Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
3614_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana ni chanzo cha uozo katika jamii kwa sababu uhusiano huu husababisha mimba za mapema kwa wasichana. Ujauzito huu huleta ugomvi baina yao na wazazi wao. Ujauzito wa mapema pia hawafanya wasichana kuwa na uoga, kukejeliwa na kufukuzwa wa shuleni. Mimba za mapema pia huwafanya wasichana kutoa mimba, hii husababisha vifo ama utasa. Ujauzito huu pia hawafanya wasichana kuacha shule kwa sababu wenzao wanawacheka. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana pia huwafanya vijana kuwa waraibu wa dawa za kulevya. Hii hutokea kijana anapohusiana kimapenzi na mwenzake ambaye anatumia dawa za kulevya. Wakati mwingi, tatizo hili hutokea mtu anapomwambia mpenzi wake kuwa kama anampenda basi atumie dawa za kulevya kama yeye anavyozitumia ili adhibitishe mapenzi yake. Uhusiano huu pia husambaza magonjwa sugu ya aina mbalimbali kwa kasi. Hii husababishwa ikiwa kijana atahusiana na mtu anaye hanya hanya. Magonjua haya sugu husambazwa kwa njia mbali mbali kama vile ngono, kutumia vifaa kama vile nyembe, sindano na kadhalika na mtu ambaye ana ugonjwa. Ili kuzuia hili kutokea, inafaa vijana waende zahanatini wapimwe ili wawe na uhakika wa hali yao, na pia kuwa waminifu kwa wapenzi wao. Uhusiano huu husababisha ndoa za mapema. Hii hutokea msichana anapopata ujauzito, na anakataliwa na wazazi wake, wakimwamuru kuwa aende kwa aliyempachika ujauzito. Tatizo hili huwalazimisha wasichana kuolewa mapema kwa wavulana waliowapachika mimba. Uhusiano huu huwafanya vijana kuwa watovu wa nidhamu. Hili hutokea vijana wapowajibiza wazazi wao na kutowatii kwa sababu wameambiwa na wapenzi wao kuwa wazazi wamezeeka na hawajui wafanyacho. Vijana wanakosa kuwatii wazazi wao wanapopewa kazi wakati ambapo wao wanafikiria kuwa wanafaa kuwa na wapenzi wao. Uhusiano huu pia hawafanya vijana kutoroka kutoka nyumbani kwao ili wawe na wapenzi wao. Hii husababisha utengano katika familia. Hii pia huwafanya wazazi kuwachukia wana wao kwa sababu ya kuacha masomo yao ili wawe na wapenzi wao. Uhusiano huu pia huwafanya vijana kuiba mali ya wazazi wao. Hii hutokea kijana anapotaka kupata pesa za kumpelekea mpenzi wake. Tatizo hili huwafanya vijana pia kuwaibia watu njiani na madukani. Hii husababisha vifo wakati ambapo hawa vijana hawa hushikwa na kuuawa kinyama kwa sababu ya wizi. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wanaotoka katika familia za kimaskini kushiriki mapenzi na wafadhili wao ambao wana umri mkubwa ili wapate pesa za mahitaji yao ya kila siku. Suala hili pia husambaza magonjwa kwa vijana hawa. Changamoto hizi zinazotokana na uhusiano wa kimapenzi zinaweza zikatatutuliwa kwa njia mbalimbali kama vile wazazi kuwapa watoto wao ushauri kuhusu matokeo ya kuhusiana kimapenzi katika umri wao mdogo, serikali kutoa vipindi vya mawaidha katika vyuo mbalimbali, vipindi vya runinga vinavyotoa mafunzo kuhusu athari za mahusiano ya mapenzi. Vijana pia inafaa wapewe mafunzo ya jinsi ya kuutumia wakati wao vizuri ili wasikumbane na majaribio yanayotokana na kukosa kazi.
Ni kipi huwaelekeza vijana kushiriki mapenzi na wale wanaowazidi umri
{ "text": [ "Umaskini wa familia zao" ] }
3614_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana ni chanzo cha uozo katika jamii kwa sababu uhusiano huu husababisha mimba za mapema kwa wasichana. Ujauzito huu huleta ugomvi baina yao na wazazi wao. Ujauzito wa mapema pia hawafanya wasichana kuwa na uoga, kukejeliwa na kufukuzwa wa shuleni. Mimba za mapema pia huwafanya wasichana kutoa mimba, hii husababisha vifo ama utasa. Ujauzito huu pia hawafanya wasichana kuacha shule kwa sababu wenzao wanawacheka. Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana pia huwafanya vijana kuwa waraibu wa dawa za kulevya. Hii hutokea kijana anapohusiana kimapenzi na mwenzake ambaye anatumia dawa za kulevya. Wakati mwingi, tatizo hili hutokea mtu anapomwambia mpenzi wake kuwa kama anampenda basi atumie dawa za kulevya kama yeye anavyozitumia ili adhibitishe mapenzi yake. Uhusiano huu pia husambaza magonjwa sugu ya aina mbalimbali kwa kasi. Hii husababishwa ikiwa kijana atahusiana na mtu anaye hanya hanya. Magonjua haya sugu husambazwa kwa njia mbali mbali kama vile ngono, kutumia vifaa kama vile nyembe, sindano na kadhalika na mtu ambaye ana ugonjwa. Ili kuzuia hili kutokea, inafaa vijana waende zahanatini wapimwe ili wawe na uhakika wa hali yao, na pia kuwa waminifu kwa wapenzi wao. Uhusiano huu husababisha ndoa za mapema. Hii hutokea msichana anapopata ujauzito, na anakataliwa na wazazi wake, wakimwamuru kuwa aende kwa aliyempachika ujauzito. Tatizo hili huwalazimisha wasichana kuolewa mapema kwa wavulana waliowapachika mimba. Uhusiano huu huwafanya vijana kuwa watovu wa nidhamu. Hili hutokea vijana wapowajibiza wazazi wao na kutowatii kwa sababu wameambiwa na wapenzi wao kuwa wazazi wamezeeka na hawajui wafanyacho. Vijana wanakosa kuwatii wazazi wao wanapopewa kazi wakati ambapo wao wanafikiria kuwa wanafaa kuwa na wapenzi wao. Uhusiano huu pia hawafanya vijana kutoroka kutoka nyumbani kwao ili wawe na wapenzi wao. Hii husababisha utengano katika familia. Hii pia huwafanya wazazi kuwachukia wana wao kwa sababu ya kuacha masomo yao ili wawe na wapenzi wao. Uhusiano huu pia huwafanya vijana kuiba mali ya wazazi wao. Hii hutokea kijana anapotaka kupata pesa za kumpelekea mpenzi wake. Tatizo hili huwafanya vijana pia kuwaibia watu njiani na madukani. Hii husababisha vifo wakati ambapo hawa vijana hawa hushikwa na kuuawa kinyama kwa sababu ya wizi. Uhusiano huu pia huwafanya vijana wanaotoka katika familia za kimaskini kushiriki mapenzi na wafadhili wao ambao wana umri mkubwa ili wapate pesa za mahitaji yao ya kila siku. Suala hili pia husambaza magonjwa kwa vijana hawa. Changamoto hizi zinazotokana na uhusiano wa kimapenzi zinaweza zikatatutuliwa kwa njia mbalimbali kama vile wazazi kuwapa watoto wao ushauri kuhusu matokeo ya kuhusiana kimapenzi katika umri wao mdogo, serikali kutoa vipindi vya mawaidha katika vyuo mbalimbali, vipindi vya runinga vinavyotoa mafunzo kuhusu athari za mahusiano ya mapenzi. Vijana pia inafaa wapewe mafunzo ya jinsi ya kuutumia wakati wao vizuri ili wasikumbane na majaribio yanayotokana na kukosa kazi.
Ni vipi changamoto zinazotokana na uhusiano zaweza kutatuliwa
{ "text": [ "Wazazi kuwapa ushauri watoto wao kuhusu matokeo yanayohusiana na mapenzi" ] }
3615_swa
21/9/ 2021 HOTUBA YA MGOMBEAJI WA KITI CHA URALS KWA WANANCHI KUHUSU UONGOZI MBAYA: Wakuu wa idara mbalimbali, wabunge na wananchi wenzangu sabalkheri? Natumai m wazima Ningependa kwanza kabisa kuchukua fursa hii kumshukuru Jalali kwa nafasi hii ya kuweza kuwahutubia. Kwa wale wasio nifahamu, naitwa Bi. Wala Said. Ni mkaazi wa jimbo la Riziki na nina, gombea kiti cha urais. Nimefanya kazi ya ugavana kwa miaka kumi iliyopita na hivyo basi nina imani tosha kuwa ninaweza nikawaongoza kam nchi. Sote tunafahamu bayana kuwa kwa miaka kumi iliyopita, tumekuwa na uongozi mbaya sana nchini Wakuu walioteuliwa na serikali kuwakilisha vitongoji mbalimbali ili kufanikisha usambazaji wa mali ya umma wamegeuka kuwa makahini. Wamejilimbikizia mali iliyopaswa kuwanufaisha wanajamii. Ashakum si matusi, ila wamegeuka kuwa hayawani. Hawana hata chembe ya utu. Nchi yetu ilipokumbwa na janga la korona; Serikali Lilipendekeza kuwa mradi wa kazi kwa vijana' utolewe ili vijana wetu wapate mahali pa kutafutia riziki. alakuu wa vitongoji mbalimbali walipewa jukumu la Kuwasajili vijana katika mradi huo. Pasi na matarajio yetu, walionufaika na mradi huo walikuwa watu walio na ukoo wa karibu na wakuu hawa na hata maswahibu zao. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba hata baada ya wananchi kuwasilisha malilio yao kwa viongozi hakuna lolote lililofanywa. Haya kuwahuru ndewe wala Sikio. Hakika, wahenga hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga kuwa mnyonge hana haki. Wenye mali wanazidi kutajirika ilhali maskini ana zidi kuwa maskini. Ufisadi nao umegeuka kuwa donda ndugu Umekithin mizizi katika jamii zetu ilhali tu macho Niongozi wanatumia nafasi zao kuwanyanyasa wa Pinsi wa matabaka ya chini. Wanawatoza wananchi hongo ili kuwaajiri katika ofisi kubwa kubwa Serikalini. Hili ni jambo la kusikitisha kwani wasio na uwezo wa kulipa hongo wanasalia kuwa ombaomba au kuiuza miili yao._ Mfano bora ni wa kiongozi wa kaunti ya Inuka aliyemlazimisha binti mmoja kushiriki ngono filimradi ampe kazi. Je, his ndio serikali au uongozi Imnaotaka ? kando na hayo, tumeshuhudia visa vingi Sana vya ufisadi ambapo utapata familia nzima ya Imtu maarufu imeajiriwa serikalini kazi za Serikali - zinapaswa kuwafaidi wananchi wa matabaka yote ya juu na pia ya chini - Tauka ya hayo, usalama wetu pia umepuuziliwa Imbali. Makundi yameundwa na wahuni hatari wanao wateka nyara wenzetu na kuwadhuru au hata kuwaua. Askari wetu wamelizibia suala hili macho ilhali wanafahamu wazi kuwa ni jukumu lao kutulinda sisi kama wananchi. Vifo vimekuwa kama mkate wetu wa Kila siku. Tutaendelea kuwazika wenzetu mpaka lini? Tutaendelea kuishi kwa wasiwasi wa mwasi hadi lini? L Aidha, imebainika kuwa, wakaazi wa sehemu anuwai nchini wanalalamikia ukosefu wa maendelo katika sehemu wanazoishi. Mfano ni ukosefu wa shule, hospitali chakula, maji na hata barabara mbovu. Ukosefu wa Shule unachangia pakubwa katika kuweko kwa machokoraa wanaorandaranda mtaani mithili ya mbwa koko huku wakiwaibia watu. Ukosefu wa hospitali nao umesababisha ongezeko la vifo nchini kutokana na ukosefu wa matibabu usafiri nao umekuwa kizungumkuti kutokana na barabara mbovu. Hii imesababisha kuweko kwa ajali kwani madereva wanapata changamoto sana kusafiri Wananchi wenzangu, wakati umefika wa kujifunga kibwebwe na kukomesha uongozi mbaya. Nguvu zi mikononi mwetu. Wacheni tuwachague viongozi wenye manufaa, wale wanaozitetea haki zetu, wale wasio na ubaguzi na pia wale wasio endeleza ufisadi na utengano. Jukumu ni lenu. Iwapo utawachagua viongozi kutokana na kudanganywa na pesa kidogo, basi mtazidi kudhohofika na iwapo mtazingatia umahiri wao kazini, basi nchi yetu itastawi Nami nimejitolea mhanga kuhakikisha kuwa haki Zenu hazikandamizwi kamwe na nitawaunga mkono kwa lolote lile. Hatimaye, nawasihi mniunge mkono mwaka ujao ili sote tuhakikishe kuwa nchi hii inanawiri. Barabara zitajengwa Shule zitaongezeka bila kusahau hospitali. Kumbukeni, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Shukrani mzomzo ziwaendee nyote kwa kunipa masikio yenu.
Bi. Wala Said ni mkazi wa wapi
{ "text": [ "jimbo la Riziki" ] }
3615_swa
21/9/ 2021 HOTUBA YA MGOMBEAJI WA KITI CHA URALS KWA WANANCHI KUHUSU UONGOZI MBAYA: Wakuu wa idara mbalimbali, wabunge na wananchi wenzangu sabalkheri? Natumai m wazima Ningependa kwanza kabisa kuchukua fursa hii kumshukuru Jalali kwa nafasi hii ya kuweza kuwahutubia. Kwa wale wasio nifahamu, naitwa Bi. Wala Said. Ni mkaazi wa jimbo la Riziki na nina, gombea kiti cha urais. Nimefanya kazi ya ugavana kwa miaka kumi iliyopita na hivyo basi nina imani tosha kuwa ninaweza nikawaongoza kam nchi. Sote tunafahamu bayana kuwa kwa miaka kumi iliyopita, tumekuwa na uongozi mbaya sana nchini Wakuu walioteuliwa na serikali kuwakilisha vitongoji mbalimbali ili kufanikisha usambazaji wa mali ya umma wamegeuka kuwa makahini. Wamejilimbikizia mali iliyopaswa kuwanufaisha wanajamii. Ashakum si matusi, ila wamegeuka kuwa hayawani. Hawana hata chembe ya utu. Nchi yetu ilipokumbwa na janga la korona; Serikali Lilipendekeza kuwa mradi wa kazi kwa vijana' utolewe ili vijana wetu wapate mahali pa kutafutia riziki. alakuu wa vitongoji mbalimbali walipewa jukumu la Kuwasajili vijana katika mradi huo. Pasi na matarajio yetu, walionufaika na mradi huo walikuwa watu walio na ukoo wa karibu na wakuu hawa na hata maswahibu zao. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba hata baada ya wananchi kuwasilisha malilio yao kwa viongozi hakuna lolote lililofanywa. Haya kuwahuru ndewe wala Sikio. Hakika, wahenga hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga kuwa mnyonge hana haki. Wenye mali wanazidi kutajirika ilhali maskini ana zidi kuwa maskini. Ufisadi nao umegeuka kuwa donda ndugu Umekithin mizizi katika jamii zetu ilhali tu macho Niongozi wanatumia nafasi zao kuwanyanyasa wa Pinsi wa matabaka ya chini. Wanawatoza wananchi hongo ili kuwaajiri katika ofisi kubwa kubwa Serikalini. Hili ni jambo la kusikitisha kwani wasio na uwezo wa kulipa hongo wanasalia kuwa ombaomba au kuiuza miili yao._ Mfano bora ni wa kiongozi wa kaunti ya Inuka aliyemlazimisha binti mmoja kushiriki ngono filimradi ampe kazi. Je, his ndio serikali au uongozi Imnaotaka ? kando na hayo, tumeshuhudia visa vingi Sana vya ufisadi ambapo utapata familia nzima ya Imtu maarufu imeajiriwa serikalini kazi za Serikali - zinapaswa kuwafaidi wananchi wa matabaka yote ya juu na pia ya chini - Tauka ya hayo, usalama wetu pia umepuuziliwa Imbali. Makundi yameundwa na wahuni hatari wanao wateka nyara wenzetu na kuwadhuru au hata kuwaua. Askari wetu wamelizibia suala hili macho ilhali wanafahamu wazi kuwa ni jukumu lao kutulinda sisi kama wananchi. Vifo vimekuwa kama mkate wetu wa Kila siku. Tutaendelea kuwazika wenzetu mpaka lini? Tutaendelea kuishi kwa wasiwasi wa mwasi hadi lini? L Aidha, imebainika kuwa, wakaazi wa sehemu anuwai nchini wanalalamikia ukosefu wa maendelo katika sehemu wanazoishi. Mfano ni ukosefu wa shule, hospitali chakula, maji na hata barabara mbovu. Ukosefu wa Shule unachangia pakubwa katika kuweko kwa machokoraa wanaorandaranda mtaani mithili ya mbwa koko huku wakiwaibia watu. Ukosefu wa hospitali nao umesababisha ongezeko la vifo nchini kutokana na ukosefu wa matibabu usafiri nao umekuwa kizungumkuti kutokana na barabara mbovu. Hii imesababisha kuweko kwa ajali kwani madereva wanapata changamoto sana kusafiri Wananchi wenzangu, wakati umefika wa kujifunga kibwebwe na kukomesha uongozi mbaya. Nguvu zi mikononi mwetu. Wacheni tuwachague viongozi wenye manufaa, wale wanaozitetea haki zetu, wale wasio na ubaguzi na pia wale wasio endeleza ufisadi na utengano. Jukumu ni lenu. Iwapo utawachagua viongozi kutokana na kudanganywa na pesa kidogo, basi mtazidi kudhohofika na iwapo mtazingatia umahiri wao kazini, basi nchi yetu itastawi Nami nimejitolea mhanga kuhakikisha kuwa haki Zenu hazikandamizwi kamwe na nitawaunga mkono kwa lolote lile. Hatimaye, nawasihi mniunge mkono mwaka ujao ili sote tuhakikishe kuwa nchi hii inanawiri. Barabara zitajengwa Shule zitaongezeka bila kusahau hospitali. Kumbukeni, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Shukrani mzomzo ziwaendee nyote kwa kunipa masikio yenu.
Bi. Riziki amefanya kazi ya ugavana kwa miaka mingapi
{ "text": [ "kumi" ] }
3615_swa
21/9/ 2021 HOTUBA YA MGOMBEAJI WA KITI CHA URALS KWA WANANCHI KUHUSU UONGOZI MBAYA: Wakuu wa idara mbalimbali, wabunge na wananchi wenzangu sabalkheri? Natumai m wazima Ningependa kwanza kabisa kuchukua fursa hii kumshukuru Jalali kwa nafasi hii ya kuweza kuwahutubia. Kwa wale wasio nifahamu, naitwa Bi. Wala Said. Ni mkaazi wa jimbo la Riziki na nina, gombea kiti cha urais. Nimefanya kazi ya ugavana kwa miaka kumi iliyopita na hivyo basi nina imani tosha kuwa ninaweza nikawaongoza kam nchi. Sote tunafahamu bayana kuwa kwa miaka kumi iliyopita, tumekuwa na uongozi mbaya sana nchini Wakuu walioteuliwa na serikali kuwakilisha vitongoji mbalimbali ili kufanikisha usambazaji wa mali ya umma wamegeuka kuwa makahini. Wamejilimbikizia mali iliyopaswa kuwanufaisha wanajamii. Ashakum si matusi, ila wamegeuka kuwa hayawani. Hawana hata chembe ya utu. Nchi yetu ilipokumbwa na janga la korona; Serikali Lilipendekeza kuwa mradi wa kazi kwa vijana' utolewe ili vijana wetu wapate mahali pa kutafutia riziki. alakuu wa vitongoji mbalimbali walipewa jukumu la Kuwasajili vijana katika mradi huo. Pasi na matarajio yetu, walionufaika na mradi huo walikuwa watu walio na ukoo wa karibu na wakuu hawa na hata maswahibu zao. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba hata baada ya wananchi kuwasilisha malilio yao kwa viongozi hakuna lolote lililofanywa. Haya kuwahuru ndewe wala Sikio. Hakika, wahenga hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga kuwa mnyonge hana haki. Wenye mali wanazidi kutajirika ilhali maskini ana zidi kuwa maskini. Ufisadi nao umegeuka kuwa donda ndugu Umekithin mizizi katika jamii zetu ilhali tu macho Niongozi wanatumia nafasi zao kuwanyanyasa wa Pinsi wa matabaka ya chini. Wanawatoza wananchi hongo ili kuwaajiri katika ofisi kubwa kubwa Serikalini. Hili ni jambo la kusikitisha kwani wasio na uwezo wa kulipa hongo wanasalia kuwa ombaomba au kuiuza miili yao._ Mfano bora ni wa kiongozi wa kaunti ya Inuka aliyemlazimisha binti mmoja kushiriki ngono filimradi ampe kazi. Je, his ndio serikali au uongozi Imnaotaka ? kando na hayo, tumeshuhudia visa vingi Sana vya ufisadi ambapo utapata familia nzima ya Imtu maarufu imeajiriwa serikalini kazi za Serikali - zinapaswa kuwafaidi wananchi wa matabaka yote ya juu na pia ya chini - Tauka ya hayo, usalama wetu pia umepuuziliwa Imbali. Makundi yameundwa na wahuni hatari wanao wateka nyara wenzetu na kuwadhuru au hata kuwaua. Askari wetu wamelizibia suala hili macho ilhali wanafahamu wazi kuwa ni jukumu lao kutulinda sisi kama wananchi. Vifo vimekuwa kama mkate wetu wa Kila siku. Tutaendelea kuwazika wenzetu mpaka lini? Tutaendelea kuishi kwa wasiwasi wa mwasi hadi lini? L Aidha, imebainika kuwa, wakaazi wa sehemu anuwai nchini wanalalamikia ukosefu wa maendelo katika sehemu wanazoishi. Mfano ni ukosefu wa shule, hospitali chakula, maji na hata barabara mbovu. Ukosefu wa Shule unachangia pakubwa katika kuweko kwa machokoraa wanaorandaranda mtaani mithili ya mbwa koko huku wakiwaibia watu. Ukosefu wa hospitali nao umesababisha ongezeko la vifo nchini kutokana na ukosefu wa matibabu usafiri nao umekuwa kizungumkuti kutokana na barabara mbovu. Hii imesababisha kuweko kwa ajali kwani madereva wanapata changamoto sana kusafiri Wananchi wenzangu, wakati umefika wa kujifunga kibwebwe na kukomesha uongozi mbaya. Nguvu zi mikononi mwetu. Wacheni tuwachague viongozi wenye manufaa, wale wanaozitetea haki zetu, wale wasio na ubaguzi na pia wale wasio endeleza ufisadi na utengano. Jukumu ni lenu. Iwapo utawachagua viongozi kutokana na kudanganywa na pesa kidogo, basi mtazidi kudhohofika na iwapo mtazingatia umahiri wao kazini, basi nchi yetu itastawi Nami nimejitolea mhanga kuhakikisha kuwa haki Zenu hazikandamizwi kamwe na nitawaunga mkono kwa lolote lile. Hatimaye, nawasihi mniunge mkono mwaka ujao ili sote tuhakikishe kuwa nchi hii inanawiri. Barabara zitajengwa Shule zitaongezeka bila kusahau hospitali. Kumbukeni, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Shukrani mzomzo ziwaendee nyote kwa kunipa masikio yenu.
Ufisadi umegeuka kuwa nini
{ "text": [ "donda ndugu" ] }
3615_swa
21/9/ 2021 HOTUBA YA MGOMBEAJI WA KITI CHA URALS KWA WANANCHI KUHUSU UONGOZI MBAYA: Wakuu wa idara mbalimbali, wabunge na wananchi wenzangu sabalkheri? Natumai m wazima Ningependa kwanza kabisa kuchukua fursa hii kumshukuru Jalali kwa nafasi hii ya kuweza kuwahutubia. Kwa wale wasio nifahamu, naitwa Bi. Wala Said. Ni mkaazi wa jimbo la Riziki na nina, gombea kiti cha urais. Nimefanya kazi ya ugavana kwa miaka kumi iliyopita na hivyo basi nina imani tosha kuwa ninaweza nikawaongoza kam nchi. Sote tunafahamu bayana kuwa kwa miaka kumi iliyopita, tumekuwa na uongozi mbaya sana nchini Wakuu walioteuliwa na serikali kuwakilisha vitongoji mbalimbali ili kufanikisha usambazaji wa mali ya umma wamegeuka kuwa makahini. Wamejilimbikizia mali iliyopaswa kuwanufaisha wanajamii. Ashakum si matusi, ila wamegeuka kuwa hayawani. Hawana hata chembe ya utu. Nchi yetu ilipokumbwa na janga la korona; Serikali Lilipendekeza kuwa mradi wa kazi kwa vijana' utolewe ili vijana wetu wapate mahali pa kutafutia riziki. alakuu wa vitongoji mbalimbali walipewa jukumu la Kuwasajili vijana katika mradi huo. Pasi na matarajio yetu, walionufaika na mradi huo walikuwa watu walio na ukoo wa karibu na wakuu hawa na hata maswahibu zao. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba hata baada ya wananchi kuwasilisha malilio yao kwa viongozi hakuna lolote lililofanywa. Haya kuwahuru ndewe wala Sikio. Hakika, wahenga hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga kuwa mnyonge hana haki. Wenye mali wanazidi kutajirika ilhali maskini ana zidi kuwa maskini. Ufisadi nao umegeuka kuwa donda ndugu Umekithin mizizi katika jamii zetu ilhali tu macho Niongozi wanatumia nafasi zao kuwanyanyasa wa Pinsi wa matabaka ya chini. Wanawatoza wananchi hongo ili kuwaajiri katika ofisi kubwa kubwa Serikalini. Hili ni jambo la kusikitisha kwani wasio na uwezo wa kulipa hongo wanasalia kuwa ombaomba au kuiuza miili yao._ Mfano bora ni wa kiongozi wa kaunti ya Inuka aliyemlazimisha binti mmoja kushiriki ngono filimradi ampe kazi. Je, his ndio serikali au uongozi Imnaotaka ? kando na hayo, tumeshuhudia visa vingi Sana vya ufisadi ambapo utapata familia nzima ya Imtu maarufu imeajiriwa serikalini kazi za Serikali - zinapaswa kuwafaidi wananchi wa matabaka yote ya juu na pia ya chini - Tauka ya hayo, usalama wetu pia umepuuziliwa Imbali. Makundi yameundwa na wahuni hatari wanao wateka nyara wenzetu na kuwadhuru au hata kuwaua. Askari wetu wamelizibia suala hili macho ilhali wanafahamu wazi kuwa ni jukumu lao kutulinda sisi kama wananchi. Vifo vimekuwa kama mkate wetu wa Kila siku. Tutaendelea kuwazika wenzetu mpaka lini? Tutaendelea kuishi kwa wasiwasi wa mwasi hadi lini? L Aidha, imebainika kuwa, wakaazi wa sehemu anuwai nchini wanalalamikia ukosefu wa maendelo katika sehemu wanazoishi. Mfano ni ukosefu wa shule, hospitali chakula, maji na hata barabara mbovu. Ukosefu wa Shule unachangia pakubwa katika kuweko kwa machokoraa wanaorandaranda mtaani mithili ya mbwa koko huku wakiwaibia watu. Ukosefu wa hospitali nao umesababisha ongezeko la vifo nchini kutokana na ukosefu wa matibabu usafiri nao umekuwa kizungumkuti kutokana na barabara mbovu. Hii imesababisha kuweko kwa ajali kwani madereva wanapata changamoto sana kusafiri Wananchi wenzangu, wakati umefika wa kujifunga kibwebwe na kukomesha uongozi mbaya. Nguvu zi mikononi mwetu. Wacheni tuwachague viongozi wenye manufaa, wale wanaozitetea haki zetu, wale wasio na ubaguzi na pia wale wasio endeleza ufisadi na utengano. Jukumu ni lenu. Iwapo utawachagua viongozi kutokana na kudanganywa na pesa kidogo, basi mtazidi kudhohofika na iwapo mtazingatia umahiri wao kazini, basi nchi yetu itastawi Nami nimejitolea mhanga kuhakikisha kuwa haki Zenu hazikandamizwi kamwe na nitawaunga mkono kwa lolote lile. Hatimaye, nawasihi mniunge mkono mwaka ujao ili sote tuhakikishe kuwa nchi hii inanawiri. Barabara zitajengwa Shule zitaongezeka bila kusahau hospitali. Kumbukeni, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Shukrani mzomzo ziwaendee nyote kwa kunipa masikio yenu.
Nani wanapata changamoto sana kusafiri
{ "text": [ "madereva" ] }
3615_swa
21/9/ 2021 HOTUBA YA MGOMBEAJI WA KITI CHA URALS KWA WANANCHI KUHUSU UONGOZI MBAYA: Wakuu wa idara mbalimbali, wabunge na wananchi wenzangu sabalkheri? Natumai m wazima Ningependa kwanza kabisa kuchukua fursa hii kumshukuru Jalali kwa nafasi hii ya kuweza kuwahutubia. Kwa wale wasio nifahamu, naitwa Bi. Wala Said. Ni mkaazi wa jimbo la Riziki na nina, gombea kiti cha urais. Nimefanya kazi ya ugavana kwa miaka kumi iliyopita na hivyo basi nina imani tosha kuwa ninaweza nikawaongoza kam nchi. Sote tunafahamu bayana kuwa kwa miaka kumi iliyopita, tumekuwa na uongozi mbaya sana nchini Wakuu walioteuliwa na serikali kuwakilisha vitongoji mbalimbali ili kufanikisha usambazaji wa mali ya umma wamegeuka kuwa makahini. Wamejilimbikizia mali iliyopaswa kuwanufaisha wanajamii. Ashakum si matusi, ila wamegeuka kuwa hayawani. Hawana hata chembe ya utu. Nchi yetu ilipokumbwa na janga la korona; Serikali Lilipendekeza kuwa mradi wa kazi kwa vijana' utolewe ili vijana wetu wapate mahali pa kutafutia riziki. alakuu wa vitongoji mbalimbali walipewa jukumu la Kuwasajili vijana katika mradi huo. Pasi na matarajio yetu, walionufaika na mradi huo walikuwa watu walio na ukoo wa karibu na wakuu hawa na hata maswahibu zao. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba hata baada ya wananchi kuwasilisha malilio yao kwa viongozi hakuna lolote lililofanywa. Haya kuwahuru ndewe wala Sikio. Hakika, wahenga hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga kuwa mnyonge hana haki. Wenye mali wanazidi kutajirika ilhali maskini ana zidi kuwa maskini. Ufisadi nao umegeuka kuwa donda ndugu Umekithin mizizi katika jamii zetu ilhali tu macho Niongozi wanatumia nafasi zao kuwanyanyasa wa Pinsi wa matabaka ya chini. Wanawatoza wananchi hongo ili kuwaajiri katika ofisi kubwa kubwa Serikalini. Hili ni jambo la kusikitisha kwani wasio na uwezo wa kulipa hongo wanasalia kuwa ombaomba au kuiuza miili yao._ Mfano bora ni wa kiongozi wa kaunti ya Inuka aliyemlazimisha binti mmoja kushiriki ngono filimradi ampe kazi. Je, his ndio serikali au uongozi Imnaotaka ? kando na hayo, tumeshuhudia visa vingi Sana vya ufisadi ambapo utapata familia nzima ya Imtu maarufu imeajiriwa serikalini kazi za Serikali - zinapaswa kuwafaidi wananchi wa matabaka yote ya juu na pia ya chini - Tauka ya hayo, usalama wetu pia umepuuziliwa Imbali. Makundi yameundwa na wahuni hatari wanao wateka nyara wenzetu na kuwadhuru au hata kuwaua. Askari wetu wamelizibia suala hili macho ilhali wanafahamu wazi kuwa ni jukumu lao kutulinda sisi kama wananchi. Vifo vimekuwa kama mkate wetu wa Kila siku. Tutaendelea kuwazika wenzetu mpaka lini? Tutaendelea kuishi kwa wasiwasi wa mwasi hadi lini? L Aidha, imebainika kuwa, wakaazi wa sehemu anuwai nchini wanalalamikia ukosefu wa maendelo katika sehemu wanazoishi. Mfano ni ukosefu wa shule, hospitali chakula, maji na hata barabara mbovu. Ukosefu wa Shule unachangia pakubwa katika kuweko kwa machokoraa wanaorandaranda mtaani mithili ya mbwa koko huku wakiwaibia watu. Ukosefu wa hospitali nao umesababisha ongezeko la vifo nchini kutokana na ukosefu wa matibabu usafiri nao umekuwa kizungumkuti kutokana na barabara mbovu. Hii imesababisha kuweko kwa ajali kwani madereva wanapata changamoto sana kusafiri Wananchi wenzangu, wakati umefika wa kujifunga kibwebwe na kukomesha uongozi mbaya. Nguvu zi mikononi mwetu. Wacheni tuwachague viongozi wenye manufaa, wale wanaozitetea haki zetu, wale wasio na ubaguzi na pia wale wasio endeleza ufisadi na utengano. Jukumu ni lenu. Iwapo utawachagua viongozi kutokana na kudanganywa na pesa kidogo, basi mtazidi kudhohofika na iwapo mtazingatia umahiri wao kazini, basi nchi yetu itastawi Nami nimejitolea mhanga kuhakikisha kuwa haki Zenu hazikandamizwi kamwe na nitawaunga mkono kwa lolote lile. Hatimaye, nawasihi mniunge mkono mwaka ujao ili sote tuhakikishe kuwa nchi hii inanawiri. Barabara zitajengwa Shule zitaongezeka bila kusahau hospitali. Kumbukeni, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Shukrani mzomzo ziwaendee nyote kwa kunipa masikio yenu.
Mbona mradi wa kazi kwa vijana ulitolewa
{ "text": [ "ili vijana wapate mahali pa kutafuta riziki" ] }
3619_swa
MANUFAA YA KILIMO. Kilimo ni nini? Ni vipi binadamu anaweza jikidhi kupitia kilimo? Ni nini manufaa ya kilimo? Kilimo ni njia moja au nyingine inayomuezesha binadamu kujikimu kupitia kufuga mifugo na kupanda mimea. Watu wengi wameweza kujiimarisha kupitia kilimo biashara : Upande wa kilimo hauna cheti chochote ndiposa awezo kufanya ila ni umaarufu tu ambao mkulima anahitaji ili kuwajibika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimewaleta wakulima pamoja kwa kuunganika Katika vyama tofauti tofauti na kuwekeza ili kuimarisha kilimo chao A kina mama ndio wamenita mizizi na kujifunga vibwebwe ili kuendeleza ukuaji wa kilimo. Kupitia vikundi vya kilimo wanaweza kuwarahisishia wakulima ambao waliona kuwa hawawezi panda mimea au kufuga wanyama na ndege wengine. kupitia kilimo watu wameweza kujitoa katika maisha ya ufukara na kujiimarisha wao wenyewe. Kilimo hufaidi wale ambao wanafanya bidii zao za mchwa kwa kupambana na matatizo yanayowakumba, wakulima wameweza kujikichi wa huduma za kijami, na kupeleka wasomi shuleni na kuwalipia karo .Mahitaji ya kilimo ni ya kila siku kulingana na uwezo wako. Kila mkulima anataka natija kwa anachouza ili aweze kuimanisha na kupanua ukulima wake. kupitia kilimo, wananchi ambao wanapitia janga la ukosefu wa chakula wameweza kupata chakula kwa maeneo yanayo funga ukulima. Tatizo la ukosefu wa chakula nchini limeweza kutatulia kupitia kilimo. kilimo kimeleta afya kwa wananchi kwa kuwa wanapata lishe bora · Mbinu mpya zimebuniwa katika Sekta ya kilimo kama vifaa vya mashine ambavyo vinatunika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimeweza kuwapa vijana njia ya kupata hela na Kujiajiri wenyewe. Waliokuwa wanakimbilia mitaani kutafuta kazi wameweza kupungua na kubakia mashambani na kuanzisha kilimo. Kilimo kimeleta amani na ushirikiano wa jamii tofauti kwa kuuza mazao mbalimbali kama vile matunda, mboga nyama ya mifugo na maziwa. Kilimo kimechangia katika ukuaji wa uchumi nchini kwa kutozwa ushuru kwa wakulima. Kilimo kimeleta ukuaji wa mazingira mema kwa kupanda miti ambayo inaleta hewa safi. Kupitia kilimo watu wamenufaika kwa kupata umaarufu na ujuzi kwa wakulima wengine.
Kilimo ni nini
{ "text": [ "Kufuga mifugo na kupanda mimea" ] }
3619_swa
MANUFAA YA KILIMO. Kilimo ni nini? Ni vipi binadamu anaweza jikidhi kupitia kilimo? Ni nini manufaa ya kilimo? Kilimo ni njia moja au nyingine inayomuezesha binadamu kujikimu kupitia kufuga mifugo na kupanda mimea. Watu wengi wameweza kujiimarisha kupitia kilimo biashara : Upande wa kilimo hauna cheti chochote ndiposa awezo kufanya ila ni umaarufu tu ambao mkulima anahitaji ili kuwajibika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimewaleta wakulima pamoja kwa kuunganika Katika vyama tofauti tofauti na kuwekeza ili kuimarisha kilimo chao A kina mama ndio wamenita mizizi na kujifunga vibwebwe ili kuendeleza ukuaji wa kilimo. Kupitia vikundi vya kilimo wanaweza kuwarahisishia wakulima ambao waliona kuwa hawawezi panda mimea au kufuga wanyama na ndege wengine. kupitia kilimo watu wameweza kujitoa katika maisha ya ufukara na kujiimarisha wao wenyewe. Kilimo hufaidi wale ambao wanafanya bidii zao za mchwa kwa kupambana na matatizo yanayowakumba, wakulima wameweza kujikichi wa huduma za kijami, na kupeleka wasomi shuleni na kuwalipia karo .Mahitaji ya kilimo ni ya kila siku kulingana na uwezo wako. Kila mkulima anataka natija kwa anachouza ili aweze kuimanisha na kupanua ukulima wake. kupitia kilimo, wananchi ambao wanapitia janga la ukosefu wa chakula wameweza kupata chakula kwa maeneo yanayo funga ukulima. Tatizo la ukosefu wa chakula nchini limeweza kutatulia kupitia kilimo. kilimo kimeleta afya kwa wananchi kwa kuwa wanapata lishe bora · Mbinu mpya zimebuniwa katika Sekta ya kilimo kama vifaa vya mashine ambavyo vinatunika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimeweza kuwapa vijana njia ya kupata hela na Kujiajiri wenyewe. Waliokuwa wanakimbilia mitaani kutafuta kazi wameweza kupungua na kubakia mashambani na kuanzisha kilimo. Kilimo kimeleta amani na ushirikiano wa jamii tofauti kwa kuuza mazao mbalimbali kama vile matunda, mboga nyama ya mifugo na maziwa. Kilimo kimechangia katika ukuaji wa uchumi nchini kwa kutozwa ushuru kwa wakulima. Kilimo kimeleta ukuaji wa mazingira mema kwa kupanda miti ambayo inaleta hewa safi. Kupitia kilimo watu wamenufaika kwa kupata umaarufu na ujuzi kwa wakulima wengine.
Kupitia kilimo wananchi hupata nini
{ "text": [ "Chakula na afya" ] }
3619_swa
MANUFAA YA KILIMO. Kilimo ni nini? Ni vipi binadamu anaweza jikidhi kupitia kilimo? Ni nini manufaa ya kilimo? Kilimo ni njia moja au nyingine inayomuezesha binadamu kujikimu kupitia kufuga mifugo na kupanda mimea. Watu wengi wameweza kujiimarisha kupitia kilimo biashara : Upande wa kilimo hauna cheti chochote ndiposa awezo kufanya ila ni umaarufu tu ambao mkulima anahitaji ili kuwajibika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimewaleta wakulima pamoja kwa kuunganika Katika vyama tofauti tofauti na kuwekeza ili kuimarisha kilimo chao A kina mama ndio wamenita mizizi na kujifunga vibwebwe ili kuendeleza ukuaji wa kilimo. Kupitia vikundi vya kilimo wanaweza kuwarahisishia wakulima ambao waliona kuwa hawawezi panda mimea au kufuga wanyama na ndege wengine. kupitia kilimo watu wameweza kujitoa katika maisha ya ufukara na kujiimarisha wao wenyewe. Kilimo hufaidi wale ambao wanafanya bidii zao za mchwa kwa kupambana na matatizo yanayowakumba, wakulima wameweza kujikichi wa huduma za kijami, na kupeleka wasomi shuleni na kuwalipia karo .Mahitaji ya kilimo ni ya kila siku kulingana na uwezo wako. Kila mkulima anataka natija kwa anachouza ili aweze kuimanisha na kupanua ukulima wake. kupitia kilimo, wananchi ambao wanapitia janga la ukosefu wa chakula wameweza kupata chakula kwa maeneo yanayo funga ukulima. Tatizo la ukosefu wa chakula nchini limeweza kutatulia kupitia kilimo. kilimo kimeleta afya kwa wananchi kwa kuwa wanapata lishe bora · Mbinu mpya zimebuniwa katika Sekta ya kilimo kama vifaa vya mashine ambavyo vinatunika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimeweza kuwapa vijana njia ya kupata hela na Kujiajiri wenyewe. Waliokuwa wanakimbilia mitaani kutafuta kazi wameweza kupungua na kubakia mashambani na kuanzisha kilimo. Kilimo kimeleta amani na ushirikiano wa jamii tofauti kwa kuuza mazao mbalimbali kama vile matunda, mboga nyama ya mifugo na maziwa. Kilimo kimechangia katika ukuaji wa uchumi nchini kwa kutozwa ushuru kwa wakulima. Kilimo kimeleta ukuaji wa mazingira mema kwa kupanda miti ambayo inaleta hewa safi. Kupitia kilimo watu wamenufaika kwa kupata umaarufu na ujuzi kwa wakulima wengine.
Kilimo kimeleta nini katika jamii
{ "text": [ "Amani na ushirikiano" ] }
3619_swa
MANUFAA YA KILIMO. Kilimo ni nini? Ni vipi binadamu anaweza jikidhi kupitia kilimo? Ni nini manufaa ya kilimo? Kilimo ni njia moja au nyingine inayomuezesha binadamu kujikimu kupitia kufuga mifugo na kupanda mimea. Watu wengi wameweza kujiimarisha kupitia kilimo biashara : Upande wa kilimo hauna cheti chochote ndiposa awezo kufanya ila ni umaarufu tu ambao mkulima anahitaji ili kuwajibika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimewaleta wakulima pamoja kwa kuunganika Katika vyama tofauti tofauti na kuwekeza ili kuimarisha kilimo chao A kina mama ndio wamenita mizizi na kujifunga vibwebwe ili kuendeleza ukuaji wa kilimo. Kupitia vikundi vya kilimo wanaweza kuwarahisishia wakulima ambao waliona kuwa hawawezi panda mimea au kufuga wanyama na ndege wengine. kupitia kilimo watu wameweza kujitoa katika maisha ya ufukara na kujiimarisha wao wenyewe. Kilimo hufaidi wale ambao wanafanya bidii zao za mchwa kwa kupambana na matatizo yanayowakumba, wakulima wameweza kujikichi wa huduma za kijami, na kupeleka wasomi shuleni na kuwalipia karo .Mahitaji ya kilimo ni ya kila siku kulingana na uwezo wako. Kila mkulima anataka natija kwa anachouza ili aweze kuimanisha na kupanua ukulima wake. kupitia kilimo, wananchi ambao wanapitia janga la ukosefu wa chakula wameweza kupata chakula kwa maeneo yanayo funga ukulima. Tatizo la ukosefu wa chakula nchini limeweza kutatulia kupitia kilimo. kilimo kimeleta afya kwa wananchi kwa kuwa wanapata lishe bora · Mbinu mpya zimebuniwa katika Sekta ya kilimo kama vifaa vya mashine ambavyo vinatunika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimeweza kuwapa vijana njia ya kupata hela na Kujiajiri wenyewe. Waliokuwa wanakimbilia mitaani kutafuta kazi wameweza kupungua na kubakia mashambani na kuanzisha kilimo. Kilimo kimeleta amani na ushirikiano wa jamii tofauti kwa kuuza mazao mbalimbali kama vile matunda, mboga nyama ya mifugo na maziwa. Kilimo kimechangia katika ukuaji wa uchumi nchini kwa kutozwa ushuru kwa wakulima. Kilimo kimeleta ukuaji wa mazingira mema kwa kupanda miti ambayo inaleta hewa safi. Kupitia kilimo watu wamenufaika kwa kupata umaarufu na ujuzi kwa wakulima wengine.
Kilimo kimeleta manufaa gani kwenye mazingira
{ "text": [ "Kuna upandaji wa miti inayoleta hewa safi" ] }
3619_swa
MANUFAA YA KILIMO. Kilimo ni nini? Ni vipi binadamu anaweza jikidhi kupitia kilimo? Ni nini manufaa ya kilimo? Kilimo ni njia moja au nyingine inayomuezesha binadamu kujikimu kupitia kufuga mifugo na kupanda mimea. Watu wengi wameweza kujiimarisha kupitia kilimo biashara : Upande wa kilimo hauna cheti chochote ndiposa awezo kufanya ila ni umaarufu tu ambao mkulima anahitaji ili kuwajibika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimewaleta wakulima pamoja kwa kuunganika Katika vyama tofauti tofauti na kuwekeza ili kuimarisha kilimo chao A kina mama ndio wamenita mizizi na kujifunga vibwebwe ili kuendeleza ukuaji wa kilimo. Kupitia vikundi vya kilimo wanaweza kuwarahisishia wakulima ambao waliona kuwa hawawezi panda mimea au kufuga wanyama na ndege wengine. kupitia kilimo watu wameweza kujitoa katika maisha ya ufukara na kujiimarisha wao wenyewe. Kilimo hufaidi wale ambao wanafanya bidii zao za mchwa kwa kupambana na matatizo yanayowakumba, wakulima wameweza kujikichi wa huduma za kijami, na kupeleka wasomi shuleni na kuwalipia karo .Mahitaji ya kilimo ni ya kila siku kulingana na uwezo wako. Kila mkulima anataka natija kwa anachouza ili aweze kuimanisha na kupanua ukulima wake. kupitia kilimo, wananchi ambao wanapitia janga la ukosefu wa chakula wameweza kupata chakula kwa maeneo yanayo funga ukulima. Tatizo la ukosefu wa chakula nchini limeweza kutatulia kupitia kilimo. kilimo kimeleta afya kwa wananchi kwa kuwa wanapata lishe bora · Mbinu mpya zimebuniwa katika Sekta ya kilimo kama vifaa vya mashine ambavyo vinatunika Katika sekta ya Kilimo. Kilimo kimeweza kuwapa vijana njia ya kupata hela na Kujiajiri wenyewe. Waliokuwa wanakimbilia mitaani kutafuta kazi wameweza kupungua na kubakia mashambani na kuanzisha kilimo. Kilimo kimeleta amani na ushirikiano wa jamii tofauti kwa kuuza mazao mbalimbali kama vile matunda, mboga nyama ya mifugo na maziwa. Kilimo kimechangia katika ukuaji wa uchumi nchini kwa kutozwa ushuru kwa wakulima. Kilimo kimeleta ukuaji wa mazingira mema kwa kupanda miti ambayo inaleta hewa safi. Kupitia kilimo watu wamenufaika kwa kupata umaarufu na ujuzi kwa wakulima wengine.
Kilimo kimeleta manufaa gani kwa nchi
{ "text": [ "Ukuwaji wa uchumi na utozwaji wa ushuru" ] }
3622_swa
NDOA ZA MAPEMA Ilikuwa siku ya jumatatu nilienda shuleni kama kawaida yangu. Ilipofika jioni, niliambatana na rafiki zangu kuelekea nyumbani . Mvua ilianza kunyesha. Ilinibidi kuwaaga marafiki wangu ili nielekee nyumbani kwa sababu kwetu kulikuwa mbali. Japokuwa mkoba ulikuwa mzito nilijitahidi nifike nyumbani kabla ya giza kutanda kabisa. Cheloti. Cheloti, nilisikia sauti nijjuayo ikiniita nyuma yangu. Mwanzo niliipuza kwani niliamini kuwa mazimwi yenye sauti uijuayo_huita watu Sauti hiyo ilizidi kuita hivyo ilinibidi kutazama. Alikuwa nyanyangu. Nilikimbia alipokuwa na kumsalimu. Nyanya alionekana kuwa na huzuni Jambo hili lilinisikitisha sana, nyanya alikuwa kipenzi changu. Mawazo mengi yaligonga akili yangu baada ya nyingine : Je nimemkosea nyanya?...., Je kuna msiba?. Kama ni msiba ise kunani?.... Au labda mama aliyekuwa mjamzito amelala mama hawezi kuaga: Mawazo kama haya yaligongana akilini mwangu. Bila ya kugundua, nilibaki nimeduwaa.. Nyanya alianza Kunigonga begani." Mjukuu wangu na kupenda sana," Nyanya alianza_huku akinita : kijuso chake kikionyesha kutofurahia. Nyanya naelewa kuwa wanipenda, japokuwa kipina' Kikucikitishacho.???. Nilimuuliza kwa wasiwasi ? Mjukuu wangu, kimbia, toroka, usiende nyumbani mara yanayo kungoja huyawezi Babako anapanga k u-..-ku-- kukuoza kwa Cherule leo. yuko nyumbani na Zawadi kemkem wanakusuibiri kimbia. Lati Machozi yalipenyeza njia mbili usoni pangu huku huzuni ukifunika moyo wangu. Mvua ilisita kunyesha na jua kutua magharibi, ili kukubalia giza: Nilifikiri kuhusu masomo yangu, ndoto zangu za kuwa daktari wa kwanza kwenye familia yetu Nilifikiri jingi walimo na wanafunzi wenzangu wangechukua habari hii. Nilihisi mwisho wa dunia imefika nilinde Foi nisimwambie yoyote yale nimokuwa napenda sana, haya basi. Ondoka, potea maisha yako yako mbeleni nyanya aliendelea. Maneno ya nyanya yaliongeza uchungu moyoni mwangu. Nilikimbia! bila ya kujua niendako. Yeyote aliyenizungumzia sikumjibu sababu sikuskia yale aliyoyasema. Nilimlaani babangu kwa kupenda mali. Nilimlaon Bherula kwa kudako a kuangusha maisha yangu _ Baba___ Mungu nakupenda, niokoe niliyatamka maneno hayo bila kutoa sauti. Niliamini kuwa Mungu hamwachia mja. Roho yangu ilidunda bila ya kutulia Mungu hamwachi mja wake. . Macho yangu yalikutana na kibanda kilichoonyesha 'HUDUMA CHILDREN HOME? Nilijihami na kuingia kwenye mlango kuu. Nilijichukia japokuwa nilikuwa na matumaini tele kwa ajabu ama bahati nzuri nilimpata mtawa Sofia aliyeahidi kunisaidia Niliungana na watoto, hao wengine na wenye Tumaini mpya. Jumamosi hiyo ni mtawa si rotia aliniita Sofia nije ofisini mwake.Nilipofika nilimkuta baba amekteti naye Cherule amewekewa pingu. Mara moja Nilipandwa na mori nikaanza kusonya ,uso lakini baba alianza Kuushika mkono wangu. Baba alibuba, ikua na machozi akani omba msamaha. Niliulizwa iwapo ningerejea nyumbani. Damu ni nzito kuliko maji, nilielekea nyumbani na baba huku Cherula akipelekwa korokoroni. Niliapa kuwa siku zote nitawasaidia wenye shida yoyote Niliamini Mungo si athumani.
Cheloti alimpenda nani sana?
{ "text": [ "Nyanyake" ] }
3622_swa
NDOA ZA MAPEMA Ilikuwa siku ya jumatatu nilienda shuleni kama kawaida yangu. Ilipofika jioni, niliambatana na rafiki zangu kuelekea nyumbani . Mvua ilianza kunyesha. Ilinibidi kuwaaga marafiki wangu ili nielekee nyumbani kwa sababu kwetu kulikuwa mbali. Japokuwa mkoba ulikuwa mzito nilijitahidi nifike nyumbani kabla ya giza kutanda kabisa. Cheloti. Cheloti, nilisikia sauti nijjuayo ikiniita nyuma yangu. Mwanzo niliipuza kwani niliamini kuwa mazimwi yenye sauti uijuayo_huita watu Sauti hiyo ilizidi kuita hivyo ilinibidi kutazama. Alikuwa nyanyangu. Nilikimbia alipokuwa na kumsalimu. Nyanya alionekana kuwa na huzuni Jambo hili lilinisikitisha sana, nyanya alikuwa kipenzi changu. Mawazo mengi yaligonga akili yangu baada ya nyingine : Je nimemkosea nyanya?...., Je kuna msiba?. Kama ni msiba ise kunani?.... Au labda mama aliyekuwa mjamzito amelala mama hawezi kuaga: Mawazo kama haya yaligongana akilini mwangu. Bila ya kugundua, nilibaki nimeduwaa.. Nyanya alianza Kunigonga begani." Mjukuu wangu na kupenda sana," Nyanya alianza_huku akinita : kijuso chake kikionyesha kutofurahia. Nyanya naelewa kuwa wanipenda, japokuwa kipina' Kikucikitishacho.???. Nilimuuliza kwa wasiwasi ? Mjukuu wangu, kimbia, toroka, usiende nyumbani mara yanayo kungoja huyawezi Babako anapanga k u-..-ku-- kukuoza kwa Cherule leo. yuko nyumbani na Zawadi kemkem wanakusuibiri kimbia. Lati Machozi yalipenyeza njia mbili usoni pangu huku huzuni ukifunika moyo wangu. Mvua ilisita kunyesha na jua kutua magharibi, ili kukubalia giza: Nilifikiri kuhusu masomo yangu, ndoto zangu za kuwa daktari wa kwanza kwenye familia yetu Nilifikiri jingi walimo na wanafunzi wenzangu wangechukua habari hii. Nilihisi mwisho wa dunia imefika nilinde Foi nisimwambie yoyote yale nimokuwa napenda sana, haya basi. Ondoka, potea maisha yako yako mbeleni nyanya aliendelea. Maneno ya nyanya yaliongeza uchungu moyoni mwangu. Nilikimbia! bila ya kujua niendako. Yeyote aliyenizungumzia sikumjibu sababu sikuskia yale aliyoyasema. Nilimlaani babangu kwa kupenda mali. Nilimlaon Bherula kwa kudako a kuangusha maisha yangu _ Baba___ Mungu nakupenda, niokoe niliyatamka maneno hayo bila kutoa sauti. Niliamini kuwa Mungu hamwachia mja. Roho yangu ilidunda bila ya kutulia Mungu hamwachi mja wake. . Macho yangu yalikutana na kibanda kilichoonyesha 'HUDUMA CHILDREN HOME? Nilijihami na kuingia kwenye mlango kuu. Nilijichukia japokuwa nilikuwa na matumaini tele kwa ajabu ama bahati nzuri nilimpata mtawa Sofia aliyeahidi kunisaidia Niliungana na watoto, hao wengine na wenye Tumaini mpya. Jumamosi hiyo ni mtawa si rotia aliniita Sofia nije ofisini mwake.Nilipofika nilimkuta baba amekteti naye Cherule amewekewa pingu. Mara moja Nilipandwa na mori nikaanza kusonya ,uso lakini baba alianza Kuushika mkono wangu. Baba alibuba, ikua na machozi akani omba msamaha. Niliulizwa iwapo ningerejea nyumbani. Damu ni nzito kuliko maji, nilielekea nyumbani na baba huku Cherula akipelekwa korokoroni. Niliapa kuwa siku zote nitawasaidia wenye shida yoyote Niliamini Mungo si athumani.
Cheloti alitaka kuwa nani baada ya kumaliza masomo yake?
{ "text": [ "Daktari" ] }
3622_swa
NDOA ZA MAPEMA Ilikuwa siku ya jumatatu nilienda shuleni kama kawaida yangu. Ilipofika jioni, niliambatana na rafiki zangu kuelekea nyumbani . Mvua ilianza kunyesha. Ilinibidi kuwaaga marafiki wangu ili nielekee nyumbani kwa sababu kwetu kulikuwa mbali. Japokuwa mkoba ulikuwa mzito nilijitahidi nifike nyumbani kabla ya giza kutanda kabisa. Cheloti. Cheloti, nilisikia sauti nijjuayo ikiniita nyuma yangu. Mwanzo niliipuza kwani niliamini kuwa mazimwi yenye sauti uijuayo_huita watu Sauti hiyo ilizidi kuita hivyo ilinibidi kutazama. Alikuwa nyanyangu. Nilikimbia alipokuwa na kumsalimu. Nyanya alionekana kuwa na huzuni Jambo hili lilinisikitisha sana, nyanya alikuwa kipenzi changu. Mawazo mengi yaligonga akili yangu baada ya nyingine : Je nimemkosea nyanya?...., Je kuna msiba?. Kama ni msiba ise kunani?.... Au labda mama aliyekuwa mjamzito amelala mama hawezi kuaga: Mawazo kama haya yaligongana akilini mwangu. Bila ya kugundua, nilibaki nimeduwaa.. Nyanya alianza Kunigonga begani." Mjukuu wangu na kupenda sana," Nyanya alianza_huku akinita : kijuso chake kikionyesha kutofurahia. Nyanya naelewa kuwa wanipenda, japokuwa kipina' Kikucikitishacho.???. Nilimuuliza kwa wasiwasi ? Mjukuu wangu, kimbia, toroka, usiende nyumbani mara yanayo kungoja huyawezi Babako anapanga k u-..-ku-- kukuoza kwa Cherule leo. yuko nyumbani na Zawadi kemkem wanakusuibiri kimbia. Lati Machozi yalipenyeza njia mbili usoni pangu huku huzuni ukifunika moyo wangu. Mvua ilisita kunyesha na jua kutua magharibi, ili kukubalia giza: Nilifikiri kuhusu masomo yangu, ndoto zangu za kuwa daktari wa kwanza kwenye familia yetu Nilifikiri jingi walimo na wanafunzi wenzangu wangechukua habari hii. Nilihisi mwisho wa dunia imefika nilinde Foi nisimwambie yoyote yale nimokuwa napenda sana, haya basi. Ondoka, potea maisha yako yako mbeleni nyanya aliendelea. Maneno ya nyanya yaliongeza uchungu moyoni mwangu. Nilikimbia! bila ya kujua niendako. Yeyote aliyenizungumzia sikumjibu sababu sikuskia yale aliyoyasema. Nilimlaani babangu kwa kupenda mali. Nilimlaon Bherula kwa kudako a kuangusha maisha yangu _ Baba___ Mungu nakupenda, niokoe niliyatamka maneno hayo bila kutoa sauti. Niliamini kuwa Mungu hamwachia mja. Roho yangu ilidunda bila ya kutulia Mungu hamwachi mja wake. . Macho yangu yalikutana na kibanda kilichoonyesha 'HUDUMA CHILDREN HOME? Nilijihami na kuingia kwenye mlango kuu. Nilijichukia japokuwa nilikuwa na matumaini tele kwa ajabu ama bahati nzuri nilimpata mtawa Sofia aliyeahidi kunisaidia Niliungana na watoto, hao wengine na wenye Tumaini mpya. Jumamosi hiyo ni mtawa si rotia aliniita Sofia nije ofisini mwake.Nilipofika nilimkuta baba amekteti naye Cherule amewekewa pingu. Mara moja Nilipandwa na mori nikaanza kusonya ,uso lakini baba alianza Kuushika mkono wangu. Baba alibuba, ikua na machozi akani omba msamaha. Niliulizwa iwapo ningerejea nyumbani. Damu ni nzito kuliko maji, nilielekea nyumbani na baba huku Cherula akipelekwa korokoroni. Niliapa kuwa siku zote nitawasaidia wenye shida yoyote Niliamini Mungo si athumani.
Nani alitaka kumuoa Cheloti?
{ "text": [ "Chesula" ] }
3622_swa
NDOA ZA MAPEMA Ilikuwa siku ya jumatatu nilienda shuleni kama kawaida yangu. Ilipofika jioni, niliambatana na rafiki zangu kuelekea nyumbani . Mvua ilianza kunyesha. Ilinibidi kuwaaga marafiki wangu ili nielekee nyumbani kwa sababu kwetu kulikuwa mbali. Japokuwa mkoba ulikuwa mzito nilijitahidi nifike nyumbani kabla ya giza kutanda kabisa. Cheloti. Cheloti, nilisikia sauti nijjuayo ikiniita nyuma yangu. Mwanzo niliipuza kwani niliamini kuwa mazimwi yenye sauti uijuayo_huita watu Sauti hiyo ilizidi kuita hivyo ilinibidi kutazama. Alikuwa nyanyangu. Nilikimbia alipokuwa na kumsalimu. Nyanya alionekana kuwa na huzuni Jambo hili lilinisikitisha sana, nyanya alikuwa kipenzi changu. Mawazo mengi yaligonga akili yangu baada ya nyingine : Je nimemkosea nyanya?...., Je kuna msiba?. Kama ni msiba ise kunani?.... Au labda mama aliyekuwa mjamzito amelala mama hawezi kuaga: Mawazo kama haya yaligongana akilini mwangu. Bila ya kugundua, nilibaki nimeduwaa.. Nyanya alianza Kunigonga begani." Mjukuu wangu na kupenda sana," Nyanya alianza_huku akinita : kijuso chake kikionyesha kutofurahia. Nyanya naelewa kuwa wanipenda, japokuwa kipina' Kikucikitishacho.???. Nilimuuliza kwa wasiwasi ? Mjukuu wangu, kimbia, toroka, usiende nyumbani mara yanayo kungoja huyawezi Babako anapanga k u-..-ku-- kukuoza kwa Cherule leo. yuko nyumbani na Zawadi kemkem wanakusuibiri kimbia. Lati Machozi yalipenyeza njia mbili usoni pangu huku huzuni ukifunika moyo wangu. Mvua ilisita kunyesha na jua kutua magharibi, ili kukubalia giza: Nilifikiri kuhusu masomo yangu, ndoto zangu za kuwa daktari wa kwanza kwenye familia yetu Nilifikiri jingi walimo na wanafunzi wenzangu wangechukua habari hii. Nilihisi mwisho wa dunia imefika nilinde Foi nisimwambie yoyote yale nimokuwa napenda sana, haya basi. Ondoka, potea maisha yako yako mbeleni nyanya aliendelea. Maneno ya nyanya yaliongeza uchungu moyoni mwangu. Nilikimbia! bila ya kujua niendako. Yeyote aliyenizungumzia sikumjibu sababu sikuskia yale aliyoyasema. Nilimlaani babangu kwa kupenda mali. Nilimlaon Bherula kwa kudako a kuangusha maisha yangu _ Baba___ Mungu nakupenda, niokoe niliyatamka maneno hayo bila kutoa sauti. Niliamini kuwa Mungu hamwachia mja. Roho yangu ilidunda bila ya kutulia Mungu hamwachi mja wake. . Macho yangu yalikutana na kibanda kilichoonyesha 'HUDUMA CHILDREN HOME? Nilijihami na kuingia kwenye mlango kuu. Nilijichukia japokuwa nilikuwa na matumaini tele kwa ajabu ama bahati nzuri nilimpata mtawa Sofia aliyeahidi kunisaidia Niliungana na watoto, hao wengine na wenye Tumaini mpya. Jumamosi hiyo ni mtawa si rotia aliniita Sofia nije ofisini mwake.Nilipofika nilimkuta baba amekteti naye Cherule amewekewa pingu. Mara moja Nilipandwa na mori nikaanza kusonya ,uso lakini baba alianza Kuushika mkono wangu. Baba alibuba, ikua na machozi akani omba msamaha. Niliulizwa iwapo ningerejea nyumbani. Damu ni nzito kuliko maji, nilielekea nyumbani na baba huku Cherula akipelekwa korokoroni. Niliapa kuwa siku zote nitawasaidia wenye shida yoyote Niliamini Mungo si athumani.
Nani aliyetaka kumuoza Cheloti?
{ "text": [ "Babake" ] }
3622_swa
NDOA ZA MAPEMA Ilikuwa siku ya jumatatu nilienda shuleni kama kawaida yangu. Ilipofika jioni, niliambatana na rafiki zangu kuelekea nyumbani . Mvua ilianza kunyesha. Ilinibidi kuwaaga marafiki wangu ili nielekee nyumbani kwa sababu kwetu kulikuwa mbali. Japokuwa mkoba ulikuwa mzito nilijitahidi nifike nyumbani kabla ya giza kutanda kabisa. Cheloti. Cheloti, nilisikia sauti nijjuayo ikiniita nyuma yangu. Mwanzo niliipuza kwani niliamini kuwa mazimwi yenye sauti uijuayo_huita watu Sauti hiyo ilizidi kuita hivyo ilinibidi kutazama. Alikuwa nyanyangu. Nilikimbia alipokuwa na kumsalimu. Nyanya alionekana kuwa na huzuni Jambo hili lilinisikitisha sana, nyanya alikuwa kipenzi changu. Mawazo mengi yaligonga akili yangu baada ya nyingine : Je nimemkosea nyanya?...., Je kuna msiba?. Kama ni msiba ise kunani?.... Au labda mama aliyekuwa mjamzito amelala mama hawezi kuaga: Mawazo kama haya yaligongana akilini mwangu. Bila ya kugundua, nilibaki nimeduwaa.. Nyanya alianza Kunigonga begani." Mjukuu wangu na kupenda sana," Nyanya alianza_huku akinita : kijuso chake kikionyesha kutofurahia. Nyanya naelewa kuwa wanipenda, japokuwa kipina' Kikucikitishacho.???. Nilimuuliza kwa wasiwasi ? Mjukuu wangu, kimbia, toroka, usiende nyumbani mara yanayo kungoja huyawezi Babako anapanga k u-..-ku-- kukuoza kwa Cherule leo. yuko nyumbani na Zawadi kemkem wanakusuibiri kimbia. Lati Machozi yalipenyeza njia mbili usoni pangu huku huzuni ukifunika moyo wangu. Mvua ilisita kunyesha na jua kutua magharibi, ili kukubalia giza: Nilifikiri kuhusu masomo yangu, ndoto zangu za kuwa daktari wa kwanza kwenye familia yetu Nilifikiri jingi walimo na wanafunzi wenzangu wangechukua habari hii. Nilihisi mwisho wa dunia imefika nilinde Foi nisimwambie yoyote yale nimokuwa napenda sana, haya basi. Ondoka, potea maisha yako yako mbeleni nyanya aliendelea. Maneno ya nyanya yaliongeza uchungu moyoni mwangu. Nilikimbia! bila ya kujua niendako. Yeyote aliyenizungumzia sikumjibu sababu sikuskia yale aliyoyasema. Nilimlaani babangu kwa kupenda mali. Nilimlaon Bherula kwa kudako a kuangusha maisha yangu _ Baba___ Mungu nakupenda, niokoe niliyatamka maneno hayo bila kutoa sauti. Niliamini kuwa Mungu hamwachia mja. Roho yangu ilidunda bila ya kutulia Mungu hamwachi mja wake. . Macho yangu yalikutana na kibanda kilichoonyesha 'HUDUMA CHILDREN HOME? Nilijihami na kuingia kwenye mlango kuu. Nilijichukia japokuwa nilikuwa na matumaini tele kwa ajabu ama bahati nzuri nilimpata mtawa Sofia aliyeahidi kunisaidia Niliungana na watoto, hao wengine na wenye Tumaini mpya. Jumamosi hiyo ni mtawa si rotia aliniita Sofia nije ofisini mwake.Nilipofika nilimkuta baba amekteti naye Cherule amewekewa pingu. Mara moja Nilipandwa na mori nikaanza kusonya ,uso lakini baba alianza Kuushika mkono wangu. Baba alibuba, ikua na machozi akani omba msamaha. Niliulizwa iwapo ningerejea nyumbani. Damu ni nzito kuliko maji, nilielekea nyumbani na baba huku Cherula akipelekwa korokoroni. Niliapa kuwa siku zote nitawasaidia wenye shida yoyote Niliamini Mungo si athumani.
Mungu hamuachi nani?
{ "text": [ "Mja wake" ] }
3624_swa
HOTUBA YA KIRANJA MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU UMUHIMU WA MAJI. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, sabalkheri? Ningependa kuwashukuru nyote kwa kukubali wito wangu na kukusanyika hapa. Lengo kuu nililowaitia hapa ni kuwafahamisha kuhusu umuhimu wa maji. Naomba mnisikilize hadi nitakapofika tamati. Mwanzo kabisa, sote twafahamu kuwa maji ni nini. Yana umuhimu mkubwa sana katika maisha ya binadamu. Maji husaidia katika afya mwilini au ndivyo wasemavyo kuwa maji ni uhai. Si ndani ya mwili pekee bali pia nje ya mwili kwa usafi. Isitoshe, maji hutumiwa kwa kazi mbalimbali nyumbani ikiwemo kufua, kupika na kuosha vyombo. Nawasihi msiyaharibu maji kwa kuwa bila hayo, maisha yetu yatakuwa hatarini. Nawaonya dhidi ya kuwapeleka wanyama kunywa maji mitoni kwa kuwa wao ndio wangochangia kuyachafua. Pia, msifue na kuoga mitoni. Halikadhalika, maziwa na mabahari ni njia za usafiri. Vyombo vya majini kama vile meli hutumia maji kama njia ya usafiri. Manahodha wa vyombo hivi angalau hujipatia riziki yao ya kila siku. Hutumiwa pia kujiburudisha kwa kuogelea na michezo mingine. Kando na hayo, wanyama wengi huishi majini. Baadhi ya wanyama hao kama vile samaki ni chakula muhimu kwa binadamu. Wavuvi nao pia hupata ajira kutokana na uvuvi wao. Wanyama . wao hao pia ni kivutio kikubwa cha watalii wanaokuja na kuiletea nchi pesa huku uchumi ukiinuliwa. Kuongezea kwa hayo, maji hutumiwa viwandani kwa kazi mbalimbali. Hutumika kuchanganya kemikali mbalimbali. Pia hutumika kusafisha mashine zinazotumiwa viwandani humo. Hutumiwa kuosha malighafi kabla hazijatumiwa. Asilimia kubwa ya viwanda haviwezi kuendeleza kazi zao bila maji. Isitoshe, maji hutumiwa katika ujenzi wa nyumba. Katika nyumba za msonge, hutumiwa kuchanganya mchanga ili kutengeneza matope. Hutumika katika nyumba za kisasa kwa kuchanganya simiti na mchanga. Huchanganywa na rangi ambazo hupakwa katika nyumba hizo. Pia hutumika kuosha nyumba zenyewe. Halikadhalika, maji ni muhimu mashambani katika ukuzaji wa mimea. Hutumiwa kunyunyuzia mimea ili iweze kunawiri, kemikali zinazowaua wadudu waharibifu wa mimea hutengenezwa kwa kuchanganywa na maji. Hutumiwa kuwaosha wanyama shambani, wanyama hao pia hunywa maji hayo. Yote tisa kumi ni kwamba, maji ni uhai na sote tuyatunze na kuyatumia vizuri. Ningependa kuwashukuru kwa muda wenu na mnaporudi madarasani na katika kazi zenu mbalimbali Mola awajalie afya njema. Nawatakia kila la heri na hapo nimefika tamati. Asanteni.”
Hotuba ya kiranja mkuu ilikuwa inahusu nini
{ "text": [ "Umuhimu wa maji" ] }
3624_swa
HOTUBA YA KIRANJA MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU UMUHIMU WA MAJI. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, sabalkheri? Ningependa kuwashukuru nyote kwa kukubali wito wangu na kukusanyika hapa. Lengo kuu nililowaitia hapa ni kuwafahamisha kuhusu umuhimu wa maji. Naomba mnisikilize hadi nitakapofika tamati. Mwanzo kabisa, sote twafahamu kuwa maji ni nini. Yana umuhimu mkubwa sana katika maisha ya binadamu. Maji husaidia katika afya mwilini au ndivyo wasemavyo kuwa maji ni uhai. Si ndani ya mwili pekee bali pia nje ya mwili kwa usafi. Isitoshe, maji hutumiwa kwa kazi mbalimbali nyumbani ikiwemo kufua, kupika na kuosha vyombo. Nawasihi msiyaharibu maji kwa kuwa bila hayo, maisha yetu yatakuwa hatarini. Nawaonya dhidi ya kuwapeleka wanyama kunywa maji mitoni kwa kuwa wao ndio wangochangia kuyachafua. Pia, msifue na kuoga mitoni. Halikadhalika, maziwa na mabahari ni njia za usafiri. Vyombo vya majini kama vile meli hutumia maji kama njia ya usafiri. Manahodha wa vyombo hivi angalau hujipatia riziki yao ya kila siku. Hutumiwa pia kujiburudisha kwa kuogelea na michezo mingine. Kando na hayo, wanyama wengi huishi majini. Baadhi ya wanyama hao kama vile samaki ni chakula muhimu kwa binadamu. Wavuvi nao pia hupata ajira kutokana na uvuvi wao. Wanyama . wao hao pia ni kivutio kikubwa cha watalii wanaokuja na kuiletea nchi pesa huku uchumi ukiinuliwa. Kuongezea kwa hayo, maji hutumiwa viwandani kwa kazi mbalimbali. Hutumika kuchanganya kemikali mbalimbali. Pia hutumika kusafisha mashine zinazotumiwa viwandani humo. Hutumiwa kuosha malighafi kabla hazijatumiwa. Asilimia kubwa ya viwanda haviwezi kuendeleza kazi zao bila maji. Isitoshe, maji hutumiwa katika ujenzi wa nyumba. Katika nyumba za msonge, hutumiwa kuchanganya mchanga ili kutengeneza matope. Hutumika katika nyumba za kisasa kwa kuchanganya simiti na mchanga. Huchanganywa na rangi ambazo hupakwa katika nyumba hizo. Pia hutumika kuosha nyumba zenyewe. Halikadhalika, maji ni muhimu mashambani katika ukuzaji wa mimea. Hutumiwa kunyunyuzia mimea ili iweze kunawiri, kemikali zinazowaua wadudu waharibifu wa mimea hutengenezwa kwa kuchanganywa na maji. Hutumiwa kuwaosha wanyama shambani, wanyama hao pia hunywa maji hayo. Yote tisa kumi ni kwamba, maji ni uhai na sote tuyatunze na kuyatumia vizuri. Ningependa kuwashukuru kwa muda wenu na mnaporudi madarasani na katika kazi zenu mbalimbali Mola awajalie afya njema. Nawatakia kila la heri na hapo nimefika tamati. Asanteni.”
Maji husaidia nini
{ "text": [ "Ukuzaji wa afya na mwili wa binadamu" ] }
3624_swa
HOTUBA YA KIRANJA MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU UMUHIMU WA MAJI. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, sabalkheri? Ningependa kuwashukuru nyote kwa kukubali wito wangu na kukusanyika hapa. Lengo kuu nililowaitia hapa ni kuwafahamisha kuhusu umuhimu wa maji. Naomba mnisikilize hadi nitakapofika tamati. Mwanzo kabisa, sote twafahamu kuwa maji ni nini. Yana umuhimu mkubwa sana katika maisha ya binadamu. Maji husaidia katika afya mwilini au ndivyo wasemavyo kuwa maji ni uhai. Si ndani ya mwili pekee bali pia nje ya mwili kwa usafi. Isitoshe, maji hutumiwa kwa kazi mbalimbali nyumbani ikiwemo kufua, kupika na kuosha vyombo. Nawasihi msiyaharibu maji kwa kuwa bila hayo, maisha yetu yatakuwa hatarini. Nawaonya dhidi ya kuwapeleka wanyama kunywa maji mitoni kwa kuwa wao ndio wangochangia kuyachafua. Pia, msifue na kuoga mitoni. Halikadhalika, maziwa na mabahari ni njia za usafiri. Vyombo vya majini kama vile meli hutumia maji kama njia ya usafiri. Manahodha wa vyombo hivi angalau hujipatia riziki yao ya kila siku. Hutumiwa pia kujiburudisha kwa kuogelea na michezo mingine. Kando na hayo, wanyama wengi huishi majini. Baadhi ya wanyama hao kama vile samaki ni chakula muhimu kwa binadamu. Wavuvi nao pia hupata ajira kutokana na uvuvi wao. Wanyama . wao hao pia ni kivutio kikubwa cha watalii wanaokuja na kuiletea nchi pesa huku uchumi ukiinuliwa. Kuongezea kwa hayo, maji hutumiwa viwandani kwa kazi mbalimbali. Hutumika kuchanganya kemikali mbalimbali. Pia hutumika kusafisha mashine zinazotumiwa viwandani humo. Hutumiwa kuosha malighafi kabla hazijatumiwa. Asilimia kubwa ya viwanda haviwezi kuendeleza kazi zao bila maji. Isitoshe, maji hutumiwa katika ujenzi wa nyumba. Katika nyumba za msonge, hutumiwa kuchanganya mchanga ili kutengeneza matope. Hutumika katika nyumba za kisasa kwa kuchanganya simiti na mchanga. Huchanganywa na rangi ambazo hupakwa katika nyumba hizo. Pia hutumika kuosha nyumba zenyewe. Halikadhalika, maji ni muhimu mashambani katika ukuzaji wa mimea. Hutumiwa kunyunyuzia mimea ili iweze kunawiri, kemikali zinazowaua wadudu waharibifu wa mimea hutengenezwa kwa kuchanganywa na maji. Hutumiwa kuwaosha wanyama shambani, wanyama hao pia hunywa maji hayo. Yote tisa kumi ni kwamba, maji ni uhai na sote tuyatunze na kuyatumia vizuri. Ningependa kuwashukuru kwa muda wenu na mnaporudi madarasani na katika kazi zenu mbalimbali Mola awajalie afya njema. Nawatakia kila la heri na hapo nimefika tamati. Asanteni.”
Taja matumizi mawili ya maji nyumbani
{ "text": [ "Kupika na kufua" ] }
3624_swa
HOTUBA YA KIRANJA MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU UMUHIMU WA MAJI. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, sabalkheri? Ningependa kuwashukuru nyote kwa kukubali wito wangu na kukusanyika hapa. Lengo kuu nililowaitia hapa ni kuwafahamisha kuhusu umuhimu wa maji. Naomba mnisikilize hadi nitakapofika tamati. Mwanzo kabisa, sote twafahamu kuwa maji ni nini. Yana umuhimu mkubwa sana katika maisha ya binadamu. Maji husaidia katika afya mwilini au ndivyo wasemavyo kuwa maji ni uhai. Si ndani ya mwili pekee bali pia nje ya mwili kwa usafi. Isitoshe, maji hutumiwa kwa kazi mbalimbali nyumbani ikiwemo kufua, kupika na kuosha vyombo. Nawasihi msiyaharibu maji kwa kuwa bila hayo, maisha yetu yatakuwa hatarini. Nawaonya dhidi ya kuwapeleka wanyama kunywa maji mitoni kwa kuwa wao ndio wangochangia kuyachafua. Pia, msifue na kuoga mitoni. Halikadhalika, maziwa na mabahari ni njia za usafiri. Vyombo vya majini kama vile meli hutumia maji kama njia ya usafiri. Manahodha wa vyombo hivi angalau hujipatia riziki yao ya kila siku. Hutumiwa pia kujiburudisha kwa kuogelea na michezo mingine. Kando na hayo, wanyama wengi huishi majini. Baadhi ya wanyama hao kama vile samaki ni chakula muhimu kwa binadamu. Wavuvi nao pia hupata ajira kutokana na uvuvi wao. Wanyama . wao hao pia ni kivutio kikubwa cha watalii wanaokuja na kuiletea nchi pesa huku uchumi ukiinuliwa. Kuongezea kwa hayo, maji hutumiwa viwandani kwa kazi mbalimbali. Hutumika kuchanganya kemikali mbalimbali. Pia hutumika kusafisha mashine zinazotumiwa viwandani humo. Hutumiwa kuosha malighafi kabla hazijatumiwa. Asilimia kubwa ya viwanda haviwezi kuendeleza kazi zao bila maji. Isitoshe, maji hutumiwa katika ujenzi wa nyumba. Katika nyumba za msonge, hutumiwa kuchanganya mchanga ili kutengeneza matope. Hutumika katika nyumba za kisasa kwa kuchanganya simiti na mchanga. Huchanganywa na rangi ambazo hupakwa katika nyumba hizo. Pia hutumika kuosha nyumba zenyewe. Halikadhalika, maji ni muhimu mashambani katika ukuzaji wa mimea. Hutumiwa kunyunyuzia mimea ili iweze kunawiri, kemikali zinazowaua wadudu waharibifu wa mimea hutengenezwa kwa kuchanganywa na maji. Hutumiwa kuwaosha wanyama shambani, wanyama hao pia hunywa maji hayo. Yote tisa kumi ni kwamba, maji ni uhai na sote tuyatunze na kuyatumia vizuri. Ningependa kuwashukuru kwa muda wenu na mnaporudi madarasani na katika kazi zenu mbalimbali Mola awajalie afya njema. Nawatakia kila la heri na hapo nimefika tamati. Asanteni.”
Ni chakula kipi cha binadamu majini
{ "text": [ "Samaki" ] }
3624_swa
HOTUBA YA KIRANJA MKUU KWA WANAFUNZI KUHUSU UMUHIMU WA MAJI. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, sabalkheri? Ningependa kuwashukuru nyote kwa kukubali wito wangu na kukusanyika hapa. Lengo kuu nililowaitia hapa ni kuwafahamisha kuhusu umuhimu wa maji. Naomba mnisikilize hadi nitakapofika tamati. Mwanzo kabisa, sote twafahamu kuwa maji ni nini. Yana umuhimu mkubwa sana katika maisha ya binadamu. Maji husaidia katika afya mwilini au ndivyo wasemavyo kuwa maji ni uhai. Si ndani ya mwili pekee bali pia nje ya mwili kwa usafi. Isitoshe, maji hutumiwa kwa kazi mbalimbali nyumbani ikiwemo kufua, kupika na kuosha vyombo. Nawasihi msiyaharibu maji kwa kuwa bila hayo, maisha yetu yatakuwa hatarini. Nawaonya dhidi ya kuwapeleka wanyama kunywa maji mitoni kwa kuwa wao ndio wangochangia kuyachafua. Pia, msifue na kuoga mitoni. Halikadhalika, maziwa na mabahari ni njia za usafiri. Vyombo vya majini kama vile meli hutumia maji kama njia ya usafiri. Manahodha wa vyombo hivi angalau hujipatia riziki yao ya kila siku. Hutumiwa pia kujiburudisha kwa kuogelea na michezo mingine. Kando na hayo, wanyama wengi huishi majini. Baadhi ya wanyama hao kama vile samaki ni chakula muhimu kwa binadamu. Wavuvi nao pia hupata ajira kutokana na uvuvi wao. Wanyama . wao hao pia ni kivutio kikubwa cha watalii wanaokuja na kuiletea nchi pesa huku uchumi ukiinuliwa. Kuongezea kwa hayo, maji hutumiwa viwandani kwa kazi mbalimbali. Hutumika kuchanganya kemikali mbalimbali. Pia hutumika kusafisha mashine zinazotumiwa viwandani humo. Hutumiwa kuosha malighafi kabla hazijatumiwa. Asilimia kubwa ya viwanda haviwezi kuendeleza kazi zao bila maji. Isitoshe, maji hutumiwa katika ujenzi wa nyumba. Katika nyumba za msonge, hutumiwa kuchanganya mchanga ili kutengeneza matope. Hutumika katika nyumba za kisasa kwa kuchanganya simiti na mchanga. Huchanganywa na rangi ambazo hupakwa katika nyumba hizo. Pia hutumika kuosha nyumba zenyewe. Halikadhalika, maji ni muhimu mashambani katika ukuzaji wa mimea. Hutumiwa kunyunyuzia mimea ili iweze kunawiri, kemikali zinazowaua wadudu waharibifu wa mimea hutengenezwa kwa kuchanganywa na maji. Hutumiwa kuwaosha wanyama shambani, wanyama hao pia hunywa maji hayo. Yote tisa kumi ni kwamba, maji ni uhai na sote tuyatunze na kuyatumia vizuri. Ningependa kuwashukuru kwa muda wenu na mnaporudi madarasani na katika kazi zenu mbalimbali Mola awajalie afya njema. Nawatakia kila la heri na hapo nimefika tamati. Asanteni.”
Maji ni nini
{ "text": [ "Uhai" ] }
3626_swa
4. Andika hotuba kuhusu mada yoyote. HOTUBA KUHUSU UZOROTAJI WA USALAMA KIJIJINI . “Waziri wa usalama, naibu wa waziri wa usalama, chifu, naibu wa Chifu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu sabalkheri? Leo hii nimesimama mbele yenu, nimejawa na masikitiko chungu nzima. Biwi la simanzi limetanda na kutamalaki kwote kitongojini humu. Usalama! Usalama! usalama! Hiki kimekuwa kilio kwa wakaazi wa kijiji hiki. si kwa runinga, si kwa redio, si kwa magazeti yote haya tumeyasikia na wengi wetu tumepeshika tamaa kwani hatuna la kufanya. kwani si maskini wanyonge? Japo ya kilio hiki, sote tumeamua kutia kinta masikioni mwetu na kupuuza maagizo yanayotolewa na waziri wa usalama. wengi wetu tumeamua kuwaficha wezi nyumbani mwetu bila kufikiria kuwa ni kuhatarisha maisha yetu. Tunapaswa kuelewa kuwa sisi insi ni viumbe dhaifu kwa hivyo mwizi anaweza kukata panga wewe unayemficha na kujigonga mbavu, wewe unajidai kuwa wewe ni mzalendo wa nchi hii .Wazee wametokwa na machozi huku wakiwatamkia laana kwa wezi hawa ambao wamekuwa donda sugu katika jamii hii. Ulinzi katika kitongoji hiki kimekuwa kama neno la kawaida kwa kamusi. Mababu wetu waliamba kuwa usipoziba lupa utajenga kuta. Ubakaji katika kijiji hiki pia umekuwa kitu cha kawaida. Masikitika kuwaona mabinti wenzangu wakidhuhulumiwa na wengine wao kujinyonga kwani wanataka kutoa uchungu na wengine hawataki aibu. Ndoto za wengi kama vile uhandisi zime didimia. Mbona iwe hivyo? kwa nini adinasi kuwa hayawani jinsi hii? Hatuna hata chembe cha uto? kesi zimekuwa kama nyimbo za intaani kwa masikio ya wanapolisi na hadi wasasa hakuna suluhisho la kujisaidia sisi kama wancijamii. Sote tumeamua kuchukua visa hivi kama vitu vya kawaida kila tuendapo kitu ambacho hakitakubalika kamwe. Tujifikirie, kizazi kigani tunakuza? kama ni wezi, washo frati au wenye nidhamu na heshima Usambazi wa magonjwa kama vile ukimwi umeenea miongoni mwa Vijana wetu. Hii imesababisha watu wengi walini? Adinasi wengi wetu. Hii imesababisha watu wengi kwenda safari ya lazima pasi nauli. Aha! Tulikosea wapi? Na mbona kijiji hiki? Adinasi wengi wametishika kutoka nje wakati wa jioni kwani wanaChan. Magenge haya ya wezi yamo miongoni mwetu kwani Juaryo, kitanda Ukilialiacho hauwajui kunguni wake. Wizi wa mifugo pia,limekuwa swala la kutiwa jicho jekundu. Wafugaji wengi wameachwa midomo wazi.na wengine kupigana kila kuchao.wote wanalitilia lawama. Ahmm, methali ndugu ni kufanana na si kufanana ime kosa maana yake. Mara kesho utasikia mikuki na damu mingi mno ikitininka kijijini humu. Miili ya watu italala katika vidimbwi vya damu. Yamkini dunia duara, dunia yaisha. Ukasaji wa usalama umeletwa na ukosefuuda vaminifu na umaskini mwingi- Mabwenyenye wamekatua kata kata kuwasaidia wanyonge bali wanawarushia maneno makali. Tukumbuke kuwa sisi sote ni ndugu na dada Watu wamejaribu kwa udi na umbari kutafuta kazi Lakini lo! wanaambulia patupu. Matokeo yao ni kuchoka hoi bin tiki! Mungu atukumbuke na atuepushe katika umaskini Luw.sa!! Hata hivyo, ningependa kuwatahadhinisha kuwa tunapoendelea kuwaficha wezi hawa miongoni mwetu, basi tutamaliza kijiji chote. Methali tujihadhari kabla ya hatari imekuwa kinyume. sasa hivi ni Imajutonya mjukuu ambayo kamwe huja baadaye al - Tukumbuke kuwa kujenga nchi ni miaka lakini kuibomoa ni kwa siku moja. Ningewasihi wote turipoti uovu wowote. Na kwa njia hii basi tutaimarika na kujengaina kijamii. Mababu walisema kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tufanye bidii na jitihada zetu kutilia maanani methali hii. Tusiwe walegevu kwani ibilisi anatumia udhaifu wetu na kufanya mambo yankutuletea madhara mengi. Ninapokunja jamvi, ningependa kuwahimiza kufuata sheria za kijiji hiki hasa kwa wale walegevu, wameonywa kwa miaka na mikaka na wakati huu, serikali itakabaliana na insi aia hao. Nawapongeza kwa kunipa masikio yenu na kuyatega ndi! Na pia ninatumaini kuwa huu haujakuwa wimbo wa huzuni ambao umeingilia katika sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Ahsante na Mola awatunukie neema kemkem."
Wanakitongoji walipuuza maagizo ya nani?
{ "text": [ "Waziri wa usalama" ] }
3626_swa
4. Andika hotuba kuhusu mada yoyote. HOTUBA KUHUSU UZOROTAJI WA USALAMA KIJIJINI . “Waziri wa usalama, naibu wa waziri wa usalama, chifu, naibu wa Chifu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu sabalkheri? Leo hii nimesimama mbele yenu, nimejawa na masikitiko chungu nzima. Biwi la simanzi limetanda na kutamalaki kwote kitongojini humu. Usalama! Usalama! usalama! Hiki kimekuwa kilio kwa wakaazi wa kijiji hiki. si kwa runinga, si kwa redio, si kwa magazeti yote haya tumeyasikia na wengi wetu tumepeshika tamaa kwani hatuna la kufanya. kwani si maskini wanyonge? Japo ya kilio hiki, sote tumeamua kutia kinta masikioni mwetu na kupuuza maagizo yanayotolewa na waziri wa usalama. wengi wetu tumeamua kuwaficha wezi nyumbani mwetu bila kufikiria kuwa ni kuhatarisha maisha yetu. Tunapaswa kuelewa kuwa sisi insi ni viumbe dhaifu kwa hivyo mwizi anaweza kukata panga wewe unayemficha na kujigonga mbavu, wewe unajidai kuwa wewe ni mzalendo wa nchi hii .Wazee wametokwa na machozi huku wakiwatamkia laana kwa wezi hawa ambao wamekuwa donda sugu katika jamii hii. Ulinzi katika kitongoji hiki kimekuwa kama neno la kawaida kwa kamusi. Mababu wetu waliamba kuwa usipoziba lupa utajenga kuta. Ubakaji katika kijiji hiki pia umekuwa kitu cha kawaida. Masikitika kuwaona mabinti wenzangu wakidhuhulumiwa na wengine wao kujinyonga kwani wanataka kutoa uchungu na wengine hawataki aibu. Ndoto za wengi kama vile uhandisi zime didimia. Mbona iwe hivyo? kwa nini adinasi kuwa hayawani jinsi hii? Hatuna hata chembe cha uto? kesi zimekuwa kama nyimbo za intaani kwa masikio ya wanapolisi na hadi wasasa hakuna suluhisho la kujisaidia sisi kama wancijamii. Sote tumeamua kuchukua visa hivi kama vitu vya kawaida kila tuendapo kitu ambacho hakitakubalika kamwe. Tujifikirie, kizazi kigani tunakuza? kama ni wezi, washo frati au wenye nidhamu na heshima Usambazi wa magonjwa kama vile ukimwi umeenea miongoni mwa Vijana wetu. Hii imesababisha watu wengi walini? Adinasi wengi wetu. Hii imesababisha watu wengi kwenda safari ya lazima pasi nauli. Aha! Tulikosea wapi? Na mbona kijiji hiki? Adinasi wengi wametishika kutoka nje wakati wa jioni kwani wanaChan. Magenge haya ya wezi yamo miongoni mwetu kwani Juaryo, kitanda Ukilialiacho hauwajui kunguni wake. Wizi wa mifugo pia,limekuwa swala la kutiwa jicho jekundu. Wafugaji wengi wameachwa midomo wazi.na wengine kupigana kila kuchao.wote wanalitilia lawama. Ahmm, methali ndugu ni kufanana na si kufanana ime kosa maana yake. Mara kesho utasikia mikuki na damu mingi mno ikitininka kijijini humu. Miili ya watu italala katika vidimbwi vya damu. Yamkini dunia duara, dunia yaisha. Ukasaji wa usalama umeletwa na ukosefuuda vaminifu na umaskini mwingi- Mabwenyenye wamekatua kata kata kuwasaidia wanyonge bali wanawarushia maneno makali. Tukumbuke kuwa sisi sote ni ndugu na dada Watu wamejaribu kwa udi na umbari kutafuta kazi Lakini lo! wanaambulia patupu. Matokeo yao ni kuchoka hoi bin tiki! Mungu atukumbuke na atuepushe katika umaskini Luw.sa!! Hata hivyo, ningependa kuwatahadhinisha kuwa tunapoendelea kuwaficha wezi hawa miongoni mwetu, basi tutamaliza kijiji chote. Methali tujihadhari kabla ya hatari imekuwa kinyume. sasa hivi ni Imajutonya mjukuu ambayo kamwe huja baadaye al - Tukumbuke kuwa kujenga nchi ni miaka lakini kuibomoa ni kwa siku moja. Ningewasihi wote turipoti uovu wowote. Na kwa njia hii basi tutaimarika na kujengaina kijamii. Mababu walisema kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tufanye bidii na jitihada zetu kutilia maanani methali hii. Tusiwe walegevu kwani ibilisi anatumia udhaifu wetu na kufanya mambo yankutuletea madhara mengi. Ninapokunja jamvi, ningependa kuwahimiza kufuata sheria za kijiji hiki hasa kwa wale walegevu, wameonywa kwa miaka na mikaka na wakati huu, serikali itakabaliana na insi aia hao. Nawapongeza kwa kunipa masikio yenu na kuyatega ndi! Na pia ninatumaini kuwa huu haujakuwa wimbo wa huzuni ambao umeingilia katika sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Ahsante na Mola awatunukie neema kemkem."
Nani wanaficha wezi nyumbani kwao?
{ "text": [ "Wanakitongoji" ] }
3626_swa
4. Andika hotuba kuhusu mada yoyote. HOTUBA KUHUSU UZOROTAJI WA USALAMA KIJIJINI . “Waziri wa usalama, naibu wa waziri wa usalama, chifu, naibu wa Chifu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu sabalkheri? Leo hii nimesimama mbele yenu, nimejawa na masikitiko chungu nzima. Biwi la simanzi limetanda na kutamalaki kwote kitongojini humu. Usalama! Usalama! usalama! Hiki kimekuwa kilio kwa wakaazi wa kijiji hiki. si kwa runinga, si kwa redio, si kwa magazeti yote haya tumeyasikia na wengi wetu tumepeshika tamaa kwani hatuna la kufanya. kwani si maskini wanyonge? Japo ya kilio hiki, sote tumeamua kutia kinta masikioni mwetu na kupuuza maagizo yanayotolewa na waziri wa usalama. wengi wetu tumeamua kuwaficha wezi nyumbani mwetu bila kufikiria kuwa ni kuhatarisha maisha yetu. Tunapaswa kuelewa kuwa sisi insi ni viumbe dhaifu kwa hivyo mwizi anaweza kukata panga wewe unayemficha na kujigonga mbavu, wewe unajidai kuwa wewe ni mzalendo wa nchi hii .Wazee wametokwa na machozi huku wakiwatamkia laana kwa wezi hawa ambao wamekuwa donda sugu katika jamii hii. Ulinzi katika kitongoji hiki kimekuwa kama neno la kawaida kwa kamusi. Mababu wetu waliamba kuwa usipoziba lupa utajenga kuta. Ubakaji katika kijiji hiki pia umekuwa kitu cha kawaida. Masikitika kuwaona mabinti wenzangu wakidhuhulumiwa na wengine wao kujinyonga kwani wanataka kutoa uchungu na wengine hawataki aibu. Ndoto za wengi kama vile uhandisi zime didimia. Mbona iwe hivyo? kwa nini adinasi kuwa hayawani jinsi hii? Hatuna hata chembe cha uto? kesi zimekuwa kama nyimbo za intaani kwa masikio ya wanapolisi na hadi wasasa hakuna suluhisho la kujisaidia sisi kama wancijamii. Sote tumeamua kuchukua visa hivi kama vitu vya kawaida kila tuendapo kitu ambacho hakitakubalika kamwe. Tujifikirie, kizazi kigani tunakuza? kama ni wezi, washo frati au wenye nidhamu na heshima Usambazi wa magonjwa kama vile ukimwi umeenea miongoni mwa Vijana wetu. Hii imesababisha watu wengi walini? Adinasi wengi wetu. Hii imesababisha watu wengi kwenda safari ya lazima pasi nauli. Aha! Tulikosea wapi? Na mbona kijiji hiki? Adinasi wengi wametishika kutoka nje wakati wa jioni kwani wanaChan. Magenge haya ya wezi yamo miongoni mwetu kwani Juaryo, kitanda Ukilialiacho hauwajui kunguni wake. Wizi wa mifugo pia,limekuwa swala la kutiwa jicho jekundu. Wafugaji wengi wameachwa midomo wazi.na wengine kupigana kila kuchao.wote wanalitilia lawama. Ahmm, methali ndugu ni kufanana na si kufanana ime kosa maana yake. Mara kesho utasikia mikuki na damu mingi mno ikitininka kijijini humu. Miili ya watu italala katika vidimbwi vya damu. Yamkini dunia duara, dunia yaisha. Ukasaji wa usalama umeletwa na ukosefuuda vaminifu na umaskini mwingi- Mabwenyenye wamekatua kata kata kuwasaidia wanyonge bali wanawarushia maneno makali. Tukumbuke kuwa sisi sote ni ndugu na dada Watu wamejaribu kwa udi na umbari kutafuta kazi Lakini lo! wanaambulia patupu. Matokeo yao ni kuchoka hoi bin tiki! Mungu atukumbuke na atuepushe katika umaskini Luw.sa!! Hata hivyo, ningependa kuwatahadhinisha kuwa tunapoendelea kuwaficha wezi hawa miongoni mwetu, basi tutamaliza kijiji chote. Methali tujihadhari kabla ya hatari imekuwa kinyume. sasa hivi ni Imajutonya mjukuu ambayo kamwe huja baadaye al - Tukumbuke kuwa kujenga nchi ni miaka lakini kuibomoa ni kwa siku moja. Ningewasihi wote turipoti uovu wowote. Na kwa njia hii basi tutaimarika na kujengaina kijamii. Mababu walisema kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tufanye bidii na jitihada zetu kutilia maanani methali hii. Tusiwe walegevu kwani ibilisi anatumia udhaifu wetu na kufanya mambo yankutuletea madhara mengi. Ninapokunja jamvi, ningependa kuwahimiza kufuata sheria za kijiji hiki hasa kwa wale walegevu, wameonywa kwa miaka na mikaka na wakati huu, serikali itakabaliana na insi aia hao. Nawapongeza kwa kunipa masikio yenu na kuyatega ndi! Na pia ninatumaini kuwa huu haujakuwa wimbo wa huzuni ambao umeingilia katika sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Ahsante na Mola awatunukie neema kemkem."
Usipoziba ufa utajenga nini?
{ "text": [ "Kuta" ] }
3626_swa
4. Andika hotuba kuhusu mada yoyote. HOTUBA KUHUSU UZOROTAJI WA USALAMA KIJIJINI . “Waziri wa usalama, naibu wa waziri wa usalama, chifu, naibu wa Chifu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu sabalkheri? Leo hii nimesimama mbele yenu, nimejawa na masikitiko chungu nzima. Biwi la simanzi limetanda na kutamalaki kwote kitongojini humu. Usalama! Usalama! usalama! Hiki kimekuwa kilio kwa wakaazi wa kijiji hiki. si kwa runinga, si kwa redio, si kwa magazeti yote haya tumeyasikia na wengi wetu tumepeshika tamaa kwani hatuna la kufanya. kwani si maskini wanyonge? Japo ya kilio hiki, sote tumeamua kutia kinta masikioni mwetu na kupuuza maagizo yanayotolewa na waziri wa usalama. wengi wetu tumeamua kuwaficha wezi nyumbani mwetu bila kufikiria kuwa ni kuhatarisha maisha yetu. Tunapaswa kuelewa kuwa sisi insi ni viumbe dhaifu kwa hivyo mwizi anaweza kukata panga wewe unayemficha na kujigonga mbavu, wewe unajidai kuwa wewe ni mzalendo wa nchi hii .Wazee wametokwa na machozi huku wakiwatamkia laana kwa wezi hawa ambao wamekuwa donda sugu katika jamii hii. Ulinzi katika kitongoji hiki kimekuwa kama neno la kawaida kwa kamusi. Mababu wetu waliamba kuwa usipoziba lupa utajenga kuta. Ubakaji katika kijiji hiki pia umekuwa kitu cha kawaida. Masikitika kuwaona mabinti wenzangu wakidhuhulumiwa na wengine wao kujinyonga kwani wanataka kutoa uchungu na wengine hawataki aibu. Ndoto za wengi kama vile uhandisi zime didimia. Mbona iwe hivyo? kwa nini adinasi kuwa hayawani jinsi hii? Hatuna hata chembe cha uto? kesi zimekuwa kama nyimbo za intaani kwa masikio ya wanapolisi na hadi wasasa hakuna suluhisho la kujisaidia sisi kama wancijamii. Sote tumeamua kuchukua visa hivi kama vitu vya kawaida kila tuendapo kitu ambacho hakitakubalika kamwe. Tujifikirie, kizazi kigani tunakuza? kama ni wezi, washo frati au wenye nidhamu na heshima Usambazi wa magonjwa kama vile ukimwi umeenea miongoni mwa Vijana wetu. Hii imesababisha watu wengi walini? Adinasi wengi wetu. Hii imesababisha watu wengi kwenda safari ya lazima pasi nauli. Aha! Tulikosea wapi? Na mbona kijiji hiki? Adinasi wengi wametishika kutoka nje wakati wa jioni kwani wanaChan. Magenge haya ya wezi yamo miongoni mwetu kwani Juaryo, kitanda Ukilialiacho hauwajui kunguni wake. Wizi wa mifugo pia,limekuwa swala la kutiwa jicho jekundu. Wafugaji wengi wameachwa midomo wazi.na wengine kupigana kila kuchao.wote wanalitilia lawama. Ahmm, methali ndugu ni kufanana na si kufanana ime kosa maana yake. Mara kesho utasikia mikuki na damu mingi mno ikitininka kijijini humu. Miili ya watu italala katika vidimbwi vya damu. Yamkini dunia duara, dunia yaisha. Ukasaji wa usalama umeletwa na ukosefuuda vaminifu na umaskini mwingi- Mabwenyenye wamekatua kata kata kuwasaidia wanyonge bali wanawarushia maneno makali. Tukumbuke kuwa sisi sote ni ndugu na dada Watu wamejaribu kwa udi na umbari kutafuta kazi Lakini lo! wanaambulia patupu. Matokeo yao ni kuchoka hoi bin tiki! Mungu atukumbuke na atuepushe katika umaskini Luw.sa!! Hata hivyo, ningependa kuwatahadhinisha kuwa tunapoendelea kuwaficha wezi hawa miongoni mwetu, basi tutamaliza kijiji chote. Methali tujihadhari kabla ya hatari imekuwa kinyume. sasa hivi ni Imajutonya mjukuu ambayo kamwe huja baadaye al - Tukumbuke kuwa kujenga nchi ni miaka lakini kuibomoa ni kwa siku moja. Ningewasihi wote turipoti uovu wowote. Na kwa njia hii basi tutaimarika na kujengaina kijamii. Mababu walisema kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tufanye bidii na jitihada zetu kutilia maanani methali hii. Tusiwe walegevu kwani ibilisi anatumia udhaifu wetu na kufanya mambo yankutuletea madhara mengi. Ninapokunja jamvi, ningependa kuwahimiza kufuata sheria za kijiji hiki hasa kwa wale walegevu, wameonywa kwa miaka na mikaka na wakati huu, serikali itakabaliana na insi aia hao. Nawapongeza kwa kunipa masikio yenu na kuyatega ndi! Na pia ninatumaini kuwa huu haujakuwa wimbo wa huzuni ambao umeingilia katika sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Ahsante na Mola awatunukie neema kemkem."
Nini kimekua kitu cha kawaida katika kitongoji?
{ "text": [ "Ubakaji" ] }
3626_swa
4. Andika hotuba kuhusu mada yoyote. HOTUBA KUHUSU UZOROTAJI WA USALAMA KIJIJINI . “Waziri wa usalama, naibu wa waziri wa usalama, chifu, naibu wa Chifu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu sabalkheri? Leo hii nimesimama mbele yenu, nimejawa na masikitiko chungu nzima. Biwi la simanzi limetanda na kutamalaki kwote kitongojini humu. Usalama! Usalama! usalama! Hiki kimekuwa kilio kwa wakaazi wa kijiji hiki. si kwa runinga, si kwa redio, si kwa magazeti yote haya tumeyasikia na wengi wetu tumepeshika tamaa kwani hatuna la kufanya. kwani si maskini wanyonge? Japo ya kilio hiki, sote tumeamua kutia kinta masikioni mwetu na kupuuza maagizo yanayotolewa na waziri wa usalama. wengi wetu tumeamua kuwaficha wezi nyumbani mwetu bila kufikiria kuwa ni kuhatarisha maisha yetu. Tunapaswa kuelewa kuwa sisi insi ni viumbe dhaifu kwa hivyo mwizi anaweza kukata panga wewe unayemficha na kujigonga mbavu, wewe unajidai kuwa wewe ni mzalendo wa nchi hii .Wazee wametokwa na machozi huku wakiwatamkia laana kwa wezi hawa ambao wamekuwa donda sugu katika jamii hii. Ulinzi katika kitongoji hiki kimekuwa kama neno la kawaida kwa kamusi. Mababu wetu waliamba kuwa usipoziba lupa utajenga kuta. Ubakaji katika kijiji hiki pia umekuwa kitu cha kawaida. Masikitika kuwaona mabinti wenzangu wakidhuhulumiwa na wengine wao kujinyonga kwani wanataka kutoa uchungu na wengine hawataki aibu. Ndoto za wengi kama vile uhandisi zime didimia. Mbona iwe hivyo? kwa nini adinasi kuwa hayawani jinsi hii? Hatuna hata chembe cha uto? kesi zimekuwa kama nyimbo za intaani kwa masikio ya wanapolisi na hadi wasasa hakuna suluhisho la kujisaidia sisi kama wancijamii. Sote tumeamua kuchukua visa hivi kama vitu vya kawaida kila tuendapo kitu ambacho hakitakubalika kamwe. Tujifikirie, kizazi kigani tunakuza? kama ni wezi, washo frati au wenye nidhamu na heshima Usambazi wa magonjwa kama vile ukimwi umeenea miongoni mwa Vijana wetu. Hii imesababisha watu wengi walini? Adinasi wengi wetu. Hii imesababisha watu wengi kwenda safari ya lazima pasi nauli. Aha! Tulikosea wapi? Na mbona kijiji hiki? Adinasi wengi wametishika kutoka nje wakati wa jioni kwani wanaChan. Magenge haya ya wezi yamo miongoni mwetu kwani Juaryo, kitanda Ukilialiacho hauwajui kunguni wake. Wizi wa mifugo pia,limekuwa swala la kutiwa jicho jekundu. Wafugaji wengi wameachwa midomo wazi.na wengine kupigana kila kuchao.wote wanalitilia lawama. Ahmm, methali ndugu ni kufanana na si kufanana ime kosa maana yake. Mara kesho utasikia mikuki na damu mingi mno ikitininka kijijini humu. Miili ya watu italala katika vidimbwi vya damu. Yamkini dunia duara, dunia yaisha. Ukasaji wa usalama umeletwa na ukosefuuda vaminifu na umaskini mwingi- Mabwenyenye wamekatua kata kata kuwasaidia wanyonge bali wanawarushia maneno makali. Tukumbuke kuwa sisi sote ni ndugu na dada Watu wamejaribu kwa udi na umbari kutafuta kazi Lakini lo! wanaambulia patupu. Matokeo yao ni kuchoka hoi bin tiki! Mungu atukumbuke na atuepushe katika umaskini Luw.sa!! Hata hivyo, ningependa kuwatahadhinisha kuwa tunapoendelea kuwaficha wezi hawa miongoni mwetu, basi tutamaliza kijiji chote. Methali tujihadhari kabla ya hatari imekuwa kinyume. sasa hivi ni Imajutonya mjukuu ambayo kamwe huja baadaye al - Tukumbuke kuwa kujenga nchi ni miaka lakini kuibomoa ni kwa siku moja. Ningewasihi wote turipoti uovu wowote. Na kwa njia hii basi tutaimarika na kujengaina kijamii. Mababu walisema kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tufanye bidii na jitihada zetu kutilia maanani methali hii. Tusiwe walegevu kwani ibilisi anatumia udhaifu wetu na kufanya mambo yankutuletea madhara mengi. Ninapokunja jamvi, ningependa kuwahimiza kufuata sheria za kijiji hiki hasa kwa wale walegevu, wameonywa kwa miaka na mikaka na wakati huu, serikali itakabaliana na insi aia hao. Nawapongeza kwa kunipa masikio yenu na kuyatega ndi! Na pia ninatumaini kuwa huu haujakuwa wimbo wa huzuni ambao umeingilia katika sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto.Ahsante na Mola awatunukie neema kemkem."
Vijana wengi wameathirika na nini?
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
3628_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Madeya paliishi msichana mmoja kwa jina Lyaroga. Lyaroga alikuwa msichana mzuri mwenye tabia njema na aliwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo wake. Alipendwa na kila mtu katika kijiji chao. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponona kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Alijulikana kwa sifa zake nzuri. Alipofika umri wa miaka sita, alipelekwa shuleni na kujiunga na shule ya msingi ya Waluka, iliyokuwa karibu na kijiji chao. Aliyahudhuria masomo yake vyema na kuipita mitihani yoyote iliyotokea. Walimu pamoja na na wazazi wake walifurahia tabia yake Lyaroga. Alipofika umri wa miaka kumi na miwili, tabia zake zilianza kubadilika na kuzorotoka. Alijiunga na wanafunzi ambao walikosa maadili mema na hawakufaulu vyema masomoni. Alianza kuanguka mitihani yake. Walimu na wazazi wake walijaribu kumwonya kwa tabia hizo alizokuwa amezianza, lakini wapi, maneno yao yalikua kama sauti za chura isiyomzuia ngombe kunywa maji. Pindi siku zilivyoendelea kusonga, tabia zake zilizidi kuzorotoka na kisha akaachana na masomo. Alishauriwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu bila masomo lakini wapi, alikuwa ametia komango masikioni. Alipofika umri wa miaka kumi na saba, alitoroka nyumbani kwao. Wakati huo alikuwa anatumia mihadharati ya kila aina. Si pombe, si bangi, si miraa na kadhalika. Bila kupoteza muda, Lyaroga aliamua kuolewa. Aliolewa na Bwana mmoja kwa jina Babji, aliyekawa amemtaliki mke wake. Babji alikuwa ameachiwa watoto wawili, wa kike na wa kiume. Babji alikuwa tajiri wa kiasi cha juu. Lyaroga alianza maisha na familia hiyo ya Babji. Aliwahudumia watoto hao kama mama yao ingawaje hakupenda kuitwa mama kabla hata ya kijifungua mwanawe mwenyewe. Baada ya muda wa miaka miwili, Lyaroga alipata ujauzito wa kwanza. Alipokuwa akihudhuria kliniki, aliambiwa na daktari kuwa anashida na sehemu zake za uzazi na hangeweza kuzaa mtoto aliye na afya njema. Huzuni iliyoje? Machozi yalimdondoka. Aliambiwa kuwa chanzo cha ugonjwa huo kilikuwa na utumiaji wa mihadarati. Hakuwa na la kusema wala kufanya. Kwa kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Upande mwingine, Babji alikuwa ameanza kuwa na macho ya nje. Alikuwa hawashugulikii wanawe na majukumu yote yakabakia kuwa ya Lyaroga. Ulipofika wakati wa Lyaroga kujifungua, alipitia shida mno. Alifanyiwa upasuaji uliomwacha na ndonda ndugu huku wana wa Babji wakiugua kwa kukosa chakula mwilini. Lyaroga alipojifungua, mwanawe aliaga dunia, na kumwacha na huzuni. Lyaroga alikonda mithili ya ng’oda. Mtoto wa kike wa Babji aliaga dunia. Lyaroga hakuwa na msaidizi yeyote. Mtoto huyo alizikwa na kumwacha nduguye akiwa mdhaifu mno, hakuchukua muda mrefu na pia yeye akaaga dunia. Lyaroga alibaki hana mbele wala nyuma. Alibaki kujitegemea mwenyewe. Baada ya muda wa miezi mitatu, Babji alirudi nyumbani huku akiwa anaugua ugoniwa wa Ukimwi. Huzuni ulioje. Babji alianza kuuguzia nyumbani pamoja na Lyaroga. Hakuna wakasaidia mwenzake. Ugonjwa wa Babji ulizidi. Alikonda na kukondeana, yalikuwa maisha ambayo hayaambiliki. Babji hakuchukua muda mrefu, alipiga dunia teke na kumwacha Lyaroga peke yake.. Lygroga alishindwa aende wapi. Wazazi wake hawakufikirii kama kweli Lyaroga yupo bado duniani. Siku moja, msamaria mwema alimtembelea Lyoroga, aliloyaona hakuamini. Lyaroga alikuwa na maisha magumu ambayo yalimfanya atamani dunia ipasuke na kummeza akiwa mzima. Alikimbizwa hospitalini lakini wapi, wakati wake ulikua umeisha, basi akaaga dunia. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani alikuwa msichana mzuri mwenye tabia njema
{ "text": [ "Lyavoga" ] }
3628_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Madeya paliishi msichana mmoja kwa jina Lyaroga. Lyaroga alikuwa msichana mzuri mwenye tabia njema na aliwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo wake. Alipendwa na kila mtu katika kijiji chao. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponona kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Alijulikana kwa sifa zake nzuri. Alipofika umri wa miaka sita, alipelekwa shuleni na kujiunga na shule ya msingi ya Waluka, iliyokuwa karibu na kijiji chao. Aliyahudhuria masomo yake vyema na kuipita mitihani yoyote iliyotokea. Walimu pamoja na na wazazi wake walifurahia tabia yake Lyaroga. Alipofika umri wa miaka kumi na miwili, tabia zake zilianza kubadilika na kuzorotoka. Alijiunga na wanafunzi ambao walikosa maadili mema na hawakufaulu vyema masomoni. Alianza kuanguka mitihani yake. Walimu na wazazi wake walijaribu kumwonya kwa tabia hizo alizokuwa amezianza, lakini wapi, maneno yao yalikua kama sauti za chura isiyomzuia ngombe kunywa maji. Pindi siku zilivyoendelea kusonga, tabia zake zilizidi kuzorotoka na kisha akaachana na masomo. Alishauriwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu bila masomo lakini wapi, alikuwa ametia komango masikioni. Alipofika umri wa miaka kumi na saba, alitoroka nyumbani kwao. Wakati huo alikuwa anatumia mihadharati ya kila aina. Si pombe, si bangi, si miraa na kadhalika. Bila kupoteza muda, Lyaroga aliamua kuolewa. Aliolewa na Bwana mmoja kwa jina Babji, aliyekawa amemtaliki mke wake. Babji alikuwa ameachiwa watoto wawili, wa kike na wa kiume. Babji alikuwa tajiri wa kiasi cha juu. Lyaroga alianza maisha na familia hiyo ya Babji. Aliwahudumia watoto hao kama mama yao ingawaje hakupenda kuitwa mama kabla hata ya kijifungua mwanawe mwenyewe. Baada ya muda wa miaka miwili, Lyaroga alipata ujauzito wa kwanza. Alipokuwa akihudhuria kliniki, aliambiwa na daktari kuwa anashida na sehemu zake za uzazi na hangeweza kuzaa mtoto aliye na afya njema. Huzuni iliyoje? Machozi yalimdondoka. Aliambiwa kuwa chanzo cha ugonjwa huo kilikuwa na utumiaji wa mihadarati. Hakuwa na la kusema wala kufanya. Kwa kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Upande mwingine, Babji alikuwa ameanza kuwa na macho ya nje. Alikuwa hawashugulikii wanawe na majukumu yote yakabakia kuwa ya Lyaroga. Ulipofika wakati wa Lyaroga kujifungua, alipitia shida mno. Alifanyiwa upasuaji uliomwacha na ndonda ndugu huku wana wa Babji wakiugua kwa kukosa chakula mwilini. Lyaroga alipojifungua, mwanawe aliaga dunia, na kumwacha na huzuni. Lyaroga alikonda mithili ya ng’oda. Mtoto wa kike wa Babji aliaga dunia. Lyaroga hakuwa na msaidizi yeyote. Mtoto huyo alizikwa na kumwacha nduguye akiwa mdhaifu mno, hakuchukua muda mrefu na pia yeye akaaga dunia. Lyaroga alibaki hana mbele wala nyuma. Alibaki kujitegemea mwenyewe. Baada ya muda wa miezi mitatu, Babji alirudi nyumbani huku akiwa anaugua ugoniwa wa Ukimwi. Huzuni ulioje. Babji alianza kuuguzia nyumbani pamoja na Lyaroga. Hakuna wakasaidia mwenzake. Ugonjwa wa Babji ulizidi. Alikonda na kukondeana, yalikuwa maisha ambayo hayaambiliki. Babji hakuchukua muda mrefu, alipiga dunia teke na kumwacha Lyaroga peke yake.. Lygroga alishindwa aende wapi. Wazazi wake hawakufikirii kama kweli Lyaroga yupo bado duniani. Siku moja, msamaria mwema alimtembelea Lyoroga, aliloyaona hakuamini. Lyaroga alikuwa na maisha magumu ambayo yalimfanya atamani dunia ipasuke na kummeza akiwa mzima. Alikimbizwa hospitalini lakini wapi, wakati wake ulikua umeisha, basi akaaga dunia. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Lyavoga alipendwa na nani
{ "text": [ "kila mtu" ] }
3628_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Madeya paliishi msichana mmoja kwa jina Lyaroga. Lyaroga alikuwa msichana mzuri mwenye tabia njema na aliwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo wake. Alipendwa na kila mtu katika kijiji chao. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponona kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Alijulikana kwa sifa zake nzuri. Alipofika umri wa miaka sita, alipelekwa shuleni na kujiunga na shule ya msingi ya Waluka, iliyokuwa karibu na kijiji chao. Aliyahudhuria masomo yake vyema na kuipita mitihani yoyote iliyotokea. Walimu pamoja na na wazazi wake walifurahia tabia yake Lyaroga. Alipofika umri wa miaka kumi na miwili, tabia zake zilianza kubadilika na kuzorotoka. Alijiunga na wanafunzi ambao walikosa maadili mema na hawakufaulu vyema masomoni. Alianza kuanguka mitihani yake. Walimu na wazazi wake walijaribu kumwonya kwa tabia hizo alizokuwa amezianza, lakini wapi, maneno yao yalikua kama sauti za chura isiyomzuia ngombe kunywa maji. Pindi siku zilivyoendelea kusonga, tabia zake zilizidi kuzorotoka na kisha akaachana na masomo. Alishauriwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu bila masomo lakini wapi, alikuwa ametia komango masikioni. Alipofika umri wa miaka kumi na saba, alitoroka nyumbani kwao. Wakati huo alikuwa anatumia mihadharati ya kila aina. Si pombe, si bangi, si miraa na kadhalika. Bila kupoteza muda, Lyaroga aliamua kuolewa. Aliolewa na Bwana mmoja kwa jina Babji, aliyekawa amemtaliki mke wake. Babji alikuwa ameachiwa watoto wawili, wa kike na wa kiume. Babji alikuwa tajiri wa kiasi cha juu. Lyaroga alianza maisha na familia hiyo ya Babji. Aliwahudumia watoto hao kama mama yao ingawaje hakupenda kuitwa mama kabla hata ya kijifungua mwanawe mwenyewe. Baada ya muda wa miaka miwili, Lyaroga alipata ujauzito wa kwanza. Alipokuwa akihudhuria kliniki, aliambiwa na daktari kuwa anashida na sehemu zake za uzazi na hangeweza kuzaa mtoto aliye na afya njema. Huzuni iliyoje? Machozi yalimdondoka. Aliambiwa kuwa chanzo cha ugonjwa huo kilikuwa na utumiaji wa mihadarati. Hakuwa na la kusema wala kufanya. Kwa kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Upande mwingine, Babji alikuwa ameanza kuwa na macho ya nje. Alikuwa hawashugulikii wanawe na majukumu yote yakabakia kuwa ya Lyaroga. Ulipofika wakati wa Lyaroga kujifungua, alipitia shida mno. Alifanyiwa upasuaji uliomwacha na ndonda ndugu huku wana wa Babji wakiugua kwa kukosa chakula mwilini. Lyaroga alipojifungua, mwanawe aliaga dunia, na kumwacha na huzuni. Lyaroga alikonda mithili ya ng’oda. Mtoto wa kike wa Babji aliaga dunia. Lyaroga hakuwa na msaidizi yeyote. Mtoto huyo alizikwa na kumwacha nduguye akiwa mdhaifu mno, hakuchukua muda mrefu na pia yeye akaaga dunia. Lyaroga alibaki hana mbele wala nyuma. Alibaki kujitegemea mwenyewe. Baada ya muda wa miezi mitatu, Babji alirudi nyumbani huku akiwa anaugua ugoniwa wa Ukimwi. Huzuni ulioje. Babji alianza kuuguzia nyumbani pamoja na Lyaroga. Hakuna wakasaidia mwenzake. Ugonjwa wa Babji ulizidi. Alikonda na kukondeana, yalikuwa maisha ambayo hayaambiliki. Babji hakuchukua muda mrefu, alipiga dunia teke na kumwacha Lyaroga peke yake.. Lygroga alishindwa aende wapi. Wazazi wake hawakufikirii kama kweli Lyaroga yupo bado duniani. Siku moja, msamaria mwema alimtembelea Lyoroga, aliloyaona hakuamini. Lyaroga alikuwa na maisha magumu ambayo yalimfanya atamani dunia ipasuke na kummeza akiwa mzima. Alikimbizwa hospitalini lakini wapi, wakati wake ulikua umeisha, basi akaaga dunia. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Alipelekwa shuleni alipofika umri gani
{ "text": [ "miaka sita" ] }
3628_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Madeya paliishi msichana mmoja kwa jina Lyaroga. Lyaroga alikuwa msichana mzuri mwenye tabia njema na aliwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo wake. Alipendwa na kila mtu katika kijiji chao. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponona kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Alijulikana kwa sifa zake nzuri. Alipofika umri wa miaka sita, alipelekwa shuleni na kujiunga na shule ya msingi ya Waluka, iliyokuwa karibu na kijiji chao. Aliyahudhuria masomo yake vyema na kuipita mitihani yoyote iliyotokea. Walimu pamoja na na wazazi wake walifurahia tabia yake Lyaroga. Alipofika umri wa miaka kumi na miwili, tabia zake zilianza kubadilika na kuzorotoka. Alijiunga na wanafunzi ambao walikosa maadili mema na hawakufaulu vyema masomoni. Alianza kuanguka mitihani yake. Walimu na wazazi wake walijaribu kumwonya kwa tabia hizo alizokuwa amezianza, lakini wapi, maneno yao yalikua kama sauti za chura isiyomzuia ngombe kunywa maji. Pindi siku zilivyoendelea kusonga, tabia zake zilizidi kuzorotoka na kisha akaachana na masomo. Alishauriwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu bila masomo lakini wapi, alikuwa ametia komango masikioni. Alipofika umri wa miaka kumi na saba, alitoroka nyumbani kwao. Wakati huo alikuwa anatumia mihadharati ya kila aina. Si pombe, si bangi, si miraa na kadhalika. Bila kupoteza muda, Lyaroga aliamua kuolewa. Aliolewa na Bwana mmoja kwa jina Babji, aliyekawa amemtaliki mke wake. Babji alikuwa ameachiwa watoto wawili, wa kike na wa kiume. Babji alikuwa tajiri wa kiasi cha juu. Lyaroga alianza maisha na familia hiyo ya Babji. Aliwahudumia watoto hao kama mama yao ingawaje hakupenda kuitwa mama kabla hata ya kijifungua mwanawe mwenyewe. Baada ya muda wa miaka miwili, Lyaroga alipata ujauzito wa kwanza. Alipokuwa akihudhuria kliniki, aliambiwa na daktari kuwa anashida na sehemu zake za uzazi na hangeweza kuzaa mtoto aliye na afya njema. Huzuni iliyoje? Machozi yalimdondoka. Aliambiwa kuwa chanzo cha ugonjwa huo kilikuwa na utumiaji wa mihadarati. Hakuwa na la kusema wala kufanya. Kwa kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Upande mwingine, Babji alikuwa ameanza kuwa na macho ya nje. Alikuwa hawashugulikii wanawe na majukumu yote yakabakia kuwa ya Lyaroga. Ulipofika wakati wa Lyaroga kujifungua, alipitia shida mno. Alifanyiwa upasuaji uliomwacha na ndonda ndugu huku wana wa Babji wakiugua kwa kukosa chakula mwilini. Lyaroga alipojifungua, mwanawe aliaga dunia, na kumwacha na huzuni. Lyaroga alikonda mithili ya ng’oda. Mtoto wa kike wa Babji aliaga dunia. Lyaroga hakuwa na msaidizi yeyote. Mtoto huyo alizikwa na kumwacha nduguye akiwa mdhaifu mno, hakuchukua muda mrefu na pia yeye akaaga dunia. Lyaroga alibaki hana mbele wala nyuma. Alibaki kujitegemea mwenyewe. Baada ya muda wa miezi mitatu, Babji alirudi nyumbani huku akiwa anaugua ugoniwa wa Ukimwi. Huzuni ulioje. Babji alianza kuuguzia nyumbani pamoja na Lyaroga. Hakuna wakasaidia mwenzake. Ugonjwa wa Babji ulizidi. Alikonda na kukondeana, yalikuwa maisha ambayo hayaambiliki. Babji hakuchukua muda mrefu, alipiga dunia teke na kumwacha Lyaroga peke yake.. Lygroga alishindwa aende wapi. Wazazi wake hawakufikirii kama kweli Lyaroga yupo bado duniani. Siku moja, msamaria mwema alimtembelea Lyoroga, aliloyaona hakuamini. Lyaroga alikuwa na maisha magumu ambayo yalimfanya atamani dunia ipasuke na kummeza akiwa mzima. Alikimbizwa hospitalini lakini wapi, wakati wake ulikua umeisha, basi akaaga dunia. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Alikuwa ametia nini masikioni
{ "text": [ "komango" ] }
3628_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Madeya paliishi msichana mmoja kwa jina Lyaroga. Lyaroga alikuwa msichana mzuri mwenye tabia njema na aliwaheshimu wote, wakubwa kwa wadogo wake. Alipendwa na kila mtu katika kijiji chao. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponona kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Alijulikana kwa sifa zake nzuri. Alipofika umri wa miaka sita, alipelekwa shuleni na kujiunga na shule ya msingi ya Waluka, iliyokuwa karibu na kijiji chao. Aliyahudhuria masomo yake vyema na kuipita mitihani yoyote iliyotokea. Walimu pamoja na na wazazi wake walifurahia tabia yake Lyaroga. Alipofika umri wa miaka kumi na miwili, tabia zake zilianza kubadilika na kuzorotoka. Alijiunga na wanafunzi ambao walikosa maadili mema na hawakufaulu vyema masomoni. Alianza kuanguka mitihani yake. Walimu na wazazi wake walijaribu kumwonya kwa tabia hizo alizokuwa amezianza, lakini wapi, maneno yao yalikua kama sauti za chura isiyomzuia ngombe kunywa maji. Pindi siku zilivyoendelea kusonga, tabia zake zilizidi kuzorotoka na kisha akaachana na masomo. Alishauriwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu bila masomo lakini wapi, alikuwa ametia komango masikioni. Alipofika umri wa miaka kumi na saba, alitoroka nyumbani kwao. Wakati huo alikuwa anatumia mihadharati ya kila aina. Si pombe, si bangi, si miraa na kadhalika. Bila kupoteza muda, Lyaroga aliamua kuolewa. Aliolewa na Bwana mmoja kwa jina Babji, aliyekawa amemtaliki mke wake. Babji alikuwa ameachiwa watoto wawili, wa kike na wa kiume. Babji alikuwa tajiri wa kiasi cha juu. Lyaroga alianza maisha na familia hiyo ya Babji. Aliwahudumia watoto hao kama mama yao ingawaje hakupenda kuitwa mama kabla hata ya kijifungua mwanawe mwenyewe. Baada ya muda wa miaka miwili, Lyaroga alipata ujauzito wa kwanza. Alipokuwa akihudhuria kliniki, aliambiwa na daktari kuwa anashida na sehemu zake za uzazi na hangeweza kuzaa mtoto aliye na afya njema. Huzuni iliyoje? Machozi yalimdondoka. Aliambiwa kuwa chanzo cha ugonjwa huo kilikuwa na utumiaji wa mihadarati. Hakuwa na la kusema wala kufanya. Kwa kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Upande mwingine, Babji alikuwa ameanza kuwa na macho ya nje. Alikuwa hawashugulikii wanawe na majukumu yote yakabakia kuwa ya Lyaroga. Ulipofika wakati wa Lyaroga kujifungua, alipitia shida mno. Alifanyiwa upasuaji uliomwacha na ndonda ndugu huku wana wa Babji wakiugua kwa kukosa chakula mwilini. Lyaroga alipojifungua, mwanawe aliaga dunia, na kumwacha na huzuni. Lyaroga alikonda mithili ya ng’oda. Mtoto wa kike wa Babji aliaga dunia. Lyaroga hakuwa na msaidizi yeyote. Mtoto huyo alizikwa na kumwacha nduguye akiwa mdhaifu mno, hakuchukua muda mrefu na pia yeye akaaga dunia. Lyaroga alibaki hana mbele wala nyuma. Alibaki kujitegemea mwenyewe. Baada ya muda wa miezi mitatu, Babji alirudi nyumbani huku akiwa anaugua ugoniwa wa Ukimwi. Huzuni ulioje. Babji alianza kuuguzia nyumbani pamoja na Lyaroga. Hakuna wakasaidia mwenzake. Ugonjwa wa Babji ulizidi. Alikonda na kukondeana, yalikuwa maisha ambayo hayaambiliki. Babji hakuchukua muda mrefu, alipiga dunia teke na kumwacha Lyaroga peke yake.. Lygroga alishindwa aende wapi. Wazazi wake hawakufikirii kama kweli Lyaroga yupo bado duniani. Siku moja, msamaria mwema alimtembelea Lyoroga, aliloyaona hakuamini. Lyaroga alikuwa na maisha magumu ambayo yalimfanya atamani dunia ipasuke na kummeza akiwa mzima. Alikimbizwa hospitalini lakini wapi, wakati wake ulikua umeisha, basi akaaga dunia. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mbona hakukuwa na wa kusaidia mmoja wao
{ "text": [ "kwa kuwa wote waliugua" ] }
3630_swa
MOLA HAMTUPI MJA WAKE. Bahati alikuwa msichana mwenye bidii ya mchwa. Bidii yake ilimfanya aongoze tangu chekechea hadi kidato cha nne. Mitihani yote hakuipuuza wala majaribu ya shuleni hukuyafanyia mzaha. Lakini tumeambiwa kuwa dau la mnyonge haliendi joshi. Bahati alikosa pesa za kujiandikisha kwa mtihani wa kitaifa. Hakuwa amelipiwa karo wala pesa za usajili wa mtihani huo wa kitaifa. Hali ya majonzi ilimvaa kila alipokumbuka kuwa muda wa kujisajili ulikaribia kwisha. Zaidi, hakujua pesa zingepatika na wapi. Kama angekuwa na uwezo wa kurudisha majira nyuma, angeyasimamisha yasisonge hata sekunde. Alimtegemea mama yake ambaye alikuwa akifanya kazi ya uuzaji wa bidhaa mbalimbali. Ingawa mamake Bahati alitia bidii katika kazi yake, faida aliyopata ilitumika katika mahitaji ya nyumbani. Masaibu ya Bahati, yalizidi pale ambapo ilipomdhihirikia kwamba hangeweza kusajiliwa kwa kuwa zilikuwa zimesalia siku mbili tu za kujisajili. Hata hivyo, hakikumzuia kwenda shuleni, hali iliyomhuzunisha zaidi mamake. Kila mara, alimsihi mwanawe kutopoteza muda kwa kwenda shuleni maanake hakuona uwezekano wa bintiye kufanya mtihani. Laiti angelijua pa kutoa pesa, basi naye angelikwishaijaza hii fukwe kusa tafakari na takariri. Lakini, Bahati alikuwa na maoni tofauti. Alimwambia kuwa heri kupata nusu ya shari kuliko kupata shari kamili. Siku ya mwisho ya usajili iliwadia, Bahati alishuhudia kwa majonzi wenzake wakishughulika kuhakikisha kuwa kila kitu kilikuwa shwari. Hali hiyo ilimzidi fundo la uchungu moyoni. Kilio chake cha kikweukweu kilipokosa cha kunywa alikiweka wazi. Akalia kwa sauti ya juu iliyomgutusha kila mtu aliyekuwa ukumbini wolimokuwa wakijisajili wanafunzi wenzake. Kilio chake kumbe kilimvutia hata mwalimu mkuu ambaye alifika upesi kubaini kilikoni. Alimkuta. Bahati amejikunyata pembeni akilia. Alimwinua na kuondoka naye taratibu kuelekea ofisini mwake. Bahati hakuchelea kumpa dukuduku lililokuwa moyoni mwake. Mwalimu mkuu alijua kuwa Bahati alikuwa na matatizo ya kulipa karo,kwa hivyo alimpan idhini ya kuendelea na masomo, ila hili la mtihani hakulitarajia. Bahati ndiye aliyekuwa mwanafunzi bora katika darasa lake. Ingekuwaje wengine wafanye mtihani naye akose kufanya? Mwalimu mkuu alimwambia mhasibu wa shule kumlipia Bahati pesa za usajili kutoka kwa akaunti yake ila siku ambayo mamake angepeta pesa za kulipa, angemrejeshea. Ghafla hiyo, michirizi ya machozi ilianza kufutika na kuacha alama za njia yake kwenye uso mwanana wa Bahati. Ilikuwa bahati ambayo hataisahau kwa wema aliomtendea mwalimu mkuu. Kwa kweli, penye nia hapokasi njia.
Ni nini kilichomwezesha Bahati kuongoza tangu chekechea
{ "text": [ "Ilikuwa bidii" ] }
3630_swa
MOLA HAMTUPI MJA WAKE. Bahati alikuwa msichana mwenye bidii ya mchwa. Bidii yake ilimfanya aongoze tangu chekechea hadi kidato cha nne. Mitihani yote hakuipuuza wala majaribu ya shuleni hukuyafanyia mzaha. Lakini tumeambiwa kuwa dau la mnyonge haliendi joshi. Bahati alikosa pesa za kujiandikisha kwa mtihani wa kitaifa. Hakuwa amelipiwa karo wala pesa za usajili wa mtihani huo wa kitaifa. Hali ya majonzi ilimvaa kila alipokumbuka kuwa muda wa kujisajili ulikaribia kwisha. Zaidi, hakujua pesa zingepatika na wapi. Kama angekuwa na uwezo wa kurudisha majira nyuma, angeyasimamisha yasisonge hata sekunde. Alimtegemea mama yake ambaye alikuwa akifanya kazi ya uuzaji wa bidhaa mbalimbali. Ingawa mamake Bahati alitia bidii katika kazi yake, faida aliyopata ilitumika katika mahitaji ya nyumbani. Masaibu ya Bahati, yalizidi pale ambapo ilipomdhihirikia kwamba hangeweza kusajiliwa kwa kuwa zilikuwa zimesalia siku mbili tu za kujisajili. Hata hivyo, hakikumzuia kwenda shuleni, hali iliyomhuzunisha zaidi mamake. Kila mara, alimsihi mwanawe kutopoteza muda kwa kwenda shuleni maanake hakuona uwezekano wa bintiye kufanya mtihani. Laiti angelijua pa kutoa pesa, basi naye angelikwishaijaza hii fukwe kusa tafakari na takariri. Lakini, Bahati alikuwa na maoni tofauti. Alimwambia kuwa heri kupata nusu ya shari kuliko kupata shari kamili. Siku ya mwisho ya usajili iliwadia, Bahati alishuhudia kwa majonzi wenzake wakishughulika kuhakikisha kuwa kila kitu kilikuwa shwari. Hali hiyo ilimzidi fundo la uchungu moyoni. Kilio chake cha kikweukweu kilipokosa cha kunywa alikiweka wazi. Akalia kwa sauti ya juu iliyomgutusha kila mtu aliyekuwa ukumbini wolimokuwa wakijisajili wanafunzi wenzake. Kilio chake kumbe kilimvutia hata mwalimu mkuu ambaye alifika upesi kubaini kilikoni. Alimkuta. Bahati amejikunyata pembeni akilia. Alimwinua na kuondoka naye taratibu kuelekea ofisini mwake. Bahati hakuchelea kumpa dukuduku lililokuwa moyoni mwake. Mwalimu mkuu alijua kuwa Bahati alikuwa na matatizo ya kulipa karo,kwa hivyo alimpan idhini ya kuendelea na masomo, ila hili la mtihani hakulitarajia. Bahati ndiye aliyekuwa mwanafunzi bora katika darasa lake. Ingekuwaje wengine wafanye mtihani naye akose kufanya? Mwalimu mkuu alimwambia mhasibu wa shule kumlipia Bahati pesa za usajili kutoka kwa akaunti yake ila siku ambayo mamake angepeta pesa za kulipa, angemrejeshea. Ghafla hiyo, michirizi ya machozi ilianza kufutika na kuacha alama za njia yake kwenye uso mwanana wa Bahati. Ilikuwa bahati ambayo hataisahau kwa wema aliomtendea mwalimu mkuu. Kwa kweli, penye nia hapokasi njia.
Bahati alikosa nini wakati wa usajili wa mtihani wa kitaifa
{ "text": [ "Karo" ] }
3630_swa
MOLA HAMTUPI MJA WAKE. Bahati alikuwa msichana mwenye bidii ya mchwa. Bidii yake ilimfanya aongoze tangu chekechea hadi kidato cha nne. Mitihani yote hakuipuuza wala majaribu ya shuleni hukuyafanyia mzaha. Lakini tumeambiwa kuwa dau la mnyonge haliendi joshi. Bahati alikosa pesa za kujiandikisha kwa mtihani wa kitaifa. Hakuwa amelipiwa karo wala pesa za usajili wa mtihani huo wa kitaifa. Hali ya majonzi ilimvaa kila alipokumbuka kuwa muda wa kujisajili ulikaribia kwisha. Zaidi, hakujua pesa zingepatika na wapi. Kama angekuwa na uwezo wa kurudisha majira nyuma, angeyasimamisha yasisonge hata sekunde. Alimtegemea mama yake ambaye alikuwa akifanya kazi ya uuzaji wa bidhaa mbalimbali. Ingawa mamake Bahati alitia bidii katika kazi yake, faida aliyopata ilitumika katika mahitaji ya nyumbani. Masaibu ya Bahati, yalizidi pale ambapo ilipomdhihirikia kwamba hangeweza kusajiliwa kwa kuwa zilikuwa zimesalia siku mbili tu za kujisajili. Hata hivyo, hakikumzuia kwenda shuleni, hali iliyomhuzunisha zaidi mamake. Kila mara, alimsihi mwanawe kutopoteza muda kwa kwenda shuleni maanake hakuona uwezekano wa bintiye kufanya mtihani. Laiti angelijua pa kutoa pesa, basi naye angelikwishaijaza hii fukwe kusa tafakari na takariri. Lakini, Bahati alikuwa na maoni tofauti. Alimwambia kuwa heri kupata nusu ya shari kuliko kupata shari kamili. Siku ya mwisho ya usajili iliwadia, Bahati alishuhudia kwa majonzi wenzake wakishughulika kuhakikisha kuwa kila kitu kilikuwa shwari. Hali hiyo ilimzidi fundo la uchungu moyoni. Kilio chake cha kikweukweu kilipokosa cha kunywa alikiweka wazi. Akalia kwa sauti ya juu iliyomgutusha kila mtu aliyekuwa ukumbini wolimokuwa wakijisajili wanafunzi wenzake. Kilio chake kumbe kilimvutia hata mwalimu mkuu ambaye alifika upesi kubaini kilikoni. Alimkuta. Bahati amejikunyata pembeni akilia. Alimwinua na kuondoka naye taratibu kuelekea ofisini mwake. Bahati hakuchelea kumpa dukuduku lililokuwa moyoni mwake. Mwalimu mkuu alijua kuwa Bahati alikuwa na matatizo ya kulipa karo,kwa hivyo alimpan idhini ya kuendelea na masomo, ila hili la mtihani hakulitarajia. Bahati ndiye aliyekuwa mwanafunzi bora katika darasa lake. Ingekuwaje wengine wafanye mtihani naye akose kufanya? Mwalimu mkuu alimwambia mhasibu wa shule kumlipia Bahati pesa za usajili kutoka kwa akaunti yake ila siku ambayo mamake angepeta pesa za kulipa, angemrejeshea. Ghafla hiyo, michirizi ya machozi ilianza kufutika na kuacha alama za njia yake kwenye uso mwanana wa Bahati. Ilikuwa bahati ambayo hataisahau kwa wema aliomtendea mwalimu mkuu. Kwa kweli, penye nia hapokasi njia.
Mamake Bahati alifanya kazi gani
{ "text": [ "Alikuwa muuzaji wa bidhaa mbalimbali" ] }
3630_swa
MOLA HAMTUPI MJA WAKE. Bahati alikuwa msichana mwenye bidii ya mchwa. Bidii yake ilimfanya aongoze tangu chekechea hadi kidato cha nne. Mitihani yote hakuipuuza wala majaribu ya shuleni hukuyafanyia mzaha. Lakini tumeambiwa kuwa dau la mnyonge haliendi joshi. Bahati alikosa pesa za kujiandikisha kwa mtihani wa kitaifa. Hakuwa amelipiwa karo wala pesa za usajili wa mtihani huo wa kitaifa. Hali ya majonzi ilimvaa kila alipokumbuka kuwa muda wa kujisajili ulikaribia kwisha. Zaidi, hakujua pesa zingepatika na wapi. Kama angekuwa na uwezo wa kurudisha majira nyuma, angeyasimamisha yasisonge hata sekunde. Alimtegemea mama yake ambaye alikuwa akifanya kazi ya uuzaji wa bidhaa mbalimbali. Ingawa mamake Bahati alitia bidii katika kazi yake, faida aliyopata ilitumika katika mahitaji ya nyumbani. Masaibu ya Bahati, yalizidi pale ambapo ilipomdhihirikia kwamba hangeweza kusajiliwa kwa kuwa zilikuwa zimesalia siku mbili tu za kujisajili. Hata hivyo, hakikumzuia kwenda shuleni, hali iliyomhuzunisha zaidi mamake. Kila mara, alimsihi mwanawe kutopoteza muda kwa kwenda shuleni maanake hakuona uwezekano wa bintiye kufanya mtihani. Laiti angelijua pa kutoa pesa, basi naye angelikwishaijaza hii fukwe kusa tafakari na takariri. Lakini, Bahati alikuwa na maoni tofauti. Alimwambia kuwa heri kupata nusu ya shari kuliko kupata shari kamili. Siku ya mwisho ya usajili iliwadia, Bahati alishuhudia kwa majonzi wenzake wakishughulika kuhakikisha kuwa kila kitu kilikuwa shwari. Hali hiyo ilimzidi fundo la uchungu moyoni. Kilio chake cha kikweukweu kilipokosa cha kunywa alikiweka wazi. Akalia kwa sauti ya juu iliyomgutusha kila mtu aliyekuwa ukumbini wolimokuwa wakijisajili wanafunzi wenzake. Kilio chake kumbe kilimvutia hata mwalimu mkuu ambaye alifika upesi kubaini kilikoni. Alimkuta. Bahati amejikunyata pembeni akilia. Alimwinua na kuondoka naye taratibu kuelekea ofisini mwake. Bahati hakuchelea kumpa dukuduku lililokuwa moyoni mwake. Mwalimu mkuu alijua kuwa Bahati alikuwa na matatizo ya kulipa karo,kwa hivyo alimpan idhini ya kuendelea na masomo, ila hili la mtihani hakulitarajia. Bahati ndiye aliyekuwa mwanafunzi bora katika darasa lake. Ingekuwaje wengine wafanye mtihani naye akose kufanya? Mwalimu mkuu alimwambia mhasibu wa shule kumlipia Bahati pesa za usajili kutoka kwa akaunti yake ila siku ambayo mamake angepeta pesa za kulipa, angemrejeshea. Ghafla hiyo, michirizi ya machozi ilianza kufutika na kuacha alama za njia yake kwenye uso mwanana wa Bahati. Ilikuwa bahati ambayo hataisahau kwa wema aliomtendea mwalimu mkuu. Kwa kweli, penye nia hapokasi njia.
Kwa nini Bahati alilia
{ "text": [ "Kwa sababu ya fundo la uchungu la kutosajiliwa. " ] }
3630_swa
MOLA HAMTUPI MJA WAKE. Bahati alikuwa msichana mwenye bidii ya mchwa. Bidii yake ilimfanya aongoze tangu chekechea hadi kidato cha nne. Mitihani yote hakuipuuza wala majaribu ya shuleni hukuyafanyia mzaha. Lakini tumeambiwa kuwa dau la mnyonge haliendi joshi. Bahati alikosa pesa za kujiandikisha kwa mtihani wa kitaifa. Hakuwa amelipiwa karo wala pesa za usajili wa mtihani huo wa kitaifa. Hali ya majonzi ilimvaa kila alipokumbuka kuwa muda wa kujisajili ulikaribia kwisha. Zaidi, hakujua pesa zingepatika na wapi. Kama angekuwa na uwezo wa kurudisha majira nyuma, angeyasimamisha yasisonge hata sekunde. Alimtegemea mama yake ambaye alikuwa akifanya kazi ya uuzaji wa bidhaa mbalimbali. Ingawa mamake Bahati alitia bidii katika kazi yake, faida aliyopata ilitumika katika mahitaji ya nyumbani. Masaibu ya Bahati, yalizidi pale ambapo ilipomdhihirikia kwamba hangeweza kusajiliwa kwa kuwa zilikuwa zimesalia siku mbili tu za kujisajili. Hata hivyo, hakikumzuia kwenda shuleni, hali iliyomhuzunisha zaidi mamake. Kila mara, alimsihi mwanawe kutopoteza muda kwa kwenda shuleni maanake hakuona uwezekano wa bintiye kufanya mtihani. Laiti angelijua pa kutoa pesa, basi naye angelikwishaijaza hii fukwe kusa tafakari na takariri. Lakini, Bahati alikuwa na maoni tofauti. Alimwambia kuwa heri kupata nusu ya shari kuliko kupata shari kamili. Siku ya mwisho ya usajili iliwadia, Bahati alishuhudia kwa majonzi wenzake wakishughulika kuhakikisha kuwa kila kitu kilikuwa shwari. Hali hiyo ilimzidi fundo la uchungu moyoni. Kilio chake cha kikweukweu kilipokosa cha kunywa alikiweka wazi. Akalia kwa sauti ya juu iliyomgutusha kila mtu aliyekuwa ukumbini wolimokuwa wakijisajili wanafunzi wenzake. Kilio chake kumbe kilimvutia hata mwalimu mkuu ambaye alifika upesi kubaini kilikoni. Alimkuta. Bahati amejikunyata pembeni akilia. Alimwinua na kuondoka naye taratibu kuelekea ofisini mwake. Bahati hakuchelea kumpa dukuduku lililokuwa moyoni mwake. Mwalimu mkuu alijua kuwa Bahati alikuwa na matatizo ya kulipa karo,kwa hivyo alimpan idhini ya kuendelea na masomo, ila hili la mtihani hakulitarajia. Bahati ndiye aliyekuwa mwanafunzi bora katika darasa lake. Ingekuwaje wengine wafanye mtihani naye akose kufanya? Mwalimu mkuu alimwambia mhasibu wa shule kumlipia Bahati pesa za usajili kutoka kwa akaunti yake ila siku ambayo mamake angepeta pesa za kulipa, angemrejeshea. Ghafla hiyo, michirizi ya machozi ilianza kufutika na kuacha alama za njia yake kwenye uso mwanana wa Bahati. Ilikuwa bahati ambayo hataisahau kwa wema aliomtendea mwalimu mkuu. Kwa kweli, penye nia hapokasi njia.
Mwalimu mkuu alipokisikia kilio cha Bahati alimpata amejikunyata wapi
{ "text": [ "Pembeni akilia" ] }
3632_swa
JINSI NIVYOOKOLEWA KUTOKA MENONI MWA KIFO Ilikuwa ni siku ya Jumatano jioni, mimi pamoja na marafiki zangu tulikuwa tumetoka masomo ya ziada. Tulikuwa tukijadiliana mambo kadhaa yaliyokuwa yametendeka darasani. Kwa kuwa giza ilikuwa imeingia, niliwashawishi marafiki zangu kupitia njia fupi iliyokuwa ndani ya msitu. Wawili walikataa na kuamua kupitia njia ndefu. Rafiki yangu wa chanda na pete alikubali kupitia njia moja nami. Basi hivyo ndivyo tulitengana nao. Mimi pamoja na rafiki yangu tuliendelea na safari kupitia njia fupi. Tulitembea hatua chache na ningeweza kuiona nyumba yetu. Tulifika mahali penye njia panda, moja ilielekea kwetu na nyingine ilielekea nyumbani kwa rafiki yangu. Ilitubidi tutengane. Nilianza kuwa na woga kwa kuwa mimi sikupenda kutembea peke yangu gizani. Niliongeza hatua zangu na kuanza kuimba wimbo ulionipa ujasiri wakati wowote nilipouimba. Nilipokuwa nikitembea, nilihisi kama kulikuwa na hatua zilizokuwa nyuma yangu. Niliamua kuipa sauti hiyo sikio la kufa kwa kuwa nilidhani kuwa ulikuwa ni woga wangu ambao ulifanya nisikie mambo ambayo hayakuwa yakitendeka. Kufumba na kufumbua, mikono mikubwa, baridi kama barafu na iliyo na malaika ndefu iliniziba uso. Nilipojaribu kupiga mayowe , nilizabwa kopi iliyonifanya nipoteze fahamu. Niliporejesha fahamu, nilishtuliwa na kile nilichoonga. Nilikuwa katika chumba kilichokuwa na vichwa, ndimi, mifupa na sehemu mbalimbali za mwili ambazo hazikuwa na uhai. Bila kuambiwa, nilijua kuwa nilikuwa nimetekwa nyara. Niliishika roho yangu mkononi, nikaanza kumwomba Mola angalau atume mtu atakayeniokoa. Upande mmoja, nilikuwa na uhakika kuwa siku yangu ya kufa ilikuwa imewadia. Baada ya kukaa hapo kwa masaa kadhaa, nilisikia sauti za watu. Bila shaka, watu hao walikuwa wanajadiliana juu ya kitu na waliongea kwa sauti ya chini ili wasisikike. Mlango ulifunguliwa na mtoto mwenye umri usiozidi umri wa miaka mitano akarushwa ndani. Mtoto huyo alionekana kutoka familia ya wakwasi. Watu hao walikuwa wamevalia makoti meusi na walikuwa wamejaa nywele usoni na hata za kichwa. Sura zao zilikuwa zinatisha, ja za watu waliokuwa wametoka jehanamu. “Leo bahati haijawa upande wetu. Watoto wawili ni wachache, leo biashara zetu zitaharibika,” mmoja alisema huku akionyesha kusikitishwa. “ Nadhani inatubidi tuongeze wengine watatu kisha tutawapeleka kesho jioni,” mwingine akajibu. Kwa kusikia hayo, niliishiwa na nguvu.Sikujua la kufanya, nilipoteza tumaini ya kuokolewa. Niliamua kuswali ili kutubu dhambi zangu na kungoja kifo changu. Mmoja wa watu hao aliondoka na mwingine kubaki. Akaja tulipokuwa tumesimama. “Keti chini! Kichwa chako kinaonekana kizuri na kitapata soko haraka.” aliniambia. Machozi yalinitiririka mbili mbili. Alipokuwa anaenda kumwangalia mtoto aliyekuwa kando yangu, aliitwa na mweziwe. Alikimbia mahali alikoitwa. Mungu wangu! Alisahau kuufunga mlango. Nilikuwa nimepata fursa ya kutoroka. Nilitupa macho huku na huko kuhakikisha kuwa hawakuwa hapo nje. Nilikimbia kwa kasi ya umeme. Sikujua nilikokuwa nikikimbia bali sikuacha kukimbia. Niliona mwangaza kwa umbali, nikajua labda itakuwa ni nyumba ya watu wa eneo hilo. Moyo wangu ukatulia. Nikaanza kutembea aste aste ili kupumzika. Nilizidi kusongea mwangaza huo. Nilipofika, nilipigwa na butwaa, kwani mwanga huo ulikuwa ni wa simba , mnyama aliyeogofya kila mtu. Kwa kuwa simba huyo, hakuwa ameniona, nilikanyaga hatua zangu pole pole ili asinisikie. Nilipokuwa nimesonga hatua chache mbele, nilikanyaga kijiti na kikavunjika kwa sauti kubwa. Nilijiona nisiyekuwa na bahati, simba huyo alianza kunguruma huku akitafuta kiumbe kilichokuwa kimetoa sauti. Nilianza kusali Mungu afungue njia. Hapo ndipo nilipoona pango. Nikakimbia na kujificha ndani bila ya kujua, kumbe pango hilo lilikuwa nila simba huyo. Mapigo ya moyo wangu yaliongezeka na kupiga kwa sauti. Simba huyo alianza kuja kwa pango. Alivyozidi kusonga, nilizidi kuhesabu dakika zangu za kuipa dunia kisogo. Alipotaka kunirukia nilifumba macho huku nikipiga mayowe. Kilichofuata, nilisikia kitu kikianguka kwa kishindo. Nilikuwa hai bado! Na simba alikuwa ameanguka mbele yangu huku akiogelea kwenye ziwa la damu. Ni nini kilikuwa kimefanyika? Nilibaki kinywa wazi kwa kuwa sikuyaamini macho yangu. Hapo, nikaona umati wa watu ukija nilikokuwa. Baba na mama walikuwa miongoni mwao. Walikimbia na kunikumbatia. Walinielezea kuwa walikuwa na wasiwasi nilipochelewa kufika nyumbani. Wakamuuliza rafiki yangu na majirani wote ikiwa walikuwa wameniona. Walipogundua kuwa sikuwa kijijini, wanakijiji walijitolea kuwasaidia wavyele wangu kunitafuta. Na kwa bahati njema, nilipokuwa nikikimbia niliangusha kitambaa changu na mama akakitambua. Niliwashukuru na kumshukuru Mungu. Niliwasimulia niliyokuwa nimepitia. Nikakumbuka kuwa nilimwacha mtoto mdogo katika chumba cha wale walioniteka nyara. Polisi pamoja na wanakijiji walikimbia kuelekea huko. Tulipofika tuliwapata watu hao wakijaribu kutoroka. Polisi waliwakamata na kuwatia mbaroni, wakamwokoa mtoto huyo. Japo nilikuwa nimepitia cha mtema kuni siku hiyo, nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kutoka kwenye meno ya kifo.
Ilikuwa siku ya Jumatano saa ngapi
{ "text": [ "jioni" ] }
3632_swa
JINSI NIVYOOKOLEWA KUTOKA MENONI MWA KIFO Ilikuwa ni siku ya Jumatano jioni, mimi pamoja na marafiki zangu tulikuwa tumetoka masomo ya ziada. Tulikuwa tukijadiliana mambo kadhaa yaliyokuwa yametendeka darasani. Kwa kuwa giza ilikuwa imeingia, niliwashawishi marafiki zangu kupitia njia fupi iliyokuwa ndani ya msitu. Wawili walikataa na kuamua kupitia njia ndefu. Rafiki yangu wa chanda na pete alikubali kupitia njia moja nami. Basi hivyo ndivyo tulitengana nao. Mimi pamoja na rafiki yangu tuliendelea na safari kupitia njia fupi. Tulitembea hatua chache na ningeweza kuiona nyumba yetu. Tulifika mahali penye njia panda, moja ilielekea kwetu na nyingine ilielekea nyumbani kwa rafiki yangu. Ilitubidi tutengane. Nilianza kuwa na woga kwa kuwa mimi sikupenda kutembea peke yangu gizani. Niliongeza hatua zangu na kuanza kuimba wimbo ulionipa ujasiri wakati wowote nilipouimba. Nilipokuwa nikitembea, nilihisi kama kulikuwa na hatua zilizokuwa nyuma yangu. Niliamua kuipa sauti hiyo sikio la kufa kwa kuwa nilidhani kuwa ulikuwa ni woga wangu ambao ulifanya nisikie mambo ambayo hayakuwa yakitendeka. Kufumba na kufumbua, mikono mikubwa, baridi kama barafu na iliyo na malaika ndefu iliniziba uso. Nilipojaribu kupiga mayowe , nilizabwa kopi iliyonifanya nipoteze fahamu. Niliporejesha fahamu, nilishtuliwa na kile nilichoonga. Nilikuwa katika chumba kilichokuwa na vichwa, ndimi, mifupa na sehemu mbalimbali za mwili ambazo hazikuwa na uhai. Bila kuambiwa, nilijua kuwa nilikuwa nimetekwa nyara. Niliishika roho yangu mkononi, nikaanza kumwomba Mola angalau atume mtu atakayeniokoa. Upande mmoja, nilikuwa na uhakika kuwa siku yangu ya kufa ilikuwa imewadia. Baada ya kukaa hapo kwa masaa kadhaa, nilisikia sauti za watu. Bila shaka, watu hao walikuwa wanajadiliana juu ya kitu na waliongea kwa sauti ya chini ili wasisikike. Mlango ulifunguliwa na mtoto mwenye umri usiozidi umri wa miaka mitano akarushwa ndani. Mtoto huyo alionekana kutoka familia ya wakwasi. Watu hao walikuwa wamevalia makoti meusi na walikuwa wamejaa nywele usoni na hata za kichwa. Sura zao zilikuwa zinatisha, ja za watu waliokuwa wametoka jehanamu. “Leo bahati haijawa upande wetu. Watoto wawili ni wachache, leo biashara zetu zitaharibika,” mmoja alisema huku akionyesha kusikitishwa. “ Nadhani inatubidi tuongeze wengine watatu kisha tutawapeleka kesho jioni,” mwingine akajibu. Kwa kusikia hayo, niliishiwa na nguvu.Sikujua la kufanya, nilipoteza tumaini ya kuokolewa. Niliamua kuswali ili kutubu dhambi zangu na kungoja kifo changu. Mmoja wa watu hao aliondoka na mwingine kubaki. Akaja tulipokuwa tumesimama. “Keti chini! Kichwa chako kinaonekana kizuri na kitapata soko haraka.” aliniambia. Machozi yalinitiririka mbili mbili. Alipokuwa anaenda kumwangalia mtoto aliyekuwa kando yangu, aliitwa na mweziwe. Alikimbia mahali alikoitwa. Mungu wangu! Alisahau kuufunga mlango. Nilikuwa nimepata fursa ya kutoroka. Nilitupa macho huku na huko kuhakikisha kuwa hawakuwa hapo nje. Nilikimbia kwa kasi ya umeme. Sikujua nilikokuwa nikikimbia bali sikuacha kukimbia. Niliona mwangaza kwa umbali, nikajua labda itakuwa ni nyumba ya watu wa eneo hilo. Moyo wangu ukatulia. Nikaanza kutembea aste aste ili kupumzika. Nilizidi kusongea mwangaza huo. Nilipofika, nilipigwa na butwaa, kwani mwanga huo ulikuwa ni wa simba , mnyama aliyeogofya kila mtu. Kwa kuwa simba huyo, hakuwa ameniona, nilikanyaga hatua zangu pole pole ili asinisikie. Nilipokuwa nimesonga hatua chache mbele, nilikanyaga kijiti na kikavunjika kwa sauti kubwa. Nilijiona nisiyekuwa na bahati, simba huyo alianza kunguruma huku akitafuta kiumbe kilichokuwa kimetoa sauti. Nilianza kusali Mungu afungue njia. Hapo ndipo nilipoona pango. Nikakimbia na kujificha ndani bila ya kujua, kumbe pango hilo lilikuwa nila simba huyo. Mapigo ya moyo wangu yaliongezeka na kupiga kwa sauti. Simba huyo alianza kuja kwa pango. Alivyozidi kusonga, nilizidi kuhesabu dakika zangu za kuipa dunia kisogo. Alipotaka kunirukia nilifumba macho huku nikipiga mayowe. Kilichofuata, nilisikia kitu kikianguka kwa kishindo. Nilikuwa hai bado! Na simba alikuwa ameanguka mbele yangu huku akiogelea kwenye ziwa la damu. Ni nini kilikuwa kimefanyika? Nilibaki kinywa wazi kwa kuwa sikuyaamini macho yangu. Hapo, nikaona umati wa watu ukija nilikokuwa. Baba na mama walikuwa miongoni mwao. Walikimbia na kunikumbatia. Walinielezea kuwa walikuwa na wasiwasi nilipochelewa kufika nyumbani. Wakamuuliza rafiki yangu na majirani wote ikiwa walikuwa wameniona. Walipogundua kuwa sikuwa kijijini, wanakijiji walijitolea kuwasaidia wavyele wangu kunitafuta. Na kwa bahati njema, nilipokuwa nikikimbia niliangusha kitambaa changu na mama akakitambua. Niliwashukuru na kumshukuru Mungu. Niliwasimulia niliyokuwa nimepitia. Nikakumbuka kuwa nilimwacha mtoto mdogo katika chumba cha wale walioniteka nyara. Polisi pamoja na wanakijiji walikimbia kuelekea huko. Tulipofika tuliwapata watu hao wakijaribu kutoroka. Polisi waliwakamata na kuwatia mbaroni, wakamwokoa mtoto huyo. Japo nilikuwa nimepitia cha mtema kuni siku hiyo, nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kutoka kwenye meno ya kifo.
Yeye na marafiki zake walikuwa wametoka wapi
{ "text": [ "masomo ya ziada" ] }
3632_swa
JINSI NIVYOOKOLEWA KUTOKA MENONI MWA KIFO Ilikuwa ni siku ya Jumatano jioni, mimi pamoja na marafiki zangu tulikuwa tumetoka masomo ya ziada. Tulikuwa tukijadiliana mambo kadhaa yaliyokuwa yametendeka darasani. Kwa kuwa giza ilikuwa imeingia, niliwashawishi marafiki zangu kupitia njia fupi iliyokuwa ndani ya msitu. Wawili walikataa na kuamua kupitia njia ndefu. Rafiki yangu wa chanda na pete alikubali kupitia njia moja nami. Basi hivyo ndivyo tulitengana nao. Mimi pamoja na rafiki yangu tuliendelea na safari kupitia njia fupi. Tulitembea hatua chache na ningeweza kuiona nyumba yetu. Tulifika mahali penye njia panda, moja ilielekea kwetu na nyingine ilielekea nyumbani kwa rafiki yangu. Ilitubidi tutengane. Nilianza kuwa na woga kwa kuwa mimi sikupenda kutembea peke yangu gizani. Niliongeza hatua zangu na kuanza kuimba wimbo ulionipa ujasiri wakati wowote nilipouimba. Nilipokuwa nikitembea, nilihisi kama kulikuwa na hatua zilizokuwa nyuma yangu. Niliamua kuipa sauti hiyo sikio la kufa kwa kuwa nilidhani kuwa ulikuwa ni woga wangu ambao ulifanya nisikie mambo ambayo hayakuwa yakitendeka. Kufumba na kufumbua, mikono mikubwa, baridi kama barafu na iliyo na malaika ndefu iliniziba uso. Nilipojaribu kupiga mayowe , nilizabwa kopi iliyonifanya nipoteze fahamu. Niliporejesha fahamu, nilishtuliwa na kile nilichoonga. Nilikuwa katika chumba kilichokuwa na vichwa, ndimi, mifupa na sehemu mbalimbali za mwili ambazo hazikuwa na uhai. Bila kuambiwa, nilijua kuwa nilikuwa nimetekwa nyara. Niliishika roho yangu mkononi, nikaanza kumwomba Mola angalau atume mtu atakayeniokoa. Upande mmoja, nilikuwa na uhakika kuwa siku yangu ya kufa ilikuwa imewadia. Baada ya kukaa hapo kwa masaa kadhaa, nilisikia sauti za watu. Bila shaka, watu hao walikuwa wanajadiliana juu ya kitu na waliongea kwa sauti ya chini ili wasisikike. Mlango ulifunguliwa na mtoto mwenye umri usiozidi umri wa miaka mitano akarushwa ndani. Mtoto huyo alionekana kutoka familia ya wakwasi. Watu hao walikuwa wamevalia makoti meusi na walikuwa wamejaa nywele usoni na hata za kichwa. Sura zao zilikuwa zinatisha, ja za watu waliokuwa wametoka jehanamu. “Leo bahati haijawa upande wetu. Watoto wawili ni wachache, leo biashara zetu zitaharibika,” mmoja alisema huku akionyesha kusikitishwa. “ Nadhani inatubidi tuongeze wengine watatu kisha tutawapeleka kesho jioni,” mwingine akajibu. Kwa kusikia hayo, niliishiwa na nguvu.Sikujua la kufanya, nilipoteza tumaini ya kuokolewa. Niliamua kuswali ili kutubu dhambi zangu na kungoja kifo changu. Mmoja wa watu hao aliondoka na mwingine kubaki. Akaja tulipokuwa tumesimama. “Keti chini! Kichwa chako kinaonekana kizuri na kitapata soko haraka.” aliniambia. Machozi yalinitiririka mbili mbili. Alipokuwa anaenda kumwangalia mtoto aliyekuwa kando yangu, aliitwa na mweziwe. Alikimbia mahali alikoitwa. Mungu wangu! Alisahau kuufunga mlango. Nilikuwa nimepata fursa ya kutoroka. Nilitupa macho huku na huko kuhakikisha kuwa hawakuwa hapo nje. Nilikimbia kwa kasi ya umeme. Sikujua nilikokuwa nikikimbia bali sikuacha kukimbia. Niliona mwangaza kwa umbali, nikajua labda itakuwa ni nyumba ya watu wa eneo hilo. Moyo wangu ukatulia. Nikaanza kutembea aste aste ili kupumzika. Nilizidi kusongea mwangaza huo. Nilipofika, nilipigwa na butwaa, kwani mwanga huo ulikuwa ni wa simba , mnyama aliyeogofya kila mtu. Kwa kuwa simba huyo, hakuwa ameniona, nilikanyaga hatua zangu pole pole ili asinisikie. Nilipokuwa nimesonga hatua chache mbele, nilikanyaga kijiti na kikavunjika kwa sauti kubwa. Nilijiona nisiyekuwa na bahati, simba huyo alianza kunguruma huku akitafuta kiumbe kilichokuwa kimetoa sauti. Nilianza kusali Mungu afungue njia. Hapo ndipo nilipoona pango. Nikakimbia na kujificha ndani bila ya kujua, kumbe pango hilo lilikuwa nila simba huyo. Mapigo ya moyo wangu yaliongezeka na kupiga kwa sauti. Simba huyo alianza kuja kwa pango. Alivyozidi kusonga, nilizidi kuhesabu dakika zangu za kuipa dunia kisogo. Alipotaka kunirukia nilifumba macho huku nikipiga mayowe. Kilichofuata, nilisikia kitu kikianguka kwa kishindo. Nilikuwa hai bado! Na simba alikuwa ameanguka mbele yangu huku akiogelea kwenye ziwa la damu. Ni nini kilikuwa kimefanyika? Nilibaki kinywa wazi kwa kuwa sikuyaamini macho yangu. Hapo, nikaona umati wa watu ukija nilikokuwa. Baba na mama walikuwa miongoni mwao. Walikimbia na kunikumbatia. Walinielezea kuwa walikuwa na wasiwasi nilipochelewa kufika nyumbani. Wakamuuliza rafiki yangu na majirani wote ikiwa walikuwa wameniona. Walipogundua kuwa sikuwa kijijini, wanakijiji walijitolea kuwasaidia wavyele wangu kunitafuta. Na kwa bahati njema, nilipokuwa nikikimbia niliangusha kitambaa changu na mama akakitambua. Niliwashukuru na kumshukuru Mungu. Niliwasimulia niliyokuwa nimepitia. Nikakumbuka kuwa nilimwacha mtoto mdogo katika chumba cha wale walioniteka nyara. Polisi pamoja na wanakijiji walikimbia kuelekea huko. Tulipofika tuliwapata watu hao wakijaribu kutoroka. Polisi waliwakamata na kuwatia mbaroni, wakamwokoa mtoto huyo. Japo nilikuwa nimepitia cha mtema kuni siku hiyo, nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kutoka kwenye meno ya kifo.
Wangapi walipitia njia ndefu
{ "text": [ "wawili" ] }
3632_swa
JINSI NIVYOOKOLEWA KUTOKA MENONI MWA KIFO Ilikuwa ni siku ya Jumatano jioni, mimi pamoja na marafiki zangu tulikuwa tumetoka masomo ya ziada. Tulikuwa tukijadiliana mambo kadhaa yaliyokuwa yametendeka darasani. Kwa kuwa giza ilikuwa imeingia, niliwashawishi marafiki zangu kupitia njia fupi iliyokuwa ndani ya msitu. Wawili walikataa na kuamua kupitia njia ndefu. Rafiki yangu wa chanda na pete alikubali kupitia njia moja nami. Basi hivyo ndivyo tulitengana nao. Mimi pamoja na rafiki yangu tuliendelea na safari kupitia njia fupi. Tulitembea hatua chache na ningeweza kuiona nyumba yetu. Tulifika mahali penye njia panda, moja ilielekea kwetu na nyingine ilielekea nyumbani kwa rafiki yangu. Ilitubidi tutengane. Nilianza kuwa na woga kwa kuwa mimi sikupenda kutembea peke yangu gizani. Niliongeza hatua zangu na kuanza kuimba wimbo ulionipa ujasiri wakati wowote nilipouimba. Nilipokuwa nikitembea, nilihisi kama kulikuwa na hatua zilizokuwa nyuma yangu. Niliamua kuipa sauti hiyo sikio la kufa kwa kuwa nilidhani kuwa ulikuwa ni woga wangu ambao ulifanya nisikie mambo ambayo hayakuwa yakitendeka. Kufumba na kufumbua, mikono mikubwa, baridi kama barafu na iliyo na malaika ndefu iliniziba uso. Nilipojaribu kupiga mayowe , nilizabwa kopi iliyonifanya nipoteze fahamu. Niliporejesha fahamu, nilishtuliwa na kile nilichoonga. Nilikuwa katika chumba kilichokuwa na vichwa, ndimi, mifupa na sehemu mbalimbali za mwili ambazo hazikuwa na uhai. Bila kuambiwa, nilijua kuwa nilikuwa nimetekwa nyara. Niliishika roho yangu mkononi, nikaanza kumwomba Mola angalau atume mtu atakayeniokoa. Upande mmoja, nilikuwa na uhakika kuwa siku yangu ya kufa ilikuwa imewadia. Baada ya kukaa hapo kwa masaa kadhaa, nilisikia sauti za watu. Bila shaka, watu hao walikuwa wanajadiliana juu ya kitu na waliongea kwa sauti ya chini ili wasisikike. Mlango ulifunguliwa na mtoto mwenye umri usiozidi umri wa miaka mitano akarushwa ndani. Mtoto huyo alionekana kutoka familia ya wakwasi. Watu hao walikuwa wamevalia makoti meusi na walikuwa wamejaa nywele usoni na hata za kichwa. Sura zao zilikuwa zinatisha, ja za watu waliokuwa wametoka jehanamu. “Leo bahati haijawa upande wetu. Watoto wawili ni wachache, leo biashara zetu zitaharibika,” mmoja alisema huku akionyesha kusikitishwa. “ Nadhani inatubidi tuongeze wengine watatu kisha tutawapeleka kesho jioni,” mwingine akajibu. Kwa kusikia hayo, niliishiwa na nguvu.Sikujua la kufanya, nilipoteza tumaini ya kuokolewa. Niliamua kuswali ili kutubu dhambi zangu na kungoja kifo changu. Mmoja wa watu hao aliondoka na mwingine kubaki. Akaja tulipokuwa tumesimama. “Keti chini! Kichwa chako kinaonekana kizuri na kitapata soko haraka.” aliniambia. Machozi yalinitiririka mbili mbili. Alipokuwa anaenda kumwangalia mtoto aliyekuwa kando yangu, aliitwa na mweziwe. Alikimbia mahali alikoitwa. Mungu wangu! Alisahau kuufunga mlango. Nilikuwa nimepata fursa ya kutoroka. Nilitupa macho huku na huko kuhakikisha kuwa hawakuwa hapo nje. Nilikimbia kwa kasi ya umeme. Sikujua nilikokuwa nikikimbia bali sikuacha kukimbia. Niliona mwangaza kwa umbali, nikajua labda itakuwa ni nyumba ya watu wa eneo hilo. Moyo wangu ukatulia. Nikaanza kutembea aste aste ili kupumzika. Nilizidi kusongea mwangaza huo. Nilipofika, nilipigwa na butwaa, kwani mwanga huo ulikuwa ni wa simba , mnyama aliyeogofya kila mtu. Kwa kuwa simba huyo, hakuwa ameniona, nilikanyaga hatua zangu pole pole ili asinisikie. Nilipokuwa nimesonga hatua chache mbele, nilikanyaga kijiti na kikavunjika kwa sauti kubwa. Nilijiona nisiyekuwa na bahati, simba huyo alianza kunguruma huku akitafuta kiumbe kilichokuwa kimetoa sauti. Nilianza kusali Mungu afungue njia. Hapo ndipo nilipoona pango. Nikakimbia na kujificha ndani bila ya kujua, kumbe pango hilo lilikuwa nila simba huyo. Mapigo ya moyo wangu yaliongezeka na kupiga kwa sauti. Simba huyo alianza kuja kwa pango. Alivyozidi kusonga, nilizidi kuhesabu dakika zangu za kuipa dunia kisogo. Alipotaka kunirukia nilifumba macho huku nikipiga mayowe. Kilichofuata, nilisikia kitu kikianguka kwa kishindo. Nilikuwa hai bado! Na simba alikuwa ameanguka mbele yangu huku akiogelea kwenye ziwa la damu. Ni nini kilikuwa kimefanyika? Nilibaki kinywa wazi kwa kuwa sikuyaamini macho yangu. Hapo, nikaona umati wa watu ukija nilikokuwa. Baba na mama walikuwa miongoni mwao. Walikimbia na kunikumbatia. Walinielezea kuwa walikuwa na wasiwasi nilipochelewa kufika nyumbani. Wakamuuliza rafiki yangu na majirani wote ikiwa walikuwa wameniona. Walipogundua kuwa sikuwa kijijini, wanakijiji walijitolea kuwasaidia wavyele wangu kunitafuta. Na kwa bahati njema, nilipokuwa nikikimbia niliangusha kitambaa changu na mama akakitambua. Niliwashukuru na kumshukuru Mungu. Niliwasimulia niliyokuwa nimepitia. Nikakumbuka kuwa nilimwacha mtoto mdogo katika chumba cha wale walioniteka nyara. Polisi pamoja na wanakijiji walikimbia kuelekea huko. Tulipofika tuliwapata watu hao wakijaribu kutoroka. Polisi waliwakamata na kuwatia mbaroni, wakamwokoa mtoto huyo. Japo nilikuwa nimepitia cha mtema kuni siku hiyo, nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kutoka kwenye meno ya kifo.
Mikono mikubwa iliyo na malaika ndefu ilimziba wapi
{ "text": [ "uso" ] }
3632_swa
JINSI NIVYOOKOLEWA KUTOKA MENONI MWA KIFO Ilikuwa ni siku ya Jumatano jioni, mimi pamoja na marafiki zangu tulikuwa tumetoka masomo ya ziada. Tulikuwa tukijadiliana mambo kadhaa yaliyokuwa yametendeka darasani. Kwa kuwa giza ilikuwa imeingia, niliwashawishi marafiki zangu kupitia njia fupi iliyokuwa ndani ya msitu. Wawili walikataa na kuamua kupitia njia ndefu. Rafiki yangu wa chanda na pete alikubali kupitia njia moja nami. Basi hivyo ndivyo tulitengana nao. Mimi pamoja na rafiki yangu tuliendelea na safari kupitia njia fupi. Tulitembea hatua chache na ningeweza kuiona nyumba yetu. Tulifika mahali penye njia panda, moja ilielekea kwetu na nyingine ilielekea nyumbani kwa rafiki yangu. Ilitubidi tutengane. Nilianza kuwa na woga kwa kuwa mimi sikupenda kutembea peke yangu gizani. Niliongeza hatua zangu na kuanza kuimba wimbo ulionipa ujasiri wakati wowote nilipouimba. Nilipokuwa nikitembea, nilihisi kama kulikuwa na hatua zilizokuwa nyuma yangu. Niliamua kuipa sauti hiyo sikio la kufa kwa kuwa nilidhani kuwa ulikuwa ni woga wangu ambao ulifanya nisikie mambo ambayo hayakuwa yakitendeka. Kufumba na kufumbua, mikono mikubwa, baridi kama barafu na iliyo na malaika ndefu iliniziba uso. Nilipojaribu kupiga mayowe , nilizabwa kopi iliyonifanya nipoteze fahamu. Niliporejesha fahamu, nilishtuliwa na kile nilichoonga. Nilikuwa katika chumba kilichokuwa na vichwa, ndimi, mifupa na sehemu mbalimbali za mwili ambazo hazikuwa na uhai. Bila kuambiwa, nilijua kuwa nilikuwa nimetekwa nyara. Niliishika roho yangu mkononi, nikaanza kumwomba Mola angalau atume mtu atakayeniokoa. Upande mmoja, nilikuwa na uhakika kuwa siku yangu ya kufa ilikuwa imewadia. Baada ya kukaa hapo kwa masaa kadhaa, nilisikia sauti za watu. Bila shaka, watu hao walikuwa wanajadiliana juu ya kitu na waliongea kwa sauti ya chini ili wasisikike. Mlango ulifunguliwa na mtoto mwenye umri usiozidi umri wa miaka mitano akarushwa ndani. Mtoto huyo alionekana kutoka familia ya wakwasi. Watu hao walikuwa wamevalia makoti meusi na walikuwa wamejaa nywele usoni na hata za kichwa. Sura zao zilikuwa zinatisha, ja za watu waliokuwa wametoka jehanamu. “Leo bahati haijawa upande wetu. Watoto wawili ni wachache, leo biashara zetu zitaharibika,” mmoja alisema huku akionyesha kusikitishwa. “ Nadhani inatubidi tuongeze wengine watatu kisha tutawapeleka kesho jioni,” mwingine akajibu. Kwa kusikia hayo, niliishiwa na nguvu.Sikujua la kufanya, nilipoteza tumaini ya kuokolewa. Niliamua kuswali ili kutubu dhambi zangu na kungoja kifo changu. Mmoja wa watu hao aliondoka na mwingine kubaki. Akaja tulipokuwa tumesimama. “Keti chini! Kichwa chako kinaonekana kizuri na kitapata soko haraka.” aliniambia. Machozi yalinitiririka mbili mbili. Alipokuwa anaenda kumwangalia mtoto aliyekuwa kando yangu, aliitwa na mweziwe. Alikimbia mahali alikoitwa. Mungu wangu! Alisahau kuufunga mlango. Nilikuwa nimepata fursa ya kutoroka. Nilitupa macho huku na huko kuhakikisha kuwa hawakuwa hapo nje. Nilikimbia kwa kasi ya umeme. Sikujua nilikokuwa nikikimbia bali sikuacha kukimbia. Niliona mwangaza kwa umbali, nikajua labda itakuwa ni nyumba ya watu wa eneo hilo. Moyo wangu ukatulia. Nikaanza kutembea aste aste ili kupumzika. Nilizidi kusongea mwangaza huo. Nilipofika, nilipigwa na butwaa, kwani mwanga huo ulikuwa ni wa simba , mnyama aliyeogofya kila mtu. Kwa kuwa simba huyo, hakuwa ameniona, nilikanyaga hatua zangu pole pole ili asinisikie. Nilipokuwa nimesonga hatua chache mbele, nilikanyaga kijiti na kikavunjika kwa sauti kubwa. Nilijiona nisiyekuwa na bahati, simba huyo alianza kunguruma huku akitafuta kiumbe kilichokuwa kimetoa sauti. Nilianza kusali Mungu afungue njia. Hapo ndipo nilipoona pango. Nikakimbia na kujificha ndani bila ya kujua, kumbe pango hilo lilikuwa nila simba huyo. Mapigo ya moyo wangu yaliongezeka na kupiga kwa sauti. Simba huyo alianza kuja kwa pango. Alivyozidi kusonga, nilizidi kuhesabu dakika zangu za kuipa dunia kisogo. Alipotaka kunirukia nilifumba macho huku nikipiga mayowe. Kilichofuata, nilisikia kitu kikianguka kwa kishindo. Nilikuwa hai bado! Na simba alikuwa ameanguka mbele yangu huku akiogelea kwenye ziwa la damu. Ni nini kilikuwa kimefanyika? Nilibaki kinywa wazi kwa kuwa sikuyaamini macho yangu. Hapo, nikaona umati wa watu ukija nilikokuwa. Baba na mama walikuwa miongoni mwao. Walikimbia na kunikumbatia. Walinielezea kuwa walikuwa na wasiwasi nilipochelewa kufika nyumbani. Wakamuuliza rafiki yangu na majirani wote ikiwa walikuwa wameniona. Walipogundua kuwa sikuwa kijijini, wanakijiji walijitolea kuwasaidia wavyele wangu kunitafuta. Na kwa bahati njema, nilipokuwa nikikimbia niliangusha kitambaa changu na mama akakitambua. Niliwashukuru na kumshukuru Mungu. Niliwasimulia niliyokuwa nimepitia. Nikakumbuka kuwa nilimwacha mtoto mdogo katika chumba cha wale walioniteka nyara. Polisi pamoja na wanakijiji walikimbia kuelekea huko. Tulipofika tuliwapata watu hao wakijaribu kutoroka. Polisi waliwakamata na kuwatia mbaroni, wakamwokoa mtoto huyo. Japo nilikuwa nimepitia cha mtema kuni siku hiyo, nilimshukuru Mungu kwa kuniokoa kutoka kwenye meno ya kifo.
Mbona waliongea kwa sauti za chini
{ "text": [ "ili wasisikike" ] }
3634_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi au shughuli za kulima. Shughuli hizi za kilimo hutoa manufaa mengi sana kwa mkulima binafsi, jamii ya wakulima, nchi atokamo mkulima huyo, na hata bara kwa ukubwa. Hapa nchini Kenya, kilimo kilianza miaka mingi iliyopita na hadi sasa kinazidi kuimarishwa kwa njia tofauti. Serikali ya Kenya pia imetanguliza shughuli za kuanzisha miradi inayohusiana na kilimo ili kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kilimo zaidi ya vile kiko sasa hivi. Zaraa ina manufaa mengi sana, moja wapo wa manufaa hizi ni kukuza ajira miongoni mwa wananchi. Kupitia kilimo watu huweza kujiajiri kwa kufanya kazi kwa mashamba yao au mashamba ya wakulima mashuhuri nchini. Ajira hizi huwasaidia kuweza kujikimu maishani. Vile vile, kunavyo viwanda vinavyohusiana na kilimo ambapo watu hupata kazi tofauti tofauti. Kwa kuwa kutokana na kilimo watu hujikimu basi hiyo huweza kupunguza viwango vya umasikini nchini humo. Kupitia kwa Zaraa, kuna ongezeko la uzalishaji wa vyakula tofauti tofauti. Vyakula hivi husaidia sana wakati wa kiangazi ambapo mashamba huwa yamekauka na chakula kukosekana. Vile Vile vyakula hivi husambazwa nchini ili kuwasaidia wasiojiweza na waliopatwa na majanga kama vile mafuriko au mashambulizi ya kigaidi. Hali kadhalika, vyakula vingine kama vile mahindi huuzwa nchini na hata kwenye nchi jirani ili kuiletea nchi mapato ambayo hutumiwa kwa shughuli nyingi nchini hasa shughuli za ukulima kama vile kununua mashine zitumiwazo kulima mashamba ya ekari nyingi na hata yale ya kutengeneza nafaka. Mabaki yanayotolewa kwa bidhaa za kilimo hutumika kutengeneza vitu tofauti tofauti ambavyo vina umuhimu mkubwa kwa insi. Mabaki haya hupelekwa viwandani na kumudiwa kwa vitu vingine. Mfano, maganda yatolewayo kwa miwa hukaushwa na kutumiwa kama kuni, kupika na kuchoma vitu mbalimbali. Mashina ya mahindi na nafaka zingine baada ya kuvunwa hupelekwa viwandani na kumudiwa kuwa vyakula vya wanyama wa kufuga. Vyakula vitokanavyo na kilimo pia ni muhimu sana kwa afya ya mwanadamu. Mara kwa mara hapa nchini Kenya, watu hukumbwa na maradhi tofauti tofauti kama vile kisukari, maradhi ya moyo na kadhalika. Magonjwa haya husababishwa na ulaji wa vyakulan vingi vya mafuta, sukari au hata chumvi. Hivyo basi, watu huhimizwa kula vyakula vile vya kiasilia ambavyo hutokana na kilimo kama vile mbatata, mihogo, ndizi na hata maharage ili kuimarisha afya zao na hata kuishi miaka mingi, kwa vile vyakula hivi havisababishi uwele wowote ule. Kupitia kilimo cha pamba, ambayo hupandwa kwa makini sana na kisha kuvunwa na hatimaye kupelekwa viwandani, kuna uzalishaji wa nguo zitokanazo na pamba. Nguo hizi huwafaidi watu sana nyakati za baridi na hata kuficha uchi. Kando na hayo, nguo zizo hizo huuzwa nchini na hata kimataifa ili kupata pesa. Wakulima hawa wa pamba hufaidika pakubwa kwa kuuzia viwanda mbali mbali pamba hiyo na kutumia mapato kujiendeleza kibinafsi na hata upande wa ukulima. Pamba hii pia hutumiwa hospitalini na madaktari kusafisha vidonda na hata kuzuia damu kutoka. Ukuzaji wa mimea kama vile miwa, minazi, mahindi na hata mializeti hutumiwa kuzalisha baadhi ya viungo vya mapishi. Kwa mfano, miwa inapopelekwa viwandani hutengenezwa kupitia mashine tofauti tofauti na kisha kuzalisha sukari tamu sana inayoitumika kwenye chai. Vile vile, njugu, minazi, mahindi na mializeti hutumiwa kutoa mafuta ya kupika na hata wakati mwingine mafuta ya kujipaka mwilini. Bila kusahaulika mkonge ambao hutupa makonge ni mojawapo wa mimea inayotunzwa na jamii za Kenya na hata za Afrika kwa jumla. Makonge haya hutumiwa kutengeneza mikeka ambayo hutumiwa na jamii tofauti kama vile jamii ya Waswahili kukalia au kupamba nyumba zao. Mara nyingine, makonge pia hutumika kutengeneza paa za nyumba za kitamaduni hasa pande za Pwani Kenya na hata pia kutengeneza nyumba za kuhifadhi nafaka mbalimbali baada ya kuvunwa. Mipareto ni baadhi ya mimea inayohusishwa kwenye kilimo. Mmea huu ni wa muhimu sana. Wakulima wa mipareto hujivunia sana kwa kuwa mimea yao ina wajibu mkuu wa kutengeneza dawa za kuwauwa wadudu wapatikanao katika sehemu za baridi kama vile sehemu ya kati ya Kenya na pia sehemu zilizo na maji mengi kama vile sehemu za karibu na ziwa Victoria. Mipareto hii inapouzwa kwa viwanda vya kutengeneza dawa, wakulima hunufaika pakubwa sana na pia nchi hunufaika ikiwa mipareto iyo hiyo itauzwa kwa nchi jirani. Watu wengi watakubaliana nami kuwa kilimo ni cha maana sana kwa njia nyingi. Kusema kweli, kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa hili la Kenya. Pia, mojawapo ya vitu vinavyotuletea rasilimali kuu nchini humo ni zaraa. Kwa hivyo, watu wote wanahimizwa kuendelea kuimarisha kilimo kwa manufaa ya nchi yetu. Tunajua fika kwamba, nchi yenye kilimo ni nchi yenye mafanikio.
Mojawapo ya manufaa ya kilimo ni yapi
{ "text": [ "Kukuza ajira" ] }
3634_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi au shughuli za kulima. Shughuli hizi za kilimo hutoa manufaa mengi sana kwa mkulima binafsi, jamii ya wakulima, nchi atokamo mkulima huyo, na hata bara kwa ukubwa. Hapa nchini Kenya, kilimo kilianza miaka mingi iliyopita na hadi sasa kinazidi kuimarishwa kwa njia tofauti. Serikali ya Kenya pia imetanguliza shughuli za kuanzisha miradi inayohusiana na kilimo ili kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kilimo zaidi ya vile kiko sasa hivi. Zaraa ina manufaa mengi sana, moja wapo wa manufaa hizi ni kukuza ajira miongoni mwa wananchi. Kupitia kilimo watu huweza kujiajiri kwa kufanya kazi kwa mashamba yao au mashamba ya wakulima mashuhuri nchini. Ajira hizi huwasaidia kuweza kujikimu maishani. Vile vile, kunavyo viwanda vinavyohusiana na kilimo ambapo watu hupata kazi tofauti tofauti. Kwa kuwa kutokana na kilimo watu hujikimu basi hiyo huweza kupunguza viwango vya umasikini nchini humo. Kupitia kwa Zaraa, kuna ongezeko la uzalishaji wa vyakula tofauti tofauti. Vyakula hivi husaidia sana wakati wa kiangazi ambapo mashamba huwa yamekauka na chakula kukosekana. Vile Vile vyakula hivi husambazwa nchini ili kuwasaidia wasiojiweza na waliopatwa na majanga kama vile mafuriko au mashambulizi ya kigaidi. Hali kadhalika, vyakula vingine kama vile mahindi huuzwa nchini na hata kwenye nchi jirani ili kuiletea nchi mapato ambayo hutumiwa kwa shughuli nyingi nchini hasa shughuli za ukulima kama vile kununua mashine zitumiwazo kulima mashamba ya ekari nyingi na hata yale ya kutengeneza nafaka. Mabaki yanayotolewa kwa bidhaa za kilimo hutumika kutengeneza vitu tofauti tofauti ambavyo vina umuhimu mkubwa kwa insi. Mabaki haya hupelekwa viwandani na kumudiwa kwa vitu vingine. Mfano, maganda yatolewayo kwa miwa hukaushwa na kutumiwa kama kuni, kupika na kuchoma vitu mbalimbali. Mashina ya mahindi na nafaka zingine baada ya kuvunwa hupelekwa viwandani na kumudiwa kuwa vyakula vya wanyama wa kufuga. Vyakula vitokanavyo na kilimo pia ni muhimu sana kwa afya ya mwanadamu. Mara kwa mara hapa nchini Kenya, watu hukumbwa na maradhi tofauti tofauti kama vile kisukari, maradhi ya moyo na kadhalika. Magonjwa haya husababishwa na ulaji wa vyakulan vingi vya mafuta, sukari au hata chumvi. Hivyo basi, watu huhimizwa kula vyakula vile vya kiasilia ambavyo hutokana na kilimo kama vile mbatata, mihogo, ndizi na hata maharage ili kuimarisha afya zao na hata kuishi miaka mingi, kwa vile vyakula hivi havisababishi uwele wowote ule. Kupitia kilimo cha pamba, ambayo hupandwa kwa makini sana na kisha kuvunwa na hatimaye kupelekwa viwandani, kuna uzalishaji wa nguo zitokanazo na pamba. Nguo hizi huwafaidi watu sana nyakati za baridi na hata kuficha uchi. Kando na hayo, nguo zizo hizo huuzwa nchini na hata kimataifa ili kupata pesa. Wakulima hawa wa pamba hufaidika pakubwa kwa kuuzia viwanda mbali mbali pamba hiyo na kutumia mapato kujiendeleza kibinafsi na hata upande wa ukulima. Pamba hii pia hutumiwa hospitalini na madaktari kusafisha vidonda na hata kuzuia damu kutoka. Ukuzaji wa mimea kama vile miwa, minazi, mahindi na hata mializeti hutumiwa kuzalisha baadhi ya viungo vya mapishi. Kwa mfano, miwa inapopelekwa viwandani hutengenezwa kupitia mashine tofauti tofauti na kisha kuzalisha sukari tamu sana inayoitumika kwenye chai. Vile vile, njugu, minazi, mahindi na mializeti hutumiwa kutoa mafuta ya kupika na hata wakati mwingine mafuta ya kujipaka mwilini. Bila kusahaulika mkonge ambao hutupa makonge ni mojawapo wa mimea inayotunzwa na jamii za Kenya na hata za Afrika kwa jumla. Makonge haya hutumiwa kutengeneza mikeka ambayo hutumiwa na jamii tofauti kama vile jamii ya Waswahili kukalia au kupamba nyumba zao. Mara nyingine, makonge pia hutumika kutengeneza paa za nyumba za kitamaduni hasa pande za Pwani Kenya na hata pia kutengeneza nyumba za kuhifadhi nafaka mbalimbali baada ya kuvunwa. Mipareto ni baadhi ya mimea inayohusishwa kwenye kilimo. Mmea huu ni wa muhimu sana. Wakulima wa mipareto hujivunia sana kwa kuwa mimea yao ina wajibu mkuu wa kutengeneza dawa za kuwauwa wadudu wapatikanao katika sehemu za baridi kama vile sehemu ya kati ya Kenya na pia sehemu zilizo na maji mengi kama vile sehemu za karibu na ziwa Victoria. Mipareto hii inapouzwa kwa viwanda vya kutengeneza dawa, wakulima hunufaika pakubwa sana na pia nchi hunufaika ikiwa mipareto iyo hiyo itauzwa kwa nchi jirani. Watu wengi watakubaliana nami kuwa kilimo ni cha maana sana kwa njia nyingi. Kusema kweli, kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa hili la Kenya. Pia, mojawapo ya vitu vinavyotuletea rasilimali kuu nchini humo ni zaraa. Kwa hivyo, watu wote wanahimizwa kuendelea kuimarisha kilimo kwa manufaa ya nchi yetu. Tunajua fika kwamba, nchi yenye kilimo ni nchi yenye mafanikio.
Mahindi yakiuzwa nchi jirani huleta nini
{ "text": [ "Mapato" ] }
3634_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi au shughuli za kulima. Shughuli hizi za kilimo hutoa manufaa mengi sana kwa mkulima binafsi, jamii ya wakulima, nchi atokamo mkulima huyo, na hata bara kwa ukubwa. Hapa nchini Kenya, kilimo kilianza miaka mingi iliyopita na hadi sasa kinazidi kuimarishwa kwa njia tofauti. Serikali ya Kenya pia imetanguliza shughuli za kuanzisha miradi inayohusiana na kilimo ili kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kilimo zaidi ya vile kiko sasa hivi. Zaraa ina manufaa mengi sana, moja wapo wa manufaa hizi ni kukuza ajira miongoni mwa wananchi. Kupitia kilimo watu huweza kujiajiri kwa kufanya kazi kwa mashamba yao au mashamba ya wakulima mashuhuri nchini. Ajira hizi huwasaidia kuweza kujikimu maishani. Vile vile, kunavyo viwanda vinavyohusiana na kilimo ambapo watu hupata kazi tofauti tofauti. Kwa kuwa kutokana na kilimo watu hujikimu basi hiyo huweza kupunguza viwango vya umasikini nchini humo. Kupitia kwa Zaraa, kuna ongezeko la uzalishaji wa vyakula tofauti tofauti. Vyakula hivi husaidia sana wakati wa kiangazi ambapo mashamba huwa yamekauka na chakula kukosekana. Vile Vile vyakula hivi husambazwa nchini ili kuwasaidia wasiojiweza na waliopatwa na majanga kama vile mafuriko au mashambulizi ya kigaidi. Hali kadhalika, vyakula vingine kama vile mahindi huuzwa nchini na hata kwenye nchi jirani ili kuiletea nchi mapato ambayo hutumiwa kwa shughuli nyingi nchini hasa shughuli za ukulima kama vile kununua mashine zitumiwazo kulima mashamba ya ekari nyingi na hata yale ya kutengeneza nafaka. Mabaki yanayotolewa kwa bidhaa za kilimo hutumika kutengeneza vitu tofauti tofauti ambavyo vina umuhimu mkubwa kwa insi. Mabaki haya hupelekwa viwandani na kumudiwa kwa vitu vingine. Mfano, maganda yatolewayo kwa miwa hukaushwa na kutumiwa kama kuni, kupika na kuchoma vitu mbalimbali. Mashina ya mahindi na nafaka zingine baada ya kuvunwa hupelekwa viwandani na kumudiwa kuwa vyakula vya wanyama wa kufuga. Vyakula vitokanavyo na kilimo pia ni muhimu sana kwa afya ya mwanadamu. Mara kwa mara hapa nchini Kenya, watu hukumbwa na maradhi tofauti tofauti kama vile kisukari, maradhi ya moyo na kadhalika. Magonjwa haya husababishwa na ulaji wa vyakulan vingi vya mafuta, sukari au hata chumvi. Hivyo basi, watu huhimizwa kula vyakula vile vya kiasilia ambavyo hutokana na kilimo kama vile mbatata, mihogo, ndizi na hata maharage ili kuimarisha afya zao na hata kuishi miaka mingi, kwa vile vyakula hivi havisababishi uwele wowote ule. Kupitia kilimo cha pamba, ambayo hupandwa kwa makini sana na kisha kuvunwa na hatimaye kupelekwa viwandani, kuna uzalishaji wa nguo zitokanazo na pamba. Nguo hizi huwafaidi watu sana nyakati za baridi na hata kuficha uchi. Kando na hayo, nguo zizo hizo huuzwa nchini na hata kimataifa ili kupata pesa. Wakulima hawa wa pamba hufaidika pakubwa kwa kuuzia viwanda mbali mbali pamba hiyo na kutumia mapato kujiendeleza kibinafsi na hata upande wa ukulima. Pamba hii pia hutumiwa hospitalini na madaktari kusafisha vidonda na hata kuzuia damu kutoka. Ukuzaji wa mimea kama vile miwa, minazi, mahindi na hata mializeti hutumiwa kuzalisha baadhi ya viungo vya mapishi. Kwa mfano, miwa inapopelekwa viwandani hutengenezwa kupitia mashine tofauti tofauti na kisha kuzalisha sukari tamu sana inayoitumika kwenye chai. Vile vile, njugu, minazi, mahindi na mializeti hutumiwa kutoa mafuta ya kupika na hata wakati mwingine mafuta ya kujipaka mwilini. Bila kusahaulika mkonge ambao hutupa makonge ni mojawapo wa mimea inayotunzwa na jamii za Kenya na hata za Afrika kwa jumla. Makonge haya hutumiwa kutengeneza mikeka ambayo hutumiwa na jamii tofauti kama vile jamii ya Waswahili kukalia au kupamba nyumba zao. Mara nyingine, makonge pia hutumika kutengeneza paa za nyumba za kitamaduni hasa pande za Pwani Kenya na hata pia kutengeneza nyumba za kuhifadhi nafaka mbalimbali baada ya kuvunwa. Mipareto ni baadhi ya mimea inayohusishwa kwenye kilimo. Mmea huu ni wa muhimu sana. Wakulima wa mipareto hujivunia sana kwa kuwa mimea yao ina wajibu mkuu wa kutengeneza dawa za kuwauwa wadudu wapatikanao katika sehemu za baridi kama vile sehemu ya kati ya Kenya na pia sehemu zilizo na maji mengi kama vile sehemu za karibu na ziwa Victoria. Mipareto hii inapouzwa kwa viwanda vya kutengeneza dawa, wakulima hunufaika pakubwa sana na pia nchi hunufaika ikiwa mipareto iyo hiyo itauzwa kwa nchi jirani. Watu wengi watakubaliana nami kuwa kilimo ni cha maana sana kwa njia nyingi. Kusema kweli, kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa hili la Kenya. Pia, mojawapo ya vitu vinavyotuletea rasilimali kuu nchini humo ni zaraa. Kwa hivyo, watu wote wanahimizwa kuendelea kuimarisha kilimo kwa manufaa ya nchi yetu. Tunajua fika kwamba, nchi yenye kilimo ni nchi yenye mafanikio.
Baada ya maganda ya miwa kukaushwa hutumiwa kama nini
{ "text": [ "Kuni" ] }
3634_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi au shughuli za kulima. Shughuli hizi za kilimo hutoa manufaa mengi sana kwa mkulima binafsi, jamii ya wakulima, nchi atokamo mkulima huyo, na hata bara kwa ukubwa. Hapa nchini Kenya, kilimo kilianza miaka mingi iliyopita na hadi sasa kinazidi kuimarishwa kwa njia tofauti. Serikali ya Kenya pia imetanguliza shughuli za kuanzisha miradi inayohusiana na kilimo ili kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kilimo zaidi ya vile kiko sasa hivi. Zaraa ina manufaa mengi sana, moja wapo wa manufaa hizi ni kukuza ajira miongoni mwa wananchi. Kupitia kilimo watu huweza kujiajiri kwa kufanya kazi kwa mashamba yao au mashamba ya wakulima mashuhuri nchini. Ajira hizi huwasaidia kuweza kujikimu maishani. Vile vile, kunavyo viwanda vinavyohusiana na kilimo ambapo watu hupata kazi tofauti tofauti. Kwa kuwa kutokana na kilimo watu hujikimu basi hiyo huweza kupunguza viwango vya umasikini nchini humo. Kupitia kwa Zaraa, kuna ongezeko la uzalishaji wa vyakula tofauti tofauti. Vyakula hivi husaidia sana wakati wa kiangazi ambapo mashamba huwa yamekauka na chakula kukosekana. Vile Vile vyakula hivi husambazwa nchini ili kuwasaidia wasiojiweza na waliopatwa na majanga kama vile mafuriko au mashambulizi ya kigaidi. Hali kadhalika, vyakula vingine kama vile mahindi huuzwa nchini na hata kwenye nchi jirani ili kuiletea nchi mapato ambayo hutumiwa kwa shughuli nyingi nchini hasa shughuli za ukulima kama vile kununua mashine zitumiwazo kulima mashamba ya ekari nyingi na hata yale ya kutengeneza nafaka. Mabaki yanayotolewa kwa bidhaa za kilimo hutumika kutengeneza vitu tofauti tofauti ambavyo vina umuhimu mkubwa kwa insi. Mabaki haya hupelekwa viwandani na kumudiwa kwa vitu vingine. Mfano, maganda yatolewayo kwa miwa hukaushwa na kutumiwa kama kuni, kupika na kuchoma vitu mbalimbali. Mashina ya mahindi na nafaka zingine baada ya kuvunwa hupelekwa viwandani na kumudiwa kuwa vyakula vya wanyama wa kufuga. Vyakula vitokanavyo na kilimo pia ni muhimu sana kwa afya ya mwanadamu. Mara kwa mara hapa nchini Kenya, watu hukumbwa na maradhi tofauti tofauti kama vile kisukari, maradhi ya moyo na kadhalika. Magonjwa haya husababishwa na ulaji wa vyakulan vingi vya mafuta, sukari au hata chumvi. Hivyo basi, watu huhimizwa kula vyakula vile vya kiasilia ambavyo hutokana na kilimo kama vile mbatata, mihogo, ndizi na hata maharage ili kuimarisha afya zao na hata kuishi miaka mingi, kwa vile vyakula hivi havisababishi uwele wowote ule. Kupitia kilimo cha pamba, ambayo hupandwa kwa makini sana na kisha kuvunwa na hatimaye kupelekwa viwandani, kuna uzalishaji wa nguo zitokanazo na pamba. Nguo hizi huwafaidi watu sana nyakati za baridi na hata kuficha uchi. Kando na hayo, nguo zizo hizo huuzwa nchini na hata kimataifa ili kupata pesa. Wakulima hawa wa pamba hufaidika pakubwa kwa kuuzia viwanda mbali mbali pamba hiyo na kutumia mapato kujiendeleza kibinafsi na hata upande wa ukulima. Pamba hii pia hutumiwa hospitalini na madaktari kusafisha vidonda na hata kuzuia damu kutoka. Ukuzaji wa mimea kama vile miwa, minazi, mahindi na hata mializeti hutumiwa kuzalisha baadhi ya viungo vya mapishi. Kwa mfano, miwa inapopelekwa viwandani hutengenezwa kupitia mashine tofauti tofauti na kisha kuzalisha sukari tamu sana inayoitumika kwenye chai. Vile vile, njugu, minazi, mahindi na mializeti hutumiwa kutoa mafuta ya kupika na hata wakati mwingine mafuta ya kujipaka mwilini. Bila kusahaulika mkonge ambao hutupa makonge ni mojawapo wa mimea inayotunzwa na jamii za Kenya na hata za Afrika kwa jumla. Makonge haya hutumiwa kutengeneza mikeka ambayo hutumiwa na jamii tofauti kama vile jamii ya Waswahili kukalia au kupamba nyumba zao. Mara nyingine, makonge pia hutumika kutengeneza paa za nyumba za kitamaduni hasa pande za Pwani Kenya na hata pia kutengeneza nyumba za kuhifadhi nafaka mbalimbali baada ya kuvunwa. Mipareto ni baadhi ya mimea inayohusishwa kwenye kilimo. Mmea huu ni wa muhimu sana. Wakulima wa mipareto hujivunia sana kwa kuwa mimea yao ina wajibu mkuu wa kutengeneza dawa za kuwauwa wadudu wapatikanao katika sehemu za baridi kama vile sehemu ya kati ya Kenya na pia sehemu zilizo na maji mengi kama vile sehemu za karibu na ziwa Victoria. Mipareto hii inapouzwa kwa viwanda vya kutengeneza dawa, wakulima hunufaika pakubwa sana na pia nchi hunufaika ikiwa mipareto iyo hiyo itauzwa kwa nchi jirani. Watu wengi watakubaliana nami kuwa kilimo ni cha maana sana kwa njia nyingi. Kusema kweli, kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa hili la Kenya. Pia, mojawapo ya vitu vinavyotuletea rasilimali kuu nchini humo ni zaraa. Kwa hivyo, watu wote wanahimizwa kuendelea kuimarisha kilimo kwa manufaa ya nchi yetu. Tunajua fika kwamba, nchi yenye kilimo ni nchi yenye mafanikio.
Mkonge hutumiwa kutengeza nini
{ "text": [ "Mikeka" ] }
3634_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi au shughuli za kulima. Shughuli hizi za kilimo hutoa manufaa mengi sana kwa mkulima binafsi, jamii ya wakulima, nchi atokamo mkulima huyo, na hata bara kwa ukubwa. Hapa nchini Kenya, kilimo kilianza miaka mingi iliyopita na hadi sasa kinazidi kuimarishwa kwa njia tofauti. Serikali ya Kenya pia imetanguliza shughuli za kuanzisha miradi inayohusiana na kilimo ili kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kilimo zaidi ya vile kiko sasa hivi. Zaraa ina manufaa mengi sana, moja wapo wa manufaa hizi ni kukuza ajira miongoni mwa wananchi. Kupitia kilimo watu huweza kujiajiri kwa kufanya kazi kwa mashamba yao au mashamba ya wakulima mashuhuri nchini. Ajira hizi huwasaidia kuweza kujikimu maishani. Vile vile, kunavyo viwanda vinavyohusiana na kilimo ambapo watu hupata kazi tofauti tofauti. Kwa kuwa kutokana na kilimo watu hujikimu basi hiyo huweza kupunguza viwango vya umasikini nchini humo. Kupitia kwa Zaraa, kuna ongezeko la uzalishaji wa vyakula tofauti tofauti. Vyakula hivi husaidia sana wakati wa kiangazi ambapo mashamba huwa yamekauka na chakula kukosekana. Vile Vile vyakula hivi husambazwa nchini ili kuwasaidia wasiojiweza na waliopatwa na majanga kama vile mafuriko au mashambulizi ya kigaidi. Hali kadhalika, vyakula vingine kama vile mahindi huuzwa nchini na hata kwenye nchi jirani ili kuiletea nchi mapato ambayo hutumiwa kwa shughuli nyingi nchini hasa shughuli za ukulima kama vile kununua mashine zitumiwazo kulima mashamba ya ekari nyingi na hata yale ya kutengeneza nafaka. Mabaki yanayotolewa kwa bidhaa za kilimo hutumika kutengeneza vitu tofauti tofauti ambavyo vina umuhimu mkubwa kwa insi. Mabaki haya hupelekwa viwandani na kumudiwa kwa vitu vingine. Mfano, maganda yatolewayo kwa miwa hukaushwa na kutumiwa kama kuni, kupika na kuchoma vitu mbalimbali. Mashina ya mahindi na nafaka zingine baada ya kuvunwa hupelekwa viwandani na kumudiwa kuwa vyakula vya wanyama wa kufuga. Vyakula vitokanavyo na kilimo pia ni muhimu sana kwa afya ya mwanadamu. Mara kwa mara hapa nchini Kenya, watu hukumbwa na maradhi tofauti tofauti kama vile kisukari, maradhi ya moyo na kadhalika. Magonjwa haya husababishwa na ulaji wa vyakulan vingi vya mafuta, sukari au hata chumvi. Hivyo basi, watu huhimizwa kula vyakula vile vya kiasilia ambavyo hutokana na kilimo kama vile mbatata, mihogo, ndizi na hata maharage ili kuimarisha afya zao na hata kuishi miaka mingi, kwa vile vyakula hivi havisababishi uwele wowote ule. Kupitia kilimo cha pamba, ambayo hupandwa kwa makini sana na kisha kuvunwa na hatimaye kupelekwa viwandani, kuna uzalishaji wa nguo zitokanazo na pamba. Nguo hizi huwafaidi watu sana nyakati za baridi na hata kuficha uchi. Kando na hayo, nguo zizo hizo huuzwa nchini na hata kimataifa ili kupata pesa. Wakulima hawa wa pamba hufaidika pakubwa kwa kuuzia viwanda mbali mbali pamba hiyo na kutumia mapato kujiendeleza kibinafsi na hata upande wa ukulima. Pamba hii pia hutumiwa hospitalini na madaktari kusafisha vidonda na hata kuzuia damu kutoka. Ukuzaji wa mimea kama vile miwa, minazi, mahindi na hata mializeti hutumiwa kuzalisha baadhi ya viungo vya mapishi. Kwa mfano, miwa inapopelekwa viwandani hutengenezwa kupitia mashine tofauti tofauti na kisha kuzalisha sukari tamu sana inayoitumika kwenye chai. Vile vile, njugu, minazi, mahindi na mializeti hutumiwa kutoa mafuta ya kupika na hata wakati mwingine mafuta ya kujipaka mwilini. Bila kusahaulika mkonge ambao hutupa makonge ni mojawapo wa mimea inayotunzwa na jamii za Kenya na hata za Afrika kwa jumla. Makonge haya hutumiwa kutengeneza mikeka ambayo hutumiwa na jamii tofauti kama vile jamii ya Waswahili kukalia au kupamba nyumba zao. Mara nyingine, makonge pia hutumika kutengeneza paa za nyumba za kitamaduni hasa pande za Pwani Kenya na hata pia kutengeneza nyumba za kuhifadhi nafaka mbalimbali baada ya kuvunwa. Mipareto ni baadhi ya mimea inayohusishwa kwenye kilimo. Mmea huu ni wa muhimu sana. Wakulima wa mipareto hujivunia sana kwa kuwa mimea yao ina wajibu mkuu wa kutengeneza dawa za kuwauwa wadudu wapatikanao katika sehemu za baridi kama vile sehemu ya kati ya Kenya na pia sehemu zilizo na maji mengi kama vile sehemu za karibu na ziwa Victoria. Mipareto hii inapouzwa kwa viwanda vya kutengeneza dawa, wakulima hunufaika pakubwa sana na pia nchi hunufaika ikiwa mipareto iyo hiyo itauzwa kwa nchi jirani. Watu wengi watakubaliana nami kuwa kilimo ni cha maana sana kwa njia nyingi. Kusema kweli, kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa hili la Kenya. Pia, mojawapo ya vitu vinavyotuletea rasilimali kuu nchini humo ni zaraa. Kwa hivyo, watu wote wanahimizwa kuendelea kuimarisha kilimo kwa manufaa ya nchi yetu. Tunajua fika kwamba, nchi yenye kilimo ni nchi yenye mafanikio.
Miwa huzalisha nini
{ "text": [ "Sukari" ] }
3635_swa
YOTE YANGAAYO SIO DHAHABU. Riza alikuwa msichana mwenye heshima kwa wote, wakubwa kwa wadogo na alithamaniwa na wengi. Riza aliishi na familia yake ya uchochole mwingi. Chakula kwao kilikuwa kama neno lililobandikwa kwenye kamusi kimakosa. Wazazi wake walifanya kazi za kijungu jiko ili kuhakikisha Riza ameweza kupata mavazi, maankuli na pia kwenda shuleni. Riza alikuwa msichana mwenye bidii ya msumeno kukata pande zote. Riza alikuwa kidato cha tatu katika shule ya upili ya Mwangaza. Riza alitia bidii masomoni hadi wakati alipoweza kufanya mtihani wake wa kitaifa na kupita kwa alama za juu. Alikuwa mwanafunzi wa pili kwenye mtihani huo wa kitaifa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponeng kuwa Mola hamwachi mja wake. Riza aliweza kupata mfadhili ambaye angeweza kulipa karo yake ya chuo kikuu. Riza alienda katika chuo kikuu cha Maseno na kuendelea na bidii zile zile za mchwa. Chuoni, aliweza kukutana na watu wa tabaka mbali mbali. Bado alikuwa anayakumbuka mazungumzo baina yake na mama yake, Mashaka, “Mwanangu Riza,tafadhali epukana na vikundi mbaya utakapokuwa chuoni. Familia yetu ni ya uchochole na tunakutegemea wewe kama mwanga wetu wa pekee kuweza kutuepua katika uchochole. Endelea kutia bidii na usisahau kuwaheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Bila kusahau, usiwache kumwomba Mungu kwa kuwa yeye ndiye alikujalia baraka hizi.” Riza alipatana na saibu mmoja ambaye walipendana sana. Saibu wake Riza alikuwa anaitwa Zizi. Zizi alikuwa anatoka kwa familia ya mabwanyenye. Zizi alikuwa na kila kitu alichokuwa akihitaji kwa kuwa pesa haikuwa tatizo kwake. Siku zilipokuwa zikisonga, naye Riza alikuwa anabadilika. Riza alianza kupenda anasa na kila alipokuwa akiambiwa abadilike, maneno yalikuwa yanaangukia sikio la kufa. Kwa kweli, sikio la kufa, halisikii dawa. Chuoni, Riza aliweza kukutana na ghulamu mmoja aliyekuwa anaitwa Solo. Solo alikuwa ghulamu mwenye majigambo na maringo kama tausi. Riza na Solo walianza kwa kuwa marafiki tu. Baadaye, Solo aliweza kumjulisha Riza kuwa alikuwa anampenda na alikuwa tayari kumwoa na kuishi naye. Zizi alimshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa ghulamu mwenye pesa. Riza alikuwa anamwamini sana Zizi na akasahau mawaidha ya mama yake mzazi. Riza aliendelea na uhusiano wa kimapenzi na Solo hadi wakati ambapo Solo aliweza kuamua kumchukua kama mke wake. Riza aliweza kujawa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno kwa mara ya kwanza. Riza alianza kuishi na Solo na kusahau masomo yake. Walipendana na Solo kwa muda mrefu. Solo alijikaza kisabuni kumpa Riza chochote alichotaka. Baada ya miezi nane, Solo alianza kubadilika. Alianza kuonyesha tabia zake halisi. Hapo ndipo Riza alipojua kuwa kwa muda huo wote Solo alikuwa amevalia ngozi ya kondoo na kumbe ndani ni mbwa mwitu. Riza na Solo walianza kuwa maji na mafuta. Kwa kweli, afadhali ibilisi unayemjua kumliko malaika usiyemjua? Solo alianza kumpiga Riza mara kwa mara, bila sababu kwa ulevi wake. Solo alikuwa analewa chopi na kutumia mihadarati. Wakati mwingine, Riza alikuwa analala njaa kwa kuwa Solo alikuwa anaenda bila ya kurudi nyumbani siku hiyo. Riza alijaribu juu chini kutafuta mbinu ya kumwacha Solo bila ya kufanikiwa. Solo alikuwa anahanya bila ya kumficha Riza. Hapo ndipo maneno ya mamake Riza yalimjia kwenye akili. Alianza kudondokwa na machozi, alijuta sana na akaamua kwamba ataenda kuendelea na masomo yake. Aliporudi chuoni alishangaa na kuduwaa kupata kuwa mfadhili wake aliacha kumlipia karo wakati ambapo hakuwa anaende chuoni. Kwa kweli, maji yakimwagika, hayazoleki. Alirudi nyumbani na kumpata Solo ameketi kitako anamngoja. Solo alimpa Riza kichapo cha mbwa aliyeingia msikitini. Alimkimbilia rafiki wake Zizi ili aweze kumsaidia. Lo! Zizi alimfukuza na kumtusi Riza. Hapo ndipo Riza alijua ibilisi wa mtu ni mtu. Zizi ndiye aliyemshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa na pesa za kumtunza. Riza aliamua kurudi nyumbani kwao na kumwomba mama yake msamaha. Mama yake alimsamehe kwa kuwa, damu ni nzito kuliko maji. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponena kuwa, yote yang’aayo sio dhahabu.
Nani alikuwa na heshima kwa wote
{ "text": [ "Riza" ] }
3635_swa
YOTE YANGAAYO SIO DHAHABU. Riza alikuwa msichana mwenye heshima kwa wote, wakubwa kwa wadogo na alithamaniwa na wengi. Riza aliishi na familia yake ya uchochole mwingi. Chakula kwao kilikuwa kama neno lililobandikwa kwenye kamusi kimakosa. Wazazi wake walifanya kazi za kijungu jiko ili kuhakikisha Riza ameweza kupata mavazi, maankuli na pia kwenda shuleni. Riza alikuwa msichana mwenye bidii ya msumeno kukata pande zote. Riza alikuwa kidato cha tatu katika shule ya upili ya Mwangaza. Riza alitia bidii masomoni hadi wakati alipoweza kufanya mtihani wake wa kitaifa na kupita kwa alama za juu. Alikuwa mwanafunzi wa pili kwenye mtihani huo wa kitaifa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponeng kuwa Mola hamwachi mja wake. Riza aliweza kupata mfadhili ambaye angeweza kulipa karo yake ya chuo kikuu. Riza alienda katika chuo kikuu cha Maseno na kuendelea na bidii zile zile za mchwa. Chuoni, aliweza kukutana na watu wa tabaka mbali mbali. Bado alikuwa anayakumbuka mazungumzo baina yake na mama yake, Mashaka, “Mwanangu Riza,tafadhali epukana na vikundi mbaya utakapokuwa chuoni. Familia yetu ni ya uchochole na tunakutegemea wewe kama mwanga wetu wa pekee kuweza kutuepua katika uchochole. Endelea kutia bidii na usisahau kuwaheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Bila kusahau, usiwache kumwomba Mungu kwa kuwa yeye ndiye alikujalia baraka hizi.” Riza alipatana na saibu mmoja ambaye walipendana sana. Saibu wake Riza alikuwa anaitwa Zizi. Zizi alikuwa anatoka kwa familia ya mabwanyenye. Zizi alikuwa na kila kitu alichokuwa akihitaji kwa kuwa pesa haikuwa tatizo kwake. Siku zilipokuwa zikisonga, naye Riza alikuwa anabadilika. Riza alianza kupenda anasa na kila alipokuwa akiambiwa abadilike, maneno yalikuwa yanaangukia sikio la kufa. Kwa kweli, sikio la kufa, halisikii dawa. Chuoni, Riza aliweza kukutana na ghulamu mmoja aliyekuwa anaitwa Solo. Solo alikuwa ghulamu mwenye majigambo na maringo kama tausi. Riza na Solo walianza kwa kuwa marafiki tu. Baadaye, Solo aliweza kumjulisha Riza kuwa alikuwa anampenda na alikuwa tayari kumwoa na kuishi naye. Zizi alimshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa ghulamu mwenye pesa. Riza alikuwa anamwamini sana Zizi na akasahau mawaidha ya mama yake mzazi. Riza aliendelea na uhusiano wa kimapenzi na Solo hadi wakati ambapo Solo aliweza kuamua kumchukua kama mke wake. Riza aliweza kujawa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno kwa mara ya kwanza. Riza alianza kuishi na Solo na kusahau masomo yake. Walipendana na Solo kwa muda mrefu. Solo alijikaza kisabuni kumpa Riza chochote alichotaka. Baada ya miezi nane, Solo alianza kubadilika. Alianza kuonyesha tabia zake halisi. Hapo ndipo Riza alipojua kuwa kwa muda huo wote Solo alikuwa amevalia ngozi ya kondoo na kumbe ndani ni mbwa mwitu. Riza na Solo walianza kuwa maji na mafuta. Kwa kweli, afadhali ibilisi unayemjua kumliko malaika usiyemjua? Solo alianza kumpiga Riza mara kwa mara, bila sababu kwa ulevi wake. Solo alikuwa analewa chopi na kutumia mihadarati. Wakati mwingine, Riza alikuwa analala njaa kwa kuwa Solo alikuwa anaenda bila ya kurudi nyumbani siku hiyo. Riza alijaribu juu chini kutafuta mbinu ya kumwacha Solo bila ya kufanikiwa. Solo alikuwa anahanya bila ya kumficha Riza. Hapo ndipo maneno ya mamake Riza yalimjia kwenye akili. Alianza kudondokwa na machozi, alijuta sana na akaamua kwamba ataenda kuendelea na masomo yake. Aliporudi chuoni alishangaa na kuduwaa kupata kuwa mfadhili wake aliacha kumlipia karo wakati ambapo hakuwa anaende chuoni. Kwa kweli, maji yakimwagika, hayazoleki. Alirudi nyumbani na kumpata Solo ameketi kitako anamngoja. Solo alimpa Riza kichapo cha mbwa aliyeingia msikitini. Alimkimbilia rafiki wake Zizi ili aweze kumsaidia. Lo! Zizi alimfukuza na kumtusi Riza. Hapo ndipo Riza alijua ibilisi wa mtu ni mtu. Zizi ndiye aliyemshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa na pesa za kumtunza. Riza aliamua kurudi nyumbani kwao na kumwomba mama yake msamaha. Mama yake alimsamehe kwa kuwa, damu ni nzito kuliko maji. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponena kuwa, yote yang’aayo sio dhahabu.
Wazazi wake walifanya kazi gani
{ "text": [ "ya kijungujiko" ] }
3635_swa
YOTE YANGAAYO SIO DHAHABU. Riza alikuwa msichana mwenye heshima kwa wote, wakubwa kwa wadogo na alithamaniwa na wengi. Riza aliishi na familia yake ya uchochole mwingi. Chakula kwao kilikuwa kama neno lililobandikwa kwenye kamusi kimakosa. Wazazi wake walifanya kazi za kijungu jiko ili kuhakikisha Riza ameweza kupata mavazi, maankuli na pia kwenda shuleni. Riza alikuwa msichana mwenye bidii ya msumeno kukata pande zote. Riza alikuwa kidato cha tatu katika shule ya upili ya Mwangaza. Riza alitia bidii masomoni hadi wakati alipoweza kufanya mtihani wake wa kitaifa na kupita kwa alama za juu. Alikuwa mwanafunzi wa pili kwenye mtihani huo wa kitaifa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponeng kuwa Mola hamwachi mja wake. Riza aliweza kupata mfadhili ambaye angeweza kulipa karo yake ya chuo kikuu. Riza alienda katika chuo kikuu cha Maseno na kuendelea na bidii zile zile za mchwa. Chuoni, aliweza kukutana na watu wa tabaka mbali mbali. Bado alikuwa anayakumbuka mazungumzo baina yake na mama yake, Mashaka, “Mwanangu Riza,tafadhali epukana na vikundi mbaya utakapokuwa chuoni. Familia yetu ni ya uchochole na tunakutegemea wewe kama mwanga wetu wa pekee kuweza kutuepua katika uchochole. Endelea kutia bidii na usisahau kuwaheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Bila kusahau, usiwache kumwomba Mungu kwa kuwa yeye ndiye alikujalia baraka hizi.” Riza alipatana na saibu mmoja ambaye walipendana sana. Saibu wake Riza alikuwa anaitwa Zizi. Zizi alikuwa anatoka kwa familia ya mabwanyenye. Zizi alikuwa na kila kitu alichokuwa akihitaji kwa kuwa pesa haikuwa tatizo kwake. Siku zilipokuwa zikisonga, naye Riza alikuwa anabadilika. Riza alianza kupenda anasa na kila alipokuwa akiambiwa abadilike, maneno yalikuwa yanaangukia sikio la kufa. Kwa kweli, sikio la kufa, halisikii dawa. Chuoni, Riza aliweza kukutana na ghulamu mmoja aliyekuwa anaitwa Solo. Solo alikuwa ghulamu mwenye majigambo na maringo kama tausi. Riza na Solo walianza kwa kuwa marafiki tu. Baadaye, Solo aliweza kumjulisha Riza kuwa alikuwa anampenda na alikuwa tayari kumwoa na kuishi naye. Zizi alimshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa ghulamu mwenye pesa. Riza alikuwa anamwamini sana Zizi na akasahau mawaidha ya mama yake mzazi. Riza aliendelea na uhusiano wa kimapenzi na Solo hadi wakati ambapo Solo aliweza kuamua kumchukua kama mke wake. Riza aliweza kujawa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno kwa mara ya kwanza. Riza alianza kuishi na Solo na kusahau masomo yake. Walipendana na Solo kwa muda mrefu. Solo alijikaza kisabuni kumpa Riza chochote alichotaka. Baada ya miezi nane, Solo alianza kubadilika. Alianza kuonyesha tabia zake halisi. Hapo ndipo Riza alipojua kuwa kwa muda huo wote Solo alikuwa amevalia ngozi ya kondoo na kumbe ndani ni mbwa mwitu. Riza na Solo walianza kuwa maji na mafuta. Kwa kweli, afadhali ibilisi unayemjua kumliko malaika usiyemjua? Solo alianza kumpiga Riza mara kwa mara, bila sababu kwa ulevi wake. Solo alikuwa analewa chopi na kutumia mihadarati. Wakati mwingine, Riza alikuwa analala njaa kwa kuwa Solo alikuwa anaenda bila ya kurudi nyumbani siku hiyo. Riza alijaribu juu chini kutafuta mbinu ya kumwacha Solo bila ya kufanikiwa. Solo alikuwa anahanya bila ya kumficha Riza. Hapo ndipo maneno ya mamake Riza yalimjia kwenye akili. Alianza kudondokwa na machozi, alijuta sana na akaamua kwamba ataenda kuendelea na masomo yake. Aliporudi chuoni alishangaa na kuduwaa kupata kuwa mfadhili wake aliacha kumlipia karo wakati ambapo hakuwa anaende chuoni. Kwa kweli, maji yakimwagika, hayazoleki. Alirudi nyumbani na kumpata Solo ameketi kitako anamngoja. Solo alimpa Riza kichapo cha mbwa aliyeingia msikitini. Alimkimbilia rafiki wake Zizi ili aweze kumsaidia. Lo! Zizi alimfukuza na kumtusi Riza. Hapo ndipo Riza alijua ibilisi wa mtu ni mtu. Zizi ndiye aliyemshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa na pesa za kumtunza. Riza aliamua kurudi nyumbani kwao na kumwomba mama yake msamaha. Mama yake alimsamehe kwa kuwa, damu ni nzito kuliko maji. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponena kuwa, yote yang’aayo sio dhahabu.
Riza alikuwa katika shule gani
{ "text": [ "ya Mwangaza" ] }
3635_swa
YOTE YANGAAYO SIO DHAHABU. Riza alikuwa msichana mwenye heshima kwa wote, wakubwa kwa wadogo na alithamaniwa na wengi. Riza aliishi na familia yake ya uchochole mwingi. Chakula kwao kilikuwa kama neno lililobandikwa kwenye kamusi kimakosa. Wazazi wake walifanya kazi za kijungu jiko ili kuhakikisha Riza ameweza kupata mavazi, maankuli na pia kwenda shuleni. Riza alikuwa msichana mwenye bidii ya msumeno kukata pande zote. Riza alikuwa kidato cha tatu katika shule ya upili ya Mwangaza. Riza alitia bidii masomoni hadi wakati alipoweza kufanya mtihani wake wa kitaifa na kupita kwa alama za juu. Alikuwa mwanafunzi wa pili kwenye mtihani huo wa kitaifa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponeng kuwa Mola hamwachi mja wake. Riza aliweza kupata mfadhili ambaye angeweza kulipa karo yake ya chuo kikuu. Riza alienda katika chuo kikuu cha Maseno na kuendelea na bidii zile zile za mchwa. Chuoni, aliweza kukutana na watu wa tabaka mbali mbali. Bado alikuwa anayakumbuka mazungumzo baina yake na mama yake, Mashaka, “Mwanangu Riza,tafadhali epukana na vikundi mbaya utakapokuwa chuoni. Familia yetu ni ya uchochole na tunakutegemea wewe kama mwanga wetu wa pekee kuweza kutuepua katika uchochole. Endelea kutia bidii na usisahau kuwaheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Bila kusahau, usiwache kumwomba Mungu kwa kuwa yeye ndiye alikujalia baraka hizi.” Riza alipatana na saibu mmoja ambaye walipendana sana. Saibu wake Riza alikuwa anaitwa Zizi. Zizi alikuwa anatoka kwa familia ya mabwanyenye. Zizi alikuwa na kila kitu alichokuwa akihitaji kwa kuwa pesa haikuwa tatizo kwake. Siku zilipokuwa zikisonga, naye Riza alikuwa anabadilika. Riza alianza kupenda anasa na kila alipokuwa akiambiwa abadilike, maneno yalikuwa yanaangukia sikio la kufa. Kwa kweli, sikio la kufa, halisikii dawa. Chuoni, Riza aliweza kukutana na ghulamu mmoja aliyekuwa anaitwa Solo. Solo alikuwa ghulamu mwenye majigambo na maringo kama tausi. Riza na Solo walianza kwa kuwa marafiki tu. Baadaye, Solo aliweza kumjulisha Riza kuwa alikuwa anampenda na alikuwa tayari kumwoa na kuishi naye. Zizi alimshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa ghulamu mwenye pesa. Riza alikuwa anamwamini sana Zizi na akasahau mawaidha ya mama yake mzazi. Riza aliendelea na uhusiano wa kimapenzi na Solo hadi wakati ambapo Solo aliweza kuamua kumchukua kama mke wake. Riza aliweza kujawa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno kwa mara ya kwanza. Riza alianza kuishi na Solo na kusahau masomo yake. Walipendana na Solo kwa muda mrefu. Solo alijikaza kisabuni kumpa Riza chochote alichotaka. Baada ya miezi nane, Solo alianza kubadilika. Alianza kuonyesha tabia zake halisi. Hapo ndipo Riza alipojua kuwa kwa muda huo wote Solo alikuwa amevalia ngozi ya kondoo na kumbe ndani ni mbwa mwitu. Riza na Solo walianza kuwa maji na mafuta. Kwa kweli, afadhali ibilisi unayemjua kumliko malaika usiyemjua? Solo alianza kumpiga Riza mara kwa mara, bila sababu kwa ulevi wake. Solo alikuwa analewa chopi na kutumia mihadarati. Wakati mwingine, Riza alikuwa analala njaa kwa kuwa Solo alikuwa anaenda bila ya kurudi nyumbani siku hiyo. Riza alijaribu juu chini kutafuta mbinu ya kumwacha Solo bila ya kufanikiwa. Solo alikuwa anahanya bila ya kumficha Riza. Hapo ndipo maneno ya mamake Riza yalimjia kwenye akili. Alianza kudondokwa na machozi, alijuta sana na akaamua kwamba ataenda kuendelea na masomo yake. Aliporudi chuoni alishangaa na kuduwaa kupata kuwa mfadhili wake aliacha kumlipia karo wakati ambapo hakuwa anaende chuoni. Kwa kweli, maji yakimwagika, hayazoleki. Alirudi nyumbani na kumpata Solo ameketi kitako anamngoja. Solo alimpa Riza kichapo cha mbwa aliyeingia msikitini. Alimkimbilia rafiki wake Zizi ili aweze kumsaidia. Lo! Zizi alimfukuza na kumtusi Riza. Hapo ndipo Riza alijua ibilisi wa mtu ni mtu. Zizi ndiye aliyemshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa na pesa za kumtunza. Riza aliamua kurudi nyumbani kwao na kumwomba mama yake msamaha. Mama yake alimsamehe kwa kuwa, damu ni nzito kuliko maji. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponena kuwa, yote yang’aayo sio dhahabu.
Riza alikuwa wa ngapi katika mtihani wa kitaifa
{ "text": [ "wa pili" ] }
3635_swa
YOTE YANGAAYO SIO DHAHABU. Riza alikuwa msichana mwenye heshima kwa wote, wakubwa kwa wadogo na alithamaniwa na wengi. Riza aliishi na familia yake ya uchochole mwingi. Chakula kwao kilikuwa kama neno lililobandikwa kwenye kamusi kimakosa. Wazazi wake walifanya kazi za kijungu jiko ili kuhakikisha Riza ameweza kupata mavazi, maankuli na pia kwenda shuleni. Riza alikuwa msichana mwenye bidii ya msumeno kukata pande zote. Riza alikuwa kidato cha tatu katika shule ya upili ya Mwangaza. Riza alitia bidii masomoni hadi wakati alipoweza kufanya mtihani wake wa kitaifa na kupita kwa alama za juu. Alikuwa mwanafunzi wa pili kwenye mtihani huo wa kitaifa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponeng kuwa Mola hamwachi mja wake. Riza aliweza kupata mfadhili ambaye angeweza kulipa karo yake ya chuo kikuu. Riza alienda katika chuo kikuu cha Maseno na kuendelea na bidii zile zile za mchwa. Chuoni, aliweza kukutana na watu wa tabaka mbali mbali. Bado alikuwa anayakumbuka mazungumzo baina yake na mama yake, Mashaka, “Mwanangu Riza,tafadhali epukana na vikundi mbaya utakapokuwa chuoni. Familia yetu ni ya uchochole na tunakutegemea wewe kama mwanga wetu wa pekee kuweza kutuepua katika uchochole. Endelea kutia bidii na usisahau kuwaheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Bila kusahau, usiwache kumwomba Mungu kwa kuwa yeye ndiye alikujalia baraka hizi.” Riza alipatana na saibu mmoja ambaye walipendana sana. Saibu wake Riza alikuwa anaitwa Zizi. Zizi alikuwa anatoka kwa familia ya mabwanyenye. Zizi alikuwa na kila kitu alichokuwa akihitaji kwa kuwa pesa haikuwa tatizo kwake. Siku zilipokuwa zikisonga, naye Riza alikuwa anabadilika. Riza alianza kupenda anasa na kila alipokuwa akiambiwa abadilike, maneno yalikuwa yanaangukia sikio la kufa. Kwa kweli, sikio la kufa, halisikii dawa. Chuoni, Riza aliweza kukutana na ghulamu mmoja aliyekuwa anaitwa Solo. Solo alikuwa ghulamu mwenye majigambo na maringo kama tausi. Riza na Solo walianza kwa kuwa marafiki tu. Baadaye, Solo aliweza kumjulisha Riza kuwa alikuwa anampenda na alikuwa tayari kumwoa na kuishi naye. Zizi alimshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa ghulamu mwenye pesa. Riza alikuwa anamwamini sana Zizi na akasahau mawaidha ya mama yake mzazi. Riza aliendelea na uhusiano wa kimapenzi na Solo hadi wakati ambapo Solo aliweza kuamua kumchukua kama mke wake. Riza aliweza kujawa na furaha kama kibogoyo aliyeota meno kwa mara ya kwanza. Riza alianza kuishi na Solo na kusahau masomo yake. Walipendana na Solo kwa muda mrefu. Solo alijikaza kisabuni kumpa Riza chochote alichotaka. Baada ya miezi nane, Solo alianza kubadilika. Alianza kuonyesha tabia zake halisi. Hapo ndipo Riza alipojua kuwa kwa muda huo wote Solo alikuwa amevalia ngozi ya kondoo na kumbe ndani ni mbwa mwitu. Riza na Solo walianza kuwa maji na mafuta. Kwa kweli, afadhali ibilisi unayemjua kumliko malaika usiyemjua? Solo alianza kumpiga Riza mara kwa mara, bila sababu kwa ulevi wake. Solo alikuwa analewa chopi na kutumia mihadarati. Wakati mwingine, Riza alikuwa analala njaa kwa kuwa Solo alikuwa anaenda bila ya kurudi nyumbani siku hiyo. Riza alijaribu juu chini kutafuta mbinu ya kumwacha Solo bila ya kufanikiwa. Solo alikuwa anahanya bila ya kumficha Riza. Hapo ndipo maneno ya mamake Riza yalimjia kwenye akili. Alianza kudondokwa na machozi, alijuta sana na akaamua kwamba ataenda kuendelea na masomo yake. Aliporudi chuoni alishangaa na kuduwaa kupata kuwa mfadhili wake aliacha kumlipia karo wakati ambapo hakuwa anaende chuoni. Kwa kweli, maji yakimwagika, hayazoleki. Alirudi nyumbani na kumpata Solo ameketi kitako anamngoja. Solo alimpa Riza kichapo cha mbwa aliyeingia msikitini. Alimkimbilia rafiki wake Zizi ili aweze kumsaidia. Lo! Zizi alimfukuza na kumtusi Riza. Hapo ndipo Riza alijua ibilisi wa mtu ni mtu. Zizi ndiye aliyemshawishi Riza akubali ombi lake Solo kwa kuwa alikuwa na pesa za kumtunza. Riza aliamua kurudi nyumbani kwao na kumwomba mama yake msamaha. Mama yake alimsamehe kwa kuwa, damu ni nzito kuliko maji. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponena kuwa, yote yang’aayo sio dhahabu.
Mbona familia ilimtegemea mwana wao wa pekee
{ "text": [ "kuweza kuwaepua katika uchochole" ] }
3636_swa
S. L. P. 890 -77800, MOMBASA 28-SEPTEMBA, 2021 MKURUGENZI, KAMPUNI YA UCHAPISHAJI YA MACMILLAN, IDARA YA UANDISHI, S. L. P. 799-99200, NAIROBI, Kwa Bw/Bi Mint: OMBI LA KAZI KWA NAFASI YA MWANDISHI WA KAZI ZA FASIHI Kufuatia tangazo nililoliona kwenye gazeti la Taifa leo lililochapishwa tarehe 27 Septemba, 2021, ningependa kuomba kazi kwa nafasi iliyotajwa hapo juu. Mimi ni mwanamke mkenya mwenye miaka thelathini na mbili. Nina shahada ya uandishi na shahada ya kwanza katika huduma za fasihi kutoka chuo kikuu cha Tangulia. Nilifanikiwa kupata alama ya B+ na B kwenye kiswahili katika mtihani wangu wa K.C.S.E. Mimi ni mwandishi aliyebobea kutoka chuo cha kimataifa cha Awanzo mpya na nimekuwa nikijihusisha na uchunguzi wa kazi za fasihi kwenye jamii, yapata miaka mitatu sasa. Ninaweza nikafanya kazi kwa usimamizi mdogo au bila wowote kabisa. Ninatarajia kwamba ombi langu litazingatiwa na nitapata nafsi hii kutoka kampuni yenu tajika. TAWASIFU KAZI TAARIFA ZA BINAFSI JINA: HALIMA JUMA PENDO URAIA: MKENYA TAREHE YA KUZALIWA : 12 JUNI 1989 ANWANI: S.L.P. 870-77800, MOMBASA SIMU: +254713931817 BARUA PEPE: [email protected] JINSIA: Mwanamke HADHI YA NDOA: Nimeolewa NAMBARI YA KITAMBULISHO: 01879052 LUGHA: Kiswahili, Kifaransa, Kiingereza ELIMU 2010 - 2012 chuo cha kimataifa cha mwanzo mpya Shahada ya Uandishi (Taaluma ya Fasihi Andishi) 2006 -2009 chuo kikuu cha Tangutia Shahada ya Kwanza(Huduma za Fasihi) 2002 - 2005 Shule ya upili ya Majaaliwa (Cheti cha KCSE Alama B+) 1994 -2001 Shule ya msingi ya manufaa (Cheti cha KCPE Alama 405) 1992-1993 Shule ya Chekechea ya Manufaa TAJIRIBA 2015- 2021 Mwandishi katika gazeti la mzalendo 2013-2014 Mchunguzi wa fasihi katika idara ya fasihi nchini Kenya AZIMIO LANGU Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu. Kuwa mwandishi bora zaidi nchini kwa matendo na kwa wananchi kuwanufaisha na kuendeleza fasihi. URAIBU Kusoma vitabu Kutangamana na watu Kutazama filamu za fasihi na kiswahili WAREJELEWA Bw. Ayubu Mtendakazi Mkuu wa Idara ya Uandishi Gazeti la Mzalendo S.L.P. 1309-90900 MOMBASA Bi Neema Mwema Mkuu wa Idara ya Fasihi na Uandishi S.L.P. 509-90400 NAIROBI Bi Mbogo Mkazi Kampuni ya Magazeti S.L.P. 777-90422 NAIROBI
Aliona tangazo kwenye gazeti gani
{ "text": [ "Taifa leo" ] }
3636_swa
S. L. P. 890 -77800, MOMBASA 28-SEPTEMBA, 2021 MKURUGENZI, KAMPUNI YA UCHAPISHAJI YA MACMILLAN, IDARA YA UANDISHI, S. L. P. 799-99200, NAIROBI, Kwa Bw/Bi Mint: OMBI LA KAZI KWA NAFASI YA MWANDISHI WA KAZI ZA FASIHI Kufuatia tangazo nililoliona kwenye gazeti la Taifa leo lililochapishwa tarehe 27 Septemba, 2021, ningependa kuomba kazi kwa nafasi iliyotajwa hapo juu. Mimi ni mwanamke mkenya mwenye miaka thelathini na mbili. Nina shahada ya uandishi na shahada ya kwanza katika huduma za fasihi kutoka chuo kikuu cha Tangulia. Nilifanikiwa kupata alama ya B+ na B kwenye kiswahili katika mtihani wangu wa K.C.S.E. Mimi ni mwandishi aliyebobea kutoka chuo cha kimataifa cha Awanzo mpya na nimekuwa nikijihusisha na uchunguzi wa kazi za fasihi kwenye jamii, yapata miaka mitatu sasa. Ninaweza nikafanya kazi kwa usimamizi mdogo au bila wowote kabisa. Ninatarajia kwamba ombi langu litazingatiwa na nitapata nafsi hii kutoka kampuni yenu tajika. TAWASIFU KAZI TAARIFA ZA BINAFSI JINA: HALIMA JUMA PENDO URAIA: MKENYA TAREHE YA KUZALIWA : 12 JUNI 1989 ANWANI: S.L.P. 870-77800, MOMBASA SIMU: +254713931817 BARUA PEPE: [email protected] JINSIA: Mwanamke HADHI YA NDOA: Nimeolewa NAMBARI YA KITAMBULISHO: 01879052 LUGHA: Kiswahili, Kifaransa, Kiingereza ELIMU 2010 - 2012 chuo cha kimataifa cha mwanzo mpya Shahada ya Uandishi (Taaluma ya Fasihi Andishi) 2006 -2009 chuo kikuu cha Tangutia Shahada ya Kwanza(Huduma za Fasihi) 2002 - 2005 Shule ya upili ya Majaaliwa (Cheti cha KCSE Alama B+) 1994 -2001 Shule ya msingi ya manufaa (Cheti cha KCPE Alama 405) 1992-1993 Shule ya Chekechea ya Manufaa TAJIRIBA 2015- 2021 Mwandishi katika gazeti la mzalendo 2013-2014 Mchunguzi wa fasihi katika idara ya fasihi nchini Kenya AZIMIO LANGU Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu. Kuwa mwandishi bora zaidi nchini kwa matendo na kwa wananchi kuwanufaisha na kuendeleza fasihi. URAIBU Kusoma vitabu Kutangamana na watu Kutazama filamu za fasihi na kiswahili WAREJELEWA Bw. Ayubu Mtendakazi Mkuu wa Idara ya Uandishi Gazeti la Mzalendo S.L.P. 1309-90900 MOMBASA Bi Neema Mwema Mkuu wa Idara ya Fasihi na Uandishi S.L.P. 509-90400 NAIROBI Bi Mbogo Mkazi Kampuni ya Magazeti S.L.P. 777-90422 NAIROBI
Yeye ni Mkenya mwenye miaka ngapi
{ "text": [ "thelethini na mbili" ] }
3636_swa
S. L. P. 890 -77800, MOMBASA 28-SEPTEMBA, 2021 MKURUGENZI, KAMPUNI YA UCHAPISHAJI YA MACMILLAN, IDARA YA UANDISHI, S. L. P. 799-99200, NAIROBI, Kwa Bw/Bi Mint: OMBI LA KAZI KWA NAFASI YA MWANDISHI WA KAZI ZA FASIHI Kufuatia tangazo nililoliona kwenye gazeti la Taifa leo lililochapishwa tarehe 27 Septemba, 2021, ningependa kuomba kazi kwa nafasi iliyotajwa hapo juu. Mimi ni mwanamke mkenya mwenye miaka thelathini na mbili. Nina shahada ya uandishi na shahada ya kwanza katika huduma za fasihi kutoka chuo kikuu cha Tangulia. Nilifanikiwa kupata alama ya B+ na B kwenye kiswahili katika mtihani wangu wa K.C.S.E. Mimi ni mwandishi aliyebobea kutoka chuo cha kimataifa cha Awanzo mpya na nimekuwa nikijihusisha na uchunguzi wa kazi za fasihi kwenye jamii, yapata miaka mitatu sasa. Ninaweza nikafanya kazi kwa usimamizi mdogo au bila wowote kabisa. Ninatarajia kwamba ombi langu litazingatiwa na nitapata nafsi hii kutoka kampuni yenu tajika. TAWASIFU KAZI TAARIFA ZA BINAFSI JINA: HALIMA JUMA PENDO URAIA: MKENYA TAREHE YA KUZALIWA : 12 JUNI 1989 ANWANI: S.L.P. 870-77800, MOMBASA SIMU: +254713931817 BARUA PEPE: [email protected] JINSIA: Mwanamke HADHI YA NDOA: Nimeolewa NAMBARI YA KITAMBULISHO: 01879052 LUGHA: Kiswahili, Kifaransa, Kiingereza ELIMU 2010 - 2012 chuo cha kimataifa cha mwanzo mpya Shahada ya Uandishi (Taaluma ya Fasihi Andishi) 2006 -2009 chuo kikuu cha Tangutia Shahada ya Kwanza(Huduma za Fasihi) 2002 - 2005 Shule ya upili ya Majaaliwa (Cheti cha KCSE Alama B+) 1994 -2001 Shule ya msingi ya manufaa (Cheti cha KCPE Alama 405) 1992-1993 Shule ya Chekechea ya Manufaa TAJIRIBA 2015- 2021 Mwandishi katika gazeti la mzalendo 2013-2014 Mchunguzi wa fasihi katika idara ya fasihi nchini Kenya AZIMIO LANGU Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu. Kuwa mwandishi bora zaidi nchini kwa matendo na kwa wananchi kuwanufaisha na kuendeleza fasihi. URAIBU Kusoma vitabu Kutangamana na watu Kutazama filamu za fasihi na kiswahili WAREJELEWA Bw. Ayubu Mtendakazi Mkuu wa Idara ya Uandishi Gazeti la Mzalendo S.L.P. 1309-90900 MOMBASA Bi Neema Mwema Mkuu wa Idara ya Fasihi na Uandishi S.L.P. 509-90400 NAIROBI Bi Mbogo Mkazi Kampuni ya Magazeti S.L.P. 777-90422 NAIROBI
Alipata alama ya B+ na B kwenye somo gani
{ "text": [ "Kiswahili" ] }
3636_swa
S. L. P. 890 -77800, MOMBASA 28-SEPTEMBA, 2021 MKURUGENZI, KAMPUNI YA UCHAPISHAJI YA MACMILLAN, IDARA YA UANDISHI, S. L. P. 799-99200, NAIROBI, Kwa Bw/Bi Mint: OMBI LA KAZI KWA NAFASI YA MWANDISHI WA KAZI ZA FASIHI Kufuatia tangazo nililoliona kwenye gazeti la Taifa leo lililochapishwa tarehe 27 Septemba, 2021, ningependa kuomba kazi kwa nafasi iliyotajwa hapo juu. Mimi ni mwanamke mkenya mwenye miaka thelathini na mbili. Nina shahada ya uandishi na shahada ya kwanza katika huduma za fasihi kutoka chuo kikuu cha Tangulia. Nilifanikiwa kupata alama ya B+ na B kwenye kiswahili katika mtihani wangu wa K.C.S.E. Mimi ni mwandishi aliyebobea kutoka chuo cha kimataifa cha Awanzo mpya na nimekuwa nikijihusisha na uchunguzi wa kazi za fasihi kwenye jamii, yapata miaka mitatu sasa. Ninaweza nikafanya kazi kwa usimamizi mdogo au bila wowote kabisa. Ninatarajia kwamba ombi langu litazingatiwa na nitapata nafsi hii kutoka kampuni yenu tajika. TAWASIFU KAZI TAARIFA ZA BINAFSI JINA: HALIMA JUMA PENDO URAIA: MKENYA TAREHE YA KUZALIWA : 12 JUNI 1989 ANWANI: S.L.P. 870-77800, MOMBASA SIMU: +254713931817 BARUA PEPE: [email protected] JINSIA: Mwanamke HADHI YA NDOA: Nimeolewa NAMBARI YA KITAMBULISHO: 01879052 LUGHA: Kiswahili, Kifaransa, Kiingereza ELIMU 2010 - 2012 chuo cha kimataifa cha mwanzo mpya Shahada ya Uandishi (Taaluma ya Fasihi Andishi) 2006 -2009 chuo kikuu cha Tangutia Shahada ya Kwanza(Huduma za Fasihi) 2002 - 2005 Shule ya upili ya Majaaliwa (Cheti cha KCSE Alama B+) 1994 -2001 Shule ya msingi ya manufaa (Cheti cha KCPE Alama 405) 1992-1993 Shule ya Chekechea ya Manufaa TAJIRIBA 2015- 2021 Mwandishi katika gazeti la mzalendo 2013-2014 Mchunguzi wa fasihi katika idara ya fasihi nchini Kenya AZIMIO LANGU Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu. Kuwa mwandishi bora zaidi nchini kwa matendo na kwa wananchi kuwanufaisha na kuendeleza fasihi. URAIBU Kusoma vitabu Kutangamana na watu Kutazama filamu za fasihi na kiswahili WAREJELEWA Bw. Ayubu Mtendakazi Mkuu wa Idara ya Uandishi Gazeti la Mzalendo S.L.P. 1309-90900 MOMBASA Bi Neema Mwema Mkuu wa Idara ya Fasihi na Uandishi S.L.P. 509-90400 NAIROBI Bi Mbogo Mkazi Kampuni ya Magazeti S.L.P. 777-90422 NAIROBI
Yeye ni mwandishi kutoka chuo kipi cha kimataifa
{ "text": [ "Mwanzo Mpya" ] }
3636_swa
S. L. P. 890 -77800, MOMBASA 28-SEPTEMBA, 2021 MKURUGENZI, KAMPUNI YA UCHAPISHAJI YA MACMILLAN, IDARA YA UANDISHI, S. L. P. 799-99200, NAIROBI, Kwa Bw/Bi Mint: OMBI LA KAZI KWA NAFASI YA MWANDISHI WA KAZI ZA FASIHI Kufuatia tangazo nililoliona kwenye gazeti la Taifa leo lililochapishwa tarehe 27 Septemba, 2021, ningependa kuomba kazi kwa nafasi iliyotajwa hapo juu. Mimi ni mwanamke mkenya mwenye miaka thelathini na mbili. Nina shahada ya uandishi na shahada ya kwanza katika huduma za fasihi kutoka chuo kikuu cha Tangulia. Nilifanikiwa kupata alama ya B+ na B kwenye kiswahili katika mtihani wangu wa K.C.S.E. Mimi ni mwandishi aliyebobea kutoka chuo cha kimataifa cha Awanzo mpya na nimekuwa nikijihusisha na uchunguzi wa kazi za fasihi kwenye jamii, yapata miaka mitatu sasa. Ninaweza nikafanya kazi kwa usimamizi mdogo au bila wowote kabisa. Ninatarajia kwamba ombi langu litazingatiwa na nitapata nafsi hii kutoka kampuni yenu tajika. TAWASIFU KAZI TAARIFA ZA BINAFSI JINA: HALIMA JUMA PENDO URAIA: MKENYA TAREHE YA KUZALIWA : 12 JUNI 1989 ANWANI: S.L.P. 870-77800, MOMBASA SIMU: +254713931817 BARUA PEPE: [email protected] JINSIA: Mwanamke HADHI YA NDOA: Nimeolewa NAMBARI YA KITAMBULISHO: 01879052 LUGHA: Kiswahili, Kifaransa, Kiingereza ELIMU 2010 - 2012 chuo cha kimataifa cha mwanzo mpya Shahada ya Uandishi (Taaluma ya Fasihi Andishi) 2006 -2009 chuo kikuu cha Tangutia Shahada ya Kwanza(Huduma za Fasihi) 2002 - 2005 Shule ya upili ya Majaaliwa (Cheti cha KCSE Alama B+) 1994 -2001 Shule ya msingi ya manufaa (Cheti cha KCPE Alama 405) 1992-1993 Shule ya Chekechea ya Manufaa TAJIRIBA 2015- 2021 Mwandishi katika gazeti la mzalendo 2013-2014 Mchunguzi wa fasihi katika idara ya fasihi nchini Kenya AZIMIO LANGU Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu. Kuwa mwandishi bora zaidi nchini kwa matendo na kwa wananchi kuwanufaisha na kuendeleza fasihi. URAIBU Kusoma vitabu Kutangamana na watu Kutazama filamu za fasihi na kiswahili WAREJELEWA Bw. Ayubu Mtendakazi Mkuu wa Idara ya Uandishi Gazeti la Mzalendo S.L.P. 1309-90900 MOMBASA Bi Neema Mwema Mkuu wa Idara ya Fasihi na Uandishi S.L.P. 509-90400 NAIROBI Bi Mbogo Mkazi Kampuni ya Magazeti S.L.P. 777-90422 NAIROBI
Atafanyaje ombi lake likizingatiwa
{ "text": [ "Atapata nafasi hiyo" ] }
3637_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Tuliishi katika kijiji kidogo cha Giza. Kijiji hiki kilitwa giza kwa sababu ya maovu mengi yaliyotendeka hapo. Wazazi wangu, ndugu yangu Danga na mimi tuliishi katika nyumba ndogo yenye kuta na paa zenye mabati. Mabati ya paa letu yalipitisha miale ya jua na wakati wa mvua, maji yalitiririka ndani ya nyumba. Mama alikuwa mkulima pale nyumbani naye, baba alifanya kazi ya kijungu jiko.Nakumbuka wakati huo tulikuwa tukisoma katika shule ya msingi ya Maporomoko. Madarasa katika shule hii yalikuwa yamebomoka na hayakaliki. Hali ilikuoa si hali shuleni humo. Wakati huo nilikuwa darasa la saba naye ndugu yangu alikuwa darasa la tano. Tulijikaza kisabuni katika masomo, licha ya wazazi wetu kukosa fedha za kulipa karo ya shule. Wakati mwingine, tulilazimika kubaki nyumbani tukimsaidia mama katika kazi ya shamba. Umaskini ulipozidi nyumbani, ilitulazimu kuyakatiza masomo yetu. Hapo ndipo ndoto yangu ya kuwa mwanasheria ilipozima. Mimi na ndugu yangu, Danga tulianza kazi ya kupeleka mazao madogo ya shamba letu sokoni. Kwa kufanya hivi, tulipata fedha za kununua mavazi na chakula. Tuliamka kila asubuhi na kupata kiamsha kinywa kisha kwenda sokoni. Hata hivyo, mapato hayakuwa makubwa. Wakati mwingine tulilala njaa. Siku moja tulipofika nyumbani kutoka sokoni tulipata umati wa watu katika uwanja, wetu mdogo. Watu hawa walionekana kuwa na wasiwasi na hofu kwenye nyuso zao. Nilitupa gunia nilizokuwa nimebeba na kukimbia hadi ndani ya kijumba chetu. Nilikutana na mwili wa baba yangu ukiwa chini sakafani, huku kisu kimechomekwa kifuani pake. Nilipotazama upande wa kulia wa chumba karibu na pazia iliyoitenga sebule na malazi nilimuona mama akiwa amelala huku amekaa. Niliposogea na kumtazama kwa makini niliona damu ikimoka puani na mdomoni. Nilipomtikisa hakuatikia wala hakuonekana kuhusi. Kumbe mama alikuwa kaaga dunia. Hapo hapo, nilianza kupiga, mayowe. Danga alipoingia chumbani, alijionea kila kitu na kuanza kulia. Watu waliokuwa nje ya nyumba yetu walinong’onezana na wengine wao kuondoka bila ya kutuliwaza. Siku ya mazishi sikuweza kuvumilia kuwaona wazazi wangu wakifunikwa kwa mchanga. Hapo hapo nilizipoteza fahamu. Nilipozinduka nilimwona ndugu yangu ameketi kando yangu. Nilipotazama, pande zote za boma letu, sikuiona nyumba yetu. Mabati yote yalibomolewa na kubebwa na waliohudhuria mazishi. Tuliachwa hohe hahe. Hapo ndipo tulipogundua baba yetu alikuwa ni mwizi. Tuliamua kuhamia jiji kuu la Msamaria. Hapo tulikuwa chokoraa, tulikotaokota taka na mabaki ya chakula kilichotupwa na watoto wa wakwasi. Ni katika jiji hili nilipoupata msiba mwingine. Ndugu yangu aligongwa na gari na kufariki. Nilichukua mwili wake kisha nikauzika. Niliendelea na maisha haya kwa muda miezi minne. Siku moja nilibahatika kumpata mwanamke niliyemweleza matatizo yangu. Alinichukua na kuniahidi kuwa atanirudisha shuleni. Tulienda kwake. Alinipa mavazi mapya baada ya kuoga. Mama huyu alikuwa na watoto watatu, wawili wa kike. na mmoja wa kiume. Watoto hawa walikuwa marafiki zangu na tulienda shule ya msingi ya Maendeleo. Mimi nilitia bidii katika masomo yangu ili niweze kumshukuru baadaye. Niliweza kufaulu masomoni, kisha nikajiunga na chuo kikuu cha Mvumilivu. Sasa hivi mimi ni mkurugenzi katika Idara ya Utalii nchini humu na pia Mwanasheria katika mahakama Kuu ya Faulu. Sasa hivi niko ndani ya ndege naelekea jijini kuisikiliza kesi ya Gavana aliyeshtakiwa kwa kosa la ubakaji.
Kwa nini kijiji cha msimulizi kiliitwa giza
{ "text": [ "Kilikuwa na maovu mengi yaliyofanyika pale" ] }
3637_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Tuliishi katika kijiji kidogo cha Giza. Kijiji hiki kilitwa giza kwa sababu ya maovu mengi yaliyotendeka hapo. Wazazi wangu, ndugu yangu Danga na mimi tuliishi katika nyumba ndogo yenye kuta na paa zenye mabati. Mabati ya paa letu yalipitisha miale ya jua na wakati wa mvua, maji yalitiririka ndani ya nyumba. Mama alikuwa mkulima pale nyumbani naye, baba alifanya kazi ya kijungu jiko.Nakumbuka wakati huo tulikuwa tukisoma katika shule ya msingi ya Maporomoko. Madarasa katika shule hii yalikuwa yamebomoka na hayakaliki. Hali ilikuoa si hali shuleni humo. Wakati huo nilikuwa darasa la saba naye ndugu yangu alikuwa darasa la tano. Tulijikaza kisabuni katika masomo, licha ya wazazi wetu kukosa fedha za kulipa karo ya shule. Wakati mwingine, tulilazimika kubaki nyumbani tukimsaidia mama katika kazi ya shamba. Umaskini ulipozidi nyumbani, ilitulazimu kuyakatiza masomo yetu. Hapo ndipo ndoto yangu ya kuwa mwanasheria ilipozima. Mimi na ndugu yangu, Danga tulianza kazi ya kupeleka mazao madogo ya shamba letu sokoni. Kwa kufanya hivi, tulipata fedha za kununua mavazi na chakula. Tuliamka kila asubuhi na kupata kiamsha kinywa kisha kwenda sokoni. Hata hivyo, mapato hayakuwa makubwa. Wakati mwingine tulilala njaa. Siku moja tulipofika nyumbani kutoka sokoni tulipata umati wa watu katika uwanja, wetu mdogo. Watu hawa walionekana kuwa na wasiwasi na hofu kwenye nyuso zao. Nilitupa gunia nilizokuwa nimebeba na kukimbia hadi ndani ya kijumba chetu. Nilikutana na mwili wa baba yangu ukiwa chini sakafani, huku kisu kimechomekwa kifuani pake. Nilipotazama upande wa kulia wa chumba karibu na pazia iliyoitenga sebule na malazi nilimuona mama akiwa amelala huku amekaa. Niliposogea na kumtazama kwa makini niliona damu ikimoka puani na mdomoni. Nilipomtikisa hakuatikia wala hakuonekana kuhusi. Kumbe mama alikuwa kaaga dunia. Hapo hapo, nilianza kupiga, mayowe. Danga alipoingia chumbani, alijionea kila kitu na kuanza kulia. Watu waliokuwa nje ya nyumba yetu walinong’onezana na wengine wao kuondoka bila ya kutuliwaza. Siku ya mazishi sikuweza kuvumilia kuwaona wazazi wangu wakifunikwa kwa mchanga. Hapo hapo nilizipoteza fahamu. Nilipozinduka nilimwona ndugu yangu ameketi kando yangu. Nilipotazama, pande zote za boma letu, sikuiona nyumba yetu. Mabati yote yalibomolewa na kubebwa na waliohudhuria mazishi. Tuliachwa hohe hahe. Hapo ndipo tulipogundua baba yetu alikuwa ni mwizi. Tuliamua kuhamia jiji kuu la Msamaria. Hapo tulikuwa chokoraa, tulikotaokota taka na mabaki ya chakula kilichotupwa na watoto wa wakwasi. Ni katika jiji hili nilipoupata msiba mwingine. Ndugu yangu aligongwa na gari na kufariki. Nilichukua mwili wake kisha nikauzika. Niliendelea na maisha haya kwa muda miezi minne. Siku moja nilibahatika kumpata mwanamke niliyemweleza matatizo yangu. Alinichukua na kuniahidi kuwa atanirudisha shuleni. Tulienda kwake. Alinipa mavazi mapya baada ya kuoga. Mama huyu alikuwa na watoto watatu, wawili wa kike. na mmoja wa kiume. Watoto hawa walikuwa marafiki zangu na tulienda shule ya msingi ya Maendeleo. Mimi nilitia bidii katika masomo yangu ili niweze kumshukuru baadaye. Niliweza kufaulu masomoni, kisha nikajiunga na chuo kikuu cha Mvumilivu. Sasa hivi mimi ni mkurugenzi katika Idara ya Utalii nchini humu na pia Mwanasheria katika mahakama Kuu ya Faulu. Sasa hivi niko ndani ya ndege naelekea jijini kuisikiliza kesi ya Gavana aliyeshtakiwa kwa kosa la ubakaji.
Mama ya msimulizi alifanya kazi gani
{ "text": [ "Mkulima ~Ukulima" ] }
3637_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Tuliishi katika kijiji kidogo cha Giza. Kijiji hiki kilitwa giza kwa sababu ya maovu mengi yaliyotendeka hapo. Wazazi wangu, ndugu yangu Danga na mimi tuliishi katika nyumba ndogo yenye kuta na paa zenye mabati. Mabati ya paa letu yalipitisha miale ya jua na wakati wa mvua, maji yalitiririka ndani ya nyumba. Mama alikuwa mkulima pale nyumbani naye, baba alifanya kazi ya kijungu jiko.Nakumbuka wakati huo tulikuwa tukisoma katika shule ya msingi ya Maporomoko. Madarasa katika shule hii yalikuwa yamebomoka na hayakaliki. Hali ilikuoa si hali shuleni humo. Wakati huo nilikuwa darasa la saba naye ndugu yangu alikuwa darasa la tano. Tulijikaza kisabuni katika masomo, licha ya wazazi wetu kukosa fedha za kulipa karo ya shule. Wakati mwingine, tulilazimika kubaki nyumbani tukimsaidia mama katika kazi ya shamba. Umaskini ulipozidi nyumbani, ilitulazimu kuyakatiza masomo yetu. Hapo ndipo ndoto yangu ya kuwa mwanasheria ilipozima. Mimi na ndugu yangu, Danga tulianza kazi ya kupeleka mazao madogo ya shamba letu sokoni. Kwa kufanya hivi, tulipata fedha za kununua mavazi na chakula. Tuliamka kila asubuhi na kupata kiamsha kinywa kisha kwenda sokoni. Hata hivyo, mapato hayakuwa makubwa. Wakati mwingine tulilala njaa. Siku moja tulipofika nyumbani kutoka sokoni tulipata umati wa watu katika uwanja, wetu mdogo. Watu hawa walionekana kuwa na wasiwasi na hofu kwenye nyuso zao. Nilitupa gunia nilizokuwa nimebeba na kukimbia hadi ndani ya kijumba chetu. Nilikutana na mwili wa baba yangu ukiwa chini sakafani, huku kisu kimechomekwa kifuani pake. Nilipotazama upande wa kulia wa chumba karibu na pazia iliyoitenga sebule na malazi nilimuona mama akiwa amelala huku amekaa. Niliposogea na kumtazama kwa makini niliona damu ikimoka puani na mdomoni. Nilipomtikisa hakuatikia wala hakuonekana kuhusi. Kumbe mama alikuwa kaaga dunia. Hapo hapo, nilianza kupiga, mayowe. Danga alipoingia chumbani, alijionea kila kitu na kuanza kulia. Watu waliokuwa nje ya nyumba yetu walinong’onezana na wengine wao kuondoka bila ya kutuliwaza. Siku ya mazishi sikuweza kuvumilia kuwaona wazazi wangu wakifunikwa kwa mchanga. Hapo hapo nilizipoteza fahamu. Nilipozinduka nilimwona ndugu yangu ameketi kando yangu. Nilipotazama, pande zote za boma letu, sikuiona nyumba yetu. Mabati yote yalibomolewa na kubebwa na waliohudhuria mazishi. Tuliachwa hohe hahe. Hapo ndipo tulipogundua baba yetu alikuwa ni mwizi. Tuliamua kuhamia jiji kuu la Msamaria. Hapo tulikuwa chokoraa, tulikotaokota taka na mabaki ya chakula kilichotupwa na watoto wa wakwasi. Ni katika jiji hili nilipoupata msiba mwingine. Ndugu yangu aligongwa na gari na kufariki. Nilichukua mwili wake kisha nikauzika. Niliendelea na maisha haya kwa muda miezi minne. Siku moja nilibahatika kumpata mwanamke niliyemweleza matatizo yangu. Alinichukua na kuniahidi kuwa atanirudisha shuleni. Tulienda kwake. Alinipa mavazi mapya baada ya kuoga. Mama huyu alikuwa na watoto watatu, wawili wa kike. na mmoja wa kiume. Watoto hawa walikuwa marafiki zangu na tulienda shule ya msingi ya Maendeleo. Mimi nilitia bidii katika masomo yangu ili niweze kumshukuru baadaye. Niliweza kufaulu masomoni, kisha nikajiunga na chuo kikuu cha Mvumilivu. Sasa hivi mimi ni mkurugenzi katika Idara ya Utalii nchini humu na pia Mwanasheria katika mahakama Kuu ya Faulu. Sasa hivi niko ndani ya ndege naelekea jijini kuisikiliza kesi ya Gavana aliyeshtakiwa kwa kosa la ubakaji.
Msimulizi na ndugu yake walipeleka mazao ya shambani sokoni kupata fedha za nini
{ "text": [ "Kununua mavazi na chakula" ] }
3637_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Tuliishi katika kijiji kidogo cha Giza. Kijiji hiki kilitwa giza kwa sababu ya maovu mengi yaliyotendeka hapo. Wazazi wangu, ndugu yangu Danga na mimi tuliishi katika nyumba ndogo yenye kuta na paa zenye mabati. Mabati ya paa letu yalipitisha miale ya jua na wakati wa mvua, maji yalitiririka ndani ya nyumba. Mama alikuwa mkulima pale nyumbani naye, baba alifanya kazi ya kijungu jiko.Nakumbuka wakati huo tulikuwa tukisoma katika shule ya msingi ya Maporomoko. Madarasa katika shule hii yalikuwa yamebomoka na hayakaliki. Hali ilikuoa si hali shuleni humo. Wakati huo nilikuwa darasa la saba naye ndugu yangu alikuwa darasa la tano. Tulijikaza kisabuni katika masomo, licha ya wazazi wetu kukosa fedha za kulipa karo ya shule. Wakati mwingine, tulilazimika kubaki nyumbani tukimsaidia mama katika kazi ya shamba. Umaskini ulipozidi nyumbani, ilitulazimu kuyakatiza masomo yetu. Hapo ndipo ndoto yangu ya kuwa mwanasheria ilipozima. Mimi na ndugu yangu, Danga tulianza kazi ya kupeleka mazao madogo ya shamba letu sokoni. Kwa kufanya hivi, tulipata fedha za kununua mavazi na chakula. Tuliamka kila asubuhi na kupata kiamsha kinywa kisha kwenda sokoni. Hata hivyo, mapato hayakuwa makubwa. Wakati mwingine tulilala njaa. Siku moja tulipofika nyumbani kutoka sokoni tulipata umati wa watu katika uwanja, wetu mdogo. Watu hawa walionekana kuwa na wasiwasi na hofu kwenye nyuso zao. Nilitupa gunia nilizokuwa nimebeba na kukimbia hadi ndani ya kijumba chetu. Nilikutana na mwili wa baba yangu ukiwa chini sakafani, huku kisu kimechomekwa kifuani pake. Nilipotazama upande wa kulia wa chumba karibu na pazia iliyoitenga sebule na malazi nilimuona mama akiwa amelala huku amekaa. Niliposogea na kumtazama kwa makini niliona damu ikimoka puani na mdomoni. Nilipomtikisa hakuatikia wala hakuonekana kuhusi. Kumbe mama alikuwa kaaga dunia. Hapo hapo, nilianza kupiga, mayowe. Danga alipoingia chumbani, alijionea kila kitu na kuanza kulia. Watu waliokuwa nje ya nyumba yetu walinong’onezana na wengine wao kuondoka bila ya kutuliwaza. Siku ya mazishi sikuweza kuvumilia kuwaona wazazi wangu wakifunikwa kwa mchanga. Hapo hapo nilizipoteza fahamu. Nilipozinduka nilimwona ndugu yangu ameketi kando yangu. Nilipotazama, pande zote za boma letu, sikuiona nyumba yetu. Mabati yote yalibomolewa na kubebwa na waliohudhuria mazishi. Tuliachwa hohe hahe. Hapo ndipo tulipogundua baba yetu alikuwa ni mwizi. Tuliamua kuhamia jiji kuu la Msamaria. Hapo tulikuwa chokoraa, tulikotaokota taka na mabaki ya chakula kilichotupwa na watoto wa wakwasi. Ni katika jiji hili nilipoupata msiba mwingine. Ndugu yangu aligongwa na gari na kufariki. Nilichukua mwili wake kisha nikauzika. Niliendelea na maisha haya kwa muda miezi minne. Siku moja nilibahatika kumpata mwanamke niliyemweleza matatizo yangu. Alinichukua na kuniahidi kuwa atanirudisha shuleni. Tulienda kwake. Alinipa mavazi mapya baada ya kuoga. Mama huyu alikuwa na watoto watatu, wawili wa kike. na mmoja wa kiume. Watoto hawa walikuwa marafiki zangu na tulienda shule ya msingi ya Maendeleo. Mimi nilitia bidii katika masomo yangu ili niweze kumshukuru baadaye. Niliweza kufaulu masomoni, kisha nikajiunga na chuo kikuu cha Mvumilivu. Sasa hivi mimi ni mkurugenzi katika Idara ya Utalii nchini humu na pia Mwanasheria katika mahakama Kuu ya Faulu. Sasa hivi niko ndani ya ndege naelekea jijini kuisikiliza kesi ya Gavana aliyeshtakiwa kwa kosa la ubakaji.
Msimulizi alipokuwa mjini ndugu yake aligongwa na nini
{ "text": [ "Gari na kufariki" ] }
3637_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Tuliishi katika kijiji kidogo cha Giza. Kijiji hiki kilitwa giza kwa sababu ya maovu mengi yaliyotendeka hapo. Wazazi wangu, ndugu yangu Danga na mimi tuliishi katika nyumba ndogo yenye kuta na paa zenye mabati. Mabati ya paa letu yalipitisha miale ya jua na wakati wa mvua, maji yalitiririka ndani ya nyumba. Mama alikuwa mkulima pale nyumbani naye, baba alifanya kazi ya kijungu jiko.Nakumbuka wakati huo tulikuwa tukisoma katika shule ya msingi ya Maporomoko. Madarasa katika shule hii yalikuwa yamebomoka na hayakaliki. Hali ilikuoa si hali shuleni humo. Wakati huo nilikuwa darasa la saba naye ndugu yangu alikuwa darasa la tano. Tulijikaza kisabuni katika masomo, licha ya wazazi wetu kukosa fedha za kulipa karo ya shule. Wakati mwingine, tulilazimika kubaki nyumbani tukimsaidia mama katika kazi ya shamba. Umaskini ulipozidi nyumbani, ilitulazimu kuyakatiza masomo yetu. Hapo ndipo ndoto yangu ya kuwa mwanasheria ilipozima. Mimi na ndugu yangu, Danga tulianza kazi ya kupeleka mazao madogo ya shamba letu sokoni. Kwa kufanya hivi, tulipata fedha za kununua mavazi na chakula. Tuliamka kila asubuhi na kupata kiamsha kinywa kisha kwenda sokoni. Hata hivyo, mapato hayakuwa makubwa. Wakati mwingine tulilala njaa. Siku moja tulipofika nyumbani kutoka sokoni tulipata umati wa watu katika uwanja, wetu mdogo. Watu hawa walionekana kuwa na wasiwasi na hofu kwenye nyuso zao. Nilitupa gunia nilizokuwa nimebeba na kukimbia hadi ndani ya kijumba chetu. Nilikutana na mwili wa baba yangu ukiwa chini sakafani, huku kisu kimechomekwa kifuani pake. Nilipotazama upande wa kulia wa chumba karibu na pazia iliyoitenga sebule na malazi nilimuona mama akiwa amelala huku amekaa. Niliposogea na kumtazama kwa makini niliona damu ikimoka puani na mdomoni. Nilipomtikisa hakuatikia wala hakuonekana kuhusi. Kumbe mama alikuwa kaaga dunia. Hapo hapo, nilianza kupiga, mayowe. Danga alipoingia chumbani, alijionea kila kitu na kuanza kulia. Watu waliokuwa nje ya nyumba yetu walinong’onezana na wengine wao kuondoka bila ya kutuliwaza. Siku ya mazishi sikuweza kuvumilia kuwaona wazazi wangu wakifunikwa kwa mchanga. Hapo hapo nilizipoteza fahamu. Nilipozinduka nilimwona ndugu yangu ameketi kando yangu. Nilipotazama, pande zote za boma letu, sikuiona nyumba yetu. Mabati yote yalibomolewa na kubebwa na waliohudhuria mazishi. Tuliachwa hohe hahe. Hapo ndipo tulipogundua baba yetu alikuwa ni mwizi. Tuliamua kuhamia jiji kuu la Msamaria. Hapo tulikuwa chokoraa, tulikotaokota taka na mabaki ya chakula kilichotupwa na watoto wa wakwasi. Ni katika jiji hili nilipoupata msiba mwingine. Ndugu yangu aligongwa na gari na kufariki. Nilichukua mwili wake kisha nikauzika. Niliendelea na maisha haya kwa muda miezi minne. Siku moja nilibahatika kumpata mwanamke niliyemweleza matatizo yangu. Alinichukua na kuniahidi kuwa atanirudisha shuleni. Tulienda kwake. Alinipa mavazi mapya baada ya kuoga. Mama huyu alikuwa na watoto watatu, wawili wa kike. na mmoja wa kiume. Watoto hawa walikuwa marafiki zangu na tulienda shule ya msingi ya Maendeleo. Mimi nilitia bidii katika masomo yangu ili niweze kumshukuru baadaye. Niliweza kufaulu masomoni, kisha nikajiunga na chuo kikuu cha Mvumilivu. Sasa hivi mimi ni mkurugenzi katika Idara ya Utalii nchini humu na pia Mwanasheria katika mahakama Kuu ya Faulu. Sasa hivi niko ndani ya ndege naelekea jijini kuisikiliza kesi ya Gavana aliyeshtakiwa kwa kosa la ubakaji.
Mama aliyemchukua msimulizi alikuwa na watoto wangapi
{ "text": [ "Watatu" ] }
3639_swa
ASIYEFUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule atakaye puuza mafunzo au maoni ya mamaye au mkuu wake, bila shaka ataangamia. Methali hii hutumiwa kwa vijana vichwa maji. Kisawe cha methali hii ni asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Katika kijiji kimoja cha Mali safi, paliishi wanandoa Bi na Bw. Juma. Walibarikiwa na binti mmoja waliyemwita Chaurembo. Chaurembo alikuwa binti mwenye maumbile kama ya malaika. Alikuwa mweupe pepepe! Alikuwa na umbo la kuvutia. Shuleni, Chaurembo alipendwa na kila mtu, si walimu si wanafunzi. Katika shule ya chekechea, aliweza kuwapiku wenzake na kuibuka kifuambele. Alizawidiwa zawadi aina ainati. Si kalamu, si sare mpya za shule, vitabu vya hadithi. Hiki kiliwafanya walimu pamoja na wazazi wake wampende zaidi. Kijijini, kipusa huyu alikuwa wakupigiwa mfano. Hili liliwafanya wazazi wake Chaurembo kujivunia mwana wao..Walimshukuru Rabuka kwa kuwajalia binti mwenye hulka njema. Walitamani sana aendelee na mtindo huo huo. Kutokana na kusoma kwingi na kujikaza kisabuni masomoni, Chaurembo aliukalia mtihani wake wa taifa na kuibuka wa kwanza. Kwa kweli, bidii hulipa. Alitafutiwa shule ya hadhi ya juu. Alichoitisha bila shaka angepewa. Huko shuleni, Chaurembo alikutana na kidosho, mmoja aliyeitwa Maria, Hatukatai, Maria alikuwa mrembo lakini tabia zake zilikuwa zinanuka fe! Hazikuwa za kupigiwa mfano. Walimu walipogundua hili, walimkanya Chaurembo dhidi ya urafiki huo lakini ni kama aliyatia masikio yake nta. Alikataa kuwasikiliza walimu wake. Jinsi siku zilivyo yoyoma ndivyo tabia za Chaurembo zilivyozidi kudorora. Matokeo yake yalianza kudidimia kila siku. Alipoingia kidato cha pili, Chaurembo alimea pembe! Walimu hawakuweza kuwavumilia kamwe, waliwafukuza shuleni. “Mimi sijali, tuna pesa za kutosha, kiasi ambacho nitatafutiwa shule nyingine,” Chaurembo alisema kwa madaha. Maria na Chaurembo, walipenda kufanya vitu kwa pamoja. Kwa siku moja, wangebadili nguo kila aina na fasheni. Wazazi walimrudi na kumkanya binti yao lakini illikuwa kama kumpigia mbuzi gita. Chaurembo alikataa kutakata kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Baada ya mwezi mmoja, Chaurembo, aliondoka nyumbani kwao na kuelekea mjini. Huko alikutana na watu wa kila aina; sí weusi, walevi si majamvi ya wageni. Aliponda raha si mchezo. Alijihusisha na wanawake wenye tabia potovu. Alibaki kuitwa Chaurembo jamvi la wageni. Bw. Juma aliamua kumfuata binti yake ili amrudishe nyumbani. “Chaurembo mwanangu, tafadhali naomba turudi nyumbani,” abu yake alinyenyekea. “Maisha ni yangu na ninaweza kufanya. chochote nitakacho juu ya hatima yangu. Baba, mbond unajihusisha na yasiyokuhusu?” Chaurembo alimkaripia abu yake. “Umesemaje?” Bw. Juma alimaka. Alifunga hoja yake kwa kusema, “kumbuka, dunia ni duara na asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Utakuja kuhitaji msaada wetu, hilo nakuhakikishia!” Kisha akaondoka. Siku ziligeuka wiki, wiki nazo zikageuka miezi nazo miezi zikageuka mwaka. Chaurembo alipata jiko kwa mume mtanashati aliyeitwa Julu. Julu alimpenda sana Chaurembo kwani kipendacho moyo ni dawa. Walibarikiwa na mwana wa kiume. Maisha ya Chaurembo yalianza kugeuka pale alipogundua kuwa Julu alikuwa kiruka njia. Julu alianza kumtesa na kumdhulumu. Julu alikuwa akitaka kuondoka nyumbani kuelekea shughuli zake za kwaida, Chaurembo alipomkanya. Mara tu, mzozano ukatokea. Vilio vikasikika na unyama ukatendeka. Julu alipitilizia vipande matendo yake. “Julu, ulichonitendea wala hakiwezi sameheka. Nilikuamini na kukupenda kwa dhati lakini haya ndiyo unayonilipa? Umebaka! Kwa kweli vyote ving’aavyo si dhahabu. Wewe ni mbwa mwitu uliyejivalia ngozi ya kondoo.” Chaurembo alisema huku machozi yakimtiririka. Mara magonjwa nayo yalimwandama Chaurembo. Baada ya siku chache, mwanawe aliipa dunia kisogo. Alijawa na biwi la simanzi. Aliamua kuenda kujijulia hali hospitalini. Matokeo yalipotoka, alitamani dunia ipasuke immeze mzima mzima. Ilibainika ya kwamba alikuwa ameambukizwa na virusi vya Ukimwi! Lakini swali ni, aliambukizwa vipi? Julu alimwacha na kuoa mke mwingine. Chaurembo hakuwa na pa kukimbilia. Rafiki yake, Maria, naye alimkana na kumtenga kama mgonjwa wa ukoma. Alijutia kwa kutowasikiliza wakuu wake. Alijuta sana kwa upumbavu wake. Alishindwa pa kutoa msaada. Aisee! Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Ndugu zake Chaurembo waliposikia habari kumhusu, waliamua kumsaidia kwani, lisilobudí hubidi. Wazazi wake walimhurumia sana. Wazazi wake walikimbilia kila kina ya dunia ili wapate usaidizi kwa binti yao lakini wapi. Siku zake zilibaki kuhesabika. “Ningali wasikiliza mwanzoni, nisingalifika hapa,” Chaurembo alisema maneno haya kisha akapiga dunia teke. Kwa kweli kila mja aling’amua kuwa, asiyeskia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chaurembo alifunzwa na ulimwengu.
Bi na Bw Juma waliishi katika kijiji gani
{ "text": [ "Mali safi" ] }
3639_swa
ASIYEFUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule atakaye puuza mafunzo au maoni ya mamaye au mkuu wake, bila shaka ataangamia. Methali hii hutumiwa kwa vijana vichwa maji. Kisawe cha methali hii ni asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Katika kijiji kimoja cha Mali safi, paliishi wanandoa Bi na Bw. Juma. Walibarikiwa na binti mmoja waliyemwita Chaurembo. Chaurembo alikuwa binti mwenye maumbile kama ya malaika. Alikuwa mweupe pepepe! Alikuwa na umbo la kuvutia. Shuleni, Chaurembo alipendwa na kila mtu, si walimu si wanafunzi. Katika shule ya chekechea, aliweza kuwapiku wenzake na kuibuka kifuambele. Alizawidiwa zawadi aina ainati. Si kalamu, si sare mpya za shule, vitabu vya hadithi. Hiki kiliwafanya walimu pamoja na wazazi wake wampende zaidi. Kijijini, kipusa huyu alikuwa wakupigiwa mfano. Hili liliwafanya wazazi wake Chaurembo kujivunia mwana wao..Walimshukuru Rabuka kwa kuwajalia binti mwenye hulka njema. Walitamani sana aendelee na mtindo huo huo. Kutokana na kusoma kwingi na kujikaza kisabuni masomoni, Chaurembo aliukalia mtihani wake wa taifa na kuibuka wa kwanza. Kwa kweli, bidii hulipa. Alitafutiwa shule ya hadhi ya juu. Alichoitisha bila shaka angepewa. Huko shuleni, Chaurembo alikutana na kidosho, mmoja aliyeitwa Maria, Hatukatai, Maria alikuwa mrembo lakini tabia zake zilikuwa zinanuka fe! Hazikuwa za kupigiwa mfano. Walimu walipogundua hili, walimkanya Chaurembo dhidi ya urafiki huo lakini ni kama aliyatia masikio yake nta. Alikataa kuwasikiliza walimu wake. Jinsi siku zilivyo yoyoma ndivyo tabia za Chaurembo zilivyozidi kudorora. Matokeo yake yalianza kudidimia kila siku. Alipoingia kidato cha pili, Chaurembo alimea pembe! Walimu hawakuweza kuwavumilia kamwe, waliwafukuza shuleni. “Mimi sijali, tuna pesa za kutosha, kiasi ambacho nitatafutiwa shule nyingine,” Chaurembo alisema kwa madaha. Maria na Chaurembo, walipenda kufanya vitu kwa pamoja. Kwa siku moja, wangebadili nguo kila aina na fasheni. Wazazi walimrudi na kumkanya binti yao lakini illikuwa kama kumpigia mbuzi gita. Chaurembo alikataa kutakata kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Baada ya mwezi mmoja, Chaurembo, aliondoka nyumbani kwao na kuelekea mjini. Huko alikutana na watu wa kila aina; sí weusi, walevi si majamvi ya wageni. Aliponda raha si mchezo. Alijihusisha na wanawake wenye tabia potovu. Alibaki kuitwa Chaurembo jamvi la wageni. Bw. Juma aliamua kumfuata binti yake ili amrudishe nyumbani. “Chaurembo mwanangu, tafadhali naomba turudi nyumbani,” abu yake alinyenyekea. “Maisha ni yangu na ninaweza kufanya. chochote nitakacho juu ya hatima yangu. Baba, mbond unajihusisha na yasiyokuhusu?” Chaurembo alimkaripia abu yake. “Umesemaje?” Bw. Juma alimaka. Alifunga hoja yake kwa kusema, “kumbuka, dunia ni duara na asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Utakuja kuhitaji msaada wetu, hilo nakuhakikishia!” Kisha akaondoka. Siku ziligeuka wiki, wiki nazo zikageuka miezi nazo miezi zikageuka mwaka. Chaurembo alipata jiko kwa mume mtanashati aliyeitwa Julu. Julu alimpenda sana Chaurembo kwani kipendacho moyo ni dawa. Walibarikiwa na mwana wa kiume. Maisha ya Chaurembo yalianza kugeuka pale alipogundua kuwa Julu alikuwa kiruka njia. Julu alianza kumtesa na kumdhulumu. Julu alikuwa akitaka kuondoka nyumbani kuelekea shughuli zake za kwaida, Chaurembo alipomkanya. Mara tu, mzozano ukatokea. Vilio vikasikika na unyama ukatendeka. Julu alipitilizia vipande matendo yake. “Julu, ulichonitendea wala hakiwezi sameheka. Nilikuamini na kukupenda kwa dhati lakini haya ndiyo unayonilipa? Umebaka! Kwa kweli vyote ving’aavyo si dhahabu. Wewe ni mbwa mwitu uliyejivalia ngozi ya kondoo.” Chaurembo alisema huku machozi yakimtiririka. Mara magonjwa nayo yalimwandama Chaurembo. Baada ya siku chache, mwanawe aliipa dunia kisogo. Alijawa na biwi la simanzi. Aliamua kuenda kujijulia hali hospitalini. Matokeo yalipotoka, alitamani dunia ipasuke immeze mzima mzima. Ilibainika ya kwamba alikuwa ameambukizwa na virusi vya Ukimwi! Lakini swali ni, aliambukizwa vipi? Julu alimwacha na kuoa mke mwingine. Chaurembo hakuwa na pa kukimbilia. Rafiki yake, Maria, naye alimkana na kumtenga kama mgonjwa wa ukoma. Alijutia kwa kutowasikiliza wakuu wake. Alijuta sana kwa upumbavu wake. Alishindwa pa kutoa msaada. Aisee! Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Ndugu zake Chaurembo waliposikia habari kumhusu, waliamua kumsaidia kwani, lisilobudí hubidi. Wazazi wake walimhurumia sana. Wazazi wake walikimbilia kila kina ya dunia ili wapate usaidizi kwa binti yao lakini wapi. Siku zake zilibaki kuhesabika. “Ningali wasikiliza mwanzoni, nisingalifika hapa,” Chaurembo alisema maneno haya kisha akapiga dunia teke. Kwa kweli kila mja aling’amua kuwa, asiyeskia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chaurembo alifunzwa na ulimwengu.
Binti yao aliitwa nani
{ "text": [ "Chaurembo" ] }
3639_swa
ASIYEFUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule atakaye puuza mafunzo au maoni ya mamaye au mkuu wake, bila shaka ataangamia. Methali hii hutumiwa kwa vijana vichwa maji. Kisawe cha methali hii ni asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Katika kijiji kimoja cha Mali safi, paliishi wanandoa Bi na Bw. Juma. Walibarikiwa na binti mmoja waliyemwita Chaurembo. Chaurembo alikuwa binti mwenye maumbile kama ya malaika. Alikuwa mweupe pepepe! Alikuwa na umbo la kuvutia. Shuleni, Chaurembo alipendwa na kila mtu, si walimu si wanafunzi. Katika shule ya chekechea, aliweza kuwapiku wenzake na kuibuka kifuambele. Alizawidiwa zawadi aina ainati. Si kalamu, si sare mpya za shule, vitabu vya hadithi. Hiki kiliwafanya walimu pamoja na wazazi wake wampende zaidi. Kijijini, kipusa huyu alikuwa wakupigiwa mfano. Hili liliwafanya wazazi wake Chaurembo kujivunia mwana wao..Walimshukuru Rabuka kwa kuwajalia binti mwenye hulka njema. Walitamani sana aendelee na mtindo huo huo. Kutokana na kusoma kwingi na kujikaza kisabuni masomoni, Chaurembo aliukalia mtihani wake wa taifa na kuibuka wa kwanza. Kwa kweli, bidii hulipa. Alitafutiwa shule ya hadhi ya juu. Alichoitisha bila shaka angepewa. Huko shuleni, Chaurembo alikutana na kidosho, mmoja aliyeitwa Maria, Hatukatai, Maria alikuwa mrembo lakini tabia zake zilikuwa zinanuka fe! Hazikuwa za kupigiwa mfano. Walimu walipogundua hili, walimkanya Chaurembo dhidi ya urafiki huo lakini ni kama aliyatia masikio yake nta. Alikataa kuwasikiliza walimu wake. Jinsi siku zilivyo yoyoma ndivyo tabia za Chaurembo zilivyozidi kudorora. Matokeo yake yalianza kudidimia kila siku. Alipoingia kidato cha pili, Chaurembo alimea pembe! Walimu hawakuweza kuwavumilia kamwe, waliwafukuza shuleni. “Mimi sijali, tuna pesa za kutosha, kiasi ambacho nitatafutiwa shule nyingine,” Chaurembo alisema kwa madaha. Maria na Chaurembo, walipenda kufanya vitu kwa pamoja. Kwa siku moja, wangebadili nguo kila aina na fasheni. Wazazi walimrudi na kumkanya binti yao lakini illikuwa kama kumpigia mbuzi gita. Chaurembo alikataa kutakata kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Baada ya mwezi mmoja, Chaurembo, aliondoka nyumbani kwao na kuelekea mjini. Huko alikutana na watu wa kila aina; sí weusi, walevi si majamvi ya wageni. Aliponda raha si mchezo. Alijihusisha na wanawake wenye tabia potovu. Alibaki kuitwa Chaurembo jamvi la wageni. Bw. Juma aliamua kumfuata binti yake ili amrudishe nyumbani. “Chaurembo mwanangu, tafadhali naomba turudi nyumbani,” abu yake alinyenyekea. “Maisha ni yangu na ninaweza kufanya. chochote nitakacho juu ya hatima yangu. Baba, mbond unajihusisha na yasiyokuhusu?” Chaurembo alimkaripia abu yake. “Umesemaje?” Bw. Juma alimaka. Alifunga hoja yake kwa kusema, “kumbuka, dunia ni duara na asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Utakuja kuhitaji msaada wetu, hilo nakuhakikishia!” Kisha akaondoka. Siku ziligeuka wiki, wiki nazo zikageuka miezi nazo miezi zikageuka mwaka. Chaurembo alipata jiko kwa mume mtanashati aliyeitwa Julu. Julu alimpenda sana Chaurembo kwani kipendacho moyo ni dawa. Walibarikiwa na mwana wa kiume. Maisha ya Chaurembo yalianza kugeuka pale alipogundua kuwa Julu alikuwa kiruka njia. Julu alianza kumtesa na kumdhulumu. Julu alikuwa akitaka kuondoka nyumbani kuelekea shughuli zake za kwaida, Chaurembo alipomkanya. Mara tu, mzozano ukatokea. Vilio vikasikika na unyama ukatendeka. Julu alipitilizia vipande matendo yake. “Julu, ulichonitendea wala hakiwezi sameheka. Nilikuamini na kukupenda kwa dhati lakini haya ndiyo unayonilipa? Umebaka! Kwa kweli vyote ving’aavyo si dhahabu. Wewe ni mbwa mwitu uliyejivalia ngozi ya kondoo.” Chaurembo alisema huku machozi yakimtiririka. Mara magonjwa nayo yalimwandama Chaurembo. Baada ya siku chache, mwanawe aliipa dunia kisogo. Alijawa na biwi la simanzi. Aliamua kuenda kujijulia hali hospitalini. Matokeo yalipotoka, alitamani dunia ipasuke immeze mzima mzima. Ilibainika ya kwamba alikuwa ameambukizwa na virusi vya Ukimwi! Lakini swali ni, aliambukizwa vipi? Julu alimwacha na kuoa mke mwingine. Chaurembo hakuwa na pa kukimbilia. Rafiki yake, Maria, naye alimkana na kumtenga kama mgonjwa wa ukoma. Alijutia kwa kutowasikiliza wakuu wake. Alijuta sana kwa upumbavu wake. Alishindwa pa kutoa msaada. Aisee! Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Ndugu zake Chaurembo waliposikia habari kumhusu, waliamua kumsaidia kwani, lisilobudí hubidi. Wazazi wake walimhurumia sana. Wazazi wake walikimbilia kila kina ya dunia ili wapate usaidizi kwa binti yao lakini wapi. Siku zake zilibaki kuhesabika. “Ningali wasikiliza mwanzoni, nisingalifika hapa,” Chaurembo alisema maneno haya kisha akapiga dunia teke. Kwa kweli kila mja aling’amua kuwa, asiyeskia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chaurembo alifunzwa na ulimwengu.
Chaurembo aliibuka wa ngapi katika mtihani wa taifa
{ "text": [ "wa kwanza" ] }
3639_swa
ASIYEFUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule atakaye puuza mafunzo au maoni ya mamaye au mkuu wake, bila shaka ataangamia. Methali hii hutumiwa kwa vijana vichwa maji. Kisawe cha methali hii ni asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Katika kijiji kimoja cha Mali safi, paliishi wanandoa Bi na Bw. Juma. Walibarikiwa na binti mmoja waliyemwita Chaurembo. Chaurembo alikuwa binti mwenye maumbile kama ya malaika. Alikuwa mweupe pepepe! Alikuwa na umbo la kuvutia. Shuleni, Chaurembo alipendwa na kila mtu, si walimu si wanafunzi. Katika shule ya chekechea, aliweza kuwapiku wenzake na kuibuka kifuambele. Alizawidiwa zawadi aina ainati. Si kalamu, si sare mpya za shule, vitabu vya hadithi. Hiki kiliwafanya walimu pamoja na wazazi wake wampende zaidi. Kijijini, kipusa huyu alikuwa wakupigiwa mfano. Hili liliwafanya wazazi wake Chaurembo kujivunia mwana wao..Walimshukuru Rabuka kwa kuwajalia binti mwenye hulka njema. Walitamani sana aendelee na mtindo huo huo. Kutokana na kusoma kwingi na kujikaza kisabuni masomoni, Chaurembo aliukalia mtihani wake wa taifa na kuibuka wa kwanza. Kwa kweli, bidii hulipa. Alitafutiwa shule ya hadhi ya juu. Alichoitisha bila shaka angepewa. Huko shuleni, Chaurembo alikutana na kidosho, mmoja aliyeitwa Maria, Hatukatai, Maria alikuwa mrembo lakini tabia zake zilikuwa zinanuka fe! Hazikuwa za kupigiwa mfano. Walimu walipogundua hili, walimkanya Chaurembo dhidi ya urafiki huo lakini ni kama aliyatia masikio yake nta. Alikataa kuwasikiliza walimu wake. Jinsi siku zilivyo yoyoma ndivyo tabia za Chaurembo zilivyozidi kudorora. Matokeo yake yalianza kudidimia kila siku. Alipoingia kidato cha pili, Chaurembo alimea pembe! Walimu hawakuweza kuwavumilia kamwe, waliwafukuza shuleni. “Mimi sijali, tuna pesa za kutosha, kiasi ambacho nitatafutiwa shule nyingine,” Chaurembo alisema kwa madaha. Maria na Chaurembo, walipenda kufanya vitu kwa pamoja. Kwa siku moja, wangebadili nguo kila aina na fasheni. Wazazi walimrudi na kumkanya binti yao lakini illikuwa kama kumpigia mbuzi gita. Chaurembo alikataa kutakata kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Baada ya mwezi mmoja, Chaurembo, aliondoka nyumbani kwao na kuelekea mjini. Huko alikutana na watu wa kila aina; sí weusi, walevi si majamvi ya wageni. Aliponda raha si mchezo. Alijihusisha na wanawake wenye tabia potovu. Alibaki kuitwa Chaurembo jamvi la wageni. Bw. Juma aliamua kumfuata binti yake ili amrudishe nyumbani. “Chaurembo mwanangu, tafadhali naomba turudi nyumbani,” abu yake alinyenyekea. “Maisha ni yangu na ninaweza kufanya. chochote nitakacho juu ya hatima yangu. Baba, mbond unajihusisha na yasiyokuhusu?” Chaurembo alimkaripia abu yake. “Umesemaje?” Bw. Juma alimaka. Alifunga hoja yake kwa kusema, “kumbuka, dunia ni duara na asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Utakuja kuhitaji msaada wetu, hilo nakuhakikishia!” Kisha akaondoka. Siku ziligeuka wiki, wiki nazo zikageuka miezi nazo miezi zikageuka mwaka. Chaurembo alipata jiko kwa mume mtanashati aliyeitwa Julu. Julu alimpenda sana Chaurembo kwani kipendacho moyo ni dawa. Walibarikiwa na mwana wa kiume. Maisha ya Chaurembo yalianza kugeuka pale alipogundua kuwa Julu alikuwa kiruka njia. Julu alianza kumtesa na kumdhulumu. Julu alikuwa akitaka kuondoka nyumbani kuelekea shughuli zake za kwaida, Chaurembo alipomkanya. Mara tu, mzozano ukatokea. Vilio vikasikika na unyama ukatendeka. Julu alipitilizia vipande matendo yake. “Julu, ulichonitendea wala hakiwezi sameheka. Nilikuamini na kukupenda kwa dhati lakini haya ndiyo unayonilipa? Umebaka! Kwa kweli vyote ving’aavyo si dhahabu. Wewe ni mbwa mwitu uliyejivalia ngozi ya kondoo.” Chaurembo alisema huku machozi yakimtiririka. Mara magonjwa nayo yalimwandama Chaurembo. Baada ya siku chache, mwanawe aliipa dunia kisogo. Alijawa na biwi la simanzi. Aliamua kuenda kujijulia hali hospitalini. Matokeo yalipotoka, alitamani dunia ipasuke immeze mzima mzima. Ilibainika ya kwamba alikuwa ameambukizwa na virusi vya Ukimwi! Lakini swali ni, aliambukizwa vipi? Julu alimwacha na kuoa mke mwingine. Chaurembo hakuwa na pa kukimbilia. Rafiki yake, Maria, naye alimkana na kumtenga kama mgonjwa wa ukoma. Alijutia kwa kutowasikiliza wakuu wake. Alijuta sana kwa upumbavu wake. Alishindwa pa kutoa msaada. Aisee! Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Ndugu zake Chaurembo waliposikia habari kumhusu, waliamua kumsaidia kwani, lisilobudí hubidi. Wazazi wake walimhurumia sana. Wazazi wake walikimbilia kila kina ya dunia ili wapate usaidizi kwa binti yao lakini wapi. Siku zake zilibaki kuhesabika. “Ningali wasikiliza mwanzoni, nisingalifika hapa,” Chaurembo alisema maneno haya kisha akapiga dunia teke. Kwa kweli kila mja aling’amua kuwa, asiyeskia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chaurembo alifunzwa na ulimwengu.
Chaurembo alikutana na kidosho Maria wapi
{ "text": [ "shuleni" ] }
3639_swa
ASIYEFUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule atakaye puuza mafunzo au maoni ya mamaye au mkuu wake, bila shaka ataangamia. Methali hii hutumiwa kwa vijana vichwa maji. Kisawe cha methali hii ni asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Katika kijiji kimoja cha Mali safi, paliishi wanandoa Bi na Bw. Juma. Walibarikiwa na binti mmoja waliyemwita Chaurembo. Chaurembo alikuwa binti mwenye maumbile kama ya malaika. Alikuwa mweupe pepepe! Alikuwa na umbo la kuvutia. Shuleni, Chaurembo alipendwa na kila mtu, si walimu si wanafunzi. Katika shule ya chekechea, aliweza kuwapiku wenzake na kuibuka kifuambele. Alizawidiwa zawadi aina ainati. Si kalamu, si sare mpya za shule, vitabu vya hadithi. Hiki kiliwafanya walimu pamoja na wazazi wake wampende zaidi. Kijijini, kipusa huyu alikuwa wakupigiwa mfano. Hili liliwafanya wazazi wake Chaurembo kujivunia mwana wao..Walimshukuru Rabuka kwa kuwajalia binti mwenye hulka njema. Walitamani sana aendelee na mtindo huo huo. Kutokana na kusoma kwingi na kujikaza kisabuni masomoni, Chaurembo aliukalia mtihani wake wa taifa na kuibuka wa kwanza. Kwa kweli, bidii hulipa. Alitafutiwa shule ya hadhi ya juu. Alichoitisha bila shaka angepewa. Huko shuleni, Chaurembo alikutana na kidosho, mmoja aliyeitwa Maria, Hatukatai, Maria alikuwa mrembo lakini tabia zake zilikuwa zinanuka fe! Hazikuwa za kupigiwa mfano. Walimu walipogundua hili, walimkanya Chaurembo dhidi ya urafiki huo lakini ni kama aliyatia masikio yake nta. Alikataa kuwasikiliza walimu wake. Jinsi siku zilivyo yoyoma ndivyo tabia za Chaurembo zilivyozidi kudorora. Matokeo yake yalianza kudidimia kila siku. Alipoingia kidato cha pili, Chaurembo alimea pembe! Walimu hawakuweza kuwavumilia kamwe, waliwafukuza shuleni. “Mimi sijali, tuna pesa za kutosha, kiasi ambacho nitatafutiwa shule nyingine,” Chaurembo alisema kwa madaha. Maria na Chaurembo, walipenda kufanya vitu kwa pamoja. Kwa siku moja, wangebadili nguo kila aina na fasheni. Wazazi walimrudi na kumkanya binti yao lakini illikuwa kama kumpigia mbuzi gita. Chaurembo alikataa kutakata kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Baada ya mwezi mmoja, Chaurembo, aliondoka nyumbani kwao na kuelekea mjini. Huko alikutana na watu wa kila aina; sí weusi, walevi si majamvi ya wageni. Aliponda raha si mchezo. Alijihusisha na wanawake wenye tabia potovu. Alibaki kuitwa Chaurembo jamvi la wageni. Bw. Juma aliamua kumfuata binti yake ili amrudishe nyumbani. “Chaurembo mwanangu, tafadhali naomba turudi nyumbani,” abu yake alinyenyekea. “Maisha ni yangu na ninaweza kufanya. chochote nitakacho juu ya hatima yangu. Baba, mbond unajihusisha na yasiyokuhusu?” Chaurembo alimkaripia abu yake. “Umesemaje?” Bw. Juma alimaka. Alifunga hoja yake kwa kusema, “kumbuka, dunia ni duara na asiyeskia la mkuu huvunjika guu. Utakuja kuhitaji msaada wetu, hilo nakuhakikishia!” Kisha akaondoka. Siku ziligeuka wiki, wiki nazo zikageuka miezi nazo miezi zikageuka mwaka. Chaurembo alipata jiko kwa mume mtanashati aliyeitwa Julu. Julu alimpenda sana Chaurembo kwani kipendacho moyo ni dawa. Walibarikiwa na mwana wa kiume. Maisha ya Chaurembo yalianza kugeuka pale alipogundua kuwa Julu alikuwa kiruka njia. Julu alianza kumtesa na kumdhulumu. Julu alikuwa akitaka kuondoka nyumbani kuelekea shughuli zake za kwaida, Chaurembo alipomkanya. Mara tu, mzozano ukatokea. Vilio vikasikika na unyama ukatendeka. Julu alipitilizia vipande matendo yake. “Julu, ulichonitendea wala hakiwezi sameheka. Nilikuamini na kukupenda kwa dhati lakini haya ndiyo unayonilipa? Umebaka! Kwa kweli vyote ving’aavyo si dhahabu. Wewe ni mbwa mwitu uliyejivalia ngozi ya kondoo.” Chaurembo alisema huku machozi yakimtiririka. Mara magonjwa nayo yalimwandama Chaurembo. Baada ya siku chache, mwanawe aliipa dunia kisogo. Alijawa na biwi la simanzi. Aliamua kuenda kujijulia hali hospitalini. Matokeo yalipotoka, alitamani dunia ipasuke immeze mzima mzima. Ilibainika ya kwamba alikuwa ameambukizwa na virusi vya Ukimwi! Lakini swali ni, aliambukizwa vipi? Julu alimwacha na kuoa mke mwingine. Chaurembo hakuwa na pa kukimbilia. Rafiki yake, Maria, naye alimkana na kumtenga kama mgonjwa wa ukoma. Alijutia kwa kutowasikiliza wakuu wake. Alijuta sana kwa upumbavu wake. Alishindwa pa kutoa msaada. Aisee! Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Ndugu zake Chaurembo waliposikia habari kumhusu, waliamua kumsaidia kwani, lisilobudí hubidi. Wazazi wake walimhurumia sana. Wazazi wake walikimbilia kila kina ya dunia ili wapate usaidizi kwa binti yao lakini wapi. Siku zake zilibaki kuhesabika. “Ningali wasikiliza mwanzoni, nisingalifika hapa,” Chaurembo alisema maneno haya kisha akapiga dunia teke. Kwa kweli kila mja aling’amua kuwa, asiyeskia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chaurembo alifunzwa na ulimwengu.
Mbona wazazi wa Chaurembo walijivunia mwana wao
{ "text": [ "alikuwa wa kupigiwa mfano kijijini" ] }
3640_swa
Naikumbuka siku hiyo, nilikuwa nimelala fo! fo! fo! Wavyele wangu pia walikuwa chumbani mwao. Ghafla bin vu, nilisikia mlango ukigongwa. Nilitembea kwa woga kwenda kufungua mlango. Nilipofika mlangoni, nilipigwa na butwa kuliona janadume lenye misuli tinginya na miraba minne mlangoni. Sikuwa na la kunena, nguvu ziliniisha nisiwe na la kufanya. Nilishangaa janadume hilo lilikuwa linataka nini. Waama usilolijua ni kama usiku wa giza totoro. Wavyele wangu walikuwa chumbani mwao, hawakujua kilichokuwa kikiendelea. Janadume hilo lilikuwa na macho mekundu. Lilikuwa limeshika bastola mikononi. Nilipoiona bastola hiyo, kijasho chembamba kilinitiririka nisijue cha kufanya. Janadume hilo lilikuwa linaonyosha sura ya ukali, ja simba aliyejeruhiwa. Mara liliniamuru mara moja nimweleze alipo abu. Nililiambia kwa kuwa lilikuwa linatisha sana. Lilitembea halahala na kwenda chumbani mwa wavyele wangu. Lilipokuwa likienda, nililifuata nyuma mithili ya mkia wa kondoo kuenda kuona lile ambalo lilikuwa linataka. Nina alipoliona jitu hilo, aliishiwa nguvu kisha akazimia. Sasa tulikuwa tumebaki mimi na abu tu kupambana nalo. Nilimwomba Rabana aweze kutuokoa kutoka kwenye balaa hii. Yaani, Mungu kasema, niombe nikupe. Janadume lile lilinguruma ja radi na kumwamuru abu alipe kiwango chake cha mali. Nilipigwa na butwa niliposikia maneno hayo. Janadume lilikuwa linataka kiwango cha mali yake ilhali sisi tulikuwa familia ya walalahoi. Swala hilo lilizua mawazo mengi kichwani mwangu. Abu aliapa na kuliambia kuwa hana mali ya kulipa. Mara likashikilia bastola kwenye mkono wake wa kushoto na kumpiga abu kwenye kidari. Jambo hilo lilinisononesha sana. Abu yangu alivunja ngeu mingi sana. Maskini mie sikuwa na la kufanya. Abu yangu alinieleza kuwa hela ambazo jitu hilo lilitaka zilikuwa mvunguni mwa kitanda chake. Nilipoenda kuangalia, nilichokiona kiliniwacha kinywa wazi. Kulikuwa na hela nyingi hela nyingi mno. Nilipomuuliza abu alikozitoa alinieleza kuwa wote walikuwa wezi wa mabavu. Swala hilo lilinighadhabisha kana. Abu alikuwa katika hali mahututi lakini janadume halikukubali nimpeleke hospitalini. Nililiomba lakini maombi yangu, lakini yalianguka kwenye masikio ya kiziwi. Muda si mrefu baadaye, nina aliamka, alipomwona abu katika hali hiyo alipiga mayowe ili apate msaada. Jitu hilo likampiga risasi kidarini. Nina alivuja ngeu nyingi sana. Nilipoona hivyo, niliamua liwe liwalo nitayaokoa maisha ya wavyele wangu. Nililiambia janadume pale ambapo abu alikuwa amezieka hela zile. Lilitembea kijinga na kwenda kuzichukua hela zile. Nilitembea kwa mwendo wa kasi na kwenda kuichukua rununu. Nilikuwa nimebonyeza nambari za polisi karibu kuwapigia lakini sikuyaamini macho yangu. Nilimwona akraba wangu Mwaura, alikuwa amebeba bastola mkononi. Nilidhani kuwa alikuwa amekuja kutuokoa lakini nilikuwa nimekosea sana. Sikuamini masikio yangu. Alinieleza kuwa alikuwa amekuja kuchukua mali yote. Alipotaja neno mali, nilikumbuka kuwa mali hiyo ilikuwa ya wizi. Japo ndugu yangu alikuwa amebadilika sana na kuwa jangili, bado nilimwenzi sana. Waama, damu ni nzito kuliko maji. Sikujua nilie wala nichore, cha kushangaza ni kuwa ndugu yangu Mwaura hakutishwa na chochote. Hakuna mtu ambaye alikuja kunisaidia, hapo ndipo nilipogundua kuwa rakiki wa kweli ni yule akufaaye hata wakati wa dhiki. Baada ya majangilli hawa kupata walichokuwa wakitaka, waliondoka. Nilimpigia binamu yangu simu na kumweleza yaliyonikuta. Baada ya muda mfupi aliwasili kisha tukawapeleka wavyele hospitalini. Tulipofika hosptalini, wavyele wetu walikuwa washaipa dunia kisogo. Biwi la simanzi lilitanda. Dunia yangu ilikuwa imegeuzwa. Baada ya masaa kadhaa ya kuomboleza, nilimuona Mwaura akija. Alikuwa mwenye kuhuzunika sana. Alinieleza kuwa walimhadaa na kumpora hela zote. Alikuwa ampanga kuwa watagawana hela hizo lakini ulikuwa uongo mno. Nilipomweleza kuwa wavyele wetu wameaga, machozi yalimpukutika. Sisi wote tulimsamehe. Mazishi ya wavyele wangu yalitendoka wiki moja baada ya kifo chao. Wanajamii walimsamehe Mwaura. Waama, ndugu mbaya humshinda jirani mzuri. Tulikuwa tumeyaona mengi, hatimaye yakakwisha. Chambilecho wahenga, kilicho na mwanzo kina mwisho.
Ghafla bin fuu nilisikia nini
{ "text": [ "mlango ukigongwa" ] }
3640_swa
Naikumbuka siku hiyo, nilikuwa nimelala fo! fo! fo! Wavyele wangu pia walikuwa chumbani mwao. Ghafla bin vu, nilisikia mlango ukigongwa. Nilitembea kwa woga kwenda kufungua mlango. Nilipofika mlangoni, nilipigwa na butwa kuliona janadume lenye misuli tinginya na miraba minne mlangoni. Sikuwa na la kunena, nguvu ziliniisha nisiwe na la kufanya. Nilishangaa janadume hilo lilikuwa linataka nini. Waama usilolijua ni kama usiku wa giza totoro. Wavyele wangu walikuwa chumbani mwao, hawakujua kilichokuwa kikiendelea. Janadume hilo lilikuwa na macho mekundu. Lilikuwa limeshika bastola mikononi. Nilipoiona bastola hiyo, kijasho chembamba kilinitiririka nisijue cha kufanya. Janadume hilo lilikuwa linaonyosha sura ya ukali, ja simba aliyejeruhiwa. Mara liliniamuru mara moja nimweleze alipo abu. Nililiambia kwa kuwa lilikuwa linatisha sana. Lilitembea halahala na kwenda chumbani mwa wavyele wangu. Lilipokuwa likienda, nililifuata nyuma mithili ya mkia wa kondoo kuenda kuona lile ambalo lilikuwa linataka. Nina alipoliona jitu hilo, aliishiwa nguvu kisha akazimia. Sasa tulikuwa tumebaki mimi na abu tu kupambana nalo. Nilimwomba Rabana aweze kutuokoa kutoka kwenye balaa hii. Yaani, Mungu kasema, niombe nikupe. Janadume lile lilinguruma ja radi na kumwamuru abu alipe kiwango chake cha mali. Nilipigwa na butwa niliposikia maneno hayo. Janadume lilikuwa linataka kiwango cha mali yake ilhali sisi tulikuwa familia ya walalahoi. Swala hilo lilizua mawazo mengi kichwani mwangu. Abu aliapa na kuliambia kuwa hana mali ya kulipa. Mara likashikilia bastola kwenye mkono wake wa kushoto na kumpiga abu kwenye kidari. Jambo hilo lilinisononesha sana. Abu yangu alivunja ngeu mingi sana. Maskini mie sikuwa na la kufanya. Abu yangu alinieleza kuwa hela ambazo jitu hilo lilitaka zilikuwa mvunguni mwa kitanda chake. Nilipoenda kuangalia, nilichokiona kiliniwacha kinywa wazi. Kulikuwa na hela nyingi hela nyingi mno. Nilipomuuliza abu alikozitoa alinieleza kuwa wote walikuwa wezi wa mabavu. Swala hilo lilinighadhabisha kana. Abu alikuwa katika hali mahututi lakini janadume halikukubali nimpeleke hospitalini. Nililiomba lakini maombi yangu, lakini yalianguka kwenye masikio ya kiziwi. Muda si mrefu baadaye, nina aliamka, alipomwona abu katika hali hiyo alipiga mayowe ili apate msaada. Jitu hilo likampiga risasi kidarini. Nina alivuja ngeu nyingi sana. Nilipoona hivyo, niliamua liwe liwalo nitayaokoa maisha ya wavyele wangu. Nililiambia janadume pale ambapo abu alikuwa amezieka hela zile. Lilitembea kijinga na kwenda kuzichukua hela zile. Nilitembea kwa mwendo wa kasi na kwenda kuichukua rununu. Nilikuwa nimebonyeza nambari za polisi karibu kuwapigia lakini sikuyaamini macho yangu. Nilimwona akraba wangu Mwaura, alikuwa amebeba bastola mkononi. Nilidhani kuwa alikuwa amekuja kutuokoa lakini nilikuwa nimekosea sana. Sikuamini masikio yangu. Alinieleza kuwa alikuwa amekuja kuchukua mali yote. Alipotaja neno mali, nilikumbuka kuwa mali hiyo ilikuwa ya wizi. Japo ndugu yangu alikuwa amebadilika sana na kuwa jangili, bado nilimwenzi sana. Waama, damu ni nzito kuliko maji. Sikujua nilie wala nichore, cha kushangaza ni kuwa ndugu yangu Mwaura hakutishwa na chochote. Hakuna mtu ambaye alikuja kunisaidia, hapo ndipo nilipogundua kuwa rakiki wa kweli ni yule akufaaye hata wakati wa dhiki. Baada ya majangilli hawa kupata walichokuwa wakitaka, waliondoka. Nilimpigia binamu yangu simu na kumweleza yaliyonikuta. Baada ya muda mfupi aliwasili kisha tukawapeleka wavyele hospitalini. Tulipofika hosptalini, wavyele wetu walikuwa washaipa dunia kisogo. Biwi la simanzi lilitanda. Dunia yangu ilikuwa imegeuzwa. Baada ya masaa kadhaa ya kuomboleza, nilimuona Mwaura akija. Alikuwa mwenye kuhuzunika sana. Alinieleza kuwa walimhadaa na kumpora hela zote. Alikuwa ampanga kuwa watagawana hela hizo lakini ulikuwa uongo mno. Nilipomweleza kuwa wavyele wetu wameaga, machozi yalimpukutika. Sisi wote tulimsamehe. Mazishi ya wavyele wangu yalitendoka wiki moja baada ya kifo chao. Wanajamii walimsamehe Mwaura. Waama, ndugu mbaya humshinda jirani mzuri. Tulikuwa tumeyaona mengi, hatimaye yakakwisha. Chambilecho wahenga, kilicho na mwanzo kina mwisho.
Wavyele wangu walikuwa wapi
{ "text": [ "chumbani mwao" ] }
3640_swa
Naikumbuka siku hiyo, nilikuwa nimelala fo! fo! fo! Wavyele wangu pia walikuwa chumbani mwao. Ghafla bin vu, nilisikia mlango ukigongwa. Nilitembea kwa woga kwenda kufungua mlango. Nilipofika mlangoni, nilipigwa na butwa kuliona janadume lenye misuli tinginya na miraba minne mlangoni. Sikuwa na la kunena, nguvu ziliniisha nisiwe na la kufanya. Nilishangaa janadume hilo lilikuwa linataka nini. Waama usilolijua ni kama usiku wa giza totoro. Wavyele wangu walikuwa chumbani mwao, hawakujua kilichokuwa kikiendelea. Janadume hilo lilikuwa na macho mekundu. Lilikuwa limeshika bastola mikononi. Nilipoiona bastola hiyo, kijasho chembamba kilinitiririka nisijue cha kufanya. Janadume hilo lilikuwa linaonyosha sura ya ukali, ja simba aliyejeruhiwa. Mara liliniamuru mara moja nimweleze alipo abu. Nililiambia kwa kuwa lilikuwa linatisha sana. Lilitembea halahala na kwenda chumbani mwa wavyele wangu. Lilipokuwa likienda, nililifuata nyuma mithili ya mkia wa kondoo kuenda kuona lile ambalo lilikuwa linataka. Nina alipoliona jitu hilo, aliishiwa nguvu kisha akazimia. Sasa tulikuwa tumebaki mimi na abu tu kupambana nalo. Nilimwomba Rabana aweze kutuokoa kutoka kwenye balaa hii. Yaani, Mungu kasema, niombe nikupe. Janadume lile lilinguruma ja radi na kumwamuru abu alipe kiwango chake cha mali. Nilipigwa na butwa niliposikia maneno hayo. Janadume lilikuwa linataka kiwango cha mali yake ilhali sisi tulikuwa familia ya walalahoi. Swala hilo lilizua mawazo mengi kichwani mwangu. Abu aliapa na kuliambia kuwa hana mali ya kulipa. Mara likashikilia bastola kwenye mkono wake wa kushoto na kumpiga abu kwenye kidari. Jambo hilo lilinisononesha sana. Abu yangu alivunja ngeu mingi sana. Maskini mie sikuwa na la kufanya. Abu yangu alinieleza kuwa hela ambazo jitu hilo lilitaka zilikuwa mvunguni mwa kitanda chake. Nilipoenda kuangalia, nilichokiona kiliniwacha kinywa wazi. Kulikuwa na hela nyingi hela nyingi mno. Nilipomuuliza abu alikozitoa alinieleza kuwa wote walikuwa wezi wa mabavu. Swala hilo lilinighadhabisha kana. Abu alikuwa katika hali mahututi lakini janadume halikukubali nimpeleke hospitalini. Nililiomba lakini maombi yangu, lakini yalianguka kwenye masikio ya kiziwi. Muda si mrefu baadaye, nina aliamka, alipomwona abu katika hali hiyo alipiga mayowe ili apate msaada. Jitu hilo likampiga risasi kidarini. Nina alivuja ngeu nyingi sana. Nilipoona hivyo, niliamua liwe liwalo nitayaokoa maisha ya wavyele wangu. Nililiambia janadume pale ambapo abu alikuwa amezieka hela zile. Lilitembea kijinga na kwenda kuzichukua hela zile. Nilitembea kwa mwendo wa kasi na kwenda kuichukua rununu. Nilikuwa nimebonyeza nambari za polisi karibu kuwapigia lakini sikuyaamini macho yangu. Nilimwona akraba wangu Mwaura, alikuwa amebeba bastola mkononi. Nilidhani kuwa alikuwa amekuja kutuokoa lakini nilikuwa nimekosea sana. Sikuamini masikio yangu. Alinieleza kuwa alikuwa amekuja kuchukua mali yote. Alipotaja neno mali, nilikumbuka kuwa mali hiyo ilikuwa ya wizi. Japo ndugu yangu alikuwa amebadilika sana na kuwa jangili, bado nilimwenzi sana. Waama, damu ni nzito kuliko maji. Sikujua nilie wala nichore, cha kushangaza ni kuwa ndugu yangu Mwaura hakutishwa na chochote. Hakuna mtu ambaye alikuja kunisaidia, hapo ndipo nilipogundua kuwa rakiki wa kweli ni yule akufaaye hata wakati wa dhiki. Baada ya majangilli hawa kupata walichokuwa wakitaka, waliondoka. Nilimpigia binamu yangu simu na kumweleza yaliyonikuta. Baada ya muda mfupi aliwasili kisha tukawapeleka wavyele hospitalini. Tulipofika hosptalini, wavyele wetu walikuwa washaipa dunia kisogo. Biwi la simanzi lilitanda. Dunia yangu ilikuwa imegeuzwa. Baada ya masaa kadhaa ya kuomboleza, nilimuona Mwaura akija. Alikuwa mwenye kuhuzunika sana. Alinieleza kuwa walimhadaa na kumpora hela zote. Alikuwa ampanga kuwa watagawana hela hizo lakini ulikuwa uongo mno. Nilipomweleza kuwa wavyele wetu wameaga, machozi yalimpukutika. Sisi wote tulimsamehe. Mazishi ya wavyele wangu yalitendoka wiki moja baada ya kifo chao. Wanajamii walimsamehe Mwaura. Waama, ndugu mbaya humshinda jirani mzuri. Tulikuwa tumeyaona mengi, hatimaye yakakwisha. Chambilecho wahenga, kilicho na mwanzo kina mwisho.
Nilimwomba nani
{ "text": [ "Rabana" ] }
3640_swa
Naikumbuka siku hiyo, nilikuwa nimelala fo! fo! fo! Wavyele wangu pia walikuwa chumbani mwao. Ghafla bin vu, nilisikia mlango ukigongwa. Nilitembea kwa woga kwenda kufungua mlango. Nilipofika mlangoni, nilipigwa na butwa kuliona janadume lenye misuli tinginya na miraba minne mlangoni. Sikuwa na la kunena, nguvu ziliniisha nisiwe na la kufanya. Nilishangaa janadume hilo lilikuwa linataka nini. Waama usilolijua ni kama usiku wa giza totoro. Wavyele wangu walikuwa chumbani mwao, hawakujua kilichokuwa kikiendelea. Janadume hilo lilikuwa na macho mekundu. Lilikuwa limeshika bastola mikononi. Nilipoiona bastola hiyo, kijasho chembamba kilinitiririka nisijue cha kufanya. Janadume hilo lilikuwa linaonyosha sura ya ukali, ja simba aliyejeruhiwa. Mara liliniamuru mara moja nimweleze alipo abu. Nililiambia kwa kuwa lilikuwa linatisha sana. Lilitembea halahala na kwenda chumbani mwa wavyele wangu. Lilipokuwa likienda, nililifuata nyuma mithili ya mkia wa kondoo kuenda kuona lile ambalo lilikuwa linataka. Nina alipoliona jitu hilo, aliishiwa nguvu kisha akazimia. Sasa tulikuwa tumebaki mimi na abu tu kupambana nalo. Nilimwomba Rabana aweze kutuokoa kutoka kwenye balaa hii. Yaani, Mungu kasema, niombe nikupe. Janadume lile lilinguruma ja radi na kumwamuru abu alipe kiwango chake cha mali. Nilipigwa na butwa niliposikia maneno hayo. Janadume lilikuwa linataka kiwango cha mali yake ilhali sisi tulikuwa familia ya walalahoi. Swala hilo lilizua mawazo mengi kichwani mwangu. Abu aliapa na kuliambia kuwa hana mali ya kulipa. Mara likashikilia bastola kwenye mkono wake wa kushoto na kumpiga abu kwenye kidari. Jambo hilo lilinisononesha sana. Abu yangu alivunja ngeu mingi sana. Maskini mie sikuwa na la kufanya. Abu yangu alinieleza kuwa hela ambazo jitu hilo lilitaka zilikuwa mvunguni mwa kitanda chake. Nilipoenda kuangalia, nilichokiona kiliniwacha kinywa wazi. Kulikuwa na hela nyingi hela nyingi mno. Nilipomuuliza abu alikozitoa alinieleza kuwa wote walikuwa wezi wa mabavu. Swala hilo lilinighadhabisha kana. Abu alikuwa katika hali mahututi lakini janadume halikukubali nimpeleke hospitalini. Nililiomba lakini maombi yangu, lakini yalianguka kwenye masikio ya kiziwi. Muda si mrefu baadaye, nina aliamka, alipomwona abu katika hali hiyo alipiga mayowe ili apate msaada. Jitu hilo likampiga risasi kidarini. Nina alivuja ngeu nyingi sana. Nilipoona hivyo, niliamua liwe liwalo nitayaokoa maisha ya wavyele wangu. Nililiambia janadume pale ambapo abu alikuwa amezieka hela zile. Lilitembea kijinga na kwenda kuzichukua hela zile. Nilitembea kwa mwendo wa kasi na kwenda kuichukua rununu. Nilikuwa nimebonyeza nambari za polisi karibu kuwapigia lakini sikuyaamini macho yangu. Nilimwona akraba wangu Mwaura, alikuwa amebeba bastola mkononi. Nilidhani kuwa alikuwa amekuja kutuokoa lakini nilikuwa nimekosea sana. Sikuamini masikio yangu. Alinieleza kuwa alikuwa amekuja kuchukua mali yote. Alipotaja neno mali, nilikumbuka kuwa mali hiyo ilikuwa ya wizi. Japo ndugu yangu alikuwa amebadilika sana na kuwa jangili, bado nilimwenzi sana. Waama, damu ni nzito kuliko maji. Sikujua nilie wala nichore, cha kushangaza ni kuwa ndugu yangu Mwaura hakutishwa na chochote. Hakuna mtu ambaye alikuja kunisaidia, hapo ndipo nilipogundua kuwa rakiki wa kweli ni yule akufaaye hata wakati wa dhiki. Baada ya majangilli hawa kupata walichokuwa wakitaka, waliondoka. Nilimpigia binamu yangu simu na kumweleza yaliyonikuta. Baada ya muda mfupi aliwasili kisha tukawapeleka wavyele hospitalini. Tulipofika hosptalini, wavyele wetu walikuwa washaipa dunia kisogo. Biwi la simanzi lilitanda. Dunia yangu ilikuwa imegeuzwa. Baada ya masaa kadhaa ya kuomboleza, nilimuona Mwaura akija. Alikuwa mwenye kuhuzunika sana. Alinieleza kuwa walimhadaa na kumpora hela zote. Alikuwa ampanga kuwa watagawana hela hizo lakini ulikuwa uongo mno. Nilipomweleza kuwa wavyele wetu wameaga, machozi yalimpukutika. Sisi wote tulimsamehe. Mazishi ya wavyele wangu yalitendoka wiki moja baada ya kifo chao. Wanajamii walimsamehe Mwaura. Waama, ndugu mbaya humshinda jirani mzuri. Tulikuwa tumeyaona mengi, hatimaye yakakwisha. Chambilecho wahenga, kilicho na mwanzo kina mwisho.
Kilicho na mwanzo kina nini
{ "text": [ "Mwisho" ] }
3640_swa
Naikumbuka siku hiyo, nilikuwa nimelala fo! fo! fo! Wavyele wangu pia walikuwa chumbani mwao. Ghafla bin vu, nilisikia mlango ukigongwa. Nilitembea kwa woga kwenda kufungua mlango. Nilipofika mlangoni, nilipigwa na butwa kuliona janadume lenye misuli tinginya na miraba minne mlangoni. Sikuwa na la kunena, nguvu ziliniisha nisiwe na la kufanya. Nilishangaa janadume hilo lilikuwa linataka nini. Waama usilolijua ni kama usiku wa giza totoro. Wavyele wangu walikuwa chumbani mwao, hawakujua kilichokuwa kikiendelea. Janadume hilo lilikuwa na macho mekundu. Lilikuwa limeshika bastola mikononi. Nilipoiona bastola hiyo, kijasho chembamba kilinitiririka nisijue cha kufanya. Janadume hilo lilikuwa linaonyosha sura ya ukali, ja simba aliyejeruhiwa. Mara liliniamuru mara moja nimweleze alipo abu. Nililiambia kwa kuwa lilikuwa linatisha sana. Lilitembea halahala na kwenda chumbani mwa wavyele wangu. Lilipokuwa likienda, nililifuata nyuma mithili ya mkia wa kondoo kuenda kuona lile ambalo lilikuwa linataka. Nina alipoliona jitu hilo, aliishiwa nguvu kisha akazimia. Sasa tulikuwa tumebaki mimi na abu tu kupambana nalo. Nilimwomba Rabana aweze kutuokoa kutoka kwenye balaa hii. Yaani, Mungu kasema, niombe nikupe. Janadume lile lilinguruma ja radi na kumwamuru abu alipe kiwango chake cha mali. Nilipigwa na butwa niliposikia maneno hayo. Janadume lilikuwa linataka kiwango cha mali yake ilhali sisi tulikuwa familia ya walalahoi. Swala hilo lilizua mawazo mengi kichwani mwangu. Abu aliapa na kuliambia kuwa hana mali ya kulipa. Mara likashikilia bastola kwenye mkono wake wa kushoto na kumpiga abu kwenye kidari. Jambo hilo lilinisononesha sana. Abu yangu alivunja ngeu mingi sana. Maskini mie sikuwa na la kufanya. Abu yangu alinieleza kuwa hela ambazo jitu hilo lilitaka zilikuwa mvunguni mwa kitanda chake. Nilipoenda kuangalia, nilichokiona kiliniwacha kinywa wazi. Kulikuwa na hela nyingi hela nyingi mno. Nilipomuuliza abu alikozitoa alinieleza kuwa wote walikuwa wezi wa mabavu. Swala hilo lilinighadhabisha kana. Abu alikuwa katika hali mahututi lakini janadume halikukubali nimpeleke hospitalini. Nililiomba lakini maombi yangu, lakini yalianguka kwenye masikio ya kiziwi. Muda si mrefu baadaye, nina aliamka, alipomwona abu katika hali hiyo alipiga mayowe ili apate msaada. Jitu hilo likampiga risasi kidarini. Nina alivuja ngeu nyingi sana. Nilipoona hivyo, niliamua liwe liwalo nitayaokoa maisha ya wavyele wangu. Nililiambia janadume pale ambapo abu alikuwa amezieka hela zile. Lilitembea kijinga na kwenda kuzichukua hela zile. Nilitembea kwa mwendo wa kasi na kwenda kuichukua rununu. Nilikuwa nimebonyeza nambari za polisi karibu kuwapigia lakini sikuyaamini macho yangu. Nilimwona akraba wangu Mwaura, alikuwa amebeba bastola mkononi. Nilidhani kuwa alikuwa amekuja kutuokoa lakini nilikuwa nimekosea sana. Sikuamini masikio yangu. Alinieleza kuwa alikuwa amekuja kuchukua mali yote. Alipotaja neno mali, nilikumbuka kuwa mali hiyo ilikuwa ya wizi. Japo ndugu yangu alikuwa amebadilika sana na kuwa jangili, bado nilimwenzi sana. Waama, damu ni nzito kuliko maji. Sikujua nilie wala nichore, cha kushangaza ni kuwa ndugu yangu Mwaura hakutishwa na chochote. Hakuna mtu ambaye alikuja kunisaidia, hapo ndipo nilipogundua kuwa rakiki wa kweli ni yule akufaaye hata wakati wa dhiki. Baada ya majangilli hawa kupata walichokuwa wakitaka, waliondoka. Nilimpigia binamu yangu simu na kumweleza yaliyonikuta. Baada ya muda mfupi aliwasili kisha tukawapeleka wavyele hospitalini. Tulipofika hosptalini, wavyele wetu walikuwa washaipa dunia kisogo. Biwi la simanzi lilitanda. Dunia yangu ilikuwa imegeuzwa. Baada ya masaa kadhaa ya kuomboleza, nilimuona Mwaura akija. Alikuwa mwenye kuhuzunika sana. Alinieleza kuwa walimhadaa na kumpora hela zote. Alikuwa ampanga kuwa watagawana hela hizo lakini ulikuwa uongo mno. Nilipomweleza kuwa wavyele wetu wameaga, machozi yalimpukutika. Sisi wote tulimsamehe. Mazishi ya wavyele wangu yalitendoka wiki moja baada ya kifo chao. Wanajamii walimsamehe Mwaura. Waama, ndugu mbaya humshinda jirani mzuri. Tulikuwa tumeyaona mengi, hatimaye yakakwisha. Chambilecho wahenga, kilicho na mwanzo kina mwisho.
Mbona nina alizimia
{ "text": [ "Alipoliona jitu hilo aliishiwa nguvu" ] }
3644_swa
SIKU SITAWAI SAHAU MAISHANI Ilikuwa alasiri tulipokuwa tunatoka shuleni. Mimi na somo zangu ,Neema na Mariamu.Tulikuwa na furaha ribo ribo kwa kuwa tulikuwa tumefaulu katika mtihani wetu tulikuwa tumeufanya siki iliyopita. Tulipiga milundi hadi nyumbani. Mariamu alibeta kona na kwenda kushoto kwa njia huko kwao. Kila mtu alienda kwao na tukaagana kwa heri. Nilipofika nyumbani, nilipata mama na baba yangu kwenye sebule. “Shikamoo mama?” Niliuliza. “Marahaba mwanangu!” Mama alinijibu kwa furaha. Nilichukua mfuko wangu na kuupeleka kwenye chumba changu cha kulala kisha nikazivua sare zangu. Nikarudi sebuleni kumwona mama na baba. “Baba, leo nina taarifa nzuri kweli kweli,” nilimwambia baba. “Nini hilo mwanangu?” Baba aliniuliza. “Leo tumepewa matokeo yetu ya mtihani tulioufanya wiki iliyopita na nimefaulu na kufuzu kwenda darasa nyingine,” nilimdokezea baba. Kwa furaha, baba alisimama na kunikumbatia huku akiwa amjawa na furaha. “Lazima tusherehekee leo hii,” baba alisema. Mama alilichukua kikapu chake. Mama alichukua akiba alizokuwa amehifadhi kwenye sanduku. “Mamu, njoo twende!” Mama aliniita. Tulienda sokoni na mama huku tumemwacha baba nyumbani. Tuliandamana na mama sako kwa bako hadi kwenye stendi ya magari. Kwa kweli, kulikuwa na msongamano wa magari. Kulikuwa na magari ya kila nui yaliyokuwa yakiimba nyimbo tofauti tofauti si za injili, si za mapenzi, si za bango na zinginezo. Ghafla bila simile, niliangalia kushoto nikakosa mama yangu. Kujaribu kuitana lakini sikufua dafu. Nikaamua kuulizia kwa manamba waliokuwa hapo karibu. Kwa bahati mzuri, nikapatana na manamba mmoja aliyekuwa ni kanawamba anamfahamu mama yangu. “Nimemwona akiingia kwa lile gari ambalo limeondoka sasa hivi, lakini usijali, ingia kwa hili nitakufikisha kwa mama yako,” manamba yule alinieleza. Kwa kuwa nilikuwa na hofu niliingia bila hata maswali mengi. Gari likang’oa nanga na kuanza mwendo. Nilikuwa nimeketi na ghulamu mmoja ambaye alikuwa anakula matawi yaliyotambulika kama miraa. Mdomo wake ulikuwa umejaa huku unatafuna bila kusimama. Nilivumilia tu, kwa kuwa mvumilivu hula mbivu. Baada ya muda mfupi hivi, tulifika kwa majumba ambayo yulikuwa hawajumalizwa kujengwa. Gari likasimama na kila mtu aliyekuwepo ndani ya gari lile alijitoma nje. Nilibaki nimeketi kwa kuwa sikukuwa najua nilikokuwepo. “Msichana njoo,” manamba yule aliniita. Nikashuka na kisha gari likaondoka. “Soko iko wapi?” Niliuliza manamba yule. “Wewe nifuate nikuoneshe mahali ilipo,” alisema. Mimi naye sako kwa bako tuliandamana hadi sokoni. Nilifika sokoni salama salimini. Kuangulia kushoto, manamba yule alikuwa hayupo tena. Nilishindwa nianzia wapi. Sikujua niendako wala nitokako. Niliamua kupiga doria kwenye soko lile. Wauzaji waliuza bidhaa za kila aina si papai si mapera si machungwa si karakara, yani waliuza matunda ya kila aina. Nilipoangalia upande mwingine niliona mavazi ya jinsia zote. Yalikuwa yanapendeza, ningelikuwa na pesa ningeyanunua yote. Nilitembea kila kona ya soko lakini sikumuona mama yangu. Nilipokuwa ninatembea, niligongana na binti mmoja aliyekuwa mrembo. Alikuwa amevalia rinda lililomvaa, alikuwa na ushanga shingoni nazo bangili zilikuwa zimejaa mkononi. Alikuwa amevalia vipuli masikioni na kishaufu puani. Alikuwa anapendeza kweli kweli. Alivalia viatu vya juu vilivyo kuwa vya rangi ya nyekundu. Alikuwa amesukwa nywele za singa. Alinisalimu, kisha akaniuliza “kuna shida yeyote msichana?” Kwa kuwa nilikuwa nimepotea nilimweleza kila kitu. “Usijali, mimi nitakusaidia. Nimesaidia wasichana wengi sana hata wewe nitakusaidia,” alinieleza. Alinieleza nimfuate, nami nikawa bendera ifuatayo upepo. Tuliingia katika jengo fulani na kupatana na maghulamu wawili. Walinishika na kunikimba macho na gunia nyeusi usoni. Mamawee !! Nilirushwa na kuanguka ukutani.Nilijaribu kuzungumza lanini sauti nyororo kutoka upande wangu wa kushoto ikasema, “nyamaza, hakuna kitu utakacho kifanya.” Nilimeza mate machungu na kunyama huku wasiwasi umenisonga kichwani. Wazo baada ya nyingine zilikuwa zinazunguka kichwani mwangu ungedhani ulikuwa uwanja wa riadha. Baada ya muda mrefu, tulibebwa hobela hobela na kutupwa kwenye lori lilokuwa likiguruma. Nilipiga mayowe lakini bidii zangu hazikufua dafu. Nilisikia gari likianza kunguruma na nikasikia binti yule akisema, “lazima uwafikishe kwenye ufuo wa bahari hindi, la siyo sivyo utaliona cha mtema kuni na utajua kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya majibizano hayo baina ya dereva na binti yule nilisikia mlango ukifungwa kwa hasira na gari kuanza mwendo. Tuluiafiri kwa muda mrefu sana. “Wewe unaitwa nani?” moja ya sauti ikauliza. “Mimi natumbulika kama Mamu, na wewe?” Nikamuuliza. Akanijibu, “naitwa Amani.” Naye mwingine akasema, “naitwa Ri..Ri..Ri..zi..ki.” Kwa kuwa Riziki alikuwa kigugumizi, hakupenda kuzungumza sana. Alikuwa mnyamavu. Amani alinieleza alivyojipata pale naye Riziki alijitahidi na kutueleza alivyojipata pale. Tulipiga gumzo hadi tukawasili. Tulipofika, tulibwagwa kando ya maji huku tunasikia sauti za meli. Sote tukaangua kilio.Tukafunuliwa zile gunia zilizokuwa usoni mwetu. Kutazama nilikokuwa, ghafla viungo vyangu vya mwil velilegea na kuacha kufanya kazi. Nilizimiz papo hapo. Baada ya muda usiyokuwa mrefu, nilijifahamu na kufungua macho na kuangalia kushoto, maji, kulia, maji, kumbe nilikuwa tayari niko kwenye meli. Nilianza kulia huku naumia mikononi mwangu kwa kuwa nilikuwa nimefungwa na minyororo kwenye mikono. Nililia kiasi cha kusima changu cha machozi kunikauka. Kulikuwa na binti mkubwa kuliko sisi ksote. Ghulamu mmoja alimchukuwa na kumpeleka katika chumba kidogo kilichokuwa ndani ya meli. Tuliskia mayowe kutoka ndani humo ishara kuwa alikuwa anamnajisi. Amani alinieleza kuwa hiyo haikuwai mara ya kwanza au ya pili, gimba hilo la mtu lilikuwa limezoea kumnajisi Stela alipokuwa anataka wakati wowote. Nilimwonea mbawazi Stelah hadi machozi yakanitoka. Safari iliendelea kwa siku mbili mfululizo bila chochote kutilia kinywani. Tulipofika katikati ya bahari, binti yule alijitokeza. Sikujua alikotokea. Alikuwa amevalia nguo nyeupe pepepe ungedhani ni malaika. Nifika tu na kuangua kicheko. Ghafla, bahari ikanza kuzunguka kanakwamba ilikuwa inafunguka. Mara tu, binti yule akaanza kuzungumza lugha ambayo hatukuelewa. Ghafla wakamchukua Stelah, maskini kiumbe cha Mungu kilitiliwa kisu katikati ya shingo. Tukitazama, tuliliona shingo la stelah na mwili ukiwa umetenganishwa. Kwa maisha yangu sikuwai ona mwanadamu akiuwawa. Hapo ndipo nilipokuja kugundua kuwa walikuwa wanatoa kafara. Walimchukua Riziki bila hata huruma wala utu. Riziki na kigugumizi chake alijaribu kutamka aghalabu neno lakini wapi, alichomwa kisu kifuani na kisha kukatwa shingo. Mimi na Amani tulisalia na wengine kadhaa. Walichukuwa mmoja baada ya mwingine hadi tukabaki mimi, Aming na Dangote. Dangote alichukuliwa ili kutolewa kafara lakini alijaribu kupishana na kubishana na magimba wale lakini walimpa konde moja tu akaaga papo hapo. Alifanyiwa matambiko kisha akatupwa kwenye bahari nayo bahari ikammeza. Amani akachukulia, naye akanishika mkono kwa nguvu akanieleza. “mimi nimepitia shida nyingi tangu nilivyokamatwa na hawa watu, mimi naona heri kifo kuliko mateso niliyoyapitia na hawa watu.” Ghulamu mmoja alimvuta kwa nguvu na kumbeba hobela hobela hadi kwenye jukwa la kufanyia kafara. Alifanyiwa kile ambacho wenzake walichofanyiwa. Alikatwa kichwa huku macho yake yakidondoka machozi, michirizi michirizi. Wakati wangu ulikuwa umewadia sasa. Nilinyenyekea na kusogelea mbele ili wafanye watakavyo kwa kuwa nilijua kwenye mchongoma hujitia kileleni. Ghafla, binti yule alinisogelea na kuchukua kisu ili alitie kwenye shingo langu. Nilifumba macho na kupiga sala kimya kimya. Binti yule alichukua na kwa nguvu akanukumia kisu shingoni na ghafla nikaamuka. Mama alikuwa ananita niende shuleni, kulikuwa kumekucha. Nilipunga hewa haraka haraka huku mama yangu alikuwa hapo ananiamsha niende shuleni. Kumbe nilikuwa ninaota. Nilimweleza mama kili nilichokiota, mama akaniangalia na kutabasamu. Niliamka, nikaoga kwa maji naye mama alikuwa ameniandalia staftahi (chai ya kahawia kwa viazi mbatata) nilikunya na kwenda shuleni. Nilikimbia shuleni ili kuelezea Neema na Mariamu kuhusu ndoto yangu ya ajabu.
Mamu alipoteza mamake wakiwa wapi?
{ "text": [ "Kwenye stendi ya magari" ] }
3644_swa
SIKU SITAWAI SAHAU MAISHANI Ilikuwa alasiri tulipokuwa tunatoka shuleni. Mimi na somo zangu ,Neema na Mariamu.Tulikuwa na furaha ribo ribo kwa kuwa tulikuwa tumefaulu katika mtihani wetu tulikuwa tumeufanya siki iliyopita. Tulipiga milundi hadi nyumbani. Mariamu alibeta kona na kwenda kushoto kwa njia huko kwao. Kila mtu alienda kwao na tukaagana kwa heri. Nilipofika nyumbani, nilipata mama na baba yangu kwenye sebule. “Shikamoo mama?” Niliuliza. “Marahaba mwanangu!” Mama alinijibu kwa furaha. Nilichukua mfuko wangu na kuupeleka kwenye chumba changu cha kulala kisha nikazivua sare zangu. Nikarudi sebuleni kumwona mama na baba. “Baba, leo nina taarifa nzuri kweli kweli,” nilimwambia baba. “Nini hilo mwanangu?” Baba aliniuliza. “Leo tumepewa matokeo yetu ya mtihani tulioufanya wiki iliyopita na nimefaulu na kufuzu kwenda darasa nyingine,” nilimdokezea baba. Kwa furaha, baba alisimama na kunikumbatia huku akiwa amjawa na furaha. “Lazima tusherehekee leo hii,” baba alisema. Mama alilichukua kikapu chake. Mama alichukua akiba alizokuwa amehifadhi kwenye sanduku. “Mamu, njoo twende!” Mama aliniita. Tulienda sokoni na mama huku tumemwacha baba nyumbani. Tuliandamana na mama sako kwa bako hadi kwenye stendi ya magari. Kwa kweli, kulikuwa na msongamano wa magari. Kulikuwa na magari ya kila nui yaliyokuwa yakiimba nyimbo tofauti tofauti si za injili, si za mapenzi, si za bango na zinginezo. Ghafla bila simile, niliangalia kushoto nikakosa mama yangu. Kujaribu kuitana lakini sikufua dafu. Nikaamua kuulizia kwa manamba waliokuwa hapo karibu. Kwa bahati mzuri, nikapatana na manamba mmoja aliyekuwa ni kanawamba anamfahamu mama yangu. “Nimemwona akiingia kwa lile gari ambalo limeondoka sasa hivi, lakini usijali, ingia kwa hili nitakufikisha kwa mama yako,” manamba yule alinieleza. Kwa kuwa nilikuwa na hofu niliingia bila hata maswali mengi. Gari likang’oa nanga na kuanza mwendo. Nilikuwa nimeketi na ghulamu mmoja ambaye alikuwa anakula matawi yaliyotambulika kama miraa. Mdomo wake ulikuwa umejaa huku unatafuna bila kusimama. Nilivumilia tu, kwa kuwa mvumilivu hula mbivu. Baada ya muda mfupi hivi, tulifika kwa majumba ambayo yulikuwa hawajumalizwa kujengwa. Gari likasimama na kila mtu aliyekuwepo ndani ya gari lile alijitoma nje. Nilibaki nimeketi kwa kuwa sikukuwa najua nilikokuwepo. “Msichana njoo,” manamba yule aliniita. Nikashuka na kisha gari likaondoka. “Soko iko wapi?” Niliuliza manamba yule. “Wewe nifuate nikuoneshe mahali ilipo,” alisema. Mimi naye sako kwa bako tuliandamana hadi sokoni. Nilifika sokoni salama salimini. Kuangulia kushoto, manamba yule alikuwa hayupo tena. Nilishindwa nianzia wapi. Sikujua niendako wala nitokako. Niliamua kupiga doria kwenye soko lile. Wauzaji waliuza bidhaa za kila aina si papai si mapera si machungwa si karakara, yani waliuza matunda ya kila aina. Nilipoangalia upande mwingine niliona mavazi ya jinsia zote. Yalikuwa yanapendeza, ningelikuwa na pesa ningeyanunua yote. Nilitembea kila kona ya soko lakini sikumuona mama yangu. Nilipokuwa ninatembea, niligongana na binti mmoja aliyekuwa mrembo. Alikuwa amevalia rinda lililomvaa, alikuwa na ushanga shingoni nazo bangili zilikuwa zimejaa mkononi. Alikuwa amevalia vipuli masikioni na kishaufu puani. Alikuwa anapendeza kweli kweli. Alivalia viatu vya juu vilivyo kuwa vya rangi ya nyekundu. Alikuwa amesukwa nywele za singa. Alinisalimu, kisha akaniuliza “kuna shida yeyote msichana?” Kwa kuwa nilikuwa nimepotea nilimweleza kila kitu. “Usijali, mimi nitakusaidia. Nimesaidia wasichana wengi sana hata wewe nitakusaidia,” alinieleza. Alinieleza nimfuate, nami nikawa bendera ifuatayo upepo. Tuliingia katika jengo fulani na kupatana na maghulamu wawili. Walinishika na kunikimba macho na gunia nyeusi usoni. Mamawee !! Nilirushwa na kuanguka ukutani.Nilijaribu kuzungumza lanini sauti nyororo kutoka upande wangu wa kushoto ikasema, “nyamaza, hakuna kitu utakacho kifanya.” Nilimeza mate machungu na kunyama huku wasiwasi umenisonga kichwani. Wazo baada ya nyingine zilikuwa zinazunguka kichwani mwangu ungedhani ulikuwa uwanja wa riadha. Baada ya muda mrefu, tulibebwa hobela hobela na kutupwa kwenye lori lilokuwa likiguruma. Nilipiga mayowe lakini bidii zangu hazikufua dafu. Nilisikia gari likianza kunguruma na nikasikia binti yule akisema, “lazima uwafikishe kwenye ufuo wa bahari hindi, la siyo sivyo utaliona cha mtema kuni na utajua kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya majibizano hayo baina ya dereva na binti yule nilisikia mlango ukifungwa kwa hasira na gari kuanza mwendo. Tuluiafiri kwa muda mrefu sana. “Wewe unaitwa nani?” moja ya sauti ikauliza. “Mimi natumbulika kama Mamu, na wewe?” Nikamuuliza. Akanijibu, “naitwa Amani.” Naye mwingine akasema, “naitwa Ri..Ri..Ri..zi..ki.” Kwa kuwa Riziki alikuwa kigugumizi, hakupenda kuzungumza sana. Alikuwa mnyamavu. Amani alinieleza alivyojipata pale naye Riziki alijitahidi na kutueleza alivyojipata pale. Tulipiga gumzo hadi tukawasili. Tulipofika, tulibwagwa kando ya maji huku tunasikia sauti za meli. Sote tukaangua kilio.Tukafunuliwa zile gunia zilizokuwa usoni mwetu. Kutazama nilikokuwa, ghafla viungo vyangu vya mwil velilegea na kuacha kufanya kazi. Nilizimiz papo hapo. Baada ya muda usiyokuwa mrefu, nilijifahamu na kufungua macho na kuangalia kushoto, maji, kulia, maji, kumbe nilikuwa tayari niko kwenye meli. Nilianza kulia huku naumia mikononi mwangu kwa kuwa nilikuwa nimefungwa na minyororo kwenye mikono. Nililia kiasi cha kusima changu cha machozi kunikauka. Kulikuwa na binti mkubwa kuliko sisi ksote. Ghulamu mmoja alimchukuwa na kumpeleka katika chumba kidogo kilichokuwa ndani ya meli. Tuliskia mayowe kutoka ndani humo ishara kuwa alikuwa anamnajisi. Amani alinieleza kuwa hiyo haikuwai mara ya kwanza au ya pili, gimba hilo la mtu lilikuwa limezoea kumnajisi Stela alipokuwa anataka wakati wowote. Nilimwonea mbawazi Stelah hadi machozi yakanitoka. Safari iliendelea kwa siku mbili mfululizo bila chochote kutilia kinywani. Tulipofika katikati ya bahari, binti yule alijitokeza. Sikujua alikotokea. Alikuwa amevalia nguo nyeupe pepepe ungedhani ni malaika. Nifika tu na kuangua kicheko. Ghafla, bahari ikanza kuzunguka kanakwamba ilikuwa inafunguka. Mara tu, binti yule akaanza kuzungumza lugha ambayo hatukuelewa. Ghafla wakamchukua Stelah, maskini kiumbe cha Mungu kilitiliwa kisu katikati ya shingo. Tukitazama, tuliliona shingo la stelah na mwili ukiwa umetenganishwa. Kwa maisha yangu sikuwai ona mwanadamu akiuwawa. Hapo ndipo nilipokuja kugundua kuwa walikuwa wanatoa kafara. Walimchukua Riziki bila hata huruma wala utu. Riziki na kigugumizi chake alijaribu kutamka aghalabu neno lakini wapi, alichomwa kisu kifuani na kisha kukatwa shingo. Mimi na Amani tulisalia na wengine kadhaa. Walichukuwa mmoja baada ya mwingine hadi tukabaki mimi, Aming na Dangote. Dangote alichukuliwa ili kutolewa kafara lakini alijaribu kupishana na kubishana na magimba wale lakini walimpa konde moja tu akaaga papo hapo. Alifanyiwa matambiko kisha akatupwa kwenye bahari nayo bahari ikammeza. Amani akachukulia, naye akanishika mkono kwa nguvu akanieleza. “mimi nimepitia shida nyingi tangu nilivyokamatwa na hawa watu, mimi naona heri kifo kuliko mateso niliyoyapitia na hawa watu.” Ghulamu mmoja alimvuta kwa nguvu na kumbeba hobela hobela hadi kwenye jukwa la kufanyia kafara. Alifanyiwa kile ambacho wenzake walichofanyiwa. Alikatwa kichwa huku macho yake yakidondoka machozi, michirizi michirizi. Wakati wangu ulikuwa umewadia sasa. Nilinyenyekea na kusogelea mbele ili wafanye watakavyo kwa kuwa nilijua kwenye mchongoma hujitia kileleni. Ghafla, binti yule alinisogelea na kuchukua kisu ili alitie kwenye shingo langu. Nilifumba macho na kupiga sala kimya kimya. Binti yule alichukua na kwa nguvu akanukumia kisu shingoni na ghafla nikaamuka. Mama alikuwa ananita niende shuleni, kulikuwa kumekucha. Nilipunga hewa haraka haraka huku mama yangu alikuwa hapo ananiamsha niende shuleni. Kumbe nilikuwa ninaota. Nilimweleza mama kili nilichokiota, mama akaniangalia na kutabasamu. Niliamka, nikaoga kwa maji naye mama alikuwa ameniandalia staftahi (chai ya kahawia kwa viazi mbatata) nilikunya na kwenda shuleni. Nilikimbia shuleni ili kuelezea Neema na Mariamu kuhusu ndoto yangu ya ajabu.
Mvumilivu hula nini?
{ "text": [ "Mbivu" ] }
3644_swa
SIKU SITAWAI SAHAU MAISHANI Ilikuwa alasiri tulipokuwa tunatoka shuleni. Mimi na somo zangu ,Neema na Mariamu.Tulikuwa na furaha ribo ribo kwa kuwa tulikuwa tumefaulu katika mtihani wetu tulikuwa tumeufanya siki iliyopita. Tulipiga milundi hadi nyumbani. Mariamu alibeta kona na kwenda kushoto kwa njia huko kwao. Kila mtu alienda kwao na tukaagana kwa heri. Nilipofika nyumbani, nilipata mama na baba yangu kwenye sebule. “Shikamoo mama?” Niliuliza. “Marahaba mwanangu!” Mama alinijibu kwa furaha. Nilichukua mfuko wangu na kuupeleka kwenye chumba changu cha kulala kisha nikazivua sare zangu. Nikarudi sebuleni kumwona mama na baba. “Baba, leo nina taarifa nzuri kweli kweli,” nilimwambia baba. “Nini hilo mwanangu?” Baba aliniuliza. “Leo tumepewa matokeo yetu ya mtihani tulioufanya wiki iliyopita na nimefaulu na kufuzu kwenda darasa nyingine,” nilimdokezea baba. Kwa furaha, baba alisimama na kunikumbatia huku akiwa amjawa na furaha. “Lazima tusherehekee leo hii,” baba alisema. Mama alilichukua kikapu chake. Mama alichukua akiba alizokuwa amehifadhi kwenye sanduku. “Mamu, njoo twende!” Mama aliniita. Tulienda sokoni na mama huku tumemwacha baba nyumbani. Tuliandamana na mama sako kwa bako hadi kwenye stendi ya magari. Kwa kweli, kulikuwa na msongamano wa magari. Kulikuwa na magari ya kila nui yaliyokuwa yakiimba nyimbo tofauti tofauti si za injili, si za mapenzi, si za bango na zinginezo. Ghafla bila simile, niliangalia kushoto nikakosa mama yangu. Kujaribu kuitana lakini sikufua dafu. Nikaamua kuulizia kwa manamba waliokuwa hapo karibu. Kwa bahati mzuri, nikapatana na manamba mmoja aliyekuwa ni kanawamba anamfahamu mama yangu. “Nimemwona akiingia kwa lile gari ambalo limeondoka sasa hivi, lakini usijali, ingia kwa hili nitakufikisha kwa mama yako,” manamba yule alinieleza. Kwa kuwa nilikuwa na hofu niliingia bila hata maswali mengi. Gari likang’oa nanga na kuanza mwendo. Nilikuwa nimeketi na ghulamu mmoja ambaye alikuwa anakula matawi yaliyotambulika kama miraa. Mdomo wake ulikuwa umejaa huku unatafuna bila kusimama. Nilivumilia tu, kwa kuwa mvumilivu hula mbivu. Baada ya muda mfupi hivi, tulifika kwa majumba ambayo yulikuwa hawajumalizwa kujengwa. Gari likasimama na kila mtu aliyekuwepo ndani ya gari lile alijitoma nje. Nilibaki nimeketi kwa kuwa sikukuwa najua nilikokuwepo. “Msichana njoo,” manamba yule aliniita. Nikashuka na kisha gari likaondoka. “Soko iko wapi?” Niliuliza manamba yule. “Wewe nifuate nikuoneshe mahali ilipo,” alisema. Mimi naye sako kwa bako tuliandamana hadi sokoni. Nilifika sokoni salama salimini. Kuangulia kushoto, manamba yule alikuwa hayupo tena. Nilishindwa nianzia wapi. Sikujua niendako wala nitokako. Niliamua kupiga doria kwenye soko lile. Wauzaji waliuza bidhaa za kila aina si papai si mapera si machungwa si karakara, yani waliuza matunda ya kila aina. Nilipoangalia upande mwingine niliona mavazi ya jinsia zote. Yalikuwa yanapendeza, ningelikuwa na pesa ningeyanunua yote. Nilitembea kila kona ya soko lakini sikumuona mama yangu. Nilipokuwa ninatembea, niligongana na binti mmoja aliyekuwa mrembo. Alikuwa amevalia rinda lililomvaa, alikuwa na ushanga shingoni nazo bangili zilikuwa zimejaa mkononi. Alikuwa amevalia vipuli masikioni na kishaufu puani. Alikuwa anapendeza kweli kweli. Alivalia viatu vya juu vilivyo kuwa vya rangi ya nyekundu. Alikuwa amesukwa nywele za singa. Alinisalimu, kisha akaniuliza “kuna shida yeyote msichana?” Kwa kuwa nilikuwa nimepotea nilimweleza kila kitu. “Usijali, mimi nitakusaidia. Nimesaidia wasichana wengi sana hata wewe nitakusaidia,” alinieleza. Alinieleza nimfuate, nami nikawa bendera ifuatayo upepo. Tuliingia katika jengo fulani na kupatana na maghulamu wawili. Walinishika na kunikimba macho na gunia nyeusi usoni. Mamawee !! Nilirushwa na kuanguka ukutani.Nilijaribu kuzungumza lanini sauti nyororo kutoka upande wangu wa kushoto ikasema, “nyamaza, hakuna kitu utakacho kifanya.” Nilimeza mate machungu na kunyama huku wasiwasi umenisonga kichwani. Wazo baada ya nyingine zilikuwa zinazunguka kichwani mwangu ungedhani ulikuwa uwanja wa riadha. Baada ya muda mrefu, tulibebwa hobela hobela na kutupwa kwenye lori lilokuwa likiguruma. Nilipiga mayowe lakini bidii zangu hazikufua dafu. Nilisikia gari likianza kunguruma na nikasikia binti yule akisema, “lazima uwafikishe kwenye ufuo wa bahari hindi, la siyo sivyo utaliona cha mtema kuni na utajua kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya majibizano hayo baina ya dereva na binti yule nilisikia mlango ukifungwa kwa hasira na gari kuanza mwendo. Tuluiafiri kwa muda mrefu sana. “Wewe unaitwa nani?” moja ya sauti ikauliza. “Mimi natumbulika kama Mamu, na wewe?” Nikamuuliza. Akanijibu, “naitwa Amani.” Naye mwingine akasema, “naitwa Ri..Ri..Ri..zi..ki.” Kwa kuwa Riziki alikuwa kigugumizi, hakupenda kuzungumza sana. Alikuwa mnyamavu. Amani alinieleza alivyojipata pale naye Riziki alijitahidi na kutueleza alivyojipata pale. Tulipiga gumzo hadi tukawasili. Tulipofika, tulibwagwa kando ya maji huku tunasikia sauti za meli. Sote tukaangua kilio.Tukafunuliwa zile gunia zilizokuwa usoni mwetu. Kutazama nilikokuwa, ghafla viungo vyangu vya mwil velilegea na kuacha kufanya kazi. Nilizimiz papo hapo. Baada ya muda usiyokuwa mrefu, nilijifahamu na kufungua macho na kuangalia kushoto, maji, kulia, maji, kumbe nilikuwa tayari niko kwenye meli. Nilianza kulia huku naumia mikononi mwangu kwa kuwa nilikuwa nimefungwa na minyororo kwenye mikono. Nililia kiasi cha kusima changu cha machozi kunikauka. Kulikuwa na binti mkubwa kuliko sisi ksote. Ghulamu mmoja alimchukuwa na kumpeleka katika chumba kidogo kilichokuwa ndani ya meli. Tuliskia mayowe kutoka ndani humo ishara kuwa alikuwa anamnajisi. Amani alinieleza kuwa hiyo haikuwai mara ya kwanza au ya pili, gimba hilo la mtu lilikuwa limezoea kumnajisi Stela alipokuwa anataka wakati wowote. Nilimwonea mbawazi Stelah hadi machozi yakanitoka. Safari iliendelea kwa siku mbili mfululizo bila chochote kutilia kinywani. Tulipofika katikati ya bahari, binti yule alijitokeza. Sikujua alikotokea. Alikuwa amevalia nguo nyeupe pepepe ungedhani ni malaika. Nifika tu na kuangua kicheko. Ghafla, bahari ikanza kuzunguka kanakwamba ilikuwa inafunguka. Mara tu, binti yule akaanza kuzungumza lugha ambayo hatukuelewa. Ghafla wakamchukua Stelah, maskini kiumbe cha Mungu kilitiliwa kisu katikati ya shingo. Tukitazama, tuliliona shingo la stelah na mwili ukiwa umetenganishwa. Kwa maisha yangu sikuwai ona mwanadamu akiuwawa. Hapo ndipo nilipokuja kugundua kuwa walikuwa wanatoa kafara. Walimchukua Riziki bila hata huruma wala utu. Riziki na kigugumizi chake alijaribu kutamka aghalabu neno lakini wapi, alichomwa kisu kifuani na kisha kukatwa shingo. Mimi na Amani tulisalia na wengine kadhaa. Walichukuwa mmoja baada ya mwingine hadi tukabaki mimi, Aming na Dangote. Dangote alichukuliwa ili kutolewa kafara lakini alijaribu kupishana na kubishana na magimba wale lakini walimpa konde moja tu akaaga papo hapo. Alifanyiwa matambiko kisha akatupwa kwenye bahari nayo bahari ikammeza. Amani akachukulia, naye akanishika mkono kwa nguvu akanieleza. “mimi nimepitia shida nyingi tangu nilivyokamatwa na hawa watu, mimi naona heri kifo kuliko mateso niliyoyapitia na hawa watu.” Ghulamu mmoja alimvuta kwa nguvu na kumbeba hobela hobela hadi kwenye jukwa la kufanyia kafara. Alifanyiwa kile ambacho wenzake walichofanyiwa. Alikatwa kichwa huku macho yake yakidondoka machozi, michirizi michirizi. Wakati wangu ulikuwa umewadia sasa. Nilinyenyekea na kusogelea mbele ili wafanye watakavyo kwa kuwa nilijua kwenye mchongoma hujitia kileleni. Ghafla, binti yule alinisogelea na kuchukua kisu ili alitie kwenye shingo langu. Nilifumba macho na kupiga sala kimya kimya. Binti yule alichukua na kwa nguvu akanukumia kisu shingoni na ghafla nikaamuka. Mama alikuwa ananita niende shuleni, kulikuwa kumekucha. Nilipunga hewa haraka haraka huku mama yangu alikuwa hapo ananiamsha niende shuleni. Kumbe nilikuwa ninaota. Nilimweleza mama kili nilichokiota, mama akaniangalia na kutabasamu. Niliamka, nikaoga kwa maji naye mama alikuwa ameniandalia staftahi (chai ya kahawia kwa viazi mbatata) nilikunya na kwenda shuleni. Nilikimbia shuleni ili kuelezea Neema na Mariamu kuhusu ndoto yangu ya ajabu.
Mamu aligongana na nani akiwa sokoni?
{ "text": [ "Binti mrembo" ] }
3644_swa
SIKU SITAWAI SAHAU MAISHANI Ilikuwa alasiri tulipokuwa tunatoka shuleni. Mimi na somo zangu ,Neema na Mariamu.Tulikuwa na furaha ribo ribo kwa kuwa tulikuwa tumefaulu katika mtihani wetu tulikuwa tumeufanya siki iliyopita. Tulipiga milundi hadi nyumbani. Mariamu alibeta kona na kwenda kushoto kwa njia huko kwao. Kila mtu alienda kwao na tukaagana kwa heri. Nilipofika nyumbani, nilipata mama na baba yangu kwenye sebule. “Shikamoo mama?” Niliuliza. “Marahaba mwanangu!” Mama alinijibu kwa furaha. Nilichukua mfuko wangu na kuupeleka kwenye chumba changu cha kulala kisha nikazivua sare zangu. Nikarudi sebuleni kumwona mama na baba. “Baba, leo nina taarifa nzuri kweli kweli,” nilimwambia baba. “Nini hilo mwanangu?” Baba aliniuliza. “Leo tumepewa matokeo yetu ya mtihani tulioufanya wiki iliyopita na nimefaulu na kufuzu kwenda darasa nyingine,” nilimdokezea baba. Kwa furaha, baba alisimama na kunikumbatia huku akiwa amjawa na furaha. “Lazima tusherehekee leo hii,” baba alisema. Mama alilichukua kikapu chake. Mama alichukua akiba alizokuwa amehifadhi kwenye sanduku. “Mamu, njoo twende!” Mama aliniita. Tulienda sokoni na mama huku tumemwacha baba nyumbani. Tuliandamana na mama sako kwa bako hadi kwenye stendi ya magari. Kwa kweli, kulikuwa na msongamano wa magari. Kulikuwa na magari ya kila nui yaliyokuwa yakiimba nyimbo tofauti tofauti si za injili, si za mapenzi, si za bango na zinginezo. Ghafla bila simile, niliangalia kushoto nikakosa mama yangu. Kujaribu kuitana lakini sikufua dafu. Nikaamua kuulizia kwa manamba waliokuwa hapo karibu. Kwa bahati mzuri, nikapatana na manamba mmoja aliyekuwa ni kanawamba anamfahamu mama yangu. “Nimemwona akiingia kwa lile gari ambalo limeondoka sasa hivi, lakini usijali, ingia kwa hili nitakufikisha kwa mama yako,” manamba yule alinieleza. Kwa kuwa nilikuwa na hofu niliingia bila hata maswali mengi. Gari likang’oa nanga na kuanza mwendo. Nilikuwa nimeketi na ghulamu mmoja ambaye alikuwa anakula matawi yaliyotambulika kama miraa. Mdomo wake ulikuwa umejaa huku unatafuna bila kusimama. Nilivumilia tu, kwa kuwa mvumilivu hula mbivu. Baada ya muda mfupi hivi, tulifika kwa majumba ambayo yulikuwa hawajumalizwa kujengwa. Gari likasimama na kila mtu aliyekuwepo ndani ya gari lile alijitoma nje. Nilibaki nimeketi kwa kuwa sikukuwa najua nilikokuwepo. “Msichana njoo,” manamba yule aliniita. Nikashuka na kisha gari likaondoka. “Soko iko wapi?” Niliuliza manamba yule. “Wewe nifuate nikuoneshe mahali ilipo,” alisema. Mimi naye sako kwa bako tuliandamana hadi sokoni. Nilifika sokoni salama salimini. Kuangulia kushoto, manamba yule alikuwa hayupo tena. Nilishindwa nianzia wapi. Sikujua niendako wala nitokako. Niliamua kupiga doria kwenye soko lile. Wauzaji waliuza bidhaa za kila aina si papai si mapera si machungwa si karakara, yani waliuza matunda ya kila aina. Nilipoangalia upande mwingine niliona mavazi ya jinsia zote. Yalikuwa yanapendeza, ningelikuwa na pesa ningeyanunua yote. Nilitembea kila kona ya soko lakini sikumuona mama yangu. Nilipokuwa ninatembea, niligongana na binti mmoja aliyekuwa mrembo. Alikuwa amevalia rinda lililomvaa, alikuwa na ushanga shingoni nazo bangili zilikuwa zimejaa mkononi. Alikuwa amevalia vipuli masikioni na kishaufu puani. Alikuwa anapendeza kweli kweli. Alivalia viatu vya juu vilivyo kuwa vya rangi ya nyekundu. Alikuwa amesukwa nywele za singa. Alinisalimu, kisha akaniuliza “kuna shida yeyote msichana?” Kwa kuwa nilikuwa nimepotea nilimweleza kila kitu. “Usijali, mimi nitakusaidia. Nimesaidia wasichana wengi sana hata wewe nitakusaidia,” alinieleza. Alinieleza nimfuate, nami nikawa bendera ifuatayo upepo. Tuliingia katika jengo fulani na kupatana na maghulamu wawili. Walinishika na kunikimba macho na gunia nyeusi usoni. Mamawee !! Nilirushwa na kuanguka ukutani.Nilijaribu kuzungumza lanini sauti nyororo kutoka upande wangu wa kushoto ikasema, “nyamaza, hakuna kitu utakacho kifanya.” Nilimeza mate machungu na kunyama huku wasiwasi umenisonga kichwani. Wazo baada ya nyingine zilikuwa zinazunguka kichwani mwangu ungedhani ulikuwa uwanja wa riadha. Baada ya muda mrefu, tulibebwa hobela hobela na kutupwa kwenye lori lilokuwa likiguruma. Nilipiga mayowe lakini bidii zangu hazikufua dafu. Nilisikia gari likianza kunguruma na nikasikia binti yule akisema, “lazima uwafikishe kwenye ufuo wa bahari hindi, la siyo sivyo utaliona cha mtema kuni na utajua kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya majibizano hayo baina ya dereva na binti yule nilisikia mlango ukifungwa kwa hasira na gari kuanza mwendo. Tuluiafiri kwa muda mrefu sana. “Wewe unaitwa nani?” moja ya sauti ikauliza. “Mimi natumbulika kama Mamu, na wewe?” Nikamuuliza. Akanijibu, “naitwa Amani.” Naye mwingine akasema, “naitwa Ri..Ri..Ri..zi..ki.” Kwa kuwa Riziki alikuwa kigugumizi, hakupenda kuzungumza sana. Alikuwa mnyamavu. Amani alinieleza alivyojipata pale naye Riziki alijitahidi na kutueleza alivyojipata pale. Tulipiga gumzo hadi tukawasili. Tulipofika, tulibwagwa kando ya maji huku tunasikia sauti za meli. Sote tukaangua kilio.Tukafunuliwa zile gunia zilizokuwa usoni mwetu. Kutazama nilikokuwa, ghafla viungo vyangu vya mwil velilegea na kuacha kufanya kazi. Nilizimiz papo hapo. Baada ya muda usiyokuwa mrefu, nilijifahamu na kufungua macho na kuangalia kushoto, maji, kulia, maji, kumbe nilikuwa tayari niko kwenye meli. Nilianza kulia huku naumia mikononi mwangu kwa kuwa nilikuwa nimefungwa na minyororo kwenye mikono. Nililia kiasi cha kusima changu cha machozi kunikauka. Kulikuwa na binti mkubwa kuliko sisi ksote. Ghulamu mmoja alimchukuwa na kumpeleka katika chumba kidogo kilichokuwa ndani ya meli. Tuliskia mayowe kutoka ndani humo ishara kuwa alikuwa anamnajisi. Amani alinieleza kuwa hiyo haikuwai mara ya kwanza au ya pili, gimba hilo la mtu lilikuwa limezoea kumnajisi Stela alipokuwa anataka wakati wowote. Nilimwonea mbawazi Stelah hadi machozi yakanitoka. Safari iliendelea kwa siku mbili mfululizo bila chochote kutilia kinywani. Tulipofika katikati ya bahari, binti yule alijitokeza. Sikujua alikotokea. Alikuwa amevalia nguo nyeupe pepepe ungedhani ni malaika. Nifika tu na kuangua kicheko. Ghafla, bahari ikanza kuzunguka kanakwamba ilikuwa inafunguka. Mara tu, binti yule akaanza kuzungumza lugha ambayo hatukuelewa. Ghafla wakamchukua Stelah, maskini kiumbe cha Mungu kilitiliwa kisu katikati ya shingo. Tukitazama, tuliliona shingo la stelah na mwili ukiwa umetenganishwa. Kwa maisha yangu sikuwai ona mwanadamu akiuwawa. Hapo ndipo nilipokuja kugundua kuwa walikuwa wanatoa kafara. Walimchukua Riziki bila hata huruma wala utu. Riziki na kigugumizi chake alijaribu kutamka aghalabu neno lakini wapi, alichomwa kisu kifuani na kisha kukatwa shingo. Mimi na Amani tulisalia na wengine kadhaa. Walichukuwa mmoja baada ya mwingine hadi tukabaki mimi, Aming na Dangote. Dangote alichukuliwa ili kutolewa kafara lakini alijaribu kupishana na kubishana na magimba wale lakini walimpa konde moja tu akaaga papo hapo. Alifanyiwa matambiko kisha akatupwa kwenye bahari nayo bahari ikammeza. Amani akachukulia, naye akanishika mkono kwa nguvu akanieleza. “mimi nimepitia shida nyingi tangu nilivyokamatwa na hawa watu, mimi naona heri kifo kuliko mateso niliyoyapitia na hawa watu.” Ghulamu mmoja alimvuta kwa nguvu na kumbeba hobela hobela hadi kwenye jukwa la kufanyia kafara. Alifanyiwa kile ambacho wenzake walichofanyiwa. Alikatwa kichwa huku macho yake yakidondoka machozi, michirizi michirizi. Wakati wangu ulikuwa umewadia sasa. Nilinyenyekea na kusogelea mbele ili wafanye watakavyo kwa kuwa nilijua kwenye mchongoma hujitia kileleni. Ghafla, binti yule alinisogelea na kuchukua kisu ili alitie kwenye shingo langu. Nilifumba macho na kupiga sala kimya kimya. Binti yule alichukua na kwa nguvu akanukumia kisu shingoni na ghafla nikaamuka. Mama alikuwa ananita niende shuleni, kulikuwa kumekucha. Nilipunga hewa haraka haraka huku mama yangu alikuwa hapo ananiamsha niende shuleni. Kumbe nilikuwa ninaota. Nilimweleza mama kili nilichokiota, mama akaniangalia na kutabasamu. Niliamka, nikaoga kwa maji naye mama alikuwa ameniandalia staftahi (chai ya kahawia kwa viazi mbatata) nilikunya na kwenda shuleni. Nilikimbia shuleni ili kuelezea Neema na Mariamu kuhusu ndoto yangu ya ajabu.
Nani alikua kigugumizi?
{ "text": [ "Riziki" ] }
3644_swa
SIKU SITAWAI SAHAU MAISHANI Ilikuwa alasiri tulipokuwa tunatoka shuleni. Mimi na somo zangu ,Neema na Mariamu.Tulikuwa na furaha ribo ribo kwa kuwa tulikuwa tumefaulu katika mtihani wetu tulikuwa tumeufanya siki iliyopita. Tulipiga milundi hadi nyumbani. Mariamu alibeta kona na kwenda kushoto kwa njia huko kwao. Kila mtu alienda kwao na tukaagana kwa heri. Nilipofika nyumbani, nilipata mama na baba yangu kwenye sebule. “Shikamoo mama?” Niliuliza. “Marahaba mwanangu!” Mama alinijibu kwa furaha. Nilichukua mfuko wangu na kuupeleka kwenye chumba changu cha kulala kisha nikazivua sare zangu. Nikarudi sebuleni kumwona mama na baba. “Baba, leo nina taarifa nzuri kweli kweli,” nilimwambia baba. “Nini hilo mwanangu?” Baba aliniuliza. “Leo tumepewa matokeo yetu ya mtihani tulioufanya wiki iliyopita na nimefaulu na kufuzu kwenda darasa nyingine,” nilimdokezea baba. Kwa furaha, baba alisimama na kunikumbatia huku akiwa amjawa na furaha. “Lazima tusherehekee leo hii,” baba alisema. Mama alilichukua kikapu chake. Mama alichukua akiba alizokuwa amehifadhi kwenye sanduku. “Mamu, njoo twende!” Mama aliniita. Tulienda sokoni na mama huku tumemwacha baba nyumbani. Tuliandamana na mama sako kwa bako hadi kwenye stendi ya magari. Kwa kweli, kulikuwa na msongamano wa magari. Kulikuwa na magari ya kila nui yaliyokuwa yakiimba nyimbo tofauti tofauti si za injili, si za mapenzi, si za bango na zinginezo. Ghafla bila simile, niliangalia kushoto nikakosa mama yangu. Kujaribu kuitana lakini sikufua dafu. Nikaamua kuulizia kwa manamba waliokuwa hapo karibu. Kwa bahati mzuri, nikapatana na manamba mmoja aliyekuwa ni kanawamba anamfahamu mama yangu. “Nimemwona akiingia kwa lile gari ambalo limeondoka sasa hivi, lakini usijali, ingia kwa hili nitakufikisha kwa mama yako,” manamba yule alinieleza. Kwa kuwa nilikuwa na hofu niliingia bila hata maswali mengi. Gari likang’oa nanga na kuanza mwendo. Nilikuwa nimeketi na ghulamu mmoja ambaye alikuwa anakula matawi yaliyotambulika kama miraa. Mdomo wake ulikuwa umejaa huku unatafuna bila kusimama. Nilivumilia tu, kwa kuwa mvumilivu hula mbivu. Baada ya muda mfupi hivi, tulifika kwa majumba ambayo yulikuwa hawajumalizwa kujengwa. Gari likasimama na kila mtu aliyekuwepo ndani ya gari lile alijitoma nje. Nilibaki nimeketi kwa kuwa sikukuwa najua nilikokuwepo. “Msichana njoo,” manamba yule aliniita. Nikashuka na kisha gari likaondoka. “Soko iko wapi?” Niliuliza manamba yule. “Wewe nifuate nikuoneshe mahali ilipo,” alisema. Mimi naye sako kwa bako tuliandamana hadi sokoni. Nilifika sokoni salama salimini. Kuangulia kushoto, manamba yule alikuwa hayupo tena. Nilishindwa nianzia wapi. Sikujua niendako wala nitokako. Niliamua kupiga doria kwenye soko lile. Wauzaji waliuza bidhaa za kila aina si papai si mapera si machungwa si karakara, yani waliuza matunda ya kila aina. Nilipoangalia upande mwingine niliona mavazi ya jinsia zote. Yalikuwa yanapendeza, ningelikuwa na pesa ningeyanunua yote. Nilitembea kila kona ya soko lakini sikumuona mama yangu. Nilipokuwa ninatembea, niligongana na binti mmoja aliyekuwa mrembo. Alikuwa amevalia rinda lililomvaa, alikuwa na ushanga shingoni nazo bangili zilikuwa zimejaa mkononi. Alikuwa amevalia vipuli masikioni na kishaufu puani. Alikuwa anapendeza kweli kweli. Alivalia viatu vya juu vilivyo kuwa vya rangi ya nyekundu. Alikuwa amesukwa nywele za singa. Alinisalimu, kisha akaniuliza “kuna shida yeyote msichana?” Kwa kuwa nilikuwa nimepotea nilimweleza kila kitu. “Usijali, mimi nitakusaidia. Nimesaidia wasichana wengi sana hata wewe nitakusaidia,” alinieleza. Alinieleza nimfuate, nami nikawa bendera ifuatayo upepo. Tuliingia katika jengo fulani na kupatana na maghulamu wawili. Walinishika na kunikimba macho na gunia nyeusi usoni. Mamawee !! Nilirushwa na kuanguka ukutani.Nilijaribu kuzungumza lanini sauti nyororo kutoka upande wangu wa kushoto ikasema, “nyamaza, hakuna kitu utakacho kifanya.” Nilimeza mate machungu na kunyama huku wasiwasi umenisonga kichwani. Wazo baada ya nyingine zilikuwa zinazunguka kichwani mwangu ungedhani ulikuwa uwanja wa riadha. Baada ya muda mrefu, tulibebwa hobela hobela na kutupwa kwenye lori lilokuwa likiguruma. Nilipiga mayowe lakini bidii zangu hazikufua dafu. Nilisikia gari likianza kunguruma na nikasikia binti yule akisema, “lazima uwafikishe kwenye ufuo wa bahari hindi, la siyo sivyo utaliona cha mtema kuni na utajua kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya majibizano hayo baina ya dereva na binti yule nilisikia mlango ukifungwa kwa hasira na gari kuanza mwendo. Tuluiafiri kwa muda mrefu sana. “Wewe unaitwa nani?” moja ya sauti ikauliza. “Mimi natumbulika kama Mamu, na wewe?” Nikamuuliza. Akanijibu, “naitwa Amani.” Naye mwingine akasema, “naitwa Ri..Ri..Ri..zi..ki.” Kwa kuwa Riziki alikuwa kigugumizi, hakupenda kuzungumza sana. Alikuwa mnyamavu. Amani alinieleza alivyojipata pale naye Riziki alijitahidi na kutueleza alivyojipata pale. Tulipiga gumzo hadi tukawasili. Tulipofika, tulibwagwa kando ya maji huku tunasikia sauti za meli. Sote tukaangua kilio.Tukafunuliwa zile gunia zilizokuwa usoni mwetu. Kutazama nilikokuwa, ghafla viungo vyangu vya mwil velilegea na kuacha kufanya kazi. Nilizimiz papo hapo. Baada ya muda usiyokuwa mrefu, nilijifahamu na kufungua macho na kuangalia kushoto, maji, kulia, maji, kumbe nilikuwa tayari niko kwenye meli. Nilianza kulia huku naumia mikononi mwangu kwa kuwa nilikuwa nimefungwa na minyororo kwenye mikono. Nililia kiasi cha kusima changu cha machozi kunikauka. Kulikuwa na binti mkubwa kuliko sisi ksote. Ghulamu mmoja alimchukuwa na kumpeleka katika chumba kidogo kilichokuwa ndani ya meli. Tuliskia mayowe kutoka ndani humo ishara kuwa alikuwa anamnajisi. Amani alinieleza kuwa hiyo haikuwai mara ya kwanza au ya pili, gimba hilo la mtu lilikuwa limezoea kumnajisi Stela alipokuwa anataka wakati wowote. Nilimwonea mbawazi Stelah hadi machozi yakanitoka. Safari iliendelea kwa siku mbili mfululizo bila chochote kutilia kinywani. Tulipofika katikati ya bahari, binti yule alijitokeza. Sikujua alikotokea. Alikuwa amevalia nguo nyeupe pepepe ungedhani ni malaika. Nifika tu na kuangua kicheko. Ghafla, bahari ikanza kuzunguka kanakwamba ilikuwa inafunguka. Mara tu, binti yule akaanza kuzungumza lugha ambayo hatukuelewa. Ghafla wakamchukua Stelah, maskini kiumbe cha Mungu kilitiliwa kisu katikati ya shingo. Tukitazama, tuliliona shingo la stelah na mwili ukiwa umetenganishwa. Kwa maisha yangu sikuwai ona mwanadamu akiuwawa. Hapo ndipo nilipokuja kugundua kuwa walikuwa wanatoa kafara. Walimchukua Riziki bila hata huruma wala utu. Riziki na kigugumizi chake alijaribu kutamka aghalabu neno lakini wapi, alichomwa kisu kifuani na kisha kukatwa shingo. Mimi na Amani tulisalia na wengine kadhaa. Walichukuwa mmoja baada ya mwingine hadi tukabaki mimi, Aming na Dangote. Dangote alichukuliwa ili kutolewa kafara lakini alijaribu kupishana na kubishana na magimba wale lakini walimpa konde moja tu akaaga papo hapo. Alifanyiwa matambiko kisha akatupwa kwenye bahari nayo bahari ikammeza. Amani akachukulia, naye akanishika mkono kwa nguvu akanieleza. “mimi nimepitia shida nyingi tangu nilivyokamatwa na hawa watu, mimi naona heri kifo kuliko mateso niliyoyapitia na hawa watu.” Ghulamu mmoja alimvuta kwa nguvu na kumbeba hobela hobela hadi kwenye jukwa la kufanyia kafara. Alifanyiwa kile ambacho wenzake walichofanyiwa. Alikatwa kichwa huku macho yake yakidondoka machozi, michirizi michirizi. Wakati wangu ulikuwa umewadia sasa. Nilinyenyekea na kusogelea mbele ili wafanye watakavyo kwa kuwa nilijua kwenye mchongoma hujitia kileleni. Ghafla, binti yule alinisogelea na kuchukua kisu ili alitie kwenye shingo langu. Nilifumba macho na kupiga sala kimya kimya. Binti yule alichukua na kwa nguvu akanukumia kisu shingoni na ghafla nikaamuka. Mama alikuwa ananita niende shuleni, kulikuwa kumekucha. Nilipunga hewa haraka haraka huku mama yangu alikuwa hapo ananiamsha niende shuleni. Kumbe nilikuwa ninaota. Nilimweleza mama kili nilichokiota, mama akaniangalia na kutabasamu. Niliamka, nikaoga kwa maji naye mama alikuwa ameniandalia staftahi (chai ya kahawia kwa viazi mbatata) nilikunya na kwenda shuleni. Nilikimbia shuleni ili kuelezea Neema na Mariamu kuhusu ndoto yangu ya ajabu.
Nini kilisababisha wanafunzi kuwa na furaha?
{ "text": [ "Walikuwa wamepita mtihani " ] }
3645_swa
MAHOJIANO BAINA YA MWAJIRI NA MWAJIRIWA (Hapa ni nyumbani kwa mama Tundu. Mama Tundu amemuajiri msichana mdogo hapo kwa jina Huba. Huba anapitia mateso kweli kweli) Huba: (anaimba)Mama ulipo nizaa duniani kunileta Nililia ma-ma-ma, Sikujua ni matata Kila kupambazukapo, Vikarai na sahani Purukushani po-pa-ni Sichezi situlizani. Nalia, mama nalia Mama: Wimbo gani unaoimba Huba, kwani huna kazi? Huba: Nafanya kazi mama. Mama: (anaigiza kwa dharau) Nalia mama, nalia, Wamlilia nani? Mamako wa Kilimoni au mimi? Huba: Ni wimbo tu mama. Mama: Mtu akikusikia atafikiria wewe ni malaika. Huba: Nimefanya nini mama? Mama: Hujui? Huba: Sijachoma nguo wala kumwaga maziwa, nimefanya kazi zote ulizo nipa. Mama: Na mdomo je? Umefunga? Huba: Sijaongea wala kucheza na mtu tangu asubuhi. Mama: Na redio je? Hujawa redio kutangaza yote yanayotokea? Huba: Sikuewi mama. Mama: Una chochote unachokielewa wewe? Umewaambia wangapi kuwa nakukuta mshahara kwa ajili ya kuchoma nguo na kumwaga maziwa? Huba: Shangazi Fami pekee. Mama: Ulimwambia ili afanye nini? Ni mamako? Huba: Hapana mama. Mama: Sikiliza Huba, tena sana punguza huo mdomo wako, la sivyo nitaupunguza. Yote yanayotokea ndani ya nyumba hii yasitoke nje. Wasikia? Huba: Ndiyo mama. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Nidyo mama lakini najua yanaingilia sikio moja yakitokea jingine. Mtoto Mdogo hapo wajitia kujua mengi (anatema mate) Mwangalie, ananitangaza kwa Bi. Tami. (Anacheka) Wacha nicheke. Sijakutwanga, siku nitakapokutwanga... Nataka leo iwe mwisho. Wasikia? Huba: Sikusudia kukukasirisha mama. Mama: Hmmn! Ulikusudia kunifurahisha? Huba: Hapana. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Hapana, sijui, sielewi. Hayo ndiyo maneno pekee unayoyajua? Huko kwenu kilimoni hamfunzwi lugha? Mama: Haya tuyaache hayo, sasa nieleze mzee ulimwambia nini? Mbona kila mara anakutetea, wewe ni mwanawe? Huba: Mzee yupi tena? Mama: Kuna wazee wangapi nyumbani hapa? Huba: Lo! Sasa sijui nifanye nini, wala niseme nini. Maisha haya siyawezi, ni magumu mno. Nimeamua kwa moyo wangu wote USINIAJIRI TENA, NATAKA KUSOMA!
Nani alikuwa anatafuta ajira?
{ "text": [ "Huba" ] }
3645_swa
MAHOJIANO BAINA YA MWAJIRI NA MWAJIRIWA (Hapa ni nyumbani kwa mama Tundu. Mama Tundu amemuajiri msichana mdogo hapo kwa jina Huba. Huba anapitia mateso kweli kweli) Huba: (anaimba)Mama ulipo nizaa duniani kunileta Nililia ma-ma-ma, Sikujua ni matata Kila kupambazukapo, Vikarai na sahani Purukushani po-pa-ni Sichezi situlizani. Nalia, mama nalia Mama: Wimbo gani unaoimba Huba, kwani huna kazi? Huba: Nafanya kazi mama. Mama: (anaigiza kwa dharau) Nalia mama, nalia, Wamlilia nani? Mamako wa Kilimoni au mimi? Huba: Ni wimbo tu mama. Mama: Mtu akikusikia atafikiria wewe ni malaika. Huba: Nimefanya nini mama? Mama: Hujui? Huba: Sijachoma nguo wala kumwaga maziwa, nimefanya kazi zote ulizo nipa. Mama: Na mdomo je? Umefunga? Huba: Sijaongea wala kucheza na mtu tangu asubuhi. Mama: Na redio je? Hujawa redio kutangaza yote yanayotokea? Huba: Sikuewi mama. Mama: Una chochote unachokielewa wewe? Umewaambia wangapi kuwa nakukuta mshahara kwa ajili ya kuchoma nguo na kumwaga maziwa? Huba: Shangazi Fami pekee. Mama: Ulimwambia ili afanye nini? Ni mamako? Huba: Hapana mama. Mama: Sikiliza Huba, tena sana punguza huo mdomo wako, la sivyo nitaupunguza. Yote yanayotokea ndani ya nyumba hii yasitoke nje. Wasikia? Huba: Ndiyo mama. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Nidyo mama lakini najua yanaingilia sikio moja yakitokea jingine. Mtoto Mdogo hapo wajitia kujua mengi (anatema mate) Mwangalie, ananitangaza kwa Bi. Tami. (Anacheka) Wacha nicheke. Sijakutwanga, siku nitakapokutwanga... Nataka leo iwe mwisho. Wasikia? Huba: Sikusudia kukukasirisha mama. Mama: Hmmn! Ulikusudia kunifurahisha? Huba: Hapana. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Hapana, sijui, sielewi. Hayo ndiyo maneno pekee unayoyajua? Huko kwenu kilimoni hamfunzwi lugha? Mama: Haya tuyaache hayo, sasa nieleze mzee ulimwambia nini? Mbona kila mara anakutetea, wewe ni mwanawe? Huba: Mzee yupi tena? Mama: Kuna wazee wangapi nyumbani hapa? Huba: Lo! Sasa sijui nifanye nini, wala niseme nini. Maisha haya siyawezi, ni magumu mno. Nimeamua kwa moyo wangu wote USINIAJIRI TENA, NATAKA KUSOMA!
Nani alikuwa anaimba?
{ "text": [ "Huba" ] }
3645_swa
MAHOJIANO BAINA YA MWAJIRI NA MWAJIRIWA (Hapa ni nyumbani kwa mama Tundu. Mama Tundu amemuajiri msichana mdogo hapo kwa jina Huba. Huba anapitia mateso kweli kweli) Huba: (anaimba)Mama ulipo nizaa duniani kunileta Nililia ma-ma-ma, Sikujua ni matata Kila kupambazukapo, Vikarai na sahani Purukushani po-pa-ni Sichezi situlizani. Nalia, mama nalia Mama: Wimbo gani unaoimba Huba, kwani huna kazi? Huba: Nafanya kazi mama. Mama: (anaigiza kwa dharau) Nalia mama, nalia, Wamlilia nani? Mamako wa Kilimoni au mimi? Huba: Ni wimbo tu mama. Mama: Mtu akikusikia atafikiria wewe ni malaika. Huba: Nimefanya nini mama? Mama: Hujui? Huba: Sijachoma nguo wala kumwaga maziwa, nimefanya kazi zote ulizo nipa. Mama: Na mdomo je? Umefunga? Huba: Sijaongea wala kucheza na mtu tangu asubuhi. Mama: Na redio je? Hujawa redio kutangaza yote yanayotokea? Huba: Sikuewi mama. Mama: Una chochote unachokielewa wewe? Umewaambia wangapi kuwa nakukuta mshahara kwa ajili ya kuchoma nguo na kumwaga maziwa? Huba: Shangazi Fami pekee. Mama: Ulimwambia ili afanye nini? Ni mamako? Huba: Hapana mama. Mama: Sikiliza Huba, tena sana punguza huo mdomo wako, la sivyo nitaupunguza. Yote yanayotokea ndani ya nyumba hii yasitoke nje. Wasikia? Huba: Ndiyo mama. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Nidyo mama lakini najua yanaingilia sikio moja yakitokea jingine. Mtoto Mdogo hapo wajitia kujua mengi (anatema mate) Mwangalie, ananitangaza kwa Bi. Tami. (Anacheka) Wacha nicheke. Sijakutwanga, siku nitakapokutwanga... Nataka leo iwe mwisho. Wasikia? Huba: Sikusudia kukukasirisha mama. Mama: Hmmn! Ulikusudia kunifurahisha? Huba: Hapana. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Hapana, sijui, sielewi. Hayo ndiyo maneno pekee unayoyajua? Huko kwenu kilimoni hamfunzwi lugha? Mama: Haya tuyaache hayo, sasa nieleze mzee ulimwambia nini? Mbona kila mara anakutetea, wewe ni mwanawe? Huba: Mzee yupi tena? Mama: Kuna wazee wangapi nyumbani hapa? Huba: Lo! Sasa sijui nifanye nini, wala niseme nini. Maisha haya siyawezi, ni magumu mno. Nimeamua kwa moyo wangu wote USINIAJIRI TENA, NATAKA KUSOMA!
Huba aliambia nani masaibu aliyokuwa anapitia?
{ "text": [ "Shangazi Tami" ] }
3645_swa
MAHOJIANO BAINA YA MWAJIRI NA MWAJIRIWA (Hapa ni nyumbani kwa mama Tundu. Mama Tundu amemuajiri msichana mdogo hapo kwa jina Huba. Huba anapitia mateso kweli kweli) Huba: (anaimba)Mama ulipo nizaa duniani kunileta Nililia ma-ma-ma, Sikujua ni matata Kila kupambazukapo, Vikarai na sahani Purukushani po-pa-ni Sichezi situlizani. Nalia, mama nalia Mama: Wimbo gani unaoimba Huba, kwani huna kazi? Huba: Nafanya kazi mama. Mama: (anaigiza kwa dharau) Nalia mama, nalia, Wamlilia nani? Mamako wa Kilimoni au mimi? Huba: Ni wimbo tu mama. Mama: Mtu akikusikia atafikiria wewe ni malaika. Huba: Nimefanya nini mama? Mama: Hujui? Huba: Sijachoma nguo wala kumwaga maziwa, nimefanya kazi zote ulizo nipa. Mama: Na mdomo je? Umefunga? Huba: Sijaongea wala kucheza na mtu tangu asubuhi. Mama: Na redio je? Hujawa redio kutangaza yote yanayotokea? Huba: Sikuewi mama. Mama: Una chochote unachokielewa wewe? Umewaambia wangapi kuwa nakukuta mshahara kwa ajili ya kuchoma nguo na kumwaga maziwa? Huba: Shangazi Fami pekee. Mama: Ulimwambia ili afanye nini? Ni mamako? Huba: Hapana mama. Mama: Sikiliza Huba, tena sana punguza huo mdomo wako, la sivyo nitaupunguza. Yote yanayotokea ndani ya nyumba hii yasitoke nje. Wasikia? Huba: Ndiyo mama. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Nidyo mama lakini najua yanaingilia sikio moja yakitokea jingine. Mtoto Mdogo hapo wajitia kujua mengi (anatema mate) Mwangalie, ananitangaza kwa Bi. Tami. (Anacheka) Wacha nicheke. Sijakutwanga, siku nitakapokutwanga... Nataka leo iwe mwisho. Wasikia? Huba: Sikusudia kukukasirisha mama. Mama: Hmmn! Ulikusudia kunifurahisha? Huba: Hapana. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Hapana, sijui, sielewi. Hayo ndiyo maneno pekee unayoyajua? Huko kwenu kilimoni hamfunzwi lugha? Mama: Haya tuyaache hayo, sasa nieleze mzee ulimwambia nini? Mbona kila mara anakutetea, wewe ni mwanawe? Huba: Mzee yupi tena? Mama: Kuna wazee wangapi nyumbani hapa? Huba: Lo! Sasa sijui nifanye nini, wala niseme nini. Maisha haya siyawezi, ni magumu mno. Nimeamua kwa moyo wangu wote USINIAJIRI TENA, NATAKA KUSOMA!
Nani alikua na madharau?
{ "text": [ "Mama Tundu" ] }
3645_swa
MAHOJIANO BAINA YA MWAJIRI NA MWAJIRIWA (Hapa ni nyumbani kwa mama Tundu. Mama Tundu amemuajiri msichana mdogo hapo kwa jina Huba. Huba anapitia mateso kweli kweli) Huba: (anaimba)Mama ulipo nizaa duniani kunileta Nililia ma-ma-ma, Sikujua ni matata Kila kupambazukapo, Vikarai na sahani Purukushani po-pa-ni Sichezi situlizani. Nalia, mama nalia Mama: Wimbo gani unaoimba Huba, kwani huna kazi? Huba: Nafanya kazi mama. Mama: (anaigiza kwa dharau) Nalia mama, nalia, Wamlilia nani? Mamako wa Kilimoni au mimi? Huba: Ni wimbo tu mama. Mama: Mtu akikusikia atafikiria wewe ni malaika. Huba: Nimefanya nini mama? Mama: Hujui? Huba: Sijachoma nguo wala kumwaga maziwa, nimefanya kazi zote ulizo nipa. Mama: Na mdomo je? Umefunga? Huba: Sijaongea wala kucheza na mtu tangu asubuhi. Mama: Na redio je? Hujawa redio kutangaza yote yanayotokea? Huba: Sikuewi mama. Mama: Una chochote unachokielewa wewe? Umewaambia wangapi kuwa nakukuta mshahara kwa ajili ya kuchoma nguo na kumwaga maziwa? Huba: Shangazi Fami pekee. Mama: Ulimwambia ili afanye nini? Ni mamako? Huba: Hapana mama. Mama: Sikiliza Huba, tena sana punguza huo mdomo wako, la sivyo nitaupunguza. Yote yanayotokea ndani ya nyumba hii yasitoke nje. Wasikia? Huba: Ndiyo mama. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Nidyo mama lakini najua yanaingilia sikio moja yakitokea jingine. Mtoto Mdogo hapo wajitia kujua mengi (anatema mate) Mwangalie, ananitangaza kwa Bi. Tami. (Anacheka) Wacha nicheke. Sijakutwanga, siku nitakapokutwanga... Nataka leo iwe mwisho. Wasikia? Huba: Sikusudia kukukasirisha mama. Mama: Hmmn! Ulikusudia kunifurahisha? Huba: Hapana. Mama: (Anaigiza kwa dharau) Hapana, sijui, sielewi. Hayo ndiyo maneno pekee unayoyajua? Huko kwenu kilimoni hamfunzwi lugha? Mama: Haya tuyaache hayo, sasa nieleze mzee ulimwambia nini? Mbona kila mara anakutetea, wewe ni mwanawe? Huba: Mzee yupi tena? Mama: Kuna wazee wangapi nyumbani hapa? Huba: Lo! Sasa sijui nifanye nini, wala niseme nini. Maisha haya siyawezi, ni magumu mno. Nimeamua kwa moyo wangu wote USINIAJIRI TENA, NATAKA KUSOMA!
Mahojiano yalikuwa yanafanyika wapi?
{ "text": [ "Nyumbani mwa mama Tundu" ] }
3647_swa
SIASA NA MIGAWANYIKO Nchi yetu inaitwa Kenya. Kenya inapatikana ndani ya Afrika. Nchi yetu iliupata uhuru wake mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tatu. Wakati huo, hatukuwa na uongozi wa aina yoyote isipokuwa ule wa waguberu, waliona Kenya kama nchi iliyovamiwa na umaskini kama vile nzinge wavamiavyo shamba la mihogo. Raha kwa wengi ilikuwa neno lililotiwa kwenye kamusi kimakosa. Wakati huo waguberu walikuwa na uongozi, uhuru kwetu ulikuwa fumbo lililohitaji kufumbuliwa, basi tuliungana mikono kwani kidole kimoja hakivunji chawa. Viongozi tuliokuwa nao hawakufurahishwa namna tulivyoelekezwa na wakoloni kwani tungeanya kazi mchana kutwa na usiku kucha na kulipwa njenje zisizoweza kukidhi mahitaji yetu.Waguberu hawa walipoingia nchini, walichukua shamba zote zenye matapo bora huku wakitutupa kwenye shamba zisizo na rutuba. Chakula ikaanza kuadimika mithili ya mzizi ya mawe. Dau yetu iliyumbayumba na kuzama katika bahari ya umaskini iliyojaa mawimbi na matatizo. Ingawa kila mmoja alijikaza kisabuni kila kucheo kupanda ng kupalilia. yote yaliambulia patupu. Hii ikaanza kutuweka katika hali ya kutatanisha na kuwategemea hawa maguberu. Tulipogundua kuwa wangeaga dunia, hadi harusi zilianza kupangiwa. Sote tulielewa fika kwamba maguberu hawa walikuwa na ala za vita za hali ya juu. Wanajamii walitafuta mbinu zote na kupata ile ya ‘Hit and run.’ Tuliwaangamiza wakoloni hawa mmoja baada ya mwingine. Hivi tuliweza kupunguza idadi yao na kupata mashamba yetu. Tuliishi kwa furaha, yaani maisha ya Sultan bi jerere, tukipata mavuno mema. Maguberu waliobaki walirejea nchini mwao. Hivyo ndivyo tulivyopata uhuru wetu. Hapo, wakenya wote waliungana na kumchagua Mzee Jomo Kenyatta kama rais wa nchi yetu. Kwa vile alifanya juhudi zote kuhakikisha tumepata uhuru. Mzee Jomo Kenyatta aliongoza nchi yetu kwa muda wa miaka kumi na tano na kisha akaaga dunia mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nane. Hayati Daniel Moi alichukuwa jukwaa na kutuongoza kwa muda wa miaka ishirini na nne. Hapo ndipo uongozi ulirejea nchini mwetu. Sasa kila atakaye kuwa kiongozi anaweza kuwa. Humu nchini tuna uchaguzi baada ya miaka mitano. Rais wetu anaitwa Uhuru Muigai Kenyatta. Siasa imejulikana kote kama pesa. Tunuendeleza shuleni na hata katika jamii. Tunazo chama mbalimbali kama vile Jubilee, ODM na kadhalika. Siasa zimekuwa mchezo wa paka na panya humu nchini. Kiongozi anaweza fanya atakacho bila kupewa masharti. Ukabila na utamaduni umepewa kipaumbele. Kiongozi huendesha miradi katika kabila lake na kutupa makabila mengine katika kaburi la sahau bila kuwajali kuwa walimpa kura zao. Siasa imefanya vijana wengi kuacha shule na kufuata viongozi ili kuwapa hela. Katika harakati hizi za kutafuta pesa, vijana wengi huumia na wengine hata kuaga dunia. Vijana hawa wanatumiwa na viongozi kuendesha miradi yao ya kuwanufaisha wenyewe. Utamaduni nao umeathiri sana maendeleo kwani tamaduni zingine haziambatani, zimegawanyika kama ardhi na mbingu. Wanasiasa nao wanafuatilia haya husan wanatumia hii kama mbinu ya kupata kura. Vita ipo baina ya wakenya kwani wanasiasa hawapeani huduma inayofaa kwa wananchi. Wanapotaka kura, wanatupa ahadi za uwongo wakiahidi maendeleo katika nchi yetu. Nao wahenga na wahenguzi hawakulamba kisogo waliposema kuwa ahadi ni deni.
Kenya inapatikana wapi
{ "text": [ "ndani ya Afrika" ] }
3647_swa
SIASA NA MIGAWANYIKO Nchi yetu inaitwa Kenya. Kenya inapatikana ndani ya Afrika. Nchi yetu iliupata uhuru wake mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tatu. Wakati huo, hatukuwa na uongozi wa aina yoyote isipokuwa ule wa waguberu, waliona Kenya kama nchi iliyovamiwa na umaskini kama vile nzinge wavamiavyo shamba la mihogo. Raha kwa wengi ilikuwa neno lililotiwa kwenye kamusi kimakosa. Wakati huo waguberu walikuwa na uongozi, uhuru kwetu ulikuwa fumbo lililohitaji kufumbuliwa, basi tuliungana mikono kwani kidole kimoja hakivunji chawa. Viongozi tuliokuwa nao hawakufurahishwa namna tulivyoelekezwa na wakoloni kwani tungeanya kazi mchana kutwa na usiku kucha na kulipwa njenje zisizoweza kukidhi mahitaji yetu.Waguberu hawa walipoingia nchini, walichukua shamba zote zenye matapo bora huku wakitutupa kwenye shamba zisizo na rutuba. Chakula ikaanza kuadimika mithili ya mzizi ya mawe. Dau yetu iliyumbayumba na kuzama katika bahari ya umaskini iliyojaa mawimbi na matatizo. Ingawa kila mmoja alijikaza kisabuni kila kucheo kupanda ng kupalilia. yote yaliambulia patupu. Hii ikaanza kutuweka katika hali ya kutatanisha na kuwategemea hawa maguberu. Tulipogundua kuwa wangeaga dunia, hadi harusi zilianza kupangiwa. Sote tulielewa fika kwamba maguberu hawa walikuwa na ala za vita za hali ya juu. Wanajamii walitafuta mbinu zote na kupata ile ya ‘Hit and run.’ Tuliwaangamiza wakoloni hawa mmoja baada ya mwingine. Hivi tuliweza kupunguza idadi yao na kupata mashamba yetu. Tuliishi kwa furaha, yaani maisha ya Sultan bi jerere, tukipata mavuno mema. Maguberu waliobaki walirejea nchini mwao. Hivyo ndivyo tulivyopata uhuru wetu. Hapo, wakenya wote waliungana na kumchagua Mzee Jomo Kenyatta kama rais wa nchi yetu. Kwa vile alifanya juhudi zote kuhakikisha tumepata uhuru. Mzee Jomo Kenyatta aliongoza nchi yetu kwa muda wa miaka kumi na tano na kisha akaaga dunia mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nane. Hayati Daniel Moi alichukuwa jukwaa na kutuongoza kwa muda wa miaka ishirini na nne. Hapo ndipo uongozi ulirejea nchini mwetu. Sasa kila atakaye kuwa kiongozi anaweza kuwa. Humu nchini tuna uchaguzi baada ya miaka mitano. Rais wetu anaitwa Uhuru Muigai Kenyatta. Siasa imejulikana kote kama pesa. Tunuendeleza shuleni na hata katika jamii. Tunazo chama mbalimbali kama vile Jubilee, ODM na kadhalika. Siasa zimekuwa mchezo wa paka na panya humu nchini. Kiongozi anaweza fanya atakacho bila kupewa masharti. Ukabila na utamaduni umepewa kipaumbele. Kiongozi huendesha miradi katika kabila lake na kutupa makabila mengine katika kaburi la sahau bila kuwajali kuwa walimpa kura zao. Siasa imefanya vijana wengi kuacha shule na kufuata viongozi ili kuwapa hela. Katika harakati hizi za kutafuta pesa, vijana wengi huumia na wengine hata kuaga dunia. Vijana hawa wanatumiwa na viongozi kuendesha miradi yao ya kuwanufaisha wenyewe. Utamaduni nao umeathiri sana maendeleo kwani tamaduni zingine haziambatani, zimegawanyika kama ardhi na mbingu. Wanasiasa nao wanafuatilia haya husan wanatumia hii kama mbinu ya kupata kura. Vita ipo baina ya wakenya kwani wanasiasa hawapeani huduma inayofaa kwa wananchi. Wanapotaka kura, wanatupa ahadi za uwongo wakiahidi maendeleo katika nchi yetu. Nao wahenga na wahenguzi hawakulamba kisogo waliposema kuwa ahadi ni deni.
Nchi yetu ilipata uhuru lini
{ "text": [ "mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tatu" ] }
3647_swa
SIASA NA MIGAWANYIKO Nchi yetu inaitwa Kenya. Kenya inapatikana ndani ya Afrika. Nchi yetu iliupata uhuru wake mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tatu. Wakati huo, hatukuwa na uongozi wa aina yoyote isipokuwa ule wa waguberu, waliona Kenya kama nchi iliyovamiwa na umaskini kama vile nzinge wavamiavyo shamba la mihogo. Raha kwa wengi ilikuwa neno lililotiwa kwenye kamusi kimakosa. Wakati huo waguberu walikuwa na uongozi, uhuru kwetu ulikuwa fumbo lililohitaji kufumbuliwa, basi tuliungana mikono kwani kidole kimoja hakivunji chawa. Viongozi tuliokuwa nao hawakufurahishwa namna tulivyoelekezwa na wakoloni kwani tungeanya kazi mchana kutwa na usiku kucha na kulipwa njenje zisizoweza kukidhi mahitaji yetu.Waguberu hawa walipoingia nchini, walichukua shamba zote zenye matapo bora huku wakitutupa kwenye shamba zisizo na rutuba. Chakula ikaanza kuadimika mithili ya mzizi ya mawe. Dau yetu iliyumbayumba na kuzama katika bahari ya umaskini iliyojaa mawimbi na matatizo. Ingawa kila mmoja alijikaza kisabuni kila kucheo kupanda ng kupalilia. yote yaliambulia patupu. Hii ikaanza kutuweka katika hali ya kutatanisha na kuwategemea hawa maguberu. Tulipogundua kuwa wangeaga dunia, hadi harusi zilianza kupangiwa. Sote tulielewa fika kwamba maguberu hawa walikuwa na ala za vita za hali ya juu. Wanajamii walitafuta mbinu zote na kupata ile ya ‘Hit and run.’ Tuliwaangamiza wakoloni hawa mmoja baada ya mwingine. Hivi tuliweza kupunguza idadi yao na kupata mashamba yetu. Tuliishi kwa furaha, yaani maisha ya Sultan bi jerere, tukipata mavuno mema. Maguberu waliobaki walirejea nchini mwao. Hivyo ndivyo tulivyopata uhuru wetu. Hapo, wakenya wote waliungana na kumchagua Mzee Jomo Kenyatta kama rais wa nchi yetu. Kwa vile alifanya juhudi zote kuhakikisha tumepata uhuru. Mzee Jomo Kenyatta aliongoza nchi yetu kwa muda wa miaka kumi na tano na kisha akaaga dunia mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nane. Hayati Daniel Moi alichukuwa jukwaa na kutuongoza kwa muda wa miaka ishirini na nne. Hapo ndipo uongozi ulirejea nchini mwetu. Sasa kila atakaye kuwa kiongozi anaweza kuwa. Humu nchini tuna uchaguzi baada ya miaka mitano. Rais wetu anaitwa Uhuru Muigai Kenyatta. Siasa imejulikana kote kama pesa. Tunuendeleza shuleni na hata katika jamii. Tunazo chama mbalimbali kama vile Jubilee, ODM na kadhalika. Siasa zimekuwa mchezo wa paka na panya humu nchini. Kiongozi anaweza fanya atakacho bila kupewa masharti. Ukabila na utamaduni umepewa kipaumbele. Kiongozi huendesha miradi katika kabila lake na kutupa makabila mengine katika kaburi la sahau bila kuwajali kuwa walimpa kura zao. Siasa imefanya vijana wengi kuacha shule na kufuata viongozi ili kuwapa hela. Katika harakati hizi za kutafuta pesa, vijana wengi huumia na wengine hata kuaga dunia. Vijana hawa wanatumiwa na viongozi kuendesha miradi yao ya kuwanufaisha wenyewe. Utamaduni nao umeathiri sana maendeleo kwani tamaduni zingine haziambatani, zimegawanyika kama ardhi na mbingu. Wanasiasa nao wanafuatilia haya husan wanatumia hii kama mbinu ya kupata kura. Vita ipo baina ya wakenya kwani wanasiasa hawapeani huduma inayofaa kwa wananchi. Wanapotaka kura, wanatupa ahadi za uwongo wakiahidi maendeleo katika nchi yetu. Nao wahenga na wahenguzi hawakulamba kisogo waliposema kuwa ahadi ni deni.
Kina nani walichukua shamba zote
{ "text": [ "waguberu" ] }
3647_swa
SIASA NA MIGAWANYIKO Nchi yetu inaitwa Kenya. Kenya inapatikana ndani ya Afrika. Nchi yetu iliupata uhuru wake mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tatu. Wakati huo, hatukuwa na uongozi wa aina yoyote isipokuwa ule wa waguberu, waliona Kenya kama nchi iliyovamiwa na umaskini kama vile nzinge wavamiavyo shamba la mihogo. Raha kwa wengi ilikuwa neno lililotiwa kwenye kamusi kimakosa. Wakati huo waguberu walikuwa na uongozi, uhuru kwetu ulikuwa fumbo lililohitaji kufumbuliwa, basi tuliungana mikono kwani kidole kimoja hakivunji chawa. Viongozi tuliokuwa nao hawakufurahishwa namna tulivyoelekezwa na wakoloni kwani tungeanya kazi mchana kutwa na usiku kucha na kulipwa njenje zisizoweza kukidhi mahitaji yetu.Waguberu hawa walipoingia nchini, walichukua shamba zote zenye matapo bora huku wakitutupa kwenye shamba zisizo na rutuba. Chakula ikaanza kuadimika mithili ya mzizi ya mawe. Dau yetu iliyumbayumba na kuzama katika bahari ya umaskini iliyojaa mawimbi na matatizo. Ingawa kila mmoja alijikaza kisabuni kila kucheo kupanda ng kupalilia. yote yaliambulia patupu. Hii ikaanza kutuweka katika hali ya kutatanisha na kuwategemea hawa maguberu. Tulipogundua kuwa wangeaga dunia, hadi harusi zilianza kupangiwa. Sote tulielewa fika kwamba maguberu hawa walikuwa na ala za vita za hali ya juu. Wanajamii walitafuta mbinu zote na kupata ile ya ‘Hit and run.’ Tuliwaangamiza wakoloni hawa mmoja baada ya mwingine. Hivi tuliweza kupunguza idadi yao na kupata mashamba yetu. Tuliishi kwa furaha, yaani maisha ya Sultan bi jerere, tukipata mavuno mema. Maguberu waliobaki walirejea nchini mwao. Hivyo ndivyo tulivyopata uhuru wetu. Hapo, wakenya wote waliungana na kumchagua Mzee Jomo Kenyatta kama rais wa nchi yetu. Kwa vile alifanya juhudi zote kuhakikisha tumepata uhuru. Mzee Jomo Kenyatta aliongoza nchi yetu kwa muda wa miaka kumi na tano na kisha akaaga dunia mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nane. Hayati Daniel Moi alichukuwa jukwaa na kutuongoza kwa muda wa miaka ishirini na nne. Hapo ndipo uongozi ulirejea nchini mwetu. Sasa kila atakaye kuwa kiongozi anaweza kuwa. Humu nchini tuna uchaguzi baada ya miaka mitano. Rais wetu anaitwa Uhuru Muigai Kenyatta. Siasa imejulikana kote kama pesa. Tunuendeleza shuleni na hata katika jamii. Tunazo chama mbalimbali kama vile Jubilee, ODM na kadhalika. Siasa zimekuwa mchezo wa paka na panya humu nchini. Kiongozi anaweza fanya atakacho bila kupewa masharti. Ukabila na utamaduni umepewa kipaumbele. Kiongozi huendesha miradi katika kabila lake na kutupa makabila mengine katika kaburi la sahau bila kuwajali kuwa walimpa kura zao. Siasa imefanya vijana wengi kuacha shule na kufuata viongozi ili kuwapa hela. Katika harakati hizi za kutafuta pesa, vijana wengi huumia na wengine hata kuaga dunia. Vijana hawa wanatumiwa na viongozi kuendesha miradi yao ya kuwanufaisha wenyewe. Utamaduni nao umeathiri sana maendeleo kwani tamaduni zingine haziambatani, zimegawanyika kama ardhi na mbingu. Wanasiasa nao wanafuatilia haya husan wanatumia hii kama mbinu ya kupata kura. Vita ipo baina ya wakenya kwani wanasiasa hawapeani huduma inayofaa kwa wananchi. Wanapotaka kura, wanatupa ahadi za uwongo wakiahidi maendeleo katika nchi yetu. Nao wahenga na wahenguzi hawakulamba kisogo waliposema kuwa ahadi ni deni.
Wakenya walimchagua nani kama Rais
{ "text": [ "Mzee Jomo Kenyatta" ] }
3647_swa
SIASA NA MIGAWANYIKO Nchi yetu inaitwa Kenya. Kenya inapatikana ndani ya Afrika. Nchi yetu iliupata uhuru wake mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tatu. Wakati huo, hatukuwa na uongozi wa aina yoyote isipokuwa ule wa waguberu, waliona Kenya kama nchi iliyovamiwa na umaskini kama vile nzinge wavamiavyo shamba la mihogo. Raha kwa wengi ilikuwa neno lililotiwa kwenye kamusi kimakosa. Wakati huo waguberu walikuwa na uongozi, uhuru kwetu ulikuwa fumbo lililohitaji kufumbuliwa, basi tuliungana mikono kwani kidole kimoja hakivunji chawa. Viongozi tuliokuwa nao hawakufurahishwa namna tulivyoelekezwa na wakoloni kwani tungeanya kazi mchana kutwa na usiku kucha na kulipwa njenje zisizoweza kukidhi mahitaji yetu.Waguberu hawa walipoingia nchini, walichukua shamba zote zenye matapo bora huku wakitutupa kwenye shamba zisizo na rutuba. Chakula ikaanza kuadimika mithili ya mzizi ya mawe. Dau yetu iliyumbayumba na kuzama katika bahari ya umaskini iliyojaa mawimbi na matatizo. Ingawa kila mmoja alijikaza kisabuni kila kucheo kupanda ng kupalilia. yote yaliambulia patupu. Hii ikaanza kutuweka katika hali ya kutatanisha na kuwategemea hawa maguberu. Tulipogundua kuwa wangeaga dunia, hadi harusi zilianza kupangiwa. Sote tulielewa fika kwamba maguberu hawa walikuwa na ala za vita za hali ya juu. Wanajamii walitafuta mbinu zote na kupata ile ya ‘Hit and run.’ Tuliwaangamiza wakoloni hawa mmoja baada ya mwingine. Hivi tuliweza kupunguza idadi yao na kupata mashamba yetu. Tuliishi kwa furaha, yaani maisha ya Sultan bi jerere, tukipata mavuno mema. Maguberu waliobaki walirejea nchini mwao. Hivyo ndivyo tulivyopata uhuru wetu. Hapo, wakenya wote waliungana na kumchagua Mzee Jomo Kenyatta kama rais wa nchi yetu. Kwa vile alifanya juhudi zote kuhakikisha tumepata uhuru. Mzee Jomo Kenyatta aliongoza nchi yetu kwa muda wa miaka kumi na tano na kisha akaaga dunia mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nane. Hayati Daniel Moi alichukuwa jukwaa na kutuongoza kwa muda wa miaka ishirini na nne. Hapo ndipo uongozi ulirejea nchini mwetu. Sasa kila atakaye kuwa kiongozi anaweza kuwa. Humu nchini tuna uchaguzi baada ya miaka mitano. Rais wetu anaitwa Uhuru Muigai Kenyatta. Siasa imejulikana kote kama pesa. Tunuendeleza shuleni na hata katika jamii. Tunazo chama mbalimbali kama vile Jubilee, ODM na kadhalika. Siasa zimekuwa mchezo wa paka na panya humu nchini. Kiongozi anaweza fanya atakacho bila kupewa masharti. Ukabila na utamaduni umepewa kipaumbele. Kiongozi huendesha miradi katika kabila lake na kutupa makabila mengine katika kaburi la sahau bila kuwajali kuwa walimpa kura zao. Siasa imefanya vijana wengi kuacha shule na kufuata viongozi ili kuwapa hela. Katika harakati hizi za kutafuta pesa, vijana wengi huumia na wengine hata kuaga dunia. Vijana hawa wanatumiwa na viongozi kuendesha miradi yao ya kuwanufaisha wenyewe. Utamaduni nao umeathiri sana maendeleo kwani tamaduni zingine haziambatani, zimegawanyika kama ardhi na mbingu. Wanasiasa nao wanafuatilia haya husan wanatumia hii kama mbinu ya kupata kura. Vita ipo baina ya wakenya kwani wanasiasa hawapeani huduma inayofaa kwa wananchi. Wanapotaka kura, wanatupa ahadi za uwongo wakiahidi maendeleo katika nchi yetu. Nao wahenga na wahenguzi hawakulamba kisogo waliposema kuwa ahadi ni deni.
Mbona waliungana mkono
{ "text": [ "kwani kidole kimoja hakivunji chawa" ] }
3648_swa
FIKIRINI Mimi binafsi nilizaliwa katika família ambayo ilijaa ukata uliokithiri mipaka. Baba alikuwa akifanya kazi kama bawabu katika shule jirani ya Bidii. Mama naye alikuwa akafanya vibarua katika mashamba ya wakwasi. Ilikuwa kazi za bora mkono uendo kinywani. Madhila tuliyoyapata hayakuweza kuelezeka hata kwa chapisho la kurasa elfu. Tulikuwa familia ya watoto sita bila baba na mama. Hakuna hata mmoja wetu aliyediriki kuliona lango la shule. Fikiría wewe, ikiwa chakula kilikuwa balaa, tungetoa wapi karo ya kulipa shuleni? Aushi yetu ilijaa dhiki tele na mara baba akaanza kuonekana mdhaifu. Ghafla bin vu, bila jicho la kupepesa, abu alipiga dunia teke. Nilishikwa na jitimai si jitimai. Majonzi si majonzi. Nilijawa na uzito usiolezeka moyoni, lakini yakija yapokee na lisilo budi hubidi. Nilipiga moyo konde huku nikijipa moyo kuwa kalamu ya Mungu haina makosa. Baada ya siku ayami, nina aliyeonekana mchangamfu na mwenye bashasha siku za mwanzo, alianza kuonekana mnyonge pia. Haikuwa ibra kumpata mama akilia ama mwenye mawazo tele. Hili lilitutia kiwewe lakini tulijikaza kisabuni huku tukiamini kuwa Mungu hamwachi mmja wake. Tulianza kukosa tumaini mama alipoanza kunyong'onyea zaidi. Kabla ya majuma mawali, mama alimfuata mumewe kuko huko ahera. Yalinifika ya kunifika Sikuamini tulibaki yatima, lakini lisilo budi hubidi na hakuna kapa lisilo na usubi. Mimi kama kitinda mimba, nilipatwa na madhila si haba. Umbu zangu walitoka na kujitafutia cha kutia tumboni huku mimi nikabaki nyumbani. Kweli mnyonge hana lake na dau la mnyonge haliendi joshi. Niliamua kukubali kashfa hii ya uhawinde na kujikabili kwa ulimwengu na malimwengu. Niliondoka nyumbani huku sijui niendako. Nilihamia katika mtaa wa bora uhai jijini ili kujaribu maisha. Siku moja, tulipokuwa katika shughuli zetu za uporaji mali katika jumba flani pasi na kujua kuwa siku yetu ya arubaini ilikuwa imewadia, kulitakea mtafaruku fulani kati ya polisi na marafiki zangu waliopatikana. Kwa nyota ya jaha, nilifanikiwa kukwepa mtego huu. Wawili kati yao walipokelewa kwa mitutu ya bunduki huku wakigaragara chini kwa uchungu. Mauko ya waja hawa yalinitumausha mno na nikakata kauli kutorejea tena kwenye genge hili kwani aliyeumwa na nyoka akiona ukoko hushtuka. Nilimwomba Mterehemezi anijalie síku ambayo ningebadilisha maisha yangu na ya umbu zangu. Baada ya siku ayami, alitokea mja mwenye utu ambaye alikuja kwa msaada wetu. Alikuwa mja wa Mungu ambaye alitaka kutuondoa kabisa kwenye kadhia hii. Alituahidi kutupeleka katika shule ya Jiinue ambapo tungefadhiliwa na shirika la imani. Tulipata usajili na hatimaye tukajiunga na wanafunzi wenzetu mayatima. Tulipigana pambaja na kujipa moyo huku tukiahidi kusaidiana kwa hali na mali. Nilitia bidii za mchwa shuleni humo na kwa kuwa jitihada huvuta heri, niliibuka mwanafunzi wa kwanza kwenye mtihani wa kitaifa. Nilipelekwa katika shule ya msingi ya Jitihada ambapo wembe ulikuwa ni ule ule. Hatimaye nilifanikiwa maishani na kuajiriwa katika kampuni fulani ya kiserikali kama mhazili Niliwatafuta ndugu zangu na tukaanza kuyajenga maisha yetu upya. Ingawa maisha yalibadilika, tulikuwa na majonzi kwani mavi ya kale hayaachi kunuka na mwenye kovu usidhani kapona. Tulikata shauri kuyazika yaliyopita kwani tuliamini kuwa yaliyopita si ndwele. Tulipanga kujenga jumba jipya pamoja na kufyeka vifusi vya makaburi ya wazazi wetu. Baada ya miaka hii yote yenye maudhi na mateso, hatimaye tuliibuka magwiji. Kweli, hakuna baya lisilo na zuri na Mungu si mzee mfaki.
Baba alifanya kazi kama nani
{ "text": [ "Bawabu" ] }
3648_swa
FIKIRINI Mimi binafsi nilizaliwa katika família ambayo ilijaa ukata uliokithiri mipaka. Baba alikuwa akifanya kazi kama bawabu katika shule jirani ya Bidii. Mama naye alikuwa akafanya vibarua katika mashamba ya wakwasi. Ilikuwa kazi za bora mkono uendo kinywani. Madhila tuliyoyapata hayakuweza kuelezeka hata kwa chapisho la kurasa elfu. Tulikuwa familia ya watoto sita bila baba na mama. Hakuna hata mmoja wetu aliyediriki kuliona lango la shule. Fikiría wewe, ikiwa chakula kilikuwa balaa, tungetoa wapi karo ya kulipa shuleni? Aushi yetu ilijaa dhiki tele na mara baba akaanza kuonekana mdhaifu. Ghafla bin vu, bila jicho la kupepesa, abu alipiga dunia teke. Nilishikwa na jitimai si jitimai. Majonzi si majonzi. Nilijawa na uzito usiolezeka moyoni, lakini yakija yapokee na lisilo budi hubidi. Nilipiga moyo konde huku nikijipa moyo kuwa kalamu ya Mungu haina makosa. Baada ya siku ayami, nina aliyeonekana mchangamfu na mwenye bashasha siku za mwanzo, alianza kuonekana mnyonge pia. Haikuwa ibra kumpata mama akilia ama mwenye mawazo tele. Hili lilitutia kiwewe lakini tulijikaza kisabuni huku tukiamini kuwa Mungu hamwachi mmja wake. Tulianza kukosa tumaini mama alipoanza kunyong'onyea zaidi. Kabla ya majuma mawali, mama alimfuata mumewe kuko huko ahera. Yalinifika ya kunifika Sikuamini tulibaki yatima, lakini lisilo budi hubidi na hakuna kapa lisilo na usubi. Mimi kama kitinda mimba, nilipatwa na madhila si haba. Umbu zangu walitoka na kujitafutia cha kutia tumboni huku mimi nikabaki nyumbani. Kweli mnyonge hana lake na dau la mnyonge haliendi joshi. Niliamua kukubali kashfa hii ya uhawinde na kujikabili kwa ulimwengu na malimwengu. Niliondoka nyumbani huku sijui niendako. Nilihamia katika mtaa wa bora uhai jijini ili kujaribu maisha. Siku moja, tulipokuwa katika shughuli zetu za uporaji mali katika jumba flani pasi na kujua kuwa siku yetu ya arubaini ilikuwa imewadia, kulitakea mtafaruku fulani kati ya polisi na marafiki zangu waliopatikana. Kwa nyota ya jaha, nilifanikiwa kukwepa mtego huu. Wawili kati yao walipokelewa kwa mitutu ya bunduki huku wakigaragara chini kwa uchungu. Mauko ya waja hawa yalinitumausha mno na nikakata kauli kutorejea tena kwenye genge hili kwani aliyeumwa na nyoka akiona ukoko hushtuka. Nilimwomba Mterehemezi anijalie síku ambayo ningebadilisha maisha yangu na ya umbu zangu. Baada ya siku ayami, alitokea mja mwenye utu ambaye alikuja kwa msaada wetu. Alikuwa mja wa Mungu ambaye alitaka kutuondoa kabisa kwenye kadhia hii. Alituahidi kutupeleka katika shule ya Jiinue ambapo tungefadhiliwa na shirika la imani. Tulipata usajili na hatimaye tukajiunga na wanafunzi wenzetu mayatima. Tulipigana pambaja na kujipa moyo huku tukiahidi kusaidiana kwa hali na mali. Nilitia bidii za mchwa shuleni humo na kwa kuwa jitihada huvuta heri, niliibuka mwanafunzi wa kwanza kwenye mtihani wa kitaifa. Nilipelekwa katika shule ya msingi ya Jitihada ambapo wembe ulikuwa ni ule ule. Hatimaye nilifanikiwa maishani na kuajiriwa katika kampuni fulani ya kiserikali kama mhazili Niliwatafuta ndugu zangu na tukaanza kuyajenga maisha yetu upya. Ingawa maisha yalibadilika, tulikuwa na majonzi kwani mavi ya kale hayaachi kunuka na mwenye kovu usidhani kapona. Tulikata shauri kuyazika yaliyopita kwani tuliamini kuwa yaliyopita si ndwele. Tulipanga kujenga jumba jipya pamoja na kufyeka vifusi vya makaburi ya wazazi wetu. Baada ya miaka hii yote yenye maudhi na mateso, hatimaye tuliibuka magwiji. Kweli, hakuna baya lisilo na zuri na Mungu si mzee mfaki.
Familia ya msimulizi ilikuwa na watoto wangapi
{ "text": [ "Sita" ] }
3648_swa
FIKIRINI Mimi binafsi nilizaliwa katika família ambayo ilijaa ukata uliokithiri mipaka. Baba alikuwa akifanya kazi kama bawabu katika shule jirani ya Bidii. Mama naye alikuwa akafanya vibarua katika mashamba ya wakwasi. Ilikuwa kazi za bora mkono uendo kinywani. Madhila tuliyoyapata hayakuweza kuelezeka hata kwa chapisho la kurasa elfu. Tulikuwa familia ya watoto sita bila baba na mama. Hakuna hata mmoja wetu aliyediriki kuliona lango la shule. Fikiría wewe, ikiwa chakula kilikuwa balaa, tungetoa wapi karo ya kulipa shuleni? Aushi yetu ilijaa dhiki tele na mara baba akaanza kuonekana mdhaifu. Ghafla bin vu, bila jicho la kupepesa, abu alipiga dunia teke. Nilishikwa na jitimai si jitimai. Majonzi si majonzi. Nilijawa na uzito usiolezeka moyoni, lakini yakija yapokee na lisilo budi hubidi. Nilipiga moyo konde huku nikijipa moyo kuwa kalamu ya Mungu haina makosa. Baada ya siku ayami, nina aliyeonekana mchangamfu na mwenye bashasha siku za mwanzo, alianza kuonekana mnyonge pia. Haikuwa ibra kumpata mama akilia ama mwenye mawazo tele. Hili lilitutia kiwewe lakini tulijikaza kisabuni huku tukiamini kuwa Mungu hamwachi mmja wake. Tulianza kukosa tumaini mama alipoanza kunyong'onyea zaidi. Kabla ya majuma mawali, mama alimfuata mumewe kuko huko ahera. Yalinifika ya kunifika Sikuamini tulibaki yatima, lakini lisilo budi hubidi na hakuna kapa lisilo na usubi. Mimi kama kitinda mimba, nilipatwa na madhila si haba. Umbu zangu walitoka na kujitafutia cha kutia tumboni huku mimi nikabaki nyumbani. Kweli mnyonge hana lake na dau la mnyonge haliendi joshi. Niliamua kukubali kashfa hii ya uhawinde na kujikabili kwa ulimwengu na malimwengu. Niliondoka nyumbani huku sijui niendako. Nilihamia katika mtaa wa bora uhai jijini ili kujaribu maisha. Siku moja, tulipokuwa katika shughuli zetu za uporaji mali katika jumba flani pasi na kujua kuwa siku yetu ya arubaini ilikuwa imewadia, kulitakea mtafaruku fulani kati ya polisi na marafiki zangu waliopatikana. Kwa nyota ya jaha, nilifanikiwa kukwepa mtego huu. Wawili kati yao walipokelewa kwa mitutu ya bunduki huku wakigaragara chini kwa uchungu. Mauko ya waja hawa yalinitumausha mno na nikakata kauli kutorejea tena kwenye genge hili kwani aliyeumwa na nyoka akiona ukoko hushtuka. Nilimwomba Mterehemezi anijalie síku ambayo ningebadilisha maisha yangu na ya umbu zangu. Baada ya siku ayami, alitokea mja mwenye utu ambaye alikuja kwa msaada wetu. Alikuwa mja wa Mungu ambaye alitaka kutuondoa kabisa kwenye kadhia hii. Alituahidi kutupeleka katika shule ya Jiinue ambapo tungefadhiliwa na shirika la imani. Tulipata usajili na hatimaye tukajiunga na wanafunzi wenzetu mayatima. Tulipigana pambaja na kujipa moyo huku tukiahidi kusaidiana kwa hali na mali. Nilitia bidii za mchwa shuleni humo na kwa kuwa jitihada huvuta heri, niliibuka mwanafunzi wa kwanza kwenye mtihani wa kitaifa. Nilipelekwa katika shule ya msingi ya Jitihada ambapo wembe ulikuwa ni ule ule. Hatimaye nilifanikiwa maishani na kuajiriwa katika kampuni fulani ya kiserikali kama mhazili Niliwatafuta ndugu zangu na tukaanza kuyajenga maisha yetu upya. Ingawa maisha yalibadilika, tulikuwa na majonzi kwani mavi ya kale hayaachi kunuka na mwenye kovu usidhani kapona. Tulikata shauri kuyazika yaliyopita kwani tuliamini kuwa yaliyopita si ndwele. Tulipanga kujenga jumba jipya pamoja na kufyeka vifusi vya makaburi ya wazazi wetu. Baada ya miaka hii yote yenye maudhi na mateso, hatimaye tuliibuka magwiji. Kweli, hakuna baya lisilo na zuri na Mungu si mzee mfaki.
Msimulizi alipoodoka alihamia wapi
{ "text": [ "Mtaa wa bora uhai" ] }
3648_swa
FIKIRINI Mimi binafsi nilizaliwa katika família ambayo ilijaa ukata uliokithiri mipaka. Baba alikuwa akifanya kazi kama bawabu katika shule jirani ya Bidii. Mama naye alikuwa akafanya vibarua katika mashamba ya wakwasi. Ilikuwa kazi za bora mkono uendo kinywani. Madhila tuliyoyapata hayakuweza kuelezeka hata kwa chapisho la kurasa elfu. Tulikuwa familia ya watoto sita bila baba na mama. Hakuna hata mmoja wetu aliyediriki kuliona lango la shule. Fikiría wewe, ikiwa chakula kilikuwa balaa, tungetoa wapi karo ya kulipa shuleni? Aushi yetu ilijaa dhiki tele na mara baba akaanza kuonekana mdhaifu. Ghafla bin vu, bila jicho la kupepesa, abu alipiga dunia teke. Nilishikwa na jitimai si jitimai. Majonzi si majonzi. Nilijawa na uzito usiolezeka moyoni, lakini yakija yapokee na lisilo budi hubidi. Nilipiga moyo konde huku nikijipa moyo kuwa kalamu ya Mungu haina makosa. Baada ya siku ayami, nina aliyeonekana mchangamfu na mwenye bashasha siku za mwanzo, alianza kuonekana mnyonge pia. Haikuwa ibra kumpata mama akilia ama mwenye mawazo tele. Hili lilitutia kiwewe lakini tulijikaza kisabuni huku tukiamini kuwa Mungu hamwachi mmja wake. Tulianza kukosa tumaini mama alipoanza kunyong'onyea zaidi. Kabla ya majuma mawali, mama alimfuata mumewe kuko huko ahera. Yalinifika ya kunifika Sikuamini tulibaki yatima, lakini lisilo budi hubidi na hakuna kapa lisilo na usubi. Mimi kama kitinda mimba, nilipatwa na madhila si haba. Umbu zangu walitoka na kujitafutia cha kutia tumboni huku mimi nikabaki nyumbani. Kweli mnyonge hana lake na dau la mnyonge haliendi joshi. Niliamua kukubali kashfa hii ya uhawinde na kujikabili kwa ulimwengu na malimwengu. Niliondoka nyumbani huku sijui niendako. Nilihamia katika mtaa wa bora uhai jijini ili kujaribu maisha. Siku moja, tulipokuwa katika shughuli zetu za uporaji mali katika jumba flani pasi na kujua kuwa siku yetu ya arubaini ilikuwa imewadia, kulitakea mtafaruku fulani kati ya polisi na marafiki zangu waliopatikana. Kwa nyota ya jaha, nilifanikiwa kukwepa mtego huu. Wawili kati yao walipokelewa kwa mitutu ya bunduki huku wakigaragara chini kwa uchungu. Mauko ya waja hawa yalinitumausha mno na nikakata kauli kutorejea tena kwenye genge hili kwani aliyeumwa na nyoka akiona ukoko hushtuka. Nilimwomba Mterehemezi anijalie síku ambayo ningebadilisha maisha yangu na ya umbu zangu. Baada ya siku ayami, alitokea mja mwenye utu ambaye alikuja kwa msaada wetu. Alikuwa mja wa Mungu ambaye alitaka kutuondoa kabisa kwenye kadhia hii. Alituahidi kutupeleka katika shule ya Jiinue ambapo tungefadhiliwa na shirika la imani. Tulipata usajili na hatimaye tukajiunga na wanafunzi wenzetu mayatima. Tulipigana pambaja na kujipa moyo huku tukiahidi kusaidiana kwa hali na mali. Nilitia bidii za mchwa shuleni humo na kwa kuwa jitihada huvuta heri, niliibuka mwanafunzi wa kwanza kwenye mtihani wa kitaifa. Nilipelekwa katika shule ya msingi ya Jitihada ambapo wembe ulikuwa ni ule ule. Hatimaye nilifanikiwa maishani na kuajiriwa katika kampuni fulani ya kiserikali kama mhazili Niliwatafuta ndugu zangu na tukaanza kuyajenga maisha yetu upya. Ingawa maisha yalibadilika, tulikuwa na majonzi kwani mavi ya kale hayaachi kunuka na mwenye kovu usidhani kapona. Tulikata shauri kuyazika yaliyopita kwani tuliamini kuwa yaliyopita si ndwele. Tulipanga kujenga jumba jipya pamoja na kufyeka vifusi vya makaburi ya wazazi wetu. Baada ya miaka hii yote yenye maudhi na mateso, hatimaye tuliibuka magwiji. Kweli, hakuna baya lisilo na zuri na Mungu si mzee mfaki.
Msimulizi alizaliwa katika familia ipi
{ "text": [ "Iliojaa ukata uliokithiri zaidi" ] }
3648_swa
FIKIRINI Mimi binafsi nilizaliwa katika família ambayo ilijaa ukata uliokithiri mipaka. Baba alikuwa akifanya kazi kama bawabu katika shule jirani ya Bidii. Mama naye alikuwa akafanya vibarua katika mashamba ya wakwasi. Ilikuwa kazi za bora mkono uendo kinywani. Madhila tuliyoyapata hayakuweza kuelezeka hata kwa chapisho la kurasa elfu. Tulikuwa familia ya watoto sita bila baba na mama. Hakuna hata mmoja wetu aliyediriki kuliona lango la shule. Fikiría wewe, ikiwa chakula kilikuwa balaa, tungetoa wapi karo ya kulipa shuleni? Aushi yetu ilijaa dhiki tele na mara baba akaanza kuonekana mdhaifu. Ghafla bin vu, bila jicho la kupepesa, abu alipiga dunia teke. Nilishikwa na jitimai si jitimai. Majonzi si majonzi. Nilijawa na uzito usiolezeka moyoni, lakini yakija yapokee na lisilo budi hubidi. Nilipiga moyo konde huku nikijipa moyo kuwa kalamu ya Mungu haina makosa. Baada ya siku ayami, nina aliyeonekana mchangamfu na mwenye bashasha siku za mwanzo, alianza kuonekana mnyonge pia. Haikuwa ibra kumpata mama akilia ama mwenye mawazo tele. Hili lilitutia kiwewe lakini tulijikaza kisabuni huku tukiamini kuwa Mungu hamwachi mmja wake. Tulianza kukosa tumaini mama alipoanza kunyong'onyea zaidi. Kabla ya majuma mawali, mama alimfuata mumewe kuko huko ahera. Yalinifika ya kunifika Sikuamini tulibaki yatima, lakini lisilo budi hubidi na hakuna kapa lisilo na usubi. Mimi kama kitinda mimba, nilipatwa na madhila si haba. Umbu zangu walitoka na kujitafutia cha kutia tumboni huku mimi nikabaki nyumbani. Kweli mnyonge hana lake na dau la mnyonge haliendi joshi. Niliamua kukubali kashfa hii ya uhawinde na kujikabili kwa ulimwengu na malimwengu. Niliondoka nyumbani huku sijui niendako. Nilihamia katika mtaa wa bora uhai jijini ili kujaribu maisha. Siku moja, tulipokuwa katika shughuli zetu za uporaji mali katika jumba flani pasi na kujua kuwa siku yetu ya arubaini ilikuwa imewadia, kulitakea mtafaruku fulani kati ya polisi na marafiki zangu waliopatikana. Kwa nyota ya jaha, nilifanikiwa kukwepa mtego huu. Wawili kati yao walipokelewa kwa mitutu ya bunduki huku wakigaragara chini kwa uchungu. Mauko ya waja hawa yalinitumausha mno na nikakata kauli kutorejea tena kwenye genge hili kwani aliyeumwa na nyoka akiona ukoko hushtuka. Nilimwomba Mterehemezi anijalie síku ambayo ningebadilisha maisha yangu na ya umbu zangu. Baada ya siku ayami, alitokea mja mwenye utu ambaye alikuja kwa msaada wetu. Alikuwa mja wa Mungu ambaye alitaka kutuondoa kabisa kwenye kadhia hii. Alituahidi kutupeleka katika shule ya Jiinue ambapo tungefadhiliwa na shirika la imani. Tulipata usajili na hatimaye tukajiunga na wanafunzi wenzetu mayatima. Tulipigana pambaja na kujipa moyo huku tukiahidi kusaidiana kwa hali na mali. Nilitia bidii za mchwa shuleni humo na kwa kuwa jitihada huvuta heri, niliibuka mwanafunzi wa kwanza kwenye mtihani wa kitaifa. Nilipelekwa katika shule ya msingi ya Jitihada ambapo wembe ulikuwa ni ule ule. Hatimaye nilifanikiwa maishani na kuajiriwa katika kampuni fulani ya kiserikali kama mhazili Niliwatafuta ndugu zangu na tukaanza kuyajenga maisha yetu upya. Ingawa maisha yalibadilika, tulikuwa na majonzi kwani mavi ya kale hayaachi kunuka na mwenye kovu usidhani kapona. Tulikata shauri kuyazika yaliyopita kwani tuliamini kuwa yaliyopita si ndwele. Tulipanga kujenga jumba jipya pamoja na kufyeka vifusi vya makaburi ya wazazi wetu. Baada ya miaka hii yote yenye maudhi na mateso, hatimaye tuliibuka magwiji. Kweli, hakuna baya lisilo na zuri na Mungu si mzee mfaki.
Baada ya msimulizi kuibuka wa kwanza na kufanikiwa katika masomo yake aliajiriwa kama nani
{ "text": [ "Mhazili" ] }
3651_swa
MAHOJIANO BAINA YA KACHERO NA MSHUKIWA (Katika ofisi ya mkuu wa polisi, mwendo wa saa tatu asubuhi mtu mmoja ameshikwa na kutiwa mbaroni baada ya duka moja la kijumuia kuvamiwa na wezi. Majivo, ambaye ni mshukiwa, anaingizwa katika ofisi ya mkuu wa polisi akiwa na pingu mkononi) Mkuu wa polisi : (Akimtazama Majivo) Karibu ukae kitini. Majivo: (Akitetemeka) Asante sana bwana Afande. Mkuu wa polisi: (Akiandika kwenye kitabu) Niambie majina yako na mahali unapotoka Majivo: Majina yangu ni John Majivo, na ninatoka katika mtaa wa Dongo Poromoka Mkuu wa polisi : Je wafahamu sababu iliyo kuleta hapa? Majivo: (kwa uoga) Hapana bwana Afande, mimi nilishikwa tu nikitoka dukani. Mkuu wa polisi: Je, mwendo wa saa kumi na mbili ulikuwa wapi? Majivo: Nilikuwa nikitoka kazini. Mkuu wa polisi : Endelea kueleza kilichofanyika Majivo: Nilipofika kwenye steji, nilielekea moja kwa moja hadi kusenye kibanda kilichokuwa karibu kununua maziwa na mkate. Mkuu wa polisi : Ukiwa huko dukani ni kitu gani kilichofanyika? Majivo : (Akimtazama mkuu wa polisi) Nilinunua bidhaa zangu, nikalipa kisha nikaondoka Mkuu wa polisi: Hukushuhudia chochote asubuhi hiyo? Majivo: Nilipokuwa nikitoka kwenye duka, niliwaona watu wawili wakitoka kwenye duka jirani wakikimbia. Mkuu wa polisi: Ulipoona wakikimbia ulifanya nini? Majivo: Nami bila kuwaza nilianza kukimbia kuyanusuru maisha yangu. Mkuu wa polisi: (Akimtazama) Kati ya waliokuwa wakikimbia, ulimfahamu yeyote? Majivo: La hasha! Sikuweza kumtambua mtu yeyote. Mkuu wa polisi: Unaeza dhibitisha kuwa hukuwa mmoja wao? Majivo: (Akitetemeka) Kama nilivyokueleza Afande, hata sikujua kuwa kulikuwa na wezi katika duka hilo kwa maana mimi nilifika kwenye duka, nikanunua bidhaa zangu kisha nikaondoka. Mkuu wa polisi: (Akiandika) Una uhakika unayoniambia ni ya ukweli? Majivo: Nina uhakika Afande Mkuu wa polisi: (Akimnyoshea kidole) Kumbuka uliyo yasema yatatumika kama ushahidi wako utakapofika kortini. Majivo: Mimi kusema ukweli siwezi kusema habari na uongo,naomba, mniruhusu niende nyumbani. Mkuu wa polisi : Na tukikuachilia uta toroka? Majivo: La hasha! sitatoroka bwana Afande, kwa maana sina sababu ya kutoroka. Mkuu wa polisi: (Akitabasamu) Nafurahia kusikia hayo. Wakati wowote unaweza hitajika hapa kwa uchunguzi zaidi. Je utashirikiana nasi? Majivo: Nina uhakika nitafika hapa mpaka mtakapo maliza uchunguzi wenu. Mkuu wa polisi: (Akimuita mmoja wa polisi) Bwana Job, njoo hapa(Bwana Job anaingia na kuinamisha kichwa chini) Hebu mfugue huyu.(Majivo anatolewa pingu mikononi) Majivo: (Anatabasamu) Asante sana bwana Afande (Majivo anaondoka ofisini na kuelekea zake)
Mahojiano yalifanyika saa ngapi?
{ "text": [ "Saa tatu asubuhi" ] }
3651_swa
MAHOJIANO BAINA YA KACHERO NA MSHUKIWA (Katika ofisi ya mkuu wa polisi, mwendo wa saa tatu asubuhi mtu mmoja ameshikwa na kutiwa mbaroni baada ya duka moja la kijumuia kuvamiwa na wezi. Majivo, ambaye ni mshukiwa, anaingizwa katika ofisi ya mkuu wa polisi akiwa na pingu mkononi) Mkuu wa polisi : (Akimtazama Majivo) Karibu ukae kitini. Majivo: (Akitetemeka) Asante sana bwana Afande. Mkuu wa polisi: (Akiandika kwenye kitabu) Niambie majina yako na mahali unapotoka Majivo: Majina yangu ni John Majivo, na ninatoka katika mtaa wa Dongo Poromoka Mkuu wa polisi : Je wafahamu sababu iliyo kuleta hapa? Majivo: (kwa uoga) Hapana bwana Afande, mimi nilishikwa tu nikitoka dukani. Mkuu wa polisi: Je, mwendo wa saa kumi na mbili ulikuwa wapi? Majivo: Nilikuwa nikitoka kazini. Mkuu wa polisi : Endelea kueleza kilichofanyika Majivo: Nilipofika kwenye steji, nilielekea moja kwa moja hadi kusenye kibanda kilichokuwa karibu kununua maziwa na mkate. Mkuu wa polisi : Ukiwa huko dukani ni kitu gani kilichofanyika? Majivo : (Akimtazama mkuu wa polisi) Nilinunua bidhaa zangu, nikalipa kisha nikaondoka Mkuu wa polisi: Hukushuhudia chochote asubuhi hiyo? Majivo: Nilipokuwa nikitoka kwenye duka, niliwaona watu wawili wakitoka kwenye duka jirani wakikimbia. Mkuu wa polisi: Ulipoona wakikimbia ulifanya nini? Majivo: Nami bila kuwaza nilianza kukimbia kuyanusuru maisha yangu. Mkuu wa polisi: (Akimtazama) Kati ya waliokuwa wakikimbia, ulimfahamu yeyote? Majivo: La hasha! Sikuweza kumtambua mtu yeyote. Mkuu wa polisi: Unaeza dhibitisha kuwa hukuwa mmoja wao? Majivo: (Akitetemeka) Kama nilivyokueleza Afande, hata sikujua kuwa kulikuwa na wezi katika duka hilo kwa maana mimi nilifika kwenye duka, nikanunua bidhaa zangu kisha nikaondoka. Mkuu wa polisi: (Akiandika) Una uhakika unayoniambia ni ya ukweli? Majivo: Nina uhakika Afande Mkuu wa polisi: (Akimnyoshea kidole) Kumbuka uliyo yasema yatatumika kama ushahidi wako utakapofika kortini. Majivo: Mimi kusema ukweli siwezi kusema habari na uongo,naomba, mniruhusu niende nyumbani. Mkuu wa polisi : Na tukikuachilia uta toroka? Majivo: La hasha! sitatoroka bwana Afande, kwa maana sina sababu ya kutoroka. Mkuu wa polisi: (Akitabasamu) Nafurahia kusikia hayo. Wakati wowote unaweza hitajika hapa kwa uchunguzi zaidi. Je utashirikiana nasi? Majivo: Nina uhakika nitafika hapa mpaka mtakapo maliza uchunguzi wenu. Mkuu wa polisi: (Akimuita mmoja wa polisi) Bwana Job, njoo hapa(Bwana Job anaingia na kuinamisha kichwa chini) Hebu mfugue huyu.(Majivo anatolewa pingu mikononi) Majivo: (Anatabasamu) Asante sana bwana Afande (Majivo anaondoka ofisini na kuelekea zake)
Nani alikuwa anahojiwa?
{ "text": [ "Majivo" ] }
3651_swa
MAHOJIANO BAINA YA KACHERO NA MSHUKIWA (Katika ofisi ya mkuu wa polisi, mwendo wa saa tatu asubuhi mtu mmoja ameshikwa na kutiwa mbaroni baada ya duka moja la kijumuia kuvamiwa na wezi. Majivo, ambaye ni mshukiwa, anaingizwa katika ofisi ya mkuu wa polisi akiwa na pingu mkononi) Mkuu wa polisi : (Akimtazama Majivo) Karibu ukae kitini. Majivo: (Akitetemeka) Asante sana bwana Afande. Mkuu wa polisi: (Akiandika kwenye kitabu) Niambie majina yako na mahali unapotoka Majivo: Majina yangu ni John Majivo, na ninatoka katika mtaa wa Dongo Poromoka Mkuu wa polisi : Je wafahamu sababu iliyo kuleta hapa? Majivo: (kwa uoga) Hapana bwana Afande, mimi nilishikwa tu nikitoka dukani. Mkuu wa polisi: Je, mwendo wa saa kumi na mbili ulikuwa wapi? Majivo: Nilikuwa nikitoka kazini. Mkuu wa polisi : Endelea kueleza kilichofanyika Majivo: Nilipofika kwenye steji, nilielekea moja kwa moja hadi kusenye kibanda kilichokuwa karibu kununua maziwa na mkate. Mkuu wa polisi : Ukiwa huko dukani ni kitu gani kilichofanyika? Majivo : (Akimtazama mkuu wa polisi) Nilinunua bidhaa zangu, nikalipa kisha nikaondoka Mkuu wa polisi: Hukushuhudia chochote asubuhi hiyo? Majivo: Nilipokuwa nikitoka kwenye duka, niliwaona watu wawili wakitoka kwenye duka jirani wakikimbia. Mkuu wa polisi: Ulipoona wakikimbia ulifanya nini? Majivo: Nami bila kuwaza nilianza kukimbia kuyanusuru maisha yangu. Mkuu wa polisi: (Akimtazama) Kati ya waliokuwa wakikimbia, ulimfahamu yeyote? Majivo: La hasha! Sikuweza kumtambua mtu yeyote. Mkuu wa polisi: Unaeza dhibitisha kuwa hukuwa mmoja wao? Majivo: (Akitetemeka) Kama nilivyokueleza Afande, hata sikujua kuwa kulikuwa na wezi katika duka hilo kwa maana mimi nilifika kwenye duka, nikanunua bidhaa zangu kisha nikaondoka. Mkuu wa polisi: (Akiandika) Una uhakika unayoniambia ni ya ukweli? Majivo: Nina uhakika Afande Mkuu wa polisi: (Akimnyoshea kidole) Kumbuka uliyo yasema yatatumika kama ushahidi wako utakapofika kortini. Majivo: Mimi kusema ukweli siwezi kusema habari na uongo,naomba, mniruhusu niende nyumbani. Mkuu wa polisi : Na tukikuachilia uta toroka? Majivo: La hasha! sitatoroka bwana Afande, kwa maana sina sababu ya kutoroka. Mkuu wa polisi: (Akitabasamu) Nafurahia kusikia hayo. Wakati wowote unaweza hitajika hapa kwa uchunguzi zaidi. Je utashirikiana nasi? Majivo: Nina uhakika nitafika hapa mpaka mtakapo maliza uchunguzi wenu. Mkuu wa polisi: (Akimuita mmoja wa polisi) Bwana Job, njoo hapa(Bwana Job anaingia na kuinamisha kichwa chini) Hebu mfugue huyu.(Majivo anatolewa pingu mikononi) Majivo: (Anatabasamu) Asante sana bwana Afande (Majivo anaondoka ofisini na kuelekea zake)
Majivo alitoka mtaa upi?
{ "text": [ "Dongo Poromoko" ] }
3651_swa
MAHOJIANO BAINA YA KACHERO NA MSHUKIWA (Katika ofisi ya mkuu wa polisi, mwendo wa saa tatu asubuhi mtu mmoja ameshikwa na kutiwa mbaroni baada ya duka moja la kijumuia kuvamiwa na wezi. Majivo, ambaye ni mshukiwa, anaingizwa katika ofisi ya mkuu wa polisi akiwa na pingu mkononi) Mkuu wa polisi : (Akimtazama Majivo) Karibu ukae kitini. Majivo: (Akitetemeka) Asante sana bwana Afande. Mkuu wa polisi: (Akiandika kwenye kitabu) Niambie majina yako na mahali unapotoka Majivo: Majina yangu ni John Majivo, na ninatoka katika mtaa wa Dongo Poromoka Mkuu wa polisi : Je wafahamu sababu iliyo kuleta hapa? Majivo: (kwa uoga) Hapana bwana Afande, mimi nilishikwa tu nikitoka dukani. Mkuu wa polisi: Je, mwendo wa saa kumi na mbili ulikuwa wapi? Majivo: Nilikuwa nikitoka kazini. Mkuu wa polisi : Endelea kueleza kilichofanyika Majivo: Nilipofika kwenye steji, nilielekea moja kwa moja hadi kusenye kibanda kilichokuwa karibu kununua maziwa na mkate. Mkuu wa polisi : Ukiwa huko dukani ni kitu gani kilichofanyika? Majivo : (Akimtazama mkuu wa polisi) Nilinunua bidhaa zangu, nikalipa kisha nikaondoka Mkuu wa polisi: Hukushuhudia chochote asubuhi hiyo? Majivo: Nilipokuwa nikitoka kwenye duka, niliwaona watu wawili wakitoka kwenye duka jirani wakikimbia. Mkuu wa polisi: Ulipoona wakikimbia ulifanya nini? Majivo: Nami bila kuwaza nilianza kukimbia kuyanusuru maisha yangu. Mkuu wa polisi: (Akimtazama) Kati ya waliokuwa wakikimbia, ulimfahamu yeyote? Majivo: La hasha! Sikuweza kumtambua mtu yeyote. Mkuu wa polisi: Unaeza dhibitisha kuwa hukuwa mmoja wao? Majivo: (Akitetemeka) Kama nilivyokueleza Afande, hata sikujua kuwa kulikuwa na wezi katika duka hilo kwa maana mimi nilifika kwenye duka, nikanunua bidhaa zangu kisha nikaondoka. Mkuu wa polisi: (Akiandika) Una uhakika unayoniambia ni ya ukweli? Majivo: Nina uhakika Afande Mkuu wa polisi: (Akimnyoshea kidole) Kumbuka uliyo yasema yatatumika kama ushahidi wako utakapofika kortini. Majivo: Mimi kusema ukweli siwezi kusema habari na uongo,naomba, mniruhusu niende nyumbani. Mkuu wa polisi : Na tukikuachilia uta toroka? Majivo: La hasha! sitatoroka bwana Afande, kwa maana sina sababu ya kutoroka. Mkuu wa polisi: (Akitabasamu) Nafurahia kusikia hayo. Wakati wowote unaweza hitajika hapa kwa uchunguzi zaidi. Je utashirikiana nasi? Majivo: Nina uhakika nitafika hapa mpaka mtakapo maliza uchunguzi wenu. Mkuu wa polisi: (Akimuita mmoja wa polisi) Bwana Job, njoo hapa(Bwana Job anaingia na kuinamisha kichwa chini) Hebu mfugue huyu.(Majivo anatolewa pingu mikononi) Majivo: (Anatabasamu) Asante sana bwana Afande (Majivo anaondoka ofisini na kuelekea zake)
Majivo alikuwa amenunua nini siku aliposhikwa?
{ "text": [ "Mkate" ] }
3651_swa
MAHOJIANO BAINA YA KACHERO NA MSHUKIWA (Katika ofisi ya mkuu wa polisi, mwendo wa saa tatu asubuhi mtu mmoja ameshikwa na kutiwa mbaroni baada ya duka moja la kijumuia kuvamiwa na wezi. Majivo, ambaye ni mshukiwa, anaingizwa katika ofisi ya mkuu wa polisi akiwa na pingu mkononi) Mkuu wa polisi : (Akimtazama Majivo) Karibu ukae kitini. Majivo: (Akitetemeka) Asante sana bwana Afande. Mkuu wa polisi: (Akiandika kwenye kitabu) Niambie majina yako na mahali unapotoka Majivo: Majina yangu ni John Majivo, na ninatoka katika mtaa wa Dongo Poromoka Mkuu wa polisi : Je wafahamu sababu iliyo kuleta hapa? Majivo: (kwa uoga) Hapana bwana Afande, mimi nilishikwa tu nikitoka dukani. Mkuu wa polisi: Je, mwendo wa saa kumi na mbili ulikuwa wapi? Majivo: Nilikuwa nikitoka kazini. Mkuu wa polisi : Endelea kueleza kilichofanyika Majivo: Nilipofika kwenye steji, nilielekea moja kwa moja hadi kusenye kibanda kilichokuwa karibu kununua maziwa na mkate. Mkuu wa polisi : Ukiwa huko dukani ni kitu gani kilichofanyika? Majivo : (Akimtazama mkuu wa polisi) Nilinunua bidhaa zangu, nikalipa kisha nikaondoka Mkuu wa polisi: Hukushuhudia chochote asubuhi hiyo? Majivo: Nilipokuwa nikitoka kwenye duka, niliwaona watu wawili wakitoka kwenye duka jirani wakikimbia. Mkuu wa polisi: Ulipoona wakikimbia ulifanya nini? Majivo: Nami bila kuwaza nilianza kukimbia kuyanusuru maisha yangu. Mkuu wa polisi: (Akimtazama) Kati ya waliokuwa wakikimbia, ulimfahamu yeyote? Majivo: La hasha! Sikuweza kumtambua mtu yeyote. Mkuu wa polisi: Unaeza dhibitisha kuwa hukuwa mmoja wao? Majivo: (Akitetemeka) Kama nilivyokueleza Afande, hata sikujua kuwa kulikuwa na wezi katika duka hilo kwa maana mimi nilifika kwenye duka, nikanunua bidhaa zangu kisha nikaondoka. Mkuu wa polisi: (Akiandika) Una uhakika unayoniambia ni ya ukweli? Majivo: Nina uhakika Afande Mkuu wa polisi: (Akimnyoshea kidole) Kumbuka uliyo yasema yatatumika kama ushahidi wako utakapofika kortini. Majivo: Mimi kusema ukweli siwezi kusema habari na uongo,naomba, mniruhusu niende nyumbani. Mkuu wa polisi : Na tukikuachilia uta toroka? Majivo: La hasha! sitatoroka bwana Afande, kwa maana sina sababu ya kutoroka. Mkuu wa polisi: (Akitabasamu) Nafurahia kusikia hayo. Wakati wowote unaweza hitajika hapa kwa uchunguzi zaidi. Je utashirikiana nasi? Majivo: Nina uhakika nitafika hapa mpaka mtakapo maliza uchunguzi wenu. Mkuu wa polisi: (Akimuita mmoja wa polisi) Bwana Job, njoo hapa(Bwana Job anaingia na kuinamisha kichwa chini) Hebu mfugue huyu.(Majivo anatolewa pingu mikononi) Majivo: (Anatabasamu) Asante sana bwana Afande (Majivo anaondoka ofisini na kuelekea zake)
Mahojiano yalikuwa yanfanyika wapi?
{ "text": [ "Ofisi ya mkuu wa polisi" ] }
3652_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU JINSI YA KUIMARISHA MATOKEO YA WANAFUNZI KATIKA DARASA LAKE (Ni asubuhi mapema ambapo mwalimu wa darasa Bw. Opunye anamuita kiranja wa darasa, Lokonga Simon katika ofisi yake) Lokonga: (Anabisha mlango mara tatu) hodi Bw Opunye: Karibu Lokonga. Lokonga: Asante mwalimu. Nimeskía huwa umeniita Bw Opunye: (Akitingiza kichwa) Bila shaka. Naam nimekuita ili tuelezane kidogo jinsi ya kuimarisha matokeo ya darasa lako. Lokonga : Naam... Bw Opunye: (Anatoa faili kwenye kabati iliyo karibu naye) Kwanza hebu ona mlivyofeli katika mtihani mlioufanya. Matokeo haya hapa (akimpa faili hiyo) hayapendezi kabisa. Lokonga: (Kwa mshangao na kushtuka) Bw Opunye: Ona kwazza wewe kama kiranja alama unazozipat(kwa sauti ya juu) Hivi unatoa mfano upi kwa wenzako? Ona mlivyofeli katika somo la hisabati na kemia. Hakuna yeyote aliyepata alama ya A. Wa kwanza ana alama ya B ondoa. Hizi si alama za kupendeza kabisa. Wengi wenu mmepata alama ya C- kurudi nyuma. Kwa hivyo kwa kifupi, nataka unieleze jinsi tutakavyoimarisha matokeo haya. Lokonga: (kwa sauti ya chini) Kwanza mwalimu, mtihani huu ulikuja ghafla ambapo hatukuwa tumejipanga. Pia, wanafunzi wenzangu baadhi yao vitabu vilipotea na kuraruka wakati kulikuwepo na mgomo hivyo basi hawakuwa na muda wa kusoma. Bw. Opunye: (Akitingiza kichwa) Lokonga: Kwa hivyo mwalimu, kwanza mtupe muda tukamalizie kuandica nakala hizo. Bw Opunye: Kwa muda gani? Kumbuka pia muda hautatungoja. Lazima pia tuendelee na mtaala. Lokonga: (Anajishika kichwa) Muda wa wiki moja na nusu mwalimu. Pia, nilikuwa naonelea kuwa baada ya kukamilisha kuandika, mtupe majaribio mengi. Hayo majaribio tutakuwa tukiyafanya wikendi na mtaala tunaipitia siku za wiki. Bw. Opunye: Hamna shida Lokonga. Lokonga: Pia mwalimu, tutatenga muda wa ziada kabla ya kwenda kulala ambapo tutetengeneza makundi ya masomo yote, iwe ni historia, kiswahili ili tujadiliane na kuputa mengi. Bw. Opunye: Wazo zuri hilo Lokonga. Lokonga: Kwa hivyo nitawafahamisha wenzangu wajipange. Bw. Opunye: Kabisa Lokonga. Kwa hiyo, tutajadilidana mengi zaidi, wafaa urudi darasani. Nimesikia kengele ikilia. Lokonga: Asante mwalimu. Bw Opunye : (Anaonekana kutoa kitu mfukoni) Shika hizi, utanunua andazi ule. Lokonga: Asante. (anatoka na kurudisha mlango kwa utaratibu)
Mazungumzo ni baina ya nani na nani
{ "text": [ "Bw opunye na Lokonga" ] }
3652_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU JINSI YA KUIMARISHA MATOKEO YA WANAFUNZI KATIKA DARASA LAKE (Ni asubuhi mapema ambapo mwalimu wa darasa Bw. Opunye anamuita kiranja wa darasa, Lokonga Simon katika ofisi yake) Lokonga: (Anabisha mlango mara tatu) hodi Bw Opunye: Karibu Lokonga. Lokonga: Asante mwalimu. Nimeskía huwa umeniita Bw Opunye: (Akitingiza kichwa) Bila shaka. Naam nimekuita ili tuelezane kidogo jinsi ya kuimarisha matokeo ya darasa lako. Lokonga : Naam... Bw Opunye: (Anatoa faili kwenye kabati iliyo karibu naye) Kwanza hebu ona mlivyofeli katika mtihani mlioufanya. Matokeo haya hapa (akimpa faili hiyo) hayapendezi kabisa. Lokonga: (Kwa mshangao na kushtuka) Bw Opunye: Ona kwazza wewe kama kiranja alama unazozipat(kwa sauti ya juu) Hivi unatoa mfano upi kwa wenzako? Ona mlivyofeli katika somo la hisabati na kemia. Hakuna yeyote aliyepata alama ya A. Wa kwanza ana alama ya B ondoa. Hizi si alama za kupendeza kabisa. Wengi wenu mmepata alama ya C- kurudi nyuma. Kwa hivyo kwa kifupi, nataka unieleze jinsi tutakavyoimarisha matokeo haya. Lokonga: (kwa sauti ya chini) Kwanza mwalimu, mtihani huu ulikuja ghafla ambapo hatukuwa tumejipanga. Pia, wanafunzi wenzangu baadhi yao vitabu vilipotea na kuraruka wakati kulikuwepo na mgomo hivyo basi hawakuwa na muda wa kusoma. Bw. Opunye: (Akitingiza kichwa) Lokonga: Kwa hivyo mwalimu, kwanza mtupe muda tukamalizie kuandica nakala hizo. Bw Opunye: Kwa muda gani? Kumbuka pia muda hautatungoja. Lazima pia tuendelee na mtaala. Lokonga: (Anajishika kichwa) Muda wa wiki moja na nusu mwalimu. Pia, nilikuwa naonelea kuwa baada ya kukamilisha kuandika, mtupe majaribio mengi. Hayo majaribio tutakuwa tukiyafanya wikendi na mtaala tunaipitia siku za wiki. Bw. Opunye: Hamna shida Lokonga. Lokonga: Pia mwalimu, tutatenga muda wa ziada kabla ya kwenda kulala ambapo tutetengeneza makundi ya masomo yote, iwe ni historia, kiswahili ili tujadiliane na kuputa mengi. Bw. Opunye: Wazo zuri hilo Lokonga. Lokonga: Kwa hivyo nitawafahamisha wenzangu wajipange. Bw. Opunye: Kabisa Lokonga. Kwa hiyo, tutajadilidana mengi zaidi, wafaa urudi darasani. Nimesikia kengele ikilia. Lokonga: Asante mwalimu. Bw Opunye : (Anaonekana kutoa kitu mfukoni) Shika hizi, utanunua andazi ule. Lokonga: Asante. (anatoka na kurudisha mlango kwa utaratibu)
Kwa nini Lokonga aliitwa
{ "text": [ "Kujadiliana jinsi ya kuimarisha matokeo ya darasa lake" ] }
3652_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU JINSI YA KUIMARISHA MATOKEO YA WANAFUNZI KATIKA DARASA LAKE (Ni asubuhi mapema ambapo mwalimu wa darasa Bw. Opunye anamuita kiranja wa darasa, Lokonga Simon katika ofisi yake) Lokonga: (Anabisha mlango mara tatu) hodi Bw Opunye: Karibu Lokonga. Lokonga: Asante mwalimu. Nimeskía huwa umeniita Bw Opunye: (Akitingiza kichwa) Bila shaka. Naam nimekuita ili tuelezane kidogo jinsi ya kuimarisha matokeo ya darasa lako. Lokonga : Naam... Bw Opunye: (Anatoa faili kwenye kabati iliyo karibu naye) Kwanza hebu ona mlivyofeli katika mtihani mlioufanya. Matokeo haya hapa (akimpa faili hiyo) hayapendezi kabisa. Lokonga: (Kwa mshangao na kushtuka) Bw Opunye: Ona kwazza wewe kama kiranja alama unazozipat(kwa sauti ya juu) Hivi unatoa mfano upi kwa wenzako? Ona mlivyofeli katika somo la hisabati na kemia. Hakuna yeyote aliyepata alama ya A. Wa kwanza ana alama ya B ondoa. Hizi si alama za kupendeza kabisa. Wengi wenu mmepata alama ya C- kurudi nyuma. Kwa hivyo kwa kifupi, nataka unieleze jinsi tutakavyoimarisha matokeo haya. Lokonga: (kwa sauti ya chini) Kwanza mwalimu, mtihani huu ulikuja ghafla ambapo hatukuwa tumejipanga. Pia, wanafunzi wenzangu baadhi yao vitabu vilipotea na kuraruka wakati kulikuwepo na mgomo hivyo basi hawakuwa na muda wa kusoma. Bw. Opunye: (Akitingiza kichwa) Lokonga: Kwa hivyo mwalimu, kwanza mtupe muda tukamalizie kuandica nakala hizo. Bw Opunye: Kwa muda gani? Kumbuka pia muda hautatungoja. Lazima pia tuendelee na mtaala. Lokonga: (Anajishika kichwa) Muda wa wiki moja na nusu mwalimu. Pia, nilikuwa naonelea kuwa baada ya kukamilisha kuandika, mtupe majaribio mengi. Hayo majaribio tutakuwa tukiyafanya wikendi na mtaala tunaipitia siku za wiki. Bw. Opunye: Hamna shida Lokonga. Lokonga: Pia mwalimu, tutatenga muda wa ziada kabla ya kwenda kulala ambapo tutetengeneza makundi ya masomo yote, iwe ni historia, kiswahili ili tujadiliane na kuputa mengi. Bw. Opunye: Wazo zuri hilo Lokonga. Lokonga: Kwa hivyo nitawafahamisha wenzangu wajipange. Bw. Opunye: Kabisa Lokonga. Kwa hiyo, tutajadilidana mengi zaidi, wafaa urudi darasani. Nimesikia kengele ikilia. Lokonga: Asante mwalimu. Bw Opunye : (Anaonekana kutoa kitu mfukoni) Shika hizi, utanunua andazi ule. Lokonga: Asante. (anatoka na kurudisha mlango kwa utaratibu)
Mwanafunzi wa kwanza alikuwa na alama ipi
{ "text": [ "B ondoa" ] }