Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4838_swa
UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii. Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii. Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni, malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo. Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii. Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi. Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa. Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha. Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha na mambo hayo. Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na kuruka kamba. Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni. Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
Watoto huwa wabunifu sana katika nini
{ "text": [ "Maigizo" ] }
4838_swa
UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii. Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii. Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni, malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo. Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii. Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi. Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa. Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha. Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha na mambo hayo. Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na kuruka kamba. Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni. Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
Michezo ya watoto inakuza nini
{ "text": [ "Maadili yanayofaa k.v ujasiri, udadisi nk" ] }
4839_swa
Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma. Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani. Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie siri ya utajiri wake. Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake. Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini. Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki. Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea kidole cha lawama. Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna mgonjwa ambaye anachungulia kaburini. Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Nani aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu?
{ "text": [ "Riziki" ] }
4839_swa
Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma. Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani. Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie siri ya utajiri wake. Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake. Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini. Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki. Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea kidole cha lawama. Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna mgonjwa ambaye anachungulia kaburini. Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Mbona Riziki alichukia familia yake?
{ "text": [ "Ilikuwa maskini" ] }
4839_swa
Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma. Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani. Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie siri ya utajiri wake. Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake. Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini. Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki. Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea kidole cha lawama. Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna mgonjwa ambaye anachungulia kaburini. Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Wazazi wake Riziki walijulikana kama nani?
{ "text": [ "Bw. na Bi Mkarimu" ] }
4839_swa
Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma. Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani. Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie siri ya utajiri wake. Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake. Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini. Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki. Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea kidole cha lawama. Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna mgonjwa ambaye anachungulia kaburini. Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Nini haikukosekana kila siku ya juma nyumbani mwa Bw. na Bi Mkarimu?
{ "text": [ "Ugomvi" ] }
4839_swa
Mla nawe hafi nawe Ila mzaliwa nawe Riziki aliichukia familia yake toka alipoanza kujifahamu.Hakuichukia tu familia yake bali pia watu wa hiyo familia.Aliwachukia vibaya sana.Aliwadharau na kuwaona takataka mbele ya macho yake.Sababu ya kuwachukia ni kuwa alijikuta amezaliwa katika familia iliyojaa ufukura tumbi nzima.Walikula kwa shida,wakavaa mararumararu na kuishi katika makazi duni.Hakuiona juhudi ya wazazi wake ya kumlea bali aliwaona nuksi kubwa katika maisha yake.Katika boma la bwana na bi Mkarimu hakukukosekana ugomvi kila siku ya juma. Ugomvi huu aliusababisha Riziki mtoto wao kifungua mimba.Alilalamikia hali yao duni ambayo waliipitia pale nyumbani siku nenda siku rudi.Aliwaonea wivu wale watoto ambao walikuwa wamezaliwa katika familia zilizo na utajiri si haba.Alitamani ndoto yake ya familia yake kuja baadaye kuupiga teke ufukura lakini ilisalia ndoto tu.Wazazi wake walimpenda kwa dhati ya mioyo ila mwana wao aliwaona kikwazo.Kutokana na hamu yake ya kuweza kuuondokea umaskini aliingiwa na tamaa ya pesa.Baada ya kumaliza kidato cha nne,wavyele wake walishindwa kumsongeza hatua mbele kimasomo na hapo ndipo katika pilkapilka zake za kila siku alikutana na msichana aliyekuwa amefanikiwa maishani. Msichana huyu alikuwa akifahamika kama Hadaa.Riziki alipomwona kwa mara ya kwanza alidhani kuwa alikuwa anaota ila alipopepesa macho aligundua yuko katika dunia halisi.Hadaa alikuwa anameremeta kama nyota angani.Ungemtazama muonekano wake ungependezwa kwa yakini.Aliwasili kijijini akiwa na gari lake la kifahari.Mavazi yake yalikuwa ya bei na ya kipekee."Inakuwaje maisha yetu yawe tofauti na sote ni mabinti wa hiki kijiji?" alijiuliza Riziki.Baada ya kujiuliza maswali bila kupata majibu alikata shauri kwamba angetengeneza urafiki naye ili amzindulie siri ya utajiri wake. Aliapa kwamba iwapo angefanikiwa angetoka kwao na kutokomea kabisa.Alichokitaka ni Hadaa kukubali usuhuba wake kwanza ili aweze kuishi naye akifurahia maisha ambayo hajawahi kuishi tangu kuzaliwa kwake.Hadaa alikuwa msichana mchangamfu kweli.Riziki alipomfuata kwa mara ya kwanza alimkaribisha kama kwamba walikuwa wakijuana toka kitambo.Alizungumza naye kama dada yake aliyezaliwa naye tumbo moja.Riziki alitaka urafiki na Hadaa na kwa bahati nzuri akaupata.Urafiki uliponoga aliona ingekuwa vizuri iwapo angemfunulia yale yaliyokuwa yamejificha ndani ya moyo wake. Katika mojawapo ya mikutano yao,Riziki alimdokezea dada yake wa kupanga kuhusiana na kutaka kujua siri ya utajiri wake.Isitoshe alimwomba akae naye kabla mambo yake hayajakuwa sawa."Ninafanya biashara mwenzangu na hii ndiyo sababu ya maisha yangu ya kifahari".alijibu Hadaa.Alimweleza Riziki kwamba iwapo angetaka kufanikiwa aandamane naye pindi anaporudi mjini.Riziki Kwa kuchelea Kwale kupitwa na bahati alikubali.Jioni hiyo alipomaliza kula chajio alienda kupakia virago vyake na giza lilipotanda alitoroka nyumbani kwenda kujiunga na Hadaa katika safari yao ya mjini. Mjini maisha yalikuwa raha mustarehe tu.Maisha ya Riziki yakachukua mkondo mwengine kabisa.Alianza kuvalia kishua na kula alichokitaka hata vinywaji alikunywa alivyovitaka.Mwili ukaanza kukubali kuonekana ukinawiri na kumetameta.Riziki hakutaka kurudi kijijini tena alitaka kutajirika zaidi.Hakutosheka na biashara aliyokuwa ameonyeshwa na Hadaa ila aliona afadhali atafute pesa za haraka.Alijisahau kabisa kuwa yeye nani na kuambulia kuuza mwili wake kwa kila ghulamu aliyemdhania kuwa na pesa tumbi nzima.Akayapuzilia mbali maadili aliyokuwa amefunzwa na wavyele wake na kuamua liwe liwalo lazima ajitengenezee pesa.Wakati wote huu Hadaa hakuwa na mwao kuhusiana na alichokuwa akikifanya Riziki. Ghafla akaanza kuugua,kumbe katika shughuli zake za uchangudoa alizoa gonjwa lisilo tiba.Maskini Riziki alikuwa anaugua gonjwa la Ukimwi na magonjwa mengine yanayosababishwa na kufanya tendo la ndoa kiholelaholela.Hadaa alipopata ripoti hii baada ya kumkimbiza hospitali alighadhabika na kumwacha alipie dhambi zake.Kwa yakini hakuonekana tena pale hosipitali.Riziki aliendelea kukaa hosipitali huku bili ikiongezeka.Pale kila mtu alichoshwa naye wakawa wanamsema na kumnyoshea kidole cha lawama. Subira ambaye alikuwa dada yake Riziki alikuwa amefanikiwa kumaliza shule akiwa salama salmini.Inasemekana alipata ufadhili wa kuingia chuo kikuu na kusomea udaktari.Licha ya kwamba walikuwa hawajaonana na Riziki Kwa muda mrefu bado alimfahamu alipomwona amelala kitandani.Alimwona baada ya kuelezewa na mmoja wapo wa wauguzi wa hosipitali ile kuwa kuna mgonjwa ambaye anachungulia kaburini. Kinaya ni kwamba hakumfokea wala kumdadisi ila alifurahi kumwona tena.Kwanzia siku hiyo akamshughulikia na kuhakikisha kwamba bili yake anailipa.Muda wote huu Riziki alibaki kaduwaa ila asilolijua ni kuwa kule kwa wazazi wake maisha yalikuwa yamebadilika kutoka mabaya hadi mazuri.Hadaa akamhadaa na kumwacha peke yake mnyonge asiyejiweza.Subira kaamua kumsaidia ila tayari yashamwagika.Kwa yakini mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Riziki alikuwa wa jinsia gani?
{ "text": [ "Kike" ] }
4840_swa
Mtu hujikuna ajipatapo Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji lolote angetimiziwa kwa wakati. Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile. Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo alifurahia maisha ya dunia hii. Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao. Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe anajilipia karo. Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila kupinga. Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani na kuyakumbatia maisha yake mapya.
Daniel alilelewa katika maadili yapi?
{ "text": [ "Kikiristo" ] }
4840_swa
Mtu hujikuna ajipatapo Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji lolote angetimiziwa kwa wakati. Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile. Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo alifurahia maisha ya dunia hii. Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao. Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe anajilipia karo. Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila kupinga. Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani na kuyakumbatia maisha yake mapya.
Babake Daniel aliendesha gari la aina gani?
{ "text": [ "Kifahari" ] }
4840_swa
Mtu hujikuna ajipatapo Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji lolote angetimiziwa kwa wakati. Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile. Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo alifurahia maisha ya dunia hii. Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao. Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe anajilipia karo. Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila kupinga. Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani na kuyakumbatia maisha yake mapya.
Nani aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani?
{ "text": [ "Daniel" ] }
4840_swa
Mtu hujikuna ajipatapo Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji lolote angetimiziwa kwa wakati. Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile. Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo alifurahia maisha ya dunia hii. Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao. Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe anajilipia karo. Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila kupinga. Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani na kuyakumbatia maisha yake mapya.
Hatima ya wazazi wake Daniel ilikuwa ipi?
{ "text": [ "Waliaga dunia?" ] }
4840_swa
Mtu hujikuna ajipatapo Alizaliwa na wazazi wawili.Wavyele wake walimlea katika maadili ya kikirsto na kumpa penzi la dhati.Aliishi maisha ya kifahari.Wafanyakazi ndio waliofanya nyingi ya kazi zake yeye akitumikiwa kama mwana wa mfalme.Akose nini huyu? Wafanyakazi walimfulia,wakamwosha na kusafisha chumba chake.Daniel alioshwa pia hivyo hakuchoka kama watoto wengine ambao kwao hulazimika kufanya kazi za ziada mbali na kusoma vitabu vyao.Wazazi wake waliyaeka mahitaji yake kipaumbele.Alipokuwa na hitaji lolote angetimiziwa kwa wakati. Wakati wa likizo angepandishwa katika gari la kifahari la baba yake huku akiwa amevalia kishua na kupelekwa popote alipopataka yeye.Aghalabu angepelekwa katika mbuga za wanyama na hapo angewaona wanyama na nyuni wote aliokuwa akiwapenda.Siku yake ya kuzaliwa ingesherehekewa kwa mbwembwe nyingi huku watu walio na nafasi zao wakialikwa.Zawadi alizopokea katika sherehe hizi ni za kupigiwa mfano.Licha ya umri wake mdogo alikuwa na magari matano aliyokuwa amezawadiwa siku ile. Aliinamiwa na wafanyakazi wa nyumbani na hata kule ofisini ambako mama na baba yake walifanyia kazi.Alisomea katika shule tajika kule mjini.Yeye hakupimiwa hewa alifanya alichokitaka wakati alipoona ni sawa kwake.Alipenda maji na hivyo wazazi wake walimlipia mahali mwezi mzima ili awe anaenda kuogelea kwa vile kwao pesa zilikuwa si tatizo alifurahia maisha ya dunia hii. Kwa sasa ni mpweke hana mbele wala nyuma.Furaha yake imegeuka karaha.Amebaki akitazama picha tu za wavyele wake waliomwondokea bila kwaheri.Vifo vyao vilikuwa vya ghafla sana,hawakuugua ugonjwa wowote walilala na kupatikana asubuhi roho zao zimeachana na miili yao.Kumbe licha ya wawili hawa kumpenda mtoto wao walikuwa wana purukushani zao.Inasemekana waliekeana sumu kwenye chakula baada ya kugundua wote walikuwa wamekosa uaminifu katika ndoa yao. Daudi haamini semasema hizi kwa sababu anakumbuka walivyokuwa wakivaa tabasamu mbele yake.Siku hiyo alikuwa ameenda shule yake ya bweni na likizo ilikuwa haijatolewa hivyo habari kuhusu kifo chao kilimfanya atokwe na machozi ya uchungu.Alikuwa darasa la nane ubwabwa ungali haujamtoka shingoni.Alilia kwikwikwi lakini maji tayari yalikuwa yamemwagika na hayazoleki.Aliendelea kubaki shuleni akisoma kwa ajili ya mtihani wake wa mwisho wa shule ya msingi kwa sababu karo ilikuwa imelipwa ila baada ya hapo alikuwa aunge moja na moja ili ahakikishe anajilipia karo. Wazazi wake walizikwa bila yeye kuwepo na alipofika nyumbani alipigwa na bumbuwazi kuona kwamba sasa nyumba ya wazazi wake ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine.Mtu huyu hakumfahamu alikuja kugundua baadaye kwamba alikuwa mjomba wake ndugu ya baba yake.Huyu alimpa kazi nyingi na kuwafukuza wafanyakazi wote wa pale nyumbani.Jambo jingine alikuwa mwislamu na hivyo alitaka kila mmoja aliyeishi naye kuwa mwislamu bila kupinga. Daudi akalazimika kusalimu amri ili apate makao na karo.Kazi zilizokuwa zikifanywa na wafanyakazi zilibadilika na kuwa zake.Alipokea mshahara ambao ulikuwa duni ila alishukuru kwamba hangeenda kuwa mtoto wa mitaani na kuyakumbatia maisha yake mapya.
Habari ya kifo cha wazazi wake kilimfikia akiwa katika darasa gani?
{ "text": [ "La nane" ] }
4842_swa
Taji ya majonzi Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi. Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi. Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya mashambulizi. Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto tu. Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na falme za wengine. Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla ajidhuru. Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi anapochukuliwa na muumba wake.
Kipi chafaa kufurahiwa na si kuvumiliwa
{ "text": [ "Uongozi" ] }
4842_swa
Taji ya majonzi Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi. Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi. Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya mashambulizi. Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto tu. Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na falme za wengine. Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla ajidhuru. Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi anapochukuliwa na muumba wake.
Nini humpa mtu heshima na si dharau
{ "text": [ "Uongozi" ] }
4842_swa
Taji ya majonzi Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi. Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi. Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya mashambulizi. Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto tu. Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na falme za wengine. Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla ajidhuru. Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi anapochukuliwa na muumba wake.
Nani anafaa kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake
{ "text": [ "Kiongozi" ] }
4842_swa
Taji ya majonzi Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi. Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi. Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya mashambulizi. Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto tu. Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na falme za wengine. Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla ajidhuru. Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi anapochukuliwa na muumba wake.
Yusufu alifanya uchunguzi baada ya kifo cha nani
{ "text": [ "Mama yake" ] }
4842_swa
Taji ya majonzi Uongozi hufaa kufurahiwa na si kuvumiliwa.Vilevile uongozi humpa mtu heshima na si dharau.Isitoshe uongozi humpa mtu mamlaka ya kutawala na si vinginevyo.Uongozi unapompa mtu bezo hubadilika jina na kuwa dhihaka tu.Kiongozi yeyote hustahili kutumikiwa na si kutumiwa na watu wake vibaya.Kiongozi hudumisha heshima yake yeye mwenyewe kwa kufanya kinachostahiki kwa wengine.Pia kwa kujitahidi kutimiza wajibu wake kama kiongozi.Familia yake pia hustahili kuonyesha heshima kwa watu wote.Mmoja wa watu wanaohusiana na mfalme kwa karibu anapoteleza basi mwanya unatokea wa kejeli kuingia katika nyumba ya Kiongozi. Anakumbuka jinsi alivyokuwa mfalme.Alilazimika kupanda kiti cha ufalme pindi baba yake alipoiaga dunia.Hakuwa mfalme kwa kupenda kwake ila utamaduni wa watu wake ndio uliomlazimu kufanya hivyo.Alikubali tu afanyeje.Sherehe yake ya kukwezwa ufalme ilifana kabisa.Siku ile alivalia tabasamu ila moyoni alikuwa na huzuni.Kutoka siku hiyo masaibu yalimwandama vilivyo.Kwanza alipoteza mama yake mzazi kutokana na mkasa wa moto uliowashwa na watu walioaminika kuwa maadui zake.Moto huu ulimchoma mama yake pamoja na watu aliowatawala kumi. Moto huu ulitokea ghafla na hakujua chanzo chake.Yusufu alipokuwa mfalme hakuuliza mengi kutoka na chuki yake ya kutotaka kuwa mfalme.Mapuuza hata ndiyo yaliyomsababishia kumzika mama yake kwa haraka mno.Baada ya kifo cha mama yake ndipo alifanya uchunguzi na kugundua kwamba baba yake ambaye kwa sasa alikuwa marehemu alikuwa ameacha maadui nyuma.Kuna wale waliotaka mashamba yao na pia wale waliotaka ufalme wao.Hapo ndipo akaanza kujipanga barbara kwa ajili ya uvamizi ujao.Aliamrisha askari kufanya mazoezi kila siku na kuwa ange wakati wrote kwa ajili ya mashambulizi. Kutokana na sababu ya mila na desturi kwamba mtu hawezi kukwezwa kiti cha ufalme bila kuoa ilimlazimu kupata jiko.Ndoa ilifanyika haraka iwezekanavyo.Jambo hili halikumfurahisha maana alimwoa msichana aliyempenda ila kwa wakati ambazo alikuwa hajatarajia.Muda kidogo alipata mimba na ilipofika wakati wake wa kujifungua alipata mtoto wa like ila alifariki muda kidogo baada ya kumzaa.Msichana asingeweza kurithi ufalme.Suala la mke wake kumwacha angali mbichi lilimwatua moto.Alilazimika kumlea mtoto wake yeye peke yake.Azimio la moyo wake lilikuwa ni kumlea mtoto akiwa na mke wake lakini hilo lilisalia ndoto tu. Huzuni ikawa hasa sehemu ya maisha yake.Likiisha hili linaibuka lingine.Baada ya mke wake kwenda jongomeo hakutaka tena kuoa.Wazee wa ufalme wake walimjia na kumweleza umuhimu wa yeye kupata mke mwingine.Jambo hili alilikataa katakata lakini hakufaulu.Wazee wale walimwoza binti mrembo ambaye hata siku moja na kuwa ametamani kuwa naye kama rafiki sembuse mke.Alihuzunika lakini afanyeje na ile ilikuwa mila na mwacha mila siku zote mtumwa.Ufalme wake ulijaa kilio kinyume na falme za wengine. Habari alizozipokea zilikuwa tu za tanzia.Zilihusu vifo vya watu aliowaenzi na kuwatamini.Binti yake alikuja kuugua ghafla akafanya juu chini kumpoza lakini akaenda alipokuwa ameenda mama na baba yake.Alihisi uchungu moyoni lakini hakuwa na wa kumweleza.Akahisi dunia imemgeukia.Ufalme wake ukawa shubiri isiyolika.Ilitokea tu visa Vingi vya yeye kutaka kujitia kitanzi.Alijaribu lakini aliokolewa kabla ajidhuru. Alianza kupoteza hamu ya kuishi na hasa kuwa mfalme.Alitaka kuwa huru na mtu wa kawaida tu.Hakuonea fahari tena ufalme wake.Alijisuta moyoni usiku na mchana kutokana na vifo vya watu alihusiana nao kwa unasaba.Alijilaumu si baba.Alianza kujizungumzia peke yake kama kwamba alikuwa amerukwa na akili.Alitaka kufa kwa sababu kuishi kwake ilikuwa dhiki tupu.Malalamishi yake kwa Wazee wake yaliingia sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Kamwe hawakutaka Yusufu aache kuwa mfalme wao.Ilimbidi Yusufu kukubali uongozi na kuuvalia njuga ili kuutekeleza vilivyo.Hata ndiyo yalikuewa maisha yake mpaka kufa kwake.Kuishi bila watu wa kumliwaza na hata mtu wa kurithi ufalme wake pindi anapochukuliwa na muumba wake.
Askari waliamrishwa kufanya nini
{ "text": [ "Mazoezi" ] }
4843_swa
Talaka ya aibu Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume. Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda. Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani kama gogo na kulala fofofo. Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga kama kwamba alikuwa mtoto mchanga. Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na mahali penyewe alipajua yeye. Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la. Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake. Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
Talaka hupewa baina ya wanandoa wanapokosa kufanya nini?
{ "text": [ "Kuelewana" ] }
4843_swa
Talaka ya aibu Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume. Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda. Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani kama gogo na kulala fofofo. Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga kama kwamba alikuwa mtoto mchanga. Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na mahali penyewe alipajua yeye. Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la. Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake. Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
Sababu moja ya talaka ni ipi?
{ "text": [ "Ukosefu wa uaminifu" ] }
4843_swa
Talaka ya aibu Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume. Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda. Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani kama gogo na kulala fofofo. Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga kama kwamba alikuwa mtoto mchanga. Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na mahali penyewe alipajua yeye. Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la. Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake. Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
Ni azimio la nani kuwa wanandoa waishi kwa amani na upendo?
{ "text": [ "Mungu" ] }
4843_swa
Talaka ya aibu Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume. Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda. Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani kama gogo na kulala fofofo. Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga kama kwamba alikuwa mtoto mchanga. Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na mahali penyewe alipajua yeye. Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la. Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake. Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
Mkewe Hassan aliitwa nani?
{ "text": [ "Zubeda" ] }
4843_swa
Talaka ya aibu Talaka hupeanwa kawaida kwa wanandoa pindi wanapokosa kuelewana katika ndoa.Talaka hutokana na sababu nyingi tu mojawapo ikiwepo ukosefu wa uaminifu kati ya wawili waliopendana.Katika dini ya kikirsto na kiislamu talaka huwa mwiko.Mungu hapendezwi na talaka kamwe.Ni azimio lake kuu kuwa wanandoa wakaishi kwa upendo na amani.Talaka huweza kusababishwa na ugomvi wa mara kwa mara.Dunia ya leo,talaka ndio mtindo.Mtindo huu umetokana na mwanamke kutaka nafasi sawa na mwanaume. Hassan alimpenda mke wake.Alipomwoa alihakikisha kwamba anatimiza majukumu yake kwake kwa wakati.Kila asubuhi alipoenda kazini alimwachia pesa za matumizi.Alipokuwa nyumbani mwao alimsaidia kazi za nyumbani na kumwonyesha upendo.Alimmiminia zawadi kemkem kila mara alipotoka kazini.Aghalabu aliitikia wito wa mke wake pindi tu alipomwita.Ajabu ni kwamba kumbe upendo wote ule haukuwa unamridhisha Zubeda. Zubeda alisubiri mume wake aondoke kwenda kazini naye angeleta mwanaume mwingine ili wafanye naye tendo la ndoa.Aliendelea kufanya hivi mpaka ikawa mazoea kwake.Kwa kweli alikosa stahimili.Kila mara mume wake aliporudi jioni kutoka kazini alionekana mchovu mno.Mume wake bila kujua alichokuwa akikificha mke wake hujaribu kumhurumia na kumbembeleza.Zubeda huwa habembelezeki badala yake hujibwaga kitandani kama gogo na kulala fofofo. Hassan alivumilia jambo hili mpaka akachoka.Alitaka amwambie mke wake namna alivyohisi mpweke lakini huruma zikamzuia.Majirani waliokuwa wamechushwa na tabia ya Zubeba hawakufyata ndimi zao.Walijaribu juu chini ili wamjuze Hassan.Hassan aliweza kupata habari kuhusiana na mke wake lakini alizipuuza tu akijiambia kwamba mke wake hangeweza kufanya jambo kama lile hasa kwa yeye mume wake.Alizidi kumpenda na kumengaenga kama kwamba alikuwa mtoto mchanga. Ukweli ulikuja kujidhirisha pale ambapo Zubeda alipata ujauzito na kujifungua mtoto mvulana.Maajabu ni kuwa mtoto yule alizaliwa akiw mweupe kama mzungu na sifa zake ziliambatana na zile za mtoto wa kizungu kwanzia nywele,ngozi na hata sura.Hassan alijaribu kuuliza nini kilichotokea lakini mke wake alimhadaa na kumficha ukweli.Alipokosa jibu mwafaka aliamua kuutafuta ukweli yeye mwenyewe.Baada ya mazungumzo yake na mke wake,alimwomba mke amtayarishe mtoto ili ampeleke mahali na mahali penyewe alipajua yeye. Zubeba alimtayarisha mtoto mbio asijue chochote alichokuwa amekipanga mume wake.Matayarisho yalipokamilika baba mtu alimchukua mwana wake na wakaenda katika hosipitali moja.Nia yake ilikuwa ni kujua mbivu na mbichi kuhusiana na mtoto yule.Alipofika hatima ya safari yake alimkabidhi mtoto daktari mmoja na kumwamuru kumchukua vipimo kadhaa ili kuthibitisha kama alikuwa mtoto wake au la. Cha kushangaza majibu yalipotoka nusra azimie kwa mshtuko.Kumbe yule mtoto si damu yake.Alimchukua mtoto na kurudi naye kwake huku amechanganyikiwa.Baada ya kupokewa aliporudi nyumbani alimwuuliza mke wake swali alilomwuuliza awali alipokosa jibu mwafaka,aliingia ndani na kutoa kila kilichokuwa kinamilikiwa na mke wake na kumwambia wakutane kortini ili amweleze mtoto alikuwa wa nani.Upendo wao ukavunjika mara moja na kila mmoja akabaki akiishi maisha yake. Majirani walipoona hali iliyojiri walifurahia sana na kusema kwamba Hassan alikuwa amefanya jambo kama kumwondoa katika maisha yake.
Jioni mkewe Hassan alijibwaga kitandani kwa sababu gani?
{ "text": [ "Uchovu" ] }
4844_swa
FURAHA YA MJUKUU Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni. Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu. "Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku hizi havipendi majukumu. Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika, uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni shina. Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia chumbani kwa kishindo. Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini. Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu. Ni nani asiyeamini ya mkunga. Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali. Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali. Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena. Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka. Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima. Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu. Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo nilijipata nimelala, nisijifahamu. Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama. Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena. Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu, tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
Kicheko kilizidi wapi
{ "text": [ "Jikoni" ] }
4844_swa
FURAHA YA MJUKUU Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni. Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu. "Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku hizi havipendi majukumu. Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika, uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni shina. Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia chumbani kwa kishindo. Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini. Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu. Ni nani asiyeamini ya mkunga. Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali. Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali. Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena. Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka. Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima. Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu. Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo nilijipata nimelala, nisijifahamu. Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama. Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena. Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu, tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
Nani hapendi majukumu
{ "text": [ "Vijibaba vya siku hizi" ] }
4844_swa
FURAHA YA MJUKUU Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni. Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu. "Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku hizi havipendi majukumu. Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika, uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni shina. Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia chumbani kwa kishindo. Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini. Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu. Ni nani asiyeamini ya mkunga. Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali. Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali. Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena. Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka. Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima. Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu. Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo nilijipata nimelala, nisijifahamu. Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama. Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena. Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu, tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
Nani alikuwa na furaha teletele
{ "text": [ "Mama mkwe" ] }
4844_swa
FURAHA YA MJUKUU Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni. Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu. "Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku hizi havipendi majukumu. Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika, uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni shina. Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia chumbani kwa kishindo. Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini. Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu. Ni nani asiyeamini ya mkunga. Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali. Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali. Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena. Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka. Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima. Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu. Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo nilijipata nimelala, nisijifahamu. Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama. Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena. Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu, tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
Nani tunda la ndoa
{ "text": [ "Mtoto" ] }
4844_swa
FURAHA YA MJUKUU Siku ikawa bado haifika. Lakini dalili zote zikaashiria kuwa mjukuu wake yuu karibu kuingia dunia. Mama mkwe akawa na furaha teletele. Kicheko nacho kikazidi kule jikoni. Alikuwa anaandaa mapochopocho mle jikoni. Nami nikawa kitako na baba yangu mle sebuleni. Gumzo hapa na pale kuhusu kile na hiki. Huku tukikingoja chajio. Hapo ndipo wazo kuhusu mgeni tuliyemgonja kwa hamu alikuwa karibu kufika. Baba akawa na wasia wake kwangu. Wasia wa safari iliyokuwa mbele yetu. "Mwanaangu unapata kofia ya pili. Ya kwanza ilikuwa kuwa mme. Na ya pili sasa ni kuwa baba. Hivi ndiyo vyeo vyako sasa." Alinena baba. Alinieleza kwamba ni vyeo ambavyo wengi waliridhia wasivipate. Hususan, vile hivyo vyeo huja na majukumu chungu mzima. Baba akanihadithia vile yeye alivyohangaika wakati mama alijifungua ndugu yangu. Japo maisha yalimwendea mrama, alijitahidi. Baba akaniambia kuwa vijibaba vya siku hizi havipendi majukumu. Hata hivyo, hakusita kunifahamisha kuhusu furaha. Furaha ya kujaliwa kumpata mtoto. Isitoshe mtoto mvulana. Akanieleza mtoto atakapofika, uhusiano wetu utaathirika kidogo. Lakini mimi kama mume lazima nijenge uhusiano huo. Akinikumbusha kuwa mtoto ni tunda tu la ndoa. Nasi ni shina. Kabla gumzo letu liishe, tulisikia wito kutoka chumbani. Moyo akanidunda. Nakawa na hofu kidogo. Haikuwa kawaida mke wangu kuita kwa sauti hio. Kwa kawaida, sauti yake ilikuwa nyororo. Lakini hio ilijaa uchungu. Nilijipa moyo. Nikajitosa mle chumba. Hapo ndipo kulichwea kwangu kuwa hali haitakuwa hali tena. Mke wangu alikuwa anajigaragara kitandani. Ulionekana kuwa kwenye uchungu mwingi. Nilistaajabu. Nikakosa la kusema. Nilisimama hapo nikimwangilia. Hapo ndipo mama yangu aliingia chumbani kwa kishindo. Mshangao haukiniacha. Mama hakushughulika naye. Yeye akaanza kuzipanga nguo za mjukuu wake. Mola atunusuru, tulikuwa tumezinunua kabla. Mke wangu alipozidi kujigaragaza, huzuni ukaanza kuniingia. Akawa ni kama mtu amaingiwa na pepo. Kwa muda mfupi, blangeti na shuka zilikuwa chini. Ilibidi niingilie kati. Mama akaniambia usitie shaka. Mke wako bado yu mbali kujifungua. Angekuwa karibu, ningekuambia. Hapo nilijitia nguvu. Ni nani asiyeamini ya mkunga. Ilipofika mida ya saa tisa usiku, mama aliniarifu twende hospitali. Aliniamru nikatumie njia yenye mashimoshimo. Nami nikatii bila swali. Huko barabarani, aliniambia niendeshe gari kwa mwendo wa kasi. Sikuona umuhimu wowote. Akawa ndiye mkuu, nami ikabidi nitii amri tena. Alitueleza kuwa hio ingemsaidi ajifungue kwa haraka. Safari ikawa si tamu tena. Lakini bila shaka, kimo chetu kilikuwa hapo hospitali. Tulipofika, wahudumu wa afya walitulaki. Wakamuelekeza mke kwenye wadi ya wajauzito wengine. Mama naye akaandamana naye. Mimi nilibakia kumuandikisha na kulipia ada walizozihataji. Japo mama alikuwa naye, moyoni nilijawa na sala. Nilkimuombea Mola amujalie mtoto mzima. Hata hivyo pia yeye awe mzima baada ya safari hio ndefu. Baada ya kumalizana na sekritari, niliarifiwa nisubiri hadi natakapohitajika. Nilirudi kwenye gari. Bado mawazo yamefanya kichwa changu uwanja wa kuchezea. Wazo likanijia kusikiliza mzuki. Hapo ndipo nilijipata nimelala, nisijifahamu. Niligutushwa kwa usingizi na mama mzazi. Alikuja na tabasamu kuu kwenye uso wake. "Nina habari njema," nakavutiwa na huo mwanzo. "Mjukuu ashapatikana, na tunamshukuru Maulana." Huo ndio uliokuwa usia wa mama. Lakini machozi nayo hayakumwaacha. Hapo nikajua hali s hali tena. Akanieleza kuwa mke wangu hakuwa kwenye hali njema. Alinishawishi niwe na subira. Kwani madaktari walikuwa wametia fora kuhakisha anapata nafuu. Tulikaa hospitali kwa muda wa wiki mbili. Alipopata nafuu, tulirudi nyumbani na kupiga sherehe.
Mama alimwarifu mwandishi waende hospitalini saa ngapi
{ "text": [ "Saa tisa usiku" ] }
4845_swa
UMUHIMU WA MAJI Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi. Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa afya bora na njema. Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia. Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia. Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa binadamu pekee bali pia kwa wanyama. Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu. Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
Binadamu huishi katika sayari ipi?
{ "text": [ "Dunia" ] }
4845_swa
UMUHIMU WA MAJI Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi. Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa afya bora na njema. Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia. Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia. Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa binadamu pekee bali pia kwa wanyama. Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu. Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
Nini kimeunda asilimia kubwa ya sayari ya dunia?
{ "text": [ "Maji" ] }
4845_swa
UMUHIMU WA MAJI Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi. Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa afya bora na njema. Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia. Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia. Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa binadamu pekee bali pia kwa wanyama. Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu. Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
Maji hupatikana katika maeneo yapi?
{ "text": [ "Visima, bahari, maziwa, mito" ] }
4845_swa
UMUHIMU WA MAJI Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi. Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa afya bora na njema. Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia. Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia. Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa binadamu pekee bali pia kwa wanyama. Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu. Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
Nini kina manufaa mengi sana katika mwili wa binadamu?
{ "text": [ "Maji" ] }
4845_swa
UMUHIMU WA MAJI Maji ni rasilimali muhimu sana kwa wanadamu.Wanajiografia wana itikadi ya kwamba maji yameunda asilimia kubwa sana katika sayari ya dunia.Kwa kuongezea kwa hilo,vipo vyanzo vingi ambayo maji hupatikana.Visima,bahari,maziwa,mito na hata maboholi.Yote haya ni maeneo ambayo maji hupatikana kwa urahisi zaidi.Maji haya yana umuhimu mkubwa sana,kwa sababu yanatumika kuendeleza shughuli mbalimbali za kidunia.Maeneo ambayo yalikauka bila maji bila shaka hupitia changamoto nyingi kama mifjgo kufariki na hata watu wenyewe kufariki.Maji yanasaidia binadamu katika shughuli za nyumbani,viwandani na hata shambani.Maji haya si maji tu bali ni maji safi. Moja wa umuhimu wa maji ni:Maji yanatumika na mwanadamu kunywa.Si wanadamu pekee bali hata wanyama.Inaaminika kwamba maji yanatumika zaidi mwilini na yana manufaa mengi ya kiafya.Mojawapo ya manufaa hayo ni kuwezesha mzunguko wa damu mwilini,kupunguza ugonjwa wa kisukari na magonjwa mengineyo.Hivyo basi maji safi yanahitajika na wanadamu na wanyama pia ili kuwezesha mazoezi hayo yanayotendeka ndani ya miili yetu.Maji ni uhai bila maji maisha ya binadami huenda yakakatizwa.Wataalamu wa afya wanashauri ya kwamba,mwanadamu anafaa kunywa glasi nane za maji kwa siku.Hii si kwa manufaa mengine ila kwa afya bora na njema. Umuhimu mwengine wa maji ni kunyunyuzia mimea.Mimea kama tunavyojua uhitaji jua,hewa na maji pia ili kukua na kunawiri vizuri.Katika zoezi zima la shambani,baada ya kupaliliwa ardhi uhitaji maji ili iwe na rutuba nzuri.Kisha baada ya hapo ndio mimea hupandwa,ardhi ikiwa bado na unyevuunyevu.Maji haya ndiyo yanayosaidia mimea kupata hewa safi inayosaidia katika shughuli mbalimbali za mimea.Mimea uhitaji maji ili kuendeleza zoezi la fotosinthesisi ambapo chakula bora cha mimea hutengenezwa.Haya ndio miongoni mwa faida za maji kwa mimea.Mimea ikikuwa na kustawi vizuri inapelekea mavuno mazuri.Mavuno mazuri yanapelekea matokeo mazuri shambani ya kujivunia. Umuhimu wa tatu wa maji ni usafi.Usafi wa mwanadamu unategemea maji.Maji yanatumika kuoshea vyombo,kufulia nguo na pia kujinadhifisha mwili.Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na hivyo basi maji safi hurahisisha shughulo hiyo.Vyombo vikiwa safi tunajiepusha na maradhi ya kipindupindu na mengineyo.Nguo na mwili ukiwa safi pia tunajihifadhi na maradhi mbalimbali ambayo huletwa na tatizo la uchafu .Hivyo basi maji ni muhimu kwa usafi wa mwili,nguo na vyombo pia. Umuhimu mwingine wa maji ni sehemu ya kuishi.Wapo baadhi ya wanyama na hata mimea ambayo huishi majini.Wanyama kama vile samaki,nyangumi,papa miongoni mwa wengineo,uishi katika sehemu za majimaji.Kwa mfano samaki na papa huishi baharini.Wanategemea makaazi haya kuishi na pia kupata chakula chao.Wanyama hawa wakishavuliwa na kutolewa nje ya bahari hiyo basi hupoteza maisha kabisa.Hivyo basi tunaona kwamba maji si muhimu kwa binadamu pekee bali pia kwa wanyama. Umuhimu mwengine wa maji ni upande wa viwandani ambako yanatumika kusafisha vifaa vya viwandani kama vile kuoshea baadhi ya mashine.Pia katika kiwanda cha kukuza nguvu za umeme.maji ni muhimu sana katika sekta hii kwani husaidia kuendesha sekta muhimu muhimu. Hivyo basi hizo ni baadhi ya faida chache za umuhimu wa maji katika maisha ya binadamu na wanyama pia.Katika jitihada za kulinda maji na kupata maji masafi nayo ni pamoja na: kupanda miti pasipo na miti yaani palipo na ardhi tambarare.Kukataza binadamu kukata miti pia ni miongoni mwa jitihada nyingine.Ongezekoa vyanzo vya maji ili kuhakikisha kwamba maji yanahifadhiw.Naam kwa kweli maji ni uhai na kipengele muhimu zaidi kwa maisha na shughuli za binadamu na wanyama.
Mwanadamu anafaa kunywa maji glasi ngapi kwa siku?
{ "text": [ "Nane" ] }
4846_swa
USINGOJE KESHO Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama hutuezi, Mola hutujalia neema. Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu, hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize michango ili kupata hizo fedha. Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi, barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani anafadhili genge. Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya. Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya ukaidi. Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi. Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao. Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho. Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi tukawe tayari. Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la upendo pamoja na uwapendao.
Nini hukuna kichwa sana?
{ "text": [ "Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi" ] }
4846_swa
USINGOJE KESHO Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama hutuezi, Mola hutujalia neema. Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu, hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize michango ili kupata hizo fedha. Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi, barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani anafadhili genge. Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya. Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya ukaidi. Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi. Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao. Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho. Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi tukawe tayari. Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la upendo pamoja na uwapendao.
Waliotekwa nyara hupitia nini?
{ "text": [ "Mateso" ] }
4846_swa
USINGOJE KESHO Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama hutuezi, Mola hutujalia neema. Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu, hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize michango ili kupata hizo fedha. Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi, barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani anafadhili genge. Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya. Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya ukaidi. Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi. Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao. Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho. Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi tukawe tayari. Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la upendo pamoja na uwapendao.
Mkono mtupu haufanyiwi nini?
{ "text": [ "Haulambwi" ] }
4846_swa
USINGOJE KESHO Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama hutuezi, Mola hutujalia neema. Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu, hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize michango ili kupata hizo fedha. Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi, barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani anafadhili genge. Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya. Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya ukaidi. Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi. Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao. Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho. Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi tukawe tayari. Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la upendo pamoja na uwapendao.
Kina nani huwa wepesi wa kutoa pesa nyingi?
{ "text": [ "Matajiri" ] }
4846_swa
USINGOJE KESHO Wazo la kumpoteza umpandaye kwa njia tatanishi huwa linakuna kichwa sana. Kila wakati huwa tunajaribu kuwalinda wapendwa wetu. Lakini mathila ya dunia hayaishi kutusonga. Kilio nacho hakitupi nafsi ya kujinusuru. Mwishowe huwa tunajitia nguvu kuwa twayaweza yote. Na kama hutuezi, Mola hutujalia neema. Mara kwa mara, nzi huwapoteza wapenzi wao kupitia njia tofauti. Katika siku za hivi karibuni, repoti za watu kutekwa nyara zimesheheni. Watoto na watu wazima wameripotiwa kutekwa nyara. Waliotekwa nyara, mara kwa mara, hupitia mateso sana. Huenda wakakosa chakula, wakapigwa na silaha butu. Na hata kuripotiwa kuuga dunia. Nia kuu ya watekaji huwa tofauti pia. Kuna wale ambao hutaka kupata kipato kutoka kwenye jamaa wa uliyetekwa nyara. Utekaji nyara wa aina hii, hushuhudiwa kwenye familia za matajiri tajika. Watekaji nyara hufanya udadisi wa hali juu kabla ya kupata kitoweo chao. Wakiangukia maskini hohehahe, pato lao huwa halilipi. Kwa mtu wa hadhi ya chini, wateka nyara hufahumu kuwa mkono mtupu haulambwi. Magaidi ambayo walikuwa waraibu wa ukatili huu, hushudia kuwa matajiri huwa wapesi wa kutoa pesa nyingi. Maskini, mkono birika, huwa wagumu. Hii hutokana na dhima kuwa lazima wafanyize michango ili kupata hizo fedha. Pia mukutadha huu, inasemekana kuwa, wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa na matajiri wengine. Hao matajiri huwanunulia wateka nyara vifaa vinavyohitajika katika misheni hizi. Watekaji nyara angalabu huitaji salaa kadhakadha zikiwemo, bunduki au bastola, magari ya mwendo wa kasi, barakoa na hata glovo. Hizi silaa huwa za bei gali mno. Mtu hohehahe hataweza kuvinunua. Kwa hivyo matajiri tajika huwa wanahusishwa ili hawa magaidi wapeta hizi silaha. Si ajabu kusikia mheshimiwa fulani anafadhili genge. Njia nyingine ambayo si hupoteza wapenzi wetu ni kupitia shida za maisha. Hasa vijana wengi walipotelea wapendwa wao kwa sababu ya shida zinazowasonga. Mwaka huu katika runinga na mtandaoni, familia mingi zimeripoti kuwa watoto wao wamepotea. Na hizi familia mara kwa mara ni zile ambazo rasilimali zao ni finyu. Watoto katika jamii hizi hujipata wamehadiwa maisha mema baadaye wakikubali kujiunga na kundi fulani. Mara si moja mtoto wa maskini hohehahe kupatikana amejiunga na kundi la ugaidi ama magenge ya uhalifu. Hili linapofanyika, uhusiano wao na familia zao hupungua au hata kukatika kabisa. Isitoshe, hawa wana hupinduliwa mawazo na kuwa wanadamu butu. Huwa hawajali uhalisia wa ubinadumu. Katika matukio kadha hapa nchini, yemehusishwa na wakenya. Ambao hadhi zao za maisha ziliwafanya wajiingize katika maisha ya ukaidi. Hali ngumu ya maisha imepalia pia tuwapoteza wapendwa wetu kwa kutafuta maisha mema. Wazazi wamewaacha watoto wao nyumbani ni kuishia mjini ili kutafuta kipato. Hili limefanya hawa watoto wakose kuona pendo la wazazi wao. Si ajabu upate wameachwa na babu au nyanya yao. Hawa wazee huwa wamechoka na maisha. Hapo watoto wanabaki na kiu ya kuona pendo la wazazi wao. Watoto kama hawa huwa wanasongwa na mawazo. Haya mawazo huwafanya wasiweze kukuwa vyema. Si ajabu kupata wamejitenga wa watoto wenzaa. Pia hupata katika shule hawafanyi vyema. Japo nia ya wazazi wao ni njema, lakini athari zake ni kuu. Hii tabia hata imekuzwa zaidi na utandawazi. Mashirika mengi yamezinduliwa. Mashirika haya huahidi hao wasaka tonge, malipo mazuri ikiwa watakubali kufanya kazi nche ya nchi. Wengi wameyakibilia wakapelekwa nchi za Asia. Lakini ripoti zinazoletwa kutoka huko si njema vile. Mkabla na mteso mengi, malipo duni na tonge kubwa kurudia haya mashirika, msaka tonge huwa ametengwa na familia yake. Siku wanapoabiri ndege kutoka Afrika, huo ndo huwa mwisho wa kuonana na kuongea. Waliochwa nyuma huwa na kazi moja tu, kuwaombea dua njema. Si ajabu kuripotiwa kuwa wengine waliuawa na wajiri wao. Kwa kweli, lindi la umasikini limefanya wengi kupoteza wapendwa wao. Kutia chuma moto kwenye kidogo, kifo nacho hakibagui. Masikini na tajiri. Wote hupata kipimo sawa sawa swali la kifo linapojiri. Kifo huwa pigo kubwa sana katika familia mingi. Cha kustaajabisha ni kwamba, hii ni njia ya kila mmoja. Kwa hivyo katika dini, kila uliyewazaliwa anatayarishwa kwa kifo. Vifo hutokea katika njia mingi sana. Kwa kutaja tu, mtu anapata ajali akafa. Kwa mshutuko tu, akavuta pumzi ya mwisho. Magonjwa pia humalaza binadamu kwenye mchanga. Bila kusahau mauji ya aina yote. Kinachoumiza sana kwamba, hata na uwezo ambayo tunamepewa na Maulana, hatuezi zuia kifo. Shida kuu ni kuwa kumpoteza mpendwa kupitia kwa kifo huwa umempoteza kwa kweli. Njia mbili za hapo juu huwa na uwezakano wa kuwaona tena uwapendao. Kwa kifo, huwa hali timilifu. Cha muhimu ni kujua kwamba ni njia ya kila mtu. Siku yetu yatungoja. Nasi tukawe tayari. Kwa hitimisho, zipo njia nyingine nyingi ambazo hutafanya tupoteze tuwapendao. La muhimu ni kuwa tukiwa nao, acha tuwaoshe tunawapenda kwa matendo. Na tusisahau kuwa kujikuna pale mkono unafika tunapooshena upendo huu. Acha akajutia kupoteza wakati wakati mungefurahi hewa la upendo pamoja na uwapendao.
Inasemekana kwamba wengi wa watekaji nyara hufadhiliwa na nani?
{ "text": [ "Matajiri wengine" ] }
4847_swa
USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika. Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli kweli na kubarikiwa sio haba. Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote. Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu. Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga mwenyewe. Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi. Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta . Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu. Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo ambao hakulala nyumbani. Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge nayo kidato cha kwanza. Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao anapitia mateso. Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo. Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi vya ukimwi na mimba ya miezi miwili. Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
Nani alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex
{ "text": [ "Neema" ] }
4847_swa
USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika. Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli kweli na kubarikiwa sio haba. Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote. Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu. Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga mwenyewe. Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi. Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta . Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu. Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo ambao hakulala nyumbani. Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge nayo kidato cha kwanza. Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao anapitia mateso. Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo. Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi vya ukimwi na mimba ya miezi miwili. Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
Nyumbani waliajiri nanii
{ "text": [ "Yaya" ] }
4847_swa
USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika. Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli kweli na kubarikiwa sio haba. Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote. Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu. Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga mwenyewe. Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi. Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta . Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu. Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo ambao hakulala nyumbani. Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge nayo kidato cha kwanza. Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao anapitia mateso. Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo. Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi vya ukimwi na mimba ya miezi miwili. Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
Neema alikuwa nini diposa wazazi wakampenda zaidi
{ "text": [ "Wembe" ] }
4847_swa
USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika. Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli kweli na kubarikiwa sio haba. Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote. Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu. Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga mwenyewe. Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi. Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta . Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu. Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo ambao hakulala nyumbani. Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge nayo kidato cha kwanza. Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao anapitia mateso. Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo. Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi vya ukimwi na mimba ya miezi miwili. Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
Jumamosi Neema alienda wapi
{ "text": [ "Matembezi" ] }
4847_swa
USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa usiporekebisha ama kutengeneza uluta ulioharibika kidogo basi ukuta huo utaharibika zaidi na ikulazimu kujenga ukuta huo wote. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa ni vyema kurekebisha jambo ama kitu mapema kabla ya mambo kuharibika zaidi kwa kuwa itatugharimu jambo linapo haribika zaidi . Matumizi ya methali hii ni kuwaonya wale ambao hupenda kususia mambo madogo madogo kuwa mambo haya yanapolipuka na kuwa makuu basi huenda yakawagharimu zaidi ya vile yangewagharimu yakiwa madogo na machache na hivyo kuwasihi wakashughulikie mambo mapema wawezavyo kabla ya mambo kuharibika. Neema alikuwa mtoto wa pekee kwake Maria na Alex. Alizaliwa kwao kama baraka kuu kwao na hivyo walimpenda akupindukia. Hamna alichokosa Neema kwa kuwa wazazi wake walikuwa walalahai na hivyo walihakikisha anapata kila alichohitaji ili kihakikisha hana shida yeyote. Alipoomba chochote alipewa bila kusita. Alipolalamikia chochote basi wazazi wake walirekebisha kile alicholalamikia. Akawa ndiye mboo ya macho ya wazazi wake na malkia wao. Walipumua Neema wakala Neema na kulala wakalala Neema yaani walikuwa tu wanamfikiria Neema. Alipokuwa akilala walimpapasa, wakampikia kila alichohisi kula na hata kumpa vyombo vyote vya kucheza alivyohitaji. Ama kweli alikuwa mtoto aliyebahatika kweli kweli na kubarikiwa sio haba. Neema alipofika umri wa kuenda shule, baba yake alichukua kwa shule ya kimataifa na kifahari na kihakikisha kuwa mwanaye habanwi na chochote. Nyumbani wazazi wake waliajiri Yaya ambaye alimfanyia Neema kila kitu hata kumuosha. Neema alizoeshwa hata kupika hakujua kwa kuwa kila jambo lilifanywa na Yaya. Alipotoka shuleni alivuliwa mangu na kuoshwwa naye akaelekea sebuleni kitazama runinga na kucheza na simu yake. Neema hakunpenda kucheza na wenzake kwa kuwa alianza kuwaonya kuwa wachafu. Hivyo muda mwingi alikuwa chumbani na simu yake huku akitazama runinga mwenyewe. Neema shuleni alikuwa wembe na hivyo wazazi wake wakampenda zaidi. Wazazi wake pia wakakubaliana naye kuwa watoto wa majirani hawakuwa ligi yake na hivyo hakuwa na haja yake kucheza nao. Basi Neema alipofika darasa la name akaanza kuwa na mabadiliko fulani kwenye tabia zake pamoja na jinsi ya kuishi. Neema alianza kutoka na kuenda matembezi kila jumamosi. Wazazi wake waliambiwa na majirani kuwa Neema alikuwa anaenda matembezi na wanaume wa umri wa baba yao ila wote wakatia maskio nta . Walimwona mwanao kama malaika ambaye hawezi kufanya makosa na hivyo wakaona kuwa majirani walikuwa na wivu tu. Jumamosi moja Neema alienda matembezi yake ya kawaida. Ilipofika usiku hakurejea nyumbani. Wazazi wake waliporudi hawakumkuta na basi wakwa na uwoga sana. Asubuhi Neema alirejea mchovu ajabu. Wazazi wake walipomwona naye akawaeleza kuwa akilala kwa rafiki hawakumkanya lolote basi wakaondoka na kuenda kazini. Jioni bikizee mmoja mwenye duka la pombe mjini akaja mpaka kwao Neema na kuwajuza wazazi wake kuwa Neema alikuwa amelala na mwanamume mwingine kwenye chumba kimoja mtaani usiku huo ambao hakulala nyumbani. Wazazi wake walimtusi na kumfukuza bikizee huyo kwa kumharibia mwanao jina kwa sababu ya wivu. Bikizee aliondoka na kuenda zake . Neema akaenda shuleni kama kawaida na kuhitimu darasa la name. Alipita vyema sana na basi wazazi wake wakamteulia shule ya kifahali mjini ili ajiunge nayo kidato cha kwanza. Neema alijiunga kidato cha kwanza na wenzake. Punde si punde walimu wakaanza kulalamika kwa kuwa Neema alikuwa ameanza kudorora kimasomo na pia alikuwa mchovu kila mara. Marafiki zake wakaanza kulalamika kuwa hakuwa analala kwenye bweni Bali alikuwa anatoka usiku na kurejea asubuhi. Neema alikanusha madai yote na kukiri kuwa wenzake wanamwonea na pia walimu walikuwa hawampendi na hivyo walikuwa wanamnyima alama zake. Wazazi wake walimbadili shule kwa kuwa waluona kuwa huenda mwanao anapitia mateso. Kwenye shule yake ya pili pia malalamishi yalikuwa Yale Yale kutoka kwa wazazi pamoja na wanafunzi. Neema alizidi kukanusha malalamishi hayo. Siku moja usiku, Neema alitoka shuleni kama kawaida na kuenda kujivinjali na wanaume wake kama kawaida. Alipoondoka basi alionekana na mlinzi mmoja basi naye mlinzi akamngoja arehee. Alipokuwa anarejea Neema akabadilisha njia na kuingia shuleni na hapo mlinzi hakumpata . Baada ya wiki mbili Neema akawa mgonjwa hohe have. Alikuwa anasomoneka sio haba na hivyo akaoelekwa hospitali kubwa mjini hapa aligunduliwa ana virusi vya ukimwi na mimba ya miezi miwili. Shuleni walimruhusu Neema akasome lakini ameze madawa . Wazazi wake walilia lakini maji hayangezoleka. Neema alikuwa amelemewa na hadi akashindwa kurejea shuleni. Akabaki anaendesha na kutapika. Akabaki kazi ni kufanyiwa malezi na wazazi wake. Wazazi wake walijutia lakini ilikuwa maji yashamwagika walibaki kumuuguza mwanao. Mwanao akajifungua na ikawa mizigo ni miwili. Usipoziba ufa utajenga ukuta chambilecho wahenga.
Kwa nini Neema alirejelea akiwa mchovu
{ "text": [ "Alikuwa amelala na mwanamume mwingine chumba kimoja mtaani" ] }
4848_swa
UMUHIMU WA MITI Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili umuhimu wa miti. Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno. Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya mandhari kuvutia mno. Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni uhai. Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti ili tupate mvua na mazao yakue. Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana. Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu. Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile, kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba. Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu. Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege. Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya dhamana vingebebwa? Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza, vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu, hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia huvitumia wa kusoma n.k. Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku. Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu, kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti. Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti, ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
Nini huwa pambo katika mazingira yetu.
{ "text": [ "Miti" ] }
4848_swa
UMUHIMU WA MITI Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili umuhimu wa miti. Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno. Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya mandhari kuvutia mno. Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni uhai. Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti ili tupate mvua na mazao yakue. Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana. Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu. Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile, kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba. Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu. Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege. Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya dhamana vingebebwa? Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza, vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu, hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia huvitumia wa kusoma n.k. Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku. Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu, kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti. Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti, ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
miti huleta hewa gani
{ "text": [ "Safi" ] }
4848_swa
UMUHIMU WA MITI Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili umuhimu wa miti. Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno. Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya mandhari kuvutia mno. Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni uhai. Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti ili tupate mvua na mazao yakue. Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana. Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu. Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile, kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba. Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu. Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege. Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya dhamana vingebebwa? Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza, vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu, hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia huvitumia wa kusoma n.k. Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku. Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu, kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti. Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti, ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
kilimo ni utu wa mgongo wa taifa lipi
{ "text": [ "Kenya" ] }
4848_swa
UMUHIMU WA MITI Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili umuhimu wa miti. Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno. Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya mandhari kuvutia mno. Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni uhai. Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti ili tupate mvua na mazao yakue. Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana. Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu. Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile, kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba. Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu. Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege. Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya dhamana vingebebwa? Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza, vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu, hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia huvitumia wa kusoma n.k. Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku. Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu, kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti. Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti, ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
Matunda hutupa nini katika mwili wetu
{ "text": [ "Vitamini" ] }
4848_swa
UMUHIMU WA MITI Nimeishi kujiuliza kila wakati, na wakati mwingine kujaribu kuchora taswira akilini, lakini bado sipati picha, wala sipati jibu. Swali ni je, ulimwengu, au dunia ingekuwa vipi bila hata mti mmoja?. Ukijiuliza swali hili bila shaka utagundua kwamba, miti ina umuhimu mkubwa sana katika maisha na mazingira yetu sisi wanadamu, si kuleta mvua, si kuzuia mmomonyoko wa udongo , si kuhifadhi vyanzo vya maji, si kurembesha mazingira n.k, na mengine mengi mno. Katika hoja zifuatazo, nimejadili umuhimu wa miti. Kwanza, miti huwa pambo katika mazingira yetu. Yaani miti ndiyo chanzo cha kila mmoja kufurahia mandhari kwa kutia nakshi ya kupendeza mno. Baadhi ya miti huwa na maua ya rangi tofauti, maua haya ndiyo huleta sura nzuri kila wakati tunapoyaona. Urembo huu ndio hufanya kila mmoja wetu kufurahia kuketi au kutembea bustanini huku akifurahia na kubarizi hewa , pia rangi ya kijani ambayo hutamalaki mazingira yetu hufanya mandhari kuvutia mno. Pili, miti pia huleta hewa safi, wanabayolojia watakueleza kwamba, hewa ambayo husaidia binadamu mwili ni hewa ya oksijeni , na hewa ambayo haitajiki katika mwili wa binadamu, ni kabon monoksaidi. Binadamu hutoa kabon monoksaidi na kupokea oksijeni kutoka kwa miti hewa ambayo hutusaidia kuhimili uzima wetu. Ni wazi kwamba kama miti haingekuwepo basi, hatungepata oksijeni, kwa hivyo hatungeishi. Ama kweli miti ni uhai. Tatu, miti huleta mvua, mvua ni baraka, kila mja hutegemea mvua hasa wakulima, ili vyakula vinawiri na tupate chakula. Kwani hapa Kenya kilimo ni utu wa mgongo wa taifa. Bili miti basi kila sehemu ingekuwa jangwa kwa ukosefu wa mvua. Bila miti hakuna mvua, bila mvua hakuna chakula, bila chakula basi ni kifo. Kama wahenga walivyosema , mtaka cha mvunguni, sharti ainame, nasi tukitaka chakula ni sharti tutunze miti ili tupate mvua na mazao yakue. Nne, baadhi ya miti hutupwa chakula , hasa sana matunda. Miti hutupa matunda mengi mno. Si parachichi, si paipai, si machungwa ,si mapera, si fenesi , si mapera n.k. ukweli ni kwamba matunda takriban yote hutoka kwa miti, na matunda haya ni mengi mno, hayahesabiki. Huwa matamu sana. Matunda haya hutupa vitamini katika mwili wetu,ilikuufanya mwili wetu kupigana na magonjwa, ili kila wakati tuwe na afya. Bila miti msamiati wa matunda haungekuwepo, na mwili wetu ungetoa wapi nguvu za kumenyana na ndwele?. Nashukuru kwa zawadi hii adhimu. Tano, kwa upande wa dawa, pia baadhi ya miti ni dawa, kwa mfano, mti wa mwarubaini, ambao hutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Magonjwa kama vile, kuumwa na tumbo, kichwa n.k, mgonjwa huitajika kunywa maji ya majani (ya mwarubaini) yaliyochemshwa, kisha akapona. Dawa hizi huitwa miti shamba. Hadi wa leo bado watu hutumia dawa hizi kutibu magonjwa sugu. Sita, miti pia ni makazi kwa ndege na wanyama. Wanyama pori huishi mwituni. Wanyama kama vile nyani hulala juu ya miti. Ndege nao hutengeneza viota vyao mtini. Kama si miti, Wanyama hawa wangeishi wapi?. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Ni vyema tutunze miti ili tuendelee kufurahia uwepo wa wanyamapori, na ndege. Saba, miti imesaidia katika kukinga upepo mkali ili usilete hasara, hasa sana kung'oa paa za nyumba, miti husaidia kupunguza nguvu hizo . Fikiria kwamba upepo mkali zaidi unavuma, kisha hakuna hata mti mmoja uliopo karibu, unadhani ni paa gani la nyumba lingesalia?, Vitu vingapi vya dhamana vingebebwa? Nane, miti hutumika kutengeneza fanicha au samani. Mfano viti, meza, vitanda, kabati n.k, vitu hivi ni muhimu sana katika maisha ya binadamu, hakika karibu nyumba zote zina angalau vifaa hivi. Viti hutumika wakati wa kuketi, meza ni kifaa za ambacho chakula kuandikwa, wanafunzi pia huvitumia wa kusoma n.k. Tisa, watu hutumia miti kujenga nyumba, hasa paa ya nyumba. Pia kunao wengi ambao hutumia mbao kujenga nyumba yote, isipokuwa upande wa juu wa nyumba ambao huezekwa nyasi au mabati. Pia madirisha na milango nyingi huundwa kutokana na mbao. Vile vile binadamu, hutumia mbao kutengeneza makazi ya mifugo yao kama vile ,mbwa , ng'ombe, sungura na hata kuku. Mwisho, matumizi mengine ya miti ni pamoja na : kutumika kama kuni, hapa vipande vya miti vilivyo kaushwa, hutumika jikoni katika maandalizi ya chakula. Vitu muhimu kama vile mwiko (kifaa cha kupikia ugali), vitabu, kalamu, dawati, huundwa kutokana na mti. Kwa hitimisho, nitasema kwamba maisha yetu yatategemea sana miti, ilikufanikisha shughuli zetu za kimsingi. Ni vyema tuchukue hatua muhimu katika kuhifadhi miti kwa kutokata ovyoovyo, kupanda na kutunza miti.
Miti hutumika vipi katika matibabu
{ "text": [ "Hutumiwa kutibu magonjwa" ] }
4849_swa
HUDUMA YA KWANZA Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea kutokea Kila siku. Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo. Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza kusababisha vifo. Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi wao huanguka karibu na eneo la ajali. Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo. Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri. Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika anapobebwa. Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja Kwa damu . au kumfunga kidonda. Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada. Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji. Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo. Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi. Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri. Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini. Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
Nini husababisha majeruhi wa ajali kuaga dunia?
{ "text": [ "Hali mbaya ya uokoaji" ] }
4849_swa
HUDUMA YA KWANZA Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea kutokea Kila siku. Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo. Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza kusababisha vifo. Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi wao huanguka karibu na eneo la ajali. Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo. Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri. Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika anapobebwa. Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja Kwa damu . au kumfunga kidonda. Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada. Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji. Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo. Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi. Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri. Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini. Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
Elimu ipi inaweza boresha hali ya uokoaji?
{ "text": [ "Huduma za kwanza" ] }
4849_swa
HUDUMA YA KWANZA Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea kutokea Kila siku. Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo. Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza kusababisha vifo. Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi wao huanguka karibu na eneo la ajali. Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo. Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri. Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika anapobebwa. Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja Kwa damu . au kumfunga kidonda. Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada. Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji. Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo. Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi. Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri. Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini. Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
Kina nani hubeba majeruhi hobelahobela wakati ajali imetokea?
{ "text": [ "Makundi ya waokoaji" ] }
4849_swa
HUDUMA YA KWANZA Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea kutokea Kila siku. Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo. Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza kusababisha vifo. Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi wao huanguka karibu na eneo la ajali. Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo. Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri. Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika anapobebwa. Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja Kwa damu . au kumfunga kidonda. Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada. Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji. Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo. Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi. Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri. Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini. Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
Jambo ipi la kwanza linafaa kuzingatiwa wakati wa uokoaji?
{ "text": [ "Uwezekano wa ajali zaidi kutokea" ] }
4849_swa
HUDUMA YA KWANZA Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika Mikasa ya ajali huaga Dunia. Hii ni kutokana na Hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa majeruhi. Baada ya ajali kama za barabarani. Maporomoko ya ardhi au nyumba huwa hawajui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Hali hii ya uokoaji inaweza kurekebishwa. Hii inaweza kufanyika Kwa kutoa elimu ya huduma za kwanza Kwa umma. Elimu hii yahitajika na Kila mkenya. Sababu kuu ni kwamba Mikasa ya ajali za barabarani inaendelea kutokea Kila siku. Ajali inapotokea,makundi ya waokoaji hubeba majeruhi hobelahobela. Huwa hawazingatii madhara wanayoongezea majeruhi kutokana na ubebaji huo. Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha . Pia huweza kusababisha vifo. Kuna mambo mbalimbali waokoaji wanapaswa kuzingatia. Hasa wakati wa kutoa huduma. Kwanza wanapaswa kuzingatia kama ajali zaidi inaweza kutokea . Hatua ya pili ni kutatua idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Pia,Kuna majeruhi ambao huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi wao huanguka karibu na eneo la ajali. Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia. Moyo ikiwa inapiga na jinsi ya kupumua. Ili kuhakikisha kwamba majeruhi anapumua.mwokoaji atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Vilevile.mwokoaji anaweza kusikiliza au kugusa kifua na kuona kama Kuna ishara za kupumua. Iwapo majeruhi anapumua. Mwokoaji amweke katika Hali ambayo itaimarisha kupumua kwake. Anaweza kumlaza Chali. Au kumgeuza Kwa pamoja na kichwa chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia ahakikishe hamna chochote knywani kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui. Mwokoaji anaweza kujaribu kumefanya apumue Kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo. Upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri. Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni vidonda tu. Au Kuna kuvunjika Kwa mfupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na kuvunjika Kwa mfupa. Ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika anapobebwa. Pia kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa humwezesha mwokoaji kujua huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu Sana. Ni muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo. Kinahitaji kufungwa ili kuzuia uambukizaji wa magonjwa mbalimbali. Mwokoaji anaweza kutumiwa kifaa chochote. Kilicho karibu kutokea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja Kwa damu . au kumfunga kidonda. Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi toka eneo la ajali hadi hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada. Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura. Kama zile za polisi. Wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji. Nambari hii ya simu huwa Tisa Moja Moja popote na huwa bila malipo. Wanaopiga simu hutoa maelezo ya mahali ajali imetokea. Aina ya ajali, na huduma za dharura zinazohitajika. Vilevile huelezea idadi ya majeruhi. Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika,ni bora kuwasubiri. Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana. Ni jukumu la mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini. Majeruhi wakiwa wengi. Ni bora kuanza na wale waliozimia. Au wenye matatizo ya kupumua. Kisha kuwaendea wanaovuja damu Sana. Baadaye mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa . Kisha amalizie na wenye majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni vizuri kuwabeba majeruhi Kwa kutumia machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi Kwa majeruhi. Iwapo hamna machela karibu,mwokoaji anaweza kuunda Moja Kwa kutumia vipande viwili vya mbao,blanketi,shuka au makoti. Ujuzi wa huduma za Kwanza ni mojawapo ya mambo muhimu ambayo Kila mtu anapaswa kuwa nayo.
Mwokoaji anafaa kugusa wapi kutafuta ishara ya kupumua kwa majeruhi?
{ "text": [ "Kifua" ] }
4850_swa
BAAADA YA DHIKI FARAJA Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na nikaelekea zahanatini. Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa walikuwa katika hali taabani. 'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa. Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya shamba. "Nitaanzia wapi?" Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea mbali,Nilijipa moyo. Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo haikuwahi oza. Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea. Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni nikishaanza kupata mapeni. Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali. Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
Baada ya dhiku mtu hupata nini?
{ "text": [ "Faraja" ] }
4850_swa
BAAADA YA DHIKI FARAJA Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na nikaelekea zahanatini. Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa walikuwa katika hali taabani. 'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa. Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya shamba. "Nitaanzia wapi?" Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea mbali,Nilijipa moyo. Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo haikuwahi oza. Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea. Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni nikishaanza kupata mapeni. Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali. Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
Nani alikuwa amelazwa hospitalini?
{ "text": [ "Babake mwandishi" ] }
4850_swa
BAAADA YA DHIKI FARAJA Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na nikaelekea zahanatini. Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa walikuwa katika hali taabani. 'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa. Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya shamba. "Nitaanzia wapi?" Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea mbali,Nilijipa moyo. Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo haikuwahi oza. Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea. Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni nikishaanza kupata mapeni. Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali. Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
Babake mwandishi alikuwa amelazwa katika zahanati gani?
{ "text": [ "Mwembeni" ] }
4850_swa
BAAADA YA DHIKI FARAJA Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na nikaelekea zahanatini. Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa walikuwa katika hali taabani. 'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa. Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya shamba. "Nitaanzia wapi?" Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea mbali,Nilijipa moyo. Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo haikuwahi oza. Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea. Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni nikishaanza kupata mapeni. Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali. Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
Babake mwandishi alikuwa anauguwa nini?
{ "text": [ "Maradhi ya kisukari" ] }
4850_swa
BAAADA YA DHIKI FARAJA Nilisimama na kuelekea nilikokuwa nimeitwa na mama yangu,hofu na shauku ilikuwa imenijaa kwani mamangu alikuwa analilia kwikwikwi.'Mwanangu'...naomba jikaze na unisikilize haya ninayokuambia.Mamangu aliyasema haya huku sauti yake ikijaa simanzi na kilio cha uchungu.Nilitaka kumwambia mamangu aharakishe ili nisikilize ujumbe ulokuja na mama kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa baba yangu.'Ingia ndani ukabadilishe nguo zengine,upesi nenda katika zahanati ya mwembeni,huko ndio babako amepelekwa,hali yake si shwari.Ameniambia yuko na maneno anataka kukuambia.Mamangu alihitimisha kauli yake huku michirizi ya machozi yakiwa yamemjaa machoni.Kulikoni kwani baba?nilijiuliza maswali nilipoingia ndani kubadili nguo.Mda wote huo nilipopasuliwa mbarika na mama nilijitahidi kiume nisitoe angalau chozi moja.Upesi mama akanikabidhi chakula alichokihifadhi katika kikapu na nikaelekea zahanatini. Katika mlango wa hospitali ya Mwembeni,ambako baba alikuwa amehamishwa kwa ukosefu wa madawa.Madaktari walikuwa mbioni katika kuokoa maisha ya watu wenye maradhi tofauti tofauti.Baba yangu alikuwa amefikishwa hospitalini humo si kitambo.Maradhi ya kisukari ndio yalikuwa yakimsumbua baba yangu.'Juma'baba yangu aliita kwa sauti hafifu aliponiona.Naam baba,Niliitika kwa sauti kuu na kuelekea katika kitanda alichokuwa amelazwa baba yangu.Wagonjwa w engi walikuwa wamelala katika vitanda vyao katika chumba hicho kimoja.Kwa ufupi hali pale ndani haikuwa shwari kama mnavyodhani.Wagonjwa wengine walikuwa wanapiga nduru kuashiria kuwa walikuwa katika hali taabani. 'mwanangu Juma,hali yangu imekuwa dhiki, kila uchao maradhi yanaongezeka.Madaktari wanajitahidi lakini mambo bado yako vile vile.Sioni nikitoboa mwanangu,macho ya mauti yananikodolea kila dakika,baba yangu alisema kauli hizi huku machozi yakimtiririka njia mbili mbili.Sikuweza kujizuia tena nilipomuona baba yangu analia.Mwanangu nimekuita nikukabidhi hizo funguo,baba yangu alinipa funguo huku mkono wake ukitetemeka.Funguo hizo ni za kisanduku kilicho chini ya mvungu chumbani kwangu.Nenda mwanangu na utakachoona humo ndani,mwambie mama yako pekee,kisha nakuomba waangalie vyema wadogo zako na mama yako.Jikaze kiume na utafanikiwa.Pokea radhi zangu mwanangu,wasalimu sana ndugu na mama yako waambie sikuweza kufanikiwa kupigana na gonjwa hili.Usinionee huruma mwanangu,sote njia ni hii moja.Kwaheri mwanangu, babangu alihitimisha haya na akafunga jicho lake moja.Nenda kamuite daktari Juma'.Nilikimbia na kurudi na daktari,nilipata baba yangu amefunga macho yote mawili.Vipimo vya daktari vikaonyesha kwamba tumempoteza kiongozi wa familia yetu.Nililia na kwa juhudi za madaktari nikanyamazishwa. Katika familia yetu iliyojaa uchochole mwingi,baba akiwa mkulima katika shamba la bwanyenye fulani na mama akiwa muuzaji vitumbua halisi mtaani.Pato lao halikuwa linaridhisha lakini walijitahidi kukimu familia.Juma,nikiwa kitindamimba na wasichana wengine wanne wanaonifuatilia.Mimi ndio nilikuwa kijana pekee na ndio mana babangu alipenda kunihusisha katika kila jambo.Wazazi walikumbwa na jukumu la kulipa karo na pia jukumu la kuiangalia familia hiyo.Kulipa karo,matibabu,chakula na malazi ndio baadhi ya majukumu hayo.Jamaa wa karibu na baba na mama waliwatenga sababu ya migongano na mizozo ya shamba. "Nitaanzia wapi?" Nimwambie vipi mama kuhusu kifo cha baba,na kuhusu funguo je?"haya yote ni baadhi ya misururu ya maswali nilokuwa nikijiuliza.Potelea mbali,Nilijipa moyo. Nilifika nyumbani na kumpata mama yangu na ndungu zangu wakinisubiri kwa hamu kuu.Nilifika na kuwaeleza habari hizo kwa utendeti.Mama yangu hakujizuia pamoja na ndugu zangu.Walilia kwa zamu,kabla ya kukata shauri vile tutafuata mwili wa baba yetu.Pamoja na msaada wa majirani wema,tuliweza kufanikisha shughuli nzima ya kuuhifadhi mwili wa baba yetu marehemu.Baada ya majirani kwenda majumbani mwao,nilimuita mama na kumueleza kuhusu funguo nilikobidhiwa na baba.Tuliandamana unyounyo na kufika chumbani humo,tulipata katika sanduku hilo kuna barua iliyoandikwa na baba.Katika barua hiyo alikuwa ameandika kuhusu vitu vyake vya thamani.Licha ya uchochole wa baba aliweza kuweka akiba ambayo haikuwahi oza. Baada ya uchunguzi wa kina,wa barua hiyo nilitumwa na mama yangu kuelekea mjini katika benki kuu.Nilikabidhiwa kitita cha laki moja na nikarudi nyumbani.Nilippokuwa mjini,nilipendezwa sana na mandhari ya huko na nikataka sana kuwa mwenyeji wa huko.Nilipofika nyumbani nilimkabidhi mama pesa zile.Mama alizihesabu pesa zile na kuchukua kiasi fulani kulipa karo ya wadogo zangu.Kiasi chengine akanipa na kunielekeza nianzishe biashara itakayonikimu na kuwakimu wao pia.Papo hapo akili ikagonga kuhusu kwenda kuuza bidhaa mjini ambako kulinipendezea. Siku iliyofuata,ndugu zangu walirudi shuleni,na mama yangu akarudia biashara yake kama kawaida kwani maisha yalifaa kusonga mbele licha ya kumkosa baba yetu.Nami bila kusita nikamuaga mama nikaelekea mjini.Nilifika huko na kulakiwa na kijana maarufu Hassan ambaye alinizungusha mjini na kunionyesha maeneo mbalimbali.Akanielekeza kuhusu biashara tofauti tofauti zinazotoka vyema mjini mle.Nilikata shauri na kuamua kuuza bidhaa ndogo ndogo angalau za nyumbani.Basi kwa kiasi cha pesa nilichopewa na mama nikakodi mlango na kuweka bidhaa zangu tayari kwa biashara.Nilirudi nyumbani upesi na kumueleza mama ambae alinishukuru na kunitakia kila la kheri kwa kazi yangu.Nilifunganya nguo zangu na kutoka upesi,nilimuaga mama na kumuahidi nitarudi hivi karibuni nikishaanza kupata mapeni. Nilifika mjini jioni,nilikuwa nimeshapata mahala pa kulala na nikajisitiri humo.Asubuhi ilofuatia nilifika dukani na Alhamdullilahi mambo yalikuwa murwa.Siku baada ya siku biashara yangu ikazidi kupanuka.Nilifanya mazoea ya kutembelea familia kila nikipata nafasi.Baraka na mapenzi ya mama yakanifanya nikazidi kunawiri katika biashara yangu.Majuma na miezi yakapita,mama yangu katika biashara yake ya vitumbua alivamiwa na majambazi.Hofu na huzuni ilitanda,na mama yangu aliamua kuacha biashara yake aliiyokuwa akiienzi.Nilichukua pato la faida nlilopata na kumpeleka mama yangu akapate matibabu.Japokuwa hili liliharibu pakubwa biashara yangu kwa kuirudisha chini,sikujali sababu mimi ndio nilikuwa kama baba kwao.Walinitegemea kwa hali na mali. Biashara yangu ilizidi kunawiri,na nilijitahidi kukwepa anasa zote ili kuwakimu ndugu na mama yangu kama alivyoniusia baba yangu.Nilipata faida ya kutosha na kuamua kutafuta miradi mingine yenye manufaa.Nilijitahidi na kuwa na ari ya kubadilisha maisha ya nyumbani kwetu.Baada ya mwaka mmoja hazina nilokuwa nayo,nikanunua ploti na kuanzisha msingi wa nyumba.Sikutaka kuwaarifu ndugu kuhusu hilo na baada ya kumaliza mjengo huo,nilifaulu kuwahamisha jamaa zangu kwenye nyumba hiyo.Hatukuwa na budi kumshukuru Maanani maana tulipotoka si padogo,na mchumia juani hulia kivulini.Ndugu zangu waliendeleza masomo yao na kupata kazi zao za maana.Mama yangu alipata afya njema na kujishughulisha na kazi ndogo tu za nyumbani.Ama kweli,kila penye nia pana njia.
Jina lake mwandishi ni lipi?
{ "text": [ "Juma" ] }
4853_swa
MVUA YA GHARIKA Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi kwa ujumla. Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi zilizokuwa zishaanza kumea. Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji. Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima abaadan. Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio haya yanawakodolea macho sasa. Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu. Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume. Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa gani
{ "text": [ "Mashariki" ] }
4853_swa
MVUA YA GHARIKA Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi kwa ujumla. Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi zilizokuwa zishaanza kumea. Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji. Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima abaadan. Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio haya yanawakodolea macho sasa. Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu. Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume. Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
Nini ilikuwa imeroa rovurovu
{ "text": [ "Nguo" ] }
4853_swa
MVUA YA GHARIKA Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi kwa ujumla. Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi zilizokuwa zishaanza kumea. Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji. Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima abaadan. Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio haya yanawakodolea macho sasa. Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu. Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume. Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
Wakulima walishikwa na nini
{ "text": [ "Mahoma" ] }
4853_swa
MVUA YA GHARIKA Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi kwa ujumla. Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi zilizokuwa zishaanza kumea. Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji. Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima abaadan. Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio haya yanawakodolea macho sasa. Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu. Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume. Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
Watu walipanda juu ya nini
{ "text": [ "Paa" ] }
4853_swa
MVUA YA GHARIKA Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa Mashariki.Baadae matone mazito mazito yalianza kutona ardhini.Wanakijiji walifurahai ghaya ya kufurahi.Waama mvua ilikuwa imeadimika mithili ya wali wa duka.Wakulima walifurahi na kukusanya vyombo vyao vya ukulima na kukimbia shambani.Kwani siku zote maskini akipata matako hulia mbwata.Bila shaka wakulima hao walijua kuwa mvua hiyo ingewaletea faida nyingi sana.Waislamu hushadidia mvua kama baraka na jamii hii bila shaka ilikuwa na tumaini kubwa.Tumaini hilo ni kwamba mwaka huo mambo yangekuwa mengini kwani italeta tofauti kubwa kati ya mwaka Jana na juzi kwa ujumla. Mvua basi iliendelea kunyesha kwa hasira za mkizi.Muda wote huo wakulima walikuwa shambani wakiendelea na shughuli yao ya kupalilia shambani.Matayarisho yalikuwa yameshafanywa kitambo na kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu kuu kishawasili.Ilipofika majira ya saa kumi na moja,wakulima walielekea nyumbani.Nguo zao zilikuwa zimerowa rovurovu.Wakulima hao walijua kuwa nazi haibishani na jiwe ndiposa wakaamua kurudi nyumbani.Walirudi wakiwa hoi bin tiki kwani shughuli iliyopita shambani haikuwa chache.Jamaa walisaidiana shambani,kila mtu akiwa ameshika na kukwamilia kazi yake iliyompeleka huko.Wengine walipalilia, wengine wakitia mbegu mchangani na wengine kupunguza nyasi zilizokuwa zishaanza kumea. Baadhi ya wakulima hao walishikwa na mahoma usiku sababu ya baridi shadidi.Mbu walienea kote sababu ya unyevunyevu uliokuwa.Mvua iliendelea kunyesha huku ngurumo za radi zikisikika kote angani.Umeme ukafuatia huku watoto wadogo wakiogopa sauti hizo.Sisi maskini hohehahe tusio na mbele wala nyuma,nyuma zetu zilivuja.Matone yalitona mdogomdogo katika malazi yetu.Naam chururu si ndondondo.Tulipoamka asubuhi,tulibaki kinywa wazi pasipo na kujua la kufanya.Nyumba yetu ilijaa maji,tusijue la kufanya waama kusema.Nyumba yote ilijaa maji. Tulitoka nje na tuliyoyaona huku hayakuwa madogo.Maji mengi tusijue mahali pa kukanyagia.Kwani mvua hiyo ya dhoruba ilikesha usiku kucha bila mapumziko.Furaha za wanakijiji na wakulima ziligeuka na kuwa karaha tupu.Walichodhani kitawasaidia kumbe kinaisha kuwaumiza na kusababisha majanga tele.Walipiga moyo konde na kujikaza kisabuni ili kutafuta suluhu ya mkasa uliotokea.Waama walijua kwa pamoja kuwa,mtafutaye hachoki na akichoka keshapata na mgaagaa na upwa hali wali mkavu daima abaadan. Watu walipanda juu ya paa za nyumba zao kama njia ya kujikinga pia.Na pia ni mahali salama pa kujikinga na kifo hicho kilichowakodolea macho.Watu waliokuwa kwenye nyumba za mnyonge msonge walipanda juu ya miti mirefu.Ingawa walijua hiyo ni hatari kubwa lakini wangefanyaje na walitaka kuokoa maisha yao.Maskini ungesikia vilio vya watoto wadogo,ungelia pia.Vilio vya akina mama wajawazito,wanawake wazee na watoto wadogo.Watu waliomba msamaha kwa mola wao wakijua siku zao za kuishi duniani zimeisha.Yale mauti walokuwa wakiyasikia kwa watu ndio haya yanawakodolea macho sasa. Wanakijiji walishuhudia vyombo vyao kusombwa na maji.Miti kuanguka na pia mifugo kusombwa na maji pia.Hizo ndizo zilikuwa rasilimali zao ambazo ziliwawezesha wao kujikimu na maisha.Familia za wenye nacho walikuwa ndani ya madau.Walijihifadhi humo na vyombo vyao waama hakuna msiba usiokuwa na mwenzake.Nikiwa juu ya paa la nyumba thabithi tukisubiri serikali yetu iingilie kati,nyumba yetu ilibomoka.Watu wasio na uwezo wa kuchapa maji waliweza kufarakana na sayari ya tatu.Maji hayo yaliwateka na kuwapeleka sehemu zengine wakiwa wafu. Hatimaye msaada wa serikali ulifika.Serikali ilituma helikopta za shirika la msalaba mwekundu kuja kutusaidia.Japokuwa huo ni msaada na ulionyesha kipaumbele cha serikali bado walichelewa.Tuliwapoteza jamaa zetu wengi sana.Mifugo ns rasilimali zetu hatukuweza kuziokoa.Tulichukuliwa na kupelekwa sehemu salama isiyokuwa na mafuriko.Tulipewa mchama kama nyumba zetu za siku hiyo.Walitupa chakula na maji safi na tulifurahi si haba kwani hatukuwa tumekula siku mbili zilizopita.Walituahidi kuwa serikali itasimamia ujenzi wa nyumba zetu na zingekuwa tayari baada ya miezi kadhaa.Wanakijiji walijuta sana kwa kukata miti na majuto haya ni mjukuu huja kinyume. Nawahusia kutokata miti ovyovyo,kwani husababisha ukame na sehemu hiyo kuwa jangwa.Mvua inayonyesha husababisha mmomonyoko wa ardhi.Tusiishi karibu na kinga za mito na tuwe wasikivu kwa amri za serikali kuhusiana na hali ya anga.Tusifuge kiasi kikubwa cha mifugo kwani husababisha kuisha kwa nyasi.Tutunze mazingira yetu ili tuepukane na janga hili la mafuriko.Tunaweza kutunza yetu kwa kupanda pale isiyokuwa na kuepuka kukatakata miti ovyoovyo miongoni mwa njia nyinginezo.
Kwa nini watu wasikate miti ovyoovyo
{ "text": [ "Kuzuia ukame na mmomonyoko wa ardhi" ] }
4854_swa
NCHI YA KENYA Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne. Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima. Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele. Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya. Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa mamlaka na rasilimali. Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla Kenya imekuwa na Marais wanne. Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi, Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali. Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini. Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya. Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya serikali za kata katika upande wa maendeleo. Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya maliasili tuliyopewa na Mungu. Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi inayopendeza mno.
Kenya inapatikana wapi
{ "text": [ "Katika bara la Afrika" ] }
4854_swa
NCHI YA KENYA Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne. Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima. Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele. Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya. Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa mamlaka na rasilimali. Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla Kenya imekuwa na Marais wanne. Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi, Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali. Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini. Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya. Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya serikali za kata katika upande wa maendeleo. Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya maliasili tuliyopewa na Mungu. Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi inayopendeza mno.
Kenya ilipata uhuru lini
{ "text": [ "Mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tatu" ] }
4854_swa
NCHI YA KENYA Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne. Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima. Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele. Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya. Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa mamlaka na rasilimali. Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla Kenya imekuwa na Marais wanne. Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi, Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali. Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini. Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya. Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya serikali za kata katika upande wa maendeleo. Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya maliasili tuliyopewa na Mungu. Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi inayopendeza mno.
Kenya imekuwa na rais wangapi tangu kupata uhuru
{ "text": [ "Wanne" ] }
4854_swa
NCHI YA KENYA Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne. Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima. Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele. Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya. Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa mamlaka na rasilimali. Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla Kenya imekuwa na Marais wanne. Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi, Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali. Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini. Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya. Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya serikali za kata katika upande wa maendeleo. Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya maliasili tuliyopewa na Mungu. Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi inayopendeza mno.
Rais wa kwanza alihudumu kwa miaka mingapi
{ "text": [ "Kumi na minne" ] }
4854_swa
NCHI YA KENYA Nchi ya Kenya inapatikana katika bara la Afrika. Ni miongoni mwa mataifa yalioko mashariki mwa bara hili. Kenya kama taifa ilikuwa chini ya ukoloni mwa ufaransa. Baadaye nchi hii ikapata uhuru mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sitini na tatu. Taifa hili limekuwa na rais wanne tangu update uhuru. Hivyo nchi hii ikawa na rais wake wa kwanza. Jomo Kenyatta kama rais wa kwanza alihudumu Kwa miaka kumi na nne. Mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa sabini na nane rais Kenyatta akaaga dunia. Huu ulikuwa mwaka mgumu Sana. Taharuki ilitanda taifa mzima. Majonzi nyusoni mwa wananchi. Watu walijawa na simanzi na huzuni tele. Hatimaye marehemu alizikwa na mzee Moi ambaye alikuwa makamu kawekwa kuwa rais wa pili wa jamuhuri ya Kenya. Rais wa pili mzee Moi aliingia mamlakani bila pingamizi lolote. Yeye kapata kiti cha urais Kwa njia rahisi Sana. Mzee Moi alikuwa dikteta lakini mnamo mwaka wa elfu Moja mia Tisa tisini na mbili Kenya ikakumbatia demokrasia. Baadaye rais wa tatu Mwai Kibaki akaingia mamlakani. Hii ilikuwa mwaka wa elfu mbili na mbili. Katika miaka yake uongozini rais huyu alifanya mabadiliko chungu nzima. Ndani ya muda wake kama kiongozi, katiba mpya ilizunduliwa. Nchi ya Kenya ikabadilisha katiba. Mwaka huu wa elfu mbili na kumi ugatuzi ikazaliwa. Ugatuzi ukaleta mabadiliko mbalimbali. Kwanza ni muda ambayo rais anafaa kukaa uongozini kabla ya uchaguzi mwingine. Pili ilikuwa ni ugatuaji wa mamlaka na rasilimali. Baada ya ugatuzi tumekuwa tu na rais mmoja. Rais uhuru Kenyatta ametawala Sasa miaka Tisa na anatoka mamlakani mwaka ujao. Kwa jumla Kenya imekuwa na Marais wanne. Kenya ilipopata tu uhuru, kulikuwa na miji mikuu mitatu. Mji wa Nairobi, Mombasa na Kisumu. Baadaye kukakuwa na mgawanyiko wa nchi hii katika majimbo minane. Huu mgawanyiko ulifanywa Kulingana na sehemu mbalimbali. Kutoka mashariki na magharibi Hadi kusini na kaskazini. Katika siku za hivi karibuni, ugatuzi umekuwa ndio umegawa Kenya. Kenya imegawanywa katika kata arobaini na Saba. Kulingana na hiyo, Kila kata kimetengewa fedha maalum na serikali ya kitaifa ili kuweza kutenda majukumu yake. Vile vile kazi zingine ambazo hapo awali zilifanywa na serikali ya kitaifa zimeweza kugatuliwa. Mfano huu ni mambo ya kiafya. Hata hivyo Kila kata kimeweza kuwa na changamoto mbalimbali haswa katika utendakazi wake. Mambo ambayo yameendelea kukera wananchi wengi wakati huu ni Yale ya mishahara, kutokuwa na kazi na pia utendakazi duni ya serikali za kata katika upande wa maendeleo. Katika upande wa maliasili nchi ya kenya imebarikiwa na maziwa na Mito pamoja na milima. Halikadhalika Kuna madini mbalimbali ambayo tunaweza kujivunia kama wakenya. Bahari ya Indian ocean pia ni sehemu kubwa ya maliasili tuliyopewa na Mungu. Mwisho Kenya Ina kabila mbalimbali. Kwa jumla nchi hii Ina makabila zaidi ya arobaini na mbili. Makabila haya huishi kote nchini na hakuna sehemu maalum iliyotengewa kabila Fulani. Aidha Kuna mikoa maalum ambapo utapata ni ya kabila Moja ndilo linaishi. Hivyo Kenya ni nchi inayopendeza mno.
Rais Kenyatta aliaga lini
{ "text": [ "Mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nane" ] }
4855_swa
AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule. Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine alionekana kuchelewa pia. Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo. Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni, kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na kusababisha mrundikano. Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na eneo la ajali. Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke, alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea. Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia. Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo kuwasaidia waliougua. Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa vibaya. Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi na kuwaambia kilichotokea. Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi. Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea. Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala kwenye gazeti kuhusu hilo. Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa sababu ya kiu ya utajiri wa haraka. Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula. Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa. Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa mitego. Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi. Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi wa mazingira, ni tatizo kuu. Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia, serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
Nani alijitolea kusafirisha mwandishi hadi shuleni?
{ "text": [ "Dadake" ] }
4855_swa
AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule. Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine alionekana kuchelewa pia. Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo. Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni, kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na kusababisha mrundikano. Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na eneo la ajali. Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke, alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea. Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia. Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo kuwasaidia waliougua. Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa vibaya. Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi na kuwaambia kilichotokea. Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi. Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea. Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala kwenye gazeti kuhusu hilo. Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa sababu ya kiu ya utajiri wa haraka. Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula. Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa. Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa mitego. Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi. Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi wa mazingira, ni tatizo kuu. Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia, serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
Mamake mwandishi alikuwa akihisi vipi?
{ "text": [ "Hali ya hewa" ] }
4855_swa
AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule. Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine alionekana kuchelewa pia. Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo. Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni, kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na kusababisha mrundikano. Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na eneo la ajali. Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke, alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea. Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia. Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo kuwasaidia waliougua. Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa vibaya. Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi na kuwaambia kilichotokea. Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi. Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea. Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala kwenye gazeti kuhusu hilo. Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa sababu ya kiu ya utajiri wa haraka. Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula. Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa. Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa mitego. Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi. Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi wa mazingira, ni tatizo kuu. Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia, serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
Mwandishi anamsifu dadake kama nani kwenye barabara?
{ "text": [ "Dereva makini" ] }
4855_swa
AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule. Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine alionekana kuchelewa pia. Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo. Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni, kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na kusababisha mrundikano. Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na eneo la ajali. Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke, alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea. Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia. Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo kuwasaidia waliougua. Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa vibaya. Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi na kuwaambia kilichotokea. Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi. Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea. Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala kwenye gazeti kuhusu hilo. Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa sababu ya kiu ya utajiri wa haraka. Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula. Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa. Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa mitego. Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi. Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi wa mazingira, ni tatizo kuu. Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia, serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
Gari lililogongana na basi la shule lilikuwa limewabeba kina nani?
{ "text": [ "Watoto wa shule" ] }
4855_swa
AKAUNTI YA SHAHIDI WA AJALI NA MADHARA YA UKATAJI MITI Mfano: Mwalimu wako amekupa jukumu la kuandika simulizi la mtu aliyejionea aksidenti kama sehemu ya mgawo wa shule. Ilikuwa asubuhi ya baridi sana, kwani mvua ilinyesha sana usiku uliopita. Dada yangu alijitolea kunisafirisha shuleni kwa sababu mama yangu alikuwa akihisi hali ya hewa. Nilikuwa nimelala kupita kiasi na nikachelewa shuleni. Tukapanda gari kwa haraka. Tayari kulikuwa na msongamano mkubwa wa magari kwenye njia hiyo. Kila mtu mwingine alionekana kuchelewa pia. Licha ya kuwa tayari nilikuwa nimechelewa, dada yangu alikuwa ni dereva makini ambaye alikataa mwendo wa kasi kwenye barabara nyororo. Tulitazama ajali ya kutisha umbali wa mita mia chache kutoka shuleni, kwa hiyo nilifurahi kwamba alikuwa thabiti na mwenye tahadhari. Kama ilivyo kwa matukio mengi, kila kitu kilifanyika haraka sana. Basi la shule liligongana na gari lililojaa watoto wa shule ambao walikuwa wamepinda kushoto bila kuashiria. Magari kadhaa nyuma ya basi la shule yaligonga ndani kwa sababu hayakuweza kusimama kwa wakati, na kusababisha mrundikano. Barabara iliyokuwa na msongamano tayari ilifungwa, na kusababisha msongamano wa magari kupungua. Dada yangu aliitikia kwa upole nilipomwambia nilitaka kuwasaidia wahasiriwa. Alisimama karibu kabisa na eneo la ajali. Sitasahau tukio lililotukaribisha tulipofika. Imeacha alama isiyosahaulika kwenye kumbukumbu yangu hadi leo. Watoto watatu wa shule walitupwa nje ya gari kutokana na mgongano huo. Dereva, mwanamke, alikuwa kimya nyuma ya gurudumu. Nilikimbilia kwa watoto wachanga na watoto wa shule ya mapema. Wawili kati yao walijeruhiwa vibaya, huku damu zikiwatoka vichwani na mikononi mwao. Walikuwa macho, lakini walikuwa dhaifu sana wasiweze kutambua kilichotokea. Mmoja wao alikuwa amekosa mkono wake wa kushoto na alionekana kuzimia. Naamini aliuawa papo hapo. Wakati huohuo, wapita-njia walikuwa wamepigia gari la wagonjwa, na tulipokuwa tukingoja, tulijitahidi tuwezavyo kuwasaidia waliougua. Abiria waliokuwa kwenye basi la shule pia walijeruhiwa. Nilikimbia ndani ya basi na kumwona dereva akiwa amepoteza fahamu juu ya usukani. Alikuwa amepata majeraha makubwa kichwani. Huku dada yangu akimsaidia kutoka kwenye basi, niliwashauri wanafunzi waliojeruhiwa watulie. Kwenye mikono na miili yao, wengi wao walionekana kuwa na majeraha madogo na michubuko. Kwa kweli ilikuwa ni bahati kwamba hakuna mtu aliyejeruhiwa vibaya. Watu wazima wachache walikuwa wamepanda basi kufikia wakati huo, na sote tukawashauri watoto watoke ndani ya basi hilo kwa tahadhari. Watoto walipolia na kuwapigia kelele wazazi wao, ilitubidi kuwabembeleza ili kuwanyamazisha. Wakati huo huo, ambulensi mbili zilikuwa zimefika. Gari la polisi wa trafiki pia lilikuwepo. Maafisa wawili wa polisi walikuwa wakiondoa akaunti za mashahidi. Wote waliojeruhiwa na waliofariki walipelekwa hospitalini. Mimi na dada yangu hatimaye tulienda kwa polisi na kuwaambia kilichotokea. Nilichelewa darasani. Anatoa nyingi, kwa kweli, zilikuwa zikichelewa kazini. Mgongano huo uliripotiwa kwa mwalimu wangu, na sote wawili tukakubali kwamba ingeepukika ikiwa madereva wangekuwa waangalifu zaidi. Vinginevyo, maisha ya watu wasio na hatia yasingepotea. Ukataji miti unaweka wanyamapori na afya zetu hatarini. Andika makala kwenye gazeti kuhusu hilo. Kila nchi inatamani kuendelezwa au kuendelezwa. Ni kupitia maendeleo pekee ndipo nchi inaweza kuendelea na kuhakikisha kuwa raia wake wanafurahia maisha ya hali ya juu. Ukataji miti ni mchakato wa kusafisha ardhi ya miti na mimea ili iweze kuendelezwa. Ardhi iliyosafishwa inatumika kujenga nyumba, viwanda, mbuga na vifaa vya umma. Ukataji miti wa haraka, kwa upande mwingine, unatishia wanyama na afya zetu kwa sababu ya kiu ya utajiri wa haraka. Tangu uhuru, Malaysia imeshuhudia ukataji miti mkubwa na ufyekaji ardhi kwa ajili ya maendeleo, hasa kujenga makazi, nyumba za kuishi, bustani za mandhari na viwanda, miongoni mwa mambo mengine. Lengo ni kuwahudumia wakazi kwa huduma na huduma. Walakini, kwa sababu makazi yao yanaharibiwa, hii inaleta wasiwasi mkubwa kwa wanyamapori. Mimea na wanyama wetu wa asili na tofauti pia wako hatarini. Wanyama waliolindwa kama vile chui, tembo, kifaru na wengine wanakufa huku makazi yao ya asili yakiharibiwa. Watu wengi wanalazimika kuhamia katika mikoa mipya ambayo inaweza kuwafaa au isiwafaa. Katika habari, mara kwa mara tunasikia kuhusu simbamarara na tembo wanaovamia eneo la binadamu na kuwaua au kuwalemaza wanadamu huku wakitafuta chakula. Misitu na maeneo ya hifadhi zaidi yatengwe kuwa hifadhi za viumbe hawa. Uhifadhi wa misitu ni mzuri kwa wanadamu kwani miti hutoa hewa safi na yenye afya, pamoja na kutoa makazi salama kwa spishi hizi. Uchafuzi unaongezeka sanjari na idadi ya watu. Ulinzi wa uchafuzi wa asili hutolewa na misitu na misitu, ambayo hutoa hewa safi na uchafuzi wa mitego. Ili kulinda mapafu ya kijani kibichi, serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali lazima yafanye kazi pamoja. Kuwepo kwa viwanda na kuongezeka kwa idadi ya magari barabarani kumesababisha mazingira machafu. Zaidi ya hayo, Malaysia hukumbwa na ukungu mara kwa mara kutokana na uchomaji moto wa misitu huko Kalimantan pamoja na uchomaji moto wazi. Hili, pamoja na ukataji wa miti usiodhibitiwa, umesababisha msururu wa masuala ya matibabu miongoni mwa wakazi wa nchi yetu. Madaktari wanathibitisha kwamba idadi ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya mapafu na kupumua imeongezeka kwa kasi. Uharibifu wa misitu, pamoja na uchafuzi wa mazingira, ni tatizo kuu. Kwa hivyo, ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua haraka ili kuepusha hali hiyo kuwa mbaya. Serikali za majimbo zinapaswa kuanzisha hifadhi nyingi zaidi za misitu, na spishi lazima zihamishwe kwa uangalifu mkubwa ikiwa makazi yao yataondolewa kwa makazi au viwanda. Kwa uhalisia, serikali inapaswa kupunguza idadi ya vibali vya uvunaji miti na watengenezaji mbao vilivyotolewa. Hao ndio wahusika wakuu, na kuhatarisha wanyamapori na afya ya binadamu. Miti ya asili hutoa hewa safi muhimu kwa maisha ya mwanadamu.
Watoto wangapi walitupwa nje ya gari baada ya ajali?
{ "text": [ "Watatu" ] }
4856_swa
BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya za mitishamba na vitamini vya asili. Sharon, salamu! Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya kawaida ya kielektroniki! Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi. Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona kutoka kwa ugonjwa mbaya. Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo! Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi. Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio. Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio maangamizi na huzuni zote. Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako. Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo, ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini. Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida. Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau kujiangalia mwenyewe. Mwenzako mwenye mawazo. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani. Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu. Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo. Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens haziuzi vyakula visivyofaa. Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji, sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu. Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una protini nyingi na wanga. Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi, mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi. Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika, wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi vitamini muhimu, na kumfanya asinzie. Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza. Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
Mamake rafiki ya mwandishi anaugua ugonjwa upi?
{ "text": [ "Saratani ya matiti" ] }
4856_swa
BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya za mitishamba na vitamini vya asili. Sharon, salamu! Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya kawaida ya kielektroniki! Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi. Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona kutoka kwa ugonjwa mbaya. Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo! Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi. Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio. Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio maangamizi na huzuni zote. Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako. Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo, ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini. Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida. Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau kujiangalia mwenyewe. Mwenzako mwenye mawazo. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani. Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu. Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo. Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens haziuzi vyakula visivyofaa. Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji, sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu. Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una protini nyingi na wanga. Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi, mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi. Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika, wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi vitamini muhimu, na kumfanya asinzie. Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza. Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
Rafiki yake mwandishi anaitwaje?
{ "text": [ "Sharon" ] }
4856_swa
BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya za mitishamba na vitamini vya asili. Sharon, salamu! Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya kawaida ya kielektroniki! Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi. Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona kutoka kwa ugonjwa mbaya. Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo! Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi. Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio. Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio maangamizi na huzuni zote. Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako. Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo, ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini. Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida. Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau kujiangalia mwenyewe. Mwenzako mwenye mawazo. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani. Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu. Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo. Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens haziuzi vyakula visivyofaa. Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji, sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu. Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una protini nyingi na wanga. Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi, mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi. Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika, wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi vitamini muhimu, na kumfanya asinzie. Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza. Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
Dawa za kemikali humfanya mgonjwa wa saratani kupoteza nini kichwani?
{ "text": [ "Nywele" ] }
4856_swa
BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya za mitishamba na vitamini vya asili. Sharon, salamu! Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya kawaida ya kielektroniki! Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi. Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona kutoka kwa ugonjwa mbaya. Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo! Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi. Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio. Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio maangamizi na huzuni zote. Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako. Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo, ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini. Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida. Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau kujiangalia mwenyewe. Mwenzako mwenye mawazo. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani. Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu. Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo. Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens haziuzi vyakula visivyofaa. Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji, sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu. Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una protini nyingi na wanga. Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi, mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi. Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika, wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi vitamini muhimu, na kumfanya asinzie. Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza. Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
Dadake mwandishi hufanya kazi ipi?
{ "text": [ "Daktari wa magonjwa ya akili" ] }
4856_swa
BARUA YA USHAURI WA MATIBABU NA RIPOTI KUHUSU MARUFUKU Hali: Mama ya rafiki yako anaugua ugonjwa mbaya. Kwa kulinganisha na dawa za kawaida za magharibi, unafahamu vyema manufaa ya mimea na vitamini. Andika barua kwa mama wa rafiki yako ukielezea faida za kiafya za mitishamba na vitamini vya asili. Sharon, salamu! Asante kwa noti ya siku mbili uliyonitumia. Ninakushukuru kwa kuchukua wakati wako kunitumia "barua ya konokono" badala ya mawasiliano ya kawaida ya kielektroniki! Samahani kwa kujua ugonjwa wa mama yako. Ulitaja kwamba anapona kutokana na tiba ya kemikali inayohusiana na saratani ya matiti. Ilibidi liwe tukio la kuhuzunisha kwake, na pia kwa ninyi nyote. Ninaelewa jinsi ilivyo ngumu kumtunza jamaa wa karibu, haswa ambaye ameteseka sana. Tiba ya kemikali inaweza kugharimu sana, na nina uhakika amepoteza nywele nyingi, bila kutaja kuwa mgonjwa na dhaifu kila siku. Nimefurahiya kwamba uliwasiliana nami kwa usaidizi. Madaktari wa jadi na wa kisasa wametambua kwa muda mrefu manufaa ya mimea na vitamini. Hizi zina faida nyingi, haswa kwa watu wanaopona kutoka kwa ugonjwa mbaya. Dawa za kiasili, kama vile mitishamba na mizizi, zimetumika kutibu magonjwa na magonjwa, na pia michubuko na michubuko, muda mrefu kabla ya matibabu na upasuaji wa kisasa. Kama unavyojua, dada yangu ni daktari wa magonjwa ya akili, ambayo hufafanua uelewa wangu mkubwa wa somo hilo! Watu wengi, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa wanyama, hugeuka kwa dada yangu kwa ushauri wa tiba ya mitishamba na ya jadi. Dawa ya Magharibi ina madhara hasi na haifaulu katika baadhi ya matukio. Ningependekeza usiendelee na matibabu ya kemikali kama ungenishauri mapema kuhusu hali ya mama yako. Madhara ya mwisho yanajulikana sana, na yanaweza kuwa hatari kwa mtu mzee kama vile mama yako. Lakini sio maangamizi na huzuni zote. Pendekezo langu ni kwamba uwasiliane na mfamasia na mganga wa kienyeji ili kubaini ni mitishamba na vitamini gani zinazokubalika kwa mama yako. Waelezee hali na hali ya afya ya mama yako, na usisahau kuongeza kwamba alikuwa amepokea matibabu ya saratani hivi karibuni. Hata hivyo, kabla ya kununua mimea na dawa, mimi kukushauri sana kuwasiliana na oncologist ya mama yako. Daktari angempa dawa za kimagharibi, na kuchanganya dawa za jadi na dawa za kisasa kunaweza kuwa na athari mbaya. Hata hivyo, ikiwa unaamini kuwa dawa ya daktari haina thamani, ninapendekeza uache kuitumia na badala yake ujaribu mimea na vitamini. Tafadhali usisite kutafuta mwongozo kutoka kwa dada yangu. Wagonjwa wake wanamwabudu, na kadhaa wameniambia jinsi tiba ya ugonjwa wa nyumbani imewasaidia kupata matokeo makubwa kuliko tiba ya kawaida. Naogopa nitalazimika kukuacha hapa sasa hivi. Ikiwa unahitaji usaidizi wowote wa ziada, tafadhali niandikie au unipigie simu. Tafadhali pokea salamu zangu za dhati kwa mama yako na familia yako yote. Usisahau kujiangalia mwenyewe. Mwenzako mwenye mawazo. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulihudhuria mkutano wa wataalamu wa afya kuhusu kwa nini shule zipige marufuku uuzaji wa vinywaji baridi kutoka kwa mashine za kuuza, pamoja na vyakula ovyo na vyakula visivyo na lishe bora katika mkahawa. Toa ripoti kwa mwalimu wako darasani. Wazazi wetu na maprofesa daima walisisitiza umuhimu wa kula vyakula vyenye lishe, safi ambavyo vina vitamini nyingi na chini ya mafuta na sukari. Kwa kweli, lishe bora hutulinda dhidi ya magonjwa kama vile ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, na mengine. Kula kwa afya pia kunaweza kusaidia watu walio na sour kuishi kwa muda mrefu. Kanuni zile zile za ulaji wa vyakula vyenye virutubishi vingi zilishughulikiwa katika kikao cha hivi majuzi nilichohudhuria. Wanafunzi na walimu wanapaswa kuungana ili kukomesha mashine za kuuza vinywaji baridi, kulingana na wataalam wa afya waliozungumza kwenye hafla hiyo. Pia wanapendekeza kwamba tufanye juhudi kuhakikisha kwamba canteens haziuzi vyakula visivyofaa. Vinywaji baridi vina sukari nyingi na havina thamani ya lishe. Maji, sukari, na kupaka rangi ndio viambajengo vikuu katika vinywaji hivi vya kaboni, ambavyo vyote vinaharibu afya zetu kwa muda mrefu. Ulaji wa sukari kupita kiasi unaweza kusababisha ugonjwa wa kisukari, ambayo ni hali ya kutishia maisha. Uzito ni tatizo kwa wale wanaotumia sukari nyingi, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya matibabu. Matokeo yake, shule zinapaswa kuruhusu mashine za kuuza tu kuuza vinywaji vya afya kama vile maziwa ya soya, kinywaji cha mtindi, chai ya mitishamba, na kadhalika. Mwisho huo una sukari kidogo lakini una protini nyingi na wanga. Burgers, fries, donuts, keki, biskuti, chokoleti, na vitafunio vya kitamu ni mifano ya vyakula vya junk au vyakula vya haraka ambavyo ni mbaya kwa afya zetu. Chakula cha Junk kimejaa viungo na rangi zisizo na afya. Matokeo yake, canteens za shule hazipaswi kuweka chakula hiki mkononi. Canteens inapaswa kuruhusiwa tu kuuza mchele, tambi, tambi, mkate, saladi safi na mboga nyingine mbichi, pamoja na matunda na juisi. Kulingana na wataalamu hao, njia pekee ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafanya vyema kitaaluma ni kuwahimiza kula vizuri. Kwa hakika, wanafunzi hupoteza pesa za wazazi wao kwa kununua chakula ambacho hakina thamani ya lishe. Kuna uwiano ulioimarishwa kati ya kula milo yenye lishe bora na ufaulu wa mitihani. Chakula cha ovyo humnyima mwanafunzi vitamini muhimu, na kumfanya asinzie. Wataalamu hao wa afya pia walipendekeza kuwa wizara ya elimu itoe ruzuku kwa gharama za vyakula vya kantini ili wanafunzi wapate chakula chenye lishe. Ni ufahamu wa jumla kwamba vyakula vyenye virutubishi ni ghali zaidi, na kwa sababu hiyo, wamiliki wa kantini wanasitasita kuviuza. Hata hivyo, ikiwa serikali itatoa ruzuku kwa waendeshaji hao pamoja na kuponi za chakula ili kufanya chakula chenye afya kuwa nafuu kwa wanafunzi, serikali itafanikiwa kujenga jamii inayojali afya.
Mwandishi anahimza Sharon kufuata mwongozo kutoka kwa nani?
{ "text": [ "Dadake" ] }
4857_swa
ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako baadaye. Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani, inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na njia tofauti kila wakati. Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy, Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali unapoishi. Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa, ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki. Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe. Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa. Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi. Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda mrefu. Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako (Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote. Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi, ukweli huu unaweza kukatisha tamaa. Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni. Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa, umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora). Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi, elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma, lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda. Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote. Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu). Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake. Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi. Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa, kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu ya njia bora ya kupima. Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au kidogo. Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja. Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu, kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye. Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha kazi thabiti. Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha uaminifu.
Vijana hawapendi kufanya nini?
{ "text": [ "Kusoma" ] }
4857_swa
ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako baadaye. Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani, inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na njia tofauti kila wakati. Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy, Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali unapoishi. Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa, ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki. Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe. Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa. Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi. Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda mrefu. Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako (Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote. Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi, ukweli huu unaweza kukatisha tamaa. Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni. Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa, umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora). Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi, elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma, lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda. Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote. Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu). Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake. Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi. Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa, kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu ya njia bora ya kupima. Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au kidogo. Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja. Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu, kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye. Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha kazi thabiti. Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha uaminifu.
Nini ni muhimu mno katika jamii ya kisasa ya Magharibi?
{ "text": [ "Elimu" ] }
4857_swa
ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako baadaye. Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani, inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na njia tofauti kila wakati. Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy, Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali unapoishi. Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa, ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki. Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe. Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa. Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi. Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda mrefu. Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako (Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote. Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi, ukweli huu unaweza kukatisha tamaa. Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni. Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa, umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora). Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi, elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma, lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda. Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote. Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu). Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake. Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi. Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa, kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu ya njia bora ya kupima. Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au kidogo. Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja. Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu, kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye. Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha kazi thabiti. Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha uaminifu.
Kuna uwezekano kwamba kile mtu anchosomea katika chuo kikuu kitakuwa nini maishani mwake?
{ "text": [ "Taaluma yake" ] }
4857_swa
ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako baadaye. Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani, inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na njia tofauti kila wakati. Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy, Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali unapoishi. Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa, ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki. Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe. Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa. Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi. Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda mrefu. Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako (Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote. Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi, ukweli huu unaweza kukatisha tamaa. Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni. Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa, umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora). Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi, elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma, lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda. Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote. Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu). Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake. Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi. Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa, kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu ya njia bora ya kupima. Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au kidogo. Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja. Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu, kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye. Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha kazi thabiti. Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha uaminifu.
Vijana wengi hudhaniwa watatumia "mwaka wa pengo" kufanya nini?
{ "text": [ "Kuchuma pesa" ] }
4857_swa
ELIMU YA MTANDAONI NA KURIDHIKA KWA WATEJA Kwa wazi, kusoma si jambo ambalo vijana wanapenda kufanya. Vijana wengi wangekubali kwamba kusikiliza mihadhara, kukaa katika maktaba, kuandika insha na ripoti zisizohesabika, na kuhangaikia mitihani sio njia za kufurahisha zaidi za kutumia wakati wao. Wakati huo huo, hakuna mtu anayeweza kukataa kwamba elimu ni muhimu katika jamii ya kisasa ya Magharibi. Haionekani kuwa na njia karibu na ukweli kwamba kuhitimu mara nyingi ni tiketi ya ulimwengu, kibali cha maisha ya watu wazima. Kwa kuzingatia umuhimu wa elimu, inaonekana kwamba kuchagua eneo la usoni la mtu la kusoma kunapaswa kushughulikiwa kwa tahadhari. Kuna uwezekano kwamba kile unachosoma chuo kikuu au chuo kikuu kitakuwa taaluma yako baadaye. Kwa hiyo, mifumo ya elimu ya baadhi ya mataifa, kama vile Marekani, inaruhusu vijana kuchukua "mwaka wa pengo" kati ya kuhitimu kutoka shule ya upili na kujiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu. Wakati huu unaweza kutumika kwa vyovyote vile kijana anataka, lakini inadhaniwa kwamba atautumia kupata pesa za kulipia elimu au kujua ni njia gani ya maisha inayowavutia zaidi. Hata kama utafanya makosa na kugundua kuwa uwanja wa masomo unaochagua sio wako, unaweza kugeuka na kuendelea na njia tofauti kila wakati. Mtu yeyote, bila kujali umri au malezi ya zamani ya elimu, anayetaka kusoma ana uwezo wa kufanya hivyo. Kuna anuwai ya shule za mtandaoni ambazo zina utaalam wa kufundisha masomo mahususi. Daima kuna chaguo kwako, ikiwa unataka kubadilisha taaluma au haujaridhika na masomo yako ya sasa na unataka kujaribu kitu kipya. Hebu tuangalie kwa karibu kujifunza mtandaoni na kwa nini inaweza kuwa chaguo nzuri. Kuna tovuti nyingi zinazotoa huduma za elimu. Udemy na Coursera labda ndizo zinazojulikana zaidi, lakini kuna zingine pia, pamoja na Khan Academy, Skill Share, na edX. Kwa sababu baadhi ya huduma hizi zinaweza kutumia au zisitumie lugha yako ya asili, chaguo lako litaamuliwa na mahali unapoishi. Zaidi ya hayo, baadhi ya watoa huduma hawa wanaweza kutoa akiba kubwa, ambayo kwa hakika itaathiri uamuzi wako. Badala ya kuangazia tofauti kati ya mifumo hii ya mtandaoni, acheni tuangalie faida zake. Ukichagua kusoma mtandaoni, bila shaka utakuwa na ufikiaji wa nyenzo za video, kwa kuwa hii ndiyo njia pekee ya kuona na kusikia mwalimu wako. Kulingana na uchangamano wa kozi, inaweza kugawanywa katika moduli, ambazo kila moja ina maudhui ya kielimu yaliyotolewa kwa mpangilio wa kimantiki. Baadhi ya kozi zinalenga wanaoanza, huku nyingine zikiwalenga wanafunzi wenye uzoefu, kwa hivyo soma maelezo ya kozi kwa makini kabla ya kujiandikisha. Unasoma kimsingi kupitia kutazama video za kielimu na kukamilisha kazi ya nyumbani iliyotolewa na mwalimu kwa njia ya hati za PDF au fomati zingine. Majukumu haya yanaweza kuangaliwa na mwalimu wako au jumuiya, lakini ni wajibu wako kabisa, kwa hivyo hakuna mtu atakayeweza kukuwekea vikwazo. Utapata cheti cha dijiti baada ya kumaliza kozi, ikithibitisha kuwa umesikiliza kwa ufanisi kozi ya mihadhara kwenye uwanja maalum. Moja ya faida dhahiri za aina hii ya masomo ni kwamba unaweza kujifunza kwa kasi yako mwenyewe. Ili kujifunza taaluma mpya, unachohitaji ni kompyuta ya mkononi iliyo na ufikiaji wa Intaneti, pamoja na nyenzo au programu ya ziada, kulingana na taaluma unayosoma. Unaweza kutazama video wakati wowote na popote inapokufaa, na ukamilishe kazi wakati wowote na popote inapokufaa. Udemy, Coursera, na mifumo mingine inayolinganishwa mara nyingi hukaribisha watu waliohitimu sana, na kuhakikisha kwamba unalipia elimu ya kweli. Utakuwa na ufikiaji wa rasilimali zote maishani, hata kama hukuzipokea zote. Unaweza kuirejelea baadaye, tembelea tena video, na uulize jumuiya kwa usaidizi zaidi. Ubaya wa masomo ya mtandaoni ni kwamba unaweza usipokee maoni kwa muda mrefu. Mwalimu wako anaweza kuchunguza kazi yako mara kwa mara, lakini kwa hakika utahitaji kutafuta maoni na usaidizi kutoka kwa wanafunzi wenzako (Udemy). Ingawa walimu wanahimizwa kuwasiliana na wanafunzi wao kadiri wawezavyo, kumbuka kwamba mwalimu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya wanafunzi ulimwenguni pote. Kwa kawaida, hataweza kuangalia kazi zote. Hata ingawa bado unaweza kutegemea wanafunzi wengine kwa usaidizi, ukweli huu unaweza kukatisha tamaa. Pia, kumbuka kuwa katika baadhi ya nchi, cheti cha dijiti hakichukuliwi kuwa uthibitisho halali wa uwezo wako. Diploma ya chuo au chuo kikuu kwa ujumla hupendelewa kuliko cheti kutoka kwa taasisi ya elimu mtandaoni. Hii ni kweli hasa kwa kazi kama vile uuguzi, teknolojia ya dawa, umekanika, na wataalamu wengine, ambao uwezo wao hauwezi kujifunza kutoka kwa filamu na ambao kazi yao ni ya kuhitaji sana (Vyuo Bora). Katika hali nyingine, licha ya ukweli kwamba ujuzi ni muhimu zaidi, elimu rasmi hata hivyo inavutia zaidi kwa waajiri watarajiwa. Kuna kampuni zinazojali zaidi kile unachoweza kufanya kuliko chuo ulichosoma, lakini kuzipata kunaweza kuchukua muda. Kwa ujumla, elimu ya mtandaoni ni chaguo linalofaa kwa wale wanaotaka kujifunza na wanajua mahitaji yao. Ingawa kuna shida kadhaa kwa njia hii ya kusoma, kama vile maswala ya ukaguzi wa mgawo. Bila kujali hisia zako kwenye vyeti vya mtandaoni, bado ni mbadala bora kwa yeyote anayetaka kujifunza zaidi. Kubadilika, kusoma kwa kasi ya mtu mwenyewe, na vifaa vya kufundishia vya hali ya juu ni faida zote. Hii ndiyo sababu mifumo ya kujifunza mtandaoni ni maarufu duniani kote. Uwezo wa kuanzisha na kudumisha furaha ya mteja ni hakikisho muhimu la uwezekano wa muda mrefu wa kampuni. Na kufanya kazi ili kudumisha utii wa walengwa. Inatumika ikiwa utendakazi wa kampuni unalenga wenyeji wa ndani au inatoa huduma kwa biashara zingine. Kazi na vitabu vingi vimetolewa kwa ajili ya utafiti wa somo hili na uundaji wa vipengele muhimu vya mwongozo. Toleo la hivi punde zaidi la Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja wa Bob E. Hayes linaweza kuchukuliwa kuwa mojawapo ya vitabu muhimu vya mwongozo kwa wanaoanzisha na mashirika yaliyoanzishwa kwa sababu ya mifano yake ya kina, inayoonyesha (meza na takwimu). Vyanzo vingi vinaweza kuwasilisha sababu mbalimbali kwa nini kuridhika kwa wateja ni muhimu kwa biashara. Inaweza kuonekana kuwa waandishi hurudia mada hiyo hiyo mara kadhaa, kiini chake ambacho ni dhahiri tangu mwanzo. Mafanikio ya kifedha ya kampuni na ushindani huamuliwa na jinsi inavyokidhi mahitaji ya watumiaji wake. Hayes hawachoshi wasomaji kwa maelezo marefu ya kwa nini kuridhika kwa mteja/uaminifu ni muhimu; badala yake, anataja vyanzo viwili vya msingi vya kuridhika kwa mteja/uaminifu (ubora na usalama wa kifedha), akitumia sehemu kubwa ya kazi yake kuchunguza jinsi ya kuhakikisha, kamili na maelezo ya kueleweka na fomula kwa ajili ya kielelezo zaidi. Kampuni inaweza kukumbana na matatizo mengi inapojaribu kuchanganua kuridhika kwa mteja na kuhakikisha kuwa mpango wa uaminifu unafuatwa, kutegemeana na mambo ya ndani na nje. Kunaweza pia kuwa na migogoro juu ya njia bora ya kupima. Hata hivyo, mbinu moja tofauti inaweza kutambuliwa—kwa mfano, kufuatilia maoni na hakiki za watumiaji kwenye mitandao ya kijamii na tovuti ya kampuni. Hayes anatumia karibu theluthi mbili ya kitabu chake kwa mada hii, akipima kiwango cha kuridhika cha mteja kupitia msururu wa dodoso za tasnia kuu tano kuu; maswali yanaweza kutayarishwa kwa kampuni yoyote kulingana na huduma au bidhaa. Pia ametoa idadi ya algoriti zinazosababisha dosari zote na anaweza kupata matokeo sahihi zaidi au kidogo. Tahadhari: kitabu kina fomula kadhaa ambazo zinaweza kuogopesha msomaji anayevutiwa na habari mpya. Hiki si kitabu cha msomaji wa kawaida; ni kitabu kwa wale wanaotafuta mbinu za kuhakikisha uaminifu wa wateja. Mzozo kuhusu tofauti kati ya kuridhika na uaminifu unapaswa kushughulikiwa. Makampuni mara nyingi hukosa tofauti hiyo moja muhimu, kulingana na nukuu kutoka kwa kitabu kipya cha Chad Keck. Uaminifu kwa mteja hufafanuliwa kama "mtu aliye tayari kuweka jina lake kwenye mstari na kutetea bidhaa au huduma yako kwa wengine," kulingana na yeye. Kupima Kutosheka na Uaminifu kwa Mteja kunakaribia kabisa kulenga kubainisha ikiwa kiwango cha kuridhika kinakuwa nia ya kupendekeza kampuni, jinsi ya kudumisha kuridhika zaidi, na jinsi ya kuhakikisha kazi thabiti. Kwa muhtasari, Chad Keck ni sahihi kwamba lengo kuu la kampuni linapaswa kuwa katika kupata uaminifu wa mteja, kwa kuwa hili ndilo linaloleta msingi thabiti wa wateja na, pamoja na mwitikio unaofaa kwa hali mbalimbali, faida kubwa hata wakati wa mdororo wa kiuchumi. Uaminifu wa mteja, kwa upande mwingine, huanza na furaha ya mteja, ambayo inapaswa kupimwa kwa uangalifu wakati wa kujua jinsi ya kushughulikia makosa yoyote ili kujumuisha data katika mkakati unaolenga kukuza na kudumisha uaminifu.
Baadhi za tovuti zinazotoa elimu ya mtandaoni ni kama zipi?
{ "text": [ "Udemy na Coursera" ] }
4858_swa
FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa. Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu. Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata watoto wadogo na mchungaji. Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi. Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha usawa wao. Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine. Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu. Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao. Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na chanjo za kila mwaka zinazohitajika. Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao wananyanyaswa na kudhulumiwa. Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo. Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo. Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini wapi
{ "text": [ "Ufaransa" ] }
4858_swa
FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa. Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu. Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata watoto wadogo na mchungaji. Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi. Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha usawa wao. Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine. Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu. Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao. Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na chanjo za kila mwaka zinazohitajika. Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao wananyanyaswa na kudhulumiwa. Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo. Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo. Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki nini
{ "text": [ "Mnyama" ] }
4858_swa
FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa. Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu. Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata watoto wadogo na mchungaji. Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi. Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha usawa wao. Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine. Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu. Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao. Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na chanjo za kila mwaka zinazohitajika. Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao wananyanyaswa na kudhulumiwa. Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo. Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo. Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
Wanyama wa kipenzi ni nini ya kushangaza
{ "text": [ "Matibabu" ] }
4858_swa
FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa. Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu. Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata watoto wadogo na mchungaji. Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi. Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha usawa wao. Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine. Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu. Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao. Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na chanjo za kila mwaka zinazohitajika. Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao wananyanyaswa na kudhulumiwa. Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo. Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo. Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
Nini hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi
{ "text": [ "Mbwa" ] }
4858_swa
FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA KIPENZI Katika kaya nyingi, wanyama wa kipenzi wamekuwa kawaida. Hakika, itakuwa vigumu kupata kaya bila samaki, mbwa, paka, sungura, hamsters, au hata kasa. Mbwa na paka ni pets maarufu zaidi nchini Ufaransa. Kuna faida nyingi na hasara za kumiliki mnyama. Kama mshirika wa mmiliki wake, mwisho ni muhimu sana. Mbwa na paka, haswa, wamefugwa kwa maelfu ya miaka na wanachukuliwa kuwa karibu kabisa na wanadamu. Hawaishi tena porini, bali katika mazingira yaliyotengenezwa na binadamu. Mbwa wanajulikana kuwa marafiki bora wa wanaume kwa sababu wanaweza kuunda uhusiano wa karibu sana na wamiliki wao wa kibinadamu. Wamiliki wa mbwa wangekuambia kuhusu jinsi rafiki yao bora angekumbatiana nao kwa faraja na kuandamana nao popote pale. Hii ni ili waweze kufahamu taratibu zao, kama vile muda wa kulisha na wamiliki wao wanaporudi kutoka kazini. Wanyama wa kipenzi, kulingana na wataalam, ni matibabu ya kushangaza na wanaweza kupanua maisha ya wanadamu, haswa wazee na wajane. Wanyama, badala ya wenzao wa kibinadamu, huvutia hata watoto wadogo na mchungaji. Kutembea mbwa wa mtu ni njia nzuri ya kukaa katika sura. Kwa sababu critters hizi za miguu-minne zinahitaji shughuli nyingi ili kukaa sawa na afya. Wamiliki wengi wa mbwa lazima watenge wakati kila siku wa kutembea au kufanya mazoezi na wanyama wao wa kipenzi. Hii hairuhusu tu wamiliki wa wanyama wa kipenzi kuunda mawasiliano ya karibu na wanyama wao wa kipenzi, lakini pia inawaruhusu kujifunza zaidi kuwahusu. Walakini, pia inawalazimisha kufanya mazoezi na kudumisha usawa wao. Mbwa, haswa, angetoa maisha yake kwa bwana au bibi yake, pamoja na kuwa chanzo cha faraja na rafiki wa kila wakati. Kuna akaunti kadhaa za mbwa wanaotahadharisha wamiliki wao kuhusu majanga yanayotokea kama vile moto, ajali na uvunjaji, na hatimaye kuokoa maisha yao. Mbwa pia hutunzwa ili kulinda dhidi ya wavamizi na wezi mbele ya nyumba. Mbwa wa huduma na mbwa wa kunusa hutumiwa sana katika nchi za magharibi kama vile Marekani, Uingereza, na Uholanzi, miongoni mwa wengine. Mbwa wa huduma ya Labrador na Golden Retriever wamefunzwa kuwasaidia vipofu na wazee. Kuwasaidia katika majukumu ya kila siku kama vile kuvuka barabara, kujibu simu, kukusanya barua, na kadhalika. Kitengo cha Forodha kinatumia mbwa wa kunusa, huku jeshi la polisi likiwa na Polisi Kitengo cha mbwa na mbwa. Wamepewa mafunzo maalum ya kutambua dawa na vitu vingine vinavyoweza kuwa na madhara kama vile mabomu. Kuwa na kipenzi kuna shida kadhaa, muhimu zaidi ambayo ni jukumu la kuwatunza. Wamiliki wa wanyama wa kipenzi lazima watimize wajibu wao kwa kuwajibika kwa kuwalisha vizuri wanyama walio chini ya uangalizi wao. Kuwafanyia mazoezi na kuhakikisha kuwa wanapata matibabu pamoja na chanjo za kila mwaka zinazohitajika. Wamiliki wengi wa wanyama hawawajibiki na hawalishi wanyama wao wa kipenzi na paka. Kwa wakati, hasa, pamoja na kuhakikisha kwamba wanyama hawa wanachukuliwa kwa matembezi na kuoga mara kwa mara. Wanapohitaji matibabu, hupelekwa kwa mifugo. Hadithi nyingi za kuhuzunisha za mbwa na paka walioachwa huonekana, kusomwa na kusikika. Wakati mmiliki anaamini kuwa wanyama wameishi zaidi ya manufaa yao, hii inafanywa. Wengi wao wananyanyaswa na kudhulumiwa. Wamiliki wa wanyama vipenzi lazima wahakikishe kwamba mazingira yanadumishwa safi kwa kukusanya na kutupa kinyesi cha wanyama ipasavyo. Tunasoma mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kuhusu jinsi majirani wanavyokabiliwa na uvundo wa taka za wanyama na mbwa. Wamefungwa kwa minyororo kwa muda mrefu na, kwa sababu hiyo, gome bila kukoma, na kusababisha usumbufu na usumbufu katika eneo hilo. Matokeo yake, kuna faida zaidi za kumiliki mnyama kuliko vikwazo, kwani mnyama hutumikia kama chanzo cha uhusiano na faraja kwa wamiliki.
Ni hadithi zipi za kuhuzunisha kuhusu wanyama wapenzi
{ "text": [ "Wengi wananyanyaswa na kudhulumiwa" ] }
4861_swa
HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako. Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha. Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye mtu anayehusika. Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw. Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo, Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu." Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu. Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza kuthamini maisha ya wengine. Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha yake kwenye mstari kwa ajili yake. Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi, ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu, na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo, nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine. Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo. Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama. Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi. Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje. Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini, pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini. Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako ukielezea ziara yako kwa kina. Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana. Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani. Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko. Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu, mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au msongamano. Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea vizuri kila tulipoenda kula chakula! Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu, ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine. Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya vyakula vya haraka ya magharibi inakua. Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na sisi! Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua. Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana! Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
Mtu wa aina gani hutumiak kama kielekezo kwa wengine?
{ "text": [ "Mwenye nguvu" ] }
4861_swa
HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako. Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha. Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye mtu anayehusika. Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw. Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo, Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu." Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu. Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza kuthamini maisha ya wengine. Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha yake kwenye mstari kwa ajili yake. Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi, ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu, na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo, nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine. Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo. Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama. Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi. Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje. Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini, pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini. Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako ukielezea ziara yako kwa kina. Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana. Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani. Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko. Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu, mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au msongamano. Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea vizuri kila tulipoenda kula chakula! Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu, ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine. Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya vyakula vya haraka ya magharibi inakua. Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na sisi! Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua. Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana! Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
Mtu muhimu zaidi katika maisha ya mwandishi ni nani?
{ "text": [ "Mahatma Gandhi" ] }
4861_swa
HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako. Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha. Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye mtu anayehusika. Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw. Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo, Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu." Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu. Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza kuthamini maisha ya wengine. Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha yake kwenye mstari kwa ajili yake. Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi, ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu, na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo, nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine. Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo. Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama. Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi. Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje. Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini, pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini. Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako ukielezea ziara yako kwa kina. Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana. Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani. Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko. Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu, mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au msongamano. Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea vizuri kila tulipoenda kula chakula! Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu, ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine. Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya vyakula vya haraka ya magharibi inakua. Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na sisi! Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua. Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana! Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
Bw. Gandhi alizaliwa wapi?
{ "text": [ "Mohandas Karamchand Gandhi" ] }
4861_swa
HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako. Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha. Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye mtu anayehusika. Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw. Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo, Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu." Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu. Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza kuthamini maisha ya wengine. Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha yake kwenye mstari kwa ajili yake. Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi, ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu, na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo, nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine. Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo. Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama. Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi. Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje. Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini, pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini. Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako ukielezea ziara yako kwa kina. Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana. Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani. Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko. Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu, mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au msongamano. Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea vizuri kila tulipoenda kula chakula! Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu, ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine. Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya vyakula vya haraka ya magharibi inakua. Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na sisi! Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua. Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana! Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
Bw. Gandhi alijitolea kuboresha maisha ya watu gani?
{ "text": [ "Maskini" ] }
4861_swa
HAIBA YA BW. MAHATMA GANDHI NA UTAFITI OSAKA, JAPANI Fikiria hali ifuatayo: Mwalimu wako amekupa kazi ya kuandika insha kuhusu mmoja wa watu wako muhimu sana maishani mwako. Andika makala ukieleza sifa za mtu binafsi na athari katika maisha yako. Mtu mwenye nguvu hutumika kama kielelezo kwa wengine kuiga. Watu wengi ninaowafahamu huwataja wazazi wao au watu mashuhuri wa kisiasa. Au wafanyabiashara waliofanikiwa kama wanaoathiri mtazamo wao wa maisha. Kwa upande wangu, mtu muhimu zaidi katika maisha yangu alikuwa mtu wa kihistoria ambaye alikufa miongo mingi iliyopita. Mahatma Gandhi ndiye mtu anayehusika. Bw. Gandhi alizaliwa Mohandas Karamchand Gandhi katika familia ya Brahmin ya mboga mboga. Amewahi kuwa kielelezo kwangu. Hii ni pamoja na ukweli kwamba tumetenganishwa na kizazi. Mapenzi na kujitolea kwa Bw. Gandhi katika kuboresha maisha ya watu maskini wa India. Pia ni vyema kwamba wanafanya kazi ili kupatanisha uhasama kati ya Waislamu na Wahindu nchini India. Kwa kweli, hakuna maneno ya kutosha kuelezea mafanikio yake zaidi ya kusema kwamba alikuwa mtu mzuri. Kwa hiyo, Wahindi walimpa jina la "Mahatma," ambalo linamaanisha "Mkuu." Bw. Gandhi aliamini kabisa jinsi wanyama wanavyotendewa kwa utu. Alidharau uchinjaji wa wanyama ili kupata riziki. Anaamini kwamba maadili ya mtu yanaweza kuamuliwa na jinsi anavyowatendea wanyama. Kwa sababu hiyo, licha ya upinzani wa familia, nilianza kula mboga nikiwa na umri mdogo. Niliamini kabisa huruma yake kwa wanyama, na ninakubaliana naye kwamba tunaweza tu kuwa na maadili kamili ikiwa tutajifunza kuthamini maisha ya wengine. Bw. Gandhi, aliyeamini sana kutotenda jeuri, alikasirishwa na mateso na ukosefu wa haki ambao Wahindi walivumilia chini ya mamlaka ya kikoloni ya Uingereza. Watu walitendewa kama watumwa, na Waingereza hawakuwa na nia ya kuwapatanisha Waislamu na Wahindu. Bw. Gandhi hata aliweka maisha yake kwenye mstari kwa ajili yake. Bw. Gandhi aliuawa na mzalendo wa Kihindu mwenye jeuri ambaye alikasirishwa na huruma ya Bw. Gandhi kwa Waislamu. Kama Bw. Gandhi, ninaamini kwamba lazima tuwe na maadili yaliyoshirikiwa kama wanadamu, na kwamba dini haipaswi kuwa kizuizi cha ushirikiano. Kwa sababu hiyo, nikawa mshiriki wa Jumuiya ya Kitamaduni na Dini Mbalimbali ya shule yangu, ambayo mimi ndiye katibu wake. Tunapanga matukio mara kwa mara ambayo huwaleta wanafunzi wa rangi na dini nyingi pamoja ili kushiriki katika shughuli na kujifunza kutoka kwa mtu mwingine. Bw. Gandhi amekuwa na jukumu kubwa katika nafasi yangu ya sasa kama katibu wa Muungano wa Kusio na Vurugu. Licha ya kuwa nafasi hiyo iko katika ngazi ya jimbo pekee, najivunia mafanikio yangu kwa sababu bado ni kijana. Siku moja, rais wa jamii alinijia na kunipa nafasi hiyo. Alijifunza kuhusu kushiriki kwangu kwa bidii katika jamii za shule na vilevile Shirika la Kuzuia Ukatili kwa Wanyama. Bw. Gandhi alikuwa mwanamume mwenye sura dhaifu na mwenye kimo kifupi. Mwonekano wake unaweza kumdanganya mtu afikiri kwamba yeye ni dhaifu na asiye na msukumo. Yeye, hata hivyo, ni moto chini ya sehemu hiyo ya nje. Bw. Gandhi alipigania haki za watu wa rangi kama mwanasheria mwenye ujuzi na mafunzo. Wakati wa Enzi ya Apartheid nchini Afrika Kusini, pamoja na Waafrika. Alifungwa kwa sababu ya imani yake ya wazi kwamba sisi sote ni sawa, bila kujali rangi, rangi, au dini. Bw. Gandhi, kwa maoni yangu, hakuwa na dosari. Bila shaka, angekuwa na mapungufu akiwa mwanadamu, lakini sifa zake za ajabu za utu zinazidi sana na kuzidi kasoro zake. Ningependa kufuata nyayo za Bw. Gandhi na kupata shahada ya sheria, hatimaye kubobea katika sheria za haki za binadamu. Hilo lingeniwezesha kufanya kazi katika kundi lisilo la kiserikali linalotetea haki za wanyonge na wanaobaguliwa. Fikiria hali ifuatayo: Hivi majuzi ulikamilisha programu ya masomo ya wiki tatu katika shule ya Kijapani. Andika ripoti kwa mwalimu wako ukielezea ziara yako kwa kina. Nilikuwa mmoja wa Waindonesia 30 waliochaguliwa kuhudhuria programu ya majuma matatu ya funzo huko Osaka, Japani. Vigezo vya uteuzi vilikuwa vikali sana. Kwa kweli, nilitakiwa kufanya mtihani wa mdomo. Kwa bahati nzuri, walimu wangu walinisaidia kujiandaa kwa ajili yake. Maswali yaliundwa kimsingi kutathmini maarifa yetu mapana. Mombusho, Wizara ya Elimu ya Japani, iliratibu na kuunga mkono tukio hilo. Safari yetu ya kurudi, chakula, na posho kubwa ya maisha yote yalilipwa na wizara. Tulishukuru kwa ukarimu wao kwa sababu Japani ni mojawapo ya nchi zenye gharama kubwa zaidi duniani. Hii ilikuwa ni ziara yangu ya kwanza kabisa nchini Japani. Ningesoma vitabu kuhusu Japani na kusikia hadithi kuhusu utamaduni wao wa kuvutia kutoka kwa watu wa ukoo waliotembelea nchi hiyo. Lakini hakuna kitu ambacho kingeweza kunitayarisha kwa wakati wa ajabu niliokuwa nao huko. Washiriki walipewa mgawo wa familia ya Wajapani kwa muda wote wa programu. Familia ambayo nilikaa nayo ilikuwa yenye neema, ukarimu, na unyenyekevu sana. Nilichukuliwa kama mkuu kabisa! Kwa majuma matatu, mtoto wao alikuwa mwanafunzi katika shule niliyotumwa, nasi tulisafiri kwenda shuleni kwa gari-moshi. Usafiri wa umma ni mzuri sana, lakini pia ni ghali. Kwenye gari, sikukutana na msongamano wowote wa magari au msongamano. Shuleni, ilikuwa uzoefu wa ajabu kwangu wa kujifunza. Nilipata upesi uwezo wa kimsingi wa lugha ya Kijapani, na kuniruhusu kuwasiliana na wanafunzi bila shida. Wanafunzi huko walikuwa tayari kunisaidia na wasomi wangu, haswa kwa shida ngumu za hesabu. Mwanafunzi wa kawaida wa Kijapani ana mapendeleo mengi. Yeye pia ni mwanariadha na ana uwezo wa kuchambua na kuandika kwa umakini na ubunifu. Wengi wao pia hufanya kazi kwa muda ili kuongeza mapato yao. Licha ya ukweli kwamba wengi wao wanatoka katika familia tajiri, wao ni wenye adabu, wamevaa vizuri, na daima wana heshima na wanyenyekevu. Walinipendeza sana, na walinitendea vizuri kila tulipoenda kula chakula! Wana tabia ya kuvutia sana na isiyo ya kawaida. Kukunja sehemu ya juu ya mwili ili kukiri nyingine ni ujuzi ambao nimeuchukua. Kwa maoni yangu, ni ibada nzuri inayoonyesha heshima kwa nyingine. Chakula ni uzoefu mwingine kabisa. Watu wengi wa Kijapani wanafurahia vyakula vya baharini, ambayo inaeleza kwa nini wao ni wembamba na wenye afya. Pia wanakula mboga nyingi, na ilikuwa ni kwa sababu yao kwamba nilianza kula mboga zaidi. tempura na sahani nyingine za chakula cha baharini ni ladha kabisa! Walakini, sishiriki mapenzi yao ya ajabu kwa samaki mbichi na kamba! Walakini, nimeona kuwa idadi ya maduka ya vyakula vya haraka ya magharibi inakua. Ambayo inazidi kuwa maarufu miongoni mwa vijana wa Japan. Nina hakika haitachukua muda mrefu kabla ya kukabiliana na masuala ya uzito sawa na sisi! Kulikuwa na matukio mengi ya kukumbukwa kwangu huko. Kuna wakati nilipotea katika kituo cha ununuzi. Wenyeji wangu wa Kijapani walikuwa wamejificha kwenye boutique iliyo karibu, ambayo sikuweza kuigundua. Bwana mmoja mzee alinisaidia kikweli kuwatafuta. Kwa kweli, licha ya maandamano yangu, alinihudumia kwa chakula cha mchana! Wakati wangu huko Japani ulithibitika kuwa wenye thamani sana. Nia yangu pekee ni kwamba wanafunzi wengi wa Indonesia wapate fursa ya kujifunza kuhusu utamaduni na mazingira ya shule nchini Marekani.
Makundi yapi mawili yana uhasama nchini India?
{ "text": [ "Waislamu na Wahindu" ] }
4862_swa
HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine ingeweza. Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri, hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi. Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika. Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote. Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'. Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo, kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa. Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine. Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari. Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa yalifanywa. Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,' ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza mahitaji ya sayansi na teknolojia. Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake, hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi ambazo zinaweza kufanya kazi. Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio. Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia, ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo, yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba! Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku, mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani." Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya ongezeko la watu duniani utahatarishwa. Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi, au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla? Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu. Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya kisukuku. Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu. Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2. Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi. Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga. Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya kuinyonya na kuitupa. Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa, zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu, njia ya kuchukua. Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta. Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
Lugha inaruhusu nani kuwasilisha mawazo yake
{ "text": [ "mzungumzaji" ] }
4862_swa
HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine ingeweza. Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri, hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi. Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika. Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote. Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'. Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo, kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa. Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine. Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari. Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa yalifanywa. Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,' ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza mahitaji ya sayansi na teknolojia. Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake, hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi ambazo zinaweza kufanya kazi. Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio. Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia, ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo, yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba! Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku, mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani." Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya ongezeko la watu duniani utahatarishwa. Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi, au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla? Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu. Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya kisukuku. Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu. Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2. Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi. Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga. Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya kuinyonya na kuitupa. Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa, zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu, njia ya kuchukua. Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta. Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
Nini inahitajika kwa msaidizi wa duka
{ "text": [ "Hesabu" ] }
4862_swa
HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine ingeweza. Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri, hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi. Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika. Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote. Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'. Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo, kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa. Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine. Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari. Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa yalifanywa. Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,' ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza mahitaji ya sayansi na teknolojia. Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake, hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi ambazo zinaweza kufanya kazi. Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio. Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia, ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo, yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba! Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku, mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani." Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya ongezeko la watu duniani utahatarishwa. Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi, au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla? Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu. Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya kisukuku. Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu. Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2. Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi. Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga. Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya kuinyonya na kuitupa. Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa, zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu, njia ya kuchukua. Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta. Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
Hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili" ilikuwa kweli hadi lini
{ "text": [ "1800" ] }
4862_swa
HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine ingeweza. Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri, hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi. Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika. Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote. Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'. Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo, kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa. Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine. Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari. Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa yalifanywa. Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,' ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza mahitaji ya sayansi na teknolojia. Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake, hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi ambazo zinaweza kufanya kazi. Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio. Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia, ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo, yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba! Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku, mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani." Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya ongezeko la watu duniani utahatarishwa. Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi, au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla? Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu. Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya kisukuku. Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu. Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2. Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi. Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga. Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya kuinyonya na kuitupa. Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa, zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu, njia ya kuchukua. Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta. Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
Ulimwengu gani uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari
{ "text": [ "wa Kihindu-Kiarabu" ] }
4862_swa
HISABATI KAMA LUGHA KAMILIFU ZAIDI NA NYUMBA YA KIJANI Lugha, kwa ukali, ni njia ya maneno ya mawasiliano ambayo inaruhusu mzungumzaji kuwasilisha mawazo yake kwa mtu mwingine. Kadiri mawazo au mawazo yanavyozidi kuwa magumu, ndivyo lugha inavyozidi kuwa ngumu au nzito. Eleza kwa nini "mraba kwenye hypotenuse ya pembetatu yenye pembe ya kulia ni sawa na jumla ya miraba kwenye pande zingine mbili" kwa maneno. Ingehitaji ama insha ndefu na yenye utumishi au walimu bora wa hesabu. Na huu ndio mfano wa msingi kabisa unaowezekana; chochote ngumu zaidi hakingewezekana kudhibiti. Matokeo yake, alama za hisabati ambazo sasa zinakubaliwa ulimwenguni pote. Ukweli huu unaunga mkono kauli za mada kwani inabana habari kwa njia ambayo hakuna 'lugha' nyingine ingeweza. Hata hivyo, watu wengi wanaweza tu kuelewa 'lugha' hii katika mifumo yake ya kimsingi. Masomo haya, kama vile hesabu, aljebra, na jiometri, hufundishwa shuleni. Kwa sababu hutumiwa kila siku. Hesabu inahitajika kwa msaidizi wa duka. Isipokuwa kuna rejista ya pesa kiotomatiki, na teknolojia zote zinahitaji zingine mbili; ikiwezekana zaidi. Trigonometry, logarithms, na calculus ni mifano. Ikiwa anahusika na kiasi kinachobadilika kwa wakati na nafasi, sheria hii inatumika. Hisabati ni, bila shaka, lugha ya wachache katika suala hili. Ni lugha ambayo inaweza tu kueleweka na wataalamu kutoka duniani kote. Walakini, kunaweza kuja siku ambapo maarifa ya hali ya juu ya hisabati yataenea zaidi. Shule nyingi sasa zinafundisha hisabati 'mpya'. Wanafunzi wadogo hupata njia mpya zinazoeleweka zaidi zinapotumiwa pamoja na mkabala wa kimapokeo. Bila shaka, mambo ya msingi hayajabadilika. Ni suala la kuweka kila kitu chini. Wanafunzi wadogo, kwa upande mwingine, wanaweza kufikia maendeleo mazuri ambayo yanawaruhusu kuona somo kwa ujumla. Badala ya kugawanywa katika mgawanyiko wa mtu binafsi. Hii inapaswa kuibua shauku ya watu ambao mwelekeo wao wa asili ni kuelekea sanaa. Imesemwa kwamba hisabati ni "kiini cha falsafa ya asili," na bila shaka hii ilikuwa kweli hadi karibu 1800. Katika Uchina, India, ulimwengu wa Kiarabu, na Ulaya, somo hilo lilikuzwa kwa kujitegemea. Wanajiometri wengi kutoka shule za Alexandria na Kigiriki, kwa mfano. Thales wa Mileto, Pythagoras, Euclid, na Archimedes walikuwa miongoni mwa wale waliowaonyesha. Waliendeleza mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa na Pythagoras, Euclid, Archimedes, na wengine. Pia walisukuma mawazo ambayo tayari yalikuwa yamependekezwa mahali pengine. Ulimwengu wa Kihindu-Kiarabu uliipa Magharibi mfumo wake wa nambari. Karibu 1000 AD, ilienda Ulaya. Ulimwengu wa Kiarabu ulifundisha hisabati za Magharibi. Kuanzia karne ya 15 na kuendelea, maendeleo makubwa yalifanywa. Descartes alifufua jiometri ya aljebra, Napier aliunda logariti, na Newton na Leibnitz walitengeneza calculus. Lobachevsky alikuwa wa kwanza kuunda jiometri isiyo ya Euclidian, ambayo baadaye ilifuatiwa na Einstein. Ingawa alikuwa mwanafizikia badala ya mwanahisabati. Mechanics na astronomy zilianza kutumia hisabati ngumu baada ya Newton. Fizikia baadaye iliwekwa kwa njia hiyo hiyo. Hisabati, 'safi' na 'iliyotumika,' ikawa zana muhimu kwa ukuaji. Mtazamo wa kipunguzo hutumiwa katika hisabati safi kufikia hitimisho. Na inawezekana kwamba haitegemei hitaji. Applied hisabati ni tawi la hisabati ambalo hukua ili kutimiza mahitaji ya sayansi na teknolojia. Kwa sababu hiyo, hisabati imebadilika na kuwa 'lugha nzuri' kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa, katika uwezo wake wa kufupisha habari. Kama vile mshairi mashuhuri anavyotumia lugha kubwa ya matusi kuunda athari zinazohitajika. Pili, kwa sababu alama zake, au zana, zinatambulika ulimwenguni pote. Sababu ya tatu ni kwamba ni lengo kabisa. Na yote ni sahihi sana, bila nafasi ya ubaguzi au hisia za kibinadamu. Nne, ni ardhi yenye rutuba ya dhahania mpya wakati wote. Mantiki na uchunguzi hutumiwa kuangalia haya. Matokeo ya hisabati, kama Pythagoras', yanaweza kuthibitishwa mara kwa mara kupitia mbinu zingine. Matokeo yake, hisabati ina uwezo wa kumleta mwanadamu karibu na ukweli wa mwisho kuliko njia nyingine yoyote. Hiyo ni mojawapo ya kategoria za ugunduzi ambazo zinaweza kufanya kazi. Neno "hisabati" linamaanisha "ukweli" ambao umethibitishwa na majaribio. Mambo haya yana ukweli katika nyanja nne ambazo akili ya mwanadamu inaweza kufanya kazi. Kulingana na Stephan Hawking, vipimo vilivyosalia, ikiwezekana sita, lazima vipondwe katika nafasi ndogo. Kwa sababu hiyo, yaelekea watabaki kuwa mamlaka ya Muumba! Kwanza kabisa, ni nini athari hii? Moshi kutoka kwa nishati ya kisukuku, mafuta, gesi asilia, na hasa makaa ya mawe umeweka kaboni dioksidi katika sehemu ya chini ya angahewa ya juu ya dunia tangu Mapinduzi ya Viwandani yalipoanza katika karne ya 18. Kwa sababu hiyo, sehemu ya nishati inayotolewa na miale ya jua inayoakisiwa kutoka kwenye uso wa dunia ilifyonzwa na kaboni dioksidi na mvuke wa maji na kurudishwa duniani katika umbo la joto. Mazingira yanakuwa kwa kasi kama ya Nyumba ya Kijani, Thud. Kioo huruhusu mwanga ndani lakini huzuia joto. Matokeo yake ni jambo linalojulikana kama "ongezeko la joto duniani." Kulingana na shule moja ya fikra, athari itakuwa badiliko la halijoto ya sayari, pamoja na kupanda kwa oksidi ya nitrojeni, gesi ya methane, na FREONS. Kufikia katikati ya karne ya ishirini, wastani wa halijoto unatarajiwa kupanda kwa nyuzi joto 5 (digrii 9 F). Barafu na vifuniko vya barafu vya polar vitayeyuka kutokana na hili. Nchi nyingi za ukanda wa chini zitafurika na maji ya pwani. Uzalishaji wa chakula kwa ajili ya ongezeko la watu duniani utahatarishwa. Bila shaka, si kila mtu anaamini hali hii, ingawa viwango vya CO2 katika angahewa ya chini hufuatiliwa mara kwa mara na ukweli kwamba vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Swali ni ikiwa ongezeko lililotabiriwa la joto la wastani litatokea. Kwa muda mrefu, ikiwa sio milenia, hakujawa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na wapinzani wa wafanyabiashara wa adhabu wanadai kwamba asili ina vikwazo vyake vya uharibifu na utaratibu wa kujirekebisha. Zaidi ya hayo, hakuna ushahidi wa ongezeko la joto duniani kwa wakati huu. Hali ya hewa nchini Uingereza, kwa mfano, inafanana sana na ilivyokuwa nyakati za Washindi, au hata nyakati za Warumi. Kwa nini ibadilike ghafla? Makaa ya mawe yamechomwa kila wakati, kama vile kuni na mkaa ilivyokuwa kabla yake. Moto wa misitu umekuwa shida kila wakati. Milipuko ya volkeno na milipuko, kama ile ya Krakatoa mnamo 1883, daima imetuma kiasi kikubwa cha gesi zenye sumu kwenye mazingira. Baada ya mlipuko huo, wingu la vumbi na gesi lilitanda kote Ulaya, likifanya jua kuwa giza kwa miezi sita hadi kupotea kwa kawaida. Katika eneo la Java-Sumatra, mawimbi makubwa yalizama watu 36,000. Uharibifu wa asili unazidi sana mchango wowote wa mwanadamu. Hata hivyo, watu wengi wana wasiwasi kuhusu suala la 'chafu', na idadi kubwa ya watu binafsi katika nchi nyingi zenye viwanda vingi wanashawishi kwa nguvu dhidi ya matumizi yanayoendelea ya nishati ya kisukuku. Ni wakati tu ndio utasema ikiwa ni sahihi au ni ya kushangaza tu. Walakini, ukweli kwamba viwango vya CO2 vinaongezeka ni jambo lisilopingika. Zaidi ya hayo, athari ya Nyumba ya Kijani ni jambo linalowezekana kabisa, hata kama liko mbali. Mzozo wa nyuklia pia unawezekana, ingawa hauwezekani, lakini nchi za kidemokrasia zinachukua tahadhari zote kuhakikisha kuwa hazitokei. Kama matokeo, kila juhudi inapaswa kufanywa ili kupunguza, ikiwa sio kuondoa, uzalishaji wa CO2. Tayari kuna makubaliano nchini Marekani na Ulaya ya kupunguza au kukomesha matumizi ya nishati ya kisukuku kwa tarehe mahususi. Suala ni kwamba nchi nyingi zinategemea nishati ya mafuta badala ya nishati ya nyuklia. Makaa ya mawe, pamoja na, uwezekano mkubwa, mafuta na gesi asilia, ni karibu bila kikomo. Shimo nyingi nchini Uingereza zimefungwa, na kusababisha ukosefu wa ajira ulioenea na mateso mengi ya wanadamu. Sekta ya makaa ya mawe inatetea upunguzaji wa hewa chafu, na maelewano ya kiuchumi na kimazingira yanaweza kufikiwa. Wanadai kuwa ingekuwa ghali kuliko kubadili kabisa nishati ya nyuklia, ambayo, kwa vyovyote vile, inaweza kusababisha hatari za kiafya na hata majanga. Ishara moja ya kutia moyo ni kwamba watetezi wa vyanzo vyote vya nishati wanaamini kwamba kila kizazi kina deni kwa sayari kuilinda badala ya kuinyonya na kuitupa. Mimea ya kizamani yenye viwanda vizito ndiyo wahusika wabaya zaidi katika suala la C02. Kwa mfano, wale walio katika Ruhr, Ujerumani Mashariki, na Muungano wa Sovieti. Kisha kuna mitambo ya nishati ya makaa ya mawe. Sehemu kubwa ya vifaa vya zamani vya viwandani vimeboreshwa au kubadilishwa, na nchi zingine, kama Ufaransa, zimebadilisha nguvu za nyuklia karibu kabisa. Hiyo ni, kwa uamuzi wangu, njia ya kuchukua. Siamini kuwa kwa vyovyote vile, athari ya Nyumba ya Kijani ingekuwa na matokeo mabaya ambayo yametabiriwa. Hata hivyo ni hatari ambayo hatupaswi kuchukua. Teknolojia ya kisasa imeshinda matumizi ya mafuta. Na mbali na hatari zozote zinazoweza kutokea kwa vizazi vijavyo, aina ya dunia ambayo tunawakabidhi inapaswa kuwa safi, yenye afya. Na ulimwengu mzuri, kama Muumba alivyokusudia.
Mbona applied Hisabati hukua
{ "text": [ "ili kutimiza mahitaji ya sayansi na teknolojia" ] }
4863_swa
HOMA KALI Jumba la zamani la magogo lililotelekezwa linaweza kupatikana juu katika nyanda za juu za Kenya. Ilikuwa inamilikiwa na wanandoa wachanga ambao walitaka kutoka kwa machafuko ya maisha ya kisasa. Walikuwa mamia ya maili kutoka makazi ya karibu. Omari, mume, alikwenda mjini kila mara na tena ili kupata mahitaji, huku Jan, mke wake, akitumia wakati wake wa burudani kushona kwa moto. Maisha yao yalikuwa kamili tu. Kisha, katikati ya majira ya baridi kali, Jan aliamka akiwa na maumivu ya ajabu katika mifupa yake. Omari alimuwahisha kitandani na kuhakikisha amepumzika huku akilaumu juu ya kufanya kazi kupita kiasi. Jan alikosa subira ya kuanza kazi zake, lakini Omari alimtuliza "Sugar, jipe ​​raha. Unaenda mbali kidogo. Majukumu yote haya yatakungoja baada ya kupona." Jan, kwa upande mwingine, alionekana kudhoofika badala ya kuimarika. Alikuwa na homa kali na alikuwa na maumivu mengi kufikia jioni. Licha ya jitihada zake nyingi, Omari hakuweza kupunguza uchungu wake. Kisha, ghafla, akapoteza fahamu. Ilikuwa wazi wakati huo kwamba alikuwa mgonjwa sana. Omari angeweza kufanya nini? Hajawahi kumtibu mtu mgonjwa hapo awali, na Jan alikuwa anazidi kuwa mbaya kwa dakika. Alijua kwamba mji huo ulikuwa na daktari mzee, lakini aliishi maili tatu kutoka chini kwenda chini. daktari, potbellied na nzito, alikuwa na nafasi ndogo ya kufika kwa cabin yao. Kitu kilipaswa kufanywa haraka iwezekanavyo! Omari alipiga akili zake lakini hakupata chochote. Ilikuwa ni suala la kwenda kwa daktari tu. Jan hakuweza kamwe kutembea mbali sana kwenye theluji inayofika kiunoni katika hali yake. Angelazimika kubebwa na Omari! Omari alisumbua ubongo wake kutafuta njia ya kupata maskini, Jan mgonjwa ili asogee. Kisha akakumbuka kitu. Wakati fulani alikuwa amewajengea godoro ili wapande mlima pamoja. Hata hivyo, kwa sababu mlima wote ulikuwa umefunikwa kwa mawe na miti, hawakupata kamwe kuutumia. Hajawahi, hata mara moja, kupata njia salama chini. Alipokuwa akichimba kilemba nje ya ghala, alijiwazia, "Vema, inaonekana kama itanilazimu kuijaribu kwa vyovyote vile." "Ikiwa sitampeleka Jan kwa daktari, anaweza kufa, na maisha sio kitu kwangu bila yeye." Akiwa na hili akilini, Omari alimwingiza Jan kwa upole kwenye sleji, akapanda mbele, na kusukumana na maombi kidogo ya usalama. Omari hajui jinsi walivyofanikiwa kupitia safari hiyo wakiwa hai. Alifarijika kwamba Jan hakuwa macho kushuhudia safari hiyo huku miti ikinyanyuka mbele yake na kisha kupepesuka pembeni yake, karibu kiasi cha kugusa. Ni jambo pekee aliloweza kufanya ili asipige kelele kila wakati mgongano ulipotokea, akiwa amebakisha inchi tu. Hatimaye kijiji kilionekana, kikipuka kutoka kwenye mlima. Walikimbia katika barabara zenye baridi kali, huku wakipunguza mwendo wa kasi walipofika karibu na nyumba ya daktari. Iliposimama, slaidi iliyovunjika ilianguka kwenye ski ya kushoto, na kuwatapika watu wake. Omari aliingia katika ofisi ya daktari baada ya kumchukua Jan. Jan alipata nafuu kutokana na ugonjwa wake baada ya kile kilichohisi kama majira ya baridi kali, lakini Omari hakupata nafuu kutokana na hofu yake. Walikaa katika mji mdogo ili kuwa karibu na kusaidia wakati wa uhitaji, na wamekuwa huko tangu wakati huo.
Mume alijulikana aje
{ "text": [ "Omari" ] }
4863_swa
HOMA KALI Jumba la zamani la magogo lililotelekezwa linaweza kupatikana juu katika nyanda za juu za Kenya. Ilikuwa inamilikiwa na wanandoa wachanga ambao walitaka kutoka kwa machafuko ya maisha ya kisasa. Walikuwa mamia ya maili kutoka makazi ya karibu. Omari, mume, alikwenda mjini kila mara na tena ili kupata mahitaji, huku Jan, mke wake, akitumia wakati wake wa burudani kushona kwa moto. Maisha yao yalikuwa kamili tu. Kisha, katikati ya majira ya baridi kali, Jan aliamka akiwa na maumivu ya ajabu katika mifupa yake. Omari alimuwahisha kitandani na kuhakikisha amepumzika huku akilaumu juu ya kufanya kazi kupita kiasi. Jan alikosa subira ya kuanza kazi zake, lakini Omari alimtuliza "Sugar, jipe ​​raha. Unaenda mbali kidogo. Majukumu yote haya yatakungoja baada ya kupona." Jan, kwa upande mwingine, alionekana kudhoofika badala ya kuimarika. Alikuwa na homa kali na alikuwa na maumivu mengi kufikia jioni. Licha ya jitihada zake nyingi, Omari hakuweza kupunguza uchungu wake. Kisha, ghafla, akapoteza fahamu. Ilikuwa wazi wakati huo kwamba alikuwa mgonjwa sana. Omari angeweza kufanya nini? Hajawahi kumtibu mtu mgonjwa hapo awali, na Jan alikuwa anazidi kuwa mbaya kwa dakika. Alijua kwamba mji huo ulikuwa na daktari mzee, lakini aliishi maili tatu kutoka chini kwenda chini. daktari, potbellied na nzito, alikuwa na nafasi ndogo ya kufika kwa cabin yao. Kitu kilipaswa kufanywa haraka iwezekanavyo! Omari alipiga akili zake lakini hakupata chochote. Ilikuwa ni suala la kwenda kwa daktari tu. Jan hakuweza kamwe kutembea mbali sana kwenye theluji inayofika kiunoni katika hali yake. Angelazimika kubebwa na Omari! Omari alisumbua ubongo wake kutafuta njia ya kupata maskini, Jan mgonjwa ili asogee. Kisha akakumbuka kitu. Wakati fulani alikuwa amewajengea godoro ili wapande mlima pamoja. Hata hivyo, kwa sababu mlima wote ulikuwa umefunikwa kwa mawe na miti, hawakupata kamwe kuutumia. Hajawahi, hata mara moja, kupata njia salama chini. Alipokuwa akichimba kilemba nje ya ghala, alijiwazia, "Vema, inaonekana kama itanilazimu kuijaribu kwa vyovyote vile." "Ikiwa sitampeleka Jan kwa daktari, anaweza kufa, na maisha sio kitu kwangu bila yeye." Akiwa na hili akilini, Omari alimwingiza Jan kwa upole kwenye sleji, akapanda mbele, na kusukumana na maombi kidogo ya usalama. Omari hajui jinsi walivyofanikiwa kupitia safari hiyo wakiwa hai. Alifarijika kwamba Jan hakuwa macho kushuhudia safari hiyo huku miti ikinyanyuka mbele yake na kisha kupepesuka pembeni yake, karibu kiasi cha kugusa. Ni jambo pekee aliloweza kufanya ili asipige kelele kila wakati mgongano ulipotokea, akiwa amebakisha inchi tu. Hatimaye kijiji kilionekana, kikipuka kutoka kwenye mlima. Walikimbia katika barabara zenye baridi kali, huku wakipunguza mwendo wa kasi walipofika karibu na nyumba ya daktari. Iliposimama, slaidi iliyovunjika ilianguka kwenye ski ya kushoto, na kuwatapika watu wake. Omari aliingia katika ofisi ya daktari baada ya kumchukua Jan. Jan alipata nafuu kutokana na ugonjwa wake baada ya kile kilichohisi kama majira ya baridi kali, lakini Omari hakupata nafuu kutokana na hofu yake. Walikaa katika mji mdogo ili kuwa karibu na kusaidia wakati wa uhitaji, na wamekuwa huko tangu wakati huo.
Mke alijulikanaje
{ "text": [ "Jan" ] }
4863_swa
HOMA KALI Jumba la zamani la magogo lililotelekezwa linaweza kupatikana juu katika nyanda za juu za Kenya. Ilikuwa inamilikiwa na wanandoa wachanga ambao walitaka kutoka kwa machafuko ya maisha ya kisasa. Walikuwa mamia ya maili kutoka makazi ya karibu. Omari, mume, alikwenda mjini kila mara na tena ili kupata mahitaji, huku Jan, mke wake, akitumia wakati wake wa burudani kushona kwa moto. Maisha yao yalikuwa kamili tu. Kisha, katikati ya majira ya baridi kali, Jan aliamka akiwa na maumivu ya ajabu katika mifupa yake. Omari alimuwahisha kitandani na kuhakikisha amepumzika huku akilaumu juu ya kufanya kazi kupita kiasi. Jan alikosa subira ya kuanza kazi zake, lakini Omari alimtuliza "Sugar, jipe ​​raha. Unaenda mbali kidogo. Majukumu yote haya yatakungoja baada ya kupona." Jan, kwa upande mwingine, alionekana kudhoofika badala ya kuimarika. Alikuwa na homa kali na alikuwa na maumivu mengi kufikia jioni. Licha ya jitihada zake nyingi, Omari hakuweza kupunguza uchungu wake. Kisha, ghafla, akapoteza fahamu. Ilikuwa wazi wakati huo kwamba alikuwa mgonjwa sana. Omari angeweza kufanya nini? Hajawahi kumtibu mtu mgonjwa hapo awali, na Jan alikuwa anazidi kuwa mbaya kwa dakika. Alijua kwamba mji huo ulikuwa na daktari mzee, lakini aliishi maili tatu kutoka chini kwenda chini. daktari, potbellied na nzito, alikuwa na nafasi ndogo ya kufika kwa cabin yao. Kitu kilipaswa kufanywa haraka iwezekanavyo! Omari alipiga akili zake lakini hakupata chochote. Ilikuwa ni suala la kwenda kwa daktari tu. Jan hakuweza kamwe kutembea mbali sana kwenye theluji inayofika kiunoni katika hali yake. Angelazimika kubebwa na Omari! Omari alisumbua ubongo wake kutafuta njia ya kupata maskini, Jan mgonjwa ili asogee. Kisha akakumbuka kitu. Wakati fulani alikuwa amewajengea godoro ili wapande mlima pamoja. Hata hivyo, kwa sababu mlima wote ulikuwa umefunikwa kwa mawe na miti, hawakupata kamwe kuutumia. Hajawahi, hata mara moja, kupata njia salama chini. Alipokuwa akichimba kilemba nje ya ghala, alijiwazia, "Vema, inaonekana kama itanilazimu kuijaribu kwa vyovyote vile." "Ikiwa sitampeleka Jan kwa daktari, anaweza kufa, na maisha sio kitu kwangu bila yeye." Akiwa na hili akilini, Omari alimwingiza Jan kwa upole kwenye sleji, akapanda mbele, na kusukumana na maombi kidogo ya usalama. Omari hajui jinsi walivyofanikiwa kupitia safari hiyo wakiwa hai. Alifarijika kwamba Jan hakuwa macho kushuhudia safari hiyo huku miti ikinyanyuka mbele yake na kisha kupepesuka pembeni yake, karibu kiasi cha kugusa. Ni jambo pekee aliloweza kufanya ili asipige kelele kila wakati mgongano ulipotokea, akiwa amebakisha inchi tu. Hatimaye kijiji kilionekana, kikipuka kutoka kwenye mlima. Walikimbia katika barabara zenye baridi kali, huku wakipunguza mwendo wa kasi walipofika karibu na nyumba ya daktari. Iliposimama, slaidi iliyovunjika ilianguka kwenye ski ya kushoto, na kuwatapika watu wake. Omari aliingia katika ofisi ya daktari baada ya kumchukua Jan. Jan alipata nafuu kutokana na ugonjwa wake baada ya kile kilichohisi kama majira ya baridi kali, lakini Omari hakupata nafuu kutokana na hofu yake. Walikaa katika mji mdogo ili kuwa karibu na kusaidia wakati wa uhitaji, na wamekuwa huko tangu wakati huo.
Jani alidhoofika kwa sababu ya nini
{ "text": [ "Homa" ] }