ending1
stringlengths
4
149
ending2
stringlengths
5
156
startphrase
stringlengths
7
179
labels
int64
0
1
split
stringclasses
7 values
Nguo zake kila siku ni nzuri
Nguo zake kila siku ni mbaya
Nguo zake kila siku ni matambara
1
sw
Hali yangu ni mbaya
Hali yangu ni nzuri
Hali yangu ni kama natembea juu ya miiba
0
sw
Hali yangu ni mbaya
Hali yangu ni nzuri
Hali yangu ni mtelezo tu
1
sw
Abuu ni rafiki yangu wa karibu
Abuu sio rafiki yangu wa karibu
Abuu ni mwanangu
0
sw
Abuu ni rafiki yangu wa karibu
Abuu sio rafiki yangu wa karibu
Abuu sio mwanangu
1
sw
Alipata wasiwasi alipojua yupo mwenyewe barabarani
Hakupata wasiwasi alipojua yupo mwenyewe barabarani
Aliingiwa na ubaridi baada ya kushtuka kuwa yuko mwenyewe barabarani
0
sw
Alipata wasiwasi alipojua yupo mwenyewe barabarani
Hakupata wasiwasi alipojua yupo mwenyewe barabarani
Hakuingiwa na ubaridi hata aliposhtuka kuwa yuko mwenyewe barabarani
1
sw
Jamaa ni mlafi
Jamaa si mlafi
Jamaa ni fisi
0
sw
Jamaa ni mlafi
Jamaa si mlafi
Jamaa sio fisi
1
sw
Anakimbia kwa spidi kubwa sana
Anakimbia kwa spidi ndogo sana
Ukimkuta kwenye uwanja wa mbio, kama farasi
0
sw
Anakimbia kwa spidi kubwa sana
Anakimbia kwa spidi ndogo sana
Ukimkuta kwenye uwanja wa mbio, kama kobe
1
sw
Yeye ni mwepesi
Yeye ni mzito
Yeye ni unyoya
0
sw
Yeye ni mwepesi
Yeye ni mzito
Yeye ni jabali
1
sw
Alinivuta kwa nguvu
Alinisukuma kwa nguvu
Alinivuta kama sumaku
0
sw
Alinivuta kwa nguvu
Alinisukuma kwa nguvu
Alinisukuma kama kimbunga
1
sw
Yeye ni muoga
Yeye sio muoga
Yeye ni kuku
0
sw
Yeye ni muoga
Yeye sio muoga
Yeye ni chui
1
sw
Tuligawana mwali zote
Hatukugawana mali zote
Tulipiga shoka mali zote
0
sw
Tuligawana mwali zote
Hatukugawana mali zote
Hatukupiga shoka mali
1
sw
Mke wake ni mweusi
Mke wake ni mweupe
Mke wake ni mkaa
0
sw
Mke wake ni mweusi
Mke wake ni mweupe
Mke wake ni theluji
1
sw
Sauti yake ni nyororo
Sauti yake si nyororo
Sauti yake ni hariri
0
sw
Sauti yake ni nyororo
Sauti yake si nyororo
Sauti yake ni kama chura
1
sw
Kaka yangu ni mkaidi
Kaka yangu ni mtiifu
Kaka yangu ni nyumbu
0
sw
Kaka yangu ni mkaidi
Kaka yangu ni mtiifu
Kaka yangu si nyumbu
1
sw
Rafiki yangu anakesha usiku
Rafiki yangu hakeshi usiku
Rafiki yangu ni bundi
0
sw
Rafiki yangu anakesha usiku
Rafiki yangu hakeshi usiku
Rafiki yangu ni popo
1
sw
Ilikuwa taratibu
Ilikuwa fasta
Ilikuwa na spidi ya maji ya mtaro
0
sw
Ilikuwa taratibu
Ilikuwa fasta
Ilikuwa na spidi ya risasi
1
sw
Sisi tumetengena sana
Sisi tupo karibu sana
Sisi ni kama ardhi na mbingu
0
sw
Sisi tumetengena sana
Sisi tupo karibu sana
Sisi ni kama chupi na tako
1
sw
Alikuwa hasikii anachoambiwa
Alikuwa akisikia anachoambiwa
Juma ana sikio la mbuzi
0
sw
Alikuwa hasikii anachoambiwa
Alikuwa akisikia anachoambiwa
Juma ana sikio la tembo
1
sw
Maji ya bombani ni adimu
Maji ya bombani si adimu
Maji ya bombani ni kaburi la baniani
0
sw
Maji ya bombani ni adimu
Maji ya bombani si adimu
Maji ya bombani ni kaburi la baniani
1
sw
Mapenzi ni matamu
Mapenzi ni machungu
Mapenzi ni asali
0
sw
Mapenzi ni matamu
Mapenzi ni machungu
Mapenzi ni shubiri
1
sw
Yuko na roho mbaya
Yuko na roho ya utu
Yeye ni mnyama
0
sw
Yuko na roho mbaya
Yuko na roho ya utu
Yeye ni malaika
1
sw
Alikuwa mrembo sana
Alikuwa si mrembo sana
Msichana alikuwa kipepeo
0
sw
Alikuwa mrembo sana
Alikuwa si mrembo sana
Msichana alikuwa kienyeji
1
sw
Ni mahali pazuri sana
Ni mahali pabaya sana
Kenya ni paradiso
0
sw
Ni mahali pazuri sana
Ni mahali pabaya sana
Kenya ni jehanamu
1
sw
Ni mtu mwema
Ni mtu mbaya sana
Moyo wake ni mkubwa
0
sw
Ni mtu mwema
Ni mtu mbaya sana
Moyo wake ni mdogo
1
sw
Sipendi kazi yangu
Naipenda kazi yangu
Kazi yangu ni shida
0
sw
Sipendi kazi yangu
Naipenda kazi yangu
Kazi yangu ni raha
1
sw
Ninampenda sana
Simpendi kabisa
Nina wazimu juu yake
0
sw
Ninampenda sana
Simpendi kabisa
Nina kijicho juu yake
1
sw
Kitu kipya sana
Kitu kizee
Mradi huo ni mchanga
0
sw
Kitu kipya sana
Kitu kizee
Mradi huo ni mkongwe
1
sw
Ni jasiri sana
Ni mnyonge sana
Ana roho ya simba
0
sw
Ni jasiri sana
Ni mnyonge sana
Ni mpole kama kobe
1
sw
nakutegemea sana kwa maisha yangu
Sikutegemei kwa lolote
Wewe ni nyota yangu
0
sw
nakutegemea sana kwa maisha yangu
Sikutegemei kwa lolote
Wewe ni giza yangu
1
sw
Unapoazima kitu ni rahisi kufanaya hivyo
Unapoazimwa kufanyia mtu jambo ni vigumu
Kukopa arusi
0
sw
Unapoazima kitu ni rahisi kufanaya hivyo
Unapoazimwa kufanyia mtu jambo ni vigumu
kulipa matanga
1
sw
ana tabia njema
ana tabia mbaya
Mgeni ni kuku mweupe
0
sw
ana tabia njema
ana tabia mbaya
Mgeni ni kuku mweusi
1
sw
Ni mjanja sana
Yeye si mjanja
Rafiki yake ni sungura
0
sw
Ni mjanja sana
Yeye si mjanja
Rafiki yake ni kondoo
1
sw
ana kimo kirefu sana
ana kimo kifupi sana
Yeye ni mrefu kama twiga
0
sw
ana kimo kirefu sana
ana kimo kifupi sana
Yeye ni mfupi kama mbilikimo
1
sw
aliwachwa na upweke
alipatana naye
Aliwachwa mataani na yule ndugu
0
sw
aliwachwa na upweke
alipatana naye
Alipatana naye hadharani
1
sw
ana mbio sana
ana mwendo wa polepole
Yeye ni chui
0
sw
ana mbio sana
ana mwendo wa polepole
yeye ni kobe
1
sw
anatoa siri zetu nje
siri zetu zipo imara
Kuna panya kati yetu
0
sw
anatoa siri zetu nje
siri zetu zipo imara
kuna pamba kati yetu
1
sw
anahisi vizuri
anahisi vibaya
Kicheko ni dawa
0
sw
anahisi vizuri
anahisi vibaya
Kununa ni sumu
1
sw
ina maana kuwa chumba kina upweke
chumbani kuna furaha
Hiki chumba ni jela
0
sw
ina maana kuwa chumba kina upweke
chumbani kuna furaha
Hiki chumba ni paradiso
1
sw
ana roho njema
ana roho mbaya
Ali ana roho ya dhahabu
0
sw
ana roho njema
ana roho mbaya
Ali ana roho ya fisi
1
sw
maongezi yake ni mabaya
maongezi yake ni mema
maneno yako yanakata kama kisu
0
sw
maongezi yake ni mabaya
maongezi yake ni mema
maneno yako ni nyororo kama pamba
1
sw
mapenzi yetu ni mazito na yenye msingi
mapenzi yetu hayana msingi na ni mepesi
mapenzi yetu ni mazuri kama maua
0
sw
mapenzi yetu ni mazito na yenye msingi
mapenzi yetu hayana msingi na ni mepesi
mapenzi yetu ni mepesi kama kamasi
1
sw
Alitembea kwa mwendo wa maringo
alitembea kwa mwendo usiopendeza sana
Brenda alitembea kama tausi
0
sw
Alitembea kwa mwendo wa maringo
alitembea kwa mwendo usiopendeza sana
Brenda alitembea kama kuku
1
sw
ina maana kuwa ana njaa nyingi
hana nia ya kula sana
Naweza kula farasi
0
sw
ina maana kuwa ana njaa nyingi
hana nia ya kula sana
Ntakula kinyonga
1
sw
kuna baridi
kuna joto
kuna baridi kama maji ya jokofu
0
sw
kuna baridi
kuna joto
kuna joto kama kwa shetani
1
sw
hana wasiwasi wowote
amejawa na mambo mengi
ametulia kama maji mtungini
0
sw
hana wasiwasi wowote
amejawa na mambo mengi
ana mambo mengi kama sungura
1
sw
bwana ndiye mwokozi wangu
bwana si mwokozi wangu
bwana ni jabali langu
0
sw
bwana ndiye mwokozi wangu
bwana si mwokozi wangu
bwana si jabali langu
1
sw
amekuwa mkali sana
amekuwa mwepesi
mama wa kambo amekuwa mkali kama mamba
0
sw
amekuwa mkali sana
amekuwa mwepesi
mama wa kambo amekuwa mwepesi kama karatasi
1
sw
Ndiye nguzo katika familia yao
Ndiye anavuta mkia kwenye familia yao kwenye maendeleo
Anita ndiye nuru ya familia yao
0
sw
Ndiye nguzo katika familia yao
Ndiye anavuta mkia kwenye familia yao kwenye maendeleo
Anita ndiye giza ya familia yao
1
sw
yamekuwa magumu kuelewa
yamekuwa rahisi kuelewa
Masomo yamekuwa mawe
0
sw
yamekuwa magumu kuelewa
yamekuwa rahisi kuelewa
masomo yamekuwa karatasi
1
sw
kulikuwa na mawingu angani
hakukuwa na mawingu yoyote angani
anga ilikuwa na makaa meupe
0
sw
kulikuwa na mawingu angani
hakukuwa na mawingu yoyote angani
anga ilikuwa wazi
1
sw
Kulikuwa na sauti kali ya mto
Mto ulikuwa umetulia
Tuliskia manunguniko ya mto
0
sw
Kulikuwa na sauti kali ya mto
Mto ulikuwa umetulia
Tuliskia utulivu wa mto
1
sw
Aliaga dunia
yuko salama kabisa
aliota ndoto ya milele
0
sw