Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4928_swa
PIGO LA MAISHA Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini. Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara moja. Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba. Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni. Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton. Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya. Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi. Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali. Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine. Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea. Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni. Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema. Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa , baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa mle chumbani. Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea. Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu. Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa kauli ya baba. Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo. Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali. Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
Jacton alimpigia nini
{ "text": [ "Simu" ] }
4928_swa
PIGO LA MAISHA Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini. Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara moja. Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba. Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni. Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton. Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya. Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi. Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali. Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine. Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea. Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni. Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema. Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa , baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa mle chumbani. Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea. Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu. Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa kauli ya baba. Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo. Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali. Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
Kwa nini baba alikata kauli aolewe na Jacton
{ "text": [ "Hakutaka aibu yake kuzalia mle chumbani" ] }
4929_swa
UCHUMI Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari? Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa. Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi. Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe. Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote" Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa linamsumbua akili. Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari. Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali. Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza kisha naanza kumuhadithia Maimuna. " Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu. Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza. Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu. Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani. Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke niwatafutie wanangu.
Nini keshamea madirisha na milango
{ "text": [ "Mfuko" ] }
4929_swa
UCHUMI Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari? Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa. Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi. Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe. Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote" Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa linamsumbua akili. Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari. Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali. Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza kisha naanza kumuhadithia Maimuna. " Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu. Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza. Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu. Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani. Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke niwatafutie wanangu.
Njiani anakutana na nani
{ "text": [ "Maimuna" ] }
4929_swa
UCHUMI Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari? Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa. Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi. Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe. Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote" Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa linamsumbua akili. Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari. Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali. Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza kisha naanza kumuhadithia Maimuna. " Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu. Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza. Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu. Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani. Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke niwatafutie wanangu.
Nilipoteza ajira kutokana na ugonjwa hatari upi
{ "text": [ "Korona" ] }
4929_swa
UCHUMI Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari? Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa. Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi. Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe. Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote" Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa linamsumbua akili. Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari. Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali. Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza kisha naanza kumuhadithia Maimuna. " Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu. Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza. Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu. Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani. Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke niwatafutie wanangu.
Mume wake alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa vipi
{ "text": [ "Magumu" ] }
4929_swa
UCHUMI Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari? Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa. Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi. Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe. Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote" Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa linamsumbua akili. Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari. Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali. Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza kisha naanza kumuhadithia Maimuna. " Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu. Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza. Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu. Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani. Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke niwatafutie wanangu.
Kwa nini aliwapikia watotouji wa mahindi
{ "text": [ "kwa vile hakuwa na hela za kununua kiamsha kinywa" ] }
4933_swa
SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU. Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja. Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa huku. Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala, utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki. Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini? Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati. Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu. Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari. Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo. Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani. Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu. Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu binafsi nachukia hayo majina. Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu. Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda sana Bunzi licha ya hayo. Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa. Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu na kutishwa kauli zake. Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa kushuku tu. Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine *** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani. Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo. Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha wakiwa njia panda. Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi ikasonga. Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi. Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani. Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana. Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia usiyemjua. Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na yeye. Kweli kipendacho roho dawa. Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko kwetu. Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini. Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia wakisema mimi ni wa kabila hili au lile. Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye kupendeza.
Taja sifa moja ya watu wa nchi ya ajabu
{ "text": [ "Hakukuwa na mtu aliyehisi njaa wengine wakimtazama" ] }
4933_swa
SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU. Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja. Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa huku. Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala, utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki. Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini? Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati. Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu. Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari. Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo. Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani. Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu. Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu binafsi nachukia hayo majina. Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu. Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda sana Bunzi licha ya hayo. Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa. Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu na kutishwa kauli zake. Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa kushuku tu. Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine *** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani. Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo. Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha wakiwa njia panda. Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi ikasonga. Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi. Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani. Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana. Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia usiyemjua. Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na yeye. Kweli kipendacho roho dawa. Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko kwetu. Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini. Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia wakisema mimi ni wa kabila hili au lile. Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye kupendeza.
Barabara zilikuwa na uangalizi upi
{ "text": [ "Zilikuwa na uangalizi wa kamera za siri" ] }
4933_swa
SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU. Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja. Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa huku. Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala, utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki. Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini? Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati. Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu. Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari. Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo. Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani. Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu. Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu binafsi nachukia hayo majina. Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu. Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda sana Bunzi licha ya hayo. Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa. Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu na kutishwa kauli zake. Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa kushuku tu. Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine *** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani. Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo. Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha wakiwa njia panda. Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi ikasonga. Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi. Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani. Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana. Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia usiyemjua. Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na yeye. Kweli kipendacho roho dawa. Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko kwetu. Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini. Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia wakisema mimi ni wa kabila hili au lile. Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye kupendeza.
Nini ilitokea wakati dereva mwafika alipopita barabara taa zikionyesha kusimama
{ "text": [ "Chuma refu liligonga gari lake ghafla" ] }
4933_swa
SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU. Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja. Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa huku. Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala, utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki. Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini? Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati. Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu. Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari. Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo. Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani. Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu. Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu binafsi nachukia hayo majina. Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu. Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda sana Bunzi licha ya hayo. Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa. Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu na kutishwa kauli zake. Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa kushuku tu. Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine *** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani. Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo. Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha wakiwa njia panda. Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi ikasonga. Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi. Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani. Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana. Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia usiyemjua. Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na yeye. Kweli kipendacho roho dawa. Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko kwetu. Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini. Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia wakisema mimi ni wa kabila hili au lile. Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye kupendeza.
Palikuwa na nini kwenye mlango wa duka la jumla
{ "text": [ "Matunda ya bure" ] }
4933_swa
SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU. Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja. Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa huku. Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala, utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki. Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini? Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati. Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu. Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari. Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo. Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani. Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu. Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu binafsi nachukia hayo majina. Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu. Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda sana Bunzi licha ya hayo. Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa. Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu na kutishwa kauli zake. Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa kushuku tu. Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine *** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani. Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo. Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha wakiwa njia panda. Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi ikasonga. Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi. Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani. Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana. Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia usiyemjua. Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na yeye. Kweli kipendacho roho dawa. Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko kwetu. Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini. Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia wakisema mimi ni wa kabila hili au lile. Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye kupendeza.
Watu walitumia nini kilipia bidhaa walizonunuaa
{ "text": [ "kadi" ] }
4934_swa
SAFARI YANGU Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na matumaini makubwa. Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga baharini. Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari. Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi. Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa waoga na wadanganyifu. Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma. Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani. Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa nilikuwa mwenyewe. Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji. Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu nini
{ "text": [ "Utajiri" ] }
4934_swa
SAFARI YANGU Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na matumaini makubwa. Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga baharini. Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari. Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi. Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa waoga na wadanganyifu. Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma. Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani. Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa nilikuwa mwenyewe. Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji. Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
Safari ilipowadia alitumia nini
{ "text": [ "Motabota" ] }
4934_swa
SAFARI YANGU Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na matumaini makubwa. Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga baharini. Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari. Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi. Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa waoga na wadanganyifu. Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma. Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani. Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa nilikuwa mwenyewe. Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji. Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
Ni nini ilijaa usoni mwake
{ "text": [ "Tabasamu" ] }
4934_swa
SAFARI YANGU Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na matumaini makubwa. Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga baharini. Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari. Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi. Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa waoga na wadanganyifu. Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma. Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani. Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa nilikuwa mwenyewe. Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji. Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
Nilichukuliwa hobelahobela na kupelekwa wapi
{ "text": [ "Pangoni" ] }
4934_swa
SAFARI YANGU Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na matumaini makubwa. Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga baharini. Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari. Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi. Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa waoga na wadanganyifu. Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma. Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani. Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa nilikuwa mwenyewe. Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji. Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
Kwa nini alipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu
{ "text": [ "Kwa vile siafu walimgeuza kitoweo" ] }
4935_swa
SHEREHE YA KRISIMASI Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali. Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu. Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha. Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi. Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu. Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu. Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule. Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali. Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
Ni sherehe gani husherehekewa kote duniani
{ "text": [ "Krisimasi" ] }
4935_swa
SHEREHE YA KRISIMASI Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali. Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu. Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha. Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi. Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu. Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu. Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule. Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali. Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
Walio kazini hupewa nini fupi
{ "text": [ "Likizo" ] }
4935_swa
SHEREHE YA KRISIMASI Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali. Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu. Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha. Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi. Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu. Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu. Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule. Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali. Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
Mafunzo hutolewa kuhusu nani
{ "text": [ "Yesu Kristo" ] }
4935_swa
SHEREHE YA KRISIMASI Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali. Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu. Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha. Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi. Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu. Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu. Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule. Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali. Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
Wakati wa Krisimasi nini hutokea kwa wingi
{ "text": [ "Ajali" ] }
4935_swa
SHEREHE YA KRISIMASI Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali. Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu. Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha. Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi. Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu. Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu. Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule. Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali. Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
Kwa nini watu hulia Januari
{ "text": [ "Kwa sababu ya matumizi mabaya ya pesa wakati wa Krisimasi" ] }
4937_swa
SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake. Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake. Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya nidhamu yake. Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake. Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba. Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji. Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini. Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu". Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki zangu. Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo. Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi wa Hassan. Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia. Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi.. Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi. Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho. Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha mabaya. Hassan aliponea chupuchupu. Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi iliyouvunja mguu wake.
Nani alilelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake?
{ "text": [ "Hassan" ] }
4937_swa
SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake. Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake. Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya nidhamu yake. Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake. Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba. Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji. Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini. Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu". Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki zangu. Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo. Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi wa Hassan. Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia. Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi.. Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi. Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho. Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha mabaya. Hassan aliponea chupuchupu. Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi iliyouvunja mguu wake.
Mbona Hassan alipendwa na wanajamii?
{ "text": [ "Alikuwa na nidhamu" ] }
4937_swa
SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake. Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake. Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya nidhamu yake. Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake. Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba. Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji. Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini. Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu". Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki zangu. Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo. Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi wa Hassan. Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia. Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi.. Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi. Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho. Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha mabaya. Hassan aliponea chupuchupu. Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi iliyouvunja mguu wake.
Hakuna kizuri kisichokuwa na nini?
{ "text": [ "Dosari" ] }
4937_swa
SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake. Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake. Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya nidhamu yake. Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake. Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba. Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji. Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini. Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu". Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki zangu. Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo. Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi wa Hassan. Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia. Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi.. Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi. Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho. Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha mabaya. Hassan aliponea chupuchupu. Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi iliyouvunja mguu wake.
Nani walimfunza Hassan tabia mbaya?
{ "text": [ "Vijana aliosema ni marafiki wake" ] }
4937_swa
SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake. Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake. Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya nidhamu yake. Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake. Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba. Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji. Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini. Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu". Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki zangu. Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo. Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi wa Hassan. Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia. Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi.. Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi. Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho. Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha mabaya. Hassan aliponea chupuchupu. Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi iliyouvunja mguu wake.
Nani alimshika Hassan sikio ili kumpa mawaidha?
{ "text": [ "Babake" ] }
4938_swa
SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi. Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka. Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono. Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani. Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama kwenye mbuga Hilo. Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya. Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba. Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga. Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu. Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku. Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe. Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha rusha mtu mpaka akafa. Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu. Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
Watu walikuwa wanazuru mbuga ipi?
{ "text": [ "Tsavo" ] }
4938_swa
SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi. Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka. Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono. Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani. Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama kwenye mbuga Hilo. Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya. Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba. Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga. Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu. Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku. Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe. Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha rusha mtu mpaka akafa. Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu. Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
Wanafunzi wangapi waliahidiwa kwenda kuzuru mbuga la wanyama?
{ "text": [ "Kumi" ] }
4938_swa
SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi. Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka. Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono. Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani. Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama kwenye mbuga Hilo. Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya. Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba. Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga. Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu. Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku. Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe. Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha rusha mtu mpaka akafa. Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu. Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
Wanafunzi walistahili kufanya nini kwenye basi kabla ya safari kuanza?
{ "text": [ "Kufunga mikanda" ] }
4938_swa
SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi. Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka. Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono. Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani. Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama kwenye mbuga Hilo. Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya. Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba. Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga. Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu. Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku. Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe. Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha rusha mtu mpaka akafa. Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu. Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
Shule ilifika kwenye mbuga la wanyama saa ngapi
{ "text": [ "Saa saba mchana" ] }
4938_swa
SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi. Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka. Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono. Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani. Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama kwenye mbuga Hilo. Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya. Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba. Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga. Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu. Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku. Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe. Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha rusha mtu mpaka akafa. Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu. Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
Wanafunzi walionywa kutofanya nini katika mbuga la wanyama?
{ "text": [ "Kuwalisha wanyama" ] }
4939_swa
SIKU YA KWANZA KAZINI Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi. Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu. Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi. Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi. Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea. Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia. Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati. Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu. Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki. Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi. Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi. Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa. Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii. Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine. Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu. Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
Ilikuwa siku yake ya kwanza katika kituo cha nani
{ "text": [ "Polisi" ] }
4939_swa
SIKU YA KWANZA KAZINI Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi. Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu. Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi. Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi. Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea. Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia. Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati. Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu. Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki. Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi. Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi. Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa. Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii. Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine. Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu. Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
Gari lake liliitwaje
{ "text": [ "Mwewe" ] }
4939_swa
SIKU YA KWANZA KAZINI Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi. Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu. Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi. Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi. Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea. Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia. Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati. Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu. Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki. Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi. Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi. Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa. Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii. Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine. Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu. Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
Madahali na wapiga debe wa vituo vya basi walimpa nini
{ "text": [ "Mtihani" ] }
4939_swa
SIKU YA KWANZA KAZINI Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi. Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu. Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi. Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi. Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea. Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia. Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati. Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu. Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki. Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi. Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi. Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa. Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii. Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine. Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu. Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
Alikadiria ada ya nini
{ "text": [ "Mizigo" ] }
4939_swa
SIKU YA KWANZA KAZINI Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi. Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu. Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi. Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi. Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea. Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia. Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati. Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu. Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki. Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi. Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi. Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa. Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii. Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine. Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu. Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
Kwa nini askari walifahamishana kuhusu askari
{ "text": [ "Ili kuyavizia mabasi na kuwakwepa wakati mwingine" ] }
4940_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo. Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni. Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma. Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema. Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari! Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi. Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini. Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!". Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi. Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja . Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo ndipo majirani waliamka na kuanza vita. Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za wezi ni arobaini.
Siku za mwizi ni ngapi?
{ "text": [ "Arobaini" ] }
4940_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo. Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni. Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma. Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema. Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari! Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi. Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini. Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!". Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi. Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja . Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo ndipo majirani waliamka na kuanza vita. Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za wezi ni arobaini.
Kina nani walikuwa katika shughuli ya kuwafungia ng'ombe?
{ "text": [ "Vijana" ] }
4940_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo. Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni. Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma. Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema. Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari! Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi. Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini. Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!". Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi. Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja . Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo ndipo majirani waliamka na kuanza vita. Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za wezi ni arobaini.
Nani walikuwa mbio kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala?
{ "text": [ "Kuku" ] }
4940_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo. Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni. Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma. Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema. Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari! Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi. Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini. Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!". Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi. Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja . Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo ndipo majirani waliamka na kuanza vita. Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za wezi ni arobaini.
Ng'ombe wangapi hawakupatikana?
{ "text": [ "Kumi na wasaba" ] }
4940_swa
SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo. Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni. Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma. Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema. Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari! Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi. Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini. Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!". Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi. Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja . Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo ndipo majirani waliamka na kuanza vita. Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za wezi ni arobaini.
Adui mgeni huja na nini mkononi?
{ "text": [ "Bunduki" ] }
4941_swa
SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA. Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya suluhisho kwa swala hili nzima. Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini. Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma kama hizo. Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua. Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu. Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu. Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa. Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu. Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia ndani. Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili. Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda. Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust". Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza dhuluma kwao. Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi fulani waweze kushusha chini. Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake. Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia. Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza visa hivi. Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia. Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
Kifaa cha kieletronik kinachotumika katika mawasiliano huitwaje
{ "text": [ "Simu" ] }
4941_swa
SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA. Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya suluhisho kwa swala hili nzima. Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini. Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma kama hizo. Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua. Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu. Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu. Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa. Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu. Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia ndani. Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili. Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda. Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust". Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza dhuluma kwao. Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi fulani waweze kushusha chini. Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake. Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia. Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza visa hivi. Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia. Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
Taja faida moja ya simu
{ "text": [ "Kuimarisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali" ] }
4941_swa
SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA. Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya suluhisho kwa swala hili nzima. Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini. Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma kama hizo. Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua. Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu. Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu. Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa. Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu. Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia ndani. Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili. Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda. Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust". Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza dhuluma kwao. Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi fulani waweze kushusha chini. Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake. Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia. Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza visa hivi. Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia. Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
Wanafunzi husoma kwa kutumia mitando ipi
{ "text": [ "Google meet na kenet" ] }
4941_swa
SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA. Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya suluhisho kwa swala hili nzima. Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini. Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma kama hizo. Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua. Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu. Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu. Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa. Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu. Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia ndani. Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili. Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda. Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust". Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza dhuluma kwao. Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi fulani waweze kushusha chini. Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake. Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia. Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza visa hivi. Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia. Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
Simu huchangia vipi kuharibika kwa ndoa
{ "text": [ "Kupokea jumbe za mapenzi za watu wengine" ] }
4941_swa
SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA. Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya suluhisho kwa swala hili nzima. Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini. Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma kama hizo. Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua. Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu. Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu. Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa. Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu. Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia ndani. Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili. Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda. Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust". Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza dhuluma kwao. Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi fulani waweze kushusha chini. Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake. Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia. Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza visa hivi. Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia. Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
Athari za watazamaji wa ponografia ni zipi
{ "text": [ "Kuwepo kwa mimba za mapema na magonjwa ya zinaa" ] }
4942_swa
TEKNOLOJIA Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi. Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu wengi na kwa muda kidogo tu. Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata habari zozote moja kwa moja. Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana. Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote. Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi. Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza biashara zao kwa njia hizi za kisasa. Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama. Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia. Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu. Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara. Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
Mabadiliko imepatikana katika sekta ipi
{ "text": [ "Tekinolojia" ] }
4942_swa
TEKNOLOJIA Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi. Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu wengi na kwa muda kidogo tu. Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata habari zozote moja kwa moja. Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana. Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote. Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi. Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza biashara zao kwa njia hizi za kisasa. Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama. Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia. Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu. Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara. Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
Siku hizi watu wanahitaji kubovya mitambo ya nini
{ "text": [ "Mawasiliano" ] }
4942_swa
TEKNOLOJIA Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi. Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu wengi na kwa muda kidogo tu. Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata habari zozote moja kwa moja. Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana. Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote. Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi. Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza biashara zao kwa njia hizi za kisasa. Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama. Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia. Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu. Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara. Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
Watu wanatangaza bidhaa kwa njia zipi
{ "text": [ "Kisasa" ] }
4942_swa
TEKNOLOJIA Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi. Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu wengi na kwa muda kidogo tu. Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata habari zozote moja kwa moja. Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana. Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote. Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi. Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza biashara zao kwa njia hizi za kisasa. Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama. Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia. Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu. Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara. Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
Nani wanalalamika kuhusu wajiriwa
{ "text": [ "wajiri" ] }
4942_swa
TEKNOLOJIA Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi. Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu wengi na kwa muda kidogo tu. Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata habari zozote moja kwa moja. Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana. Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote. Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi. Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza biashara zao kwa njia hizi za kisasa. Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama. Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia. Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu. Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara. Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
Kwa nini wanafunzi hawasomi
{ "text": [ "Wanashinda mitandaoni wakiwasiliana na wenzao" ] }
4945_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate mlo wao. Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa. Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa. Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari ya pili nchini. Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika maswala yote yaliyo msumbua. Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni. Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine. Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje ya nchi. Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia. Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba nzuri. Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia. Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake .Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
Baada ya dhiki huwepo nini?
{ "text": [ "Faraja" ] }
4945_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate mlo wao. Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa. Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa. Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari ya pili nchini. Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika maswala yote yaliyo msumbua. Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni. Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine. Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje ya nchi. Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia. Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba nzuri. Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia. Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake .Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
Familia yake Jipemoyo ilikuwa na watoto wangapi?
{ "text": [ "Wanne" ] }
4945_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate mlo wao. Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa. Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa. Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari ya pili nchini. Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika maswala yote yaliyo msumbua. Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni. Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine. Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje ya nchi. Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia. Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba nzuri. Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia. Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake .Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
Jipemoyo alikuwa wa jinsia gani?
{ "text": [ "Kike" ] }
4945_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate mlo wao. Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa. Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa. Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari ya pili nchini. Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika maswala yote yaliyo msumbua. Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni. Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine. Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje ya nchi. Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia. Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba nzuri. Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia. Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake .Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
Wazazi wake Jipemoyo walikuwa wakifanya kazi ipi?
{ "text": [ "Ya kijungujiko" ] }
4945_swa
BAADA YA DHIKI FARAJA Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate mlo wao. Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa. Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa. Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari ya pili nchini. Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika maswala yote yaliyo msumbua. Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni. Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine. Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje ya nchi. Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia. Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba nzuri. Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia. Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake .Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
Mchumi juani hulilia wapi?
{ "text": [ "Kivulini" ] }
4946_swa
SHULE YA UPILI YA CHAI BURE, SANDUKU LA POSTA 333, MALAVA. 22/12/2021. Kwa baba mpendwa, Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua. Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko. Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani. Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako. Maswala yale ninayo ni machache tu. Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako. Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka. Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi. Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi kizimbani na kuku wengine. Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau, niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi. Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme. Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi. Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo. Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si unajua mama si mtu wa maneno mengi. Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane, ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini. Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge kule. Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani. Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai kupata majibu yako hivi karibuni. Mimi mwanao, Patty Perry.
Nani analia tu baba atarudi lini
{ "text": [ "kifunga mimba" ] }
4946_swa
SHULE YA UPILI YA CHAI BURE, SANDUKU LA POSTA 333, MALAVA. 22/12/2021. Kwa baba mpendwa, Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua. Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko. Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani. Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako. Maswala yale ninayo ni machache tu. Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako. Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka. Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi. Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi kizimbani na kuku wengine. Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau, niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi. Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme. Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi. Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo. Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si unajua mama si mtu wa maneno mengi. Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane, ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini. Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge kule. Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani. Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai kupata majibu yako hivi karibuni. Mimi mwanao, Patty Perry.
Mbona baba aliandikiwa barua hiyo
{ "text": [ "kumjulisha jinsi mambo yalivyo nyumbani" ] }
4946_swa
SHULE YA UPILI YA CHAI BURE, SANDUKU LA POSTA 333, MALAVA. 22/12/2021. Kwa baba mpendwa, Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua. Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko. Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani. Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako. Maswala yale ninayo ni machache tu. Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako. Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka. Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi. Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi kizimbani na kuku wengine. Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau, niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi. Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme. Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi. Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo. Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si unajua mama si mtu wa maneno mengi. Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane, ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini. Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge kule. Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani. Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai kupata majibu yako hivi karibuni. Mimi mwanao, Patty Perry.
Msimu gani ulikuwa bora zaidi
{ "text": [ "msimu uliopita" ] }
4946_swa
SHULE YA UPILI YA CHAI BURE, SANDUKU LA POSTA 333, MALAVA. 22/12/2021. Kwa baba mpendwa, Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua. Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko. Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani. Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako. Maswala yale ninayo ni machache tu. Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako. Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka. Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi. Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi kizimbani na kuku wengine. Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau, niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi. Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme. Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi. Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo. Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si unajua mama si mtu wa maneno mengi. Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane, ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini. Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge kule. Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani. Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai kupata majibu yako hivi karibuni. Mimi mwanao, Patty Perry.
Walipata nini kutoka shambani
{ "text": [ "mazao mengi" ] }
4946_swa
SHULE YA UPILI YA CHAI BURE, SANDUKU LA POSTA 333, MALAVA. 22/12/2021. Kwa baba mpendwa, Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua. Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko. Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani. Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako. Maswala yale ninayo ni machache tu. Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako. Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka. Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi. Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi kizimbani na kuku wengine. Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau, niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi. Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme. Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi. Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo. Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si unajua mama si mtu wa maneno mengi. Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane, ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini. Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge kule. Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani. Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai kupata majibu yako hivi karibuni. Mimi mwanao, Patty Perry.
Walivuna lini mahindi gunia kumi kutoka shambani
{ "text": [ "msimu uliopita" ] }
4947_swa
BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI? Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je, ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni ni kama zifwatazo. Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana. Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno. Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu. Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La! Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza. Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu. Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha afanye waamuzi wake. Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu. Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza. Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea. Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa. Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni. Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya biashara mingi kurudi mitandaoni. Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika. Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni. Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli. Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina. Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa hatawahi fanya biashara ya mtandaoni. Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za mtandaoni kuonekana ni utapeli. Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za mtandaoni kurudi nyuma. Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile. Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo. Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana. Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa. Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache. Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni. Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije tukalala wakati tushatapeliwa.
Wakati huu watu wengi hupenda biashara gani
{ "text": [ "za mtandaoni" ] }
4947_swa
BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI? Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je, ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni ni kama zifwatazo. Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana. Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno. Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu. Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La! Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza. Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu. Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha afanye waamuzi wake. Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu. Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza. Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea. Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa. Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni. Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya biashara mingi kurudi mitandaoni. Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika. Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni. Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli. Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina. Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa hatawahi fanya biashara ya mtandaoni. Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za mtandaoni kuonekana ni utapeli. Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za mtandaoni kurudi nyuma. Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile. Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo. Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana. Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa. Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache. Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni. Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije tukalala wakati tushatapeliwa.
Rafiki ya msimulizi alikuwa anahitaji nini
{ "text": [ "jokofu" ] }
4947_swa
BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI? Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je, ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni ni kama zifwatazo. Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana. Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno. Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu. Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La! Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza. Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu. Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha afanye waamuzi wake. Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu. Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza. Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea. Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa. Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni. Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya biashara mingi kurudi mitandaoni. Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika. Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni. Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli. Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina. Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa hatawahi fanya biashara ya mtandaoni. Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za mtandaoni kuonekana ni utapeli. Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za mtandaoni kurudi nyuma. Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile. Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo. Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana. Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa. Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache. Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni. Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije tukalala wakati tushatapeliwa.
Mbona rafiki yake alielekea jiji
{ "text": [ "kununua jokofu" ] }
4947_swa
BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI? Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je, ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni ni kama zifwatazo. Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana. Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno. Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu. Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La! Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza. Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu. Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha afanye waamuzi wake. Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu. Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza. Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea. Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa. Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni. Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya biashara mingi kurudi mitandaoni. Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika. Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni. Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli. Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina. Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa hatawahi fanya biashara ya mtandaoni. Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za mtandaoni kuonekana ni utapeli. Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za mtandaoni kurudi nyuma. Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile. Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo. Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana. Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa. Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache. Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni. Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije tukalala wakati tushatapeliwa.
Shughuli nyingi zilirudi mtandaoni lini
{ "text": [ "wakati wa gonjwa hili mbaya la korona" ] }
4947_swa
BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI? Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je, ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni ni kama zifwatazo. Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana. Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno. Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu. Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La! Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza. Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu. Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha afanye waamuzi wake. Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu. Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza. Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea. Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa. Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni. Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya biashara mingi kurudi mitandaoni. Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika. Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni. Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli. Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina. Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa hatawahi fanya biashara ya mtandaoni. Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za mtandaoni kuonekana ni utapeli. Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za mtandaoni kurudi nyuma. Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile. Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo. Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana. Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa. Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache. Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni. Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije tukalala wakati tushatapeliwa.
Nani wanasema pesa ipo sana mitandaoni
{ "text": [ "wanafunzi " ] }
4948_swa
Ajali ya maisha Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa kuegemea katika suala la ndoa. Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni. Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya. Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali. Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao? Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea marafiki wala marafiki kumtembelea. Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba. Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
Ndoa yaweza leta nini
{ "text": [ "Furaha na majonzi" ] }
4948_swa
Ajali ya maisha Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa kuegemea katika suala la ndoa. Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni. Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya. Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali. Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao? Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea marafiki wala marafiki kumtembelea. Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba. Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
Chaguo laweza kuwa lipi
{ "text": [ "Baya au zuri" ] }
4948_swa
Ajali ya maisha Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa kuegemea katika suala la ndoa. Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni. Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya. Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali. Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao? Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea marafiki wala marafiki kumtembelea. Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba. Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
Matokeo huwa na pande ngapi
{ "text": [ "Mbili" ] }
4948_swa
Ajali ya maisha Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa kuegemea katika suala la ndoa. Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni. Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya. Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali. Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao? Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea marafiki wala marafiki kumtembelea. Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba. Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
Ndoa huchukua muda upi kukamilika
{ "text": [ "Mwingi" ] }
4948_swa
Ajali ya maisha Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa kuegemea katika suala la ndoa. Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni. Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya. Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali. Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao? Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea marafiki wala marafiki kumtembelea. Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba. Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
Robinson alipendwa na nani
{ "text": [ "Lavender" ] }
4949_swa
Barua ya kirafiki S.L.P 96500, Mombasa. 13/01/22 Kwa mpendwa mume wangu, Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao. Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna budi kumwonea fahari. Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake. Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia. Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na kuwajali bila kuchagua. Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini. Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku zote nitakupenda. Ni Mimi wako, Seline Mutiso.
Anapokea salamu kutoka kwa nani
{ "text": [ "Lazizi" ] }
4949_swa
Barua ya kirafiki S.L.P 96500, Mombasa. 13/01/22 Kwa mpendwa mume wangu, Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao. Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna budi kumwonea fahari. Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake. Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia. Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na kuwajali bila kuchagua. Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini. Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku zote nitakupenda. Ni Mimi wako, Seline Mutiso.
Wanamshukuru nani
{ "text": [ "Jalali" ] }
4949_swa
Barua ya kirafiki S.L.P 96500, Mombasa. 13/01/22 Kwa mpendwa mume wangu, Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao. Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna budi kumwonea fahari. Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake. Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia. Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na kuwajali bila kuchagua. Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini. Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku zote nitakupenda. Ni Mimi wako, Seline Mutiso.
Mwanawe alifanya mtihani wa darasa lipi
{ "text": [ "Nane" ] }
4949_swa
Barua ya kirafiki S.L.P 96500, Mombasa. 13/01/22 Kwa mpendwa mume wangu, Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao. Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna budi kumwonea fahari. Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake. Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia. Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na kuwajali bila kuchagua. Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini. Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku zote nitakupenda. Ni Mimi wako, Seline Mutiso.
Mtoto wanaomtarajia ni wa jinsia gani
{ "text": [ "Kike" ] }
4949_swa
Barua ya kirafiki S.L.P 96500, Mombasa. 13/01/22 Kwa mpendwa mume wangu, Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao. Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna budi kumwonea fahari. Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake. Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia. Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na kuwajali bila kuchagua. Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini. Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku zote nitakupenda. Ni Mimi wako, Seline Mutiso.
Kwa nini alifikiria alikuwa na homa ya malaria
{ "text": [ "Kwa vile alikuwa anatapika kila asubuhi" ] }
4951_swa
Mapenzi ya pacha wawili Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu baina yao. Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu. Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine angekaa kando yake akimuuguza. Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi. Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi upambane nao wote. Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
Mapenzi huleta hisia gani kwa mtu maalum?
{ "text": [ "Hisia kali za upendo" ] }
4951_swa
Mapenzi ya pacha wawili Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu baina yao. Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu. Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine angekaa kando yake akimuuguza. Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi. Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi upambane nao wote. Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
Pacha wanaosimuliwa katika hadithi wanaitwaje?
{ "text": [ "Anthony na Samson" ] }
4951_swa
Mapenzi ya pacha wawili Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu baina yao. Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu. Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine angekaa kando yake akimuuguza. Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi. Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi upambane nao wote. Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
Pacha hawa walimpa mama yao sharti gani kuhusu shule?
{ "text": [ "Lazima awapeleke shule moja " ] }
4951_swa
Mapenzi ya pacha wawili Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu baina yao. Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu. Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine angekaa kando yake akimuuguza. Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi. Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi upambane nao wote. Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
Baba ya pacha kwenye hadithi walipoteza baba yao wakati gani?
{ "text": [ "Muda mfupi baada ya kuzaliwa" ] }
4951_swa
Mapenzi ya pacha wawili Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu baina yao. Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu. Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine angekaa kando yake akimuuguza. Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi. Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi upambane nao wote. Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
Pacha walitaka kusomea nini walipomaliza shule ya upili?
{ "text": [ "Uhandisi" ] }
4952_swa
Matanga harusini Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha. Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi na hata majanga. Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai anadekezwa sana. Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi. Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha. Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko. Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama gogo. Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi. Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni. Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia ukumbini.
Sherehe iliyojaa furaha huitwaje
{ "text": [ "Harusi" ] }
4952_swa
Matanga harusini Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha. Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi na hata majanga. Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai anadekezwa sana. Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi. Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha. Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko. Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama gogo. Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi. Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni. Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia ukumbini.
Waliohudhuria harusi huja kufanya nini
{ "text": [ " Kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii" ] }
4952_swa
Matanga harusini Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha. Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi na hata majanga. Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai anadekezwa sana. Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi. Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha. Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko. Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama gogo. Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi. Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni. Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia ukumbini.
Matanga hutokea wapi
{ "text": [ "Mahali popote pale" ] }
4952_swa
Matanga harusini Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha. Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi na hata majanga. Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai anadekezwa sana. Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi. Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha. Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko. Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama gogo. Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi. Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni. Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia ukumbini.
Mahali palipojaa huzuni huitwaje
{ "text": [ "Matanga " ] }
4952_swa
Matanga harusini Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha. Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi na hata majanga. Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai anadekezwa sana. Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi. Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha. Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko. Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama gogo. Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi. Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni. Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia ukumbini.
Wageni walikaribishwa kwa nini
{ "text": [ "Vitafunio na vinywaji amwai" ] }
4953_swa
Mvua ya laana Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji. Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji. Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka. Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi zao. Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi. Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana. Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila uchao. Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
Taja mojawapo ya baraka ya mvua kwa wengi
{ "text": [ "Maji hunyunyiziwa mimea" ] }
4953_swa
Mvua ya laana Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji. Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji. Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka. Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi zao. Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi. Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana. Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila uchao. Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
Ni biashara gani hutumia maji sana
{ "text": [ "Ya hoteli" ] }
4953_swa
Mvua ya laana Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji. Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji. Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka. Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi zao. Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi. Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana. Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila uchao. Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
Taja njia moja ya kupata maji ya mvua
{ "text": [ "Kukinga maji" ] }
4953_swa
Mvua ya laana Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji. Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji. Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka. Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi zao. Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi. Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana. Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila uchao. Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
Nini hutokea mvua inapokosekana kwa muda mrefu
{ "text": [ "Kiangazi hufilisisha wanadamu na wanyama" ] }
4953_swa
Mvua ya laana Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji. Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji. Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka. Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi zao. Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi. Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana. Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila uchao. Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
Kwa nini mito n mabawa yalijaa maji
{ "text": [ "Mvua ilinyesha bila kikomo" ] }
4954_swa
Njama ya kufisha Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu. Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu tofauti. Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari. Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo hakusita kumwuuliza. Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha. Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate pesa mama yake atibiwe. Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa. Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya yaliyokuwa yakijiri. Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?" aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari. Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa chake.
Nani alikuwa mwanaume mchapakazi
{ "text": [ "Sudi" ] }
4954_swa
Njama ya kufisha Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu. Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu tofauti. Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari. Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo hakusita kumwuuliza. Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha. Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate pesa mama yake atibiwe. Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa. Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya yaliyokuwa yakijiri. Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?" aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari. Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa chake.
Nani alimwonea Sudi fahari
{ "text": [ "Mamake" ] }
4954_swa
Njama ya kufisha Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu. Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu tofauti. Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari. Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo hakusita kumwuuliza. Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha. Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate pesa mama yake atibiwe. Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa. Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya yaliyokuwa yakijiri. Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?" aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari. Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa chake.
Msichana alidai alikuwa na nini ya Sudi
{ "text": [ "Mimba" ] }
4954_swa
Njama ya kufisha Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu. Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu tofauti. Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari. Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo hakusita kumwuuliza. Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha. Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate pesa mama yake atibiwe. Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa. Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya yaliyokuwa yakijiri. Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?" aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari. Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa chake.
Sudi alichukua mkopo wa shilingi ngapi
{ "text": [ "Elfu themanini" ] }
4954_swa
Njama ya kufisha Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu. Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu tofauti. Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari. Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo hakusita kumwuuliza. Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha. Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate pesa mama yake atibiwe. Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa. Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya yaliyokuwa yakijiri. Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?" aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari. Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa chake.
Kwa nini watu walinyima Sudi kazi
{ "text": [ "Kwa sababu ya tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba" ] }
4955_swa
Nusurika kwa tundu la sindano Ahmed alikuwa mfanyakazi katika kampuni moja kule mjini.Alipenda kazi yake sana.Kila siku alijitahidi ili kuzimbua riziki.Siku ile anaikumbuka kama kwamba ilikuwa jana.Aliamka asubuhi akifurahia siku mpya.Alijitayarisha ili aende kazini lakini mke wake hakumruhusu kutoka.Jambo hili lilimpandisha madadi karibia ampige mke wake.Alipoinua mkono ili kumpiga kibao kuna kitu ndani yake kilimzuia.Alitaka kuwahi kazini ili akatamatishe kuandika ripoti aliyotarajiwa kuiwasilisha siku hiyo. Mke wake alimwandalia kiamshakinywa kitamu mithili ya asali.Alipomaliza alimshika mkono na kumsihi ale.Ahmed alikataa kula chakula kile akisema amechelewa kufika kazini.Aliinuka akavaa viatu na kisha akachukua funguo ya gari.Mke wake alijaribu kumsimamisha lakini juhudi zake ziliambulia patupu.Ahmed akalitia gari lake moto na kung'oa nanga kwenda kazini.Alisafiri kwa muda wasiwasi ukiwa umemvaa.Alihisi kuwa alikuwa amesahau kitu lakini hakujua ni nini hasa. Aliendelea kuendesha gari lake kwa kasi sana.Alipofika katikati ya safari alisimamisha gari na kupapasa mifuko ya nguo alizovaa akagundua kwamba hakuwa na simu yake ya mkononi.Isitoshe aliangalia begi alilokuwa akilibeba kila mara alipoenda ofisini lakini hakuliona.Inawezekana nimesahau vitu hivi nyumbani alijiambia.Muda mfupi baadaye aligeuza gari na kurudi nyumbani kwake.Muda wote huu wakati nao ulikuwa unasonga.Mkutano ulitarajiwa kufanyika saa nane mchana. Alitia gari lake mafuta na kuanza safari ya kurudi nyumbani.Alifika na kuenda moja kwa moja kwenye chumba chao cha kulala.Kwa bahati nzuri alipofika alikuta begi na simu ziko kitandani hivyo hakupoteza muda.Alivichukua haraka na kuingia kwenye gari lake na kulitia moto.Aliendesha kwa kasi sana akitaka kuwahi kazini.Alipofika nje ya kampuni ilikuwa imebaki dakika moja saa nane iingie.Alipokuwa kilo mita chache aliuona umati wa watu ukiwa nje ya kampuni yao.Kwanza jambo hili lilimshangaza.Akaonelea ingekuwa vyema kama angetazama zaidi lakini hakuweza kuona chochote. Alizima gari lake na kutoka nje.Akatembea polepole hadi ilipokuwa kampuni yao.Aliomba watu wampishe huku akiwa na lengo la kujua sababu yao ya kukusanyana pale.Hatimaye alijua ukweli.Jengo la kampuni lilikuwa linateketea moto.Kulingana na waja waliokuwa wamesimama pale nje walisema moto ule ulikuwa umeanza dakika tano zilizopita."Nimenusurika, kweli polepole ndio mwendo."alijiambia.Moto ule ulikuwa umesababishwa na hitilafu za umeme. Wazima moto walikuwa tayari wameshafika ila hawakuweza kuwanusuru watu waliokuwa ndani ya jengo kwa kuhofia maisha yao.Walikuwa wanajitahidi kadri wawezavyo ili kuuzima moto lakini ni kama walikuwa wanauchochea hata zaidi.Kila mara walipoelekeza upande wa jengo moto ulizidi maradufu.Mali na vitu vilivyokuwemo ndani vikateketea.Wanahabari walikuja kuchukua habari na jioni hii ndiyo taarifa kuu iliyogonga vyombo vya habari.Ahmed alibaki akijiuliza tu maswali.Zaidi ya yote alimshukuru Mungu kwa kumwepushia kifo cha moto.
Nani alikuwa akifanya kazi katika kampuni moja kule mjini
{ "text": [ "Ahmed" ] }
4955_swa
Nusurika kwa tundu la sindano Ahmed alikuwa mfanyakazi katika kampuni moja kule mjini.Alipenda kazi yake sana.Kila siku alijitahidi ili kuzimbua riziki.Siku ile anaikumbuka kama kwamba ilikuwa jana.Aliamka asubuhi akifurahia siku mpya.Alijitayarisha ili aende kazini lakini mke wake hakumruhusu kutoka.Jambo hili lilimpandisha madadi karibia ampige mke wake.Alipoinua mkono ili kumpiga kibao kuna kitu ndani yake kilimzuia.Alitaka kuwahi kazini ili akatamatishe kuandika ripoti aliyotarajiwa kuiwasilisha siku hiyo. Mke wake alimwandalia kiamshakinywa kitamu mithili ya asali.Alipomaliza alimshika mkono na kumsihi ale.Ahmed alikataa kula chakula kile akisema amechelewa kufika kazini.Aliinuka akavaa viatu na kisha akachukua funguo ya gari.Mke wake alijaribu kumsimamisha lakini juhudi zake ziliambulia patupu.Ahmed akalitia gari lake moto na kung'oa nanga kwenda kazini.Alisafiri kwa muda wasiwasi ukiwa umemvaa.Alihisi kuwa alikuwa amesahau kitu lakini hakujua ni nini hasa. Aliendelea kuendesha gari lake kwa kasi sana.Alipofika katikati ya safari alisimamisha gari na kupapasa mifuko ya nguo alizovaa akagundua kwamba hakuwa na simu yake ya mkononi.Isitoshe aliangalia begi alilokuwa akilibeba kila mara alipoenda ofisini lakini hakuliona.Inawezekana nimesahau vitu hivi nyumbani alijiambia.Muda mfupi baadaye aligeuza gari na kurudi nyumbani kwake.Muda wote huu wakati nao ulikuwa unasonga.Mkutano ulitarajiwa kufanyika saa nane mchana. Alitia gari lake mafuta na kuanza safari ya kurudi nyumbani.Alifika na kuenda moja kwa moja kwenye chumba chao cha kulala.Kwa bahati nzuri alipofika alikuta begi na simu ziko kitandani hivyo hakupoteza muda.Alivichukua haraka na kuingia kwenye gari lake na kulitia moto.Aliendesha kwa kasi sana akitaka kuwahi kazini.Alipofika nje ya kampuni ilikuwa imebaki dakika moja saa nane iingie.Alipokuwa kilo mita chache aliuona umati wa watu ukiwa nje ya kampuni yao.Kwanza jambo hili lilimshangaza.Akaonelea ingekuwa vyema kama angetazama zaidi lakini hakuweza kuona chochote. Alizima gari lake na kutoka nje.Akatembea polepole hadi ilipokuwa kampuni yao.Aliomba watu wampishe huku akiwa na lengo la kujua sababu yao ya kukusanyana pale.Hatimaye alijua ukweli.Jengo la kampuni lilikuwa linateketea moto.Kulingana na waja waliokuwa wamesimama pale nje walisema moto ule ulikuwa umeanza dakika tano zilizopita."Nimenusurika, kweli polepole ndio mwendo."alijiambia.Moto ule ulikuwa umesababishwa na hitilafu za umeme. Wazima moto walikuwa tayari wameshafika ila hawakuweza kuwanusuru watu waliokuwa ndani ya jengo kwa kuhofia maisha yao.Walikuwa wanajitahidi kadri wawezavyo ili kuuzima moto lakini ni kama walikuwa wanauchochea hata zaidi.Kila mara walipoelekeza upande wa jengo moto ulizidi maradufu.Mali na vitu vilivyokuwemo ndani vikateketea.Wanahabari walikuja kuchukua habari na jioni hii ndiyo taarifa kuu iliyogonga vyombo vya habari.Ahmed alibaki akijiuliza tu maswali.Zaidi ya yote alimshukuru Mungu kwa kumwepushia kifo cha moto.
Nani hakumruhusu Ahmed atoke kwenda kazini
{ "text": [ "Mke wake" ] }
4955_swa
Nusurika kwa tundu la sindano Ahmed alikuwa mfanyakazi katika kampuni moja kule mjini.Alipenda kazi yake sana.Kila siku alijitahidi ili kuzimbua riziki.Siku ile anaikumbuka kama kwamba ilikuwa jana.Aliamka asubuhi akifurahia siku mpya.Alijitayarisha ili aende kazini lakini mke wake hakumruhusu kutoka.Jambo hili lilimpandisha madadi karibia ampige mke wake.Alipoinua mkono ili kumpiga kibao kuna kitu ndani yake kilimzuia.Alitaka kuwahi kazini ili akatamatishe kuandika ripoti aliyotarajiwa kuiwasilisha siku hiyo. Mke wake alimwandalia kiamshakinywa kitamu mithili ya asali.Alipomaliza alimshika mkono na kumsihi ale.Ahmed alikataa kula chakula kile akisema amechelewa kufika kazini.Aliinuka akavaa viatu na kisha akachukua funguo ya gari.Mke wake alijaribu kumsimamisha lakini juhudi zake ziliambulia patupu.Ahmed akalitia gari lake moto na kung'oa nanga kwenda kazini.Alisafiri kwa muda wasiwasi ukiwa umemvaa.Alihisi kuwa alikuwa amesahau kitu lakini hakujua ni nini hasa. Aliendelea kuendesha gari lake kwa kasi sana.Alipofika katikati ya safari alisimamisha gari na kupapasa mifuko ya nguo alizovaa akagundua kwamba hakuwa na simu yake ya mkononi.Isitoshe aliangalia begi alilokuwa akilibeba kila mara alipoenda ofisini lakini hakuliona.Inawezekana nimesahau vitu hivi nyumbani alijiambia.Muda mfupi baadaye aligeuza gari na kurudi nyumbani kwake.Muda wote huu wakati nao ulikuwa unasonga.Mkutano ulitarajiwa kufanyika saa nane mchana. Alitia gari lake mafuta na kuanza safari ya kurudi nyumbani.Alifika na kuenda moja kwa moja kwenye chumba chao cha kulala.Kwa bahati nzuri alipofika alikuta begi na simu ziko kitandani hivyo hakupoteza muda.Alivichukua haraka na kuingia kwenye gari lake na kulitia moto.Aliendesha kwa kasi sana akitaka kuwahi kazini.Alipofika nje ya kampuni ilikuwa imebaki dakika moja saa nane iingie.Alipokuwa kilo mita chache aliuona umati wa watu ukiwa nje ya kampuni yao.Kwanza jambo hili lilimshangaza.Akaonelea ingekuwa vyema kama angetazama zaidi lakini hakuweza kuona chochote. Alizima gari lake na kutoka nje.Akatembea polepole hadi ilipokuwa kampuni yao.Aliomba watu wampishe huku akiwa na lengo la kujua sababu yao ya kukusanyana pale.Hatimaye alijua ukweli.Jengo la kampuni lilikuwa linateketea moto.Kulingana na waja waliokuwa wamesimama pale nje walisema moto ule ulikuwa umeanza dakika tano zilizopita."Nimenusurika, kweli polepole ndio mwendo."alijiambia.Moto ule ulikuwa umesababishwa na hitilafu za umeme. Wazima moto walikuwa tayari wameshafika ila hawakuweza kuwanusuru watu waliokuwa ndani ya jengo kwa kuhofia maisha yao.Walikuwa wanajitahidi kadri wawezavyo ili kuuzima moto lakini ni kama walikuwa wanauchochea hata zaidi.Kila mara walipoelekeza upande wa jengo moto ulizidi maradufu.Mali na vitu vilivyokuwemo ndani vikateketea.Wanahabari walikuja kuchukua habari na jioni hii ndiyo taarifa kuu iliyogonga vyombo vya habari.Ahmed alibaki akijiuliza tu maswali.Zaidi ya yote alimshukuru Mungu kwa kumwepushia kifo cha moto.
Nani aliyekiandaa kiamshakinywa
{ "text": [ "Mkewe Ahmed" ] }