Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
4907_swa | MAZUNGUMZO BAINA YANGU NA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA VITABU
(Ni asubuhi na mapema, nipo kwenye ofisi ya mkuregenzi wa kampuni ya
vitabu. Anaingia na begi lake na kuniimba ningoje kwanza akajitayarishe
, nipo na begi langu na karatasi ndogo na kalamu ili niweze kuandika
machache)
MKUREGENZI: ( Huku akitabasamu)Karibu ndani.
MIMI: Asanti Mkuregenzi. Shikamoo?
MKUREGENZI: Marahaba Mwanangu
MIMI: kwanza niseme shukrani kwa kunikubalia.....( Ananikatiza)
MKUREGENZI: Karibu kiti
MIMI: Nimeshukuru, kama nilichokuwa nasema nashukuru kwa kuniruhusu nije
kukutembelea madkani haha yako.
MKUREGENZI: Hata usisema. Wajua wewe ni kama Mwanangu na basic lazima
nifanye niwezalo ili uridhike.
MIMI: kama nilivyokueleza hapo awali mimi ni Bridgit Ongwae mwanafunzi
wa shule ya upili ya Mumo na nipo hapa kujua baadhi ya shughuli
mnazoendesha hapa kwa kampuni yenu.
MKUREGENZI: jiskie nyumbani na unene nami kwa undani nikaweze kukujuvya
mengi na kwa utendeti mkuu.
MIMI: Kwanza kampuni yenu ilianza mwaka gani?
MKUREGENZI: kampuni yetu ilianza mnamo mwaka elfu moja mia Kenda sabini
na sita( akicheka) mwaka huo hukuwa umezaliwa ila wazazi wako ndio
walikuwepo.
MIMI: ( nikitabasamu) kitambo sana, hivi ilianzishwa kwa jukumu lipi
haswa?
MKUREGENZI: kampuni hii ilianzishwa kwa minajili ya kuchapisha vitabu .
Wakati huo tulichapisha vitabu vyenye umbo dogo ikilinganishwa na hivi
sasa. Vitabu hivi vilikuwa na rangi ambayo haikuwa nyeuoe kabisa jinsi
ilivyo sasa hivi na vitabu hivyo vilikuwa vya kurasa chache mno. Kikubwa
zaidi kilikuwa kurasa tisini na sita. Isitoshe vitabu vyetu vilikuwa na
Lebo ya kmpuni yetu kwenye utosi wao.
MIMI: Asante mkuregenzi. Hivi mauzo yakawa vipi na mlitumia njia zipi?
MKUREGENZI: Mauzo hayakuwa ya juu sana kwa kuwa wakati huo badi watu
wengi hawakuwa wanasoma vile isipokuwa wale wanafunzi waliokuwa shuleni
na ambao walikuwa wachache mno. Wakati mwingine mauzo yalikuwa machache
na ikabidi tupunguze wafanyakazi ili tusije tukenda hasara.
Namna ya kutangaza vitabu vyetu ilikuwa kwa njia ya radio na tulibyokuwa
tunapeana kwa shule mbalimbali baada ya wizara ya Elimu kufanya ununuzi
MIMI: shukrani sana. Hivi ni changamoti gani zinazowakumba kama kampuni?
MKUREGENZI: Changamoti ni nyingi. Kwanza ukosefu wa wanunuzi wa kutosha
unaoprlekea kuleta hadara kwa kampuni. Ukosefu wa pesa za kutosha ili
kuendesha shughuli za kampuni, ukosefu wa vifaa vya kutumia kuzalisha
vitabu kwa wingi, ukosefu wa wafanyakazi wa kutosha kisa na maana Hamna
Hela za kuwalipa na hivyo kupelekea kazi kuwa ngumu na nyingi na pia
ukosefu wa barabara nzuri na hivyo kusanbaza mazao yetu inakuwa ni
vigumu. Isitoshe Sheria za serikali zingine hufanya ukosefu wa mauzo
mema.
MIMI: Alafu ikilinganishwa wakati wa zamani na hivi sasa kuna mabadiliko
yapi?
MKUREGENZI: kuna mabadiliko makubwa haswa kwa mauzo. Ndio maana hata
unaona majengo yetu yamejengwa upya na isitoshe tuna wafanyakazi wa
kutosha yaani kila kitu ni shwari. I Hawa kuna Changamoti kadha wa kadha
bado tunashukhru
MIMI: Shukrani sana mkuregenzi. Nimepata mengi kutoka kwako ningependa
sasa kuondoka kwa kuwa umenifunza yasiyokuwa machache.
MKUREGENZI: Karibu tena.( Akiniongoza kuondoka).
| Kampuni ilianza lini? | {
"text": [
"1976"
]
} |
4907_swa | MAZUNGUMZO BAINA YANGU NA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA VITABU
(Ni asubuhi na mapema, nipo kwenye ofisi ya mkuregenzi wa kampuni ya
vitabu. Anaingia na begi lake na kuniimba ningoje kwanza akajitayarishe
, nipo na begi langu na karatasi ndogo na kalamu ili niweze kuandika
machache)
MKUREGENZI: ( Huku akitabasamu)Karibu ndani.
MIMI: Asanti Mkuregenzi. Shikamoo?
MKUREGENZI: Marahaba Mwanangu
MIMI: kwanza niseme shukrani kwa kunikubalia.....( Ananikatiza)
MKUREGENZI: Karibu kiti
MIMI: Nimeshukuru, kama nilichokuwa nasema nashukuru kwa kuniruhusu nije
kukutembelea madkani haha yako.
MKUREGENZI: Hata usisema. Wajua wewe ni kama Mwanangu na basic lazima
nifanye niwezalo ili uridhike.
MIMI: kama nilivyokueleza hapo awali mimi ni Bridgit Ongwae mwanafunzi
wa shule ya upili ya Mumo na nipo hapa kujua baadhi ya shughuli
mnazoendesha hapa kwa kampuni yenu.
MKUREGENZI: jiskie nyumbani na unene nami kwa undani nikaweze kukujuvya
mengi na kwa utendeti mkuu.
MIMI: Kwanza kampuni yenu ilianza mwaka gani?
MKUREGENZI: kampuni yetu ilianza mnamo mwaka elfu moja mia Kenda sabini
na sita( akicheka) mwaka huo hukuwa umezaliwa ila wazazi wako ndio
walikuwepo.
MIMI: ( nikitabasamu) kitambo sana, hivi ilianzishwa kwa jukumu lipi
haswa?
MKUREGENZI: kampuni hii ilianzishwa kwa minajili ya kuchapisha vitabu .
Wakati huo tulichapisha vitabu vyenye umbo dogo ikilinganishwa na hivi
sasa. Vitabu hivi vilikuwa na rangi ambayo haikuwa nyeuoe kabisa jinsi
ilivyo sasa hivi na vitabu hivyo vilikuwa vya kurasa chache mno. Kikubwa
zaidi kilikuwa kurasa tisini na sita. Isitoshe vitabu vyetu vilikuwa na
Lebo ya kmpuni yetu kwenye utosi wao.
MIMI: Asante mkuregenzi. Hivi mauzo yakawa vipi na mlitumia njia zipi?
MKUREGENZI: Mauzo hayakuwa ya juu sana kwa kuwa wakati huo badi watu
wengi hawakuwa wanasoma vile isipokuwa wale wanafunzi waliokuwa shuleni
na ambao walikuwa wachache mno. Wakati mwingine mauzo yalikuwa machache
na ikabidi tupunguze wafanyakazi ili tusije tukenda hasara.
Namna ya kutangaza vitabu vyetu ilikuwa kwa njia ya radio na tulibyokuwa
tunapeana kwa shule mbalimbali baada ya wizara ya Elimu kufanya ununuzi
MIMI: shukrani sana. Hivi ni changamoti gani zinazowakumba kama kampuni?
MKUREGENZI: Changamoti ni nyingi. Kwanza ukosefu wa wanunuzi wa kutosha
unaoprlekea kuleta hadara kwa kampuni. Ukosefu wa pesa za kutosha ili
kuendesha shughuli za kampuni, ukosefu wa vifaa vya kutumia kuzalisha
vitabu kwa wingi, ukosefu wa wafanyakazi wa kutosha kisa na maana Hamna
Hela za kuwalipa na hivyo kupelekea kazi kuwa ngumu na nyingi na pia
ukosefu wa barabara nzuri na hivyo kusanbaza mazao yetu inakuwa ni
vigumu. Isitoshe Sheria za serikali zingine hufanya ukosefu wa mauzo
mema.
MIMI: Alafu ikilinganishwa wakati wa zamani na hivi sasa kuna mabadiliko
yapi?
MKUREGENZI: kuna mabadiliko makubwa haswa kwa mauzo. Ndio maana hata
unaona majengo yetu yamejengwa upya na isitoshe tuna wafanyakazi wa
kutosha yaani kila kitu ni shwari. I Hawa kuna Changamoti kadha wa kadha
bado tunashukhru
MIMI: Shukrani sana mkuregenzi. Nimepata mengi kutoka kwako ningependa
sasa kuondoka kwa kuwa umenifunza yasiyokuwa machache.
MKUREGENZI: Karibu tena.( Akiniongoza kuondoka).
| Kampuni ilianzishwa kwa minajili ipi? | {
"text": [
"Ya kuchapisha vitabu"
]
} |
4908_swa | MIMBA ZA MAPEMA
Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu
sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona
ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa
mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru
kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa
moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi
walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale
wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani
walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la
kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi
wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa
shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba
za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na
kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa
chanzo cha mimba hizi za mapema.
Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata
mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika
mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu
kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti
kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao
hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando
kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao
ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi
utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando
mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana
na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu
na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi
wa kuuza kandokando mwa barabara.
Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye
anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi
wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye
hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio
anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na
kufanya vivyo hivyo.
Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au
anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi
majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia
kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si
mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza
kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa
kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha.
Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu.
Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa
mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi.
Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza
pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia
na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja
kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na
kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo.
Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe
hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe
hapo ipo chini.
Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo
asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na
shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake.
Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi.
Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake
kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa
tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila
yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno.
Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya
chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika.
Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku
msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea
mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa
kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii
ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa
zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya
ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye
daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi
kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila
alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa
ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema.
Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao
hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi
kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama
mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa.
Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake
wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia.
Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo.
Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha.
Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha
jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu
la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani.
Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana
nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni
hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao
hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti
viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao.
Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda
lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule.
Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake.
Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo
kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu
kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua
upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii
soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye
ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo
nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema.
Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za
mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema
akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni
mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za
mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi
katika jamii hizo.
Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi
hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati
huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa
wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka
wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee
yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya
kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu
wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige
hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora
binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya
ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake.
Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna
utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale
walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole,
pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza
pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali
pamoja.
Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana
ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye
atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo
basi wasichana wawe makini mno.
Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda
binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini.
Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale
unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa.
Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka
kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na
cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa
miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha
masomo ya shule ya upili.
Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma
vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama
mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile
vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na
mimba hizi za mapema.
Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda
wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa
hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao
wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu,
niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa
kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena
chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa
kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na
kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza.
Ilisikitisha.
Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda.
Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu
ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
| Idadi ya mimba za mapema ilipanda sana lini | {
"text": [
"mwaka uliopita"
]
} |
4908_swa | MIMBA ZA MAPEMA
Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu
sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona
ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa
mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru
kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa
moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi
walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale
wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani
walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la
kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi
wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa
shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba
za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na
kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa
chanzo cha mimba hizi za mapema.
Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata
mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika
mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu
kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti
kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao
hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando
kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao
ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi
utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando
mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana
na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu
na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi
wa kuuza kandokando mwa barabara.
Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye
anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi
wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye
hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio
anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na
kufanya vivyo hivyo.
Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au
anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi
majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia
kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si
mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza
kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa
kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha.
Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu.
Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa
mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi.
Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza
pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia
na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja
kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na
kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo.
Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe
hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe
hapo ipo chini.
Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo
asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na
shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake.
Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi.
Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake
kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa
tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila
yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno.
Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya
chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika.
Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku
msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea
mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa
kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii
ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa
zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya
ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye
daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi
kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila
alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa
ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema.
Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao
hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi
kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama
mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa.
Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake
wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia.
Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo.
Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha.
Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha
jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu
la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani.
Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana
nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni
hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao
hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti
viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao.
Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda
lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule.
Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake.
Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo
kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu
kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua
upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii
soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye
ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo
nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema.
Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za
mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema
akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni
mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za
mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi
katika jamii hizo.
Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi
hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati
huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa
wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka
wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee
yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya
kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu
wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige
hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora
binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya
ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake.
Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna
utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale
walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole,
pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza
pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali
pamoja.
Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana
ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye
atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo
basi wasichana wawe makini mno.
Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda
binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini.
Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale
unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa.
Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka
kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na
cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa
miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha
masomo ya shule ya upili.
Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma
vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama
mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile
vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na
mimba hizi za mapema.
Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda
wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa
hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao
wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu,
niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa
kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena
chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa
kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na
kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza.
Ilisikitisha.
Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda.
Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu
ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
| Mbona idadi ya mimba za mapema ilipanda | {
"text": [
"kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani"
]
} |
4908_swa | MIMBA ZA MAPEMA
Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu
sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona
ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa
mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru
kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa
moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi
walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale
wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani
walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la
kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi
wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa
shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba
za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na
kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa
chanzo cha mimba hizi za mapema.
Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata
mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika
mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu
kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti
kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao
hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando
kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao
ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi
utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando
mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana
na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu
na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi
wa kuuza kandokando mwa barabara.
Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye
anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi
wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye
hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio
anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na
kufanya vivyo hivyo.
Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au
anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi
majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia
kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si
mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza
kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa
kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha.
Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu.
Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa
mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi.
Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza
pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia
na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja
kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na
kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo.
Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe
hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe
hapo ipo chini.
Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo
asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na
shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake.
Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi.
Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake
kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa
tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila
yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno.
Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya
chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika.
Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku
msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea
mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa
kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii
ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa
zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya
ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye
daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi
kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila
alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa
ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema.
Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao
hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi
kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama
mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa.
Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake
wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia.
Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo.
Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha.
Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha
jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu
la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani.
Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana
nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni
hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao
hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti
viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao.
Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda
lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule.
Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake.
Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo
kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu
kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua
upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii
soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye
ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo
nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema.
Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za
mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema
akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni
mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za
mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi
katika jamii hizo.
Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi
hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati
huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa
wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka
wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee
yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya
kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu
wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige
hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora
binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya
ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake.
Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna
utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale
walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole,
pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza
pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali
pamoja.
Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana
ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye
atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo
basi wasichana wawe makini mno.
Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda
binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini.
Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale
unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa.
Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka
kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na
cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa
miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha
masomo ya shule ya upili.
Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma
vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama
mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile
vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na
mimba hizi za mapema.
Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda
wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa
hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao
wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu,
niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa
kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena
chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa
kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na
kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza.
Ilisikitisha.
Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda.
Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu
ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
| Nani aliamuru kufungwa kwa shule | {
"text": [
"Raisi"
]
} |
4908_swa | MIMBA ZA MAPEMA
Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu
sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona
ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa
mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru
kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa
moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi
walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale
wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani
walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la
kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi
wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa
shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba
za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na
kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa
chanzo cha mimba hizi za mapema.
Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata
mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika
mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu
kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti
kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao
hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando
kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao
ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi
utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando
mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana
na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu
na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi
wa kuuza kandokando mwa barabara.
Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye
anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi
wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye
hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio
anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na
kufanya vivyo hivyo.
Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au
anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi
majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia
kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si
mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza
kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa
kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha.
Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu.
Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa
mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi.
Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza
pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia
na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja
kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na
kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo.
Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe
hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe
hapo ipo chini.
Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo
asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na
shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake.
Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi.
Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake
kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa
tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila
yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno.
Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya
chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika.
Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku
msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea
mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa
kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii
ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa
zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya
ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye
daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi
kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila
alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa
ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema.
Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao
hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi
kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama
mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa.
Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake
wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia.
Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo.
Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha.
Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha
jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu
la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani.
Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana
nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni
hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao
hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti
viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao.
Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda
lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule.
Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake.
Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo
kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu
kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua
upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii
soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye
ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo
nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema.
Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za
mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema
akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni
mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za
mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi
katika jamii hizo.
Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi
hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati
huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa
wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka
wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee
yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya
kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu
wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige
hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora
binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya
ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake.
Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna
utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale
walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole,
pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza
pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali
pamoja.
Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana
ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye
atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo
basi wasichana wawe makini mno.
Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda
binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini.
Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale
unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa.
Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka
kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na
cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa
miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha
masomo ya shule ya upili.
Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma
vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama
mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile
vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na
mimba hizi za mapema.
Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda
wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa
hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao
wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu,
niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa
kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena
chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa
kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na
kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza.
Ilisikitisha.
Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda.
Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu
ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
| Mabinti wengi hupata mimba za mapema kutokana na hali gani | {
"text": [
"ya uchochole"
]
} |
4908_swa | MIMBA ZA MAPEMA
Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu
sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona
ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa
mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru
kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa
moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi
walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale
wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani
walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la
kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi
wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa
shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba
za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na
kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa
chanzo cha mimba hizi za mapema.
Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata
mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika
mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu
kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti
kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao
hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando
kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao
ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi
utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando
mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana
na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu
na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi
wa kuuza kandokando mwa barabara.
Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye
anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi
wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye
hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio
anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na
kufanya vivyo hivyo.
Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au
anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi
majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia
kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si
mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza
kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa
kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha.
Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu.
Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa
mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi.
Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza
pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia
na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja
kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na
kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo.
Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe
hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe
hapo ipo chini.
Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo
asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na
shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake.
Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi.
Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake
kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa
tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila
yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno.
Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya
chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika.
Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku
msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea
mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa
kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii
ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa
zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya
ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la
mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye
daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi
kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila
alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa
ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema.
Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao
hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi
kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama
mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa.
Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake
wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia.
Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo.
Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha.
Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha
jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu
la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani.
Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana
nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni
hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao
hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti
viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao.
Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda
lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule.
Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake.
Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo
kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu
kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua
upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii
soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye
ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo
nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema.
Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za
mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema
akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni
mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za
mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi
katika jamii hizo.
Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi
hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati
huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa
wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka
wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee
yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya
kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu
wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige
hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora
binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya
ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake.
Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna
utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale
walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole,
pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza
pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali
pamoja.
Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana
ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye
atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo
basi wasichana wawe makini mno.
Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda
binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini.
Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale
unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa.
Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka
kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na
cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa
miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha
masomo ya shule ya upili.
Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma
vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama
mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile
vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na
mimba hizi za mapema.
Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda
wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa
hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao
wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu,
niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa
kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena
chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa
kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na
kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza.
Ilisikitisha.
Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda.
Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu
ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
| Nini chanzo kikuu cha mimba | {
"text": [
"umaskini"
]
} |
4909_swa | MIMI
Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto
wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia
yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya
kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni
kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya
sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru.
Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi
wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu
nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo
nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na
zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na
kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata
mchumba an basi mimi sijaolewa.
Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi
nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa
inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule
kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na
sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na
marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia
nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea
nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa
likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea.
Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo
wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu
na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama
wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza
havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari
katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana
kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda
kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo.
Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo
sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga
na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki
zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za
sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi
maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza
kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi
ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya
mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe
za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili.
Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana
kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela.
Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi
hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi
napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya
huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi,
utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
| Kwamboka alizaliwa lini | {
"text": [
"Mwaka wa elfu mbili na moja"
]
} |
4909_swa | MIMI
Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto
wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia
yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya
kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni
kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya
sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru.
Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi
wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu
nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo
nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na
zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na
kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata
mchumba an basi mimi sijaolewa.
Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi
nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa
inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule
kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na
sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na
marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia
nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea
nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa
likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea.
Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo
wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu
na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama
wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza
havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari
katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana
kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda
kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo.
Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo
sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga
na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki
zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za
sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi
maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza
kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi
ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya
mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe
za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili.
Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana
kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela.
Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi
hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi
napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya
huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi,
utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
| Kwamboka alisomea chuo kipi | {
"text": [
"Chuo kikuu cha Kenyatta"
]
} |
4909_swa | MIMI
Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto
wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia
yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya
kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni
kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya
sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru.
Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi
wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu
nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo
nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na
zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na
kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata
mchumba an basi mimi sijaolewa.
Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi
nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa
inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule
kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na
sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na
marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia
nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea
nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa
likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea.
Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo
wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu
na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama
wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza
havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari
katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana
kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda
kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo.
Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo
sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga
na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki
zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za
sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi
maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza
kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi
ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya
mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe
za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili.
Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana
kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela.
Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi
hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi
napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya
huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi,
utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
| Taja mojawapo wa mambo anayoyapenda | {
"text": [
"Kuimba"
]
} |
4909_swa | MIMI
Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto
wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia
yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya
kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni
kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya
sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru.
Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi
wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu
nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo
nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na
zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na
kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata
mchumba an basi mimi sijaolewa.
Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi
nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa
inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule
kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na
sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na
marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia
nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea
nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa
likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea.
Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo
wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu
na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama
wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza
havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari
katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana
kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda
kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo.
Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo
sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga
na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki
zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za
sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi
maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza
kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi
ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya
mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe
za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili.
Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana
kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela.
Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi
hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi
napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya
huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi,
utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
| Kwamboka anapenda kupika chakula kipi | {
"text": [
"Pilau, biryani, ugali mboga na keki"
]
} |
4909_swa | MIMI
Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto
wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia
yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya
kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni
kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya
sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru.
Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi
wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu
nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo
nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na
zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na
kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata
mchumba an basi mimi sijaolewa.
Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi
nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa
inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule
kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na
sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na
marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia
nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea
nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa
likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea.
Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo
wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu
na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama
wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza
havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari
katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana
kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda
kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo.
Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo
sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga
na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki
zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za
sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi
maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza
kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi
ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya
mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe
za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili.
Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana
kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela.
Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi
hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi
napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya
huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi,
utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
| Kwa nini kwamboka anapenda mazingira tulivu | {
"text": [
"Kazi afanyazo huhitaji utulivu"
]
} |
4910_swa | MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi
kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa
naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako
mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila
mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja.
Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa
unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana
na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji.
Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy
. Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi
wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji.
Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na
hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa
shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa
wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na
wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao .
Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana.
Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada
zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila
uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa
sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne
mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na
bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu
Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na
walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa
Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote
walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza
kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo
vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila
mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka
minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa
Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini.
Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki
zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa
wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah
hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka
bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu
nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia
kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki
zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda
marafiki na sio moenda familia tena
Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa
kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na
kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila
hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah
walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao
kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea
ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye
ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa
tu wa kujifurahisha.
Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja
wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake
wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika
mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo
ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah
walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba.
Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo.
Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye
huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa
wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba
kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta
msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah.
Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah
alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na
Polisi.
Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua
hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na
hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi
kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio
na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya
Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo
Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali.
Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta
marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi
nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na
wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza
kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
| Ni nani mnakufa naye | {
"text": [
"Mtu wenu"
]
} |
4910_swa | MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi
kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa
naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako
mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila
mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja.
Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa
unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana
na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji.
Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy
. Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi
wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji.
Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na
hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa
shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa
wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na
wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao .
Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana.
Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada
zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila
uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa
sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne
mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na
bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu
Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na
walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa
Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote
walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza
kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo
vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila
mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka
minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa
Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini.
Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki
zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa
wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah
hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka
bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu
nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia
kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki
zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda
marafiki na sio moenda familia tena
Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa
kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na
kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila
hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah
walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao
kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea
ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye
ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa
tu wa kujifurahisha.
Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja
wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake
wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika
mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo
ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah
walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba.
Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo.
Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye
huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa
wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba
kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta
msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah.
Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah
alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na
Polisi.
Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua
hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na
hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi
kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio
na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya
Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo
Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali.
Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta
marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi
nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na
wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza
kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
| Taja mtoto mmoja wa bw na bi Omar | {
"text": [
"Musa"
]
} |
4910_swa | MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi
kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa
naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako
mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila
mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja.
Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa
unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana
na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji.
Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy
. Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi
wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji.
Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na
hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa
shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa
wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na
wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao .
Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana.
Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada
zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila
uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa
sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne
mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na
bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu
Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na
walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa
Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote
walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza
kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo
vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila
mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka
minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa
Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini.
Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki
zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa
wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah
hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka
bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu
nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia
kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki
zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda
marafiki na sio moenda familia tena
Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa
kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na
kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila
hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah
walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao
kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea
ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye
ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa
tu wa kujifurahisha.
Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja
wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake
wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika
mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo
ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah
walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba.
Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo.
Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye
huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa
wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba
kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta
msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah.
Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah
alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na
Polisi.
Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua
hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na
hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi
kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio
na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya
Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo
Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali.
Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta
marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi
nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na
wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza
kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
| Matokeo ya mtihani wa kitaifa yalitoka wakati gani | {
"text": [
"baada ya wiki nne"
]
} |
4910_swa | MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi
kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa
naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako
mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila
mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja.
Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa
unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana
na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji.
Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy
. Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi
wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji.
Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na
hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa
shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa
wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na
wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao .
Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana.
Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada
zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila
uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa
sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne
mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na
bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu
Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na
walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa
Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote
walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza
kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo
vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila
mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka
minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa
Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini.
Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki
zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa
wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah
hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka
bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu
nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia
kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki
zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda
marafiki na sio moenda familia tena
Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa
kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na
kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila
hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah
walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao
kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea
ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye
ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa
tu wa kujifurahisha.
Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja
wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake
wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika
mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo
ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah
walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba.
Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo.
Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye
huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa
wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba
kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta
msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah.
Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah
alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na
Polisi.
Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua
hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na
hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi
kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio
na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya
Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo
Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali.
Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta
marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi
nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na
wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza
kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
| Baada ya kufaulu katika mtihani wanawe bw na bi omar walipewa nini | {
"text": [
"Zawadi kem kem na hongera kadhaa"
]
} |
4910_swa | MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE
Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi
kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa
naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako
mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila
mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja.
Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa
unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana
na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji.
Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy
. Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi
wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji.
Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na
hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa
shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa
wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na
wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao .
Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana.
Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada
zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila
uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa
sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne
mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na
bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu
Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na
walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa
Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote
walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza
kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo
vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila
mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka
minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa
Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini.
Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki
zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa
wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah
hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka
bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu
nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia
kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki
zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda
marafiki na sio moenda familia tena
Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa
kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na
kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila
hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah
walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao
kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea
ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye
ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa
tu wa kujifurahisha.
Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja
wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake
wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika
mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo
ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah
walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba.
Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo.
Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye
huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa
wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba
kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta
msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah.
Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah
alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na
Polisi.
Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua
hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na
hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi
kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio
na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya
Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo
Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali.
Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta
marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi
nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na
wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza
kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
| Jona aliajiriwa kama nani | {
"text": [
"Muuguzi katika hospitali ya kitaifa nchini"
]
} |
4911_swa | UGONJWA HATARI
Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi
hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa
uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na
kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata
kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na
mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu.
Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa
mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini
kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni
viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo
hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa
mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa
hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana
na ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya
kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia
Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo
virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka
kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni
kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa
miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa
ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na
mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi
sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi
hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni
sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji
wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa.
Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu
aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa
mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi
virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini.
Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti
watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya
uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila
mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa
tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya
busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili
kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa
wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi
basi tutazuia ugonjwa huu hatari.
Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata
kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na
basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu
yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia
kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika
kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu
wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia
uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi
huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije
wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na
kukatwa.
Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa
mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza
kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema
yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na
mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa
mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama
mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa
na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo
maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni
sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia
kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa
tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama
wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa
ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa
njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa
huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa
huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo
basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo
katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa
mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao
tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa
ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa
muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio
nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa
ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi
hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
| Ni nini akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini | {
"text": [
"Ukimwi"
]
} |
4911_swa | UGONJWA HATARI
Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi
hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa
uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na
kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata
kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na
mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu.
Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa
mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini
kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni
viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo
hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa
mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa
hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana
na ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya
kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia
Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo
virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka
kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni
kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa
miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa
ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na
mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi
sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi
hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni
sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji
wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa.
Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu
aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa
mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi
virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini.
Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti
watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya
uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila
mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa
tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya
busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili
kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa
wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi
basi tutazuia ugonjwa huu hatari.
Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata
kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na
basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu
yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia
kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika
kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu
wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia
uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi
huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije
wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na
kukatwa.
Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa
mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza
kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema
yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na
mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa
mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama
mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa
na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo
maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni
sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia
kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa
tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama
wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa
ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa
njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa
huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa
huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo
basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo
katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa
mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao
tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa
ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa
muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio
nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa
ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi
hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
| Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa nini | {
"text": [
"Mate"
]
} |
4911_swa | UGONJWA HATARI
Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi
hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa
uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na
kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata
kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na
mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu.
Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa
mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini
kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni
viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo
hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa
mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa
hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana
na ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya
kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia
Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo
virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka
kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni
kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa
miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa
ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na
mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi
sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi
hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni
sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji
wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa.
Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu
aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa
mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi
virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini.
Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti
watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya
uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila
mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa
tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya
busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili
kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa
wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi
basi tutazuia ugonjwa huu hatari.
Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata
kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na
basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu
yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia
kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika
kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu
wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia
uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi
huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije
wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na
kukatwa.
Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa
mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza
kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema
yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na
mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa
mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama
mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa
na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo
maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni
sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia
kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa
tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama
wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa
ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa
njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa
huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa
huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo
basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo
katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa
mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao
tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa
ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa
muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio
nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa
ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi
hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
| Watu wanapohusika kwenye ajali mara nyingi nini huchanganyikana | {
"text": [
"damu"
]
} |
4911_swa | UGONJWA HATARI
Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi
hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa
uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na
kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata
kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na
mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu.
Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa
mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini
kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni
viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo
hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa
mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa
hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana
na ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya
kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia
Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo
virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka
kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni
kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa
miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa
ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na
mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi
sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi
hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni
sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji
wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa.
Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu
aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa
mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi
virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini.
Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti
watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya
uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila
mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa
tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya
busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili
kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa
wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi
basi tutazuia ugonjwa huu hatari.
Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata
kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na
basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu
yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia
kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika
kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu
wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia
uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi
huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije
wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na
kukatwa.
Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa
mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza
kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema
yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na
mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa
mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama
mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa
na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo
maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni
sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia
kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa
tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama
wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa
ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa
njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa
huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa
huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo
basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo
katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa
mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao
tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa
ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa
muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio
nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa
ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi
hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
| Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa wapi | {
"text": [
"Duniani"
]
} |
4911_swa | UGONJWA HATARI
Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi
hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa
uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na
kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata
kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na
mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu.
Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa
mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini
kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni
viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo
hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa
mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa
hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana
na ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya
kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia
Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo
virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka
kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni
kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa
miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa
ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na
mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi
sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi
hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni
sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji
wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa.
Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu
aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa
mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi
virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini.
Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti
watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya
uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila
mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa
tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya
busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili
kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa
wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi
basi tutazuia ugonjwa huu hatari.
Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata
kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na
basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu
yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia
kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika
kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu
wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia
uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi
huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije
wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na
kukatwa.
Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa
mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza
kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema
yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na
mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa
mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama
mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa
na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo
maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni
sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia
kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa
tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama
wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari.
Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa
ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa
njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa
huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa
huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo
basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo
katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa
mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao
tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa
ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa
muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio
nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa
ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi
hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
| Kwa nini wagonjwa wa ukimwi wale vyema | {
"text": [
"Ili waishi maisha marefu"
]
} |
4912_swa | Dua la kuku halimpati mwewe
Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea
kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni
ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake
walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a
na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa
za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi
kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba
kwa kutumia mawe.
Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa
mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa
mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika
mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika
mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na
kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule
alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo
yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa
hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron
katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika
mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake
ingetimia.
Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila
siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya
wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing
,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa
mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya
kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa
tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi
ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa
wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku
ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege
,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale
bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana
kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika
stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika
nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale
wanariadha.
Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi
walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa
mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi
ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza
akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili
liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa
tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha
wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha
zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania
kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha
ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania
uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio
zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao.
Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi
wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati
mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron
ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua
dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza
maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi.
Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri
masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron
alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa
ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla
atafute matibabu zaidi.
Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke
mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi
uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi
nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia
matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye
ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi.
Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au
nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote
ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya
kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
| Hezron Matiba alijulikana kuwa mwanaridha hodari hapo katika miaka ipi | {
"text": [
"1956"
]
} |
4912_swa | Dua la kuku halimpati mwewe
Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea
kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni
ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake
walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a
na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa
za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi
kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba
kwa kutumia mawe.
Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa
mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa
mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika
mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika
mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na
kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule
alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo
yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa
hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron
katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika
mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake
ingetimia.
Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila
siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya
wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing
,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa
mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya
kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa
tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi
ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa
wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku
ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege
,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale
bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana
kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika
stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika
nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale
wanariadha.
Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi
walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa
mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi
ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza
akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili
liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa
tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha
wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha
zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania
kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha
ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania
uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio
zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao.
Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi
wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati
mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron
ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua
dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza
maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi.
Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri
masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron
alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa
ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla
atafute matibabu zaidi.
Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke
mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi
uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi
nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia
matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye
ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi.
Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au
nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote
ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya
kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
| Kulitangazwa mashindano ya wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini wapi | {
"text": [
"Beijing"
]
} |
4912_swa | Dua la kuku halimpati mwewe
Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea
kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni
ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake
walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a
na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa
za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi
kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba
kwa kutumia mawe.
Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa
mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa
mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika
mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika
mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na
kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule
alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo
yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa
hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron
katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika
mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake
ingetimia.
Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila
siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya
wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing
,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa
mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya
kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa
tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi
ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa
wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku
ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege
,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale
bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana
kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika
stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika
nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale
wanariadha.
Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi
walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa
mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi
ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza
akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili
liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa
tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha
wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha
zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania
kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha
ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania
uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio
zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao.
Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi
wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati
mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron
ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua
dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza
maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi.
Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri
masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron
alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa
ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla
atafute matibabu zaidi.
Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke
mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi
uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi
nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia
matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye
ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi.
Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au
nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote
ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya
kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
| Wtu walimchinja nini ili kuandaa karamu | {
"text": [
"Mbuzi"
]
} |
4912_swa | Dua la kuku halimpati mwewe
Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea
kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni
ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake
walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a
na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa
za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi
kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba
kwa kutumia mawe.
Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa
mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa
mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika
mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika
mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na
kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule
alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo
yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa
hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron
katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika
mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake
ingetimia.
Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila
siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya
wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing
,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa
mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya
kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa
tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi
ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa
wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku
ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege
,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale
bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana
kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika
stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika
nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale
wanariadha.
Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi
walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa
mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi
ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza
akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili
liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa
tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha
wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha
zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania
kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha
ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania
uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio
zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao.
Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi
wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati
mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron
ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua
dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza
maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi.
Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri
masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron
alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa
ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla
atafute matibabu zaidi.
Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke
mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi
uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi
nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia
matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye
ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi.
Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au
nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote
ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya
kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
| Hezron alipata jeraha wapi | {
"text": [
"Uti wa mgongo"
]
} |
4912_swa | Dua la kuku halimpati mwewe
Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea
kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni
ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake
walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a
na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa
za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi
kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba
kwa kutumia mawe.
Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa
mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa
mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika
mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika
mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na
kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule
alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo
yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa
hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron
katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika
mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake
ingetimia.
Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila
siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya
wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing
,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa
mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya
kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa
tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi
ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa
wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku
ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege
,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale
bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana
kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika
stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika
nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale
wanariadha.
Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi
walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa
mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi
ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza
akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili
liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa
tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha
wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha
zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania
kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha
ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania
uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio
zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao.
Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi
wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati
mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron
ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua
dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza
maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi.
Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri
masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron
alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa
ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla
atafute matibabu zaidi.
Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke
mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi
uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi
nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia
matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye
ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi.
Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au
nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote
ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya
kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
| Kwa nini Hezron alifilisika | {
"text": [
"Alitumia pesa zake zote kwa matibabu"
]
} |
4913_swa | HARUSI NILIOHUDHURIA.
Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho
yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa
nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba
wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana
jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati
wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje
kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa
yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na
kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na
atakayekuwa nyumbani wakati huo.
Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na
karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa
anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata
kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa
ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa
wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa
nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa
anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi
ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake
walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi
alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana
wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii
ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na
kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa
kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana
Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi
Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana
mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto
wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao.
Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana
maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga
pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia
jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za
maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa
nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi
walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya
aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la
kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa
lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine
walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana
,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni
kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa
yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu
walijipata wanaimba twisti.
Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi
kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia
chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota
angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani
waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya
viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana
mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si
mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale
waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote
vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua
kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa
wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo
wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo
nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
| Bw. na Bi. mkubwa wameketi wapi chini ya nini | {
"text": [
"Mnazi"
]
} |
4913_swa | HARUSI NILIOHUDHURIA.
Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho
yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa
nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba
wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana
jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati
wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje
kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa
yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na
kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na
atakayekuwa nyumbani wakati huo.
Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na
karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa
anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata
kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa
ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa
wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa
nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa
anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi
ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake
walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi
alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana
wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii
ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na
kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa
kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana
Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi
Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana
mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto
wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao.
Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana
maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga
pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia
jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za
maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa
nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi
walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya
aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la
kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa
lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine
walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana
,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni
kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa
yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu
walijipata wanaimba twisti.
Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi
kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia
chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota
angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani
waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya
viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana
mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si
mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale
waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote
vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua
kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa
wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo
wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo
nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
| Bi. Mkubwa alivutiwa na nini ya mchumbake | {
"text": [
"Ujasiri"
]
} |
4913_swa | HARUSI NILIOHUDHURIA.
Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho
yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa
nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba
wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana
jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati
wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje
kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa
yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na
kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na
atakayekuwa nyumbani wakati huo.
Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na
karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa
anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata
kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa
ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa
wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa
nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa
anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi
ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake
walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi
alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana
wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii
ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na
kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa
kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana
Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi
Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana
mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto
wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao.
Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana
maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga
pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia
jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za
maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa
nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi
walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya
aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la
kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa
lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine
walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana
,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni
kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa
yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu
walijipata wanaimba twisti.
Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi
kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia
chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota
angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani
waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya
viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana
mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si
mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale
waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote
vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua
kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa
wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo
wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo
nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
| Walifunga pingu za maisha miaka ipi | {
"text": [
"2004"
]
} |
4913_swa | HARUSI NILIOHUDHURIA.
Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho
yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa
nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba
wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana
jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati
wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje
kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa
yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na
kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na
atakayekuwa nyumbani wakati huo.
Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na
karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa
anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata
kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa
ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa
wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa
nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa
anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi
ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake
walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi
alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana
wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii
ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na
kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa
kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana
Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi
Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana
mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto
wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao.
Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana
maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga
pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia
jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za
maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa
nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi
walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya
aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la
kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa
lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine
walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana
,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni
kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa
yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu
walijipata wanaimba twisti.
Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi
kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia
chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota
angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani
waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya
viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana
mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si
mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale
waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote
vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua
kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa
wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo
wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo
nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
| Gauni la bibi harusi lilifagia wapi | {
"text": [
"Chini"
]
} |
4913_swa | HARUSI NILIOHUDHURIA.
Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho
yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa
nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba
wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana
jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati
wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje
kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa
yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na
kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na
atakayekuwa nyumbani wakati huo.
Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na
karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa
anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata
kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa
ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa
wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa
nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa
anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi
ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake
walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi
alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana
wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii
ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na
kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa
kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana
Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi
Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana
mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto
wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao.
Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana
maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga
pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia
jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za
maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa
nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi
walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya
aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la
kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa
lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine
walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana
,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni
kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa
yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu
walijipata wanaimba twisti.
Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi
kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia
chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota
angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani
waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya
viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana
mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si
mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale
waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote
vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua
kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa
wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo
wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo
nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
| Waliapa kuishi kwa mapenzi gani | {
"text": [
"Ya kweli hadi siku ya kiama"
]
} |
4914_swa | SIKU KUU YA KRISIMASI
Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila
mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na
furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye
yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi
hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa
shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii
inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo
wote duniani.
Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia
zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia
wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na
kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa
vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya
kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya
kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si
kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii
huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu
mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata
kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru
sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu.
Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida
zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi
ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni
kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya
bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu
mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa
hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi
kikubwa msimu huu.
Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni
jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati
huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia
mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si
wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu
wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa
sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini
zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani
magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa
barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa
waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu.
Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto
huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda
kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya
densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume
wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali
mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa
wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula
vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani
mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika
mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na
kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu
kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya
kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa
mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye.
Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria
kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki
na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa
ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za
burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii.
Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale
wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea
siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
| Ni siku gani ambayo wakristo husherehekea mwakani | {
"text": [
"Siku ya krisimasi"
]
} |
4914_swa | SIKU KUU YA KRISIMASI
Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila
mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na
furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye
yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi
hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa
shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii
inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo
wote duniani.
Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia
zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia
wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na
kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa
vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya
kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya
kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si
kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii
huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu
mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata
kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru
sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu.
Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida
zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi
ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni
kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya
bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu
mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa
hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi
kikubwa msimu huu.
Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni
jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati
huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia
mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si
wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu
wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa
sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini
zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani
magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa
barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa
waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu.
Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto
huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda
kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya
densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume
wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali
mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa
wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula
vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani
mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika
mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na
kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu
kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya
kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa
mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye.
Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria
kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki
na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa
ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za
burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii.
Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale
wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea
siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
| Watota waliokulia mijini hupata fursa ya kuwaona wanyama wepi | {
"text": [
"Kuku, mbuzi, kondoo na bata"
]
} |
4914_swa | SIKU KUU YA KRISIMASI
Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila
mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na
furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye
yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi
hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa
shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii
inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo
wote duniani.
Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia
zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia
wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na
kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa
vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya
kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya
kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si
kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii
huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu
mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata
kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru
sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu.
Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida
zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi
ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni
kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya
bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu
mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa
hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi
kikubwa msimu huu.
Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni
jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati
huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia
mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si
wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu
wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa
sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini
zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani
magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa
barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa
waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu.
Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto
huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda
kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya
densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume
wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali
mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa
wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula
vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani
mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika
mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na
kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu
kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya
kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa
mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye.
Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria
kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki
na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa
ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za
burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii.
Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale
wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea
siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
| Biashara za bidhaa gani ambazo hunoga msimu wa krisimasi | {
"text": [
"Nguo, viatu, vyakula na wanyama"
]
} |
4914_swa | SIKU KUU YA KRISIMASI
Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila
mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na
furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye
yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi
hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa
shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii
inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo
wote duniani.
Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia
zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia
wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na
kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa
vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya
kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya
kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si
kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii
huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu
mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata
kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru
sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu.
Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida
zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi
ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni
kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya
bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu
mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa
hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi
kikubwa msimu huu.
Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni
jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati
huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia
mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si
wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu
wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa
sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini
zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani
magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa
barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa
waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu.
Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto
huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda
kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya
densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume
wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali
mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa
wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula
vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani
mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika
mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na
kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu
kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya
kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa
mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye.
Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria
kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki
na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa
ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za
burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii.
Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale
wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea
siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
| Jambo gani hutokea wakati magari hatimizi matakwa ya barabarani | {
"text": [
"Dereva hutoa hongo"
]
} |
4914_swa | SIKU KUU YA KRISIMASI
Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila
mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na
furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye
yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi
hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa
shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii
inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo
wote duniani.
Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia
zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia
wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na
kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa
vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya
kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya
kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si
kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii
huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu
mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata
kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru
sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu.
Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida
zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi
ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni
kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya
bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu
mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa
hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi
kikubwa msimu huu.
Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni
jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati
huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia
mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si
wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu
wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa
sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini
zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani
magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa
barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa
waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu.
Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto
huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda
kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya
densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume
wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali
mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa
wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula
vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani
mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika
mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na
kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu
kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya
kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa
mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye.
Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria
kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki
na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa
ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za
burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii.
Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale
wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea
siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
| Wanaume wengi husherehekea krisimasi wapi | {
"text": [
"Vilabuni"
]
} |
4916_swa | MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI.
Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta
madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara
haya ni pamoja na:
Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza
kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu
kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali
kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi
basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni
kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa
nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya
kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi
dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini.
Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya
zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa
wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa
manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya
kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi
kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi
nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi.
Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba
pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama
ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga
kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso
ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya
usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu
huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu.
Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi
kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu
ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia
nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye
kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo
hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote
kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni
tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano.
Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na
kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa
wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na
ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa
uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa
kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta
mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia.
Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia
kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za
kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi
ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza
kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti
tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na
maswala kama hayo.
Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza
uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
| Bangi, sigara na pombe ni nini | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4916_swa | MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI.
Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta
madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara
haya ni pamoja na:
Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza
kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu
kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali
kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi
basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni
kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa
nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya
kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi
dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini.
Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya
zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa
wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa
manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya
kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi
kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi
nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi.
Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba
pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama
ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga
kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso
ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya
usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu
huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu.
Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi
kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu
ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia
nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye
kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo
hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote
kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni
tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano.
Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na
kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa
wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na
ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa
uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa
kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta
mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia.
Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia
kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za
kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi
ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza
kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti
tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na
maswala kama hayo.
Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza
uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
| Nini huleta saratani na magonjwa ya zinaa | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4916_swa | MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI.
Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta
madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara
haya ni pamoja na:
Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza
kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu
kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali
kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi
basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni
kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa
nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya
kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi
dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini.
Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya
zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa
wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa
manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya
kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi
kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi
nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi.
Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba
pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama
ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga
kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso
ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya
usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu
huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu.
Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi
kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu
ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia
nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye
kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo
hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote
kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni
tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano.
Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na
kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa
wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na
ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa
uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa
kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta
mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia.
Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia
kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za
kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi
ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza
kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti
tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na
maswala kama hayo.
Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza
uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
| Utovu wa usalama huletwa na nini | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
4916_swa | MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI.
Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta
madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara
haya ni pamoja na:
Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza
kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu
kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali
kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi
basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni
kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa
nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya
kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi
dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini.
Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya
zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa
wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa
manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya
kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi
kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi
nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi.
Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba
pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama
ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga
kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso
ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya
usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu
huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu.
Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi
kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu
ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia
nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye
kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo
hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote
kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni
tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano.
Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na
kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa
wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na
ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa
uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa
kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta
mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia.
Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia
kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za
kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi
ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza
kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti
tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na
maswala kama hayo.
Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza
uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
| Waraibu wa pombe hupiga nini usiku | {
"text": [
"Kelele"
]
} |
4916_swa | MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI.
Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta
madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara
haya ni pamoja na:
Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza
kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu
kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali
kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi
basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni
kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa
nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya
kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi
dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini.
Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya
zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa
wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa
manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya
kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi
kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi
nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi.
Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba
pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama
ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga
kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso
ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya
usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu
huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu.
Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi
kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu
ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia
nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye
kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo
hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote
kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni
tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano.
Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na
kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa
wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na
ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa
uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa
kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta
mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia.
Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia
kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za
kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi
ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza
kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti
tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na
maswala kama hayo.
Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza
uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
| Nani hufilisi serikali | {
"text": [
"Walanguzi wa dawa za kulevya"
]
} |
4917_swa | YALINIKUMBA
Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale.
Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia
kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi.
Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi
yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili.
Laiti singezaliwa mimi!
Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya
kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa
yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama.
Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si
wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali,
taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa
saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia.
Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa
kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo
niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli
lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza
kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya
chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza
kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani
mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa
nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa
ameniuma!
Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga
baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi
ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye
tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini
baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama
alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo
ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe
mpe.
Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa
kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na
malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia
wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama
mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe
mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme
nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa
aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe
usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo
wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha
barafu katika utupu wa changwa.
Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana
waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha
wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia
kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa
naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
sasa yamenikumba!
Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na
shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma
na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake
ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa
vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu
mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa
mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe.
Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio.
Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama
shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi
katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye
karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa
kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo
kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya
kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka
usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
| Nani alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale? | {
"text": [
"Mfalme jua"
]
} |
4917_swa | YALINIKUMBA
Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale.
Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia
kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi.
Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi
yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili.
Laiti singezaliwa mimi!
Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya
kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa
yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama.
Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si
wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali,
taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa
saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia.
Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa
kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo
niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli
lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza
kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya
chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza
kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani
mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa
nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa
ameniuma!
Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga
baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi
ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye
tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini
baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama
alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo
ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe
mpe.
Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa
kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na
malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia
wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama
mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe
mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme
nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa
aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe
usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo
wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha
barafu katika utupu wa changwa.
Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana
waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha
wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia
kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa
naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
sasa yamenikumba!
Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na
shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma
na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake
ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa
vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu
mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa
mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe.
Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio.
Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama
shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi
katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye
karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa
kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo
kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya
kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka
usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
| Nini iliashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi? | {
"text": [
"Kufifia kwa mionzi ya jua"
]
} |
4917_swa | YALINIKUMBA
Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale.
Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia
kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi.
Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi
yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili.
Laiti singezaliwa mimi!
Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya
kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa
yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama.
Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si
wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali,
taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa
saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia.
Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa
kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo
niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli
lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza
kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya
chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza
kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani
mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa
nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa
ameniuma!
Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga
baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi
ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye
tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini
baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama
alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo
ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe
mpe.
Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa
kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na
malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia
wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama
mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe
mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme
nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa
aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe
usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo
wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha
barafu katika utupu wa changwa.
Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana
waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha
wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia
kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa
naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
sasa yamenikumba!
Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na
shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma
na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake
ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa
vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu
mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa
mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe.
Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio.
Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama
shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi
katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye
karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa
kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo
kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya
kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka
usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
| Nini zilifanya jiji kuonekana kama mchana bandia japokuwa ni usiku? | {
"text": [
"Taa za umeme "
]
} |
4917_swa | YALINIKUMBA
Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale.
Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia
kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi.
Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi
yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili.
Laiti singezaliwa mimi!
Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya
kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa
yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama.
Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si
wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali,
taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa
saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia.
Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa
kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo
niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli
lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza
kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya
chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza
kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani
mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa
nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa
ameniuma!
Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga
baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi
ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye
tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini
baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama
alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo
ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe
mpe.
Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa
kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na
malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia
wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama
mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe
mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme
nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa
aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe
usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo
wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha
barafu katika utupu wa changwa.
Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana
waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha
wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia
kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa
naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
sasa yamenikumba!
Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na
shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma
na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake
ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa
vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu
mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa
mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe.
Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio.
Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama
shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi
katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye
karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa
kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo
kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya
kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka
usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
| Mwandishi alianza kukonda mithili ya nani? | {
"text": [
"Mbwa wa changwani"
]
} |
4917_swa | YALINIKUMBA
Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale.
Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia
kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi.
Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi
yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili.
Laiti singezaliwa mimi!
Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya
kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa
yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama.
Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si
wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali,
taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa
saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia.
Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa
kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo
niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli
lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza
kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya
chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza
kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani
mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa
nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa
ameniuma!
Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga
baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi
ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye
tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini
baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama
alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo
ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe
mpe.
Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa
kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na
malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia
wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama
mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe
mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme
nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa
aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe
usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo
wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha
barafu katika utupu wa changwa.
Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana
waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha
wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia
kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa
naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
sasa yamenikumba!
Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na
shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma
na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake
ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa
vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu
mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa
mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe.
Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio.
Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama
shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi
katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye
karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa
kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo
kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya
kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka
usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
| Shida zake mwandishi zilianza wakati upi? | {
"text": [
"Baada ya kumaliza kidato cha nne"
]
} |
4918_swa | Msongo Wa Mawazo
Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi
hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao
huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara
mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri
wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia
kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana
nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto.
Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo
mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni
muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi.
Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra
afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine,
watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa
kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la
mmoja wao liliwaweka katika hali hii.
Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi
haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma
kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo
wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu
kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na
asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa
mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata
hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na
hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu,
wasijishughulishe na chochote.
Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute
washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe,
washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La
kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na
gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho.
Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema.
Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia.
Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu
haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge.
Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa
mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa
na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na
marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya
ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia
na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba
kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo
unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao
wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba
wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo.
Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo.
Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia.
Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi
wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno.
Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako
mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo
ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia
katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia
yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja
huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo
amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua
kudhibiti msongo wa mawazo.
Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana
na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho
kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha
mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na
kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa
upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga
mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
| Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali ipi | {
"text": [
"Tatanishi"
]
} |
4918_swa | Msongo Wa Mawazo
Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi
hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao
huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara
mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri
wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia
kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana
nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto.
Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo
mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni
muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi.
Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra
afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine,
watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa
kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la
mmoja wao liliwaweka katika hali hii.
Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi
haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma
kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo
wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu
kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na
asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa
mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata
hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na
hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu,
wasijishughulishe na chochote.
Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute
washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe,
washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La
kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na
gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho.
Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema.
Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia.
Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu
haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge.
Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa
mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa
na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na
marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya
ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia
na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba
kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo
unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao
wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba
wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo.
Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo.
Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia.
Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi
wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno.
Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako
mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo
ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia
katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia
yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja
huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo
amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua
kudhibiti msongo wa mawazo.
Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana
na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho
kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha
mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na
kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa
upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga
mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
| Nani wanashauri ambao wamesongwa waende watafute washauri | {
"text": [
"Madaktari"
]
} |
4918_swa | Msongo Wa Mawazo
Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi
hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao
huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara
mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri
wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia
kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana
nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto.
Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo
mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni
muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi.
Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra
afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine,
watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa
kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la
mmoja wao liliwaweka katika hali hii.
Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi
haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma
kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo
wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu
kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na
asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa
mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata
hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na
hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu,
wasijishughulishe na chochote.
Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute
washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe,
washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La
kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na
gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho.
Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema.
Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia.
Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu
haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge.
Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa
mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa
na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na
marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya
ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia
na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba
kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo
unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao
wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba
wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo.
Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo.
Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia.
Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi
wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno.
Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako
mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo
ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia
katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia
yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja
huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo
amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua
kudhibiti msongo wa mawazo.
Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana
na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho
kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha
mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na
kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa
upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga
mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
| Marafiki na jamii pia huwa nini muhimu katika kina cha msongo wa mawazo | {
"text": [
"Nguzo"
]
} |
4918_swa | Msongo Wa Mawazo
Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi
hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao
huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara
mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri
wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia
kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana
nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto.
Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo
mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni
muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi.
Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra
afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine,
watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa
kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la
mmoja wao liliwaweka katika hali hii.
Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi
haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma
kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo
wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu
kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na
asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa
mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata
hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na
hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu,
wasijishughulishe na chochote.
Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute
washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe,
washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La
kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na
gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho.
Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema.
Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia.
Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu
haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge.
Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa
mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa
na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na
marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya
ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia
na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba
kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo
unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao
wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba
wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo.
Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo.
Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia.
Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi
wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno.
Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako
mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo
ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia
katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia
yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja
huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo
amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua
kudhibiti msongo wa mawazo.
Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana
na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho
kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha
mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na
kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa
upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga
mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
| Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni nini | {
"text": [
"Dini"
]
} |
4918_swa | Msongo Wa Mawazo
Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi
hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao
huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara
mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri
wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia
kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana
nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto.
Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo
mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni
muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi.
Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra
afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine,
watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa
kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la
mmoja wao liliwaweka katika hali hii.
Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi
haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma
kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo
wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu
kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na
asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa
mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata
hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na
hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu,
wasijishughulishe na chochote.
Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute
washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe,
washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La
kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na
gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho.
Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema.
Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia.
Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu
haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge.
Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa
mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa
na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na
marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya
ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia
na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba
kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo
unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao
wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba
wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo.
Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo.
Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia.
Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi
wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno.
Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako
mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo
ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia
katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia
yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja
huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo
amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua
kudhibiti msongo wa mawazo.
Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana
na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho
kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha
mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na
kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa
upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga
mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
| Kwa nini mtu aachane na jambo linalomtia katika lindi la mawazo | {
"text": [
"Ili kupambana na msongo wa mawazo"
]
} |
4919_swa | MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME
Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka
chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo
akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa
anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi
lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote
kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji
mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba
na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila
mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii
inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa
maishani.
Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna.
Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama
Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa
pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama
kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza
kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo
ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada
ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale
nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia
wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi
apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake.
Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na
kumshukuru Mungu mara kwa mara.
Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na
kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku
kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu
darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga
vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa
kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu
wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda
mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi.
Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani.
Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni.
Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma
wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri.
Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha
kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu
vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka
asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu
ifaavyo.
Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia.
Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa.
Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo
na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi
walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye
iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi.
Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake
kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula
kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa
wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake.
Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka
wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba
hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata
kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya
vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye
na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha
hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi
na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka.
Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga
kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu
walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka
kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije
nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye
beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi
mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na
uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu
bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia
akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya
baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja
chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani
ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya
wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi.
Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele.
Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi.
Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya
kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa
wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa
muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri
watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba
akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali
bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na
basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka
nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama
na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula
bitakavyoliwa pale mkahawa I.
Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila
kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali
ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu.
Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga
mtaka cha mvunguni sharti ainame.
| Alikuwa darasa lipi | {
"text": [
"Pili"
]
} |
4919_swa | MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME
Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka
chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo
akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa
anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi
lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote
kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji
mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba
na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila
mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii
inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa
maishani.
Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna.
Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama
Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa
pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama
kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza
kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo
ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada
ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale
nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia
wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi
apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake.
Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na
kumshukuru Mungu mara kwa mara.
Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na
kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku
kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu
darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga
vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa
kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu
wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda
mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi.
Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani.
Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni.
Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma
wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri.
Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha
kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu
vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka
asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu
ifaavyo.
Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia.
Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa.
Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo
na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi
walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye
iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi.
Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake
kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula
kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa
wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake.
Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka
wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba
hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata
kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya
vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye
na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha
hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi
na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka.
Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga
kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu
walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka
kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije
nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye
beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi
mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na
uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu
bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia
akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya
baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja
chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani
ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya
wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi.
Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele.
Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi.
Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya
kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa
wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa
muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri
watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba
akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali
bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na
basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka
nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama
na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula
bitakavyoliwa pale mkahawa I.
Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila
kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali
ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu.
Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga
mtaka cha mvunguni sharti ainame.
| Nani alimsaidia kuuza vitumbua | {
"text": [
"Rosa"
]
} |
4919_swa | MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME
Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka
chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo
akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa
anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi
lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote
kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji
mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba
na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila
mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii
inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa
maishani.
Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna.
Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama
Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa
pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama
kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza
kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo
ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada
ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale
nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia
wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi
apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake.
Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na
kumshukuru Mungu mara kwa mara.
Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na
kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku
kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu
darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga
vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa
kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu
wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda
mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi.
Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani.
Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni.
Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma
wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri.
Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha
kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu
vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka
asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu
ifaavyo.
Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia.
Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa.
Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo
na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi
walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye
iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi.
Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake
kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula
kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa
wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake.
Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka
wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba
hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata
kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya
vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye
na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha
hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi
na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka.
Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga
kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu
walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka
kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije
nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye
beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi
mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na
uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu
bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia
akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya
baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja
chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani
ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya
wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi.
Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele.
Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi.
Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya
kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa
wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa
muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri
watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba
akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali
bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na
basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka
nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama
na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula
bitakavyoliwa pale mkahawa I.
Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila
kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali
ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu.
Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga
mtaka cha mvunguni sharti ainame.
| Wapi alikuwa akitia bidii | {
"text": [
"Shuleni"
]
} |
4919_swa | MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME
Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka
chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo
akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa
anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi
lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote
kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji
mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba
na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila
mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii
inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa
maishani.
Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna.
Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama
Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa
pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama
kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza
kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo
ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada
ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale
nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia
wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi
apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake.
Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na
kumshukuru Mungu mara kwa mara.
Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na
kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku
kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu
darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga
vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa
kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu
wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda
mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi.
Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani.
Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni.
Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma
wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri.
Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha
kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu
vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka
asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu
ifaavyo.
Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia.
Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa.
Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo
na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi
walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye
iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi.
Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake
kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula
kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa
wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake.
Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka
wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba
hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata
kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya
vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye
na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha
hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi
na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka.
Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga
kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu
walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka
kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije
nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye
beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi
mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na
uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu
bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia
akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya
baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja
chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani
ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya
wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi.
Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele.
Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi.
Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya
kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa
wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa
muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri
watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba
akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali
bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na
basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka
nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama
na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula
bitakavyoliwa pale mkahawa I.
Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila
kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali
ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu.
Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga
mtaka cha mvunguni sharti ainame.
| Alirauka lini kusoma kidogo | {
"text": [
"Asubuhi"
]
} |
4919_swa | MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME
Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka
chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo
akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa
anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi
lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote
kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji
mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba
na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila
mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii
inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa
maishani.
Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna.
Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama
Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa
pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama
kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza
kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo
ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada
ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale
nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia
wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi
apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake.
Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na
kumshukuru Mungu mara kwa mara.
Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na
kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku
kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu
darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga
vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa
kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu
wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda
mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi.
Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani.
Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni.
Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma
wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri.
Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha
kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu
vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka
asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu
ifaavyo.
Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia.
Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa.
Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo
na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi
walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye
iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi.
Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake
kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula
kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa
wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake.
Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka
wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba
hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata
kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya
vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye
na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha
hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi
na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka.
Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga
kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu
walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka
kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije
nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye
beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi
mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na
uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu
bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia
akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya
baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja
chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani
ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya
wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi.
Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele.
Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi.
Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya
kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa
wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa
muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri
watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba
akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali
bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na
basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka
nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama
na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula
bitakavyoliwa pale mkahawa I.
Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila
kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali
ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu.
Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga
mtaka cha mvunguni sharti ainame.
| Kwa nini mama aliwaajiri wafanyikazi wengine | {
"text": [
"Ili kufanya kazi iwe rahisi"
]
} |
4920_swa | MTOTO WA WENYEWE.
Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria
nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa
letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka
Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama
amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu
walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia
ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa
ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na
Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba
urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali
kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo
ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula
pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na
Vicky basi mpaka tukahitimu.
Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na
Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo
halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa
tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani
zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu
nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo
Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle
chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona
Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi
walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky
na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu
na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze
kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa
Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani.
Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda
mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea
nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu.
Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo
yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa
ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia
awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na
Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza
kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita
aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote.
Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa
na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini
Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa
nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake
alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua
mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky
akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua
kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na
hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda
mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa
na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila
kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba
mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria
kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa
kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya
vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa
sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio
wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa
aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa
mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu
na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi.
Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya
vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo
ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky
alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja
Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila
alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki
kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri
kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza
mapenzi mapya.
| Nani alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu | {
"text": [
"Victoria"
]
} |
4920_swa | MTOTO WA WENYEWE.
Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria
nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa
letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka
Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama
amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu
walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia
ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa
ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na
Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba
urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali
kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo
ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula
pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na
Vicky basi mpaka tukahitimu.
Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na
Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo
halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa
tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani
zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu
nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo
Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle
chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona
Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi
walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky
na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu
na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze
kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa
Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani.
Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda
mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea
nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu.
Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo
yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa
ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia
awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na
Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza
kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita
aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote.
Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa
na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini
Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa
nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake
alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua
mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky
akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua
kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na
hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda
mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa
na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila
kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba
mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria
kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa
kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya
vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa
sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio
wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa
aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa
mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu
na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi.
Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya
vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo
ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky
alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja
Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila
alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki
kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri
kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza
mapenzi mapya.
| Victoria aliitwa kwa ufupi vipi | {
"text": [
"Vicky"
]
} |
4920_swa | MTOTO WA WENYEWE.
Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria
nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa
letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka
Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama
amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu
walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia
ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa
ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na
Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba
urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali
kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo
ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula
pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na
Vicky basi mpaka tukahitimu.
Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na
Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo
halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa
tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani
zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu
nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo
Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle
chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona
Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi
walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky
na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu
na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze
kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa
Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani.
Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda
mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea
nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu.
Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo
yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa
ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia
awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na
Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza
kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita
aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote.
Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa
na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini
Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa
nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake
alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua
mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky
akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua
kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na
hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda
mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa
na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila
kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba
mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria
kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa
kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya
vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa
sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio
wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa
aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa
mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu
na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi.
Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya
vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo
ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky
alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja
Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila
alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki
kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri
kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza
mapenzi mapya.
| Vicky alijiunga na chuo kipi | {
"text": [
"Cha ufundi"
]
} |
4920_swa | MTOTO WA WENYEWE.
Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria
nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa
letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka
Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama
amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu
walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia
ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa
ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na
Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba
urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali
kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo
ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula
pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na
Vicky basi mpaka tukahitimu.
Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na
Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo
halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa
tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani
zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu
nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo
Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle
chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona
Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi
walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky
na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu
na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze
kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa
Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani.
Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda
mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea
nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu.
Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo
yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa
ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia
awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na
Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza
kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita
aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote.
Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa
na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini
Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa
nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake
alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua
mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky
akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua
kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na
hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda
mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa
na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila
kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba
mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria
kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa
kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya
vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa
sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio
wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa
aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa
mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu
na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi.
Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya
vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo
ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky
alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja
Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila
alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki
kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri
kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza
mapenzi mapya.
| walielewana na nani bila tatizo | {
"text": [
"Benita"
]
} |
4920_swa | MTOTO WA WENYEWE.
Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria
nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa
letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka
Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama
amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu
walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia
ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa
ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na
Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba
urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali
kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo
ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula
pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na
Vicky basi mpaka tukahitimu.
Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na
Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo
halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa
tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani
zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu
nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo
Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle
chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona
Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi
walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky
na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu
na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze
kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa
Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani.
Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda
mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea
nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu.
Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo
yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa
ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia
awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na
Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza
kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita
aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote.
Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa
na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini
Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa
nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake
alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua
mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky
akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua
kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na
hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda
mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa
na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila
kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba
mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria
kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa
kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya
vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa
sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio
wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa
aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa
mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu
na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi.
Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya
vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo
ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky
alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja
Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila
alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki
kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri
kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza
mapenzi mapya.
| Alijuaje mtoto Vicky si wake | {
"text": [
"Baada ya kufanyiwa vipimo nakuambiwa hana uwezo wa kwa baba"
]
} |
4921_swa | MUI HUWA MWEMA
Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita
watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni.
Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata
nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki
tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni.
Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama
Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha.
Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa
aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala
la mteka maji msikitini.
Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila
namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu.
Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta
visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili
nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa
sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima
polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya
kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi
waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile
jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua
dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha
tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao.
Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza
katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata
wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika
na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa.
Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea.
Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema
mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha
kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie.
Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na
kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa
akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho
kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na
kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa
moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi
nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka.
Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu
kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi.
Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine.
Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri.
Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia
wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa
mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa
kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule
jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini.
Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza
kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila
mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa
nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba
aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika
wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia
kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi
kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata
alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na
nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena.
Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali
kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi
wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo.
Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu
walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
| Mwandishi alikuwa kati ya watoto gani mtaani | {
"text": [
"Sugu"
]
} |
4921_swa | MUI HUWA MWEMA
Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita
watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni.
Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata
nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki
tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni.
Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama
Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha.
Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa
aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala
la mteka maji msikitini.
Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila
namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu.
Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta
visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili
nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa
sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima
polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya
kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi
waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile
jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua
dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha
tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao.
Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza
katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata
wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika
na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa.
Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea.
Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema
mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha
kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie.
Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na
kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa
akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho
kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na
kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa
moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi
nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka.
Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu
kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi.
Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine.
Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri.
Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia
wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa
mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa
kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule
jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini.
Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza
kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila
mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa
nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba
aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika
wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia
kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi
kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata
alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na
nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena.
Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali
kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi
wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo.
Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu
walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
| Mwandishi alitupiwa nini alipopita | {
"text": [
"Macho"
]
} |
4921_swa | MUI HUWA MWEMA
Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita
watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni.
Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata
nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki
tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni.
Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama
Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha.
Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa
aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala
la mteka maji msikitini.
Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila
namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu.
Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta
visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili
nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa
sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima
polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya
kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi
waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile
jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua
dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha
tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao.
Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza
katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata
wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika
na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa.
Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea.
Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema
mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha
kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie.
Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na
kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa
akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho
kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na
kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa
moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi
nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka.
Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu
kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi.
Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine.
Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri.
Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia
wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa
mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa
kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule
jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini.
Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza
kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila
mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa
nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba
aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika
wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia
kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi
kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata
alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na
nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena.
Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali
kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi
wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo.
Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu
walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
| Mwandishi alijifunza kulewa na kuvuta visivyotakikana akiwa wapi | {
"text": [
"Shuleni"
]
} |
4921_swa | MUI HUWA MWEMA
Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita
watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni.
Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata
nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki
tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni.
Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama
Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha.
Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa
aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala
la mteka maji msikitini.
Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila
namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu.
Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta
visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili
nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa
sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima
polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya
kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi
waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile
jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua
dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha
tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao.
Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza
katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata
wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika
na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa.
Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea.
Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema
mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha
kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie.
Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na
kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa
akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho
kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na
kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa
moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi
nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka.
Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu
kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi.
Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine.
Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri.
Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia
wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa
mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa
kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule
jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini.
Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza
kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila
mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa
nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba
aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika
wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia
kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi
kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata
alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na
nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena.
Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali
kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi
wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo.
Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu
walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
| Mwandishi darasani alikuwa anaambulia nambari ya ngapi | {
"text": [
"Tatu"
]
} |
4921_swa | MUI HUWA MWEMA
Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita
watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni.
Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata
nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki
tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni.
Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama
Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha.
Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa
aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala
la mteka maji msikitini.
Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila
namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu.
Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta
visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili
nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa
sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima
polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya
kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi
waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile
jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua
dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha
tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao.
Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza
katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata
wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika
na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa.
Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea.
Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema
mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha
kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie.
Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na
kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa
akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho
kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na
kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa
moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi
nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka.
Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu
kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi.
Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine.
Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri.
Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia
wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa
mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa
kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule
jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini.
Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza
kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila
mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa
nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba
aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika
wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia
kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi
kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata
alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na
nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena.
Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali
kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi
wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo.
Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu
walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
| Mwandishi alianza kuzurura baada ya kufanya kazi gani | {
"text": [
"Ya likizo"
]
} |
4922_swa | MUI HUWA MWEMA
Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha
kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri
kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu
kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya
kuwachukia.
Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na
babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na
wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora
mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu
alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona
viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto
wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote
walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau
misingi inayokubalika katika jamii.
Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata
marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza
kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia
akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa
kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama
akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada
ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila
kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo
marafiki zake wakamtenga
Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi
wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake
walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na
wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini
baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye
vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo
kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya
vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima.
Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na
abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni
mwake kwa kuwa alitoa maskio nta.
Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo
awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki
zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo.
Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia
marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi
ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza
kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha
mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao.
Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za
Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao
badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini
walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa
yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana
maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa
kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji
msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi.
Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua
kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila
mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu.
Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua
mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa
wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu
kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo
alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo
Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu
Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu
na kazi ya sulubu.
Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa
amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu
alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na
kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa
arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa
mfano.kweli Mui huwa mwema!
| Mtu mwenye mazoea na tabia mbaya huitwaje | {
"text": [
"Mui"
]
} |
4922_swa | MUI HUWA MWEMA
Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha
kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri
kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu
kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya
kuwachukia.
Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na
babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na
wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora
mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu
alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona
viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto
wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote
walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau
misingi inayokubalika katika jamii.
Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata
marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza
kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia
akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa
kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama
akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada
ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila
kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo
marafiki zake wakamtenga
Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi
wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake
walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na
wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini
baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye
vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo
kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya
vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima.
Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na
abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni
mwake kwa kuwa alitoa maskio nta.
Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo
awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki
zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo.
Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia
marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi
ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza
kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha
mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao.
Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za
Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao
badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini
walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa
yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana
maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa
kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji
msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi.
Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua
kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila
mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu.
Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua
mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa
wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu
kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo
alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo
Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu
Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu
na kazi ya sulubu.
Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa
amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu
alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na
kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa
arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa
mfano.kweli Mui huwa mwema!
| Nalo alizaliwa wapi | {
"text": [
"Kijiji cha moyo"
]
} |
4922_swa | MUI HUWA MWEMA
Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha
kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri
kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu
kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya
kuwachukia.
Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na
babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na
wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora
mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu
alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona
viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto
wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote
walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau
misingi inayokubalika katika jamii.
Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata
marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza
kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia
akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa
kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama
akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada
ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila
kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo
marafiki zake wakamtenga
Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi
wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake
walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na
wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini
baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye
vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo
kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya
vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima.
Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na
abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni
mwake kwa kuwa alitoa maskio nta.
Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo
awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki
zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo.
Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia
marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi
ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza
kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha
mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao.
Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za
Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao
badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini
walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa
yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana
maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa
kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji
msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi.
Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua
kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila
mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu.
Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua
mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa
wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu
kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo
alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo
Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu
Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu
na kazi ya sulubu.
Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa
amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu
alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na
kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa
arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa
mfano.kweli Mui huwa mwema!
| Nalo aliwatenda wenzake maovu yapi | {
"text": [
"Aliwacharaza kwa viboko, kuwauma kwa meno"
]
} |
4922_swa | MUI HUWA MWEMA
Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha
kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri
kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu
kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya
kuwachukia.
Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na
babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na
wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora
mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu
alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona
viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto
wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote
walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau
misingi inayokubalika katika jamii.
Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata
marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza
kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia
akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa
kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama
akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada
ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila
kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo
marafiki zake wakamtenga
Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi
wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake
walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na
wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini
baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye
vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo
kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya
vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima.
Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na
abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni
mwake kwa kuwa alitoa maskio nta.
Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo
awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki
zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo.
Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia
marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi
ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza
kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha
mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao.
Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za
Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao
badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini
walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa
yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana
maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa
kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji
msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi.
Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua
kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila
mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu.
Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua
mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa
wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu
kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo
alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo
Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu
Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu
na kazi ya sulubu.
Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa
amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu
alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na
kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa
arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa
mfano.kweli Mui huwa mwema!
| Wazaziwe Nalo walifanya nini walipoarifiwa kuhusu ujeuri wake | {
"text": [
"Walimrekebisha na kumweleza uzuri wa kuishi pamoja kwa amani bila vita"
]
} |
4922_swa | MUI HUWA MWEMA
Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha
kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri
kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu
kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya
kuwachukia.
Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na
babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na
wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora
mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu
alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona
viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto
wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote
walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau
misingi inayokubalika katika jamii.
Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata
marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza
kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia
akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa
kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama
akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada
ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila
kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo
marafiki zake wakamtenga
Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi
wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake
walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na
wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini
baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye
vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo
kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya
vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima.
Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na
abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni
mwake kwa kuwa alitoa maskio nta.
Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo
awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki
zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo.
Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia
marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi
ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza
kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha
mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao.
Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za
Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao
badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini
walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa
yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana
maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa
kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji
msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi.
Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua
kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila
mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu.
Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua
mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa
wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu
kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo
alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo
Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu
Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu
na kazi ya sulubu.
Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa
amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu
alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na
kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa
arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa
mfano.kweli Mui huwa mwema!
| Kwa nini Nalo hakuelewana na dadake | {
"text": [
"Aliwazuia marafikize kuja kwao"
]
} |
4923_swa | NDOTO YA AJABU
Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo!
Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi
vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu
wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini
na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini
wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi.
Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka
kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo
wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho.
Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha
kitanda uliniogofya sana.
Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na
kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu
nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba
aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda
safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura
alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba.
Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila
kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia
mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini
nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike
ardhini.
Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura
nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu
kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na
uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na
Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama
yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa
alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri
na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka
niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina.
Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba
huku uwoga umeniganda sio haba.
Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na
mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza.
Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake
yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa
na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga
nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea
Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya
kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa
nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua.
Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na
hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza
kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza
kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana
na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado
nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na
jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea
sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa
singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha
na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta
nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe
lilokuwa nyuma ya nyumba yetu.
Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande
mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua
vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika
Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada
ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na
kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe
nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
| Mwandishi alikuwa amelowesha nini na mkojo | {
"text": [
"Nguo na godoro"
]
} |
4923_swa | NDOTO YA AJABU
Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo!
Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi
vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu
wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini
na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini
wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi.
Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka
kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo
wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho.
Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha
kitanda uliniogofya sana.
Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na
kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu
nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba
aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda
safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura
alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba.
Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila
kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia
mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini
nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike
ardhini.
Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura
nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu
kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na
uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na
Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama
yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa
alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri
na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka
niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina.
Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba
huku uwoga umeniganda sio haba.
Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na
mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza.
Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake
yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa
na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga
nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea
Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya
kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa
nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua.
Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na
hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza
kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza
kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana
na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado
nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na
jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea
sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa
singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha
na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta
nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe
lilokuwa nyuma ya nyumba yetu.
Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande
mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua
vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika
Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada
ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na
kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe
nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
| Mama alimuaga msimulizi akienda kumwona nani | {
"text": [
"Mjomba"
]
} |
4923_swa | NDOTO YA AJABU
Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo!
Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi
vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu
wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini
na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini
wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi.
Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka
kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo
wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho.
Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha
kitanda uliniogofya sana.
Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na
kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu
nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba
aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda
safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura
alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba.
Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila
kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia
mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini
nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike
ardhini.
Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura
nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu
kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na
uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na
Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama
yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa
alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri
na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka
niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina.
Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba
huku uwoga umeniganda sio haba.
Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na
mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza.
Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake
yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa
na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga
nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea
Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya
kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa
nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua.
Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na
hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza
kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza
kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana
na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado
nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na
jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea
sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa
singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha
na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta
nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe
lilokuwa nyuma ya nyumba yetu.
Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande
mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua
vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika
Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada
ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na
kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe
nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
| Mjomba alikuwa ameugua kwa muda upi | {
"text": [
"Mrefu sana"
]
} |
4923_swa | NDOTO YA AJABU
Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo!
Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi
vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu
wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini
na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini
wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi.
Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka
kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo
wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho.
Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha
kitanda uliniogofya sana.
Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na
kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu
nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba
aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda
safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura
alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba.
Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila
kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia
mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini
nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike
ardhini.
Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura
nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu
kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na
uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na
Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama
yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa
alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri
na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka
niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina.
Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba
huku uwoga umeniganda sio haba.
Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na
mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza.
Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake
yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa
na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga
nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea
Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya
kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa
nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua.
Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na
hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza
kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza
kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana
na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado
nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na
jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea
sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa
singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha
na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta
nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe
lilokuwa nyuma ya nyumba yetu.
Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande
mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua
vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika
Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada
ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na
kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe
nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
| Mwandishi alikuwa na mdogo wake aliyeitwa nani | {
"text": [
"Zuhura"
]
} |
4923_swa | NDOTO YA AJABU
Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo!
Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi
vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu
wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini
na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini
wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi.
Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka
kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo
wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho.
Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha
kitanda uliniogofya sana.
Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na
kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu
nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba
aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda
safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura
alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba.
Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila
kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia
mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini
nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike
ardhini.
Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura
nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu
kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na
uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na
Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama
yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa
alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri
na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka
niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina.
Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba
huku uwoga umeniganda sio haba.
Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na
mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza.
Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake
yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa
na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga
nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea
Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya
kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa
nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua.
Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na
hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza
kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza
kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana
na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado
nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na
jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea
sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa
singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha
na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta
nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe
lilokuwa nyuma ya nyumba yetu.
Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande
mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua
vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika
Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada
ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na
kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe
nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
| Ng'ombe, mbuzi na kuku walifunguliwa na nani | {
"text": [
"Mwandishi"
]
} |
4924_swa | NIDHAMU
Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu
sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma.
Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao
kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya
hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani.
Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si
wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba
kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata
kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali
wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia
hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya
mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na
kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa
watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na
kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa
na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa
shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana.
Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa
wote.
Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya.
Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni
kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao
hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko
ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata
iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia
kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika
tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu
maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji
yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia.
Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na
mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake.
Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha
kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea.
Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo
linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria
vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha.
Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia
za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi
linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda
jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni
kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye
jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa .
Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi
ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena
huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao.
Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi.
Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia
maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa
wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama.
Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na
kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao
kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote
unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika
kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
| Nini kwa vijana imekuwa ikipigwa upatu sana | {
"text": [
"Nidhamu"
]
} |
4924_swa | NIDHAMU
Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu
sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma.
Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao
kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya
hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani.
Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si
wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba
kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata
kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali
wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia
hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya
mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na
kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa
watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na
kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa
na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa
shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana.
Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa
wote.
Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya.
Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni
kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao
hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko
ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata
iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia
kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika
tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu
maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji
yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia.
Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na
mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake.
Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha
kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea.
Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo
linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria
vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha.
Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia
za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi
linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda
jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni
kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye
jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa .
Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi
ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena
huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao.
Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi.
Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia
maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa
wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama.
Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na
kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao
kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote
unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika
kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
| Nani huwakimbia vijana baada ya kuwaingiza gizani | {
"text": [
"Marafiki "
]
} |
4924_swa | NIDHAMU
Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu
sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma.
Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao
kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya
hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani.
Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si
wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba
kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata
kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali
wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia
hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya
mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na
kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa
watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na
kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa
na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa
shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana.
Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa
wote.
Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya.
Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni
kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao
hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko
ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata
iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia
kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika
tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu
maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji
yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia.
Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na
mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake.
Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha
kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea.
Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo
linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria
vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha.
Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia
za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi
linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda
jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni
kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye
jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa .
Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi
ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena
huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao.
Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi.
Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia
maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa
wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama.
Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na
kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao
kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote
unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika
kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
| Mara nyingi mzazi hana nini na mwanawe | {
"text": [
"kinyongo"
]
} |
4924_swa | NIDHAMU
Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu
sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma.
Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao
kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya
hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani.
Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si
wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba
kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata
kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali
wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia
hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya
mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na
kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa
watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na
kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa
na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa
shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana.
Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa
wote.
Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya.
Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni
kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao
hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko
ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata
iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia
kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika
tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu
maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji
yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia.
Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na
mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake.
Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha
kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea.
Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo
linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria
vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha.
Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia
za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi
linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda
jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni
kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye
jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa .
Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi
ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena
huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao.
Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi.
Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia
maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa
wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama.
Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na
kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao
kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote
unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika
kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
| Vijana wanapokanywa hufura kama nini | {
"text": [
"Andazi"
]
} |
4924_swa | NIDHAMU
Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu
sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma.
Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao
kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya
hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani.
Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si
wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba
kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata
kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali
wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia
hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya
mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na
kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa
watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na
kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa
na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa
shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana.
Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa
wote.
Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya.
Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni
kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao
hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko
ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata
iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia
kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika
tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu
maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji
yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia.
Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na
mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake.
Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha
kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea.
Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo
linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria
vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha.
Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia
za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi
linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda
jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni
kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye
jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa .
Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi
ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena
huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao.
Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi.
Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia
maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa
wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama.
Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na
kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao
kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote
unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika
kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
| Ni vipi wazazi watapunguza ukali | {
"text": [
"Kwa watoto kubadilisha msamiati"
]
} |
4925_swa | NIKIWA MKUBWA
''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili
aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi
kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele
ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia
nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu
nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari
ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana
kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na
kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari.
Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua
kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu
kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa
wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa
na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa.
Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa
miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote
hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote
na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti.
Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like
ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi
utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote.
Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini
Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea
kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa
sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa
kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo
sahii katika misitu mingi.
Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila
kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha
namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao.
Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa
na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu
tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu
mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile
vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri
itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na
kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili
tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu
solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za
sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza
miti hiyo.
Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti.
Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya
kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua.
Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali
zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia.
Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa
itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa
yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na
miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi
wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili
ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza
watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na
pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa
zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti
ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla.
Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na
kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na
kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu
baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa
itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini
vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa
Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye
atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba
serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya
maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti
hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu
kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo
itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo.
Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi.
Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa
ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu
hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa
wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu
pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali
na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa
anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na
wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza.
Ilikuwa ni mwisho wa somo.
| Akiwa mkubwa angependa kuwa nani | {
"text": [
"Daktari"
]
} |
4925_swa | NIKIWA MKUBWA
''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili
aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi
kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele
ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia
nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu
nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari
ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana
kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na
kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari.
Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua
kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu
kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa
wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa
na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa.
Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa
miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote
hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote
na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti.
Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like
ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi
utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote.
Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini
Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea
kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa
sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa
kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo
sahii katika misitu mingi.
Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila
kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha
namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao.
Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa
na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu
tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu
mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile
vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri
itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na
kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili
tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu
solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za
sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza
miti hiyo.
Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti.
Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya
kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua.
Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali
zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia.
Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa
itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa
yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na
miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi
wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili
ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza
watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na
pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa
zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti
ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla.
Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na
kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na
kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu
baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa
itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini
vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa
Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye
atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba
serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya
maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti
hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu
kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo
itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo.
Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi.
Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa
ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu
hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa
wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu
pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali
na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa
anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na
wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza.
Ilikuwa ni mwisho wa somo.
| Atawafundisha watu umuhimu wa nini | {
"text": [
"miti"
]
} |
4925_swa | NIKIWA MKUBWA
''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili
aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi
kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele
ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia
nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu
nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari
ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana
kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na
kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari.
Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua
kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu
kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa
wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa
na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa.
Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa
miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote
hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote
na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti.
Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like
ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi
utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote.
Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini
Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea
kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa
sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa
kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo
sahii katika misitu mingi.
Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila
kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha
namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao.
Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa
na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu
tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu
mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile
vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri
itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na
kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili
tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu
solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za
sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza
miti hiyo.
Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti.
Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya
kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua.
Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali
zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia.
Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa
itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa
yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na
miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi
wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili
ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza
watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na
pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa
zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti
ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla.
Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na
kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na
kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu
baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa
itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini
vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa
Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye
atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba
serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya
maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti
hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu
kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo
itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo.
Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi.
Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa
ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu
hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa
wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu
pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali
na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa
anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na
wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza.
Ilikuwa ni mwisho wa somo.
| mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana nini | {
"text": [
"miti"
]
} |
4925_swa | NIKIWA MKUBWA
''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili
aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi
kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele
ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia
nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu
nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari
ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana
kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na
kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari.
Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua
kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu
kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa
wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa
na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa.
Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa
miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote
hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote
na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti.
Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like
ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi
utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote.
Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini
Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea
kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa
sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa
kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo
sahii katika misitu mingi.
Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila
kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha
namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao.
Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa
na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu
tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu
mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile
vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri
itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na
kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili
tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu
solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za
sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza
miti hiyo.
Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti.
Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya
kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua.
Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali
zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia.
Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa
itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa
yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na
miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi
wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili
ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza
watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na
pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa
zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti
ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla.
Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na
kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na
kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu
baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa
itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini
vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa
Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye
atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba
serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya
maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti
hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu
kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo
itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo.
Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi.
Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa
ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu
hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa
wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu
pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali
na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa
anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na
wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza.
Ilikuwa ni mwisho wa somo.
| Ataisihi nini kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu | {
"text": [
"Serikali"
]
} |
4925_swa | NIKIWA MKUBWA
''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili
aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi
kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele
ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia
nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu
nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari
ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana
kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na
kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari.
Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua
kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu
kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa
wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa
na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa.
Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa
miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote
hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote
na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti.
Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like
ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi
utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote.
Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini
Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea
kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa
sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa
kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo
sahii katika misitu mingi.
Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila
kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha
namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao.
Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa
na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu
tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu
mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile
vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri
itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na
kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili
tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu
solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za
sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza
miti hiyo.
Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti.
Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya
kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua.
Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali
zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia.
Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa
itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa
yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na
miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi
wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili
ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza
watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na
pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa
zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti
ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla.
Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na
kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na
kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu
baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa
itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini
vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa
Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye
atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba
serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya
maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti
hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu
kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo
itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo.
Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi.
Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa
ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu
hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa
wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu
pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali
na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa
anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na
wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza.
Ilikuwa ni mwisho wa somo.
| Kwa nini alipigiwa makofi na mwalimu na wanafunzi wengine | {
"text": [
"Kwa sababu ya ndoto yake ya kukuza miti shamba"
]
} |
4926_swa | NYIMBO
Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo
vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina
mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo
huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo.
Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo
huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya
silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya
kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa
na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii.
Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha.
Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna
nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu
kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au
hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe.
Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo
ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani.
Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa
sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha
wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama.
Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye
kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale.
Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa
matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha.
Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii.
Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo
hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata
vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake.
Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera
fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa
katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na
viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq
kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama
kuwakashifu viongozi.
Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati
wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli
muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa
hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa
sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao.
Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba.
Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada
ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga
wao kwa kisu cha ngariba.
Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu
kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika
hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa
masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa.
Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa.
Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya
jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya
nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria.
Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi
kwa jumla.
| Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi gani | {
"text": [
"Simulizi"
]
} |
4926_swa | NYIMBO
Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo
vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina
mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo
huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo.
Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo
huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya
silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya
kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa
na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii.
Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha.
Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna
nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu
kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au
hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe.
Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo
ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani.
Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa
sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha
wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama.
Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye
kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale.
Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa
matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha.
Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii.
Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo
hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata
vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake.
Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera
fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa
katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na
viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq
kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama
kuwakashifu viongozi.
Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati
wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli
muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa
hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa
sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao.
Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba.
Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada
ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga
wao kwa kisu cha ngariba.
Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu
kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika
hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa
masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa.
Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa.
Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya
jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya
nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria.
Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi
kwa jumla.
| Nyimbo ni tungo zenye mahadhi ya nini | {
"text": [
"sauti"
]
} |
4926_swa | NYIMBO
Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo
vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina
mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo
huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo.
Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo
huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya
silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya
kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa
na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii.
Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha.
Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna
nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu
kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au
hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe.
Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo
ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani.
Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa
sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha
wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama.
Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye
kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale.
Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa
matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha.
Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii.
Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo
hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata
vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake.
Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera
fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa
katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na
viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq
kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama
kuwakashifu viongozi.
Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati
wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli
muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa
hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa
sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao.
Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba.
Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada
ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga
wao kwa kisu cha ngariba.
Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu
kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika
hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa
masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa.
Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa.
Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya
jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya
nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria.
Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi
kwa jumla.
| Nyimbo zipi huimbwa wakati wa matanga | {
"text": [
"Mbolezi"
]
} |
4926_swa | NYIMBO
Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo
vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina
mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo
huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo.
Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo
huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya
silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya
kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa
na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii.
Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha.
Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna
nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu
kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au
hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe.
Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo
ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani.
Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa
sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha
wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama.
Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye
kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale.
Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa
matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha.
Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii.
Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo
hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata
vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake.
Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera
fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa
katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na
viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq
kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama
kuwakashifu viongozi.
Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati
wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli
muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa
hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa
sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao.
Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba.
Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada
ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga
wao kwa kisu cha ngariba.
Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu
kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika
hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa
masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa.
Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa.
Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya
jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya
nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria.
Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi
kwa jumla.
| Nyimbo za tohara huitwaje | {
"text": [
"Nyiso"
]
} |
4926_swa | NYIMBO
Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo
vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina
mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo
huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo.
Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo
huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya
silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya
kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa
na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii.
Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha.
Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna
nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu
kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au
hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe.
Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo
ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani.
Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa
sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha
wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama.
Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye
kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale.
Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa
matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha.
Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii.
Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo
hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata
vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake.
Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera
fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa
katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na
viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq
kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama
kuwakashifu viongozi.
Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati
wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli
muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa
hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa
sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao.
Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba.
Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada
ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga
wao kwa kisu cha ngariba.
Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu
kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika
hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa
masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa.
Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa.
Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya
jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya
nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria.
Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi
kwa jumla.
| Kwa nini nyimbo ni muhimu kwa vizazi | {
"text": [
"Hupitisha mafunzo ya jamii"
]
} |
4927_swa | NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE.
Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu
alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia
shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa
tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa
kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio
mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi
shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha
safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa
angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa
mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma
ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita
kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu
angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo.
Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake
hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo
yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa
alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na
basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu
na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora
zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza
zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na
kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi
nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake
kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza
ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la
sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa
sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike.
Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa
Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo
kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni
nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama
kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi
ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo
nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye
Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na
Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru
alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa
kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na
hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea
kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila
nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache
kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao.
Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki
aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza
kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa
alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa
sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa
wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru
alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao
hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora
kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi
kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru
kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa
nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na
chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya
ualimu.
Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya
ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja
kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita
. Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya
muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu
chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka
nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana
kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana
na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe
talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
| Nani alikuwa mrembo na wembe shuleni | {
"text": [
"Luru"
]
} |
4927_swa | NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE.
Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu
alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia
shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa
tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa
kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio
mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi
shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha
safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa
angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa
mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma
ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita
kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu
angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo.
Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake
hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo
yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa
alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na
basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu
na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora
zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza
zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na
kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi
nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake
kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza
ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la
sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa
sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike.
Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa
Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo
kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni
nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama
kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi
ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo
nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye
Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na
Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru
alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa
kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na
hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea
kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila
nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache
kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao.
Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki
aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza
kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa
alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa
sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa
wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru
alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao
hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora
kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi
kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru
kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa
nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na
chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya
ualimu.
Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya
ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja
kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita
. Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya
muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu
chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka
nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana
kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana
na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe
talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
| Luru alisema angependa kuwa nani | {
"text": [
"Daktari"
]
} |
4927_swa | NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE.
Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu
alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia
shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa
tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa
kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio
mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi
shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha
safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa
angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa
mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma
ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita
kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu
angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo.
Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake
hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo
yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa
alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na
basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu
na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora
zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza
zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na
kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi
nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake
kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza
ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la
sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa
sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike.
Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa
Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo
kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni
nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama
kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi
ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo
nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye
Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na
Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru
alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa
kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na
hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea
kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila
nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache
kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao.
Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki
aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza
kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa
alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa
sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa
wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru
alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao
hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora
kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi
kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru
kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa
nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na
chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya
ualimu.
Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya
ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja
kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita
. Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya
muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu
chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka
nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana
kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana
na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe
talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
| Luru alipokezwa mfadhili na nani | {
"text": [
"Wizara ya elimu"
]
} |
4927_swa | NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE.
Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu
alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia
shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa
tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa
kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio
mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi
shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha
safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa
angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa
mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma
ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita
kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu
angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo.
Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake
hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo
yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa
alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na
basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu
na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora
zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza
zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na
kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi
nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake
kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza
ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la
sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa
sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike.
Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa
Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo
kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni
nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama
kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi
ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo
nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye
Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na
Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru
alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa
kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na
hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea
kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila
nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache
kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao.
Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki
aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza
kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa
alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa
sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa
wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru
alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao
hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora
kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi
kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru
kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa
nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na
chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya
ualimu.
Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya
ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja
kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita
. Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya
muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu
chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka
nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana
kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana
na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe
talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
| Shuleni Luru alifahamika kama msichana mwenye hulka zipi | {
"text": [
"Nzuri"
]
} |
4927_swa | NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE.
Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu
alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia
shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa
tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa
kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio
mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi
shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha
safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa
angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa
mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma
ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita
kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu
angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo.
Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake
hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo
yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa
alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na
basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu
na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora
zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza
zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na
kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi
nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake
kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza
ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la
sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa
sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike.
Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa
Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo
kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni
nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama
kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi
ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo
nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye
Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na
Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru
alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa
kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na
hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea
kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila
nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache
kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao.
Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki
aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza
kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa
alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa
sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa
wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru
alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao
hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora
kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi
kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru
kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa
nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na
chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya
ualimu.
Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya
ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja
kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita
. Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya
muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu
chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka
nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana
kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana
na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe
talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
| Luru alikuwa na tabia ipi ndani yake | {
"text": [
"Ya wivu"
]
} |
4928_swa | PIGO LA MAISHA
Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka
kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na
kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini.
Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba
alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake
kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa
misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya
kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye
alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote
aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na
baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za
uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa
haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara
moja.
Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba.
Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa
ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda
wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza
kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji
na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza
kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya
uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa
kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu
sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea
nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni.
Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton.
Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya.
Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi.
Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali.
Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu
basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi
mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za
kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton
kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi
nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza
kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine.
Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea.
Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na
kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila
alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi
kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni.
Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema.
Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga
wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha
kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya
kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara
ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza
Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa
keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya
sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na
kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia
kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza
wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa ,
baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa
Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto
alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa
sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu
wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa
kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa
mle chumbani.
Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza
na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea.
Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na
kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye
alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala
kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye
akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe
hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa
mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa
umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na
Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila
walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe
ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa
hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku
moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa
na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja
wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu
kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila
baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu.
Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata
ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa
kauli ya baba.
Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku
moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa
ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo.
Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali.
Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja
kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga
Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na
kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
| Babake alikuwa nini mjini | {
"text": [
"Mhubiri"
]
} |
4928_swa | PIGO LA MAISHA
Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka
kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na
kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini.
Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba
alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake
kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa
misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya
kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye
alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote
aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na
baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za
uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa
haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara
moja.
Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba.
Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa
ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda
wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza
kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji
na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza
kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya
uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa
kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu
sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea
nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni.
Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton.
Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya.
Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi.
Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali.
Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu
basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi
mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za
kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton
kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi
nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza
kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine.
Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea.
Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na
kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila
alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi
kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni.
Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema.
Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga
wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha
kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya
kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara
ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza
Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa
keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya
sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na
kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia
kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza
wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa ,
baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa
Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto
alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa
sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu
wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa
kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa
mle chumbani.
Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza
na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea.
Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na
kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye
alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala
kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye
akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe
hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa
mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa
umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na
Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila
walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe
ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa
hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku
moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa
na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja
wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu
kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila
baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu.
Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata
ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa
kauli ya baba.
Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku
moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa
ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo.
Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali.
Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja
kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga
Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na
kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
| Alihitimu masomo ya shule ya upili na miaka ngapi | {
"text": [
"Kumi na saba"
]
} |
4928_swa | PIGO LA MAISHA
Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka
kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na
kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini.
Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba
alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake
kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa
misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya
kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye
alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote
aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na
baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za
uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa
haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara
moja.
Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba.
Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa
ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda
wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza
kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji
na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza
kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya
uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa
kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu
sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea
nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni.
Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton.
Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya.
Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi.
Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali.
Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu
basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi
mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za
kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton
kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi
nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza
kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine.
Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea.
Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na
kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila
alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi
kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni.
Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema.
Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga
wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha
kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya
kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara
ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza
Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa
keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya
sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na
kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia
kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza
wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa ,
baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa
Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto
alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa
sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu
wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa
kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa
mle chumbani.
Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza
na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea.
Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na
kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye
alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala
kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye
akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe
hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa
mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa
umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na
Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila
walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe
ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa
hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku
moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa
na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja
wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu
kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila
baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu.
Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata
ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa
kauli ya baba.
Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku
moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa
ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo.
Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali.
Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja
kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga
Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na
kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
| Kiongozi wa vipindi vya uimbaji aliitwa nani | {
"text": [
"Jacton"
]
} |
Subsets and Splits