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani
ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha
na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na
kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote
za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na
pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao
za ziada za shule.
Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza
likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa
na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja.
Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku
akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda
kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa
limenoga utamu Zaidi.
Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za
kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na
mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine
ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia
radhia wangu.
Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya
‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya
mlango wa nyuma.
Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani
neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe?
Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita
lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa
mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu
ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya
kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa
kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo.
Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke
wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na
kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio
neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani,
neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu
sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba
ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno
lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi
za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao,
hilo neno!
| Kwa nini Sakina alionekana tofauti na wengine | {
"text": [
"Alikuwa amezaliwa kutoka uhusiano wa mkewe na mchungaji"
]
} |
4801_swa | Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye
nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo
zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa,
nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya
siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya
kukumbukwa..
Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye
ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu
wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila
aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu.
Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja
alionekana mwenye furaha sufufu.
Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki
kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake
walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati
kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu
lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo
wa polepole.
Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa
maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka
kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia.
Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika.
Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa
furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri
alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa
kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto
mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja
alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi
yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona
jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana
wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba
radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo
akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri.
Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na
kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini
macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli
hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba
kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi
mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa
zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha.
Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu
alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada
ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe
ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya
maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani
kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia
kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi
waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
| Harusi ilikua ya nani | {
"text": [
"dadake"
]
} |
4801_swa | Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye
nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo
zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa,
nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya
siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya
kukumbukwa..
Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye
ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu
wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila
aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu.
Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja
alionekana mwenye furaha sufufu.
Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki
kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake
walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati
kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu
lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo
wa polepole.
Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa
maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka
kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia.
Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika.
Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa
furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri
alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa
kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto
mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja
alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi
yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona
jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana
wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba
radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo
akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri.
Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na
kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini
macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli
hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba
kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi
mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa
zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha.
Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu
alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada
ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe
ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya
maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani
kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia
kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi
waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
| Kanisani wazazi walifanya nini | {
"text": [
"waliendelea kupamba kanisa"
]
} |
4801_swa | Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye
nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo
zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa,
nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya
siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya
kukumbukwa..
Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye
ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu
wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila
aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu.
Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja
alionekana mwenye furaha sufufu.
Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki
kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake
walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati
kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu
lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo
wa polepole.
Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa
maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka
kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia.
Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika.
Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa
furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri
alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa
kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto
mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja
alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi
yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona
jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana
wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba
radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo
akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri.
Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na
kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini
macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli
hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba
kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi
mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa
zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha.
Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu
alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada
ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe
ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya
maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani
kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia
kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi
waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
| Kila mmoja alikua amevaa nguo gani | {
"text": [
"nadhifu"
]
} |
4801_swa | Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye
nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo
zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa,
nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya
siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya
kukumbukwa..
Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye
ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu
wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila
aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu.
Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja
alionekana mwenye furaha sufufu.
Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki
kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake
walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati
kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu
lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo
wa polepole.
Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa
maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka
kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia.
Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika.
Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa
furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri
alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa
kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto
mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja
alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi
yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona
jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana
wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba
radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo
akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri.
Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na
kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini
macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli
hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba
kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi
mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa
zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha.
Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu
alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada
ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe
ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya
maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani
kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia
kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi
waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
| Ni lini mwanamke mjamzito alipita hadi jukwani | {
"text": [
"walipokua wakivishana pete"
]
} |
4801_swa | Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye
nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo
zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa,
nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya
siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya
kukumbukwa..
Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye
ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu
wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila
aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu.
Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja
alionekana mwenye furaha sufufu.
Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki
kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake
walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati
kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu
lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo
wa polepole.
Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa
maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka
kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia.
Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika.
Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa
furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri
alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa
kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto
mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja
alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi
yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona
jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana
wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba
radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo
akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri.
Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na
kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini
macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli
hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba
kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi
mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa
zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha.
Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu
alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada
ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe
ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya
maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani
kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia
kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi
waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
| Mbona huyo mwanamke mjamzito alisimama na kupita hadi jukwani | {
"text": [
"alisema kuwa nyuma hawezi kusikia lolote kwa hiyo akasogea jukwani"
]
} |
4802_swa | HARUSI YA KUKATA NA SHOKA
Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na
budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu
za maisha na mpenzi wake Rakesh.
Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa
unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi
guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa
chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa
paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni.
Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa.
Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya
halua kwa tende.
Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa
limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa
wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka
wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini.
Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa
kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje
za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa
wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa
sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku
nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona
mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana
harusi. Walifika na kisha kushuka garini.
Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe
kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani
Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala
mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho
ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake
ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya
maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana.
Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali
na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili
kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya
mwili. Joka kubwa!!
Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu
walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa.
Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana
bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake.
Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa
jongomeo.
Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji
wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea
hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo
livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea.
Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo.
Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka. | Dadake msimulizi alikuwa anaolewa na nani | {
"text": [
"Rakesh"
]
} |
4802_swa | HARUSI YA KUKATA NA SHOKA
Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na
budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu
za maisha na mpenzi wake Rakesh.
Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa
unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi
guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa
chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa
paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni.
Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa.
Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya
halua kwa tende.
Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa
limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa
wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka
wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini.
Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa
kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje
za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa
wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa
sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku
nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona
mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana
harusi. Walifika na kisha kushuka garini.
Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe
kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani
Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala
mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho
ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake
ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya
maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana.
Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali
na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili
kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya
mwili. Joka kubwa!!
Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu
walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa.
Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana
bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake.
Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa
jongomeo.
Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji
wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea
hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo
livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea.
Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo.
Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka. | Harusi ilikuwa inafanyiwa wapi | {
"text": [
"Kanisani"
]
} |
4802_swa | HARUSI YA KUKATA NA SHOKA
Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na
budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu
za maisha na mpenzi wake Rakesh.
Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa
unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi
guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa
chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa
paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni.
Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa.
Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya
halua kwa tende.
Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa
limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa
wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka
wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini.
Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa
kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje
za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa
wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa
sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku
nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona
mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana
harusi. Walifika na kisha kushuka garini.
Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe
kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani
Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala
mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho
ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake
ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya
maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana.
Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali
na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili
kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya
mwili. Joka kubwa!!
Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu
walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa.
Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana
bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake.
Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa
jongomeo.
Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji
wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea
hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo
livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea.
Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo.
Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka. | Joka lilimuuma nani kanisani | {
"text": [
"Bwana harusi"
]
} |
4802_swa | HARUSI YA KUKATA NA SHOKA
Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na
budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu
za maisha na mpenzi wake Rakesh.
Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa
unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi
guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa
chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa
paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni.
Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa.
Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya
halua kwa tende.
Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa
limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa
wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka
wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini.
Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa
kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje
za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa
wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa
sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku
nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona
mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana
harusi. Walifika na kisha kushuka garini.
Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe
kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani
Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala
mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho
ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake
ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya
maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana.
Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali
na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili
kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya
mwili. Joka kubwa!!
Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu
walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa.
Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana
bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake.
Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa
jongomeo.
Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji
wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea
hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo
livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea.
Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo.
Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka. | Kwa nini watu walitimua mbio | {
"text": [
"Kulikuwa na joka kubwa kanisani"
]
} |
4802_swa | HARUSI YA KUKATA NA SHOKA
Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na
budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu
za maisha na mpenzi wake Rakesh.
Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa
unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi
guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa
chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa
paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni.
Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa.
Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya
halua kwa tende.
Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa
limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa
wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka
wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini.
Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa
kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje
za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa
wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa
sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku
nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona
mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana
harusi. Walifika na kisha kushuka garini.
Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe
kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani
Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala
mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho
ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake
ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya
maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana.
Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali
na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili
kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya
mwili. Joka kubwa!!
Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu
walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa.
Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana
bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake.
Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa
jongomeo.
Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji
wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea
hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo
livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea.
Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo.
Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka. | Ambulensi ilimkibiza nani hospitalini | {
"text": [
"Bwana harusi"
]
} |
4803_swa | FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI
Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki.
Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo:
Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo.
Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha.
Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi.
Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni.
Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao.
Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo.
Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu.
Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo .
Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki.
Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho.
Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao.
Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya.
Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
| Pikipiki ni mojawapo ya nini | {
"text": [
"Vyombo vya usafiri"
]
} |
4803_swa | FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI
Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki.
Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo:
Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo.
Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha.
Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi.
Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni.
Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao.
Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo.
Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu.
Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo .
Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki.
Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho.
Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao.
Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya.
Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
| Ni nini kimerahisisha usafiri | {
"text": [
"Pikipiki"
]
} |
4803_swa | FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI
Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki.
Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo:
Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo.
Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha.
Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi.
Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni.
Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao.
Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo.
Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu.
Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo .
Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki.
Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho.
Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao.
Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya.
Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
| Nini hazijajengwa vizuri | {
"text": [
"Barabara za vijijini"
]
} |
4803_swa | FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI
Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki.
Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo:
Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo.
Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha.
Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi.
Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni.
Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao.
Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo.
Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu.
Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo .
Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki.
Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho.
Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao.
Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya.
Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
| Pikipiki zimetengeneza nafasi za nini | {
"text": [
"Ajira"
]
} |
4803_swa | FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI
Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki.
Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo:
Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo.
Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha.
Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi.
Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni.
Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao.
Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo.
Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu.
Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo .
Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki.
Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho.
Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao.
Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya.
Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
| Pikipiki zimechangia kuwepo kwa kitu gani | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
4804_swa | SAFARI YA MAASAI MARA
Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii
inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama
aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii.
Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka
kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya
kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka
Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu
kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi
pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko.
Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa
mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa
na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe
tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na
kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo
tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za
shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha
kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama
alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni.
Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa
wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa
tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili.
Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia
walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo
ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari
njema.
Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea
sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?"
Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu
ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba
kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi
hakuwa hajui mengi.
Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi
husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili
tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik
kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza
chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee!
Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi
walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa
nusu saa.
Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi,
tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua
la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu
Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si
magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea
katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo
wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni.
Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje
na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi
ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni.
Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi
chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na
kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea
mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo.
Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu
nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa
hisabati.
| Mbuga gani ya wanyama inapatikana Narok | {
"text": [
"Maasai Mara"
]
} |
4804_swa | SAFARI YA MAASAI MARA
Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii
inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama
aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii.
Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka
kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya
kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka
Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu
kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi
pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko.
Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa
mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa
na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe
tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na
kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo
tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za
shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha
kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama
alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni.
Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa
wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa
tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili.
Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia
walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo
ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari
njema.
Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea
sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?"
Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu
ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba
kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi
hakuwa hajui mengi.
Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi
husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili
tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik
kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza
chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee!
Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi
walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa
nusu saa.
Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi,
tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua
la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu
Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si
magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea
katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo
wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni.
Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje
na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi
ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni.
Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi
chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na
kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea
mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo.
Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu
nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa
hisabati.
| Ni kivutio poa cha nani | {
"text": [
"watalii"
]
} |
4804_swa | SAFARI YA MAASAI MARA
Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii
inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama
aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii.
Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka
kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya
kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka
Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu
kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi
pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko.
Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa
mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa
na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe
tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na
kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo
tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za
shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha
kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama
alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni.
Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa
wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa
tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili.
Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia
walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo
ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari
njema.
Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea
sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?"
Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu
ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba
kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi
hakuwa hajui mengi.
Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi
husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili
tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik
kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza
chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee!
Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi
walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa
nusu saa.
Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi,
tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua
la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu
Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si
magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea
katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo
wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni.
Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje
na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi
ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni.
Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi
chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na
kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea
mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo.
Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu
nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa
hisabati.
| Henezi za nyuni ziliashiria nini | {
"text": [
"siku mpya"
]
} |
4804_swa | SAFARI YA MAASAI MARA
Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii
inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama
aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii.
Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka
kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya
kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka
Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu
kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi
pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko.
Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa
mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa
na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe
tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na
kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo
tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za
shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha
kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama
alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni.
Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa
wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa
tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili.
Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia
walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo
ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari
njema.
Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea
sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?"
Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu
ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba
kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi
hakuwa hajui mengi.
Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi
husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili
tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik
kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza
chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee!
Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi
walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa
nusu saa.
Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi,
tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua
la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu
Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si
magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea
katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo
wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni.
Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje
na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi
ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni.
Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi
chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na
kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea
mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo.
Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu
nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa
hisabati.
| Mbona wenzao walikuwa wamechoka hoi bin tik | {
"text": [
"kwa sababu ya safari ndefu"
]
} |
4804_swa | SAFARI YA MAASAI MARA
Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii
inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama
aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii.
Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka
kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya
kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka
Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu
kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi
pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko.
Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa
mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa
na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe
tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na
kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo
tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za
shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha
kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama
alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni.
Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa
wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa
tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili.
Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia
walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo
ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari
njema.
Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea
sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?"
Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu
ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba
kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi
hakuwa hajui mengi.
Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi
husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili
tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik
kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza
chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee!
Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi
walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa
nusu saa.
Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi,
tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua
la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu
Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si
magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea
katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo
wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni.
Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje
na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi
ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni.
Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi
chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na
kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea
mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo.
Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu
nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa
hisabati.
| Tukio la nyumbu kuvuka hufanyika lini | {
"text": [
"baada ya kipindi kirefu"
]
} |
4805_swa | SIASA MBAYA MAISHA MBAYA
Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali.
Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya.
Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali.
Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo.
Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya.
Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika.
Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
| mfumo wa uongozi unaompa mtu mamlaka juu ya wengine huitwaje | {
"text": [
"Siasa"
]
} |
4805_swa | SIASA MBAYA MAISHA MBAYA
Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali.
Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya.
Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali.
Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo.
Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya.
Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika.
Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
| Nini kiliingia mnamo mwaka wa 1992 | {
"text": [
"Demokrasia"
]
} |
4805_swa | SIASA MBAYA MAISHA MBAYA
Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali.
Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya.
Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali.
Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo.
Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya.
Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika.
Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
| Nani hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu | {
"text": [
"Vijana"
]
} |
4805_swa | SIASA MBAYA MAISHA MBAYA
Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali.
Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya.
Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali.
Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo.
Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya.
Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika.
Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
| Nini hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili | {
"text": [
"Ufisadi"
]
} |
4805_swa | SIASA MBAYA MAISHA MBAYA
Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali.
Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya.
Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali.
Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo.
Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya.
Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika.
Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
| Chakula ni hitaji la msingi kwa kila nani | {
"text": [
"Mwanadamu"
]
} |
4806_swa | SIKU YA KUFUNGA SHULE.
Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za
Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani
tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku
yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa
lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa.
Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari.
Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa
nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku
njema huonekana bukrata.
Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji
yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha.
Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda
jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi.
Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa
kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda
ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya
shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana
chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa
uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati.
Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi
wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo
kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine
wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na
wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu
anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua
kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa
hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu
Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda
mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja
wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa
akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote
tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni.
Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya
kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana
na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana.
"Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa
sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, "
mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi
likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na
sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa
sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel
mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi
kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa
wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku
wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia
nilikuwa najaribu kushindana nao.
Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo
wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine.
Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa
vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata
kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika
tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu
alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile.
Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke
nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu.
Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu,
mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii
ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga
shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu.
Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie
bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu.
Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri,
tuwao....."
Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje
kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake,
nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe
huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani
sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka
shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi
kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya
shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue
lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia
lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali
lilionekama rangi ya mayai.
Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi
kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo
alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba.
Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti
huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli
maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau
tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na
kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo
tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke.
Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo
alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru
ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo.
Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson,
alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka
lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana
kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu.
Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi
tulikuwa tu mguu niponye.
Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua
kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu.
Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani.
Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa
na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu.
Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui
nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya
joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya
kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu
ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila
nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo.
Nilimshukuru Mola.
"Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio
rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri
alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule
kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda
mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa
amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti.
Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma
ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara.
Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani.
Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu
upepo.
| Shule ilifungwa lini | {
"text": [
"Ijumaa"
]
} |
4806_swa | SIKU YA KUFUNGA SHULE.
Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za
Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani
tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku
yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa
lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa.
Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari.
Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa
nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku
njema huonekana bukrata.
Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji
yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha.
Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda
jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi.
Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa
kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda
ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya
shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana
chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa
uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati.
Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi
wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo
kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine
wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na
wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu
anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua
kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa
hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu
Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda
mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja
wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa
akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote
tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni.
Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya
kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana
na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana.
"Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa
sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, "
mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi
likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na
sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa
sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel
mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi
kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa
wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku
wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia
nilikuwa najaribu kushindana nao.
Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo
wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine.
Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa
vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata
kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika
tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu
alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile.
Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke
nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu.
Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu,
mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii
ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga
shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu.
Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie
bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu.
Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri,
tuwao....."
Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje
kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake,
nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe
huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani
sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka
shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi
kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya
shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue
lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia
lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali
lilionekama rangi ya mayai.
Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi
kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo
alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba.
Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti
huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli
maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau
tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na
kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo
tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke.
Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo
alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru
ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo.
Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson,
alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka
lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana
kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu.
Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi
tulikuwa tu mguu niponye.
Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua
kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu.
Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani.
Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa
na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu.
Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui
nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya
joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya
kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu
ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila
nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo.
Nilimshukuru Mola.
"Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio
rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri
alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule
kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda
mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa
amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti.
Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma
ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara.
Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani.
Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu
upepo.
| Upande wa mashariki ulikuwa wenye rangi gani | {
"text": [
"ya machungwa"
]
} |
4806_swa | SIKU YA KUFUNGA SHULE.
Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za
Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani
tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku
yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa
lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa.
Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari.
Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa
nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku
njema huonekana bukrata.
Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji
yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha.
Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda
jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi.
Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa
kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda
ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya
shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana
chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa
uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati.
Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi
wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo
kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine
wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na
wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu
anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua
kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa
hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu
Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda
mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja
wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa
akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote
tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni.
Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya
kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana
na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana.
"Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa
sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, "
mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi
likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na
sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa
sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel
mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi
kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa
wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku
wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia
nilikuwa najaribu kushindana nao.
Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo
wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine.
Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa
vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata
kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika
tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu
alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile.
Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke
nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu.
Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu,
mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii
ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga
shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu.
Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie
bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu.
Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri,
tuwao....."
Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje
kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake,
nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe
huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani
sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka
shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi
kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya
shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue
lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia
lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali
lilionekama rangi ya mayai.
Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi
kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo
alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba.
Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti
huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli
maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau
tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na
kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo
tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke.
Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo
alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru
ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo.
Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson,
alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka
lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana
kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu.
Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi
tulikuwa tu mguu niponye.
Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua
kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu.
Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani.
Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa
na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu.
Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui
nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya
joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya
kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu
ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila
nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo.
Nilimshukuru Mola.
"Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio
rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri
alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule
kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda
mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa
amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti.
Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma
ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara.
Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani.
Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu
upepo.
| Nani hawakuwachwa nyuma | {
"text": [
"nyuni"
]
} |
4806_swa | SIKU YA KUFUNGA SHULE.
Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za
Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani
tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku
yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa
lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa.
Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari.
Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa
nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku
njema huonekana bukrata.
Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji
yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha.
Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda
jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi.
Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa
kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda
ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya
shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana
chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa
uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati.
Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi
wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo
kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine
wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na
wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu
anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua
kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa
hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu
Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda
mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja
wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa
akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote
tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni.
Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya
kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana
na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana.
"Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa
sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, "
mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi
likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na
sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa
sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel
mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi
kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa
wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku
wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia
nilikuwa najaribu kushindana nao.
Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo
wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine.
Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa
vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata
kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika
tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu
alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile.
Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke
nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu.
Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu,
mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii
ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga
shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu.
Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie
bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu.
Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri,
tuwao....."
Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje
kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake,
nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe
huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani
sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka
shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi
kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya
shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue
lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia
lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali
lilionekama rangi ya mayai.
Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi
kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo
alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba.
Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti
huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli
maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau
tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na
kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo
tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke.
Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo
alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru
ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo.
Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson,
alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka
lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana
kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu.
Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi
tulikuwa tu mguu niponye.
Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua
kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu.
Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani.
Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa
na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu.
Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui
nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya
joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya
kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu
ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila
nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo.
Nilimshukuru Mola.
"Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio
rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri
alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule
kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda
mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa
amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti.
Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma
ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara.
Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani.
Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu
upepo.
| Alijitoma jikoni na kutafuta nini | {
"text": [
"maji"
]
} |
4806_swa | SIKU YA KUFUNGA SHULE.
Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za
Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani
tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku
yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa
lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa.
Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari.
Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa
nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku
njema huonekana bukrata.
Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji
yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha.
Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda
jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi.
Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa
kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda
ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya
shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana
chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa
uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati.
Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi
wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo
kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine
wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na
wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu
anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua
kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa
hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu
Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda
mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja
wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa
akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote
tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni.
Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya
kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana
na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana.
"Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa
sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, "
mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi
likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na
sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa
sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel
mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi
kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa
wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku
wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia
nilikuwa najaribu kushindana nao.
Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo
wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine.
Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa
vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata
kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika
tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu
alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile.
Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke
nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu.
Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu,
mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii
ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga
shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu.
Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie
bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu.
Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri,
tuwao....."
Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje
kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake,
nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe
huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani
sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka
shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi
kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya
shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue
lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia
lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali
lilionekama rangi ya mayai.
Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi
kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo
alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba.
Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti
huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli
maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau
tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na
kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo
tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke.
Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo
alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru
ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo.
Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson,
alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka
lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana
kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu.
Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi
tulikuwa tu mguu niponye.
Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua
kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu.
Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani.
Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa
na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu.
Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui
nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya
joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya
kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu
ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila
nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo.
Nilimshukuru Mola.
"Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio
rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri
alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule
kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda
mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa
amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti.
Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma
ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara.
Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani.
Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu
upepo.
| Mbona alinawa miguu kwa haraka | {
"text": [
"mwalimu wa zamu alikuwa Simba"
]
} |
4807_swa | SIKU YA KWANZA SHULENI
Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii
ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na
mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua
kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu
nikaweka tayari Kwa safari.
Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari
za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi
furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote
ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari
yangu.
Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza
kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja
humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama
alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani",
mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa
wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto
wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule.
Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa
kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika
shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa
wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke
kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni
mtihani wa darasa la kwanza.
Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani
wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani
wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika
Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo
walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya
nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia
bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa
kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla
tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza
na hisabati.
Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na
wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba
nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote
wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili
kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia
tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la
kwanza au laa.
Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia.
Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka
la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani.
Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika
nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi
tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi
nyumbani na wazazi wao.
Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku
ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea
nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani
mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
| Nani walikuwa wengi mno | {
"text": [
"wanafunzi"
]
} |
4807_swa | SIKU YA KWANZA SHULENI
Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii
ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na
mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua
kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu
nikaweka tayari Kwa safari.
Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari
za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi
furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote
ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari
yangu.
Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza
kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja
humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama
alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani",
mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa
wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto
wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule.
Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa
kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika
shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa
wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke
kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni
mtihani wa darasa la kwanza.
Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani
wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani
wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika
Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo
walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya
nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia
bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa
kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla
tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza
na hisabati.
Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na
wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba
nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote
wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili
kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia
tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la
kwanza au laa.
Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia.
Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka
la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani.
Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika
nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi
tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi
nyumbani na wazazi wao.
Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku
ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea
nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani
mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
| Mama alipewa nini | {
"text": [
"maagizo"
]
} |
4807_swa | SIKU YA KWANZA SHULENI
Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii
ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na
mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua
kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu
nikaweka tayari Kwa safari.
Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari
za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi
furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote
ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari
yangu.
Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza
kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja
humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama
alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani",
mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa
wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto
wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule.
Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa
kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika
shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa
wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke
kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni
mtihani wa darasa la kwanza.
Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani
wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani
wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika
Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo
walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya
nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia
bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa
kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla
tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza
na hisabati.
Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na
wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba
nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote
wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili
kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia
tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la
kwanza au laa.
Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia.
Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka
la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani.
Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika
nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi
tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi
nyumbani na wazazi wao.
Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku
ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea
nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani
mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
| Mbona walianza mwendo kwa miguu | {
"text": [
"sababu hakukuwa magari ya kuelekea huko"
]
} |
4807_swa | SIKU YA KWANZA SHULENI
Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii
ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na
mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua
kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu
nikaweka tayari Kwa safari.
Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari
za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi
furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote
ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari
yangu.
Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza
kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja
humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama
alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani",
mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa
wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto
wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule.
Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa
kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika
shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa
wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke
kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni
mtihani wa darasa la kwanza.
Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani
wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani
wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika
Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo
walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya
nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia
bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa
kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla
tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza
na hisabati.
Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na
wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba
nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote
wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili
kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia
tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la
kwanza au laa.
Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia.
Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka
la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani.
Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika
nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi
tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi
nyumbani na wazazi wao.
Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku
ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea
nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani
mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
| Kengele ililia lini | {
"text": [
"baada ya muda mfupi"
]
} |
4807_swa | SIKU YA KWANZA SHULENI
Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii
ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na
mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua
kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu
nikaweka tayari Kwa safari.
Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari
za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi
furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote
ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari
yangu.
Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza
kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja
humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama
alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani",
mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa
wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto
wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule.
Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa
kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika
shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa
wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke
kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni
mtihani wa darasa la kwanza.
Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani
wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani
wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika
Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo
walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya
nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia
bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa
kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla
tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza
na hisabati.
Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na
wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba
nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote
wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili
kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia
tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la
kwanza au laa.
Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia.
Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka
la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani.
Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika
nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi
tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi
nyumbani na wazazi wao.
Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku
ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea
nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani
mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
| Waliambiwa waweke nini tayari | {
"text": [
"kalamu"
]
} |
4808_swa | SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE
Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu.
Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada.
Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa.
Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa.
Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo.
"Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo.
Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu.
Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu.
Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
| Maji bafuni yalikuwaje | {
"text": [
"Baridi"
]
} |
4808_swa | SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE
Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu.
Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada.
Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa.
Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa.
Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo.
"Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo.
Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu.
Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu.
Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
| Nilijawa na nini | {
"text": [
"Furaha"
]
} |
4808_swa | SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE
Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu.
Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada.
Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa.
Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa.
Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo.
"Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo.
Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu.
Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu.
Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
| Nani walitembea aste aste | {
"text": [
"Watu"
]
} |
4808_swa | SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE
Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu.
Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada.
Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa.
Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa.
Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo.
"Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo.
Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu.
Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu.
Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
| Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kufanya nini | {
"text": [
"Kupumzika"
]
} |
4808_swa | SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE
Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu.
Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada.
Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa.
Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa.
Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo.
"Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo.
Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu.
Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu.
Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
| Nilijawa na nini | {
"text": [
"Furaha"
]
} |
4809_swa | SIMU
Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano.
Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii.
Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana.
Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua.
Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea.
Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu.
Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo.
Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi.
Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika.
Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha.
Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri.
Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia.
Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii.
Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
| Ni nini kifaa cha kielektroniki kinachotumika katika mawasiliano | {
"text": [
"Simu"
]
} |
4809_swa | SIMU
Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano.
Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii.
Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana.
Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua.
Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea.
Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu.
Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo.
Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi.
Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika.
Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha.
Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri.
Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia.
Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii.
Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
| Siku zimekuza nini | {
"text": [
"Biashara"
]
} |
4809_swa | SIMU
Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano.
Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii.
Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana.
Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua.
Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea.
Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu.
Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo.
Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi.
Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika.
Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha.
Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri.
Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia.
Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii.
Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
| Simu imechangia katika nini | {
"text": [
"Ughaidi"
]
} |
4809_swa | SIMU
Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano.
Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii.
Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana.
Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua.
Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea.
Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu.
Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo.
Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi.
Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika.
Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha.
Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri.
Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia.
Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii.
Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
| Simu zimefanya vijana kukosa nini | {
"text": [
"Maadili"
]
} |
4809_swa | SIMU
Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano.
Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii.
Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana.
Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua.
Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea.
Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu.
Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo.
Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi.
Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika.
Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha.
Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri.
Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia.
Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii.
Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
| Kwa nini vijana wanacheka wakiangalia simu | {
"text": [
"Kwa sababu ya kutazama video mtandaoni"
]
} |
4810_swa | MKE WANGU
Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja.
Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao.
Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo.
Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao.
Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake.
Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
| Mke wake anaitwa nani | {
"text": [
"Bi. Amina Suwari"
]
} |
4810_swa | MKE WANGU
Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja.
Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao.
Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo.
Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao.
Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake.
Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
| Bi. Amina ana kazi gani | {
"text": [
"ya ususi"
]
} |
4810_swa | MKE WANGU
Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja.
Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao.
Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo.
Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao.
Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake.
Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
| Mbona wamtangulize Maulana katika kila jambo | {
"text": [
"ili baadaye wasije wakajuta"
]
} |
4810_swa | MKE WANGU
Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja.
Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao.
Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo.
Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao.
Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake.
Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
| Mke wake huomba lini | {
"text": [
"kabla hajaanza siku"
]
} |
4810_swa | MKE WANGU
Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja.
Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao.
Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo.
Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao.
Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake.
Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
| Huwahimiza watoto kuwa na nini | {
"text": [
"heshima"
]
} |
4811_swa | AJALI ISIYOFIKIRIKA
Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao.
Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele.
Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali.
Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza.
Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani.
Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
| Wasafiri walipenda chakula cha nani | {
"text": [
"Mtoshelezi"
]
} |
4811_swa | AJALI ISIYOFIKIRIKA
Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao.
Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele.
Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali.
Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza.
Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani.
Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
| Mwajiriwa wa mkahawa alipopatwa na dharura Mtoshelezi alifanya nini | {
"text": [
"Alimtumia hela ili atatue tatizo lililomsibi"
]
} |
4811_swa | AJALI ISIYOFIKIRIKA
Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao.
Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele.
Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali.
Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza.
Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani.
Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
| Mtoshelezi alipatwa na mkasa upi | {
"text": [
"Mshtuko wa moyo"
]
} |
4811_swa | AJALI ISIYOFIKIRIKA
Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao.
Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele.
Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali.
Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza.
Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani.
Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
| Ni kitu gani kilichomsababishia Mtoshelezi maumivi | {
"text": [
"Alichomwa kwa mafuta yakamtoa ngozi mguu"
]
} |
4811_swa | AJALI ISIYOFIKIRIKA
Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao.
Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele.
Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali.
Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza.
Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani.
Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
| Mbona Mtoshelezi hakuwa na jamii yake | {
"text": [
"Waliangamia katika ajali ya barabarani"
]
} |
4812_swa | Ukame Wa maadili
Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili.
Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali.
Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu.
Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii?
Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi.
Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo.
Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri.
Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
| Ulimwengu wa leo uadilifu umefanywa nini | {
"text": [
"umepuuzwa sana"
]
} |
4812_swa | Ukame Wa maadili
Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili.
Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali.
Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu.
Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii?
Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi.
Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo.
Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri.
Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
| Waathiriwa wakubwa wa uadilifu ni nani | {
"text": [
"wanawake"
]
} |
4812_swa | Ukame Wa maadili
Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili.
Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali.
Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu.
Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii?
Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi.
Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo.
Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri.
Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
| Uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kufanya nini | {
"text": [
"kulegeza kamba"
]
} |
4812_swa | Ukame Wa maadili
Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili.
Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali.
Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu.
Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii?
Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi.
Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo.
Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri.
Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
| Visa vya uhalifu shuleni vilianza kuongezeka lini | {
"text": [
"viboko vilipoondolewa"
]
} |
4812_swa | Ukame Wa maadili
Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili.
Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali.
Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu.
Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii?
Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi.
Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo.
Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri.
Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
| Kuondolewa kwa viboko shuleni kumeongeza visa vya uhalifu aje | {
"text": [
"wanafunzi kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa"
]
} |
4813_swa | FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI
Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake.
Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane.
Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni.
Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo.
Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma.
Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia.
Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
| Nani alikuwa amejawa na furaha | {
"text": [
"Juma"
]
} |
4813_swa | FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI
Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake.
Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane.
Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni.
Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo.
Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma.
Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia.
Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
| Juma aliamka siku gani akiwa amefurahi | {
"text": [
"Alhamisi"
]
} |
4813_swa | FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI
Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake.
Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane.
Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni.
Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo.
Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma.
Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia.
Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
| Subira alitaka kuhudhuria nini ya mpenzi wake | {
"text": [
"Mahafali "
]
} |
4813_swa | FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI
Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake.
Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane.
Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni.
Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo.
Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma.
Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia.
Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
| Tairi ngapi za basi zilikuwa zimepasuka | {
"text": [
"moja"
]
} |
4813_swa | FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI
Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake.
Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane.
Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni.
Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo.
Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma.
Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia.
Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
| Kwa nini basi lilibingiria | {
"text": [
"Gurudumu moja lilikuwa limepasuka"
]
} |
4814_swa | Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu.
Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na
serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa
mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya
ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo
magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya.
Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47.
Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu.
Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka
serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za
serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi
nzima.
Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza
kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za
serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za
serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha
mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na
kushughulikiwa ipasavyo.
Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na
Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya
walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu,
Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo.
Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa
maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo
ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na
watawaliwa.
Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru
jamii.
Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi
umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi
wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi
wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa.
Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao
badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la
"kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa
mwananchi.
Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi
karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila
moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila
hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila
miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila
nchini.
Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika
usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya
ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya
kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti
nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na
kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti.
Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo,
kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja.
Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika
nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na
shughuli nyingine.
Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa
kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi
wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa
katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo
ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
| Kupitia kwa katiba ya mwaka upi ndio ugatuzi ulianzishwa | {
"text": [
"2010"
]
} |
4814_swa | Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu.
Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na
serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa
mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya
ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo
magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya.
Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47.
Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu.
Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka
serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za
serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi
nzima.
Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza
kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za
serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za
serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha
mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na
kushughulikiwa ipasavyo.
Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na
Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya
walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu,
Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo.
Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa
maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo
ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na
watawaliwa.
Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru
jamii.
Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi
umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi
wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi
wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa.
Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao
badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la
"kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa
mwananchi.
Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi
karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila
moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila
hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila
miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila
nchini.
Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika
usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya
ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya
kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti
nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na
kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti.
Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo,
kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja.
Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika
nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na
shughuli nyingine.
Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa
kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi
wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa
katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo
ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
| Ugatuzi umeregesha nini katika nyanja za chini | {
"text": [
"uongozi"
]
} |
4814_swa | Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu.
Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na
serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa
mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya
ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo
magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya.
Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47.
Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu.
Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka
serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za
serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi
nzima.
Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza
kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za
serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za
serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha
mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na
kushughulikiwa ipasavyo.
Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na
Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya
walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu,
Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo.
Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa
maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo
ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na
watawaliwa.
Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru
jamii.
Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi
umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi
wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi
wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa.
Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao
badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la
"kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa
mwananchi.
Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi
karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila
moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila
hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila
miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila
nchini.
Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika
usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya
ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya
kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti
nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na
kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti.
Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo,
kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja.
Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika
nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na
shughuli nyingine.
Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa
kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi
wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa
katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo
ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
| Nani wanaweza kushiriki katika maendeleo mashinani | {
"text": [
"Wakenya"
]
} |
Subsets and Splits