Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
4838_swa | UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO
Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za
jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu
kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga
kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale
wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa
mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii.
Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii.
Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga
nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni,
malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika
maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji
wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza
michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo.
Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa
wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili
huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri
mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika
familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na
wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya
watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii.
Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu
kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi.
Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko
vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona
kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na
uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama
watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa.
Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili
yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa
zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii
kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la
michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha.
Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati
watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo
kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama
wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo
hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo
ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha
na mambo hayo.
Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo
zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba
na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye
familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji
walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa
ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa
jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na
kuruka kamba.
Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya
fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo
tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo
yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni.
Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za
utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika
jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
| Watoto huwa wabunifu sana katika nini | {
"text": [
"Maigizo"
]
} |
4838_swa | UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO
Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za
jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu
kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga
kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale
wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa
mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii.
Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii.
Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga
nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni,
malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika
maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji
wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza
michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo.
Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa
wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili
huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri
mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika
familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na
wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya
watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii.
Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu
kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi.
Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko
vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona
kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na
uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama
watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa.
Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili
yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa
zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii
kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la
michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha.
Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati
watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo
kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama
wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo
hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo
ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha
na mambo hayo.
Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo
zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba
na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye
familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji
walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa
ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa
jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na
kuruka kamba.
Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya
fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo
tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo
yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni.
Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za
utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika
jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
| Michezo ya watoto inakuza nini | {
"text": [
"Maadili yanayofaa k.v ujasiri, udadisi nk"
]
} |
4839_swa | Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe
Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu
familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya
sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya
kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura
tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika
makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi
kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu
hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma.
Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia
hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku
rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia
zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja
baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake
walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na
hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada
ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua
mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku
alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani.
Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara
ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua
yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota
angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili
kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na
ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa
hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata
majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie
siri ya utajiri wake.
Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea
kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze
kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa
kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa
mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka
kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo
moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri
akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia
yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake.
Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga
kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae
naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na
hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza
Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi
mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo
alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda
alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini.
Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua
mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata
vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana
ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka
kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa
ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye
nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na
pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na
wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote
huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki.
Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa
gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na
magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa
kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali
alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena
pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili
ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea
kidole cha lawama.
Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza
shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo
kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki
Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona
baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna
mgonjwa ambaye anachungulia kaburini.
Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona
tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake
anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa
kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi
mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira
kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe
ila mzaliwa nawe.
| Nani aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu? | {
"text": [
"Riziki"
]
} |
4839_swa | Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe
Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu
familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya
sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya
kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura
tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika
makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi
kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu
hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma.
Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia
hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku
rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia
zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja
baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake
walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na
hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada
ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua
mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku
alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani.
Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara
ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua
yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota
angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili
kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na
ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa
hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata
majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie
siri ya utajiri wake.
Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea
kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze
kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa
kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa
mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka
kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo
moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri
akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia
yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake.
Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga
kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae
naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na
hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza
Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi
mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo
alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda
alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini.
Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua
mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata
vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana
ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka
kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa
ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye
nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na
pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na
wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote
huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki.
Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa
gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na
magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa
kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali
alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena
pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili
ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea
kidole cha lawama.
Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza
shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo
kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki
Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona
baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna
mgonjwa ambaye anachungulia kaburini.
Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona
tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake
anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa
kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi
mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira
kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe
ila mzaliwa nawe.
| Mbona Riziki alichukia familia yake? | {
"text": [
"Ilikuwa maskini"
]
} |
4839_swa | Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe
Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu
familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya
sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya
kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura
tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika
makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi
kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu
hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma.
Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia
hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku
rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia
zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja
baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake
walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na
hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada
ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua
mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku
alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani.
Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara
ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua
yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota
angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili
kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na
ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa
hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata
majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie
siri ya utajiri wake.
Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea
kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze
kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa
kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa
mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka
kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo
moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri
akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia
yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake.
Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga
kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae
naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na
hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza
Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi
mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo
alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda
alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini.
Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua
mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata
vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana
ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka
kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa
ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye
nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na
pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na
wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote
huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki.
Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa
gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na
magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa
kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali
alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena
pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili
ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea
kidole cha lawama.
Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza
shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo
kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki
Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona
baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna
mgonjwa ambaye anachungulia kaburini.
Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona
tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake
anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa
kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi
mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira
kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe
ila mzaliwa nawe.
| Wazazi wake Riziki walijulikana kama nani? | {
"text": [
"Bw. na Bi Mkarimu"
]
} |
4839_swa | Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe
Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu
familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya
sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya
kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura
tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika
makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi
kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu
hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma.
Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia
hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku
rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia
zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja
baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake
walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na
hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada
ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua
mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku
alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani.
Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara
ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua
yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota
angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili
kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na
ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa
hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata
majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie
siri ya utajiri wake.
Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea
kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze
kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa
kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa
mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka
kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo
moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri
akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia
yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake.
Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga
kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae
naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na
hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza
Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi
mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo
alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda
alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini.
Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua
mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata
vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana
ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka
kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa
ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye
nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na
pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na
wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote
huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki.
Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa
gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na
magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa
kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali
alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena
pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili
ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea
kidole cha lawama.
Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza
shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo
kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki
Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona
baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna
mgonjwa ambaye anachungulia kaburini.
Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona
tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake
anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa
kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi
mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira
kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe
ila mzaliwa nawe.
| Nini haikukosekana kila siku ya juma nyumbani mwa Bw. na Bi Mkarimu? | {
"text": [
"Ugomvi"
]
} |
4839_swa | Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe
Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu
familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya
sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya
kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura
tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika
makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi
kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu
hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma.
Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia
hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku
rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia
zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja
baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake
walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na
hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada
ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua
mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku
alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani.
Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara
ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua
yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota
angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili
kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na
ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa
hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata
majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie
siri ya utajiri wake.
Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea
kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze
kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa
kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa
mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka
kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo
moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri
akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia
yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake.
Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga
kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae
naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na
hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza
Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi
mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo
alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda
alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini.
Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua
mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata
vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana
ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka
kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa
ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye
nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na
pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na
wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote
huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki.
Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa
gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na
magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa
kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali
alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena
pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili
ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea
kidole cha lawama.
Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza
shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo
kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki
Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona
baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna
mgonjwa ambaye anachungulia kaburini.
Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona
tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake
anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa
kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi
mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira
kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe
ila mzaliwa nawe.
| Riziki alikuwa wa jinsia gani? | {
"text": [
"Kike"
]
} |
4840_swa | Mtu hujikuna ajipatapo
Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya
kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi
ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa
mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha
chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine
ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu
vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji
lolote angetimiziwa kwa wakati.
Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku
akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu
angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni
wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa
mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi
alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake
mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile.
Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama
na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule
mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa
kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima
ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo
alifurahia maisha ya dunia hii.
Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka
karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila
kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote
walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe
licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani
zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote
walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao.
Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa
tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na
likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya
atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali
haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa
yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya
mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa
imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe
anajilipia karo.
Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na
bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na
mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba
alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na
kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa
mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila
kupinga.
Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa
zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara
ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani
na kuyakumbatia maisha yake mapya.
| Daniel alilelewa katika maadili yapi? | {
"text": [
"Kikiristo"
]
} |
4840_swa | Mtu hujikuna ajipatapo
Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya
kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi
ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa
mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha
chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine
ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu
vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji
lolote angetimiziwa kwa wakati.
Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku
akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu
angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni
wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa
mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi
alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake
mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile.
Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama
na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule
mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa
kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima
ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo
alifurahia maisha ya dunia hii.
Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka
karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila
kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote
walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe
licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani
zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote
walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao.
Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa
tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na
likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya
atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali
haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa
yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya
mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa
imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe
anajilipia karo.
Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na
bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na
mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba
alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na
kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa
mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila
kupinga.
Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa
zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara
ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani
na kuyakumbatia maisha yake mapya.
| Babake Daniel aliendesha gari la aina gani? | {
"text": [
"Kifahari"
]
} |
4840_swa | Mtu hujikuna ajipatapo
Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya
kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi
ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa
mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha
chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine
ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu
vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji
lolote angetimiziwa kwa wakati.
Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku
akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu
angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni
wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa
mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi
alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake
mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile.
Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama
na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule
mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa
kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima
ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo
alifurahia maisha ya dunia hii.
Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka
karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila
kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote
walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe
licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani
zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote
walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao.
Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa
tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na
likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya
atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali
haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa
yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya
mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa
imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe
anajilipia karo.
Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na
bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na
mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba
alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na
kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa
mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila
kupinga.
Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa
zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara
ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani
na kuyakumbatia maisha yake mapya.
| Nani aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani? | {
"text": [
"Daniel"
]
} |
4840_swa | Mtu hujikuna ajipatapo
Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya
kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi
ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa
mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha
chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine
ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu
vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji
lolote angetimiziwa kwa wakati.
Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku
akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu
angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni
wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa
mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi
alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake
mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile.
Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama
na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule
mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa
kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima
ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo
alifurahia maisha ya dunia hii.
Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka
karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila
kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote
walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe
licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani
zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote
walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao.
Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa
tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na
likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya
atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali
haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa
yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya
mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa
imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe
anajilipia karo.
Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na
bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na
mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba
alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na
kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa
mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila
kupinga.
Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa
zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara
ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani
na kuyakumbatia maisha yake mapya.
| Hatima ya wazazi wake Daniel ilikuwa ipi? | {
"text": [
"Waliaga dunia?"
]
} |
4840_swa | Mtu hujikuna ajipatapo
Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya
kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi
ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa
mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha
chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine
ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu
vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji
lolote angetimiziwa kwa wakati.
Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku
akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu
angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni
wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa
mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi
alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake
mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile.
Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama
na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule
mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa
kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima
ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo
alifurahia maisha ya dunia hii.
Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka
karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila
kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote
walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe
licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani
zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote
walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao.
Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa
tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na
likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya
atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali
haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa
yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya
mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa
imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe
anajilipia karo.
Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na
bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na
mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba
alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na
kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa
mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila
kupinga.
Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa
zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara
ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani
na kuyakumbatia maisha yake mapya.
| Habari ya kifo cha wazazi wake kilimfikia akiwa katika darasa gani? | {
"text": [
"La nane"
]
} |
4842_swa | Taji ya majonzi
Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu
heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na
si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka
tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake
vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya
kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama
kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu
wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi
mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi.
Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme
pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila
utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu
afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile
alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu
yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa
wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu
ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi.
Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme
hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza
hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya
kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake
ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale
waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo
akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari
kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya
mashambulizi.
Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti
cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka
iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana
aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo
alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa
like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza
kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua
moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake
lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto
tu.
Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka
lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa
ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke
mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale
walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye
kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila
na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na
falme za wengine.
Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu
aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu
chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi
uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia
imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi
vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla
ajidhuru.
Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na
mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni
usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa
unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba
alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa
dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na
kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme
wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza
vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila
watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi
anapochukuliwa na muumba wake.
| Kipi chafaa kufurahiwa na si kuvumiliwa | {
"text": [
"Uongozi"
]
} |
4842_swa | Taji ya majonzi
Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu
heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na
si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka
tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake
vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya
kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama
kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu
wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi
mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi.
Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme
pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila
utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu
afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile
alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu
yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa
wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu
ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi.
Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme
hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza
hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya
kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake
ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale
waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo
akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari
kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya
mashambulizi.
Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti
cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka
iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana
aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo
alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa
like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza
kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua
moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake
lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto
tu.
Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka
lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa
ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke
mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale
walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye
kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila
na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na
falme za wengine.
Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu
aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu
chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi
uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia
imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi
vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla
ajidhuru.
Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na
mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni
usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa
unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba
alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa
dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na
kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme
wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza
vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila
watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi
anapochukuliwa na muumba wake.
| Nini humpa mtu heshima na si dharau | {
"text": [
"Uongozi"
]
} |
4842_swa | Taji ya majonzi
Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu
heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na
si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka
tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake
vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya
kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama
kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu
wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi
mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi.
Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme
pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila
utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu
afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile
alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu
yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa
wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu
ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi.
Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme
hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza
hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya
kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake
ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale
waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo
akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari
kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya
mashambulizi.
Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti
cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka
iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana
aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo
alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa
like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza
kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua
moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake
lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto
tu.
Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka
lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa
ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke
mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale
walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye
kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila
na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na
falme za wengine.
Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu
aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu
chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi
uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia
imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi
vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla
ajidhuru.
Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na
mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni
usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa
unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba
alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa
dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na
kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme
wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza
vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila
watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi
anapochukuliwa na muumba wake.
| Nani anafaa kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake | {
"text": [
"Kiongozi"
]
} |
4842_swa | Taji ya majonzi
Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu
heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na
si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka
tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake
vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya
kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama
kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu
wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi
mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi.
Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme
pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila
utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu
afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile
alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu
yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa
wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu
ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi.
Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme
hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza
hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya
kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake
ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale
waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo
akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari
kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya
mashambulizi.
Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti
cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka
iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana
aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo
alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa
like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza
kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua
moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake
lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto
tu.
Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka
lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa
ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke
mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale
walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye
kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila
na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na
falme za wengine.
Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu
aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu
chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi
uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia
imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi
vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla
ajidhuru.
Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na
mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni
usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa
unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba
alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa
dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na
kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme
wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza
vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila
watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi
anapochukuliwa na muumba wake.
| Yusufu alifanya uchunguzi baada ya kifo cha nani | {
"text": [
"Mama yake"
]
} |
4842_swa | Taji ya majonzi
Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu
heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na
si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka
tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake
vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya
kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama
kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu
wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi
mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi.
Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme
pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila
utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu
afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile
alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu
yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa
wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu
ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi.
Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme
hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza
hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya
kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake
ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale
waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo
akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari
kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya
mashambulizi.
Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti
cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka
iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana
aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo
alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa
like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza
kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua
moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake
lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto
tu.
Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka
lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa
ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke
mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale
walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye
kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila
na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na
falme za wengine.
Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu
aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu
chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi
uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia
imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi
vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla
ajidhuru.
Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na
mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni
usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa
unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba
alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa
dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na
kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme
wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza
vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila
watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi
anapochukuliwa na muumba wake.
| Askari waliamrishwa kufanya nini | {
"text": [
"Mazoezi"
]
} |
4843_swa | Talaka ya aibu
Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika
ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa
uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu
talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu
kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na
ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu
umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume.
Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza
majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia
pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na
kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka
kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni
kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda.
Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume
mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka
ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake
aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua
alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na
kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani
kama gogo na kulala fofofo.
Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake
namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa
wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu
chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke
wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya
jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga
kama kwamba alikuwa mtoto mchanga.
Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na
kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw
mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu
kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini
kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu
mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake
na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na
mahali penyewe alipajua yeye.
Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga
mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na
wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na
mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake
alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili
kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la.
Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule
mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku
amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke
wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na
kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane
kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara
moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake.
Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba
Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
| Talaka hupewa baina ya wanandoa wanapokosa kufanya nini? | {
"text": [
"Kuelewana"
]
} |
4843_swa | Talaka ya aibu
Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika
ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa
uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu
talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu
kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na
ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu
umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume.
Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza
majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia
pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na
kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka
kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni
kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda.
Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume
mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka
ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake
aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua
alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na
kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani
kama gogo na kulala fofofo.
Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake
namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa
wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu
chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke
wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya
jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga
kama kwamba alikuwa mtoto mchanga.
Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na
kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw
mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu
kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini
kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu
mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake
na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na
mahali penyewe alipajua yeye.
Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga
mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na
wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na
mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake
alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili
kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la.
Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule
mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku
amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke
wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na
kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane
kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara
moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake.
Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba
Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
| Sababu moja ya talaka ni ipi? | {
"text": [
"Ukosefu wa uaminifu"
]
} |
4843_swa | Talaka ya aibu
Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika
ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa
uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu
talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu
kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na
ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu
umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume.
Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza
majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia
pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na
kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka
kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni
kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda.
Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume
mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka
ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake
aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua
alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na
kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani
kama gogo na kulala fofofo.
Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake
namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa
wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu
chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke
wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya
jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga
kama kwamba alikuwa mtoto mchanga.
Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na
kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw
mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu
kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini
kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu
mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake
na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na
mahali penyewe alipajua yeye.
Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga
mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na
wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na
mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake
alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili
kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la.
Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule
mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku
amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke
wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na
kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane
kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara
moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake.
Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba
Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
| Ni azimio la nani kuwa wanandoa waishi kwa amani na upendo? | {
"text": [
"Mungu"
]
} |
4843_swa | Talaka ya aibu
Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika
ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa
uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu
talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu
kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na
ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu
umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume.
Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza
majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia
pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na
kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka
kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni
kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda.
Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume
mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka
ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake
aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua
alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na
kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani
kama gogo na kulala fofofo.
Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake
namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa
wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu
chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke
wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya
jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga
kama kwamba alikuwa mtoto mchanga.
Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na
kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw
mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu
kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini
kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu
mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake
na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na
mahali penyewe alipajua yeye.
Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga
mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na
wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na
mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake
alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili
kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la.
Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule
mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku
amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke
wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na
kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane
kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara
moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake.
Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba
Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
| Mkewe Hassan aliitwa nani? | {
"text": [
"Zubeda"
]
} |
4843_swa | Talaka ya aibu
Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika
ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa
uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu
talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu
kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na
ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu
umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume.
Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza
majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia
pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na
kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka
kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni
kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda.
Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume
mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka
ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake
aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua
alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na
kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani
kama gogo na kulala fofofo.
Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake
namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa
wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu
chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke
wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya
jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga
kama kwamba alikuwa mtoto mchanga.
Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na
kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw
mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu
kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini
kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu
mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake
na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na
mahali penyewe alipajua yeye.
Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga
mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na
wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na
mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake
alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili
kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la.
Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule
mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku
amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke
wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na
kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane
kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara
moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake.
Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba
Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
| Jioni mkewe Hassan alijibwaga kitandani kwa sababu gani? | {
"text": [
"Uchovu"
]
} |
4844_swa | FURAHA YA MJUKUU
Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake
yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko
nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni.
Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu
kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni
tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake
kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu.
"Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili
sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza
kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo
vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye
alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha
yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku
hizi havipendi majukumu.
Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa
kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika,
uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge
uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni
shina.
Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo
akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa
sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa
uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea
kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara
kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa
la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia
chumbani kwa kishindo.
Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga
nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke
wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama
mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini.
Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu
mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu.
Ni nani asiyeamini ya mkunga.
Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali.
Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali.
Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona
umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena.
Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka.
Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo
hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke
kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi
nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa
naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima.
Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu.
Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi
natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa
changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo
nilijipata nimelala, nisijifahamu.
Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye
uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu
ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama.
Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena.
Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe
na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata
nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu,
tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
| Kicheko kilizidi wapi | {
"text": [
"Jikoni"
]
} |
4844_swa | FURAHA YA MJUKUU
Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake
yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko
nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni.
Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu
kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni
tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake
kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu.
"Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili
sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza
kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo
vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye
alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha
yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku
hizi havipendi majukumu.
Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa
kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika,
uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge
uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni
shina.
Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo
akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa
sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa
uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea
kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara
kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa
la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia
chumbani kwa kishindo.
Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga
nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke
wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama
mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini.
Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu
mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu.
Ni nani asiyeamini ya mkunga.
Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali.
Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali.
Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona
umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena.
Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka.
Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo
hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke
kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi
nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa
naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima.
Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu.
Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi
natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa
changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo
nilijipata nimelala, nisijifahamu.
Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye
uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu
ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama.
Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena.
Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe
na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata
nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu,
tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
| Nani hapendi majukumu | {
"text": [
"Vijibaba vya siku hizi"
]
} |
4844_swa | FURAHA YA MJUKUU
Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake
yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko
nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni.
Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu
kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni
tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake
kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu.
"Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili
sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza
kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo
vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye
alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha
yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku
hizi havipendi majukumu.
Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa
kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika,
uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge
uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni
shina.
Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo
akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa
sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa
uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea
kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara
kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa
la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia
chumbani kwa kishindo.
Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga
nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke
wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama
mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini.
Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu
mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu.
Ni nani asiyeamini ya mkunga.
Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali.
Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali.
Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona
umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena.
Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka.
Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo
hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke
kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi
nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa
naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima.
Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu.
Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi
natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa
changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo
nilijipata nimelala, nisijifahamu.
Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye
uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu
ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama.
Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena.
Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe
na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata
nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu,
tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
| Nani alikuwa na furaha teletele | {
"text": [
"Mama mkwe"
]
} |
4844_swa | FURAHA YA MJUKUU
Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake
yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko
nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni.
Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu
kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni
tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake
kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu.
"Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili
sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza
kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo
vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye
alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha
yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku
hizi havipendi majukumu.
Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa
kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika,
uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge
uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni
shina.
Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo
akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa
sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa
uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea
kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara
kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa
la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia
chumbani kwa kishindo.
Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga
nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke
wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama
mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini.
Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu
mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu.
Ni nani asiyeamini ya mkunga.
Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali.
Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali.
Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona
umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena.
Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka.
Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo
hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke
kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi
nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa
naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima.
Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu.
Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi
natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa
changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo
nilijipata nimelala, nisijifahamu.
Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye
uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu
ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama.
Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena.
Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe
na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata
nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu,
tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
| Nani tunda la ndoa | {
"text": [
"Mtoto"
]
} |
4844_swa | FURAHA YA MJUKUU
Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake
yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko
nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni.
Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu
kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni
tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake
kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu.
"Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili
sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza
kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo
vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye
alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha
yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku
hizi havipendi majukumu.
Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa
kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika,
uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge
uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni
shina.
Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo
akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa
sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa
uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea
kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara
kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa
la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia
chumbani kwa kishindo.
Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga
nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke
wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama
mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini.
Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu
mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu.
Ni nani asiyeamini ya mkunga.
Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali.
Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali.
Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona
umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena.
Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka.
Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo
hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke
kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi
nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa
naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima.
Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu.
Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi
natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa
changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo
nilijipata nimelala, nisijifahamu.
Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye
uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu
ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama.
Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena.
Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe
na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata
nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu,
tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
| Mama alimwarifu mwandishi waende hospitalini saa ngapi | {
"text": [
"Saa tisa usiku"
]
} |
4845_swa | UMUHIMU WA MAJI
Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi
ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa
kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji
hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni
maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu
mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za
kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto
nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji
yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata
shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi.
Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si
wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi
mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni
kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na
magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na
wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili
yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda
yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa
kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa
afya bora na njema.
Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua
uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi
zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na
rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na
unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi
inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili
kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea
hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea
ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri
yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia.
Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji
yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi
ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo
hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na
mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi
mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu
kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia.
Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na
hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa
miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki
na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata
chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo
basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa
binadamu pekee bali pia kwa wanyama.
Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika
kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia
katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika
sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu.
Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika
maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na
kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani
palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni
mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba
maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi
kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
| Binadamu huishi katika sayari ipi? | {
"text": [
"Dunia"
]
} |
4845_swa | UMUHIMU WA MAJI
Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi
ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa
kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji
hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni
maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu
mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za
kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto
nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji
yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata
shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi.
Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si
wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi
mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni
kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na
magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na
wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili
yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda
yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa
kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa
afya bora na njema.
Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua
uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi
zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na
rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na
unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi
inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili
kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea
hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea
ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri
yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia.
Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji
yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi
ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo
hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na
mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi
mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu
kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia.
Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na
hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa
miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki
na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata
chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo
basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa
binadamu pekee bali pia kwa wanyama.
Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika
kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia
katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika
sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu.
Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika
maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na
kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani
palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni
mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba
maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi
kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
| Nini kimeunda asilimia kubwa ya sayari ya dunia? | {
"text": [
"Maji"
]
} |
4845_swa | UMUHIMU WA MAJI
Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi
ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa
kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji
hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni
maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu
mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za
kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto
nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji
yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata
shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi.
Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si
wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi
mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni
kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na
magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na
wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili
yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda
yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa
kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa
afya bora na njema.
Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua
uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi
zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na
rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na
unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi
inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili
kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea
hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea
ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri
yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia.
Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji
yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi
ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo
hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na
mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi
mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu
kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia.
Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na
hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa
miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki
na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata
chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo
basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa
binadamu pekee bali pia kwa wanyama.
Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika
kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia
katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika
sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu.
Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika
maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na
kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani
palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni
mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba
maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi
kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
| Maji hupatikana katika maeneo yapi? | {
"text": [
"Visima, bahari, maziwa, mito"
]
} |
4845_swa | UMUHIMU WA MAJI
Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi
ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa
kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji
hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni
maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu
mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za
kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto
nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji
yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata
shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi.
Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si
wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi
mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni
kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na
magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na
wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili
yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda
yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa
kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa
afya bora na njema.
Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua
uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi
zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na
rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na
unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi
inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili
kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea
hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea
ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri
yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia.
Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji
yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi
ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo
hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na
mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi
mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu
kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia.
Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na
hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa
miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki
na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata
chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo
basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa
binadamu pekee bali pia kwa wanyama.
Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika
kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia
katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika
sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu.
Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika
maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na
kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani
palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni
mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba
maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi
kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
| Nini kina manufaa mengi sana katika mwili wa binadamu? | {
"text": [
"Maji"
]
} |
4845_swa | UMUHIMU WA MAJI
Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi
ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa
kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji
hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni
maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu
mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za
kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto
nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji
yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata
shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi.
Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si
wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi
mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni
kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na
magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na
wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili
yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda
yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa
kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa
afya bora na njema.
Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua
uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi
zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na
rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na
unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi
inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili
kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea
hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea
ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri
yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia.
Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji
yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi
ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo
hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na
mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi
mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu
kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia.
Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na
hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa
miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki
na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata
chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo
basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa
binadamu pekee bali pia kwa wanyama.
Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika
kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia
katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika
sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu.
Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika
maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na
kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani
palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni
mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba
maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi
kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
| Mwanadamu anafaa kunywa maji glasi ngapi kwa siku? | {
"text": [
"Nane"
]
} |
4846_swa | USINGOJE KESHO
Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa
sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini
mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya
kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama
hutuezi, Mola hutujalia neema.
Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika
siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto
na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa
mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha
butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti
pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa
uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia
za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya
kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa
halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono
mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu,
hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono
birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize
michango ili kupata hizo fedha.
Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa
na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa
vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji
salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi,
barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe
hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa
magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani
anafadhili genge.
Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za
maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida
zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi
zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni
zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata
wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara
si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la
ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na
familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana
hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa
ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya.
Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya
ukaidi.
Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta
maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili
kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi
wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa
wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la
wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo
huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto
wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao
ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na
utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao
wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi.
Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa
kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge
kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia
yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa
kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua
njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa
kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao.
Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na
tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa
pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii
ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa
anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja
tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho.
Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya
aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na
Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia
kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na
uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha
muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi
tukawe tayari.
Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze
tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa
matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena
upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la
upendo pamoja na uwapendao.
| Nini hukuna kichwa sana? | {
"text": [
"Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi"
]
} |
4846_swa | USINGOJE KESHO
Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa
sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini
mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya
kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama
hutuezi, Mola hutujalia neema.
Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika
siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto
na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa
mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha
butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti
pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa
uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia
za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya
kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa
halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono
mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu,
hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono
birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize
michango ili kupata hizo fedha.
Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa
na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa
vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji
salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi,
barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe
hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa
magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani
anafadhili genge.
Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za
maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida
zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi
zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni
zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata
wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara
si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la
ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na
familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana
hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa
ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya.
Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya
ukaidi.
Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta
maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili
kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi
wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa
wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la
wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo
huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto
wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao
ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na
utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao
wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi.
Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa
kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge
kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia
yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa
kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua
njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa
kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao.
Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na
tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa
pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii
ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa
anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja
tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho.
Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya
aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na
Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia
kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na
uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha
muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi
tukawe tayari.
Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze
tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa
matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena
upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la
upendo pamoja na uwapendao.
| Waliotekwa nyara hupitia nini? | {
"text": [
"Mateso"
]
} |
4846_swa | USINGOJE KESHO
Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa
sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini
mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya
kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama
hutuezi, Mola hutujalia neema.
Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika
siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto
na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa
mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha
butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti
pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa
uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia
za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya
kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa
halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono
mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu,
hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono
birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize
michango ili kupata hizo fedha.
Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa
na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa
vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji
salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi,
barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe
hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa
magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani
anafadhili genge.
Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za
maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida
zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi
zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni
zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata
wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara
si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la
ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na
familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana
hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa
ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya.
Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya
ukaidi.
Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta
maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili
kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi
wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa
wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la
wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo
huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto
wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao
ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na
utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao
wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi.
Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa
kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge
kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia
yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa
kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua
njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa
kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao.
Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na
tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa
pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii
ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa
anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja
tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho.
Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya
aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na
Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia
kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na
uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha
muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi
tukawe tayari.
Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze
tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa
matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena
upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la
upendo pamoja na uwapendao.
| Mkono mtupu haufanyiwi nini? | {
"text": [
"Haulambwi"
]
} |
4846_swa | USINGOJE KESHO
Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa
sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini
mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya
kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama
hutuezi, Mola hutujalia neema.
Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika
siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto
na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa
mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha
butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti
pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa
uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia
za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya
kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa
halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono
mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu,
hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono
birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize
michango ili kupata hizo fedha.
Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa
na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa
vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji
salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi,
barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe
hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa
magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani
anafadhili genge.
Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za
maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida
zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi
zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni
zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata
wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara
si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la
ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na
familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana
hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa
ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya.
Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya
ukaidi.
Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta
maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili
kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi
wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa
wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la
wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo
huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto
wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao
ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na
utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao
wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi.
Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa
kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge
kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia
yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa
kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua
njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa
kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao.
Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na
tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa
pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii
ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa
anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja
tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho.
Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya
aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na
Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia
kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na
uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha
muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi
tukawe tayari.
Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze
tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa
matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena
upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la
upendo pamoja na uwapendao.
| Kina nani huwa wepesi wa kutoa pesa nyingi? | {
"text": [
"Matajiri"
]
} |
4846_swa | USINGOJE KESHO
Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa
sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini
mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya
kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama
hutuezi, Mola hutujalia neema.
Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika
siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto
na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa
mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha
butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti
pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa
uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia
za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya
kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa
halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono
mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu,
hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono
birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize
michango ili kupata hizo fedha.
Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa
na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa
vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji
salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi,
barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe
hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa
magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani
anafadhili genge.
Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za
maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida
zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi
zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni
zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata
wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara
si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la
ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na
familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana
hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa
ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya.
Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya
ukaidi.
Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta
maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili
kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi
wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa
wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la
wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo
huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto
wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao
ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na
utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao
wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi.
Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa
kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge
kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia
yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa
kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua
njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa
kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao.
Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na
tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa
pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii
ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa
anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja
tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho.
Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya
aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na
Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia
kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na
uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha
muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi
tukawe tayari.
Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze
tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa
matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena
upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la
upendo pamoja na uwapendao.
| Inasemekana kwamba wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa na nani? | {
"text": [
"Matajiri wengine"
]
} |
4847_swa | USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza
uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu
kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema
kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa
kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii
ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo
haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile
yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi
wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika.
Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama
baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema
kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata
kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote
alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake
walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi
wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala
Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala
walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote
vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli
kweli na kubarikiwa sio haba.
Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya
kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote.
Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu
hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo
lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye
akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema
hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu.
Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga
mwenyewe.
Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi.
Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi
yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika
darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake
pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila
jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda
matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta .
Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo
wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu.
Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku
hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na
uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona
naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi
wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe
mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa
amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo
ambao hakulala nyumbani.
Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao
jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema
akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema
sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge
nayo kidato cha kwanza.
Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu
wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na
pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa
hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea
asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea
na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama
zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao
anapitia mateso.
Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa
wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo.
Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda
kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na
mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema
akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya
wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba
na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi
vya ukimwi na mimba ya miezi miwili.
Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake
walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi
akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi
ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa
maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa
mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
| Nani alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex | {
"text": [
"Neema"
]
} |
4847_swa | USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza
uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu
kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema
kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa
kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii
ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo
haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile
yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi
wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika.
Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama
baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema
kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata
kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote
alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake
walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi
wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala
Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala
walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote
vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli
kweli na kubarikiwa sio haba.
Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya
kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote.
Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu
hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo
lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye
akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema
hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu.
Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga
mwenyewe.
Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi.
Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi
yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika
darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake
pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila
jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda
matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta .
Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo
wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu.
Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku
hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na
uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona
naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi
wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe
mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa
amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo
ambao hakulala nyumbani.
Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao
jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema
akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema
sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge
nayo kidato cha kwanza.
Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu
wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na
pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa
hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea
asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea
na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama
zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao
anapitia mateso.
Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa
wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo.
Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda
kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na
mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema
akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya
wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba
na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi
vya ukimwi na mimba ya miezi miwili.
Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake
walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi
akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi
ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa
maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa
mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
| Nyumbani waliajiri nanii | {
"text": [
"Yaya"
]
} |
4847_swa | USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza
uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu
kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema
kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa
kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii
ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo
haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile
yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi
wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika.
Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama
baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema
kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata
kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote
alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake
walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi
wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala
Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala
walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote
vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli
kweli na kubarikiwa sio haba.
Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya
kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote.
Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu
hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo
lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye
akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema
hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu.
Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga
mwenyewe.
Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi.
Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi
yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika
darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake
pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila
jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda
matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta .
Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo
wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu.
Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku
hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na
uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona
naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi
wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe
mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa
amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo
ambao hakulala nyumbani.
Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao
jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema
akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema
sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge
nayo kidato cha kwanza.
Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu
wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na
pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa
hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea
asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea
na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama
zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao
anapitia mateso.
Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa
wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo.
Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda
kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na
mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema
akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya
wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba
na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi
vya ukimwi na mimba ya miezi miwili.
Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake
walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi
akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi
ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa
maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa
mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
| Neema alikuwa nini diposa wazazi wakampenda zaidi | {
"text": [
"Wembe"
]
} |
4847_swa | USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza
uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu
kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema
kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa
kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii
ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo
haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile
yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi
wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika.
Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama
baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema
kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata
kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote
alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake
walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi
wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala
Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala
walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote
vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli
kweli na kubarikiwa sio haba.
Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya
kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote.
Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu
hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo
lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye
akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema
hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu.
Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga
mwenyewe.
Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi.
Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi
yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika
darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake
pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila
jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda
matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta .
Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo
wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu.
Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku
hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na
uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona
naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi
wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe
mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa
amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo
ambao hakulala nyumbani.
Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao
jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema
akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema
sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge
nayo kidato cha kwanza.
Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu
wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na
pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa
hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea
asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea
na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama
zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao
anapitia mateso.
Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa
wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo.
Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda
kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na
mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema
akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya
wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba
na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi
vya ukimwi na mimba ya miezi miwili.
Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake
walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi
akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi
ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa
maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa
mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
| Jumamosi Neema alienda wapi | {
"text": [
"Matembezi"
]
} |
4847_swa | USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza
uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu
kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema
kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa
kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii
ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo
haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile
yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi
wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika.
Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama
baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema
kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata
kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote
alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake
walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi
wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala
Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala
walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote
vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli
kweli na kubarikiwa sio haba.
Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya
kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote.
Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu
hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo
lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye
akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema
hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu.
Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga
mwenyewe.
Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi.
Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi
yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika
darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake
pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila
jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda
matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta .
Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo
wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu.
Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku
hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na
uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona
naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi
wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe
mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa
amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo
ambao hakulala nyumbani.
Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao
jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema
akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema
sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge
nayo kidato cha kwanza.
Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu
wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na
pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa
hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea
asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea
na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama
zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao
anapitia mateso.
Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa
wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo.
Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda
kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na
mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema
akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya
wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba
na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi
vya ukimwi na mimba ya miezi miwili.
Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake
walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi
akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi
ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa
maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa
mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
| Kwa nini Neema alirejelea akiwa mchovu | {
"text": [
"Alikuwa amelala na mwanamume mwingine chumba kimoja mtaani"
]
} |
4848_swa | UMUHIMU WA MITI
Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora
taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni
je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza
swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana
katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia
mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha
mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili
umuhimu wa miti.
Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo
cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno.
Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta
sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja
wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi
hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya
mandhari kuvutia mno.
Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa
ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo
haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa
kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo
hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo
basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni
uhai.
Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa
wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya
kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa
jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna
chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha
mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti
ili tupate mvua na mazao yakue.
Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa
matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si
fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka
kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana.
Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu
kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati
wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana
na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu.
Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa
mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile,
kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya
mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba.
Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu.
Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi
mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao
hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi
wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili
tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege.
Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa
sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria
kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo
karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya
dhamana vingebebwa?
Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza,
vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu,
hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati
wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia
huvitumia wa kusoma n.k.
Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao
wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa
nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi
huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza
makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku.
Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa
vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya
chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu,
kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti.
Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti,
ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu
katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
| Nini huwa pambo katika mazingira yetu. | {
"text": [
"Miti"
]
} |
4848_swa | UMUHIMU WA MITI
Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora
taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni
je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza
swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana
katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia
mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha
mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili
umuhimu wa miti.
Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo
cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno.
Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta
sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja
wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi
hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya
mandhari kuvutia mno.
Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa
ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo
haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa
kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo
hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo
basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni
uhai.
Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa
wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya
kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa
jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna
chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha
mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti
ili tupate mvua na mazao yakue.
Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa
matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si
fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka
kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana.
Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu
kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati
wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana
na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu.
Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa
mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile,
kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya
mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba.
Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu.
Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi
mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao
hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi
wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili
tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege.
Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa
sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria
kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo
karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya
dhamana vingebebwa?
Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza,
vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu,
hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati
wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia
huvitumia wa kusoma n.k.
Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao
wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa
nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi
huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza
makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku.
Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa
vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya
chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu,
kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti.
Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti,
ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu
katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
| miti huleta hewa gani | {
"text": [
"Safi"
]
} |
4848_swa | UMUHIMU WA MITI
Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora
taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni
je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza
swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana
katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia
mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha
mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili
umuhimu wa miti.
Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo
cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno.
Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta
sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja
wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi
hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya
mandhari kuvutia mno.
Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa
ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo
haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa
kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo
hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo
basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni
uhai.
Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa
wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya
kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa
jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna
chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha
mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti
ili tupate mvua na mazao yakue.
Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa
matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si
fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka
kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana.
Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu
kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati
wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana
na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu.
Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa
mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile,
kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya
mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba.
Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu.
Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi
mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao
hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi
wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili
tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege.
Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa
sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria
kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo
karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya
dhamana vingebebwa?
Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza,
vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu,
hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati
wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia
huvitumia wa kusoma n.k.
Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao
wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa
nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi
huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza
makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku.
Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa
vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya
chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu,
kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti.
Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti,
ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu
katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
| kilimo ni utu wa mgongo wa taifa lipi | {
"text": [
"Kenya"
]
} |
4848_swa | UMUHIMU WA MITI
Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora
taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni
je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza
swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana
katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia
mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha
mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili
umuhimu wa miti.
Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo
cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno.
Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta
sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja
wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi
hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya
mandhari kuvutia mno.
Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa
ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo
haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa
kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo
hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo
basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni
uhai.
Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa
wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya
kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa
jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna
chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha
mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti
ili tupate mvua na mazao yakue.
Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa
matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si
fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka
kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana.
Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu
kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati
wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana
na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu.
Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa
mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile,
kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya
mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba.
Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu.
Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi
mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao
hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi
wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili
tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege.
Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa
sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria
kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo
karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya
dhamana vingebebwa?
Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza,
vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu,
hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati
wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia
huvitumia wa kusoma n.k.
Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao
wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa
nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi
huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza
makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku.
Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa
vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya
chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu,
kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti.
Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti,
ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu
katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
| Matunda hutupa nini katika mwili wetu | {
"text": [
"Vitamini"
]
} |
4848_swa | UMUHIMU WA MITI
Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora
taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni
je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza
swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana
katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia
mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha
mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili
umuhimu wa miti.
Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo
cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno.
Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta
sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja
wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi
hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya
mandhari kuvutia mno.
Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa
ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo
haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa
kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo
hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo
basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni
uhai.
Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa
wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya
kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa
jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna
chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha
mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti
ili tupate mvua na mazao yakue.
Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa
matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si
fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka
kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana.
Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu
kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati
wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana
na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu.
Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa
mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile,
kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya
mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba.
Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu.
Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi
mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao
hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi
wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili
tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege.
Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa
sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria
kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo
karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya
dhamana vingebebwa?
Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza,
vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu,
hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati
wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia
huvitumia wa kusoma n.k.
Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao
wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa
nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi
huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza
makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku.
Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa
vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya
chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu,
kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti.
Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti,
ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu
katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
| Miti hutumika vipi katika matibabu | {
"text": [
"Hutumiwa kutibu magonjwa"
]
} |
4849_swa | HUDUMA YA KWANZA
Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii
ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa
majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au
nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima
ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa
majeruhi.
Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa
kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila
mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea
kutokea Kila siku.
Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa
hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo.
Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza
kusababisha vifo.
Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa
kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza
kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa
majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao
huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi
wao huanguka karibu na eneo la ajali.
Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga
na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji
atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza
kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo
majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha
kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa
chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani
kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu
kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo.
Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri.
Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni
vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya
yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na
kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika
anapobebwa.
Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua
huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni
muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa
ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa
kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza
kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja
Kwa damu . au kumfunga kidonda.
Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi
hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada.
Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za
polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji.
Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo.
Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na
huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi.
Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri.
Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la
mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini.
Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye
matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye
mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye
majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia
machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna
machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili
vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo
ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
| Nini husababisha majeruhi wa ajali kuaga dunia? | {
"text": [
"Hali mbaya ya uokoaji"
]
} |
4849_swa | HUDUMA YA KWANZA
Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii
ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa
majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au
nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima
ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa
majeruhi.
Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa
kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila
mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea
kutokea Kila siku.
Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa
hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo.
Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza
kusababisha vifo.
Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa
kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza
kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa
majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao
huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi
wao huanguka karibu na eneo la ajali.
Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga
na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji
atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza
kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo
majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha
kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa
chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani
kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu
kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo.
Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri.
Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni
vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya
yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na
kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika
anapobebwa.
Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua
huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni
muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa
ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa
kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza
kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja
Kwa damu . au kumfunga kidonda.
Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi
hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada.
Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za
polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji.
Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo.
Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na
huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi.
Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri.
Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la
mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini.
Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye
matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye
mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye
majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia
machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna
machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili
vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo
ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
| Elimu ipi inaweza boresha hali ya uokoaji? | {
"text": [
"Huduma za kwanza"
]
} |
4849_swa | HUDUMA YA KWANZA
Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii
ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa
majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au
nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima
ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa
majeruhi.
Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa
kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila
mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea
kutokea Kila siku.
Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa
hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo.
Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza
kusababisha vifo.
Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa
kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza
kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa
majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao
huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi
wao huanguka karibu na eneo la ajali.
Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga
na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji
atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza
kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo
majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha
kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa
chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani
kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu
kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo.
Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri.
Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni
vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya
yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na
kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika
anapobebwa.
Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua
huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni
muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa
ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa
kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza
kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja
Kwa damu . au kumfunga kidonda.
Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi
hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada.
Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za
polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji.
Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo.
Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na
huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi.
Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri.
Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la
mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini.
Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye
matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye
mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye
majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia
machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna
machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili
vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo
ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
| Kina nani hubeba majeruhi hobelahobela wakati ajali imetokea? | {
"text": [
"Makundi ya waokoaji"
]
} |
4849_swa | HUDUMA YA KWANZA
Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii
ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa
majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au
nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima
ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa
majeruhi.
Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa
kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila
mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea
kutokea Kila siku.
Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa
hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo.
Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza
kusababisha vifo.
Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa
kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza
kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa
majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao
huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi
wao huanguka karibu na eneo la ajali.
Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga
na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji
atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza
kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo
majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha
kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa
chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani
kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu
kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo.
Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri.
Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni
vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya
yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na
kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika
anapobebwa.
Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua
huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni
muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa
ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa
kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza
kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja
Kwa damu . au kumfunga kidonda.
Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi
hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada.
Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za
polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji.
Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo.
Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na
huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi.
Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri.
Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la
mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini.
Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye
matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye
mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye
majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia
machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna
machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili
vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo
ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
| Jambo ipi la kwanza linafaa kuzingatiwa wakati wa uokoaji? | {
"text": [
"Uwezekano wa ajali zaidi kutokea"
]
} |
4849_swa | HUDUMA YA KWANZA
Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii
ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa
majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au
nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima
ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa
majeruhi.
Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa
kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila
mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea
kutokea Kila siku.
Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa
hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo.
Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza
kusababisha vifo.
Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa
kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza
kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa
majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao
huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi
wao huanguka karibu na eneo la ajali.
Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga
na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji
atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza
kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo
majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha
kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa
chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani
kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu
kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo.
Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri.
Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni
vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya
yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na
kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika
anapobebwa.
Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua
huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni
muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa
ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa
kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza
kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja
Kwa damu . au kumfunga kidonda.
Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi
hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada.
Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za
polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji.
Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo.
Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na
huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi.
Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri.
Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la
mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini.
Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye
matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye
mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye
majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia
machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna
machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili
vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo
ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
| Mwokoaji anafaa kugusa wapi kutafuta ishara ya kupumua kwa majeruhi? | {
"text": [
"Kifua"
]
} |
4850_swa | BAAADA YA DHIKI FARAJA
Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku
ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia
kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya
ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na
kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize
ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba
yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati
ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia
yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku
michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani
baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo
nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi
moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na
nikaelekea zahanatini.
Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa
kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya
watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa
hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa
yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu
aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda
alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w
engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho
kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama
mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa
walikuwa katika hali taabani.
'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi
yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile
vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila
dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia
mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu
analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa
funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho
chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo
ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako
na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu
mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa
kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii
moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake
moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na
daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya
daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia
na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa.
Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika
shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi
mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu
familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne
wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu
alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la
kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa
karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa
karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya
shamba.
"Nitaanzia wapi?"
Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote
ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea
mbali,Nilijipa moyo.
Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa
hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu
hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri
vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani
wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba
yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na
kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na
kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua
iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu
vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo
haikuwahi oza.
Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu
kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na
nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya
huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani
nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi
fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza
nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili
ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea.
Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia
biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya
kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea
mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye
alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu
biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na
kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha
pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari
kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae
alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo
zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni
nikishaanza kupata mapeni.
Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na
nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi
mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi
kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata
nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika
biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake
ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu
aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la
faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili
liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu
mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali.
Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili
kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida
ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi
na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka
mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa
nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo
huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na
budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani
hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za
maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu
za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
| Baada ya dhiku mtu hupata nini? | {
"text": [
"Faraja"
]
} |
4850_swa | BAAADA YA DHIKI FARAJA
Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku
ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia
kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya
ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na
kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize
ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba
yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati
ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia
yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku
michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani
baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo
nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi
moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na
nikaelekea zahanatini.
Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa
kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya
watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa
hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa
yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu
aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda
alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w
engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho
kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama
mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa
walikuwa katika hali taabani.
'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi
yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile
vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila
dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia
mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu
analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa
funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho
chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo
ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako
na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu
mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa
kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii
moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake
moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na
daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya
daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia
na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa.
Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika
shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi
mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu
familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne
wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu
alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la
kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa
karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa
karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya
shamba.
"Nitaanzia wapi?"
Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote
ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea
mbali,Nilijipa moyo.
Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa
hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu
hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri
vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani
wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba
yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na
kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na
kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua
iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu
vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo
haikuwahi oza.
Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu
kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na
nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya
huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani
nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi
fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza
nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili
ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea.
Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia
biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya
kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea
mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye
alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu
biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na
kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha
pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari
kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae
alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo
zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni
nikishaanza kupata mapeni.
Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na
nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi
mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi
kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata
nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika
biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake
ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu
aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la
faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili
liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu
mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali.
Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili
kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida
ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi
na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka
mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa
nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo
huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na
budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani
hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za
maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu
za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
| Nani alikuwa amelazwa hospitalini? | {
"text": [
"Babake mwandishi"
]
} |
4850_swa | BAAADA YA DHIKI FARAJA
Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku
ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia
kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya
ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na
kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize
ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba
yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati
ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia
yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku
michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani
baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo
nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi
moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na
nikaelekea zahanatini.
Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa
kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya
watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa
hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa
yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu
aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda
alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w
engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho
kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama
mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa
walikuwa katika hali taabani.
'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi
yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile
vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila
dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia
mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu
analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa
funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho
chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo
ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako
na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu
mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa
kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii
moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake
moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na
daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya
daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia
na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa.
Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika
shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi
mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu
familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne
wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu
alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la
kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa
karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa
karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya
shamba.
"Nitaanzia wapi?"
Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote
ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea
mbali,Nilijipa moyo.
Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa
hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu
hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri
vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani
wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba
yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na
kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na
kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua
iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu
vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo
haikuwahi oza.
Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu
kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na
nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya
huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani
nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi
fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza
nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili
ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea.
Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia
biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya
kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea
mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye
alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu
biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na
kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha
pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari
kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae
alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo
zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni
nikishaanza kupata mapeni.
Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na
nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi
mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi
kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata
nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika
biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake
ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu
aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la
faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili
liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu
mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali.
Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili
kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida
ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi
na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka
mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa
nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo
huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na
budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani
hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za
maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu
za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
| Babake mwandishi alikuwa amelazwa katika zahanati gani? | {
"text": [
"Mwembeni"
]
} |
4850_swa | BAAADA YA DHIKI FARAJA
Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku
ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia
kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya
ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na
kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize
ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba
yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati
ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia
yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku
michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani
baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo
nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi
moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na
nikaelekea zahanatini.
Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa
kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya
watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa
hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa
yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu
aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda
alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w
engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho
kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama
mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa
walikuwa katika hali taabani.
'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi
yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile
vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila
dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia
mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu
analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa
funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho
chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo
ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako
na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu
mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa
kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii
moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake
moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na
daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya
daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia
na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa.
Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika
shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi
mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu
familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne
wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu
alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la
kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa
karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa
karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya
shamba.
"Nitaanzia wapi?"
Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote
ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea
mbali,Nilijipa moyo.
Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa
hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu
hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri
vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani
wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba
yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na
kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na
kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua
iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu
vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo
haikuwahi oza.
Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu
kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na
nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya
huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani
nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi
fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza
nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili
ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea.
Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia
biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya
kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea
mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye
alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu
biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na
kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha
pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari
kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae
alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo
zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni
nikishaanza kupata mapeni.
Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na
nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi
mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi
kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata
nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika
biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake
ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu
aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la
faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili
liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu
mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali.
Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili
kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida
ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi
na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka
mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa
nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo
huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na
budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani
hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za
maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu
za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
| Babake mwandishi alikuwa anauguwa nini? | {
"text": [
"Maradhi ya kisukari"
]
} |
4850_swa | BAAADA YA DHIKI FARAJA
Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku
ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia
kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya
ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na
kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize
ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba
yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati
ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia
yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku
michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani
baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo
nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi
moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na
nikaelekea zahanatini.
Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa
kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya
watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa
hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa
yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu
aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda
alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w
engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho
kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama
mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa
walikuwa katika hali taabani.
'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi
yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile
vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila
dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia
mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu
analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa
funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho
chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo
ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako
na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu
mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa
kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii
moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake
moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na
daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya
daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia
na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa.
Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika
shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi
mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu
familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne
wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu
alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la
kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa
karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa
karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya
shamba.
"Nitaanzia wapi?"
Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote
ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea
mbali,Nilijipa moyo.
Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa
hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu
hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri
vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani
wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba
yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na
kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na
kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua
iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu
vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo
haikuwahi oza.
Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu
kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na
nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya
huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani
nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi
fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza
nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili
ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea.
Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia
biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya
kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea
mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye
alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu
biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na
kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha
pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari
kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae
alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo
zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni
nikishaanza kupata mapeni.
Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na
nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi
mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi
kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata
nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika
biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake
ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu
aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la
faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili
liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu
mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali.
Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili
kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida
ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi
na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka
mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa
nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo
huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na
budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani
hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za
maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu
za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
| Jina lake mwandishi ni lipi? | {
"text": [
"Juma"
]
} |
4853_swa | MVUA YA GHARIKA
Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito
mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya
kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima
walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia
shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka
wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi
sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka
ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo
yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi
kwa ujumla.
Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima
walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia
shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa
kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na
moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa
rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa
wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli
iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu
akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine
walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi
zilizokuwa zishaanza kumea.
Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi
shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea
kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia
huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na
mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika
malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa
wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la
kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji.
Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue
mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha
bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha
tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha
majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta
suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye
hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima
abaadan.
Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na
pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea
macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya
miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na
walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto
wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na
watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za
kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio
haya yanawakodolea macho sasa.
Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na
pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao
ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho
walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna
msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi
tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio
na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo
yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu.
Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za
shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na
ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa
zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza
kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na
mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula
na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili
zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na
zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa
kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume.
Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo
kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi
karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana
na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha
kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la
mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka
kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
| Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa gani | {
"text": [
"Mashariki"
]
} |
4853_swa | MVUA YA GHARIKA
Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito
mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya
kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima
walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia
shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka
wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi
sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka
ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo
yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi
kwa ujumla.
Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima
walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia
shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa
kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na
moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa
rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa
wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli
iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu
akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine
walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi
zilizokuwa zishaanza kumea.
Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi
shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea
kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia
huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na
mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika
malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa
wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la
kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji.
Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue
mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha
bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha
tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha
majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta
suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye
hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima
abaadan.
Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na
pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea
macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya
miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na
walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto
wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na
watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za
kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio
haya yanawakodolea macho sasa.
Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na
pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao
ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho
walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna
msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi
tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio
na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo
yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu.
Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za
shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na
ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa
zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza
kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na
mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula
na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili
zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na
zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa
kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume.
Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo
kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi
karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana
na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha
kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la
mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka
kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
| Nini ilikuwa imeroa rovurovu | {
"text": [
"Nguo"
]
} |
4853_swa | MVUA YA GHARIKA
Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito
mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya
kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima
walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia
shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka
wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi
sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka
ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo
yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi
kwa ujumla.
Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima
walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia
shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa
kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na
moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa
rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa
wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli
iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu
akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine
walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi
zilizokuwa zishaanza kumea.
Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi
shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea
kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia
huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na
mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika
malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa
wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la
kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji.
Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue
mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha
bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha
tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha
majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta
suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye
hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima
abaadan.
Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na
pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea
macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya
miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na
walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto
wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na
watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za
kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio
haya yanawakodolea macho sasa.
Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na
pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao
ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho
walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna
msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi
tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio
na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo
yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu.
Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za
shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na
ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa
zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza
kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na
mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula
na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili
zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na
zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa
kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume.
Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo
kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi
karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana
na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha
kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la
mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka
kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
| Wakulima walishikwa na nini | {
"text": [
"Mahoma"
]
} |
4853_swa | MVUA YA GHARIKA
Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito
mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya
kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima
walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia
shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka
wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi
sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka
ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo
yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi
kwa ujumla.
Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima
walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia
shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa
kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na
moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa
rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa
wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli
iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu
akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine
walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi
zilizokuwa zishaanza kumea.
Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi
shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea
kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia
huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na
mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika
malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa
wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la
kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji.
Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue
mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha
bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha
tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha
majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta
suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye
hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima
abaadan.
Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na
pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea
macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya
miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na
walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto
wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na
watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za
kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio
haya yanawakodolea macho sasa.
Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na
pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao
ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho
walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna
msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi
tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio
na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo
yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu.
Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za
shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na
ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa
zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza
kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na
mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula
na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili
zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na
zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa
kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume.
Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo
kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi
karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana
na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha
kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la
mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka
kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
| Watu walipanda juu ya nini | {
"text": [
"Paa"
]
} |
4853_swa | MVUA YA GHARIKA
Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito
mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya
kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima
walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia
shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka
wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi
sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka
ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo
yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi
kwa ujumla.
Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima
walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia
shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa
kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na
moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa
rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa
wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli
iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu
akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine
walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi
zilizokuwa zishaanza kumea.
Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi
shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea
kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia
huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na
mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika
malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa
wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la
kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji.
Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue
mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha
bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha
tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha
majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta
suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye
hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima
abaadan.
Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na
pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea
macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya
miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na
walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto
wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na
watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za
kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio
haya yanawakodolea macho sasa.
Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na
pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao
ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho
walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna
msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi
tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio
na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo
yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu.
Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za
shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na
ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa
zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza
kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na
mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula
na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili
zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na
zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa
kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume.
Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo
kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi
karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana
na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha
kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la
mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka
kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
| Kwa nini watu wasikate miti ovyoovyo | {
"text": [
"Kuzuia ukame na mmomonyoko wa ardhi"
]
} |
4854_swa | NCHI YA KENYA
Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa
yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya
ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu
Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu
update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta
kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne.
Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga
dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima.
Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele.
Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa
kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya.
Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye
kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta
lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya
ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia
mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake
uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake
kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha
katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi
ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa
uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa
mamlaka na rasilimali.
Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta
ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla
Kenya imekuwa na Marais wanne.
Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi,
Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika
majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali.
Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini.
Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya
imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata
kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda
majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na
serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya.
Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika
utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati
huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya
serikali za kata katika upande wa maendeleo.
Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito
pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza
kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya
maliasili tuliyopewa na Mungu.
Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila
zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna
sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo
utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi
inayopendeza mno.
| Kenya inapatikana wapi | {
"text": [
"Katika bara la Afrika"
]
} |
4854_swa | NCHI YA KENYA
Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa
yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya
ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu
Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu
update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta
kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne.
Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga
dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima.
Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele.
Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa
kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya.
Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye
kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta
lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya
ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia
mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake
uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake
kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha
katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi
ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa
uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa
mamlaka na rasilimali.
Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta
ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla
Kenya imekuwa na Marais wanne.
Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi,
Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika
majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali.
Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini.
Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya
imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata
kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda
majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na
serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya.
Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika
utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati
huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya
serikali za kata katika upande wa maendeleo.
Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito
pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza
kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya
maliasili tuliyopewa na Mungu.
Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila
zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna
sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo
utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi
inayopendeza mno.
| Kenya ilipata uhuru lini | {
"text": [
"Mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tatu"
]
} |
4854_swa | NCHI YA KENYA
Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa
yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya
ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu
Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu
update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta
kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne.
Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga
dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima.
Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele.
Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa
kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya.
Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye
kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta
lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya
ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia
mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake
uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake
kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha
katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi
ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa
uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa
mamlaka na rasilimali.
Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta
ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla
Kenya imekuwa na Marais wanne.
Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi,
Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika
majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali.
Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini.
Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya
imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata
kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda
majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na
serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya.
Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika
utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati
huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya
serikali za kata katika upande wa maendeleo.
Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito
pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza
kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya
maliasili tuliyopewa na Mungu.
Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila
zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna
sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo
utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi
inayopendeza mno.
| Kenya imekuwa na rais wangapi tangu kupata uhuru | {
"text": [
"Wanne"
]
} |
4854_swa | NCHI YA KENYA
Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa
yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya
ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu
Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu
update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta
kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne.
Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga
dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima.
Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele.
Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa
kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya.
Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye
kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta
lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya
ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia
mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake
uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake
kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha
katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi
ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa
uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa
mamlaka na rasilimali.
Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta
ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla
Kenya imekuwa na Marais wanne.
Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi,
Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika
majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali.
Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini.
Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya
imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata
kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda
majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na
serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya.
Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika
utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati
huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya
serikali za kata katika upande wa maendeleo.
Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito
pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza
kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya
maliasili tuliyopewa na Mungu.
Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila
zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna
sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo
utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi
inayopendeza mno.
| Rais wa kwanza alihudumu kwa miaka mingapi | {
"text": [
"Kumi na minne"
]
} |
4854_swa | NCHI YA KENYA
Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa
yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya
ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu
Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu
update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta
kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne.
Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga
dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima.
Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele.
Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa
kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya.
Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye
kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta
lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya
ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia
mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake
uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake
kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha
katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi
ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa
uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa
mamlaka na rasilimali.
Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta
ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla
Kenya imekuwa na Marais wanne.
Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi,
Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika
majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali.
Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini.
Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya
imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata
kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda
majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na
serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya.
Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika
utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati
huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya
serikali za kata katika upande wa maendeleo.
Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito
pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza
kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya
maliasili tuliyopewa na Mungu.
Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila
zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna
sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo
utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi
inayopendeza mno.
| Rais Kenyatta aliaga lini | {
"text": [
"Mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nane"
]
} |
4855_swa | AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI
Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu
aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule.
Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku
uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama
yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na
nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na
msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine
alionekana kuchelewa pia.
Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva
makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo.
Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni,
kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama
ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la
shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa
wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule
yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na
kusababisha mrundikano.
Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha
msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole
nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na
eneo la ajali.
Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama
isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule
walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke,
alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na
watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku
damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini
walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea.
Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia.
Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia
gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo
kuwasaidia waliougua.
Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani
ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa
amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka
kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono
na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na
michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa
vibaya.
Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote
tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto
walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili
kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari
la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa
wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki
walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi
na kuwaambia kilichotokea.
Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa
kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili
tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi.
Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea.
Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala
kwenye gazeti kuhusu hilo.
Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo
pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake
wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha
ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa
inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti
wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa
sababu ya kiu ya utajiri wa haraka.
Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi
kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani
za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia
wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao
yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na
wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa
kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya
asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya
ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara
tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na
kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula.
Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa.
Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na
yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi
unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili
hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa
mitego.
Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya
kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka
kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya
hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji
moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi.
Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa
masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari
wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu
na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi
wa mazingira, ni tatizo kuu.
Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha
hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi
nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa
ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia,
serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na
watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na
kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa
safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
| Nani alijitolea kusafirisha mwandishi hadi shuleni? | {
"text": [
"Dadake"
]
} |
4855_swa | AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI
Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu
aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule.
Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku
uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama
yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na
nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na
msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine
alionekana kuchelewa pia.
Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva
makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo.
Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni,
kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama
ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la
shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa
wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule
yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na
kusababisha mrundikano.
Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha
msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole
nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na
eneo la ajali.
Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama
isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule
walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke,
alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na
watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku
damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini
walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea.
Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia.
Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia
gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo
kuwasaidia waliougua.
Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani
ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa
amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka
kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono
na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na
michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa
vibaya.
Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote
tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto
walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili
kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari
la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa
wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki
walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi
na kuwaambia kilichotokea.
Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa
kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili
tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi.
Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea.
Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala
kwenye gazeti kuhusu hilo.
Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo
pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake
wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha
ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa
inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti
wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa
sababu ya kiu ya utajiri wa haraka.
Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi
kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani
za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia
wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao
yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na
wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa
kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya
asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya
ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara
tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na
kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula.
Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa.
Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na
yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi
unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili
hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa
mitego.
Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya
kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka
kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya
hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji
moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi.
Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa
masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari
wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu
na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi
wa mazingira, ni tatizo kuu.
Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha
hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi
nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa
ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia,
serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na
watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na
kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa
safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
| Mamake mwandishi alikuwa akihisi vipi? | {
"text": [
"Hali ya hewa"
]
} |
4855_swa | AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI
Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu
aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule.
Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku
uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama
yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na
nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na
msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine
alionekana kuchelewa pia.
Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva
makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo.
Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni,
kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama
ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la
shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa
wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule
yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na
kusababisha mrundikano.
Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha
msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole
nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na
eneo la ajali.
Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama
isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule
walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke,
alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na
watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku
damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini
walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea.
Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia.
Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia
gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo
kuwasaidia waliougua.
Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani
ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa
amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka
kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono
na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na
michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa
vibaya.
Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote
tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto
walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili
kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari
la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa
wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki
walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi
na kuwaambia kilichotokea.
Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa
kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili
tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi.
Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea.
Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala
kwenye gazeti kuhusu hilo.
Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo
pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake
wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha
ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa
inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti
wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa
sababu ya kiu ya utajiri wa haraka.
Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi
kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani
za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia
wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao
yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na
wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa
kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya
asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya
ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara
tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na
kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula.
Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa.
Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na
yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi
unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili
hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa
mitego.
Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya
kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka
kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya
hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji
moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi.
Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa
masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari
wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu
na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi
wa mazingira, ni tatizo kuu.
Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha
hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi
nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa
ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia,
serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na
watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na
kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa
safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
| Mwandishi anamsifu dadake kama nani kwenye barabara? | {
"text": [
"Dereva makini"
]
} |
4855_swa | AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI
Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu
aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule.
Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku
uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama
yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na
nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na
msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine
alionekana kuchelewa pia.
Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva
makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo.
Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni,
kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama
ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la
shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa
wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule
yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na
kusababisha mrundikano.
Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha
msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole
nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na
eneo la ajali.
Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama
isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule
walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke,
alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na
watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku
damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini
walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea.
Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia.
Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia
gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo
kuwasaidia waliougua.
Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani
ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa
amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka
kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono
na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na
michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa
vibaya.
Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote
tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto
walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili
kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari
la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa
wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki
walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi
na kuwaambia kilichotokea.
Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa
kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili
tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi.
Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea.
Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala
kwenye gazeti kuhusu hilo.
Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo
pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake
wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha
ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa
inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti
wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa
sababu ya kiu ya utajiri wa haraka.
Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi
kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani
za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia
wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao
yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na
wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa
kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya
asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya
ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara
tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na
kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula.
Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa.
Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na
yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi
unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili
hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa
mitego.
Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya
kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka
kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya
hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji
moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi.
Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa
masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari
wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu
na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi
wa mazingira, ni tatizo kuu.
Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha
hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi
nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa
ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia,
serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na
watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na
kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa
safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
| Gari lililogongana na basi la shule lilikuwa limewabeba kina nani? | {
"text": [
"Watoto wa shule"
]
} |
4855_swa | AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI
Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu
aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule.
Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku
uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama
yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na
nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na
msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine
alionekana kuchelewa pia.
Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva
makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo.
Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni,
kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama
ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la
shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa
wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule
yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na
kusababisha mrundikano.
Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha
msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole
nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na
eneo la ajali.
Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama
isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule
walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke,
alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na
watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku
damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini
walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea.
Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia.
Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia
gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo
kuwasaidia waliougua.
Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani
ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa
amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka
kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono
na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na
michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa
vibaya.
Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote
tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto
walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili
kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari
la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa
wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki
walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi
na kuwaambia kilichotokea.
Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa
kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili
tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi.
Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea.
Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala
kwenye gazeti kuhusu hilo.
Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo
pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake
wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha
ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa
inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti
wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa
sababu ya kiu ya utajiri wa haraka.
Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi
kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani
za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia
wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao
yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na
wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa
kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya
asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya
ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara
tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na
kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula.
Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa.
Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na
yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi
unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili
hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa
mitego.
Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya
kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka
kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya
hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji
moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi.
Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa
masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari
wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu
na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi
wa mazingira, ni tatizo kuu.
Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha
hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi
nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa
ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia,
serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na
watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na
kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa
safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
| Watoto wangapi walitupwa nje ya gari baada ya ajali? | {
"text": [
"Watatu"
]
} |
4856_swa | BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU
Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na
dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na
vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya
za mitishamba na vitamini vya asili.
Sharon, salamu!
Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua
wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya
kawaida ya kielektroniki!
Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana
na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe
tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi
ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba
ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele
nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya
kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi.
Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya
mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona
kutoka kwa ugonjwa mbaya.
Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu
magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya
matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa
magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo!
Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada
yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi.
Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio.
Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri
mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na
yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio
maangamizi na huzuni zote.
Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji
ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako.
Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba
alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla
ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist
ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa
za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo,
ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache
kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini.
Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake
wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani
imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida.
Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi
wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea
salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau
kujiangalia mwenyewe.
Mwenzako mwenye mawazo.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa
afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi
kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo
na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani.
Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula
vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na
sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile
ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya
pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu.
Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi
zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi
na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji
baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo.
Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens
haziuzi vyakula visivyofaa.
Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji,
sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya
kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa
sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni
hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari
nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu.
Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza
vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya
mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una
protini nyingi na wanga.
Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya
kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni
mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na
afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki
mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi,
mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi.
Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi
wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika,
wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina
thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye
lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi
vitamini muhimu, na kumfanya asinzie.
Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku
kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye
lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali
zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza.
Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na
kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa
wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
| Mamake rafiki ya mwandishi anaugua ugonjwa upi? | {
"text": [
"Saratani ya matiti"
]
} |
4856_swa | BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU
Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na
dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na
vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya
za mitishamba na vitamini vya asili.
Sharon, salamu!
Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua
wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya
kawaida ya kielektroniki!
Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana
na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe
tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi
ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba
ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele
nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya
kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi.
Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya
mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona
kutoka kwa ugonjwa mbaya.
Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu
magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya
matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa
magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo!
Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada
yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi.
Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio.
Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri
mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na
yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio
maangamizi na huzuni zote.
Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji
ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako.
Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba
alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla
ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist
ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa
za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo,
ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache
kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini.
Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake
wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani
imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida.
Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi
wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea
salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau
kujiangalia mwenyewe.
Mwenzako mwenye mawazo.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa
afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi
kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo
na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani.
Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula
vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na
sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile
ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya
pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu.
Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi
zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi
na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji
baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo.
Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens
haziuzi vyakula visivyofaa.
Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji,
sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya
kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa
sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni
hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari
nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu.
Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza
vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya
mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una
protini nyingi na wanga.
Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya
kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni
mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na
afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki
mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi,
mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi.
Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi
wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika,
wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina
thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye
lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi
vitamini muhimu, na kumfanya asinzie.
Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku
kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye
lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali
zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza.
Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na
kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa
wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
| Rafiki yake mwandishi anaitwaje? | {
"text": [
"Sharon"
]
} |
4856_swa | BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU
Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na
dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na
vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya
za mitishamba na vitamini vya asili.
Sharon, salamu!
Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua
wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya
kawaida ya kielektroniki!
Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana
na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe
tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi
ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba
ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele
nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya
kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi.
Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya
mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona
kutoka kwa ugonjwa mbaya.
Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu
magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya
matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa
magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo!
Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada
yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi.
Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio.
Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri
mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na
yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio
maangamizi na huzuni zote.
Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji
ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako.
Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba
alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla
ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist
ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa
za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo,
ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache
kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini.
Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake
wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani
imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida.
Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi
wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea
salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau
kujiangalia mwenyewe.
Mwenzako mwenye mawazo.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa
afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi
kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo
na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani.
Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula
vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na
sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile
ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya
pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu.
Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi
zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi
na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji
baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo.
Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens
haziuzi vyakula visivyofaa.
Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji,
sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya
kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa
sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni
hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari
nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu.
Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza
vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya
mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una
protini nyingi na wanga.
Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya
kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni
mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na
afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki
mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi,
mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi.
Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi
wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika,
wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina
thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye
lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi
vitamini muhimu, na kumfanya asinzie.
Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku
kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye
lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali
zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza.
Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na
kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa
wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
| Dawa za kemikali humfanya mgonjwa wa saratani kupoteza nini kichwani? | {
"text": [
"Nywele"
]
} |
4856_swa | BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU
Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na
dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na
vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya
za mitishamba na vitamini vya asili.
Sharon, salamu!
Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua
wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya
kawaida ya kielektroniki!
Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana
na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe
tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi
ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba
ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele
nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya
kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi.
Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya
mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona
kutoka kwa ugonjwa mbaya.
Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu
magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya
matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa
magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo!
Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada
yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi.
Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio.
Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri
mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na
yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio
maangamizi na huzuni zote.
Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji
ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako.
Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba
alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla
ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist
ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa
za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo,
ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache
kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini.
Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake
wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani
imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida.
Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi
wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea
salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau
kujiangalia mwenyewe.
Mwenzako mwenye mawazo.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa
afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi
kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo
na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani.
Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula
vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na
sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile
ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya
pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu.
Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi
zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi
na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji
baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo.
Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens
haziuzi vyakula visivyofaa.
Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji,
sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya
kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa
sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni
hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari
nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu.
Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza
vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya
mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una
protini nyingi na wanga.
Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya
kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni
mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na
afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki
mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi,
mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi.
Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi
wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika,
wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina
thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye
lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi
vitamini muhimu, na kumfanya asinzie.
Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku
kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye
lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali
zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza.
Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na
kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa
wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
| Dadake mwandishi hufanya kazi ipi? | {
"text": [
"Daktari wa magonjwa ya akili"
]
} |
4856_swa | BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU
Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na
dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na
vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya
za mitishamba na vitamini vya asili.
Sharon, salamu!
Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua
wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya
kawaida ya kielektroniki!
Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana
na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe
tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi
ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba
ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele
nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya
kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi.
Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya
mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona
kutoka kwa ugonjwa mbaya.
Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu
magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya
matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa
magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo!
Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada
yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi.
Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio.
Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri
mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na
yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio
maangamizi na huzuni zote.
Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji
ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako.
Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba
alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla
ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist
ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa
za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo,
ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache
kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini.
Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake
wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani
imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida.
Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi
wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea
salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau
kujiangalia mwenyewe.
Mwenzako mwenye mawazo.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa
afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi
kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo
na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani.
Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula
vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na
sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile
ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya
pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu.
Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi
zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi
na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji
baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo.
Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens
haziuzi vyakula visivyofaa.
Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji,
sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya
kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa
sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni
hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari
nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu.
Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza
vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya
mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una
protini nyingi na wanga.
Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya
kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni
mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na
afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki
mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi,
mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi.
Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi
wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika,
wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina
thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye
lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi
vitamini muhimu, na kumfanya asinzie.
Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku
kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye
lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali
zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza.
Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na
kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa
wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
| Mwandishi anahimza Sharon kufuata mwongozo kutoka kwa nani? | {
"text": [
"Dadake"
]
} |
4857_swa | ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA
Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi
wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika
insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za
kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu
anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya
Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara
nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa
kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la
mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano
kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako
baadaye.
Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani,
inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule
ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu
unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa
kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya
maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa
uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na
njia tofauti kila wakati.
Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka
kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni
ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo
kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako
ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu
kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti
nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo
zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy,
Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia
au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali
unapoishi.
Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa,
ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti
kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua
kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa
kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na
uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja
ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki.
Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi
wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya
kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na
kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za
PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako
au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu
atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya
kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya
mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya
masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe.
Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na
ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana
na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote
inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa.
Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi
hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu
ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama
hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na
uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi.
Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda
mrefu.
Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa
hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako
(Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri
wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya
wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote.
Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi,
ukweli huu unaweza kukatisha tamaa.
Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi
kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa
ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni.
Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa,
umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza
kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora).
Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi,
elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna
kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma,
lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda.
Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka
kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii
ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako
kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka
kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa
vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo
ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote.
Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la
uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii
wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa
ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi
vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele
muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na
Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya
vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa
kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu).
Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika
kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi
hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu
mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi
inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake.
Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa
mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi
vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia
sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na
maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi.
Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua
kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa,
kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu
ya njia bora ya kupima.
Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia
maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya
kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada
hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso
za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote
kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti
zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au
kidogo.
Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji
anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni
kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja.
Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa
kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu,
kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa
mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari
na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye.
Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga
kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza
kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha
kazi thabiti.
Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa
kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta
msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali
mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa
mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa
kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa
yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha
uaminifu.
| Vijana hawapendi kufanya nini? | {
"text": [
"Kusoma"
]
} |
4857_swa | ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA
Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi
wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika
insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za
kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu
anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya
Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara
nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa
kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la
mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano
kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako
baadaye.
Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani,
inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule
ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu
unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa
kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya
maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa
uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na
njia tofauti kila wakati.
Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka
kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni
ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo
kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako
ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu
kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti
nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo
zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy,
Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia
au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali
unapoishi.
Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa,
ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti
kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua
kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa
kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na
uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja
ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki.
Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi
wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya
kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na
kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za
PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako
au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu
atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya
kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya
mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya
masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe.
Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na
ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana
na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote
inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa.
Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi
hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu
ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama
hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na
uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi.
Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda
mrefu.
Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa
hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako
(Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri
wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya
wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote.
Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi,
ukweli huu unaweza kukatisha tamaa.
Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi
kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa
ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni.
Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa,
umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza
kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora).
Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi,
elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna
kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma,
lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda.
Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka
kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii
ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako
kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka
kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa
vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo
ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote.
Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la
uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii
wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa
ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi
vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele
muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na
Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya
vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa
kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu).
Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika
kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi
hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu
mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi
inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake.
Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa
mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi
vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia
sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na
maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi.
Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua
kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa,
kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu
ya njia bora ya kupima.
Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia
maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya
kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada
hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso
za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote
kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti
zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au
kidogo.
Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji
anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni
kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja.
Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa
kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu,
kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa
mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari
na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye.
Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga
kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza
kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha
kazi thabiti.
Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa
kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta
msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali
mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa
mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa
kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa
yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha
uaminifu.
| Nini ni muhimu mno katika jamii ya kisasa ya Magharibi? | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
4857_swa | ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA
Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi
wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika
insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za
kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu
anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya
Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara
nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa
kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la
mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano
kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako
baadaye.
Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani,
inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule
ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu
unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa
kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya
maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa
uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na
njia tofauti kila wakati.
Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka
kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni
ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo
kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako
ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu
kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti
nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo
zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy,
Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia
au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali
unapoishi.
Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa,
ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti
kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua
kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa
kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na
uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja
ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki.
Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi
wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya
kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na
kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za
PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako
au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu
atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya
kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya
mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya
masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe.
Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na
ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana
na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote
inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa.
Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi
hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu
ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama
hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na
uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi.
Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda
mrefu.
Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa
hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako
(Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri
wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya
wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote.
Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi,
ukweli huu unaweza kukatisha tamaa.
Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi
kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa
ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni.
Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa,
umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza
kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora).
Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi,
elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna
kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma,
lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda.
Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka
kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii
ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako
kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka
kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa
vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo
ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote.
Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la
uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii
wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa
ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi
vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele
muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na
Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya
vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa
kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu).
Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika
kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi
hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu
mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi
inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake.
Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa
mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi
vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia
sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na
maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi.
Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua
kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa,
kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu
ya njia bora ya kupima.
Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia
maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya
kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada
hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso
za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote
kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti
zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au
kidogo.
Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji
anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni
kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja.
Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa
kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu,
kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa
mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari
na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye.
Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga
kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza
kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha
kazi thabiti.
Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa
kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta
msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali
mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa
mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa
kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa
yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha
uaminifu.
| Kuna uwezekano kwamba kile mtu anchosomea katika chuo kikuu kitakuwa nini maishani mwake? | {
"text": [
"Taaluma yake"
]
} |
4857_swa | ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA
Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi
wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika
insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za
kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu
anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya
Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara
nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa
kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la
mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano
kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako
baadaye.
Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani,
inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule
ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu
unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa
kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya
maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa
uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na
njia tofauti kila wakati.
Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka
kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni
ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo
kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako
ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu
kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti
nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo
zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy,
Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia
au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali
unapoishi.
Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa,
ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti
kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua
kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa
kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na
uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja
ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki.
Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi
wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya
kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na
kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za
PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako
au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu
atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya
kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya
mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya
masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe.
Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na
ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana
na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote
inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa.
Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi
hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu
ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama
hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na
uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi.
Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda
mrefu.
Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa
hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako
(Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri
wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya
wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote.
Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi,
ukweli huu unaweza kukatisha tamaa.
Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi
kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa
ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni.
Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa,
umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza
kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora).
Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi,
elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna
kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma,
lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda.
Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka
kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii
ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako
kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka
kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa
vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo
ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote.
Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la
uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii
wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa
ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi
vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele
muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na
Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya
vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa
kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu).
Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika
kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi
hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu
mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi
inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake.
Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa
mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi
vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia
sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na
maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi.
Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua
kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa,
kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu
ya njia bora ya kupima.
Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia
maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya
kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada
hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso
za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote
kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti
zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au
kidogo.
Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji
anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni
kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja.
Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa
kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu,
kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa
mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari
na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye.
Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga
kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza
kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha
kazi thabiti.
Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa
kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta
msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali
mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa
mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa
kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa
yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha
uaminifu.
| Vijana wengi hudhaniwa watatumia "mwaka wa pengo" kufanya nini? | {
"text": [
"Kuchuma pesa"
]
} |
4857_swa | ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA
Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi
wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika
insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za
kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu
anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya
Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara
nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa
kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la
mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano
kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako
baadaye.
Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani,
inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule
ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu
unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa
kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya
maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa
uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na
njia tofauti kila wakati.
Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka
kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni
ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo
kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako
ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu
kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti
nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo
zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy,
Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia
au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali
unapoishi.
Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa,
ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti
kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua
kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa
kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na
uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja
ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki.
Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi
wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya
kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na
kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za
PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako
au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu
atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya
kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya
mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya
masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe.
Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na
ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana
na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote
inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa.
Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi
hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu
ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama
hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na
uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi.
Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda
mrefu.
Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa
hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako
(Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri
wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya
wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote.
Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi,
ukweli huu unaweza kukatisha tamaa.
Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi
kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa
ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni.
Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa,
umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza
kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora).
Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi,
elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna
kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma,
lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda.
Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka
kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii
ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako
kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka
kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa
vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo
ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote.
Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la
uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii
wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa
ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi
vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele
muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na
Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya
vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa
kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu).
Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika
kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi
hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu
mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi
inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake.
Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa
mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi
vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia
sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na
maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi.
Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua
kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa,
kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu
ya njia bora ya kupima.
Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia
maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya
kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada
hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso
za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote
kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti
zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au
kidogo.
Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji
anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni
kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja.
Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa
kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu,
kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa
mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari
na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye.
Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga
kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza
kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha
kazi thabiti.
Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa
kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta
msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali
mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa
mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa
kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa
yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha
uaminifu.
| Baadhi za tovuti zinazotoa elimu ya mtandaoni ni kama zipi? | {
"text": [
"Udemy na Coursera"
]
} |
4858_swa | FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI
Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa
vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata
kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa.
Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki
wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu
ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena
porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa
wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda
uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu.
Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora
angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili
waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao
wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni
matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa
wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata
watoto wadogo na mchungaji.
Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu
critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa
na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa
kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi.
Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya
karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi
kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha
usawa wao.
Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa
chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa
wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile
moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia
hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa
huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama
vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine.
Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia
vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile
kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha
Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi
Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na
vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu.
Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la
kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa
kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao.
Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na
chanjo za kila mwaka zinazohitajika.
Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa
kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama
hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji
matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na
paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini
kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao
wananyanyaswa na kudhulumiwa.
Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira
yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo.
Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani
wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa
minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na
kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo.
Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani
mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
| Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini wapi | {
"text": [
"Ufaransa"
]
} |
4858_swa | FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI
Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa
vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata
kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa.
Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki
wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu
ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena
porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa
wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda
uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu.
Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora
angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili
waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao
wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni
matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa
wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata
watoto wadogo na mchungaji.
Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu
critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa
na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa
kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi.
Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya
karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi
kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha
usawa wao.
Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa
chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa
wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile
moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia
hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa
huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama
vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine.
Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia
vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile
kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha
Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi
Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na
vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu.
Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la
kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa
kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao.
Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na
chanjo za kila mwaka zinazohitajika.
Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa
kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama
hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji
matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na
paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini
kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao
wananyanyaswa na kudhulumiwa.
Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira
yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo.
Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani
wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa
minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na
kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo.
Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani
mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
| Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki nini | {
"text": [
"Mnyama"
]
} |
4858_swa | FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI
Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa
vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata
kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa.
Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki
wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu
ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena
porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa
wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda
uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu.
Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora
angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili
waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao
wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni
matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa
wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata
watoto wadogo na mchungaji.
Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu
critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa
na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa
kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi.
Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya
karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi
kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha
usawa wao.
Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa
chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa
wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile
moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia
hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa
huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama
vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine.
Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia
vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile
kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha
Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi
Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na
vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu.
Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la
kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa
kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao.
Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na
chanjo za kila mwaka zinazohitajika.
Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa
kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama
hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji
matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na
paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini
kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao
wananyanyaswa na kudhulumiwa.
Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira
yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo.
Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani
wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa
minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na
kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo.
Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani
mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
| Wanyama wa kipenzi ni nini ya kushangaza | {
"text": [
"Matibabu"
]
} |
4858_swa | FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI
Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa
vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata
kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa.
Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki
wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu
ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena
porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa
wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda
uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu.
Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora
angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili
waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao
wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni
matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa
wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata
watoto wadogo na mchungaji.
Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu
critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa
na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa
kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi.
Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya
karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi
kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha
usawa wao.
Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa
chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa
wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile
moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia
hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa
huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama
vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine.
Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia
vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile
kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha
Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi
Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na
vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu.
Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la
kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa
kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao.
Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na
chanjo za kila mwaka zinazohitajika.
Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa
kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama
hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji
matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na
paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini
kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao
wananyanyaswa na kudhulumiwa.
Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira
yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo.
Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani
wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa
minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na
kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo.
Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani
mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
| Nini hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi | {
"text": [
"Mbwa"
]
} |
4858_swa | FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI
Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa
vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata
kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa.
Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki
wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu
ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena
porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa
wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda
uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu.
Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora
angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili
waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao
wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni
matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa
wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata
watoto wadogo na mchungaji.
Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu
critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa
na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa
kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi.
Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya
karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi
kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha
usawa wao.
Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa
chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa
wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile
moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia
hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa
huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama
vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine.
Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia
vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile
kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha
Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi
Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na
vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu.
Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la
kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa
kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao.
Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na
chanjo za kila mwaka zinazohitajika.
Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa
kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama
hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji
matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na
paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini
kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao
wananyanyaswa na kudhulumiwa.
Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira
yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo.
Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani
wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa
minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na
kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo.
Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani
mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
| Ni hadithi zipi za kuhuzunisha kuhusu wanyama wapenzi | {
"text": [
"Wengi wananyanyaswa na kudhulumiwa"
]
} |
4861_swa | HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI
Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha
kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala
ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako.
Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi
ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au
wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha.
Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa
kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye
mtu anayehusika.
Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya
Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na
ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw.
Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema
kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na
Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea
mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo,
Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu."
Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu.
Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba
maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa
sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na
umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana
naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza
kuthamini maisha ya wengine.
Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na
ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni
ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na
nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha
yake kwenye mstari kwa ajili yake.
Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye
alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi,
ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu,
na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo,
nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule
yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara
ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki
katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine.
Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama
katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko
katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado
ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo.
Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na
vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama.
Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi.
Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na
asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje.
Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye
ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini,
pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba
sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini.
Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na
mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi
sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na
kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za
binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la
kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya
wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako
ukielezea ziara yako kwa kina.
Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya
majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa
vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati
nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali
yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana.
Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio
hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote
yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni
mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani.
Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma
vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia
kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu
ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko.
Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa
programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na
unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu,
mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri
kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia
ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au
msongamano.
Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi
uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na
wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na
wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa
Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa
kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi
kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao
wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na
daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea
vizuri kila tulipoenda kula chakula!
Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya
mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu,
ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine.
Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia
vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye
afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba
nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha
baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa
samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya
vyakula vya haraka ya magharibi inakua.
Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika
haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na
sisi!
Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati
nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa
wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua.
Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya
maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana!
Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu
pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza
kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
| Mtu wa aina gani hutumiak kama kielekezo kwa wengine? | {
"text": [
"Mwenye nguvu"
]
} |
4861_swa | HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI
Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha
kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala
ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako.
Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi
ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au
wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha.
Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa
kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye
mtu anayehusika.
Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya
Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na
ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw.
Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema
kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na
Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea
mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo,
Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu."
Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu.
Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba
maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa
sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na
umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana
naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza
kuthamini maisha ya wengine.
Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na
ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni
ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na
nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha
yake kwenye mstari kwa ajili yake.
Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye
alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi,
ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu,
na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo,
nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule
yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara
ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki
katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine.
Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama
katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko
katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado
ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo.
Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na
vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama.
Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi.
Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na
asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje.
Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye
ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini,
pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba
sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini.
Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na
mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi
sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na
kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za
binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la
kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya
wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako
ukielezea ziara yako kwa kina.
Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya
majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa
vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati
nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali
yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana.
Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio
hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote
yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni
mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani.
Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma
vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia
kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu
ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko.
Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa
programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na
unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu,
mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri
kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia
ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au
msongamano.
Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi
uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na
wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na
wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa
Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa
kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi
kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao
wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na
daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea
vizuri kila tulipoenda kula chakula!
Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya
mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu,
ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine.
Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia
vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye
afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba
nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha
baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa
samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya
vyakula vya haraka ya magharibi inakua.
Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika
haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na
sisi!
Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati
nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa
wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua.
Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya
maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana!
Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu
pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza
kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
| Mtu muhimu zaidi katika maisha ya mwandishi ni nani? | {
"text": [
"Mahatma Gandhi"
]
} |
4861_swa | HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI
Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha
kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala
ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako.
Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi
ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au
wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha.
Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa
kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye
mtu anayehusika.
Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya
Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na
ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw.
Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema
kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na
Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea
mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo,
Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu."
Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu.
Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba
maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa
sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na
umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana
naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza
kuthamini maisha ya wengine.
Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na
ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni
ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na
nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha
yake kwenye mstari kwa ajili yake.
Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye
alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi,
ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu,
na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo,
nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule
yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara
ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki
katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine.
Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama
katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko
katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado
ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo.
Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na
vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama.
Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi.
Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na
asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje.
Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye
ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini,
pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba
sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini.
Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na
mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi
sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na
kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za
binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la
kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya
wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako
ukielezea ziara yako kwa kina.
Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya
majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa
vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati
nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali
yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana.
Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio
hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote
yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni
mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani.
Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma
vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia
kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu
ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko.
Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa
programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na
unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu,
mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri
kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia
ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au
msongamano.
Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi
uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na
wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na
wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa
Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa
kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi
kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao
wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na
daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea
vizuri kila tulipoenda kula chakula!
Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya
mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu,
ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine.
Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia
vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye
afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba
nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha
baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa
samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya
vyakula vya haraka ya magharibi inakua.
Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika
haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na
sisi!
Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati
nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa
wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua.
Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya
maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana!
Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu
pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza
kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
| Bw. Gandhi alizaliwa wapi? | {
"text": [
"Mohandas Karamchand Gandhi"
]
} |
4861_swa | HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI
Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha
kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala
ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako.
Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi
ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au
wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha.
Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa
kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye
mtu anayehusika.
Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya
Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na
ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw.
Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema
kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na
Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea
mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo,
Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu."
Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu.
Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba
maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa
sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na
umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana
naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza
kuthamini maisha ya wengine.
Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na
ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni
ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na
nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha
yake kwenye mstari kwa ajili yake.
Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye
alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi,
ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu,
na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo,
nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule
yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara
ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki
katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine.
Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama
katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko
katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado
ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo.
Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na
vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama.
Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi.
Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na
asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje.
Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye
ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini,
pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba
sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini.
Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na
mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi
sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na
kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za
binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la
kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya
wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako
ukielezea ziara yako kwa kina.
Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya
majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa
vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati
nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali
yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana.
Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio
hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote
yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni
mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani.
Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma
vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia
kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu
ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko.
Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa
programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na
unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu,
mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri
kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia
ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au
msongamano.
Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi
uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na
wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na
wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa
Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa
kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi
kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao
wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na
daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea
vizuri kila tulipoenda kula chakula!
Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya
mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu,
ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine.
Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia
vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye
afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba
nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha
baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa
samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya
vyakula vya haraka ya magharibi inakua.
Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika
haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na
sisi!
Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati
nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa
wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua.
Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya
maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana!
Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu
pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza
kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
| Bw. Gandhi alijitolea kuboresha maisha ya watu gani? | {
"text": [
"Maskini"
]
} |
4861_swa | HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI
Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha
kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala
ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako.
Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi
ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au
wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha.
Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa
kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye
mtu anayehusika.
Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya
Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na
ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw.
Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema
kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na
Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea
mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo,
Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu."
Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu.
Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba
maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa
sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na
umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana
naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza
kuthamini maisha ya wengine.
Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na
ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni
ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na
nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha
yake kwenye mstari kwa ajili yake.
Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye
alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi,
ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu,
na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo,
nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule
yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara
ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki
katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine.
Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama
katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko
katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado
ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo.
Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na
vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama.
Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi.
Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na
asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje.
Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye
ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini,
pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba
sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini.
Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na
mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi
sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na
kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za
binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la
kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa.
Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya
wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako
ukielezea ziara yako kwa kina.
Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya
majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa
vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati
nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali
yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana.
Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio
hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote
yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni
mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani.
Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma
vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia
kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu
ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko.
Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa
programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na
unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu,
mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri
kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia
ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au
msongamano.
Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi
uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na
wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na
wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa
Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa
kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi
kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao
wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na
daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea
vizuri kila tulipoenda kula chakula!
Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya
mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu,
ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine.
Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia
vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye
afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba
nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha
baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa
samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya
vyakula vya haraka ya magharibi inakua.
Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika
haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na
sisi!
Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati
nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa
wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua.
Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya
maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana!
Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu
pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza
kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
| Makundi yapi mawili yana uhasama nchini India? | {
"text": [
"Waislamu na Wahindu"
]
} |
4862_swa | HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI
Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu
mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au
mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au
nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe
ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa
maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa
hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu
zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo
sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za
mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine
ingeweza.
Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo
yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri,
hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika
kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na
teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi.
Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na
kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika.
Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha
ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote.
Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati
yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'.
Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa
pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi
hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo,
kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo
yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika
mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao
mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa.
Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka
hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa
Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri
wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa
Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale
waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa
yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia
walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine.
Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari.
Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati
za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa
yalifanywa.
Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na
Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza
kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na
Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics
na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia
baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,'
ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika
hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei
hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza
mahitaji ya sayansi na teknolojia.
Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia
mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama
vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari
zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika
ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni
sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni
ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi
hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza
kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake,
hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho
kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi
ambazo zinaweza kufanya kazi.
Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio.
Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu
inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia,
ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo,
yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba!
Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku,
mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi
katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya
Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya
nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa
dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa
duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba
ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo
yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani."
Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya
sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na
FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto
unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko
vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda
wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya
ongezeko la watu duniani utahatarishwa.
Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika
angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba
vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko
lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio
milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa
wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya
uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi
wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini
Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi,
au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla?
Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa
kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya
volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma
kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko
huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa
giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la
Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili
unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu.
Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi
kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi
wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya
kisukuku.
Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu.
Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo
lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo
linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia
unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua
tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi
inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2.
Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au
kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi.
Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya
nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta
na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza
zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya
wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na
maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa
ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa
vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga.
Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati
wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya
kuinyonya na kuitupa.
Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi
katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani
Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya
makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani
vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa,
zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu,
njia ya kuchukua.
Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na
matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo
hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta.
Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya
dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu
mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
| Lugha inaruhusu nani kuwasilisha mawazo yake | {
"text": [
"mzungumzaji"
]
} |
4862_swa | HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI
Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu
mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au
mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au
nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe
ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa
maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa
hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu
zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo
sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za
mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine
ingeweza.
Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo
yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri,
hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika
kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na
teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi.
Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na
kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika.
Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha
ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote.
Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati
yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'.
Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa
pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi
hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo,
kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo
yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika
mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao
mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa.
Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka
hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa
Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri
wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa
Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale
waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa
yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia
walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine.
Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari.
Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati
za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa
yalifanywa.
Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na
Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza
kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na
Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics
na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia
baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,'
ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika
hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei
hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza
mahitaji ya sayansi na teknolojia.
Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia
mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama
vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari
zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika
ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni
sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni
ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi
hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza
kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake,
hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho
kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi
ambazo zinaweza kufanya kazi.
Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio.
Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu
inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia,
ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo,
yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba!
Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku,
mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi
katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya
Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya
nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa
dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa
duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba
ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo
yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani."
Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya
sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na
FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto
unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko
vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda
wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya
ongezeko la watu duniani utahatarishwa.
Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika
angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba
vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko
lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio
milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa
wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya
uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi
wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini
Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi,
au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla?
Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa
kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya
volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma
kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko
huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa
giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la
Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili
unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu.
Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi
kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi
wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya
kisukuku.
Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu.
Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo
lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo
linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia
unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua
tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi
inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2.
Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au
kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi.
Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya
nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta
na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza
zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya
wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na
maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa
ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa
vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga.
Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati
wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya
kuinyonya na kuitupa.
Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi
katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani
Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya
makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani
vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa,
zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu,
njia ya kuchukua.
Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na
matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo
hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta.
Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya
dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu
mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
| Nini inahitajika kwa msaidizi wa duka | {
"text": [
"Hesabu"
]
} |
4862_swa | HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI
Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu
mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au
mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au
nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe
ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa
maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa
hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu
zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo
sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za
mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine
ingeweza.
Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo
yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri,
hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika
kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na
teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi.
Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na
kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika.
Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha
ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote.
Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati
yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'.
Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa
pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi
hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo,
kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo
yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika
mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao
mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa.
Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka
hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa
Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri
wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa
Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale
waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa
yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia
walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine.
Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari.
Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati
za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa
yalifanywa.
Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na
Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza
kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na
Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics
na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia
baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,'
ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika
hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei
hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza
mahitaji ya sayansi na teknolojia.
Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia
mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama
vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari
zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika
ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni
sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni
ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi
hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza
kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake,
hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho
kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi
ambazo zinaweza kufanya kazi.
Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio.
Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu
inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia,
ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo,
yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba!
Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku,
mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi
katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya
Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya
nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa
dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa
duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba
ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo
yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani."
Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya
sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na
FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto
unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko
vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda
wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya
ongezeko la watu duniani utahatarishwa.
Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika
angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba
vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko
lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio
milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa
wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya
uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi
wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini
Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi,
au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla?
Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa
kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya
volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma
kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko
huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa
giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la
Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili
unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu.
Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi
kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi
wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya
kisukuku.
Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu.
Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo
lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo
linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia
unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua
tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi
inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2.
Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au
kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi.
Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya
nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta
na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza
zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya
wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na
maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa
ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa
vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga.
Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati
wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya
kuinyonya na kuitupa.
Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi
katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani
Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya
makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani
vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa,
zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu,
njia ya kuchukua.
Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na
matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo
hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta.
Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya
dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu
mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
| Hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili" ilikuwa kweli hadi lini | {
"text": [
"1800"
]
} |
4862_swa | HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI
Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu
mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au
mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au
nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe
ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa
maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa
hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu
zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo
sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za
mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine
ingeweza.
Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo
yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri,
hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika
kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na
teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi.
Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na
kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika.
Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha
ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote.
Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati
yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'.
Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa
pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi
hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo,
kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo
yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika
mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao
mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa.
Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka
hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa
Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri
wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa
Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale
waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa
yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia
walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine.
Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari.
Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati
za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa
yalifanywa.
Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na
Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza
kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na
Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics
na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia
baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,'
ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika
hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei
hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza
mahitaji ya sayansi na teknolojia.
Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia
mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama
vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari
zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika
ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni
sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni
ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi
hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza
kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake,
hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho
kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi
ambazo zinaweza kufanya kazi.
Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio.
Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu
inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia,
ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo,
yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba!
Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku,
mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi
katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya
Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya
nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa
dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa
duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba
ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo
yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani."
Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya
sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na
FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto
unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko
vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda
wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya
ongezeko la watu duniani utahatarishwa.
Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika
angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba
vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko
lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio
milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa
wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya
uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi
wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini
Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi,
au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla?
Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa
kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya
volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma
kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko
huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa
giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la
Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili
unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu.
Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi
kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi
wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya
kisukuku.
Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu.
Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo
lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo
linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia
unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua
tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi
inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2.
Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au
kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi.
Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya
nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta
na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza
zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya
wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na
maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa
ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa
vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga.
Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati
wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya
kuinyonya na kuitupa.
Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi
katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani
Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya
makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani
vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa,
zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu,
njia ya kuchukua.
Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na
matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo
hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta.
Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya
dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu
mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
| Ulimwengu gani uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari | {
"text": [
"wa Kihindu-Kiarabu"
]
} |
4862_swa | HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI
Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu
mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au
mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au
nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe
ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa
maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa
hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu
zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo
sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za
mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine
ingeweza.
Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo
yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri,
hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika
kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na
teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi.
Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na
kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika.
Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha
ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote.
Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati
yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'.
Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa
pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi
hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo,
kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo
yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika
mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao
mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa.
Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka
hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa
Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri
wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa
Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale
waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa
yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia
walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine.
Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari.
Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati
za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa
yalifanywa.
Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na
Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza
kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na
Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics
na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia
baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,'
ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika
hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei
hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza
mahitaji ya sayansi na teknolojia.
Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia
mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama
vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari
zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika
ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni
sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni
ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi
hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza
kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake,
hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho
kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi
ambazo zinaweza kufanya kazi.
Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio.
Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu
inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia,
ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo,
yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba!
Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku,
mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi
katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya
Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya
nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa
dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa
duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba
ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo
yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani."
Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya
sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na
FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto
unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko
vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda
wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya
ongezeko la watu duniani utahatarishwa.
Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika
angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba
vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko
lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio
milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa
wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya
uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi
wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini
Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi,
au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla?
Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa
kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya
volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma
kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko
huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa
giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la
Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili
unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu.
Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi
kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi
wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya
kisukuku.
Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu.
Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo
lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo
linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia
unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua
tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi
inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2.
Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au
kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi.
Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya
nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta
na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza
zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya
wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na
maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa
ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa
vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga.
Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati
wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya
kuinyonya na kuitupa.
Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi
katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani
Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya
makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani
vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa,
zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu,
njia ya kuchukua.
Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na
matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo
hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta.
Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya
dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu
mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
| Mbona applied Hisabati hukua | {
"text": [
"ili kutimiza mahitaji ya sayansi na teknolojia"
]
} |
4863_swa | HOMA KALI
Jumba la zamani la magogo lililotelekezwa linaweza kupatikana juu katika
nyanda za juu za Kenya. Ilikuwa inamilikiwa na wanandoa wachanga ambao
walitaka kutoka kwa machafuko ya maisha ya kisasa. Walikuwa mamia ya
maili kutoka makazi ya karibu. Omari, mume, alikwenda mjini kila mara na
tena ili kupata mahitaji, huku Jan, mke wake, akitumia wakati wake wa
burudani kushona kwa moto. Maisha yao yalikuwa kamili tu.
Kisha, katikati ya majira ya baridi kali, Jan aliamka akiwa na maumivu
ya ajabu katika mifupa yake. Omari alimuwahisha kitandani na kuhakikisha
amepumzika huku akilaumu juu ya kufanya kazi kupita kiasi. Jan alikosa
subira ya kuanza kazi zake, lakini Omari alimtuliza "Sugar, jipe ​​raha.
Unaenda mbali kidogo. Majukumu yote haya yatakungoja baada ya kupona."
Jan, kwa upande mwingine, alionekana kudhoofika badala ya kuimarika.
Alikuwa na homa kali na alikuwa na maumivu mengi kufikia jioni. Licha ya
jitihada zake nyingi, Omari hakuweza kupunguza uchungu wake. Kisha,
ghafla, akapoteza fahamu.
Ilikuwa wazi wakati huo kwamba alikuwa mgonjwa sana. Omari angeweza
kufanya nini? Hajawahi kumtibu mtu mgonjwa hapo awali, na Jan alikuwa
anazidi kuwa mbaya kwa dakika. Alijua kwamba mji huo ulikuwa na daktari
mzee, lakini aliishi maili tatu kutoka chini kwenda chini. daktari,
potbellied na nzito, alikuwa na nafasi ndogo ya kufika kwa cabin yao.
Kitu kilipaswa kufanywa haraka iwezekanavyo! Omari alipiga akili zake
lakini hakupata chochote. Ilikuwa ni suala la kwenda kwa daktari tu. Jan
hakuweza kamwe kutembea mbali sana kwenye theluji inayofika kiunoni
katika hali yake. Angelazimika kubebwa na Omari!
Omari alisumbua ubongo wake kutafuta njia ya kupata maskini, Jan mgonjwa
ili asogee. Kisha akakumbuka kitu. Wakati fulani alikuwa amewajengea
godoro ili wapande mlima pamoja. Hata hivyo, kwa sababu mlima wote
ulikuwa umefunikwa kwa mawe na miti, hawakupata kamwe kuutumia.
Hajawahi, hata mara moja, kupata njia salama chini.
Alipokuwa akichimba kilemba nje ya ghala, alijiwazia, "Vema, inaonekana
kama itanilazimu kuijaribu kwa vyovyote vile." "Ikiwa sitampeleka Jan
kwa daktari, anaweza kufa, na maisha sio kitu kwangu bila yeye." Akiwa
na hili akilini, Omari alimwingiza Jan kwa upole kwenye sleji, akapanda
mbele, na kusukumana na maombi kidogo ya usalama.
Omari hajui jinsi walivyofanikiwa kupitia safari hiyo wakiwa hai.
Alifarijika kwamba Jan hakuwa macho kushuhudia safari hiyo huku miti
ikinyanyuka mbele yake na kisha kupepesuka pembeni yake, karibu kiasi
cha kugusa. Ni jambo pekee aliloweza kufanya ili asipige kelele kila
wakati mgongano ulipotokea, akiwa amebakisha inchi tu.
Hatimaye kijiji kilionekana, kikipuka kutoka kwenye mlima. Walikimbia
katika barabara zenye baridi kali, huku wakipunguza mwendo wa kasi
walipofika karibu na nyumba ya daktari. Iliposimama, slaidi iliyovunjika
ilianguka kwenye ski ya kushoto, na kuwatapika watu wake. Omari aliingia
katika ofisi ya daktari baada ya kumchukua Jan.
Jan alipata nafuu kutokana na ugonjwa wake baada ya kile kilichohisi
kama majira ya baridi kali, lakini Omari hakupata nafuu kutokana na hofu
yake. Walikaa katika mji mdogo ili kuwa karibu na kusaidia wakati wa
uhitaji, na wamekuwa huko tangu wakati huo.
| Mume alijulikana aje | {
"text": [
"Omari"
]
} |
4863_swa | HOMA KALI
Jumba la zamani la magogo lililotelekezwa linaweza kupatikana juu katika
nyanda za juu za Kenya. Ilikuwa inamilikiwa na wanandoa wachanga ambao
walitaka kutoka kwa machafuko ya maisha ya kisasa. Walikuwa mamia ya
maili kutoka makazi ya karibu. Omari, mume, alikwenda mjini kila mara na
tena ili kupata mahitaji, huku Jan, mke wake, akitumia wakati wake wa
burudani kushona kwa moto. Maisha yao yalikuwa kamili tu.
Kisha, katikati ya majira ya baridi kali, Jan aliamka akiwa na maumivu
ya ajabu katika mifupa yake. Omari alimuwahisha kitandani na kuhakikisha
amepumzika huku akilaumu juu ya kufanya kazi kupita kiasi. Jan alikosa
subira ya kuanza kazi zake, lakini Omari alimtuliza "Sugar, jipe ​​raha.
Unaenda mbali kidogo. Majukumu yote haya yatakungoja baada ya kupona."
Jan, kwa upande mwingine, alionekana kudhoofika badala ya kuimarika.
Alikuwa na homa kali na alikuwa na maumivu mengi kufikia jioni. Licha ya
jitihada zake nyingi, Omari hakuweza kupunguza uchungu wake. Kisha,
ghafla, akapoteza fahamu.
Ilikuwa wazi wakati huo kwamba alikuwa mgonjwa sana. Omari angeweza
kufanya nini? Hajawahi kumtibu mtu mgonjwa hapo awali, na Jan alikuwa
anazidi kuwa mbaya kwa dakika. Alijua kwamba mji huo ulikuwa na daktari
mzee, lakini aliishi maili tatu kutoka chini kwenda chini. daktari,
potbellied na nzito, alikuwa na nafasi ndogo ya kufika kwa cabin yao.
Kitu kilipaswa kufanywa haraka iwezekanavyo! Omari alipiga akili zake
lakini hakupata chochote. Ilikuwa ni suala la kwenda kwa daktari tu. Jan
hakuweza kamwe kutembea mbali sana kwenye theluji inayofika kiunoni
katika hali yake. Angelazimika kubebwa na Omari!
Omari alisumbua ubongo wake kutafuta njia ya kupata maskini, Jan mgonjwa
ili asogee. Kisha akakumbuka kitu. Wakati fulani alikuwa amewajengea
godoro ili wapande mlima pamoja. Hata hivyo, kwa sababu mlima wote
ulikuwa umefunikwa kwa mawe na miti, hawakupata kamwe kuutumia.
Hajawahi, hata mara moja, kupata njia salama chini.
Alipokuwa akichimba kilemba nje ya ghala, alijiwazia, "Vema, inaonekana
kama itanilazimu kuijaribu kwa vyovyote vile." "Ikiwa sitampeleka Jan
kwa daktari, anaweza kufa, na maisha sio kitu kwangu bila yeye." Akiwa
na hili akilini, Omari alimwingiza Jan kwa upole kwenye sleji, akapanda
mbele, na kusukumana na maombi kidogo ya usalama.
Omari hajui jinsi walivyofanikiwa kupitia safari hiyo wakiwa hai.
Alifarijika kwamba Jan hakuwa macho kushuhudia safari hiyo huku miti
ikinyanyuka mbele yake na kisha kupepesuka pembeni yake, karibu kiasi
cha kugusa. Ni jambo pekee aliloweza kufanya ili asipige kelele kila
wakati mgongano ulipotokea, akiwa amebakisha inchi tu.
Hatimaye kijiji kilionekana, kikipuka kutoka kwenye mlima. Walikimbia
katika barabara zenye baridi kali, huku wakipunguza mwendo wa kasi
walipofika karibu na nyumba ya daktari. Iliposimama, slaidi iliyovunjika
ilianguka kwenye ski ya kushoto, na kuwatapika watu wake. Omari aliingia
katika ofisi ya daktari baada ya kumchukua Jan.
Jan alipata nafuu kutokana na ugonjwa wake baada ya kile kilichohisi
kama majira ya baridi kali, lakini Omari hakupata nafuu kutokana na hofu
yake. Walikaa katika mji mdogo ili kuwa karibu na kusaidia wakati wa
uhitaji, na wamekuwa huko tangu wakati huo.
| Mke alijulikanaje | {
"text": [
"Jan"
]
} |
4863_swa | HOMA KALI
Jumba la zamani la magogo lililotelekezwa linaweza kupatikana juu katika
nyanda za juu za Kenya. Ilikuwa inamilikiwa na wanandoa wachanga ambao
walitaka kutoka kwa machafuko ya maisha ya kisasa. Walikuwa mamia ya
maili kutoka makazi ya karibu. Omari, mume, alikwenda mjini kila mara na
tena ili kupata mahitaji, huku Jan, mke wake, akitumia wakati wake wa
burudani kushona kwa moto. Maisha yao yalikuwa kamili tu.
Kisha, katikati ya majira ya baridi kali, Jan aliamka akiwa na maumivu
ya ajabu katika mifupa yake. Omari alimuwahisha kitandani na kuhakikisha
amepumzika huku akilaumu juu ya kufanya kazi kupita kiasi. Jan alikosa
subira ya kuanza kazi zake, lakini Omari alimtuliza "Sugar, jipe ​​raha.
Unaenda mbali kidogo. Majukumu yote haya yatakungoja baada ya kupona."
Jan, kwa upande mwingine, alionekana kudhoofika badala ya kuimarika.
Alikuwa na homa kali na alikuwa na maumivu mengi kufikia jioni. Licha ya
jitihada zake nyingi, Omari hakuweza kupunguza uchungu wake. Kisha,
ghafla, akapoteza fahamu.
Ilikuwa wazi wakati huo kwamba alikuwa mgonjwa sana. Omari angeweza
kufanya nini? Hajawahi kumtibu mtu mgonjwa hapo awali, na Jan alikuwa
anazidi kuwa mbaya kwa dakika. Alijua kwamba mji huo ulikuwa na daktari
mzee, lakini aliishi maili tatu kutoka chini kwenda chini. daktari,
potbellied na nzito, alikuwa na nafasi ndogo ya kufika kwa cabin yao.
Kitu kilipaswa kufanywa haraka iwezekanavyo! Omari alipiga akili zake
lakini hakupata chochote. Ilikuwa ni suala la kwenda kwa daktari tu. Jan
hakuweza kamwe kutembea mbali sana kwenye theluji inayofika kiunoni
katika hali yake. Angelazimika kubebwa na Omari!
Omari alisumbua ubongo wake kutafuta njia ya kupata maskini, Jan mgonjwa
ili asogee. Kisha akakumbuka kitu. Wakati fulani alikuwa amewajengea
godoro ili wapande mlima pamoja. Hata hivyo, kwa sababu mlima wote
ulikuwa umefunikwa kwa mawe na miti, hawakupata kamwe kuutumia.
Hajawahi, hata mara moja, kupata njia salama chini.
Alipokuwa akichimba kilemba nje ya ghala, alijiwazia, "Vema, inaonekana
kama itanilazimu kuijaribu kwa vyovyote vile." "Ikiwa sitampeleka Jan
kwa daktari, anaweza kufa, na maisha sio kitu kwangu bila yeye." Akiwa
na hili akilini, Omari alimwingiza Jan kwa upole kwenye sleji, akapanda
mbele, na kusukumana na maombi kidogo ya usalama.
Omari hajui jinsi walivyofanikiwa kupitia safari hiyo wakiwa hai.
Alifarijika kwamba Jan hakuwa macho kushuhudia safari hiyo huku miti
ikinyanyuka mbele yake na kisha kupepesuka pembeni yake, karibu kiasi
cha kugusa. Ni jambo pekee aliloweza kufanya ili asipige kelele kila
wakati mgongano ulipotokea, akiwa amebakisha inchi tu.
Hatimaye kijiji kilionekana, kikipuka kutoka kwenye mlima. Walikimbia
katika barabara zenye baridi kali, huku wakipunguza mwendo wa kasi
walipofika karibu na nyumba ya daktari. Iliposimama, slaidi iliyovunjika
ilianguka kwenye ski ya kushoto, na kuwatapika watu wake. Omari aliingia
katika ofisi ya daktari baada ya kumchukua Jan.
Jan alipata nafuu kutokana na ugonjwa wake baada ya kile kilichohisi
kama majira ya baridi kali, lakini Omari hakupata nafuu kutokana na hofu
yake. Walikaa katika mji mdogo ili kuwa karibu na kusaidia wakati wa
uhitaji, na wamekuwa huko tangu wakati huo.
| Jani alidhoofika kwa sababu ya nini | {
"text": [
"Homa"
]
} |
Subsets and Splits