Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4907_swa
MAZUNGUMZO BAINA YANGU NA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA VITABU (Ni asubuhi na mapema, nipo kwenye ofisi ya mkuregenzi wa kampuni ya vitabu. Anaingia na begi lake na kuniimba ningoje kwanza akajitayarishe , nipo na begi langu na karatasi ndogo na kalamu ili niweze kuandika machache) MKUREGENZI: ( Huku akitabasamu)Karibu ndani. MIMI: Asanti Mkuregenzi. Shikamoo? MKUREGENZI: Marahaba Mwanangu MIMI: kwanza niseme shukrani kwa kunikubalia.....( Ananikatiza) MKUREGENZI: Karibu kiti MIMI: Nimeshukuru, kama nilichokuwa nasema nashukuru kwa kuniruhusu nije kukutembelea madkani haha yako. MKUREGENZI: Hata usisema. Wajua wewe ni kama Mwanangu na basic lazima nifanye niwezalo ili uridhike. MIMI: kama nilivyokueleza hapo awali mimi ni Bridgit Ongwae mwanafunzi wa shule ya upili ya Mumo na nipo hapa kujua baadhi ya shughuli mnazoendesha hapa kwa kampuni yenu. MKUREGENZI: jiskie nyumbani na unene nami kwa undani nikaweze kukujuvya mengi na kwa utendeti mkuu. MIMI: Kwanza kampuni yenu ilianza mwaka gani? MKUREGENZI: kampuni yetu ilianza mnamo mwaka elfu moja mia Kenda sabini na sita( akicheka) mwaka huo hukuwa umezaliwa ila wazazi wako ndio walikuwepo. MIMI: ( nikitabasamu) kitambo sana, hivi ilianzishwa kwa jukumu lipi haswa? MKUREGENZI: kampuni hii ilianzishwa kwa minajili ya kuchapisha vitabu . Wakati huo tulichapisha vitabu vyenye umbo dogo ikilinganishwa na hivi sasa. Vitabu hivi vilikuwa na rangi ambayo haikuwa nyeuoe kabisa jinsi ilivyo sasa hivi na vitabu hivyo vilikuwa vya kurasa chache mno. Kikubwa zaidi kilikuwa kurasa tisini na sita. Isitoshe vitabu vyetu vilikuwa na Lebo ya kmpuni yetu kwenye utosi wao. MIMI: Asante mkuregenzi. Hivi mauzo yakawa vipi na mlitumia njia zipi? MKUREGENZI: Mauzo hayakuwa ya juu sana kwa kuwa wakati huo badi watu wengi hawakuwa wanasoma vile isipokuwa wale wanafunzi waliokuwa shuleni na ambao walikuwa wachache mno. Wakati mwingine mauzo yalikuwa machache na ikabidi tupunguze wafanyakazi ili tusije tukenda hasara. Namna ya kutangaza vitabu vyetu ilikuwa kwa njia ya radio na tulibyokuwa tunapeana kwa shule mbalimbali baada ya wizara ya Elimu kufanya ununuzi MIMI: shukrani sana. Hivi ni changamoti gani zinazowakumba kama kampuni? MKUREGENZI: Changamoti ni nyingi. Kwanza ukosefu wa wanunuzi wa kutosha unaoprlekea kuleta hadara kwa kampuni. Ukosefu wa pesa za kutosha ili kuendesha shughuli za kampuni, ukosefu wa vifaa vya kutumia kuzalisha vitabu kwa wingi, ukosefu wa wafanyakazi wa kutosha kisa na maana Hamna Hela za kuwalipa na hivyo kupelekea kazi kuwa ngumu na nyingi na pia ukosefu wa barabara nzuri na hivyo kusanbaza mazao yetu inakuwa ni vigumu. Isitoshe Sheria za serikali zingine hufanya ukosefu wa mauzo mema. MIMI: Alafu ikilinganishwa wakati wa zamani na hivi sasa kuna mabadiliko yapi? MKUREGENZI: kuna mabadiliko makubwa haswa kwa mauzo. Ndio maana hata unaona majengo yetu yamejengwa upya na isitoshe tuna wafanyakazi wa kutosha yaani kila kitu ni shwari. I Hawa kuna Changamoti kadha wa kadha bado tunashukhru MIMI: Shukrani sana mkuregenzi. Nimepata mengi kutoka kwako ningependa sasa kuondoka kwa kuwa umenifunza yasiyokuwa machache. MKUREGENZI: Karibu tena.( Akiniongoza kuondoka).
Kampuni ilianza lini?
{ "text": [ "1976" ] }
4907_swa
MAZUNGUMZO BAINA YANGU NA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA VITABU (Ni asubuhi na mapema, nipo kwenye ofisi ya mkuregenzi wa kampuni ya vitabu. Anaingia na begi lake na kuniimba ningoje kwanza akajitayarishe , nipo na begi langu na karatasi ndogo na kalamu ili niweze kuandika machache) MKUREGENZI: ( Huku akitabasamu)Karibu ndani. MIMI: Asanti Mkuregenzi. Shikamoo? MKUREGENZI: Marahaba Mwanangu MIMI: kwanza niseme shukrani kwa kunikubalia.....( Ananikatiza) MKUREGENZI: Karibu kiti MIMI: Nimeshukuru, kama nilichokuwa nasema nashukuru kwa kuniruhusu nije kukutembelea madkani haha yako. MKUREGENZI: Hata usisema. Wajua wewe ni kama Mwanangu na basic lazima nifanye niwezalo ili uridhike. MIMI: kama nilivyokueleza hapo awali mimi ni Bridgit Ongwae mwanafunzi wa shule ya upili ya Mumo na nipo hapa kujua baadhi ya shughuli mnazoendesha hapa kwa kampuni yenu. MKUREGENZI: jiskie nyumbani na unene nami kwa undani nikaweze kukujuvya mengi na kwa utendeti mkuu. MIMI: Kwanza kampuni yenu ilianza mwaka gani? MKUREGENZI: kampuni yetu ilianza mnamo mwaka elfu moja mia Kenda sabini na sita( akicheka) mwaka huo hukuwa umezaliwa ila wazazi wako ndio walikuwepo. MIMI: ( nikitabasamu) kitambo sana, hivi ilianzishwa kwa jukumu lipi haswa? MKUREGENZI: kampuni hii ilianzishwa kwa minajili ya kuchapisha vitabu . Wakati huo tulichapisha vitabu vyenye umbo dogo ikilinganishwa na hivi sasa. Vitabu hivi vilikuwa na rangi ambayo haikuwa nyeuoe kabisa jinsi ilivyo sasa hivi na vitabu hivyo vilikuwa vya kurasa chache mno. Kikubwa zaidi kilikuwa kurasa tisini na sita. Isitoshe vitabu vyetu vilikuwa na Lebo ya kmpuni yetu kwenye utosi wao. MIMI: Asante mkuregenzi. Hivi mauzo yakawa vipi na mlitumia njia zipi? MKUREGENZI: Mauzo hayakuwa ya juu sana kwa kuwa wakati huo badi watu wengi hawakuwa wanasoma vile isipokuwa wale wanafunzi waliokuwa shuleni na ambao walikuwa wachache mno. Wakati mwingine mauzo yalikuwa machache na ikabidi tupunguze wafanyakazi ili tusije tukenda hasara. Namna ya kutangaza vitabu vyetu ilikuwa kwa njia ya radio na tulibyokuwa tunapeana kwa shule mbalimbali baada ya wizara ya Elimu kufanya ununuzi MIMI: shukrani sana. Hivi ni changamoti gani zinazowakumba kama kampuni? MKUREGENZI: Changamoti ni nyingi. Kwanza ukosefu wa wanunuzi wa kutosha unaoprlekea kuleta hadara kwa kampuni. Ukosefu wa pesa za kutosha ili kuendesha shughuli za kampuni, ukosefu wa vifaa vya kutumia kuzalisha vitabu kwa wingi, ukosefu wa wafanyakazi wa kutosha kisa na maana Hamna Hela za kuwalipa na hivyo kupelekea kazi kuwa ngumu na nyingi na pia ukosefu wa barabara nzuri na hivyo kusanbaza mazao yetu inakuwa ni vigumu. Isitoshe Sheria za serikali zingine hufanya ukosefu wa mauzo mema. MIMI: Alafu ikilinganishwa wakati wa zamani na hivi sasa kuna mabadiliko yapi? MKUREGENZI: kuna mabadiliko makubwa haswa kwa mauzo. Ndio maana hata unaona majengo yetu yamejengwa upya na isitoshe tuna wafanyakazi wa kutosha yaani kila kitu ni shwari. I Hawa kuna Changamoti kadha wa kadha bado tunashukhru MIMI: Shukrani sana mkuregenzi. Nimepata mengi kutoka kwako ningependa sasa kuondoka kwa kuwa umenifunza yasiyokuwa machache. MKUREGENZI: Karibu tena.( Akiniongoza kuondoka).
Kampuni ilianzishwa kwa minajili ipi?
{ "text": [ "Ya kuchapisha vitabu" ] }
4908_swa
MIMBA ZA MAPEMA Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa chanzo cha mimba hizi za mapema. Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi wa kuuza kandokando mwa barabara. Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na kufanya vivyo hivyo. Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha. Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu. Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi. Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo. Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe hapo ipo chini. Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake. Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi. Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno. Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika. Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema. Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa. Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia. Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo. Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha. Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani. Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao. Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule. Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake. Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema. Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi katika jamii hizo. Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake. Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole, pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali pamoja. Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo basi wasichana wawe makini mno. Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini. Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa. Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha masomo ya shule ya upili. Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na mimba hizi za mapema. Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu, niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza. Ilisikitisha. Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda. Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
Idadi ya mimba za mapema ilipanda sana lini
{ "text": [ "mwaka uliopita" ] }
4908_swa
MIMBA ZA MAPEMA Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa chanzo cha mimba hizi za mapema. Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi wa kuuza kandokando mwa barabara. Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na kufanya vivyo hivyo. Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha. Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu. Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi. Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo. Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe hapo ipo chini. Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake. Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi. Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno. Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika. Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema. Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa. Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia. Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo. Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha. Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani. Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao. Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule. Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake. Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema. Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi katika jamii hizo. Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake. Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole, pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali pamoja. Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo basi wasichana wawe makini mno. Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini. Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa. Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha masomo ya shule ya upili. Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na mimba hizi za mapema. Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu, niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza. Ilisikitisha. Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda. Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
Mbona idadi ya mimba za mapema ilipanda
{ "text": [ "kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani" ] }
4908_swa
MIMBA ZA MAPEMA Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa chanzo cha mimba hizi za mapema. Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi wa kuuza kandokando mwa barabara. Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na kufanya vivyo hivyo. Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha. Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu. Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi. Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo. Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe hapo ipo chini. Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake. Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi. Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno. Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika. Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema. Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa. Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia. Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo. Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha. Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani. Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao. Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule. Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake. Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema. Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi katika jamii hizo. Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake. Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole, pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali pamoja. Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo basi wasichana wawe makini mno. Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini. Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa. Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha masomo ya shule ya upili. Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na mimba hizi za mapema. Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu, niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza. Ilisikitisha. Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda. Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
Nani aliamuru kufungwa kwa shule
{ "text": [ "Raisi" ] }
4908_swa
MIMBA ZA MAPEMA Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa chanzo cha mimba hizi za mapema. Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi wa kuuza kandokando mwa barabara. Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na kufanya vivyo hivyo. Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha. Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu. Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi. Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo. Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe hapo ipo chini. Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake. Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi. Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno. Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika. Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema. Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa. Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia. Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo. Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha. Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani. Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao. Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule. Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake. Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema. Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi katika jamii hizo. Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake. Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole, pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali pamoja. Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo basi wasichana wawe makini mno. Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini. Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa. Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha masomo ya shule ya upili. Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na mimba hizi za mapema. Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu, niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza. Ilisikitisha. Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda. Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
Mabinti wengi hupata mimba za mapema kutokana na hali gani
{ "text": [ "ya uchochole" ] }
4908_swa
MIMBA ZA MAPEMA Mwaka uliopita idadi ya mimba za mapema ilipanda kwa asilimia ya juu sana. Hii ni kwa kuwa wanafunzi wengi walikuwa nyumbani. Korona ilipovamia nchi yetu ililazimu shule nyingi kufungwa. Nakumbuka ilikuwa mnamo tarehe kumi na saba mwezi ukiwa ni wa tatu. Raisi wetu aliamuru kufungwa kwa shule ili kuwezesha wanafunzi kurejea nyumbani. Hii ilikuwa moja wapo ya mbinu ya kudhibiti virusi hivyo vya korona. Wanafunzi wengi walifurahia kwani muda wa kukaa nyumbani kwao hakuwa kumejulikana. Wale wa miaka ya mwisho nao waliona huo ulikuwa ni kupoteza muda kwani walitaka kumaliza shule na kurudi nyumbani. Lakini hawakuwa na la kufanya ila kurejea nyumbani. Wazazi walisikitika mno. Kwani wazazi wengi wamewajia walimu jukumu la kulinda wana wao. Kupitia kufungwa kwa shule ndipo meli ilianzia kuzama na kuleta asilimia kubwa sana ya mimba za mapema. Kaunti ya Kakamega ndio iliyosajili visa vingi ikifwata na kaunti ya Machakos. Nami nikazamia swala hili kuweza kujua ni nini haswa chanzo cha mimba hizi za mapema. Umaskini ndicho chanzo kikuu cha mimba hizi. Mabinti wengi wanaopata mimba za mapema ni kutokana na hali ya uchochole. Wao hujiingiza katika mapenzi ili waweze kukimu mahitaji yao. Utapata ya kwamba inawalazimu kujiingiza katika ngono ili wale wavulana waweze angalau kuwapa visenti kidogo. Tena ilibaini kwamba wakati watoto wako nyumbani wazazi wao hupenda sana kuwatuma. Wazazi hawa hawatuma kuuza bidhaa sokoni au kando kando ya barabara. Hii huwaweka wazi sana watoto hao kwa wawindaji ambao ni wavulana wadogo. Kwa mfano wakati huu wa shamrashamra za krismasi utapata watoto wanauza njugu karanga, maembe na hata vibanzi kandokando mwa barabara. Kutokuwepo kwa wazazi pale, huchangia sana wao kutangamana na watu wengi ambao lengo lao ni kuwawinda tu. Yafaa wazazi wawe karibu na wanao wakati huu wa shamrashamra bali si wao kuwatumia kama wajuuzi wa kuuza kandokando mwa barabara. Chanzo kingine ni shinikizo kutoka kwa marafiki. Binti anapoona rafikiye anayempenzi pia yeye hujaribu kuwa naye. Utapata kwamba anapoona mpenzi wa mwenzio wanaburudika na kufanya ziara za hapa na pale pia yeye hutamani. Utampata anatafuta mtu wa kufanyia jinsi huyo mwenzio anafanyiwa. Wapenzi hao wanapopatana na kujamiana pia wao wanaiga na kufanya vivyo hivyo. Dawa za kulevya pia ni chanzo kingine. Mtu yeyote yule anapokunywa au anapotumia dawa za kulevya, yeye huwa anafanya waamuzi usiofaa. Ni hivi majuzi tu tarehe ishirini na sita nilipojionea mambo makuu. Niliingia kwenye sehemu ya burudani ili angalau kukamata soda yangu. Mimi si mraibu wa pombe bali mm hutumia tu vileo laini. Niliketi na kuanza kuteremsha soda yangu. Ilikuwa ni soda ya sprite. Hii ilikuwa kuwachanganya watu. Walimimina kwenye bilauri na kuanza kuteremsha. Nikiwa tu bado naburudika aliingia banati mmoja na ghulamu watatu. Waliketi kwenye meza nyingine. Mimi nami nikamwona huyo binti alikuwa mdogo sana. Labda mwenye miaka kama kumi na misita hivi. Walikaa na mmoja kufululiza moja kwa moja hadi kwa kaunta. Aliagiza pombe aina ya (chrome). Ilikuwa mililita mia saba hamsini. Alichukua pia na soda ya sprite ili kutuliza makali ya pombe hiyo. Alifululiza moja kwa moja hadi kwenye kiti na kutulia. Waliagiza pia bilauri nne na kumimina ndani pombe hiyo. Binti yule alikataa kutumia pombe hiyo. Aliweza tu kumiminiwa soda. Lakini walikuwa wakimshauri kwamba pombe hiyo haina madhara angalau aonje tu. Walimweza pia asilimia ya pombe hapo ipo chini. Muda mchache hivi waliagiza pombe aina ya (tusker). Kwa kweli pombe hiyo asilimia yake ya kulewa huwa chini. Walimweza kumshauri na kutokana na shinikizo akatwaa bilaurini na kuanza kunywa. Alitia tena soda yake. Muda mchache hivi aliweza kutoka nje. Mwendo wa saa moja na nusu hivi. Alipoenda nje, wavulana hao wakamimina ile chrome kwenye bilauri yake kwa wingi. Pombe hiyo ni pombe hatari sana. Alirudi na kuendelea kunywa tu asijue lilioendelea. Nilitaka kumshauri lakini pilipili usiyoila yakuwashia nini? Banati huyo alianza kulewa na kuanza kuropoka maneno. Sisemi mithili ya chiriku mlaanifu aliyemimina tani hamsini za maji ya chooni. Maghulamu hao kwa kuwa waraibu wa kulewa wao hawakutikisika. Baada ya nusu saa hivi mwendo wa saa tatu kasorobo waliondoka huku msichana akiwa hajitambui wala hajielewi. Walimbeba na yaliyoendelea mimi na wewe hata hatujui. Siku iliyofwata nilikuwa nahisi kichwa kuniwangawanga. Nilielekea zahanatini kupata matibabu. Najua hii ilitokana na hali ya kukakaa kwa jua nikitazama mijuano. Nilipokuwa zahanatini, binti huyo aliweza kufika zahanatini. Aliponiangalia aya ikamvamia vaa bin vuu. Sisemi mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo. Aliweza kunitambua. Mimi sikuwa naye haja. Alifikishwa kwenye daktari kwani ilikuwa hali ya dharura. Aliweza kupimwa na kubainika wazi kwamba alikuwa ashapajikwa mimba. Virusi havikuweza kuonekana ila alipewa dawa ziitwazo( post exposure). Kwa kweli alitoka hapo akiwa ameisha hoi bin tik. Pombe pia ni chanzo cha mimba za mapema. Chanzo kingine ni kukosa maarifa kuhusu afya ya ngono. Mabinti wengi wao hawajapewa ile masomo kuhusu ngono. Wazazi wameogopa. Wanaona hawawezi kuongelea swala hilo. Linatia aibu. La hasha. Nilifanikiwa kukaa na mama mmoja ambaye yeye alikuwa akiita tu sepetu sepetu si kijiko kikubwa. Yeye huwa anawafunza watoto wake namna ya kuishi. Aliwaeleza binto wake wa gredi ya nne na wavulana wake wa kidato cha tatu na pili mtawalia. Nilifurahi sana. Ni nadra sana mama au baba kuambia watoto wake hivo. Nilimiminia sifa. Wazazi wengi wamewachia walimu kazi ya ushauri nasaha. Walimu wengine nao hawana muda wa kuwashauri wanafunzi. Hata kipindi cha jinsi kuishi wanatumia wakati huo kufunza hisabati. Hivyo basi ni jukumu la mama au mzazi kuhakikisha kwamba watoto wanapewa nasaha nyumbani. Kukosa masomo pia huchangia mimba za mapema. Watoto wasioenda shule wana nafasi kubwa za kupata mimba. Hii huathiri sana watoto wenye ulemavu. Ni hivi majuzi tu nilipojiunga na kutaguzana na mabinti viziwi. Baadhi yao hawakuwa na kisomo cha juu. Kilichonishangaza kitu ambacho mabinti viziwi huongea mara kwa mara ni ngono na chakula. Hiyo ndio gumzo yao. Basi nilipata kuna wale walioshinda kuenda shule. Wengine nao walienda lakini wazazi wao kwa kuona huenda hawatafuzu kuwakatisha shule. Nilikuwa na banati mmoja ambaye wanabodaboda walinielezea hadithi yake. Hakuwa na kisomo. Watu walitumia nafasi hiyo ya kutokuwa na masomo kumtumia kingono. Ilisikitisha sana. Kwanza yeye ni kiziwi. Pia watu kumtumia. Tulipokuwa tunatembea na yeye siku moja, binti mwingine alizua upishi. Alikuja juu juu na kumwambia kwamba wewe kila mwanaume kwa hii soko ni wako. Alimweleza kwenye ishara lugha. Mimi kwa kuwa mwenye ufahamu wa ishara lugha niliweza kuelewa walichoongea. Hapo ndipo nilipong'amua kwamba kumbe kutokuwa na kisomo huchangia mimba za mapema. Chanzo kingine ni utamaduni. Tamaduni zetu zimeweza kuchangia mimba za mapema. Binti anapofikisha umri fulani, wao huonelea kwamba ni nyema akaolewe. Pia kuna tamaduni zingine mtoto akitoka jandoni huyo ni mwanaume tayari huwa kuna banati wa kumwoa. Hii huchangia mimba za mapema. Vilevile pia hukatisha masomo ya mabanati na wavulana wengi katika jamii hizo. Chanzo kingine ni shinikizo ya kuingia katika ndoa. Shinikizo hizi hutokea ili mtu kudhihirisha uwezo wake wa kuzaa. Natuma ni wengi wakati huu wa likizo ya Desemba wamepitia changamoto si haba. Wazazi wamekuwa wakiwauliza, je, unajua kupika? Je, unakasoro? Ama tukutafutie? Tunataka wajuguu. Fulani wa fulani ameoa, wewe je? Uko na mtu? Unakuja pekee yako? Maswali kama haya unapopata unaanza kuwa na shauku. Unaona ya kwamba unapoteza muda. Halafu uangalie uone ni ukweli watu wa karibu wameshaolewa. Ni wewe tu bado. Maswali kama hayo yanakufanya upige hesabu mbio. Kama wewe si mtu wa kufikiria, unaanza kutafuta tu bora binti ambaye anaweza kuzalia. Ama kama wewe ni banati unakimbia kufanya ngono ili upate mtoto. Haifai kamwe. Haifai. Kila mtu ana wakati wake. Na unapoangalia vidole vya mwili havifanani. Tena havilingani. Kuna utofauti. Hivyo hivyo maisha ya kila mtu ni tofauti. Kuna wale walojipanga mapema ndio maana wako na wachumba. Kuna wale wa polepole, pia wakati ukifika watakuwa na wana. Kila mtu akimbie mbio zake. Unaeza pitia huku nami nikapitia huku. Mwisho wa siku wote tutapatana mahali pamoja. Adhari za mimba hizi za mapema ni kama mwisho wa masomo yao. Wasichana ndio wamo hatarini sana. Kwa mara nyingi msichana apatapo mimba yeye atachishwa shule ila mvulana huenda akaendelea na masomo yake. Hivyo basi wasichana wawe makini mno. Adhari nyingine ni mwisho wa kukosa umakinifu darasani. Wakati labda binti yupo darasani na anakumbuka mtoto wake nyumbani atakosa umakini. Wakati wanafunzi wanajifunza jinsi ya kupambanua sentensi wewe pale unafikiria jinsi familia itakula. Hiyo huwa ni tatizo kubwa. Usiposoma, nafasi ya kazi huwa chache mno. Sasa hivi kila mtu anataka kuajiri mtu angalau ambaye ana kisomo. Hata ukitaka uyaya lazima uwe na cheti cha kidato cha nne. Na mimba mingi za mapema huathiri watoto wa miaka kumi na minne hadi kumi na minane. Hapo bado wao hawajakamilisha masomo ya shule ya upili. Pia kuna kutengwa iwapo utapata mimba za mapema. Shuleni huezi ukasoma vizuri kama umetengwa. Utasikia watoto wengine wakisema usikuwe kama mtoto wa nani. Atafanya pia upate mimba mapema kama yeye. Nyumbani vile vile kuna kutengwa. Hivyo basi ni vyema tukasome kwanza ili tuepukane na mimba hizi za mapema. Adhari nyingine ni vifo. Watoto wa miaka chini wanapopata mimba henda wakajaribu kuavya. Visa hivi vya uavyaji wa mimba vimekidhiri sana haswa hadi kwenye vyuo vikuu. Siku hizi wasichana hawaogopi ugonjwa. Wao wanaogopa tu mimba. Inanikumbusha nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo kikuu, niliona ya kustaajabisha. Kwa kuwa ni lazima wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuishi kwenye vyumba vya shule tulikuwa tunaishi ndani. Tena chuoni hamna vyoo vya shimo. Basi siku moja wafanyakazi walipokuwa kwenye kazi yao, walipata kijusi. Kilikuwa kimefungwa kwenye karatasi na kutumbukizwa kwenye mapipa ya taka. Wacha nivute chozi kwanza. Ilisikitisha. Ni vyema kama mabanati waweze kufunzwa mafunzo jinsi ya kujilinda. Waelimishwe na wasisitizwa kutumia mipira ya ngono. Lakini dawa nzuri tu ni kuepukana na ngono kabla hawajao.
Nini chanzo kikuu cha mimba
{ "text": [ "umaskini" ] }
4909_swa
MIMI Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru. Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata mchumba an basi mimi sijaolewa. Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea. Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo. Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili. Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela. Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi, utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
Kwamboka alizaliwa lini
{ "text": [ "Mwaka wa elfu mbili na moja" ] }
4909_swa
MIMI Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru. Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata mchumba an basi mimi sijaolewa. Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea. Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo. Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili. Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela. Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi, utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
Kwamboka alisomea chuo kipi
{ "text": [ "Chuo kikuu cha Kenyatta" ] }
4909_swa
MIMI Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru. Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata mchumba an basi mimi sijaolewa. Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea. Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo. Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili. Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela. Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi, utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
Taja mojawapo wa mambo anayoyapenda
{ "text": [ "Kuimba" ] }
4909_swa
MIMI Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru. Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata mchumba an basi mimi sijaolewa. Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea. Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo. Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili. Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela. Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi, utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
Kwamboka anapenda kupika chakula kipi
{ "text": [ "Pilau, biryani, ugali mboga na keki" ] }
4909_swa
MIMI Mimi kwa majina natambulika kama Bridgit Kwamboka ongwae. Mimi ni mtoto wa Bi. Sunday na Bw. Momanyi. Mimi ni mtoto wa kipekee kwenye familia yetu. Nilizaliwa mwaka wa elfu mbili na moja. Nimeelewa kwa familia ya kikiristu na basi nimekuzwa kwa misingi ya kikiristu. Mimi kwetu ni kaunti ya kisii Kijiji Cha Mosaraba. Mimi ni wa jinsia ya kike. Rangi ya sura yangu ni ya maji ya kunde. Nimezaliwa na kulelewa kaunti ya Nakuru. Mimi Nina marafiki wa jinsia zote like na wa kiume. Mimi ni mwanafunzi wa chuo Kikuyu Cha Kenyatta mwaka wa tatu sasa hivi. Kwenye chuo Kikuu nasomea kitivo Cha ualimu. Mimi ninaoenda kazi ya kuelekea na hivyo nikaiona kazi ya ualimu kuwa ingenifaa zaidi. Mimi naelewa lugha tatu na zote naweza kuandika na kuzisoma. Lugha ya kiingereza, kiswahilli na kikisii. Kuwepo kwangu shuleni ni ishara tosha kuwa bado sijapata mchumba an basi mimi sijaolewa. Mimi napenda mchezo wa mpira wa miguu. Mimi nikiwa shule ya msingi nilipoenda sana kucheza mchezo huu na mara nyingi shule ilipokiwa inaenda michezoni kwenye wilaya basi sikuachwa nyuma. Niliichezea shule kwa muda mrefu na basii kuiletea shule yangu ushindi sio mara moja na sio mara mbili Bali mara kadhaa. Vile vile napenda kuogelea. Mimi na marafiki zangu tunaenda kuenda kuogelea kila wikendi.Kuogelea hunitia nguvu kwa kuwa ni kitu ninachofurahia kukifanya. Nilianza kuogelea nikiwa darasa la sita. Mama na baba wangenioeleka kuogelea wakati wa likizo kule Mombasa. Hapa ndipo nilijifunza na kuona utamu wa kuogelea. Vile vile mimi hupenda kuomba. Watu wengi hupenda sauti yangu na hivyo wao hupenda na kurithika sana ninapoimba. Mimi huimba kwenye kanisa yetu na pia mimi huimba shuleni mwetu kama njia ya kutumbuiza wenzangu ama wageni wakati wa sherehe mbalimbali chuoni. Mimi napenda kutangaza havari na michezo ya kuigiza. Mimi ni mtangazaji maarufu wa havari katika Kituo Cha redio ya KU 99.9 kwa lugha ya kiswahili. Napenda sana kusoma habari.Napenda michezo ya kuigiza na mara nyingi mimi hupenda kuandamana ana wenzangu kushuhidia michezo hiyo. Mimi najua kufanya mambo mbalimbali. Najua kupika na napenda kazi hiyo sana. Najua kupika vyakula mbalimbali kama pilau, ugali, biryani, mboga na vitu vingine vingi. Isitoshe mimi najua kuoka keki tamu. Marafiki zangu wanapokuwa na sherehe mimi ndiye hupewa kazi ya kuoka keki za sherehe hizo. Mimi hupenda vyakula vitamu bilivyopikwa kwa ustadi maalum. Pia mimi najua kuchora. Mimi ni mchoraji mashuhuri, naweza kumuangalia mtu huku namchora jinsi alivyo na kwa ustadi. Isitoshe, mimi ni malenga stadi. Mimi hutunga mashairi kwa ustadi mkubwa. Baadhi ya mashairi yangu huimbwa wakati wa sherehe chuoni na hata katika sherehe za drama. Mashairi yangu kwa mara zote hunyakia nambari moja au mbili. Mwisho mimi ni mshinaji maarufu. Mimi hushona vitambaa na hata fulana kwa kutumia Uzi na mkono. Hiki pia ni kipawa nichotumia kupata Hela. Mwisho mwili wangu una kilo sitini na tisa, mimi huvaa miwani pia. Mimi hupenda mavazi ya heshima na pia yanayoufunika uchi wangu vyema. Mimi napenda mazingira yasiyo na kelele kwa kuwa kazi ninazooenda kufanya huwa zinahitaji utulivu wa kina fulani. Vilevile mimi napenda usafi, utu, heshima na amani. Sipendi vurugu na chuki. Napenda upendo.
Kwa nini kwamboka anapenda mazingira tulivu
{ "text": [ "Kazi afanyazo huhitaji utulivu" ] }
4910_swa
MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja. Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji. Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy . Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji. Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao . Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana. Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini. Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda marafiki na sio moenda familia tena Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa tu wa kujifurahisha. Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba. Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo. Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah. Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na Polisi. Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali. Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Ni nani mnakufa naye
{ "text": [ "Mtu wenu" ] }
4910_swa
MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja. Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji. Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy . Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji. Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao . Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana. Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini. Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda marafiki na sio moenda familia tena Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa tu wa kujifurahisha. Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba. Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo. Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah. Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na Polisi. Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali. Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Taja mtoto mmoja wa bw na bi Omar
{ "text": [ "Musa" ] }
4910_swa
MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja. Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji. Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy . Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji. Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao . Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana. Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini. Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda marafiki na sio moenda familia tena Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa tu wa kujifurahisha. Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba. Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo. Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah. Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na Polisi. Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali. Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Matokeo ya mtihani wa kitaifa yalitoka wakati gani
{ "text": [ "baada ya wiki nne" ] }
4910_swa
MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja. Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji. Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy . Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji. Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao . Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana. Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini. Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda marafiki na sio moenda familia tena Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa tu wa kujifurahisha. Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba. Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo. Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah. Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na Polisi. Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali. Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Baada ya kufaulu katika mtihani wanawe bw na bi omar walipewa nini
{ "text": [ "Zawadi kem kem na hongera kadhaa" ] }
4910_swa
MLA NAWE HAFI NAWE ILA MZALIWA NAWE Maana ya juu juu ya methali hii ni kuwa mtu ambaye mnakula naye hawezi kufa nawe ila mtu ambaye mmezaliwa naye ama mtu wenu ndiye mnaweza kufa naye. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa mtu ambaye sio wa damu yako mtakuwa naye kwa kicheko tu lakini inapofika wakati wa msiba basi kila mtu hujitoa na kubakia na yule mliyezakiwa naye kutoka tumbo moja. Mliozaliwa naye toka tumbo moja hata ikiwa hakuhusika nawe ulipokuwa unacheka basi yeye atasimama nawe wakati wa msiba. Methali inayorandana na hii ni kuwa damu ni nzito kuliko maji. Linda na mumewe Omar walibarikiwa na watoto watatu; Jonah, Musa na Killy . Watoto Hawa watatu walilelewa vyema kwa misingi ya kikristo. Wazazi wake walijitahidi sana kihakikisha wanao wanapata kila wanachohitaji. Familia ya Linda na Omar haikuwa maskini Bali walikuwa wa wastani na hivyo kufadhili wanao halikuwa tatizo. Watoto wao Omar walisomea kwa shule ya msingi tajika mtaani na wote walikuwa wembe ajabu. Walikuwa wembe kutoka darasani na hata kitabia walipokuwa wanawasiliana na wenzao. Kila mtu aliwapenda na kutaka kiunganishwa nao na kucheza nao . Walikuwa watoto wa kipekee na walioprndwa sana. Jonah, Musa na Killy walifika darasa la nane na wakaongeza jitihada zaidi. Hawakutaka kufeli mtihani wao wa Kitaifa. Wakawa vita uni bila uvivu wowote. Basi ilipofika muda wa mtihani walikuwa wamejinoa sawasawa. Walifanya mtihani wao na kusubiri matokeo. Baada ya wiki nne mtihani wa Kitaifa matangazo yakatangazwa. Watatu Hawa wa bi Linda na bwana Omar walikuwa wamefaulu ajabu . Walikuwa wameongoza sio shuleni tu Bali hata wilaya na kaunti yao. Ikabaki furaha kubwa kwa wazazi wao na walimu wao. Wakapokea zawadi Kem Kem na hongera kadhaa Watatu Hawa walijiunga na shule za upili za Kitaifa nchini . Wote walienda shule tofauti tofauti. Basi pia pale walijitahidi bila kulegeza kama na baada ya miaka minne walikuwa wamehitimj vyema na kuelekea vyuo vikuu. Kozi walizoteua zilikuwa tofauti kufanya pale chuoni na basi kila mmoja akaenda chuo tofauti. Walihitimu kutoka chuoni baada ya miaka minne basi kila mmoja akarudi kujitafitia. Jonah ndiye aliyekuwa wa Kwanza kupata Ajira kama muuguzi wa hospitali ya Kitaifa nchini. Wenzake walikawia bado kupata kazi. Basi Jonah akapatana na marafiki zake wa kazini na wakawa marafiki wakuu sana kila ijumaa wakawa wanapitia mahali kulipouzwa nyama choma na wakala na kusaza pale. Jonah hakuwakumbuka nduguze alowaacha nyumbani na wazazi wake wakisumbuka bado. Basi alivunja raha sawasawa na hata kutokumbuka kupiga simu nybani. Alionja kila aina ya pombe na alipomaliza kuonja basi akageukia kubugia pombe hiyo sawasawa. Hakutaka kukosa sherehe ambazo marafiki zake wangeandaa na pia walizokuwa wakialikwa. Aligeuka na kuwa moenda marafiki na sio moenda familia tena Nduguze Jonah hawakuchoka kumpigia simu kila mara wakimwomba msaada wa kazi lakini Jonah aliwasusia tu na mara nyingine akawadanganya na kuwaacha. Wazazi wake Jonah walishtuka kutokana na tabia za Jonah ila hawakuwa na budi ila kuzidi kumuomba. Baada ya muda mfupi nduguze Jonah walipata Ajira . Bado Jonah hakutaka kujiunga nao wala kujihusisha nao kwa kuwa alihisi kuwa hawakuwa wanaelewa maana ya raha. Alifanya mazoea ya kuenda kila aina ya sherehe na marafiki zake na mara nyingi yeye ndiye angegharamia kila kitu kwenye sherehe hizo. Marafiki zake walikuwa tu wa kujifurahisha. Baada ya miaka miwili Jonah alikuwa na tabia ile ile. Siku moja wakialikwa sherehe moja kubwa mtaani . Basi Jonah na wenzake wakaandamana moja kwa moja mpaka kule sherehe ingefanyika. Wakafika mapema na kuanza kujifurahisha wao wenyewe bila kusita. Sherehe hiyo ilikuwa ifanyike mpaka asubuhi ya siku ya jumamosi basi akina Jonah walikuwa walale mahali hapo. Walikunywa wakalewa na wakala wakashiba. Basi wakaanza kupiga densi na watoto wa kike waliohudhiria sherehe hiyo. Jonah alipiga densi na Binti mmoja mwenye umri mdogo sana walidensi naye huku marafiki wake wanamshangilia. Baada ya muda mfupi wawili Hawa wakaamia kuenda kulala kutokana na uchovu . Basi wakajinyakilia chumba kimoja na kujilaza. Punde sio punde askari wakaingia wakimtafuta msichana huyu. Wakabisha kila mlango na kuingia walipokuwa Jonah. Walipata Jonah na Binti huyo basi ikabidi wamtie mbaroni Jonah. Jonah alijaribu kujitetea lakini hakuskizwa hata chembe . Ikabidi aandamane na Polisi. Jonah alifunguliwa madhtaka ya ubakaji wa mtoto mdogo. Hapa ndioo akijua hana budi ila kutafuta nduguze kwa kuwa marafiki walikuwa wametoweka na hawaonekani tena kazini alikuwa amefutwa tayari kwa madai ya kuosa kazi kwa muda mrefu na pia kujihusisha na tabia hasi. Nduguze walikuwa mbio na kuongea na mapolisi na basi ikagundulika kuwa mtoto huyo alimdanganya Jonah kuwa ana umri wa makamu kwa kutumia kitambulisho hasi. Basi hapo Jonah akaachiliwa na kuonywa vikali. Jonah alirudi nyumbani aibu zumemjaa ajabu. Alijaribu kiwatafuta marafiki zake wamsaidie angalau pesa wote walimpa mgongo. Ikabidi nduguze wampe msaada aliohuhitaji. Nduguze walishughulika pamoja na wazazi kihakikisha amepata Ajira . Aliporudi kazini alikuwa amejifunza kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
Jona aliajiriwa kama nani
{ "text": [ "Muuguzi katika hospitali ya kitaifa nchini" ] }
4911_swa
UGONJWA HATARI Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu. Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa. Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini. Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi basi tutazuia ugonjwa huu hatari. Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na kukatwa. Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
Ni nini akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini
{ "text": [ "Ukimwi" ] }
4911_swa
UGONJWA HATARI Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu. Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa. Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini. Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi basi tutazuia ugonjwa huu hatari. Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na kukatwa. Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa nini
{ "text": [ "Mate" ] }
4911_swa
UGONJWA HATARI Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu. Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa. Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini. Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi basi tutazuia ugonjwa huu hatari. Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na kukatwa. Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
Watu wanapohusika kwenye ajali mara nyingi nini huchanganyikana
{ "text": [ "damu" ] }
4911_swa
UGONJWA HATARI Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu. Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa. Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini. Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi basi tutazuia ugonjwa huu hatari. Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na kukatwa. Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa wapi
{ "text": [ "Duniani" ] }
4911_swa
UGONJWA HATARI Ukimwi ni Akroninimu ya neno la Ukosefu wa Kinga Mwilini. Ukimwi hulemaza Kinga ya mwili na kuwa Kinga hiyo na kupelekea mwili kukosa uwezo wa kujikinga kutokana na magonjwa mengine. Mwili hulegea na kushindwa kufanya kazi yake vifaavyo. Mara nyingi mwili hukosa hata kuunda nguvu za kumukidhi na kupelekea mtu binafsi kuwa mnyonge na mdhaifu. Viungo vyote vya mwili huwa havifanyi kazi yao vikamilifu. Ikiwa ni viungo vya chakula basi huwa vimelegea kutokana na magonjwa mbalimbali na ndioo mtu aliyeugua ugonjwa wa Ukosefu wa Kinga Mwilini kula na kutapika bila chakula hicho kufanya kilichokusudiwa. Ikiwa ni viungo vya kupumua basi mtu huwa na matatizo ya kupumua kwa kuwa viungo hivyo vimelegea. Ukimwi hufanya mtu kuwa mnyonge zaidi ya jinsi magonjwa mengine yanavyolegeza mwili na ndio maana unatambulika kama ugonjwa hatari na unaoua kwa haraka mno na watu huaga kwa nambari kubwa kutokana na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi huambukizwa kutokana na njia mbali mbali njia ya kwanza ni kushiriki ngono na mtu aliye na ugonjwa huu bila ya kutumia Mipira ya Kondomu ama njia zozote za kujikinga. Hii ndio njia kuu ambayo virusi vya ukimwi vinaenea nchini hasa kwa vijana wa umri kati ya miaka kumi na mitano mpaka ishirini na mitano. Chanzo Cha kuenea haraka ni kuwa nambari kubwa ya watu wanaoshiriki ngono wapo katika umri huu wa miaka kumi na mitano na ishirini na tisa. Basi ili kuepuka kuenea kwa ugonjwa huu ni sharti mtu atumie mpira wa Kondomu anaposhiriki ngono na mtu asiyejua hali yake ya afya. Ugonjwa huu vilevile u aenea kwa Kasi sana kwa sababu vijana wa umri huu Wana zaidi ya mpenzi mmoja na basi hakuna uaminifu basi vilevile ikiwa tunataka kuepuka ugonjwa huu ni sharti mtu awe mwaminifu kwa mpenziye. Kuzingatia hili basi uambukizaji wa ugonjwa huu utarudi chini ikilinganishwa na sasa. Njia ya pili ya kuenea kwa ugonjwa huu ni kupitia kubusiana na mtu aliyeathirika na ugonjwa huu hatari. Ugonjwa huu huambukizwa kupitia kwa mate na basi endapo mmoja wa wale wanaobusiana ana video da mfomoni basi virusi hivi vitapata njia yake kwa vidonda hivyo na kuingia mwilini. Njia hii pia ni mojawapo ya njia kuu za kuambukiza ugonjwa. Ni sharti watu wawe waaminifu na wasiwe wa kubusu kila mtu ili kuzuia Kasi ya uambukizaji wa ugonjwa huu. Kuiga tabia za wazungu za kubusiana na kila mtu ndicho chanzo Cha ugonjwa huu kuenea kwa Kasi mno kati yetu kwa kuwa tunataka kufanana na wzungu bila kujali hali zetu za kiafya. Badala ya busu za ovyoovyo ni vyema watukisalimiana kwa umbali tu . Vile vile ili kuzuia ugonjwa huu kuenea kwa njia hii inabini tuwe waaminifu kwa wapenzi wetu na tuwe na mipaka kila mara na kujiheshimu sisi kwa sisi basi tutazuia ugonjwa huu hatari. Njia nyingine ni kupitia kwa damu . Mtu anapougua hospitalini ama hata kupata ajali basi kuna chanzo Cha yeye kuhitaji kubadilishiwa damu na basi ikiwa damu hiyo haitamukikwa kwa makini huenda mtu akapewa damu yenye virusi . Ingawa njia hii ni nadra sana watu kupata virusi kupitia kwayo ni njia moja ya kueneza virusi hivi hatari. Watu wanapohusika kwenye ajali mara nyingi damu huchanganyikana na hivo huenda watu wakaambikizwa ugonjwa wa ukimwi kutokana na ajali kama hizi. Ili kuzuia uenezaji wa ugonjwa huu basi ajali inapotokea madaktari na wauguzi huhakikisha waathiriwa wamepewa vidonge vya kuzuia waathiriwa wasije wakapata ugonjwa huo kupitia kwa damu ama uwazi wa vidonda kutokana na kukatwa. Ugonwa wa ukimwi vile vile unawwza kuambukiza kutoka kwa mama kuenda kwa mtoto wakati wa kujifungua. Hili hutokea endapo wauguzi hawataweza kukata kile kiungo kinachounganisha mama na mwanaye kwa makini vyema yaani kitovu. Basi ustadi unahitajika hap ili yule mtoto anayezaliwa na mama aloyeathirirka na ugonjwa huu hatari wa Ukimwi asije pia akawa mwathiriwa kupitia kujifungua. Vile vile ili kuzuia jambo hili mama mwathiriwa hushauriwa kumunyonyesha mwanaye kwa kipindi Cha miezi tisa na bsi kumusitisha maziwa hayo kwa kuwa inaaminika kuwa baada ya hapo maziwa yale huwa yameathirika na virusi vya ugonjwa huo hatari. Basi ni sharti akina mama kufuata masharti haya kwa umaakini ili kuzuia kuambukiza wanao ugonjwa huu hatari. Ni faida yetu sote kuona kuwa tunaweza kuwa na kizazi kisichokuwa na ugonjwa huu hatari hata kama wazazi wa kizazi hicho ni waathiriwa wa ugonjwa huu hatari. Ugonjwa wa ukimwi ni janga kubwa kwa dunia mzima ipo mashakani kwa kuwa ugonjwa huu unazidi kuuwa watu kwa Kasi sana na unazidi kuambukiza kwa njia za juu zaidi. Ni kazi yetu kueneza ujumbe kote kote kuhusu ugonjwa huu bila ubaguzi au bila uwoga wowote zipo ishara mbalimbali za ugonjwa huu lakini ishara hizi huwa sawa na magonjwa mengine kama malaria hivyo basi watu wanashauriwa kuenda na kupimwa ili kihakikisha kuwa mtu yupo katika hali gani kiafya. Nchini Kenya kupimwa ugonjwa wa Ukimwi huuwa mtu halipii chochote kwenye hozpitali zote za umma. Basi na walee ambao tayari wameshauriwa ni vyema kutoambukiza watu wengi e Bali wameze dawa ambazo vilevile hazilipiwai kote nchini na kula vyema ili waishi kwa muda mrefu. Ikiwa basi huna ugonjwa huu ni vyema kuwatia moyo wale walio nao na pia kujikinga ili mtu asije akaupata na kueneza njili kuwa ugonjwa huu upo na ni vyema mtu kujikinga kutokana nao. Ukimwi hukumbukwa kote ulimwenguni tarehe moja kila Disemba.
Kwa nini wagonjwa wa ukimwi wale vyema
{ "text": [ "Ili waishi maisha marefu" ] }
4912_swa
Dua la kuku halimpati mwewe Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba kwa kutumia mawe. Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake ingetimia. Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing ,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege ,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale wanariadha. Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao. Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi. Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla atafute matibabu zaidi. Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi. Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
Hezron Matiba alijulikana kuwa mwanaridha hodari hapo katika miaka ipi
{ "text": [ "1956" ] }
4912_swa
Dua la kuku halimpati mwewe Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba kwa kutumia mawe. Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake ingetimia. Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing ,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege ,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale wanariadha. Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao. Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi. Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla atafute matibabu zaidi. Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi. Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
Kulitangazwa mashindano ya wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini wapi
{ "text": [ "Beijing" ] }
4912_swa
Dua la kuku halimpati mwewe Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba kwa kutumia mawe. Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake ingetimia. Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing ,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege ,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale wanariadha. Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao. Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi. Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla atafute matibabu zaidi. Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi. Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
Wtu walimchinja nini ili kuandaa karamu
{ "text": [ "Mbuzi" ] }
4912_swa
Dua la kuku halimpati mwewe Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba kwa kutumia mawe. Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake ingetimia. Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing ,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege ,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale wanariadha. Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao. Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi. Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla atafute matibabu zaidi. Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi. Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
Hezron alipata jeraha wapi
{ "text": [ "Uti wa mgongo" ] }
4912_swa
Dua la kuku halimpati mwewe Katika kijiji kimoja kilichokuwa mpakani mwa baraste iliyoelekea kwetu,paliondokea mzee mmoja mkongwe ambaye maisha yake yalikuwa tu ni ya kubahatisha.Mzee huyu inasemekana kaachiwa shamba hilo na wazazi wake walioaga kabla ata hajapata kuona jua ya adhuhuri.Mzee huyu alijulikan a na wengi kwani watu wengi mno walienda kwake kutafuta matibabu ya dawa za kienyeji.Nyumba yake ya msonge ilikuwa yawashangaza wapiti njia wengi kwani kando ya boma lake majirani wake wote walikuwa wamejenga nyumba kwa kutumia mawe. Hezron Matiba,kama ambavyo anafahahamika na wengi,alijulikana kuwa mwanaridha hodari hapo katika enzi za kale miaka ya 1956.Alikuwa mwanariadha hodari ambaye aliwahi kuwakilisha Kenya Tanzania katika mataifa ya ugenini kama Brazil,Uchina n,k.Alipenda sana kushiriki katika mbio za mita elfu tano.Siku moja hezron aliamka asubuhi na mapema na kuelekea uwanjani kufanya mazoezi yake ya kila siku kam akawaida,kule alikutana na mzungu mmoja amabye alimuahidi kumsaidia kufikia malengo yake ya kuwa mwana riadha tajika.Walionekana kuelekea nyumbani mwa hezron na hapo waka funga mkataba kuwa mzungu huytu atamsaidia hezron katika kufanya mazoezi na hata kumlipia nauli ya ndege kuenda katika mashindano tofauti tofauti.Hezron alijawa na nfuraha kwani ndoto yake ingetimia. Siku zilipita miaka ikapita,Hezron anagali anafanya mazoezi yake ya kila siku akisaidiwa na yuke mzungu,nchini kote kulitangazwa mashindano ya wanariadha wa nchi tofauti tofauti tafauti jijini Beijing ,Uchina.Tanzania ilikuwepo mojawapo wan chi ambazo zilikuwa mstari wa mbele kuorodheshwa kushiriki katika mashindano haya ya kidunia.Serikialia ya Tanzania iliagiza wanariadha wote ambao walikuwa tayari kuwakilisha nchi yao wajitokeze.watu walijitokeza kwa wingi ikiafikia kwamba awengine wachujwe.Hezron alibahatika kuwa moja wapo wa wanariadha nchini Tanzania ambao walibahatika kuwakilisha nchi yao. Siku ya riadha iliwadia na wanariadha wote wakaelekea kituoni cha ndege ,stakabadhi zao zilidhibitishwa na wakafululiza hadi nchini uchina ,pale bendera ta Tnzania ilioonekana kufifia kwani nchi nyingi zilionekana kufanya bora zaidi kuwaliko,wanatanzania waliokuwa wakifuatilia katika stesheni za teevisheni walikumbwa na hofu kubwa kuona nchi yao inashika nambari ya mwisho,wengi walizima runinga zao kwa kuudhika na wale wanariadha. Uliwadia wakati wa hezron kuiwakilisha nchi yao.watanzania wengi walionekana kuwa na matu,maini makubwa naye kwani waliua alikuwa mmwanariadha ambaye alikuwa kashakomaa kwenye ulingo wa riadha.Filimbi ilipulizwa na mbio zikaanza ,hezron alitimua mithili ya swara ,alianza akiwasnambari ya pili akiongozwa na mwanariadha kutoka Uchina.Jmbo hili liliwakera watanzania wengi lakini wakaapa kuwa wenye moyo wa tumaini,ghafla bin vuu ,Hezron alinyakua nambari ya kwanza na kuwaacha wenzake n nafasi kubwa ungedhani kapewa miguu ya Swara .Duru za furaha zilisikika kijijini mwaa kina hezron kwani aliifanya bendera ya Tanzania kupepea tena.Hezron aliibuka nambari ya kwwnza kati ya wanariadha ishirini,alitunukiwa medali ya dhahabu,wimbo wa taifa waTanzania uliimbwa na bendera ya nchi ya Tanzania ikapeperushwa juu zaidi,mbio zilikamilika na wanariadha wakaabiri ndege kuelekea makwao. Watu wengi walimsubiri,hezron kwa furaha kubwa sana walichinja mbuzi wengi na kuandaa karamu ya kumkaribisha shujaa huyu nyumbani.K bahati mbaya , haki ya anga ilibahatika nza ndege ambayo ilimbebeba Hezron ikapoteza mwelekeo na kuanguka ardhini.Harakaati za kuokoa watu zilifua dafu ingawa,wengi walikuwa wamejeruhuhiwa vibaya na wengine kupoteza maisha yao.Hezron aliokolewa ingawa alikuwa na majeraha mengi. Alikimbizwa katik hosoitali huko tu uchan kwani ndege haikuwa imesafiri masafa marefu kabla ya kukubambana na ajali.Ilisemekana kuwa Hezron alipata jeraha kuu kwenye uti wake wa mgongo na basi hata kutembea ikawa ngumu,na liilobakia ni kutafuta kifaa cha kumsaidia kutembea kabla atafute matibabu zaidi. Mali yake yote,ambayo hezron alikuwa katafuta kwa jasho lke mwenyewe,yalishia katika matibabu akibahatisha iwapo angepona na kurudi uwanjani ntena.Hezron alifilisika na ikamlazimu kurudi nyumbani,alijaribu kulilia serikali angalau imsaidia kugharamia matibabuyake lakini wapi,wanakijiji walipeleleka malalamishi kwenye ofisi tofauti tofauti wakitafuta usaidizi lakini wapi. Leo hii Hezron amesalia mtu omba omba asiyekuwa na mbele au nyuma.Ushindi na nakshi aliyowahi kuletea nchi ya Tanzania yote ilisahaulika,leo serikali haimtambui.amebakia tu kungoja siku ya kiama.kweli dua la kuku halimpati mwewe.
Kwa nini Hezron alifilisika
{ "text": [ "Alitumia pesa zake zote kwa matibabu" ] }
4913_swa
HARUSI NILIOHUDHURIA. Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na atakayekuwa nyumbani wakati huo. Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao. Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana ,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu walijipata wanaimba twisti. Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
Bw. na Bi. mkubwa wameketi wapi chini ya nini
{ "text": [ "Mnazi" ] }
4913_swa
HARUSI NILIOHUDHURIA. Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na atakayekuwa nyumbani wakati huo. Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao. Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana ,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu walijipata wanaimba twisti. Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
Bi. Mkubwa alivutiwa na nini ya mchumbake
{ "text": [ "Ujasiri" ] }
4913_swa
HARUSI NILIOHUDHURIA. Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na atakayekuwa nyumbani wakati huo. Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao. Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana ,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu walijipata wanaimba twisti. Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
Walifunga pingu za maisha miaka ipi
{ "text": [ "2004" ] }
4913_swa
HARUSI NILIOHUDHURIA. Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na atakayekuwa nyumbani wakati huo. Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao. Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana ,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu walijipata wanaimba twisti. Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
Gauni la bibi harusi lilifagia wapi
{ "text": [ "Chini" ] }
4913_swa
HARUSI NILIOHUDHURIA. Bwana na Bi mkubwa wameketi chini ya mnazi. Meno yamewatoka yote.Macho yao nayo nikama yameishiwa na nguvu za kuona.Nywele zao zimemegeuka kuwa nyeupe mithili ya theluji.Bi mkubwa anaonekana kalemewa zaidi ya mchumba wake miguu yake hayawezi hata kusimama .wapwa na wajukuu wake hawana jinsi ila kumbeba kila atakapo taka kutoka nje na kurudi chumbani.Wakati wa macheo ,jua linapochomoza ,wachumba hawa hupenda sana kutoka nje kujitundika sakafuni angalau miale ya jua ipenyeze kwenye mafupa yao.Bwana Mkubwa angalau anaweza tembea kwa usaidizi wa mkongojo na kujikokota hadi nje ,Bi mkubwa hili hawezi kabisa.Lazima asaidiwe na atakayekuwa nyumbani wakati huo. Leo nimebahatika kukaa miongoni mwao wakisimulia siku zao za furaha na karaha.Sina budi ila kuchangia mjadala huu wa kukata na shoka.Bi mkubwa anasimulia jinsi mchumba wake alivyomchumbia akiwa bado mbichi ata kubaleghe bado.Anatusimulia ni jinsi gani alivutiwa na mvulana huyu kwa ujasiri wake.Anatukumbusha jinsi alivyokuwa kidosho ambay e aliwapa wavulana kijijini mwao kiwewe.Bwana mkubwa naye hajaachwa nyuma,anatueleza ni jinsi gani alivutiwa na kidosho huku ambaye alikuwa anatoka kijiji mkabala wa chao.kidosho huyu alikuwa mrefu wa kimo,rangi ya kunde na mwenye nywele ndefu zilizovutia wengi.Vidosho wenzake walimhisia wivu na hata kumtenga nao.Bwana mkubwa anatueleza jinsi alibahatika kumpata msicha huyu ambaye alikuwa anaogopwa na wavulana wengi kwa urembo wake wakimalaika.Anatusimulia alivyoamka siku moja hii ni baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu mjini Dodoma.Aliamka na kumwambia mamake kuwa amepanga safari ya kuzuru rafik yake aliyekuwa kijiji, mkabala wa chao.Mamake alimpa Baraka zake na moja kwa moja bwana Mkubwa akaanza safari yake.Safari ambayo ilikuwa na kukutana na Bi Mkubwa.Siku moja mamake aliona kijana wake kwa umbali amemshika msichana mmoja mkono wakiandamana naye wakirejea nyumbani.Mamake alijua mtoto wake kapata jiko na hana budi ili kuwabariki waanze maisha yao. Miangwi ya vicheko ya hawa wawili ilisikika kwa umbali.Walifurahia sana maisha ya ujana wao na mambo walikuwa wakifanya kabla ya uzee kuwapiga pambaja. Mazungumzo yalinoga zaidi.Nilijikuta pia nimeanza kusimulia jinsi harusi yao ilivyokuwa ya kipekee.wawili haya walifunga pingu za maisha miaka ya hapo 2004 kama nakumbuka vizuri.Bi Mkubwa alishangazwa nami alipojua kuwa nilikuwepo katika harusi,nikashuhudia jinsi walivyovishshana pete.Naikumbuka siku hii vizuri sana. Ilikuwa siku ya aina yake,familia zote za Bwana na Bi Mkubwa walifurika kwenye kanisa la kianglikana lililokuwa katikati wa kijiji cha Bi mkubwa.Kanisa lilirembeshwa kwa maua aina ainati. Watu walifurika hadi pomoni,wengine walilazimika kukaa nje ya ua la kanisa.Milolongo ya magari yaliongozana ,kwa yule ambaye hajawahi shuhudia harusi basi hii angeoiona nikama ni kurudi kwa yesu kristu,matayarisho ya kutosha kweli yalijuwa yamefanywa,vyombo vya muziki vilifanya kazi yake ipasavyo watu walijipata wanaimba twisti. Bi arusi aliwasili muda mchace tu kabla ya gari lilibeba bwana harusi kufika. Ahaaaaa! Alikuwa mrembo ajabu,gauni lake lilifagia chini,wasimamizi nao pia walikuwa wanametameta mithili ya nyota angani.Ilikuwa ni harusi ya kufana,Bwana na bi Mkubwa pale kanisani waliapa kuishi kwa mapenzi ya kweli,hadi siku ya kiama. Baada ya viapo,waliandamana moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina Bwana mkubwa.HUko tulipata vyakula aina ainati,si vyapati,si ugali,si wali,si mchuzi,si nyama,vnyaji pia vilikuwepo tena aina mbalimbali,wale waliopendana .vinywaji vya matunda,wale wa vileo wale wa maji pia vyote vilikuwepo.Watu walipiga densi,namkumbusha Bi Mkubwa jinsi alininengua kiuono siku hiyo hayaamini maneno yangu sasa.Ni harusi amabayo ,iliwapa wengi motisha ya kufanya harusi.Harusi ya wawili hawa ilikuwa mojawapo wa harusi bora zaidi ambazo niliwahi kushuhudia .Ndio maana hata wa leo nipo na mahusiano ya karibu zaidi na wachumba hawa.
Waliapa kuishi kwa mapenzi gani
{ "text": [ "Ya kweli hadi siku ya kiama" ] }
4914_swa
SIKU KUU YA KRISIMASI Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo wote duniani. Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu. Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi kikubwa msimu huu. Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu. Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye. Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii. Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
Ni siku gani ambayo wakristo husherehekea mwakani
{ "text": [ "Siku ya krisimasi" ] }
4914_swa
SIKU KUU YA KRISIMASI Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo wote duniani. Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu. Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi kikubwa msimu huu. Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu. Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye. Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii. Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
Watota waliokulia mijini hupata fursa ya kuwaona wanyama wepi
{ "text": [ "Kuku, mbuzi, kondoo na bata" ] }
4914_swa
SIKU KUU YA KRISIMASI Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo wote duniani. Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu. Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi kikubwa msimu huu. Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu. Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye. Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii. Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
Biashara za bidhaa gani ambazo hunoga msimu wa krisimasi
{ "text": [ "Nguo, viatu, vyakula na wanyama" ] }
4914_swa
SIKU KUU YA KRISIMASI Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo wote duniani. Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu. Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi kikubwa msimu huu. Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu. Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye. Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii. Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
Jambo gani hutokea wakati magari hatimizi matakwa ya barabarani
{ "text": [ "Dereva hutoa hongo" ] }
4914_swa
SIKU KUU YA KRISIMASI Krisimasi ni siku kuu ambayo wakristo wengi huisherekea kila mwaka.Hutokea tarehe ishirini na tano desemba.Siku hii huwa imejawa na furaha na burudani.Krisimasi husemekana wakristo kuwa ndio siku ambaye yesu kristo,mwanawe Mungu alizaliwa.Wengi huisherekes makanisani.wengi hukesha usiku mzima wa kuelekea sikuu kuu ya krisimasi.wanafunzi wa shule za msingi,upili na hata vyuo vikuu hufunga mapema likizo hii inaelekea siku kuu ya krisimasi. Siku kuu hii husherekewa na wakristo wote duniani. Watu wengi husafiri kutoka mijini kuelekea vijijini kujumuika na familia zao.Huwa ni wakati murwa wa familia kukutana.Wale wa vijijini hufuraia wakati huu zaidi .Wa vijijini hupata nafasi ya kuwauliza wenzao na kupata picha halisi ya jinsi maisha ya mjini huwa.Wengi huwaona watu wa vijijini wenye tabia za kishamba,hawajaelimika au hawajaonja maisha ya kijiditali.Watoto ambao wamelelewa na kukulia mijini hupata fursa ya kuwaona wanyama aina ainati wanaofugwa mashinani.Si kuku,mbuzi,kondoo,bata na wengineo.Siku kadhaa kabla ya siku kuu hii huwa imejawa na matayarisho mbalimbali,wale ughaibuni huzuru sehemu mbalimbali ya hifadhi ya wanyamapori .Huja ili kujiburudisha na kupata kuwatazama wanyama kama,Simba,ndovu,twigana wengineo.Wengine huzuru sehemu za pwani ili kupata kuogelea na kubarizi kwenye ziwa kuu. Biashara za kila aina hunoga sana msimu huu.wauzaji wa nguo hupata faida zaidi bila kusahau wale wa viatu.Msimu huu watu hufanya manunuzu mengi ya nguo kwa ajili ya sikuu kuu ya krisimasi. Duka kuu pia huwa na foleni kubwa watu wakifanya manunuzi ya vyakula na vitu vingine. Masoko ya bidhaa za kupika hufurika hasa kule vijijini.Watu hutoka sehemu mbalimbali na kufurika katik soko kuu mashinani.Masoko ya mifugo huwa hayajaachwa nyuma.Wanyama wengi wale wa nyumbani hucjinjwa kwa kiasi kikubwa msimu huu. Barabara kuu huwa za kuogopwa msimu huu.Msongamano wa magari huwa ni jambo la kawaida msimu huu.Ajali nyingi mwakani hutokea wakati huu.Madereva wengi hupandisha nauli.Wale wanaosafiri hulazimika kulipia mara mbili au ata zaidi ya nauli ya kawaida. Madereva wengi huwa si wangalifu kwani hukimbilia tu pesa bila kujali maslahi ya maabiria. Watu wengine hulazomika kulala garini kwani usiku huwapata barabarani kwa sababu ya misongamano ya magari.Maafisa wa trafiki hutakiwa kuwa makini zaidi msimu huu wa krisimasi.Utoaji hongo huongezeka wakati hu kwani magari huwa mengi na meingine hayajaafikia matakwa ya kuwa barabarani.Maabira wengi na maderewa ma matatu na mabasi hushauriwa kuwa waangalifu zaidi.Kwani watu wengi hupoteza maisha yao msimu huu. Watoto na vijana huonekanana kusherehekea zaidi siku kuu hii.Watoto huvaa mavazi mapya hupelekwa sehemu za kujifurahisha.Vijana hupenda kwenda hoteli aina ainati ambazo huwa zimeandaa michezo na mashindano ya densi.Kwa wengine huwa ni siku ya kubugia vinyawaji vya kulevya.Wanaume wengi msimu huu hupatikana vilabuni wakijiburudisha kwa vinywaji mbali mbali.Wanawake huandaa mapochopocho mabali,vyakula huwa ni kwa wingi,wale wasiojiweza kiuchumi pia hupata nafasi ya kufurahia vyakula vya kiwango cha juu.Wengi hutembelewa na matajiri au kualikwa nyumbani mwao.Watot yatima na wale chokora pia hunufaika zaidi msimu huu.Shirika mbali mbali za serikali na zisizo za kiserikali huzuru sehemu hizi na kuwazawad isi si tu nguo bali hata vyakula na vifaa vingine vya kujikimu kimaisha.Wasichana huletewa sodo,chupi na hupewa mawaidha jinsi ya kutunza usichana wao.Wavulana pia huwa hawajaachwa nyuma,wao hupewa mawaidha ya jinsi ya kuwa jasiri na jinsi ya kuwa mtu bora wa baadaye. Krisimasi kweli huwa ni siku ya utofauti sana.Wengi huwa wameisubiria kwa hamu na hamumu.Familia nyingi hupata nafasi ya kukutanna na marafiki na hata kupumzika.Wafanyikazi wote wa umma hupumzishwa.Wengine hupewa ata marupurupu ya kufurahia krisimasi.Wengine hupelekwa sehemu za burudani na waajiri wao.Kila mmoja huwa ana furaha siku hii. Waislamu pamoja na wahindi huwa hawasherhekei krisimasi pamoja na wale wa sabato.Wao huwa siku kuu yao mwafaka.Kwa mfano waislamu husherehekea siku kuu inayo julikana kama Ramadhan
Wanaume wengi husherehekea krisimasi wapi
{ "text": [ "Vilabuni" ] }
4916_swa
MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI. Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara haya ni pamoja na: Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini. Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi. Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu. Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano. Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia. Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na maswala kama hayo. Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
Bangi, sigara na pombe ni nini
{ "text": [ "Dawa za kulevya" ] }
4916_swa
MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI. Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara haya ni pamoja na: Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini. Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi. Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu. Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano. Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia. Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na maswala kama hayo. Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
Nini huleta saratani na magonjwa ya zinaa
{ "text": [ "Dawa za kulevya" ] }
4916_swa
MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI. Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara haya ni pamoja na: Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini. Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi. Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu. Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano. Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia. Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na maswala kama hayo. Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
Utovu wa usalama huletwa na nini
{ "text": [ "Dawa za kulevya" ] }
4916_swa
MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI. Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara haya ni pamoja na: Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini. Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi. Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu. Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano. Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia. Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na maswala kama hayo. Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
Waraibu wa pombe hupiga nini usiku
{ "text": [ "Kelele" ] }
4916_swa
MATUMIZI YA MIHADARATI NI KIKWAZO KIKUBWA CHA MAENDELEO NCHINI. JADILI. Matumizi ya dawa za kulevya kama,bangi,sigara,pombe na zinginezo huleta madhara mengi na kusababisha kutoendelea kwa nchi kwa ujumla.madhara haya ni pamoja na: Vifo kutokana na ajali,magonjwa au dawa yenyewe.Jambo hili huelekeza kupoteza wataala wengi hasa vijana.vijana watanashati hubeba sehemu kubwa ya kuendeleza maendeleo ya nchi.Vijana wanapoaga kutokana na ajali kwani zile dawa ukizitumia hubadilisha,jinsi akili ya mtu hufanya kazi basi kusababisha ajali.Vijana pia wanapojeruhiwa katika ajali,huwa ni kikwazo kikubwa ktika maendeleo ya nchi kwani huelekeza kupoteza kwa nguvu za kufanya kazi. Dawa zenyewe huwa bei ghali basi badala ya kujenga nchi kwa kukimu familia zao pesa hizi wanatumia kununua hizi dawa,hivyo basi kufanya nchi kuwa maskini. Dawa za kulevya,pia huleta magonjwa kama,saratani, na magonjwa ya zinaa.Magonjwa haya hufanya wananchi kuwa hawana afya hivyo basi kukosa wafanyikazi wa kutosha nchini.Wafanyikazi wanapokosa afya huelekea kukaa manyumbani jambo ambalo huleta umaskini zaidi,kwani wanapokosa kufanya kazi basi kukimu mahitaji ya familia ni ngumu sana.Hii huelekea nchi kuwa maskini kwani wachumaji hawapo,na kama wapo wanachagua kazi nakuancha Nyanja zinginw hazina wafanyikazi. Dawa za kulevya huleta utovu wa usalama .Kwani wanaohusika nazo huiba pesa ili kupata pesa za kununua hizi dawa,pia hutenda matendo maovu kama ubakaji kwani akili zao huwa zimechanganyikiwa.waraibu wa pombe hupiga kelele usiku na kusunbua wenzao wakiwa wamelala.Wasichan hupitia mateso ya kubakwa haasa na hawa waraibu wa pombe na dawa kama bangi.hii hufanya usalama wan chi kuzorota na basi maendeleo mengi kudidimid kwa ni watu huogopa hata kuekeza wasije wakavamiwa na wezi wa kimabavu. Wahusika wa dawa za kulevya huhisi mambo yasiokuwepo hivyo basi hawawezi kuleta maendeleo yoyote.Mfano utasikia mhusika akisema anaona mbingu ikishuka anazungumza na malaika wa Mungu,Mungu anamwahidi kumpa dunia nzima.Mawazo kama hayo niya kuhisi tu na huweza kumfanya mtu asifanye kazi hivyo basi,kuzuia maendeleo nchini.Vijana wengi huadhuriwa na jambo hii.Utapata kijana akijigamba kuwa ardhi yote ni yake na chochote kilichomo hivyo basi hana budi kufaya kazi kwani tiara yeye ni tajiri.Tena tajiri wa kupigiwa mfano. Dawa za kulewa huharibu utundio wa ubongo,hivyo basi wahusika huachwa na kutoweza kubuni jambo au kitu chochote hasa ya kiteknolojia.nchi hukosa wabunaji wa vyombo mbalimbali hivyo basi kuwa nchi ya kawaida tu na ambayo inategemea nchi za nje kwa maswala ya teknolojia ,uzinduzi wa uchimbaji madini .Nchi amabazo watu si wabunifu hufanyika watu wa kutegemea wataalam kutoka nchi za ugenini ili kuwasaidia katika sekta mbalimbali kama,afya,elimu,na teknolojia. Rasikimali ambayo ingeweza kufanya kazi kwenye miradi ya kuchangia kukuza uchumi hutumiwa kupabana na dawa za kulevya.Walanguzi wa dawa za kulevya hufilisi serikali kila uchao kwani wao huwapa serikali kazi ngumu ya kuwatafuta na kuwakamata.Hela nyingi hutumiwa ili kuweza kukamata hawa watu.pesa hii ingetumika mbadala,kuendeleza sekta toifauti tofauti nchini kama mawasikiano yaboreshwe,teknolojia,elimu iboreshwe na maswala kama hayo. Kwa hivyo dawa za kulevya ni kikwazo kikubwa sana katika kuendeleza uchumi nchini.dawa hizi huleta madhara mengi sana hasa kwa vijana.
Nani hufilisi serikali
{ "text": [ "Walanguzi wa dawa za kulevya" ] }
4917_swa
YALINIKUMBA Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale. Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi. Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili. Laiti singezaliwa mimi! Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama. Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali, taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia. Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa ameniuma! Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe mpe. Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha barafu katika utupu wa changwa. Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu sasa yamenikumba! Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe. Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio. Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
Nani alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale?
{ "text": [ "Mfalme jua" ] }
4917_swa
YALINIKUMBA Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale. Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi. Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili. Laiti singezaliwa mimi! Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama. Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali, taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia. Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa ameniuma! Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe mpe. Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha barafu katika utupu wa changwa. Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu sasa yamenikumba! Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe. Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio. Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
Nini iliashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi?
{ "text": [ "Kufifia kwa mionzi ya jua" ] }
4917_swa
YALINIKUMBA Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale. Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi. Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili. Laiti singezaliwa mimi! Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama. Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali, taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia. Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa ameniuma! Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe mpe. Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha barafu katika utupu wa changwa. Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu sasa yamenikumba! Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe. Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio. Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
Nini zilifanya jiji kuonekana kama mchana bandia japokuwa ni usiku?
{ "text": [ "Taa za umeme " ] }
4917_swa
YALINIKUMBA Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale. Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi. Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili. Laiti singezaliwa mimi! Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama. Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali, taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia. Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa ameniuma! Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe mpe. Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha barafu katika utupu wa changwa. Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu sasa yamenikumba! Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe. Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio. Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
Mwandishi alianza kukonda mithili ya nani?
{ "text": [ "Mbwa wa changwani" ] }
4917_swa
YALINIKUMBA Mfalme jua alikuwa amemaliza kazi yake ya kulisha dunia kwa miale. Alikuwa sasa anajikokota sehemu za magharibi huku mionzi yake iliyofifia kuashiria kwamba saa za machweo zilikuwa zimeanza kubisha hodi. Sikuelewa nilikuwa nimesimama kwa muda upi uani kwa vile machozi yalikuwa yamekusanyika machoni pangu tayari kutiririka njia mbilimbili. Laiti singezaliwa mimi! Nilikuwa sasa nimechoka kuwatazama wapita njia waliopita kwa magari ya kifahari yaliyopita kwa kasi bila kutoa sauti. Yapo magari yaliyokuwa yamezeeka na breki zao zilitoa sautizilizokwaruza kila yaliposimama. Watu walipita wa aina tofauti; si weupe si weusi,si warefu si wafupi,vijana kwa wazee na vilevile wanaume kwa wanawake. Kwa umbali, taa za umeme zilitawala jiji na kuonekana kama mchana bandia ishara kuwa saa za giza kutawala zilikuwa zimewadia. Yote haya sikuona ya maana wala kuonea fahari tena mambo yaliyokuwa kangaja sasa yalikuja. Niliketi nikiwaza matokeo ya daktari ambayo niliyapokea takribani mwezi mmoja uliopita. Awali alinificha ukweli lakini niliposisitiza kwa ukali aliipasulia mbarika. Laiti singenijuza kwani tangu hapo maisha yangu yalichukua mkondo tofauti mno. Ile hamu ya chakula ilinitoka kabisa ikwa sili lolote,sinywi chochote . nilianza kukonda mithili ya mbwa wa changwani, nguo zangu ningezivua hadharani mbavu zangu zingeezabika moja baada ya nyingine. Nywele zangu zilizokuwa nyeusi ti! Zilibadili rangi na kuanza kuchipuka ovyoovyo. Mdudu alikuwa ameniuma! Darubini yangu ilinikumbusha mambo yalivyoanza,yote yaling’oa nanga baada ya kumaliza kidato cha nne. Nilijidai kuelekea mjini kutafuta kazi ya kujisitiri huku nikijitetea kuwa nilikuwa na rafiki wangu ambaye tungeishi na yeye. Wavyele wangu walikataa katakata kuniruhusu lakini baada ya kusisitiza na kufanya kiburi nyumbani, waliniruhusu japo mama alihuzunika na alinionya kwa ukali kuwa mwenda tezi na omo marejeleo ngamani. Nikapotelea mbali huenda walikumbuka kuwa mtoto akililia wembe mpe. Mjini nikawa binti kiziwi asiyesikia aliyoambiwa. Baada ya kukosa kazi,nikajiunga na wenzangu tukajiajiri wenyewe katika klabu moja na malipo yakawa ya kuvutia mno ilimradi ukijua kuongelesha na kuwahudumia wateja vyema. Nilibobea katika nyanja hiyo na kuwabadili wanaume kama mavazi. Nikawa ndiye jogoo la shamba lililowika jijini,jamani kumbe mwiba wa kujidunga hauna pole. Kutoka uani nilipoketi, taa za umeme nilizokuwa nikiona kwa umbali yalinikumbusha mengi. Nilikuwa kipusa aliyekuwa akiingia vilabu vyote,lakini kumbe dunia mti makavu kiumbe usiuegemee. Wale watu niliowatazama waliniongezea uchungu mtupu,moyo wangu wa furaha ulijaa chuki na furaha ikawa imeyeyuka kama kipande cha barafu katika utupu wa changwa. Wale wasichana waliovalia nguo zilizoacha sehemu za miili yao kuonekana waliniudhi mno. Laiti wangejua dunia ingewararua na kuwaacha wakiduwaa,nilitamani kuwafikia kuwaonya ilimuradhi wasiche wakaangamia kama nilivyo sasa lakini nilishindwa. Mimi pia nilikuwa hivyo na sasa naangamia nikakumbuka kuwa hasiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu sasa yamenikumba! Wanaume nao niliwatazama kama wanyama mwitu waliovalia suruali ndefu na shati,wao ndio walionipa maji machafuyaliokuwa na mdudu ambaye aliniuma na kunifanya kuugua sasa. Raha nyingi za dunia zilitoweka na badala yake ukawa uzuni tupu na majuto. Sasa niliishi kwa chumba hilo kubwapekee kwa vile tayari ulimwengu ulikuwa umenitenga kana kwamba nina ukoma. Dadangu mdogo tu ndiye aliyeniuguza pale sikutaka kuishi na wazazi wangu kuwapa mzigo bure. Ikanijia akilini kuwa mla nawe hafi nawe hila mzaliwa nawe. Nilijilaumu sana ikadhihirika kuwa mwiba wa kujidunga hauna kilio. Ndoto zangu zote zilitoweka kama ukungu na umande. Sasa nilikuwa kama shetani ingawa sijawahi kuonana naye ana kwa ana. Haina maana kuishi katika hali hiyo,nilifikia kalamu na kuandika sentensi kadhaa kwenye karatasi iliyokuwa kando yangu. Kasha nikachukua chupa kilichokuwa kwenye rafu na kupiga makopo kadhaa. Maini yakaanza kunisokota na koo kuungua ndani kwa ndani. Heri nife niondokee duniani,safari yangu ya kuelekea jongomeo ikawa sasa imeng’oa nanga. Ghafla niligutuka usingizini nikihema kwa nguvu mno,nikashindwa kuendelea kulala!
Shida zake mwandishi zilianza wakati upi?
{ "text": [ "Baada ya kumaliza kidato cha nne" ] }
4918_swa
Msongo Wa Mawazo Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto. Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi. Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine, watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la mmoja wao liliwaweka katika hali hii. Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu, wasijishughulishe na chochote. Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe, washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho. Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema. Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia. Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge. Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo. Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo. Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia. Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno. Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua kudhibiti msongo wa mawazo. Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali ipi
{ "text": [ "Tatanishi" ] }
4918_swa
Msongo Wa Mawazo Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto. Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi. Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine, watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la mmoja wao liliwaweka katika hali hii. Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu, wasijishughulishe na chochote. Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe, washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho. Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema. Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia. Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge. Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo. Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo. Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia. Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno. Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua kudhibiti msongo wa mawazo. Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
Nani wanashauri ambao wamesongwa waende watafute washauri
{ "text": [ "Madaktari" ] }
4918_swa
Msongo Wa Mawazo Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto. Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi. Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine, watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la mmoja wao liliwaweka katika hali hii. Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu, wasijishughulishe na chochote. Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe, washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho. Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema. Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia. Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge. Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo. Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo. Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia. Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno. Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua kudhibiti msongo wa mawazo. Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
Marafiki na jamii pia huwa nini muhimu katika kina cha msongo wa mawazo
{ "text": [ "Nguzo" ] }
4918_swa
Msongo Wa Mawazo Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto. Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi. Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine, watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la mmoja wao liliwaweka katika hali hii. Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu, wasijishughulishe na chochote. Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe, washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho. Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema. Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia. Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge. Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo. Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo. Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia. Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno. Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua kudhibiti msongo wa mawazo. Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni nini
{ "text": [ "Dini" ] }
4918_swa
Msongo Wa Mawazo Kila binadamu katika maisha yake hujipata katika hali tatanishi. Hizi hali tatanishi humfyonza mawazo. Wengi hata huacha kufikiria. Hisia zao huwaongoza. Binadamu anapofanya uamuzi akizingatia hisia zake, mara mingi matokeo huwa majutuo. Tukiangazia haya majuto huwa yanawaathiri wale tuwapendayo. Matekeo huwaacha wengi vinywa wazi. Huwa wanastaajabia kiumbe wamekuwa wakiishi nacho. Wanasayansi wamefanya utafiti. Kulingana nao kuna uwezekano wa kuweza kuepuka hayo majuto. Hali tatanishi hutofuatina. Kuna zile ambazo ni kujitakia. Zingine nazo mtu hujipata tu bila kutarajia. Zile za kujitakia, muanzilishi ni muathiriwa mwenyewe. Kwa mfano, kijana akijiingiza katika genge la wizi. Baadaye huo wizi umpelekee yeye kupigwa na ummati akaumia sana nusra afe. Hali hii tatanishi ni ya kujitakia mwenyewe. Kwa upande mwingine, watoto wa mwizi aliyeshikwa na kuuwa, hujipata mayatima sio kwa kijitakia. Walijipata katika hali sio kwa kutaka kwao. Lakini tendo la mmoja wao liliwaweka katika hali hii. Wanasayansi wanadai kuwa msongo wa mawazo unaotokana na hali tatanishi haufai kuwekwa moyoni kwa muda. Hao huwashauri waathiriwa kujituma kutekeleza wasia wowote. Jambo linalotekelezwa litawafanya wasau msongo wao. Mathalan, kuweza kujituma zaidi, kutawafanya wasiwaze kutenda kitu kitachowaliza baadaye. Usia wao ukiwa, mtu akiwa na msongo wa mawazo na asijutume, huwa unajipata akiwaza mambo yasiyo mema. Haya mawazo huwa mbegu mbovu ambayo ikichupuka huacha dukuduku kuu kwa ulimwengu. Hata hivyo utafiti umeoshea kuwa wengi wa wanakata tama ya kuishi kutokana na hali tatanishi huwa, mara nyingi, wakati mwingi wamejisitiri tu, wasijishughulishe na chochote. Pili, madaktari wanawashauri wale ambao wamesongwa na mawazo watafute washauri nasaha. Ushauri nasaha utaweza kuwapunguzia mawazo. Isitoshe, washauri nasaha wataweza kutembea nayo bako kwa hadi wajiruidie. La kuhuzinisha ni kwamba, wakati mwingi hawa washauri nasaha huwa na gharama zao. Bei zao huwa za juu. Hata hivyo ushauri wao sio wa mwisho. Cha msingi wao huweza tu kumsaidia muathiriwa kufanya uamuzi mwema. Ibainike kwamba hali tatanishi huwakumba matajiri na wasaka tonge pia. Hawa washauri nasaha kwa wingi huwahudumia tu matajiri. Mkono mtupu haulambwi ndilo jibu kwa wasaka tonge. Marafiki na jamii pia huwa nguzo muhimu katika kina cha msongo wa mawazo. Marafiki na familia wanaposimama kwa mali na hali na anayesongwa na mawazo, mhasiriwa hujipa tumaini kuwa yote yatukuwa sawa. Familia na marafiki huweza kumshauri mhasiriwa. Hata hivyo, uwepo wao tu humfanya ajihisi hayuko pekee yake. Uthibitisho kuwa utengano ni udhaifu. Familia na marafiki wanapomtenga yeyote anayesongwa na mawazo, huwa wanachimba kaburi lao. Upweke huu humufanya ajione hafai hata kuishi. Uchungu huo unaezapelekea hata mtu kujitoa uhai bure. Ikumbukwe kuwa wengi ambao wamejitoa uhai huwasukumia marafiki na familia lawama kwamba wamlimtenga. Hata hivyo, msingi wa familia na marafiki ni upendo. Wanasayansi wanatueleza kuwa, tunapoishi na wenzetu tuwaonyeshe upendo. Ili wakati wa dhiki, marafiki na jamii zetu ziturudi pia. Jambo lingine ambalo huliwaza binadamu ni dini. Wafia dini wengi wameripoti kuwa kumtafuta Muumba wako wakati wa dhiki hurudisha muno. Kwa mfano katika dini ya Kikristo, kumenakiliwa kuwa kampe Mungu wako mizigo zako zote naye atakupumzisha. Hali ya mkristo kutambua Kristo ataweza kumbebea mizigo zake zote, humfanya asiwe na shaka kamwe. Pia katika hulka za mikitano, wanadini hupata muda wa kuzungumzia yanayowasibu. Cha kushangaza ni kuwa, huwa wanafarijiana. Hizi faraja huja kwa miundo tofauti. Kiini kuu ni kuwa huwa anayesongwa na mawazo amefarijiwa. Tawakimu pia zinaonyesha wengi wa wafia dini huwa wanajua kudhibiti msongo wa mawazo. Japo hizo ndizo baadhi ya njia ambazo zinaweza kukusaidia kupambambana na msongo wa mawazo, jambo la msingi ni kuachaana na chochote ambacho kitakufanya ujipate katika lindi la mawazo. Kuwa mbali na chanzo cha mawazo yako, utjipa uwezo wa kusonga mbele. Maishani kujitia nguvu na kuyapiku mathila ya maisha ndiyo ya msingi. Kusongwa na mawazo kwa upande mwingine, ni lindi potovu ambalo limeunyata uhuru wetu wa kusonga mbele. Kujikomoa, lazima tuufanye uamuzi thabiti.
Kwa nini mtu aachane na jambo linalomtia katika lindi la mawazo
{ "text": [ "Ili kupambana na msongo wa mawazo" ] }
4919_swa
MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa maishani. Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna. Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake. Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na kumshukuru Mungu mara kwa mara. Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi. Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani. Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni. Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri. Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu ifaavyo. Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia. Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa. Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi. Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake. Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka. Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi. Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele. Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi. Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula bitakavyoliwa pale mkahawa I. Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu. Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Alikuwa darasa lipi
{ "text": [ "Pili" ] }
4919_swa
MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa maishani. Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna. Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake. Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na kumshukuru Mungu mara kwa mara. Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi. Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani. Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni. Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri. Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu ifaavyo. Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia. Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa. Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi. Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake. Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka. Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi. Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele. Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi. Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula bitakavyoliwa pale mkahawa I. Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu. Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Nani alimsaidia kuuza vitumbua
{ "text": [ "Rosa" ] }
4919_swa
MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa maishani. Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna. Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake. Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na kumshukuru Mungu mara kwa mara. Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi. Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani. Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni. Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri. Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu ifaavyo. Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia. Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa. Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi. Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake. Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka. Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi. Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele. Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi. Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula bitakavyoliwa pale mkahawa I. Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu. Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Wapi alikuwa akitia bidii
{ "text": [ "Shuleni" ] }
4919_swa
MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa maishani. Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna. Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake. Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na kumshukuru Mungu mara kwa mara. Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi. Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani. Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni. Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri. Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu ifaavyo. Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia. Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa. Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi. Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake. Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka. Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi. Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele. Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi. Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula bitakavyoliwa pale mkahawa I. Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu. Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Alirauka lini kusoma kidogo
{ "text": [ "Asubuhi" ] }
4919_swa
MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME Hii ni methali ya kiswahili yenye maana ya juu juu kuwa anayetaka chochote kilichoko chini ya kitanda basi hana budi Lia kuinama ndipo akifikie kile anachohitaji. Maana ya ndani ya methali hii ni kuwa anayehitaji lolote lazima atie bidii kulipata la sivyo basi hawezi lipata. Methali hii hutumiwa kuwaweka wazi kuwa Hamna chochote kinachokuja bila ya kufanya bidii wala kujituma. Kila jambo linahitaji mtu ajitume ndipo alipate. Methali hii ni sawa na ile isemaho kuwa haba na haba hujaza kibaba. Yaani kidogokidogo hufanya yakawa makuu basi kila mtu ajitume na kujituma baada ya muda kutaleta makuu. Methali hii inafikea uvivu na kutaka kila mtu atie bidii ikiwa anataka kufanikiwa maishani. Nilikuwa darasa la pili na basic nilikuwa na rafiki zangu Rosa na Muna. Sisi wote tukitoka kwa Kijiji kimoja. Mama Rosa alikuwa mwalimu na mama Muna. Mama yangu alikuwa muuza vitumbua na mandazi. Wote tuliishi kwa pamoja. Kila mara wao Rosa wangeandamana nami katika kumsaidia mama kuuza vitumbua vyake. Haikuwa Rahisi kwa kuwa siku zingine hatukuweza kuuza na basinikabidi tubirudishe vitumbua nyumbani. Mama hajufa moyo ila alijikaza kwa kuwa aliamini kuwa mvhumia juani Julia kivulini. Baada ya muda mama alipata Hela za kutosha ana akafungwa mkahawa mdogo pale nyumbani. Sasa alianza kupika chapati na akawa anapika na chai akawauzia wateja wake. Mkahawa wetu ulikuwa na wteja kweli kweli. Baba ilimbidi apache kazi yake kwanza ili ajekumsaidia mama katika kuuza mkahawa wake. Ingawa mkahawa I halikuwa na wateja siku zote basi tulifurahia na kumshukuru Mungu mara kwa mara. Shuleni nilikuwa natia bidii kwa kisikiliza nachofunza mwalimu na kuuliza maswali. Sikukosa kufanya kazi alizooeana mwalimu kila siku kwetu tunaporudi nyumbani. Nilimfuata mafunzo aliyopeana mwalimu darasani. Mwalimu alioosema tumusaidie kufanya kazi yeyote kama kupanga vitabu vyake nilikuwa wa kwanza. Isitoshe mwalimu alipohitaji mtu wa kumbebea vitabu kuenda ofisini ilikuwa mimi tu. Nilioendwa na walimu wangu sana na basic mtihani sikukosa kupita mitihani. Baada ya muda mchache nilikuwa darasa la nane. Darasa la nane halikuwa kazi Rahisi. Mara nyingi ilinibidi nilale usiku sana kisa nilikuwa nasomea mtihani. Asubuhi ningeraika asubuhi nisome kidogo kisha niondoke niende shuleni. Baridi ya asubuhi haikunuhurumia hata kidogo. Ilinitandika bila huruma wowote. Sikuwa na budi ila kujilaza kisa uni kupata alama nzuri. Niliwasaidia rafiki wangu kudurusu masomo yao pia nikakuwa nahakikisha kazi alizopeana mwalimu. Mtihani uliwadia na basi nikawa nimefaulu vyema. Nilijiunga na shule ya upili . Wembe ukawa ule ule, kurauka asubuhi na kulala usiku kabisa kisa kujaribu kuhakikisha nafaulu ifaavyo. Mama na baba walikuwa wamejitahidi na kufanya kazi yao bila kuvivia. Baada ya muda walikuwa wamekwishapanua mkahawa wao na ukawa mkubwa. Wakati huu walikuwa wanapikia hata ugali. Kila aina ya chakula ilikuwepo na basic wateja nao wakaongezeka. Walimu wangu wa shule ya msingi walikuwa wameanza kuja pale na kula baadhi ya vyakula vyao. Mama naye iliwabidi wawaajiri wafanyakazi wengine ili kazi iendelee kwa urahisi. Wateja wa mama walisifu sana kazi ya upishi wa mama. Chakula chake kilikuwa kitamu ajabu. Mama naye hakusita kuwafurahisha. Alipika chakula kikaiva sawasawa. Baba naye alijitahidi sana kihakikisha kila mmoja wa wateja analipa na hakuna anayeondoka bila kutoa malipo yake. Alihakikisha amefanya hesabu kila jioni ya bidhaa walizouza na kuweka wazi kinachofaa kununuliwa na kwa wakati upi na kiwango kipi. Baba hakuwa mzuri sana kwa hesabu ila alijitahidi sana. Aliamka asubuhi hata kabla nirauke kusoma na akawa Amerika akaelekea kununua baadhi ya vyakula watakavyotumia kupika siku hiyo. Mama naye alitoka pamoja naye na kuendea maziwa ili aje akaanze kupika chai. Mama alihakikisha hajachelewa kuwapikia wateja wake kwa kuwa wangekuja kunywa chai adubuhi na mapema na mahamri. Walifanya hivyo kila uchao bila kuchoka. Nilikuwa nimefika kidato cha nne. Nilikuwa na bidii ya mchwa kujenga kichuguu kwa mate. Sikutaka kuteleza kwa alama hata chembe. Walimu walikuwa marafiki wangu na kila uchao nilikuwa nipo mbele yao nikitaka kufahamu namba ya kufanya baadhi ya mambo. Nilijilaza mno nisije nikaambilia patupu. Nilipoona usingizi unanijia nilikanyaga kwenye beseni na kuendelea kusoma. Niliyadurusu masomo yote na kungoja basi mtihani. Sikumusahau Mola wangu. Siku ya mitihani iliwadia. Tulikuwa na uwoga sisi wote ila walimu wakatutia moyo sana. Tulifanya mtihani wetu bila bughudha yeyote. Tukamaliza na badi kila mmoja akamshika njia akaenda kwao. Nilipokuwa nyumbani niliwasaidia mama na baba kufanya baadhi ya kazi mkahawa I kama vile kuisha vyombo na kuwapa wateja chakula. Nilifanya hivi kwa muda bila kuchoka mpaka mtihani ulipotangazwa. Nilikuwa nimepita ajabu na basic nikawa baadhi ya wanafunzi ambao wangefadhiliwa na serikali katika masomo ya juu zaidi. Mama na baba waliridhika sana na kuninunulia zawadi tele. Mama na baba waliamua kujenga mkahawa wao upya na uwe mkubwa zaidi. Walijenga ghorofa kubwa sana nje ya mkahawa huo wakaweka maji ya kuogelea kisha wakaweka maridadi mbalimbali kwa mkahawa huo. Mkahawa wetu ukawa mkubwa ajabu. Hakuna aliyetarajia kuwa mama angeacha kuwa muuzaji vitumbua na aje kuwa mwenye mkahawa mkubwa hivyo. Aliwaajiri watu mbalimbali ili waweze kuwa wanaofanya kazi katika mkahawa huo. Baba akawa ndiye meneja mkuu. Mkahawa ukawa na vyakula mbalimbali bilivyopikwa na walishi mashuhuri. Mkahawa ukawa na vyumba vya wageni na basic mapato yakawa juu sana. Wateja wetu wakawa hata wzungu walikotoka nchi zao na kujaa kujiburudisha nchini. Tulikuwa tumefaulu ajabu. Mama na baba wakanunua gari lao la kutembea na la kubeba mzigo hasa vyakula bitakavyoliwa pale mkahawa I. Mimi nilijiunga na chuo Kikuyu na kusomea udaktari. Militia bidii bila kuchoka. Nikimaliza na hii Leo nimefuzu. Tayari nimeitwa kazi hospitali ya Kitaifa. Mimi na baba tupo mbele ya mkahawa wetu tuanatabasamu. Kusema kweli haijawa Rahisi ila tulijibidiisha. Chambilecho wahenga mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Kwa nini mama aliwaajiri wafanyikazi wengine
{ "text": [ "Ili kufanya kazi iwe rahisi" ] }
4920_swa
MTOTO WA WENYEWE. Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na Vicky basi mpaka tukahitimu. Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani. Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu. Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote. Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi. Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza mapenzi mapya.
Nani alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu
{ "text": [ "Victoria" ] }
4920_swa
MTOTO WA WENYEWE. Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na Vicky basi mpaka tukahitimu. Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani. Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu. Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote. Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi. Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza mapenzi mapya.
Victoria aliitwa kwa ufupi vipi
{ "text": [ "Vicky" ] }
4920_swa
MTOTO WA WENYEWE. Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na Vicky basi mpaka tukahitimu. Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani. Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu. Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote. Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi. Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza mapenzi mapya.
Vicky alijiunga na chuo kipi
{ "text": [ "Cha ufundi" ] }
4920_swa
MTOTO WA WENYEWE. Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na Vicky basi mpaka tukahitimu. Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani. Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu. Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote. Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi. Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza mapenzi mapya.
walielewana na nani bila tatizo
{ "text": [ "Benita" ] }
4920_swa
MTOTO WA WENYEWE. Victoria alikuwa mpenzi wangu wa muda mrefu sana. Nlijuana na Victoria nikiwa shule ya upili. Victoria alikuwa Binti mrembo zaidi kwenye darasa letu. Kila mvulana alitamani sana kuwa rafikiye Victoria. Nakumbuka Victoria ambaye tulizoea kumwita kwa ufupi Vicky alijiunga nasinkama amechelewa. Aliletwa na baba yake na gari lao mpaka shuleni. Walimu walipomwona baba ya Victoria walichangamka sana na kumshughulikia ipasavyo. Isitoshe Victoria na baba yake walisakimiwa kwa njia isipokuwa ya kawaida kwa watu wengine . Aliletwa darasa letu na kuwekwa aketi na Binti mmoja. Kila mtu alihakikisha siku hiyo anemusalimu na kumuomba urafiki. Sijui ni koi Victoria alichokiona kwangu na badi akanikubali kuwa rafiki huku akawakana wengine. Nilifurahi sana kuwa na bahati hiyo ya kipekee. Tukawa tunaenda na Vicky Maktabani kusoma, chakula tukakula pamoja na hata kuongea ilikuwa tu sisi wawili. Tuliendelea hivyo na Vicky basi mpaka tukahitimu. Tulipohitimu mimi nilijiunga na chuo Kikuyu naye Vicky akajiunga na Kituo Cha kiufundi. Ingawa Vicky nami tulikuwa hatupo pamoja basi Hilo halikusitisha upendo wetu. Tuliendelea kupendana na mara kwa mara tukawa tunatembeleana. Vicky alizidi kuwa mrembo zaidi nami niwa namutamani zaidi. Siku moja nilimwalika Vicky aje anitembelee kwangu. Kwangu nilikuwa naishia na mdogo wangu Benita. Benita alikuwa anasoma chuo Kikuyu ila kwa kutumia mtandao na hivyo mara nyingi alikuwa mle chumbani. Vicky aliwasili kwangu kama mgeni wangu. Benita alipomuona Vicky basi nikagundia kuwa walikuwa wanafahamiana kutokana na jinsi walivyosalimiana.Benita alimkaribisha Vicky na basic tukalonga na Vicky na mwishowe akaondoka. Benita nakumbuka akitaja maneno mawili tu kwangu na sikuwahi kuyaelewa mara hiyo "achana na Vicky!". Nilimsihi anieleze kwa undani kile alichomaanisha ila aliushikilia msimamao wake tu kuwa Vicky ni rafiki yake na hivyo basi anachoniambia kina uziti fulani. Nilipokuwa chuoni Karibu kuhitimu nilianza kuugua. Niliugua kwa muda mrefu sana. Hospitali nilipewa matibabu kadhaa na kuruhusiwa kurejea nyumbani. Nikijiuliza naye Benita akaniuguza moaka nikampata nafuu. Nilipopata nafuu basi nilirejea chuoni na kuhitimu. Wakati huu mawazo yangu yalikuwa na hasira mno. Sikutaka kusikua lolote lisilohusu ugonjwa ama Kupona kwangu. Hata Vicky akawa hapendwzi tena na basic nikamwambia awe mbali na mimi. Mapenzi yangu na Vicky yakakaktoka hivyo. Nikikaa na Benita huku ananiugiza ma hungu. Benita alikuwa ndiye niliyeweza kuelewana naye bila tatizo. Nilikuwa natembelewa tu na rafiki ya Benita aliyejulikana akama Rosa na zaidi ya hapo sikutaka mgeni yeyote. Baada ya muda mfupi Vicky aliniandikia ujumbe na kunijuza kuwa alikuwa na mimba na ilikuwa miezi Saba. Nilishtuka na kushangaza ni kwa nini Vicky hakunijuza tangu awali lakini nikaelezwa kuwa alishindwa kwa kuwa nilikuwa nimemwacha. Basinikawa namtumi Hela za kukidhi mahitaji yake alipokuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu kwa kuwa nilijua mimba aliyoibeba Vicky ilikuwa yangu. Nilifanya hivyo mpaka Vicky akajifungua mtoto. Baada ya mtoto kuwa mkubwa kidogo basi nikaanua kumuleta Vicky akaishi nami na Benita kwangu. Benita hakuridhika na hatua yangu. Alikuwa anakosana na Vicky kila mara. Haikuchukua Muda mrefu nikapokea simu kutoka kwa mwanamume aliteitwa Jonah. Jonah alikuwa na tatizo na Vicky . Aliniuliza ikiwa mtoto n wangu. Sikuwa na budi ila kusema Naam. Aliomba tukafanye utafiti ili tuweze kubaini sawa baba mtoto ni nani. Nilirejea nyumbani na mawazo tele. Sikutaka kufikiria kuwa yule mtoto sio wangu. Vicky alinishawishi mueleze kilichokuwa kinajiri ila nikaghairi. Nilimwendea darktari wangu kwa ushauri baada ya vipimo niliendea majibu baada ya wiki mbili. Darktari alinijuza kuwa sikuwa nabuwezo wa kuwa baba. Hapa ndipo nilikuwa kuwa yule Mwana sio wangu. Nilifika nyumbani nikamweleza Vicky kisha nikampigia jamaa aliyedai kuwa mtoto anaweza akawa wake na kumueleza kuwa yule alikuwa mwanaye. Vicky alijaribu kupinga ila nikamkatiza. Vicky aliondoka kwangu na kuenda kwa rafikiye. Kule alitoweka na kumuacha mtoto bila malezi. Rafikiye Vicky alimulea yule mtoto mpaka babaye mtoto akaamua kufanya vipimo kujua yule Mwana ikiwa ni wake kwa kweli. Alipofangiwa vipimo ilibaini yule mtoto ni wake . Nilibaki bila la kusema. Rafikiye Vicky alikuwa naishia nasi kutokana na uwoga wa kuishi mwenyewe. Siku moja Vicky alirejea na kujuzwa kuhusu habari hyo. Hakutaka kisikiliza ila alilazimishwa. Mumewe halali aliwasili na kumuomba waondoke. Nilibaki kule nimeshangaa na rafikiye Vicky nami nikaanua kusema ukweli. Nilikiri kwa rafikiye Vicky kuwa nampenda naye akakubali na basic tukaanza mapenzi mapya.
Alijuaje mtoto Vicky si wake
{ "text": [ "Baada ya kufanyiwa vipimo nakuambiwa hana uwezo wa kwa baba" ] }
4921_swa
MUI HUWA MWEMA Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni. Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni. Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha. Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu. Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao. Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa. Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea. Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie. Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka. Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi. Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine. Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri. Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini. Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena. Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo. Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
Mwandishi alikuwa kati ya watoto gani mtaani
{ "text": [ "Sugu" ] }
4921_swa
MUI HUWA MWEMA Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni. Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni. Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha. Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu. Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao. Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa. Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea. Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie. Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka. Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi. Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine. Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri. Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini. Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena. Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo. Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
Mwandishi alitupiwa nini alipopita
{ "text": [ "Macho" ] }
4921_swa
MUI HUWA MWEMA Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni. Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni. Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha. Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu. Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao. Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa. Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea. Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie. Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka. Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi. Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine. Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri. Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini. Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena. Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo. Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
Mwandishi alijifunza kulewa na kuvuta visivyotakikana akiwa wapi
{ "text": [ "Shuleni" ] }
4921_swa
MUI HUWA MWEMA Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni. Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni. Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha. Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu. Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao. Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa. Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea. Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie. Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka. Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi. Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine. Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri. Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini. Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena. Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo. Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
Mwandishi darasani alikuwa anaambulia nambari ya ngapi
{ "text": [ "Tatu" ] }
4921_swa
MUI HUWA MWEMA Nilikuwa kati ya wale watoto sugu wa kutajika mtaani. Kila nilipopita watu walinitupia macho tu. Nilikuwa siambiliki. Sisemezeki. Si shuleni. Si nyumbani. Uvivu ulinijaa. Nikabaki nikipiga malapa pale nilipoipata nafasi. Nyumbani wazazi walisema mpaka wakachoka. Majirani nao walibaki tu vinywa wazi . Walipoona vile nilivyokuwa nikijitosa shimoni. Niliwadharau kupita kiasi. Sikutaka wawe wakinichunguza chunguza kama Askari kanga. Mimi nilijiona bora. Si kimaumbile tu lakini hata kifedha. Nilijiona nimetoka katika mazingira bora. Nilikuwa na kiburi. Ubaguzi wa aina hii ulipigwa vita hata shuleni. Vilevile sikuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Kujidai kwangu huku kulinifurisha kichwa. Nilikuwa na matamanio ya kila namna. Humo shuleni nikawa napatana tu na watu wa aina yangu. Nikajifunza tabia nyinginezo zisizofaa. Nikaanza kulewa na kuvuta visivyotakikana. Tabia hizi zilinifanya nikose makini darasani. Akili nilikuwa nazo kweli. Hapo awali nilikuwa sipitwi darasani. Nikishindwa sana ningeambulia nambari tatu darasani. Nilianza kuteremka mlima polepole. Siku za mwisho wa juma na za likizo nilizipenda sana. Baada ya kufanya kazi ya likizo. Nilizurura na vijana wa aina yangu. Wazazi waliniasa bila kuchoka. Maneno yao yalipitia sikio moja na kutokea lile jingine. Wanafunzi waliokuwa makini darasani niliwaona mazuzu wasioijua dunia. Hata nikiwacheka kimoyomoyo. Nilipokuwa nikiwaona wakizionesha tabia zao nyofu kwa walimu na wanafunzi wengine wazuri kama wao. Siku moja katika hizo pitapita zangu. Wakati wa likizo nilijiingiza katika ukumbi uliokuwa umejaa watu furifuri. Nilidhani huko ningewapata wale wenzangu lakini wapi. Hata hivyo, sikuelewa jinsi nilivyoshawishika na kujumuika na watu hao. Nilianza kutulia na kusikiliza yaliyojadiliwa. Mara ,mmoja wa majirani zangu akapanda jukwani. Nilitamani kujiondokea. Lakini badala yake nikaanza kujizungumzia. Huyu naye ana lipi la kusema mbele ya watu. Sauti nyingine katika nafsi yangu ikaniambia. Acha kumdharau. Wasemaji wamesema nabii hana heshima kwao. Keti utulie. Jirani yule ambaye nilikuwa ninamdunisha siku zote. Kumbe alikuwa na kisima cha nasaha. Ingawa hakuwa ameniona. Nilihisi kama aliyekuwa akinipiga vijembe. Alitoa kisa cha mwana mpotevu katika biblia ambacho kilinimulika mimi. Ingawa nilikifahamu kisa hicho. Alikisimulia na kukitia chumvi pamoja na bizari ya duniani. Kisiweze kufahamika moja kwa moja kuwa ndicho hicho. Kisha hicho kiliakisi maisha yangu. Na kiburi nilichokuwa nacho. Nilijiona mwenyewe katikt kila sentensi aliyoitamka. Ulimi wa jirani ambaye daima nilimpuuza. Uliniwekea wazi maisha yangu kama mtazamaji sinema. Aliyoyasema yalinihisu. Yakanifunza mengi. Niliketi kinywa wazi. Nikaendelea kuwasikiliza wazungumzaji wengine. Nilijiuliza maswali tumbi nzima. Mungu amenitunukia kila kitu kizuri. Mbona najididimiza shimoni?. Mbona najitia matatani?. Mbona nawatia wazazi uchungu na aibu?. Mbona sikazani darasani kama zamani?. Wakati wa mabadiliko ni huu. Nikiwa bado katika kidato cha pili. Tena muhula wa kwanza. Lazima nijikunje mapema. Kwani samaki mkunje angali mbichi. Yule jirani niliyekuwa namwona si chochote si lolote. Sasa nilimthamini. Baada ya muda mabadiliko yangu kitabia na kimienendo yalianza kudhihirika. Kule nyumbani nilianza kujifanyia kazi. Nilithamini kila mtu mwenye tabia nzuri. Mwanzoni wazazi wangu walishuku kuwa nilikuwa nimetenda jambo kubwa la kufichika. Kwa sababu nilijifanya Simba aliyenyeshewa. Baada ya muda walianza kuyaamini. Nilianza kuwa mshirika wa karibu na huyo jirani yangu. Jirani alinisaidia sana. Alinisaidia kuimarisha uhusiano mwema na majirani wengine. Wazazi nao walizidi kunipenda. Shuleni nako nilionekana kuwa mwana mtiifu. Nilianza kupata alama zilizokuwa nikipata katika kidato cha kwanza. Ni kweli palipo na nia pana njia. Nia ninayo,nitafaulu zaidi. Sitazamii kuteleza Tena. Kweli wahenga hawakukosea waliposema,kuteleza sio kuanguka. Nilikubali kuwa nilikuwa nimeteleza kidogo tu. Ama kweli jirani mpende. Wazazi wangu walifurahi sana. Marafiki zangu pia walifurahi na mabadiliko hayo. Nilijitahidi na masomo yangu. Nikatia fora kila kukicha. Walimu walinihimiza na kunipa moyo wa kuendelea.
Mwandishi alianza kuzurura baada ya kufanya kazi gani
{ "text": [ "Ya likizo" ] }
4922_swa
MUI HUWA MWEMA Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya kuwachukia. Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau misingi inayokubalika katika jamii. Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo marafiki zake wakamtenga Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima. Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni mwake kwa kuwa alitoa maskio nta. Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo. Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao. Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi. Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu. Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu na kazi ya sulubu. Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa mfano.kweli Mui huwa mwema!
Mtu mwenye mazoea na tabia mbaya huitwaje
{ "text": [ "Mui" ] }
4922_swa
MUI HUWA MWEMA Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya kuwachukia. Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau misingi inayokubalika katika jamii. Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo marafiki zake wakamtenga Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima. Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni mwake kwa kuwa alitoa maskio nta. Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo. Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao. Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi. Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu. Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu na kazi ya sulubu. Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa mfano.kweli Mui huwa mwema!
Nalo alizaliwa wapi
{ "text": [ "Kijiji cha moyo" ] }
4922_swa
MUI HUWA MWEMA Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya kuwachukia. Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau misingi inayokubalika katika jamii. Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo marafiki zake wakamtenga Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima. Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni mwake kwa kuwa alitoa maskio nta. Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo. Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao. Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi. Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu. Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu na kazi ya sulubu. Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa mfano.kweli Mui huwa mwema!
Nalo aliwatenda wenzake maovu yapi
{ "text": [ "Aliwacharaza kwa viboko, kuwauma kwa meno" ] }
4922_swa
MUI HUWA MWEMA Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya kuwachukia. Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau misingi inayokubalika katika jamii. Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo marafiki zake wakamtenga Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima. Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni mwake kwa kuwa alitoa maskio nta. Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo. Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao. Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi. Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu. Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu na kazi ya sulubu. Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa mfano.kweli Mui huwa mwema!
Wazaziwe Nalo walifanya nini walipoarifiwa kuhusu ujeuri wake
{ "text": [ "Walimrekebisha na kumweleza uzuri wa kuishi pamoja kwa amani bila vita" ] }
4922_swa
MUI HUWA MWEMA Mui ni mtu mwenye mazoea mabaya ama tabia mbaya. Methali hii inamaanisha kuwa mtu mbaya ama mwenye tabia ama mazoea mabaya mwishowe huwa mzuri kwa kuwa hawezi akawa mbaya daima. Methali hii hutumiwa kuwaambia watu kuwa ni vizuri kuwapa watu muda wa kutosha ili kubadikika badala ya kuwachukia. Nalo alikuwa kijana barobaro ambaye alikuwa kibaraka kwa mamaye Nina na babaye Musa. Alizaliwa katika Kijiji Cha Moyo na kulelewa vyema na wazazi wake. Mama yake alikuwa anafanya biashara ya kijungujiko Bora mkono uende kinywa I kwa kuwa mkono mtupu haulambwi. Naye baba mtu alikuwa anafanya kazi ya kutengenezwa jiko za kupika na hata kushona viatu ili kutosheleza mahitaji ya familia yake. Nalo alikuwa ndiye mtoto wa pili katika familia iliyokuwa ya watoto wanne jumla. Na wote walilelewa katika misingi ya kanisa na misingi ya kikristo bila kisahau misingi inayokubalika katika jamii. Nalo alikuwa vyema kimwili na Kiroho. Alipoanza kuzungumza alipata marafiki Kem Kem na kuzidi kuimarika zaidi kimatamshi. Alipoanza kutembea alikuwa hatulii kwao na badala yake akishinda kwa njia akiwachokoza na kuwachapa marafiki wake. Wakati mwingine aliwauma kwa kutumia meno yake, akawapiga mawe , akawacharaza kwa kutumia viboko ama akawamwagia mchanga ama hata maji. Alianza kupoteza marafiki mmoja baada ya mwingine kwa kuwa alikuwa amegeuka mjeuri na mwenye kupenda vita bila kuwape da wenzake. Alikuwa na mazoea ya kuwaliza waliomkaribia na hivyo marafiki zake wakamtenga Marafiki wake walianza kulalamika na hata wakafanya kuwaeleza wazazi wake Nalo kuhusu kubadilika kwake Nalo na kuwa mjeuri. Wazazi wake walifanya kumurekebisha Nalo na kumueleza uzuri wa kuishi pamoja na wenzake kwa amani bila vita. Nalo aliahidi kufuata Sheria hizo lakini baada ya muda mfupi akasahau na kurudia tabia zake za kizamani zenye vita. Wazazi wa watoto aliowachapa Nalo walikuwa marakwa mara kwao Nalo kulalamika kuhusiana na tabia mbaya za Nalo. Walimtushia na kumkanya vikali dhidi ya yeye kuwadhukumu wanao bila huruma wala heshima. Walimtishia hata kumsema kwa walimu wake endapo hangewasikia na abadilishe mwenendo wake lakini hayo yote yalikuwa hayaoiti maskioni mwake kwa kuwa alitoa maskio nta. Kwao Nalo kukawa hakukujwi na watoto wowote kama iliyokuwa desturi hapo awali. Dada yake mkubwa pia akaanza kulalamika kwa kuwa hata marafiki zake sasa walikuwa hawako kisa na maana watachapwa na kiumizwa na Nalo. Ikawa mara nyingi Nalo hawaelewani na dadaue kwa kuwa aliwazuia marafikize kuja kumwona. Hilo halikumtisha Nalo na lilikuwa kama ngozi ambayo haibadiliki . Nalo alipoona kuwa watoto wametoweka basi alianza kuwachokoza hata akina mama na baba wenye umri wa makamu. Aliwarusha mawe walipokuwa wakioita njia iliyokuwa Karibu na kwao. Watu walienda na kulalamika chifu wa eneo Hilo kuhusu tabia hadi za Nalo. Kwa kuwa wazazi wake Nalo walikuwa wameshindwa kumuhifadhi mwanao badi ilibidi watu wawaeleze walimu wake Nalo. Walimu waliharibu lakini walishindwa kwa kuwa Nalo hakubadilika hata chembe aliyarudia makosa yake mara kwa mara na basi ikabidi watu wakaseme kwa Chifu kisa na maana maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka tena. Chifu alifanya homa kumkanya Nalo lakini Nalo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alivyozidi kukanywa ndivuo alivyozidi kuwa mjeuri zaidi. Njia iliyokuwa ikipita Karibu na kwao ikawa haipitiki tena. Akaamua kuacha shule na kukaanyumbani kwa vile shuleni alikuwa kwa masomo kila mara na hivyo akashindwa kustahimili adhabu. Siku moja Binti mmoja akapita njia ya kwao, Nalo kama ibada akachukua mawe na kumurushia Binti yule. Jiwe likamgonga Binti yule. Binti wa wenyewe akaamua kumwendea Nalo ili apambane naye. Nalo akajaribu kutoroka lakini Binti akamshika. Lo! Kumbe alikuwa Polisi. Nalo alifungwa pingu na kuamurishwa kuandamana na Inspekta Sara kwenda kituo Cha Polisi. Kwenye Kituo Cha Polisi kufuatia madhtaka mengi kumuhusu Nalo, Nalo alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo Cha miezi mitatu na kazi ya sulubu. Baada ya miezi mitatu Nalo alifunguliwa kutoka mahakamani. Nalo alikuwa amebadilika sio ajabu. Alikuwa mpole na mwenye heshima. Kila mtu alifurahi kutokana na kubadilika kwake. Alipata marafiki wengine tena na kurejea shuleni. Shuleni alikuwa wembe na sio Nalo wa kitambo. Alikuwa arafiki wa walimu pamoja na watu nyumbani. Alikuwa wa kupigiwa mfano.kweli Mui huwa mwema!
Kwa nini Nalo hakuelewana na dadake
{ "text": [ "Aliwazuia marafikize kuja kwao" ] }
4923_swa
NDOTO YA AJABU Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo! Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi. Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho. Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha kitanda uliniogofya sana. Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba. Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike ardhini. Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina. Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba huku uwoga umeniganda sio haba. Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza. Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua. Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe lilokuwa nyuma ya nyumba yetu. Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
Mwandishi alikuwa amelowesha nini na mkojo
{ "text": [ "Nguo na godoro" ] }
4923_swa
NDOTO YA AJABU Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo! Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi. Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho. Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha kitanda uliniogofya sana. Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba. Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike ardhini. Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina. Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba huku uwoga umeniganda sio haba. Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza. Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua. Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe lilokuwa nyuma ya nyumba yetu. Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
Mama alimuaga msimulizi akienda kumwona nani
{ "text": [ "Mjomba" ] }
4923_swa
NDOTO YA AJABU Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo! Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi. Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho. Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha kitanda uliniogofya sana. Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba. Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike ardhini. Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina. Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba huku uwoga umeniganda sio haba. Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza. Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua. Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe lilokuwa nyuma ya nyumba yetu. Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
Mjomba alikuwa ameugua kwa muda upi
{ "text": [ "Mrefu sana" ] }
4923_swa
NDOTO YA AJABU Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo! Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi. Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho. Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha kitanda uliniogofya sana. Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba. Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike ardhini. Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina. Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba huku uwoga umeniganda sio haba. Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza. Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua. Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe lilokuwa nyuma ya nyumba yetu. Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
Mwandishi alikuwa na mdogo wake aliyeitwa nani
{ "text": [ "Zuhura" ] }
4923_swa
NDOTO YA AJABU Niigutuka ghafl kutoka usingizini, nlikuwa nimelowa ajabu. Lo! Nimejikojolea Leo jamani! Mwanamke wa umri wangu inakuwaje? Nilijihisi vibaya sana. Nilikuwa nimechoka ajabu. Ningesimulia mtu kina Cha uchovu wangu basi angebaki anashangaa kisa na maana nlikuwa nimetoka usingizini na basi ni kinaya kikubwa endapo ningekuwa mchovu kiasi hicho. Lakini wajua haya yote ni kutokana na sijui niite ndoto ama jinamizi. Nilichoota kilinifanya nibaki hihehahe mjinga wa mwisho . Nilishtuka kiasi kwamba mimi na umri wangu singeweza kuzuia ama kukidhi mkojo wangu. Nguo zangu na godoro nlikuwa nimelowesha mkojo wangu na jasho. Bado uoga ulikuwa unanimenya lakini ukweli kuwa mimi nimefanya kulowesha kitanda uliniogofya sana. Nilianza kukumbuka kupanga ruwaza ya mawazo yangu nilipokuwa ndotoni na kweli kila kitu nilikuwa nkikumbuka vyema sana. Nilikuwa peke yangu nyumbani siku hiyo. Mama aliniaga asubuhi akitoka kwenda kumwona mjomba aliyekuwa ameugua kwa muda mrefu sana. Baba naye alituacha akaenda safari ya kibiashara. Nikabaki mimi na mdogo wangu Zuhura. Zuhura alikuwa anacheza na wenzake nje nami nikifagia fagia na kupanga nyumba. Niligutushwa na matone ya mvua, nikakimbia nje kwenda kihakikisha kila kitu kimeondolewa nisije nikasahau mvua ikanyea chochote. Nilifungia mbuzi, ngombe na hata kuku. Nikaanua nguo za Zuhura na kuzirusha kitini nikakimbia kuweka mitungi vyema ili mvua itakaponyesha maji yasimwagike ardhini. Niliporejea kutoka kuweka mitungi iingie maji sikumukuta Zuhura nilipomwacha. Alikuwa ametoweka na alipoenda sikujua. Nilijaribu kuzunguka nyuma ya nyumba ila sikumuona popote. Mvua ilikuwa imezidi na uoga umenizidi si ajabu. Nilikimbia kwao Dina aliyekuwa akicheza na Zuhura hapo nje ili niweze kumuvisha Sweta. Dina alikuwa ameketi na mama yake jikoni akingoja kuoshwa. Nilipomuuliza kuhusu Zuhura alisema kuwa alimuacha akiwa amesimama kwa mlango akanihakikishia kuwa alimpa kwaheri na kubaki akinisubiri tuingie chumbani. Kijashk chembamba kilinitiririka niliposikia hayo yote sikujua nirejee nyumbani au nibakie kwao Dina. Sikujua kwingine pa kumutafuta Zuhura. Nilirejea na kuketi kwa nyumba huku uwoga umeniganda sio haba. Nilianza kusinzia kutokana na mawazo mengi akilini. Niligutushwa na mngurumo ulionitetemesha mzima mzima. Kwani kuna nini? Nikajiuliza. Punde sio punde nililiona jitu limesimama mbele yangu. Makucha yake yalikuwa yanadondosha damu kwenye sakafu ya nyumba. Midomo yake ilikuwa na mabaki ya nyama na damu. Lilinguruma tena na hapo nikajipaga nmeanguka chini kutokana na mshtuko. Jitu lenyewe lilianza kusogea Karibu na nilipokuwa nimelala. Kuhema kwake tu kulinimalizia hewa ya kupumua ndani ya nyumba hiyo na kuniacha nikigaragara na kutapatapa nikijaribu kupata hewa angalau kiduchu ya kupumua. Nje mvua ilikuwa imezidi kunyea kwa wingi. Upepo nao ulivuma mkali na hivyo hata ningejaribu kupiga nduru Hamna yeyote ambaye angeweza kunisikia na kuja kuniokoa. Nlikuwa mpweke na tayari nilikuwa nmeanza kulowa na jasho lililonitiririka. Nilibaki nikitokwa na machozi kutokana na uwoga na kukosa Cha kufanya kutokana na like lilonikumba. Sikuwa bado nimefahamu alipokuwa Zuhura wakati huo wote. Labda alikuwa ashaliwa na jitu huyu nilipoenda kwa jirani . Sikujua kuwa wazazi wangerejea sangapi. Nilikuwa nimebaki tu mimi na kifo na Mungu wangu kwa kuwa singeweza kutoka mikononi mwa jitu Hilo. Jitu Hilo likingoosha makucha na kunivuta Karibu nalo. Likaninusia na kuniangalia machoni. Likanivuta nje bila huruma. Jitu likanizungusha nyumba na kuniketisha kwenye jiwe lilokuwa nyuma ya nyumba yetu. Kidogo kidogo likaniamuru nisiondoke mahali hapo nalo likaenda upande mwingine wa nyuma. Jitu likarejea na kilichonifanya nikose kupumua vyema. Zuhura! Alikuwa kama ameshikwa mkono na jitu Hilo. Jitu likashika Zuhura na kuniambia nifungue macho kwa kuwa mimi ndio ningefuata baada ya jitu kimaliza kumla Zuhura. Likamdunga Zuhura makucha kwa shingo na kutoa roho nje. Nilipiga kamsa iliyowaamsha mpaka majirani. Kumbe nlikuwa naota tu. Kusema kweli ilikuwa ndoto ya ajabu.
Ng'ombe, mbuzi na kuku walifunguliwa na nani
{ "text": [ "Mwandishi" ] }
4924_swa
NIDHAMU Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma. Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani. Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana. Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa wote. Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya. Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia. Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake. Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea. Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha. Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa . Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao. Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi. Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama. Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
Nini kwa vijana imekuwa ikipigwa upatu sana
{ "text": [ "Nidhamu" ] }
4924_swa
NIDHAMU Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma. Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani. Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana. Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa wote. Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya. Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia. Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake. Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea. Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha. Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa . Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao. Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi. Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama. Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
Nani huwakimbia vijana baada ya kuwaingiza gizani
{ "text": [ "Marafiki " ] }
4924_swa
NIDHAMU Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma. Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani. Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana. Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa wote. Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya. Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia. Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake. Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea. Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha. Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa . Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao. Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi. Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama. Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
Mara nyingi mzazi hana nini na mwanawe
{ "text": [ "kinyongo" ] }
4924_swa
NIDHAMU Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma. Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani. Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana. Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa wote. Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya. Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia. Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake. Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea. Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha. Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa . Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao. Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi. Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama. Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
Vijana wanapokanywa hufura kama nini
{ "text": [ "Andazi" ] }
4924_swa
NIDHAMU Nidhamu kwa vijana ni jambo ambalo tangu zamani imekuwa ikipigwa upatu sana. Kwa kuwa maisha yanazidi kuwa na mabadiliko. Na vijana wanasoma. Na kuona mengi yakibadilisha mazingit kila mara. Na wanakutana na wenzao kutoka pande nyingi. Wanafaa kudhibitiwa kila wakati. Bila ya kufanya hivyo wataharibika sana. Wengine,kwa uhayawani unawapanda vichwani. Wanaweza hata kufikiria kuwa. Wazazi walionao ni ovyo . Na kuwa hata si wale waliowazaa. Hata kama ndio waliwazaa wanadai kuwa. Wao hawakuomba kuzaliwa na wazazi kama hao. Wengine huwaibia wazazi wao. Ama hata kuwapangia wezi. Wengine huwashika wazazi kabari. Na kuwatishia hali wavamiwe na kifo. Pia,kuna wale wanaomenyana na wazazi wao. Kweli,dunia hii imekwisha. Wazazi kwao wamekuwa si chochote si lolote. Baada ya mshikamano . Wa bega kwa bega na wazazi. Inakuwa si kutoeoewana . Na kuzozana. Kuzaliwa kwa watoto na wazazi wa aina fulani. Ama wazazi kuzaa watoto wa aina fulani. Ni majaliwa ya mungu. Hakuna mzazi anayeketi na kuomba azae mtoto atakayemsubu mbely ya watu. Ni mzazi mgani atakayekuwa na moyo wa kuomba aina ya mtoto amtakaye. Kisha aombe mtoto atakayekosa shukrani. Na kumshikia panga?. Abadan. Humpati. Na iwapo atapatikana. Bila shaka akili zake zitakuwa hazijamtua. Na akawa ni kichaa wa vichaa wote. Wanapokanywa vijana juu ya mienendo yao. Ya kutembea na marafiki wabaya. Wao hufura kama andazi. Maneno huyacharaza vibaya. Huwa hawajiulizi ni kwa nini wanakatazwa. Hawatulii na kusikiliza mawaidha. Ila wao hujikinga tu katika dhana kuwa marafiki wao ndio borq kabisa . Kuliko ndugu na wazazi. Wanasahau kuwa damu ni nzito. Kuliko maji. Na kuwa hata iwe vipi. Mla nawe hafi nawe. Ila mzaliwa nawe. Mambo wanayokamia kuyafanya. Yanapotumbukia nyongo. Hapo ndipo wanaketi chini na kushika tama. Wakati mwingine. Ubishi wao huwazushia makuu yanayowakalifu maishani mwao. Mikiki yao hiyo inapogota. Wanajiuliza ni kwa vipi maji yao yamemwagika. Isitoshe.Marafiki waliowaingiza gizani huwakimbia. Hata hivyo. Mara nyingi mzazi hana kinyongo na mwanawe. Mzazi hupigwa na mshipa wa uzazi. Na kujikokota hadi aliko mwanawe asikilize shida zake. Na kujaribu juu chini kumsaidia. Mara nyingi hamsuti kwa kumkumbusha kuhusu ubishi wake wa zamani. Mzazi huguna kimoyomoyo tu na kujisemea. Ndio, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli ndio huu. Jambo linalowachoma wazazi ni kuwa watoto. Wengi siku hizi hawawezi kufikiria vile watakavyowasaidia wazazi. Au ni kwa vipi watakavyowaridhisha. Badala yake. Wanapoteza wakati mwingi kusugua bongo zao. Wakitafuta njia za kuwachafua roho wazazi wao. Badala ya kujiuliza. Nina lipi linalowapendeza wazazi wangu. Wengi wao hujiuliza. Mbona leo sijatenda jambo la kumuudhi mtu. Wahenga walisema. Ujana ni tembo la mnazi. Na ni kweli kabisa ujana hulipua akili za wana hawa. Badala ya kutenda yenye jaza. Wao hutenda na kufurahia ya tandabelua. Badala ya kuona kuwa . Kuna wakubwa wanaopaswa kuwaheshimu. Ni kama wakajizaa wao . Na basi ndio wapasao kusujudiwa na kupigiwa magoti. Hupenda kuzuka . Na tena huwa wepesi wa kuzuzuliwa na hao vinyago na vigezo wenzao. Kila wakati msamiati wao ni nipe. Sijafanya makosa. Hamnipendi. Sitasoma. Kujifanya jasiri na werevu. Kuliko wazazi. Badala ya kutumia maneno yenye maana. Wao ni kufuka tu kila mara. Kwa nini watoto hawa wasibadilishe msamiati. Na kutumia maneno kama. Chukua baba au mama. Samahani baba. Asante kwa yote mliyonifanyia. Nitasoma kwa bidii na kadhalika. Unyenyekevu,bidii, shukrani. Utaweza kuwafanya wazazi wao kuwatendea kila jambo. Maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Ukali wote unaofikiriwa uko kwa wazazio hautakuwepo tena. Suluhu itapatikana katika kila tatizo. Watu wataishi kwa amani.
Ni vipi wazazi watapunguza ukali
{ "text": [ "Kwa watoto kubadilisha msamiati" ] }
4925_swa
NIKIWA MKUBWA ''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari. Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa. Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti. Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote. Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo sahii katika misitu mingi. Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao. Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza miti hiyo. Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti. Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua. Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia. Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla. Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo. Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi. Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza. Ilikuwa ni mwisho wa somo.
Akiwa mkubwa angependa kuwa nani
{ "text": [ "Daktari" ] }
4925_swa
NIKIWA MKUBWA ''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari. Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa. Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti. Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote. Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo sahii katika misitu mingi. Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao. Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza miti hiyo. Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti. Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua. Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia. Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla. Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo. Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi. Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza. Ilikuwa ni mwisho wa somo.
Atawafundisha watu umuhimu wa nini
{ "text": [ "miti" ] }
4925_swa
NIKIWA MKUBWA ''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari. Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa. Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti. Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote. Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo sahii katika misitu mingi. Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao. Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza miti hiyo. Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti. Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua. Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia. Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla. Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo. Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi. Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza. Ilikuwa ni mwisho wa somo.
mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana nini
{ "text": [ "miti" ] }
4925_swa
NIKIWA MKUBWA ''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari. Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa. Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti. Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote. Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo sahii katika misitu mingi. Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao. Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza miti hiyo. Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti. Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua. Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia. Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla. Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo. Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi. Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza. Ilikuwa ni mwisho wa somo.
Ataisihi nini kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu
{ "text": [ "Serikali" ] }
4925_swa
NIKIWA MKUBWA ''Ungependa kuwa nini ukiwa mkubwa Rosa?" Mwalimu wangu wa Kiswahili aliniuliza asubuhi tukiwa darasani. Sijui mbona mwalimu akaniteua mimi kujibu SWALI Hilo na sio mtu mwingine tofauti. Aliniagiza niende mbele ya darasa ili niweze kujibu swali Hilo na sio kujibu swali tu Bali pia nitoe sababu za kutaka niwe nilichokitamani kuwa. Wanafunzi wenzangu nimewahi watajia kuwa mimi nikiwa mkubwa basi ningeoenda kuwa darktari ila sikuwaeleza darktari wa nini. Wote walikuwa washaanza kunongonezana kuwa nikitaka kuwa darktari kwa kuwa nilikuwa napenda sana sindano na kupea watu madawa na ndio sababu ilifanya nitamani kuwa darktari. Wengine wakafai kuwa kwa sababu mama ni darktari ndio maana nikaanua kufuata nyayo zake na niwe darktari. Kichwani mwangu ndio mm nilimfahamu kuwa nikitaka niwe darktari lakini sio darktari ambao wenzangu walikuwa wanamfikiria akilini zao. Basi nilitembea asteaste mpaka mbele ya darasa na nikaanza kusema jibu la swali nililoulizwa. Nikiwa mkubwa ningeoenda kuwa Darktari. Ningependa kuwa darktari wa miti. Kila mtu alipigiwa na butwaa baada ya kugundua kuwa wote hawakufahamu kile nilichokuwa nakitaka kuwa. Ningependa kuwapa watu wote na hata wanafunzi mawaidha kuhusiana na miti na umuhimu wa miti. Nitakapohitimu kidato cha nne basi nitaelekea chuoni kusomea like ambacho mimi ningependa kuwa. Nikishafundishwa nitapata ujuzi zaidi utakaonisaidia kuendelea kukuza miti na kuendelea rangi za kijani kote. Kuna madaktari wengi mno kuanzia wa mifugo mpaka wa binadamu lakini Hamna yeyote aliyejitolea kuwa darktari wa miti na basi mimi najitolea kuwa mmoja. Nitahakikisha miti yetu haipo katika hatari ambayo ipo kwa sahii ya kupoteza na kutoweka kisa na maana ugonjwa. Nitahakikisha kuwa kila aina ya mti unalindwa vyema na pia haukatwi ovyo ovyo kama ilivyo sahii katika misitu mingi. Nikiwa Daktari wa miti nitawafundisha watu namna ya kupalilia miti bila kukata mizizi na kusababisha kunyauka kwa miti. Vile vile nitawafundisha namna ya kuitolea matawi ambayo yashazeeka bila kuadhiri kuwa kwao. Vipimdi muhimu vya unyanyasaji dawa nitawaeleza namna ya kunyunyiza dawa na vipimo kamili vya kunyunyiza dawa. Isitoshe mimi na wafanyakazi wangu tutahakikisha tumezalisha dawa za kutosha na kisha kuwagawia watu mbalimbali ili kihakikisha ubora wa dawa zinazonyunguziwa miti. Vile vile nitafungua ofisi zangu kote nchini ambazo kazi yao mashuhuri itakuwa ni Kupona miti ya aina mbalimbali na kutambua magonjwa ibuka na kutafuta tiba maalim kwa Kasi sana. Nitawaajiri madaktari wengine ili tuweze kuwafikia watu wengi na kuwapa mafunzo haya. Nitawatafutia watu solo maalim zenye malipo mema kwa mazao ya miti yao ili waepuke solo za sahii ambazo huwakandamiza kibei bila kujali bidiii yao katika kukuza miti hiyo. Mimi kama Daktari wa miti nitawafundisha watu umuhimu wa miti. Nitawaeleza kuwa miti ndio chanzo Cha mvua na basi kukuza rangi ya kijani ambayo endapo hakuna mvua itatoweka kutokana na makali ya jua. Nitawafundisha watu pia kuwa miti husaidia kutengeneza dawa mbalimbali zinazotumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo na binadamu pia. Nitawaeleza kuwa miti hii hufanyiwa utafiti na basi kubaini ikiwa itatengeneza dawa gani na lenye manufaa gani ama la kutibu magonjwa yapi. Hata mitishamba ama madawa ya kienyeji hutengenezwa kutokana na miti hii. Nitawashauri watu wakome ukataji miti ovyo ovyo na basi wazingatie Sheria ya ukataji miti ya kukata mtimmoja na kuoanda miwili ili kuendelea ukuaji wa miti bila kupoteza mti hata mmoja. Nitawaeleza watu pia miti ni makazi ya wanyama mbali mbali kama ndege wa angani na pamoja na nyani na wengine wengi nitawapa Mfano wa mbuga za wanyama huwa zinamiti mingi sana kwa kuwa haya ni makazi ya wanyama. Hivyo basi miti ni ya manufaa kwetu sisi na wanyama kijumla. Nitaisihi serikali kutupa nafasi na ruhusa ya kuenda misitu ya kiumma na kuona aina mbali mbali ya miti. Kisha tutachukua mbegu za miti hiyo na kuipanda mahali mbalimbali nchini Kenya. Vilevile ituruhusu kutibu baadhi ya miti ambayo Ina magonjwa na ambayo endapo haitatibiwa itatoweka. Vilevile nitairai serikali ihisishe watu wote nchini vikamilifu katika upanzi wa miti hasa wakati ama siku ya upanzi miti wa Kitaifa. Serikali pia nitairai iwe inapeanwa zawadi kwa yeyote ambaye atakuwa amepanda miti mingi zaidi kwa kipindi fulani Cha muda. Nitaiomba serikali pia iwape ruhusa wakulima kutoka nchi zingine wake kufanya maonyesho nchini kuhusu aina mbali mbali ya miti na matumizi ya miti hiyo. Hili litasaidia watu pia kuchukua mbeguambaxo hawana na wajaribu kuipanda huku Kenya . Vile vile yeyote atakayekuja na mbegu ambayo itafanya vyema katika mazingira ya Kenya pia atuzwe vifaavyo. Darasa lote lilibaki limekodoa macho wakitarania niendelee zaidi. Mwalimu naye alinipa hongera sana . Alinieleza kuwa tayari alikuwa ananitakia kila la heri. Hakuna aliyejua naweza kuwa na ndoto ya ajabu hivyo. Wanafunzi wengine walinipa hongera huki wengine pia wakisema kuwa wamekuwa na mvuto wa kitamani kuwa madaktari wa miti kama mimi. Mwalimu pia alisema kuwa alikuwa ameoona nchi mpya ya kijani na dawa mbalimbali na hivyo basi kutakuweoo na upingufu wa magonjwa mbali mbali. Alikuwa anaona ndoto yangu iko adilisha mambo mengi sana. Nilipiga makofi na wanafunzi wengine pamoja na mwalimu na basi tukaondoka kwenda kucheza. Ilikuwa ni mwisho wa somo.
Kwa nini alipigiwa makofi na mwalimu na wanafunzi wengine
{ "text": [ "Kwa sababu ya ndoto yake ya kukuza miti shamba" ] }
4926_swa
NYIMBO Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo. Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii. Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha. Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe. Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani. Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama. Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale. Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha. Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii. Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake. Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama kuwakashifu viongozi. Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao. Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba. Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga wao kwa kisu cha ngariba. Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa. Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa. Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria. Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi kwa jumla.
Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi gani
{ "text": [ "Simulizi" ] }
4926_swa
NYIMBO Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo. Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii. Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha. Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe. Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani. Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama. Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale. Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha. Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii. Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake. Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama kuwakashifu viongozi. Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao. Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba. Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga wao kwa kisu cha ngariba. Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa. Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa. Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria. Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi kwa jumla.
Nyimbo ni tungo zenye mahadhi ya nini
{ "text": [ "sauti" ] }
4926_swa
NYIMBO Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo. Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii. Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha. Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe. Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani. Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama. Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale. Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha. Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii. Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake. Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama kuwakashifu viongozi. Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao. Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba. Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga wao kwa kisu cha ngariba. Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa. Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa. Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria. Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi kwa jumla.
Nyimbo zipi huimbwa wakati wa matanga
{ "text": [ "Mbolezi" ] }
4926_swa
NYIMBO Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo. Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii. Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha. Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe. Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani. Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama. Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale. Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha. Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii. Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake. Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama kuwakashifu viongozi. Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao. Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba. Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga wao kwa kisu cha ngariba. Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa. Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa. Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria. Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi kwa jumla.
Nyimbo za tohara huitwaje
{ "text": [ "Nyiso" ] }
4926_swa
NYIMBO Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi. Ambavyo vinatambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina mbalimbali. Kama chakacha,vugo. Kishuri,goma nakadhalika. Ambazo huambatanishwa na pembe,ngoma, nakadhalika kuupa uhai wimbo. Nyimbo ni tungo zenye nahadhi ya sauti. Inayopanda na kushuka . Ambazo huundwa kwa lugha ya mkato. Matumizi ya picha na jazanda. Na mapigo ya silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu . Au muwala wenye mapigo ya kimuziki. Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa na mawazo mazito. Pia hupaniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii. Migogoro,kubembeleza,kutumbuiza. Pia kuburudisha. Kuna aina mbalimbali za nyimbo. Katika jamii ya kiafrika. Kwanza kuna nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi. Huimbwa kuhimiza watu kufanya kazi na kuendelea na kazi. Kwa kawaida zinaweza kuwa fupi. Au hata ndefu . Hutegemea kazi inayofanywa. Ama mtunzi wa nyimbo mwenyewe. Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa. Kwa baadhi ya nyimbo zina midundo ya haraka . Ambayo haiwezi kuandamana na utendakazi fulani. Pia kuna nyimbo za watoto. Hizi huimbiwa watoto wadogo. Huimbwa kwa sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala. Au hata kuwanyamazisha wanapolia. Wakati mwingi nyimbo hizi huimbwa na walezi. Ama akina mama. Mdundo wa aina hizi huwa ni wa utaratibu. Pia maneno yake huwa yenye kumvutia mtoto anyamaze. Ili alale. Pia kuna nyimbo za kuomboleza. Ama mbolezi. Hizi huimbwa wakati wa matanga. Lugha na toni inayotumiwa ni ya kuhuzunisha na kusikitisha. Maneno yake hutegemea yule aliyeaga dunia. Na hadhi yake katika jamii. Mara nyingi. Imani ya jamii kuhusu kifo hudhihirishwa katika nyimbo hizi. Wakati mwingine baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga. Na hata vitendo vyake vitakavyokosekana. Kutokana na kufa kwake. Aidha kuna nyimbo za kisiasa. Hizi hutumika kueneza sifa. Ama sera fulani na wale walio uongozini. Pia hutumika na wale wanaodhulumiwa katika kupinga wale walio uongozini. Na sera zao. Kwanza hutumika na viongozi kueneza propaganda. Ama msimamo fulani kuhusu uongozi wao. Piq kuwahamasisha wananchi. Pia nyimbo hizi hutumiwa kuwasifu. Ama kuwakashifu viongozi. Pia kuna nyimbo za nyiso. Hizi ni nyimbo za tohara. Huimbwa wakati wavulana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu,tohara imekuwa shughuli muhimu. Katika jamii nyingi za kiafrika. Kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa hatua muhimu ya kutoka utotoni. Na kuingia utu nzima. Nyingi zilitoa sifa kwa waliopitia hatua hiyo. Wazazi pamoja na wasimamizi wao. Zilimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu. Cha ngariba. Kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya. Katika jamii baada ya kupitia hatua ile. Na kuwaonya dhidi ya kuogopa . Na matokeo ya woga wao kwa kisu cha ngariba. Nyimbo zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri. Kuonya watu kuhusu swala fulani. Kusifu mtu au watu fulani. Kuburudisha watu katika hafla mbalimbali. Pia kudumisha utamaduni wa jamii husika . Kwa kuwa masuala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi ambavyo mambo yanavyofanywa. Ama yalivyofanywa katika jamii wakati . Wimbo unaohusika ukitungwa. Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa. Ama kupitisha mafunzo ya jamii. Malezi. Na hekima kutoka kizazi hadi kingine. Isitoshe,baadhi ya nyimbo hutumiwa kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu. Ya kihistoria. Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio. Kama ukombozi wa jamii na nchi kwa jumla.
Kwa nini nyimbo ni muhimu kwa vizazi
{ "text": [ "Hupitisha mafunzo ya jamii" ] }
4927_swa
NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE. Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo. Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike. Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao. Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya ualimu. Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita . Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
Nani alikuwa mrembo na wembe shuleni
{ "text": [ "Luru" ] }
4927_swa
NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE. Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo. Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike. Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao. Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya ualimu. Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita . Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
Luru alisema angependa kuwa nani
{ "text": [ "Daktari" ] }
4927_swa
NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE. Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo. Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike. Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao. Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya ualimu. Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita . Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
Luru alipokezwa mfadhili na nani
{ "text": [ "Wizara ya elimu" ] }
4927_swa
NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE. Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo. Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike. Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao. Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya ualimu. Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita . Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
Shuleni Luru alifahamika kama msichana mwenye hulka zipi
{ "text": [ "Nzuri" ] }
4927_swa
NYUMBA NZURI SIO LANGO INGIA NDANI UONE. Luru alikuwa Binti mrembo sana kijinini mwetu. Kila mtu kijijini mwetu alitamani sana kuwa rafiki yake. Luru alikuwa sio mrembo tu Bali pia shuleni alikuwa wembe. Wazazi wake walijivunia sana mtoto wao. Alikuwa tunu kwa majirani na walimu shuleni. Kila mtu alikuwa anamumininia sifa kemu kemu. Siku ya kupewa zawadi shuleni alipokea zawadi tele, sio mwanafunzi Bora wilayani, si mwanafunzi Bora shuleni, si mwanafunzi safi shuleni, si mwanafunzi mwenye heshima na sio mwanafunzi mwenye lugha safi shuleni. Luru alipoulizwa kile angependa kuwa alisema kuwa angependa kuwa darktari ili wauguze watu wanaumwa na magonjwa mbalimbali. Mtu angeumia shuleni basi Luru angejitolea kimfanyia huduma ya kwanza. Shuleni Luru alijipatia jina Darktari Luru. Luru hakusita kuwasaidia wanafunzi wengine waliokuwa hawaelewi vyema kile mwalimu angefunza angalau kupata kiduchu Cha somo. Siku zilipita basi na Luru akafika darasa la nane. Wazazi wake hawakukawia kumutafuta mwalimu angalau amsaidie Luru kudurusu masomo yake. Lilikuwa azimio la kila mmoja kuwa Luru angeo goza shuleni kwa alama nzuri na za kuridhisha. Mtihani wa darasa la nane ulikamilika na basi matokeo yake yakawa ya kuridhisha mno. Luru alikuwa amepita ajabu na hata akapokezwa mfadhili na wizara ya Elimu. Alikuwa ndiye Binti Bora zaidi kwenye taifa. Kila mtu alijawa na furaha. Shuleni walimpokeza zawadi tele na kumpa pongezi kwa wingi. Wazazi wake walimuombea mema na kumurai Mola azidi kuwajalia waweze kuona mwanao akifaulu zaidi. Binafsi nikienda kumuona Luru kwao angalau nimpe pongezi zangu na pia nitake kuwajulia hali wazazi na wadogo wake pale nyumbani. Luru alinishangaza ajabu. Alinipa sharubati kwa kikombe chafu na pia kupiga funda la sharubati kisha akanipokeza. Nilipolalamika alinihakikishia kuwa sharubati hiyo ilininuliwa na wazazi wake kwa hivyo nisilalamike. Nilirejea nyumbani nikiwa na wasi wasi mno. Sikuamini kuwa yule alikuwa Luru yule mmoja niliyemfahamu. Nilikuwa nmeyadikia malalamishi hayo kutoka kwa rafiki zangu lakini sikuweza kuamini kwa kuwa shuleni nilimfahamu kama msichana mwenye hulka nzuri. Nilimhadithia mama kumuhusu Luru lakini pia alibaki kastaajabu. Alikiri kuwa huenda mimi ndiye niliyemkwaza Luru. Alikiri kuwa Luru hana tabia kama hizo nilizosema. Nilijiunga na kidato cha kwanza kwenye shule ya Kitaifa naye Luru akajiunga huko ingawa yeye alikuwa na wafadhili aliopokezwa na Wizara ya Elimu kufuatia kufaulu kwake kwenye mtihani. Shuleni Luru alikuwa bado anang'aa ingawa hakutaka kujihusisha nami kama ilivyokuwa kwenye shule yetu ya msingi kisa na maana nilikuwa maskini kumuliko na hakutaka wanafunzi wengine wafahamu kuwa tulikuwa tunajuana. Tuliendelea kukaa naye ila alikuwa na tabia nyingine ya wivu ndani yake. Kila nilipomshinda kwenye mjara u basi angenitafuta na kinikemea kuwa niache kumuharibia sifa kwa kujifanya wembe la si hivyo nisiwahi nenda kwao. Tulizidi kuwa naye na mwishowe thkafika kidato cha nne. Marafiki aliokuwa nao kidato cha kwanza sio wale aliokuwa nao kidato cha kwanza kisa alikuwa amekosana nao. Marafiki wake wengi walilalamika kuwa alikuwa mchafu kwenye bweni na hivyo mara nyingi walikuwa wanazozana kwa sababu ya Hilo. Vile vile Luru alikuwa mchoyo ajabu. Hakutaka kuwapa wenzake chochote walichomrai awaazime. Kufikia muhula wa mwisho Luru alikuwa hana rafiki tena. Marafiki zake walikuwa tu walimu ambao hawakufahamu tabia zake na basi walimchukulia kuwa mwanafunzi Bora kufuatia tabia zake za nje. Tulifanya mtihani wa kidato cha nne na basi kila mtu akamshika njia akaenda zake. Nyumbani sikuwahi kuenda kwao Luru kwa kuwa nilijua atanirudisha kivumbi. Mtihani wa Kitaifa ulitangazwa nasi tuakaitwa tujiunge na vyuo mbali mbali. Luru alienda kujiunga na chuo na kisha kufanya kozi ya udaktari naminnikaamua kufanya kozi ya ualimu. Chuoni Luru alipata mchba aliyejitolea kumuoa. Basi wakafanya mipango ya ndoa na wote wakaahidiana kuenda kuwaonya wazazi. Mpenzi wa Luru alikuja kwao na kuwaomba wazazi wamuruhusu amuoe mwanao. Walikubaki bila kusita . Ndoa ya kiajabu ilifanyika na Luru akaozwa kwa mchumba wake. Baada ya muda mfupi Luru alikuwa amerejea nyumbani kwao. Hakuna aliyefahamu chanzo Cha Luru kurejea nyumbani kwao hivyo ghafla. Luru hakutoka nyumbani kwao ili asije akaulizwa chanzo Cha yeye kuwa huko. Inasemekana kuwa alishindwa kumukidhi mumewe. Alikuwa mchafu na siyeweza kuwasiliana na mumewe vyema na basi walishindwa kuishi pamoja na ikabidi ampe talaka. Chambilecho wahenga nyumba nzuri sio lango.
Luru alikuwa na tabia ipi ndani yake
{ "text": [ "Ya wivu" ] }
4928_swa
PIGO LA MAISHA Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini. Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara moja. Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba. Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni. Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton. Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya. Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi. Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali. Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine. Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea. Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni. Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema. Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa , baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa mle chumbani. Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea. Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu. Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa kauli ya baba. Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo. Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali. Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
Babake alikuwa nini mjini
{ "text": [ "Mhubiri" ] }
4928_swa
PIGO LA MAISHA Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini. Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara moja. Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba. Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni. Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton. Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya. Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi. Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali. Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine. Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea. Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni. Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema. Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa , baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa mle chumbani. Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea. Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu. Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa kauli ya baba. Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo. Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali. Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
Alihitimu masomo ya shule ya upili na miaka ngapi
{ "text": [ "Kumi na saba" ] }
4928_swa
PIGO LA MAISHA Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini. Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara moja. Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba. Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni. Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton. Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya. Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi. Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali. Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine. Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea. Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni. Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema. Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa , baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa mle chumbani. Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea. Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu. Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa kauli ya baba. Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo. Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali. Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
Kiongozi wa vipindi vya uimbaji aliitwa nani
{ "text": [ "Jacton" ] }