Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4793_swa
MIKAZA YA MOTO SHULENI Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto. Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao. Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu bodi simamizi za shule zenyewe? Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama. Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri. Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni. Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika. Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana. Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo. Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi. Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na moja. Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto. Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao huogopa mitihani. Hayo kando. Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona. Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu. Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike. Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi? Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe. Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla. Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote tushirikiane.
Tamasha za drama na muziki hupendwa na nani
{ "text": [ "Wanafunzi" ] }
4793_swa
MIKAZA YA MOTO SHULENI Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto. Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao. Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu bodi simamizi za shule zenyewe? Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama. Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri. Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni. Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika. Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana. Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo. Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi. Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na moja. Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto. Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao huogopa mitihani. Hayo kando. Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona. Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu. Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike. Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi? Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe. Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla. Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote tushirikiane.
Kwa nini watu washirikiane
{ "text": [ "Ili fumbo la moto shuleni liweze kutokomea" ] }
4794_swa
Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika. Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na faida zao na takwimu zao muhimu. Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote pale. Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali. Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa. Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya maneno.
Habari zinahifadhiwa wapi
{ "text": [ "Kwenye mitambo ya kompyuta" ] }
4794_swa
Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika. Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na faida zao na takwimu zao muhimu. Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote pale. Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali. Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa. Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya maneno.
Kompyuta zinaweza hifadhi nini kando na habari
{ "text": [ "Siri za watu binafsi na makampuni" ] }
4794_swa
Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika. Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na faida zao na takwimu zao muhimu. Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote pale. Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali. Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa. Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya maneno.
Hesabu ngumu zawezafanywa na nini
{ "text": [ "Kompyuta" ] }
4794_swa
Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika. Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na faida zao na takwimu zao muhimu. Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote pale. Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali. Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa. Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya maneno.
Kompyuta inaweza sahihisha nini
{ "text": [ "Hijai na maendelezo ya maneno" ] }
4794_swa
Mitambo ya kompyuta imeleta mapinduzi makubwa sana katika utendaji kazi kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza, mitambo hii inaweza kuhifadhi habari nyingi sana na kuzitoa zinapohitajika. Badala ya kuweka faili nyingi ofisini, ni jambo la kawaida siku hizi kuhifadhi habari kwenye mitambo ya kompyuta. Kwa mfano, inawezekana kuhifadhi habari za watu binafsi wanaofanya kazi viwandani, mathalani habari zinazohusu kazi wanazofanya, vyeo vyao, mishahara yao, umri wao pamoja na habari za familia zao kama vile idadi ya watoto wao na kadhalika. Miongoni mwa manufaa makubwa ya mitambo hiyo yanahusu uhifadhi wa habari za siri. Mtu anaweza kuhifadhi habari fulani kwa kutumia silabi fulani za siri ambazo anazijua yeye mwenyewena ambazo watu wengine huenda wasizifahamu. Kwa hivyo, mbali na uwezo wa kuhifadhi habari nyingi ajabu, kompyuta zinaweza kuweka siri za watu binafsi na makampuni na faida zao na takwimu zao muhimu. Pili, kompyuta zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hayawezi kufanywa na mashini za kawaida za kupiga chapa. Mfano, zinaweza kutumiwa kupiga chapa bora makala za aina tofauti na hata tasnifu za watu wanaosomea shahada ya juu. Manufaa ya kompyta huonekana hasa sio tu tu katika kuhifadhi taarifa, lakini wakati wa kuhariri mhariri anapotumia kompyuta. Anaweza, kwa mfano, kuamrisha aya moja nzima au aya nyingi kuhama kutoka mwishoni mwa makala hadi mwanzoni au katikati au popote pale. Kompyuta zina herufi au hati aina aina kama vile za mlazo, nyingine kubwa, ndogo hata zenye weusi uliokolea. Kompyuta pia zinaweza kutumiwa kufanyia hesabu ngumu ambazo zingemchukua mtu hodari saa nyingi kuzifanya. Zinaweza pia kuchora michoro inayoonyesha takwimu mbalimbali kama vile michoro ya pai na grafu mbalimbali. Kompyuta pia zinaweza kutafuta neno,sentensi au sehemu anayotaka kusoma mtu au kufanyia masahihisho. Jambo hilo linaweza kufanywa kwa kuimarisha kompyuta itafute neno fulani au maandishi fulani katika taarifa. Isitoshe mitambo ya kompyuta inaweza kusahihisha hijai au maendelezo ya maneno.
Mhariri huhariri kutumia nini
{ "text": [ "Kompyuta" ] }
4795_swa
Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani. Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa ungalifu sana. Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu. Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo. Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa wanaume. Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani, vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika. Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno. Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu. Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha sukari. Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa. Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza viritubishi vingi. Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni kujiletea madhara mingi.
Glasi moja ya sharubati ya viazi vitamu humpa mtu nini
{ "text": [ "Vitamini E" ] }
4795_swa
Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani. Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa ungalifu sana. Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu. Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo. Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa wanaume. Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani, vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika. Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno. Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu. Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha sukari. Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa. Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza viritubishi vingi. Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni kujiletea madhara mingi.
Kiazi kimoja humpa mtu asilimia ngapi ya vitamin C
{ "text": [ "Sitini na tano" ] }
4795_swa
Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani. Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa ungalifu sana. Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu. Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo. Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa wanaume. Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani, vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika. Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno. Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu. Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha sukari. Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa. Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza viritubishi vingi. Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni kujiletea madhara mingi.
Vitamini hukinga mwili kutokana na uharibifu wa nini
{ "text": [ "Seli" ] }
4795_swa
Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani. Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa ungalifu sana. Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu. Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo. Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa wanaume. Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani, vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika. Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno. Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu. Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha sukari. Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa. Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza viritubishi vingi. Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni kujiletea madhara mingi.
Viazi vitamu vina madini yapi
{ "text": [ "Ya shaba" ] }
4795_swa
Mojawapo wa athari kubwa katika maendeleo ya jamii za kisasa ni kupapia tamaduni za kimagharibi. Na kutupilia mbali tamaduni ambazo kutoka jadi zilimekuwa mlezi wa jamii nyingi barani Afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifuna kuup nguvu, utamaduni wenye nguvu huumeza na kuangamiza ule dhaifu. Ingawa wengi huona upapiaji utamaduni wa kigeni kama ustaarabu na maendeleo, hali hii huwa na athari . Athari hii huwaathiri sana wanaotupilia mbali tamaduni zani. Athari kubwa katika uwanda wa lishe. Lishe ni sehemu ya utamaduni wa watu. Jamii ya watu inapofikia uamuzi wa kuwa nyama ya nyoka iwe sehemu ya chakula chake katika utamaduni wake, huwa imefanya maamuzi kwa ungalifu sana. Aghalabu, wavyele wa Afrika waliafikia kuwa vyakula si vya kujaza tumbo tu na kuharibu mwili. Vilikuwa vyakula ambavyo vilinawirisha mwili. Huku vikitumika pia kama dawa ya kuutibu mwili huo. Wala si mwili tu. Viliweza kujali mazingira. Vingi viliweza kuzuia mmegeko wa udongo zikiongeza rotuba na viritubishi katika udongo. Moja ya chakula cha jadi kwa jamii nyingi za kiafrika kilikuwa na manufaa lukuki kama lishe na mmea. Wataalamu wanasema glasi ya jusi ya viazi vitamu humpa mtu vitamin E inayohitajika kwa kila siku. Kwa kula kiazi kimoja,mtu hupata asimilia sitini ya tano ya vitamin C. Vitamini hizi hukinga mwili kutokana na uharibifu wa seli. Kinga hii huzuia mwili kukonga kwa haraka. Inaimarisha kingamwilini. Pia huzuzuia uwezakano wa kupata motto wa jicho, na maradhi ya saratani ya matiti. Kinga hii pia huzuia maradhi ya tezi inayozungukia shingo ya kibofu cha mkojo kwa wanaume. Viazi vitamu pia vimesheheni madini yaliyo muhimu kwa mwili. Mathalani, vina madini ya shaba. Haya madini hudumisha uzima wa vifundo. Pia yanauwezo wa kulainisha ngozi ili iwe nyororo nay a kuvutia. Viazi pia vina madini ya Manganizi. Haya nayo yanasaidia kudumisha uzima wa mifupa. Isitoshe, yana uwezo wa kuvunjakuvunja wanga, protini na mafuta kuwa kawi inayohitajikana mwili kuipa joto. Manganizi pia husaidia katika utumaji wa ujembe kwenye misuli ili iweze kulegea au kukazika. Japo kuwa na madini tumetaja hapo juu, viazi pia vina madini ya fosforasi. Fosforasi ni muhimu kwa afya na udhabiti wa mifupa na meno. Pia yanaimarisha ukuaji wa seli za mwili, ikikarabati zilizo dhaifu. Bali na hayo madini, kiazi kina sifa ya kuwa na utwembe ambao ni adimu mwilini. Utembwe husaidia kuthibiti ongezeko la uzani na kuimarisha utendakazi wa matumbo. Kuongezea, utembwe huzuia uwezekano wa kupata maradhi wa moyo. Madaktari pia hupendekeza ulaji wa viazi kwa wagonjwa wa bolisukari. Hii husababishwa na uwezo wa viazi kudhibiti kiwango cha sukari. Viazi vitamu vinaweza kuliwa vikiwa vibichi. Vile vile vinaeza kuokwa. Isitoshe vikagaragazwa kwenye mafuta vikawa chipsi. Au vikachemshwa na kuliwa vizimavizima, au kama vimepondwapondwa. Japo wataalamu hupendekeza vyakula vinavyoweza kuliwa vibichi, viliwe vivyo. Katika hali hiyo huwa vina manufaa mingi. Vyakula vinapopikwa, hupoteza viritubishi vingi. Itabainika kuwa siku hizi kuna changamoto si haba kutoka na vyakula. Ili kuthibiti hizo changamoto, ni juu yetu kuhamasisha umma kurejelea vyakula asili. Kukimbilia vyakula kama pizza, hambaga na soseji ni kujiletea madhara mingi.
Madini ya manganizi hudumisha uzima wa nini
{ "text": [ "Mifupa" ] }
4796_swa
Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu. Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo. Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine lilikuwa la mafuta. Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia. Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi. Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo. Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno. Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na masikitiko mengi.
Msimulizi anasimulia kisa kipi
{ "text": [ "Kisa cha ajali" ] }
4796_swa
Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu. Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo. Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine lilikuwa la mafuta. Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia. Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi. Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo. Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno. Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na masikitiko mengi.
Majeruhi walichukuliwa na kupelekwa wapi
{ "text": [ "Hospitalini" ] }
4796_swa
Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu. Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo. Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine lilikuwa la mafuta. Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia. Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi. Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo. Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno. Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na masikitiko mengi.
Mafuta yalipoanza kutiririka watu walikuja na nini
{ "text": [ "Mitungi na ndoo" ] }
4796_swa
Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu. Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo. Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine lilikuwa la mafuta. Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia. Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi. Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo. Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno. Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na masikitiko mengi.
Shughuli ya kuchota mafuta iliendelea kwa muda gani
{ "text": [ "Dakika ishirini" ] }
4796_swa
Baada ya muda mfupi, kelele zilianza tena. Zilisikika Kwa sauti ya juu. Wamama kwa watoto wote walikuwa wakilia. Umati wa watu ulikusanyika hapo. Nilikuwa na hofu mwingi na sikutaka kujishirikisha Kwa shughuli hiyo. Nilijifungia chumbani na kufungulia redio. Milio ziliendelea kusikia. Kila mtu alikuwa akikimbia akielekea kwenye tukio hilo. Nilitazama dirishani watu wakielekea huko. Baada ya muda ya kuwaza na kuwazua,niliamua kuondoka ili nishuhudie yaliyokuwa yanatendeka. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi. Nilipenya katikati ya watu hadi nikafika kwenye kituo. Niliona watoto wawili wakiwa wamelala chini huku damu ikiwadondoka. Kando yao, kuna mama Moja aliyekuwa ameumia miguu na hakuweza kuinuka. Kando ya Barabara, magari mawili yalikuwa yamebingirika na kuanguka. Gari moja lilikuwa la abiria na lingine lilikuwa la mafuta. Tukiwa katika Hali ya mshangao, gari la msalaba nyekundu likawadia. Majeraha wote walichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Kwa bahati nzuri,wale watoto walikuwa tu na majeraha ndogo kichwani. Baada ya gari la msalaba nyekundu kuondoka, umati ukaanza kusambaratika. Kila mmoja alielekea njia yake. Punde tu, mafuta yakaanza kutiririka kutoka kwenye gari. Mara watu kadhaa wakaja na mitungi na ndoo. Kila mmoja alitaka kuchota mafuta hayo. Wengine walionekana wakiwa na wasiwasi mwingi. Shughuli hiyo iliendelea Kwa muda ya dakika ishirini. Wengine walionekana wakileta watoto wao ili wawasaidie. Mimi nilikuwa na hofu mwingi kwa hivyo nilisimamia mbali na tukio hilo. Huku nikitazama yale yaliyotokea. Katika pilkapilka hizo, gari la polisi likawadia. Polisi hao walijaribu kusambaratisha watu Lakini wapi! Kila mmoja alikuwa anataka apate mafuta Kwa wingi. Shughuli hiyo ikawa mchezo wa paka na panya. Polisi walipoona wameshindwa na wakazi waliokuwa wanawarushia mawe, walianza kulipua vitoa machozi huku wakikimbiza watu. Baada ya muda mrefu wa kukurukakara, gari lile la mafuta lililipuka. Shuguli ya furaha ikageuka majonzi. Kila mmoja alikimbilia uhai wake. Kukawa na Giza kote.watu wengi waliangamia. Moto mkubwa ulishuhudiwa eneo hilo. Wale wote waliokuwa wamebeba mitungi ya mafuta walieka mitungi chini na kukimbia ili kujiokoa. Ilikuwa tukio la kushangaza mno. Muda mfupi baadaye, gari la Askari lingine likawadia pamoja na la wazimamoto. Majeraha wote walipelekwa hospitalini huku maiti zote zikipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Ilikuwa jambo la kusikitisha sana. Walioponea ajali hiyo walihuzunika Kwa wenzao waliopoteza uhai wao. Kila mmoja alirudi kwake akiwa na huzuni na masikitiko mengi.
Kando ya barabara kulikuwa na magari mangapi yaliobingirika na kuanguka
{ "text": [ "Mawili" ] }
4797_swa
MASAIBU Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani. Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho. Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni. Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka. Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko lake. Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani . Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa kawaida. Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu , haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo. Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
Linda alifuta damu kutumia kitambaa cha rangi gani
{ "text": [ "Kijani" ] }
4797_swa
MASAIBU Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani. Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho. Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni. Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka. Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko lake. Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani . Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa kawaida. Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu , haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo. Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
Linda aliishi na nani
{ "text": [ "Maria" ] }
4797_swa
MASAIBU Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani. Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho. Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni. Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka. Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko lake. Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani . Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa kawaida. Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu , haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo. Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
Maria alikuwa ameenda sokoni kufanya nini
{ "text": [ "Kununua matunda" ] }
4797_swa
MASAIBU Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani. Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho. Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni. Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka. Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko lake. Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani . Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa kawaida. Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu , haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo. Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
Jambazi aliyemkaba koo Linda aliitisha nini
{ "text": [ "Simu na pesa" ] }
4797_swa
MASAIBU Linda alikuwa ameketi juu ya kitanda chake akiwa ameshika tama. Damu ilikuwa ikimtiririka mdomoni huku akiifuta kwa kitambaa cha kijani. Machozi yalimtiririka akalia kwa uchungu. Aliitazama picha yake iliyotundikwa ukutani na kuiangalia kwa makini. Yale meno meupe yaliyohusudiwa na wengi yalivutia mno. Sauti kali ilimtoka na akalia kwa kelele kuu. Macho yake yalizama pichani na matukio ya usiku wa siku iliyopita yakamrejelea na kumpa joto kuu. Alikuwa amejilalia kitandani akiigusagusa simu yake huku akiangalia video za kuchekesha. Alikuwa ameshatayarisha chajio na kupakua akimngoja Maria ambaye anaishi naye kwenye chumba hicho cha kukodi wakisaidiana kulipa ada ya chumba hicho. Maria alikuwa ameenda kununua matunda sokoni. Linda alikuwa anacheka vituko vya video aliyokuwa akiitazama alipokabwa koo na mtu nyuma yake. Kisu kikali kilielekezwa shingoni mwake akaambiwa anyamaze. Kwa hofu kuu kijasho chembamba kilimtoka akawa anatetemeka. Jambazi aliyemkaba aliitisha simu yake na pesa alizokuwa nazo. Linda aliamua kujitetea kwa kupigana. Hangekubali simu yake ichukuliwe kwa kuwa hapo ndipo alipohifadhi matini zake za darasani na vitu vyake vya muhimu. Linda alikiuma kidole cha jambazi huyo na kumtoa damu. Ilikuwa ni mikikimikiki ya kupigana huku jambazi aliyetutumuka misuli si haba akimvurumishia Linda ngumi za mashavu na kwenye mgongo. Linda alitoa kwikwi huku akimvuta adui huyo shati na kutaka kujitoa kwenye shiko lake. Linda alipiga mayowe nao majirani wakajaa chumbani mwake na kumkamata hasimu yule baradhuli. Mwizi huyo alitolewa nje na vijana watano akalazwa mchangani. Alipigwa kwa mawe, wa kumkanyaga wakamkanyaga , wa kumpiga makofi wakamhalalishia kichapo mpaka akawa anatokwa na damu kwelikweli. Jambazi huyo alikuwa anakaribia kuuawa ambapo Linda akawaomba vijana hao waache kumpiga na wawapigie polisi simu. Polisi waliwasili mtaani Zebra na kumkamata mwizi na kumpeleka kituoni kuandikisha mashtaka akiandamana na Linda. Walipofika kituoni , mwizi huyo aliyesemekana kuwa muuza chapati katika kibanda cha Naves alijitetea kwa kusema kuwa Linda alikuwa mpenzi wake aliyezoea kumhadaa na kutumia pesa zake Pamoja na kula chakula cha bure hapo kibandani . Machozi yalimtiririka Linda kwa kusikia maneno hayo ya uongo. Alijuta kuzaliwa katika dunia hii ya mashaka na balaa. Baada ya kuandikisha mashtaka , Linda akapelekwa hospitali ili atibiwe majeraha yake . Meno yake matatu ya chini yalikuwa yanatingika yakakosa ule uzuri wake wa kawaida. Linda aligutuka kutoka mawazoni akaamka polepole kuelekea msalani huku bado akiwa analia. ‘kwani mimi tu ndiye niliyeumbiwa shida?’ alijisaili huku akikuza kilio chake. Aliketi kwenye bakuli la msalani huku mfereji mwingine wa yaliyomsibu ukafunguka. Wakati ulimrudisha siku ile aliyojiunga na Chuo Kikuu cha Baraka. Matatizo yake yalianzia siku hiyo ambapo mwendesha pikipiki alimtoza nauli nyingi iliyopitiliza akawa hana hata pesa ya kununua chakula cha kila siku. Alikuwa mgeni mji huo ambao ulikuwa na waja wenye mazoea ya kuwahadaa wageni kwa kuwatoza nauli kubwa , mara kumi ya ada ya kawaida Alipojaribu kumpigia mama yake simu , haikushikwa. Maisha ya chuo kikuu yakawa magumu nako kula kwake kukawa kwa huruma ya marafiki zake aliowapata huko. Alikuwa akiishi kwenye mabweni ya chuoni ambapo aliishi kwenye chumba kimoja na Binti. Binti alikuwa na tabia ya kuleta wanaume chumbani usiku na kisha kumfukuza Linda aliyeambulia kulala kwenye simiti baridi nje ya chumba. Hali hii ilimfanya Linda apate maradhi ya nimonia yaliyomfanya alazwe hospitali kwa majuma mengi mpaka akawa nyuma kimasomo. Muhula wa pili ulianza vyema ambapo Linda aliamua kuhamia nyumba za nje pamoja na rafikiye aliyesoma naye shule ya upili. Alimtambua Maria kuwa msichana mwenye tabia nzuri. Mara tu baada ya kuhama ,Linda alilimbikiziwa kazi zote za nyumba . Maria hakuosha hata chombo na likuwa na mazoea ya kula na kuacha vyombo vichafu. Maria hakuwa mkaaji chumbani maana alikuwa na visafari vya hapa na pale akiwaendea wanaume tofauti tofauti akaambulia mimba. Baada ya kupata mimba akawa anamsumbua Linda usiku ampikie hiki na kile kwa kuwa mwanaye aliye tumboni anatamani. Linda aliyakubali mateso hayo bila hiari aaamua kuyakumbatia kwa kuwa ndiyo hali ya maisha . Kabla Linda hajamaliza kukabiliana na tatizo moja ndipo jingine la kupigwa nusura kufa likampata. Kwa kweli matatizo yalikuwa yanamwandama kana kwamba alikuwa na mkataba nayo. Huku akijifuta machozi alitoka msalani na kurudi kitandani kulala ili muda usonge na matatizo yake yapite haraka kama muda unavyopita.
Mwizi alisemekana kuwa muuzaji wa nini katika kibanda cha Naves
{ "text": [ "Chapati" ] }
4798_swa
MASAIBU Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari, vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi wa Zenji. Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani. Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na shahada katika taaluma hiyo. Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule. Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu. Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu. Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali. Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali. Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula. Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake. Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho. Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai, Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama nini
{ "text": [ "Mtumbwi" ] }
4798_swa
MASAIBU Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari, vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi wa Zenji. Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani. Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na shahada katika taaluma hiyo. Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule. Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu. Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu. Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali. Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali. Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula. Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake. Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho. Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai, Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
Ingepita siku ngapi bila Serengo kumwongelesha Mwanaidi
{ "text": [ "Mbili" ] }
4798_swa
MASAIBU Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari, vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi wa Zenji. Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani. Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na shahada katika taaluma hiyo. Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule. Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu. Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu. Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali. Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali. Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula. Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake. Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho. Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai, Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
Nani aliishi na mjukuu
{ "text": [ "Bi. Kilua" ] }
4798_swa
MASAIBU Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari, vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi wa Zenji. Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani. Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na shahada katika taaluma hiyo. Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule. Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu. Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu. Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali. Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali. Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula. Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake. Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho. Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai, Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa nini yake
{ "text": [ "Kifo" ] }
4798_swa
MASAIBU Ndoa ya Mwanaidi na Serengo ilikuwa ikiyumbayumba kama mtumbwi unaopigwa na dhoruba. Serengo alikuwa siye, siye kabisa. Hakuwa yule mwanamume mwenye mahaba tele kama wakati ule walipokuwa wakichumbiana. Huba yake ilikuwa imefifia kama umande katika hewa yabisi. Zingepita hata siku mbili bila ya kumwongelesha mkewe. Chakula chenyewe alikisusia baada ya juhudi za mkewe kupika na kupakua. Tena si kupika tu kwa mpikaji wa kawaida ila kule kupika kwa upambe. Wanasema wasemao huko kwenye mwambao kuwa mwanamke ni upishi. Si kwa mkolezo wa tui na Mpondo wa bizari, vyote alivifanya mwanaidi.hata maji ya kuogea ya mumewe aliyapondea iliki na mdalasini ili anukie na kisha taulo yake humfukizia kwa uturi wa Zenji. Mwanaidi alikuwa na mwana mchanga aliyeitwa Hamisi. Ingawa Hamisi alikuwa analialia, hilo halikumfanya Mwanaidi awache kumhudumia mumewe kama alivyofundwa na kungwi wake wakati alipokuwa akiolewa. Aliyashika yale mafundisho ya shairi la mwanakupona lililokuwa likiusia lkumhudumia mume kwa hali na mali na kufwata amri zake. Mwanaidi alikuwa akipigwa na mumewe kila siku. Yalipita majuma matatu Serengo haonekani nyumbani. Ilisemekana alikuwa katika mji mwengine ameoa mke mwengine na kumtelekeza Mwanaidi. Mwanaidi hakuwa na budi ila kufunganya virago vyake na kurudi kijijini kwao Upanga na kumwachia mamake ulezi wa mwanaye, naye akajitoma mjini kufanya kazi ya unesi kwani alikuwa na shahada katika taaluma hiyo. Bi Kilua alikuwa akiishi na mjukuu wake Hamisi yapata miaka minane sasa kwa msaada wa Mwanaidi aliyekuwa akituma pesa za matumizi. Bi kilua alikuwa akimlea Lani, ambaye alikuwa mwana wa mwanaye wa kiume aliyefariki. Lani na Hamisi walikuwa mabinamu. Lani alikuwa na miaka ishirini na akisomea katika Chuo Kikuu cha Hazina mjini Nairobi. Hamisi alikuwa na miaka minane na alikuwa yuko katika shule ya msingi ya Kaloleni hapo kijijini. Hamisi alioyafurahia maisha yake na nyanyake akawa ana amani na hata kumzoea bikizee huyu kama mamake. Bi kilua alikuwa akiugua mara kwa mara naye Hamsi akawa msaada wake akimkandakanda na kumtumikia hapo nyumbani baada ya kutoka shule. Likizo ya Lani ilipowadia alirudi nyumbani. Maisha ya Hamisi yalianza kuwa magumu. Lani alikuwa akiukomea mlango wa chumba chao na kumlawiti Hamisi kila nyanya yao alipoenda kondeni kulima au mtoni. Hamisi alilia kwa uchungu ila alikosa msaada. Kila nyanyake aliporudi alijaribu kumwelezea yaliyomfanyikia ila hakuaminiwa. Alidhaniwa tu kuwa alikuwa na utoto wa kutunga hadithi zisizoeleweka. Lani alifanya mazoea ya kumtendea Hamisi mambo haya kwa muda mrefu sana. Hamisi mwenyewe alikuwa ameshayazoea matendo haya. Hamisi aliendelea na masomo na kufika chuo kikuu ambako alienda kusomea shahada ya ualimu. Mambo yalianza kumwendea Hamisi mrama pindi alipojiunga na chuo kikuu. Mamake alikuwa hatumi hela za matumizi tena. Ada yenyewe alijilipia kupitia mikopo ya elimu wanaopewa wanafunzi wa vyuo vikuu na serikali. Mwanaidi alizamia uraibu wa dawa za kulevya kwa mzongo wa mawazo wa kuachwa na mumewe. Alikuwa kama mwendawazimu na pesa zozote alizopata alizinunulia dawa za kulevya. Mawasiliano yalikatika baina ya Hamisi na mamaye kwa kuwa kila Hamisi alipopiga simu aliambulia matusi makali. Hamisi alianza kuuza mwili wake kwa wanaume wenye magari ili alipwe pesa iliyomwezesha kujikimu kimaisha hasa kwa chakula. Hamisi alianza kuugua maradhi ya hapa na pale. Tumbo likawa linamuuma kila mara na akawa anaendesha kila alapo kitu chochote.Alikuwa amevia na alikuwa na hulka za kike. Si utembeaji wake wala uzungumzaji wake. Ulifika wakati ambapo alikuwa kitandani yu hoi, hata akawa hawezi kuzuia choo. Choo kilikuwa kikimpita kama mwana mchanga. Alipoplekewa hospitali na wandani wake, aliambiwa kuwa mishipa yake ya kukaza choo ilikuwa imelegea kwa kuwa aliitumia njia hiyo kwa mambo yanayokinzana na kazi yake asilia. Hamisi aliugua kwa muda na kisha akakata roho. Marafiki wa Hamisi walisononeka kwa kifo chake. Hawakuwa wanajua alichokuwa akitenda kwa kuwa alikuwa msiri sana. Wakati alipokuwa hai, Hamisi alikuwa akilitumia tabasamu lake kuzigubika na kuzificha shida zake. Alikuwa anajililia alipokuwa peke yake na kuilaani siku aliyoletwa duniani alimoteseka. Maisha yake wakati huo yalitegemea huruma za wanaume aliowaita wapenzi wake. Hata walikuwepo wanafunzi waliosomea uzamifu na uzamili. Walikuwa watu wenye mapato na magari yao ila walikuwa tu mashoga walioendeleza dhambi zilizofanywa na kaumu luti ikawa ni kama historia ya biblia iliyofufuliwa na kuendelezwa katika karne hii. Kilichoshangaza ni kuwa hawakuwa na wanawake. Iweje mwanamume mtanashati tena mwenye mali akose kuwatafuta wasichana amfuate mwanamume mwenzake? Jambo hilo linashangaza sana!
Hamisi aligubika shida zake vipi
{ "text": [ "Aliweza kutumia tabasamu" ] }
4800_swa
NENO Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala, wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina, kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia. Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’, wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea ‘neno’ tu. Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’. Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao. Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza ‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko huko? Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote? ‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo. ‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda kujipumzisha. Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui. Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo. Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni. Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa. Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa kukorogeka? ‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu? Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka. Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’, labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia. Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu. Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi? ***** Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa, niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu, akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba. Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao za ziada za shule. Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja. Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa limenoga utamu Zaidi. Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia radhia wangu. Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya ‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya mlango wa nyuma. Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe? Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo. Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani, neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao, hilo neno!
Walikuwa wanarukaruka wapi
{ "text": [ "Makochini" ] }
4800_swa
NENO Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala, wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina, kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia. Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’, wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea ‘neno’ tu. Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’. Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao. Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza ‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko huko? Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote? ‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo. ‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda kujipumzisha. Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui. Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo. Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni. Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa. Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa kukorogeka? ‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu? Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka. Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’, labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia. Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu. Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi? ***** Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa, niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu, akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba. Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao za ziada za shule. Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja. Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa limenoga utamu Zaidi. Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia radhia wangu. Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya ‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya mlango wa nyuma. Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe? Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo. Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani, neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao, hilo neno!
Walikuwa na watoto wangapi
{ "text": [ "Watatu" ] }
4800_swa
NENO Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala, wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina, kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia. Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’, wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea ‘neno’ tu. Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’. Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao. Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza ‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko huko? Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote? ‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo. ‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda kujipumzisha. Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui. Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo. Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni. Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa. Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa kukorogeka? ‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu? Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka. Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’, labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia. Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu. Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi? ***** Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa, niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu, akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba. Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao za ziada za shule. Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja. Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa limenoga utamu Zaidi. Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia radhia wangu. Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya ‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya mlango wa nyuma. Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe? Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo. Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani, neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao, hilo neno!
Alimpata mke na nani wakizungumza
{ "text": [ "Mchungaji" ] }
4800_swa
NENO Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala, wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina, kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia. Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’, wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea ‘neno’ tu. Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’. Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao. Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza ‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko huko? Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote? ‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo. ‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda kujipumzisha. Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui. Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo. Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni. Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa. Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa kukorogeka? ‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu? Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka. Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’, labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia. Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu. Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi? ***** Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa, niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu, akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba. Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao za ziada za shule. Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja. Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa limenoga utamu Zaidi. Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia radhia wangu. Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya ‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya mlango wa nyuma. Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe? Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo. Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani, neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao, hilo neno!
Mke wake aliaga kwenda wapi
{ "text": [ "Kanisani" ] }
4800_swa
NENO Jioni hiyo, tofauti na siku nyingine niliwapata wakiwa bado hawajalala, wanarukaruka makochini wakirushiana midoli na kila aina ya vitu…ilikuwa ni nadra sana kuwapata wakiwa wachangamfu kwani siku zote nilipowasili niliwapata wamejilalia fofofo. Walifurahia sana kuniona na wakaanza mchezo wao wa kuniparamia wakiitisha vitamu nlivyowabebea huku wakiuliza misururu ya maswali ya kitoto yasiyoeleweka. Mke wangu aliandaza chakula na kutuita, tulikula pamoja huku tukisikiza hadithi za uongo za sakina, kitindamimba wetu ambaye hakuwahi ishiwa na ngano za kututambia. Nilimtazama kwa makini na kujiuliza, ‘mbona yeye ni mweupe sana ilhali kila mtu mezani pale alikuwa mweusi tititi? Mbona nywele zake ni singa na za kuteleza ilhali zetu sisi wengine ni kipilipili? Nilijiliwaza kwa kujiambia pengine ni majaaliwa yake tu kutoka kwa mola, pengine ni maajabu tu ya mwenyezi mungu, ‘yeye ndiye muumba wa vyote, sisi ni mitambo yake ya kumsaidia katika kazi yake ya uumbaji’, niliyakumbuka maneno ya mke wangu ambayo yalinituliza mtima. Tulikuwa na Watoto watatu tu na hatukuwa na mpango wakuongeza mwengine kwani kipato changu hakikuweza kukidhi mahitaji ya mtoto wa nne wala wa tano. Mke wangu alikuwa muumini tu aliyeshika dini kuliko ‘maria mama wa yesu’, wamwitavyo wakristo, hivyo hakuwa na kipato cha kuongezea kwani alipokea ‘neno’ tu. Siku iliyofuata nilikwenda kazini asubui kama kawaida lakini mdosi wangu akatupatia likizo fupi kwa madai kuwa amepungukiwa na hela. Na jinsi asili ya kazi yetu ilivyokuwa, ‘mjengo ukisitishwa, kazi imekwisha’. Nikaamua kupitia sokoni kuwanunulia wapendwa wangu nyama ya mbuzi na matembele angalau wabadilishe mazingira kiasi kwani hao dagaa walikuwa wamechoka kusutana na minyoo matumboni mwao. Nilipowasili nyumbani nilimpata mke wangu na mchungaji nje ya mlango wa mbele wakizungumza, Mchungaji akanisalimu nami nikamwitikia huku nikimmiminia sifa na kumpongeza sana kwa kazi yake nzuri. Lakini nilipomchunguza vizuri, nikaona hakuwa na bibilia yake na kujiuliza ‘kwani sikuhizi neno la mungu linahifadhiwa wapi?’ Mke wangu alinieleza jinsi mchungaji alivyomjaza neno la mungu, nami nikatabasamu tu. Lakini moyoni yalinijia mashaka, nikajiuliza, hilo neno ni neno kweli? Ni neno la kutamkika au neno la aina gani, hilo neno! Mchungaji alituaga na kujiendea zake nasi tukaingia ndani. Nilipoelekea chumbani, niliuona mlango wa nyuma ukiwa wazi, nikaenda kuangalia iwapo ni Watoto wametoka na kucheza nje ila sikuwakuta, nikaukagua uwanja na kuona alama ya viatu, viatu vya kiume na kushangaa na kuanza kufikiri labda mlango ule wa nyuma ulikuwa na mazingaombwe, mbona kila nilipowasili nlipata kituko huko? Nilimpenda sana mke wangu, niliamini kuwa yeye ndiye mwanamke bora Zaidi ya wote, hakupenda kutoka na kwenda kuzurura ovyo mitaani na alitimiza wajibu wake kama mama bila kuzembea, aliifanya kazi yake ya kuwatunza Watoto wetu vyema. Ila kilichonifanya nijivunie Zaidi ni jinsi alivyolifuata neno; mwokovu ambaye hakuwahi kosa kwenda kanisani kila jumapili na hata kukesha huko kwa maombi na sala. Alipenda sana kulisikiza neno na kuja kutufahamisha na sisi, siku zote angetueleza mahubiri yote waliyopewa na mchungaji kanisani na kutuhimiza tulifuate neno la bwana. nitake nini tena kwa mwanamke kama sio hivi vyote? ‘mchungaji ametuambia tusiifunge milango, tusiwe mikono birika na tupeane kwa moyo mmoja bila kufikiria’, alinieleza neno la siku hiyo. ‘neno tamu’, nilijibu nikitabasamu. Nami kama ilivyokuwa ada yangu ningemaliza kwa kumweleza siku yangu ilivyokuwa kazini, jinsi nilivyoendelea na kazi yangu ya ujenzi na kumwarifu mishahara yetu ilivyokawia naye akanitia moyo kama kawaida. Tulipata chajio na kwenda kujipumzisha. Nliamka nikiwa mchangamfu sana, nlikuwa nimeota ndoto nzuri kuwa nimechimba migodini nikapata madini mengi sana. Hili lilinipa motisha wa kutoka kwenda kutafuta kwani nilihisi kuna bahati inayoningojea. Kazi haikuwa mbaya siku hiyo, Sikupata kingi ila nilipata cha kutosha. Malipo ya siku hiyo yalikuwa na marupurupu mengi ambayo yaliniwezesha kupitia sokoni na kumnunulia mama watoto wangu kanga nzuri na buibui. Niliwachukulia pia wanangu mipira na midoli ya kuchezea. Kila aliyeniona njiani siku hiyo hakusita kuniuliza iwapo mke wangu ameshika ujauzito mwengine au iwapo nimepata kazi ughaibuni kwa bashasha nlizokuwa nazo. Nami ningewatazama kwa tabasamu tu bila kunena chochote. Niliwasili nyumbani kwangu nikirindima kwa furaha tayari kuifurahisha familia yangu kwa zawadi nlizowaletea na kuanza kubisha mlangoni. Mlango ulifunguka, lakini sio ule niliogonga, nikajiuliza kwani wageni ni wangapi? Nikagonga tena na mara hii kwa nguvu Zaidi, ukafunguliwa. Nywele zimechanika, kamisi kaivaa ndani nje, wanja na poda vimefutika na jasho linammwaika utadhani mtu kamwanika juani, nilipoitazama anga, jua limetoweka na nikamuuliza, ‘mke wangu kwani kumefurika?’ mbona wakaa kukorogeka? ‘Kazi zimenilemea mume wangu, si wajua wanetu walivyo watundu? Nimeng’ang’ana na dobi, vyombo na kudeki nyumba’ alijibu kwa haraka. Lakini nikajiuliza, kwani dobi na kudeki sikuizi havifanyiki mtu akijisitiri na kuvaa nguo ya heshima, mbona leo nywele hazijafungwa kuruni? Mbona wanja na poda havijakolezwa usoni kama kawaida? kisha nikajiambia labda alitaka kupata upepo ndio maana ‘akajiachia huru’, labda kalemewa na majukumu na kazi nyingi za nyumba, nilijiwazia. Nilifululiza hadi chumbani na kushangazwa na jinsi vitu vilivyotawanyika kila mahali, kitanda hakijatandikwa, mito ipo sakafuni, pazia zimefungwa mapema kuliko kawaida. Nilijawa na huruma nakumhurumia sana mke wangu kwa kazi nyingi afanyazo, ila sikuweza kuibadilisha hali ile kwa kumwajiri kijakazi kwani uwezo wangu wa kifedha haukuniruhusu. Nilikinadhifisha chumba na sebule huku nikimpa pole mama Watoto wangu kwa uchovu wa siku…lakini sindivyo ulivyo uzazi? ***** Siku iliyofuata nilirudi tena, mlango wa mbele nikaupata wazi kabisa, niliingia ndani lakini sikuona mtu yeyote, nikaamua kupitia vyumba vyote nkimwita mama Watoto wangu lakini hakuitika. Nilipolikaribia lango la nyuma, nikausikia mlio wa mtu anayekimbia kwa kasi, mlango wenyewe ulikuwa umefungwa kwa nje. Kabla sijaugonga mke wangu akaufungua, macho amenikodolea utadhani kaona jini makata. Nilipomuuliza kilichomsibu, akadai eti ametoka kuwafukuza tumbiri waliokuwa wanayanyemelea matunda yaliyokuwa nyuma ya nyumba. Nilishangaa na kujiwazia ‘kwani sikuizi tumbiri wakikimbia wanatoa mshindo mkubwa hivyo!’. Nilimpa pole ya ghadhabu na tukarudi ndani ya nyumba. Jumapili iliyofuata mke wangu aliaga kwenda kanisani akidai lazima awanie kwani kulikuwa na mkutano, ‘mume wangu, leo nitatoka mapema kwani ninahitajika kwa haraka kanisani, ndimi niliyepewa jukumu la kutayarisha na kusimamia ratiba yote ya siku’, alijitetea. Nami kwasababu sikuwa na kazi siku hiyo nikamwambia atoe shaka kwani ningemfanyia kazi zake zote za nyumba. Nilideki nyumba, nikafua sare za Watoto, nikaandaa chamcha na pia chajio. Nliwaogesha watoto mapema na kuhakikisha wamemaliza kazi zao za ziada za shule. Muda uliyoyoma, saa kumi na mbili ikawadia, jua likazama, giza likatanda, Radhia bado hajarudi nyumbani. ‘jamani kwani leo pia kulikuwa na kesha? Nilijiuliza huku nikichungulia dirishani kuona iwapo anakuja. Sakina, yule kitindamimba alianza kumlilia mamake, alilia huku akifurukuta sakafuni ungedhani anaugua kifafa. Nikakata shauri kwenda kumtafuta Radhia kanisani, inaonekana labda siku hiyo neno lilikuwa limenoga utamu Zaidi. Kanisani nilifika, lakini sikuwasikia waumini wakiimba nyimbo zao za kusifu, sikuyaona mahema wala viti vya kuashiria kuwa kulikuwa na mkutano ama kukesha jumapili hiyo. Nilishangaa na kujiambia pengine ibada ilihamishwa kwa mchungaji na nikaamua kwenda huko kumwangalia radhia wangu. Mlangoni pa mchungaji niliona viatu vya radhia na yale Mabuti meusi ya ‘sharpshooter’, Mabuti yaleyale ambayo niliziona alama zake kule nje ya mlango wa nyuma. Taa hazijawashwa na siwasikii waumini wakiimba wala kuomba. Aaah! Kwani neno la leo linahubiriwa vipi? Ama kila mtu anajisomea neno mwenyewe? Niliwaza. Nilikata shauri kumpigia simu radhia, simu nkaisikia ikiita lakini haikushikwa, Nikapiga tena, haishikwi na mara ya tatu nikaambiwa mteja hapatikani nijaribu baadaye. Hasira zikanipanda. ‘kwani mungu ameamua kuwachukua waumini? ama siku ya mwisho imefika? Mbona kimya kimetanda hivi?’ Niliutwika mlango ule teke zito na kuwasha taa kwa kutumia swichi iliyokuwa nyuma ya mlango huo. Nilichokiona sitawahi kukisahau milele, sikuyaamini macho yangu, mke wangu, yule kipenzi cha mungu, muumini na mwenye kukesha akisifu na kusikiza neno la mungu kila jumapili alikuwa analipokea neno, lakini sio neno la mungu, lilikuwa neno la mchungaji, neno lisilotajika hadharani, neno la aibu, lililonivunja moyo, neno lililomfanya kitindamimba wetu sakina aonekane tofauti na wenzake, neno lililonifanya nifikirie kuuziba ule mlango wa nyuma kwa kudhania wanga wanautumia kutuangira, neno lililopitia mlango wa nyuma, neno lililomfanya mke wangu alemewe na kazi za nyumba, neno lililowafanya tumbiri waonekane uani petu kila uchao, hilo neno!
Kwa nini Sakina alionekana tofauti na wengine
{ "text": [ "Alikuwa amezaliwa kutoka uhusiano wa mkewe na mchungaji" ] }
4801_swa
Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa, nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya kukumbukwa.. Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu. Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja alionekana mwenye furaha sufufu. Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo wa polepole. Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia. Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika. Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri. Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha. Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
Harusi ilikua ya nani
{ "text": [ "dadake" ] }
4801_swa
Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa, nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya kukumbukwa.. Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu. Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja alionekana mwenye furaha sufufu. Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo wa polepole. Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia. Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika. Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri. Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha. Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
Kanisani wazazi walifanya nini
{ "text": [ "waliendelea kupamba kanisa" ] }
4801_swa
Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa, nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya kukumbukwa.. Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu. Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja alionekana mwenye furaha sufufu. Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo wa polepole. Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia. Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika. Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri. Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha. Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
Kila mmoja alikua amevaa nguo gani
{ "text": [ "nadhifu" ] }
4801_swa
Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa, nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya kukumbukwa.. Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu. Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja alionekana mwenye furaha sufufu. Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo wa polepole. Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia. Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika. Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri. Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha. Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
Ni lini mwanamke mjamzito alipita hadi jukwani
{ "text": [ "walipokua wakivishana pete" ] }
4801_swa
Niliamka asubuhi nikiwa na furaha tele. Niliandaa kiamsha kinywa baadaye nikaenda bafuni kuoga maji baridi kama barafu. Baadaye nikavalia nguo zangu zilizometameta na kung'aa kama dhahabu. Nilipomaliza kujiandaa, nilielekea kwenye chumba cha maankuli na nikanywa chai kwa mikate ya siagi. Wazazi wangu walikuwa wameondoka tayari. Ilikuwa siku ya kukumbukwa.. Siku ya harusi ya dadangu iliyongojewa kwa hamu na ghamu hatimaye ilikuwa imewadia. Nilipofika kanisani, niliwaona wazazi wangu wakiendelea na kupamba kanisa. Kanisani kulijaa pomoni. Watu wa kila aina walikuwa tayari wamefika. Kila mmoja alikuwa amevalia nguo nadhifu. Wanawake walikuwa wajipamba kwa vipodozi za Kila aina. Kila mmoja alionekana mwenye furaha sufufu. Punde si punde, gari la bwana harusi liliwadia. Umati wa watu uliwalaki kwa nyimbo za furaha. Walimwimbia kwa shangwe na nderemo. Wanawake walilainisha sauti zao nyororo. Bwanaharusi alikuwa mtanashati kupindukia. Alivalia suti iliyopigwa pasi na kunyooka vizuri. Tabasamu lake liliwavutia watu wengi. Aliingia kanisa huku akitembea Kwa mwendo wa polepole. Baada ya muda mfupi, bibi harusi akafika. Gari lake lilirembeshwa kwa maua mengi. Watu wote walipaswa kuingia ukumbini. Kila mmoja aliamka kumpokea bibi harusi. Vazi lake lilikuwa nyeupe pepepe na la kuvutia. Alivalia na veli lililomfunika uso wake. Alionekana kuwa kama malaika. Watu walimshangilia na kutupa maua kwenye njia yake. Ukumbini kulijaa furaha tele. Wanakwaya waliiwaimbia bibi harusi na bwana harusi. Mhubiri alihubiri kwa muda baadaye wakapokezana maneno yao ya mapenzi. Wakati wa kuvishana Pete, mwanamke mmoja alijitokeza akiwa mjamzito na mtoto mmoja, hivyo alipita hadi jukwani, akasimamisha harusi. Kila mmoja alishangaa. Kimya kilitawala. Bibi harusi akaanza kulia huku machozi yalitiririka. Bwanaharusi naye alikuwa akitetemeka kama mwenye ameona jinamizi la mtu. Furaha iliyotanda ikageuka huzuni. Watu waliangaliana wasijue la kufanya. Kabla ya mhubiri kunena jambo, yule mwanamke akaomba radhi kisha akasema kwamba kule nyuma hakuweza kusikia lolote Kwa hivyo akasogea jukwani ili aweze kutazama vizuri. Tamko hilo liliwakera watu. Wengine walitaka afurushwe kwenye kanisa na kuadhibiwa. Mamangu alikuwa tayari anatokwa na machozi. Hatukuamini macho yetu. Baadaye mhubiri alituliza umati na akaendelea na shughuli hiyo. Baada ya kuwafunganisha ndoa,waliombewa na watu wakaendelea kuimba kwa furaha. Tulielekea kula vipochopocho vilivyoandaliwa Kwa ufundi mkuu. Vyakula vilinukia Kwa umbali.harufu hiyo ilifanya tuhisi njaa zaidi.wakati wa maankuli,watu walipiga picha. Mimi pamoja na dadangu na wazazi wetu tulipigwa picha pamoja. Dadangu alikuwa na furaha riboribo.watu wengi walipiga picha na dadangu. Baada ya picha,keki ilikatwa. Kila mmoja alingangania kula keki. Keki yenyewe ilipambaa Kwa umaarufu na ustadi mkubwa. Hotuba chache zilitolewa juu ya maarusi na wazazi wao. Baadaye,Kila mmoja aliondoka kuelekea chumbani kwake. Harusi hiyo ilikuwa ya kukata na shoka. Kila mmoja alifurahia kuhudhuria harusi hiyo. Wazazi wangu walikuwa na furaha tele. Maharusi waliondoka kwa gari la bibi harusi. Ilikuwa siku ya furaha kubwa.
Mbona huyo mwanamke mjamzito alisimama na kupita hadi jukwani
{ "text": [ "alisema kuwa nyuma hawezi kusikia lolote kwa hiyo akasogea jukwani" ] }
4802_swa
HARUSI YA KUKATA NA SHOKA Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu za maisha na mpenzi wake Rakesh. Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni. Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa. Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya halua kwa tende. Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini. Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana harusi. Walifika na kisha kushuka garini. Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana. Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya mwili. Joka kubwa!! Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa. Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake. Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa jongomeo. Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea. Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo. Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka.
Dadake msimulizi alikuwa anaolewa na nani
{ "text": [ "Rakesh" ] }
4802_swa
HARUSI YA KUKATA NA SHOKA Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu za maisha na mpenzi wake Rakesh. Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni. Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa. Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya halua kwa tende. Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini. Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana harusi. Walifika na kisha kushuka garini. Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana. Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya mwili. Joka kubwa!! Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa. Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake. Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa jongomeo. Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea. Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo. Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka.
Harusi ilikuwa inafanyiwa wapi
{ "text": [ "Kanisani" ] }
4802_swa
HARUSI YA KUKATA NA SHOKA Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu za maisha na mpenzi wake Rakesh. Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni. Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa. Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya halua kwa tende. Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini. Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana harusi. Walifika na kisha kushuka garini. Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana. Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya mwili. Joka kubwa!! Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa. Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake. Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa jongomeo. Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea. Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo. Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka.
Joka lilimuuma nani kanisani
{ "text": [ "Bwana harusi" ] }
4802_swa
HARUSI YA KUKATA NA SHOKA Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu za maisha na mpenzi wake Rakesh. Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni. Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa. Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya halua kwa tende. Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini. Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana harusi. Walifika na kisha kushuka garini. Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana. Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya mwili. Joka kubwa!! Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa. Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake. Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa jongomeo. Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea. Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo. Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka.
Kwa nini watu walitimua mbio
{ "text": [ "Kulikuwa na joka kubwa kanisani" ] }
4802_swa
HARUSI YA KUKATA NA SHOKA Siku ambayo tululikuwa tumengojea hatimaye ilifika. Nasi hatukuwa na budi ila kuilaki kwa mikono miwili. Dada yangu alikuwa anafunga mbingu za maisha na mpenzi wake Rakesh. Siku yenyewe niliamka na kuchungulia dirishani. Umande nyasini ulikuwa unametameta huku ukicheza danedane mithili ya almasi. Nilipigaa guu mosi guu pili hadi sebuleni. Sebuleni nilipata meza ikilia kwa uzito wa chakula. Niliamua kuelekea bafuni kugoka kwa maji fufutende. Muda wa paka kunawia mate yake nilikuwa nishamaliza na kurudi sebuleni. Niliwakuta wavyele wangu wamekaa tayari kuanza kuteremsha kiasha kinywa. Tulikaa na zote tukafurahia chakula ambacho kilikuwa kitamu mithili ya halua kwa tende. Tuliekea vyumbani mwetu na kila mmoja kuvalia lebasi lililokuwa limetengwa kwa siku hiyo. Mama pamoja na baba wote walikuwa wameshamaliza na wanatungonjea garini. Dada yangu alivalia nadhifu. Kaka wangu pia walivalia kiasi cha tausi kuonea gere. Tulielekea wote garini. Tulipofika njiani, sote tulikuwa na furaha mithili ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Tuliimba na kumsifu Mola. Muda wa kuku kumeza punje za mtama tulifika kanisani. Kanisa lilikuwa limerembeshwa. Vijana kwa wazee walimetameta. Tuliketi na tukangonjea bwana harusi. Mimi kwa sababu nilikuwa mbwakoko, sikuweza kutulia. Nilianza kuranda randa. Huku nikiwa mwingi wa furaha. Nilipokuwa kwenye hamsini zangu, niliweza kuona mlolongo wa magari. Lo! Alikuwa bwana harusi. Niliekea kuwalaki bwana harusi. Walifika na kisha kushuka garini. Bwana harusi alikuwa mtanashati. Walianza kuteambea kwa mwendo wa kobe kuelekea kanisani. Dada yangu hiyo siku alikuwa mrembo sana. Ungedhani Mungu alichukua siku ayami kumwuumba. Hakuwa mnene tipwatipwa wala mkonde kimbaumbau bali alikuwa mwenye umbo la wastani. Alikuwa na macho ya kikombe. Shingo la upanga. Mungu ampe nini amnyime nini? Mwili wake ulikamilika kwa kiuno cha bunzi. Bwana harusi alikuwa mwenye rangi ya maji ya kunde. Kwa kweli hao wawili walifaana. Kanisani nyaadhi zilisomwa. Watu wakawatakia maarusi hao maisha ya asali na maziwa. Wakati wa zawadi ulifika. Watu walianza kumimina ili kuwapokeza wawili hao zawadi Lo! Nilichokiona karibu moyo uruke nje ya mwili. Joka kubwa!! Wuuui! Wuiii! Nduru zilisheni kote. Si kaskazini si mashariki. Watu walitimua mbio mguu niponye. Wengine waliangukiana na wengine kuumizwa. Mimi nilikimbia kama risasi. Joka hilo lilienda na kumuuma vibaya sana bwana harusi. Dada yangu( bibi harusi), huyo alikimbilia maisha yake. Joka hilo baada ya uvamizi lilitokomea msituni bila kusafirishwa jongomeo. Bwana harusi alikimbizwa hospitalini kwenye ambulansi. Hakuwa wa uji wala wa wali. Alikuwa hali mbaya sana. Tulipoenda kumtembelea hospitalini, dada yangu alitiririkwa na machozi mithili ya ganjo livujalo wakati wa masika. Tulihusunika na tukalia mbona hayo kutokea. Watu wengi waliathirika kwenye mkaza huo. Si wakubwa kwa wadogo. Tuliondoka hospitalini huku tukimwombea bwana Rekesh nafuu ya haraka.
Ambulensi ilimkibiza nani hospitalini
{ "text": [ "Bwana harusi" ] }
4803_swa
FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki. Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo: Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo. Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha. Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi. Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni. Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao. Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo. Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu. Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo . Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki. Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho. Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao. Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya. Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
Pikipiki ni mojawapo ya nini
{ "text": [ "Vyombo vya usafiri" ] }
4803_swa
FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki. Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo: Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo. Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha. Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi. Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni. Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao. Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo. Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu. Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo . Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki. Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho. Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao. Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya. Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
Ni nini kimerahisisha usafiri
{ "text": [ "Pikipiki" ] }
4803_swa
FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki. Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo: Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo. Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha. Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi. Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni. Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao. Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo. Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu. Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo . Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki. Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho. Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao. Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya. Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
Nini hazijajengwa vizuri
{ "text": [ "Barabara za vijijini" ] }
4803_swa
FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki. Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo: Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo. Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha. Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi. Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni. Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao. Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo. Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu. Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo . Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki. Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho. Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao. Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya. Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
Pikipiki zimetengeneza nafasi za nini
{ "text": [ "Ajira" ] }
4803_swa
FAIDA NA HASARA ZA PIKIPIKI Pikipiki ni mojawapo ya vyombo vya usafiri. Chombo hiki kimechipuka tu katika karne hii ya ishirini na moja. Zamani binadamu walitumia mara nyingi Wanyama kama vile: punda, ili kusafirisha mizigo yao . Lakini kwa sababu ya uvumbuzi wa teknolojia, usafiri umerahisishwa mno. Ndio maana kuna vyombo hivi k.v pikipiki. Pikipiki inafaida tena hasara zake.baadhi ya faida za pikipiki ni kama zifuatazo: Kwanza, pikipiki zimerahisisha usafiri. Usafiri hasa wa vijijini.pale ambapo magari hayawezi kufika pikipiki hufika huko na kuwabeba watu pamoja na mizigo. Kama si chombo hiki watu wangepata ugumu mno kusafiri kutoka vijijini hadi kwenye barabara kuu . Barabara za vijijini huwa hazijajengwa vizuri, lakini pikipiki hupita tu,,,,hadi kwenye yule anaye hitaji kupata huduma hizo. Pili, pikipiki zimetengeneza nafasi za ajira. Kuna watu ambao hutegemea pikipiki ilikujipatia riziki. Pia kuwalipia wanao karo shuleni. Vijana wengi hasa kwa sasa ambapo ajira imekuwa nadra, wamebahatika kupata mahali pa kujitafutia mkate. Badala ya vijana hawa kuketi tu bure na kujiingiza katika uovu, angalau wamepata cha kuwashughulisha. Tatu, wanaoendesha na wanaouza pikipiki hulipa ushuru. Ushuru huu umesaidia katika ujenzi wa taifa. Barabara na miundo msingi zimeweza kutengenezwa na kuboreshwa. Ushuru huu ndio umechangia pia shule, hata hospitali kujengwa na kuletwa karibu na mwananchi. Nne, Pikipiki zimesaidia katika ukuaji wa biashara,mijini na vijijini. Pikipiki hizi husaidia kusafirisha bidhaa kutoka mashambani hadi sokoni. Bidhaa ambazo huwa za kuharibika haraka, kwa sasa huweza kufika sokoni kwa haraka kupitia usafiri wa pikipiki ambao hauathiriwi na msongamano wa magari. Wanunuzi na wauzaji pia hutumia pikipiki kusafiri kwenda na kutoka sokoni. Tano, pikipiki zimeleta utangamano. Waendesha pikipiki huja pamoja maranyingi sana. Wao hushirikiana na kuwa na vyama vya kuwasaida kihela ili wajiendeleze.pia wao hupata nafasi ya kusafiri kwingi na kujuana na watu mbalimbali . Kujuana huku huleta utangamano na ushirikiano baina yao. Licha ya pikipiki kuwa na faida nilizo taja hapo juu, pia zina hasara . Kwani hakuna kisichokuwa na doa aushini. Hasara za pikipiki ni kama zifuatazo. Kwanza, usafiri kwa njia ya pikipiki, umechangia kuwepo kwa ajali tele. Ajali husababishwa na wanaoendesha pikipiki bila kujali. Hasa kama wamelewa. Wengine wao huwa na mapuuza tu. Wao hupuuza sheria za barabarani, kwa madai kwamba wanaharaka. Jambo hili huwafanya wengi kugongwa na magari, au hata kutumbukia shimoni au majini. Hali hii imetufanya wengi kupoteza maisha yao pamoja na wapendwa wetu. Pili, pikipiki zimechangia kuwepo kwa magonjwa, haswa yanayosababishwa na baridi. Waendesha pikipiki wengi hukosa kuvalia nguo nzito za baridi. Bila kufahamu kwamba chombo hiki huenda kwa kasi sana, jambo ambalo husababisha wao kupigwa na baridi mno. Baridi hii huleta magonjwa ya kifua, ambayo husababisha kifo . Tatu, zimechangia ongezeko la uhalifu. Licha ya pikipiki kuleta faida vijijini, pia kimetumika kama chombo cha kuwasafisha wezi. Au wenyewe kuwabeba abiria na kuwaelekeza vichochoroni na kuwaibia abiria wao. Wizi huu umewafanya watu kukosa imani tena nao. Si ajabu wengi huogopa kusafiri usiku kwa kutumia pikipiki. Nne, vijana wengi hukata kauli ya kukatiza masomo yao, ili waingilie kazi hii. Jambo ambalo limechangia idadi ya wavulana walioacha shule kuendelea kuongezeka. Bila wao kufahamu kwamba, pikipiki haitawapa msaada wa kutosha kuendelea kujikimu. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Bila elimu maisha hugeuka na kuwa mgumu mno baadaye. Yafaa vijana hawa waelimishwe kuhusu umuhimu wa elimu, na kufanya kazi ya pikipiki si suluhisho. Tano, Chombo hiki, kimechangia mimba za mapema, na ubakaji. Siku hizi, visa vya ubakaji vimekuwa kila mahali katika vyombo vya habari. Asilimia kubwa ya visa vinavyoripotiwa, uhusishwa na waendesha pikipiki. Ni juzi mmoja aliuawa hapa kwetu kwa mbaka mtoto wa darasa la saba. Si ajabu kwamba wao huwadanganya wasichana wadogo wa shule kwa kuwapa visenti vidogo, ili washiriki ngono nao!. Kitendo ambacho husababisha mimba za mapema. Waathiriwa huacha shule ili kuweza kuwalea wanao kwa dhiki tupu. Wengine huishia kuavya mimba kwa kuogopa wazazi wao. Hata baada ya kuwapachika mimba, wengine huwakana na kukwepa majukumu yao. Sita , waendesha pikipiki hawa, hutumiwa kwa urahisi na wanasiasa ili kutenda maovu. Wakati mwingine kuzua vurugu. Utawapata wakifunga njia kuwazuia wengi kupita kwa kuhongwa na mwanasiasa fulani. Utawapata pia wakichoma magurudumu barabarani ili kumzuia mpinzani wa yule aliyewalipa kuwahutubia watu. Ni mengi sana maovu yamehusishwa na waendesha bodaboda. Yafaa waonywe au sheria itumike kuwakanya. Kutokana na hoja nilizojadili. Ni wazi kwamba manufaa ya pikipiki si mengi mno. Badala yake hasara zinaelekea kupiku faida. Yafaa mikakati madhubuti ibuniwe ili chombo hiki kiendelee Kuwa cha manufaa kwetu binafsi na taifa kwa jumla.
Pikipiki zimechangia kuwepo kwa kitu gani
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
4804_swa
SAFARI YA MAASAI MARA Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii. Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko. Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni. Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili. Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari njema. Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?" Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi hakuwa hajui mengi. Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee! Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa nusu saa. Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi, tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni. Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni. Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo. Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa hisabati.
Mbuga gani ya wanyama inapatikana Narok
{ "text": [ "Maasai Mara" ] }
4804_swa
SAFARI YA MAASAI MARA Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii. Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko. Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni. Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili. Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari njema. Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?" Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi hakuwa hajui mengi. Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee! Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa nusu saa. Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi, tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni. Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni. Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo. Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa hisabati.
Ni kivutio poa cha nani
{ "text": [ "watalii" ] }
4804_swa
SAFARI YA MAASAI MARA Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii. Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko. Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni. Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili. Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari njema. Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?" Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi hakuwa hajui mengi. Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee! Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa nusu saa. Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi, tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni. Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni. Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo. Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa hisabati.
Henezi za nyuni ziliashiria nini
{ "text": [ "siku mpya" ] }
4804_swa
SAFARI YA MAASAI MARA Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii. Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko. Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni. Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili. Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari njema. Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?" Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi hakuwa hajui mengi. Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee! Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa nusu saa. Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi, tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni. Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni. Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo. Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa hisabati.
Mbona wenzao walikuwa wamechoka hoi bin tik
{ "text": [ "kwa sababu ya safari ndefu" ] }
4804_swa
SAFARI YA MAASAI MARA Maasai Mara ni mbuga ya wanyama inayopatikana sehemu za Narok. Mbuga hii inapakana na mbuga ya Serengeti kule Tanzania. Mbuga hii ina wanyama aina ainati. Si mboga si ndovu. Kwa kweli ni kivutio poa cha watalii. Maasai Mara huvutia watalii wakati ambopo nyumbu wanapovuka kutoka kutoka Tanzania kuingia Kenya. Hili ni tukio ambalo hufanyika baada ya kipindi kirefu na hutokea tu mara moja mwakani. Wanyama hao hutoka Tanzania na kuingia Kenya wakati chakula kule Tanzania kinakuwa kigumu kupata. Yaani wakati wa ukame. Hiyo ndio tu hadithi tulikuwa tunazo nasi pia kama wanakidato cha pili tulikuwa na hamu ya kufika huko. Siku yenyewe ilipofika hatukuwa kuwa na budi kuilaki. Tuliilaki kwa mikono yote miwili. Mandalizi yalikuwa yamekamilika. Shule yetu haikuwa na basi yao binafsi na ilitulazima tuazime basi jirani. Siku yenyewe tuliamshwa na henezi tamu tamu za nyuni waliokuwa wakizighani huku na kuongoaongoa henezi zao kuashiria siku mpya. Nilijua kwamba siku ambayo tulikuwa tumeingojea hatimaye ilifika. Niliamka na kuvalia sare zangu za shule. Nilienda jikonini nilipompata mnuna wangu ashaandaa kiamsha kinywa. Nilikivamia kwa haraka mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Nilijua kwamba ningekawia kidogo ningepata basi limeondoka. Mama alinipa senti kadhaa kisha mimi nikaelekea shuleni. Njiani nilikutana na rafiki yangu Karma ambaye pia alikuwa mojawapo wa wanaojiandaa kwa safari. Tulitembea naye haraka ungedhani tulikuwa tunafukuza duma. Tulifika shuleni na muda mchache basi liliwasili. Wanafunzi walianza kumimina ndani. Walimu wetu wa somo la Jografia pia walikuwepo. Wote walipoingia, dereva wetu aliweza kung'oa nanga. Hiyo ilikuwa baada ya Rebeka tueka mbele ya Maulana huku akitutakia safari njema. Njiani tuliweza kuona mengi. Kalume ambaye hakuwa mzoefu wa kutembea sana alishangaa kuona majengo marefu. "Lo! Jengo hilo ni mrefu sana?" Alishangaa na kuuliza. Watu wakaanza kumcheka na kuuliza kwani huyu ametoka wapi. Mimi sikuweza kushangaa sana kwani nilielewa fika kwamba kutembea kwingi ndio kuona mengi na yeye kwa kutokutembea sana basi hakuwa hajui mengi. Baada ya safari ndefu ya kusimama na kuendelea tulifika Nairobi. Viziwi husema Nairobi ni jiji la pendera mingi. Tuliekezwa hoteli moja ili tupate chakula cha mshindio. Wenzetu walikuwa wamechoka hoi bin tik kwasababu ya safari ndefu. Hotelini tulikaa na mwalimu wet kuagiza chakula. Lo chakula kilifika na kilinukia kama ua la waridi. Aisee! Chakula hicho kilikuwa kitamu asali ya malkia nyuki kando. Wanafunzi walilamba hadi viwiko vya mkono. Tuliweza kukaa hotelini kwa muda wa nusu saa. Tulirejea garini na kuendelea na safari. Baada ya saa mbili hivi, tulianza kukaribia Narok. Huko, jua liliadhibu ardhi sana. Lilikuwa jua la jioni ambalo huko ni sawa na jua la mchana ambalo tumelizoea kwetu Magharibi. Tulikuwa tumelisha macho yetu kwa vitu kadhaa. Si majengo si magari na hata watu wa matabaka mbali mbali. Tulinza kuchongeachongea katika mbuga hilo la Mara. Lo! Hao ni ndo.....!!! Nilishtushwa na mguzo wa dadangu. "Kaima! Kaima, amka utachelewa shuleni. Nilishtuka na kushangaa. Kumbe nilikuwa kwenye ruya tu. Niliangalia nje na kuona kweli kulikuwa kumepambazuka na huku sikuwa nimekamilisha kazi ya mwalimu wa hisabati. Isitoshe ilikuwa ni juma la mtihani shuleni. Nilianza kuwaza na kuwazua. Nitafanyaje hii kazi ya mwalimu na kipindi chake ndicho cha kwanza? Nilijiuliza. Nilijikokota kutoka kitandani na kuelekea bafuni huku ni kijiambia kwa kweli siku moja nitawahi tembelea mbuga ya wanyama ya Mara ama Tsavo. Kwa kweli ilikuwa ndoto ambayo sitawahi isahau. Nilichukua mkoba wangu nikaelekea shuleni nisijue ni lipi nitamweleza mwalimu wangu wa hisabati.
Tukio la nyumbu kuvuka hufanyika lini
{ "text": [ "baada ya kipindi kirefu" ] }
4805_swa
SIASA MBAYA MAISHA MBAYA Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali. Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya. Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali. Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo. Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya. Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika. Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
mfumo wa uongozi unaompa mtu mamlaka juu ya wengine huitwaje
{ "text": [ "Siasa" ] }
4805_swa
SIASA MBAYA MAISHA MBAYA Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali. Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya. Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali. Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo. Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya. Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika. Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
Nini kiliingia mnamo mwaka wa 1992
{ "text": [ "Demokrasia" ] }
4805_swa
SIASA MBAYA MAISHA MBAYA Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali. Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya. Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali. Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo. Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya. Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika. Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
Nani hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu
{ "text": [ "Vijana" ] }
4805_swa
SIASA MBAYA MAISHA MBAYA Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali. Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya. Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali. Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo. Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya. Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika. Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
Nini hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili
{ "text": [ "Ufisadi" ] }
4805_swa
SIASA MBAYA MAISHA MBAYA Siasa ni mfumo wa uongozi unaompea mtu mamlaka juu ya wengine. Hupatikana katika Kila jamii. Mataifa mbalimbali hujishugulisha katika siasa iwe siasa mbaya au nzuri. Siasa pia hupatikana katika familia, shuleni, kanisani na hata afisini. Kwa hivyo siasa inapatikana Kila mahali. Rais mstaafu Moi anakumbukwa Kwa msemo, " siasa mbaya maisha mbaya". Alipoisema Kwa mara ya kwanza, watu walifikiria alikuwa anaongelea demokrasia. Msimamo wake kisiasa kilionyesha hakukumbatia kanuni za demokrasia. Watu wengi wakadhani ya kwamba rais alimaanisha ya kwamba hiyo demokrasia wanayoitaka watu ingeleta maisha mbaya katika nchi ya Kenya. Demokrasia ikaingia mnamo mwaka wa 1992 watu wakafurahia Sana.Tusijue ya kwamba demokrasia bila uongozi mwema haileti tofauti yoyote kiuchumi. Baadaye maisha yalipoanza kuwa magumu ndipo wananchi walielewa maana ya huu msemo,"siasa mbaya maisha mbaya". Nyuso za watu zilizojaa furaha zikatanda huzuni. Maisha yakawa magumu Sana Kulingana na hapo awali. Kwa kawaida kidemokrasia ni wananchi wanaochagua wataongozwa na nani. Baada ya uchaguzi watu walijawa matumaini ya maisha mazuri lakini mwishowe wakapata kinyume cha matarajio Yao. Viongozi wale walipoingia mamlakani, Kila mmoja alishugulikia tu matakwa yake na ya familia. Hii ndio ilizalisha siasa mbaya tuliyonayo mpaka siku ya Leo. Siasa mbaya ikaleta shida zifuatazo tunazokumbana nazo Hadi siku ya Leo. Ufisadi hutokana na mifumo duni na ukosefu wa maadili. Hii imekuwa tatizo kubwa katika mataifa haswa bara la Afrika. Imekita Kambi katika mataifa haya Kwa miaka na mikaka. Tumeshuhudia kesi nyingi za viongozi haswa wa viwango vya juu wakitimuliwa uongozini sababu ikiwa ni hii. Kwa mfano, rais wa nchi ya Zimbabwe aling'atuliwa hivi majuzi juu ya hili. Mara nyingine kumekuwa na vita juu ya rasilimali Kwa Sababu wachache walio uongozini wanataka kunyakua ilhali wananchi wanateseka. Tukirejea nyumbani, fisadi wamekuwa wengi mno. Tangu Kenya kukumbatia ugatuzi, ufisadi imekuwa wa Hali ya juu na imesambaa Kila mahali. Pesa na hata kazi ikawa nadra Kwa mwananchi wa kawaida. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Watu wengi wameshindwa kujimudu kimaisha. Juu ya hii wengi wamekuwa na msongo wa mawazo na hata kujitia kitanzi. Sababu ni uongozi mbaya inayoletwa na siasa mbaya. Chakula ni hitaji la msingi Kwa Kila mwanadamu. Hii ni Kulingana na shirika la afya ulimwenguni. Kwa sababu ya kuzorota Kwa uchumi ya mataifa mengi, chakula kimekuwa nadra Sana Kwa kiwango Cha kwamba wengi hukaa njaa siku mingi bila mlo. Njaa imekuwa kitu ya kawaida. Kubadilika Kwa Hali ya anga pia imechangia. Kila mwaka mataifa ya kiafrika hupokea chakula Cha msaada kutoka uzunguni. Hii haimaanishi ya kwamba hatuna chakula humu. Shida ni uongozi mbaya. Maana siku zingine utasikia ya kwamba Tani ya vyakula vimeharibika. Kama vile mahindi kwenye gala la serikali. Hivyo njaa hii Kali hutokana tu navuongozi mbaya Kwa sababu nchi ya Israeli ni janga lakini bado inaleta msaada huku Afrika. Ghasia ya baada ya uchaguzi imekuwa kitu ya kawaida haswa taifa la Kenya. Mara nyingi vijana hupotoshwa na viongozi wasio na nidhamu ili kujiingiza Kwa vita. Kilichofanyika baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ni Moja wapo. Watu waliuliwa na Mali ya dhamana ya juu yakaharibiwa. Kwa sababu ya haya, inatupasa kama wananchi kuchagua viongozi wazuri bila kujali iwapo Wana pesa au la ili kujiondoa kwenye ulingo wa siasa mbaya.
Chakula ni hitaji la msingi kwa kila nani
{ "text": [ "Mwanadamu" ] }
4806_swa
SIKU YA KUFUNGA SHULE. Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa. Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari. Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku njema huonekana bukrata. Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha. Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi. Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati. Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni. Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana. "Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, " mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia nilikuwa najaribu kushindana nao. Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine. Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile. Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu. Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu. Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu. Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri, tuwao....." Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake, nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali lilionekama rangi ya mayai. Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba. Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke. Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo. Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson, alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu. Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi tulikuwa tu mguu niponye. Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu. Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani. Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu. Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo. Nilimshukuru Mola. "Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti. Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara. Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani. Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu upepo.
Shule ilifungwa lini
{ "text": [ "Ijumaa" ] }
4806_swa
SIKU YA KUFUNGA SHULE. Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa. Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari. Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku njema huonekana bukrata. Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha. Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi. Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati. Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni. Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana. "Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, " mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia nilikuwa najaribu kushindana nao. Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine. Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile. Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu. Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu. Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu. Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri, tuwao....." Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake, nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali lilionekama rangi ya mayai. Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba. Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke. Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo. Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson, alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu. Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi tulikuwa tu mguu niponye. Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu. Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani. Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu. Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo. Nilimshukuru Mola. "Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti. Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara. Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani. Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu upepo.
Upande wa mashariki ulikuwa wenye rangi gani
{ "text": [ "ya machungwa" ] }
4806_swa
SIKU YA KUFUNGA SHULE. Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa. Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari. Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku njema huonekana bukrata. Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha. Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi. Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati. Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni. Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana. "Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, " mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia nilikuwa najaribu kushindana nao. Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine. Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile. Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu. Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu. Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu. Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri, tuwao....." Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake, nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali lilionekama rangi ya mayai. Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba. Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke. Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo. Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson, alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu. Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi tulikuwa tu mguu niponye. Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu. Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani. Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu. Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo. Nilimshukuru Mola. "Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti. Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara. Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani. Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu upepo.
Nani hawakuwachwa nyuma
{ "text": [ "nyuni" ] }
4806_swa
SIKU YA KUFUNGA SHULE. Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa. Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari. Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku njema huonekana bukrata. Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha. Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi. Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati. Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni. Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana. "Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, " mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia nilikuwa najaribu kushindana nao. Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine. Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile. Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu. Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu. Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu. Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri, tuwao....." Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake, nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali lilionekama rangi ya mayai. Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba. Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke. Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo. Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson, alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu. Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi tulikuwa tu mguu niponye. Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu. Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani. Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu. Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo. Nilimshukuru Mola. "Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti. Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara. Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani. Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu upepo.
Alijitoma jikoni na kutafuta nini
{ "text": [ "maji" ] }
4806_swa
SIKU YA KUFUNGA SHULE. Ninapo kumbuka siku hiyo moyo hunidundadunda mithili ya Tokomire za Wazaramo. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Sote tulikuwa tumefurahi kwani tufungapo shule huwa tunapewa fursa ya kutembelea wavyele wetu. Siku yenye niliamka na kuchungulia dirishani. Jua la matlai lilikuwa lishachomoza huku upandea wa mashariki ukiwa wenye rangi ya machungwa. Nilitoka nje. Nje jua lilikuwa limesabahi nchi kwa miale yake ya zari. Umande nyasini ulikuwa ukicheza danedane. Nyuni angani hawakuwachwa nyuma. Walikuwa wakiimba nyia zao kuashiria siku mpya. Kwa kweli siku njema huonekana bukrata. Nilijitoma jikoni na kutafuta maji angalau ninawe miguu yangu. Maji yalipatikana na nikajiunga bafuni kushtaki uchafu wa usiku kucha. Nilinawa miguu kwa haraka kwani mwalimu wa zamu alikuwa simba. Nilienda jikoni na kuchukua kikombe angalau ni gonge kiu cha njaa ya asubuhi. Kwani nilikuwa mraibu wa majani chai. Ningekosa kunywa ningeripotiwa kwenye matangazo ya vifo. Usistaajabu hayo. Ukiona ya Firauni huenda ukakosekana duniani. Nilikimbia chumbani mwangu na kuvalia sare yangu ya shule. Kwa kawaida ifikapo Ijumaa sare zetu huwa zimechakaa na kufanana chokoraa. Mimi angalau nilikuwa safi kidogo. Mama yangu alikuwa adui wa uchafu. Angeniona kama nimechafuka, hiyo siku chakula kwangu sipati. Niliondoka kwa haraka kuelekea shuleni. Njiani nilikutana na wanafunzi wengine wakielekea shuleni. Nilijiunga nao na tukaanza kupiga domo kwenda shuleni. Tulipofika shuleni tuliwapata wanafunzi wengine wakifanya kazi za hapa na pale. Wanafunzi walikuwa wanaokota uchafu na wasichana kupanguza madarasa. Kwa kweli shule iliokana kila mtu anajishughulisha. Tukisafisha shule tulikuwa tukipiga hadithi. Tulijua kwamba huenda tukashinda muda mrefu bila ya kuonana. Tulichukua fursa hiyo tena kutangamana na wale waliotoka sehemu za mbali. Rafiki wangu Kadzo huyo alitoka sehemu za Ukambani na huenda nikamkosa kwa muda mrefu. Yeye alikuwa akiishi kwa shangaziye Ayuma. Ayuma alikuwa mmoja wapo wa bodi simamizi ya shule. Alipenda masomo sana. Shuleni alikuwa akija mara kwa mara. Basi tulimaliza shule na ya mgambo ikalia. Sote tulifahamu fika kwamba kuna jambo. Tulikimbia haraka hadi gwarideni. Wanafunzi hawakuweza kuficha furaha yao usoni. Walionekana wenye hamu ya kwenda makwao. Kadzo pia yeye kila mara alisema kwamba angepeta kuonana na dada zake. Ilikuwa ni muda mrefu bila kuonana. "Ningependa sote tuende kwenye chumba cha maamkuli. Tutakaa huko kwa sababu mawingu yameshaanza kutanda. Ukweli dalili ya mvua ni mawingu, " mwalimu wa zamu alinena. Nasi sote tukatimbua mbio huku wingu la vumbi likisherehekea kuondoka kwetu. Tulifika kwenye chumba cha maamkuli na sote tukaketi kitako. Nilikaa mkabala na Kadzo rafiki wangu. Tulikaa sehemu ya mwisho karibu na mlango. Wanafunzi walikuwa wakifanya kelel mithili ya parapanda. Ungedhani hata hiyo kelele ingewafanya viziwi kusikia. Walimu walianza kuingia mmoja baada ya mwengine. Walikuwa wamebeba matokeo ya mtihani. Wengine walibeba zawadi za kuwatunuku wanafunzi bora. Kadzo alikuwa miongoni mwa wale wanafunzi bora. Mimi pia nilikuwa najaribu kushindana nao. Walimu wote walifika na kisha ukumbi ukabaki kimya hata ungesikia mdundo wa sindano ukiangushwa. Walimu walianza kunena baada ya mwengine. Walijua kwamba mwezi wa Desemba huwa na sherehe kadha wa kadha. Ingekuwa vyema kuwashauri wanafunzi hao kutumisha heshima kule nyumbani na hata kufanya kazi ya ziada wafikapo nyumbani. Zamu ya mwalimu mkuu ilipofika tulifahamu kwamba siku ya kumla ndovu ilikuwa imefika. Mwalimu mkuu alikuwa akimaliza kuongea, tunapata matokeo na zawadi vile vile. Tumalizapo hapo, huelekea madarasani na kupewa ripoti tukapeleke nyumbani. Kufunga shule ilikuwa sasa karibu. Mwalimu mkuu alinyanyua kipasa sauti na kuanza. "Naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu pamoja na wanafunzi hamjambo? Leo hii ninafuraha kochokocho. Tulianza muhula vizuri hadi saa hii tunafunga shule vyema. Kwa kipindi hicho chote, hatujaweza kupoteza mmoja wetu. Walimu wote na wanafunzi tumekuwa salama. Sifa kwa Rabana. Tumpigie bwana makofi. Asanteni. Basi muendapo nyumbani mtiini wazazi wenu. Msikuwe wasichana na wavulana watundu. Wale ambao wanasafiri, tuwao....." Kabla mwalimu kufika hata katikati ya hotuba yake Kadzo alitoka nje kwani alikuwa amekazwa. Mimi naye kwa sababu nilikuwa mkia wake, nilimfwata kule nje. Kadzo alikuwa mkamba. " Kuna mti fulani wa mwembe huko karibu na shangazi yangu. Mara kwa mara nikipita huko huwa natamani sana, " Kadzo alisema. Tulikubaliana kwa kauli moja na tukaamua kutoroka shule kupitia ua la shule. Tulijua hu walimu wote walikuwa kwenye ukumbi kule. Kwenye majilisi hapakuwa na yeyote. Tulifanikiwa kutoka nje ya shule na kuelekea kule kondeni. Njiani tulipitana na kadamnasi. Wasijue lengo letu lilikuwa nini haswa. Baada ya muda mfupi tuliweza kufikia lile konde. Lilikuwa limepandwa miembe mingi sana. Kwa umbali lilionekama rangi ya mayai. Aiiisee! Nilishangaa. Tulipiga macho huku na kule kisha tukapenyeza hadi kule kwenye mwembe mmoja. Tulikaribishwa na harufu tamu tamu. Kadzo alipenda maembe sana. Usiniulize mbona. Labda kwa sababu yeye ni Mkamba. Hayo siyajui lakini Kadzo alikuwa anapenda maemba sana. Tuliparamia mti huo na tulipofika juu, tulianza kusherehekea maemba yale. Lo! Kwa kweli maemba yale yalikuwa matamu mno. Sherehe zilinokea na hata tukasahau tulikuwa na muda mchache tu na turejee shuleni. Tulikula maemba na kushiba ndi! Hatukuwa na haja ya kubeba mengine. Tungefanya hivo tungejulikana. Tuliamua sasa tushuke. Kabla hatujaanza kuteremka niliona joka kubwa aina ya Omweru. Joka huyo alikuwa amepanua mdomo kubwa. Nilishtuka na hata pumzi za kupiga nduru ziliiniishia. Nilijua tu mimi siku yangu humu dunia imefika kikomo. Kadzo pia aliona. Kwa kuwa Kadzo alikuwa mwenye nguvu kama Samson, alivunja jiti kubwa. Alieza kurusha ndani ya domo la lile joka. Joka lile likavamia lile jiti. Liliumauma na kumeza. Lilipokuwa likipambana kumeza sisi tulitoka mbio ungedhani tulikuwa tunafukuzwa na pepo mchafu. Hatukuwa na ufahamu hata tulikuwa tunakimbia tunaenda wapi. Sisi tulikuwa tu mguu niponye. Tulipokuwa tunakimbia kwa bahati mbaya nilianguka shimoni. Nilijua kwamba nitakuwa sawa. Nilianza kupumua kwa kazi. Huku nimetulia tu. Nilipokuwa nimetulia humo ndani, nilipitisha mguzo kwenye kitu fulani. Nilitetemeka mno. Doo! Yalikuwa mayai ya nyoka. Nilijua kwa kweli sikuwa na langu. Nilipokuwa tu nimezama kwenye fikra, nilihisi matone ya damu. Ilikuwa damu baridi sana. Kuangalia juu, lilikuwa lile nyoka. Sijui nifanye nini wala nitende nini. Kumbe shimo hilo lilikuwa makaazi ya joka lile. Moyo wangu ulianza kunidunda na kunitwigatwiga mithili ya kiwambo cha msondo. Joka hilo lilianza kuingia. Lilikuwa joka mrefu ajabu na la kutisha. Lilipofika katikati liliweza kusafiri jongomea bila nauli wala matwana. Kipande cha kijiti kile kililisakama koo. Nilimshukuru Mola. "Fuliza! Fuliza!" Nilisikia sauti ya Kadzo. Akufaye kwa dhiki ndio rafiki eti? Kadzo alirudi na kamba na kunivuta. Kwa bahati mzuri alinivuta na nikatoka salama salmini. Tuliweza kumsukuma nyoka yule kwenye lile shimo na sisi tukaondoka kuelekea shuleni. Baada ya muda mchache tu, tulifika shuleni na tukapata ni mahame. Kila mtu alikuwa amejiendea zake. Nilishindwa nitapeleka nini nyumbani? Sina ripoti. Kadzo vile vile alishangaa. Alijua tu akifika nyumbani atageuzwa ngoma ya kukesha. Shangazi yake alikuwa simba marara. Tulielekea nyumbani tukishindwa ni nini kinatungoja kule nyumbani. Nilijilaumu kwa kufwata Kadzo. Niliahidi sitakuwa pendera ya kufwata tu upepo.
Mbona alinawa miguu kwa haraka
{ "text": [ "mwalimu wa zamu alikuwa Simba" ] }
4807_swa
SIKU YA KWANZA SHULENI Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu nikaweka tayari Kwa safari. Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari yangu. Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani", mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule. Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni mtihani wa darasa la kwanza. Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza na hisabati. Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la kwanza au laa. Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia. Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani. Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi nyumbani na wazazi wao. Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
Nani walikuwa wengi mno
{ "text": [ "wanafunzi" ] }
4807_swa
SIKU YA KWANZA SHULENI Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu nikaweka tayari Kwa safari. Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari yangu. Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani", mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule. Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni mtihani wa darasa la kwanza. Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza na hisabati. Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la kwanza au laa. Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia. Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani. Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi nyumbani na wazazi wao. Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
Mama alipewa nini
{ "text": [ "maagizo" ] }
4807_swa
SIKU YA KWANZA SHULENI Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu nikaweka tayari Kwa safari. Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari yangu. Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani", mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule. Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni mtihani wa darasa la kwanza. Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza na hisabati. Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la kwanza au laa. Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia. Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani. Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi nyumbani na wazazi wao. Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
Mbona walianza mwendo kwa miguu
{ "text": [ "sababu hakukuwa magari ya kuelekea huko" ] }
4807_swa
SIKU YA KWANZA SHULENI Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu nikaweka tayari Kwa safari. Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari yangu. Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani", mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule. Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni mtihani wa darasa la kwanza. Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza na hisabati. Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la kwanza au laa. Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia. Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani. Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi nyumbani na wazazi wao. Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
Kengele ililia lini
{ "text": [ "baada ya muda mfupi" ] }
4807_swa
SIKU YA KWANZA SHULENI Hatimaye siku niliokuwa nimeingojea Kwa hamu na gamu ilifika. Hii ilikuwa siku kuu Sana maishani mwangu. Kwa hivyo niliamka asubuhi na mapema kabla ya jogoo kuwika. Nilijitayarisha vilivyo.Kisha nikachukua kiamsha kinywa. Nilichukua begi la shule lililokuwa na vitabu vyangu nikaweka tayari Kwa safari. Baadaye niliandamana na mama kuelekea shuleni. Sababu hakukuwa na magari za kuelekea huko, tulianza mwendo Kwa miguu. Nilijawa na furaha furi furi. Nilitembea Kwa mwendo wa aste aste. Wakati huo sikujali chochote ila kilichokuwa mawazoni mwangu ni lini nitakaofika mwisho wa safari yangu. Kabla ya saa mbili asubuhi kuwadia tulifika shuleni. Roho yangu ilianza kudunda kwani wanafunzi walikuwa wengi mno na sikujua hata mtu mmoja humo. Tulienda Moja Kwa Moja Hadi ofisini mwa mwalimu mkuu. Hapo mama alipewa maagizo. "Mwanangu, twende ukafanye mtihani wako huko darasani", mama aliniambia. Tulielekea upande mwingine ambapo wanafunzi walikuwa wachache. Ila nililokuwa nisilolijua ni kwamba kulikuwa na watoto wengine kama Mimi waliofaa kufanya mtihani ule. Baada ya muda mfupi kengele ililia ishara kwamba Kila mwanafunzi alifaa kuelekea darasani. Sisi tuliofaa kufanya mtihani wetu wa kwanza katika shule hiyo tulipelekwa katika chumba kimoja. Wazazi wetu waliambiwa wasubiri kwingine. Kila mtoto alipewa dawati lake. Tukaambiwa tuweke kalamu tayari. Kisha tukapewa karatasi ya mtihani. Huu ulikuwa ni mtihani wa darasa la kwanza. Moyo wangu ulianza kudunda. Nikajawa na hofu kwani huu ulikuwa mtihani wangu wa kwanza maishani. Sikujiamini ya kwamba nitaweza kupita mtihani wangu. Nilipoangalia pande zote, wale wenzangu walikuwa wameshugulika Sana. Wao walikuwa tayari washamaliza shule ya chekechea. Kwa hivyo walikuwa wamesoma Yale tuliyoletewa. Mimi nilikuwa tu na masomo ya nyumbani walionifunza ndugu zangu wakubwa. Hivyo nilijitahidi nikatia bidii ya mchwa mpaka mwisho. Baada ya muda, tulimaliza mtihani wa kwanza. Tukafanya mitihani mbili baada ya hiyo ya kwanza. Kwa jumla tulifanya majaribio tatu. Jaribio katika lugha ya kiswahili, kiingereza na hisabati. Ijapokuwa nilijitahidi vilivyo, mwalimu alipokuja na matokeo nilijawa na wasiwasi. Sikujua nitarajie Nini. Lakini nilikuwa na hakika ya kwamba nikipata matokeo mabaya nitakuwa nimemvunja mama moyo. Huu muda wote wazazi walikuwa bado wanatusubiri. Hivyo waliitwa wajumuike nasi ili kupata matokeo. Mwalimu alipoyachukua yale makaratasi, watu walitulia tulii. Mtihani huu ndio ulikuwa uamue iwapo mtu angeenda darasa la kwanza au laa. Alipofungua kinywa kuleta matokeo haya mwalimu, sikuamini nilichosikia. Nilidhani masikio yangu yalikuwa yananichezea shere. Jina alilolitamka la kwanza lilikuwa jina langu. Mimi nilikuwa wa kwanza Kwa hiyo mtihani. Niliibuka mshindi. Aliponikabidhi matokeo, sikuamini macho yangu. Hakika nilipata asilimia themanini na Tano. Aliendelea kusoma Hadi mwisho. Sisi tuliyokuwa tumepita mtihani tukapelekwa darasani na wengine wakarudi nyumbani na wazazi wao. Baada ya muda mfupi kengele ililia tena. Ishara kuwa masomo ya hiyo siku ilikuwa imekamilika. Kwa furaha nilichukuwa begi langu na kuelekea nyumbani. Hakika hii ilikuwa siku ya furaha na ya thamani maishani mwangu. Siku yangu ya kwanza shuleni.
Waliambiwa waweke nini tayari
{ "text": [ "kalamu" ] }
4808_swa
SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu. Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada. Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa. Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa. Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo. "Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo. Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu. Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu. Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
Maji bafuni yalikuwaje
{ "text": [ "Baridi" ] }
4808_swa
SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu. Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada. Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa. Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa. Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo. "Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo. Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu. Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu. Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
Nilijawa na nini
{ "text": [ "Furaha" ] }
4808_swa
SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu. Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada. Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa. Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa. Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo. "Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo. Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu. Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu. Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
Nani walitembea aste aste
{ "text": [ "Watu" ] }
4808_swa
SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu. Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada. Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa. Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa. Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo. "Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo. Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu. Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu. Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kufanya nini
{ "text": [ "Kupumzika" ] }
4808_swa
SIKU YA NDOVU KUMLA MWANAWE Maji bafuni yalikuwa baridi lakini kwa kuwa nilijawa na furaha, sikuhisi ubaridi huo. Niliyaacha yanitiririke kwa mwili wangu kama kwamba nanyeshewa angalau, yakatoe uchafu ulioganda mwilini mwangu. Akilini mwangu fikra za jinsi siku hyo ya ajabu ingekuwa zilikuwa hazinipi nafasi ya kuliwaza jambo jingine. Mikono nayo haikuzubaa ila ilifanya kazi ya kuusugua mwili wangu kihakikisha nimeng'ara. Ama kweli, ilikuwa siku ya kipekee sio kwangu tu ila kwa wale wote wangeiona siku hiyo yaani ilikuwa siku yetu. Baba kivyake kajipodosha tayari na mavazi yake ya kuoendeza, mama upande mwingine tayari alikuwa kidosho wa kipekee ungedhani ni yeye anaozwa na wala sio bintiye. Kila mtu kajinyoosha kistaarabu kweli . Harusi ya dada ingekuwa ya kivutia kweli kutokana na mwonekano wa watu asubuhi hiyo. Hanna aliyenuna kwa chochote kile kila mtu alitabasamu kiasi cha kuyaona magego. Mipango yote kutoka nyumbani ikakamilika nasi tukaamua tufike kabisa ilinkushuhudia ndoa ya dada. Ukistaajabu ya Musa basi hujayaona ya Firauni! Kanisa lilimetameta aina zote za maua. Mapambo yaliashiria furaha yenyewe ambayo ingekuwa hapo ndani siki hiyo. Watu walitembea aste aste na kuketi kitako huku burudani ikipeanwa kwao kupitia nyimbo tamu za kitaarab na mashairi kutoka kwa malenga magwiji. Kazi ya yeyote aliyekuwa hapo nadani ilikuwa basi kupimua na kitabasamu. Michezo ya kuigizwa ilichezwa na makindi tofauti yote yakilenga kudhihirisha umuhimu wa uaminifu kwa ndoa, umuhimu wa heshima na umuhimu wa subira kwenye ndoa. Punde si punde, kanisa lote lilikuwa limejaa hadi pomoni. Bwana harusi akawasili naye dada akawasili. Wote walikuwa wameandamanwa na wazazi ambao kwa sasa nitasema ni wazazi wetu. Padri akahubiri na kitupa mafunzo machache kuhusu ndoa, akatoa Nasaha kwa upande wa wawili hao wote na kuwatakia kila la heri. Padri aliomba kufunga ndoa hiyo kirasmi na hivyo kuhitaji wawili hao waelekee madhabaoni ili kiunganishwa. Shemeji wangu alikuwa janadume lililobugia mandondo likashiba ndi! Na misuli tinginya ilisheheni mwilini mwake. Macho yake ya kidume yalikuwa wazi kama mlinzi akaavyo wazi kumhakikishia mkubwa wake usalama. Ama kweli dadangu kajua kuteua kati ya wanaume. Dada kwa upande wake hakuavhwa nyuma alirembeka kiasi Cha kufanya mtu adhani Mungu kachukua siku zake zote kumuumba. Nywele za kijulfa, ngozi laini ajabu , shingo la upanga bila kisahau macho ya gololi. Wawili Hawa walichaguana vilivyo. "Na sasa nyinyi mumekuwa bwana na bibi mpaka pale kifo kitakapowatenganisha, kwa jina la baba, la mwana , la roho mtakatifu ," kila mtu akajibu Amina. Haya yote yalifanyika baada ya wawili hao kila kiapo chao Cha ndoa. Kina mama walisakata densi huku bwana na bibi harusi wakiwamegea vipande vya keki yao.watoto walirusha maua kila upande kuonyesha furaha na upendo uliokuwa ukisheheni. Binafsi nilijioata nimetabasamu nisijue kwa nini. Wazazi wa pande zote mbili walizungumza na kuwatakia wanao kila la heri katika kila hatua ya ndoa bila kisahau kuwakumbusha kuwa waendee wosia mara kwa mara ili kukuza ndoa hiyo. Bwana na bibi harusi walipokea zawadi zao Kem Kem kama mchanga wa baharinj huku kila mmoja akiwaombea kila la heri. Wazee kwa vijana hawakuweza kuficha furaha yao. Vigelegele vilisheheni huku dada na mchumba wake wakielekea garini ili waweze kuelekea kwao. Picha zilichukuliwa kwa wingi ili kuhifadhi na kukumbushana baadae kuhusu siku hiyo. Magari yaliyomsindikiza dada yalikuwa yamepodolewa ajabu. Bwana na bibi harusi hawakuchoka kitabasamu. Tulipowadia nyumbani kwa bwana na bibi harusi, tuliookelewa kwa vigelegele na nderemo. Densi za kila aina zilichezwa. Tukaoakuliwa mapochopocho kadri tumbo zetu zingeweza kukidhi, si biryani, si pilau, si mahamri sio vyapati yaani kila chakula ungetaka ungeendea tu. Nilikula moaka tumbo likakakataa nikasalimu amri basi. Tulishukuru sana kwa makaribisho hayo ya kiajabu. Bwana na bibi harusi waliombewa na kuruhusiwa kuoumzika. Tuliamua kurejea nyumbani tukiwa hoi kutokana na uchovu. Furaha tuliyokuwa nayo ilipungua tulipojilata tukirudi bila dada. Kusema kweli nikianza kumpeza mara hihi lakini alikuwa ashavuka kwenye daraja nyingine ya maisha. Nilikubali na tukaenda nyumbani. Ama kweli ilikuwa siku ya ndovu kumla mwanaye.
Nilijawa na nini
{ "text": [ "Furaha" ] }
4809_swa
SIMU Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano. Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii. Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana. Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua. Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea. Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu. Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo. Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi. Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika. Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha. Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri. Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia. Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii. Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
Ni nini kifaa cha kielektroniki kinachotumika katika mawasiliano
{ "text": [ "Simu" ] }
4809_swa
SIMU Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano. Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii. Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana. Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua. Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea. Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu. Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo. Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi. Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika. Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha. Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri. Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia. Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii. Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
Siku zimekuza nini
{ "text": [ "Biashara" ] }
4809_swa
SIMU Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano. Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii. Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana. Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua. Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea. Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu. Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo. Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi. Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika. Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha. Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri. Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia. Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii. Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
Simu imechangia katika nini
{ "text": [ "Ughaidi" ] }
4809_swa
SIMU Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano. Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii. Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana. Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua. Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea. Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu. Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo. Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi. Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika. Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha. Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri. Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia. Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii. Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
Simu zimefanya vijana kukosa nini
{ "text": [ "Maadili" ] }
4809_swa
SIMU Simu ni kifaa cha kielektroniki, kinachotumika katika mawasiliano. Mojawapo ya vyombo vya kiteknolojia. Simu pia huitwa; rununu, simutamba au hata rukono. Takriban watu zaidi ya milioni hapa nchini Kenya wanamiliki simu. Simu inashughuli nyingi mno. Lakini shughuli yake maalum ni mawasiliano. Simu kama vilivyo vyombo vingine vya mawasiliano, ina faida na hasara katika jamii. Hoja zifuatazo ni za faida za simu katika jamii. Kwanza , simu imerahisisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali. Siku hizi kwa kutuma simu ujumbe hufikia watu kadhaa walio katika sehemu mbalimbali za dunia. Simu zimepunguza umbali huo. Kwani mtu anaweza kuwa Kenya lakini ana wasiliana na mwenzako katika taifa la Marekani au hata mbali zaidi. Mawasiliano haya yamekuwa urafiki . Kwani kuwasiliana ni nusu ya kuonana. Pili, simu zimekuza biashara mbalimbali, kwani wanabiashara huwasiliana na wateja wao kupitia simu. Siku hizi kuna biashara za mtandaoni. Wengi hutumia simu ili kujua bei ya bidhaa hizo na kuziagiza. Bidhaa hizo huwafikia wanunuzi kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Hivyo kufanya biashara kukua. Tatu, simu zinatumika na wanafunzi katika kufanya utafiti na kusoma mtandaoni. Wengi hutumia intaneti kufanya utafiti wao. Baada ya janga la Korona kuadhiri shughuli muhimu kama vile elimu. Masomo ya mtandaoni yalikuwa suluhu. Na wengi wanasoma kwa kutumia mtandao wa 'GOOGLE MEET' na 'KENET' kwa njia ya simu. Na masomo yaliendelea. Nne, simu pia imetengeneza nafasi za ajira. Katika ofisi kubwa kubwa, mara nyingi kuna walioajiriwa ili wapokee simu mbalimbali kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi. Mtu huyu hulipwa kwa kazi hii. Pia kuna watu ambao hujishughulisha na utengenezaji wa simu hasa zilizoharibika. Wauzaji wa simu pia hufaidika sana, kwani watu hununua simu. Licha ya simu kuwa na faida. Simu pia zina hasara. Hasara za simu ni kama zifuatazo. Kwanza, simu imechangia katika ugaidi. Baadhi ya watu hushirikiana na makundi ya kikaidi. Watu hawa huwapa magaidi hawa ujumbe kupitia kwa simu. Mawasiliano yao huwa kwa ujumbe mfupi au mazungumzo ya simu. Kupitia simu magaidi hupata taarifa muhimu za kuwasaidia katika shughuli zao. Kiufupi ni kwamba simu imezidisha visa vya ugaidi. Pili, Imechangia ndoa nyingi kuvunjika. Simu imehatarisha ndoa nyingi za wakati huu. Wachumba wamekosa kuaminiana , kwa sababu wengi hushuku kwamba wanadanganywa. Simu za usiku na jumbe za mapenzi kwa watu wengine, husababisha ndoa kuvunjika. Tatu, simu ,kwa kutumia ujumbe mfupi, zimechangia kuharibika kwa lugha. Wengi huvunja sheria za lugha wanapowasiliana kwa ujumbe mfupi wa rununu. Haswa sana wengi hufupisha maneno ili kuwasiliana kwa haraka. Haswa sana lugha ya kiswahili hupitia mambo haya. Mfano maneno kama vile, 'sasa ',utapata yanaandikwa 'xaxa'. Huku ni kuvunja lugha. Nne, Simu pia hutatiza shughuli muhimu. Kwani utawapata wengi wanasahau kuzima simu zao wakiwa kanisani na milio inayotoka katika simu hizo huchukiza na kufanya watu watulie na kumtazama badala ya kumsikiliza mhubiri. Tano , simu zimefanya vijana wengi kukosa maadili. Wengi hutumia simu kutazama video zisizo stahili, kama vile ponografia. Baada ya kutazama, akili zao huwahimiza kujaribu walichokiona. Ni katika majaribio ambapo wengi vitendo kama ubakaji hutokea. Mimba za mapema na magonjwa ya zinaa pia, ni athari za utazamaji wa ponografia. Sita , simu zimechangia uzembe. Ni mara nyingi sana, utawapata vijana wamezubaa tu na kushinda wakibonyeza simu zao kutwa nzima. Bila kufanya kazi yoyote maalum. Utawaona wakicheka cheka tu , kwa kutazama video mtandaoni. Hasa sana mitandao ya kijamii. Niliyajadili hapo juu ni baadhi tu ya hasara na faida za rununu katika jamii. Zipo nyingine tele. Ni wazi kwamba simu hazina shida lakini sisi tunaozitumia ndio huzifanya kuonekana kama chombo kibaya. Tuwe makini tunapotumia simu ili tufaidike na tufaidi jamii.
Kwa nini vijana wanacheka wakiangalia simu
{ "text": [ "Kwa sababu ya kutazama video mtandaoni" ] }
4810_swa
MKE WANGU Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja. Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao. Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo. Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao. Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake. Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
Mke wake anaitwa nani
{ "text": [ "Bi. Amina Suwari" ] }
4810_swa
MKE WANGU Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja. Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao. Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo. Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao. Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake. Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
Bi. Amina ana kazi gani
{ "text": [ "ya ususi" ] }
4810_swa
MKE WANGU Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja. Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao. Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo. Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao. Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake. Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
Mbona wamtangulize Maulana katika kila jambo
{ "text": [ "ili baadaye wasije wakajuta" ] }
4810_swa
MKE WANGU Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja. Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao. Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo. Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao. Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake. Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
Mke wake huomba lini
{ "text": [ "kabla hajaanza siku" ] }
4810_swa
MKE WANGU Mke wangu ni Bi Amina Suwari.Ni mwanamke aliye mrembo Kwa hakika.Kwa bahati nzuri sura yake imefanana Kwa kiasi kikubwa na roho yake.Ni karimu anayependa kusaidia watu wasiojiweza katika jamii licha ya kipato chake kidogo ambacho anakipata kutokana na kazi yake ya ususi.Bi Suwari hupenda kujirembesha Kwa kila aina ya vipodozi ila hufanya hivyo Kwa ustadi mkubwa sana.Mke wangu amebarikiwa na mabinti watatu na mvulana mmoja. Mbali na kupenda kujipodoa hubenda pia kusafiri sehemu mbalimbali za nchi.Kila Mara anapopata fursa ya kuzuru maeneo mbalimbali,yeye hujaribu kadri awezavyo na kubeba kila kitu kitakachohitajika katika safari hiyo ikiwemo mavazi,chakula na vinywaji.Mke wangu ni mwanamke sampuli yake anayependa kujisitiri kwa kuvaa magauni marefu yanayoficha sehemu zake za mwili.Yeye huhakikisha kwamba hata wasichana wetu anawafunza kujifunika miili yao ili wanapokuwa watu wazima wafanye hivyo kama mazoea kwao. Vilevile Mke wangu ni mtu anayependa Mungu Kwa upendo uliokithiri Kwa sababu hunihimiza kila mara tumtangulize Maulana katika kila jambo tunalonuia kulifanya ili baadaye tusije tukajuta.Ni kawaida kama ibada kwake kuomba kabla hajaanza Siku na kuhimiza familia kufanya hivyo.Yeye yuko hasa katika dini ya ukirsto ambayo huhudumu kanisani kama mwimbaji wa sifa na kuabudu.Sauti yake nyororo anapoimba huwafanya watu wengi kumrudia Muumba wao pindi waisikiapo. Isitoshe Mke wangu hupenda watoto wadogo Kwa umri Kwa kuwa anaamini ipo siku ambapo yeye alikuwa kama wao na alihitaji mwongozo kutoka kwa watu wazima na akaupata hivyo huona ana jukumu kwao.Huwahimiza watoto hawa kuwa na heshima Kwa watu wote na Mungu wao. Licha ya Mke wangu kuwa na talanta ya ususi pia huwa mpishi hodari.Harufu ya chakula anachotayarisha huzagaa hewani na kualika hata wapita njia ambao huvumilia harufu na kuenda zao.Upishi wake hufungamana na viungo kadhaa vya mapishi.Maandalizi ya vyakula vyake huchukua muda ila chakula kinapopakuliwa hauishi kumeza mate na kuking'ang'ania licha ya kuwa tumbo lishapokea kiasi chake. Kwa kweli nampenda mke wangu sana kwa vile hunipa amani ninapokuwa karibu naye na ni ombi langu Kwa Mungu kwamba azidi kumpa afya njema na kuishi kwingi ili azidi kuwafaa wengi katika jamii.
Huwahimiza watoto kuwa na nini
{ "text": [ "heshima" ] }
4811_swa
AJALI ISIYOFIKIRIKA Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao. Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele. Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali. Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza. Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani. Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
Wasafiri walipenda chakula cha nani
{ "text": [ "Mtoshelezi" ] }
4811_swa
AJALI ISIYOFIKIRIKA Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao. Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele. Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali. Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza. Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani. Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
Mwajiriwa wa mkahawa alipopatwa na dharura Mtoshelezi alifanya nini
{ "text": [ "Alimtumia hela ili atatue tatizo lililomsibi" ] }
4811_swa
AJALI ISIYOFIKIRIKA Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao. Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele. Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali. Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza. Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani. Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
Mtoshelezi alipatwa na mkasa upi
{ "text": [ "Mshtuko wa moyo" ] }
4811_swa
AJALI ISIYOFIKIRIKA Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao. Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele. Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali. Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza. Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani. Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
Ni kitu gani kilichomsababishia Mtoshelezi maumivi
{ "text": [ "Alichomwa kwa mafuta yakamtoa ngozi mguu" ] }
4811_swa
AJALI ISIYOFIKIRIKA Mtoshelezi kama alivyojulikana eneo la Jiokoe alikuwa mtu Wa kujituma.Jina hili la kimsimbo alipewa na waja kutokana na biashara yake ya kupika vyakula aina ainati ambavyo vingemaliza njaa ya wasafiri waliotoka safari ndefu.Kila uchao ungeona foleni ya watu katika mkahawa wake wakisubiri wapate mlo walioagiza.Wakati mwengine ilikuwa vyema uagize mapema ili usikose ulichohitaji.Mtoshelezi alipenda wateja wake na kufanya kila juhudi ili kuwahudhumia.Ijapokuwa alikuwa na wafanyakazi wengine aliokuwa amewaajiri,yeye alihakikisha kwamba anawasikiza wateja kutokana na matakwa yao. Siku nenda siku rudi yeye alikuwa akipika vyakula na kuwapa wahudumu wawapelekee wateja waliokuwa wamekaa mkahawani.Alifanya kazi yake Kwa bidii ya mchwa na kuepuka kuwadhulumu wateja na waajiriwa wake.Wahudumu walipata mshahara wao Kwa wakati na Kwa ukamilifu na Iwapo kuna mfanyakazi atachelewa kuja kazini au kukosa kufika kabisa angempigia rununu ili ajue sababu yake ya kutofika kazini.Baada ya kumpigia huwaza na kuwazua na iwapo angepata taarifa kwamba amepatwa na dharura atamtumia hela ili atatue tatizo lililomsibu.Mfanyakazi Huyo anaporudi hupokelewa na mikono miwili bila kupigiwa kelele. Kazi iliendelea kama kawaida mpaka Jumatano moja mzee huyu alipokumbwa na mkasa wa kushtua moyo.Alifika kazini kama kawaida yake na kuanza pilkapilka zake kama kawaida yake.Aliwasha jiko na kubandika chai kisha kwenye jiko jingine akabandika mafuta tayari kuchoma mahamri.Meko haya yalitumia kuni.Alianza kuchoma mahamri akiwa na furaha Kwa kuwa muumba wake amempa fursa nyingine ya kutenda wema kwa watu.Baada ya nusu saa hivi alikuwa amekaribia kumaliza shughuli hii kwa kuwa kwake ni kama mazoea ila kumbe kwa zile haraka zake alikuwa amekanyaga ukuni uliokuwa unawaka na ukuni huo ukagonga karai ya mafuta na kummwagikia miguuni.Mtoshelezi aliungua huku akipiga mayowe ila mafuta moto yaliendelea kumtoa ngozi na kumsababishia maumivu makali. Mayowe yake yalisambaa na kusababisha umati mkubwa kumiminika.Wahudumu waliokuwa wamefika na wameanza kufanya usafi waliacha shughuli zao na kukimbia kumwokoa.Walimzoazoa na kumtoa Mtoshelezi pale alipokuwa ameanguka kutokana na maumivu.Umati uliokuwa umekusanyika walipoona hali ya mambo yaliyojiri kuna baadhi walijitolea kumpeleka hospitali na wengine kumfanyia huduma ya kwanza. Wakati kisa hiki kilikuwa kinafanyika mzee huyu alikuwa hana mke wala watoto wakumuuguza.Inasemekana aliwapoteza kwa ajali mbaya ya barabarani.Mtoshelezi alifika hospitali mnamo saa tano kamili asubuhi na akaanza kuhudumiwa mara moja.Kutokana na huduma yake nzuri na moyo wake wa ukarimu alipata mtu aliyejitolea kumlipia deni la hospitali kulingana na siku alizolazwa kule.Maumivu yalizidi kumsumbua hata akakosa amani. Kwa yakini hii ilikuwa ajali isiyofikirika.
Mbona Mtoshelezi hakuwa na jamii yake
{ "text": [ "Waliangamia katika ajali ya barabarani" ] }
4812_swa
Ukame Wa maadili Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili. Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali. Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu. Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii? Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi. Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo. Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri. Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
Ulimwengu wa leo uadilifu umefanywa nini
{ "text": [ "umepuuzwa sana" ] }
4812_swa
Ukame Wa maadili Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili. Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali. Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu. Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii? Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi. Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo. Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri. Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
Waathiriwa wakubwa wa uadilifu ni nani
{ "text": [ "wanawake" ] }
4812_swa
Ukame Wa maadili Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili. Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali. Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu. Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii? Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi. Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo. Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri. Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
Uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kufanya nini
{ "text": [ "kulegeza kamba" ] }
4812_swa
Ukame Wa maadili Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili. Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali. Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu. Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii? Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi. Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo. Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri. Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
Visa vya uhalifu shuleni vilianza kuongezeka lini
{ "text": [ "viboko vilipoondolewa" ] }
4812_swa
Ukame Wa maadili Ulimwengu Wa leo uadilifu umepuuzwa sana.Unapotembea,ukitazama runinga au kusikiliza redio utapata kusikia yaleyale.Suala hili limeathiri si wanawake pekee bali pia wanaume.Waathiriwa wakubwa ni hasa wanawake.Ukosefu Wa maadili hufungamana na matamshi ya wahusika,mavazi na hata matendo yao.Kulingana na mambo yanavyojiri ni kama kwamba jamii imekubali hali ilivyo kutokana na jinsi ambavyo wamenyamazia suala hili. Wasichana wa kizazi hiki hupendelea kuvaa gauni,skati na blauzi fupi.Vilevile hupendelea kuvaa suruali kama kwamba wao ni wanaume.Kwa hakika siku hizi hakuna tofauti baina ya wasichana na wavulana.Gauni hizi fupi huweza kuonyesha mapaja yao na hata jinsi miili yao ilivyo kwa kupenda kuvaa nguo zilizowabana bila kujali kwamba watatembea nazo mbele ya waume za watu.Wanawake wengine wanavaa nguo zinazowafanya wawe nusu uchi na kutembea barabarani na hata bila kujali. Utapata watoto wadogo wakitoa cheche za matusi kwa wakubwa wao bila hata tahadhari.Watoto waliobaleghe wanadhubutu kutoa nguo mbele ya umati na kufanya kitendo cha ndoa.Je, tufanye nini ili jamii isididimie?Licha ya hayo watoto wadogo wanawavamia watu wazima na kuwapoka mali huku wakiwaamrisha jinsi watakavyo.Utaona mzee wa makamo ana mahusiano ya kimapenzi na msichana mdogo umri wa mtoto wake na mwanamke kuwa na mahusiano ya huba na ghulamu mwenye umri mdogo tu. Zaidi ya hayo kutia msumari moto kwenye kidonda kumekuwa na visa vya hali ya kunajisiana kwa watu wenye damu moja.Ndoa za watu wa jinsia moja zimehalalishwa bila kujali matokeo.Mihadarati imekuwa kama chakula cha kila siku.Kila siku unapotembea mitaani hukosi kuwaona watoto wakivuta gluu na kupora watu.Ufisadi umekithiri na wanaongoza ni wale ambao wanafaa kuongoza wale ambao hawajajua uhalisia wa maisha.Visa hivi vitaisha lini iwapo hakutakuwa na ushirikiano wa wanajamii? Ukosefu ama uhaba wa maadili umesababishwa na wanajamii kulegeza kamba.Hebu fikiria hili suala la viboko kuondolewa shuleni lilivyoongeza visa vya uhalifu shuleni.Wanafunzi wameupata uwezo juu ya walimu wao na kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa.Mbali na hayo wanafunzi wamekuwa kama washika dau shuleni.Kuwalaumu wazazi hakutasaidia bali ni vizuri kila mmoja atambue kwamba amepotoka na kujirudi. Unapotazama jamii ya sasa ni marufuku mtu mwengine kumwadhibu mtoto ambaye hajamzaa.Jambo hili linawafanya watoto kufura vichwa hasa wakiwa sehemu ya mbali na wazazi wao.Teknolojia pia imechangia uporomoshaji wa maadili kwa kuwa imesababisha uporomoshaji wa vipindi ambavyo vina wahusika waliopotoka.Suala jingine ni wazazi kukosa wakati na watoto wao.Wazazi wa sasa wanathamini pesa kuliko hata watoto wao.Watoto huhisi upweke na hapo ndipo hupata walimu waliobobea katika kutekeleza maovu na kuwashauri visivyo. Jamii imekuwa ya kufurahikia vituko vinavyotendeka badala ya kukashifu na kushughulikia wahalifu vilivyo.Utaona wanajamii wakimsuta msichana aliyenajisiwa kwenye mitandao ya kijamii na kumdharau bila kuchunguza nini hasa kilichojiri. Wanajamii wanafaa kuamka kutokana na usingizi waliolala kwa sababu usipoziba ufa utajenga ukuta.Kila mmoja anafaa kujukumika na mambo yanayomhusu na kuhakikisha kwamba anatekeleza yale anayostahili kufanya.Hebu tupunguze uigizaji.Wazungu hufanya mambo wanavyofikiria ni sawa lakini sisi tunastahili kufanya tukijua ni jambo njema.Tutaendelea kudhamiria jamii iliyo na amani na utulivu lakini tusipojishughulisha kuijenga itabaki kuwa ndoto tu.
Kuondolewa kwa viboko shuleni kumeongeza visa vya uhalifu aje
{ "text": [ "wanafunzi kuteketeza mali iliyogharimu kiasi kikubwa cha pesa" ] }
4813_swa
FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake. Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane. Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni. Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo. Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma. Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia. Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
Nani alikuwa amejawa na furaha
{ "text": [ "Juma" ] }
4813_swa
FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake. Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane. Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni. Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo. Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma. Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia. Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
Juma aliamka siku gani akiwa amefurahi
{ "text": [ "Alhamisi" ] }
4813_swa
FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake. Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane. Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni. Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo. Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma. Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia. Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
Subira alitaka kuhudhuria nini ya mpenzi wake
{ "text": [ "Mahafali " ] }
4813_swa
FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake. Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane. Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni. Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo. Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma. Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia. Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
Tairi ngapi za basi zilikuwa zimepasuka
{ "text": [ "moja" ] }
4813_swa
FURAHA ILIYOGEUKA MAJONZI Juma alikuwa amejawa na furaha siku hiyo isiyo na kifani.Siku aliyokuwa ameisubiria Kwa hamu ilikuwa imewadia.Siku yake ya mahafali.Mahafali haya yalikuwa kama ndoto kwake.Yaliyopelekea jambo hili ni kutokana na jinsi alivyokuwa amesoma kwa shida.Aliweza kupoteza baba yake hata kabla hajajiunga na chuo kikuu.Licha ya hayo yote aliweza kuibuka mwanafunzi hodari katika shule aliyokuwa akisomea akimaliza kidato cha nne.Kwa bahati nzuri akapata mfadhili ambaye alijitolea kumlipia karo hadi akamilishe chuo kikuu.Elimu yake iliingia doa pale ambapo mfadhili wake alipatwa na ugonjwa wa saratani na kupoteza maisha yake. Aliamka Alhamisi hiyo akiwa amefurahi ghaya ya kufurahi,akajitayarisha huku akionekana mwingi wa tabasamu.Mama yake Bi Stahimili alimwandalia kisebeho kitamu mithili ya asali na punde tu alipomaliza matayarisho yake alijikuta sebuleni akibugia chai ya kahawa na viazi tamu vilivyoungwa kwa nazi.Alikula chakula chake na kumsihi mama yake waandamane katika hafla ile kuu ambayo ingebadilisha hali ya maisha yao.Mama alijaribu kutoa vijisavabu ili asiandamane naye lakini Juma alisisitiza kuwa waandamane. Baada ya mama kukubali kwenda na mtoto wake kwenye sherehe ingawa shingo upande,Juma alipiga mbio hadi kwenye chumba chake cha kulala na kutoa gauni zuri alilokuwa amemnunulia mama yake kwa ajili ya siku ile.Mbali na gauni alimchukulia pia mkufu wa dhahabu na herini zilizofanana na mkufu ule. Ilikuwa rahisi Kwa Bi Stahimili kupokea zawadi ile na kujitayarisha barabara. Haikuchukua muda kabla ya mama na mwana wake kuabiri gari ili kuelekea ukumbi wa sherehe.Njiani Juma alimweleza mama yake namna ndoto yake ya kuwa daktari itakuwa kitu halisi karibuni. Vilevile alimjuza kwamba anajivunia kuwa na mama kama yeye kwa sababu baada ya baba yake kuiaga dunia alikuwa na Juma sako Kwa bako na kumhimiza kila wakati kuishi ndoto zake licha ya misukosuko ya maisha.Alimfahamisha kwamba siku ile ilikuwa si tu ya furaha kwake bali kwao wote.Juma alifunua kurasa za sifa Kwa mama yake ukurasa baada ya ukurasa.Juma alionekana kupotea katika bahari ya luja baada ya kitambo kidogo kumbe alikuwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kumtunza mzazi wake kipenzi atakapofaulu siku hiyo. Juma alikuwa na mchumba ambaye alikuwa akimpenda kama pumzi ya roho yake na ambaye alikuwa amemwahidi ndoa punde tu atakapofuzu.Subira alikuwa amekubali kupendwa na akapenda.Hivyo basi siku hii asingeweza kukosa kuhudhuria mahafali ya mpenzi wake.Wandani hawa walikuwa wamekubaliana kwamba watahalalisha uhusiano wao pindi Juma atakapofuzu na kuanza maandalizi ya ndoa yao.Ndani mwa basi abiria wengine walikuwa wamefyata midomo isipokuwa Juma. Dereva wa basi aliendesha kwa utaratibu huku akijali maisha yake na ya abiria wake.Cha kushangaza ni kuwa licha ya dereva kwenda pole,kilomita chache kabla ya kufika ukumbi wenye hafla kulisikika sauti iliyohinikiza.Sauti hii ndiyo iliyowaamsha wote waliokuwa wamelala na kuwazindua wale ambao walikuwa wamezama katika mawazo.Abiria mmoja akasika akiuliza,''Jamani nini hicho?'' Ila dereva alipuuza na hata kutia mafuta asilolijua ni kuwa tairi moja la basi lilikuwa limepasuka na punde si punde basi lilianza kubingirika.Mbingiriko huo wa basi uliyakatiza maisha ya Juma na kumsaza mama yake akiwa hali mahututi kwa sababu basi lilipoanza kubingirika lilimtupa mama nje kupitia dirisha lililokuwa wazi na kumfikisha kwenye tawi la mti ambapo alipatikana na wapita njia. Subira alipopata habari za tanzia kuhusu laazizi wake alipatwa na mshtuko wa moyo na kwenda jongomeo.Licha ya Bi Stahimili kukimbizwa hospitali haraka iwezekanavyo alikata roho pindi alipofikishwa hospitalini kwa kuwa alikuwa amevuja damu nyingi.Siku hiyo tamu ikageukachungu kwa familia ya Juma.
Kwa nini basi lilibingiria
{ "text": [ "Gurudumu moja lilikuwa limepasuka" ] }
4814_swa
Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu. Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya. Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47. Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu. Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi nzima. Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na kushughulikiwa ipasavyo. Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu, Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo. Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na watawaliwa. Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru jamii. Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa. Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la "kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa mwananchi. Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila nchini. Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti. Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo, kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja. Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na shughuli nyingine. Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
Kupitia kwa katiba ya mwaka upi ndio ugatuzi ulianzishwa
{ "text": [ "2010" ] }
4814_swa
Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu. Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya. Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47. Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu. Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi nzima. Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na kushughulikiwa ipasavyo. Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu, Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo. Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na watawaliwa. Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru jamii. Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa. Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la "kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa mwananchi. Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila nchini. Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti. Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo, kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja. Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na shughuli nyingine. Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
Ugatuzi umeregesha nini katika nyanja za chini
{ "text": [ "uongozi" ] }
4814_swa
Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu. Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya. Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47. Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu. Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi nzima. Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na kushughulikiwa ipasavyo. Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu, Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo. Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na watawaliwa. Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru jamii. Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa. Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la "kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa mwananchi. Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila nchini. Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti. Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo, kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja. Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na shughuli nyingine. Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
Nani wanaweza kushiriki katika maendeleo mashinani
{ "text": [ "Wakenya" ] }