Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
4928_swa | PIGO LA MAISHA
Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka
kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na
kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini.
Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba
alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake
kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa
misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya
kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye
alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote
aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na
baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za
uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa
haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara
moja.
Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba.
Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa
ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda
wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza
kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji
na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza
kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya
uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa
kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu
sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea
nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni.
Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton.
Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya.
Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi.
Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali.
Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu
basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi
mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za
kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton
kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi
nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza
kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine.
Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea.
Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na
kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila
alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi
kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni.
Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema.
Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga
wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha
kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya
kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara
ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza
Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa
keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya
sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na
kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia
kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza
wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa ,
baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa
Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto
alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa
sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu
wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa
kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa
mle chumbani.
Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza
na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea.
Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na
kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye
alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala
kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye
akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe
hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa
mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa
umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na
Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila
walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe
ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa
hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku
moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa
na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja
wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu
kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila
baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu.
Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata
ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa
kauli ya baba.
Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku
moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa
ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo.
Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali.
Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja
kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga
Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na
kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
| Jacton alimpigia nini | {
"text": [
"Simu"
]
} |
4928_swa | PIGO LA MAISHA
Nilizaliwa mwaka wa elfu moja mia Kenda sabini na tano. Nikawa kibaraka
kwa kwa mama na baba. Baba alikuwa muhubiri mashuhuri mjini. Alikuwa na
kanisa lake la kipekee mjini na makanisa mengine kadha wa kadha nchini.
Mama hakuwa na kazi nyingine ila alikuwa tu msaidizi wa baba. Baba
alikuwa na wafanyakazi tofauti mjini ambao walimsaidia kufanya kazi yake
kwa kuwa mwenyewe hangeweza. Mama na baba walinikuza vyema sana kwa
misingi ya kikiristu. Baba hakusita kujifunza kila mara kuhusu jinsi ya
kuishi maisha ya kikiristu na kwa njia inayotamanika na watu. Mama naye
alifanya awezalo kihakikisha kuwa mtoto wake wa kipekee hakosi lolote
aliokuwa anahitaji maishani mwake. Nilikuwa na mazoea ya kuandamana na
baba na mama kuenda kanisani ila sikuwahi husika katika shughuli za
uimbaji kwa kuwa bado nilikuwa shuleni na basi mama akaona kuwa
haingekuwa vyema endapo ningekuwa najaribu kutembea kwa njia mbili mara
moja.
Nilihitimu masomo yangu ya shule ya upili nikiwa na miaka kumi na Saba.
Mama na baba walikuwa wamenifunza kuwa mapenzi kwa wakati huo yalikuwa
ni kinyume na Mungu. Hivyo basi sikuwa na mpenzi wala sikutaka kupenda
wakati huo. Mama alinieleza kuwa ingekuwa vyema endapo ningeanza
kuhudhuria vipindi vya nyimbo kanisani. Binafsi nilipoenda sana uimbaji
na basi nilikuwa mwimbaji maalum na mwenye kipawa Cha kipekee. Nilianza
kurauka kila asubuhi ya siku ya alhamisi na kuenda kwa vipindi vya
uimbaji. Kiongozi wa vipindi hivyo alikuwa Jacton. Jackton alikuwa
kijana shupavu na alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa baba. Jackton aliusifu
sana usanii wangu katika kuimba. Siku hiyo tuliandamana naye nikielekea
nyumbani. Jackton alijifanya kateleza kisha akanishika kiunoni.
Sikufurahia kitendo hicho nilichukizwa sana na hata nikamweleza Jackton.
Jackton alipigiwa na butwaa ajabu na kukiri kuwa hakuwa na nia mbaya.
Aliongeza kuwa alinichukulia kama dada na basi hangekuwa na fikra hasi.
Nilikubaliana naye na hata kumuomba msamaha kwa kumwia mkali.
Tulikuwa marafiki na Jacton kwa muda mrefu na kwa kuwa alikuwa mkiristu
basi wazazi wangu hawakuwa na tatizo lolote kuhusu Hilo. Mara nyingi
mama alinipongeza sana kwa kumuteua rafiki mwema na mwenye njia za
kikiristu . Isitoshe baba pia alifurahi sana kuwa nilikuwa na Jackton
kama rafiki yangu. Nilifanya mazoea ya kuenda vipindi vya nyimbo hadi
nikafahamu nyimbo zote ambazo sikuzifahamu. Baada ya muda niliweza
kupewa nafasi ya kuimba mbele ya kanisa siku za jumapili kama wengine.
Baba alifurahi sana kuhusu jambo hili na kunitia moyo niweze kuendelea.
Siku moja jioni masaa ya saa moja jioni Jacton alinipigia simu na
kuniarifi kuwa alikuwa anahisi mgonjwa. Sikumuamini Jackton ila
alinifanya nikamwamini. Alitaka niende kumuona hiyo jioni ila nikaghairi
kwa kuwa wazazi wangu hawangeniruhusu kwa kuwa saa zilikuwa za jioni.
Niliahidi kumwona siku iliyofuata asubuhi na mapema.
Asubuhi hiyo nilirauka alfajiri na kuondoka hata nikasahau kuwaaga
wazazi wangu. Nilifika kwa Jacton na nilichokipata kilikuwa Cha
kugutusha mno. Jacton alikuwa ameoka keki kubwa mno na akaiweka juu ya
kitanda chake. Maua mekundu yalichora kopa yaliizunguka keki hiyo. Mara
ya kwanza nilishangazwa ila nikauficha mshangao wangu. Nikimuuliza
Jackton hali yake akanieleza kuwa alikuwa anapata nafuu. Jacton alikataa
keki tukala kisha akanipa sharubati. Sijui alichokitia ndani ya
sharubati hiyo ila nilijikuta nimelala uchi masaa ya saa kumi na moja na
kando yangu alikuwa Jackton. Nilimfikea Jackton ila Hilo halikusaifia
kwa kuwa maji yalikuwa yamemwagika. Nilirejea nyumbani ila sikuwaeleza
wazazi kilichotokea. Baada ya siku chache nilianza kujihisi mgonjwa ,
baba aliniita muuguzi naye akafanya vipimo fulani kwangu. Matokeo yakawa
Nina mimba. Baba alikasirika sana nami. Akataka kufahamu baba mtoto
alikuwa nani nami sikusita kumweleza kuwa alikuwa Jackton na kuwa
sikutarajia Hilo kwa kuwa alinibaka. Mama mtu kwa kuwa alielewa uchungu
wa Mwana alijaribu kunihurumia ila baba akawa amefanya uamuzi tayari wa
kuwa ningeozwa kwa Jacton kwa lazima kisa hakutaka aibu za mimi kuzaliwa
mle chumbani.
Siku iliyofuata Jackton aliitwa nyumbani na wazazi wangu. Walizungumza
na kuelewana kuwa ningekuwa bibi yake kutokana na kile kilichotokea.
Jackton hakuwa hata na nyumba ila baba akaahidi kulipa Kodi ya nyumba na
kumuongeza mshahara ili aweze kunikidhi. Niliandamana na Jackton ambaye
alininajisi. Chumbani Jackton alinitesa ajabu. Hakunipa chakula wala
kunipeleka kiliniki kama ilivyo kawaida. Nililala sakafuni huku yeye
akilala kitandani. Hakunipa pesa za chakula wala matumizi. Isitoshe
hakutaka niongee na majirani na kisha alipenda kunifokea sana. Mara kwa
mara tulipotofautiana kidogo Jackton alienda akalala nje. Wasichana wa
umri wangu waliokuwa majirani wangu walianza kushuku hali yangu na
Jackton. Waliharibu kuniongelesha ila sikusema. Hawakuchoka ila
walifanya mazoea ya kuniletea hata chakula. Tulikuwa marafiki mwishowe
ila sikuwaeleza yaliyokuwa yakijiri. Jackton akawa na mazoea ya kunitesa
hadi ikafika kina Cha kuja na wanawake wengine kwa nyumba yetu. Siku
moja nikijaribu kuteta ila alinifungia chumbani na kuondoka. Nilizidiwa
na njaa nikapiga kamsa na basic majirani wangu wakaja na kuniokoa. Mmoja
wale wasichana alinibeba na kunichua hafi nyumbani. Nikijaribu
kusemezana na mama kuhusu ndoa yangu naye akakubali nikae nyumbani ila
baba aliporejea alikanusha madai hayo na kuigiza nirejee kwa mume wangu.
Baba hakutaka kuonekana kuwa na msichana aliyezaa nje ya ndoa. Hata
ingekuwa ni kufa heri ningekufa ila niwe kwa mume wangu nduyo iliyokuwa
kauli ya baba.
Basi ilibidi nirejee kwa Jackton. Bado mateso yalikuwa Yale Yale. Siku
moja alikuja na mwanamke nyumbani. Nikalala sakafuni nao kitandani. Hapa
ilibidi nifoke. Jackton alinipa kichapo Cha mbwa na kuondoka usiku huo.
Nilitambaa mpaka kwa rafiki zangu ambao walinipeleka hospitali.
Hospitalini nilimpoteza Mwanangu . Baada ya siku chache mama alikuja
kuniona baada ya kuelezea hali yangu. Alikuwa amefanya hima na kumfunga
Jackton. Baba alizushwa cheo kwa kuwa hakuwa na mapenzi kwa mwanaye na
kumwacha ateseke. Niliishi na mama kwa raha mustarehe.
| Kwa nini baba alikata kauli aolewe na Jacton | {
"text": [
"Hakutaka aibu yake kuzalia mle chumbani"
]
} |
4929_swa | UCHUMI
Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea
yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko
wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu
kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa
sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani
haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari?
Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo
singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau
ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na
Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa
ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea
kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo
Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea
kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya
sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye
nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki
nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia
mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini
wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa.
Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani
nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua
vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba
mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi.
Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende
kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja
ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe.
Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga
zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina
yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi
kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini
kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami
najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote"
Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua
ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa
kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa
kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa
anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa
linamsumbua akili.
Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la
ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa
Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa
kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi
kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo
nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele
ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi
nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe
machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu
nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari
nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari.
Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila
mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha
yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha
yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na
bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali.
Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza
kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna
ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza
kisha naanza kumuhadithia Maimuna.
" Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio
sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani
akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye
ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya
mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John
alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa
kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna
anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi
gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume
wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza
kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa
na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto
mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka
mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta
sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu.
Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza.
Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu
wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili
zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na
basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna
kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu.
Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina
maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa
kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani.
Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni
mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke
niwatafutie wanangu.
| Nini keshamea madirisha na milango | {
"text": [
"Mfuko"
]
} |
4929_swa | UCHUMI
Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea
yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko
wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu
kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa
sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani
haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari?
Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo
singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau
ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na
Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa
ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea
kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo
Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea
kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya
sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye
nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki
nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia
mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini
wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa.
Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani
nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua
vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba
mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi.
Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende
kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja
ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe.
Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga
zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina
yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi
kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini
kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami
najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote"
Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua
ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa
kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa
kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa
anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa
linamsumbua akili.
Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la
ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa
Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa
kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi
kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo
nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele
ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi
nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe
machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu
nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari
nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari.
Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila
mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha
yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha
yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na
bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali.
Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza
kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna
ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza
kisha naanza kumuhadithia Maimuna.
" Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio
sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani
akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye
ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya
mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John
alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa
kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna
anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi
gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume
wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza
kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa
na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto
mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka
mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta
sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu.
Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza.
Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu
wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili
zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na
basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna
kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu.
Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina
maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa
kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani.
Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni
mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke
niwatafutie wanangu.
| Njiani anakutana na nani | {
"text": [
"Maimuna"
]
} |
4929_swa | UCHUMI
Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea
yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko
wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu
kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa
sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani
haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari?
Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo
singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau
ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na
Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa
ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea
kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo
Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea
kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya
sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye
nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki
nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia
mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini
wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa.
Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani
nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua
vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba
mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi.
Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende
kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja
ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe.
Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga
zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina
yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi
kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini
kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami
najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote"
Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua
ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa
kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa
kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa
anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa
linamsumbua akili.
Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la
ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa
Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa
kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi
kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo
nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele
ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi
nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe
machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu
nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari
nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari.
Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila
mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha
yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha
yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na
bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali.
Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza
kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna
ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza
kisha naanza kumuhadithia Maimuna.
" Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio
sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani
akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye
ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya
mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John
alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa
kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna
anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi
gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume
wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza
kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa
na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto
mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka
mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta
sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu.
Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza.
Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu
wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili
zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na
basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna
kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu.
Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina
maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa
kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani.
Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni
mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke
niwatafutie wanangu.
| Nilipoteza ajira kutokana na ugonjwa hatari upi | {
"text": [
"Korona"
]
} |
4929_swa | UCHUMI
Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea
yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko
wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu
kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa
sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani
haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari?
Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo
singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau
ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na
Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa
ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea
kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo
Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea
kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya
sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye
nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki
nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia
mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini
wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa.
Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani
nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua
vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba
mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi.
Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende
kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja
ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe.
Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga
zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina
yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi
kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini
kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami
najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote"
Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua
ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa
kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa
kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa
anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa
linamsumbua akili.
Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la
ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa
Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa
kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi
kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo
nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele
ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi
nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe
machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu
nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari
nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari.
Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila
mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha
yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha
yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na
bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali.
Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza
kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna
ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza
kisha naanza kumuhadithia Maimuna.
" Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio
sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani
akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye
ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya
mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John
alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa
kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna
anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi
gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume
wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza
kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa
na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto
mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka
mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta
sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu.
Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza.
Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu
wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili
zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na
basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna
kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu.
Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina
maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa
kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani.
Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni
mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke
niwatafutie wanangu.
| Mume wake alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa vipi | {
"text": [
"Magumu"
]
} |
4929_swa | UCHUMI
Leo nipo kwenye solo huru. Kilichonileta hapa ni sukari robo. Sio mazoea
yangu kununua sukari robo ila kwa sasa mfuko haupo sawa vile. Mfoko
wenyewe keshamea madirisha na milango. Mihela haitulii ndani. Najaribu
kupita pita kwanza angalau nikajue bei ya bidhaa zingine ingawa
sitanunua. Lo! Sukari yenyewe sasa hivi ni thelathini na tano! Kwani
haya maajabu yakawa lini jamani. Kwani tutaacha kunywa chai ya sukari?
Mimi mwenyewe nimenunua sukari juzi ya shilingi mia moja kilo. Hii Leo
singeweza kumudu bei hiyo. Imebidi nirudi nianze kutumia robo angalau
ninunue bidhaa zingine. Nakumbuka drama niliyokuwa naho Leo asubuhi na
Mwanangu Raha. Raha Leo sijampa mchele akabebe kama Chamcha. Leo nimempa
ndizi tu. Raha Amelia asitake kwenda shule mpaka jirani akajitolea
kumununulia mchele. Mimi sikutaka kununua mchele kwa kuwa nikitaka hizo
Hela nikanunue sukari. Kweli maisha yananicharaza vibaya. Nikiendelea
kuzunguka inanibidi tu nibebe mchele robo bei pia bei ni ile ile ya
sukari. Mwenyewe naanza sasa kuudhika. Sina pesa za unga. Sijui nifanye
nini. Usidhani unga imebaki kwa bei ya kawaida, pia ni bei mpya. Mabaki
nikijiuliza maswali kwa akili yangu nisipate jibu lolote. Nachukia
mchele wangu na sukari nalipa na kuondoka. Leo sijui niwapikie nini
wanangu . Maisha sio maisha tena ila ni mateso bila huruma sasa.
Naondoka shoti mle sokoni na kushika zangu kuelekea kwangu. Njiani
nakutana na Maimuna. Maimuna ana watoto wanne. Maimuna hufanya vibarua
vidogovidogo kama kuchotea watu maji, kumsaidia watu kufua, kubeba
mizigo kutoka Kituo kimoja Cha gari mpaka jingine na mengine mengi.
Maimuna si mbaguzi katika kazi. Yeye hufanya lolote mradi mkono uende
kinywani. Tangu Maimuna ahamie kule tulikuwa tunaishi Hamna hata mmoja
ambaye amewahi kumwona mumewe na hivyo basi mimi simufahamu mumewe.
Maimuna mwenyewe hajawahi mzungumzia mumewe hata tunapokuwa kwenye soga
zetu za kawaida. Wanangu huniarifu kuwa wanake Maimuna wanatumia majina
yao mawili pamoja na la Maimuna kule shuleni na pia hawajawahi
kuzungumza kuhusu baba yao hata siku moja. Leo Maimuna ameketi chini
kumaanisha Hamna kazi yeyote. Sura yake sio ya raha hata chembe. Nami
najisemea moyoni, "ikiwa Maimuna kakosa kazi basi Hamna kazi yeyote"
Nilimuamukua Maimuna naye akajibu ila kwa uvivu mkubwa. Nikitaka kujua
ikawaje Leo kaketi pale alipoketi kipweke hivyo . Maimuna alikiri kuwa
kazi ilikuwa kuku wa kijani sasa. Hamna mtu aliyepeana kazi tena kwa
kuwa watu wanaohitaki kazi na wengi na hivyo malipo n duni. Hakuwa
anajua awapikie nini wanaye usiku huo. Hilo ndilo jambo lilokuwa
linamsumbua akili.
Tunaandamana na Maimuna huku tulielekea chumbani maanake hatuna la
ziada. Mimi binafsi nilimpoteza Ajira kutokana na ugonjwa hatari wa
Korona ambao ulirudisha UCHUMI nyuma ajabu. Nilikuwa nafanya kazi kwa
kampuni fulani ambayo ilikufungwa kufuatia upingufu wa mauzo na basi
kukosa namna ya kukidhi mishahara ya wafanyakazi na hapo ndipo
nilipofutwa kazi. Nakumbuka vyema sana kuwa kazi hii ndiyo ilikuwa mbele
ya gu na nyuma yangu. Siku niliyokabidhiwa barua ya kuniachisha kazi
nililia ajabu. Nilipiga taswira nikaona wanangu wakigeuka wawe
machokaraa mtaani. Sijui ningemweleza nini mama ambaye kwa muda mrefu
nilikuwa ndiye tegemeo lake. Dadangu mdogo macho yalikuwa kwangu. Tayari
nchi ilikuwa imefungwa ili kukidhi msambao wa maradhi haya hatari.
Njiani mimi na Maimuna hatukuwa na la kuzungumza ila tulitembea tu kila
mtu kazama kwa mawazo yake asitake kujua hali za mwenzake. Maisha
yamekuwa magumu ajabu. Wizi umekuwa ndilo jawabu la wengi mjini. Maisha
yamekuwa hatari kwa kuwa ukionekana unacho kidogo usiku unatembelewa na
bunduki. Magonjwa ya ukosefu wa lishe Bora yametawala kila mahali.
Umaskini umeamua kututembelea. Maimuna anavunja kimya na kuanza
kuzungumza. Anaanza kwa kuniuliza kuhusu mume wangu. Nahisi kuwa Maimuna
ametanusha kidonda ambacho kwa muda kilikuwa kimeanza Kupona. Nanyamaza
kisha naanza kumuhadithia Maimuna.
" Mume wangu alitoweka punde tu maisha yalianza kuwa magumu na ndio
sababu hivi sikuhizi hujamwona akiwa hapo mbele ya fuka la jirani
akipiga Domo. Ile siku nilipokabidhuwa barua ya kuniachisha kazi naye
ndioo alipotoweka. Nakumbuka Rosa alimuomba Hela za karo ya masomo ya
mtandaoni na akasema kuwa alikuwa aende kutafuta. Hapo awali John
alikuwa amemuomba ya chakula na badi hapa ndipo aliamua kutoka kwa
kisingizio Cha kutafuta kazi na hakuwahi rejea mpaka sasa." Maimuna
anazidi kunidafisi zaidi. Anauliza kuwa mume wangu alikuwa anafanya kazi
gani ambaye pia aliipoteza wakati wa janga la Korona. Kusema kweli mume
wangu alikuwa anafanya kazi ya hoteli na punde tu serikali ilipoaviza
kufungwa kwa hoteli zote basi kazi ikaisha. Kutokana na mazoea ya kuwa
na kitu mfukoni basi ikamwia vigumu kuishi maisha ya kuombwa na watoto
mara kwa mara na akakiri kuwa hana basi akatoweka. Tangu alipoondoka
mume wangu sijawahi kumjsikia wala kumuona. Hata Hela za kumutafuta
sina. Hela chache ninazopata natumia kuwalisha wanangu.
Maimuna ananyamaza na kusema kwa sauti ya chini " uchumi" nilinyamaza.
Tulikuwa tumefika kwa lango la kuingililia nyumbani. Wana wetu
wanakimbia na kutukimbatia. Tunawakumbatia ila nyusi zetu na akili
zimejikunja. Tunaelekea chumbani na wanangu. Naangalia ndoo ya unga na
basic naona unga uliokuwa mle ni mdogo mno. Sikutaka kumusumbua Maimuna
kwa kuwa pia ana matatizo ya kwake. Naamua Cha kuwapikia wanangu.
Nakumbuka kuwa kesho asubuhi pia watajitaji kiamsha kinywa na sina
maziwa. Naamua kupika uji wa mahindi na ule utakaosalia basi tutaunuwa
kama kiamshakinywa. Namaliza kuwalisha wanangu najibwaga kitandani.
Kitandani njaigeuzageuza huku mawzo yananikimbia hapa na pale. Maisha ni
mrama. Sauti ya ndege inasikika. Hata kumekucha na sijalala! Acha niamke
niwatafutie wanangu.
| Kwa nini aliwapikia watotouji wa mahindi | {
"text": [
"kwa vile hakuwa na hela za kununua kiamsha kinywa"
]
} |
4933_swa | SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU.
Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi
yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja.
Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu
walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu
sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa
huku.
Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa
madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara
za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala,
utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo
hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka
siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu
ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu
mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi
akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za
kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama
Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala
mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria
kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari
lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa
tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe
mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki.
Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango
pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie
kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko
Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu
wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale
kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba
chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia
hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini?
Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati.
Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake
nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali
ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi
kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu.
Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje
bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka
watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata
wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari.
Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine
kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika
saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo.
Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja
ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani.
Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu
zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti
wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu.
Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu
jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na
ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu
binafsi nachukia hayo majina.
Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na
wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu.
Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na
watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye
kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo
alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda
sana Bunzi licha ya hayo.
Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule
alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua
kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe
hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi
hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka
kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa.
Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche
kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu
na kutishwa kauli zake.
Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa
rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake
alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi
usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama
ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa
kushuku tu.
Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa
kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa
bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha
kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi
alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine
*** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na
hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani.
Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya
nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo.
Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la
kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku
akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua
la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha
wakiwa njia panda.
Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame
tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo
hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi
ikasonga.
Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi.
Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri
kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na
alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya
Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani.
Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana.
Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia
usiyemjua.
Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya
kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa
na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na
yeye. Kweli kipendacho roho dawa.
Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana
wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao
wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko
kwetu.
Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za
huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa
watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini.
Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu
si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia
wakisema mimi ni wa kabila hili au lile.
Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita
dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye
kupendeza.
| Taja sifa moja ya watu wa nchi ya ajabu | {
"text": [
"Hakukuwa na mtu aliyehisi njaa wengine wakimtazama"
]
} |
4933_swa | SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU.
Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi
yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja.
Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu
walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu
sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa
huku.
Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa
madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara
za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala,
utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo
hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka
siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu
ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu
mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi
akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za
kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama
Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala
mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria
kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari
lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa
tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe
mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki.
Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango
pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie
kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko
Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu
wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale
kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba
chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia
hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini?
Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati.
Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake
nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali
ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi
kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu.
Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje
bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka
watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata
wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari.
Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine
kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika
saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo.
Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja
ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani.
Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu
zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti
wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu.
Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu
jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na
ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu
binafsi nachukia hayo majina.
Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na
wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu.
Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na
watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye
kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo
alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda
sana Bunzi licha ya hayo.
Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule
alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua
kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe
hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi
hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka
kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa.
Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche
kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu
na kutishwa kauli zake.
Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa
rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake
alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi
usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama
ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa
kushuku tu.
Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa
kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa
bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha
kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi
alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine
*** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na
hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani.
Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya
nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo.
Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la
kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku
akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua
la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha
wakiwa njia panda.
Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame
tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo
hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi
ikasonga.
Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi.
Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri
kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na
alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya
Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani.
Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana.
Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia
usiyemjua.
Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya
kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa
na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na
yeye. Kweli kipendacho roho dawa.
Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana
wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao
wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko
kwetu.
Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za
huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa
watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini.
Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu
si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia
wakisema mimi ni wa kabila hili au lile.
Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita
dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye
kupendeza.
| Barabara zilikuwa na uangalizi upi | {
"text": [
"Zilikuwa na uangalizi wa kamera za siri"
]
} |
4933_swa | SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU.
Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi
yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja.
Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu
walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu
sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa
huku.
Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa
madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara
za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala,
utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo
hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka
siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu
ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu
mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi
akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za
kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama
Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala
mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria
kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari
lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa
tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe
mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki.
Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango
pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie
kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko
Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu
wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale
kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba
chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia
hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini?
Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati.
Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake
nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali
ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi
kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu.
Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje
bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka
watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata
wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari.
Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine
kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika
saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo.
Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja
ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani.
Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu
zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti
wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu.
Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu
jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na
ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu
binafsi nachukia hayo majina.
Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na
wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu.
Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na
watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye
kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo
alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda
sana Bunzi licha ya hayo.
Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule
alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua
kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe
hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi
hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka
kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa.
Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche
kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu
na kutishwa kauli zake.
Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa
rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake
alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi
usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama
ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa
kushuku tu.
Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa
kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa
bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha
kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi
alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine
*** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na
hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani.
Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya
nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo.
Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la
kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku
akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua
la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha
wakiwa njia panda.
Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame
tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo
hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi
ikasonga.
Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi.
Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri
kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na
alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya
Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani.
Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana.
Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia
usiyemjua.
Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya
kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa
na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na
yeye. Kweli kipendacho roho dawa.
Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana
wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao
wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko
kwetu.
Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za
huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa
watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini.
Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu
si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia
wakisema mimi ni wa kabila hili au lile.
Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita
dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye
kupendeza.
| Nini ilitokea wakati dereva mwafika alipopita barabara taa zikionyesha kusimama | {
"text": [
"Chuma refu liligonga gari lake ghafla"
]
} |
4933_swa | SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU.
Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi
yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja.
Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu
walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu
sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa
huku.
Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa
madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara
za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala,
utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo
hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka
siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu
ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu
mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi
akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za
kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama
Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala
mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria
kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari
lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa
tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe
mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki.
Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango
pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie
kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko
Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu
wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale
kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba
chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia
hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini?
Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati.
Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake
nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali
ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi
kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu.
Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje
bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka
watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata
wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari.
Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine
kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika
saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo.
Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja
ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani.
Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu
zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti
wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu.
Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu
jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na
ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu
binafsi nachukia hayo majina.
Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na
wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu.
Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na
watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye
kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo
alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda
sana Bunzi licha ya hayo.
Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule
alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua
kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe
hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi
hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka
kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa.
Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche
kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu
na kutishwa kauli zake.
Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa
rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake
alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi
usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama
ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa
kushuku tu.
Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa
kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa
bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha
kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi
alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine
*** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na
hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani.
Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya
nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo.
Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la
kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku
akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua
la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha
wakiwa njia panda.
Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame
tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo
hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi
ikasonga.
Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi.
Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri
kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na
alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya
Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani.
Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana.
Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia
usiyemjua.
Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya
kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa
na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na
yeye. Kweli kipendacho roho dawa.
Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana
wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao
wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko
kwetu.
Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za
huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa
watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini.
Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu
si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia
wakisema mimi ni wa kabila hili au lile.
Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita
dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye
kupendeza.
| Palikuwa na nini kwenye mlango wa duka la jumla | {
"text": [
"Matunda ya bure"
]
} |
4933_swa | SAFARI YANGU KATIKA NCHI YA AJABU.
Ninapokumbuka nchi hiyo mimi hutamani sana kurudi uko. Ilikuwa ni nchi
yenye yenye amani sana. Watu walipendana na kufanyia kazi kwa pamoja.
Hamna aliyekuwa anaumwa na njaa huku wengine wamemwona. Watu
walisaidiana na kutembelea kwa pamoja. Kule watu walikuwa wastaarabu
sana. Walikuwa wenye upole na hawakuwa na maneno mengi kama hawa wa
huku.
Kwenye barabara, watu walikuwa watulivu. Askari wa huko hawakutoa
madereva hongo. Isitoshe hatukuwa hata na askari wa barabarani. Barabara
za huko zilikuwa chini ya uangalizi wa kamera za siri. Kwenye daladala,
utingo hawakubeba kupita kiasi kama huku. Huko hata maana ya utingo
hamna. Watu wenyewe walijua kile ambacho walistahili kufanya. Nakumbuka
siku mosi nilipokuwa kwenye hamsini zangu. Nilikuwa kwenye barabara kuu
ielekeayo Mayami. Barabara hizi kwa kawaida zilikuwa chini ya uangalifu
mkubwa. Basi dereva mmoja ambaye alikuwa mwafrika kutoka Uhapeshi
akapita kwenye gari. Mbele yake palikuwepo na kivuko cha watoto. Taa za
kuashiria kusimama ziliangaza. Kwa kuwa alidhani ni kawaida kama
Uhapeshi alitaka kupita. Kwani hakuwa anaona gari lolote mbele wala
mtoto yeyote barabarani. Mara akaanza kupita wakati taa zimeashiria
kusimama. Mara moja akasikia twaa! Chuma mrefu ilitokea na kugonga gari
lake ghafla. Liliweza kugongwa na kutolewa kwenye barabara. Lilisukumwa
tu na lile chuma. Mimi nilistaajabu. Niliambiwa huku yafaa uwe
mwangalifu kwani hamna polisi wa trafiki.
Nilipoingia kwenye duka la jumla nilijionea maajabu. Kwenye mlango
pamewekwa matunda ya bure tu. Wewe ukifika pale ni kula kabla uingie
kwenye duka la jumla. Yalikuwa maajabu sana. Nikafikiria kwetu huko
Mwala. Nikajiuliza, kwa kweli mambo kama haya yakiwa huko kwetu watu
wanaweza enda shamba kweli? Kila siku watu watakuwa wakiraukia pale
kupata chakula. Niliuliza mbona huku wanafanya hivo? Nilielezwa kwamba
chakula hicho ni cha wale wakata. Yaani watu ambao umaskini umewavamia
hadi wanadaiwa hewa si yao. Nilishangaa nchi kama hii kunao maskini?
Maskini wa huko kwetu ni tajiri wa katikati.
Ndani mwa duka kuu palikuwepo na vyakula vya aina mbalimbali. Bei yake
nafuu sana. Huko ukiwa na shilingi mia unaweza kufanya ununuzi wa hali
ya juu. Niliingia mle na angalau kutwaa maziwa. Nililifululiza hadi
kwenye sehemu ya malipo. Lo! Kumbe mle ndani pesa hazitumiki ni kadi tu.
Kwa kuwa bidhaa yangu ilikuwa ya bei ya chini na nikaruhusiwa kutoka nje
bila kulipa. Nilijiuliza tena. Je, huku kungekuwa huko kwetu nilikotoka
watu si wangekuwa wanafanya tu hivo ndiposa wapate chakula. Wengine hata
wangewatumia watoto wao. Mmoja anaendea unga. Mwingine akaendea sukari.
Naye mwingine maziwa. Baba na mama mmoja akaleta majani na mwengine
kuleta mkate. Mwisho wa siku watakuwa wamepata kiasha kinywa. Ikifika
saa ya chamcha, wanafanya hivyo hivyo.
Nilijiona kama niko mbinguni. Kila kitu kilikuwa shwari tu. Hamna haja
ya kusumbukana wakati wa mlo. Kule walikuwa wakiimba nyimbo za amani.
Kwa wale wapenzi wa nyimbo taratibu kule pia zilikuwa. Nyimbo tamu tamu
zenye mahaba zilishamiri huko. Wachumba huko waliaminiana. Mabinti
wadogo vilevile waliaminiana. Huko hapakuwa na "mubaba" kama huko kwetu.
Hapakuwa na "mumama" kama huko kwetu. Nikakumbuka mabinti wa huko kwetu
jinsi wanavyopenda mipango ya kando. Wao wenyewe huwaita ( wababa). Na
ikiwa ni wavulana wanawaita mipango yao ya kando (wamama). Kwangu
binafsi nachukia hayo majina.
Kisa hiki kimefanya kukumbuka hadithi moja huko kwetu. Hii ilitokana na
wachumba kutoaminiana. Ninakumbuka Kicheche aliyekuwa mwandani wangu.
Alipata jiko kwa banati aliyekuwa mrembo sana. Ndoa yao ilipingwa na
watu kadhaa. Alioa msichana aliyeitwa Bunzi. Bunzi kweli alikuwa mwenye
kumezewa na mate. Kwa kuwa Bunzi alikuwa na kisomo cha juu kidogo
alimdharau Kicheche. Kicheche alitoka kwenye familia ya chini. Alimpenda
sana Bunzi licha ya hayo.
Kicheche kila alipokuwa akiondoka naye mkewe pia anaondoka. Hatujui kule
alikokuwa anaenda na alikuwa anaenda kufanya nini. Kicheche alijikakamua
kuhakikisha kuwa mkewe anang'ara. Sisemi kama mbalamwezi. Lakini mkewe
hakuwa anaona kile. Alikuwa amempa masharti. Anapokuja na kumpata Bunzi
hajarudi asiulize nini. Yeye afanye kazi na hata wakati mwingine akitoka
kazini ilimlazimu yeye kupika. Kwani mwenye shibe hamjali mwenye njaa.
Tabia hiyo iliendelea kwa muda. Ilifika wakati wazee wakamuita Kicheche
kumweleza tabia za mkewe. Lakini pale Kicheche alipouliza, alikujiwa juu
na kutishwa kauli zake.
Mtindo huo uliendelea kwani samaki alikuwa ameshakauka. Haingekuwa
rahisi kumkunja tena. Bunzi alifika mahali na kuanza kulewa. Bwanake
alipomwuliza kitu yeye alikataa katakata. Alimweleza kwamba yeye hafanyi
usharati na kama yuko tayari kusikiliza mambo ya watu, ni sawa kama
ameenda. Kwa kweli Kicheche hakuwa amemshika mkewe. Basi aliishi kwa
kushuku tu.
Kwa kweli mazoeo ni kitu kibaya. Siku moja wakati Kicheche alipokuwa
kazini, mkewe aliamua kuleta bwana mwingine kwa nyumba yake. Alikuwa
bwana mwenye rasta. Misuli tinginya kwa kweli bwana huyo alikuwa mkesha
kwenye vyumba za mazoezi. Bwana huyo walipofika waliweza kukutana. Bunzi
alimwingiza kwenye nyumba yake. Wapenzi hao wakaenda kwa chumba kingine
*** kwa masaa takribani tatu hivi. Kule kazini Kicheche alisumbuliwa na
hofu. Alitaka angalau kurudi nyumbani. Muda mchache alirejea nyumbani.
Alienda moja kwa moja hadi kwenye nyuma ya pazia. Kwa kweli siku ya
nyani kufa miti yote huteleza. Wachumba hao walipatwa wakiwa hivo hivo.
Kumbe walisahau kufunga mlango. Aibu iliweza kuwavamia wasijue la
kufanya. Kicheche aliwatazama tu na kisha kuondoka. Alirudi kazini huku
akiwa mwingi wa hasira. Mbona Bunzi amfanye hivo? Wapenzi hao hawakujua
la kufanya. Ni heri hata kama angeongea lakini kunyamaza tu kuliwaacha
wakiwa njia panda.
Jioni ilipofika, Kicheche alirejea nyumbani kupata nyumba yake ni mahame
tu. Hapakuwa na mtu yeyote. Alianza kulia kwi kwi kwi! Alilaani kitendo
hicho. Ama kweli machozi ya mwanaume hayaendi joshi. Muda ulipita miezi
ikasonga.
Kicheche siku moja alipokuwa kwenye pitapita zake, alikutana na Bunzi.
Alikuwa mjamzito. Maisha yalikuwa yamemleta na sasa aliona heri
kujiondoa kwenye hii dunia. Alikuwa amepanda kwenye mlima mrefu na
alikuwa tayari kujiangusha. Ndipo ghafla akashtushwa na sauti ya
Kicheche. Alilia sana. Kicheche alimsihi na kumwambia arudi nyumbani.
Bunzi aliomba msamaha na kuweza kusamehe. Alikuwa amejidharau sana.
Alifunzwa funzo la mwaka. Ni heri shetani unayemjua kuliko malkia
usiyemjua.
Bunzi alimweleza yote yaliyomkuta. Kwa kweli ilikuwa ni hadithi ya
kuhuzunishwa tena sana. Kwanza pale alipotaja kwamba alikuwa ameadhiriwa
na gonjwa mbaya la Ukimwi. Licha ya hayo yote Kicheche aliamua kukaa na
yeye. Kweli kipendacho roho dawa.
Mapenzi ya hiyo nchi nyingine yalikuwa kama hayo. Watu kusemeheana
wanapokosana. Kwetu nchini banati akimkosea mvulana yeye anaendelea. Wao
wenyewe huita ( hit and run). Mimi sijawahi jua maana ya msemo huo uko
kwetu.
Nchi hiyo ya ajabu kulikuwa na barabara safi. Zilikuwa pana kuliko za
huko kwetu. Kule watu hawakutematema mate ovyoovyo kama kwetu. Walikuwa
watu wa heshima. Walishirikiana kwa pamoja na kuwasaidia maskini.
Hapakuwa na ukabila. Kwamba huyu ni wetu lazima apate sehemu kubwa. Huyu
si wetu hatumjui. La hasha. Walikuwa kwa pamoja na sikuwahi sikia
wakisema mimi ni wa kabila hili au lile.
Hata hivyo tunaweza kufanya nchi yetu iwe hivo. Tushifikiane tupige vita
dhidi ya ufisafi na ukabila. Hivo hivo nchi yetu itakuwa yenye
kupendeza.
| Watu walitumia nini kilipia bidhaa walizonunuaa | {
"text": [
"kadi"
]
} |
4934_swa | SAFARI YANGU
Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha
katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini
hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na
matumaini makubwa.
Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na
abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke
katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia
madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga
baharini.
Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika
ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari.
Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi.
Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama
maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa
waoga na wadanganyifu.
Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo
ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye
angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi
makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma.
Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya
hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la
Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia
vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde
tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa
vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele
kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza
walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani.
Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa
nilikuwa mwenyewe.
Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki
ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka
mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa
vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao
wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za
utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na
kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji.
Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi
mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla
ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya
shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa
bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala
kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe
siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo
nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
| Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu nini | {
"text": [
"Utajiri"
]
} |
4934_swa | SAFARI YANGU
Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha
katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini
hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na
matumaini makubwa.
Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na
abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke
katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia
madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga
baharini.
Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika
ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari.
Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi.
Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama
maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa
waoga na wadanganyifu.
Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo
ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye
angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi
makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma.
Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya
hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la
Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia
vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde
tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa
vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele
kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza
walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani.
Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa
nilikuwa mwenyewe.
Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki
ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka
mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa
vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao
wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za
utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na
kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji.
Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi
mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla
ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya
shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa
bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala
kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe
siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo
nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
| Safari ilipowadia alitumia nini | {
"text": [
"Motabota"
]
} |
4934_swa | SAFARI YANGU
Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha
katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini
hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na
matumaini makubwa.
Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na
abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke
katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia
madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga
baharini.
Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika
ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari.
Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi.
Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama
maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa
waoga na wadanganyifu.
Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo
ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye
angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi
makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma.
Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya
hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la
Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia
vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde
tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa
vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele
kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza
walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani.
Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa
nilikuwa mwenyewe.
Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki
ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka
mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa
vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao
wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za
utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na
kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji.
Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi
mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla
ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya
shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa
bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala
kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe
siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo
nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
| Ni nini ilijaa usoni mwake | {
"text": [
"Tabasamu"
]
} |
4934_swa | SAFARI YANGU
Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha
katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini
hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na
matumaini makubwa.
Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na
abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke
katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia
madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga
baharini.
Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika
ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari.
Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi.
Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama
maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa
waoga na wadanganyifu.
Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo
ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye
angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi
makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma.
Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya
hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la
Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia
vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde
tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa
vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele
kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza
walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani.
Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa
nilikuwa mwenyewe.
Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki
ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka
mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa
vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao
wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za
utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na
kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji.
Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi
mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla
ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya
shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa
bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala
kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe
siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo
nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
| Nilichukuliwa hobelahobela na kupelekwa wapi | {
"text": [
"Pangoni"
]
} |
4934_swa | SAFARI YANGU
Hadithi nyingi zilikuwa zimesimuliwa kuhusu utajiri na uzuri wa maisha
katika nchi ya tajirika. Haya yalinitia hamu ya kuitaka kuitalii nchini
hii. Nilitaka kujaribu bahati yangu. Ilibidi nijiandae nikiwa na
matumaini makubwa.
Safari ilipowadia nilitumia motaboti. Mimi ndiye nilikuwa nahodha na
abiria wa pekee. Sikutaka kuandamana na yeyote. Nilitaka kuwa mpweke
katika safari yangu. Azma yangu ilikuwa kufika kule na kujilimbikizia
madini ya thamani. Nilisikia madini hayo yalisheheni kama mchanga
baharini.
Motaboti ilingoa nanga. Ilielekea kusini ambako nchi ya tajirika
ilipatikana. Nilisafiri Kwa muda wa siku nzima. Safari ilikuwa shwari.
Ushwaru huu ulifanya niwasute waliosema kuwa bahari ilijaa adha nyingi.
Mbona waharibie bahari hii jina?. Bahari yenyewe ilikuwa imetulia kama
maji kwenye mtungi.sikuhisi hofu yoyote. Niliwaona waliosema hivyo kuwa
waoga na wadanganyifu.
Nilitafakari jinsi ningejilimbikizia Mali. Tabasamu isiyo na kikomo
ilijaa usoni mwangu. Nilijiona nikiwa tajiri kupindukia. Hakuna ambaye
angekuwa kama Mimi Kwa utajiri. Nikiwa katika tafakuri hizi,mawimbi
makali yalitokea na kuinua motaboti yangu juu. Moyo wangu uliyoyoma.
Uliporudi chini,ilitua kwenye mwamba ulioivunja vipandevipande. Zaidi ya
hapo. Sikumbuki kilichofuata. Ila tu nilijipata ndani ya chumba kubwa la
Shani. Kitanda nilichokilalia kikikuwa kikubwa mno. Meza na viti pia
vilikuwa vikubwa. Kila kitu hapo kilikuwa na ukubwa ajabu. Punde
tu,halaiki ya viumbe vilijijia. Vilikuwa na mikono minne. Sikuelewa
vilikotokea. Kila kimoja kilibeba silaha zake. Nilianza kupiga kelele
kwa sauti. Ziliponifikia,zilinitishia kwa silaha hizo. Ziliniuliza
walikokuwa wenzangu. Niliduwaa. Sikuelewa wenzangu ni akina nani.
Nilichokumbuka ni kuwa safari ilikuwa ni yangu pekee. Nilijibu kuwa
nilikuwa mwenyewe.
Vijitu watu hivi havikuamini. Vilinichukulia kuwa ni mmoja wa mamluki
ambao walikuwa wameelezwa kwamba walipanga kuvamia nchi yao na kumteka
mfalme na jamii yake. Viliponiokota pale ufukweni. Vilifurahi kuwa
vimepata mmoja wa washumbilizi hao. Nilishikilia kuwa sikuwajua hao
wengine waliorejelewa. Niliwaambia kuwa nilikuwa kwa safari zangu za
utalii. Kumbe nilitoa jibu mbaya. Nilichukuliwa hobelahobela na
kupelekwa kwenye pango. Pango hilo lilikuwa na kila kitu nilichohitaji.
Dhahabu. Almasi. Na Lulu zilijaa mle. Mara nilijitaanzua kutoka mikononi
mwa vijitu watu vile. Nilikimbia kadiri ya mguu yangu ilivyoweza. Kabla
ya kufikia dhahabu. Vile vijitu watu vilinibana . Vilinitupa ndani ya
shimo lililojaa siafu. Siafu walinigeuza kitoweo. Walininyafuanyafua kwa
bidii. Nilipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu. Kakangu aliyelala
kando yangu aligutushwa na miguno yangu. Yeye ndiye aliyeniamsha. Kumbe
siafu walikuwa wametuvamia. Kitanda yangu ilijaa siafu. Hapo ndipo
nilipojua kuwa yote hayo yalikuwa ruya tu.
| Kwa nini alipiga mayowe na kugunaguna kwa maumivu | {
"text": [
"Kwa vile siafu walimgeuza kitoweo"
]
} |
4935_swa | SHEREHE YA KRISIMASI
Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe
ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu
Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana
kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa
mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya
krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani
mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na
kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada
mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu
wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali.
Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea
siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo
fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa
wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana
kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu.
Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea
marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile
wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha.
Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi
na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi.
Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika
kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia
kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao
bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na
kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo
hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya
kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu.
Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia
za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu.
Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika
mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile
siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na
watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini
mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi
zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo
mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa
kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule.
Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali.
Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na
furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na
basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za
krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu
watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza
bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi
huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya
kuzaliwa kwa Yesu Kristu
Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna
Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu
kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi
ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi
wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na
pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
| Ni sherehe gani husherehekewa kote duniani | {
"text": [
"Krisimasi"
]
} |
4935_swa | SHEREHE YA KRISIMASI
Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe
ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu
Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana
kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa
mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya
krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani
mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na
kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada
mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu
wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali.
Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea
siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo
fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa
wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana
kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu.
Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea
marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile
wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha.
Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi
na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi.
Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika
kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia
kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao
bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na
kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo
hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya
kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu.
Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia
za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu.
Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika
mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile
siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na
watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini
mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi
zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo
mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa
kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule.
Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali.
Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na
furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na
basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za
krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu
watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza
bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi
huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya
kuzaliwa kwa Yesu Kristu
Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna
Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu
kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi
ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi
wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na
pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
| Walio kazini hupewa nini fupi | {
"text": [
"Likizo"
]
} |
4935_swa | SHEREHE YA KRISIMASI
Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe
ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu
Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana
kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa
mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya
krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani
mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na
kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada
mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu
wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali.
Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea
siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo
fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa
wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana
kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu.
Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea
marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile
wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha.
Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi
na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi.
Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika
kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia
kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao
bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na
kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo
hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya
kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu.
Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia
za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu.
Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika
mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile
siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na
watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini
mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi
zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo
mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa
kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule.
Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali.
Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na
furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na
basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za
krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu
watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza
bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi
huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya
kuzaliwa kwa Yesu Kristu
Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna
Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu
kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi
ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi
wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na
pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
| Mafunzo hutolewa kuhusu nani | {
"text": [
"Yesu Kristo"
]
} |
4935_swa | SHEREHE YA KRISIMASI
Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe
ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu
Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana
kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa
mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya
krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani
mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na
kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada
mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu
wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali.
Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea
siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo
fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa
wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana
kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu.
Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea
marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile
wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha.
Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi
na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi.
Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika
kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia
kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao
bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na
kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo
hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya
kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu.
Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia
za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu.
Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika
mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile
siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na
watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini
mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi
zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo
mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa
kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule.
Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali.
Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na
furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na
basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za
krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu
watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza
bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi
huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya
kuzaliwa kwa Yesu Kristu
Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna
Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu
kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi
ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi
wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na
pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
| Wakati wa Krisimasi nini hutokea kwa wingi | {
"text": [
"Ajali"
]
} |
4935_swa | SHEREHE YA KRISIMASI
Krisimasi ni shrehe inayosherekewa kote duniani na wakristu tarehe
ishirini na tano Disemba kila mwaka kama ukumbuko wa siku ambayo Yesu
Kristu Mwokozi wa wakiristu alipozaliwa. Siku hii wakristu wote huu gana
kusheherekea na kumshukuru mola kuhusiana na upendo wake moaka akamtoa
mwanaye wa kipekee ili kutusaidia na kutusamehea dhambi.Siku ya
krisimasi wakristu huenda kanisani ili angalau kuomba na kutoa shukrani
mbalimbali kote ulimwenguni. Siku ya krisimasi pia wakristu hujiinga na
kitembelea wale wasiojiweza na kiungana nao kwa kuwapa misaada
mbalimbali na kusheherekea nao . Ni siku ya kueneza upendo kati ya watu
wote na kutoa misaada mbali mbali kwa watu mbali mbali.
Familia mbalimbali ulimwenguni huu gana na kuja pamoja ili kusheherekea
siku hii kubwa baina yao . Wale ambao huwa kazini basi wao hupewa likizo
fupi ili angalau wakaweze kusheherekea siku hii kubwa na tajika kwa
wakristu. Siku hii upendo huenezwa baina ya watu na hivyo inasemekana
kwa lugha ya kikiristu kuwa Yesu huzaliwa katika roho za wakristu.
Watoto nao hufurahia kwa kununuliwa mavazi mapya na kuenda kitembelea
marafiki zao siku hiyo ya krisimasi basi bila mipaka yeyote. Vile vile
wengine huenda kucheza michezo mbalimbali uwanjani na wenzao kwa furaha.
Siku ya krisimasi watu huelekea kanisani na kawaida wengi hupiga densi
na hata kuandaa aina ya mapochopocho mbali kwa pamoja bila ubaguzi.
Vyakula hivi vile vile hugawanywa baina ya watu mbali mbali katika
kijiji kinachozunguka kanisa Hilo. Huwa ni wajibu wa kanisa pia
kihakikisha kuwa wale wasiojiweza vile vile wanasherehekea pamoja nao
bila ubaguzi . Usiku u apoingia basi watoto na watu wazima hujiinga na
kuketi kutazama filamu za kuzaliwa kwa Yesu Kristu. Vile vile mafunzo
hutolewa kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristu na kile tunahitajika kufanya
kama wakristu ili kuonyesha kuwa ni vyema Yesu Kristu alizaliwa kwetu.
Baada ya filamu basi kila mtu hulala na basi kushauriwa kuishi kwa njia
za kikiristu ili kuonyesha kuridhishwa kwa kuzaliwa kwa bwana Yesu.
Siku hii pia kwenye familia na wale pia hawaendi kanisani basi hupika
mapochopocho mbalimbali angalau kusheherekea nyumbani kwao. Vile vile
siku hii watu wote hawaendi kazini ili kusheherekea kwa furaha pamoja na
watu wao. Walio na kipato huenda kwenye mbuga za wanyama ama hata mini
mikubwa mikubwa kusheherekea na kujifurahisha. Wengine huenda hata nchi
zingine ili kuona jinsi watu wanavyoishi huko na kuzidi kujifunza mambo
mengi zaidi. Sherehe ya krisimasi hairuhusu darktari kuondoka kazini kwa
kuwa magonjwa hayatambui sherehe na huweza kubisha wakati wowote ule.
Walevi vile vile pia husherehekea kwa kunywa vileo mbali mbali.
Isitoshe huu ndio wakati ajali hutokea kwa wingi kwa kuwa watu huwa na
furaha na mbio za kutaka kifika wanakokukusudia bila kuwa na upole na
basi mara nyingi kumalizia kufanya makosa hasa barabarani. Sherehe za
krisimasi pia husababisha bei ya vitu sokoni kuoanda kwa kuwa watu
watakuwa wanasheherekea basi lazima watanunua na basi wachuuzi huongeza
bei ili kuoata kipato kikubwa zaidi ya kawaida. Sherehe ya krisimasi
huwa na shughuli nyingi mno lakini hizi zote ni za kufanikisha siku ya
kuzaliwa kwa Yesu Kristu
Ingawa watu husherehekea siku hii vyema wengine husahau kuwa kuna
Januari inayofuata na inahitaji Hela na hivyo basi hupelekea watu
kutumia pesa vibaya na kusababisha watu kulia siku za Januari. Krisimasi
ni Sherehe muhimu sana ila inafaa watu wawe makini na jinsi
wanavyosherehekea ili kuzuia masaibi yanayoandamana na sherehe hizi. Na
pia watu wawe na mipaka wanapojifurahisha.
| Kwa nini watu hulia Januari | {
"text": [
"Kwa sababu ya matumizi mabaya ya pesa wakati wa Krisimasi"
]
} |
4937_swa | SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA
Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake.
Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake.
Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi
jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na
kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na
wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama
wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata
mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya
nidhamu yake.
Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili
alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake.
Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa
kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba.
Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa
kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua
kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu
wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji.
Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili
kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa
halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini.
Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba
alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama
mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako
hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu".
Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea
huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu
waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia
maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki
zangu.
Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la
vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo.
Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia
wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka
wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu
vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za
kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji
mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia
waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha
wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi
wa Hassan.
Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia.
Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki
bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa
kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi
waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina
Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja
mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote
walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi..
Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi.
Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan
alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha
mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa
wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa
mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho.
Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale
vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha
mabaya. Hassan aliponea chupuchupu.
Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu
huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi
iliyouvunja mguu wake.
| Nani alilelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake? | {
"text": [
"Hassan"
]
} |
4937_swa | SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA
Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake.
Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake.
Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi
jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na
kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na
wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama
wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata
mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya
nidhamu yake.
Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili
alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake.
Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa
kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba.
Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa
kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua
kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu
wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji.
Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili
kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa
halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini.
Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba
alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama
mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako
hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu".
Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea
huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu
waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia
maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki
zangu.
Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la
vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo.
Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia
wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka
wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu
vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za
kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji
mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia
waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha
wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi
wa Hassan.
Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia.
Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki
bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa
kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi
waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina
Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja
mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote
walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi..
Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi.
Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan
alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha
mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa
wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa
mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho.
Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale
vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha
mabaya. Hassan aliponea chupuchupu.
Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu
huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi
iliyouvunja mguu wake.
| Mbona Hassan alipendwa na wanajamii? | {
"text": [
"Alikuwa na nidhamu"
]
} |
4937_swa | SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA
Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake.
Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake.
Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi
jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na
kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na
wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama
wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata
mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya
nidhamu yake.
Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili
alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake.
Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa
kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba.
Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa
kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua
kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu
wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji.
Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili
kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa
halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini.
Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba
alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama
mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako
hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu".
Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea
huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu
waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia
maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki
zangu.
Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la
vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo.
Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia
wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka
wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu
vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za
kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji
mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia
waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha
wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi
wa Hassan.
Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia.
Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki
bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa
kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi
waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina
Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja
mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote
walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi..
Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi.
Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan
alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha
mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa
wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa
mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho.
Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale
vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha
mabaya. Hassan aliponea chupuchupu.
Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu
huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi
iliyouvunja mguu wake.
| Hakuna kizuri kisichokuwa na nini? | {
"text": [
"Dosari"
]
} |
4937_swa | SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA
Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake.
Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake.
Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi
jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na
kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na
wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama
wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata
mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya
nidhamu yake.
Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili
alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake.
Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa
kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba.
Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa
kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua
kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu
wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji.
Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili
kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa
halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini.
Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba
alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama
mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako
hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu".
Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea
huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu
waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia
maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki
zangu.
Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la
vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo.
Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia
wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka
wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu
vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za
kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji
mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia
waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha
wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi
wa Hassan.
Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia.
Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki
bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa
kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi
waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina
Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja
mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote
walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi..
Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi.
Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan
alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha
mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa
wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa
mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho.
Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale
vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha
mabaya. Hassan aliponea chupuchupu.
Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu
huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi
iliyouvunja mguu wake.
| Nani walimfunza Hassan tabia mbaya? | {
"text": [
"Vijana aliosema ni marafiki wake"
]
} |
4937_swa | SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA
Hassan alikuwa kijana aliyelelewa kwa mapenzi makubwa na wazazi wake.
Ingawa walikuwa mafukara wazazi wake walijitolea kukidhi mahitaji yake.
Walifanya hivi ili siku za usoni awe mtu wa kutajika. Pia kuifaidi
jamii. Hassan alikuwa kijana mmoja tu. Hawakukosa kumrudi na
kumtahadharisha dhidi ya hulka yoyote mbaya. Wazazi wake walikuwa na
wema . Walisifiwa Kwa uzuri wao na walitaka mwana wao wawe kama
wao.walitaka Hassan aiga tabia zao njema. Hassan vilevile alifuata
mwongozo wa wazazi wake. Hii ilimfanya kupendwa na wengi Kwa sababu ya
nidhamu yake.
Hata hivyo hakuna kizuri kisicho dosari. Alipofika shule ya upili
alibadilika. Alijiunga na kikundi cha vijana aliosema ni marafiki wake.
Vijana hao walikuwa na Nia mbaya. Tabia zao hazikueleweka. Walikosa
kufika shuleni mara nyingi bila idhini. Aidha waliadhibiwa mara si haba.
Vijana hao walimfunza Hassan mienendo mbaya. Wengine wakawa wezi wa
kuwaibia walimu fedha na vitu vingine vya maana. Mwalimu mkuu aliamua
kujipagaza mzigo wa kuwa mshauri na mwelekezi wao. Alisaidiwa na mwalimu
wao wa darasa. Wote waliamini kuwa udongo uwahi ungali maji.
Ilipozidi,waliwaita wazazi. Wazazi waliambiwa washikane bega ili
kuwakanya watoto wao. Lakini wahenga nao walisema,sikio la kufa
halisikii dawa. Hawakusikia la mwadhini Wala mteka maji msikitini.
Wazazi wake Hassan walizidi kumpa ushauri. Nasaha na tahadhari. Baba
alimshika sikio. "Hassan mwanangu,sikiliza wasia wa babako. Mimi kama
mzazi wako nakupenda Sana. Nimeona na kushuhudia mengi. Tabia zako
hazifai kabisa. Zibadilishe. Kumbuka. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu".
Hassan hakungoja babake akamilishe kauli. Alimrushia mkono. Alijiondokea
huku akiwa amekasirika. Akajisemea kimoyomoyo." Kwani ni wazazi wangu
waniingilie hivyo?. Hawajui Mimi Sasa ni mtu mzima. Ninapaswa kujiamulia
maisha yangu. Naweza hata kuwashtaki mahakamani Kwa kuingilia haki
zangu.
Baada ya muda mfupi Hassan aliacha shule. Alijiunga na kundi hatari la
vijana. Vijana hao walikuwa wakiwapora watu mitaani. Si pesa ,si nguo.
Walipora watu hata rununu na vitu vingine vya thamani. Walikuwa pia
wakitumia madawa za kulevya. Walipokuwa wameolewa wao waliwabaka
wasichana na hata akina mama wazee. Baada ya kuwaibia watu
vitu,waliviuza mjini na kutumia pesa hizo kugharamia uraibu wa dawa za
kulevya. Kweli,mchovya asali hachovyi mara Moja. Walihitimu uporaji
mitaani na kuwa majizi ya kuteka nyara magari na kupora abiria. Pia
waliteka nyara watoto na kudai pesa cha kiwango cha juu. Walihangaisha
wanajamii waliokuwa masikini hohehahe. Swala hili liligadhabisha wazazi
wa Hassan.
Za mwizi ni arubaini. Za akina Hassan na genge lake liliwadia.
Walipokuwa wanajaribu kuteka nyara gari la watalii Kwa kutumia bunduki
bandia,walikiona cha mtema Kuni. Kweli jambo usilolijua ni usiku wa
kiza. Hawakujua miongoni mwa watalii hao. Walikuwemo maafisa wa polisi
waliolinda usalama. Gari likasimama. Polisi wakaondoka. Waliwanasa akina
Hassan na bunduki zao za ukweli. Kuona hivyo, walitawanyika. Kila moja
mguu niponye. Uzuri Askari nao walikuwa shupavu kuwaliko. Wote
walibwagwa chini Kwa majeraha ya risasi..
Hassan aliokotwa chini mguu ukiwa umevunja muundi Kwa mpigo w risasi.
Alipelekwa hospitalini Kwa matibabu. Mguu wake ilibidi ikatwe. Hassan
alikuwa amepoteza damu nyingi. Alipopata fahamu,alijikuta na kigutu cha
mguu kilichobebwa kwenye bendeji kubwa. Askari wawili walikuwa
wakimlinda. Alikuwa amefungwa pingu kitandani. Mashtaka ya wizi wa
mabavu yalimsubiri. Hassan aligundua kuwa maisha yake yamefika mwisho.
Alianza kulia Kwa uchungu zaidi. Alipotazama pande zote. Hakuwaona wale
vijana waliokuwa nao. Wengi wao walifariki na wengine kupata majeraha
mabaya. Hassan aliponea chupuchupu.
Hapo ndipo alipokumbuka maneno ya babake mzazi. Kweli asiyesikia la mkuu
huvunjika guu. Ukweli wa maneno hayo ulimchoma zaidi ya risasi
iliyouvunja mguu wake.
| Nani alimshika Hassan sikio ili kumpa mawaidha? | {
"text": [
"Babake"
]
} |
4938_swa | SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA
Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga
la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule
ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi
angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu
alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya
kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo
tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi.
Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na
kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja
wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini
tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa
anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda
wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya
kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka.
Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika
lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa
tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia
tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya
kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha
wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange
hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza
mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni
kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono.
Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama
kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya
sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani.
Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi
ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama
kwenye mbuga Hilo.
Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya.
Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na
magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia
kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa
mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa
kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu
ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa
jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu
kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa
mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni
mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili
ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo
sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa
mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote
Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba.
Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa
amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali
sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala
kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja
asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho
kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga.
Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa
chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi
kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa
masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu.
Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea
masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku.
Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku
akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana
uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja
la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na
mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule
mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa
Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa
Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya
kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza
mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama
asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe.
Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale
wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna
matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda
kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na
kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu
minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza
akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia
kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana
maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara
nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia
yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha
rusha mtu mpaka akafa.
Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa
mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia
sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu.
Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia
kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua
picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila
mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake
shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya
kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
| Watu walikuwa wanazuru mbuga ipi? | {
"text": [
"Tsavo"
]
} |
4938_swa | SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA
Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga
la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule
ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi
angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu
alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya
kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo
tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi.
Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na
kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja
wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini
tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa
anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda
wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya
kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka.
Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika
lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa
tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia
tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya
kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha
wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange
hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza
mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni
kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono.
Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama
kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya
sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani.
Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi
ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama
kwenye mbuga Hilo.
Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya.
Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na
magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia
kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa
mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa
kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu
ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa
jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu
kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa
mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni
mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili
ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo
sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa
mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote
Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba.
Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa
amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali
sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala
kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja
asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho
kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga.
Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa
chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi
kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa
masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu.
Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea
masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku.
Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku
akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana
uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja
la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na
mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule
mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa
Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa
Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya
kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza
mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama
asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe.
Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale
wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna
matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda
kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na
kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu
minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza
akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia
kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana
maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara
nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia
yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha
rusha mtu mpaka akafa.
Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa
mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia
sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu.
Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia
kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua
picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila
mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake
shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya
kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
| Wanafunzi wangapi waliahidiwa kwenda kuzuru mbuga la wanyama? | {
"text": [
"Kumi"
]
} |
4938_swa | SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA
Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga
la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule
ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi
angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu
alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya
kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo
tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi.
Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na
kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja
wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini
tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa
anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda
wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya
kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka.
Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika
lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa
tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia
tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya
kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha
wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange
hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza
mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni
kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono.
Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama
kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya
sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani.
Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi
ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama
kwenye mbuga Hilo.
Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya.
Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na
magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia
kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa
mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa
kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu
ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa
jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu
kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa
mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni
mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili
ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo
sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa
mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote
Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba.
Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa
amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali
sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala
kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja
asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho
kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga.
Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa
chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi
kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa
masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu.
Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea
masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku.
Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku
akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana
uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja
la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na
mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule
mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa
Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa
Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya
kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza
mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama
asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe.
Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale
wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna
matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda
kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na
kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu
minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza
akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia
kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana
maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara
nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia
yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha
rusha mtu mpaka akafa.
Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa
mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia
sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu.
Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia
kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua
picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila
mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake
shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya
kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
| Wanafunzi walistahili kufanya nini kwenye basi kabla ya safari kuanza? | {
"text": [
"Kufunga mikanda"
]
} |
4938_swa | SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA
Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga
la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule
ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi
angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu
alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya
kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo
tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi.
Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na
kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja
wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini
tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa
anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda
wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya
kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka.
Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika
lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa
tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia
tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya
kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha
wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange
hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza
mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni
kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono.
Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama
kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya
sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani.
Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi
ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama
kwenye mbuga Hilo.
Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya.
Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na
magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia
kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa
mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa
kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu
ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa
jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu
kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa
mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni
mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili
ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo
sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa
mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote
Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba.
Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa
amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali
sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala
kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja
asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho
kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga.
Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa
chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi
kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa
masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu.
Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea
masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku.
Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku
akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana
uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja
la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na
mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule
mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa
Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa
Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya
kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza
mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama
asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe.
Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale
wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna
matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda
kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na
kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu
minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza
akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia
kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana
maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara
nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia
yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha
rusha mtu mpaka akafa.
Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa
mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia
sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu.
Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia
kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua
picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila
mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake
shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya
kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
| Shule ilifika kwenye mbuga la wanyama saa ngapi | {
"text": [
"Saa saba mchana"
]
} |
4938_swa | SIKU YA KUZURU MBUGA LA WANYAMA
Kila mtu alikuwa amejawa na furaha ajabu. Tulikuwa tuende kuzuru mbuga
la wanyama la Tsavo. Tulikuwa tumeahidiwa na mwalimu mkuu kuwa yule
ambaye angeweza kuja nambari ya kwanza mpaka kumi kila darasa basi
angeweza kuenda kuzuru mbuga la wanyama. Siku hiyo kila mtu
alijinyunyuzia maradhi na kuvaa sawasawa . Kweli ilikuwa siku ya
kipekee. Tulibena mabegi yetu pamoja na madaftari yetu ambayo
tungeandika mambo machache kuhusu wanyama na tukaelekea kwenye basi.
Tulihesabiwa na mwalimu wetu akatuoa kila mmoja chupa la maji na
kituagiza tufunge mkanda kabla ya kuanza safari. Alihakikisha kila mmoja
wetu alikuwa ameketi kabla ya kutuombea na kuanza safari. Garini
tulikuwa tunalonga sisi kwa sisi kila mmoja akikiri kile ambacho alikuwa
anafahamu kuhusu mbuga la wanyama. Wengine waliowahi bahatika na kuenda
wakiwa na familia zao walituhadithia machache na hata kutupa hamu ya
kutaka kuona mengi zaidi na kutamaninkufika kwa haraka.
Tulifika kwenye mbuga la wanyama saa Saba mchana. Tulikuwa tumechika
lakini hatutaka kuonyesha kwa kuwa kile kilichotuleta pale hatukuwa
tumelufanikisha. Tulipewa Chamcha na walimu waliandamana nasi na pia
tukaongezwa chupa la maji. Tulipomaliza Chamcha tulipewa maagizo ya
kufuata tunapokuwa kwenye mbuga la wanyama. Hatukukubaliwa kuwalisha
wanyama chochote na yeyote ambaye angempa mnyama chochote basi ange
hukuliwa hatua Kali na hata akafungwa. Vile vile hatukuruhusiwa kuingiza
mikono kuenda ndani ya mabawaba ambayo yaliwazuia wanyama ndani hii ni
kwa sababu wanyama wangetujeruhi endapo tungejaribu kuingiza mikono.
Vile vile hatukuruhusiwa kuachana Bali tuliambiwa tutembee pamoja kama
kundi moja bila kugawanika. Mlinzi wa mbuga alituongoza ndani baada ya
sisi kukiri kuwa tumeelewa yote aliyotufunza kuhusu Sheria za mbugani.
Tulianzia kwa mimea mbali mbali inayopatikana kwenye mbuga Hilo na kazi
ya kila mmea. Mimea mingi e tuligundua kuwa ilikuwa chakula ya wanyama
kwenye mbuga Hilo.
Tuliona ndege mkubwa zaidi ya ndege wote duniani. Alikuwa mbukinya.
Mbukinya alikuwa mkubwa ajabu kuliko jinsi ninavyomuona vita uni na
magazetini. Mlinzi wa mbugani alitueleza kuwa mbukinya huweza kukimbia
kilomita sita kwa dakika thelathini tu. Hii ni ishara tosha kuwa
mbukinya ni ndege mwenye Kasi ya juu sana. Muonekano wake ulikuwa wa
kushangaza ukilinga ishwa na mbio zake . Alikuwa mkubwa na mzito ajabu
ila alikuwa na manyiya machache na miguu mirefu. Tulielezwa pia kuwa
jicho lake huona mbali zaidi ya mita mia nne. Na anaweza akaona kitu
kilicho zaidi ya umbali huo na akajua ni nini. Vile vile tulielezwa kuwa
mbukinya hutaga mayai. Mayai ya mbukinya tulionyeshwa na kusema kweli ni
mayai makubwa ajabu. Yai lake moja Lina uwezo wa kulisha watu sita .hili
ni kutokana na ukubwa wake. Mbukinya vile vile nindege mwenye kilo
sitini kwa jumla. Kila mmoja wetu alibung'aa kutokana na hili kisa
mbukinya alikuwa mzito kutuliko sisi wote
Tulielekea alipokuwa amelala mkubwa wa jangwa lote la wanyama, Simba.
Simba alikuwa pia mkubwa ikilinganishwa na tunayemwona vita uni. Alikuwa
amelala kwenye bustani lake huku ametuangalia. Simba ni mnyama mkali
sana na yeye hula watu na pia wanyama wengine. Alipokuwa amelala
kulikuwa kumezungukwa na ua ambalo hangeweza kulikata wala kulivinja
asilani. Ghafla bin vuu alinguruma na kila mtu akatetemeka na roho
kuturuka. Wengine wakapiga nduru na kutorokea mlinzi kutokana na uwoga.
Rahab naye alikataa kurejea kwa Simba kutokana na uwoga. Tuliambiwa kuwa
chakula Cha Simba lilikuwa nyama na basi yeye hununukiwa nyama kilo kumi
kila siku ili kumukidhi maslahi yake ya njaa. Simba pia tulielezwa kuwa
masaa ya mchana yeye huwa amelala na yeye huwa macho masaa ya usiku tu.
Mchana yeye huamka endapo amegutushwa na watu. Tulihadharishwa kutembea
masaa ya usiku kisa na maana tunaweza tunakutana na Simba usiku.
Tulienda kumuona chui. Chui ana madoa doa ya chapati alisema Rita huku
akicheka. Chui ila ni mkonde na ana mkia mrefu. Tuliambiwa kuwa Chui ana
uwezo wa kuoanda mti kama nyani tuliowaina wakirukaruka kutoka tawi moja
la mti mpaka linguine ikilinganishwa na wanyama wengine kama Simba na
mbukinya . Chakula ya Chui ni nyama. Pia Chui hula wanyama wenzake kule
mbugani kama njia ya kuwinda chakula chake. Vile vile tulielezwa kuwa
Chui hununukiwa nyama ya kumukidhi anapokuwa mbugani. Chui hukimbia kwa
Kasi sana naye hufanya mawindo yake wakati wa mchana. Chui ana tabia ya
kuwinda wanyama wadogo kama sungura na oundamilia. Anapokula na kubakiza
mabaki basi fisi huja na kuyala mabaki Yale. Simba ndiye mnyama
asiyekuka mabaki yeyote isipokuwa nyama aliyoiwinda yeye mwenyewe.
Tulienda alipokuwa amefungiwa ndovu. Mnyama mkubwa ajabu zaidi ya wale
wote tuliyokuwa tumewaona. Ndovu alikuwa amefungiwa kwenye kuna
matopetooe na maji. Tulielezwa kuwa ni kawaida ya ndovu kupenda
kujimwagiamwagia maji chafu na matope kama njia ya kiujipoza kutokana na
kuchomwa na jua na hata jua kali. Ndovu ana maskio makubwa na miguu
minene. Tuliambiwa pia kuwa ndovu ana nguvu za kupindukia na anaweza
akaangusha nyumba nzima.ila tulielezwa pia kuwa ndovu hawezi kukimbia
kwa mbio kwenye mteremko ikilinganishwa na njia tambarare kisa na maana
maskio yake hufunga macho yake . Lakini ndovu anapenda vita na mara
nyingi huhudika katika iharibufu wa mazao ya wakulima n kutengeneza njia
yao ya kupita. Vile vile ndovu huuwa kwa kukanyagakanyaga na pia kurusha
rusha mtu mpaka akafa.
Alipokuwa kifaru lalikuwa pia pamezuiliwa. Kifarupia ni nyama mkubwa
mbugani pale.vile vile tulionyeshwa nyani aina mbali mbali na pia
sungura wa msituni. Tulionyeshwa oundamilia waliokuwa warembo ajabu.
Kulikuwa pia na mbweha mwenye sura mbaya zaidi kule. Mbugani pia
kulikuwa na wazungu waliokuja kuona wanyama kwa raha zao. Tulichukua
picha na kuahidi kuwa tungerejea tena kuzuru zaidi. Tuliondoka pale kila
mtu akiwa na furaha tele na hadithi ya kumuhadithia mzazi na wenzake
shuleni kuhusu. Kusema kweli ilikuwa siku ya ajabu na ya
kipekee.tulifurahi sana kama vibogoto wakioita meno.
| Wanafunzi walionywa kutofanya nini katika mbuga la wanyama? | {
"text": [
"Kuwalisha wanyama"
]
} |
4939_swa | SIKU YA KWANZA KAZINI
Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi.
Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa
tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu
vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia
ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba
kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu.
Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa
nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na
mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa
na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na
sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia
yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi
hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na
umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi
uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia
ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine
magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya
mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya
basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi.
Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga
debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea
taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu
zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na
kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa
kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu
ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe
kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli
aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi.
Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea.
Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa
linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi
likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa
uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia.
Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya
mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja
mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati.
Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa
kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya
abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye
kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale
waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu
ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu.
Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki.
Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi.
Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina
makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi.
Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza
barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa.
Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani
kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii.
Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine.
Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu.
Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia
kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka
kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
| Ilikuwa siku yake ya kwanza katika kituo cha nani | {
"text": [
"Polisi"
]
} |
4939_swa | SIKU YA KWANZA KAZINI
Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi.
Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa
tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu
vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia
ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba
kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu.
Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa
nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na
mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa
na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na
sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia
yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi
hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na
umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi
uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia
ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine
magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya
mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya
basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi.
Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga
debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea
taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu
zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na
kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa
kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu
ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe
kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli
aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi.
Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea.
Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa
linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi
likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa
uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia.
Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya
mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja
mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati.
Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa
kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya
abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye
kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale
waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu
ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu.
Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki.
Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi.
Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina
makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi.
Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza
barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa.
Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani
kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii.
Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine.
Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu.
Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia
kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka
kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
| Gari lake liliitwaje | {
"text": [
"Mwewe"
]
} |
4939_swa | SIKU YA KWANZA KAZINI
Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi.
Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa
tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu
vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia
ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba
kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu.
Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa
nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na
mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa
na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na
sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia
yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi
hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na
umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi
uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia
ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine
magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya
mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya
basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi.
Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga
debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea
taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu
zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na
kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa
kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu
ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe
kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli
aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi.
Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea.
Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa
linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi
likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa
uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia.
Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya
mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja
mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati.
Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa
kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya
abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye
kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale
waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu
ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu.
Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki.
Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi.
Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina
makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi.
Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza
barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa.
Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani
kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii.
Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine.
Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu.
Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia
kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka
kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
| Madahali na wapiga debe wa vituo vya basi walimpa nini | {
"text": [
"Mtihani"
]
} |
4939_swa | SIKU YA KWANZA KAZINI
Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi.
Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa
tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu
vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia
ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba
kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu.
Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa
nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na
mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa
na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na
sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia
yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi
hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na
umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi
uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia
ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine
magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya
mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya
basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi.
Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga
debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea
taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu
zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na
kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa
kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu
ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe
kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli
aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi.
Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea.
Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa
linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi
likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa
uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia.
Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya
mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja
mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati.
Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa
kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya
abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye
kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale
waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu
ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu.
Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki.
Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi.
Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina
makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi.
Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza
barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa.
Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani
kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii.
Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine.
Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu.
Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia
kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka
kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
| Alikadiria ada ya nini | {
"text": [
"Mizigo"
]
} |
4939_swa | SIKU YA KWANZA KAZINI
Ilikuwa ndiyo siku yangu ya kwanza kuanza kazi katika kituo cha polisi.
Mjini kakamega. Mkuu wa kituo alikuwa ametuagiza siku hiyo. Alisema kuwa
tusike doria katika barabara kuu. Nilifurahia sare yangu kuu. Viatu
vyeusi pia. Viatu hivyo vilingara kwenye jua la asubuhi. Kichwani kofia
ilikuwa imenikaa sawasawa. Nilipapasa kibandiko changu cha namba
kilichoninginia juu ya mfuko. Kifuani upande wa kushoto nikatabasamu.
Punde akili zangu zikaruka nyuma miaka miwili iliyopita. Nilikuwa
nikifanya kazi ya ukondakta. Vifaa vyangu vilikuwa ni sare. Mdomo na
mikono. Gari langu liliitwa mwewe. Basi la mwewe lilikuwa dogo. Lilikuwa
na rangi ya manjano. Uwezo wale ulikuwa wa kubeba abiria thelathini na
sita. Dereva wake aliitwa umeme. Lakabu hii aliupata kutokana na tabia
yake ya kuendesha basi kwa kasi kupindukia. Mwanzo wangu katika kazi
hiyo ulikuwa mgumu. Ilibidi niamke mafungulia ngombe. Katika baridi na
umande ulionyoynyota usiku kucha. Na kurejea usiku wa giza na baridi
uliopenya mpaka mapafuni. Abiria nao walikuwa wengi. Mizigo yao pia
ilikuwa mingi. Kuna waliobeba marobota makubwa ya mitumba. Wengine
magunia yaliyobeba dagaa kupindukia. Wengine walikuwa na magunia ya
mahindi. Mimi nilikuwa wa kuyanyanyua na kuyapandisha juu ya chanja ya
basi njiani. Kwani utingo walibakia kituo cha mabasi.
Siku za mwanzoni. Uhuni ,uchepe na ulaghai wa utingo. Madahali na wapiga
debe wa vituo vya mabasi ulinipa mtihani. Lakini nilianza kuzoea
taratibu. Hatimaye nikafuzu. Ilipotokea mizigo mizito nilitumia nguvu
zote. Huku ukisukumwa na mwenye mzigo. Tuliunyanyua hobelahobela na
kuuvurumisha juu ya kipaa. Baiskeli niliifanyia vivyo hivyo kwa
kulitanguliza gurudumu la mbele. Mbinu hii iliniwezesha kuipandisha juu
ya kipaa cha basi kama kitakataka. Uhuni pia niliuzoea. Aliyetaka uchepe
kwangu aliupata. Aliyeomba ubabe kwangu aliupata. Na aliyetaka ufidhuli
aliupata vilevile. Nilijifunza jinsi ya kuninginia mlangoni mwa basi.
Huku mguu mmoja ukichomoka nje kama mtu aliye kuwa kwenye bembea.
Kuparamia ngazi mpaka juu ya kipaa . Na kushuka huku basi likiwa
linaenda ilikuwa kazi yangu. Niliweza pia kushuka. Na kuchupia basi
likiwa kwenye mwendo wa kasi kubwa bila shida. Niliifanya kazi yangu kwa
uhodari mkubwa. Nilijua kila abiria alipoingilia na kituo cha kushukia.
Nilijua nauli ya kumtoza kila msafiri . Pamoja na kukadiria ada ya
mizigo. Pesa nilizokusanya sikuweka mfukoni. Nilizinyoosha na kuzikunja
mara mbili. Kisha nikazibanisha kati ya kidole cha shahada. Na cha kati.
Bila msaada wa kalamu wa kikokotozi nilifahamu bakaa ya kurudisha kwa
kiasi chochote. Cha pesa nilichopewa. Hata hivyo,ukorofi wa baadhi ya
abiria haukukosa kuleta adha. Kulitokea mara kwa mara abiria wenye
kiburi na vinganganizi waliobishia nauli. Aidha kulikuwa na wale
waliotoa noti kubwa. Hata walipokuwa walienda mwendo wa karibu. Huu
ulikuwa ujanja wa kutaka kusamehewa kupia nauli. Waliambulia patupu.
Jambo lililonipa udhia ni kule kusakwa na Askari wa trafiki.
Walichunguza idadi ya abiria . Matumizi ya mikanda . Na kasi ya basi.
Lakini hata kama uliyatimiza haya. Waliweza kusingizia kuwa gari lina
makosa . Kama ya magurudumu yaliyochakaa. Au taa zisizofanya kazi.
Ingawa madereva walikuwa na mbinu za kufahamishana askari walipojibanza
barabarani. Kuyavizia mabasi na hivyo kuwakwepa mara nyingine tulinaswa.
Na hii ilipotokea kulikuwa na mambo mawili. Heri au shari. Yani
kuwafunika macho. Au kubururwa mahakamani. Wengi tulihofia hatua hii.
Maana polisi walipata nafasi ya kutubambikizia makosa mengine.
Nikigutushwa kutoka kwenye kumbukumbu hizo na Askari mwenzangu.
Aliniashiria kuja kwa basi. Niliuinua mkono wangu wa kulia
kulisimamisha. Aliyekuwa mwindwa sasa alikuwa ndiye mwinda. Nilikumbuka
kauli ya mwalimu wangu. Alituangazia kuhusu gurudumu la maisha.
| Kwa nini askari walifahamishana kuhusu askari | {
"text": [
"Ili kuyavizia mabasi na kuwakwepa wakati mwingine"
]
} |
4940_swa | SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI
Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio
kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea
kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe
na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea
na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na
ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na
mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo.
Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni.
Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui
wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe
kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa
binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo
sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo
tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma.
Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba
anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka
kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra
sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema.
Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na
kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba
anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje
kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye
anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa
kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda
kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari!
Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi.
Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo
kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia
Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu
kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza
hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe
yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale
kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho
ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize
vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu
la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili
kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini.
Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi
wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije
wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia
halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!".
Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi.
Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa
yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa
washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote
tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote
walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki
yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye
bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo
Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa
ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote
yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu
uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi
la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja .
Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale
ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo
ndipo majirani waliamka na kuanza vita.
Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika
harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari
walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na
basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka
kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea
mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite
kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za
wezi ni arobaini.
| Siku za mwizi ni ngapi? | {
"text": [
"Arobaini"
]
} |
4940_swa | SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI
Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio
kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea
kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe
na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea
na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na
ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na
mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo.
Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni.
Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui
wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe
kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa
binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo
sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo
tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma.
Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba
anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka
kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra
sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema.
Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na
kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba
anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje
kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye
anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa
kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda
kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari!
Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi.
Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo
kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia
Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu
kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza
hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe
yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale
kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho
ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize
vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu
la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili
kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini.
Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi
wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije
wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia
halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!".
Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi.
Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa
yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa
washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote
tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote
walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki
yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye
bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo
Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa
ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote
yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu
uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi
la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja .
Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale
ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo
ndipo majirani waliamka na kuanza vita.
Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika
harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari
walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na
basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka
kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea
mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite
kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za
wezi ni arobaini.
| Kina nani walikuwa katika shughuli ya kuwafungia ng'ombe? | {
"text": [
"Vijana"
]
} |
4940_swa | SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI
Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio
kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea
kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe
na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea
na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na
ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na
mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo.
Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni.
Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui
wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe
kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa
binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo
sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo
tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma.
Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba
anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka
kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra
sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema.
Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na
kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba
anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje
kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye
anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa
kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda
kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari!
Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi.
Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo
kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia
Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu
kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza
hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe
yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale
kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho
ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize
vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu
la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili
kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini.
Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi
wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije
wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia
halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!".
Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi.
Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa
yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa
washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote
tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote
walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki
yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye
bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo
Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa
ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote
yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu
uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi
la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja .
Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale
ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo
ndipo majirani waliamka na kuanza vita.
Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika
harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari
walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na
basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka
kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea
mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite
kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za
wezi ni arobaini.
| Nani walikuwa mbio kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala? | {
"text": [
"Kuku"
]
} |
4940_swa | SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI
Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio
kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea
kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe
na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea
na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na
ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na
mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo.
Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni.
Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui
wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe
kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa
binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo
sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo
tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma.
Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba
anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka
kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra
sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema.
Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na
kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba
anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje
kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye
anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa
kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda
kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari!
Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi.
Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo
kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia
Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu
kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza
hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe
yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale
kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho
ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize
vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu
la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili
kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini.
Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi
wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije
wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia
halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!".
Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi.
Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa
yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa
washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote
tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote
walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki
yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye
bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo
Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa
ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote
yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu
uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi
la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja .
Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale
ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo
ndipo majirani waliamka na kuanza vita.
Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika
harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari
walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na
basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka
kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea
mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite
kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za
wezi ni arobaini.
| Ng'ombe wangapi hawakupatikana? | {
"text": [
"Kumi na wasaba"
]
} |
4940_swa | SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI
Kila mtu alikuwa anajishighulisha kimaliza siku. Kuku walikuwa mbio
kuelekea kwenye vyumba vyao vya kulala. Vijana nao walikuwa washarejea
kutoka malishini na basi walikuwa katika shughuli za kuwafungia ngombe
na kukamua. Mikuki waliyoenda nayo malishoni Hamna hata mmoja uliorejea
na damu kumaanisha kuwa hawakumshambulia adui yeyote kule malishoni na
ikiwa walimshambulia basi adui alikwepa mkuki huo na kiponea. Kando na
mikuki kutokuwa na damu , ngombe kumi na wasaba walikuwa hawapo.
Inasemekana kuwa ni kawaida ya vijana kushambuliwa wanapokuwa malishoni.
Mara nyingi vijana wetu hushambuliwa na Simba a chui. Hawa ndio maadui
wakubwa wa mifugo lakini vijana wetu ni nadra sana kumpoteza ngombe
kwenda kwao. Siku chache zilizopita adui amekuwa tofauti. Adui amekuwa
binadamu ambaye huja kama amejiami na bundiki na basi kuondoka na mifugo
sio haba. Hili limekuwa tatizo sugu kwa vijana wetu. Kama leo
tumewapoteza ng'ombe kumi na Saba kama boma.
Basi wote tunaingia kula chakula kilochoandaliwa na mama. Leo baba
anaonekana mwenye hasira mno. Hajui amulaumu nani kutokana na kutoweka
kwa ng'ombe wake. Alikula chakula kidogo kisha akaenda kulala. Ni nadra
sana baba apuuze kula nyama ya mbuzi lakini Leo hii basi hajala vyema.
Mama naye alikuwa hana lankusema kwanza mwenyewe amechila kutokana na
kazi ya kuboma nyumba yetu. Tunamaliza kila mmoja anarlekea kulala. Baba
anaondoka na mkuki wake ambao umechongwa ajabu. Sijui Leo ameamua aje
kulala nje. Amechila kuibwa ingali yeye ni mwanamume shupavu. Kaka naye
anatoka na mkuki wake basi tunabakj tukiwa tumelala. Dada mdogo anakaa
kuogopa ila mama anachukua kuwa naye usiku huo. Mwenyewe moyo wanidunda
kwa kuwa baba wameamua kupigana na bunduki kwa kutumia mikuki, hatari!
Sina la kusema.wanaume ni kujituma na huko nfiko kujituma basi.
Ninaamshwa na kamsa kutoka kwa jirani. Ni kilio Cha machungu mno. Tupo
kwa nyumba na mama na hatujui kama tutoke au la. Tunajaribu kufikitia
Hamna jirani aliyekuwa mgonjwa na kilio hili hakiwezi kukawa Cha mtu
kuwa mgonjwa. Kunani? Baba wako wapi? Kila mtu alikuwa kwenye Giza
hatujui lipi la kufanya. Jinsi tulivyozidi kukawia ndipo mayowe
yalivyozidi kuwa mengi zaidi. Kaka akarejea akihema na kuchukua mishale
kadhaa. Nakumbuka alisema tu kwa sauti ya chini "wezi". Kila mtu roho
ikamuruka. Tukafunga mlango na kubaki ndani tukisubiri wanaume wamalize
vita. Ni desturi yetu kuwa wanawake hawafai kupigana ila Hilo ni jukumu
la wanaume na watoto wa kiume kazi ya wanawake ni kupiga nduru ili
kuitosha msaada zaidi. Vita vilipigwa kwa zaidi ya dakika thelathini.
Nduru zilipoa na kisha zikaanza tena. Hapa tulijua kuwa huenda wezi
wamewalemea . Hatukujua la kufanya ila ilikuwa maombi yetu wasije
wakauliwa. Tulisikia mlio wa risasi mara kadhaa na kisha watu wakatulia
halafu tena nduru zikajiri huku watu wakisema kwa sauti moja " ua! Ua!".
Hapo tukajua basi bunduki ni za wezi.
Baada ya vita kaka alirejea kubadilisha mavazi kwa kuwa Yale yalikuwa
yameshikwa na matone ya damu. Alituambia kuwa tayari walikuwa
washamaliza vita na wamewashika wezi wote. Baada ya muda mfupi wote
tuliamua kuenda kuona wezi hao waliopigwa kwa zaidi ya saa moja. Wote
walikuwa wamelala Chali chini. Kando ya kila mmoja kulikuwa na bunduki
yake. Kweli ilikuwa ni vita vya kipekee. Hamna aliyetarajia watu wenye
bunduki aina hizo wangeweza kuuliwa na mikuki na mishale. Askari wa eneo
Hilo waliwasili na magari ya kuwabeba wezi hao waliokuwa wamejuruhiwa
ajabu kuenda hospitalini. Waliwaomba wanakijiji kuelezea Yale yote
yaliyojiri na basi baba akasema kuwa yeye aliona watu wakitoka kwa msitu
uliokuwa Karibu kama wamejiami na bunduki na wakaelekea kwenda kwa zizi
la ng'ombe la jirani. Baba aliachilia mshale wake na kumfunga mmoja .
Wale wengine wakaanza kuchuchumaa waliharibu kuona pale ambapo mmshale
ukitoka. Basi aliweza kurudi nyuma na kumwambia kaka apige nduru. Hapo
ndipo majirani waliamka na kuanza vita.
Tayari mzee Leshoomo alikuwa amepigwa risasi nao walipokuwa katika
harakati za vita. Tayari alikuwa keshapelekwa hospitalini. Askari
walishukuru vijana shupavu na kuahidi kuwa haki ingeweza kutendeka na
basi wezi hao waweze kulipa uharibufu na mifugo waliyoweza kuiba kutoka
kwa wanakijiji. Waliwaomba pia vijana wawe makini na pia watawarejeshea
mifugo yao waliopoteza na ikiwa wataskia havari kuhusu wezi hao wasisite
kuwajuza. Sore tulirejea kulala huko tumeshtuka ajabu. Ama kweli siku za
wezi ni arobaini.
| Adui mgeni huja na nini mkononi? | {
"text": [
"Bunduki"
]
} |
4941_swa | SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA.
Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani
kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume
pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja
mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu
pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui
wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na
kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa
suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti
swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa
kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya
kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya
suluhisho kwa swala hili nzima.
Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au
waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo
utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu
mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu
wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa
kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili
waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini.
Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa
wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye
umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli
kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa
kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma
kama hizo.
Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni
kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu
itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka
mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo
hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama
hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili
yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu
kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua.
Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna
hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana
ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo
kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu.
Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu
alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama
hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana
amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga
jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi
ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa
kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na
polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo
hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu.
Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa.
Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa
waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki
zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate
elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna
watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu
hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu.
Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa
kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini
kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata
tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao
kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia
ndani.
Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya
yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya
wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka
kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi
kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale
wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto
hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na
kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza
kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya
kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili.
Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na
kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni
kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana
alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada
ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za
kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama
hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania
haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie
haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda.
Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga
na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust".
Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama
mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo
mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo
kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza
dhuluma kwao.
Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na
akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni
kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza
kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada
zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii
wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya
yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia
waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi
fulani waweze kushusha chini.
Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha
ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika
kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na
mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa
kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi
shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake.
Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio
maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata
waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia.
Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna
baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama
ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama
analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi
ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba
msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote
wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza
visa hivi.
Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia.
Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
| Kifaa cha kieletronik kinachotumika katika mawasiliano huitwaje | {
"text": [
"Simu"
]
} |
4941_swa | SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA.
Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani
kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume
pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja
mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu
pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui
wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na
kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa
suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti
swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa
kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya
kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya
suluhisho kwa swala hili nzima.
Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au
waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo
utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu
mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu
wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa
kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili
waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini.
Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa
wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye
umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli
kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa
kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma
kama hizo.
Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni
kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu
itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka
mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo
hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama
hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili
yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu
kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua.
Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna
hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana
ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo
kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu.
Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu
alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama
hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana
amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga
jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi
ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa
kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na
polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo
hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu.
Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa.
Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa
waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki
zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate
elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna
watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu
hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu.
Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa
kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini
kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata
tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao
kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia
ndani.
Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya
yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya
wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka
kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi
kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale
wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto
hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na
kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza
kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya
kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili.
Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na
kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni
kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana
alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada
ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za
kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama
hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania
haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie
haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda.
Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga
na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust".
Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama
mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo
mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo
kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza
dhuluma kwao.
Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na
akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni
kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza
kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada
zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii
wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya
yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia
waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi
fulani waweze kushusha chini.
Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha
ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika
kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na
mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa
kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi
shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake.
Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio
maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata
waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia.
Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna
baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama
ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama
analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi
ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba
msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote
wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza
visa hivi.
Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia.
Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
| Taja faida moja ya simu | {
"text": [
"Kuimarisha mawasiliano katika nyanja mbalimbali"
]
} |
4941_swa | SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA.
Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani
kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume
pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja
mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu
pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui
wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na
kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa
suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti
swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa
kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya
kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya
suluhisho kwa swala hili nzima.
Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au
waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo
utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu
mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu
wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa
kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili
waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini.
Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa
wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye
umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli
kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa
kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma
kama hizo.
Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni
kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu
itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka
mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo
hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama
hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili
yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu
kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua.
Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna
hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana
ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo
kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu.
Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu
alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama
hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana
amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga
jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi
ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa
kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na
polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo
hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu.
Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa.
Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa
waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki
zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate
elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna
watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu
hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu.
Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa
kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini
kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata
tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao
kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia
ndani.
Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya
yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya
wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka
kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi
kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale
wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto
hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na
kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza
kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya
kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili.
Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na
kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni
kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana
alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada
ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za
kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama
hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania
haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie
haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda.
Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga
na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust".
Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama
mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo
mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo
kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza
dhuluma kwao.
Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na
akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni
kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza
kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada
zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii
wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya
yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia
waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi
fulani waweze kushusha chini.
Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha
ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika
kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na
mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa
kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi
shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake.
Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio
maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata
waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia.
Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna
baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama
ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama
analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi
ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba
msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote
wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza
visa hivi.
Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia.
Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
| Wanafunzi husoma kwa kutumia mitando ipi | {
"text": [
"Google meet na kenet"
]
} |
4941_swa | SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA.
Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani
kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume
pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja
mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu
pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui
wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na
kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa
suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti
swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa
kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya
kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya
suluhisho kwa swala hili nzima.
Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au
waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo
utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu
mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu
wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa
kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili
waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini.
Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa
wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye
umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli
kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa
kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma
kama hizo.
Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni
kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu
itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka
mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo
hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama
hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili
yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu
kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua.
Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna
hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana
ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo
kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu.
Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu
alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama
hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana
amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga
jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi
ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa
kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na
polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo
hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu.
Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa.
Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa
waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki
zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate
elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna
watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu
hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu.
Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa
kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini
kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata
tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao
kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia
ndani.
Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya
yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya
wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka
kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi
kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale
wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto
hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na
kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza
kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya
kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili.
Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na
kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni
kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana
alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada
ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za
kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama
hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania
haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie
haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda.
Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga
na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust".
Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama
mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo
mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo
kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza
dhuluma kwao.
Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na
akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni
kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza
kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada
zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii
wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya
yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia
waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi
fulani waweze kushusha chini.
Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha
ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika
kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na
mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa
kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi
shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake.
Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio
maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata
waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia.
Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna
baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama
ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama
analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi
ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba
msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote
wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza
visa hivi.
Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia.
Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
| Simu huchangia vipi kuharibika kwa ndoa | {
"text": [
"Kupokea jumbe za mapenzi za watu wengine"
]
} |
4941_swa | SULUHISHO KWA UNYANYASAJI WA JINSIA.
Ni wazi kwamba dhuluma za kijinsia bado zinaendelea. Watu wengi hudhani
kwamba wanawake ndio tu pekee wanaopitia dhuluma hizi. Si kweli. Wanaume
pia hupitia dhuluma hizi. Huenda wanaume wachache hujitokeza na kuja
mbele kusema iwapo wamedhulumiwa. Kati ya wanaume ishirini, mmoja tu
pekee ndiye anayeweza kujitokeza na kusema kama amedhulumiwa. Sijui
wanaume huogopa nini. Jambo hili si la kuonea aya. Niliweza kukaa na
kufanya uchunguzi wangu. Lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ni nini haswa
suluhisho la swala hili nzima. Je, tutafanyaje ili tuweze kudhibiti
swala hili la dhulama? Tunaambia kwamba kati ya watu kumi wa kiume na wa
kike pamoja, tunapata wawili kati yao ni waadhiriwa wa dhuluma ya
kijinsia. Idadi ya juu ikiwa ni wanawake. Hebu tuangalia tu baadhi ya
suluhisho kwa swala hili nzima.
Kwanza ni hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wanaowapiga wake au
waume wao. Serikali yafaa iweke adhabu kali. Waseme kwamba iwapo
utashtakiwa kwa kumpiga mke au mume wako unatozwa faini ya shilingi elfu
mia saba pesa taslimu. Hii itawatia watu uoga wa kupigana. Ni jana tu
wapenzi wawili waliweza kupigana kule kaunti ya Trans Nzoia. Tunaarifiwa
kwamba kulikuwa na ufwetulianaji wa risasi. Walikuwa wapenzi wawili
waliokuwa wakipigana. Hatujui chanzo cha vita hivyo kilikuwa ni nini.
Pili hatujui ni mume alianzisha vita au ni mke? Wote walikuwa ni maafisa
wa polisi tu. Walikuwa wenye umri mchanga mno. Tunaambiwa walikuwa wenye
umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na tano. Wachanga kweli
kweli. Kupigana kama huko kukotokea na serikali ipate kumshika, yafaa
kumfunza adhabu. Adhabu hiyo itawafanya watu wengine kuogopa dhuluma
kama hizo.
Sheria kali pia kuchukuliwa kwa wale wanaowabaka watoto. Juzi mitandaoni
kuna kisa kilitokea sehemu za magharibi. Kaunti ya Kakamega sehemu
itwayo Butali. Baba mmoja mwenye umri wa miaka arubanne aliweza kumbaka
mtoto wa miaka kumi na miwili. Ilikuwa ni aibu sana kwa wanaume. Kitendo
hicho kilishangaza umma. Mzee huyo alichukuliwa akiwa uchi wa mnyama
hadi kituoni cha polisi. Naomba mtu kama huyo akishikwa achunguzwe akili
yake. Akipatwa ana akili timamu basi afunguliwe sheria na alimpe tu
kulingana na matendo yake. Tukifanya hivo visa hivi vitaweza kupungua.
Kitu ambacho ningeomba ni kwamba sheria inapopata mtu kama huyo, hakuna
hata maana ya kusikiliza kama ushahidi wa kutosha upo. Hakuna hata maana
ya bondi. Mtu kama huyo ni kutupwa gerezani kwa miaka tu kadhaa. Arudipo
kutoka mle ndani, atakuwa na ya kuhadithia watu.
Sheria pia zinafaa kuchukulia kwa wale wanaokeketa mabinti. Raisi wetu
alisema kwamba ifikiapo mwaka wa elfu mbili na thelathini, visa kama
hivyo vyafaa kutokuwepo. Basi aliamuru kwamba iwapo mtoto atapatikana
amekeketwa, mzazi wake atashikwa na pia yule ngariba. Mimi naliunga
jambo hili kwa asilimia mia kwa mia. Hivi sasa, kuna baadhi ya wauguzi
ambao wamewekwa shuleni kuwachunguza wanafunzi. Wanafunzi hao huchungwa
kama wameweza kukeketwa au la. Iwapo basi wanapatika, wao huandamana na
polisi na wazazi kukamatwa. Kuna baadhi ya mabinti hunyamazia jambo
hili. Hii ni kwasababu ya kukosa elimu.
Elimu basi inakuwa suluhisho la pili kwa wale ambao wanadhulumiwa.
Wanawake kwa wanaume yafaa waweze kupewa elimu wajue haki zao. Yafaa
waelewa haki zao kama mtoto nwa kike ni gani. Pia wakiume wajue haki
zao. Hii inaweza kufanikishwa iwapo serikali itatoa pesa ili watu wapate
elimu. Pesa hizi zitawasaidia wale wanaoelimisha akina dada. Najua kuna
watu sehemu nyingi za Kenya hawajui haki zao. Mbona? Kwasababu
hawajawahi ambiwa. Ndio maana utawapata wengi wamo gizani wanaumia tu.
Hawajui kama wanadhulumiwa au la. Wapo tu. Yafaa mabinti na waelimishwa
kuhusu ndoa za mapema. Inasikitisha kuona binti wa miaka ishirini
kuolekea mume wa miaka arubanne. Haya mimi nimewahi shuhudia. Utapata
tena wazazi wa binti wamefurahia. Wao hawajui kwamba wanawajimbia wanao
kaburi? Kaburi ambayo wanachimba wenyewe na mwishowe watakuja kutumbukia
ndani.
Serikali pia yafaa kuanzisha makao ya watoto hawa. Makao haya
yatawasaidia wale watoto au watu wanaotoroka dhuluma. Kuna baadhi ya
wasichana wanaelewa haki zao. Basi utawapata wanapoambiwa wanataka
kuwakeketa wao hukimbilia usalama wao. Kuna mama mmoja alikuwa na makazi
kama hayo. Aliyajenga kule Isiolo. Lengo kuu lilikuwa kuwapa makao wale
wanaokimbilia usalama wao. Mama huyo alikuwa akiwapeleka shule watoto
hao. Kuna mmoja pia aliyekuwa amesaidiwa na shirika hilo, alirudi na
kumsaidia mama huyo kulinda wale ambao wametoroka makwao. Tunaeza
kufanikisha jambo hili pia kupitia kwenye kampeni. Mashirika ya
kiserikali na yakibinafsi yafaa yaje pamoja kusuluhisha jambo hili.
Waandae kampeni dhidi ya unyanyasaji huu. Ni hivi majuzi kulikuwa na
kampeni ya wanariadha kuwahimiza kusema yale wanayopitia. Hii ni
kutokana na kifo cha Tirop. Tirop alikuwa mkimbiaji mbio. Mwaka jana
alishindia Kenya dhahabu kweli kweli. Tirop aliuwawa na mpenziwe baada
ya kugombana kiasi kwa nyumba. Kupitia kifo chake tumekuwa na kampeni za
kupinga dhuluma za aina zozote zile. Hii ni kuhakikisha kwamba kisa kama
hicho kisitokee tena. Kampeni kama hizi huwaimiza wanawake kupigania
haki zao. Si wanawake tu pekee. Bali pia kuwahimiza wanaume wapiganie
haki zao. Hii itafanya watu wajue haki zao na kuzilinda.
Suluhisho nyingine nj kuwapa akina mama mikopo. Ni vyema akina kujiunga
na vyama vya mikopo. Mfano ni shirika la " Kenya Women Finance Trust".
Wengi wamezoea kuita KWFT. Hili ni shirika ambalo linawapa akina mama
mikopo. Mikopo hii inaweza kufanya wanawake kuwa wakujitegemea. Mambo
mengi ama shida nyingi hutokana na akina mama kukosa pesa. Basi kuwepo
kwa shirika hili linaweza kusaidia kina mama kujisimamia. Hii itapunguza
dhuluma kwao.
Serikali pia kutoa nafasi tofauti katika serikali zinazoshikiliwa na
akina mama. Kwa mfano kuna nafasi ya wakilishi wa akina mama. Hii ni
kuonyesha kwamba serikali yetu inajali kina mama. Pia tumeweza
kushuhudia alama za kujiunga vyuo vikuu hapo awali za akina dada
zilikuwa za chini. Hii ukilinganisha na alama za wavulana. Saa hii
wameweza kushusha chini ili kujaribu kurudisha usawa. Kongole kwa Kenya
yetu. Si tu kwa sekta ya elimu tu. Bali tunaambiwa sehemu mbalimbali pia
waige mfano wa sekta ya elimu. Akina dada wapewe nafasi na alama za kazi
fulani waweze kushusha chini.
Sera ya umiliki wa mali pia yafaa kuangaziwa upywa. Hii ni kuhakikisha
ya kwamba akiana mama pia wanaeza kumiliki mali nao pia. Inasikitika
kuona akina mama wakifushwa iwapo mume atakufa na huyo mama asiwe na
mtoto wa kiume. Hata kama yu na watoto wa kike kumi, huwa hana uwezo wa
kumiliki mali hiyo. Jambo hili husikitisha sana. Huko kwetu nimewahi
shuhudia haya. Wanaamini kwamba dada hawezi kuridhi mali ya babake.
Kwani wamewachukulia hao kuwa kiumbe kidhaifu. Haifai hivyo kamwe. Ndio
maana naomba sera mpywa ya kumiliki mali iweze kuwekwa. Akina mama hata
waruhusiwe kumiliki mali za familia. Bila kusahau akina dada pia.
Suluhisho nyingine ni wanaume kuelewana na kuwajibika kwa nyumba. Kuna
baadhi ya vitu wanaume huzingizia wake zao. Kwa mfano mtoto akikosa mama
ndiye hulaumiwa. Mtoto wa kike akichelewa kufika nyumbani ni mama
analaumiwa. Iwapo mtoto wa kiume atabajika mtoto wa wenyewe mimba, basi
ni mama atalaumiwa. Kitu kibaya kikifanyika bomani ni mama ambaye hubeba
msalaba. Haifai hivyo kamwe. Jukumu la kulinda watoto ni la wazazi wote
wawili. Si mama pekee. Akina baba wakielewa hivo watasaidia kupinguza
visa hivi.
Ningependa zote tusimama na tupige vita dhidi ya dhulama za kijinsia.
Umoja ni nguvu wasemavyo. Utengano ni udhaifu eti.
| Athari za watazamaji wa ponografia ni zipi | {
"text": [
"Kuwepo kwa mimba za mapema na magonjwa ya zinaa"
]
} |
4942_swa | TEKNOLOJIA
Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya
teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa
teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za
mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia
zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya
njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi
ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa
mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe
ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi.
Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi
kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu
wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia
yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu
wengi na kwa muda kidogo tu.
Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea
kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa
zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku
hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata
habari zozote moja kwa moja.
Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza
maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila
kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha
kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati
mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya
kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana.
Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa
yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile
yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote.
Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa
kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi.
Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara
yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza
biashara zao kwa njia hizi za kisasa.
Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa
na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao
wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao
hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa
kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana
na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama
video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao
hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama.
Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza
kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia.
Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu
binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii
inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza
vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii
hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia
jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za
mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza
kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu
mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha
ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu.
Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara.
Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na
madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo
kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa
na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia
hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko
hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto
zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na
rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
| Mabadiliko imepatikana katika sekta ipi | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
4942_swa | TEKNOLOJIA
Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya
teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa
teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za
mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia
zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya
njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi
ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa
mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe
ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi.
Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi
kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu
wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia
yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu
wengi na kwa muda kidogo tu.
Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea
kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa
zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku
hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata
habari zozote moja kwa moja.
Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza
maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila
kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha
kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati
mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya
kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana.
Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa
yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile
yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote.
Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa
kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi.
Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara
yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza
biashara zao kwa njia hizi za kisasa.
Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa
na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao
wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao
hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa
kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana
na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama
video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao
hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama.
Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza
kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia.
Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu
binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii
inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza
vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii
hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia
jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za
mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza
kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu
mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha
ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu.
Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara.
Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na
madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo
kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa
na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia
hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko
hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto
zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na
rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
| Siku hizi watu wanahitaji kubovya mitambo ya nini | {
"text": [
"Mawasiliano"
]
} |
4942_swa | TEKNOLOJIA
Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya
teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa
teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za
mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia
zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya
njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi
ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa
mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe
ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi.
Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi
kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu
wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia
yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu
wengi na kwa muda kidogo tu.
Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea
kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa
zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku
hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata
habari zozote moja kwa moja.
Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza
maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila
kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha
kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati
mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya
kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana.
Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa
yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile
yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote.
Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa
kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi.
Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara
yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza
biashara zao kwa njia hizi za kisasa.
Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa
na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao
wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao
hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa
kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana
na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama
video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao
hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama.
Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza
kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia.
Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu
binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii
inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza
vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii
hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia
jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za
mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza
kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu
mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha
ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu.
Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara.
Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na
madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo
kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa
na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia
hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko
hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto
zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na
rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
| Watu wanatangaza bidhaa kwa njia zipi | {
"text": [
"Kisasa"
]
} |
4942_swa | TEKNOLOJIA
Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya
teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa
teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za
mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia
zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya
njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi
ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa
mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe
ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi.
Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi
kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu
wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia
yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu
wengi na kwa muda kidogo tu.
Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea
kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa
zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku
hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata
habari zozote moja kwa moja.
Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza
maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila
kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha
kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati
mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya
kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana.
Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa
yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile
yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote.
Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa
kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi.
Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara
yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza
biashara zao kwa njia hizi za kisasa.
Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa
na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao
wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao
hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa
kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana
na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama
video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao
hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama.
Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza
kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia.
Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu
binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii
inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza
vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii
hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia
jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za
mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza
kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu
mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha
ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu.
Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara.
Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na
madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo
kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa
na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia
hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko
hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto
zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na
rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
| Nani wanalalamika kuhusu wajiriwa | {
"text": [
"wajiri"
]
} |
4942_swa | TEKNOLOJIA
Miaka za hivi karibuni imeshuhudia mabadiliko mengi sana katika sekta ya
teknolojia na mawasiliano. Teknolojia ya mawasiliano ni mojawapo wa
teknolojia za kisasa ambazo zimekuwa zikikua kwa kasi sana. Njia za
mawasiliano katika jamii zetu zimebadilika sana. Zimetupilia mbali njia
zingine zilizotumika kuwasiliana katika kaburi la sahau. Kuna mifano ya
njia za kisasa kama vile simutamba,mitandao ya kijamii na zingine. Hizi
ni njia za kupashana habari. Njia hizi zina manufaa mengi. Kwa
mfano,zinarahisisha upashaji na upokeaji wa habari. Hapo awali, ujumbe
ulichukua muda mrefu kufikia mlengwa. Sasa hivi inachukua muda mfupi.
Hata sekunde tu kumfikia. Urahisishaji huu umewezesha mambo mengi
kufanyika upesi. Majibu ya ujumbe yanapohitajika kwa dharura. Watu
wameweza kuwasiliana kwa haraka. Shughuli za kawaida za kila siku pia
yameweza kuendeshwa kwa haraka. Unaweza kutumia ujumbe mmoja kwa watu
wengi na kwa muda kidogo tu.
Vilevile unaweza kupata ujumbe kuhusu jambo lolote. Bila hata kutegea
kuupata kutoka kwa Fulani au kusoma kwenye vitabu tu kama ilivyokuwa
zamani. Taarifa na habari fulani yanaweza kupatikana bila usumbufu. Siku
hizi watu wanahitaji kubofya mitambo ya mawasiliano. Hivi watapata
habari zozote moja kwa moja.
Njia hizi zinatoa pia nafasi kwa watu kuuliza maswali. Wanaweza kuuliza
maswali kuhusu mambo mbalimbali na kupata majibu ya kitaalamu bila
kuchelewa. Zamani utafiti ungegharimu muda na pesa nyingi. Ilihusisha
kutembelea watu waliokuwa na ujumbe. Hii ilichukua muda mwingi. Wakati
mwingine walikosa hata kupata ujuzi waliosaka. Kwa sasa gharama ya
kupata ujumbe kama huo ni kidogo sana.
Halikadhalika, njia hizi zimeweza kufufua na kuhifadhi mambo yaliyokuwa
yanaelekea kusahaulika. Zimekuwa makavazi bora ambayo si ghali. Vilevile
yanafikiwa na wengi. Pia yanaweza kuhifadhi ujumbe kwa kiasi chochote.
Pia yanahifadhi kwa muda mrefu. Watu wengi sasa wanapata riziki kwa
kutumia njia hizi za kisasa. Wengi wananunua bidhaa kutumia njia hizi.
Wengine wengi wanauza bidhaa zao mitandaoni. Hii imerahisisha biashara
yao. Wanaweza kuwasiliana na wateja wao walio mbali. Pia watu hutangaza
biashara zao kwa njia hizi za kisasa.
Hata hivyo,njia hizi zimekuja na athari hasi. Kwanza wanajamii wametekwa
na kufanya njia hizi uraibu wao. Wengi wamesahau na kupuuza majukumu yao
wakiwasiliana. Waajiri wengi wanalalamika kuhusu waajiriwa ambao . Wao
hutumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii. Wanafunzi pia wametekwa
kwa swala hili. Badala ya kusoma,wao hushinda mitandaoni wakiwasiliana
na wenzao. Wengine husikiliza nyimbo kwenye simu zao. Wengine hutizama
video chafu kwenye mtandao na hii huwakoroga akili. Mienendo yao
hubadilika kutokana na vitu wanavyovitazama.
Pia,njia hizi zimetumiwa kusambaza porojo na propaganda. Hii inaweza
kuzua taharuki na michafuko. Kuna watu wanaohamasika sana wanapozitumia.
Wanaweza kuanika Siri zao hadharani. Hii ni kero kwa jamii na mtu
binafsi. Mtu anaweza kusambaza jambo la uwongo kuhusu mtu mtandaoni. Hii
inaweza kumharibia mhusika jina . Vilevile anayeanikwa anaweza kuanza
vita . Wanasiasa pia wanaweza kueneza chuki yao mtandaoni. Hii
hutawanyisa wananchi kwa sababu wanakosa mwelekezi na njia bora. Pia
jamii pana inalalamika kukosekana kwa uthibiti katika njia hizi za
mawasiliano. Hakuna Siri katika baadhi ya njia hizi. Mtu yeyote anaweza
kupata ujumbe wowote kuhusu chochote. Baadhi ya ujumbe yanaweza kuhusu
mambo yasiyo na maadili katika jamii. Njia hizi za kisasa zinawezesha
ujumbe hizi kusambaa katika jamii na kuleta uovu.
Pia,miale inayotoka katika betri za baadhi ya vifaa hivi vina madhara.
Watafiti wanasema kwamba madhara yanayoletwa na miale ni pamoja na
madhara ya ubongo na moyo. Haya ni baadhi ya matatizo ambayo hatakuwepo
kwenye njia za zamani. Njia za kisasa za kupashana habari zina manufaa
na madhara yake. Kama ilivyo kila kizuri hakikosi dosari. Hata kama njia
hizi zina dosari zake,haipingiki kuwa zimeleta faida nyingi kuliko
hasara. Ni muhimu jamii kutafuta njia za kukabiliana na changamoto
zinazokuja na maendeleo haya. Mfano mzuri ni mswada ulioidhinishwa na
rais wa kudhibiti uhuru wa mawasiliano ya kisasa..
| Kwa nini wanafunzi hawasomi | {
"text": [
"Wanashinda mitandaoni wakiwasiliana na wenzao"
]
} |
4945_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya
watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi
mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka
majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate
mlo wao.
Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo
aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani
aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na
kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi
gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda
ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa.
Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta
Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo
hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na
mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna
ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi
wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa.
Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga
kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde
matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari
ya pili nchini.
Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no
ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza
kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika
maswala yote yaliyo msumbua.
Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni
ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza
kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua
mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni.
Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya
miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani
matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine.
Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza
nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia
na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje
ya nchi.
Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea
upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya
sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea
nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia.
Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa
nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi
wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba
nzuri.
Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya
utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa
lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake
faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani
hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia.
Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake
.Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa
aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza
kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila
potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia
kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
| Baada ya dhiki huwepo nini? | {
"text": [
"Faraja"
]
} |
4945_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya
watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi
mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka
majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate
mlo wao.
Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo
aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani
aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na
kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi
gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda
ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa.
Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta
Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo
hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na
mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna
ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi
wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa.
Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga
kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde
matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari
ya pili nchini.
Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no
ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza
kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika
maswala yote yaliyo msumbua.
Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni
ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza
kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua
mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni.
Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya
miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani
matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine.
Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza
nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia
na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje
ya nchi.
Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea
upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya
sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea
nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia.
Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa
nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi
wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba
nzuri.
Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya
utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa
lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake
faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani
hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia.
Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake
.Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa
aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza
kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila
potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia
kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
| Familia yake Jipemoyo ilikuwa na watoto wangapi? | {
"text": [
"Wanne"
]
} |
4945_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya
watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi
mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka
majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate
mlo wao.
Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo
aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani
aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na
kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi
gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda
ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa.
Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta
Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo
hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na
mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna
ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi
wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa.
Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga
kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde
matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari
ya pili nchini.
Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no
ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza
kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika
maswala yote yaliyo msumbua.
Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni
ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza
kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua
mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni.
Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya
miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani
matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine.
Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza
nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia
na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje
ya nchi.
Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea
upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya
sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea
nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia.
Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa
nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi
wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba
nzuri.
Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya
utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa
lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake
faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani
hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia.
Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake
.Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa
aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza
kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila
potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia
kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
| Jipemoyo alikuwa wa jinsia gani? | {
"text": [
"Kike"
]
} |
4945_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya
watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi
mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka
majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate
mlo wao.
Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo
aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani
aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na
kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi
gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda
ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa.
Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta
Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo
hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na
mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna
ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi
wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa.
Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga
kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde
matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari
ya pili nchini.
Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no
ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza
kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika
maswala yote yaliyo msumbua.
Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni
ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza
kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua
mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni.
Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya
miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani
matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine.
Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza
nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia
na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje
ya nchi.
Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea
upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya
sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea
nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia.
Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa
nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi
wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba
nzuri.
Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya
utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa
lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake
faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani
hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia.
Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake
.Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa
aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza
kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila
potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia
kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
| Wazazi wake Jipemoyo walikuwa wakifanya kazi ipi? | {
"text": [
"Ya kijungujiko"
]
} |
4945_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Jipemoyo alikua msichana aliyezaliwa was kwanza katika familia yao ya
watoto wanne.Familia yao ilikua ikifanya kazi za sulubu ili kukidhi
mahitaji yao ya Kila siku.Kabla ya kwenda shule Jipemoyo alirauka
majogoo ilikuwasaidia wazazi wake kufanya kazi za kijungujiko ili wapate
mlo wao.
Mavazi yake yalikua yamechanika .Yalikua mararu.Licha ya hayo Jipemoyo
aliendelea kutia bidii masomoni.Kila Mara aliwapiku wenzake kwani
aliibuka mahindi Kila Mara.Japo wanafunzi wenzake walimcheka na
kumdharau kamwe hakuyasikiza maneno yao.Ilikua ni Kama kumpigia mbizi
gitaa .Maneno yao yaliingilia sikio hili na kutokea jingine.Muda
ulivyoendela kusonga aliendelea kutia bidii za mchwa.
Matatizo yaliendelea kumwandama.Kila Mara alitumwa nyumbani kuleta
Karo.Hali hii ilimlazimu kuenda kufanya kazi ya sulubu ili kuipata Karo
hio.kwani wazazi wake hawangeweza kumudu kupata Karo hio pamoja na
mahitaji yao ya Kila siku.Jipemoyo alielewa kuwa mkono hujikuna
ufikiapo.Hivyo basi hakuweza kukata tamaa Wala kuwalaumu wazazi
wake.Aliendelea kuwaheshimu na kuwasikiliza kwani heshima si utumwa.
Alipofika darasa la nane aliendelea kutia nira masomoni.Alijifunga
kibwebwe na kuamini kwamba mchumia juani hulia kivulini.Punde si punde
matangazo ya mtihani wa kitaifa yalitangazwa . Jipemoyo alikua nambari
ya pili nchini.
Wahisani mbalimbali walitokea kumfadhili katika masomo yake.Tabia no
ngozi .Jipemoyo aliendelea na hulka yake ya kutia bidii masomoni.Aliweza
kuwafanya walimu wawe rafiki zake .Alifanya utafiti was kutosha katika
maswala yote yaliyo msumbua.
Jipemoyo hakua mahiri masomoni bali katika nyanza zote wembe ulikua ni
ule ule.Si viwanjani,si katika mashairi na michezo ya kuigiza.Aliweza
kufuzu na kupewa zawadi kochokocho na vyeti vya kuhitimu.Alikua
mwanagenzi wa kupigiwa mfano pale shuleni.
Walimu walimpenda na Kila Mara hawakusita kumtumia Kama mfano.Baada ya
miaka minne alifika kidato Cha nne. Alifunga kibwebwe masomoni kwani
matokeo yake ndiyo yangemsaidia kusonga katika hatua nyingine.
Kama kawaida matokeo yalipotangazwa aliibuka nambari ya kwanza
nchini.wazazi wake na walimu walijawa na furaha mpwitompwito. Walimsifia
na kumpa zawadi tele.Jipemoyo alipewa ufadhili wa kusomea udaktari nje
ya nchi.
Alisafiri na kuelekea taifa la India ambako alistahili kusomea
upasuaji.Alitia nira masomoni na Kama kawaida aliweza kufuzu.Aliifanya
sherehe ya mahafali na kurejea nchi yao ya Madongoporomoko.Alirejea
nyumbani kwao na vyeti vyake vya kuvutia.
Baada ya muda wa majuma mawili aliajiriwa kazi katika hospitali kubwa
nchini.Kutokana na ufanisi wake alipewa hadhi ya kuwa msimamizi
wao.Aliweza kuwanunulia wavyele wake shamba kubwa na kuwajengea nyumba
nzuri.
Jipemoyo aliendelea kupata na sifa na kupandishwa hadhi.Alikua Alifanya
utafiti ambao ulisaidia kukabiliana na magonjwa sugu.Si katika taifa
lake tu bali duniani pia.Aliweza kuanzisha miradi iliyoipa taifa lake
faida.Aliweza kuanzisha shule kadhaa ili kuwasaidia wasio jiweza kwani
hakutaka wapitie Hali ngumu aliyoipitia.
Aliendelea kuendeleza na kufanya miradi iliyokuza jina la taifa lake
.Aliweza kusifiwa na kupigiwa mfano katika vyombo vya habari.Sasa
aliweza kuishi maisha mema na kupata Kila alichohitaji. Aliweza
kuwafadhili na kuwasaidia wasio jiweza.Aliweza kukabiliana na Mila
potovu Kama ukeketaji wa wasichana.Kwa kweli mchumia juani hulia
kivulini na baada ya dhiki huja faraja.
| Mchumi juani hulilia wapi? | {
"text": [
"Kivulini"
]
} |
4946_swa | SHULE YA UPILI YA CHAI BURE,
SANDUKU LA POSTA 333,
MALAVA.
22/12/2021.
Kwa baba mpendwa,
Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa
tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote
wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa
afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua.
Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba
atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea
lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo
hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya
Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko.
Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni
kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata
shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani.
Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida
ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako.
Maswala yale ninayo ni machache tu.
Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao
unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya
afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa
shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama
alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na
mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo
wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile
mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako.
Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka.
Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka
shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia
sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya
mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku
wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao
walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa
hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi
walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani
mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu
wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu
watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza
mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui
ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi.
Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi
kizimbani na kuku wengine.
Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi
kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni
juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi
ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na
sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu
na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau,
niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani
mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku
zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani
elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi.
Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi
wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo
wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu
wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu
ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme.
Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii
katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi.
Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha
kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo.
Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo
kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na
masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba
bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye
anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si
unajua mama si mtu wa maneno mengi.
Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa
jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya
kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia
wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane,
ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini.
Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya
udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na
mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge
kule.
Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii
nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na
akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani.
Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku
tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai
kupata majibu yako hivi karibuni.
Mimi mwanao, Patty Perry.
| Nani analia tu baba atarudi lini | {
"text": [
"kifunga mimba"
]
} |
4946_swa | SHULE YA UPILI YA CHAI BURE,
SANDUKU LA POSTA 333,
MALAVA.
22/12/2021.
Kwa baba mpendwa,
Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa
tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote
wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa
afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua.
Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba
atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea
lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo
hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya
Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko.
Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni
kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata
shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani.
Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida
ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako.
Maswala yale ninayo ni machache tu.
Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao
unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya
afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa
shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama
alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na
mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo
wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile
mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako.
Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka.
Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka
shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia
sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya
mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku
wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao
walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa
hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi
walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani
mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu
wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu
watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza
mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui
ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi.
Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi
kizimbani na kuku wengine.
Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi
kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni
juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi
ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na
sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu
na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau,
niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani
mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku
zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani
elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi.
Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi
wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo
wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu
wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu
ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme.
Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii
katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi.
Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha
kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo.
Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo
kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na
masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba
bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye
anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si
unajua mama si mtu wa maneno mengi.
Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa
jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya
kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia
wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane,
ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini.
Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya
udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na
mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge
kule.
Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii
nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na
akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani.
Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku
tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai
kupata majibu yako hivi karibuni.
Mimi mwanao, Patty Perry.
| Mbona baba aliandikiwa barua hiyo | {
"text": [
"kumjulisha jinsi mambo yalivyo nyumbani"
]
} |
4946_swa | SHULE YA UPILI YA CHAI BURE,
SANDUKU LA POSTA 333,
MALAVA.
22/12/2021.
Kwa baba mpendwa,
Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa
tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote
wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa
afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua.
Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba
atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea
lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo
hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya
Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko.
Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni
kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata
shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani.
Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida
ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako.
Maswala yale ninayo ni machache tu.
Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao
unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya
afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa
shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama
alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na
mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo
wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile
mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako.
Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka.
Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka
shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia
sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya
mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku
wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao
walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa
hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi
walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani
mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu
wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu
watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza
mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui
ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi.
Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi
kizimbani na kuku wengine.
Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi
kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni
juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi
ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na
sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu
na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau,
niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani
mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku
zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani
elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi.
Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi
wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo
wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu
wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu
ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme.
Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii
katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi.
Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha
kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo.
Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo
kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na
masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba
bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye
anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si
unajua mama si mtu wa maneno mengi.
Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa
jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya
kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia
wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane,
ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini.
Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya
udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na
mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge
kule.
Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii
nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na
akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani.
Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku
tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai
kupata majibu yako hivi karibuni.
Mimi mwanao, Patty Perry.
| Msimu gani ulikuwa bora zaidi | {
"text": [
"msimu uliopita"
]
} |
4946_swa | SHULE YA UPILI YA CHAI BURE,
SANDUKU LA POSTA 333,
MALAVA.
22/12/2021.
Kwa baba mpendwa,
Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa
tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote
wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa
afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua.
Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba
atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea
lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo
hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya
Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko.
Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni
kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata
shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani.
Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida
ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako.
Maswala yale ninayo ni machache tu.
Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao
unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya
afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa
shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama
alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na
mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo
wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile
mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako.
Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka.
Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka
shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia
sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya
mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku
wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao
walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa
hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi
walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani
mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu
wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu
watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza
mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui
ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi.
Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi
kizimbani na kuku wengine.
Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi
kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni
juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi
ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na
sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu
na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau,
niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani
mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku
zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani
elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi.
Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi
wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo
wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu
wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu
ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme.
Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii
katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi.
Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha
kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo.
Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo
kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na
masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba
bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye
anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si
unajua mama si mtu wa maneno mengi.
Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa
jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya
kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia
wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane,
ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini.
Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya
udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na
mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge
kule.
Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii
nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na
akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani.
Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku
tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai
kupata majibu yako hivi karibuni.
Mimi mwanao, Patty Perry.
| Walipata nini kutoka shambani | {
"text": [
"mazao mengi"
]
} |
4946_swa | SHULE YA UPILI YA CHAI BURE,
SANDUKU LA POSTA 333,
MALAVA.
22/12/2021.
Kwa baba mpendwa,
Je uhali gani? Habari za kazi? Mjomba Pita naye je? Yule rafiki wangu wa
tarakilishi naye? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote
wanatumai wewe pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu m buheri wa
afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima. Sisemi mithili ya chuma cha pua.
Kila mmoja ana hamu ya kukuona. Hata kifunga mimba wetu analia tu baba
atarudi lini. Mama pia vile vile. Anatamani kuona. Anauliza utarejea
lini twende kwenye kiziwa cha Malavi? Lakini uko mbali na sisi kwa hivyo
hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huko nchi ya
Kazikwisha. Tunakuombea kwa Rabuka akujalie wakati mwema huko uliko.
Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.Sababu ya kukuandikia barua hii ni
kukujulisha jinsi mambo yalivyo humu nyumbani. Bila kusahau hata
shuleni. Sisi tunaendelea vizuri. Hamna shida yeyote ile huku nyumbani.
Mola anazidi kutupa baraka zake tele. Shida zilizoko ni kidogo tu. Shida
ambazo hata hivyo haziwezi kuegemea pande yoyote ile ya familia yako.
Maswala yale ninayo ni machache tu.
Baba utarejea lini? Imepita miaka miwili hatukuoni nyumbani? Kila ujao
unasema utakuja. Wiki mbili hivi ziliyopita mama aliweza kuugua. Hali ya
afya yake ilikuwa duni sana. Tulijikaza na wakati mwingine mimi kukosa
shule. Nilikaa nyumbani ili kumwuguza mama wetu mpendwa. Wakati huo mama
alikuwa akilia sana. Hayo yote yalikwisha. Kwa uwezo wa Muumba nchi na
mbingu, mama alipata nafuu. Nami nikarejelea masomo yangu. Wakati huo
wote mama aliweza kunieleza hukuweza kumjulia hali. Kwa kipindi kile
mama alikuwa kwenye hospitali. Jambo hili liliweza kukera wana wako.
Sasa twamshukuru mola kwa kumjalia hali hiyo ya fanaka.
Msimu uliopita ulikuwa bora zaidi. Tulipata mazao mengi sana kutoka
shambani. Tulivuna mahindi gunia kumi. Maharagwe nayo tulivuna gunia
sita. Jambo hili lilimfurahisha mama. Alikuwa amefanya bidii mithili ya
mchwa wajengao kichuguu. Njugu tuliweza kuvuna gunia sita pia. Kuku
wameaguana. Ni wengi ajabu. Bila kusahau ng'ombe. Kuna wale ambao
walizaa mapacha na wengine hata kuzaa watatu. Wakati mama alikuwa
hospitalini, tuliuza ndama mmoja ili kugharamia matibabu yake. Juzi wezi
walijaribu kuja kutuibiwa kuku. Lakini njama yao iliweza kutibua kwani
mbwa wetu alikuwa ange. Aliweza kuwafukuza na tukasikia nje watu
wakikimbia. Mama alipoangalia kwenye mianzi ya dirisha, aliwaona watu
watatu wakitokea kule kizimbani. Alishukuru Mola. Tunapanga kuongeza
mbwa mwingine wawe watatu kwani mmoja yule wa kike amezembea sana. Sijui
ni kwasababu ya umri au? Yote tisa. Kumi njiwa wa Harris wamekuwa wengi.
Tunampango wa kuwajengea tu nyumba yao mbadala. Sasa hivi huwa wanaishi
kizimbani na kuku wengine.
Hii inaonyesha kuwa Mungu hawaachi wana wake. Haswa wale wafanyao kazi
kwa bidii.Kando na kilimo pia shuleni tumetia makali kwenye masomo. Ni
juzi tuliufanya mtihani wa kufunga mwaka. Mimi binafsi nilikuwa na gredi
ya A hasi. Kaka yangu Harris alikuwa na alama ya mia tatu sitini na
sita. Kwenye darasa lake aliibuka nambari tatu. Alituzwa mkoba, kalamu
na vitabu. Pia mimi nilituzwa vitabu vya marudio. Bila kusahau,
niliahidiwa kipakatalishi iwapo ningefuzu kujiunga na chuo kikuu. Yaani
mtihani wa mwisho. Matumaini yetu ni kuwa na maisha ya starehe siku
zisazo. Haya yote ni kupitia elimu. Sote tumeamini kwenye elimu kwani
elimu ndiyo mwangaza siku hizi. Dada yangu Nyakoa pia yeye amejitahidi.
Wao wanafanya mtaala mpya wa elimu. Mtaala huo huwa huoredheshi
wanafunzi kama ule wetu wa wakitambo. Wao wanafanya mambo yanayo
wawezesha kuishi kwa kujitegemea hata kama watashindwa kufuzu. Watu
wengi wameupinga mtaala huo huku kwetu. Lakini hawana budi. Nafahamu
ujuavyo, kaka kuwa aliweza kupandishwa cheo katika kampuni ya umeme.
Jambo hili linadhihirisha kuwa anaonekana kuwa shupavu na mwenye bidii
katika kazi yake. Kupandishwa kwake cheo kulifanya mama kufurahi.
Alizama kwenye bahari ya furaha bin buraha. Hii ni kiashirio tosha
kwamba wana wako wanatia bidii katika kila jambo.
Dada naye aliyekuwa akifanya kazi ya wazigi aliweza kujiunga ya chuo
kikuu cha Maseno miezii mitatu iliopita. Alionelea ni vyema kuendelea na
masomo yake kwa manufaa ya siku za usoni. Yule kijana aliyempajika mimba
bado wanaishi naye. Pia yeye nasikia yuko katika chuo hicho hicho. Yeye
anafanya kosi ya saikolojia. Mama pia ameweza kuunga mahusiano yao. Si
unajua mama si mtu wa maneno mengi.
Familia yako imeweza kupata sifa si haba kutoka kwa wanakijiji kwa
jitihada zao zinazoashilia umoja na umakinifu. Tumekuwa familia ya
kupigiwa mfano. Wanakijiji wakati wote wanasifia tabia zetu. Wanawaambia
wana wao kuwa mngekuwa na tabia kama wale watoto wa mama Jane,
ningefurahia sana. Sisi tumejituma na hatuwezi weka jina letu chini.
Ninajikaza ili nami pia nijiunge na chuo kikuu ili kufanya kozi yangu ya
udaktari katika chuo kikuu cha Kenyatta. Siezi jiunga na chuo moja na
mkubwa wangu. La hasha. Ya mola ni mengi. Lakini nitajitahidi nisijiunge
kule.
Ninayo matumaini makuu na ya kufana kuwa utaweza kupata habari hii
nilivyoandika na ufafanulizi wake zaidi. Naomba mola akubariki na
akusalie hali njema. Mwisho wa mwaka tunaomba uweze kuja nyumbani.
Tungepende ututembeze kama hapo awali. Tulikuwa tunatembea huku
tumefurahia. Tunaomba muda huo tena na tena. Kazi njema baba. Natumai
kupata majibu yako hivi karibuni.
Mimi mwanao, Patty Perry.
| Walivuna lini mahindi gunia kumi kutoka shambani | {
"text": [
"msimu uliopita"
]
} |
4947_swa | BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI?
Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita
biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake
yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je,
ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa
chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka
kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote
mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa
kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni
ni kama zifwatazo.
Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana.
Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila
kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama
wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha
kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako
imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba
bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili
limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno.
Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu.
Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi
ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni
kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La!
Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza.
Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu.
Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha
afanye waamuzi wake.
Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria
hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu.
Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua
jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile
lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza.
Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado
njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile
jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia
hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua
kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu
mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia
usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia
jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona
kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo
ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia
mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea
wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa
mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea.
Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi
mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli
mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa.
Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni.
Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo
mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi
yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka
hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa
kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya
biashara mingi kurudi mitandaoni.
Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi
wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika.
Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za
mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni.
Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli.
Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa
utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao
wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema
masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina.
Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa
anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja
aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu
anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe
mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy
aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka
alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila
kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli
kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na
simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda
asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko
nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa
hatawahi fanya biashara ya mtandaoni.
Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa
pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa
upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni
changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata
bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia
sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei
uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia
tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona
bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote
ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za
mtandaoni kuonekana ni utapeli.
Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni
shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa
unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa
inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo
swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya
kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za
mtandaoni kurudi nyuma.
Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea
kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya
serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao
kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata
wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi
za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi
elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za
watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile.
Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo.
Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana.
Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa.
Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache.
Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni.
Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije
tukalala wakati tushatapeliwa.
| Wakati huu watu wengi hupenda biashara gani | {
"text": [
"za mtandaoni"
]
} |
4947_swa | BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI?
Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita
biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake
yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je,
ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa
chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka
kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote
mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa
kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni
ni kama zifwatazo.
Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana.
Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila
kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama
wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha
kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako
imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba
bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili
limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno.
Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu.
Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi
ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni
kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La!
Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza.
Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu.
Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha
afanye waamuzi wake.
Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria
hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu.
Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua
jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile
lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza.
Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado
njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile
jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia
hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua
kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu
mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia
usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia
jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona
kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo
ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia
mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea
wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa
mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea.
Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi
mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli
mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa.
Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni.
Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo
mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi
yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka
hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa
kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya
biashara mingi kurudi mitandaoni.
Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi
wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika.
Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za
mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni.
Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli.
Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa
utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao
wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema
masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina.
Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa
anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja
aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu
anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe
mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy
aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka
alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila
kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli
kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na
simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda
asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko
nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa
hatawahi fanya biashara ya mtandaoni.
Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa
pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa
upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni
changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata
bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia
sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei
uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia
tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona
bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote
ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za
mtandaoni kuonekana ni utapeli.
Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni
shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa
unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa
inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo
swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya
kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za
mtandaoni kurudi nyuma.
Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea
kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya
serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao
kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata
wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi
za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi
elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za
watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile.
Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo.
Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana.
Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa.
Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache.
Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni.
Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije
tukalala wakati tushatapeliwa.
| Rafiki ya msimulizi alikuwa anahitaji nini | {
"text": [
"jokofu"
]
} |
4947_swa | BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI?
Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita
biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake
yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je,
ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa
chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka
kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote
mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa
kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni
ni kama zifwatazo.
Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana.
Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila
kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama
wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha
kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako
imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba
bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili
limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno.
Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu.
Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi
ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni
kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La!
Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza.
Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu.
Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha
afanye waamuzi wake.
Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria
hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu.
Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua
jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile
lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza.
Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado
njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile
jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia
hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua
kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu
mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia
usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia
jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona
kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo
ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia
mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea
wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa
mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea.
Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi
mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli
mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa.
Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni.
Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo
mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi
yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka
hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa
kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya
biashara mingi kurudi mitandaoni.
Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi
wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika.
Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za
mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni.
Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli.
Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa
utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao
wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema
masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina.
Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa
anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja
aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu
anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe
mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy
aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka
alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila
kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli
kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na
simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda
asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko
nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa
hatawahi fanya biashara ya mtandaoni.
Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa
pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa
upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni
changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata
bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia
sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei
uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia
tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona
bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote
ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za
mtandaoni kuonekana ni utapeli.
Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni
shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa
unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa
inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo
swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya
kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za
mtandaoni kurudi nyuma.
Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea
kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya
serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao
kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata
wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi
za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi
elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za
watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile.
Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo.
Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana.
Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa.
Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache.
Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni.
Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije
tukalala wakati tushatapeliwa.
| Mbona rafiki yake alielekea jiji | {
"text": [
"kununua jokofu"
]
} |
4947_swa | BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI?
Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita
biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake
yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je,
ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa
chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka
kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote
mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa
kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni
ni kama zifwatazo.
Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana.
Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila
kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama
wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha
kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako
imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba
bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili
limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno.
Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu.
Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi
ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni
kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La!
Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza.
Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu.
Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha
afanye waamuzi wake.
Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria
hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu.
Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua
jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile
lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza.
Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado
njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile
jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia
hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua
kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu
mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia
usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia
jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona
kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo
ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia
mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea
wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa
mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea.
Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi
mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli
mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa.
Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni.
Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo
mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi
yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka
hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa
kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya
biashara mingi kurudi mitandaoni.
Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi
wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika.
Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za
mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni.
Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli.
Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa
utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao
wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema
masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina.
Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa
anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja
aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu
anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe
mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy
aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka
alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila
kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli
kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na
simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda
asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko
nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa
hatawahi fanya biashara ya mtandaoni.
Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa
pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa
upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni
changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata
bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia
sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei
uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia
tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona
bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote
ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za
mtandaoni kuonekana ni utapeli.
Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni
shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa
unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa
inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo
swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya
kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za
mtandaoni kurudi nyuma.
Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea
kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya
serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao
kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata
wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi
za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi
elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za
watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile.
Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo.
Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana.
Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa.
Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache.
Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni.
Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije
tukalala wakati tushatapeliwa.
| Shughuli nyingi zilirudi mtandaoni lini | {
"text": [
"wakati wa gonjwa hili mbaya la korona"
]
} |
4947_swa | BIASHARA YA MTANDAO INAMANUFA GANI?
Wakati huu watu wengi hupenda biashara za mtandaoni. Watu wengi huita
biashara za online. Je, umewahi nunua kitu kwenye mtandao? Matokea yake
yalikuwaje? Ulifurahia na kifaa hicho ambacho ulitoa kwenye mtandao? Je,
ungependa tena kufanya kazi mtandaoni? Ama ungependa kununua kifaa
chochote mtandaoni. Mimi binafsi ni mtu ambaye napenda sana vifaa kutoka
kwenye mtandao. Kuanzia kwa rungoya, televisheni hata simu. Hizo zote
mimi huzitoa kwenye mtandao. Mara mingi mimi hufurahia kununua vifaa
kwenye mtandao. Shughuli ambazo mimi hufanya napenda kununua mtandaoni
ni kama zifwatazo.
Mimi kama mnunuzi wa vitu kutoka kwenye mtandao, huwa nafaidika sana.
Cha kwanza bidhaa yako huwa na imani kuwa itakufikia salama bila
kuibiwa. Kwani magari haya ambayo huleta bidhaa huwa yamewekewa usalama
wa hali ya juu. Labda askari wanne waliojihami. Yote ni kuhakikisha
kwamba bidhaa inakufikia kama iko salama. Pia ukipata bidhaa yako
imeweza kufunguliwa, hairuhusiwi kuichukua. Hii ni kuhakikisha kwamba
bidhaa yako inapopakiwa, ni wewe tu una ruhusa ya kuigagua. Jambo hili
limefanya biashara za mtandaoni kuaminiwa mno.
Inanikumbusha swala moja. Rafiki yangu alikuwa anahitaji sana jokufu.
Aliponijia mimi nilimweleza kuhusu jumia au kilmall. Hizo ndizo baadhi
ya soko za mtandaoni ninazofanya kazi nazo. Nikamweleza kwamba hiyo ni
kazi rahisi mno. Nipe hela nikuchukulie kwenye mtandao. Akasema. La!
Mimi sitaki. Biashara za mtandaoni kuna matapeli wengi. Nikamwuliza.
Wewe huwa unanunua wap? Kilmall au Jumia? Akaniambia hizo zote sifahamu.
Lakini najua biashara za mtandaoni si bora. Nilijinyamazia na kuwacha
afanye waamuzi wake.
Yeye akaamua kuenda kununua jokofu yake kule Nairobi. Bila kufikiria
hata. Basi akapanga safari kuelekea jiji. Lengo kuu ni kununua jokofu.
Alifika Nairobi na kuenda katika soko mojawapo kule. Aliweza kununua
jokufu. Alianza safari ya kurudi. Walipokuwa njiani, jokufu lile
lilivunjika vioo. Ikawa kwamba wakifika huku wataweza kutengeneza.
Waliendelea na safari. Mwendo wa saa tatu usiku, walikuwa wako bado
njiani. Walipofika mahali fulani, wezi waliwasimamisha na kuwaibia ile
jokofu. Rafiki wangu huyo alilia sana. Alipokuja kunieleza nikamwambia
hasara ambaye ameenda ni kubwa sana. Kumbuka ya kwamba wakati umechukua
kitu mtandaoni, unakuwa na hakika na usalama. Iwapo umechukua kitu
mtandaoni halafu kipatwe na shida, una uhuru wa kurudisha kule. Pia
usalama unahakikishiwa pia upo. Rafiki huyo alirudi na nikamchukulia
jokufu jingine kwenye masoko ya mtandaoni. Alipopiga hesabu, aliona
kwamba alikuwa ametumia bei ghali kuenda Nairobi. Ukilinganisha na hiyo
ya kuchugua mtandaoni, ilikuwa bei nafuu sana. Aliniunga mkono asilimia
mia kwa mia kwamba bidhaa mitandaoni ni bora sana kuliko zile za kuendea
wewe moja kwa moja. Mtandaoni kumbuka kwamba unaletewa bidhaa hadi kwa
mlango. Ukilinganisha na wewe mwenyewe kuendea.
Wakati wa gonjwa hili mbaya la korona, shughuli mingi zilirudi
mtandaoni. Si masomo. Si biashara. Takwimu zinaonyesha kwamba shughuli
mingi ambazo zilirejelea mtandaoni hadi saa hii bado zinaendelezwa.
Tuanze na masomo. Masomo kati vyuo vingi yalifanywa kupitia mtandaoni.
Hadi saa hizi, baadhi ya wahadhiri bado wanaendelezwa masomo hayo
mtandaoni. Mimi ni mojawapo wa wale waliojifunza mtandaoni. Mambo mengi
yamerudishwa kwenye mtandao msimu wa korana. Hata kuna baadhi ya maduka
hawakuwa wanahitaji pesa taslimu. Bali wao walikuwa wanataka tu pesa
kupitia kwa kadi za benki ama kutumia simu. Jambo hili lilifanya
biashara mingi kurudi mitandaoni.
Wanafunzi wengi pia husema pesa ipo sana mitandaoni. Baadhi ya wanafunzi
wa chuo kikuu wengi wanafanya kazi mitandaoni. Si biashara za kuandika.
Si biashara za kuuza. Kuna wale wameweza kuishi kupitia hizi kazi za
mitandaoni. Kuna wale nao huwezi kuambia kuhusu biashara za mitandaoni.
Kwani wanaona kwamba biashara za mitandaoni zimejaa watapeli.
Basi utapata kwamba hata kama biashara za mitandaoni ni nzuri, zimejaa
utapeli mwingi. Utapata ya kwamba kati ya watu kumi saba juu yao
wamewahi kutapeliwa mtandaoni. Tuanze na haya masoko ya kuuza. Nikisema
masoko hayo ni Jumia na Kilmall. Ni baadhi ya masoko yanayochukulina.
Nakumbuka rafiki yangu aitwaye Mercy kila wakati. Yeye hakuwa
anaambilika ukimwambia kuhusu biashara za mtandaoni. Nakumbuka siku moja
aliponunua simu yake kwenye mtandao. Alikuwa na furaha sana. Alikuwa tu
anaulizia simu yangu itafika lini? Basi simu ilipofika, alipata ujumbe
mdogo. Ulikuwa unamweleza kwamba aendee bidhaa yake iko tayari. Mercy
aliondoka asubuhi na mapema bila hata kupata chai. Alifika kule kwa duka
alipokuwa ameagizwa kuja kuchukua simu. Alipata simu na kupenduka bila
kuangalia. Aliporejea nyumbani alifunua. Lo! Alistaajabu. Mzungu wa reli
kando. Simu hiyo ilikuwa na kasoro. Makaa yake haikuwa inaambatana na
simu hiyo. Alitaka kurudisha huko lakini aliona kwamba huenda
asirudishiwe simu tena. Aliamua kununulia makaa ya hapo. Alitembea soko
nzima na jiji mzima bila kupata. Alihuzunika. Alikata shauri kuwa
hatawahi fanya biashara ya mtandaoni.
Alisema kuwa ingekuwa kwa duka, angerudisha ile simu kule na kurejeshewa
pesa yake. Hii ndio changamoto inayokumba masoko ya mitandaoni. Haswa
upande wa wateja. Unapata ya kwamba wakishanunua kitu kurudisha huwa ni
changamoto. Tena hakuna kule kuongea na yule anayeuza. Unaeza pata
bidhaa imewekwa shilingi mia saba. Lakini upande wako una shilingi mia
sita hamsini. Basi hamuwezi mkaongea nao moja kwa moja akashusha bei
uende na bidhaa ile. Wakati mwingine unapata bidhaa ni shilingi mia
tisa. Bidhaa ile ile unapata ni shilingi mia tatu. Sasa unashindwa mbona
bidhaa hii ni shilingi mia tisa na hii ni shilingi mia tatu? Huku zote
ni sawa. Unabaki tu maswali yako. Hii pia huchangia kufanya biashara za
mtandaoni kuonekana ni utapeli.
Tena ukiangalia pia bei ya usafirishaji iko juu. Utapata bidhaa ni
shilingi tisini. Bei ya usafirishani ni shilingi mia mbili hamsini. Sasa
unashangaa inakuwaje? Watu wengi wanapoona hivo, ile ari ya kununua huwa
inawaisha kabisa. Hivyo hivyo soko za mtandaoni yafaa ziangalie hilo
swala. Iweke bei ile ambayo itavutia wanunuzi na pia bei ile ya
kusafirisha iwe chini. Si kuweka bei za juu. Hii itachangia biashara za
mtandaoni kurudi nyuma.
Kando na masoko, ile ari ya vijana kuwa matajiri kwa haraka imewapelekea
kutapeliwa sana mitandaoni. Kuna wale wamewahi jipata kwa mikono ya
serikali kwa njia moja au nyingine. Labda kupitia vitambulisho vyao
kupora pesa mahali. Wengine nao wamejipata kulipia shughuli ambazo hata
wao wenyewe hawaamini. Juzi niliweza kuongea na dada wangu kuhusu kazi
za mtandaoni. Yeye alinijuza kwamba yeye ameweka huko takribani shilingi
elfu kumi bila kupata chochote. Kumbe alikuwa anajiunga na vyama za
watapeli mtandaoni. Utapata wanakwambia ukijiunga utapata hiki na kile.
Mwishowe unalaghaiwa na kuachwa hivyo hivyo.
Ukiwauliza watu wengi utasikia kwamba mimi kazi ya mtandaoni hapana.
Takribani watu watatu kwa watu watano wamewahi tapeliwa.
Ni vyema tuwe waangalifu. Tamaa za kupata utajiri mapema tuache.
Tujitahidi tufanye bidii tu. Ni wakati wetu kuzuia wizi wa mitandaoni.
Tujaribu tulinde kazi ya mitandaoni. Tuwe waangalifu sana. Tusije
tukalala wakati tushatapeliwa.
| Nani wanasema pesa ipo sana mitandaoni | {
"text": [
"wanafunzi "
]
} |
4948_swa | Ajali ya maisha
Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta
furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila
kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi
naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au
baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na
pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa
kuegemea katika suala la ndoa.
Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua
kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na
harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya
kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na
nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha
yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni.
Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake
yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye
ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa
kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila
kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata
wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa
mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya.
Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake
barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda
matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo
mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya
Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine
walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson
alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali.
Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo
mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini
usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha
zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake
angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni
mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku
Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao?
Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha
kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na
Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender
alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu
alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi
itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea
marafiki wala marafiki kumtembelea.
Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia
mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume
wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya
mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake
kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani
mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe
ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba.
Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na
kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa
yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini
haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za
kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
| Ndoa yaweza leta nini | {
"text": [
"Furaha na majonzi"
]
} |
4948_swa | Ajali ya maisha
Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta
furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila
kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi
naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au
baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na
pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa
kuegemea katika suala la ndoa.
Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua
kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na
harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya
kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na
nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha
yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni.
Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake
yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye
ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa
kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila
kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata
wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa
mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya.
Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake
barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda
matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo
mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya
Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine
walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson
alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali.
Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo
mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini
usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha
zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake
angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni
mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku
Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao?
Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha
kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na
Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender
alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu
alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi
itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea
marafiki wala marafiki kumtembelea.
Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia
mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume
wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya
mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake
kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani
mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe
ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba.
Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na
kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa
yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini
haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za
kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
| Chaguo laweza kuwa lipi | {
"text": [
"Baya au zuri"
]
} |
4948_swa | Ajali ya maisha
Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta
furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila
kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi
naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au
baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na
pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa
kuegemea katika suala la ndoa.
Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua
kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na
harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya
kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na
nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha
yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni.
Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake
yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye
ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa
kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila
kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata
wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa
mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya.
Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake
barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda
matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo
mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya
Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine
walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson
alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali.
Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo
mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini
usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha
zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake
angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni
mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku
Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao?
Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha
kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na
Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender
alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu
alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi
itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea
marafiki wala marafiki kumtembelea.
Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia
mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume
wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya
mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake
kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani
mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe
ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba.
Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na
kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa
yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini
haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za
kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
| Matokeo huwa na pande ngapi | {
"text": [
"Mbili"
]
} |
4948_swa | Ajali ya maisha
Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta
furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila
kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi
naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au
baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na
pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa
kuegemea katika suala la ndoa.
Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua
kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na
harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya
kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na
nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha
yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni.
Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake
yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye
ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa
kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila
kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata
wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa
mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya.
Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake
barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda
matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo
mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya
Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine
walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson
alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali.
Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo
mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini
usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha
zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake
angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni
mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku
Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao?
Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha
kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na
Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender
alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu
alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi
itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea
marafiki wala marafiki kumtembelea.
Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia
mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume
wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya
mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake
kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani
mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe
ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba.
Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na
kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa
yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini
haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za
kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
| Ndoa huchukua muda upi kukamilika | {
"text": [
"Mwingi"
]
} |
4948_swa | Ajali ya maisha
Aghalabu watu husema kuwa ndoa ni suala la muda mrefu.Ndoa yaweza kuleta
furaha au majonzi.Hutegemea mtu ambaye utamchagua wewe mwenyewe bila
kushurutishwa.Unapoamua kufunga pingu za maisha na unayedhamiria kuishi
naye milele huwa umefanya chaguo.Chaguo lolote lile huweza kuwa zuri au
baya.Unapofanya chaguo ni lazima uwe tayari kwa matokeo.Matokeo huwa na
pande mbili.Upande hasi na upande chanya.Kwa hivi sasa ningependa
kuegemea katika suala la ndoa.
Ndoa huchukua muda mwingi kabla ikamilike.Huenda wanaoowana wakaamua
kufanya harusi ambayo itafana.Hilo halijalishi.Ndoa haihusiani na
harusi,veli wala suti.Ndoa hutambulika kama jambo takatifu na dini ya
kikirsto pamoja na dini ya kiislamu.Lakuzingatia zaidi ni je utaishi na
nani baada ya harusi.Ukichagua mkorofi utakosa amani siku zote za maisha
yako na ukichagua mnyenyekevu utakuwa na furaha na amani moyoni.
Lavender alimpenda Robinson mvulana mtanashati.Mapenzi yake kwake
yalimfunga macho mpaka akajisahau.Hakufikiria kuhusu maisha ya baadaye
ila alifikiria maisha ya wakati aliokuwa.Robinson alikuwa mkwasi wa
kutajika.Lavender alipata kila alichohitaji kwa wakati bila
kucheleweshwa.Aliona amependwa na mpenzi wake kiasi cha kwamba hata
wazazi wake walipojaribu kumwambia awe makini aliwajibu kuwa yeye hakuwa
mtoto tena na alijua alichokuwa akikifanya.
Uchumba uliendelea kwa raha teletele.Robinson akamtunza malkia wake
barabara.Upendo wao ukazidi na kuenea kote.Ikawa mara wameenda
matembezi,mara wameenda ng'ambo kwa ndege na kununuliwa nguo
mpya.Lavender alipokea elfu thelatini kila mwisho wa mwezi.Licha ya
Robinson kumtumia pesa zile bado alimwongezea zingine
walipokutana.Lavender alifuraha ghaya akaongeza huba lake kwake.Robinson
alipomwomba awe mke wake alirukaruka na kumkubali.
Harusi ya kukata na shoka ikaandaliwa katika ukumbi mojawapo
mjini.Wakasherehekea siku yao wakiwa wamevalia tabasamu lakini
usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.Robinson alikuwa ameficha kucha
zake.Alipommiliki Lavender alianza kuwa mlevi.Kila mara mke wake
angemwuliza kuhusiana na kubadilika kwake angepokea kichapo cha mbwa.Ni
mara ngapi Lavender amelala nje na kupigwa na baridi shadidi huku
Robinson akipata usingizi wa pono ndani ya chumba chao?
Haki yake ya ndoa hakupewa.Pesa za matumizi zilikosekana.Alijuta kuacha
kazi yake ya uuguzi kisa ameolewa na tajiri.Alitamani kuanza familia na
Robinson lakini mwenzake hakuliona hili kuwa jambo la maana.Lavender
alipitia masaibu mengi ambayo hakuyatarajia.Simu yake ya rununu
alipokonywa na huyu Robinson na kuambiwa maadam alikuwa mume wake basi
itabidi azungumze naye peke yake.Isitoshe alimkataza kuwatembelea
marafiki wala marafiki kumtembelea.
Kupigwa kukageuka mtindo wake wa maisha.Akajiona zuzu kwa kuangukia
mtego.Alijaribu kutoroka lakini hakufaulu.Alikuja kugundua kuwa mume
wake alikuwa ameeka kamera za siri ili kumwezesha kujua alichokifanya
mke wake hata angekuwa mbali.Lavender alisikitika baada ya mume wake
kuleta vimada vyake kwao nyumbani na kufanya nao tendo la ndoa kitandani
mwake.Alijuta kwa yakini.Fikra za maneno ya wazazi wake zilimjia peupe
ndipo akajua alionywa lakini alitia masikio pamba.
Mateso yalizidi kila uchao.Mwili wake ulijaa uchungu kutokana na
kupigwa.Aliishi maisha ya kujifanya tu ilimradi watu wasijue yaliyokuwa
yanamsibu.Alitamani aende kanisani kuomba dua lakini
haikuwezekana.Alikuwa ashapewa onyo kali kwamba iwapo angetoa siri za
kwao nyumbani mume wake angemtoa roho.
| Robinson alipendwa na nani | {
"text": [
"Lavender"
]
} |
4949_swa | Barua ya kirafiki
S.L.P 96500,
Mombasa.
13/01/22
Kwa mpendwa mume wangu,
Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna
neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka
uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza
kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi
yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili
nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi
kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee
ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao.
Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa
anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako
akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane
aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu
imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku
moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama
sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna
budi kumwonea fahari.
Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni
tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na
homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika
kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata
hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini
na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa
nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake.
Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia
mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli
aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina
furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto
tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee
pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari
hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia.
Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita
baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni
mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana
uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake
lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu
kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi
kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na
kuwajali bila kuchagua.
Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba
wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa
sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na
dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila
nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka
kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza
kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi
atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba
pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa
sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii
utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi
nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili
nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa
utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini.
Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze
kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku
zote nitakupenda.
Ni Mimi wako,
Seline Mutiso.
| Anapokea salamu kutoka kwa nani | {
"text": [
"Lazizi"
]
} |
4949_swa | Barua ya kirafiki
S.L.P 96500,
Mombasa.
13/01/22
Kwa mpendwa mume wangu,
Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna
neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka
uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza
kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi
yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili
nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi
kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee
ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao.
Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa
anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako
akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane
aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu
imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku
moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama
sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna
budi kumwonea fahari.
Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni
tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na
homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika
kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata
hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini
na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa
nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake.
Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia
mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli
aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina
furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto
tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee
pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari
hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia.
Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita
baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni
mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana
uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake
lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu
kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi
kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na
kuwajali bila kuchagua.
Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba
wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa
sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na
dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila
nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka
kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza
kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi
atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba
pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa
sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii
utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi
nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili
nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa
utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini.
Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze
kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku
zote nitakupenda.
Ni Mimi wako,
Seline Mutiso.
| Wanamshukuru nani | {
"text": [
"Jalali"
]
} |
4949_swa | Barua ya kirafiki
S.L.P 96500,
Mombasa.
13/01/22
Kwa mpendwa mume wangu,
Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna
neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka
uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza
kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi
yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili
nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi
kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee
ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao.
Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa
anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako
akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane
aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu
imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku
moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama
sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna
budi kumwonea fahari.
Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni
tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na
homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika
kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata
hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini
na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa
nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake.
Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia
mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli
aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina
furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto
tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee
pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari
hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia.
Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita
baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni
mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana
uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake
lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu
kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi
kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na
kuwajali bila kuchagua.
Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba
wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa
sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na
dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila
nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka
kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza
kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi
atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba
pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa
sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii
utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi
nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili
nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa
utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini.
Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze
kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku
zote nitakupenda.
Ni Mimi wako,
Seline Mutiso.
| Mwanawe alifanya mtihani wa darasa lipi | {
"text": [
"Nane"
]
} |
4949_swa | Barua ya kirafiki
S.L.P 96500,
Mombasa.
13/01/22
Kwa mpendwa mume wangu,
Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna
neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka
uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza
kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi
yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili
nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi
kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee
ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao.
Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa
anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako
akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane
aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu
imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku
moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama
sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna
budi kumwonea fahari.
Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni
tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na
homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika
kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata
hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini
na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa
nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake.
Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia
mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli
aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina
furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto
tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee
pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari
hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia.
Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita
baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni
mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana
uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake
lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu
kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi
kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na
kuwajali bila kuchagua.
Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba
wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa
sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na
dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila
nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka
kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza
kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi
atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba
pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa
sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii
utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi
nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili
nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa
utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini.
Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze
kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku
zote nitakupenda.
Ni Mimi wako,
Seline Mutiso.
| Mtoto wanaomtarajia ni wa jinsia gani | {
"text": [
"Kike"
]
} |
4949_swa | Barua ya kirafiki
S.L.P 96500,
Mombasa.
13/01/22
Kwa mpendwa mume wangu,
Pokea salamu zangu nyingi kutoka kwangu laazizi.Mimi na mwanao hatuna
neno twamshukuru Jalali.Tumekupeza na tunakutamani kusema kweli.Toka
uondoke kwenda ng'ambo nimebaki na ukiwa.Ijapokuwa tumekuwa tukizungumza
kupitia njia ya simu ila bado hutamani ungekuwa kando yangu.Nina mengi
yakukufahamisha kusema kweli.Ninasubiri wakati utarudi nyumbani ili
nikufanyie sherehe.Mama na baba hawajambo.Wamekuwa wakijitahidi
kuhakikisha kuwa navaa tabasamu siku zote lakini naamini wewe pekee
ndiwe utakayelikamilisha.Wavyele wako wametuma salami zao.
Mwanao alifanya mtihani wa darasa la nane na kufaulu tu vyema.Kwa sasa
anasubiri kujiunga na kidato cha kwanza.Ninadhani wamfahamu mtoto wako
akiamua jambo lake hapingiki.Alipomaliza masomo ya darasa la nane
aligundua kuwa ana talanta ya uchoraji hivyo basi siku hizi nyumba yetu
imejaa michoro yake.Amedhihirisha ustadi ambao sikuufikiria hata siku
moja.Katika umri wake mdogo wa miaka kumi na miwili anapokea kipato kama
sisi wazazi wake.Picha zile anazochora huziuza na kupata pesa.Hatuna
budi kumwonea fahari.
Dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu nikukujuza kwamba hivi karibuni
tunatarajia mgeni.Mwanzoni nilichukulia kwamba nilikuwa nimeshikwa na
homa la Malaria.Sababu iliyonifanya nifikirie hivyo ni hali ya kutapika
kila asubuhi.Aghalabu nilikuwa najihisi mchovu na hata kutopata
hedhi.Hali iliponizidia niliamua kwenda kutafuta matibabu hosipitalini
na hapo ndipo nilipojuzwa na daktari aliyechukua vipimo kuwa nilikuwa
nimehimili.Kwanza nilishtuka na kumwomba daktari kurudia usemi wake.
Hakusita alinidhihirishia kwa kunionyesha jinsia ya mtoto kupitia
mashine maalum.Hapo ndipo macho yangu yalifunguka na nikaamini ukweli
aliousema daktari.Najua wajiuliza mtoto alionekana kuwa jinsia gani.Nina
furaha kuu kukufahamisha kwamba hatimaye maombi yako yamejibiwa.Mtoto
tunayemtarajia ni wa kike.Natamani ungekuwa nyumbani ili tusherehekee
pamoja habari hizi njema.Sijaweza kujizuia kufurahi toka nizipate habari
hizi.Natumai pia wewe popote ulipo utakapozipata hutaweza kujizuia.
Kwa sasa nina ujauzito wa miezi sita kwa sababu miezi mitatu imepita
baada ya kufahamu kuna kiumbe kinachokua polepole tumboni
mwangu.Nakuhitaji wakati huu ila sina budi kupambana peke yangu maana
uko mbali.Inabidi tujiandae kwa sababu ya mtoto huyu.Mahitaji yake
lazima tuyakidhi.Kuongezeka kwa mtoto mwengine katika familia yetu
kutaongeza majukumu yetu sisi kama wazazi.Nakuomba usiwe na ubaguzi
kutokana na kutamani kupata mtoto wa kisichana.Tuwapende wote sawa na
kuwajali bila kuchagua.
Kumbe kabla uondoke ulikuwa umepanda mbegu ndani yangu.Kifungua mimba
wetu hana mwao kuhusiana na suala hili.Ningependa usimweleze lolote kwa
sababu hatuwezi kujua kama atafurahia ama atakereka.Amekuwa akiniona na
dalili za kuugua kwa muda mrefu sasa.Nimeenda hosipitali ila
nimemdanganya kuhusu ripoti niliyopokea hosipitali.Nimepanga kumpeleka
kwa mama yangu ili akae naye hata nitakapojifungua.Vilevile nimeanza
kumnunulia nguo binti yetu na vitu vyake ambavyo atavitumia pindi
atakapokuja duniani.Mimba hii inanilemea sana utadhani nimebeba
pacha.Imenilazimu kutafuta mama ambaye atanisaidia kazi za ndani.Kwa
sasa nahitaji usaidizi mara kwa mara.Natumai utakaposoma barua hii
utakatisha safari yako na kurudi nyumbani.Twakuhitaji mume wangu.Rudi
nyumbani sije upweke ukaniua mpenzi.Imebaki miezi mitatu ili
nikajifungue.Ni matumaini yangu kwamba hata kama hutaweza kurudi sasa
utakuja hosipitali ili kunitia moyo nipate kujifungua salama salmini.
Usisahau kunitumia pesa za kutosha ili nikienda hosipitali niweze
kulipia kila huduma.Nashukuru kwa penzi lako la dhati kwangu na siku
zote nitakupenda.
Ni Mimi wako,
Seline Mutiso.
| Kwa nini alifikiria alikuwa na homa ya malaria | {
"text": [
"Kwa vile alikuwa anatapika kila asubuhi"
]
} |
4951_swa | Mapenzi ya pacha wawili
Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza
mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au
kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu
maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio
na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha
kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu
baina yao.
Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa
pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya
ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza
kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza
pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba
lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu
kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu.
Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata
taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote
wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana
kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana
hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao
watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine
angekaa kando yake akimuuguza.
Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya
kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana
kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma
Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa
furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo
kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na
chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi.
Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao
kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama
zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na
kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa
kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha
hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi
upambane nao wote.
Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao
kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye
walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi
pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
| Mapenzi huleta hisia gani kwa mtu maalum? | {
"text": [
"Hisia kali za upendo"
]
} |
4951_swa | Mapenzi ya pacha wawili
Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza
mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au
kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu
maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio
na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha
kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu
baina yao.
Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa
pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya
ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza
kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza
pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba
lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu
kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu.
Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata
taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote
wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana
kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana
hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao
watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine
angekaa kando yake akimuuguza.
Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya
kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana
kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma
Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa
furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo
kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na
chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi.
Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao
kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama
zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na
kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa
kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha
hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi
upambane nao wote.
Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao
kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye
walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi
pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
| Pacha wanaosimuliwa katika hadithi wanaitwaje? | {
"text": [
"Anthony na Samson"
]
} |
4951_swa | Mapenzi ya pacha wawili
Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza
mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au
kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu
maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio
na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha
kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu
baina yao.
Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa
pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya
ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza
kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza
pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba
lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu
kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu.
Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata
taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote
wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana
kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana
hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao
watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine
angekaa kando yake akimuuguza.
Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya
kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana
kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma
Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa
furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo
kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na
chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi.
Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao
kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama
zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na
kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa
kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha
hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi
upambane nao wote.
Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao
kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye
walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi
pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
| Pacha hawa walimpa mama yao sharti gani kuhusu shule? | {
"text": [
"Lazima awapeleke shule moja "
]
} |
4951_swa | Mapenzi ya pacha wawili
Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza
mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au
kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu
maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio
na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha
kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu
baina yao.
Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa
pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya
ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza
kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza
pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba
lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu
kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu.
Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata
taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote
wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana
kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana
hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao
watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine
angekaa kando yake akimuuguza.
Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya
kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana
kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma
Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa
furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo
kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na
chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi.
Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao
kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama
zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na
kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa
kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha
hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi
upambane nao wote.
Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao
kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye
walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi
pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
| Baba ya pacha kwenye hadithi walipoteza baba yao wakati gani? | {
"text": [
"Muda mfupi baada ya kuzaliwa"
]
} |
4951_swa | Mapenzi ya pacha wawili
Mapenzi hasa ni nini? Kila mtu huwa na njia yake tofauti ya kueleza
mapenzi.Wengine husema ni upendo.Inawezekana wawe wanasema ukweli au
kudanganya.Mapenzi ni hali ya kuwa na hisia kali za upendo kwa mtu
maalumu.Wapenzi wanaeza kuwa marafiki wanaopendana au watu wawili walio
na hisia za mapenzi baina yao.Wanaopendana hutaminiana sana kiasi cha
kwamba huhisi furaha mmoja wao anapohisi furaha na kugawanya uchungu
baina yao.
Anthony na Samson ni vijana barobaro ambao walizaliwa na mama yao wakiwa
pacha.Mama yao alipata taabu kuwalea ila hivi sasa anafurahia matunda ya
ulezi wake bora kwa wana wake.Pacha hawa walipendana toka walipoanza
kujifahamu.Walitembea pamoja,walikula pamoja na kucheza
pamoja.Walipofikia umri wa kuingia shule waliambia mama yao kwamba
lazima awapeleke shule moja au wote wangekataa kusoma.Ilimbidi mama mtu
kusalimu amri ama watoto wake wasipate elimu.
Aghalabu wangeshikana mikono walipokuwa wanatembea.Mama yao alipata
taabu Iwapo angewanunulia nguo ambazo zilikuwa hazifanani.Wote
wangezikataa hadi pale ambapo angewaletea zile zilizokuwa zimelandana
kila kitu.Walipenda pia kulala kitanda kimoja na si tofauti.Wavulana
hawa walimpenda mama yao ila ikilinganishwa na walivyopendana basi hao
watapata asilimia kubwa.Mmoja wao angeugua ugonjwa wowote Yule mwingine
angekaa kando yake akimuuguza.
Kwa bahati mbaya walipoteza baba yao muda mfupi baada ya
kuzalizaliwa.Pacha hawa waliendelea kuishi Kwa upendo wakishauriana
kuhusiana na mambo ya dunia,kuenda kanisani pamoja na hats kusoma
Bibilia pamoja.Ilikuwa furaha Kwa mama yao kuwaona wakiwa wingi wa
furaha.Walipomaliza masomo ya kidato cha nne walisubiri kuingia chuo
kikuu.Cha kushangaza ni kwamba pacha hawa walikata shauri kujiunga na
chuo kimoja huko mjini na kusomea taaluma moja ambayo ni uhandisi.
Fununu zinadokeza kuwa walipokuwa chuoni walisaidia kuelewa taaluma yao
kwa undani hata zaidi na kila mara walipofanya mtihani wangepata alama
zakulingana.Kule chuoni walijiunga na timu ya Moira wa soka na
kutambulika si chuoni tu bali hata nchi nzima.Walipokea tuzo kadha wa
kadha baadhi zikiwa nyumbani mwao.Mama yao amezihifadhi vizuri tu.Pacha
hawa huwa wachangamfu Sikh zote lakini unapochokoza mmoja itakubidi
upambane nao wote.
Upendo waliodhihirisha ni wa kuvuka mipaka.Sababu kuu inatokana na wao
kukataa kuoa wakihofia kuwa wake zao wangewatenganisha.Hatimaye
walimaliza masomo yao na kuanza kushughulikia taaluma zao wakifanya kazi
pamoja na kupumzika pamoja baada ya uchovu wa siku nzima.
| Pacha walitaka kusomea nini walipomaliza shule ya upili? | {
"text": [
"Uhandisi"
]
} |
4952_swa | Matanga harusini
Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka
matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao
mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii
kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni
kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee
huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa
na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha.
Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi
hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali
pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale
waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa
kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta
umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote
yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi
na hata majanga.
Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili
kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani
wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe
vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti
vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii
zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani
ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai
anadekezwa sana.
Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa
wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia
magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi
waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa
vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na
divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku
wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa
na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi.
Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa
hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini
jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa
tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel
akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu
kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio
na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha.
Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa
ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama
yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza
kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote
wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao
wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya
wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko.
Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na
kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa
alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata
kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa
Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke
wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya
mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa
alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama
gogo.
Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote
yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na
aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia
kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika
ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel
hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja
ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda
mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi.
Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi
alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya
harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba
wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi
dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia
kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni.
Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani
vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango
wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja
ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia
ukumbini.
| Sherehe iliyojaa furaha huitwaje | {
"text": [
"Harusi"
]
} |
4952_swa | Matanga harusini
Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka
matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao
mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii
kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni
kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee
huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa
na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha.
Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi
hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali
pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale
waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa
kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta
umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote
yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi
na hata majanga.
Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili
kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani
wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe
vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti
vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii
zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani
ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai
anadekezwa sana.
Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa
wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia
magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi
waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa
vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na
divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku
wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa
na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi.
Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa
hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini
jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa
tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel
akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu
kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio
na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha.
Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa
ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama
yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza
kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote
wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao
wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya
wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko.
Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na
kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa
alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata
kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa
Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke
wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya
mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa
alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama
gogo.
Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote
yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na
aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia
kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika
ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel
hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja
ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda
mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi.
Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi
alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya
harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba
wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi
dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia
kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni.
Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani
vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango
wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja
ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia
ukumbini.
| Waliohudhuria harusi huja kufanya nini | {
"text": [
" Kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii"
]
} |
4952_swa | Matanga harusini
Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka
matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao
mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii
kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni
kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee
huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa
na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha.
Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi
hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali
pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale
waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa
kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta
umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote
yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi
na hata majanga.
Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili
kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani
wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe
vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti
vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii
zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani
ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai
anadekezwa sana.
Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa
wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia
magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi
waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa
vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na
divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku
wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa
na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi.
Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa
hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini
jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa
tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel
akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu
kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio
na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha.
Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa
ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama
yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza
kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote
wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao
wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya
wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko.
Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na
kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa
alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata
kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa
Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke
wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya
mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa
alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama
gogo.
Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote
yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na
aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia
kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika
ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel
hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja
ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda
mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi.
Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi
alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya
harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba
wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi
dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia
kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni.
Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani
vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango
wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja
ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia
ukumbini.
| Matanga hutokea wapi | {
"text": [
"Mahali popote pale"
]
} |
4952_swa | Matanga harusini
Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka
matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao
mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii
kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni
kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee
huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa
na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha.
Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi
hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali
pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale
waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa
kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta
umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote
yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi
na hata majanga.
Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili
kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani
wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe
vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti
vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii
zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani
ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai
anadekezwa sana.
Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa
wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia
magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi
waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa
vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na
divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku
wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa
na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi.
Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa
hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini
jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa
tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel
akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu
kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio
na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha.
Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa
ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama
yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza
kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote
wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao
wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya
wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko.
Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na
kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa
alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata
kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa
Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke
wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya
mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa
alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama
gogo.
Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote
yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na
aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia
kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika
ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel
hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja
ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda
mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi.
Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi
alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya
harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba
wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi
dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia
kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni.
Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani
vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango
wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja
ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia
ukumbini.
| Mahali palipojaa huzuni huitwaje | {
"text": [
"Matanga "
]
} |
4952_swa | Matanga harusini
Harusi ni sherehe iliojaa furaha kinyume na hapo hugeuka
matanga.Wanaoana hujawa na furaha wakijua wanaanza maisha yao
mapya.Waliohudhuria huja kuwapa kongole maharusi na kushuhudia siku hii
kuu kutoka mwanzo hadi mwisho.Vicheko,shangwe na vigelegele husheheni
kote ukumbini.Watoto kwa wazee hujaa tabasamu.Burudani ya kipekee
huandaliwa.Watu husakata densi pasipo na wasiwasi wowote.Huweza kunywa
na kula hadi wakinai wenyewe.Watu hutoka machozi ya furaha.
Matanga ni mahali palipojaa huzuni.Kinyume na harusi,hapa machozi
hutolewa na huwa ya simanzi.Mahali hapa hasa huhusu kupoteza.Ni mahali
pa majonzi ambapo watu hushikamana pamoja ili kuwaliwaza wale
waliopoteza mtu wao wa karibu maishani.Aghalabu huhusu kifo.Hapa
kutatokea mmoja ambaye atakuwa amefariki dunia.Mtu huyu ndiye ataleta
umati mkubwa wa waja ili aweze kusitiriwa.Matanga hutokea kwa mtu yeyote
yule na mahali popote pale.Huweza kusababishwa na ajali,magonjwa,uvamizi
na hata majanga.
Daniel alikuwa kijana mtanashati sana.Siku ya siku alikuwa ameitenga ili
kupata jiko.Aliandaa harusi babkubwa na kuwaalika familia na wandani
wake wote.Kutokana na kipato chake cha juu aliagiza ukumbi upambwe
vizuri kabisa.Ukumbi ukasafishwa na kupambwa kwa maua ya waridi.Viti
vikapangwa barabara ukumbini.Nyuso za watu waliohudhuhuria harusi hii
zilivaa tabasamu.Kuna baadhi ya mabinti walisikika wakisema wanatamani
ingekuwa wanaolewa wao.Baadhi walimwonea wivu bibi harusi kwa kudai
anadekezwa sana.
Watu walimiminika ukumbini wakiwa wamevalia kishua.Akina mama walikuwa
wamepambwa kwa vipodozi.Mabinti nao hawakusazwa walikuwa wamevalia
magauni ya mishono ya kisasa.Wasimamizi wa bwana na bibi harusi
waling'ara kama nyota angani.Wote walivaa sare.Wageni walikaribishwa kwa
vitafunio na vinywaji anuwai kama vile sharubati,soda na
divai.Walipowasili walipata kuongozwa hadi vitini.Walikaa kitako huku
wakisimuliana matamanio yao kuhusiana na siku ile.Bwana harusi alikuwa
na furaha ghaya.Kila mara alionekana akitazama saa yake ya mkononi.
Ilikuwa mnamo saa sita za mchana ila mke wake mtarajiwa alikuwa
hajaungana naye."Angelina anaeza kuwa amepatwa na nini
jamani?"alijiuliza.Alihangaika huku na kule.Mchungaji naye alikuwa
tayari amewasili kuwafungisha harusi.Alionekana akimwita Daniel
akimnong'onezea jambo.Baada ya mnong'ono Daniel alionekana akipiga simu
kadhaa.Alipogundua kuwa mteja wa nambari aliyopiga hapokei alitimua mbio
na kutoka ukumbini.Wasimamizi wake walikimbia na kumrudisha.
Punde si punde gari jeupe mithili ya pamba likasimamishwa
ukumbini.Daniel kwa sasa alikuwa hawezi kujimudu.Alishangaa baba na mama
yake Angelica wakitoka nje huku wanabubujikwa na machozi.Alianza
kuwauliza sababu ya kilio chao na sehemu maalumu aliyokuwa Angelica.Wote
wawili walizidi kulia hata zaidi kisha wakanyoosha mikono yao
wakielekeza mlango wa nyuma wa gari.Daniel alijitoa kutoka mikono ya
wasimamizi wake na kulikimbilia gari.Aliyoyaona nusra yampatie mshtuko.
Aliona kitu kimefinikwa kwa shuka nyeupe.Akajikaza kama mwanaume na
kuifunua.Hakuamini macho yake.Angelica alikuwa amelala.Alipomgusa
alikuwa baridi.Akajitahidi kusikiza mdundo wa moyo wake lakini hakupata
kusikia chochote."Daniel mwenzako ametuacha, walisema wavyele wa
Angelica.Mwili wake umeletwa nyumbani hii asubuhi" waliendelea."Mke
wangu amka nakuhitaji mbona waniacha ukiwa katika dunia hii ya
mahangaiko."Daniel alikataa Katu kuamini kwamba mke wake mtarajiwa
alikuwa amekufa.Hajafa amelala tu.Alimtikisa lakini bado alisalia kama
gogo.
Waliohudhuhuria harusi hii wakamaka na kustaajabu kuhusu yote
yaliyotokea.Ndugu,jamaa na marafiki walimliwaza mwenzao kwa kufiwa na
aliyempenda Daniel na kutaka kufunga pingu za maisha naye.Daniel alilia
kama mtoto pindi ukweli ulipomwangazia macho.Vilio vikasikika
ukumbini.Familia ya bibi na bwana harusi wakaomboleza.Inasemekana Daniel
hakuweza kustahimili uchungu hivyo alipatikana ndani ya chumba kimoja
ukumbini mwa harusi akiwa amejidunga kisu baada ya kupotea kwa muda
mrefu palipokuwa na mwili wa bibi harusi.
Harusi sasa ilikuwa si harusi tena.Inasemekana kwamba bibi harusi
alipatikana kwake akiwa ameuawa usiku kabla ya sherehe yake ya
harusi.Binadamu hawaishi kusema.Baadhi yao walidai aliuwawa na mchumba
wake wa zamani baada ya kugundua alikuwa anaolewa ila Daniel alihisi
dunia imemgeuka kwa kumchukulia kipenzi chake na hivyo akaamua kujitia
kitanzi akidai hamna umuhimu wa maisha bila sabuni yake ya rohoni.
Biwi la simanzi lilitanda.Sherehe ikageuka kabisa.Badala ya burudani
vilio vilihinikiza kote.Vifo vya wawili hao vikatangazwa rasmi.Mchango
wa mazishi ukaanza mara moja.Baadaye jioni ambulensi ya hosipitali moja
ilikuja ili kuipeleka miili mochari.Huzuni,simanzi na majonzi zikaingia
ukumbini.
| Wageni walikaribishwa kwa nini | {
"text": [
"Vitafunio na vinywaji amwai"
]
} |
4953_swa | Mvua ya laana
Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea
hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli
za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa
mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua
nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza
kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji.
Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki
hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia
huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji
hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi
aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji
yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na
kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo
kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji.
Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu
ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua
miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi
huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha
na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha
kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka.
Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda
mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na
wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili
kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba
kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda
Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi
wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi
zao.
Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka
wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi
kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio
chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara
zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama
zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde
ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi.
Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza
pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi
mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka
karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na
kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na
kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na
michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana.
Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa
maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu
njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya
mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua
hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu
waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi
walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya
majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba
mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu
waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana
na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu
wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila
uchao.
Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua
hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza
kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali
ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua
haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
| Taja mojawapo ya baraka ya mvua kwa wengi | {
"text": [
"Maji hunyunyiziwa mimea"
]
} |
4953_swa | Mvua ya laana
Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea
hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli
za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa
mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua
nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza
kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji.
Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki
hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia
huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji
hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi
aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji
yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na
kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo
kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji.
Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu
ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua
miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi
huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha
na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha
kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka.
Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda
mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na
wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili
kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba
kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda
Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi
wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi
zao.
Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka
wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi
kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio
chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara
zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama
zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde
ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi.
Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza
pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi
mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka
karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na
kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na
kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na
michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana.
Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa
maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu
njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya
mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua
hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu
waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi
walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya
majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba
mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu
waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana
na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu
wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila
uchao.
Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua
hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza
kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali
ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua
haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
| Ni biashara gani hutumia maji sana | {
"text": [
"Ya hoteli"
]
} |
4953_swa | Mvua ya laana
Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea
hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli
za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa
mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua
nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza
kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji.
Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki
hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia
huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji
hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi
aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji
yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na
kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo
kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji.
Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu
ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua
miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi
huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha
na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha
kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka.
Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda
mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na
wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili
kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba
kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda
Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi
wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi
zao.
Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka
wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi
kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio
chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara
zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama
zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde
ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi.
Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza
pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi
mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka
karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na
kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na
kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na
michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana.
Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa
maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu
njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya
mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua
hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu
waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi
walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya
majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba
mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu
waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana
na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu
wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila
uchao.
Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua
hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza
kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali
ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua
haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
| Taja njia moja ya kupata maji ya mvua | {
"text": [
"Kukinga maji"
]
} |
4953_swa | Mvua ya laana
Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea
hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli
za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa
mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua
nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza
kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji.
Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki
hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia
huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji
hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi
aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji
yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na
kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo
kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji.
Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu
ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua
miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi
huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha
na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha
kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka.
Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda
mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na
wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili
kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba
kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda
Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi
wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi
zao.
Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka
wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi
kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio
chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara
zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama
zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde
ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi.
Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza
pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi
mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka
karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na
kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na
kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na
michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana.
Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa
maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu
njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya
mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua
hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu
waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi
walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya
majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba
mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu
waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana
na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu
wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila
uchao.
Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua
hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza
kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali
ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua
haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
| Nini hutokea mvua inapokosekana kwa muda mrefu | {
"text": [
"Kiangazi hufilisisha wanadamu na wanyama"
]
} |
4953_swa | Mvua ya laana
Mvua hauaminika kuwa baraka na wengi.Mvua inaponyesha mimea
hunawiri.Vilevile watu hupata maji ya kutosha ya kutumia katika shughuli
za kila siku.Maji hupatikana ya kunyunyuzia mimea na hata ya kuwapa
mifugo.Maji ya kunywa huweza kupatikana.Isitoshe maji ya kupika na kufua
nguo huweza kupatikana.Mito na mabawa hujaa kiasi cha kwamba watu huweza
kupumzika kwenda masafa marefu kwa sababu ya kutafuta maji.
Wale ambao hutumia kilimo kama njia yao ya kuzimbua riziki
hufurahia.Taifa huweza kuwa na chakula cha kutosha.Biashara nyingi pia
huweza kuimarika.Tunapozungumzia kwa mfano biashara ya hoteli.Maji
hutumika sana mahali pale.Kutokana na shughuli kuu kuwa upishi.Upishi
aghalabu hutumia maji.Biashara hii hukosa mwelekeo iwapo maji
yatakosekana.Maji hunywewa pale,hutumika kupikia vyakula ainati na
kusafishia eneo zima la biashara.Wateja huosha mikono kutumia maji hivyo
kutatokea ugumu iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji.
Kunazo njia mbalimbali za kuweza kupata maji ya mvua.Kuna baadhi ya watu
ambao hukinga maji na wengine kutengeneza mabwawa.Mvua huweza kufufua
miti iliyo kuwa inakaribia kufa na hata mifugo.Utalii kama kitega uchumi
huweza kuimarika hata zaidi kwa sababu wanyama watapata maji ya kutosha
na chakula hivyo watakuwa na afya njema.Mvua inaponyesha kiasi cha
kuvuka mpaka hali ya mambo hugeuka.
Ninakikumbuka kisa kimoja ambapo mvua ilikuwa imekosekana kwa muda
mwingi sana.Kiangazi kilichokuwepo kilifisha wanadamu pamoja na
wanyama.Watu hasa akina mama walilazimika kutembea Masafa marefu ili
kutafuta maji.Biashara nyingi zilifungwa kwani ilikuwa wazi kwamba
kuendelea kuzifanya kungewaletea hasara wafanyibiashara wengi.Viwanda
Vingi vilisitisha kazi zao kwa sababu walishindwa kuwalipa wafanyikazi
wao walioenda kutafuta maji mbali na kurudi viwandani kuendelea na kazi
zao.
Ghafla mvua ilianza kunyesha pasi kukoma.Watu wakakinga maji mpaka
wakakosa vyombo vya kuekea maji.Mito na mabwawa ilijaa maji hadi
kufurika.Watu wakafurahia kwamba Mungu alikuwa hatimaye amesikia kilio
chao.Wakaona kupumzishwa Kutokana na kwenda mwendo mrefu.Biashara
zilizokuwa zimefungwa zikafunguliwa tena.Shughuli zilizokuwa zimekwama
zikainuka tena.Upanzi wa mimea kama vile mahindi,maharagwe na kunde
ukaanza.Watu wakasifia kwamba mwaka ule wangepata mavuno mengi.
Wanyama walianza kurudisha afya zao.Watu pia hawakuachwa nyuma walianza
pia kurudisha siha zao.Mvua iliendelea kunyesha kwa takriban mwezi
mzima.Ilipotarajiwa kupunguwa ndivyo ilivyozidi.Raha sasa ikageuka
karaha kwani walioishi juu milimani nyumba zao zilisombwa na maji na
kuachwa bila makao.Mimea iliyokuwa tayari imepandwa iling'olewa na
kupelekwa hadi mitoni.Miti mingi iliweza kuanguka ikiwemo miembe na
michungwa.Kulishuhudiwa mafuriko ya ajabu sana.
Masomo yalikatizwa kutokana na shule kusombwa na maji na madarasa kujaa
maji.Ilikuwa vigumu kwa wanafunzi kutembea ili wafike shuleni kwa sababu
njia zilikuwa zimejaa maji ambayo yangewafisha iwapo wangefanya
mzaha.Vifo vilishuhudiwa miongoni mwa watu na wanyama kutokana na mvua
hii.Magonjwa yanayosababishwa na maji chafu yaliibuka.Baadhi ya watu
waliugua kipindupindu na wengine kufa kutokana na kupoteza maji mengi
walipoendesha.Mvua hii ilikuja na upepo hivyo ilisababisha mabati ya
majengo mbalimbali kung'oka.Baadhi ya watu walisikika wakisema kwamba
mvua ya maangamizo ilikuwa imewavamia bila taarifa.Makaburi ya watu
waliokuwa wamezikwa zamani yalifunuliwa.Mazingira yakachafuka kutokana
na harufu mbaya ya mizoga.Malaria ilishuhudiwa kwa wingi.Watoto kwa watu
wazima waliambukizwa ugonjwa huu.Hosipitali zikajaa wagonjwa wengi kila
uchao.
Mambo yalipozidi washika dau walishikamana ili kutafuta suluhu la mvua
hii lakini akili zao zilifika mwisho.Walisikitika maana wasingeweza
kujisaidia wala kusaidia watu wengine.Inasemekana jamii mbalimbali
ziliungana ili kufanya matambiko lakini hata baada ya matambiko mvua
haikuacha kunyesha.Ilinyesha huku ikiendelea kuleta uharibifu zaidi.
| Kwa nini mito n mabawa yalijaa maji | {
"text": [
"Mvua ilinyesha bila kikomo"
]
} |
4954_swa | Njama ya kufisha
Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya
kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada
ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda
kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya
kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata
mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa
amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu.
Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha
alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza
kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa
kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya
ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo
kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo
walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa
wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu
tofauti.
Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa
tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna
msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo
ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru
nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba
Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa
ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari.
Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja
la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu
amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani
aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie
hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake
nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake
alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo
hakusita kumwuuliza.
Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo
yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji
kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa
muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni
kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa
na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona
vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha.
Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani
na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika
nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na
wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi
isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa
tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake
alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili
apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana
na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate
pesa mama yake atibiwe.
Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata
pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na
kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi
iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani
tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili
alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa.
Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa
kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama
mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga
hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la
kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine
watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia
mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya
yaliyokuwa yakijiri.
Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa
imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta
waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari
alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba
alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?"
aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye
kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari.
Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona
benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa
chake.
| Nani alikuwa mwanaume mchapakazi | {
"text": [
"Sudi"
]
} |
4954_swa | Njama ya kufisha
Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya
kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada
ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda
kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya
kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata
mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa
amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu.
Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha
alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza
kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa
kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya
ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo
kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo
walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa
wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu
tofauti.
Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa
tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna
msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo
ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru
nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba
Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa
ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari.
Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja
la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu
amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani
aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie
hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake
nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake
alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo
hakusita kumwuuliza.
Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo
yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji
kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa
muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni
kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa
na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona
vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha.
Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani
na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika
nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na
wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi
isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa
tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake
alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili
apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana
na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate
pesa mama yake atibiwe.
Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata
pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na
kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi
iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani
tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili
alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa.
Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa
kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama
mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga
hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la
kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine
watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia
mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya
yaliyokuwa yakijiri.
Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa
imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta
waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari
alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba
alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?"
aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye
kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari.
Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona
benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa
chake.
| Nani alimwonea Sudi fahari | {
"text": [
"Mamake"
]
} |
4954_swa | Njama ya kufisha
Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya
kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada
ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda
kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya
kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata
mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa
amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu.
Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha
alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza
kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa
kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya
ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo
kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo
walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa
wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu
tofauti.
Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa
tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna
msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo
ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru
nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba
Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa
ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari.
Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja
la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu
amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani
aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie
hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake
nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake
alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo
hakusita kumwuuliza.
Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo
yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji
kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa
muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni
kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa
na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona
vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha.
Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani
na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika
nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na
wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi
isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa
tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake
alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili
apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana
na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate
pesa mama yake atibiwe.
Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata
pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na
kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi
iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani
tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili
alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa.
Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa
kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama
mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga
hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la
kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine
watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia
mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya
yaliyokuwa yakijiri.
Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa
imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta
waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari
alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba
alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?"
aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye
kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari.
Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona
benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa
chake.
| Msichana alidai alikuwa na nini ya Sudi | {
"text": [
"Mimba"
]
} |
4954_swa | Njama ya kufisha
Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya
kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada
ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda
kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya
kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata
mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa
amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu.
Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha
alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza
kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa
kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya
ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo
kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo
walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa
wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu
tofauti.
Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa
tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna
msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo
ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru
nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba
Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa
ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari.
Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja
la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu
amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani
aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie
hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake
nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake
alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo
hakusita kumwuuliza.
Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo
yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji
kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa
muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni
kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa
na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona
vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha.
Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani
na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika
nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na
wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi
isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa
tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake
alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili
apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana
na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate
pesa mama yake atibiwe.
Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata
pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na
kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi
iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani
tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili
alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa.
Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa
kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama
mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga
hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la
kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine
watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia
mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya
yaliyokuwa yakijiri.
Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa
imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta
waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari
alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba
alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?"
aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye
kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari.
Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona
benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa
chake.
| Sudi alichukua mkopo wa shilingi ngapi | {
"text": [
"Elfu themanini"
]
} |
4954_swa | Njama ya kufisha
Sudi alikuwa mwanaume mchapakazi.Alikuwa anafanya kazi yake ya
kitaaluma.Kazi yake ya kitaaluma ilikuwa ualimu.Aliipata kazi yake baada
ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.Aliipenda kazi yake sana.Alipenda
kutangamana na wanafunzi.Alifanya kazi yake kwa bidii ya mchwa.Alifanya
kazi yake kwa moyo mkunjufu.Alipoipata kazi ile alifurahi kwani angepata
mshahara mzuri ambao ungemwezesha kumlea mama yake mzazi ambaye alikuwa
amekula chumvi nyingi.Wanafunzi walimpenda na kumheshimu.
Sifa zake zilienea kote. Kutokana na stadi zake za kufundisha
alitunukiwa tuzo kemkem.Mama yake alimwonea fahari mwanawe.Alimhimiza
kufanya kazi kwa jitihada wakati wote.Alipopata kazi alikabidhiwa
kufunza masomo ya sayansi na Hisabati.Licha ya Sudi kupenda kazi yake ya
ualimu alipenda pia kushiriki katika michezo.Alicheza mpira wa magogo
kwa stadi kabisa.Wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo
walipata alama za juu. Kila mara akawa anapata sifa kwa kufaulu kwa
wanafunzi wake na kuwapiku wanafunzi wengine waliofunzwa na walimu
tofauti.
Mambo yalikuja kuchukua mkondo mwengine pale ambapo jina lake lilipakwa
tope.Inajulikana alikuwa barobaro mtanashati aliyejua kuvaa kishua.Kuna
msichana mmoja katika shule aliyofunza alidai kuwa mimba aliyokuwa nayo
ilikuwa yake.Sudi alishangazwa na hili kwani alijua hangeweza kumduru
nzi sembuse msichana huyu.Msichana huyu alielezea mkuu wa shule kwamba
Sudi alikuwa amemharibia maisha yake.Vilevile alisema kwamba alikuwa
ameifisha ndoto yake ya kuwa daktari.
Sudi alikatwa kalamu palepale na kuamriwa kutoka shuleni mle mara moja
la sivyo angeitiwa polisi aende kuozea jela.Hakuwa na budi ila kusalimu
amri maana lisilobudi hutendwa.Akaondoka kainamiana.Alipokuwa njiani
aliwaza na kuwazua kuhusiana na kisa cha yule msichana."Mbona anifanyie
hivi na anajua kabisa kwamba mimi sina hatia?" alijiuliza.Alifika kwake
nyumbani akaingia sebuleni na kuonekana mwingi wa mawazo.Mama yake
alipomwona alihisi kuna jambo lililokuwa linamsumbua mwana wake na hivyo
hakusita kumwuuliza.
Sudi alikataa abadan katan kumwambia mama yake kuhusiana na mambo
yaliyokuwa yamejiri.Alimdanganya kuwa alikuwa mchovu na alihitaji
kupumzika.Mama yake hakuridhishwa na hili lakini alimpa
muda.Alimtayarishia mtoto wake chakula akipendacho lakini maajabu ni
kuwa hakukionja.Sudi alikuwa amefadhaika kutokana na masaibu aliyoletewa
na yule msichana shuleni.Alitamani amwambie mama yake lakini aliona
vibaya kumwambia.Alitaka ampe maisha ya raha wala sio karaha.
Alipojua kwamba hela zake zilikuwa zimebaki kidogo alienda benki fulani
na kuchukua mkopo wa elfu themanini ili aanze biashara lakini alifika
nyumbani akiwa hana pesa zozote.Siku ile alipotoka benki alivamiwa na
wakora na pesa zote kuibwa.Maisha yake yakawa ya mikosi
isiyoisha.Alipoulizia kazi za mkono,waajiri walisusa kumpa kazi kwa
tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba.Ilifika wakati ambapo mama yake
alianza kuugua ugonjwa usiojulikana.Alimpeleka hosipitali haraka ili
apate matibabu lakini alipotajiwa pesa zilizotakikana alijuta.Kutokana
na mapenzi aliyokuwa nayo kwa mama yake aliamua liwe liwalo lazima apate
pesa mama yake atibiwe.
Alizunguka mitaani akiwa na azimio moja ambalo lilikuwa la kupata
pesa.Aliona kund la watu limekaa akafululiza hadi walipo,akawasalimia na
kuwajuza lengo lake.Baada ya kumsikiliza kwa muda walimpa kazi
iliyolipa.Kazi yenyewe ilikuwa ya kwenda kwa nyumba ya mzee fulani
tajiri na kumwibia mali zake za thamani.Sudi hakufikiria mara mbilimbili
alilichukua jukumu hilo na kwenda kutekeleza uhalifu aliokuwa ameagizwa.
Alipofika katika nyumba ya mzee yule aliruka ukingo na kupata mwanya wa
kuingia ndani.Baada ya kitambo kidogo aliona kitu kilichokuwa kama
mbwa.Alinyamaza jii kama maji mtungini.Kitu kile kiliendelea kupiga
hatua kwenda upande aliokuwa Sudi.Sudi alitetemeka asijue la
kufanya.Kumbe alikuwa mbwa.Alipomwona alianza kubweka na mbwa wengine
watano wakajidhirisha.Ikawa suala la mguu niponye.Alipoanza kukimbia
mbwa walimwandama.Mzee naye akatoka akijaribu kupata taswira ya
yaliyokuwa yakijiri.
Milio ya risasi ilisikika angani,Sudi akajua hatima yake ilikuwa
imemkodolea macho.Alipotokomea mbali na boma lile aliwatafuta
waliomwagiza lakini walikuwa wateja.Alikimbia hospitali lakini habari
alizozipata zilimwatua moyo.Kitandani mama yake hakuonekana.Chumba
alichokuwa ameekwa akiwa hospitali kilikuwa kitupu."Mama yangu yu wapi?"
aliuliza wauguzi.Mama yake aliaga dunia dakika chache baada ya yeye
kutoka hosipitali hivyo alikuwa amepelekwa mochari.
Alipofika nyumbani alikutana na watu baadhi wakiwa ni wale aliowaona
benki.Walikuwa wamefuata pesa zao la sivyo wampoke kila kilichokuwa
chake.
| Kwa nini watu walinyima Sudi kazi | {
"text": [
"Kwa sababu ya tuhuma ya kumweka mtoto wa shule mimba"
]
} |
4955_swa | Nusurika kwa tundu la sindano
Ahmed alikuwa mfanyakazi katika kampuni moja kule mjini.Alipenda kazi
yake sana.Kila siku alijitahidi ili kuzimbua riziki.Siku ile anaikumbuka
kama kwamba ilikuwa jana.Aliamka asubuhi akifurahia siku
mpya.Alijitayarisha ili aende kazini lakini mke wake hakumruhusu
kutoka.Jambo hili lilimpandisha madadi karibia ampige mke wake.Alipoinua
mkono ili kumpiga kibao kuna kitu ndani yake kilimzuia.Alitaka kuwahi
kazini ili akatamatishe kuandika ripoti aliyotarajiwa kuiwasilisha siku
hiyo.
Mke wake alimwandalia kiamshakinywa kitamu mithili ya asali.Alipomaliza
alimshika mkono na kumsihi ale.Ahmed alikataa kula chakula kile akisema
amechelewa kufika kazini.Aliinuka akavaa viatu na kisha akachukua funguo
ya gari.Mke wake alijaribu kumsimamisha lakini juhudi zake ziliambulia
patupu.Ahmed akalitia gari lake moto na kung'oa nanga kwenda
kazini.Alisafiri kwa muda wasiwasi ukiwa umemvaa.Alihisi kuwa alikuwa
amesahau kitu lakini hakujua ni nini hasa.
Aliendelea kuendesha gari lake kwa kasi sana.Alipofika katikati ya
safari alisimamisha gari na kupapasa mifuko ya nguo alizovaa akagundua
kwamba hakuwa na simu yake ya mkononi.Isitoshe aliangalia begi alilokuwa
akilibeba kila mara alipoenda ofisini lakini hakuliona.Inawezekana
nimesahau vitu hivi nyumbani alijiambia.Muda mfupi baadaye aligeuza gari
na kurudi nyumbani kwake.Muda wote huu wakati nao ulikuwa
unasonga.Mkutano ulitarajiwa kufanyika saa nane mchana.
Alitia gari lake mafuta na kuanza safari ya kurudi nyumbani.Alifika na
kuenda moja kwa moja kwenye chumba chao cha kulala.Kwa bahati nzuri
alipofika alikuta begi na simu ziko kitandani hivyo hakupoteza
muda.Alivichukua haraka na kuingia kwenye gari lake na kulitia
moto.Aliendesha kwa kasi sana akitaka kuwahi kazini.Alipofika nje ya
kampuni ilikuwa imebaki dakika moja saa nane iingie.Alipokuwa kilo mita
chache aliuona umati wa watu ukiwa nje ya kampuni yao.Kwanza jambo hili
lilimshangaza.Akaonelea ingekuwa vyema kama angetazama zaidi lakini
hakuweza kuona chochote.
Alizima gari lake na kutoka nje.Akatembea polepole hadi ilipokuwa
kampuni yao.Aliomba watu wampishe huku akiwa na lengo la kujua sababu
yao ya kukusanyana pale.Hatimaye alijua ukweli.Jengo la kampuni lilikuwa
linateketea moto.Kulingana na waja waliokuwa wamesimama pale nje
walisema moto ule ulikuwa umeanza dakika tano zilizopita."Nimenusurika,
kweli polepole ndio mwendo."alijiambia.Moto ule ulikuwa umesababishwa na
hitilafu za umeme.
Wazima moto walikuwa tayari wameshafika ila hawakuweza kuwanusuru watu
waliokuwa ndani ya jengo kwa kuhofia maisha yao.Walikuwa wanajitahidi
kadri wawezavyo ili kuuzima moto lakini ni kama walikuwa wanauchochea
hata zaidi.Kila mara walipoelekeza upande wa jengo moto ulizidi
maradufu.Mali na vitu vilivyokuwemo ndani vikateketea.Wanahabari
walikuja kuchukua habari na jioni hii ndiyo taarifa kuu iliyogonga
vyombo vya habari.Ahmed alibaki akijiuliza tu maswali.Zaidi ya yote
alimshukuru Mungu kwa kumwepushia kifo cha moto.
| Nani alikuwa akifanya kazi katika kampuni moja kule mjini | {
"text": [
"Ahmed"
]
} |
4955_swa | Nusurika kwa tundu la sindano
Ahmed alikuwa mfanyakazi katika kampuni moja kule mjini.Alipenda kazi
yake sana.Kila siku alijitahidi ili kuzimbua riziki.Siku ile anaikumbuka
kama kwamba ilikuwa jana.Aliamka asubuhi akifurahia siku
mpya.Alijitayarisha ili aende kazini lakini mke wake hakumruhusu
kutoka.Jambo hili lilimpandisha madadi karibia ampige mke wake.Alipoinua
mkono ili kumpiga kibao kuna kitu ndani yake kilimzuia.Alitaka kuwahi
kazini ili akatamatishe kuandika ripoti aliyotarajiwa kuiwasilisha siku
hiyo.
Mke wake alimwandalia kiamshakinywa kitamu mithili ya asali.Alipomaliza
alimshika mkono na kumsihi ale.Ahmed alikataa kula chakula kile akisema
amechelewa kufika kazini.Aliinuka akavaa viatu na kisha akachukua funguo
ya gari.Mke wake alijaribu kumsimamisha lakini juhudi zake ziliambulia
patupu.Ahmed akalitia gari lake moto na kung'oa nanga kwenda
kazini.Alisafiri kwa muda wasiwasi ukiwa umemvaa.Alihisi kuwa alikuwa
amesahau kitu lakini hakujua ni nini hasa.
Aliendelea kuendesha gari lake kwa kasi sana.Alipofika katikati ya
safari alisimamisha gari na kupapasa mifuko ya nguo alizovaa akagundua
kwamba hakuwa na simu yake ya mkononi.Isitoshe aliangalia begi alilokuwa
akilibeba kila mara alipoenda ofisini lakini hakuliona.Inawezekana
nimesahau vitu hivi nyumbani alijiambia.Muda mfupi baadaye aligeuza gari
na kurudi nyumbani kwake.Muda wote huu wakati nao ulikuwa
unasonga.Mkutano ulitarajiwa kufanyika saa nane mchana.
Alitia gari lake mafuta na kuanza safari ya kurudi nyumbani.Alifika na
kuenda moja kwa moja kwenye chumba chao cha kulala.Kwa bahati nzuri
alipofika alikuta begi na simu ziko kitandani hivyo hakupoteza
muda.Alivichukua haraka na kuingia kwenye gari lake na kulitia
moto.Aliendesha kwa kasi sana akitaka kuwahi kazini.Alipofika nje ya
kampuni ilikuwa imebaki dakika moja saa nane iingie.Alipokuwa kilo mita
chache aliuona umati wa watu ukiwa nje ya kampuni yao.Kwanza jambo hili
lilimshangaza.Akaonelea ingekuwa vyema kama angetazama zaidi lakini
hakuweza kuona chochote.
Alizima gari lake na kutoka nje.Akatembea polepole hadi ilipokuwa
kampuni yao.Aliomba watu wampishe huku akiwa na lengo la kujua sababu
yao ya kukusanyana pale.Hatimaye alijua ukweli.Jengo la kampuni lilikuwa
linateketea moto.Kulingana na waja waliokuwa wamesimama pale nje
walisema moto ule ulikuwa umeanza dakika tano zilizopita."Nimenusurika,
kweli polepole ndio mwendo."alijiambia.Moto ule ulikuwa umesababishwa na
hitilafu za umeme.
Wazima moto walikuwa tayari wameshafika ila hawakuweza kuwanusuru watu
waliokuwa ndani ya jengo kwa kuhofia maisha yao.Walikuwa wanajitahidi
kadri wawezavyo ili kuuzima moto lakini ni kama walikuwa wanauchochea
hata zaidi.Kila mara walipoelekeza upande wa jengo moto ulizidi
maradufu.Mali na vitu vilivyokuwemo ndani vikateketea.Wanahabari
walikuja kuchukua habari na jioni hii ndiyo taarifa kuu iliyogonga
vyombo vya habari.Ahmed alibaki akijiuliza tu maswali.Zaidi ya yote
alimshukuru Mungu kwa kumwepushia kifo cha moto.
| Nani hakumruhusu Ahmed atoke kwenda kazini | {
"text": [
"Mke wake"
]
} |
4955_swa | Nusurika kwa tundu la sindano
Ahmed alikuwa mfanyakazi katika kampuni moja kule mjini.Alipenda kazi
yake sana.Kila siku alijitahidi ili kuzimbua riziki.Siku ile anaikumbuka
kama kwamba ilikuwa jana.Aliamka asubuhi akifurahia siku
mpya.Alijitayarisha ili aende kazini lakini mke wake hakumruhusu
kutoka.Jambo hili lilimpandisha madadi karibia ampige mke wake.Alipoinua
mkono ili kumpiga kibao kuna kitu ndani yake kilimzuia.Alitaka kuwahi
kazini ili akatamatishe kuandika ripoti aliyotarajiwa kuiwasilisha siku
hiyo.
Mke wake alimwandalia kiamshakinywa kitamu mithili ya asali.Alipomaliza
alimshika mkono na kumsihi ale.Ahmed alikataa kula chakula kile akisema
amechelewa kufika kazini.Aliinuka akavaa viatu na kisha akachukua funguo
ya gari.Mke wake alijaribu kumsimamisha lakini juhudi zake ziliambulia
patupu.Ahmed akalitia gari lake moto na kung'oa nanga kwenda
kazini.Alisafiri kwa muda wasiwasi ukiwa umemvaa.Alihisi kuwa alikuwa
amesahau kitu lakini hakujua ni nini hasa.
Aliendelea kuendesha gari lake kwa kasi sana.Alipofika katikati ya
safari alisimamisha gari na kupapasa mifuko ya nguo alizovaa akagundua
kwamba hakuwa na simu yake ya mkononi.Isitoshe aliangalia begi alilokuwa
akilibeba kila mara alipoenda ofisini lakini hakuliona.Inawezekana
nimesahau vitu hivi nyumbani alijiambia.Muda mfupi baadaye aligeuza gari
na kurudi nyumbani kwake.Muda wote huu wakati nao ulikuwa
unasonga.Mkutano ulitarajiwa kufanyika saa nane mchana.
Alitia gari lake mafuta na kuanza safari ya kurudi nyumbani.Alifika na
kuenda moja kwa moja kwenye chumba chao cha kulala.Kwa bahati nzuri
alipofika alikuta begi na simu ziko kitandani hivyo hakupoteza
muda.Alivichukua haraka na kuingia kwenye gari lake na kulitia
moto.Aliendesha kwa kasi sana akitaka kuwahi kazini.Alipofika nje ya
kampuni ilikuwa imebaki dakika moja saa nane iingie.Alipokuwa kilo mita
chache aliuona umati wa watu ukiwa nje ya kampuni yao.Kwanza jambo hili
lilimshangaza.Akaonelea ingekuwa vyema kama angetazama zaidi lakini
hakuweza kuona chochote.
Alizima gari lake na kutoka nje.Akatembea polepole hadi ilipokuwa
kampuni yao.Aliomba watu wampishe huku akiwa na lengo la kujua sababu
yao ya kukusanyana pale.Hatimaye alijua ukweli.Jengo la kampuni lilikuwa
linateketea moto.Kulingana na waja waliokuwa wamesimama pale nje
walisema moto ule ulikuwa umeanza dakika tano zilizopita."Nimenusurika,
kweli polepole ndio mwendo."alijiambia.Moto ule ulikuwa umesababishwa na
hitilafu za umeme.
Wazima moto walikuwa tayari wameshafika ila hawakuweza kuwanusuru watu
waliokuwa ndani ya jengo kwa kuhofia maisha yao.Walikuwa wanajitahidi
kadri wawezavyo ili kuuzima moto lakini ni kama walikuwa wanauchochea
hata zaidi.Kila mara walipoelekeza upande wa jengo moto ulizidi
maradufu.Mali na vitu vilivyokuwemo ndani vikateketea.Wanahabari
walikuja kuchukua habari na jioni hii ndiyo taarifa kuu iliyogonga
vyombo vya habari.Ahmed alibaki akijiuliza tu maswali.Zaidi ya yote
alimshukuru Mungu kwa kumwepushia kifo cha moto.
| Nani aliyekiandaa kiamshakinywa | {
"text": [
"Mkewe Ahmed"
]
} |
Subsets and Splits